Wikipedia
swwiki
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.39.0-wmf.22
first-letter
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wikipedia
Majadiliano ya Wikipedia
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
Lango
Majadiliano ya lango
Wikichanzo
Majadiliano ya Wikichanzo
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Gadget
Gadget talk
Gadget definition
Gadget definition talk
Mahore
0
2501
1235927
875679
2022-07-27T15:59:35Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236105
1235927
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Addbot|Addbot]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha: Mayotte-CIA WFB Map.png |thumb|right|300px|Ramani ya Mahore na Pamanzi]]
'''Mahore''' ([[Kifaransa]]: '''Grande-Terre''') ni kisiwa kikubwa cha [[eneo la ng’ambo la Ufaransa]] la [[Mayotte]]. Kisiwa cha pili ni [[Pamanzi]] (Kifaransa: Petite-Terre).
Mahore ina urefu wa 39 km na upana wa 22 km. Milima yake ni Mont Benara (660 m), Mont Choungui (594 m), Mont Mtsapere (572 m) et Mont Combani (477).
Mji mkubwa ni [[Mamoudzou]]. Kitovu cha kiuchumi ni [[Kawéni]].
Kijiografia kisiwa ni sehemu ya funguviwa ya [[Komoro]].
[[Jamii:Mayotte]]
[[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]]
[[Jamii:Visiwa vya Afrika]]
3bf7vsnhxzp9lwpn6wrv9v6vacw20x5
1995
0
4487
1236014
989124
2022-07-27T16:18:42Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236015
1236014
2022-07-27T16:18:56Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236031
1236015
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
{{Mwaka|1995}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1995 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
== Matukio ==
* [[30 Julai]] - Nchini [[Kenya]], wazee [[Wakikuyu]] na wazee [[Wakalenjin]], baadhi yao [[mbunge|wabunge]] hamsini na wawili, wanatangaza mapatano ya [[amani]].
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
* [[5 Desemba]] - [[Anthony Martial]], [[mchezaji wa mpira]] kutoka [[Ufaransa]]
* [[14 Desemba]] - [[Herieth Paul]], mwanamitindo kutoka [[Tanzania]]
== Waliofariki ==
* [[1 Januari]] - [[Eugene Wigner]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1963]]
* [[18 Januari]] - [[Adolf Butenandt]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]], mwaka wa [[1939]]
* [[2 Februari]] - [[Donald Pleasence]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Uingereza]]
* [[6 Februari]] - [[James Merrill]], mshairi kutoka [[Marekani]]
* [[1 Machi]] - [[Georges Köhler]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]], mwaka wa [[1984]]
* [[8 Machi]] – [[Paul Horgan]], [[mwandishi]] wa [[Marekani]] na mshindi wa [[Tuzo ya Pulitzer]], mwaka wa [[1955]]
* [[14 Machi]] - [[William Fowler]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]], mwaka wa [[1983]]
* [[16 Machi]] - [[Albert Hackett]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
* [[20 Machi]] - [[Sidney Kingsley]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
* [[23 Machi]] - [[Marijani Rajab]], mwanamuziki kutoka [[Tanzania]]
* [[26 Machi]] - [[Eazy-E]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]]
* [[2 Aprili]] - [[Hannes Alfven]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1970]]
* [[14 Mei]] - [[Christian Anfinsen]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1972]]
* [[25 Juni]] - [[Ernest Walton]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]], mwaka wa [[1951]]
* [[21 Agosti]] - [[Subrahmanyan Chandrasekhar]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]], mwaka wa [[1983]]
* [[16 Novemba]] - [[Charles Gordone]], mwandishi kutoka [[Marekani]]
* [[6 Desemba]] – [[James Reston]], mwandishi wa [[Marekani]] na mshindi wa [[Tuzo ya Pulitzer]], mwaka wa [[1945]]
==Viungo vya nje==
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 20]]
fygw272axr17kiww40ce7ulullcps59
1895
0
4547
1235979
987198
2022-07-27T16:10:12Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236055
1235979
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
{{Mwaka|1895}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1895 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
* [[15 Januari]] - [[Artturi Ilmari Virtanen]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1945]])
* [[21 Februari]] - [[Henrik Dam]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]], mwaka wa [[1943]])
* [[28 Februari]] - [[Marcel Pagnol]], mwandishi kutoka [[Ufaransa]]
* [[1 Mei]] - [[Leo Sowerby]] (mtungaji muziki [[Marekani|Mmarekani]], na mshindi wa [[Tuzo ya Pulitzer]], mwaka wa [[1946]])
* [[12 Mei]] - [[William Giauque]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1949]])
* [[3 Juni]] - [[Robert Hillyer]], mshairi kutoka [[Marekani]]
* [[8 Julai]] - [[Igor Tamm]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1958]])
* [[24 Septemba]] - [[Andre Cournand]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1956]])
* [[30 Oktoba]] - [[Gerhard Domagk]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1939]])
* [[30 Oktoba]] - [[Dickinson Richards]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1956]])
* [[14 Desemba]] - [[Paul Eluard]] (mshairi Mfaransa)
== Waliofariki ==
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 19]]
dy67j5tvky2l43ruf4wjww9y7u0s05d
3 Februari
0
4656
1236243
1226520
2022-07-28T08:32:26Z
Riccardo Riccioni
452
/* Sikukuu */
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''3 Februari''' ni [[siku]] ya [[thelathini na nne]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 331 (332 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
* [[1795]] - [[Antonio José de Sucre]], [[Rais]] wa [[Peru]] ([[1823]]) na Rais wa [[Bolivia]] ([[1825]]-[[1828]])
* [[1809]] - [[Felix Mendelssohn]], mtunzi wa muziki kutoka [[Ujerumani]]
* [[1907]] - [[James Michener]], [[mwandishi]] [[Marekani|Mmarekani]], na mshindi wa [[Tuzo ya Pulitzer]] mwaka wa [[1948]]
* [[1951]] - [[Blaise Compaoré]], Rais wa [[Burkina Faso]]
* [[1982]] - [[Isha Ramadhani]], [[mwimbaji]] kutoka [[Tanzania]]
* [[1990]] - [[Sean Kingston]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Jamaika]]
== Waliofariki ==
* [[865]] - [[Ansgar Mtakatifu]], [[Askofu]] wa [[Hamburg]]
* [[1709]] - [[Mtakatifu]] [[Nikolasi Saggio wa Longobardi]], [[mtawa]] wa shirika la [[Waminimi]] kutoka [[Italia]]
* [[1924]] - [[Woodrow Wilson]], Rais wa [[Marekani]], na mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1919]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Blasi]], [[Ansgar Mtakatifu|Ansgari]], [[Simeoni wa Yerusalemu]], [[Ana wa Yerusalemu]], [[Selerino na wenzake]], [[Leonio wa Poitiers]], [[Teridi na Remedi]], [[Lupisino wa Lyon]], [[Adelino wa Celles]], [[Verburga wa Ely]], [[Klaudina Thevenet]], [[Maria Rivier]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|February 3|3 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/3 BBC: On This Day]
{{DEFAULTSORT:Februari 03}}
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Februari]]
a869dd7fbglq3oyxzcmst1ogjjm5bbx
1236256
1236243
2022-07-28T09:01:54Z
Riccardo Riccioni
452
/* Sikukuu */
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''3 Februari''' ni [[siku]] ya [[thelathini na nne]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 331 (332 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
* [[1795]] - [[Antonio José de Sucre]], [[Rais]] wa [[Peru]] ([[1823]]) na Rais wa [[Bolivia]] ([[1825]]-[[1828]])
* [[1809]] - [[Felix Mendelssohn]], mtunzi wa muziki kutoka [[Ujerumani]]
* [[1907]] - [[James Michener]], [[mwandishi]] [[Marekani|Mmarekani]], na mshindi wa [[Tuzo ya Pulitzer]] mwaka wa [[1948]]
* [[1951]] - [[Blaise Compaoré]], Rais wa [[Burkina Faso]]
* [[1982]] - [[Isha Ramadhani]], [[mwimbaji]] kutoka [[Tanzania]]
* [[1990]] - [[Sean Kingston]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Jamaika]]
== Waliofariki ==
* [[865]] - [[Ansgar Mtakatifu]], [[Askofu]] wa [[Hamburg]]
* [[1709]] - [[Mtakatifu]] [[Nikolasi Saggio wa Longobardi]], [[mtawa]] wa shirika la [[Waminimi]] kutoka [[Italia]]
* [[1924]] - [[Woodrow Wilson]], Rais wa [[Marekani]], na mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1919]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Blasi]], [[Ansgar Mtakatifu|Ansgari]], [[Simeoni wa Yerusalemu]], [[Ana wa Yerusalemu]], [[Selerino wa Karthago|Selerino na wenzake]], [[Leonio wa Poitiers]], [[Teridi na Remedi]], [[Lupisino wa Lyon]], [[Adelino wa Celles]], [[Verburga wa Ely]], [[Klaudina Thevenet]], [[Maria Rivier]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|February 3|3 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/3 BBC: On This Day]
{{DEFAULTSORT:Februari 03}}
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Februari]]
r2qz5bdaray15s25nhxbct5y56a1sxh
1236278
1236256
2022-07-28T09:45:10Z
Riccardo Riccioni
452
/* Sikukuu */
wikitext
text/x-wiki
{{Februari}}
Tarehe '''3 Februari''' ni [[siku]] ya [[thelathini na nne]] ya [[mwaka]]. Mpaka uishe zinabaki siku 331 (332 katika miaka mirefu).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
* [[1795]] - [[Antonio José de Sucre]], [[Rais]] wa [[Peru]] ([[1823]]) na Rais wa [[Bolivia]] ([[1825]]-[[1828]])
* [[1809]] - [[Felix Mendelssohn]], mtunzi wa muziki kutoka [[Ujerumani]]
* [[1907]] - [[James Michener]], [[mwandishi]] [[Marekani|Mmarekani]], na mshindi wa [[Tuzo ya Pulitzer]] mwaka wa [[1948]]
* [[1951]] - [[Blaise Compaoré]], Rais wa [[Burkina Faso]]
* [[1982]] - [[Isha Ramadhani]], [[mwimbaji]] kutoka [[Tanzania]]
* [[1990]] - [[Sean Kingston]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Jamaika]]
== Waliofariki ==
* [[865]] - [[Ansgar Mtakatifu]], [[Askofu]] wa [[Hamburg]]
* [[1709]] - [[Mtakatifu]] [[Nikolasi Saggio wa Longobardi]], [[mtawa]] wa shirika la [[Waminimi]] kutoka [[Italia]]
* [[1924]] - [[Woodrow Wilson]], Rais wa [[Marekani]], na mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1919]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Blasi]], [[Ansgar Mtakatifu|Ansgari]], [[Simeoni wa Yerusalemu]], [[Ana wa Yerusalemu]], [[Selerino wa Karthago|Selerino na wenzake]], [[Leonio wa Poitiers]], [[Teridi na Remedi]], [[Lupisino wa Lyon]], [[Adelino wa Celles]], [[Werburga]], [[Berlinda]], [[Klaudina Thevenet]], [[Maria Rivier]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|February 3|3 Februari}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/february/3 BBC: On This Day]
{{DEFAULTSORT:Februari 03}}
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Februari]]
jq2f3rpmexlmtr44labri4jufx4w1ni
23 Oktoba
0
4935
1235933
1226733
2022-07-27T16:00:27Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236128
1235933
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
{{Oktoba}}
Tarehe '''23 Oktoba''' ni [[siku]] ya 296 ya [[mwaka]] (ya 297 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 69.
