Wikipedia
swwiki
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.39.0-wmf.19
first-letter
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wikipedia
Majadiliano ya Wikipedia
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
Lango
Majadiliano ya lango
Wikichanzo
Majadiliano ya Wikichanzo
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Gadget
Gadget talk
Gadget definition
Gadget definition talk
Sayansi
0
71
1233812
1115688
2022-07-19T15:45:12Z
Kipala
107
tanbihi
wikitext
text/x-wiki
[[File:Justus Sustermans - Portrait of Galileo Galilei, 1636.jpg|220px|thumb|upright|[[Galileo Galilei]], baba wa sayansi ya kisasa.<ref>{{Cite journal|title=Galileo and the Birth of Modern Science|journal=American Heritage of Invention and Technology|volume=24}}</ref>{{rp| Vol. 24, No. 1, p. 36}}]]
'''Sayansi''' ni [[maarifa]] yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa.<ref>Ufafanuzi katika [[Kamusi ya Kiswahili sanifu]]: "'''sayansi''' /sajansi/ nm (-) [i—] elimu inayotokana na uchunguzi, majaribio, vipimo na kuthibitishwa kwa muda uliopo. "
Ufafanuzi katika [[Kamusi Kuu ya Kiswahili|Kamusi Kuu]]: "'''sayansi''' - tawi la maarifa linalohusu nadharia, vipimo, uchunguzi wa hatua kwa hatua na uthibitishaji wa kuwepo au kutokuwepo kwa kitu au jambo katika hali halisi "</ref>
Mara nyingi [[Galileo Galilei]] anahesabiwa kuwa [[baba]] wa sayansi ya kisasa.
==Aina za sayansi==
[[Picha:Bruce McCandless II during EVA in 1984.jpg|thumb|right|250px|Mtu aliyerushwa hadi angani. Kufikia katikati ya [[karne ya 20]] [[binadamu]] ameweza kukua kisayansi na hivyo kuvumbua [[teknolojia]] zilizomwezesha kuruka na kuelea anga za juu kabisa za [[Dunia]] kwa mara ya kwanza na kuchunguza [[Anga la nje|anga-nje]].]]
Kuna sayansi mbalimbali ambazo huainishwa katika makundi yafuatayo:
'''Sayansi Asili''' k.m.
* [[Biolojia]]
* [[Jiografia]]
* [[Zoolojia]]
'''Sayansi Umbile''' k.m.
* [[Fizikia]]
* [[Hisabati]]
* [[Kemia]]
'''Sayansi Jamii''' k.m.
* [[Akiolojia]]
* [[Elimu]]
* [[Saikolojia]]
* [[Siasa]]
'''Sayansi Tumizi''' k.m.
* [[Teknolojia]]
* [[Uhandisi]]
Pia, kuna sayansi zinazohusu mada mbalimbali:
* [[Maarifa]]
* [[Unajimu]]
* [[Tiba]]
==Mbinu za kisayansi==
[[Picha:Charles Darwin seated crop.jpg|thumb|right|[[Charles Darwin]] [[mwaka]] [[1854]], alipokuwa anatunga [[kitabu]] chake "[[On the Origin of Species]]".]]
Msingi wa sayansi ni vitendo. Vitendo vya kisayansi vina njia zake zinazotumika kuthibitisha kweli za kisayansi.
Namna ya kueleza jambo kisayansi huchimbuka toka [[nadharia]] ama udhanifu. Halafu, ili kweli ikubalike, hutoka kwenye udhanifu na kwa kupitia [[Jaribio|majaribio]] rasmi, hutengeneza [[dhana]] kamili ama nadharia kama ni shauri la kueleza mwenendo na tabia.
Kwa hivyo, [[asili]] ya njia ya kisayansi ni [[mtazamo]] unaokwenda sambamba na vitendo vinavyochunguzwa. Kutoka mitazamo [[wanasayansi]] wanaunda nadharia. Baadaye wanaangalia kama bashiri za nadharia ni kweli. Isipokuwa kweli watakanusha nadharia hiyo. Ikionekana kwamba mara nyingi sana nadharia ilibashiri [[ukweli]], na haijakosea, itakuwa nadharia inayokubalika.
==Sura ya kisayansi==
Mara chache, maarifa yatokanayo na sayansi yanaweza kupinga hali ya kawaida. Kwa mfano nadharia ya [[atomu]] inasema kwamba katika [[jiwe]] ([[maada yabisi]]) kuna [[uvungu]] ([[dutu tupu]]), na kwamba atomi zinacheza katika nafasi ndogo katika jiwe ukifananisha na [[maada kimiminika]]. Lakini kwa nadharia hii tunaweza kueleza mambo mengi, hata kwa nini tunaweza kusema kwamba jiwe halina uvungu.
==Historia==
[[image:Aristotle Altemps Inv8575.jpg|thumb|[[Aristotle]] ([[384 KK]] – [[322 KK]]) alichangia katika ukuaji wa sayansi.]]
=== Sura ya kiutamaduni ===
Sayansi iliaanza kama [[udadisi]] wa mtu mmojammoja; lakini kadiri maarifa yanavyopanuka, inakuwa vigumu kwa mtu mmoja kufanya mchango wa kujitenga. Hivyo [[jumuiya]] zimebeba kusudi ambalo hapo mwanzo lilionekana kama ni shauku la mtu mmojammoja kama awali.
Hii hufanya mkururo wa [[ugunduzi]] ama [[uvumbuzi]] kuwa sehemu ya [[historia ya sayansi]]. [[Jina|Majina]] na sifa kutajwa sambamba na shauri la aliyepelekea.
Sayansi na [[jamii]] huenda pamoja katika kuleta mabadiliko, kwa kuwa mabadiliko huletwa na watu wenyewe.
=== Sayansi na siasa za dunia ===
[[File:Pangea animation 03.gif|thumb|300px|Picha ya dunia ikionyesha kutokea kwa [[mabara]] kutoka kugawanyika kwa [[Pangea]] mpaka hivi leo.]]
Katika dunia hii ya leo, [[maendeleo]] ya watu hujidhihirisha sana kutokana na jinsi jamii husika ilivyopiga teke katika uwanja huu.
Ingawaje haibainishwi wazi miongoni mwa sura ya mambo ya kidunia, sayansi kwa kweli ni [[nguvu]] inayoweza kubadili [[maisha]] ya watu kwa wema; lakini katika [[kilele]] chake cha mafanikio, vyombo vyenye nguvu za [[mamlaka]] na [[fedha]] hushikilia baadhi ya [[matunda]] yake katika hali ya [[Biashara|kibiashara]] na [[Utawala|kiutawala]] zaidi.
=== Sayansi na maendeleo ===
[[File:Candle-light-animated.gif||thumb|left|upright=0.80|Mambo mbalimbali ya kikemikali yaliyosomwa na [[Michael Faraday]] na kuripotiwa katika historia yake kabla ya [[mamlaka ya kisheria]]: ''[[Historia ya kikemikali ya mshumaa]]'', mwaka [[1861]].]]
Wapo watu pia ambao hutumia sayansi kujaribu kuboresha maisha ya watu wote kwa ujumla. Hivyo sayansi haibakii tu [[Mikono|mikononi]] mwa wenye kushika dau kimifumo, bali changamoto ya wote wenye kutaka kuleta maendeleo ya ujumla.
Hivyo roho ya uchunguzi ndiyo iliyoleta kuzaliwa, kukua na kutapakaa kwa sayansi.
==Tazama pia==
* [[Mtu wa kwanza alitoka wapi]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{Lango|Sayansi}}
{{Sayansi}}
{{Mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Sayansi]]
54aoo3j0nojbc13fnrrzmhk9q93j0el
1233813
1233812
2022-07-19T15:47:17Z
Kipala
107
/* Aina za sayansi */
wikitext
text/x-wiki
[[File:Justus Sustermans - Portrait of Galileo Galilei, 1636.jpg|220px|thumb|upright|[[Galileo Galilei]], baba wa sayansi ya kisasa.<ref>{{Cite journal|title=Galileo and the Birth of Modern Science|journal=American Heritage of Invention and Technology|volume=24}}</ref>{{rp| Vol. 24, No. 1, p. 36}}]]
'''Sayansi''' ni [[maarifa]] yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa.<ref>Ufafanuzi katika [[Kamusi ya Kiswahili sanifu]]: "'''sayansi''' /sajansi/ nm (-) [i—] elimu inayotokana na uchunguzi, majaribio, vipimo na kuthibitishwa kwa muda uliopo. "
Ufafanuzi katika [[Kamusi Kuu ya Kiswahili|Kamusi Kuu]]: "'''sayansi''' - tawi la maarifa linalohusu nadharia, vipimo, uchunguzi wa hatua kwa hatua na uthibitishaji wa kuwepo au kutokuwepo kwa kitu au jambo katika hali halisi "</ref>
Mara nyingi [[Galileo Galilei]] anahesabiwa kuwa [[baba]] wa sayansi ya kisasa.
==Aina za sayansi==
[[Picha:Bruce McCandless II during EVA in 1984.jpg|thumb|right|250px|Mtu aliyerushwa hadi angani. Kufikia katikati ya [[karne ya 20]] [[binadamu]] ameweza kukua kisayansi na hivyo kuvumbua [[teknolojia]] zilizomwezesha kuruka na kuelea anga za juu kabisa za [[Dunia]] kwa mara ya kwanza na kuchunguza [[Anga la nje|anga-nje]].]]
Kuna sayansi mbalimbali ambazo huainishwa katika makundi yafuatayo:
'''Sayansi Asili''' k.m.
* [[Biolojia]]
* [[Jiografia]]
* [[Zoolojia]]
'''Sayansi Umbile''' k.m.
* [[Fizikia]]
* [[Hisabati]]
* [[Kemia]]
'''Sayansi Jamii''' k.m.
* [[Historia]]
* [[Elimu]]
* [[Saikolojia]]
* [[Siasa]]
'''Sayansi Tumizi''' k.m.
* [[Teknolojia]]
* [[Uhandisi]]
Pia, kuna sayansi zinazohusu mada mbalimbali:
* [[Maarifa]]
* [[Unajimu]]
* [[Tiba]]
==Mbinu za kisayansi==
[[Picha:Charles Darwin seated crop.jpg|thumb|right|[[Charles Darwin]] [[mwaka]] [[1854]], alipokuwa anatunga [[kitabu]] chake "[[On the Origin of Species]]".]]
Msingi wa sayansi ni vitendo. Vitendo vya kisayansi vina njia zake zinazotumika kuthibitisha kweli za kisayansi.
Namna ya kueleza jambo kisayansi huchimbuka toka [[nadharia]] ama udhanifu. Halafu, ili kweli ikubalike, hutoka kwenye udhanifu na kwa kupitia [[Jaribio|majaribio]] rasmi, hutengeneza [[dhana]] kamili ama nadharia kama ni shauri la kueleza mwenendo na tabia.
Kwa hivyo, [[asili]] ya njia ya kisayansi ni [[mtazamo]] unaokwenda sambamba na vitendo vinavyochunguzwa. Kutoka mitazamo [[wanasayansi]] wanaunda nadharia. Baadaye wanaangalia kama bashiri za nadharia ni kweli. Isipokuwa kweli watakanusha nadharia hiyo. Ikionekana kwamba mara nyingi sana nadharia ilibashiri [[ukweli]], na haijakosea, itakuwa nadharia inayokubalika.
==Sura ya kisayansi==
Mara chache, maarifa yatokanayo na sayansi yanaweza kupinga hali ya kawaida. Kwa mfano nadharia ya [[atomu]] inasema kwamba katika [[jiwe]] ([[maada yabisi]]) kuna [[uvungu]] ([[dutu tupu]]), na kwamba atomi zinacheza katika nafasi ndogo katika jiwe ukifananisha na [[maada kimiminika]]. Lakini kwa nadharia hii tunaweza kueleza mambo mengi, hata kwa nini tunaweza kusema kwamba jiwe halina uvungu.
==Historia==
[[image:Aristotle Altemps Inv8575.jpg|thumb|[[Aristotle]] ([[384 KK]] – [[322 KK]]) alichangia katika ukuaji wa sayansi.]]
=== Sura ya kiutamaduni ===
Sayansi iliaanza kama [[udadisi]] wa mtu mmojammoja; lakini kadiri maarifa yanavyopanuka, inakuwa vigumu kwa mtu mmoja kufanya mchango wa kujitenga. Hivyo [[jumuiya]] zimebeba kusudi ambalo hapo mwanzo lilionekana kama ni shauku la mtu mmojammoja kama awali.
Hii hufanya mkururo wa [[ugunduzi]] ama [[uvumbuzi]] kuwa sehemu ya [[historia ya sayansi]]. [[Jina|Majina]] na sifa kutajwa sambamba na shauri la aliyepelekea.
Sayansi na [[jamii]] huenda pamoja katika kuleta mabadiliko, kwa kuwa mabadiliko huletwa na watu wenyewe.
=== Sayansi na siasa za dunia ===
[[File:Pangea animation 03.gif|thumb|300px|Picha ya dunia ikionyesha kutokea kwa [[mabara]] kutoka kugawanyika kwa [[Pangea]] mpaka hivi leo.]]
Katika dunia hii ya leo, [[maendeleo]] ya watu hujidhihirisha sana kutokana na jinsi jamii husika ilivyopiga teke katika uwanja huu.
Ingawaje haibainishwi wazi miongoni mwa sura ya mambo ya kidunia, sayansi kwa kweli ni [[nguvu]] inayoweza kubadili [[maisha]] ya watu kwa wema; lakini katika [[kilele]] chake cha mafanikio, vyombo vyenye nguvu za [[mamlaka]] na [[fedha]] hushikilia baadhi ya [[matunda]] yake katika hali ya [[Biashara|kibiashara]] na [[Utawala|kiutawala]] zaidi.
=== Sayansi na maendeleo ===
[[File:Candle-light-animated.gif||thumb|left|upright=0.80|Mambo mbalimbali ya kikemikali yaliyosomwa na [[Michael Faraday]] na kuripotiwa katika historia yake kabla ya [[mamlaka ya kisheria]]: ''[[Historia ya kikemikali ya mshumaa]]'', mwaka [[1861]].]]
Wapo watu pia ambao hutumia sayansi kujaribu kuboresha maisha ya watu wote kwa ujumla. Hivyo sayansi haibakii tu [[Mikono|mikononi]] mwa wenye kushika dau kimifumo, bali changamoto ya wote wenye kutaka kuleta maendeleo ya ujumla.
Hivyo roho ya uchunguzi ndiyo iliyoleta kuzaliwa, kukua na kutapakaa kwa sayansi.
==Tazama pia==
* [[Mtu wa kwanza alitoka wapi]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{Lango|Sayansi}}
{{Sayansi}}
{{Mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Sayansi]]
h7r8v0xktgyurwjj9iwq4y3a2g1att8
1233832
1233813
2022-07-20T07:27:57Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[File:Justus Sustermans - Portrait of Galileo Galilei, 1636.jpg|220px|thumb|upright|[[Galileo Galilei]], baba wa sayansi ya kisasa.<ref>{{Cite journal|title=Galileo and the Birth of Modern Science|journal=American Heritage of Invention and Technology|volume=24}}</ref>{{rp| Vol. 24, No. 1, p. 36}}]]
'''Sayansi''' ni [[maarifa]] yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa.<ref>Ufafanuzi katika [[Kamusi ya Kiswahili Sanifu]]: "'''sayansi''' /sajansi/ nm (-) [i—] elimu inayotokana na uchunguzi, majaribio, vipimo na kuthibitishwa kwa muda uliopo. "
Ufafanuzi katika [[Kamusi Kuu ya Kiswahili|Kamusi Kuu]]: "'''sayansi''' - tawi la maarifa linalohusu nadharia, vipimo, uchunguzi wa hatua kwa hatua na uthibitishaji wa kuwepo au kutokuwepo kwa kitu au jambo katika hali halisi "</ref>
Mara nyingi [[Galileo Galilei]] anahesabiwa kuwa [[baba]] wa sayansi ya kisasa.
==Aina za sayansi==
[[Picha:Bruce McCandless II during EVA in 1984.jpg|thumb|right|250px|Mtu aliyerushwa hadi angani. Kufikia katikati ya [[karne ya 20]] [[binadamu]] ameweza kukua kisayansi na hivyo kuvumbua [[teknolojia]] zilizomwezesha kuruka na kuelea katika anga la juu kabisa la [[Dunia]] kwa mara ya kwanza na kuchunguza [[Anga la nje|anga-nje]].]]
Kuna sayansi mbalimbali ambazo huainishwa katika makundi yafuatayo:
'''Sayansi Asili''' k.m.
* [[Biolojia]]
* [[Jiografia]]
* [[Zoolojia]]
'''Sayansi Umbile''' k.m.
* [[Fizikia]]
* [[Hisabati]]
* [[Kemia]]
'''Sayansi Jamii''' k.m.
* [[Historia]]
* [[Elimu]]
* [[Saikolojia]]
* [[Siasa]]
'''Sayansi Tumizi''' k.m.
* [[Teknolojia]]
* [[Uhandisi]]
Pia, kuna sayansi zinazohusu mada maalumu mbalimbali:
* [[Maarifa]]
* [[Astronomia]]
* [[Tiba]]
==Mbinu za kisayansi==
[[Picha:Charles Darwin seated crop.jpg|thumb|right|[[Charles Darwin]] [[mwaka]] [[1854]], alipokuwa anatunga [[kitabu]] chake "[[On the Origin of Species]]".]]
Msingi wa sayansi ni vitendo. Vitendo vya kisayansi vina njia zake zinazotumika kuthibitisha kweli fulani.
Namna ya kueleza jambo kisayansi huchimbuka toka [[nadharia]] ama udhanifu. Halafu, ili kweli ikubalike, hutoka kwenye udhanifu na kwa kupitia [[Jaribio|majaribio]] rasmi, hutengeneza [[dhana]] kamili ama nadharia kama ni shauri la kueleza mwenendo na [[tabia]].
Hivyo, [[asili]] ya njia ya kisayansi ni [[mtazamo]] unaokwenda sambamba na vitendo vinavyochunguzwa. Kutoka mitazamo [[wanasayansi]] wanaunda nadharia. Baadaye wanaangalia kama bashiri za nadharia ni kweli. Zisipokuwa kweli watakanusha nadharia hiyo. Ikionekana kwamba mara nyingi sana nadharia ilibashiri [[ukweli]], na haijakosea, itakuwa nadharia inayokubalika.
==Sura ya kisayansi==
Mara chache, maarifa yatokanayo na sayansi yanaweza kupinga hali ya kawaida. Kwa mfano nadharia ya [[atomu]] inasema kwamba katika [[jiwe]] ([[maada yabisi]]) kuna [[uvungu]] ([[dutu tupu]]), na kwamba atomi zinacheza katika nafasi ndogo katika jiwe ukifananisha na [[maada kimiminika]]. Lakini kwa nadharia hii tunaweza kueleza mambo mengi, hata kwa nini tunaweza kusema kwamba jiwe halina uvungu.
==Historia==
[[image:Aristotle Altemps Inv8575.jpg|thumb|[[Aristotle]] ([[384 KK]] – [[322 KK]]) alichangia ukuaji wa sayansi.]]
=== Sura ya kiutamaduni ===
Sayansi iliaanza kama [[udadisi]] wa mtu mmojammoja; lakini kadiri maarifa yanavyopanuka, inakuwa vigumu kwa mtu mmoja kufanya mchango wa kujitenga. Hivyo [[jumuiya]] zimebeba kusudi ambalo hapo mwanzo lilionekana kama ni shauku la mtu mmojammoja kama awali.
Hii hufanya mkururo wa [[ugunduzi]] ama [[uvumbuzi]] kuwa sehemu ya [[historia ya sayansi]]. [[Jina|Majina]] na [[sifa]] hutajwa sambamba na shauri la aliyepelekea.
Sayansi na [[jamii]] huenda pamoja katika kuleta mabadiliko, kwa kuwa mabadiliko huletwa na watu wenyewe.
=== Sayansi na siasa za dunia ===
[[File:Pangea animation 03.gif|thumb|300px|Picha ya dunia ikionyesha kutokea kwa [[mabara]] tangu kugawanyika kwa [[Pangea]] mpaka hivi leo.]]
Katika [[dunia]] hii ya leo, [[maendeleo]] ya watu hujidhihirisha sana kutokana na jinsi jamii husika ilivyopiga teke katika uwanja huu.
Ingawaje haibainishwi wazi miongoni mwa sura ya mambo ya kidunia, sayansi kwa kweli ni [[nguvu]] inayoweza kubadili [[maisha]] ya watu kwa wema; lakini katika [[kilele]] chake cha mafanikio, vyombo vyenye nguvu za [[mamlaka]] na [[fedha]] hushikilia baadhi ya [[matunda]] yake katika hali ya [[Biashara|kibiashara]] na [[Utawala|kiutawala]] zaidi.
=== Sayansi na maendeleo ===
[[File:Candle-light-animated.gif||thumb|left|upright=0.80|Mambo mbalimbali ya kikemikali yaliyosomwa na [[Michael Faraday]] na kuripotiwa katika [[kitabu]] ''[[Historia ya kikemikali ya mshumaa]]'' [[mwaka]] [[1861]].]]
Wapo watu pia ambao hutumia sayansi kujaribu kuboresha maisha ya watu wote kwa ujumla. Hivyo sayansi haibakii tu [[Mikono|mikononi]] mwa wenye kushika dau kimifumo, bali changamoto ya wote wenye kutaka kuleta maendeleo ya ujumla.
Hivyo roho ya uchunguzi ndiyo iliyoleta kuzaliwa, kukua na kutapakaa kwa sayansi.
==Tazama pia==
* [[Mtu wa kwanza alitoka wapi]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{Lango|Sayansi}}
{{Sayansi}}
{{Mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Sayansi]]
nqd5fjp6c90eps7hdd29ml0mrbe4x7g
Binadamu
0
3050
1233821
1184221
2022-07-19T20:52:04Z
Autonomous agent 5
51368
hakuna picha ya jumla ya binadamu inayopatikana, ya awali isiyo ya upande wowote - kitamaduni (si mwakilishi)
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji | rangi = pink
| jina = Binadamu
| picha = Bao players in stone town zanzibar.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha =
| domeni = [[Eukaryota]]
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Primates]] <small>(Wanyama wanaofanana kiasi na [[binadamu]])</small>
| familia_ya_juu = [[Hominoidea]] <small>(Wanyama kama binadamu)</small>
| familia = [[Hominidae]] <small>(Walio na mnasaba na binadamu)</small>
| nusufamilia = [[Homininae]] <small>(Wanaofanana sana na binadamu)</small>
| jenasi = ''[[Homo]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758
| spishi = ''[[Homo sapiens|H. sapiens]]''
| bingwa_wa_spishi = Linnaeus, 1758
| nususpishi = ''[[Homo sapiens sapiens|H. s. sapiens]]''
}}
[[File:Homo-Stammbaum, Version Stringer-en.svg|420px|thumb|[[Mchoro]] wa [[uenezi]] wa [[jenasi]] ''Homo'' katika miaka [[milioni]] [[mbili]] ya mwisho. [[Rangi]] ya [[samawati]] Inaonyesha uwepo wa [[spishi]] fulani [[wakati]] na [[mahali]] fulani.<ref>{{cite journal | last=Stringer | first=C. | title=What makes a modern human | journal=Nature | year=2012 | volume=485 | issue=7396 | pages=33–35 | doi=10.1038/485033a | pmid=22552077}}</ref>]]
[[File:Homo sapiens dispersal routes.jpg|thumb|450x450px|Ramani ya uenezi wa binadamu ([ka] inamaanisha miaka elfu).]]
'''Binadamu''' (pia '''mwanadamu''') ni [[neno]] lenye [[asili]] ya [[Kiarabu]] linalomaanisha "[[Mwana]] wa [[Adamu]]", anayeaminiwa na [[dini]] za [[Uyahudi]], [[Ukristo]] na [[Uislamu]] kuwa ndiye [[mtu]] wa kwanza.
== Binadamu kadiri ya sayansi ==
[[Sayansi|Kisayansi]] [[jina]] hilo linaweza kutumika kwa maana ya ''Homo sapiens'' ili kumtofautisha na [[viumbehai]] wengine wa [[jenasi]] [[Homo]] ambao wote walitoweka walau miaka 12,000 hivi iliyopita.
Watu wote walioko leo hii ni [[spishi]] ileile na tofauti zinazoonekana kati ya [[maumbile]] yao katika sehemu mbalimbali za [[dunia]] ni ndogondogo tu.
[[Utafiti]] juu ya [[DNA]] umethibitisha kwamba binadamu wote wametokana na watu waliokuwepo [[Afrika]] walau miaka 300,000 hivi iliyopita.
Kwa namna ya pekee, [[upimaji]] wa [[DNA ya mviringo]], ambayo kila mmoja anarithi kwa [[mama]] tu, umeonyesha kuwa binadamu wote waliopo [[duniani]] wanachanga mama mmoja aliyewahi kuishi miaka 160,000 hivi iliyopita<ref>Although the original research did have analytical limitations, the estimate on the age of the mt-MRCA has proven robust. More recent age estimates have remained consistent with the 140–200 kya estimate published in 1987: A 2013 estimate dated Mitochondrial Eve to about 160 kya (within the reserved estimate of the original research) and Out of Africa II to about 95 kya.</ref>.
Halafu upimaji wa [[kromosomu Y]], ambayo kila [[mwanamume]] anarithi kwa [[baba]] tu, umeonyesha kuwa wanaume wote waliopo duniani wanachanga baba mmoja aliyewahi kuishi walau miaka 120,000 hivi iliyopita<ref>Another 2013 study (based on genome sequencing of 69 people from 9 different populations) reported the age of Mitochondrial Eve between 99 to 148 kya and that of the Y-MRCA between 120 and 156 kya.</ref>, kidogo tu kabla ya watu kuanza kuenea katika [[bara]] la [[Asia]] labda kufuatia [[pwani]] za [[Bahari ya Hindi]].
Hata hivyo, miaka hii ya mwisho imegundulika katika baadhi ya wanaume wenye [[asili]] ya [[makabila]] ya [[Wabangwa]] na [[Wambo]] ([[Camerun]], [[Afrika ya Kati]]) aina ya kromosomu Y tofauti sana na ile ya wanaume wengine wote waliowahi kupimwa, kiasi cha kukadiria zimetofautiana miaka 350,000 hivi iliyopita.
Vilevile, upimaji wa [[DNA ya mstari]] kwa jumla umeonyesha uwezekano wa kwamba baadhi ya binadamu wa leo, wale wasio wa [[Kusini kwa Sahara]], wana [[asilimia]] 1-6 ya [[urithi]] wa [[Biolojia|kibiolojia]] kutoka kwa aina nyingine za Homo, hususan [[Homo neanderthalensis]], ile ya [[pango la Denisova]] na ile iliyorithiwa na baadhi ya watu wa [[visiwa vya Andaman]] ([[India]]).
Kama hao waliweza kweli kuzaliana na [[Homo sapiens]] na kuacha [[uzao]] uliojiendeleza maana yake walikuwa [[spishi]] moja na yeye. Hapo asili ya binadamu inatakiwa kuhesabiwa ya zamani zaidi sana kuliko miaka 200,000 iliyofikiriwa kwanza<ref>Omo Kibish Formation and its neighboring sites in Ethiopia have produced some of the earliest examples of fossilised human and australopithecine remains and stone tools. [[Richard Leakey]]'s work there in 1967 found some of the oldest remains of primitive ''Homo sapiens''. Earlier believed to be around 125,000 years old, more recent research indicates they may in fact date to c.195,000 years ago. {{Cite news|url=https://www.sciencedaily.com/releases/2005/02/050223122209.htm|title=The Oldest Homo Sapiens: Fossils Push Human Emergence Back To 195,000 Years Ago|work=ScienceDaily|access-date=2018-04-13|language=en}}</ref>.
== Uenezi wa binadamu ==
Kutoka bara la Africa watu walienea kwanza [[Australia|Asia , Australia]] na [[Ulaya]], halafu [[Amerika]] toka [[kaskazini]] hadi [[kusini]].
Hatimaye, katika [[karne ya 20]] watu walikwenda kukaa kwa [[muda]] katika bara la [[Antaktika]] kwa ajili ya utafiti.
== Upekee wake ==
Ingawa binadamu ana undugu mkubwa wa kibiolojia na [[sokwe]] na viumbe vingine, ustawi wake hauna mfano, kiasi cha kufanya wengi waamini kwamba tofauti iliyopo inadai kuelezwa kwa uwemo wa [[roho]] ndani ya [[mwili]] wake; roho ambayo [[dini]] hizo [[imani|zinasadiki]] imetiwa na [[Mungu]] moja kwa moja.
== Binadamu kadiri ya Biblia ==
Kadiri ya [[Biblia]], binadamu ameumbwa “kwa mfano wa Mungu” ([[Mwa]] 1:27), mwenye [[roho]] isiyokufa. Hivyo, Mungu amependa kuwasiliana na watu, akijitambulisha na kujitoa kwetu, tuweze kuishi katika [[urafiki]] naye na hatimaye tushiriki [[heri]] yake.
Ameshirikishwa naye ukuu juu ya viumbe vyote vinavyoonekana. “Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota ulizoziratibisha; mtu ni kitu gani hata umkumbuke, na binadamu hata umwangalie? Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu; umemvika taji ya utukufu na heshima” ([[Zab]] 8:3-5). “Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki, kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu” ([[Yoh]] 15:15). Amefanya hivyo kwa maneno na matendo yanayoshikamana sana kwa kuwa maneno yanafafanua matendo, nayo matendo yanathibitisha maneno.
Mungu ametufunulia pia [[ukweli]] juu yetu wenyewe akijibu kabisa maswali yanayotusumbua kuhusu [[Maana ya maisha|maana]] na lengo la [[maisha]] yetu. “Mungu hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli” ([[1Tim]] 2:4). “Mungu si mtu, aseme uongo” ([[Hes]] 23:19). Yeye hadanganyiki wala hadanganyi.
Kati ya viumbe vinavyoonekana, mtu tu ni [[nafsi]], akiwa na uwezo wa kujifahamu, kujitawala, kujitolea na kupendana na wengine. Basi, anapaswa kulinda hadhi hiyo asitawaliwe na [[tamaa]] za kila aina. Akifanya hivyo anatimiza mpango wa [[Mungu]] juu yake na kupendana naye.
[[Malaika]] na watu ndio viumbe pekee vyenye hiari ya kuchagua wenyewe wachangie mpango wa Mungu au la. “Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi, chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako; kumpenda Bwana, Mungu wako, kuitii sauti yake, na kushikamana naye; kwani hiyo ndiyo uzima wako” ([[Kumb]] 30:19-20).
Malaika na watu wanaweza kuchagua hata wawe wema au wabaya [[milele]]. “Kulikuwa na vita mbinguni: Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni” ([[Ufu]] 12:7-8).
Chaguo letu binadamu linafanyika siku kwa siku kwa kuchukua misimamo mizuri au mipotovu kuhusu [[dini]] na [[maadili]]. “Mwayachunguza Maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia. Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzima” ([[Yoh]] 5:39-40).
Binadamu ni [[umoja]] wa mambo mawili: roho iliyoumbwa na Mungu moja kwa moja, na [[mwili]] ulioumbwa naye kwa njia ya [[wazazi]]. [[Maumbile]] hayo yanatakiwa kukamilika kwa kupokea na kutimiza [[upendo]] wa Mungu aliyesema, “’Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi’. Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba” ([[Mwa]] 1:26-27).
Hivyo, mwili wetu ni muhimu, kwa sababu umeumbwa na Mungu, umetwaliwa na [[Mungu Mwana|Mwanae]] ili atuokoe, umehuishwa na [[Roho Mtakatifu]] atakayeutukuza siku ya [[Ufufuko|ufufuo]] kwa mfano wa Yesu. “Mwili si kwa zinaa, bali ni kwa Bwana, naye Bwana ni kwa mwili. Naye Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua sisi kwa uweza wake. Je, hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? Hasha! Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye?… Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?” ([[1Kor]] 6:13-16,19).