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
* [[1835]] - [[Adlai Stevenson]], [[Kaimu Rais]] wa [[Marekani]] ([[1893]]-[[1897]])
* [[1844]] - [[Sarah Bernhardt]], [[mwigizaji]] wa [[tamthilia]] kutoka [[Ufaransa]]
* [[1905]] - [[Felix Bloch]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1952]]
* [[1908]] - [[Ilya Frank]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1958]]
== Waliofariki ==
* [[472]] - [[Olybrius]], [[Kaisari]] wa [[Dola la Roma Magharibi]]
* [[930]] - [[Daigo]], mfalme mkuu wa Japani (897-930)
* [[949]] - [[Yozei]], mfalme mkuu wa Japani (884-887)
* [[1456]] - [[Mtakatifu]] [[Yohane wa Kapestrano]], [[padri]] wa shirika la [[Ndugu Wadogo]] kutoka [[Italia]]
* [[1892]] - [[Emin Pasha]], [[daktari]] na [[mwanasiasa]] [[Ujerumani|Mjerumani]] aliyefanya kazi katika [[Milki ya Osmani]]
* [[1944]] - [[Charles Glover Barkla]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1917]]
* [[1986]] - [[Edward Doisy]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1943]]
* [[2010]] - [[George Cain]], [[mwandishi]] wa [[Marekani]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Yohane wa Kapestrano]], [[Servando na Jermano]], [[Yohane na Yakobo]], [[Theodoreto wa Antiokia]], [[Severino wa Koln]], [[Romano wa Rouen]], [[Benedikto wa Herbauge]], [[Ignasi wa Konstantinopoli]], [[Paulo Tong Buong|Paulo Tong Viet Buong]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|October 23|Oktoba 23}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/october/23 BBC: On This Day]
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/october_23 Today in Canadian History]{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Oktoba 23}}
[[Jamii:Oktoba]]
1k3pgo60la71qw5gckmlpnlfnfsx2z4
23 Novemba
0
4967
1235963
1226732
2022-07-27T16:06:43Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236100
1235963
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
{{Novemba}}
Tarehe '''23 Novemba''' ni [[siku]] ya 327 ya [[mwaka]] (ya 328 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 38.
== Matukio ==
* [[1700]] - [[Uchaguzi]] wa [[Papa Klementi XI]]
== Waliozaliwa ==
* [[1804]] - [[Franklin Pierce]], [[Rais]] wa [[Marekani]] ([[1853]]-[[1857]])
* [[1837]] - [[Johannes Diderik van der Waals]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1910]]
* [[1860]] - [[Karl Hjalmar Branting]], [[mwanasiasa]] [[Uswidi|Mswidi]] na mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1921]]
* [[1922]] - [[Joan Fuster]], [[mwandishi]] wa [[Kikatalunya]] kutoka [[Hispania]]
* [[1941]] - [[Franco Nero]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Italia]]
* [[1971]] - [[Chris Hardwick]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Marekani]]
== Waliofariki ==
* [[1814]] - [[Elbridge Gerry]], Kaimu Rais wa [[Marekani]]
* [[1991]] - [[Klaus Kinski]], mwigizaji filamu kutoka [[Ujerumani]]
*[[1996]] - [[Mohamed Amin]], mpiga picha kutoka [[Kenya]]
* [[2012]] - [[Larry Hagman]], mwigizaji filamu kutoka [[Marekani]]
==Sikukuu==
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Papa Klementi I]], [[Kolumbano]], [[Felisita wa Roma]], [[Mustiola]], [[Sisini wa Kuziko]], [[Lukresia wa Merida]], [[Anfiloki wa Ikonio]], [[Severini wa Paris]], [[Gregori wa Agrigento]], [[Trudo]], [[Sesilia Yu So-sa]] n.k.
==Viungo vya nje==
{{commons|November 23|Novemba 23}}
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/novemba/23 BBC: On This Day]{{Dead link|date=June 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/novemba_23 Today in Canadian History]{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}
{{mbegu-historia}}
{{DEFAULTSORT:Novemba 23}}
[[Jamii:Novemba]]
4esq0fb7znap4qrbhuluug5zfab4mbo
Pagieli
0
5210
1235950
1160948
2022-07-27T16:03:49Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236093
1235950
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Kipala|Kipala]]
wikitext
text/x-wiki
'''Pagieli''' alikuwa mwana wa Okran na [[kiongozi]] wa [[kabila la Asheri]] ([[Israeli]]) anayetajwa katika [[Biblia ya Kiebrania]], ambayo ni sehemu ya [[Biblia ya Kikristo]] ([[Agano la Kale]])<ref>[https://www.wordproject.org/bibles/sw/04/2.htm#27 Hesabu 2,27]</ref>. Aliteuliwa kuhesabu kabila lake wakati wa sensa ya Wanaisraeli <ref>[https://www.wordproject.org/bibles/sw/04/1.htm#13 Hesabu 1, 1-13]</ref>.
Alitoa sadaka ya kabila lake kwenye siku ya 11 wakati wa uzinduzi wa maskani takatifu<ref>[https://www.wordproject.org/bibles/sw/04/7.htm#72 Hesabu 7,72]</ref>. Pagieli aliongoza kabila lake wakati wa kuondoka kwenye [[Sinai|jangwa la Sinai]]<ref>[https://www.wordproject.org/bibles/sw/04/10.htm#26 Hesabu 11+26]</ref>.
==Tanbihi==
{{Marejeo}}
==Marejeo==
*[https://biblia.com/factbook/Pagiel Pagiel], tovuti ya Biblia.com/factbook
{{mbegu-mtu-Biblia}}
[[Category:Watu wa Biblia]]
7cx4kqvfswm21yl3mvkq6sjxvf86oao
Ekuador
0
5979
1235892
1166242
2022-07-27T13:28:14Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox_Country
|native_name = ''República del Ecuador''
|conventional_long_name = Jamhuri ya Ekuador
|common_name = Ekuador
|image_flag = Flag of Ecuador.svg
|image_coat =Coat_of_arms_of_Ecuador.svg
|image_map = Ecuador in its region.svg
|national_motto = [[Kihispania]]: ''"Dios, patria y libertad"''<br />("Mungu, taifa na uhuru")
|national_anthem = [[Salve, Oh Patria]] ''(usalimiwe e taifa)''
|official_languages = Kihispania
|capital = [[Quito]]
|latd=00 |latm=9 |latNS=S |longd=78 |longm=21 |longEW=W
|largest_city = [[Guayaquil (Ekuador)|Guayaquil]]
|government_type = [[Jamhuri]]
|leader_titles = [[Rais wa Ekuador|Rais]]
|leader_names =[[Guillermo Lasso]]
|area_rank = ya 75
|area_magnitude = 1 E11
|area= 283,560
|areami²= 109,484
|percent_water = 5
|population_estimate = 15,223,680
|population_estimate_rank = ya 65
|population_estimate_year = 2011
|population_census = 14,483,499
|population_census_year = 2010
|population_density = 58.95
|population_densitymi² = 152.69 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|population_density_rank = ya 151
|GDP_PPP = $57.04 billioni
|GDP_PPP_rank = ya 70
|GDP_PPP_year= 2005
|GDP_PPP_per_capita = $4,316
|GDP_PPP_per_capita_rank = ya 113
|sovereignty_type = [[Uhuru]]
|established_events =Kutoka [[Hispania]] <br /> kutoka [[Gran Colombia]]
|established_dates = <br /> [[24 Mei]] [[1822]] <br /> [[13 Mei]] [[1830]]
|HDI = 0.759
|HDI_rank = ya 82
|HDI_year = 2003
|HDI_category = <font color="#FFCC00">medium</font>
|currency = [[U.S. dollar]]
|currency_code = USD
|country_code =
|time_zone =
|utc_offset = -5; [[UTC]] -6 ([[Galápagos Islands]])
|time_zone_DST =
|utc_offset_DST =
|cctld = [[.ec]]
|calling_code = 593
|-
}}
[[Picha:Ec-map.png|thumb|230px|left|Ramani ya Ekuador]]
'''Ekuador''' (kwa [[Kiswahili]] pia: '''Ekwado''') ni nchi kwenye pwani ya [[magharibi]] ya [[Amerika Kusini]].
[[Jina]] la nchi kwa [[Kihispania]] (Ecuador) lamaanisha "[[ikweta]]", na sababu ni kwamba imekatwa nayo.
Imepakana na [[Kolombia]], [[Peru]] na [[Bahari ya Pasifiki]].
[[Funguvisiwa]] la [[Galapagos]] (Archipiélago de Colón) ni sehemu ya Ekuador ikiwa na [[umbali]] wa karibu [[kilomita]] 1,000 kutoka [[bara]].
[[Mji mkuu]] ni [[Quito]], lakini [[mji]] mkubwa zaidi ni [[Guayaquil]].
==Watu==
Wananchi wengi (71%) wana mchanganyiko wa [[damu]] ya [[Mzungu|Kizungu]] na ya Kiindio. Wenye asili ya [[Afrika]] ni 7.2%, [[Waindio]] ni 7%, na Wazungu ni 6.1%.
Ekuador ilikuwa [[koloni]] la [[Hispania]], hivyo [[lugha]] ya wakazi wengi na [[lugha rasmi]] imekuwa [[Kihispania]] hadi leo. Lakini kuna Waindio wengi, hasa katika [[milima]] ya [[Andes]], wanaoendelea kutumia lugha zao.
[[Asilimia]] 91.95 wana [[dini]], na kati yao 80.44% ni [[Wakatoliki]] ma 11.3% [[Waprotestanti]].
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]]
== Viungo vya nje ==
{{commons|Ecuador}}
* {{es}} [http://www.presidencia.gov.ec/ Rais wa Ekuador tovuti rasmi] {{Wayback|url=http://www.presidencia.gov.ec/ |date=20080506095458 }}
{{Amerika Kusini}}
{{mbegu-jio-AmerikaKusini}}
[[Jamii:Ekuador| ]]
[[Jamii:Nchi za Amerika Kusini]]
[[Jamii:Nchi zinazotumia Kihispania]]
jkmzpr1132h6feyd81bccor6hvgugnc
Boda boda
0
6824
1236170
1151044
2022-07-27T21:23:14Z
41.222.181.188
Hasara za kazi na jinsi jamii inavyoamini kuhusu bodaboda
wikitext
text/x-wiki
[[Image:Bicycle-taxi.jpg|thumb|Boda boda njiani]]
[[Image:Bodaboda.jpg|thumb|Kiti cha boda boda]]
'''Boda boda''' (pia: bodaboda) ni [[neno]] la kutaja [[baisikeli]] inayotumiwa kubeba [[abiria]] katika [[Afrika ya Mashariki]] au "baisikeli ya [[teksi]]". Linaweza kumtaja pia [[dereva]] wa baisikeli hii.
[[Asili]] yake ni kati ya [[Wajaluo]] wa eneo la mpakani kati ya [[Kenya]] na [[Uganda]] karibu na [[ziwa Viktoria]]. Inasemekana asili yake ilikuwa huduma ya kubeba abiria kati ya mipaka ya Kenya na Uganda mjini [[Busia (mji)|Busia]]. Hivyo neno la [[Kiingereza]] la "border" = "boda" lilikuwa chanzo cha jina "boda-boda" Lakini huduma imeenea sehemu mbalimbali kama vile [[pwani]] ya Kenya ([[Mombasa]], [[Malindi]]) na pia katika Uganda.
Baisikeli ya kawaida inayotakiwa imara hubadilishwa kwa kuweka [[kiti]] kirefu kama cha [[pikipiki]].Bodaboda wamekuwa ni chanzo Cha uharibi wa ndoa za watu, kubeba bidhaa haramu, uchafuzi wa mazingira, na vijana wengi kuwa na Imani potofu wakiamini bodaboda ndiyo shule hivyo hawana haha ya kusoma. Hii imepelekea watu wengi kuona bodaboda ni kazi inayofanywa na vijana wahuni waliokosa maadili.
==Pikipiki badala ya baisikeli==
Uganda imeona mabadiliko ambapo [[pikipiki]] zinachukua nafasi za boda boda katika kazi ya kubeba abiria. Kuna makadirio kuhusu mwaka [[2004]] ya kuwa watu 200,000 Uganda walikuwa madereva wa boda boda ya baisikeli na 90,000 wa boda boda ya pikipiki.
==Ajali==
Baada ya wengi kuacha baiskeli na kukimbilia pikipiki kwa ajili ya boda boda, kumekuwa na ongezeko kubla la ajali barabarani. Karibu kila siku watu wanafariki kwa ajali za namna hiyo.
==Viungo vya Nje==
* [http://web490.server-drome.net/bodaboda.html Tovuti kuhusu boda boda katika Afrika]
{{mbegu}}
[[Jamii:Usafiri]]
[[Jamii:Usafiri wa Kenya]]
[[Jamii:Usafiri wa Uganda]]
[[Jamii:Usafiri wa Tanzania]]
486rc2oln095azzrxjiylgt2cdy4m2i
1236233
1236170
2022-07-28T08:14:14Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Image:Bicycle-taxi.jpg|thumb|Boda boda njiani]]
[[Image:Bodaboda.jpg|thumb|Kiti cha boda boda]]
'''Boda boda''' (pia: bodaboda au "baisikeli ya [[teksi]]") ni [[baisikeli]] au [[pikipiki]] inayotumiwa kubeba [[abiria]] katika [[Afrika ya Mashariki]]. Linaweza kumtaja pia [[dereva]] wake.
==Historia==
[[Asili]] yake ni kati ya [[Wajaluo]] wa eneo la mpakani kati ya [[Kenya]] na [[Uganda]] karibu na [[ziwa Viktoria]]. Inasemekana asili yake ilikuwa huduma ya kubeba abiria kati ya mipaka ya Kenya na Uganda mjini [[Busia (mji)|Busia]]. Hivyo [[neno]] la [[Kiingereza]] la "border" = "boda" lilikuwa chanzo cha jina "boda-boda". Halafu huduma imeenea sehemu mbalimbali.
Baisikeli ya kawaida inayotakiwa imara hubadilishwa kwa kuweka [[kiti]] kirefu kama cha [[pikipiki]].
Baadaye kulitokea badiliko ambapo [[pikipiki]] zinachukua nafasi za baiskeli katika kazi ya kubeba abiria. Kuna makadirio kuhusu mwaka [[2004]] ya kuwa watu 200,000 Uganda walikuwa madereva wa boda boda ya baisikeli na 90,000 wa boda boda ya pikipiki.
==Ajali na matatizo==
Baada ya wengi kuacha baiskeli na kukimbilia pikipiki kwa ajili ya boda boda, kumekuwa na ongezeko kubwa la [[ajali]] [[barabara|barabarani]]. Karibu kila [[siku]] watu wanafariki kwa ajali za namna hiyo. Bodaboda wamekuwa pia chanzo cha uharibifu wa [[ndoa]] za watu, ubebaji wa [[bidhaa]] haramu, [[uchafuzi wa mazingira]], na [[Ujana|vijana]] wengi kuwa na imani potofu kuwa bodaboda ndiyo [[shule]], hivyo hawana haha ya kusoma. Hii imepelekea watu wengi kuona bodaboda ni [[kazi]] inayofanywa na vijana [[wahuni]] waliokosa [[maadili]].
==Viungo vya nje==
* [http://web490.server-drome.net/bodaboda.html Tovuti kuhusu boda boda katika Afrika]
{{mbegu}}
[[Jamii:Usafiri]]
[[Jamii:Usafiri wa Kenya]]
[[Jamii:Usafiri wa Uganda]]
[[Jamii:Usafiri wa Tanzania]]
1unb7rudbyjph0nffffek6wyyhoidav
Armenia
0
7675
1236247
1215497
2022-07-28T08:44:53Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Country
| native_name = <span style="line-height:1.33em;"> Հայաստանի Հանրապետություն <br />''Hayastani Hanrapetutyun''<!--Eastern Armenian transliteration--></span>
| conventional_long_name = <span style="line-height:1.33em;">Jamhuri ya Armenia</span>
| common_name = Armenia
| image_flag = Flag of Armenia.svg
| image_coat = Coat of arms of Armenia.svg
| national_motto = [[Kiarmenia]]: Մեկ Ազգ , Մեկ Մշակույթ<br /><small>"Mek Azg, Mek Mshakowyt"<br />"Taifa moja, utamaduni mmoja"</small>
| image_map = Europe location ARM.png
| national_anthem = ''[[Mer Hayrenik]]''<br /><small>("Nchi yetu")</small>
| patron_saint = <br />[[Mt.Bartholomeo]]<br />[[Mt. Yuda]]<br />[[Mt. Gregori mchoraji]]
| official_languages = [[Kiarmenia]]
| capital = [[Picha:Yerevan coa.gif|14px|]] [[Yerevan]]<sup>1</sup>
|latd=40|latm=16|latNS=N|longd=44|longm=34|longEW=E
| government_type = [[Jamhuri]]
| leader_titles = [[Rais]]<br />[[Waziri Mkuu]]
| leader_names = [[:hy:Վահագն Խաչատուրյան|Vahagn Khachaturyan]] (Վահագն Խաչատուրյան)<br />[[Nikol Pashinyan]] (Նիկոլ Փաշինյան)
| largest_city = [[Yerevan]]
| area = 29,743
| areami² = 11,484 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
| area_rank = ya 141
| area_magnitude = 1 E11
| percent_water = 4.71
| population_estimate = 2,963,900<ref>{{Cite web |url=https://www.armstat.am/en/?nid=12&id=19001&submit=Search |title=Statistics |access-date=March 17, 2022}}</ref>
| population_estimate_year = 2021
| population_estimate_rank = ya 137<sup>2</sup>
| population_census = 2,974,693
| population_census_year = 2015
| population_density = 101.5
| population_densitymi² = 262.9 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
| population_density_rank = ya 99
| GDP_PPP_year = 2021
| GDP_PPP = $43.54 billioni
| GDP_PPP_rank = ya 127
| GDP_PPP_per_capita = $14,701
| GDP_PPP_per_capita_rank = ya 115
| HDI_year = 2019
| HDI = {{profit}} 0.776
| HDI_rank = ya 81
| HDI_category = <font color="#ffcc00">medium</font>
| sovereignty_type = [[Uhuru]]
| sovereignty_note = kutoka [[Umoja wa Kisovyet]]
| established_events = Ilitangazwa<br /> Ilitambuliwa <br /> Ilikamilika <br /> chanzo cha taifa la Armenia<br /> kuanzishwa kwa ufalme wa Urartu <br /> kuanzishwa kwa ufalme wa Armenia <br /> kupokelewa kwa Ukristo<br /> Jamhuri ya Armenia
| established_dates = <br />[[23 Agosti]] [[1990]]<br />[[21 Septemba]] [[1991]] <br />[[25 Desemba]] [[1991]] <br />[[11 Agosti]] [[2492 KK]] <br />[[1000 KK]] <br /> [[600 KK]]<br />[[301]] <br />[[28 Mei]] [[1918]]
| currency = [[Dram (pesa)|Dram]]
| currency_code = AMD
| time_zone = [[UTC]]
| utc_offset = +4
| time_zone_DST = [[DST]]
| utc_offset_DST = +5
| cctld = [[.am]]
| calling_code = 374
| footnotes = <sup>1</sup> Maandishi kwa herufi za Kilatini pia "Erevan", "Jerevan" au "Erivan".<br /><sup>2</sup> cheo kulingana na kadirio ya UM ya 2005.