[[Utoto]]ni anasukumwa tu na [[haja]] za [[umbile]] lake, ambazo ni muhimu kwake na anazilenga bila ya kuhitaji juhudi.
Lakini akikua anaanza kutambua [[tunu]] za [[maadili]] na [[dini]], ambazo ni njema, ni muhimu kwa zenyewe na zinamdai azifuate kwa nia imara hadi afikie lengo.
Kwa bidii za kudumu za namna hiyo anamlenga hasa Mungu, wema mkuu.
Anapopitia misukosuko ya [[ujana]] asikubali kushindwa na [[vionjo]] wala asikate tamaa, kwa kuwa Mungu amemuumba atawale hata nafsi yake na [[mwili]] wake.
Mtu wa kwanza kuumbwa na Mungu kadiri ya Biblia alikuwa Adamu, akifuatwa na [[Eva]] [[Mke|mkewe]]. Hapo “Mungu aliona kila kitu alichokifanya, na tazama ni chema sana” (Mwa 1:31).
Hata hivyo, baada ya [[dhambi ya asili]] anadaiwa bidii katika kutekeleza tunu ili wema alionao uzae matunda.
Basi, apanie kukuza wema aliojaliwa ili kesho awe mtu bora kama [[mzazi]], [[raia]], kiongozi wa dini na [[jamii]] n.k.
Penye nia pana njia hata ya kuelekea [[utakatifu]] utakaokamilika katika [[uzima wa milele]].
Binadamu amekabidhiwa na Mungu [[dunia]], lakini hasa amekabidhiwa nafsi yake mwenyewe. Itamfaa nini kujua na kutawala [[ulimwengu]], asipojijua na kujitawala kweli?
== Binadamu na elimunafsia ==
[[Karne XX]] imeleta [[maendeleo]] makubwa katika [[elimunafsia]] (= [[saikolojia]]). Hivyo anaweza kutambua vizuri mema na mabaya yaliyomo ndani mwake.
Lakini akitaka kujifahamu haitoshi asikilize mafundisho hayo au kusoma vitabu vingi juu yake.
Anahitaji kuishi katika [[mazingira]] bora ambapo ajisikie nyumbani, huru na mtulivu kwa [[kupendana]] na wenzake, kusikiliza watu wanaomfahamu (hasa walezi wake) wanasema nini juu yake, kujipatia muda wa kutulia peke yake na kujifikiria kulingana na maneno yao, kujichunguza kwa makini kuanzia miaka ya utotoni.
Kwa kuwa [[utu]] unategemea [[urithi]], mazingira na [[utashi]] wa kila mmoja, anapaswa kuchunguza hayo yote yaliyochangia kumjenga.
Mara kwa mara ajitenge na watu na shughuli ili kutathmini tena maisha yake, kupima [[maono]] yake na kuweka maazimio ya kufaa, bila ya kusahau kwamba [[uhai]] wake ni [[fumbo]], kwa kuwa unamtegemea Mungu.
==Tazama pia==
* [[Mtu wa kwanza alitoka wapi]]
==Tanbihi==
{{marejeo}}
==Viungo vya nje==
* [http://binadamu.net] {{Wayback|url=http://binadamu.net/ |date=20200209225307 }}
{{Sokwe}}
[[Jamii:Jamii]]
[[Jamii:Binadamu]]
[[Jamii:Binadamu na jamaa]]
[[Jamii:Biolojia]]
[[Jamii:Saikolojia]]
[[Jamii:Biblia]]
2o4udv402awgk95y330a1zy45nzs9jx
9 Juni
0
4791
1233816
1226833
2022-07-19T17:02:38Z
81.101.7.190
/* Waliofariki */
wikitext
text/x-wiki
{{Juni}}
Tarehe '''9 Juni''' ni [[siku]] ya 160 ya [[mwaka]] (ya 161 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 205.
== Matukio ==
* [[1534]] - [[Jacques Cartier]], [[Mzungu]] wa kwanza kufikia [[mto Saint Lawrence]]
* [[1815]] - Mwisho wa [[Mkutano wa Vienna]] uliorekebisha hali ya [[siasa]] ya [[Ulaya]]
* [[1856]] - [[Wamormoni]] 500 wanatoka [[mji]] wa [[Iowa City]] katika jimbo la [[Iowa]] na kuelekea [[magharibi]] kwenda mji wa [[Salt Lake City]] katika jimbo la [[Utah]] wakibeba [[mali]] zao zote kwenye mikokoteni
== Waliozaliwa ==
* [[1640]] - [[Kaisari Leopold I]] wa [[Ujerumani]]
* [[1672]] - [[Tsar]] [[Peter I wa Urusi]]
* [[1843]] - [[Bertha von Suttner]], [[mwandishi]] [[Austria|Mwaustria]], na mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1905]]
* [[1875]] - [[Henry Dale]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1936]]
* [[1935]] - [[Pius Msekwa]], [[mwanasiasa]] kutoka [[Tanzania]]
* [[1940]] - [[Abdisalam Issa Khatib]], [[mbunge]] wa [[Tanzania]]
* [[1963]] - [[Johnny Depp]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Marekani]]
* [[1988]] - [[Flaviana Matata]], [[mwanamitindo]] kutoka [[Tanzania]]
== Waliofariki ==
* [[68]] - [[Nero]], [[Kaisari]] wa [[Dola la Roma]], anajiua
* [[373]] - [[Mtakatifu]] [[Efrem wa Syria]], [[mtawa]], [[shemasi]] na [[mwalimu wa Kanisa]] huko [[Mesopotamia]]
* [[597]] - Mtakatifu [[Kolumba]], [[mmonaki]] [[mmisionari]] nchini [[Uskoti]]
* [[1597]] - Mtakatifu [[Yosefu wa Anchieta]], [[Mjesuiti]] [[mmisionari]] nchini [[Brazil]]
* [[1870]] - [[Charles Dickens]], [[mwandishi]] [[Uingereza|Mwingereza]]
* [[1959]] - [[Adolf Windaus]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1928]]
* [[1974]] - [[Miguel Asturias]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1967]]
* [[1987]] - [[Elijah Masinde]], [[mwanzilishi]] wa [[Dini ya Musambwa]]
* [[1989]] - [[George Beadle]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1958]]
* [[2005]] - [[Richard Eberhart]], mshairi kutoka [[Marekani]]
* [[2007]] - [[Achieng Oneko]], mwanasiasa wa [[Kenya]]
* [[2022]] - [[Matt Zimmerman]], mwigizaji wa [[Canada]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Efrem wa Syria]], [[Primo na Felisiani]], [[Diomede wa Nisea]], [[Vinsenti wa Agen]], [[Masimiano wa Siracusa]], [[Kolumba]], [[Richadi wa Andria]], [[Yosefu wa Anchieta]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|June 9|9 Juni}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/june/9 BBC: On This Day]
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/June_9 Today in Canadian History]{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Juni 09}}
[[Jamii:Juni]]
7ecma95l4vp6o8hy9ogyn547if629vf
Sokwe (Hominidae)
0
18811
1233820
1220287
2022-07-19T20:31:38Z
Autonomous agent 5
51368
/* Mwainisho */
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = pink
| jina = Sokwe
| picha = Gorilla 019.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Ngagi]]
| domeni = [[Eukaryota]] <small>(Viumbe walio na seli zenye kiini)</small>
| himaya = [[Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Primates]] <small>(Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)</small>
| nusuoda = [[Haplorrhini]] <small>(Wanyama wanaofanana zaidi na [[kima]])</small>
| oda_ya_chini = [[Simiiformes]] <small>(Wanyama kama kima)</small>
| oda_ndogo = [[Catarrhini]] <small>(Kima wa Dunia ya Kale)</small>
| familia_ya_juu = [[Hominoidea]] <small>([[Sokwe (Hominoidea)|Masokwe]])</small>
| familia = [[Hominidae]] <small>([[Sokwe (Hominidae)|Masokwe wakubwa]])</small>
| subdivision = '''[[Jenasi]] 4:'''
* ''[[Pongo]]'' <small>[[Bernard Germain Étienne de la Ville, Comte de Lacépède|Lacépède]], 1799</small>
* ''[[Gorilla]]'' <small>[[Isidore Geoffroy Saint-Hilaire|I. Geoffroy]], 1852</small>
* ''[[Pan]]'') <small>[[Lorenz Oken|Oken]], 1816</small>
* ''[[Homo]]'' <small>[[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758</small>
}}
'''Sokwe mkubwa''' au '''sokwe''' peke yake ni jina la [[binadamu]] na [[nyani]] wakubwa wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Hominidae]] wanaofanana sana na binadamu. Tofauti na nyani wengine ni kuwepo kwa mkia; karibu nyani wote huwa na mkia lakini masokwe wakubwa hawana kabisa. Binadamu (''Homo'') anahesabiwa pia kama [[jenasi]] yenye spishi moja katika familia hii.
== Eneo na uenezaji ==
Masokwe wasiokuwa wanadamu wanaishi katika maeneo ya [[tropiki]] ya [[Afrika]] ([[sokwe mtu|masokwe mtu]] na [[ngagi]]) na [[Asia]] ([[orangutanu]]). Wote ni wakazi wa [[msitu|misitu]] ila tu masokwe mtu wanaoingia pia kwenye [[mbuga]] au [[savana]]. Wanadamu wanaishi duniani kote kwa kubadili mazingira yao, kuvaa nguo na kujenga majumba yanayowalinda kutoka joto kali ama baridi.
== [[Mwainisho]] ==
* ''Ponginae'' ([[w:Ponginae|Ponginae]])
** [[Orangutanu]], ''Pongo''
*** Orangutanu wa [[Sumatra]], ''Pongo abelii'' ([[w:Sumatran Orangutan|Sumatran Orangutan]])
*** Orangutanu wa [[Borneo]], ''Pongo pygmaeus'' ([[w:Bornean Orangutan|Bornean Orangutan]])
* ''Homininae'' ([[w:Homininae|Homininae]])
** ''[[Ngagi|Gorillini]]''
*** [[Ngagi]], ''Gorilla''
**** [[Ngagi Mashariki]] au Gorila Mashariki, ''Gorilla beringei'' ([[w:Eastern Gorilla|Eastern Gorilla]])
***** [[Ngagi-milima]], ''Gorilla b. beringei'' ([[w:Mountain Gorilla|Mountain Gorilla]]: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda na Uganda)
***** [[Ngagi wa Uwanda wa Chini Mashariki]], ''Gorilla b. graueri'' ([[w:Eastern Lowland Gorilla|Eastern Lowland Gorilla]]: Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo)
**** [[Ngagi Magharibi]] au Gorila Magharibi, ''Gorilla gorilla'' ([[w:Western Gorilla|Western Gorilla]])
***** [[Ngagi wa Nijeria]], ''Gorilla g. diehli'' ([[w:Cross River Gorilla|Cross River Gorilla]]: Nijeria na Kameruni)
***** [[Ngagi wa Uwanda wa Chini Magharibi]], ''Gorilla g. gorilla'' ([[w:Western Lowland Gorilla|Western Lowland Gorilla]]: Kameruni, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Gaboni, Ginekweta, Kongo, Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo na [[Angola]])
** ''Hominini'' ([[w:Hominini|Hominini]])
*** [[Sokwe Mtu]], ''Pan''
**** [[Bonobo|Bonobo au Sokwe Mtu Mdogo]], ''Pan paniscus'' ([[w:Bonobo|Bonobo]] au Pygmy Chimpanzee: [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]])
**** [[Sokwe Mtu wa Kawaida]], ''Pan troglodytes'' ([[w:Common Chimpanzee|Common Chimpanzee]])
***** [[Sokwe Mtu Mashariki]], ''Pan t. schweinfurthii'' ([[w:Eastern Chimpanzee|Eastern Chimpanzee]]: [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]], [[Sudani]], Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, [[Uganda]], [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Tanzania]] na [[Zambia]])
***** [[Sokwe Mtu wa Kati]], ''Pan t. troglodytes'' ([[w:Central Chimpanzee|Central Chimpanzee]]: [[Kameruni]], Jamhuri ya Afrika ya Kati, [[Ginekweta]], [[Gaboni]], [[Kongo]] na Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo)
***** [[Sokwe Mtu wa Nijeria]], ''Pan t. vellerosus'' ([[w:Nigerian Chimpanzee|Nigerian Chimpanzee]]: [[Nijeria]] na Kameruni)
***** [[Sokwe Mtu Magharibi]], ''Pan t. verus'' ([[w:Western Chimpanzee|Western Chimpanzee]]: [[Senegali]], [[Mali]], [[Gine]], [[Sierra Leone]], [[Liberia]], [[Kodivaa]] na [[Ghana]])
*** [[Homo]]
**** [[Binadamu]], ''Homo sapiens''
== Spishi zilizokwisha ==
* ''[[Ankarapithecus meteai]]'' (Mwisho wa Miocene ya [[Uturuki]])
* ''[[Ardipithecus kadabba]]'' (Mwisho wa Miocene ya [[Uhabeshi]])
* ''[[Ardipithecus ramidus]]'' (Mwanzo wa Pliocene ya Uhabeshi)
* ''[[Australopithecus afarensis]]'' (Pliocene ya [[Kenya]], [[Tanzania]] na Uhabeshi)
* ''[[Australopithecus africanus]]'' (Pliocene ya [[Afrika Kusini]])
* ''[[Australopithecus anamensis]]'' (Pliocene ya Kenya na Uhabeshi)
* ''[[Australopithecus bahrelghazali]]'' (Pliocene ya [[Chadi]])
* ''[[Australopithecus garhi]]'' (Mwisho wa Pliocene ya Uhabeshi)
* ''[[Australopithecus sediba]]'' (Pleistocene ya Afrika Kusini)
* ''[[Gigantopithecus bilaspurensis]]'' (Mwisho wa Miocene ya [[Pakistani]] na [[Uhindi]])
* ''[[Gigantopithecus blacky]]'' (Kati ya Pleistocene ya [[Uchina]])
* ''[[Gigantopithecus giganteus]]'' (Pliocene ya Uhindi na Uchina)
* ''[[Kenyanthropus platyops]]'' (Kati ya Pliocene ya Kenya)
* ''[[Lufengpithecus chiangmuanensis]]'' (Miocene ya Uchina)
* ''[[Lufengpithecus keiyuanensis]]'' (Miocene ya Uchina)
* ''[[Lufengpithecus lufengensis]]'' (Miocene ya Uchina)
* ''[[Lufengpithecus yuanmouensis]]'' (Miocene ya Uchina)
* ''[[Nakalipithecus nakayamai]]'' (Mwisho wa Miocene ya Kenya)
* ''[[Oreopithecus bambolii]]'' (Miocene ya [[Italia]] na [[Afrika ya Mashariki]])
* ''[[Orrorin tugenensis]]'' (Mwisho wa Miocene ya Kenya)
* ''[[Ouranopithecus macedoniensis]]'' (Mwisho wa Miocene ya [[Ugiriki]])
* ''[[Paranthropus aethiopicus]]'' (Mwisho wa Pliocene ya Uhabeshi na Kenya)
* ''[[Paranthropus boisei]]'' (Pliocene na Pleistocene za Kenya na Tanzania)
* ''[[Paranthropus robustus]]'' (Pleistocene ya Afrika Kusini)
* ''[[Sahelanthropus tchadensis]]'' (Mwisho wa Miocene ya Chadi)
* ''[[Sivapithecus indicus]]'' (Kati ya Miocene ya Uhindi)
* ''[[Sivapithecus parvada]]'' (Kati ya Miocene ya Uhindi)
* ''[[Sivapithecus sivalensis]]'' (Kati ya Miocene ya Pakistani na Uhindi)
== Picha ==
<gallery>
File:Schimpanse zoo-leipig.jpg|[[Sokwe Mtu]] (dume)
File:Bonobo 011.jpg|[[Bonobo]] (majike)
File:Susa group, mountain gorilla.jpg|Ngagi-milima (dume)
File:Flachlandgorilla.jpg| [[Ngagi]] wa Uwanda wa Chini Mashariki (dume)
File:Cross river gorilla.jpg|Ngagi wa Nijeria
File:Male silverback Gorilla.JPG| Ngagi wa Uwanda wa Chini Magharibi (dume mzee)
File:Gorilla tool use.png|Ngagi wa kike akivuka maji na kutumia fimbo kujishika
</gallery>
<gallery>
File:Orang-utan_bukit_lawang_2006.jpg|[[Orangutanu]] (wa Sumatra) ni sokwe aliyezoea miti zaidi
File:Orang Utan, Semenggok Forest Reserve, Sarawak, Borneo, Malaysia.JPG|Orangutanu wa Borneo
</gallery>
{{Sokwe}}
{{commonscat|Hominidae|Hominidae}}
{{mbegu-mnyama}}
[[Jamii:Kima na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
it6tq4fn4bsdrf61d3sg1fm344i4scu
Wilaya ya Bahi
0
40482
1233846
1146489
2022-07-20T11:57:16Z
Hussein m mmbaga
52054
wikitext
text/x-wiki
'''Wilaya ya Bahi''' ni moja ya wilaya ya [[Mkoa wa Dodoma]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''413'''<ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2017-10-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200321135312/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |archivedate=2020-03-21 }}</ref>
. Makao ya halmashauri ya wilaya yapo [[Bahi]] mjini. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Bahi ilihesabiwa kuwa 221,645 <ref>http://www.nbs.go.tz/sensa/popu2.php {{Wayback|url=http://www.nbs.go.tz/sensa/popu2.php |date=20140413063741 }} DODOMA REGION, BAHI DISTRICT/COUNCIL POPULATION</ref>
==Marejeo==
<references/>
{{Kigezo:Kata za Wilaya ya Bahi}}
[[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Dodoma]]
lcadt2n0n3tw3vwgq0mk5i8d11hudyp
Homo
0
40852
1233822
1223926
2022-07-19T21:00:13Z
Autonomous agent 5
51368
maneno ya lugha ya kigeni hapo awali
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = pink
| jina = ''Homo''
| picha = Resti di australopithecus garhi, da bouri in afar, 2,5 milioni di anni fa.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha =
| domeni = [[Eukaryota]]
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Primates]] <small>(Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)</small>
| familia_ya_juu = [[Hominoidea]] <small>(Wanyama kama binadamu)</small>
| familia = [[Hominidae]] <small>(Walio na mnasaba na binadamu)</small>
| nusufamilia = [[Homininae]] <small>(Wanaofanana sana na binadamu)</small>
| kabila = [[Hominini]]
| jenasi = ''[[Homo]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758
| subdivision = '''Spishi 12:'''
* †''[[Homo antecessor|H. antecessor]]'' <small>Bermudez de Castro, Arsuaga, Carbonell, Rosas, Martinez & Mosquera, 1997</small>
* †[[Homo erectus|H. erectus]]'' <small>[[François Noel Alexandre Dubois|Dubois]], 1894</small>
* †[[Homo ergaster|H. ergaster]]'' <small>[[Colin Groves|Groves]] & [[Vratja Mazak|Mazak]], 1975</small>
* †[[Homo floresiensis|H. floresiensis]]'' <small>Brown, Sutikna, Morwood, Soejono, Jatmiko, Saptomo & Due, 2004</small>
* †[[Homo habilis|H. habilis]]'' <small>[[Meave Leakey|Leakey]], Tobias & Napier, 1964</small>
* †[[Homo heidelbergensis|H. heidelbergensis]]'' <small>[[Otto Schoetensack|Schoetensack]], 1908</small>
* †[[Homo longi|H. longi]]'' <small>[[Qiang Ji|Ji]] ''et al.'', 2021</small>
* †[[Homo luzonensis|H. luzonensis]]'' <small>[[Florent Détroit|Détroit]] ''et al.'', 2019</small>
* †[[Homo naledi|H. naledi]]'' <small>[[Lee Rogers Berger|Berger]] ''et al.'', 2015</small>
* †[[Homo neanderthalensis|H. neanderthalensis]]'' <small>[[William King|King]], 1864</small>
* †[[Homo rudolfensis|H. rudolfensis]]'' <small>[[Evgeny Vasilievich Alekseev|Alekseev]], 1986</small>
* [[Homo sapiens|H. sapiens]]'' <small>[[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758</small>
| ramani = World map of prehistoric human migrations.jpg
| upana_wa_ramani = 250px
| maelezo_ya_ramani = Uenezi wa binadamu nje ya [[Afrika]], kufuatana na [[ADN ya dutuvuo]] ([[mitokondria]]). Duara za rangi mbalimbali zinamaanisha maelfu ya miaka kabla ya leo.
}}
'''''Homo''''' ni [[jenasi]] ambayo katika [[uainishaji wa kisayansi]] inajumlisha [[binadamu]] na [[spishi]] zilizokoma zilizofanana naye sana. [[Wanasayansi]] wamependekeza zaidi ya spishi 12 za jenasi Homo.
[[Jina]] ''Homo'' ni la [[Kilatini]], likiwa na maana ya "mtu", na kwa [[asili]] linahusiana na [[neno]] ''humus'', "[[ardhi]]".<ref>[http://www.bartleby.com/61/roots/IE104.html dhghem] The American Heritage Dictionary of the English Language: Fourth Edition. 2000.</ref>
==Historia ya awali==
[[File:Humanevolutionchart.svg|thumb|200px|left|Uenezi wa jenasi ''Homo'' kwa wakati na mahali.]]
[[File:Homo sapiens lineage.svg|thumb|300px|left|''Homo'' katika miaka 600,000 ya mwisho (kutoka chini kwenda juu). <ref>The horizontal axis represents geographic location; the vertical axis represents time in [[Year#Abbreviations yr and ya|thousands of years ago]]. Based on
Schlebusch et al., "Southern African ancient genomes estimate modern human divergence to 350,000 to 260,000 years ago"
''Science'', 28 September 2017, [http://science.sciencemag.org/content/early/2017/09/27/science.aao6266.full DOI: 10.1126/science.aao6266], [https://d2ufo47lrtsv5s.cloudfront.net/content/sci/early/2017/09/27/science.aao6266/F3.large.jpg Fig. 3] {{Wayback|url=https://d2ufo47lrtsv5s.cloudfront.net/content/sci/early/2017/09/27/science.aao6266/F3.large.jpg |date=20180114130711 }} (''H. sapiens'' divergence times) and
{{cite journal | last=Stringer | first=C. | title=What makes a modern human | journal=Nature | year=2012 | volume=485 | issue=7396 | pages=33–35 | doi=10.1038/485033a | pmid=22552077| bibcode=2012Natur.485...33S }} (archaic admixture).</ref>
''Homo heidelbergensis'' anaonyeshwa akigawanyika kati ya Waneanderthal, Wadenisova na ''H. sapiens''. Baada ya ''H. sapiens'' kuenea kuanzia miaka 200,000 iliyopita, Waneanderthal na Wadenisova na wengineo wasiojulikana bado wanaonyeshwa kuungana na kumezwa na ''H. sapiens''. Pia inaonyeshwa michanganyiko mingine iliyoweza ikawatokea Waafrika wa kisasa.]]
Jenasi hiyo inakadiriwa kuanza kuwepo miaka [[milioni]] 2.1 - 2.8 iliyopita<ref name="encylopediahumanevolution">{{cite book|title= The Cambridge Encyclopedia of Human Evolution | author=Stringer, C.B. | chapter=Evolution of early humans | editors=Steve Jones, Robert Martin & David Pilbeam (eds.)| year=1994 | publisher= Cambridge University Press | location= Cambridge |isbn= 0-521-32370-3 | page=242}} Also ISBN 0-521-46786-1 (paperback)</ref><ref name="evolutionthe1st4billionyears">{{cite book|title= Evolution: The First Four Billion Years| author=McHenry, H.M | chapter=Human Evolution | editors=Michael Ruse & Joseph Travis | year=2009 | publisher= The Belknap Press of Harvard University Press | location = Cambridge, Massachusetts |isbn=978-0-674-03175-3 | page=265}}</ref> kutokana na spishi mojawapo ya nusukabila [[Australopithecina]] (siku hizi linatumika pia jina [[Hominina]]) iliyokuwepo kuanzia miaka milioni 5.6 hadi 1.2 iliyopita.
[[Spishi]] ya kwanza ya jenasi hiyo inawezekana ilikuwa ile ya ''[[Homo habilis]]'', yaani mtu mwenye uwezo wa kutengeneza [[vifaa]]. Mabaki yake yalipatikana huko [[Oltupai]] ([[Tanzania]]). Huyo anafikiriwa kutokana na ''[[Australopithecus garhi]]'' ambaye kabla yake alikuwa ameanza kutengeneza vifaa kwa [[mawe]].
Hata hivyo mnamo Mei [[2010]] huko [[Afrika Kusini]] yalipatikana mabaki ya ''[[Homo gautengensis]]'', spishi inayofikiriwa na wengine kuwa ya kale kuliko Homo habilis<ref name="toothy">{{Cite web |url=http://news.discovery.com/human/human-ancestor-tree-swinger.html |title="Toothy Tree-Swinger May Be Earliest Human" |accessdate=2012-04-28 |archivedate=2012-05-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20120502102146/http://news.discovery.com/human/human-ancestor-tree-swinger.html }}</ref>, lakini wengine wanaijumlisha katika jina Homo abilis. Tena wataalamu wengine wanaona spishi hizo mbili hazistahili kuitwa Homo, ila [[Australopithecus]].
Kutokana na ''Homo habilis'' (au ''Australopithecus habilis'') alipatikana miaka milioni 2 iliyopita ''[[Homo erectus]]'' aliyekuwa wa kwanza kusimama daima juu ya [[miguu]] yake miwili, [[Wawindaji-wakusanyaji|kuwinda]] na kumudu [[moto]], na ambaye alienea kote [[Asia]] na [[Ulaya]] (aliyebaki [[Afrika]] anaitwa pia ''[[Homo ergaster]]'') kabla ya kugawanyika katika nususpishi au spishi mpya mbalimbali kama ''[[Homo georgicus]]'', ''[[Homo antecessor]]'', ''[[Homo heidelbergensis]]'', wa kwanza kujenga makazi ya kudumu na kuzika wafu, n.k. Kwa jumla Homo erectus alidumu zaidi ya miaka milioni moja. Wengi wanaona spishi nyingi zilizopendekezwa kuwa nususpishi tu za Homo erectus.
Miaka 800,000–200,000 iliyopita, wakati wa mabadiliko makubwa ya [[hali ya hewa]], [[ubongo]] wa jenasi hiyo ulikua sana na kupata uwezo wa kufanya mambo mengi mapya katika mahusiano na katika kukabili [[mazingira]] ambayo yalizidi kubadilika na kudai maitikio tofauti ili kudumisha [[uhai]] wa jenasi yenyewe.
Kufikia miaka 100,000 au 50,000 hivi iliyopita, spishi zote za jenasi Homo zilikuwa zimekoma, isipokuwa Homo sapiens aliyekuwa ametokana na Homo heidelbergensis miaka 300,000 hivi iliyopita.
Baadhi ya [[wataalamu]] wanahesabu ''[[Homo neanderthalensis]]'' na mtu wa [[Denisova]] kama [[nususpishi]] za ''Homo sapiens'' zilizoweza kuzaliana na watu wa kisasa waliotokea [[Afrika]].<ref>Green RE, Krause J, et al. A draft sequence of the Neandertal genome. Science. 2010 7 Mei;328(5979):710-22. {{DOI|10.1126/science.1188021}} PMID 20448178 </ref><ref> Reich D, Green RE, Kircher M, et al. (Desemba 2010). "Genetic history of an archaic hominin group from Denisova Cave in Siberia". Nature 468 (7327): 1053–60. doi:10.1038/nature09710. PMID 21179161.</ref><ref>Reich D ., et al. Denisova admixture and the first modern human dispersals into southeast Asia and Oceania. Am J Hum Genet. 2011 Oct 7;89(4):516-28, {{DOI|10.1016/j.ajhg.2011.09.005}} PMID 21944045.</ref>
Spishi zote za jenasi ''Homo'' zimekoma, isipokuwa ''[[Homo sapiens]]'' (binadamu).
==Picha==
<gallery>
Cro-Magnon man rendered.jpg|''Homo sapiens'' mwanamume
Homo habilis - forensic facial reconstruction.png|''Homo habilis'' mwanamume
Homo naledi facial reconstruction.jpg|''Homoe naledi'' mwanamume
Homo rudolfensis.png|''Homo rudofensis'' mwanamume
Homo.erectus.adult.female.smithsonian.timevanson.flickr.jpg|''Homo erectus'' mwanamke
Recente reconstrução de corpo inteiro do indivíduo LB1, Homo floresiensis.jpg|''Homo floresiensis'' mwanamke
Homo heidelbergensis - forensic facial reconstruction-crop.png|''Homo heidelbergensis'' mwanamume
Homo longi NT.jpg|''Homo longi'' mwanamume
HomoLuzonensisRestoration.jpg|''Homo luzonensis'' mwanamume
Homo sapiens neanderthalensis-Mr. N.jpg|''Homo neanderthalensis'' mwanamume
Reconstruction of Neanderthal woman.jpg|''Homo neanderthalensis'' mwanamke
</gallery>
==Tanbihi==
{{Marejeo|colwidth=50em}}
==Marejeo==
*{{cite journal|author=Serre ''et al.''|year=2004|title=No evidence of Neandertal mtDNA contribution to early modern humans|journal=PLoS Biology|volume=2|issue=3|pages=313–7|pmid=15024415|doi=10.1371/journal.pbio.0020057|pmc=368159}}
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Homo}}
*[http://www.talkorigins.org/faqs/homs/species.html Hominid species]
{{sokwe}}
[[Jamii:Hominini]]
[[Jamii:Historia]]
8zgcwljbg2wxe3alchl8ifcbz9kd32j
1233823
1233822
2022-07-19T21:01:47Z
Autonomous agent 5
51368
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = pink
| jina = ''Homo''
| picha = Resti di australopithecus garhi, da bouri in afar, 2,5 milioni di anni fa.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Mkusanyiko wa Paleontological]] wa Makumbusho ya Kitaifa ya [[Ethiopia]]
| domeni = [[Eukaryota]]
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Primates]] <small>(Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)</small>
| familia_ya_juu = [[Hominoidea]] <small>(Wanyama kama binadamu)</small>
| familia = [[Hominidae]] <small>(Walio na mnasaba na binadamu)</small>
| nusufamilia = [[Homininae]] <small>(Wanaofanana sana na binadamu)</small>
| kabila = [[Hominini]]
| jenasi = ''[[Homo]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758
| subdivision = '''Spishi 12:'''
* †''[[Homo antecessor|H. antecessor]]'' <small>Bermudez de Castro, Arsuaga, Carbonell, Rosas, Martinez & Mosquera, 1997</small>
* †[[Homo erectus|H. erectus]]'' <small>[[François Noel Alexandre Dubois|Dubois]], 1894</small>
* †[[Homo ergaster|H. ergaster]]'' <small>[[Colin Groves|Groves]] & [[Vratja Mazak|Mazak]], 1975</small>
* †[[Homo floresiensis|H. floresiensis]]'' <small>Brown, Sutikna, Morwood, Soejono, Jatmiko, Saptomo & Due, 2004</small>
* †[[Homo habilis|H. habilis]]'' <small>[[Meave Leakey|Leakey]], Tobias & Napier, 1964</small>
* †[[Homo heidelbergensis|H. heidelbergensis]]'' <small>[[Otto Schoetensack|Schoetensack]], 1908</small>
* †[[Homo longi|H. longi]]'' <small>[[Qiang Ji|Ji]] ''et al.'', 2021</small>
* †[[Homo luzonensis|H. luzonensis]]'' <small>[[Florent Détroit|Détroit]] ''et al.'', 2019</small>
* †[[Homo naledi|H. naledi]]'' <small>[[Lee Rogers Berger|Berger]] ''et al.'', 2015</small>
* †[[Homo neanderthalensis|H. neanderthalensis]]'' <small>[[William King|King]], 1864</small>
* †[[Homo rudolfensis|H. rudolfensis]]'' <small>[[Evgeny Vasilievich Alekseev|Alekseev]], 1986</small>
* [[Homo sapiens|H. sapiens]]'' <small>[[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758</small>
| ramani = World map of prehistoric human migrations.jpg
| upana_wa_ramani = 250px
| maelezo_ya_ramani = Uenezi wa binadamu nje ya [[Afrika]], kufuatana na [[ADN ya dutuvuo]] ([[mitokondria]]). Duara za rangi mbalimbali zinamaanisha maelfu ya miaka kabla ya leo.