}}
[[Picha:Armenia 2002 CIA map.jpg|thumb|right|280px]]
'''Armenia''' (kwa [[Kiarmenia]]: Հայաստան ''Hayastan'' au Հայք ''Hayq'') ni nchi ya mpakani kati ya [[Ulaya]] na [[Asia]] katika milima ya [[Kaukasi]] iliyoko kati ya [[Bahari Nyeusi]] na [[Bahari ya Kaspi]].
Imepakana na [[Uturuki]], [[Georgia (nchi)|Georgia]], [[Azerbaijan]] na [[Iran]]. Upande wa kusini kuna eneo la nje la Kiazerbaijan linaloitwa [[Nakhichevan]].
Ingawa ki[[jiografia]] Armenia huhesabiwa mara nyingi kama sehemu ya Asia, ki[[utamaduni]] na ki[[historia]] huhesabiwa pia kama sehemu ya Ulaya.
==Jiografia==
Mlima wa kitaifa wa Armenia ni [[mlima Ararat]] unaoaminika kuwa mahali ambako [[safina]] ya [[Nuhu]] ilikuta nchi kavu baada ya [[gharika kuu]] inayosimuliwa katika [[Biblia]].
==Historia==
Armenia ni kati ya mataifa ya kale kabisa duniani, ingawa eneo lake limebadilika sana na eneo la sasa ni sehemu ndogo tu ya maeneo [[Armenia ya Kale|yaliyokuwa ya Armenia]] katika [[karne]] na [[milenia]] za nyuma.
Armenia ilikuwa nchi ya kwanza ya kupokea [[Ukristo]] kama [[dini rasmi]] ya kitaifa mnamo mwaka [[301]]. Hadi leo karibu 93% za Waarmenia ni Wakristo wa [[Kanisa]] [[Kanisa la Kitume la Armenia|la kitaifa]] ambalo ni mojawapo kati ya [[Makanisa ya Kiorthodoksi ya Mashariki]].
Jambo hilo lilichangia sana mateso yaliyowapata kutoka kwa majirani ambao wengi wao ni [[Waislamu]], hasa [[Waturuki]] waliotawala kwa [[karne]] nyingi maeneo makubwa ya [[Dola la Osmani]] hadi [[Afrika]] na [[Ulaya]].
Kilele chake kilikuwa [[maangamizi ya Waarmenia]] wakati wa [[vita vya kwanza vya dunia]], ambapo waliuawa zaidi ya [[milioni]] [[moja]].
Armenia ilikuwa sehemu ya [[Umoja wa Kisovyeti]] tangu [[1920]], ikapata [[uhuru]] wake tena mwaka [[1991]].
Kuna [[fitina]] na nchi jirani ya Azerbaijan kuhusu eneo la [[Nagorno-Karabakh]] linalokaliwa na Waarmenia lakini ni sehemu ya Azerbaijan kisiasa. Mipaka hii ni [[urithi]] wa zamani za Umoja wa Kisovyeti. Mara mbili kulikuwa na [[vita]] kati ya nchi hizo mbili. Hali halisi Armenia inatawala eneo hili ingawa Nagorno Karabakh ilijitangaza kuwa [[jamhuri]] ya kujitegemea isiyokubaliwa na [[umma]] wa kimataifa.
==Watu==
Wakazi ni hasa Waarmenia asilia (98.1%), halafu [[Wayazidi]] (1.2%), [[Warusi]] (0.4%) n.k.
[[Lugha rasmi]] na ya kawaida ni [[Kiarmenia]], ambacho kina [[alfabeti]] ya pekee iliyobuniwa na [[mtakatifu]] [[Mesrop]] mwaka [[405]] [[BK]].
Upande wa [[dini]], mbali na Kanisa la kitaifa (92.5%), Wakristo wengine ([[Waprotestanti]] na [[Wakatoliki]]) ni asilimia 2.3 za wakazi na Wayazidi wanaofuata dini yao asili ni asilimia 0.8.
==Tazama pia==
* [[Maangamizi ya Waarmenia]]
* [[Orodha ya lugha za Armenia]]
* [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]]
== Marejeo ==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
{{commons}}
* {{en}} na ([[Kiarmenia]]) ([[Kirusi]]) [http://www.gov.am/en/ Tovuti ya serikali]
* {{en}} [http://www.armenica.org Armenica.org - Complete history of Armenia, covering 800 B.C. to 2004]
* {{en}} na ([[Kiarmenia]]) ([[Kirusi]]) [http://www.panarmenian.net PanARMENIAN.Net - Daily Armenian News]
*{{CIA_World_Factbook link|am|Armenia}}
*[http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/armenia.htm Armenia] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/armenia.htm |date=20100611192409 }} at ''UCB Libraries GovPubs''
*{{dmoz|Regional/Asia/Armenia}}
*[http://www.bbc.co.uk/news/world-europe-17398605 Armenia profile] from the [[BBC News]]
*{{Wikiatlas|Armenia}}
* [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=AM Key Development Forecasts for Armenia] from [[International Futures]]
{{Ulaya}}
{{Asia}}
{{mbegu-jio-Ulaya}}
{{mbegu-jio-Asia}}
[[Jamii:Armenia]]
[[Jamii:Nchi za Ulaya]]
[[Jamii:Nchi za Asia]]
[[Jamii:Kaukazi]]
[[Jamii:Maeneo ya Biblia]]
c7j0a3t73hga0fvb54mfy927ucl8wk4
1017
0
10995
1235957
1015260
2022-07-27T16:05:08Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236095
1235957
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
{{Mwaka|1017}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1017 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
== Waliofariki ==
* [[5 Juni]] - [[Sanjo]], mfalme mkuu wa Japani (1011-1016)
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 11]]
078gvc4hz4yzmb4k8fb8rgrv59ho8nf
886
0
11168
1235946
879724
2022-07-27T16:02:59Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236130
1235946
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Addbot|Addbot]]
wikitext
text/x-wiki
{{Mwaka}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''886 BK''' ([[Baada ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
{{Kalenda za Dunia}}
== Waliofariki ==
{{commonscat}}
[[Jamii:Karne ya 9]]
fvjwxoilcw0j3vafxus5w8p2kd0qaym
Papa Yohane XV
0
11813
1236013
1216895
2022-07-27T16:18:30Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236040
1236013
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[Image:Pope John XV Illustration.jpg|thumb|right|200px|Papa Yohane XV.]]
'''Papa Yohane XV''' alikuwa [[Papa]] kuanzia [[Agosti]] [[985]] hadi [[kifo]] chake mnamo [[Machi]] [[996]]<ref>https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father</ref>. Alitokea [[Roma]], [[Lazio]], [[Italia]]<ref>https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father</ref>.
[[Jina]] lake la kuzaliwa lilikuwa pia ''Yohane''.
Alimfuata [[Papa Yohane XIV]] akafuatwa na [[Papa Gregori V]].
==Tazama pia==
*[[Orodha ya Mapapa]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
*[http://www.newadvent.org/cathen/08427c.htm Papa Yohane XV katika ''Kamusi Elezo ya Kikatoliki'']
{{Mapapa}}
{{mbegu-Papa}}
{{DEFAULTSORT:Yohane XV}}
[[Jamii:Papa]]
[[Jamii:Waliofariki 996]]
[[Jamii:Watu wa Italia]]
9qp5c1tf5pd1oow39k8ego68svyqton
Niels Ryberg Finsen
0
13695
1236003
881272
2022-07-27T16:16:14Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236046
1236003
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Addbot|Addbot]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Niels ryberg.jpg|thumb|right|Niels Ryberg Finsen]]
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
'''Niels Ryberg Finsen''' ([[15 Desemba]] [[1860]] – [[24 Septemba]] [[1904]]) alikuwa daktari kutoka nchi ya [[Denmark]]. Hasa alichunguza athari za nuru weknye [[chembe hai]]. Mwaka wa [[1903]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Tiba]]'''.