}}
'''''Homo''''' ni [[jenasi]] ambayo katika [[uainishaji wa kisayansi]] inajumlisha [[binadamu]] na [[spishi]] zilizokoma zilizofanana naye sana. [[Wanasayansi]] wamependekeza zaidi ya spishi 12 za jenasi Homo.
[[Jina]] ''Homo'' ni la [[Kilatini]], likiwa na maana ya "mtu", na kwa [[asili]] linahusiana na [[neno]] ''humus'', "[[ardhi]]".<ref>[http://www.bartleby.com/61/roots/IE104.html dhghem] The American Heritage Dictionary of the English Language: Fourth Edition. 2000.</ref>
==Historia ya awali==
[[File:Humanevolutionchart.svg|thumb|200px|left|Uenezi wa jenasi ''Homo'' kwa wakati na mahali.]]
[[File:Homo sapiens lineage.svg|thumb|300px|left|''Homo'' katika miaka 600,000 ya mwisho (kutoka chini kwenda juu). <ref>The horizontal axis represents geographic location; the vertical axis represents time in [[Year#Abbreviations yr and ya|thousands of years ago]]. Based on
Schlebusch et al., "Southern African ancient genomes estimate modern human divergence to 350,000 to 260,000 years ago"
''Science'', 28 September 2017, [http://science.sciencemag.org/content/early/2017/09/27/science.aao6266.full DOI: 10.1126/science.aao6266], [https://d2ufo47lrtsv5s.cloudfront.net/content/sci/early/2017/09/27/science.aao6266/F3.large.jpg Fig. 3] {{Wayback|url=https://d2ufo47lrtsv5s.cloudfront.net/content/sci/early/2017/09/27/science.aao6266/F3.large.jpg |date=20180114130711 }} (''H. sapiens'' divergence times) and
{{cite journal | last=Stringer | first=C. | title=What makes a modern human | journal=Nature | year=2012 | volume=485 | issue=7396 | pages=33–35 | doi=10.1038/485033a | pmid=22552077| bibcode=2012Natur.485...33S }} (archaic admixture).</ref>
''Homo heidelbergensis'' anaonyeshwa akigawanyika kati ya Waneanderthal, Wadenisova na ''H. sapiens''. Baada ya ''H. sapiens'' kuenea kuanzia miaka 200,000 iliyopita, Waneanderthal na Wadenisova na wengineo wasiojulikana bado wanaonyeshwa kuungana na kumezwa na ''H. sapiens''. Pia inaonyeshwa michanganyiko mingine iliyoweza ikawatokea Waafrika wa kisasa.]]
Jenasi hiyo inakadiriwa kuanza kuwepo miaka [[milioni]] 2.1 - 2.8 iliyopita<ref name="encylopediahumanevolution">{{cite book|title= The Cambridge Encyclopedia of Human Evolution | author=Stringer, C.B. | chapter=Evolution of early humans | editors=Steve Jones, Robert Martin & David Pilbeam (eds.)| year=1994 | publisher= Cambridge University Press | location= Cambridge |isbn= 0-521-32370-3 | page=242}} Also ISBN 0-521-46786-1 (paperback)</ref><ref name="evolutionthe1st4billionyears">{{cite book|title= Evolution: The First Four Billion Years| author=McHenry, H.M | chapter=Human Evolution | editors=Michael Ruse & Joseph Travis | year=2009 | publisher= The Belknap Press of Harvard University Press | location = Cambridge, Massachusetts |isbn=978-0-674-03175-3 | page=265}}</ref> kutokana na spishi mojawapo ya nusukabila [[Australopithecina]] (siku hizi linatumika pia jina [[Hominina]]) iliyokuwepo kuanzia miaka milioni 5.6 hadi 1.2 iliyopita.
[[Spishi]] ya kwanza ya jenasi hiyo inawezekana ilikuwa ile ya ''[[Homo habilis]]'', yaani mtu mwenye uwezo wa kutengeneza [[vifaa]]. Mabaki yake yalipatikana huko [[Oltupai]] ([[Tanzania]]). Huyo anafikiriwa kutokana na ''[[Australopithecus garhi]]'' ambaye kabla yake alikuwa ameanza kutengeneza vifaa kwa [[mawe]].
Hata hivyo mnamo Mei [[2010]] huko [[Afrika Kusini]] yalipatikana mabaki ya ''[[Homo gautengensis]]'', spishi inayofikiriwa na wengine kuwa ya kale kuliko Homo habilis<ref name="toothy">{{Cite web |url=http://news.discovery.com/human/human-ancestor-tree-swinger.html |title="Toothy Tree-Swinger May Be Earliest Human" |accessdate=2012-04-28 |archivedate=2012-05-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20120502102146/http://news.discovery.com/human/human-ancestor-tree-swinger.html }}</ref>, lakini wengine wanaijumlisha katika jina Homo abilis. Tena wataalamu wengine wanaona spishi hizo mbili hazistahili kuitwa Homo, ila [[Australopithecus]].
Kutokana na ''Homo habilis'' (au ''Australopithecus habilis'') alipatikana miaka milioni 2 iliyopita ''[[Homo erectus]]'' aliyekuwa wa kwanza kusimama daima juu ya [[miguu]] yake miwili, [[Wawindaji-wakusanyaji|kuwinda]] na kumudu [[moto]], na ambaye alienea kote [[Asia]] na [[Ulaya]] (aliyebaki [[Afrika]] anaitwa pia ''[[Homo ergaster]]'') kabla ya kugawanyika katika nususpishi au spishi mpya mbalimbali kama ''[[Homo georgicus]]'', ''[[Homo antecessor]]'', ''[[Homo heidelbergensis]]'', wa kwanza kujenga makazi ya kudumu na kuzika wafu, n.k. Kwa jumla Homo erectus alidumu zaidi ya miaka milioni moja. Wengi wanaona spishi nyingi zilizopendekezwa kuwa nususpishi tu za Homo erectus.
Miaka 800,000–200,000 iliyopita, wakati wa mabadiliko makubwa ya [[hali ya hewa]], [[ubongo]] wa jenasi hiyo ulikua sana na kupata uwezo wa kufanya mambo mengi mapya katika mahusiano na katika kukabili [[mazingira]] ambayo yalizidi kubadilika na kudai maitikio tofauti ili kudumisha [[uhai]] wa jenasi yenyewe.
Kufikia miaka 100,000 au 50,000 hivi iliyopita, spishi zote za jenasi Homo zilikuwa zimekoma, isipokuwa Homo sapiens aliyekuwa ametokana na Homo heidelbergensis miaka 300,000 hivi iliyopita.
Baadhi ya [[wataalamu]] wanahesabu ''[[Homo neanderthalensis]]'' na mtu wa [[Denisova]] kama [[nususpishi]] za ''Homo sapiens'' zilizoweza kuzaliana na watu wa kisasa waliotokea [[Afrika]].<ref>Green RE, Krause J, et al. A draft sequence of the Neandertal genome. Science. 2010 7 Mei;328(5979):710-22. {{DOI|10.1126/science.1188021}} PMID 20448178 </ref><ref> Reich D, Green RE, Kircher M, et al. (Desemba 2010). "Genetic history of an archaic hominin group from Denisova Cave in Siberia". Nature 468 (7327): 1053–60. doi:10.1038/nature09710. PMID 21179161.</ref><ref>Reich D ., et al. Denisova admixture and the first modern human dispersals into southeast Asia and Oceania. Am J Hum Genet. 2011 Oct 7;89(4):516-28, {{DOI|10.1016/j.ajhg.2011.09.005}} PMID 21944045.</ref>
Spishi zote za jenasi ''Homo'' zimekoma, isipokuwa ''[[Homo sapiens]]'' (binadamu).
==Picha==
<gallery>
Cro-Magnon man rendered.jpg|''Homo sapiens'' mwanamume
Homo habilis - forensic facial reconstruction.png|''Homo habilis'' mwanamume
Homo naledi facial reconstruction.jpg|''Homoe naledi'' mwanamume
Homo rudolfensis.png|''Homo rudofensis'' mwanamume
Homo.erectus.adult.female.smithsonian.timevanson.flickr.jpg|''Homo erectus'' mwanamke
Recente reconstrução de corpo inteiro do indivíduo LB1, Homo floresiensis.jpg|''Homo floresiensis'' mwanamke
Homo heidelbergensis - forensic facial reconstruction-crop.png|''Homo heidelbergensis'' mwanamume
Homo longi NT.jpg|''Homo longi'' mwanamume
HomoLuzonensisRestoration.jpg|''Homo luzonensis'' mwanamume
Homo sapiens neanderthalensis-Mr. N.jpg|''Homo neanderthalensis'' mwanamume
Reconstruction of Neanderthal woman.jpg|''Homo neanderthalensis'' mwanamke
</gallery>
==Tanbihi==
{{Marejeo|colwidth=50em}}
==Marejeo==
*{{cite journal|author=Serre ''et al.''|year=2004|title=No evidence of Neandertal mtDNA contribution to early modern humans|journal=PLoS Biology|volume=2|issue=3|pages=313–7|pmid=15024415|doi=10.1371/journal.pbio.0020057|pmc=368159}}
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Homo}}
*[http://www.talkorigins.org/faqs/homs/species.html Hominid species]
{{sokwe}}
[[Jamii:Hominini]]
[[Jamii:Historia]]
0ut7r5y03e0ot23ik1s3e70e55ouiwj
1233838
1233823
2022-07-20T07:45:46Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = pink
| jina = ''Homo''
| picha = Resti di australopithecus garhi, da bouri in afar, 2,5 milioni di anni fa.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = [[Fuvu|Fuvu la kichwa]] katika Mkusanyo wa Palantolojia wa Makumbusho ya Kitaifa ya [[Ethiopia]]
| domeni = [[Eukaryota]]
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Primates]] <small>(Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)</small>
| familia_ya_juu = [[Hominoidea]] <small>(Wanyama kama binadamu)</small>
| familia = [[Hominidae]] <small>(Walio na mnasaba na binadamu)</small>
| nusufamilia = [[Homininae]] <small>(Wanaofanana sana na binadamu)</small>
| kabila = [[Hominini]]
| jenasi = ''[[Homo]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758
| subdivision = '''Spishi 12:'''
* †''[[Homo antecessor|H. antecessor]]'' <small>Bermudez de Castro, Arsuaga, Carbonell, Rosas, Martinez & Mosquera, 1997</small>
* †[[Homo erectus|H. erectus]]'' <small>[[François Noel Alexandre Dubois|Dubois]], 1894</small>
* †[[Homo ergaster|H. ergaster]]'' <small>[[Colin Groves|Groves]] & [[Vratja Mazak|Mazak]], 1975</small>
* †[[Homo floresiensis|H. floresiensis]]'' <small>Brown, Sutikna, Morwood, Soejono, Jatmiko, Saptomo & Due, 2004</small>
* †[[Homo habilis|H. habilis]]'' <small>[[Meave Leakey|Leakey]], Tobias & Napier, 1964</small>
* †[[Homo heidelbergensis|H. heidelbergensis]]'' <small>[[Otto Schoetensack|Schoetensack]], 1908</small>
* †[[Homo longi|H. longi]]'' <small>[[Qiang Ji|Ji]] ''et al.'', 2021</small>
* †[[Homo luzonensis|H. luzonensis]]'' <small>[[Florent Détroit|Détroit]] ''et al.'', 2019</small>
* †[[Homo naledi|H. naledi]]'' <small>[[Lee Rogers Berger|Berger]] ''et al.'', 2015</small>
* †[[Homo neanderthalensis|H. neanderthalensis]]'' <small>[[William King|King]], 1864</small>
* †[[Homo rudolfensis|H. rudolfensis]]'' <small>[[Evgeny Vasilievich Alekseev|Alekseev]], 1986</small>
* [[Homo sapiens|H. sapiens]]'' <small>[[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758</small>
| ramani = World map of prehistoric human migrations.jpg
| upana_wa_ramani = 250px
| maelezo_ya_ramani = Uenezi wa binadamu nje ya [[Afrika]], kufuatana na [[ADN ya dutuvuo]] ([[mitokondria]]). Duara za rangi mbalimbali zinamaanisha maelfu ya miaka kabla ya leo.
}}
'''''Homo''''' ni [[jenasi]] ambayo katika [[uainishaji wa kisayansi]] inajumlisha [[binadamu]] na [[spishi]] zilizokwishakoma zilizofanana naye sana [[biolojia|kibiolojia]]. [[Wanasayansi]] wamependekeza zaidi ya spishi 12 za jenasi Homo.
[[Jina]] ''Homo'' ni la [[Kilatini]], likiwa na maana ya "mtu", na kwa [[asili]] linahusiana na [[neno]] ''humus'', "[[ardhi]]".<ref>[http://www.bartleby.com/61/roots/IE104.html dhghem] The American Heritage Dictionary of the English Language: Fourth Edition. 2000.</ref>
==Historia ya awali==
[[File:Humanevolutionchart.svg|thumb|200px|left|Uenezi wa jenasi ''Homo'' kwa wakati na mahali.]]
[[File:Homo sapiens lineage.svg|thumb|300px|left|''Homo'' katika miaka 600,000 ya mwisho (kutoka chini kwenda juu). <ref>The horizontal axis represents geographic location; the vertical axis represents time in [[Year#Abbreviations yr and ya|thousands of years ago]]. Based on
Schlebusch et al., "Southern African ancient genomes estimate modern human divergence to 350,000 to 260,000 years ago"
''Science'', 28 September 2017, [http://science.sciencemag.org/content/early/2017/09/27/science.aao6266.full DOI: 10.1126/science.aao6266], [https://d2ufo47lrtsv5s.cloudfront.net/content/sci/early/2017/09/27/science.aao6266/F3.large.jpg Fig. 3] {{Wayback|url=https://d2ufo47lrtsv5s.cloudfront.net/content/sci/early/2017/09/27/science.aao6266/F3.large.jpg |date=20180114130711 }} (''H. sapiens'' divergence times) and
{{cite journal | last=Stringer | first=C. | title=What makes a modern human | journal=Nature | year=2012 | volume=485 | issue=7396 | pages=33–35 | doi=10.1038/485033a | pmid=22552077| bibcode=2012Natur.485...33S }} (archaic admixture).</ref>
''Homo heidelbergensis'' anaonyeshwa akigawanyika kati ya Waneanderthal, Wadenisova na ''H. sapiens''. Baada ya ''H. sapiens'' kuenea kuanzia miaka 200,000 iliyopita, Waneanderthal na Wadenisova na wengineo wasiojulikana bado wanaonyeshwa kuungana na kumezwa na ''H. sapiens''. Pia inaonyeshwa michanganyiko mingine iliyoweza ikawatokea Waafrika wa kisasa.]]
Jenasi hiyo imekadiriwa kuanza kuwepo miaka [[milioni]] 2.1 - 2.8 iliyopita<ref name="encylopediahumanevolution">{{cite book|title= The Cambridge Encyclopedia of Human Evolution | author=Stringer, C.B. | chapter=Evolution of early humans | editors=Steve Jones, Robert Martin & David Pilbeam (eds.)| year=1994 | publisher= Cambridge University Press | location= Cambridge |isbn= 0-521-32370-3 | page=242}} Also ISBN 0-521-46786-1 (paperback)</ref><ref name="evolutionthe1st4billionyears">{{cite book|title= Evolution: The First Four Billion Years| author=McHenry, H.M | chapter=Human Evolution | editors=Michael Ruse & Joseph Travis | year=2009 | publisher= The Belknap Press of Harvard University Press | location = Cambridge, Massachusetts |isbn=978-0-674-03175-3 | page=265}}</ref> kutokana na spishi mojawapo ya nusukabila [[Australopithecina]] (siku hizi linatumika pia jina [[Hominina]]) iliyokuwepo kuanzia miaka milioni 5.6 hadi 1.2 iliyopita.
[[Spishi]] ya kwanza ya jenasi hiyo inawezekana ilikuwa ile ya ''[[Homo habilis]]'', yaani mtu mwenye uwezo wa kutengeneza [[vifaa]]. Mabaki yake yalipatikana huko [[Oltupai]] ([[Tanzania]]). Huyo anafikiriwa kutokana na ''[[Australopithecus garhi]]'' ambaye kabla yake alikuwa ameanza kutengeneza vifaa kwa [[mawe]].
Hata hivyo mnamo Mei [[2010]] huko [[Afrika Kusini]] yalipatikana mabaki ya ''[[Homo gautengensis]]'', spishi inayofikiriwa na wengine kuwa ya kale kuliko Homo habilis<ref name="toothy">{{Cite web |url=http://news.discovery.com/human/human-ancestor-tree-swinger.html |title="Toothy Tree-Swinger May Be Earliest Human" |accessdate=2012-04-28 |archivedate=2012-05-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20120502102146/http://news.discovery.com/human/human-ancestor-tree-swinger.html }}</ref>, lakini wengine wanaijumlisha katika jina Homo habilis. Tena wataalamu wengine wanaona spishi hizo mbili hazistahili kuitwa Homo, ila [[Australopithecus]].
Kutokana na ''Homo habilis'' (au ''Australopithecus habilis'') alipatikana miaka milioni 2 iliyopita ''[[Homo erectus]]'' aliyekuwa wa kwanza kusimama daima juu ya [[miguu]] yake miwili, [[Wawindaji-wakusanyaji|kuwinda]] na kumudu [[moto]], na ambaye alienea kote [[Asia]] na [[Ulaya]] (aliyebaki [[Afrika]] anaitwa pia ''[[Homo ergaster]]'') kabla ya kugawanyika katika nususpishi au spishi mpya mbalimbali kama ''[[Homo georgicus]]'', ''[[Homo antecessor]]'', ''[[Homo heidelbergensis]]'', wa kwanza kujenga makazi ya kudumu na [[Mazishi|kuzika]] wafu, n.k. Kwa jumla Homo erectus alidumu zaidi ya miaka milioni moja. Wengi wanaona spishi nyingi zilizopendekezwa kuwa nususpishi tu za Homo erectus.
Miaka 800,000–200,000 iliyopita, wakati wa mabadiliko makubwa ya [[hali ya hewa]], [[ubongo]] wa jenasi hiyo ulikua sana na kupata uwezo wa kufanya mambo mengi mapya katika mahusiano na katika kukabili [[mazingira]] ambayo yalizidi kubadilika na kudai maitikio tofauti ili kudumisha [[uhai]] wa jenasi yenyewe.
Kufikia miaka 100,000 au 50,000 hivi iliyopita, spishi zote za jenasi Homo zilikuwa zimekoma, isipokuwa Homo sapiens aliyekuwa ametokana na Homo heidelbergensis miaka 300,000 hivi iliyopita.
Baadhi ya [[wataalamu]] wanahesabu ''[[Homo neanderthalensis]]'' na mtu wa [[Denisova]] kama [[nususpishi]] za ''Homo sapiens'' zilizoweza kuzaliana na watu wa kisasa waliotokea [[Afrika]].<ref>Green RE, Krause J, et al. A draft sequence of the Neandertal genome. Science. 2010 7 Mei;328(5979):710-22. {{DOI|10.1126/science.1188021}} PMID 20448178 </ref><ref> Reich D, Green RE, Kircher M, et al. (Desemba 2010). "Genetic history of an archaic hominin group from Denisova Cave in Siberia". Nature 468 (7327): 1053–60. doi:10.1038/nature09710. PMID 21179161.</ref><ref>Reich D ., et al. Denisova admixture and the first modern human dispersals into southeast Asia and Oceania. Am J Hum Genet. 2011 Oct 7;89(4):516-28, {{DOI|10.1016/j.ajhg.2011.09.005}} PMID 21944045.</ref>
==Picha==
<gallery>
Cro-Magnon man rendered.jpg|''Homo sapiens'' mwanamume
Homo habilis - forensic facial reconstruction.png|''Homo habilis'' mwanamume
Homo naledi facial reconstruction.jpg|''Homoe naledi'' mwanamume
Homo rudolfensis.png|''Homo rudofensis'' mwanamume
Homo.erectus.adult.female.smithsonian.timevanson.flickr.jpg|''Homo erectus'' mwanamke
Recente reconstrução de corpo inteiro do indivíduo LB1, Homo floresiensis.jpg|''Homo floresiensis'' mwanamke
Homo heidelbergensis - forensic facial reconstruction-crop.png|''Homo heidelbergensis'' mwanamume
Homo longi NT.jpg|''Homo longi'' mwanamume
HomoLuzonensisRestoration.jpg|''Homo luzonensis'' mwanamume
Homo sapiens neanderthalensis-Mr. N.jpg|''Homo neanderthalensis'' mwanamume
Reconstruction of Neanderthal woman.jpg|''Homo neanderthalensis'' mwanamke
</gallery>
==Tanbihi==
{{Marejeo|colwidth=50em}}
==Marejeo==
*{{cite journal|author=Serre ''et al.''|year=2004|title=No evidence of Neandertal mtDNA contribution to early modern humans|journal=PLoS Biology|volume=2|issue=3|pages=313–7|pmid=15024415|doi=10.1371/journal.pbio.0020057|pmc=368159}}
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Homo}}
*[http://www.talkorigins.org/faqs/homs/species.html Hominid species]
{{sokwe}}
[[Jamii:Hominini]]
[[Jamii:Historia]]
ew473ltbl4dmz3sayg2pzi86sg2lzpk
Historia ya Wapare
0
66017
1233824
1231555
2022-07-19T21:04:05Z
41.222.180.254
/* Watu mashuhuri wa Upare */
wikitext
text/x-wiki
'''Wapare''' ni [[kabila]] kutoka [[milima ya Pare]], [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[kaskazini]] mwa nchi ya [[Tanzania]].
[[Lugha]] yao ni [[Kipare (Tanzania)|Kipare]] (au Chasu).
==Asili ya Waasu==
Kabla ya kuingia huko, inasemekana walikuwa [[Taveta]], [[Kenya]], kwa zaidi ya [[karne]] [[moja]] iliyopita na wakati huo walikuwa wakijulikana kwa [[jina]] la Waasu.
Masimulizi yanasema walipoingia [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]], walitamani kufanya makao yao kwenye miteremko ya [[Mlima Kilimanjaro]], lakini wakavurumishwa na wenzao waliokuwepo kabla yao, yaani [[Wachagga]].
Wachagga hao hawakuwa radhi kuwaruhusu Wapare kuwa na makazi eneo hili, hivyo waliwafukuza kwa kupigana kama ilivyokuwa [[tabia]] ya makabila mengi hapo zamani.
==Asili ya neno Wapare==
Wakati wa kupambana walikuwa wakiambiana, “mpare… mpareee” wakimaanisha "mpige sana… mpige!" Waasu hawa wakatimka [[mbio]] na kuparamia [[milima]] ambayo sasa inaitwa milima ya Upare. Waasu wakaanza kuitwa Wapare kwa maana ya "wapige".
Hata hivyo huo ni [[utani]] wa Wachaga kwa Wapare, na ilivyotokea muingiliano wa maana ya [[neno]] hilo (coincidence) kwamba kulitokea [[vita]] kati ya Wachaga na Wapare, na neno hilo la [[Kichaga]] "Mpare" likawa na maana ya mpige, basi watani hao wakasema wao ndio waliotoa jina la kabila la Wapare.
Hizi ni [[hadithi]] zinazosimuliwa na baadhi ya Wachagga ambao ndio watani pekee wa Wapare, [[utani]] uliozaliwa baada ya purukushani hizo za kuingia Tanganyika.
Hata hivyo, hakuna hata Mpare mmoja anayeafiki maelezo hayo, isipokuwa wanakiri kuwa walitokea Taveta: ndiyo maana hata baadhi ya maneno na [[lafudhi]] yao haviko mbali sana na maana halisi ya neno Wapare: watu wa Taveta.
Kutokana na tafiti za lugha na [[matamshi]] mbalimbali, inasemekana matamshi ya neno la Kipare "mb" hubadilika na kuwa "p" katika [[Kiswahili]]. Kwa mfano Mbengo, kwa Kiswahili ni Pengo. Neno Mbinga, kwa Kiswahili ni Pinga. n.k. Hivyo neno Pare linatokana na neno "mbare", likiwa na maana ya kabila, au Mkabila au hata mara nyingine aina - katika kutofautisha aina za vitu (kwa [[Kiingereza]] "Classification"). Kwa mfano unaweza kusema mbuzi hawa ni "mbare ani"? Hivyo Wapare walijiita "Vambare" wakiwa na maana ya "sisi wa kabila moja, tunaoongea lugha ya Chasu". Hapo ndipo neno Vambare linabadilika katika Kiswahili na kuwa Wapare.
Tukumbuke katika lugha ya Kipare pia wanatambua makabila mengine kama Vashamba ([[Wasambaa]]); Vaagha (Wachaga); Vambughu ([[Wambugu]]); Vakwavi ([[Wamasai]]); Vakizungo ([[Wahaya]]); Vakamba ([[Wakamba]]); Vajaluo ([[Wajaluo]]) na wale ambao hawatambuliki kwa makabila yao huitwa Vanyika (au Mnyika kama ni mmoja). Wachaga nao wanalo neno linalofanana na hilo linaloitwa "Chasaka".
Wapare wamegawanyika katika makundi mawili makubwa; wapare wa Pare ya Kusini ambao ni Wapare wa [[Same]] na Wapare wa Pare ya Kaskazini ambao ni Wapare wa [[Mwanga]] ambao nao wamegawanyika mara [[mbili]]: Wapare wa [[Ugweno]] (wanatumia lugha inayoitwa Kigweno) na Wapare wa [[Usangi]] (wanatumia lugha inayofahamika zaidi kama Kipare ambayo inatumiwa pia na Wapare wa Pare ya kusini ingawa inatofautiana kidogo katika matamshi).
==Makao==
Wapare wanatokea katika wilaya za Same na Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro, lakini pia wapo katika wilaya ya Moshi Vijijini sehemu za Kahe, Chekereni, Himo, Mabungo, Moshi mjini, tena katika wilaya ya Hai sehemu za Rundugai na mto Weruweru. Wapare pia wanaishi katika wilaya ya Lushoto, sehemu za Mgwashi, Mavumo, Lukozi, Shume na Makose.
Wapare wanasemekana wametoka katika nchi ya Kenya sehemu za Taita, Taveta na Ukamba. Wapare ni miongoni mwa makabila ambayo watu wake wamesoma sana. Wapare pia ni kabila la watu wanaopenda haki (yaani hawapendi kuonewa wala kumuonea mtu). Ndiyo maana watu wengine wanadhani wanapenda kesi, bali kesi ni njia mojawapo ya kuhakikisha haki inatendeka katika jamii. Dhuluma kwa Wapare ni kitu kilichokuwa kimepigwa marufuku hata kwenye matambiko yao, japo siku hizi kuna uwezekano baadhi yao wakawa hawana sifa hii tena.
==Dini==
Zamani Wapare walikuwa na [[sala]] tofauti kwa kila ukoo na eneo lao la [[tambiko]]. Katika [[karne ya 19]] hadi [[karne ya 20|20]] [[wamisionari]] wa [[Ukristo]] waliingia maeneo mengi ya Upare.
[[Imani]] za Wapare kwa sasa zinatofautiana kutokana na maeneo: walio kusini mwa wilaya ya Same katika maeneo ya [[Ndungu]], [[Kihurio]], [[Bendera]], [[Hedaru]], [[Makanya]], [[Suji]], [[Chome]], [[Tae]], [[Gonja]], [[Mamba]] hadi [[Vunta]] kuna waumini wa [[kanisa]] la [[Sabato]] wengi sana.
Maeneo kama [[Chome]], [[Mbaga]], [[Gonja]], [[Vudee]], [[Usangi]] yana waumini wengi wa [[Walutheri|Kanisa la Kilutheri]].
Katika Wilaya ya Mwanga kuna idadi kubwa ya [[Walutheri]] na [[Waislamu]].
[[Wakatoliki]], japo ni wachache, wanapatikana zaidi katika maeneo ya [[Kilomeni]], [[Kisangara Juu]], [[Vumari]], [[Gonja]], [[Kighare]] na [[Mbaga]]. Ukatoliki uliingia Upare kwa mara ya kwanza katika [[kata]] ya Kilomeni mwaka [[1909]].
==Shughuli za uchumi==
Jamii za Wapare zimegawanyika katika makundi ya wafugaji na wakulima. Wakati wafugaji wengi walihamia katika tambarare za Upareni, wakulima wao waliishi milimani na wafuaji wa vyuma walikaa maeneo yote yaliyokuwa na uwezekano wa kupata chuma.
Kwa asili Wapare hupeleka vijana wa kiume jando (mshitu) ambako walipata mafunzo jinsi ya kuishi na familia, japo siku hizi utamaduni huo hufuatwa na watu wachache.
Hata hivyo Wapare wa Mwanga wamegawanyika katika jamii mbili: Wasangi na Wagweno. Wakati Wasangi wanaongea Kipare kinachoongelewa pia na Wapare wa maeneo mengine, Wagweno wao wana lugha yao iitwayo Kigweno. Kigweno ni mchanganyiko wa Kipare na Kichagga. Hii inaonesha kuwa asili ya Wagweno ni huko Uchaga. Hata hivyo mila na desturi za Wagweno zinafanana zaidi na zile za Wapare wengine.
Wapare ni wachapakazi sana wakichanganya kilimo, ufugaji na biashara, ndiYo maana hata leo wana uchumi mzuri katika viwango vya Tanzania.
Wapare walianza kufua chuma kabla ya mwaka 1700 na wafuaji walikuwa wakiitwa Washana, na huo ukoo upo hata leo hii. Wapare walikuwa wakiuza bidhaa zinazotengenezwa na chuma kama majembe,mapanga, visu, silaha kama mikuki kwa makabila ya jirani mfano Wachaga,na wamekuwa na uhusiano tangu siku nyingi. Bidhaa zao hizi ziliuzwa hata kwa Wasambaa.
==Mfumo wa maisha==
Inasemekana Wapare ni kabila lenye ujasiri na ni watu wa kupanga kabla ya kutenda. Pia ni wavumilivu wenye kustahimili hali ngumu ya maisha ikiwa ni pamoja na njaa au kutokuwa na pesa.
Zamani za ukoloni waliweza kuungana na kufanya mgomo wa kukataa kodi zilizokithiri. Mgomo huo uliofanikiwa ulijulikana kama ‘mbiru’.
Kati ya mila na desturi zilizowajengea Wapare taratibu za kuwa na mifumo ya maisha kuna zile walizoziita ‘Ndala’, ‘Msaragambo’ na ‘Kiwili’.
===Ndala===
Neno ‘ndala’ kwa Kipare humaanisha utaratibu wa familia au watu wanaoishi jirani mno kuwa na tabia ya kula chakula kwa pamoja, kama wengi tuonavyo waislamu waliofunga na wanapofuturu pamoja.
Utaratibu wa Wapare ulikuwa kwamba kila mama anapotayarisha chakula kwa familia yake, ilibidi akitoe achanganye na chakula kingine cha wenzake na familia zote ziketi na kula pamoja. Mfumo wa ndala kwa maana ya familia kula chakula kwa pamoja unaonekana kuwa na manufaa yafuatayo.
Kwanza unajenga mahusiano mema baina ya familia na majirani katika kushirikiana. Pili kushirikiana katika kula kunachochea ushirikiano katika mambo mengine kama shida au raha.
Lakini pia watoto wanaokuzwa katika mfumo huo wanajengwa katika maadili mazuri wasiwe walafi na wachoyo maana wanazoea kuwa na wenzao na hii ndiyo sababu kabila hili lilikuwa na sifa ya kuwa wakarimu.