{{Mbegu-Nobel}}
{{DEFAULTSORT:Finsen, Niels Ryberg}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1860]]
[[Jamii:Waliofariki 1904]]
[[Jamii:Wanasayansi wa Denmark]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Tiba]]
kyldzzisl3optbinmbaezrkkjrkp4u2
Antonín Dvořák
0
16091
1235968
1138883
2022-07-27T16:07:51Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236075
1235968
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Dvorak.jpg|thumb|right|300px|Antonín Dvořák.]]
'''Antonín Dvořák''' ([[8 Septemba]] [[1841]] - [[1 Mei]] [[1904]]) alikuwa mtunzi wa [[Opera]] maaruufu kutoka [[Ucheki|Jamhuri ya watu wa Cheki]]. Yaaminika kwamba Dvořák, Smetana na Janáček ni watunzi watatu wa Ucheki, ambao walitunga tungo nyingi zenye kuhusu nchi yao.
== Viungo vya nje ==
* [https://www.webcitation.org/query?id=1256485663830643&url=www.geocities.com/WestHollywood/Park/4586/aldfr.html List of Dvořák's works]
* [https://web.archive.org/web/20000416042208/http://members.aol.com/abelard2/bohemia.htm The Bohemian composers]
* [http://www.antonin-dvorak.cz/galerie_portrety.htm Antonín Dvořák Photo Gallery] {{Wayback|url=http://www.antonin-dvorak.cz/galerie_portrety.htm |date=20090301054405 }}
* [http://www.antonin-dvorak.cz/galerie_rodina.htm Dvořák Family Photo Gallery] {{Wayback|url=http://www.antonin-dvorak.cz/galerie_rodina.htm |date=20080221053101 }}
* [https://web.archive.org/web/20040109214621/http://homepage.mac.com/rswinter/DirectTestimony/home.html Collection of news articles and correspondence about Dvořák's stay in America]
* [http://www.americanmusicpreservation.com/nemusic4.htm The Story of "Goin' Home"]
* [http://www.antonindvorak.cz/en/ The Antonín Dvořák, memorial at Vysoká u Příbrami]
* [http://www.dvorak-society.org Dvořák Society for Czech and Slovak music]
* [http://www.antonindvorak2004.cz/index-en.html 2004 Tribute Site for Dvořák]
=== Tungo na baadhi ya rekodi zake ===
* Video [[Cigánské melodie]] [http://laiafalcon-dvorak.blogspot.com/]
* [http://www.radioopensource.org/dvorak-to-duke-ellington/ ''Radio Open Source'' 1-hour programme entitled "Dvořák to Duke Ellington"], on Dvořák's predictions about the future of American music
* Kunst der Fuge: [http://www.kunstderfuge.com/dvorak.htm Antonin Dvorák - (Many) MIDI files]
* {{ChoralWiki}}
* {{WIMA|idx=Dvorak}}
* {{IMSLP|id=Dvo%C5%99%C3%A1k%2C_Anton%C3%ADn_Leopold|cname=Dvořák}}
* Guided listening on Dvořák's most famous works can be found in the [https://web.archive.org/web/20040626120249/http://www.bbc.co.uk/radio3/discoveringmusic/audioarchive.shtml BBC Radio 3 'Discovering Music' archive]
* [http://w3.rz-berlin.mpg.de/cmp/dvorak_symphonies.html ''clips of Dvorak's 9 symphonies''] {{Wayback|url=http://w3.rz-berlin.mpg.de/cmp/dvorak_symphonies.html |date=20070427083153 }}
* [http://music.ibiblio.org/pub/multimedia/pandora/mp3/contrib/Marta_Chaloupka_Live/index.html recording of Ten Biblical Songs (Psalms) by Dvořák, opus 99]
{{Commons}}
{{mbegu-mwanamuziki-Ulaya}}
{{Uromantik}}
{{DEFAULTSORT:Dvorak, Antonin}}
[[Jamii:Watunzi wa Ucheki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ucheki]]
[[Jamii:Watunzi wa Romantik]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1841]]
[[Jamii:Waliofariki 1904]]
0x2i9v4ybp2f5u89me2m6jganpml5ii
Bayern Munich
0
16548
1236250
1224602
2022-07-28T08:51:06Z
Hussein m mmbaga
52054
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Bayern Munch.png|thumb|right|Nembo ya klabu ya mpira wa miguu ya Bayern Munch.]]
'''FC Bayern Munich''', pia inajulikana kama '''Bayern München''', ni klabu maarufu ya [[mpira wa miguu]] mjini [[München]] katika [[Bavaria]] nchini [[Ujerumani]]. klabu ilianzishwa mnamo mwaka [[1900]] na inawanachama wa kulipwa wapatao 104.000.
Kilabu hii uchezea sana katika uwanja wao wa nyumbani maarufu kama [[Allianz Arena]].
== Wachezaji maarufu wa klabu ya Bayern Munich ==
* [[Raimond Aumann]]
* [[Michael Ballack]]
* [[Franz Beckenbauer]]
* [[Andreas Brehme]]
* [[Paul Breitner]]
* [[Ali Daei]]
* [[Stefan Effenberg]]
* [[Giovane Elber]]
* [[Oliver Kahn]]
* [[Jürgen Klinsmann]]
* [[Miroslav Klose]]
* [[Bixente Lizarazu]]
* [[Sepp Maier]]
* [[Roy Makaay]]
* [[Lothar Matthäus]]
* [[Alan McInally]]
* [[Gerd Müller]]
* [[Lukas Podolski]]
* [[Franck Ribéry]]
* [[Karl-Heinz Rummenigge]]
* [[Mehmet Scholl]]
* [[Bastian Schweinsteiger]]
* [[Hasan Salihamidzic]]
* [[Luca Toni]]
== Makocha wa klabu ya Bayern Munich ==
* [[Tschik Cajkovski]] (1965-1968)
* [[Branko Zebec]] (1968-1970)
* [[Udo Lattek]] (1970-1975)
* [[Dettmar Cramer]] (1975-1977)
* [[Gyula Lorant]] (1977-1979)
* [[Pal Csernai]] (1979-1983)
* [[Reinhard Saftig]] (1983)
* [[Udo Lattek]] (1983-1987)
* [[Jupp Heynckes]] (1987-1991)
* [[Søren Lerby]] (1991-1992)
* [[Erich Ribbeck]] (1992-1993)
* [[Franz Beckenbauer]] (1993-1994)
* [[Giovanni Trapattoni]] (1994-1995)
* [[Otto Rehhagel]] (1995-1996)
* [[Franz Beckenbauer]] (1996)
* [[Giovanni Trapattoni]] (1996-1998)
* [[Ottmar Hitzfeld]] (1998-2004)
* [[Felix Magath]] (2004-2007)
* [[Ottmar Hitzfeld]] (since 31 Januari 2007)
== Wachezaji wa klabu kwa msimu wa mwaka wa 2007/2008 ==
[[Mlinda Goli|Magolikipa]]:
* [[Oliver Kahn]]
* [[Michael Rensing]]
* [[Bernd Dreher]]
* [[Thomas Kraft]]
[[Ulinzi|Walinzi]]:
* [[Willy Sagnol]]
* [[Lúcio]]
* [[Daniel van Buyten]]
* [[Martín Demichelis]]
* [[Phillipp Lahm]]
* [[Marcell Jansen]]
* [[Valérien Ismaël]]
* [[Stefano Celozzi]]
* [[Christian Lell]]
* [[Mats Hummels]]
* [[Christian Saba]]
[[Katikati]]:
* [[Franck Ribéry]]
* [[Hamit Altıntop]]
* [[Zé Roberto]]
* [[Andreas Ottl]]
* [[Mark van Bommel]]
* [[José Ernesto Sosa]]
* [[Bastian Schweinsteiger]]
* [[Stephan Fürstner]]
* [[Toni Kroos]]
[[Mshambuliaji|Washambuliaji]]:
* [[Luca Toni]]
* [[Lukas Podolski]]
* [[Miroslav Klose]]
* [[Jan Schlaudraff]]
* [[Daniel Sikorski]]
* [[Sandro Wagner]]
== Viungo vya nje ==
{{Commons category|FC Bayern München}}
* [http://www.fcbayern.t-home.de/en/ Tovuti rasmi ya Bayern Munich kwa Kiingereza] {{Wayback|url=http://www.fcbayern.t-home.de/en/ |date=20080815023101 }} pia ipo kwa [[Kijerumani]], [[Japan|Kijapani]], [[Kihispania]], na [[Kichina]]
* [ Official facebook]
{{Mbegu-michezo}}
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Ujerumani]]
[[Jamii:Mpira wa Miguu]]
[[Jamii:FC Bayern Munich]]
95y5lptjspxbj7vui0hsu8fmt0om5cq
1236288
1236250
2022-07-28T10:10:49Z
Hussein m mmbaga
52054
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Bayern Munch.png|thumb|right|Nembo ya klabu ya mpira wa miguu ya Bayern Munch.]]
'''FC Bayern Munich''', pia inajulikana kama '''Bayern München''', ni klabu maarufu ya [[mpira wa miguu]] mjini [[München]] katika [[Bavaria]] nchini [[Ujerumani]]. klabu ilianzishwa mnamo mwaka [[1900]] na inawanachama wa kulipwa wapatao 104.000.
Kilabu hii uchezea sana katika uwanja wao wa nyumbani maarufu kama [[Allianz Arena]].<ref>{{cite web |title=Never-say-die Reds overcome Ingolstadt at the death |url=https://fcbayern.com/en/news/matchreports/2017/02/match-report-bundesliga-fc-ingolstadt---fc-bayern-11.02.2017 |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20170212164904/https://fcbayern.com/en/news/matchreports/2017/02/match-report-bundesliga-fc-ingolstadt---fc-bayern-11.02.2017 |archive-date=12 February 2017 |access-date=12 February 2017 |publisher=FC Bayern Munich}}</ref>
== Wachezaji maarufu waliochezea klabu ya Bayern Munich mnamo 1970-2010 ==
{{Columns-list|colwidth=15em|
* [[Raimond Aumann]]
* [[Michael Ballack]]
* [[Franz Beckenbauer]]
* [[Andreas Brehme]]
* [[Paul Breitner]]
* [[Ali Daei]]
* [[Stefan Effenberg]]
* [[Giovane Elber]]
* [[Oliver Kahn]]
* [[Jürgen Klinsmann]]
* [[Miroslav Klose]]
* [[Bixente Lizarazu]]
* [[Sepp Maier]]
* [[Roy Makaay]]
* [[Lothar Matthäus]]
* [[Alan McInally]]
* [[Gerd Müller]]
* [[Lukas Podolski]]
* [[Franck Ribéry]]
* [[Karl-Heinz Rummenigge]]
* [[Mehmet Scholl]]
* [[Bastian Schweinsteiger]]
* [[Hasan Salihamidzic]]
* [[Luca Toni]]
}}
== Makocha wa klabu ya Bayern Munich ==
{{Columns-list|colwidth=19em|
* [[Tschik Cajkovski]] (1965-1968)
* [[Branko Zebec]] (1968-1970)
* [[Udo Lattek]] (1970-1975)
* [[Dettmar Cramer]] (1975-1977)
* [[Gyula Lorant]] (1977-1979)
* [[Pal Csernai]] (1979-1983)
* [[Reinhard Saftig]] (1983)
* [[Udo Lattek]] (1983-1987)
* [[Jupp Heynckes]] (1987-1991)
* [[Søren Lerby]] (1991-1992)
* [[Erich Ribbeck]] (1992-1993)
* [[Franz Beckenbauer]] (1993-1994)
* [[Giovanni Trapattoni]] (1994-1995)
* [[Otto Rehhagel]] (1995-1996)
* [[Franz Beckenbauer]] (1996)
* [[Giovanni Trapattoni]] (1996-1998)
* [[Ottmar Hitzfeld]] (1998-2004)
* [[Felix Magath]] (2004-2007)
* [[Ottmar Hitzfeld]] (2007-2008)
* [[Jupp Heynckes]] (caretaker)(2009-2009)
* [[Louis van Gaal]] (2009-2011)
* [[Andries Jonker]] (caretaker)(2011-2011)
* [[Jupp Heynckes]] (2011-2013)
* [[Pep Guardiola]] (2013-2016)
* [[Carlo Ancelotti]] (2016-2017)
* [[Willy Sagnol]] (caretaker)(2017-2017)
* [[Jupp Heynckes]] (2017-2018)
* [[Niko Kovač]] (2018-2019)
* [[Hansi Flick]] (2019-2021)
* [[Julian Nagelsmann]] (2021- hadi sasa)
}}
== Wachezaji wa klabu kwa msimu wa mwaka wa 2007/2008 ==
{{Columns-list|colwidth=20em|
[[golikipa|Magolikipa]]:
* [[Oliver Kahn]]
* [[Michael Rensing]]
* [[Bernd Dreher]]
* [[Thomas Kraft]]
[[Beki|'''Mabeki''']]:
* [[Willy Sagnol]]
* [[Lúcio]]
* [[Daniel van Buyten]]
* [[Martín Demichelis]]
* [[Phillipp Lahm]]
* [[Marcell Jansen]]
* [[Valérien Ismaël]]
* [[Stefano Celozzi]]
* [[Christian Lell]]
* [[Mats Hummels]]
* [[Christian Saba]]
[[Kiungo (michezo)|'''viungo''']]:
* [[Franck Ribéry]]
* [[Hamit Altıntop]]
* [[Zé Roberto]]
* [[Andreas Ottl]]
* [[Mark van Bommel]]
* [[José Ernesto Sosa]]
* [[Bastian Schweinsteiger]]
* [[Stephan Fürstner]]
* [[Toni Kroos]]
[[Mshambuliaji|'''Washambuliaji''']]:
* [[Luca Toni]]
* [[Lukas Podolski]]
* [[Miroslav Klose]]
* [[Jan Schlaudraff]]
* [[Daniel Sikorski]]
* [[Sandro Wagner]]
}}
== Marejeo ==
{{Mbegu-michezo}}
{{Reflist}}
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Ujerumani]]
[[Jamii:Mpira wa Miguu]]
[[Jamii:FC Bayern Munich]]
acvvm4kybwsrtn4aw85qir2kvavbqxj
Ansgar Mtakatifu
0
16835
1236255
1169527
2022-07-28T09:00:49Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Ansgarius predikar Christna läran i Sverige by Hugo Hamilton.jpg|thumb|200px|Mt. Ansgari akiwahubiri [[Waswidi]].]]
'''Mtakatifu Ansgar''' ([[Amiens]], [[Ufaransa]], labda [[8 Septemba]] [[801]] – [[Bremen]] [[Ujerumani]], [[3 Februari]] [[865]]) alikuwa [[askofu]] [[mmisionari]] kutoka [[Ufaransa]].
Tangu kale ametambuliwa kuwa [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake ni [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
== Maisha ==
Ansgar alijiunga na [[monasteri]] huko [[Corbie]].
[[Mwaka]] [[826]] alikwenda kuhubiri [[Injili]] nchini [[Denmark]], ambako hakufanikisha sana, hivyo akaenda [[Uswidi]].
Alikuwa askofu wa [[Hamburg]], halafu akaongezewaa Bremen pia, upande wa [[kaskazini]] wa Ujerumani. Ndipo alipofariki kutokana na [[uchovu]] wa [[kazi]] zake,Pia alikuwa [[balozi]] wa [[Papa Gregori IV]] katika Denmark na Uswidi.
Alivumilia magumu mengi sana katika kazi ya [[uinjilishaji|uenezaji]] [[Injili]], asikate tamaa.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Marejeo ==
* Pryce, Mark. ''Literary Companion to the Festivals: A Poetic Gathering to Accompany Liturgical Celebrations of Commemorations and Festivals.'' Minneapolis: Fortress Press, 2003.
* Tschan, Francis J. ''History of the Archbishops of Hamburg-Bremen''. New York: Columbia University Press, 1959.
* Wood, Ian. ''The Missionary Life: Saints and the Evangelisation of Europe, 400 – 1050''. Great Britain: Longman, 2001.
== Viungo vya nje ==
* [http://www.skolinternet.telia.se/TIS/birka/texteng/hist.htm Ansgar at Birka History of Birka] {{Wayback|url=http://www.skolinternet.telia.se/TIS/birka/texteng/hist.htm |date=20000309135829 }}
* [[Vita Ansgari]], English translation from [http://www.fordham.edu/halsall/basis/anskar.html Medieval sourcebook]
* [http://www.uni-heidelberg.de/subject/hd/fak7/hist/c1/de/gen/gen/grmnhist/log.started920201/mail-16.html German History Forum] {{Wayback|url=http://www.uni-heidelberg.de/subject/hd/fak7/hist/c1/de/gen/gen/grmnhist/log.started920201/mail-16.html |date=20051102144454 }}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 801]]
[[Jamii:Waliofariki 865]]
[[Jamii:Wamonaki]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ufaransa]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ujerumani]]
[[Jamii:Watakatifu wa Denmark]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uswidi]]
3pgup0oxho0ffodd2nn16sp4638y5qc
Busi
0
20811
1236024
1139363
2022-07-27T16:20:28Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236027
1236024
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
'''Busi''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Kondoa]] katika [[Mkoa wa Dodoma]] , [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''41716'''<ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2017-10-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200321135312/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |archivedate=2020-03-21 }}</ref>
. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 18724 <ref>{{Cite web |url=http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |title=Sensa ya 2012, Dodoma - Kondoa DC |accessdate=2016-05-18 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20040102080416/http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |archivedate=2004-01-02 }}</ref> waishio humo.
Baadhi ya vijiji vya kata ya Busi vyenye shule ya msingi ni Busi yenyewe, Sambwa, Idindiri, Ihari na Keikei. Asilimia kubwa za wakazi wa kata ya Busi ni [[Warangi]].
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Kondoa}}
{{mbegu-jio-dodoma}}
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
[[Jamii:Wilaya ya Kondoa]]
fqn0469vgsqz5kwijja2stqpjypdxir
Sanzawa
0
20840
1236017
1145406
2022-07-27T16:19:19Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236028
1236017
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
'''Sanzawa''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Chemba]] katika [[Mkoa wa Dodoma]] , [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''41811'''<ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2017-10-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200321135312/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dodoma.pdf |archivedate=2020-03-21 }}</ref>
. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 10613 <ref>{{Cite web |url=http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |title=Sensa ya 2012, Dodoma - Chemba DC |accessdate=2016-05-18 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160303225919/http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |archivedate=2016-03-03 }}</ref> waishio humo.
Sanzawa ipo katika tarafa ya Kwamtoro. Ina jumla ya vitongoji vinane. Wakazi wake ni [[wasandawe]], [[wagogo]] na [[wabarabaig]]. Wakazi wa Sanzawa wanajishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara. Mazao ya chakula ni pamoja na [[mahindi]], [[uwele]], [[mtama]], [[udo]], [[mihogo]] n.k. Mazao ya biashara ni [[alizeti]], [[ufuta]] na [[karanga]].
Wakazi wa Sanzawa pia ni wafugaji wa mifugo mbalimbali. Hali ya hewa ya Sanzawa ni nusu jangwa hivyo hukabiliwa na ukame na hali ya ukosefu wa maji kwa kipindi kirefu. Hivyo kwa wafugaji hutembea umbali mrefu kutafuta maji kwa ajili mifugo yao.