Watoto walifundishwa kuwa na nidhamu ya wakati wa chakula, kwa mfano kutonawa mikono au kuanza kula kabla ya wakubwa.
===Msaragambo===
Neno msaragambo linamaanisha mfumo uliokubaliwa na jamii katika kitongoji, kijiji au kata wa kushirikiana katika kufanya kazi zenye faida kwa watu wote, maarufu kwa kazi za ujenzi wa taifa.
Kwa kazi hizi ni za ridhaa zilipaswa kwanza zikubaliwe na wengi vinginevyo haikuwa rahisi mtu mmoja kuitisha wito wa kazi fulani na watu wengine kuja kuifanya.
Kazi hizi ambazo hata serikali ya awamu ya kwanza ilizikazania sana mara baada ya Tanganyika kupata uhuru, ni pamoja na ujenzi wa mashule, kuchimba visima vya maji, kuchimba barabara na kadhalika. Upo ushahidi wa kutosha kuhusu Wapare walivyotumia mfumo huu na kupata maendeleo makubwa Wilayani mwao.
Zipo barabara za Mwanga hadi Ugweno na Usangi; Ndungu hadi Mamba na Vunta; Hedaru hadi Mwala; Makanya hadi Chome,Mpirani hadi Bombo Song’ana,Gonja Maore hadi Vuje naVudee hadi Mbaga, Lembeni hadi Kilomeni. Hata hivyo, si barabara tu lakini zahanati, na shule nyingi zimejengwa na wapare wa wilaya za Same na Mwanga na kuinua kiwango cha maendeleo yao.
Nakumbuka watu hawa si watu wapenda misaada ya mteremko ndiyo maana pamoja na kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa mvua mara kwa mara wamekuwa si watu wa kupiga yowe haraka.
Kazi zilizofanywa kupitia utaratibu huu wa msaragambo ziliufanya Mkoa huu wa Kilimanjaro uongoze kwa maendeleo ya barabara nzuri, ujenzi wa shule nyingi hadi katika vitongoji.
===Kiwili===
Kiwili ni msamiati mwingine wa Kipare ambao ni mfumo wa maisha walioukubali katika kuendesha maisha ya familia na jamii zao kwa kusaidiana kazi.
Kiwili ni utaratibu ambapo familia au majirani hualikana ili kusaidiana katika kazi za kilimo, na hata mavuno hasa pale mmoja wao anapokuwa na kazi shambani mwake na kuhitaji msaada. Siku hiyo, watu hukutana na kufanya kazi hiyo waliyoitiwa, mwenye kazi huandaa chakula ambacho watu watapata baada ya kumaliza kazi.
Utaratibu huu ulikuwa na manufaa makubwa maana ulirahisisha kazi na kujenga moyo wa kusaidiana. Kiwiri pia kiliweza kuitishwa na majirani kuwalenga wazee waliochoka au wagonjwa, ambao kwa namna moja au nyingine walionekana kushindwa kumudu kazi zao za shambani.
Kupitia kazi za kusaidiana maisha ya familia nyingi za Wapare ziliokolewa na majanga ya kufikwa na njaa.
Bila shaka zipo mila na desturi nzuri ambazo Watanzania tulikuwa nazo, lakini wageni wakatuhadaa na kutulaghai kwamba ya kwetu yote yalikuwa si mema nasi tukaanza kuyaacha.
==Vyakula vikuu vya Wapare==
Makande (Mbure),[[ugali]](hasa ule wa muhogo wanauita ibadaa), [[ndizi]], [[wali]] kwa wale wanaoishi maeneo ya tambarare kama Ndungu, Kisiwani, Ngullu Kavagala Kwakoa Maore na Mpirani. Pia kuna vyakula kama Kishumba, Kibulu, na mboga maarufu "Msele" nkokoro n.k vyakula hivi vinaliwa katika maeneo ya Kilomeni, Sofe, Kisangara Chanjale
Wapare pia wana ukaribu na makabila ya Mkoa wa Tanga hasa Wasambaa, Wazigua na Wanguu. Ukaribu wao uko katika lugha ambapo maneno mengi ya makabila haya yanafanana. Vile vile hata majina ya baadhi ya maeneo yaliyopo kwa Wapare yapo pia kwenye maeneo wanamoishi makabila kama vile Wasambaa na Wanguu. Kwa mfano, kwa Wapare kuna majina ya maeneo kama vile Gonja, Ndeme, Ndolwa n.k. Majina haya yapo pia maeneo ya Wanguu na Wasambaa. Hii inaonesha kwamba makabila haya yana asili moja.
==Mapacha kati ya Wapare==
Kulikuwa na imani potovu kuwa mwanamke akizaa watoto mapacha analeta mkosi na laana kwenye ukoo pia mtoto akianza kuota meno na yakaanza kuotaa ya juu,kwa hiyo watoto hao waliuawa kwa kutupwa au huegeshwa juu kilele pembezoni wakiwa wamelala baada ya kunyonyeshwa ama kulishwa uji na wazazi wao kwenye jiwe kubwa ambalo kule Mbaga - Pare ya kusini linaitwa Malameni, Usangi - Mwero linaitwa Ikamba, Songoa ljiwe likaitwa mkumba vana, pia na Mfinga ya Kikweni makutano ya kwenda Ugweno na Usangi linaitwa Lubegho ambapo ni aghalabu mtoto kupona kwani akiamka toka usingizini akijigeuza tu hudondoka toka kule ju hadi chini nakufa. Maajabu ni kwa mtoto mmoja aliye okotwa na Mzee Mgaya kule Ikamba na kumlea hadi akakuwa na kuwa Mtumishi wa Mungu jasiri na maarufu Marehemu Mchungaji Nathanaeli Mgaya. Hadi leo hii mawe hayo yapo.
==Watu mashuhuri wa Upare==
Inasemekana Wapare ni kabila la watu wachache lakini wana ushawishi mkubwa katika nyanja za [[siasa]] na [[uchumi]] wa Tanzania sambamba na nyanja mbali mbali ikiwemo Vyombo vya habari. Baadhi ya watu wake maarufu ni:
*[[Chedieli Yohane Mgonja]], aliwahi kuwa [[Mbunge]] na [[waziri wa Elimu]] katika [[serikali]] ya awamu ya kwanza
*[[Angellah Kairuki]], Waziri wa Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu awamu ya tano
*[[Esther Mkwizu]], aliwahi kuwa Rais wa Sekta Binafsi Tanzania au TPSF(Tanzania Private Sector Foundation)
*[[Cleopa David Msuya]], aliwahi kuwa [[Waziri mkuu]] na [[waziri wa Fedha]]
*[[Mfumwa Singo]]
*[[Askofu]] Mlutheri [[Eliewaha Eliya Mshana]]
*[[Askofu Mkuu]] mstaafu wa [[Jimbo Kuu la Arusha|Jimbo Kuu la Katoliki Arusha]] [[Josephat Louis Lebulu]] kutoka [[Kisangara Juu]]
*[[Anne Kilango]], alikuwa mbunge wa Same mashariki hadi tarehe [[25 Oktoba]] [[2015]]
*[[Asha-Rose Mtengeti Migiro]], aliwahi kuwa [[naibu katibu mkuu]] wa [[UN]] na sasa ni [[balozi]] wa Tanzania nchini [[Uingereza]]
*[[Januari Msofe]] wa Kisangara Juu, [[Jaji]] wa [[mahakama kuu]] Tanzania
*[[Herman Ambara]] [[mwanasheria]] Songoa
*[[Mathayo David]] mbunge wa Same Magharibi na [[Waziri]]
*[[Peter Kisumo]] kwa sasa ni [[marehemu]]
*[[Daktari]] [[Mbazi Fikeni Senkoro]] kwa sasa ni marehemu
*[[Mchungaji]] [[Abrahamu Itunda]] kwa sasa ni marehemu
*[[Felix Mlaki]] [[mchumi]] maarufu na mtu wa [[benki]], mmiliki wa [[kampuni]] za ushauri na mikopo
*[[Profesa]] [[Jumanne Maghembe]], alikuwa [[Waziri wa Maji]] na waziri wa [[maliasili]] na [[utalii]]
*[[Mfumwa Sabuni]] wa [[Usangi]]
*[[Ernest Mhando Nkondo Mchome]] aliyewahi kuwa Meneja wa Shamba la Themi huko Arusha
*[[Mfumwa Manento Sekimanga]] wa [[Mamba]]
*[[Joseph Mamphombe]] wa [[Mbaga]]
*[[Kigono Chuma]] wa [[Gonja]]
*[[Folong'o Makange]] wa [[Chome]]
*[[Nkondo Makengo Kanana]] wa huko [[Chome]] ambaye aliwahi kupigana vita kuu ya kwanza hadi kufika nchi za mbali ikiwemo [[Burma]]
*Mfumwa wa Mvua [[Kikala Shaghude Mtoi]] ambaye alisifika katika masuala ya mvua huko [[Chome]]
*[[Minja Kukome]] wa [[Ugweno]]
*[[Wilfred Mashauri Mfinanga]] wa [[Kiriche Usangi]], aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya Singida
*[[Yoeli Mtindi]] wa [[Hedaru]]
*[[Mfumwa Njaule]] wa [[Vudee]], IGP wa kwanza baada ya [[uhuru]]
*[[Elangwa Shaidi]] wa [[Vudee]]
*Mchungaji [[Kadiva Ernest William]] wa Hedaru/Chome, Naibu Katibu Mkuu wa [[KKKT]] Dayosisi ya Mashariki na Pwani na mbunge wa [[Bunge Maalum la Katiba Tanzania]]
*Profesa [[Joseph Semboja]] ambaye ni mchumi na mkuu wa Taasisi ya Uongozi iliyo chini ya [[ofisi ya Rais]]
*Balozi [[Ombeni Sefue]] wa Suji, alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi
*Profesa [[Gadi Kilonzo]] wa Suji, daktari [[bingwa]] wa [[upasuaji]] wa [[Kichwa|vichwa]]
*Profesa [[Rogasian Mahuna]] wa Kilomeni, bingwa wa dawa za asili; alifanya kazi MUHAS
*Profesa [[Amoni Chaligha]], Profesa wa Siasa Uchumi Chuo Kikuu Dar es Salaam na pia Kamishina wa Tume ya Uchaguzi anatoka Kilomeni
*Profesa [[Pater Lawrance Msoffe]] wa Chanjale, Kisangara Juu, anafanya kazi Chuo Kikuu Dodoma
*Profesa [[Fikeni Eliesikia Senkoro]], mhadhiri mwandamizi - Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, taasisi ya Kiswahili
* Profesa Leonard Paulo Shaidi ambaye aliwahi kuwa mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam na pia mtaalamu mahiri wa masuala ya haki jinai.
*Bwana Clophas Flavian Idd ambaye kwa sasa ni Mwandishi wa habari wa East Africa Television- na East Africa Radio kwa mkoa wa Morogoro.
* Hasheem Ibwe ,mtangazaji wa kandanda kwenye televisheni [[Azam TV]]
[[Jamii:Wapare]]
[[Jamii:Wilaya ya Same]]
[[Jamii:Historia ya Tanzania]]
4ekln8s6it5zjczgms8tiko3sdtgzdh
1233825
1233824
2022-07-19T21:06:39Z
41.222.180.254
wikitext
text/x-wiki
'''Wapare''' ni [[kabila]] kutoka [[milima ya Pare]], [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[kaskazini]] mwa nchi ya [[Tanzania]].
[[Lugha]] yao ni [[Kipare (Tanzania)|Kipare]] (au Chasu).
==Asili ya Waasu==
Kabla ya kuingia huko, inasemekana walikuwa [[Taveta]], [[Kenya]], kwa zaidi ya [[karne]] [[moja]] iliyopita na wakati huo walikuwa wakijulikana kwa [[jina]] la Waasu.
Masimulizi yanasema walipoingia [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]], walitamani kufanya makao yao kwenye miteremko ya [[Mlima Kilimanjaro]], lakini wakavurumishwa na wenzao waliokuwepo kabla yao, yaani [[Wachagga]].
Wachagga hao hawakuwa radhi kuwaruhusu Wapare kuwa na makazi eneo hili, hivyo waliwafukuza kwa kupigana kama ilivyokuwa [[tabia]] ya makabila mengi hapo zamani.
==Asili ya neno Wapare==
Wakati wa kupambana walikuwa wakiambiana, “mpare… mpareee” wakimaanisha "mpige sana… mpige!" Waasu hawa wakatimka [[mbio]] na kuparamia [[milima]] ambayo sasa inaitwa milima ya Upare. Waasu wakaanza kuitwa Wapare kwa maana ya "wapige".
Hata hivyo huo ni [[utani]] wa Wachaga kwa Wapare, na ilivyotokea muingiliano wa maana ya [[neno]] hilo (coincidence) kwamba kulitokea [[vita]] kati ya Wachaga na Wapare, na neno hilo la [[Kichaga]] "Mpare" likawa na maana ya mpige, basi watani hao wakasema wao ndio waliotoa jina la kabila la Wapare.
Hizi ni [[hadithi]] zinazosimuliwa na baadhi ya Wachagga ambao ndio watani pekee wa Wapare, [[utani]] uliozaliwa baada ya purukushani hizo za kuingia Tanganyika.
Hata hivyo, hakuna hata Mpare mmoja anayeafiki maelezo hayo, isipokuwa wanakiri kuwa walitokea Taveta: ndiyo maana hata baadhi ya maneno na [[lafudhi]] yao haviko mbali sana na maana halisi ya neno Wapare: watu wa Taveta.
Kutokana na tafiti za lugha na [[matamshi]] mbalimbali, inasemekana matamshi ya neno la Kipare "mb" hubadilika na kuwa "p" katika [[Kiswahili]]. Kwa mfano Mbengo, kwa Kiswahili ni Pengo. Neno Mbinga, kwa Kiswahili ni Pinga. n.k. Hivyo neno Pare linatokana na neno "mbare", likiwa na maana ya kabila, au Mkabila au hata mara nyingine aina - katika kutofautisha aina za vitu (kwa [[Kiingereza]] "Classification"). Kwa mfano unaweza kusema mbuzi hawa ni "mbare ani"? Hivyo Wapare walijiita "Vambare" wakiwa na maana ya "sisi wa kabila moja, tunaoongea lugha ya Chasu". Hapo ndipo neno Vambare linabadilika katika Kiswahili na kuwa Wapare.
Tukumbuke katika lugha ya Kipare pia wanatambua makabila mengine kama Vashamba ([[Wasambaa]]); Vaagha (Wachaga); Vambughu ([[Wambugu]]); Vakwavi ([[Wamasai]]); Vakizungo ([[Wahaya]]); Vakamba ([[Wakamba]]); Vajaluo ([[Wajaluo]]) na wale ambao hawatambuliki kwa makabila yao huitwa Vanyika (au Mnyika kama ni mmoja). Wachaga nao wanalo neno linalofanana na hilo linaloitwa "Chasaka".
Wapare wamegawanyika katika makundi mawili makubwa; wapare wa Pare ya Kusini ambao ni Wapare wa [[Same]] na Wapare wa Pare ya Kaskazini ambao ni Wapare wa [[Mwanga]] ambao nao wamegawanyika mara [[mbili]]: Wapare wa [[Ugweno]] (wanatumia lugha inayoitwa Kigweno) na Wapare wa [[Usangi]] (wanatumia lugha inayofahamika zaidi kama Kipare ambayo inatumiwa pia na Wapare wa Pare ya kusini ingawa inatofautiana kidogo katika matamshi).
==Makao==
Wapare wanatokea katika wilaya za Same na Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro, lakini pia wapo katika wilaya ya Moshi Vijijini sehemu za Kahe, Chekereni, Himo, Mabungo, Moshi mjini, tena katika wilaya ya Hai sehemu za Rundugai na mto Weruweru. Wapare pia wanaishi katika wilaya ya Lushoto, sehemu za Mgwashi, Mavumo, Lukozi, Shume na Makose.
Wapare wanasemekana wametoka katika nchi ya Kenya sehemu za Taita, Taveta na Ukamba. Wapare ni miongoni mwa makabila ambayo watu wake wamesoma sana. Wapare pia ni kabila la watu wanaopenda haki (yaani hawapendi kuonewa wala kumuonea mtu). Ndiyo maana watu wengine wanadhani wanapenda kesi, bali kesi ni njia mojawapo ya kuhakikisha haki inatendeka katika jamii. Dhuluma kwa Wapare ni kitu kilichokuwa kimepigwa marufuku hata kwenye matambiko yao, japo siku hizi kuna uwezekano baadhi yao wakawa hawana sifa hii tena.
==Dini==
Zamani Wapare walikuwa na [[sala]] tofauti kwa kila ukoo na eneo lao la [[tambiko]]. Katika [[karne ya 19]] hadi [[karne ya 20|20]] [[wamisionari]] wa [[Ukristo]] waliingia maeneo mengi ya Upare.
[[Imani]] za Wapare kwa sasa zinatofautiana kutokana na maeneo: walio kusini mwa wilaya ya Same katika maeneo ya [[Ndungu]], [[Kihurio]], [[Bendera]], [[Hedaru]], [[Makanya]], [[Suji]], [[Chome]], [[Tae]], [[Gonja]], [[Mamba]] hadi [[Vunta]] kuna waumini wa [[kanisa]] la [[Sabato]] wengi sana.
Maeneo kama [[Chome]], [[Mbaga]], [[Gonja]], [[Vudee]], [[Usangi]] yana waumini wengi wa [[Walutheri|Kanisa la Kilutheri]].
Katika Wilaya ya Mwanga kuna idadi kubwa ya [[Walutheri]] na [[Waislamu]].
[[Wakatoliki]], japo ni wachache, wanapatikana zaidi katika maeneo ya [[Kilomeni]], [[Kisangara Juu]], [[Vumari]], [[Gonja]], [[Kighare]] na [[Mbaga]]. Ukatoliki uliingia Upare kwa mara ya kwanza katika [[kata]] ya Kilomeni mwaka [[1909]].
==Shughuli za uchumi==
Jamii za Wapare zimegawanyika katika makundi ya wafugaji na wakulima. Wakati wafugaji wengi walihamia katika tambarare za Upareni, wakulima wao waliishi milimani na wafuaji wa vyuma walikaa maeneo yote yaliyokuwa na uwezekano wa kupata chuma.
Kwa asili Wapare hupeleka vijana wa kiume jando (mshitu) ambako walipata mafunzo jinsi ya kuishi na familia, japo siku hizi utamaduni huo hufuatwa na watu wachache.
Hata hivyo Wapare wa Mwanga wamegawanyika katika jamii mbili: Wasangi na Wagweno. Wakati Wasangi wanaongea Kipare kinachoongelewa pia na Wapare wa maeneo mengine, Wagweno wao wana lugha yao iitwayo Kigweno. Kigweno ni mchanganyiko wa Kipare na Kichagga. Hii inaonesha kuwa asili ya Wagweno ni huko Uchaga. Hata hivyo mila na desturi za Wagweno zinafanana zaidi na zile za Wapare wengine.
Wapare ni wachapakazi sana wakichanganya kilimo, ufugaji na biashara, ndiYo maana hata leo wana uchumi mzuri katika viwango vya Tanzania.
Wapare walianza kufua chuma kabla ya mwaka 1700 na wafuaji walikuwa wakiitwa Washana, na huo ukoo upo hata leo hii. Wapare walikuwa wakiuza bidhaa zinazotengenezwa na chuma kama majembe,mapanga, visu, silaha kama mikuki kwa makabila ya jirani mfano Wachaga,na wamekuwa na uhusiano tangu siku nyingi. Bidhaa zao hizi ziliuzwa hata kwa Wasambaa.
==Mfumo wa maisha==
Inasemekana Wapare ni kabila lenye ujasiri na ni watu wa kupanga kabla ya kutenda. Pia ni wavumilivu wenye kustahimili hali ngumu ya maisha ikiwa ni pamoja na njaa au kutokuwa na pesa.
Zamani za ukoloni waliweza kuungana na kufanya mgomo wa kukataa kodi zilizokithiri. Mgomo huo uliofanikiwa ulijulikana kama ‘mbiru’.
Kati ya mila na desturi zilizowajengea Wapare taratibu za kuwa na mifumo ya maisha kuna zile walizoziita ‘Ndala’, ‘Msaragambo’ na ‘Kiwili’.
===Ndala===
Neno ‘ndala’ kwa Kipare humaanisha utaratibu wa familia au watu wanaoishi jirani mno kuwa na tabia ya kula chakula kwa pamoja, kama wengi tuonavyo waislamu waliofunga na wanapofuturu pamoja.
Utaratibu wa Wapare ulikuwa kwamba kila mama anapotayarisha chakula kwa familia yake, ilibidi akitoe achanganye na chakula kingine cha wenzake na familia zote ziketi na kula pamoja. Mfumo wa ndala kwa maana ya familia kula chakula kwa pamoja unaonekana kuwa na manufaa yafuatayo.
Kwanza unajenga mahusiano mema baina ya familia na majirani katika kushirikiana. Pili kushirikiana katika kula kunachochea ushirikiano katika mambo mengine kama shida au raha.
Lakini pia watoto wanaokuzwa katika mfumo huo wanajengwa katika maadili mazuri wasiwe walafi na wachoyo maana wanazoea kuwa na wenzao na hii ndiyo sababu kabila hili lilikuwa na sifa ya kuwa wakarimu.
Watoto walifundishwa kuwa na nidhamu ya wakati wa chakula, kwa mfano kutonawa mikono au kuanza kula kabla ya wakubwa.
===Msaragambo===
Neno msaragambo linamaanisha mfumo uliokubaliwa na jamii katika kitongoji, kijiji au kata wa kushirikiana katika kufanya kazi zenye faida kwa watu wote, maarufu kwa kazi za ujenzi wa taifa.
Kwa kazi hizi ni za ridhaa zilipaswa kwanza zikubaliwe na wengi vinginevyo haikuwa rahisi mtu mmoja kuitisha wito wa kazi fulani na watu wengine kuja kuifanya.
Kazi hizi ambazo hata serikali ya awamu ya kwanza ilizikazania sana mara baada ya Tanganyika kupata uhuru, ni pamoja na ujenzi wa mashule, kuchimba visima vya maji, kuchimba barabara na kadhalika. Upo ushahidi wa kutosha kuhusu Wapare walivyotumia mfumo huu na kupata maendeleo makubwa Wilayani mwao.
Zipo barabara za Mwanga hadi Ugweno na Usangi; Ndungu hadi Mamba na Vunta; Hedaru hadi Mwala; Makanya hadi Chome,Mpirani hadi Bombo Song’ana,Gonja Maore hadi Vuje naVudee hadi Mbaga, Lembeni hadi Kilomeni. Hata hivyo, si barabara tu lakini zahanati, na shule nyingi zimejengwa na wapare wa wilaya za Same na Mwanga na kuinua kiwango cha maendeleo yao.
Nakumbuka watu hawa si watu wapenda misaada ya mteremko ndiyo maana pamoja na kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa mvua mara kwa mara wamekuwa si watu wa kupiga yowe haraka.
Kazi zilizofanywa kupitia utaratibu huu wa msaragambo ziliufanya Mkoa huu wa Kilimanjaro uongoze kwa maendeleo ya barabara nzuri, ujenzi wa shule nyingi hadi katika vitongoji.
===Kiwili===
Kiwili ni msamiati mwingine wa Kipare ambao ni mfumo wa maisha walioukubali katika kuendesha maisha ya familia na jamii zao kwa kusaidiana kazi.
Kiwili ni utaratibu ambapo familia au majirani hualikana ili kusaidiana katika kazi za kilimo, na hata mavuno hasa pale mmoja wao anapokuwa na kazi shambani mwake na kuhitaji msaada. Siku hiyo, watu hukutana na kufanya kazi hiyo waliyoitiwa, mwenye kazi huandaa chakula ambacho watu watapata baada ya kumaliza kazi.
Utaratibu huu ulikuwa na manufaa makubwa maana ulirahisisha kazi na kujenga moyo wa kusaidiana. Kiwiri pia kiliweza kuitishwa na majirani kuwalenga wazee waliochoka au wagonjwa, ambao kwa namna moja au nyingine walionekana kushindwa kumudu kazi zao za shambani.
Kupitia kazi za kusaidiana maisha ya familia nyingi za Wapare ziliokolewa na majanga ya kufikwa na njaa.
Bila shaka zipo mila na desturi nzuri ambazo Watanzania tulikuwa nazo, lakini wageni wakatuhadaa na kutulaghai kwamba ya kwetu yote yalikuwa si mema nasi tukaanza kuyaacha.
==Vyakula vikuu vya Wapare==
Makande (Mbure),[[ugali]](hasa ule wa muhogo wanauita ibadaa), [[ndizi]], [[wali]] kwa wale wanaoishi maeneo ya tambarare kama Ndungu, Kisiwani, Ngullu Kavagala Kwakoa Maore na Mpirani. Pia kuna vyakula kama Kishumba, Kibulu, na mboga maarufu "Msele" nkokoro n.k vyakula hivi vinaliwa katika maeneo ya Kilomeni, Sofe, Kisangara Chanjale
Wapare pia wana ukaribu na makabila ya Mkoa wa Tanga hasa Wasambaa, Wazigua na Wanguu. Ukaribu wao uko katika lugha ambapo maneno mengi ya makabila haya yanafanana. Vile vile hata majina ya baadhi ya maeneo yaliyopo kwa Wapare yapo pia kwenye maeneo wanamoishi makabila kama vile Wasambaa na Wanguu. Kwa mfano, kwa Wapare kuna majina ya maeneo kama vile Gonja, Ndeme, Ndolwa n.k. Majina haya yapo pia maeneo ya Wanguu na Wasambaa. Hii inaonesha kwamba makabila haya yana asili moja.
==Mapacha kati ya Wapare==
Kulikuwa na imani potovu kuwa mwanamke akizaa watoto mapacha analeta mkosi na laana kwenye ukoo pia mtoto akianza kuota meno na yakaanza kuotaa ya juu,kwa hiyo watoto hao waliuawa kwa kutupwa au huegeshwa juu kilele pembezoni wakiwa wamelala baada ya kunyonyeshwa ama kulishwa uji na wazazi wao kwenye jiwe kubwa ambalo kule Mbaga - Pare ya kusini linaitwa Malameni, Usangi - Mwero linaitwa Ikamba, Songoa ljiwe likaitwa mkumba vana, pia na Mfinga ya Kikweni makutano ya kwenda Ugweno na Usangi linaitwa Lubegho ambapo ni aghalabu mtoto kupona kwani akiamka toka usingizini akijigeuza tu hudondoka toka kule ju hadi chini nakufa. Maajabu ni kwa mtoto mmoja aliye okotwa na Mzee Mgaya kule Ikamba na kumlea hadi akakuwa na kuwa Mtumishi wa Mungu jasiri na maarufu Marehemu Mchungaji Nathanaeli Mgaya. Hadi leo hii mawe hayo yapo.
==Watu mashuhuri wa Upare==
Inasemekana Wapare ni kabila la watu wachache lakini wana ushawishi mkubwa katika nyanja za [[siasa]] na [[uchumi]] wa Tanzania sambamba na nyanja mbali mbali ikiwemo Vyombo vya habari. Baadhi ya watu wake maarufu ni:
*[[Chedieli Yohane Mgonja]], aliwahi kuwa [[Mbunge]] na [[waziri wa Elimu]] katika [[serikali]] ya awamu ya kwanza
*[[Angellah Kairuki]], Waziri wa Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu awamu ya tano
*[[Esther Mkwizu]], aliwahi kuwa Rais wa Sekta Binafsi Tanzania au TPSF(Tanzania Private Sector Foundation)
*[[Cleopa David Msuya]], aliwahi kuwa [[Waziri mkuu]] na [[waziri wa Fedha]]
*[[Mfumwa Singo]]
*[[Askofu]] Mlutheri [[Eliewaha Eliya Mshana]]
*[[Askofu Mkuu]] mstaafu wa [[Jimbo Kuu la Arusha|Jimbo Kuu la Katoliki Arusha]] [[Josephat Louis Lebulu]] kutoka [[Kisangara Juu]]
*[[Anne Kilango]], alikuwa mbunge wa Same mashariki hadi tarehe [[25 Oktoba]] [[2015]]
*[[Asha-Rose Mtengeti Migiro]], aliwahi kuwa [[naibu katibu mkuu]] wa [[UN]] na sasa ni [[balozi]] wa Tanzania nchini [[Uingereza]]
*[[Januari Msofe]] wa Kisangara Juu, [[Jaji]] wa [[mahakama kuu]] Tanzania
*[[Herman Ambara]] [[mwanasheria]] Songoa
*[[Mathayo David]] mbunge wa Same Magharibi na [[Waziri]]
*[[Peter Kisumo]] kwa sasa ni [[marehemu]]
*[[Daktari]] [[Mbazi Fikeni Senkoro]] kwa sasa ni marehemu
*[[Mchungaji]] [[Abrahamu Itunda]] kwa sasa ni marehemu
*[[Felix Mlaki]] [[mchumi]] maarufu na mtu wa [[benki]], mmiliki wa [[kampuni]] za ushauri na mikopo
*[[Profesa]] [[Jumanne Maghembe]], alikuwa [[Waziri wa Maji]] na waziri wa [[maliasili]] na [[utalii]]
*[[Mfumwa Sabuni]] wa [[Usangi]]
*[[Ernest Mhando Nkondo Mchome]] aliyewahi kuwa Meneja wa Shamba la Themi huko Arusha
*[[Mfumwa Manento Sekimanga]] wa [[Mamba]]
*[[Joseph Mamphombe]] wa [[Mbaga]]
*[[Kigono Chuma]] wa [[Gonja]]
*[[Folong'o Makange]] wa [[Chome]]
*[[Nkondo Makengo Kanana]] wa huko [[Chome]] ambaye aliwahi kupigana vita kuu ya kwanza hadi kufika nchi za mbali ikiwemo [[Burma]]
*Mfumwa wa Mvua [[Kikala Shaghude Mtoi]] ambaye alisifika katika masuala ya mvua huko [[Chome]]
*[[Minja Kukome]] wa [[Ugweno]]
*[[Wilfred Mashauri Mfinanga]] wa [[Kiriche Usangi]], aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya Singida
*[[Yoeli Mtindi]] wa [[Hedaru]]
*[[Mfumwa Njaule]] wa [[Vudee]], IGP wa kwanza baada ya [[uhuru]]
*[[Elangwa Shaidi]] wa [[Vudee]]
*Mchungaji [[Kadiva Ernest William]] wa Hedaru/Chome, Naibu Katibu Mkuu wa [[KKKT]] Dayosisi ya Mashariki na Pwani na mbunge wa [[Bunge Maalum la Katiba Tanzania]]
*Profesa [[Joseph Semboja]] ambaye ni mchumi na mkuu wa Taasisi ya Uongozi iliyo chini ya [[ofisi ya Rais]]
*Balozi [[Ombeni Sefue]] wa Suji, alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi
*Profesa [[Gadi Kilonzo]] wa Suji, daktari [[bingwa]] wa [[upasuaji]] wa [[Kichwa|vichwa]]
*Profesa [[Rogasian Mahuna]] wa Kilomeni, bingwa wa dawa za asili; alifanya kazi MUHAS
*Profesa [[Amoni Chaligha]], Profesa wa Siasa Uchumi Chuo Kikuu Dar es Salaam na pia Kamishina wa Tume ya Uchaguzi anatoka Kilomeni
*Profesa [[Pater Lawrance Msoffe]] wa Chanjale, Kisangara Juu, anafanya kazi Chuo Kikuu Dodoma
*Profesa [[Fikeni Eliesikia Senkoro]], mhadhiri mwandamizi - Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, taasisi ya Kiswahili
* Profesa Leonard Paulo Shaidi ambaye aliwahi kuwa mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam na pia mtaalamu mahiri wa masuala ya haki jinai.
*Ndugu Clophas Flavian Idd ambaye kwa sasa ni Mwandishi wa habari wa East Africa Television- na East Africa Radio kwa mkoa wa Morogoro.
* Hasheem Ibwe ,mtangazaji wa kandanda kwenye televisheni [[Azam TV]]
[[Jamii:Wapare]]
[[Jamii:Wilaya ya Same]]
[[Jamii:Historia ya Tanzania]]
rwmqw3inutag5f973hwtlyon2ygwi6i
1233826
1233825
2022-07-19T21:09:32Z
41.222.180.254
wikitext
text/x-wiki
'''Wapare''' ni [[kabila]] kutoka [[milima ya Pare]], [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[kaskazini]] mwa nchi ya [[Tanzania]].
[[Lugha]] yao ni [[Kipare (Tanzania)|Kipare]] (au Chasu).
==Asili ya Waasu==
Kabla ya kuingia huko, inasemekana walikuwa [[Taveta]], [[Kenya]], kwa zaidi ya [[karne]] [[moja]] iliyopita na wakati huo walikuwa wakijulikana kwa [[jina]] la Waasu.
Masimulizi yanasema walipoingia [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]], walitamani kufanya makao yao kwenye miteremko ya [[Mlima Kilimanjaro]], lakini wakavurumishwa na wenzao waliokuwepo kabla yao, yaani [[Wachagga]].
Wachagga hao hawakuwa radhi kuwaruhusu Wapare kuwa na makazi eneo hili, hivyo waliwafukuza kwa kupigana kama ilivyokuwa [[tabia]] ya makabila mengi hapo zamani.
==Asili ya neno Wapare==
Wakati wa kupambana walikuwa wakiambiana, “mpare… mpareee” wakimaanisha "mpige sana… mpige!" Waasu hawa wakatimka [[mbio]] na kuparamia [[milima]] ambayo sasa inaitwa milima ya Upare. Waasu wakaanza kuitwa Wapare kwa maana ya "wapige".
Hata hivyo huo ni [[utani]] wa Wachaga kwa Wapare, na ilivyotokea muingiliano wa maana ya [[neno]] hilo (coincidence) kwamba kulitokea [[vita]] kati ya Wachaga na Wapare, na neno hilo la [[Kichaga]] "Mpare" likawa na maana ya mpige, basi watani hao wakasema wao ndio waliotoa jina la kabila la Wapare.
Hizi ni [[hadithi]] zinazosimuliwa na baadhi ya Wachagga ambao ndio watani pekee wa Wapare, [[utani]] uliozaliwa baada ya purukushani hizo za kuingia Tanganyika.
Hata hivyo, hakuna hata Mpare mmoja anayeafiki maelezo hayo, isipokuwa wanakiri kuwa walitokea Taveta: ndiyo maana hata baadhi ya maneno na [[lafudhi]] yao haviko mbali sana na maana halisi ya neno Wapare: watu wa Taveta.
Kutokana na tafiti za lugha na [[matamshi]] mbalimbali, inasemekana matamshi ya neno la Kipare "mb" hubadilika na kuwa "p" katika [[Kiswahili]]. Kwa mfano Mbengo, kwa Kiswahili ni Pengo. Neno Mbinga, kwa Kiswahili ni Pinga. n.k. Hivyo neno Pare linatokana na neno "mbare", likiwa na maana ya kabila, au Mkabila au hata mara nyingine aina - katika kutofautisha aina za vitu (kwa [[Kiingereza]] "Classification"). Kwa mfano unaweza kusema mbuzi hawa ni "mbare ani"? Hivyo Wapare walijiita "Vambare" wakiwa na maana ya "sisi wa kabila moja, tunaoongea lugha ya Chasu". Hapo ndipo neno Vambare linabadilika katika Kiswahili na kuwa Wapare.
Tukumbuke katika lugha ya Kipare pia wanatambua makabila mengine kama Vashamba ([[Wasambaa]]); Vaagha (Wachaga); Vambughu ([[Wambugu]]); Vakwavi ([[Wamasai]]); Vakizungo ([[Wahaya]]); Vakamba ([[Wakamba]]); Vajaluo ([[Wajaluo]]) na wale ambao hawatambuliki kwa makabila yao huitwa Vanyika (au Mnyika kama ni mmoja). Wachaga nao wanalo neno linalofanana na hilo linaloitwa "Chasaka".
Wapare wamegawanyika katika makundi mawili makubwa; wapare wa Pare ya Kusini ambao ni Wapare wa [[Same]] na Wapare wa Pare ya Kaskazini ambao ni Wapare wa [[Mwanga]] ambao nao wamegawanyika mara [[mbili]]: Wapare wa [[Ugweno]] (wanatumia lugha inayoitwa Kigweno) na Wapare wa [[Usangi]] (wanatumia lugha inayofahamika zaidi kama Kipare ambayo inatumiwa pia na Wapare wa Pare ya kusini ingawa inatofautiana kidogo katika matamshi).
==Makao==
Wapare wanatokea katika wilaya za Same na Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro, lakini pia wapo katika wilaya ya Moshi Vijijini sehemu za Kahe, Chekereni, Himo, Mabungo, Moshi mjini, tena katika wilaya ya Hai sehemu za Rundugai na mto Weruweru. Wapare pia wanaishi katika wilaya ya Lushoto, sehemu za Mgwashi, Mavumo, Lukozi, Shume na Makose.
Wapare wanasemekana wametoka katika nchi ya Kenya sehemu za Taita, Taveta na Ukamba. Wapare ni miongoni mwa makabila ambayo watu wake wamesoma sana. Wapare pia ni kabila la watu wanaopenda haki (yaani hawapendi kuonewa wala kumuonea mtu). Ndiyo maana watu wengine wanadhani wanapenda kesi, bali kesi ni njia mojawapo ya kuhakikisha haki inatendeka katika jamii. Dhuluma kwa Wapare ni kitu kilichokuwa kimepigwa marufuku hata kwenye matambiko yao, japo siku hizi kuna uwezekano baadhi yao wakawa hawana sifa hii tena.
==Dini==
Zamani Wapare walikuwa na [[sala]] tofauti kwa kila ukoo na eneo lao la [[tambiko]]. Katika [[karne ya 19]] hadi [[karne ya 20|20]] [[wamisionari]] wa [[Ukristo]] waliingia maeneo mengi ya Upare.
[[Imani]] za Wapare kwa sasa zinatofautiana kutokana na maeneo: walio kusini mwa wilaya ya Same katika maeneo ya [[Ndungu]], [[Kihurio]], [[Bendera]], [[Hedaru]], [[Makanya]], [[Suji]], [[Chome]], [[Tae]], [[Gonja]], [[Mamba]] hadi [[Vunta]] kuna waumini wa [[kanisa]] la [[Sabato]] wengi sana.
Maeneo kama [[Chome]], [[Mbaga]], [[Gonja]], [[Vudee]], [[Usangi]] yana waumini wengi wa [[Walutheri|Kanisa la Kilutheri]].
Katika Wilaya ya Mwanga kuna idadi kubwa ya [[Walutheri]] na [[Waislamu]].
[[Wakatoliki]], japo ni wachache, wanapatikana zaidi katika maeneo ya [[Kilomeni]], [[Kisangara Juu]], [[Vumari]], [[Gonja]], [[Kighare]] na [[Mbaga]]. Ukatoliki uliingia Upare kwa mara ya kwanza katika [[kata]] ya Kilomeni mwaka [[1909]].
==Shughuli za uchumi==
Jamii za Wapare zimegawanyika katika makundi ya wafugaji na wakulima. Wakati wafugaji wengi walihamia katika tambarare za Upareni, wakulima wao waliishi milimani na wafuaji wa vyuma walikaa maeneo yote yaliyokuwa na uwezekano wa kupata chuma.
Kwa asili Wapare hupeleka vijana wa kiume jando (mshitu) ambako walipata mafunzo jinsi ya kuishi na familia, japo siku hizi utamaduni huo hufuatwa na watu wachache.
Hata hivyo Wapare wa Mwanga wamegawanyika katika jamii mbili: Wasangi na Wagweno. Wakati Wasangi wanaongea Kipare kinachoongelewa pia na Wapare wa maeneo mengine, Wagweno wao wana lugha yao iitwayo Kigweno. Kigweno ni mchanganyiko wa Kipare na Kichagga. Hii inaonesha kuwa asili ya Wagweno ni huko Uchaga. Hata hivyo mila na desturi za Wagweno zinafanana zaidi na zile za Wapare wengine.
Wapare ni wachapakazi sana wakichanganya kilimo, ufugaji na biashara, ndiYo maana hata leo wana uchumi mzuri katika viwango vya Tanzania.
Wapare walianza kufua chuma kabla ya mwaka 1700 na wafuaji walikuwa wakiitwa Washana, na huo ukoo upo hata leo hii. Wapare walikuwa wakiuza bidhaa zinazotengenezwa na chuma kama majembe,mapanga, visu, silaha kama mikuki kwa makabila ya jirani mfano Wachaga,na wamekuwa na uhusiano tangu siku nyingi. Bidhaa zao hizi ziliuzwa hata kwa Wasambaa.
==Mfumo wa maisha==
Inasemekana Wapare ni kabila lenye ujasiri na ni watu wa kupanga kabla ya kutenda. Pia ni wavumilivu wenye kustahimili hali ngumu ya maisha ikiwa ni pamoja na njaa au kutokuwa na pesa.
Zamani za ukoloni waliweza kuungana na kufanya mgomo wa kukataa kodi zilizokithiri. Mgomo huo uliofanikiwa ulijulikana kama ‘mbiru’.
Kati ya mila na desturi zilizowajengea Wapare taratibu za kuwa na mifumo ya maisha kuna zile walizoziita ‘Ndala’, ‘Msaragambo’ na ‘Kiwili’.
===Ndala===
Neno ‘ndala’ kwa Kipare humaanisha utaratibu wa familia au watu wanaoishi jirani mno kuwa na tabia ya kula chakula kwa pamoja, kama wengi tuonavyo waislamu waliofunga na wanapofuturu pamoja.
Utaratibu wa Wapare ulikuwa kwamba kila mama anapotayarisha chakula kwa familia yake, ilibidi akitoe achanganye na chakula kingine cha wenzake na familia zote ziketi na kula pamoja. Mfumo wa ndala kwa maana ya familia kula chakula kwa pamoja unaonekana kuwa na manufaa yafuatayo.
Kwanza unajenga mahusiano mema baina ya familia na majirani katika kushirikiana. Pili kushirikiana katika kula kunachochea ushirikiano katika mambo mengine kama shida au raha.
Lakini pia watoto wanaokuzwa katika mfumo huo wanajengwa katika maadili mazuri wasiwe walafi na wachoyo maana wanazoea kuwa na wenzao na hii ndiyo sababu kabila hili lilikuwa na sifa ya kuwa wakarimu.
Watoto walifundishwa kuwa na nidhamu ya wakati wa chakula, kwa mfano kutonawa mikono au kuanza kula kabla ya wakubwa.
===Msaragambo===
Neno msaragambo linamaanisha mfumo uliokubaliwa na jamii katika kitongoji, kijiji au kata wa kushirikiana katika kufanya kazi zenye faida kwa watu wote, maarufu kwa kazi za ujenzi wa taifa.
Kwa kazi hizi ni za ridhaa zilipaswa kwanza zikubaliwe na wengi vinginevyo haikuwa rahisi mtu mmoja kuitisha wito wa kazi fulani na watu wengine kuja kuifanya.
Kazi hizi ambazo hata serikali ya awamu ya kwanza ilizikazania sana mara baada ya Tanganyika kupata uhuru, ni pamoja na ujenzi wa mashule, kuchimba visima vya maji, kuchimba barabara na kadhalika. Upo ushahidi wa kutosha kuhusu Wapare walivyotumia mfumo huu na kupata maendeleo makubwa Wilayani mwao.
Zipo barabara za Mwanga hadi Ugweno na Usangi; Ndungu hadi Mamba na Vunta; Hedaru hadi Mwala; Makanya hadi Chome,Mpirani hadi Bombo Song’ana,Gonja Maore hadi Vuje naVudee hadi Mbaga, Lembeni hadi Kilomeni. Hata hivyo, si barabara tu lakini zahanati, na shule nyingi zimejengwa na wapare wa wilaya za Same na Mwanga na kuinua kiwango cha maendeleo yao.
Nakumbuka watu hawa si watu wapenda misaada ya mteremko ndiyo maana pamoja na kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa mvua mara kwa mara wamekuwa si watu wa kupiga yowe haraka.
Kazi zilizofanywa kupitia utaratibu huu wa msaragambo ziliufanya Mkoa huu wa Kilimanjaro uongoze kwa maendeleo ya barabara nzuri, ujenzi wa shule nyingi hadi katika vitongoji.
===Kiwili===
Kiwili ni msamiati mwingine wa Kipare ambao ni mfumo wa maisha walioukubali katika kuendesha maisha ya familia na jamii zao kwa kusaidiana kazi.
Kiwili ni utaratibu ambapo familia au majirani hualikana ili kusaidiana katika kazi za kilimo, na hata mavuno hasa pale mmoja wao anapokuwa na kazi shambani mwake na kuhitaji msaada. Siku hiyo, watu hukutana na kufanya kazi hiyo waliyoitiwa, mwenye kazi huandaa chakula ambacho watu watapata baada ya kumaliza kazi.
Utaratibu huu ulikuwa na manufaa makubwa maana ulirahisisha kazi na kujenga moyo wa kusaidiana. Kiwiri pia kiliweza kuitishwa na majirani kuwalenga wazee waliochoka au wagonjwa, ambao kwa namna moja au nyingine walionekana kushindwa kumudu kazi zao za shambani.
Kupitia kazi za kusaidiana maisha ya familia nyingi za Wapare ziliokolewa na majanga ya kufikwa na njaa.
Bila shaka zipo mila na desturi nzuri ambazo Watanzania tulikuwa nazo, lakini wageni wakatuhadaa na kutulaghai kwamba ya kwetu yote yalikuwa si mema nasi tukaanza kuyaacha.
==Vyakula vikuu vya Wapare==
Makande (Mbure),[[ugali]](hasa ule wa muhogo wanauita ibadaa), [[ndizi]], [[wali]] kwa wale wanaoishi maeneo ya tambarare kama Ndungu, Kisiwani, Ngullu Kavagala Kwakoa Maore na Mpirani. Pia kuna vyakula kama Kishumba, Kibulu, na mboga maarufu "Msele" nkokoro n.k vyakula hivi vinaliwa katika maeneo ya Kilomeni, Sofe, Kisangara Chanjale
Wapare pia wana ukaribu na makabila ya Mkoa wa Tanga hasa Wasambaa, Wazigua na Wanguu. Ukaribu wao uko katika lugha ambapo maneno mengi ya makabila haya yanafanana. Vile vile hata majina ya baadhi ya maeneo yaliyopo kwa Wapare yapo pia kwenye maeneo wanamoishi makabila kama vile Wasambaa na Wanguu. Kwa mfano, kwa Wapare kuna majina ya maeneo kama vile Gonja, Ndeme, Ndolwa n.k. Majina haya yapo pia maeneo ya Wanguu na Wasambaa. Hii inaonesha kwamba makabila haya yana asili moja.
==Mapacha kati ya Wapare==
Kulikuwa na imani potovu kuwa mwanamke akizaa watoto mapacha analeta mkosi na laana kwenye ukoo pia mtoto akianza kuota meno na yakaanza kuotaa ya juu,kwa hiyo watoto hao waliuawa kwa kutupwa au huegeshwa juu kilele pembezoni wakiwa wamelala baada ya kunyonyeshwa ama kulishwa uji na wazazi wao kwenye jiwe kubwa ambalo kule Mbaga - Pare ya kusini linaitwa Malameni, Usangi - Mwero linaitwa Ikamba, Songoa ljiwe likaitwa mkumba vana, pia na Mfinga ya Kikweni makutano ya kwenda Ugweno na Usangi linaitwa Lubegho ambapo ni aghalabu mtoto kupona kwani akiamka toka usingizini akijigeuza tu hudondoka toka kule ju hadi chini nakufa. Maajabu ni kwa mtoto mmoja aliye okotwa na Mzee Mgaya kule Ikamba na kumlea hadi akakuwa na kuwa Mtumishi wa Mungu jasiri na maarufu Marehemu Mchungaji Nathanaeli Mgaya. Hadi leo hii mawe hayo yapo.
==Watu mashuhuri wa Upare==
Inasemekana Wapare ni kabila la watu wachache lakini wana ushawishi mkubwa katika nyanja za [[siasa]] na [[uchumi]] wa Tanzania sambamba na nyanja mbali mbali ikiwemo Vyombo vya habari. Baadhi ya watu wake maarufu ni:
*[[Chedieli Yohane Mgonja]], aliwahi kuwa [[Mbunge]] na [[waziri wa Elimu]] katika [[serikali]] ya awamu ya kwanza
*[[Angellah Kairuki]], Waziri wa Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu awamu ya tano
*[[Esther Mkwizu]], aliwahi kuwa Rais wa Sekta Binafsi Tanzania au TPSF(Tanzania Private Sector Foundation)
*[[Cleopa David Msuya]], aliwahi kuwa [[Waziri mkuu]] na [[waziri wa Fedha]]
*[[Mfumwa Singo]]
*[[Askofu]] Mlutheri [[Eliewaha Eliya Mshana]]
*[[Askofu Mkuu]] mstaafu wa [[Jimbo Kuu la Arusha|Jimbo Kuu la Katoliki Arusha]] [[Josephat Louis Lebulu]] kutoka [[Kisangara Juu]]
*[[Anne Kilango]], alikuwa mbunge wa Same mashariki hadi tarehe [[25 Oktoba]] [[2015]]
*[[Asha-Rose Mtengeti Migiro]], aliwahi kuwa [[naibu katibu mkuu]] wa [[UN]] na sasa ni [[balozi]] wa Tanzania nchini [[Uingereza]]
*[[Januari Msofe]] wa Kisangara Juu, [[Jaji]] wa [[mahakama kuu]] Tanzania
*[[Herman Ambara]] [[mwanasheria]] Songoa
*[[Mathayo David]] mbunge wa Same Magharibi na [[Waziri]]
*[[Peter Kisumo]] kwa sasa ni [[marehemu]]
*[[Daktari]] [[Mbazi Fikeni Senkoro]] kwa sasa ni marehemu
*[[Mchungaji]] [[Abrahamu Itunda]] kwa sasa ni marehemu
*[[Felix Mlaki]] [[mchumi]] maarufu na mtu wa [[benki]], mmiliki wa [[kampuni]] za ushauri na mikopo
*[[Profesa]] [[Jumanne Maghembe]], alikuwa [[Waziri wa Maji]] na waziri wa [[maliasili]] na [[utalii]]
*[[Mfumwa Sabuni]] wa [[Usangi]]
*[[Ernest Mhando Nkondo Mchome]] aliyewahi kuwa Meneja wa Shamba la Themi huko Arusha
*[[Mfumwa Manento Sekimanga]] wa [[Mamba]]
*[[Joseph Mamphombe]] wa [[Mbaga]]
*[[Kigono Chuma]] wa [[Gonja]]
*[[Folong'o Makange]] wa [[Chome]]
*[[Nkondo Makengo Kanana]] wa huko [[Chome]] ambaye aliwahi kupigana vita kuu ya kwanza hadi kufika nchi za mbali ikiwemo [[Burma]]
*Mfumwa wa Mvua [[Kikala Shaghude Mtoi]] ambaye alisifika katika masuala ya mvua huko [[Chome]]
*[[Minja Kukome]] wa [[Ugweno]]
*[[Wilfred Mashauri Mfinanga]] wa [[Kiriche Usangi]], aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya Singida
*[[Yoeli Mtindi]] wa [[Hedaru]]
*[[Mfumwa Njaule]] wa [[Vudee]], IGP wa kwanza baada ya [[uhuru]]
*[[Elangwa Shaidi]] wa [[Vudee]]
*Mchungaji [[Kadiva Ernest William]] wa Hedaru/Chome, Naibu Katibu Mkuu wa [[KKKT]] Dayosisi ya Mashariki na Pwani na mbunge wa [[Bunge Maalum la Katiba Tanzania]]
*Profesa [[Joseph Semboja]] ambaye ni mchumi na mkuu wa Taasisi ya Uongozi iliyo chini ya [[ofisi ya Rais]]
*Balozi [[Ombeni Sefue]] wa Suji, alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi
*Profesa [[Gadi Kilonzo]] wa Suji, daktari [[bingwa]] wa [[upasuaji]] wa [[Kichwa|vichwa]]
*Profesa [[Rogasian Mahuna]] wa Kilomeni, bingwa wa dawa za asili; alifanya kazi MUHAS
*Profesa [[Amoni Chaligha]], Profesa wa Siasa Uchumi Chuo Kikuu Dar es Salaam na pia Kamishina wa Tume ya Uchaguzi anatoka Kilomeni
*Profesa [[Pater Lawrance Msoffe]] wa Chanjale, Kisangara Juu, anafanya kazi Chuo Kikuu Dodoma
*Profesa [[Fikeni Eliesikia Senkoro]], mhadhiri mwandamizi - Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, taasisi ya Kiswahili
* Profesa Leonard Paulo Shaidi ambaye aliwahi kuwa mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam na pia mtaalamu mahiri wa masuala ya haki jinai.
*[[Clophas|Clophas Flavian Idd]] ambaye kwa sasa ni Mwandishi wa habari wa East Africa Television- na East Africa Radio kwa mkoa wa Morogoro.
* Hasheem Ibwe ,mtangazaji wa kandanda kwenye televisheni [[Azam TV]]
[[Jamii:Wapare]]
[[Jamii:Wilaya ya Same]]
[[Jamii:Historia ya Tanzania]]
hflzkx3usuipc2bd1fanz8xt5yvsbc3
1233831
1233826
2022-07-19T21:32:38Z
41.222.180.254
wikitext
text/x-wiki
'''Wapare''' ni [[kabila]] kutoka [[milima ya Pare]], [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[kaskazini]] mwa nchi ya [[Tanzania]].
[[Lugha]] yao ni [[Kipare (Tanzania)|Kipare]] (au Chasu).
==Asili ya Waasu==
Kabla ya kuingia huko, inasemekana walikuwa [[Taveta]], [[Kenya]], kwa zaidi ya [[karne]] [[moja]] iliyopita na wakati huo walikuwa wakijulikana kwa [[jina]] la Waasu.
Masimulizi yanasema walipoingia [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]], walitamani kufanya makao yao kwenye miteremko ya [[Mlima Kilimanjaro]], lakini wakavurumishwa na wenzao waliokuwepo kabla yao, yaani [[Wachagga]].
Wachagga hao hawakuwa radhi kuwaruhusu Wapare kuwa na makazi eneo hili, hivyo waliwafukuza kwa kupigana kama ilivyokuwa [[tabia]] ya makabila mengi hapo zamani.
==Asili ya neno Wapare==
Wakati wa kupambana walikuwa wakiambiana, “mpare… mpareee” wakimaanisha "mpige sana… mpige!" Waasu hawa wakatimka [[mbio]] na kuparamia [[milima]] ambayo sasa inaitwa milima ya Upare. Waasu wakaanza kuitwa Wapare kwa maana ya "wapige".
Hata hivyo huo ni [[utani]] wa Wachaga kwa Wapare, na ilivyotokea muingiliano wa maana ya [[neno]] hilo (coincidence) kwamba kulitokea [[vita]] kati ya Wachaga na Wapare, na neno hilo la [[Kichaga]] "Mpare" likawa na maana ya mpige, basi watani hao wakasema wao ndio waliotoa jina la kabila la Wapare.
Hizi ni [[hadithi]] zinazosimuliwa na baadhi ya Wachagga ambao ndio watani pekee wa Wapare, [[utani]] uliozaliwa baada ya purukushani hizo za kuingia Tanganyika.
Hata hivyo, hakuna hata Mpare mmoja anayeafiki maelezo hayo, isipokuwa wanakiri kuwa walitokea Taveta: ndiyo maana hata baadhi ya maneno na [[lafudhi]] yao haviko mbali sana na maana halisi ya neno Wapare: watu wa Taveta.
Kutokana na tafiti za lugha na [[matamshi]] mbalimbali, inasemekana matamshi ya neno la Kipare "mb" hubadilika na kuwa "p" katika [[Kiswahili]]. Kwa mfano Mbengo, kwa Kiswahili ni Pengo. Neno Mbinga, kwa Kiswahili ni Pinga. n.k. Hivyo neno Pare linatokana na neno "mbare", likiwa na maana ya kabila, au Mkabila au hata mara nyingine aina - katika kutofautisha aina za vitu (kwa [[Kiingereza]] "Classification"). Kwa mfano unaweza kusema mbuzi hawa ni "mbare ani"? Hivyo Wapare walijiita "Vambare" wakiwa na maana ya "sisi wa kabila moja, tunaoongea lugha ya Chasu". Hapo ndipo neno Vambare linabadilika katika Kiswahili na kuwa Wapare.
Tukumbuke katika lugha ya Kipare pia wanatambua makabila mengine kama Vashamba ([[Wasambaa]]); Vaagha (Wachaga); Vambughu ([[Wambugu]]); Vakwavi ([[Wamasai]]); Vakizungo ([[Wahaya]]); Vakamba ([[Wakamba]]); Vajaluo ([[Wajaluo]]) na wale ambao hawatambuliki kwa makabila yao huitwa Vanyika (au Mnyika kama ni mmoja). Wachaga nao wanalo neno linalofanana na hilo linaloitwa "Chasaka".
Wapare wamegawanyika katika makundi mawili makubwa; wapare wa Pare ya Kusini ambao ni Wapare wa [[Same]] na Wapare wa Pare ya Kaskazini ambao ni Wapare wa [[Mwanga]] ambao nao wamegawanyika mara [[mbili]]: Wapare wa [[Ugweno]] (wanatumia lugha inayoitwa Kigweno) na Wapare wa [[Usangi]] (wanatumia lugha inayofahamika zaidi kama Kipare ambayo inatumiwa pia na Wapare wa Pare ya kusini ingawa inatofautiana kidogo katika matamshi).
==Makao==
Wapare wanatokea katika wilaya za Same na Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro, lakini pia wapo katika wilaya ya Moshi Vijijini sehemu za Kahe, Chekereni, Himo, Mabungo, Moshi mjini, tena katika wilaya ya Hai sehemu za Rundugai na mto Weruweru. Wapare pia wanaishi katika wilaya ya Lushoto, sehemu za Mgwashi, Mavumo, Lukozi, Shume na Makose.
Wapare wanasemekana wametoka katika nchi ya Kenya sehemu za Taita, Taveta na Ukamba. Wapare ni miongoni mwa makabila ambayo watu wake wamesoma sana. Wapare pia ni kabila la watu wanaopenda haki (yaani hawapendi kuonewa wala kumuonea mtu). Ndiyo maana watu wengine wanadhani wanapenda kesi, bali kesi ni njia mojawapo ya kuhakikisha haki inatendeka katika jamii. Dhuluma kwa Wapare ni kitu kilichokuwa kimepigwa marufuku hata kwenye matambiko yao, japo siku hizi kuna uwezekano baadhi yao wakawa hawana sifa hii tena.
==Dini==
Zamani Wapare walikuwa na [[sala]] tofauti kwa kila ukoo na eneo lao la [[tambiko]]. Katika [[karne ya 19]] hadi [[karne ya 20|20]] [[wamisionari]] wa [[Ukristo]] waliingia maeneo mengi ya Upare.
[[Imani]] za Wapare kwa sasa zinatofautiana kutokana na maeneo: walio kusini mwa wilaya ya Same katika maeneo ya [[Ndungu]], [[Kihurio]], [[Bendera]], [[Hedaru]], [[Makanya]], [[Suji]], [[Chome]], [[Tae]], [[Gonja]], [[Mamba]] hadi [[Vunta]] kuna waumini wa [[kanisa]] la [[Sabato]] wengi sana.
Maeneo kama [[Chome]], [[Mbaga]], [[Gonja]], [[Vudee]], [[Usangi]] yana waumini wengi wa [[Walutheri|Kanisa la Kilutheri]].
Katika Wilaya ya Mwanga kuna idadi kubwa ya [[Walutheri]] na [[Waislamu]].
[[Wakatoliki]], japo ni wachache, wanapatikana zaidi katika maeneo ya [[Kilomeni]], [[Kisangara Juu]], [[Vumari]], [[Gonja]], [[Kighare]] na [[Mbaga]]. Ukatoliki uliingia Upare kwa mara ya kwanza katika [[kata]] ya Kilomeni mwaka [[1909]].
==Shughuli za uchumi==
Jamii za Wapare zimegawanyika katika makundi ya wafugaji na wakulima. Wakati wafugaji wengi walihamia katika tambarare za Upareni, wakulima wao waliishi milimani na wafuaji wa vyuma walikaa maeneo yote yaliyokuwa na uwezekano wa kupata chuma.
Kwa asili Wapare hupeleka vijana wa kiume jando (mshitu) ambako walipata mafunzo jinsi ya kuishi na familia, japo siku hizi utamaduni huo hufuatwa na watu wachache.
Hata hivyo Wapare wa Mwanga wamegawanyika katika jamii mbili: Wasangi na Wagweno. Wakati Wasangi wanaongea Kipare kinachoongelewa pia na Wapare wa maeneo mengine, Wagweno wao wana lugha yao iitwayo Kigweno. Kigweno ni mchanganyiko wa Kipare na Kichagga. Hii inaonesha kuwa asili ya Wagweno ni huko Uchaga. Hata hivyo mila na desturi za Wagweno zinafanana zaidi na zile za Wapare wengine.
Wapare ni wachapakazi sana wakichanganya kilimo, ufugaji na biashara, ndiYo maana hata leo wana uchumi mzuri katika viwango vya Tanzania.
Wapare walianza kufua chuma kabla ya mwaka 1700 na wafuaji walikuwa wakiitwa Washana, na huo ukoo upo hata leo hii. Wapare walikuwa wakiuza bidhaa zinazotengenezwa na chuma kama majembe,mapanga, visu, silaha kama mikuki kwa makabila ya jirani mfano Wachaga,na wamekuwa na uhusiano tangu siku nyingi. Bidhaa zao hizi ziliuzwa hata kwa Wasambaa.
==Mfumo wa maisha==
Inasemekana Wapare ni kabila lenye ujasiri na ni watu wa kupanga kabla ya kutenda. Pia ni wavumilivu wenye kustahimili hali ngumu ya maisha ikiwa ni pamoja na njaa au kutokuwa na pesa.
Zamani za ukoloni waliweza kuungana na kufanya mgomo wa kukataa kodi zilizokithiri. Mgomo huo uliofanikiwa ulijulikana kama ‘mbiru’.
Kati ya mila na desturi zilizowajengea Wapare taratibu za kuwa na mifumo ya maisha kuna zile walizoziita ‘Ndala’, ‘Msaragambo’ na ‘Kiwili’.
===Ndala===
Neno ‘ndala’ kwa Kipare humaanisha utaratibu wa familia au watu wanaoishi jirani mno kuwa na tabia ya kula chakula kwa pamoja, kama wengi tuonavyo waislamu waliofunga na wanapofuturu pamoja.
Utaratibu wa Wapare ulikuwa kwamba kila mama anapotayarisha chakula kwa familia yake, ilibidi akitoe achanganye na chakula kingine cha wenzake na familia zote ziketi na kula pamoja. Mfumo wa ndala kwa maana ya familia kula chakula kwa pamoja unaonekana kuwa na manufaa yafuatayo.
Kwanza unajenga mahusiano mema baina ya familia na majirani katika kushirikiana. Pili kushirikiana katika kula kunachochea ushirikiano katika mambo mengine kama shida au raha.
Lakini pia watoto wanaokuzwa katika mfumo huo wanajengwa katika maadili mazuri wasiwe walafi na wachoyo maana wanazoea kuwa na wenzao na hii ndiyo sababu kabila hili lilikuwa na sifa ya kuwa wakarimu.
Watoto walifundishwa kuwa na nidhamu ya wakati wa chakula, kwa mfano kutonawa mikono au kuanza kula kabla ya wakubwa.