Sanzawa pia ni makao makuu ya kata. Hivyo ina [[shule ya sekondari]] ya kata.
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Chemba}}
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
[[Jamii:Wilaya ya Chemba]]
l28rt5scokibi0f1m79z4vvkhzqtq9t
Munyegera
0
20971
1235919
977257
2022-07-27T15:57:37Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236092
1235919
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
'''Munyegera''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Buhigwe]] katika [[Mkoa wa Kigoma]], [[Tanzania]]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 13,447 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Kigoma Region - Buhigwe District Council]</ref>
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Buhigwe }}
[[Jamii:Wilaya ya Buhigwe]]
[[Jamii:Mkoa wa Kigoma]]
kynkw7n5tgwpfaz3tyb0adkgqh0yux7
Kaliua
0
22785
1235956
976986
2022-07-27T16:04:56Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236123
1235956
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = Kaliua
|picha_ya_satelite =
|maelezo_ya_picha =
|pushpin_map = Tanzania
|pushpin_map_caption = Mahali pa Kaliua katika Tanzania
|settlement_type = Kata
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Tanzania]]
|subdivision_type1 = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]]
|subdivision_name1 = [[Mkoa wa Tabora|Tabora]]
|subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]]
|subdivision_name2 = [[Wilaya ya Urambo|Urambo]]
|wakazi_kwa_ujumla = 17,073
|latd= 5|latm= 3|lats=32|latNS=S
|longd=31 |longm=47 |longs=36 |longEW=E
|website =
}}
'''Kaliua''' ni jina la [[makao makuu]] ya [[Wilaya ya Kaliua]] katika [[Mkoa wa Tabora]], [[Tanzania]]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 17,073 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Tabora Region - Kaliua District Council]</ref>
[[Wilaya]] hiyo mpya ilianzishwa rasmi mnamo Machi [[2012]]. Kaliua ipo njia panda ya reli iendayo [[Kigoma]] kwa upande wa magharibi na [[Mpanda]] kwa upande wa kusini. Kaskazini imepakana na [[wilaya ya Kahama]] katika Mkoa wa Shinyanga.
Wilaya ya Kaliua ina uwanja wa ndege mdogo kwa shuguli ndogondogo za anga. Ina huduma za simu za mkononi, [[posta]], shule za sekondary ikiwa ni pamoja na Kaliua high school. Kwa ujumla ni mji unaokuwa kwa kasi sana ktk ukanda huo wa magharibi.
Kwenye mwaka 2013 mbunge wa wilaya hiyo alikuwa mh.profesa Juma Athumani Kapuya. Aliwahi kuwa waziri wa elimu, kazi na maendeleo ya vijana, wizara ya ulinzi n.k.
Mazao yanayolimwa Kaliua ni [[tumbaku]], [[karanga]], [[mahindi]], [[alizeti]], [[ufuta]]. Ufugaji ni muhimu. [[Asali]] ni moja ya zao linalovunwa saana kaliua, pia [[uvuvi]] hufanyika katika maeneo oevu ya usinge, swampu nk.
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Kaliua}}
{{mbegu-jio-tabora}}
[[Jamii:Wilaya ya Kaliua]]
[[Jamii:Mkoa wa Tabora]]
0dcjmgeo50i0b1nhz1xqct7kwlo201h
Karama
0
23449
1235910
883866
2022-07-27T15:55:47Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236114
1235910
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Addbot|Addbot]]
wikitext
text/x-wiki
'''Karama''' (kutoka [[Kiarabu]] الكرامة) ni zawadi yoyote inayotokana na [[ukarimu]] wa [[Mungu]] kwa viumbe wake.
==Mapokeo ya Kiislamu==
Karama inatazmiwa kipaji cha pekee kutoka Mungu. Katika surat 19 (Al Maryam) Mariamu analishwa kwa neema ya Allah hii inatazamiwa pia kama karama.
Karama inaweza kupatikana kama tabia au uwezo wa pekee, kama mtu mwenye kufanya miujiza kwa idhini ya Mungu.
Mwenye kutoa karama ni Allah. Kwa sababu hiyo yeye anasifika kama [[Karimu]]. Katika [[Uislamu]] hilo ni mojawapo kati ya [[majina 99]] ya kumsifia.
==Katika Ukristo==
Katika Biblia karama kwa kawaida ni tafsiri ya neno la [[Kigiriki]] χάρισμα ("kharisma" kutokana na χάρις, "kháris" neema). Neno hilo limekuwa likitumika sana katika [[Kanisa]] kuanzia [[Pentekoste]] na katika barua za [[Mtume Paulo]], kwa msisitizo kuwa karama zote zinamtegemea [[Roho Mtakatifu]].
Karama si zile za kushangaza tu, tena zile muhimu zaidi si hizo, bali zile zinazojenga zaidi Kanisa, kama zile za [[uongozi]]: “Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa kwanza [[Mitume wa Yesu|mitume]], wa pili ma[[nabii]], wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, na masaidiano, na maongozi, na aina za [[lugha]]” ([[1Kor]] 12:28). “Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, kwa kadiri ya [[neema]] tuliyopewa; ikiwa unabii, tutoe unabii kwa kadiri ya [[imani]]; ikiwa [[huduma]], tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha, katika kufundisha kwake; mwenye kuonya, katika kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo mweupe; mwenye kusimamia, kwa bidii; mwenye kurehemu, kwa [[furaha]]” (Rom 12:6-8).
Karama nyingine muhimu zinawezesha kuishi kwa [[useja]] kama [[Yesu]] na Paulo, au kwa [[ndoa]]: “Nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi. Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane; ni heri wakae kama mimi nilivyo” (1Kor 7:7-8). “Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa” ([[Math]] 19:11). Tunavyoona katika historia ya [[watawa]], mara nyingi karama ya useja inaendana na nyingine katika maisha ya [[sala]], ya kijumuia na ya kitume. Hivyo [[Filipo]] “alikuwa na binti wanne, ma[[bikira]], waliokuwa wakitabiri” (Mdo 21:9).
Karama zinagawiwa na Roho Mtakatifu jinsi anavyotaka, si kwa sifa au faida ya binafsi, bali kwa ustawi wa [[taifa la Mungu]]. “Kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye... Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda miujiza? Wote wana karama za kuponya wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote wafasiri?... Kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu wenye karama za roho, takeni kwamba mzidi sana kuwa nazo ili kulijenga kanisa... Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani” (1Kor 12:11,29-30; 14:12,33). Kwa ajili hiyo [[mitume]] walipambanua na kuratibu karama katika [[ibada]] na katika maisha ya jumuia zisije zikavuruga Kanisa.
Karama za kushangaza zina hatari mbalimbali, hasa zikitiwa maanani mno. Hapo ni rahisi zilete [[majivuno]], [[kijicho]] na ma[[farakano]]. “Ikiwa kwenu kuna husuda na fitina, je, si watu wa tabia ya mwili ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya kibinadamu?... Mmekwisha kushiba, mmekwisha kupata utajiri, mmemiliki pasipo sisi. Naam, laiti mngemiliki... Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke” (1Kor 3:3; 4:8; 10:12). Katika mambo yasiyothibitika ni rahisi kudanganyika kuwa yametoka kwa Mungu, kumbe sivyo. Kisha kudanganyika ni vigumu kuachana nayo hata yakiwa na madhara kwa mhusika au kwa Kanisa. “Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani” ([[1Yoh]] 4:1).
[[Jamii:Biblia]]
[[Jamii:Teolojia]]
[[Jamii:Ukristo]]
2nlx0y6c76bmg8p0ydm173eoq7efoa5
Steve Porcaro
0
25948
1236184
1145707
2022-07-27T23:43:46Z
FMSky
47199
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2
| Img = Steve Porcaro 2013 (cropped).jpg
| Img_size =
| Jina = Steve Porcaro
| Landscape =
| Background = non_vocal_instrumentalist
| Jina la kuzaliwa = Steven Maxwell Porcaro
| P.a.k =
| Amezaliwa = {{Birth date and age|1957|9|2|df=yes}}
| Amekufa =
| Asili yake = [[Hartford, Connecticut]], [[Marekani]]
| Ala = Kinanda
| Aina =
| Kazi yake = Mpigaji kinanda na mtunzi
| Miaka ya kazi =
| Studio =
| Ameshirikiana na = Toto
| Tovuti =
}}
'''Steven Maxwell "Steve" Porcaro''' (amezaliwa tar. [[2 Septemba]] [[1957]], mjini [[Hartford, Connecticut]]) ni mpigaji kinanda na [[mtunzi wa nyimbo]] ambaye alikuwa mwanachama halisi wa bendi ya [[muziki wa rock]]/[[muziki wa pop|pop]], Toto.