===Msaragambo===
Neno msaragambo linamaanisha mfumo uliokubaliwa na jamii katika kitongoji, kijiji au kata wa kushirikiana katika kufanya kazi zenye faida kwa watu wote, maarufu kwa kazi za ujenzi wa taifa.
Kwa kazi hizi ni za ridhaa zilipaswa kwanza zikubaliwe na wengi vinginevyo haikuwa rahisi mtu mmoja kuitisha wito wa kazi fulani na watu wengine kuja kuifanya.
Kazi hizi ambazo hata serikali ya awamu ya kwanza ilizikazania sana mara baada ya Tanganyika kupata uhuru, ni pamoja na ujenzi wa mashule, kuchimba visima vya maji, kuchimba barabara na kadhalika. Upo ushahidi wa kutosha kuhusu Wapare walivyotumia mfumo huu na kupata maendeleo makubwa Wilayani mwao.
Zipo barabara za Mwanga hadi Ugweno na Usangi; Ndungu hadi Mamba na Vunta; Hedaru hadi Mwala; Makanya hadi Chome,Mpirani hadi Bombo Song’ana,Gonja Maore hadi Vuje naVudee hadi Mbaga, Lembeni hadi Kilomeni. Hata hivyo, si barabara tu lakini zahanati, na shule nyingi zimejengwa na wapare wa wilaya za Same na Mwanga na kuinua kiwango cha maendeleo yao.
Nakumbuka watu hawa si watu wapenda misaada ya mteremko ndiyo maana pamoja na kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa mvua mara kwa mara wamekuwa si watu wa kupiga yowe haraka.
Kazi zilizofanywa kupitia utaratibu huu wa msaragambo ziliufanya Mkoa huu wa Kilimanjaro uongoze kwa maendeleo ya barabara nzuri, ujenzi wa shule nyingi hadi katika vitongoji.
===Kiwili===
Kiwili ni msamiati mwingine wa Kipare ambao ni mfumo wa maisha walioukubali katika kuendesha maisha ya familia na jamii zao kwa kusaidiana kazi.
Kiwili ni utaratibu ambapo familia au majirani hualikana ili kusaidiana katika kazi za kilimo, na hata mavuno hasa pale mmoja wao anapokuwa na kazi shambani mwake na kuhitaji msaada. Siku hiyo, watu hukutana na kufanya kazi hiyo waliyoitiwa, mwenye kazi huandaa chakula ambacho watu watapata baada ya kumaliza kazi.
Utaratibu huu ulikuwa na manufaa makubwa maana ulirahisisha kazi na kujenga moyo wa kusaidiana. Kiwiri pia kiliweza kuitishwa na majirani kuwalenga wazee waliochoka au wagonjwa, ambao kwa namna moja au nyingine walionekana kushindwa kumudu kazi zao za shambani.
Kupitia kazi za kusaidiana maisha ya familia nyingi za Wapare ziliokolewa na majanga ya kufikwa na njaa.
Bila shaka zipo mila na desturi nzuri ambazo Watanzania tulikuwa nazo, lakini wageni wakatuhadaa na kutulaghai kwamba ya kwetu yote yalikuwa si mema nasi tukaanza kuyaacha.
==Vyakula vikuu vya Wapare==
Makande (Mbure),[[ugali]](hasa ule wa muhogo wanauita ibadaa), [[ndizi]], [[wali]] kwa wale wanaoishi maeneo ya tambarare kama Ndungu, Kisiwani, Ngullu Kavagala Kwakoa Maore na Mpirani. Pia kuna vyakula kama Kishumba, Kibulu, na mboga maarufu "Msele" nkokoro n.k vyakula hivi vinaliwa katika maeneo ya Kilomeni, Sofe, Kisangara Chanjale
Wapare pia wana ukaribu na makabila ya Mkoa wa Tanga hasa Wasambaa, Wazigua na Wanguu. Ukaribu wao uko katika lugha ambapo maneno mengi ya makabila haya yanafanana. Vile vile hata majina ya baadhi ya maeneo yaliyopo kwa Wapare yapo pia kwenye maeneo wanamoishi makabila kama vile Wasambaa na Wanguu. Kwa mfano, kwa Wapare kuna majina ya maeneo kama vile Gonja, Ndeme, Ndolwa n.k. Majina haya yapo pia maeneo ya Wanguu na Wasambaa. Hii inaonesha kwamba makabila haya yana asili moja.
==Mapacha kati ya Wapare==
Kulikuwa na imani potovu kuwa mwanamke akizaa watoto mapacha analeta mkosi na laana kwenye ukoo pia mtoto akianza kuota meno na yakaanza kuotaa ya juu,kwa hiyo watoto hao waliuawa kwa kutupwa au huegeshwa juu kilele pembezoni wakiwa wamelala baada ya kunyonyeshwa ama kulishwa uji na wazazi wao kwenye jiwe kubwa ambalo kule Mbaga - Pare ya kusini linaitwa Malameni, Usangi - Mwero linaitwa Ikamba, Songoa ljiwe likaitwa mkumba vana, pia na Mfinga ya Kikweni makutano ya kwenda Ugweno na Usangi linaitwa Lubegho ambapo ni aghalabu mtoto kupona kwani akiamka toka usingizini akijigeuza tu hudondoka toka kule ju hadi chini nakufa. Maajabu ni kwa mtoto mmoja aliye okotwa na Mzee Mgaya kule Ikamba na kumlea hadi akakuwa na kuwa Mtumishi wa Mungu jasiri na maarufu Marehemu Mchungaji Nathanaeli Mgaya. Hadi leo hii mawe hayo yapo.
==Watu mashuhuri wa Upare==
Inasemekana Wapare ni kabila la watu wachache lakini wana ushawishi mkubwa katika nyanja za [[siasa]] na [[uchumi]] wa Tanzania sambamba na nyanja mbali mbali ikiwemo Vyombo vya habari. Baadhi ya watu wake maarufu ni:
*[[Chedieli Yohane Mgonja]], aliwahi kuwa [[Mbunge]] na [[waziri wa Elimu]] katika [[serikali]] ya awamu ya kwanza
*[[Angellah Kairuki]], Waziri wa Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu awamu ya tano
*[[Esther Mkwizu]], aliwahi kuwa Rais wa Sekta Binafsi Tanzania au TPSF(Tanzania Private Sector Foundation)
*[[Cleopa David Msuya]], aliwahi kuwa [[Waziri mkuu]] na [[waziri wa Fedha]]
*[[Mfumwa Singo]]
*[[Askofu]] Mlutheri [[Eliewaha Eliya Mshana]]
*[[Askofu Mkuu]] mstaafu wa [[Jimbo Kuu la Arusha|Jimbo Kuu la Katoliki Arusha]] [[Josephat Louis Lebulu]] kutoka [[Kisangara Juu]]
*[[Anne Kilango]], alikuwa mbunge wa Same mashariki hadi tarehe [[25 Oktoba]] [[2015]]
*[[Asha-Rose Mtengeti Migiro]], aliwahi kuwa [[naibu katibu mkuu]] wa [[UN]] na sasa ni [[balozi]] wa Tanzania nchini [[Uingereza]]
*[[Januari Msofe]] wa Kisangara Juu, [[Jaji]] wa [[mahakama kuu]] Tanzania
*[[Herman Ambara]] [[mwanasheria]] Songoa
*[[Mathayo David]] mbunge wa Same Magharibi na [[Waziri]]
*[[Peter Kisumo]] kwa sasa ni [[marehemu]]
*[[Daktari]] [[Mbazi Fikeni Senkoro]] kwa sasa ni marehemu
*[[Mchungaji]] [[Abrahamu Itunda]] kwa sasa ni marehemu
*[[Felix Mlaki]] [[mchumi]] maarufu na mtu wa [[benki]], mmiliki wa [[kampuni]] za ushauri na mikopo
*[[Profesa]] [[Jumanne Maghembe]], alikuwa [[Waziri wa Maji]] na waziri wa [[maliasili]] na [[utalii]]
*[[Mfumwa Sabuni]] wa [[Usangi]]
*[[Ernest Mhando Nkondo Mchome]] aliyewahi kuwa Meneja wa Shamba la Themi huko Arusha
*[[Mfumwa Manento Sekimanga]] wa [[Mamba]]
*[[Joseph Mamphombe]] wa [[Mbaga]]
*[[Kigono Chuma]] wa [[Gonja]]
*[[Folong'o Makange]] wa [[Chome]]
*[[Nkondo Makengo Kanana]] wa huko [[Chome]] ambaye aliwahi kupigana vita kuu ya kwanza hadi kufika nchi za mbali ikiwemo [[Burma]]
*Mfumwa wa Mvua [[Kikala Shaghude Mtoi]] ambaye alisifika katika masuala ya mvua huko [[Chome]]
*[[Minja Kukome]] wa [[Ugweno]]
*[[Wilfred Mashauri Mfinanga]] wa [[Kiriche Usangi]], aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya Singida
*[[Yoeli Mtindi]] wa [[Hedaru]]
*[[Mfumwa Njaule]] wa [[Vudee]], IGP wa kwanza baada ya [[uhuru]]
*[[Elangwa Shaidi]] wa [[Vudee]]
*Mchungaji [[Kadiva Ernest William]] wa Hedaru/Chome, Naibu Katibu Mkuu wa [[KKKT]] Dayosisi ya Mashariki na Pwani na mbunge wa [[Bunge Maalum la Katiba Tanzania]]
*Profesa [[Joseph Semboja]] ambaye ni mchumi na mkuu wa Taasisi ya Uongozi iliyo chini ya [[ofisi ya Rais]]
*Balozi [[Ombeni Sefue]] wa Suji, alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi
*Profesa [[Gadi Kilonzo]] wa Suji, daktari [[bingwa]] wa [[upasuaji]] wa [[Kichwa|vichwa]]
*Profesa [[Rogasian Mahuna]] wa Kilomeni, bingwa wa dawa za asili; alifanya kazi MUHAS
*Profesa [[Amoni Chaligha]], Profesa wa Siasa Uchumi Chuo Kikuu Dar es Salaam na pia Kamishina wa Tume ya Uchaguzi anatoka Kilomeni
*Profesa [[Pater Lawrance Msoffe]] wa Chanjale, Kisangara Juu, anafanya kazi Chuo Kikuu Dodoma
*Profesa [[Fikeni Eliesikia Senkoro]], mhadhiri mwandamizi - Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, taasisi ya Kiswahili
* Profesa Leonard Paulo Shaidi ambaye aliwahi kuwa mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam na pia mtaalamu mahiri wa masuala ya haki jinai.
*[[Clophas|Clophas Flavian Idd]] ambaye kwa sasa ni Mwandishi wa habari wa East Africa Television (EATV) na East Africa Radio kwa mkoa wa Morogoro.
* Hasheem Ibwe ,mtangazaji wa kandanda kwenye televisheni [[Azam TV]]
[[Jamii:Wapare]]
[[Jamii:Wilaya ya Same]]
[[Jamii:Historia ya Tanzania]]
dsspj8qe0lbtaae9m7z7tef9dmz62i4
1233839
1233831
2022-07-20T07:54:34Z
Riccardo Riccioni
452
/* Watu mashuhuri wa Upare */
wikitext
text/x-wiki
'''Wapare''' ni [[kabila]] kutoka [[milima ya Pare]], [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[kaskazini]] mwa nchi ya [[Tanzania]].
[[Lugha]] yao ni [[Kipare (Tanzania)|Kipare]] (au Chasu).
==Asili ya Waasu==
Kabla ya kuingia huko, inasemekana walikuwa [[Taveta]], [[Kenya]], kwa zaidi ya [[karne]] [[moja]] iliyopita na wakati huo walikuwa wakijulikana kwa [[jina]] la Waasu.
Masimulizi yanasema walipoingia [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]], walitamani kufanya makao yao kwenye miteremko ya [[Mlima Kilimanjaro]], lakini wakavurumishwa na wenzao waliokuwepo kabla yao, yaani [[Wachagga]].
Wachagga hao hawakuwa radhi kuwaruhusu Wapare kuwa na makazi eneo hili, hivyo waliwafukuza kwa kupigana kama ilivyokuwa [[tabia]] ya makabila mengi hapo zamani.
==Asili ya neno Wapare==
Wakati wa kupambana walikuwa wakiambiana, “mpare… mpareee” wakimaanisha "mpige sana… mpige!" Waasu hawa wakatimka [[mbio]] na kuparamia [[milima]] ambayo sasa inaitwa milima ya Upare. Waasu wakaanza kuitwa Wapare kwa maana ya "wapige".
Hata hivyo huo ni [[utani]] wa Wachaga kwa Wapare, na ilivyotokea muingiliano wa maana ya [[neno]] hilo (coincidence) kwamba kulitokea [[vita]] kati ya Wachaga na Wapare, na neno hilo la [[Kichaga]] "Mpare" likawa na maana ya mpige, basi watani hao wakasema wao ndio waliotoa jina la kabila la Wapare.
Hizi ni [[hadithi]] zinazosimuliwa na baadhi ya Wachagga ambao ndio watani pekee wa Wapare, [[utani]] uliozaliwa baada ya purukushani hizo za kuingia Tanganyika.
Hata hivyo, hakuna hata Mpare mmoja anayeafiki maelezo hayo, isipokuwa wanakiri kuwa walitokea Taveta: ndiyo maana hata baadhi ya maneno na [[lafudhi]] yao haviko mbali sana na maana halisi ya neno Wapare: watu wa Taveta.
Kutokana na tafiti za lugha na [[matamshi]] mbalimbali, inasemekana matamshi ya neno la Kipare "mb" hubadilika na kuwa "p" katika [[Kiswahili]]. Kwa mfano Mbengo, kwa Kiswahili ni Pengo. Neno Mbinga, kwa Kiswahili ni Pinga. n.k. Hivyo neno Pare linatokana na neno "mbare", likiwa na maana ya kabila, au Mkabila au hata mara nyingine aina - katika kutofautisha aina za vitu (kwa [[Kiingereza]] "Classification"). Kwa mfano unaweza kusema mbuzi hawa ni "mbare ani"? Hivyo Wapare walijiita "Vambare" wakiwa na maana ya "sisi wa kabila moja, tunaoongea lugha ya Chasu". Hapo ndipo neno Vambare linabadilika katika Kiswahili na kuwa Wapare.
Tukumbuke katika lugha ya Kipare pia wanatambua makabila mengine kama Vashamba ([[Wasambaa]]); Vaagha (Wachaga); Vambughu ([[Wambugu]]); Vakwavi ([[Wamasai]]); Vakizungo ([[Wahaya]]); Vakamba ([[Wakamba]]); Vajaluo ([[Wajaluo]]) na wale ambao hawatambuliki kwa makabila yao huitwa Vanyika (au Mnyika kama ni mmoja). Wachaga nao wanalo neno linalofanana na hilo linaloitwa "Chasaka".
Wapare wamegawanyika katika makundi mawili makubwa; wapare wa Pare ya Kusini ambao ni Wapare wa [[Same]] na Wapare wa Pare ya Kaskazini ambao ni Wapare wa [[Mwanga]] ambao nao wamegawanyika mara [[mbili]]: Wapare wa [[Ugweno]] (wanatumia lugha inayoitwa Kigweno) na Wapare wa [[Usangi]] (wanatumia lugha inayofahamika zaidi kama Kipare ambayo inatumiwa pia na Wapare wa Pare ya kusini ingawa inatofautiana kidogo katika matamshi).
==Makao==
Wapare wanatokea katika wilaya za Same na Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro, lakini pia wapo katika wilaya ya Moshi Vijijini sehemu za Kahe, Chekereni, Himo, Mabungo, Moshi mjini, tena katika wilaya ya Hai sehemu za Rundugai na mto Weruweru. Wapare pia wanaishi katika wilaya ya Lushoto, sehemu za Mgwashi, Mavumo, Lukozi, Shume na Makose.
Wapare wanasemekana wametoka katika nchi ya Kenya sehemu za Taita, Taveta na Ukamba. Wapare ni miongoni mwa makabila ambayo watu wake wamesoma sana. Wapare pia ni kabila la watu wanaopenda haki (yaani hawapendi kuonewa wala kumuonea mtu). Ndiyo maana watu wengine wanadhani wanapenda kesi, bali kesi ni njia mojawapo ya kuhakikisha haki inatendeka katika jamii. Dhuluma kwa Wapare ni kitu kilichokuwa kimepigwa marufuku hata kwenye matambiko yao, japo siku hizi kuna uwezekano baadhi yao wakawa hawana sifa hii tena.
==Dini==
Zamani Wapare walikuwa na [[sala]] tofauti kwa kila ukoo na eneo lao la [[tambiko]]. Katika [[karne ya 19]] hadi [[karne ya 20|20]] [[wamisionari]] wa [[Ukristo]] waliingia maeneo mengi ya Upare.
[[Imani]] za Wapare kwa sasa zinatofautiana kutokana na maeneo: walio kusini mwa wilaya ya Same katika maeneo ya [[Ndungu]], [[Kihurio]], [[Bendera]], [[Hedaru]], [[Makanya]], [[Suji]], [[Chome]], [[Tae]], [[Gonja]], [[Mamba]] hadi [[Vunta]] kuna waumini wa [[kanisa]] la [[Sabato]] wengi sana.
Maeneo kama [[Chome]], [[Mbaga]], [[Gonja]], [[Vudee]], [[Usangi]] yana waumini wengi wa [[Walutheri|Kanisa la Kilutheri]].
Katika Wilaya ya Mwanga kuna idadi kubwa ya [[Walutheri]] na [[Waislamu]].
[[Wakatoliki]], japo ni wachache, wanapatikana zaidi katika maeneo ya [[Kilomeni]], [[Kisangara Juu]], [[Vumari]], [[Gonja]], [[Kighare]] na [[Mbaga]]. Ukatoliki uliingia Upare kwa mara ya kwanza katika [[kata]] ya Kilomeni mwaka [[1909]].
==Shughuli za uchumi==
Jamii za Wapare zimegawanyika katika makundi ya wafugaji na wakulima. Wakati wafugaji wengi walihamia katika tambarare za Upareni, wakulima wao waliishi milimani na wafuaji wa vyuma walikaa maeneo yote yaliyokuwa na uwezekano wa kupata chuma.
Kwa asili Wapare hupeleka vijana wa kiume jando (mshitu) ambako walipata mafunzo jinsi ya kuishi na familia, japo siku hizi utamaduni huo hufuatwa na watu wachache.
Hata hivyo Wapare wa Mwanga wamegawanyika katika jamii mbili: Wasangi na Wagweno. Wakati Wasangi wanaongea Kipare kinachoongelewa pia na Wapare wa maeneo mengine, Wagweno wao wana lugha yao iitwayo Kigweno. Kigweno ni mchanganyiko wa Kipare na Kichagga. Hii inaonesha kuwa asili ya Wagweno ni huko Uchaga. Hata hivyo mila na desturi za Wagweno zinafanana zaidi na zile za Wapare wengine.
Wapare ni wachapakazi sana wakichanganya kilimo, ufugaji na biashara, ndiYo maana hata leo wana uchumi mzuri katika viwango vya Tanzania.
Wapare walianza kufua chuma kabla ya mwaka 1700 na wafuaji walikuwa wakiitwa Washana, na huo ukoo upo hata leo hii. Wapare walikuwa wakiuza bidhaa zinazotengenezwa na chuma kama majembe,mapanga, visu, silaha kama mikuki kwa makabila ya jirani mfano Wachaga,na wamekuwa na uhusiano tangu siku nyingi. Bidhaa zao hizi ziliuzwa hata kwa Wasambaa.
==Mfumo wa maisha==
Inasemekana Wapare ni kabila lenye ujasiri na ni watu wa kupanga kabla ya kutenda. Pia ni wavumilivu wenye kustahimili hali ngumu ya maisha ikiwa ni pamoja na njaa au kutokuwa na pesa.
Zamani za ukoloni waliweza kuungana na kufanya mgomo wa kukataa kodi zilizokithiri. Mgomo huo uliofanikiwa ulijulikana kama ‘mbiru’.
Kati ya mila na desturi zilizowajengea Wapare taratibu za kuwa na mifumo ya maisha kuna zile walizoziita ‘Ndala’, ‘Msaragambo’ na ‘Kiwili’.
===Ndala===
Neno ‘ndala’ kwa Kipare humaanisha utaratibu wa familia au watu wanaoishi jirani mno kuwa na tabia ya kula chakula kwa pamoja, kama wengi tuonavyo waislamu waliofunga na wanapofuturu pamoja.
Utaratibu wa Wapare ulikuwa kwamba kila mama anapotayarisha chakula kwa familia yake, ilibidi akitoe achanganye na chakula kingine cha wenzake na familia zote ziketi na kula pamoja. Mfumo wa ndala kwa maana ya familia kula chakula kwa pamoja unaonekana kuwa na manufaa yafuatayo.
Kwanza unajenga mahusiano mema baina ya familia na majirani katika kushirikiana. Pili kushirikiana katika kula kunachochea ushirikiano katika mambo mengine kama shida au raha.
Lakini pia watoto wanaokuzwa katika mfumo huo wanajengwa katika maadili mazuri wasiwe walafi na wachoyo maana wanazoea kuwa na wenzao na hii ndiyo sababu kabila hili lilikuwa na sifa ya kuwa wakarimu.
Watoto walifundishwa kuwa na nidhamu ya wakati wa chakula, kwa mfano kutonawa mikono au kuanza kula kabla ya wakubwa.
===Msaragambo===
Neno msaragambo linamaanisha mfumo uliokubaliwa na jamii katika kitongoji, kijiji au kata wa kushirikiana katika kufanya kazi zenye faida kwa watu wote, maarufu kwa kazi za ujenzi wa taifa.
Kwa kazi hizi ni za ridhaa zilipaswa kwanza zikubaliwe na wengi vinginevyo haikuwa rahisi mtu mmoja kuitisha wito wa kazi fulani na watu wengine kuja kuifanya.
Kazi hizi ambazo hata serikali ya awamu ya kwanza ilizikazania sana mara baada ya Tanganyika kupata uhuru, ni pamoja na ujenzi wa mashule, kuchimba visima vya maji, kuchimba barabara na kadhalika. Upo ushahidi wa kutosha kuhusu Wapare walivyotumia mfumo huu na kupata maendeleo makubwa Wilayani mwao.
Zipo barabara za Mwanga hadi Ugweno na Usangi; Ndungu hadi Mamba na Vunta; Hedaru hadi Mwala; Makanya hadi Chome,Mpirani hadi Bombo Song’ana,Gonja Maore hadi Vuje naVudee hadi Mbaga, Lembeni hadi Kilomeni. Hata hivyo, si barabara tu lakini zahanati, na shule nyingi zimejengwa na wapare wa wilaya za Same na Mwanga na kuinua kiwango cha maendeleo yao.
Nakumbuka watu hawa si watu wapenda misaada ya mteremko ndiyo maana pamoja na kukabiliana na hali mbaya ya uhaba wa mvua mara kwa mara wamekuwa si watu wa kupiga yowe haraka.
Kazi zilizofanywa kupitia utaratibu huu wa msaragambo ziliufanya Mkoa huu wa Kilimanjaro uongoze kwa maendeleo ya barabara nzuri, ujenzi wa shule nyingi hadi katika vitongoji.
===Kiwili===
Kiwili ni msamiati mwingine wa Kipare ambao ni mfumo wa maisha walioukubali katika kuendesha maisha ya familia na jamii zao kwa kusaidiana kazi.
Kiwili ni utaratibu ambapo familia au majirani hualikana ili kusaidiana katika kazi za kilimo, na hata mavuno hasa pale mmoja wao anapokuwa na kazi shambani mwake na kuhitaji msaada. Siku hiyo, watu hukutana na kufanya kazi hiyo waliyoitiwa, mwenye kazi huandaa chakula ambacho watu watapata baada ya kumaliza kazi.
Utaratibu huu ulikuwa na manufaa makubwa maana ulirahisisha kazi na kujenga moyo wa kusaidiana. Kiwiri pia kiliweza kuitishwa na majirani kuwalenga wazee waliochoka au wagonjwa, ambao kwa namna moja au nyingine walionekana kushindwa kumudu kazi zao za shambani.
Kupitia kazi za kusaidiana maisha ya familia nyingi za Wapare ziliokolewa na majanga ya kufikwa na njaa.
Bila shaka zipo mila na desturi nzuri ambazo Watanzania tulikuwa nazo, lakini wageni wakatuhadaa na kutulaghai kwamba ya kwetu yote yalikuwa si mema nasi tukaanza kuyaacha.
==Vyakula vikuu vya Wapare==
Makande (Mbure),[[ugali]](hasa ule wa muhogo wanauita ibadaa), [[ndizi]], [[wali]] kwa wale wanaoishi maeneo ya tambarare kama Ndungu, Kisiwani, Ngullu Kavagala Kwakoa Maore na Mpirani. Pia kuna vyakula kama Kishumba, Kibulu, na mboga maarufu "Msele" nkokoro n.k vyakula hivi vinaliwa katika maeneo ya Kilomeni, Sofe, Kisangara Chanjale
Wapare pia wana ukaribu na makabila ya Mkoa wa Tanga hasa Wasambaa, Wazigua na Wanguu. Ukaribu wao uko katika lugha ambapo maneno mengi ya makabila haya yanafanana. Vile vile hata majina ya baadhi ya maeneo yaliyopo kwa Wapare yapo pia kwenye maeneo wanamoishi makabila kama vile Wasambaa na Wanguu. Kwa mfano, kwa Wapare kuna majina ya maeneo kama vile Gonja, Ndeme, Ndolwa n.k. Majina haya yapo pia maeneo ya Wanguu na Wasambaa. Hii inaonesha kwamba makabila haya yana asili moja.
==Mapacha kati ya Wapare==
Kulikuwa na imani potovu kuwa mwanamke akizaa watoto mapacha analeta mkosi na laana kwenye ukoo pia mtoto akianza kuota meno na yakaanza kuotaa ya juu,kwa hiyo watoto hao waliuawa kwa kutupwa au huegeshwa juu kilele pembezoni wakiwa wamelala baada ya kunyonyeshwa ama kulishwa uji na wazazi wao kwenye jiwe kubwa ambalo kule Mbaga - Pare ya kusini linaitwa Malameni, Usangi - Mwero linaitwa Ikamba, Songoa ljiwe likaitwa mkumba vana, pia na Mfinga ya Kikweni makutano ya kwenda Ugweno na Usangi linaitwa Lubegho ambapo ni aghalabu mtoto kupona kwani akiamka toka usingizini akijigeuza tu hudondoka toka kule ju hadi chini nakufa. Maajabu ni kwa mtoto mmoja aliye okotwa na Mzee Mgaya kule Ikamba na kumlea hadi akakuwa na kuwa Mtumishi wa Mungu jasiri na maarufu Marehemu Mchungaji Nathanaeli Mgaya. Hadi leo hii mawe hayo yapo.
==Watu mashuhuri wa Upare==
Inasemekana Wapare ni kabila la watu wachache lakini wana ushawishi mkubwa katika nyanja za [[siasa]], [[vyombo vya habari]] na [[uchumi]] wa Tanzania sambamba na nyanja nyingine mbalimbali. Baadhi ya watu wake maarufu ni:
*[[Chedieli Yohane Mgonja]], aliwahi kuwa [[Mbunge]] na [[waziri wa Elimu]] katika [[serikali]] ya awamu ya kwanza
*[[Angellah Kairuki]], Waziri wa Uwekezaji, Ofisi ya Waziri Mkuu, awamu ya tano
*[[Esther Mkwizu]], aliwahi kuwa Rais wa Sekta Binafsi Tanzania (au TPSF, Tanzania Private Sector Foundation)
*[[Cleopa David Msuya]], aliwahi kuwa [[Waziri mkuu]] na [[waziri wa Fedha]]
*[[Mfumwa Singo]]
*[[Eliewaha Eliya Mshana]], [[Askofu]] [[Walutheri|Mlutheri]]
*[[Josephat Louis Lebulu]], [[Askofu Mkuu]] mstaafu wa [[Jimbo Kuu la Arusha|Jimbo Kuu la Katoliki Arusha]]
*[[Anne Kilango]], mbunge wa Same mashariki hadi tarehe [[25 Oktoba]] [[2015]]
*[[Asha-Rose Mtengeti Migiro]], aliwahi kuwa [[naibu katibu mkuu]] wa [[UN]] na sasa ni [[balozi]] wa Tanzania nchini [[Uingereza]]
*[[Januari Msofe]], [[Jaji]] wa [[mahakama kuu]] Tanzania
*[[Herman Ambara]], [[mwanasheria]] Songoa
*[[Mathayo David]], mbunge wa Same Magharibi na [[Waziri]]
*[[Peter Kisumo]] kwa sasa ni [[marehemu]]
*[[Mbazi Fikeni Senkoro]] alikuwa [[Daktari]]
*[[Abrahamu Itunda]] alikuwa [[Mchungaji]]
*[[Felix Mlaki]] [[mchumi]] maarufu na mtu wa [[benki]], mmiliki wa [[kampuni]] za ushauri na mikopo
*[[Profesa]] [[Jumanne Maghembe]], alikuwa [[Waziri wa Maji]] na waziri wa [[maliasili]] na [[utalii]]
*[[Mfumwa Sabuni]] wa [[Usangi]]
*[[Ernest Mhando Nkondo Mchome]] alikuwa Meneja wa Shamba la Themi huko Arusha
*[[Mfumwa Manento Sekimanga]] wa [[Mamba]]
*[[Joseph Mamphombe]] wa [[Mbaga]]
*[[Kigono Chuma]] wa [[Gonja]]
*[[Folong'o Makange]] wa [[Chome]]
*[[Nkondo Makengo Kanana]] wa [[Chome]] ambaye aliwahi kupigana vita kuu ya kwanza hadi kufika nchi za mbali ikiwemo [[Burma]]
*Mfumwa wa Mvua [[Kikala Shaghude Mtoi]] ambaye alisifika katika masuala ya mvua huko [[Chome]]
*[[Minja Kukome]] wa [[Ugweno]]
*[[Wilfred Mashauri Mfinanga]] wa [[Kiriche Usangi]], aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya Singida
*[[Yoeli Mtindi]] wa [[Hedaru]]
*[[Mfumwa Njaule]] wa [[Vudee]], IGP wa kwanza baada ya [[uhuru]]
*[[Elangwa Shaidi]] wa [[Vudee]]
*Mchungaji [[Kadiva Ernest William]], Naibu Katibu Mkuu wa [[KKKT]] Dayosisi ya Mashariki na Pwani na mbunge wa [[Bunge Maalum la Katiba Tanzania]]
*Profesa [[Joseph Semboja]], mchumi na mkuu wa Taasisi ya Uongozi iliyo chini ya [[ofisi ya Rais]]
*Balozi [[Ombeni Sefue]], alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi
*Profesa [[Gadi Kilonzo]], daktari [[bingwa]] wa [[upasuaji]] wa [[Kichwa|vichwa]]
*Profesa [[Rogasian Mahuna]], bingwa wa dawa za asili; alifanya kazi MUHAS
*Profesa [[Amoni Chaligha]], Profesa wa Siasa Uchumi Chuo Kikuu Dar es Salaam na Kamishina wa Tume ya Uchaguzi
*Profesa [[Pater Lawrance Msoffe]], Chuo Kikuu cha Dodoma
*Profesa [[Fikeni Eliesikia Senkoro]], mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, taasisi ya Kiswahili
*Profesa Leonard Paulo Shaidi, aliwahi kuwa mhadhiri mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mtaalamu mahiri wa masuala ya haki jinai
*[[Clophas Flavian Idd]], mwandishi wa habari wa East Africa Television (EATV) na East Africa Radio kwa mkoa wa Morogoro
*Hasheem Ibwe, mtangazaji wa kandanda kwenye televisheni [[Azam TV]]
[[Jamii:Wapare]]
[[Jamii:Wilaya ya Same]]
[[Jamii:Historia ya Tanzania]]
bs45wsyhpc6dl1sazjvr2cylkkupl6h
Wilaya ya Chamwino
0
68905
1233847
1146498
2022-07-20T11:58:39Z
Hussein m mmbaga
52054
wikitext
text/x-wiki
<sup>Kwa maana mengine ya jina hilo angalia [[Chamwino (maana)]]</sup>
'''Chamwino''' ni jina la [[wilaya]] mpya katika [[mkoa]] wa [[Dodoma]] [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''41400'''<ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2017-10-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200321135312/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |archivedate=2020-03-21 }}</ref>
, ambayo ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 2007. Idadi ya wakazi wa wilaya hii ilikuwa watu wapatao 19175 wakati wa sensa ya mwaka 2012.
<ref>[http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Dodoma- Chamwino]{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Makao makuu ya wilaya yako [[Chamwino mjini]].
==Marejeo==
<references/>
==Viungo vya Nje==
* [http://chamwinodc.go.tz Tovuti rasmi ya Wilaya ya Chamwino], iliangaliwa Oktoba 2020
{{Kigezo:Kata za Wilaya ya Chamwino}}
[[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Dodoma]]
qkqxfq79u16ekkwqo4fajwmwlj2e11s
Sokwe Mtu wa Kawaida
0
82785
1233819
1178480
2022-07-19T20:30:10Z
Autonomous agent 5
51368
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = pink
| jina = Sokwe Mtu wa Kawaida
| picha = Gombe Stream NP Jungtier fressend.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Sokwe Mtu wa Kawaida
| domeni = [[Eukaryota]] <small>(Viumbe walio na seli zenye kiini)</small>
| himaya = [[Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Primates]] <small>(Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)</small>
| nusuoda = [[Haplorrhini]] <small>(Wanyama wanaofanana zaidi na [[kima]])</small>
| oda_ya_chini = [[Simiiformes]] <small>(Wanyama kama kima)</small>
| oda_ndogo = [[Catarrhini]] <small>(Kima wa Dunia ya Kale)</small>
| familia_ya_juu = [[Hominoidea]] <small>([[Sokwe (Hominoidea)|Masokwe]])</small>
| familia = [[Hominidae]] <small>([[Sokwe (Hominidae)|Masokwe wakubwa]])</small>
| jenasi = ''[[Pan]]'' <small>(Sokwe mtu)</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Lorenz Oken|Oken]], 1816
| spishi = ''[[Pan troglodytes]]''
| bingwa_wa_spishi = ([[Johann Friedrich Blumenbach|Blumenbach]], 1775)
| subdivision = '''Nususpishi 4:'''
* ''[[Pan troglodytes ellioti|P. t. ellioti]]'' <small>[[Paul Matschie|Matschie]], 1914</small>
* ''[[Pan troglodytes schweinfurthii|P. t. schweinfurthii]]'' <small>[[Enrico Hillyer Giglioli|Giglioli]], 1872</small>
* ''[[Pan troglodytes troglodytes|P. t. troglodytes]]'' <small>(Blumenbach, 1775)</small>
* ''[[Pan troglodytes verus|P. t. verus]]'' <small>[[Ernst Schwarz|Schwrz]], 1934</small>
| ramani = Pan troglodytes area.png
| maelezo_ya_ramani = Msambao wa sokwe mtu wa kawaida: 1. sokwe mtu magharibi, 2. sokwe mtu wa Nijeria, 3. sokwe mtu wa kati, 4. sokwe mtu mashariki.
}}
'''Sokwe Mtu wa Kawaida''' (''Pan troglodytes'') ni jina la [[nyani]] wakubwa wa familia [[Hominidae]] (nyani wakubwa) wanaofanana sana na [[binadamu]]. Sokwe Mtu wa Kawaida wanaishi katika maeneo ya tropiki ya [[Afrika]].
==Nususpishi==
* ''Pan troglodytes'', [[Sokwe Mtu wa Kawaida]] ([[w:Common Chimpanzee|Common Chimpanzee]])
** ''Pan t. ellioti'', [[Sokwe Mtu wa Nijeria]] ([[w:Nigeria-Cameroon chimpanzee|Nigeria-Cameroon Chimpanzee]]: [[Nijeria]] na Kameruni)
** ''Pan t. schweinfurthii'', [[Sokwe Mtu Mashariki]] ([[w:Eastern Chimpanzee|Eastern Chimpanzee]]: [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]], [[Sudani]], Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, [[Uganda]], [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Tanzania]] na [[Zambia]])
** ''Pan t. troglodytes'', [[Sokwe Mtu wa Kati]] ([[w:Central Chimpanzee|Central Chimpanzee]]: [[Kameruni]], Jamhuri ya Afrika ya Kati, [[Ginekweta]], [[Gaboni]], [[Jamhuri ya Kongo]] na Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo)
** ''Pan t. verus'', [[Sokwe Mtu Magharibi]] ([[w:Western Chimpanzee|Western Chimpanzee]]: [[Senegali]], [[Mali]], [[Gine]], [[Sierra Leone]], [[Liberia]], [[Kodivaa]] na [[Ghana]])
==Picha==
<gallery>
Gombe Stream NP Mutter und Kind.jpg|Sokwe mtu mashariki
Unnamed - Chimpanzee - Central African Republic.jpg|Sokwe mtu wa kati
Chimpas at Tacugama Sanctuary, near Freetown.jpg|Sokwe mtu magharibi
</gallery>
{{Sokwe}}
[[Jamii:Kima na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
jbnqh6a34xgdyrc5cxxxv1q6nkklvoy
1233836
1233819
2022-07-20T07:32:33Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Autonomous agent 5|Autonomous agent 5]] ([[User talk:Autonomous agent 5|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:ChriKo|ChriKo]]
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = pink
| jina = Sokwe Mtu wa Kawaida
| picha = Gombe Stream NP Jungtier fressend.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Sokwe Mtu wa Kawaida
| domeni = [[Eukaryota]] <small>(Viumbe walio na seli zenye kiini)</small>
| himaya = [[Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Primates]] <small>(Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)</small>
| nusuoda = [[Haplorrhini]] <small>(Wanyama wanaofanana zaidi na [[kima]])</small>
| oda_ya_chini = [[Simiiformes]] <small>(Wanyama kama kima)</small>
| oda_ndogo = [[Catarrhini]] <small>(Kima wa Dunia ya Kale)</small>
| familia_ya_juu = [[Hominoidea]] <small>([[Sokwe (Hominoidea)|Masokwe]])</small>
| familia = [[Hominidae]] <small>([[Sokwe (Hominidae)|Masokwe wakubwa]])</small>
| jenasi = ''[[Pan]]'' <small>(Sokwe mtu)</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Lorenz Oken|Oken]], 1816
| spishi = ''[[Pan troglodytes]]''
| bingwa_wa_spishi = ([[Johann Friedrich Blumenbach|Blumenbach]], 1775)
| subdivision = '''Nususpishi 4:'''
* ''[[Pan troglodytes ellioti|P. t. ellioti]]'' <small>[[Paul Matschie|Matschie]], 1914</small>
* ''[[Pan troglodytes schweinfurthii|P. t. schweinfurthii]]'' <small>[[Enrico Hillyer Giglioli|Giglioli]], 1872</small>
* ''[[Pan troglodytes troglodytes|P. t. troglodytes]]'' <small>(Blumenbach, 1775)</small>
* ''[[Pan troglodytes verus|P. t. verus]]'' <small>[[Ernst Schwarz|Schwrz]], 1934</small>
| ramani = Pan troglodytes area.png
| maelezo_ya_ramani = Msambao wa sokwe mtu wa kawaida: 1. sokwe mtu magharibi, 2. sokwe mtu wa Nijeria, 3. sokwe mtu wa kati, 4. sokwe mtu mashariki.
}}
'''Sokwe Mtu wa Kawaida''' (''Pan troglodytes'') ni jina la [[nyani]] wakubwa wa familia [[Hominidae]] wanaofanana sana na [[binadamu]]. Sokwe Mtu wa Kawaida wanaishi katika maeneo ya tropiki ya [[Afrika]].
==Nususpishi==
* ''Pan troglodytes'', [[Sokwe Mtu wa Kawaida]] ([[w:Common Chimpanzee|Common Chimpanzee]])
** ''Pan t. ellioti'', [[Sokwe Mtu wa Nijeria]] ([[w:Nigeria-Cameroon chimpanzee|Nigeria-Cameroon Chimpanzee]]: [[Nijeria]] na Kameruni)
** ''Pan t. schweinfurthii'', [[Sokwe Mtu Mashariki]] ([[w:Eastern Chimpanzee|Eastern Chimpanzee]]: [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]], [[Sudani]], Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, [[Uganda]], [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Tanzania]] na [[Zambia]])
** ''Pan t. troglodytes'', [[Sokwe Mtu wa Kati]] ([[w:Central Chimpanzee|Central Chimpanzee]]: [[Kameruni]], Jamhuri ya Afrika ya Kati, [[Ginekweta]], [[Gaboni]], [[Jamhuri ya Kongo]] na Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo)
** ''Pan t. verus'', [[Sokwe Mtu Magharibi]] ([[w:Western Chimpanzee|Western Chimpanzee]]: [[Senegali]], [[Mali]], [[Gine]], [[Sierra Leone]], [[Liberia]], [[Kodivaa]] na [[Ghana]])
==Picha==
<gallery>
Gombe Stream NP Mutter und Kind.jpg|Sokwe mtu mashariki
Unnamed - Chimpanzee - Central African Republic.jpg|Sokwe mtu wa kati
Chimpas at Tacugama Sanctuary, near Freetown.jpg|Sokwe mtu magharibi
</gallery>
{{Sokwe}}
[[Jamii:Kima na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
7ld6wb5mjbiv1oqumg27pi2e0ed8ppm
Mtumiaji:Clophas Flavian Idd
2
109469
1233827
1056719
2022-07-19T21:20:00Z
Clophas Flavian Idd
35594
wikitext
text/x-wiki
Clophas Flavian Idd amezaliwa tarehe 10/10/1990 katika Kijiji cha Ngulu, kata ya Kwakoa, tarafa ya Jipe Ndea, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania.
Wasifu wa clophas Flavian Idd kwenye elimu.
.Mwaka 1998-2004 Alisoma shule ya
Msingi Ngulu.
.Mwaka 2005-2008 Alisoma Kifaru
Sekondari iliyopo Mwanga mkoani
Kilimanjaro.
.Mwaka 2008 Alisoma Chuo Cha
Kompyuta Dar es Salaam tawi la
Dodoma (UCC).
.Mwaka 2011-2012 Alisoma Chuo Cha
Uandishi wa Habari Morogoro
(MSJ)ngazi ya Cheti(Astashahada).
.Mwaka 2012-2014 Alisoma Chuo cha
Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ)
(Shahada).
* Sehemu za Kazi alizofanya
.Clophas Flavian Idd ni Mwandishi
wa Habari nchini Tanzania na
ameshawahi kufanya Kazi katika
sehemu zifuatazo....
.Mwaka 2013-2015 alikuwa Mhariri
na Msimamizi wa vipindi katika
kituo cha Radio Okoa Fm kilichopo
mkoani Morogoro nchini Tanzania.
Radio hiyo inamilikiwa na
Mchungaji anayeitwa Francis
Katengu.
.Mwaka 2016 Alifanya kazi Kama
Mwakilishi (reporter) kutoka
mkoani Morogoro wa Kituo Cha East Africa Radio cha Dar es Salaam.
.Mwaka 2017-2018 Alifanya kazi kazi katika kituo Cha Radio Ukweli Fm Morogoro nchini Tanzania, Kama Mhariri wa habari, na Masimamizi wa vipindi. Kituo hiki kinamilikiwa na Jimbo katoliki Morogoro.
.Mwaka 2019---- Anafanya kazi katika
Televisheni ya ITV kama mpiga picha iliyopo nchini
Tanzania, pia ni mwakilishi (Reporter) wa East Africa Television na East Africa Radio mkoa wa Morogoro.
afknce4rvkz9hp3f051d0y77j2e566t
1233828
1233827
2022-07-19T21:23:13Z
Clophas Flavian Idd
35594
wikitext
text/x-wiki
Clophas Flavian Idd amezaliwa tarehe 10/10/1990 katika Kijiji cha Ngulu, kata ya Kwakoa, tarafa ya Jipe Ndea, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania.
Wasifu wa clophas Flavian Idd kwenye elimu.
.Mwaka 1998-2004 Alisoma shule ya
Msingi Ngulu.
.Mwaka 2005-2008 Alisoma Kifaru
Sekondari iliyopo Wilaya ya Mwanga mkoani
Kilimanjaro.
.Mwaka 2008 Alisoma Chuo Cha
Kompyuta Dar es Salaam tawi la
Dodoma (UCC).
.Mwaka 2011-2012 Alisoma Chuo Cha
Uandishi wa Habari Morogoro
(MSJ)ngazi ya Cheti(Astashahada).
.Mwaka 2012-2014 Alisoma Chuo cha
Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ)
(Shahada).
* Sehemu za Kazi alizofanya
.Clophas Flavian Idd ni Mwandishi
wa Habari nchini Tanzania na
ameshawahi kufanya Kazi katika
sehemu zifuatazo....
.Mwaka 2013-2015 alikuwa Mhariri
na Msimamizi wa vipindi katika
kituo cha Radio Okoa Fm kilichopo
mkoani Morogoro nchini Tanzania.
Radio hiyo inamilikiwa na
Mchungaji anayeitwa Francis
Katengu.
.Mwaka 2016 Alifanya kazi Kama
Mwakilishi (reporter) kutoka
mkoani Morogoro wa Kituo Cha East Africa Radio cha Dar es Salaam.
.Mwaka 2017-2018 Alifanya kazi kazi katika kituo Cha Radio Ukweli Fm Morogoro nchini Tanzania, Kama Mhariri wa habari, na Masimamizi wa vipindi. Kituo hiki kinamilikiwa na Jimbo katoliki Morogoro.
.Mwaka 2019---- Anafanya kazi katika
Televisheni ya ITV kama mpiga picha iliyopo nchini
Tanzania, pia ni mwakilishi (Reporter) wa East Africa Television na East Africa Radio mkoa wa Morogoro.
ldc8bv5t9gzkw92e1ltq9t0nddnnjkl
1233829
1233828
2022-07-19T21:27:24Z
Clophas Flavian Idd
35594
wikitext
text/x-wiki
Clophas Flavian Idd amezaliwa tarehe 10/10/1990 katika Kijiji cha Ngulu, kata ya Kwakoa, tarafa ya Jipe Ndea, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania.
Wasifu wa Clophas Flavian Idd kwenye elimu.
.Mwaka 1998-2004 Alisoma shule ya
Msingi Ngulu.
.Mwaka 2005-2008 Alisoma Kifaru
Sekondari iliyopo Wilaya ya Mwanga mkoani
Kilimanjaro.
.Mwaka 2008 Alisoma Chuo Cha
Kompyuta Dar es Salaam tawi la
Dodoma (UCC).
.Mwaka 2011-2012 Alisoma Chuo Cha
Uandishi wa Habari Morogoro
(MSJ)ngazi ya Cheti(Astashahada).
.Mwaka 2012-2014 Alisoma Chuo cha
Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ)
(Shahada).
* Sehemu za Kazi alizofanya
.Clophas Flavian Idd ni Mwandishi
wa Habari nchini Tanzania na
ameshawahi kufanya Kazi katika
sehemu zifuatazo....
.Mwaka 2013-2015 alikuwa Mhariri
na Msimamizi wa vipindi katika
kituo cha Radio Okoa Fm kilichopo
mkoani Morogoro nchini Tanzania.
Radio hiyo inamilikiwa na
Mchungaji anayeitwa Francis
Katengu.
.Mwaka 2016 Alifanya kazi Kama
Mwakilishi (reporter) kutoka
mkoani Morogoro wa Kituo Cha East Africa Radio cha Dar es Salaam.
.Mwaka 2017-2018 Alifanya kazi kazi katika kituo Cha Radio Ukweli Fm Morogoro nchini Tanzania, Kama Mhariri wa habari, na Masimamizi wa vipindi. Kituo hiki kinamilikiwa na Jimbo katoliki Morogoro.
.Mwaka 2019---- Anafanya kazi katika
Televisheni ya ITV kama mpiga picha iliyopo nchini
Tanzania, pia ni mwakilishi (Reporter) wa East Africa Television na East Africa Radio mkoa wa Morogoro.
p8js0g29u92nnmhcc3b8exwj07ily99
1233830
1233829
2022-07-19T21:28:20Z
Clophas Flavian Idd
35594
wikitext
text/x-wiki
Clophas Flavian Idd alizaliwa tarehe 10/10/1990 katika Kijiji cha Ngulu, kata ya Kwakoa, tarafa ya Jipe Ndea, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania.
Wasifu wa Clophas Flavian Idd kwenye elimu.
.Mwaka 1998-2004 Alisoma shule ya
Msingi Ngulu.
.Mwaka 2005-2008 Alisoma Kifaru
Sekondari iliyopo Wilaya ya Mwanga mkoani
Kilimanjaro.
.Mwaka 2008 Alisoma Chuo Cha
Kompyuta Dar es Salaam tawi la
Dodoma (UCC).
.Mwaka 2011-2012 Alisoma Chuo Cha
Uandishi wa Habari Morogoro
(MSJ)ngazi ya Cheti(Astashahada).
.Mwaka 2012-2014 Alisoma Chuo cha
Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ)
(Shahada).
* Sehemu za Kazi alizofanya
.Clophas Flavian Idd ni Mwandishi
wa Habari nchini Tanzania na
ameshawahi kufanya Kazi katika
sehemu zifuatazo....
.Mwaka 2013-2015 alikuwa Mhariri
na Msimamizi wa vipindi katika
kituo cha Radio Okoa Fm kilichopo
mkoani Morogoro nchini Tanzania.
Radio hiyo inamilikiwa na
Mchungaji anayeitwa Francis
Katengu.
.Mwaka 2016 Alifanya kazi Kama
Mwakilishi (reporter) kutoka
mkoani Morogoro wa Kituo Cha East Africa Radio cha Dar es Salaam.
.Mwaka 2017-2018 Alifanya kazi kazi katika kituo Cha Radio Ukweli Fm Morogoro nchini Tanzania, Kama Mhariri wa habari, na Masimamizi wa vipindi. Kituo hiki kinamilikiwa na Jimbo katoliki Morogoro.
.Mwaka 2019---- Anafanya kazi katika
Televisheni ya ITV kama mpiga picha iliyopo nchini
Tanzania, pia ni mwakilishi (Reporter) wa East Africa Television na East Africa Radio mkoa wa Morogoro.
0mxjg6olu78hxz2qju9yt2ao3mudtmv
1233842
1233830
2022-07-20T10:20:24Z
154.74.127.87
wikitext
text/x-wiki
Clophas Flavian Idd alizaliwa tarehe 10/10/1990 katika Kijiji cha Ngulu, Kata ya Kwakoa, Tarafa ya Jipe Ndea, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania.
Wasifu wa Clophas Flavian Idd kwenye elimu.
.Mwaka 1998-2004 Alisoma shule ya
Msingi Ngulu.
.Mwaka 2005-2008 Alisoma Kifaru
Sekondari iliyopo Wilaya ya Mwanga mkoani
Kilimanjaro.
.Mwaka 2008 Alisoma Chuo Cha
Kompyuta Dar es Salaam tawi la
Dodoma (UCC).
.Mwaka 2011-2012 Alisoma Chuo Cha
Uandishi wa Habari Morogoro
(MSJ)ngazi ya Cheti(Astashahada).
.Mwaka 2012-2014 Alisoma Chuo cha
Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ)
(Shahada).
* Sehemu za Kazi alizofanya
.Clophas Flavian Idd ni Mwandishi
wa Habari nchini Tanzania na
ameshawahi kufanya Kazi katika
sehemu zifuatazo....
.Mwaka 2013-2015 alikuwa Mhariri
na Msimamizi wa vipindi katika
kituo cha Radio Okoa Fm kilichopo
mkoani Morogoro nchini Tanzania.
Radio hiyo inamilikiwa na
Mchungaji anayeitwa Francis
Katengu.
.Mwaka 2016 Alifanya kazi Kama
Mwakilishi (reporter) kutoka
mkoani Morogoro wa Kituo Cha East Africa Radio cha Dar es Salaam.
.Mwaka 2017-2018 Alifanya kazi kazi katika kituo Cha Radio Ukweli Fm Morogoro nchini Tanzania, Kama Mhariri wa habari, na Masimamizi wa vipindi. Kituo hiki kinamilikiwa na Jimbo katoliki Morogoro.
.Mwaka 2019---- Anafanya kazi katika
Televisheni ya ITV kama mpiga picha iliyopo nchini
Tanzania, pia ni mwakilishi (Reporter) wa East Africa Television na East Africa Radio mkoa wa Morogoro.
4fow1vgvafxee5949bdtf0b101dfhsv
Anofelesi
0
130467
1233840
1208551
2022-07-20T09:45:51Z
CommonsDelinker
234
Removing [[:c:File:Zanzara_Anopheles_Gambiae.jpg|Zanzara_Anopheles_Gambiae.jpg]], it has been deleted from Commons by [[:c:User:Ruthven|Ruthven]] because: Missing [[:c:COM:EI|essential information]] such as [[:c:COM:L|license]], [[:c:COM:PERMISSION|permis
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = pink
| jina = Anofelesi
| picha = Anopheles gambiae mosquito feeding 1354.p lores.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Anofelesi wa Gambia (''Anopheles gambiae'') akifyonza damu
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Arthropoda]] <small>(Wanyama wenye miguu yenye viungo)</small>
| nusufaila = [[Hexapoda]] <small>(Wanyama wenye miguu sita)</small>
| ngeli = [[Insecta]] <small>(Wadudu)</small>
| ngeli_ya_chini = [[Pterygota]] <small>(Wadudu wenye mabawa)</small>
| oda = [[Diptera]] <small>(Wadudu wenye mabawa mawili tu)</small>
| nusuoda = [[Nematocera]] <small>(Diptera wenye vipapasio kama nyuzi: [[mbu]])</small>
| oda_ya_chini = [[Culicomorpha]] <small>(Mbu kama [[kuleksi]])</small>
| familia = [[Culicidae]] <small>(Mbu walio na nasaba na kuleksi)</small>
| bingwa_wa_familia = [[Johann Wilhelm Meigen|Meigen]], 1818
| jenasi = ''[[Anopheles]]''
| bingwa_wa_jenasi = Meigen, 1818
| subdivision = '''Spishi ±460.'''
}}
'''Anofelesi''' ni [[spishi]] za [[mbu]] za [[jenasi]] ''[[Anopheles]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Culicidae]]. Zaidi ya spishi 100 zinaweza kueneza [[malaria]] ya [[binadamu|watu]], lakini spishi 30-40 tu ni muhimu sana. Katika [[Afrika]] [[anofelesi wa Gambia]] (''Anopheles gambiae'' [[w:sensu lato|kwa maana pana]]) ni muhimu kabisa, kwa sababu anatokea mahali pengi [[kusini kwa Sahara]] na hueneza spishi ya malaria hatari sana, ''[[Plasmodium falciparum]]''. Hapo majuzi spishi nyingine, [[anofelesi wa Asia]] (''Anopheles stephensi''), amefika [[Pembe ya Afrika]]. Spishi hiyo ni hatari kwa sababu inaweza kuishi [[mji|mijini]] kwa urahisi kuliko anofelesi wa Gambia, kwa hiyo inaweza kuongeza visa vya malaria katika Afrika.
==Maelezo==
[[File:Anopheles Culex adult resting position-USDA.jpg|left|thumb|150px|Mikao ya kupumzika ya wadumili wa ''Anopheles'' (A, B), kulingana na mbu asiye anofelesi (C).]]
Kama mbu wote, [[mdumili|wadumili]] wa anofelesi wana [[mwili]] mwembamba wenye sehemu tatu: [[kichwa]], [[toraksi]] na [[fumbatio]].
Kichwa kimetoholewa kwa kupata [[taarifa]] ya hisia na kwa kujilisha. Kina [[jicho|macho]] na jozi ya [[kipapasio|vipapasio]] virefu vyenye [[pingili]] nyingi. Vipapasio ni muhimu kwa kugundua [[harufu]] ya [[kidusiwa]] na pia harufu ya maeneo ya kuzaliana ambapo majike hutaga [[yai|mayai]]. Sehemu za kinywa zinaunda [[mrija]] mrefu unaoelekea mbele na unaotumika kujilisha. [[Maksila]] zinabeba palpi zilizo na [[kipokezi|vipokezi]] vya [[dioksidi kabonia]], kivutio kikubwa kinachoonyesha yupo wapi kidusiwa wa mbu.
Toraksi imetoholewa kwa mwendo. Jozi tatu za [[mguu|miguu]] na jozi moja ya [[bawa|mabawa]] zimeunganishwa kwenye toraksi.
Fumbatio limetoholewa kwa kumeng'enya [[chakula]] na kuzalisha mayai. Sehemu hii yenye pingili huvimba sana wakati jike anapofyonza [[damu]] ambayo ni chanzo cha [[protini]] kwa uzalishaji wa mayai.
Anofelesi wanaweza kutofautishwa na mbu wengine kwa palpi zilizo ndefu kama mrija na kwa uwepo wa mabaka ya [[gamba|vigamba]] vyeusi na vyeupe juu ya mabawa. Wadumili wanaweza pia kutambuliwa kwa mkao wao wa kawaida wa kupumzika: wakikaa mahali huweka fumbatio lao kwa [[pembe (jiometria)|pembe]] badala ya [[sambamba]] na uso ambapo wanapumzika (tazama mchoro).
[[Picha:Anopheles egg 2.jpg|thumb|left|150px|Mayai ya anofelesi.]]
Madume na majike wote hula [[mbochi]] na vitu vingine vyenye [[sukari]], lakini majike wanahitaji [[mlo]] wa [[damu]] kwa kila kundi la mayai ambalo hukua katika [[ovari]] zake. Spishi nyingi zinaweza kuchukua damu kutoka kwa [[mnyama|wanyama]] wengi, haswa [[mamalia]], lakini nyingine huchagua spishi chache na kadhaa hupendelea watu.
[[Picha:Anopheles Culex larvae feeding position-USDA.jpg|left|thumb|150px|Mkao wa kupumua wa mabuu ya anofelesi (A) kulingana na mbu asiye anofelesi (B).]]
Majike hutaga makundi ya mayai 50-200 kila siku 2-3. Kwa kuzingatia kuwa [[wastani]] wa [[maisha]] ni kama [[wiki]] mbili, makundi 5-6 hutagwa na kila jike, ingawa hii inaweza kuwa chache zaidi ikiwa jike atashindwa kupata mlo wa damu kwa wakati. Mayai ni madogo kiasi (karibu [[mm]] 0.5 x 0.2). Mayai hutagwa peke yao na moja kwa moja juu ya maji. Hayo ni wa kipekee kwa kuwa yana kibunzi kila upande. Hutoa [[lava]] ndani ya siku 2-3 katika ukanda wa [[tropiki]] lakini hii inaweza kuchukua hadi wiki 2-3 katika maji baridi. Mayai siyo sugu kwa kukausha.
Lava au [[buu|mabuu]] ya anofelesi wana kichwa kilichokua vizuri chenye [[brashi]] za kinywa zinazotumiwa kujilisha, toraksi kubwa na fumbatio lenye pingili tisa. Hawana miguu. Kinyume na mbu wengine hawana [[neli]] ya [[upumuo|kupumua]], kwa hivyo hujiweka ili mwili wao uwe sambamba na uso wa maji. Walakini, ili kupumua mabuu ya spishi zisizo anofelesi hujiambatisha na uso wa maji kwa neli yao ya nyuma, na mwili wao ukielekea chini (angalia mchoro).
Mabuu hupumua kupitia [[spirakulo]] zilizopo kwenye pingili ya nane ya fumbatio, kwa hivyo lazima waje kwenye uso mara kwa mara. Wanatumia wakati wao mwingi kujilisha na [[miani]], [[bakteria]], na vijidudu vingine kwenye tabaka jembamba la uso. Huzama chini ya uso tu wakati wanasumbuliwa. Mabuu huogelea ama kwa mashtuko ya mwili mzima au kwa kusukuma kwa brashi ya kinywa.
Mabuu hukua kupitia hatua nne, kisha hubadilika kuwa [[bundo|mabundo]]. Mwishoni kwa kila hatua mabuu huambua [[kiunzi-nje]], au [[ngozi]], kuwezesha ukuaji zaidi. Mabuu ya hatua ya kwanza wana urefu wa karibu mm 1, huku mabuu ya hatua ya nne kwa kawaida wawe na urefu wa mm 5-8.
[[Picha:The pupa of a mosquito (Anopheles maculipennis). Reproductio Wellcome V0022598.jpg|thumb|left|150px|Bundo wa anofelesi.]]
Mabuu hutokea katika [[makazi]] anuwai, lakini spishi nyingi hupendelea maji safi yasiyonajisiwa. Mabuu ya anofelesi wamepatikana katika [[maji baridi]] au [[kinamasi|vinamasi]] vya maji ya chumvi, [[kapa (pwani)|kapa]], [[shamba|mashamba]] ya [[mpunga]], [[mtaro|mitaro]] yenye [[nyasi]], [[ukingo|kingo]] za vijito na [[mto|mito]] na [[bwawa|mabwawa]] madogo ya [[mvua]] ya muda mfupi. Spishi nyingi hupendelea makazi yenye [[mmea|mimea]]. Wengine wanapendelea makazi bila mimea. Fulani huzaa katika mabwawa ya wazi yenye [[mwanga]] wa [[jua]] huku wengine wapatikane tu kwenye maeneo ya kuzaliana kwa [[kivuli]] kwenye [[msitu|misitu]]. Spishi chache huzaa kwenye mashimo ya miti au [[kwapajani|makwapajani]] ya mimea fulani. Mwishowe, spishi nyingine huzaa katika vitu vilivyojazwa maji na vilivyotengenezwa na [[bidamu]] kama [[debe|madebe]], [[chombo|vyombo]] vya [[plastiki]], [[tangi|matangi]] ya maji na hata [[tairi]] zilizotupwa.
[[Bundo|Mabundo]] wana umbo la [[mkato]] wakitazamwa kutoka upande. Kichwa na toraksi zimeunganishwa kwenye [[kefalotoraksi]] na fumbatio limezunguka chini. Kama mabuu, sharti mabundo waje kwenye uso wa maji mara kwa mara ili kupumua, ambayo hufanya kupitia jozi ya [[tarumbeta]] za kupumua kwenye kefalotoraksi yao. Baada ya siku chache kama bundo, ngozi ya juu ya kefalotoraksi inapasuka na mdumili huibuka. Hatua ya bundo hudumu siku 1-3 kulingana na [[nyuzijoto]] ya maji.
<br>
==Spishi kadhaa za Afrika==
* ''[[w:Anopheles arabiensis|Anopheles arabiensis]]'', [[Anofelesi Arabu]]
* ''[[w:Anopheles funestus|Anopheles funestus]]'', [[Anofelesi Kamata]]
* ''[[w:Anopheles gambiae|Anopheles gambiae]]'', [[Anofelesi wa Gambia]]
* ''[[w:Anopheles nili|Anopheles nili]]'', [[Anofelesi wa Kameruni]]
* ''[[w:Anopheles stephensi|Anopheles stephensi]]'', [[Anofelesi wa Asia]]
==Picha==
<gallery>
Anopheles stephensi.jpeg|Anofelesi wa Asia
</gallery>
{{mbegu-mdudu}}
[[Jamii:Nzi na jamaa]]
5xztbm73qkfld7qwxcg53v0pi2ya2lb
Mkoa wa Kaskazini ya Mbali, Kamerun
0
145722
1233837
1207557
2022-07-20T07:45:36Z
Ji-Elle
184
+pict
wikitext
text/x-wiki
[[File:A family home in the far north of Cameroon.jpg|thumb|Mkoa wa Kaskazini ya Mbali]]
'''{{PAGENAME}}''' ni mmojawapo kati ya [[mikoa ya Kamerun]]. [[Jina]] lenyewe linadokeza mahali pake nchini.
[[Mkoa]] huo una wakazi 3,993,007 (kadirio la [[mwaka]] [[2015]]<ref>https://www.citypopulation.de/en/cameroon/cities/</ref>) katika eneo la [[Km²]] 34,263.
==Tazama pia==
* [[Mikoa ya Kamerun]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Mkoa wa Kaskazini ya Mbali (Kamerun)| ]]
[[Jamii:Mikoa ya Kamerun]]
f2ioxwaql9x9y1ww98frayb9r7b7sn7
Hifadhi ya Mlima wa Daallo
0
152600
1233841
1231322
2022-07-20T09:47:44Z
Tarih
9847
+image #WPWPTR #WPWP #WLA
wikitext
text/x-wiki
[[File:Daallo Mountain - Erigavo, Sanaag Region, Somaliland 04.jpg|thumb|right|280px|Mlima wa Daallo]]
'''Mlima wa Daallo''' ( {{Lang-so|Buuraha Daalo}} ) ni [[Hifadhi ya Taifa]] na mbuga ya [[wanyama]] iliyopo katika [[eneo]] la [[mashariki]] la [[Mkoa wa Sanaag|Sanaag]] huko [[Somaliland]] . Ni sehemu ya [[Milima Ogo|Milima ya Ogo]] .
Daallo ni mfano mkuu wa nyika isiyoharibiwa, msitu mnene kwenye mawe ya chokaa na sehemu ya jasi karibu na msingi wa Mlima Shimbiris, kilele kirefu zaidi cha Somaliland. <ref>{{Cite web|title=The Daallo Forest, Somaliland|url=https://journeysbydesign.com/destinations/somaliland/daalloo|accessdate=2020-09-28|work=Journeys by Design|language=en-GB}}</ref>
Daallo, kihistoria imekuwa ikikaliwa na mababu wa zamani wa makabila mengi ya [[asili]] ya Kisomali.
Baadhi ya [[miti]] katika hifadhi hiyo ina zaidi ya miaka 1000.
[[Mimea]] mingi kutoka kwenye hifadhi hutumika kama [[dawa]]. <ref>{{Cite web|title=Green Treasures of Daallo Mountains|url=https://afrikansarvi.fi/issue3/34-reportaasi/99-green-treasures-of-daallo-mountains|accessdate=2020-10-05|work=afrikansarvi.fi}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Africa Wiki Challenge Arusha 2022]]
[[Jamii:Utalii wa Afrika]]
9ljeznx5391bspkw6ups5awd3b4caw5
Jamii:Vivutio vya kitalii Zanzibar
14
152874
1233844
1232892
2022-07-20T11:54:59Z
Benix Mby
36425
wikitext
text/x-wiki
Vivutio vya kitalii Zanzibar
[[Jamii:Zanzibar]]
[[Jamii:Utalii wa Tanzania]]
jq32f84a02mzm72215vzxfdusojatl8
1233845
1233844
2022-07-20T11:55:16Z
Benix Mby
36425
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Zanzibar]]
[[Jamii:Utalii wa Tanzania]]
6zueouoncj8vq2nsc2ntrw4t9yxrhhz
Universal Zulu Nation
0
152887
1233843
1233715
2022-07-20T11:33:35Z
Benix Mby
36425
wikitext
text/x-wiki
'''Universal Zulu Nation''' ni kundi la kimataifa la uhamasishaji wa [[hip hop]] lilianzishwa na hapo awali liliongozwa na msanii wa hip hop [[Afrika Bambaataa]].<ref name="csws">{{cite book|title=Can't Stop, Won't Stop: A History of the Hip-Hop Generation|url=https://archive.org/details/cantstopwontstop00chan|last=Chang|first=Jeff|publisher=St. Martin's Press|year=2005|isbn=0-312-30143-X|location=[[New York City|New York]]|author-link=Jeff Chang (journalist)}}</ref>{{rp|101}}
[[File:Zulu_Nation_-_Logo.svg|link=https://en.wikipedia.org/wiki/File:Zulu_Nation_-_Logo.svg|thumb|Nembo ya zamani ya Zulu Nation.]]
Universal Zulu Nation inakuza wazo la kwamba hip-hop ilianzishwa ili kudumisha maadili ya "amani, upendo, umoja na furaha" kwa watu wote bila kujali rangi, dini, au taifa.
== Historia ==
[[Faili:Afrika_Bambaataa_and_DJ_Yutaka_(2004).jpg|link=https://en.wikipedia.org/wiki/File:Afrika_Bambaataa_and_DJ_Yutaka_(2004).jpg|thumb|250x250px|Afrika Bambaataa (kushoto) akiwa na DJ Yutaka wa Zulu Nation Japan, 2004.]]
Hapo awali kundi hili lilijulikana kwa jina la Organization, liliibuka miaka ya 1970 baada ya kubadilishwa kwa [[Black Spades]], genge la mitaani kutoka eneo la [[South Bronx]], [[New York]]. Ingawa Black Spades walikuwa msingi wa kundi hili, magenge mengine kama [[Savage Nomads]], [[Seven Immortals]], na [[Savage Skulls]] yalichangia wanachama zaidi. <ref>[http://www.zulunation.com/about-zulunation/ About] from ZuluNation.com, retrieved 28 September 2015</ref> Wanachama walianza kuandaa hafla za kitamaduni kwa ajili ya vijana, wakichanganya miondoko ya dansi na harakati za muziki katika kile ambacho sasa kinajulikana kama nguzo za utamaduni wa hip hop. Nguzo za utamaduni wa hip hop ni pamoja na Emceeing (MCing), Deejaying (DJing), breaking, na [[machata]].
Katika mahojiano mengi, Afrika Bambaataa ameeleza kuwa jina "Zulu" lilitokana na filamu ya mwaka 1964 yenye jina kama hilo.
Taswira ya Zulu Nation imekuwa ikibadilika kwa nyakati tofauti. Wakati wa miaka ya 1970 na 1980, Afrika Bambaataa na wanachama wa Zulu Nation mara nyingi walivaa mavazi yanayowakilisha tamaduni za sehemu mbalimbali dunia na makundi mengine wanachama wa Zulu Nation dunia kote wanaweza kutumia alama na mandhari mbalimbali za kitamaduni kueleza falsafa ya msingi wa Zulu Nation.
Tangu mwanzoni mwa miaka ya 1980, Zulu Nation ilianzisha matawi (yanayojitawala yenyewe) huko [[Japani]], [[Ufaransa]], [[Uingereza]], [[Australia]], [[Kanada]], [[Korea Kusini]] na [[Cape Town]] nchini [[Afrika Kusini]].
Kuanzia mwishoni mwa miaka ya 1980, katika kilele cha vuguvugu la [[Uafrocentriki]] katika hip-hop (wakati ambao wasanii kama vile [[KRS-One]], [[Public Enemy]], [[A Tribe Called Quest]], [[Native Tongues]], na [[Rakim]] walipata mafanikio), harakati hiyo ilionekana kujumuisha mafundisho mengi yanayohusiana na [[Nation of Islam]], [[Nation of Gods and Earths]] , na [[Nuwaubian Nation]]. Katikati ya miaka ya 1990 baadhi ya wanachama walianza kuanzisha miradi au mashirika yao kama vile Ill Crew Universal.<ref>{{Cite web|title=Wayback Machine|url=https://web.archive.org/web/19970409171116/http://illcrew.com/|work=web.archive.org|date=1997-04-09|accessdate=2022-07-06}}</ref>
Afrika Bambaataa alijiuzulu kama kiongozi wa Zulu Nation mnamo Mei 2016 baada ya madai ya kuwanyanyasa kingono vijana na watoto kadhaa katika shirika hilo. [[Ronald Savage]] alikuwa wa kwanza kati ya wanaume kadhaa kumshutumu Bambaataa hadharani.
Mnamo mwaka wa 2017, mamia ya wanachama wa Zulu Nation walijiuzulu kutokana na kutokuwa na imani na kundi hilo na kuanzisha shirika lao la [https://www.thezuluunion.com/ Zulu Union].
==Zulu Nation nchini Ufaransa==
Zulu Nation ilianzishwa Ufaransa mnamo 1982 na Afrika Bambaataa ziara ya "New York City Rap Tour" ilipotumbuiza nchini humo katika miji kadhaa ([[Paris]], [[Lyon]], [[Metz]], [[Belfort]], [[Mulhouse]]) na wasanii [[PHASE 2]], [[Futura 2000]], [[Dondi]], [[Grandmaster D.ST]], [[Rock Steady Crew]], [[Rammellzee]] na kikundi cha Wasichana wawili wa [[Uholanzi]], Buffalo Girls. Zulu Nation ilianzia katikati ya jiji la Par. Tangu mwaka wa 1987, uhusiano wa Zulu Nation na jumuiya ya muziki ya hip hop ya Ufaransa ulipungua. Baada ya ziara ya Afrika Bambaataa nchini Ufaransa mwaka wa 2008 na kuungana tena kwa Zulu Nation huko Paris, harakati mpya za Universal Zulu Nation zimeibuka katika miji tofauti nchini Ufaransa. <ref>Prevos, A.J.M., "Post-colonial Popular Music in France: Rap Music and Hip-Hop Culture in the 1980s and 1990s." In ''Global Noise: Rap and Hip-Hop Outside the USA''. Tony Mitchell ed., pp. 29–56. Middletown: Wesleyan University Press, 2001.</ref> Kwa mujibu wa Veronique Henelon, "rap ya Kifaransa imekuwa ikionyesho uhusiano na Afrika."<ref>Henelon, V. "Africa on Their Mind: Rap, Blackness, and Citizenship in France." In ''The Vinyl Ain't Final: Hip-Hop and the Globalisation of Black Popular Culture''. Dipannita Basu and Sidney J. Lemelle, eds., pp. 151–66. London; Ann Arbor, MI: Pluto Press, 2006</ref> Kipindi cha kwanza cha televisheni cha hip-hop kinaripotiwa kuonekana nchini Ufaransa. Kiliitwa '[[H.I.P. H.O.P]].' na kilionyeshwa na kituo cha [[TF1]] mnamo 1984.
==Wanachama mashuhuri na washirika==
* [[DJ Kool Herc]]
* [[Q-Tip (musician)|Q-Tip]]
* [[Joeystarr]]
* [[Fab Five Freddy]]
* [[Ryuichi Sakamoto]]
* [[Kurtis Blow]]
* [[Spoonie Gee]]
* [[Rakaa]]
* [[Lord Jamar]]
* [[Kool Moe Dee]]
* [[Ice-T]]
* [[Ice Cube]]
* [[Immortal Technique]]
* [[Big Boi]]
* [[Ad-Rock]]
* [[Freddie Gibbs]]
* [[9th Wonder]]
* [[Lovebug Starski]] (marehemu)
* [[Jam Master Jay]] (marehemu)
* [[Phife Dawg]] (marehemu)
* [[Lil Wayne]]<ref>{{Cite web|url=http://www.mtv.com/news/2010970/lil-wayne-joins-zulu-nation/|title=Lil Wayne is Reportedly Joining the Hip-Hop Awareness Organization Zulu Nation}}</ref>
* Zulu King Flowrex
* DJ Fuze (UK)
* Donnie’s Dad
* MC Spice
* Soul Messiah
* [[Bronx Style Bob]]
==Katika tamaduni maarufu==
Universal Zulu Nation imeangaziwa kwa urefu katika mfululizo wa filamu ya Netflix "The Get Down" iliyotoka mwaka 2016. Katika mfululizo huo, nafasi ya Afrika Bambaataa imeigizwa na mwigizaji mwenye asili ya [[Nigeria]] [[Okieriete Onaodowan]].
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.zulunation.com/ Tovuti rasmi ya Zulu Nation]
* [http://www.zulunation.nl/ Universal Zulu Nation Uholanzi]
* [https://web.archive.org/web/20120221172703/http://www.zulunation.com.au/ Universal Zulu Nation Australia]
* [https://web.archive.org/web/20160105045657/http://www.hiphopmalta.com/ Universal Zulu Nation Malta]
* [http://www.daveyd.com/zulunationhistory.html "Zulu Nation: From Gang To Glory"], by [[Davey D]]
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:makundi ya muziki]]
[[Jamii:hip hop]]
0s82ibl8bpnmeggm4i0hv5hv2s1qlei
Majadiliano:Straton Filbert Kilawe
1
152889
1233818
1233782
2022-07-19T18:33:01Z
Hip hop Sana society
54739
/* Panishee mdudu */ mjadala mpya
wikitext
text/x-wiki
Straton F Kilawe
Anatambulika kwa Jina La Kisanii Kama Panishee Mdudu Au Panishit ,
Ni Rapper na Mwanaharakati Wa Hip Hop kutoka Arusha Nchini Tanzania.
Amezaliwa mwaka tarehe 11.10.1990
Ni Mtoto Wa kwanza wa kiume katika Familia ya Watoto Watatu Iliyokulia katika hali ya mwananchi wa Kawaida Jijini Arusha Tanzania, Alianza kuvutiwa na muziki kutoka Kwa Mama yake Aliyekuwa Mwanakwaya Na baba yake Mshahiri Wa Kiswahili na kujikuta Akiwa na uwezo wa kuwaandikia watu mashairi ya Kiswahili Shuleni wanapopewa mazoezi ya Somo La Kiswahili,
Panishit Ni Msomi Wa Degree ya Sayansi Ya biolojia aliyotunukiwa na raisi mstaafu wa Tanzania ‘Benjamin William Mkapa ‘ Chuo Kikuu Cha Dodoma Mwaka 2014 ,
Alianza kujihusisha na muziki rasmi Mwaka 2012 Pale alipofanikiwa Kuingia Studio na Kurekodi Singo yake ya Kwanza akiwa na Kundi Lake GAZA GANG CLAN ,wimbo uliorekodiwa katika Studio za Noiz Mekah Arusha Chini Ya Producer Def Xtro (DX) wimbo uliompa nafasi ya Kuperfome Jukwaa Moja La Grand Malti na Msanii Wa Hip Hop Joh Makini,
Kwa Uwezo Wake Mzuri wa Kucheza na Mic , Joh makini Alimpandisha Jukwaani na Huku Akimwambia "Punish It , Punish It " (Akimaanisha Achane kisawa sawa ) Hapo ndio ukawa Mwanzo wa Kutumia jina "PANISHIT" katika kazi zake za Kisanaa,
Mwaka huo Huo Alirecord wimbo wake wa Pili studio Ile Ile Alioupa Jina #Maradhi Wimbo Ambao Ulivutia Masikio Ya Mkongwe Wa Hip Hop kutoka Watengwa JCB kitu kilichompa Moyo Rapa Huyo baada ya Chindo Man pia Kumrecognise na kumuita katika Studio Ya Watengwa Record (WTC) iliyopo kijenge Juu Jijini Arusha,
,Kazi Alizozifanya Na Producer Kz Kutoka kazawaza Records Arusha Zilimfanya Azidi Kujipatia Mashabiki wa hip hop Huku akijihusisha na Na Harakati za hip hop , kama Kilinge Cha Tamaduni Muzik na S.U.A
Katika Kipindi Hichi , Panishee Mdudu Alikutana kwa uKaribu na Msanii Mkongwe Wa Hip Hop Tanzania #NashMc Ambaye Alianza kumfundisha mambo mbali mbali kuhusu soko la muziki wa Hip Hop na Changamoto zake , Maalim Nash Alimpa Panishee Mdudu Nafasi Ikiwa ni Pamoja na Kumtambulisha Kwa Mashabiki wake wa Hip Hop , Na kumpa Connection kwa Watangazaji Wa Radio kama Kadhaa ,
Mwaka 2014 Panishit Alizidi Kujipatia Umaarufu kwa Jamii Ya Hip Hop Baada Ya Ngoma Yake "Mi Sijui" kuingia Top Ten ya Ngoma Zulizodownlodiwa Zaidi Kenya Kwenye Mtandao wa MDUNDO.COM akiwa kwenye Chart Moja na Wasanii , Bahati Kenya , H_the Band na Nikki Mbishi , Chart Ambayo Ilichapishwa na Mtandao Maarufu Wa muziki Kenya Ghafla.Com
Wimbo Huo Pia Ulipata Nafasi Ya Kuchezwa Katika Vituo Kadhaa vya Radio , Ambapo DJ Maarufu Dj Mafuvu Aliupa Nafasi Kila Alipoingia Mtamboni kwenye Planet Bongo Ya East Africa Radio.
Mwaka Uliofuata Panishit Alirekodi Kazi na wasanii kama Nakaaya Sumari na Walter Chilambo (Sasa Anafanya Gospel),akiungana King Kapita(Aliyekuwa Kundi La wakacha ) naMack G na Kuunda Click Iliyoitwa Watu Wabaya Click (WWC) kundi ambalo Halikudumu Kwa Muda Mrefu ,
Baada ya Watu Wabaya Click kusambaratika Haukuwa mwisho wa Panishit Kufanya Harakati za Kundi kwani Aliungana na Myson Artist Pamoja na Nasho Smartkid na kulisimamisha kundi la Rotten Blood ambalo Liliwatambulisha Zaidi kwa Mashabiki wa Muziki Tanzania baada ya kurekodi Nyimbo kadhaa wasanii wakubwa Kama Linex Sunday Mjeda , Belle 9 na Moni Centrozone ambapo ngoma hizo zilitengenezwa na Maproduzer ,Mr Ttach , Bin laden, Mesen Seleka na Tony Drizzy , Ngoma zilizopata Nafasi ya kuchezwa na vituo vya Radio Na Tv za Tanzania ..
== Panishee mdudu ==
Jina la makala limebadilishwa ,lilitakiwa kuwa Panishee Mdudu na sio Straton Filbert Kilawe , Jina Maarufu na linalojulikana ni Panishee Mdudu ama Panishit '''[[Mtumiaji:Hip hop Sana society|Hip hop Sana society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hip hop Sana society|majadiliano]])''' 18:33, 19 Julai 2022 (UTC)
px1mn55tmzc3ae5saukkzoz5t4sngvg
1233835
1233818
2022-07-20T07:32:03Z
Riccardo Riccioni
452
/* Panishee mdudu */
wikitext
text/x-wiki
Straton F Kilawe
Anatambulika kwa Jina La Kisanii Kama Panishee Mdudu Au Panishit ,
Ni Rapper na Mwanaharakati Wa Hip Hop kutoka Arusha Nchini Tanzania.
Amezaliwa mwaka tarehe 11.10.1990
Ni Mtoto Wa kwanza wa kiume katika Familia ya Watoto Watatu Iliyokulia katika hali ya mwananchi wa Kawaida Jijini Arusha Tanzania, Alianza kuvutiwa na muziki kutoka Kwa Mama yake Aliyekuwa Mwanakwaya Na baba yake Mshahiri Wa Kiswahili na kujikuta Akiwa na uwezo wa kuwaandikia watu mashairi ya Kiswahili Shuleni wanapopewa mazoezi ya Somo La Kiswahili,
Panishit Ni Msomi Wa Degree ya Sayansi Ya biolojia aliyotunukiwa na raisi mstaafu wa Tanzania ‘Benjamin William Mkapa ‘ Chuo Kikuu Cha Dodoma Mwaka 2014 ,
Alianza kujihusisha na muziki rasmi Mwaka 2012 Pale alipofanikiwa Kuingia Studio na Kurekodi Singo yake ya Kwanza akiwa na Kundi Lake GAZA GANG CLAN ,wimbo uliorekodiwa katika Studio za Noiz Mekah Arusha Chini Ya Producer Def Xtro (DX) wimbo uliompa nafasi ya Kuperfome Jukwaa Moja La Grand Malti na Msanii Wa Hip Hop Joh Makini,
Kwa Uwezo Wake Mzuri wa Kucheza na Mic , Joh makini Alimpandisha Jukwaani na Huku Akimwambia "Punish It , Punish It " (Akimaanisha Achane kisawa sawa ) Hapo ndio ukawa Mwanzo wa Kutumia jina "PANISHIT" katika kazi zake za Kisanaa,
Mwaka huo Huo Alirecord wimbo wake wa Pili studio Ile Ile Alioupa Jina #Maradhi Wimbo Ambao Ulivutia Masikio Ya Mkongwe Wa Hip Hop kutoka Watengwa JCB kitu kilichompa Moyo Rapa Huyo baada ya Chindo Man pia Kumrecognise na kumuita katika Studio Ya Watengwa Record (WTC) iliyopo kijenge Juu Jijini Arusha,
,Kazi Alizozifanya Na Producer Kz Kutoka kazawaza Records Arusha Zilimfanya Azidi Kujipatia Mashabiki wa hip hop Huku akijihusisha na Na Harakati za hip hop , kama Kilinge Cha Tamaduni Muzik na S.U.A
Katika Kipindi Hichi , Panishee Mdudu Alikutana kwa uKaribu na Msanii Mkongwe Wa Hip Hop Tanzania #NashMc Ambaye Alianza kumfundisha mambo mbali mbali kuhusu soko la muziki wa Hip Hop na Changamoto zake , Maalim Nash Alimpa Panishee Mdudu Nafasi Ikiwa ni Pamoja na Kumtambulisha Kwa Mashabiki wake wa Hip Hop , Na kumpa Connection kwa Watangazaji Wa Radio kama Kadhaa ,
Mwaka 2014 Panishit Alizidi Kujipatia Umaarufu kwa Jamii Ya Hip Hop Baada Ya Ngoma Yake "Mi Sijui" kuingia Top Ten ya Ngoma Zulizodownlodiwa Zaidi Kenya Kwenye Mtandao wa MDUNDO.COM akiwa kwenye Chart Moja na Wasanii , Bahati Kenya , H_the Band na Nikki Mbishi , Chart Ambayo Ilichapishwa na Mtandao Maarufu Wa muziki Kenya Ghafla.Com
Wimbo Huo Pia Ulipata Nafasi Ya Kuchezwa Katika Vituo Kadhaa vya Radio , Ambapo DJ Maarufu Dj Mafuvu Aliupa Nafasi Kila Alipoingia Mtamboni kwenye Planet Bongo Ya East Africa Radio.
Mwaka Uliofuata Panishit Alirekodi Kazi na wasanii kama Nakaaya Sumari na Walter Chilambo (Sasa Anafanya Gospel),akiungana King Kapita(Aliyekuwa Kundi La wakacha ) naMack G na Kuunda Click Iliyoitwa Watu Wabaya Click (WWC) kundi ambalo Halikudumu Kwa Muda Mrefu ,
Baada ya Watu Wabaya Click kusambaratika Haukuwa mwisho wa Panishit Kufanya Harakati za Kundi kwani Aliungana na Myson Artist Pamoja na Nasho Smartkid na kulisimamisha kundi la Rotten Blood ambalo Liliwatambulisha Zaidi kwa Mashabiki wa Muziki Tanzania baada ya kurekodi Nyimbo kadhaa wasanii wakubwa Kama Linex Sunday Mjeda , Belle 9 na Moni Centrozone ambapo ngoma hizo zilitengenezwa na Maproduzer ,Mr Ttach , Bin laden, Mesen Seleka na Tony Drizzy , Ngoma zilizopata Nafasi ya kuchezwa na vituo vya Radio Na Tv za Tanzania ..
== Panishee mdudu ==
Jina la makala limebadilishwa ,lilitakiwa kuwa Panishee Mdudu na sio Straton Filbert Kilawe , Jina Maarufu na linalojulikana ni Panishee Mdudu ama Panishit '''[[Mtumiaji:Hip hop Sana society|Hip hop Sana society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Hip hop Sana society|majadiliano]])''' 18:33, 19 Julai 2022 (UTC)
:Nakubali hoja hiyo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 20 Julai 2022 (UTC)
ewk2fizphj8v4lx51q94ieybt3hr9fo
Straton Filbert Kilawe
0
152918
1233817
1233784
2022-07-19T17:24:48Z
Hip hop Sana society
54739
Jina la makala ni Panishee Mdudu Ila jina LA familia ndio Straton Filbert kilawe , Hi yo jina la makala ndio lanalojulikana zaidi kwenye kazi zake na sio jina la familia
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2|background=solo_singer|picha=|maelezo=|tarehe ya kuzaliwa={{birth date and age|1990|10|11|df=yes}}|mahali pa kuzaliwa=[[Arusha]],[[Tanzania]]|tarehe ya kufa=|mahali alipofia=|Kazi yake=[[Rapa]]<br>[[Mtunzi wa Nyimbo]]<br>[[Mwanaharakati]]<br> [[Mshairi]]|Jina=Panishee Mdudu|Jina la kuzaliwa=Straton Filbert Kilawe|Jina lingine=Panishit<br>Panipain<br>Panishit Maradhi|Miaka ya kazi=2012 - hadi leo|Studio=<nowiki>[[Hip Hop Sana Lab]</nowiki>|Ameshirikiana na=*[[Moni Centrozone]]
*[[Belle 9]]
*[[Linex Mjeda]]
*[[Nakaaya]]|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Arusha]], [[Tanzania]]}}
'''Panishee Mdudu''' <ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/panishee-mdudu-mapaka-freestyle/|accessdate=2022-07-07|language=en}}</ref> (pia anajulikana kwa [[jina la kisanii]] au '''Panishit'''; alizaliwa [[11 Oktoba]] [[1990]]) ni [[mwanamuziki]] na [[mwanaharakati]] wa [[Hip hop]] kutoka [[Arusha (mji)|Arusha]] nchini [[Tanzania]].
Mwaka 2014 Panishit alirekodi kazi na wasanii kama [[Nakaaya]] na [[Walter Chilambo]] (sasa anafanya gospel)<ref>{{Cite web|title=These Are The Top Ten Most Downloaded Songs In Kenya|url=https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/|work=Ghafla!|date=2014-06-09|accessdate=2022-07-07|language=en-US|author=Nwasante Khasiani (Writer), Nwasante Khasiani (Writer)}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Panishee Mdudu ⚜ Online songs and bio of the artist — mdundo.com|url=https://mdundo.com/a/2846|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-07|language=en}}</ref>.
Panishit pia ameshirikiana na [[Moni Centrozone]], [[Linex Sunday Mjeda]] na [[Belle Nine]] <ref>{{Cite web|title=AUDIO {{!}} Panishit X Mack G - FIMBO {{!}} Download|url=https://djmwanga.com/2017/03/panishit-x-mack-g-fimbo.html|work=DJ Mwanga|date=2017-03-20|accessdate=2022-07-07|language=en-US|author=djmwanga}}</ref><ref>{{Cite web|title=Audiomack {{!}} Free Music Sharing and Discovery|url=https://audiomack.com/panishit|work=audiomack.com|accessdate=2022-07-08|language=en}}</ref>.
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{BD|1990|}}
[[jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]]
mr960hwlvkxhi6v39apl72pyp3iwowt
Daa-njugu
0
153212
1233808
2022-07-19T13:24:22Z
ChriKo
35
Ukurasa mpya
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Daa-njugu
| picha = Themiste petricola, retracted.jpg
| upana_wa_picha = 200px
| picha2 = Themiste petricola, everted.jpg
| upana_wa_picha2 = 200px
| maelezo_ya_picha2 = Daa-njugu (''Themiste petricola'').<br>Juu: mwili umefupishwa (umbo la njugu); chini: mwili umerefuka.
| himaya = [[Animalia]]
| nusuhimaya = [[Eumetazoa]]
| himaya_bila_tabaka = [[Protostomia]]
| faila_ya_juu = [[Lophotrochozoa]]
| faila = [[Sipuncula]]
| bingwa_wa_faila = [[Constantine Samuel Rafinesque|Rafinesque]], 1814
| subdivision = '''Ngeli 2, oda 4:'''
* [[Phascolosomatidea]] <small></small>
** [[Aspidosiphoniformes]] <small></small>
** [[Phascolosomatiformes]] <small></small>
* [[Sipunculidea]] <small>[[Edward Cutler|Cutler]] & [[Peter E. Gibbs|Gibbs]], 1985</small>
** [[Golfingiiformes]] <small>Cutler & Gibbs, 1985</small>
** [[Sipunculiformes]] <small></small>
}}
'''Daa-njugu''' (kutoka kwa [[Kiing.]] [[w:Sipuncula|peanut worm]]) ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[faila]] [[Sipuncula]] wanaofanana na [[daa]] wa kawaida. Jina linatoka kwa umbo lao la [[njugu]] wakiwa wamejifupisha.
Daa-njugu hutofautiana kwa ukubwa lakini [[spish]]i nyingi zina urefu wa chini ya [[sm]] 10. [[Mwili]] umegawanywa katika [[kiwiliwili]] kinene kisicho na [[pingili]] na sehemu nyembamba ya mbele ambayo inaweza kurudishwa ndani ya kiwiliwili. [[Mdomo]] uko kwenye ncha ya sehemu hii ya mbele na umezungukwa katika vikundi vingi kwa [[duara]] ya [[mnyiri|minyiri]] mifupi. Kwa sababu hauna sehemu ngumu, mwili ni kinamo. Ingawa hupatikana katika anuwai ya makazi katika [[bahari]] zote za [[dunia]] spishi nyingi huishi katika makazi ya kina kifupi, wakichimba chini ya uso wa [[sakafu ya bahari|sakafu]] za [[mchanga]] na [[matope]]. Nyingine zinaishi chini ya [[jiwe|mawe]], katika mianya ya [[mwamba|miamba]] au katika maeneo mengine yaliyofichwa.
Daa-njugu wengi hujilisha kwa mabaki madogo wakirefusha mwili wa mbele ili kukusanya chembe za [[chakula]] na kuzivuta [[kinywa]]ni. Inarudishwa wakati hali ya kujilisha haifai au hatari inatishia. Isipokuwa spishi chache, [[uzazi]] ni wa kijinsia na unahusisha hatua ya [[lava]] wa ki[[planktoni]]. Daa-njugu hutumiwa kama chakula katika baadhi ya nchi za [[Asia ya Kusini-Mashariki]].
==picha==
<gallery>
Golfingia.jpg|Daa-njugu akionyesha sehemu ya mbele ya mwili yenye minyiri mifupi
</gallery>
[[Jamii:Daa-njugu]]
ebjhdi6z1n733s4hog155h37zx2qksf
Sipuncula
0
153213
1233809
2022-07-19T13:25:43Z
ChriKo
35
Redirect mpya
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Daa-njugu]]
[[Jamii:Sipuncula]]
g6ri4t3bqov5y75dar9c8u8s3p09qt9
Jamii:Sipuncula
14
153214
1233810
2022-07-19T13:26:20Z
ChriKo
35
Jamii mpya
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Lophotrochozoa]]
lichwutb7ek9nnomwchjagrm5rne2fc
Jamii:Daa-njugu
14
153215
1233811
2022-07-19T13:26:48Z
ChriKo
35
Jamii mpya
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wanyama]]
854ms27hcsntdk56fl0jjk95ft2vnc7
Majadiliano ya mtumiaji:Dazih tz
3
153216
1233814
2022-07-19T16:18:38Z
Kipala
107
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== == {{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
== ==
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:18, 19 Julai 2022 (UTC)
hrq4i5hmg5zvqhwvd3ly9nbjkvm23tx
Majadiliano ya mtumiaji:Sharon museum marwa
3
153217
1233815
2022-07-19T16:18:41Z
Kipala
107
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== == {{karibu}}~~~~'
wikitext
text/x-wiki
== ==
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:18, 19 Julai 2022 (UTC)
hrq4i5hmg5zvqhwvd3ly9nbjkvm23tx
Majadiliano ya mtumiaji:Kichiu
3
153218
1233833
2022-07-20T07:29:36Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== == {{karibu}}~~~~''
wikitext
text/x-wiki
== ==
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:29, 20 Julai 2022 (UTC)'
8p7mw5ikvlmktltyhi7xhl14tojeudb
Majadiliano ya mtumiaji:Stella mungelule
3
153219
1233834
2022-07-20T07:29:54Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== == {{karibu}}~~~~''
wikitext
text/x-wiki
== ==
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:29, 20 Julai 2022 (UTC)'
8p7mw5ikvlmktltyhi7xhl14tojeudb