== Viungo vya Nje ==
* {{en}} [http://www.toto99.com/ Official Toto website]
* {{imdb name|id=0691667|name=Steve Porcaro}}
* {{fr}} [http://www.hydrasolation.com/ TOTO-Hydrasolation — Le site Web des Fans de TOTO] {{Wayback|url=http://www.hydrasolation.com/ |date=20060422013409 }}
{{mbegu-mwanamuziki-USA}}
{{DEFAULTSORT:Porcaro, Steve}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1957]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watunzi wa Nyimbo wa Marekani]]
8wemuycs5ctyabvlf5faf8epsw791fp
Genevieve Nnaji
0
29279
1235947
1192390
2022-07-27T16:03:15Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236107
1235947
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Gift mshana|Gift mshana]]
wikitext
text/x-wiki
{{Mwigizaji 2
|picha = genevieve30.jpg
|maelezo ya picha = Genevieve Nnaji akiwa katika muda wa chakula cha mchana kwenye studio ya masuala ya mavazi ya St. Genevieve mjini Lagos Nigeria, Mei 2008
| ukubwa wa picha = 225px
|jina la kuzaliwa = Genevieve Nnaji
|tarehe ya kuzaliwa = {{birth date and age|1979|5|3|df=yes}}
|mahala pa kuzaliwa = Mbaise, Imo, [[Nigeria]]
| kazi yake = Mwigizaji, Mwanamitindo, Mwimbaji
}}
'''Genevieve Nnaji''' (amezaliwa tar. [[3 Mei]] [[1979]] mjini Mbaise, Imo, [[Nigeria]])<ref>[http://www.imdb.com/name/nm2105039/ Genevieve Nnaji at IMDB.com]</ref> ni mwigizaji, mzalishaji na muongozaji wa [[filamu]] kutoka nchini [[Nigeria]]. Alishinda [[tuzo]] ya ''Africa Movie Academy award akiwa'' [[muigizaji]] bora wa kike aliye kuwa kama muhusika mkuu, [[mwaka]] [[2005]], ikimfanya kuwa muigizaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo.
[[Jamii:Walio zaliwa 1979]]
== Wasifu ==
==Maisha ya awali==
Nnaji alizaliwa Mbaise, jimbo la Imo, [[Nigeria]], na alikulia [[Lagos]]. Akiwa wa nne kati ya watoto nane, alikulia katika familia ya maisha ya kati; baba yake alifanya kazi kama mhandisi na mama yake alifanya kazi kama mwalimu wa shule ya awali. Alisoma katika chuo cha kimethodist cha wasichana (Yaba, Lagos), kabla ya kuhamia chuo kikuu cha Lagos, ambapo alihitimu na shahada ya Sanaa ya ubunifu. Wakati akiwa chuoni Alianza kutafuta kazi za uigizaji Nollywood.
== Shughuli ==
Nnaji alianza shughuli zake za uigizaji akiwa kama mwigizaji mtoto kwenye tamthilia za televisheni – Ripples akiwa na umri wa miaka 8. Pia amewahi kushirikishwa kwenye matangazo ya biashara kadhaa ikiwemo kinywaji cha Pronto na sabuni ya Omo.
Mnamo mwaka wa 1998 akiwa na umri wa miaka 19 alianza kuonekana katika soko la filamu za watu wakubwa za Kinigeria – “Most Wanted”.
Filamu zake za baadaye ni pamoja na ''Last Party'', ''Mark of the Beast'' na ''Ijele''.
Nnaji amepokea tuzo kadhaa kwa ajili ya kazi yake. Tuzzo hizo ni pamoja na kuopewa na jina la mwigizaji bora wa mwaka wa 2001 na City People Awards, na kupkea heshima ya kuwa mwigizaji bora mnamo mwaka wa 2005 kwenye African Movie Academy Awards (AMAA).
Mnamo mwaka wa 2004 ameingia mkataba na studio ya Kighana na kutoa albamu.
Mnamo mwaka wa 2008, Nnaji ameanzisha mradi wa mavazi, "St. Genevieve," ambao pia huchangia asilia kadhaa katika mradi wa maendeleo ya uhisani.
== Filmografia ==
{{col-begin}}
{{col-2}}
* 30 Days
* Above Death: In God We Trust
* Above the Law
* Agbako
* Age Of My Agony
* Agony
* Battleline
* Blood Sisters
* Break Up
* Broken Tears - (''akiwa na Van Vicker, Kate Henshaw-Nuttal na Grace Amah'')
* Bumper To Bumper
* Butterfly
* By His Grace
* Camouflage
* Caught In The Act
* Church Business
* Confidence
* Could This Be Love
* Critical Decision
* Dangerous Sisters
* Day of Doom
* Deadly Mistake
* Death Warrant
* Emergency Wedding
* Emerald
* For Better For Worse
* Formidable Force
* Games Women Play
* Girls Cot
* Goodbye Newyork
* God Loves Prostitutes
* He Lives In Me
* Honey
* Ijele
* Into Temptation
* Jack Knife
* Jealous Lovers
* Keeping Faith
{{col-2}}
* Last Weekend
* Late Marriage
* Letter to a Stranger
* Love
* Love Affair
* Love Boat
* Man of Power
* More Than Sisters
* Never Die For Love
* Not Man Enough
* Passion And Pain
* Passions
* Player
* Power Of Love
* Power Play
* Private Sin
* Prophecy
* Rip Off
* Rising Sun
* Runs
* Secret Evil
* Sharon Stone
* Sharon Stone In Abuja
* Stand By Me
* Super Love
* Sympathy
* The Chosen One
* The Coming of Amobi
* The Rich Also Cry
* The Wind
* Treasure
* Two Together
* U Or Never
* Unbreakable
* Valentino
* Warrior's Heart
* Women Affair
{{col-end}}
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{DEFAULTSORT:Nnaji, Genevieve}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Nigeria]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1979]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
jrzga4j80sh8alkxxvldhg3jos1jana
Malazgirt
0
29723
1235978
1117858
2022-07-27T16:10:03Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236067
1235978
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Tarih|Tarih]]
wikitext
text/x-wiki
[[Image: Milazgir bihar.jpg|thumb|300px|right| Malazgirt ]]
'''{{PAGENAME}}''' ni mji na wilaya iliopo [[Mkoa wa Muş|Mkoani Muş]] kwenye kanda ya [[Kanda ya Anatolia ya Mashariki|Anatolia ya Mashariki]] huko nchini [[Uturuki]].
==Viungo vya Nje==
{{Districts of Turkey|provname=Muş|image=Muş|sortkey={{PAGENAME}}}}
{{mbegu-jio-Uturuki}}
kz1x5zhq2dx7ozo2rkttxyace3e0lqr
Arsene Wenger
0
32986
1235901
1207407
2022-07-27T14:01:32Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha: Arsene_Wenger_JHayes_(cropped).jpg|thumb|Arsene Wenger alikuwa kocha wa zamani wa klabu ya Arsenal FC.]]
{{Football player infobox
| jinalamchezaji =
| picha =
| fullname =
| dateofbirth = {{birth date and age|df=y|1949|10|22}}
| cityofbirth = [[Strasbourg]]
| countryofbirth = [[Ufaransa]]
| height = {{height|ft=6|in=3}}
| currentclub =
| position = [[Defender (association football)#Sweeper|Sweeper]]
| youthyears1 = {{0|0000}}–1969
| youthyears2 = 1969–1973
| youthclubs1 = FC Duttlenheim
| youthclubs2 = AS Mutzig
| years1 = 1973–1975
| years2 = 1975–1978
| years3 = 1978–1981
| clubs1 = [[FC Mulhouse|Mulhouse]]
| clubs2 = [[ASPV Strasbourg]]
| clubs3 = [[RC Strasbourg]]
| caps1 = 56
| goals1= 4
| caps2 = 80
| goals2= 20
| caps3 = 11
| goals3= 0<ref>{{Cite web | url=http://www.racingstub.com/page.php?page=joueur&id=101 | title=Arsène Wenger profile | work=Racingstub, unofficial RC Strasbourg site | accessdate=2009-12-07 | archivedate=2009-08-22 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20090822193825/http://www.racingstub.com/page.php?page=joueur&id=101 }}</ref>
| totalcaps = 147
| totalgoals = 24
| manageryears1 = 1984–1987
| manageryears2 = 1987–1994
| manageryears3 = 1995–1996
| manageryears4 = 1996–2018
| managerclubs1 = [[AS Nancy-Lorraine|Nancy]]
| managerclubs2 = [[AS Monaco FC|AS Monaco]]
| managerclubs3 = [[Nagoya Grampus Eight]]
| managerclubs4 = [[Arsenal F.C.|Arsenal]]
}}
'''Arsène Wenger,''' [[OBE]] <ref>{{Cite news |url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/uk_news/2988090.stm |title=2003 Queen's birthday honours announced}}</ref> (alizaliwa [[Strasbourg]], [[Ufaransa]], [[22 Oktoba]] [[1949]]) ni [[meneja]] ambaye ameweza kuongoza [[kilabu]] cha ligi ya [[Uingereza]], yaani [[Arsenal F.C.]] tangu mwaka wa [[1996]] hadi [[2018]]. Yeye ni meneja mwenye mafanikio zaidi katika [[historia]] ya Arsenal katika suala la nyara na pia ni meneja aliyedumu sana.
Katika suala la urefu wa Uzimamizi, miaka kumi na tatu ya George Allison kuwa msimamizi wa Arsenal kati ya mwaka wa 1934 na mwaka wa 1947 ni zaidi ya miaka kumi na mbili nukta tano ya usimamizi wa Wenger( Machi 2009), lakini kipindi cha Allison ni pamoja na ukamilifu wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia,|miaka kumi na tatu ya George Allison kuwa msimamizi wa Arsenal kati ya mwaka wa 1934 na mwaka wa 1947 ni zaidi ya miaka kumi na mbili nukta tano ya usimamizi wa Wenger( Machi 2009), lakini kipindi cha Allison ni pamoja na ukamilifu wa [[Vita Kuu]] ya [[Pili]] ya [[Dunia]],]] ambapo hakuna mechi rasmi iliyochezwa na hivyo Wenger amesimamia mechi mingi.
Wenger ni meneja asiye wa Uingereza ambaye amewahi kushinda [[nyara mbili]] nchini Uingereza, baada ya kufanya hivyo mwaka 1998 na 2002. Mwaka [[2004]], alikuwa meneja wa pekee katika historia ya [[Ligi ya FA]] kwenda msimu mzima bila kushindwa. Wenger anatambulika sana kama mmoja wa mameneja bora duniani baada ya mafanikio alijipatia katika clabu cha [[AS Monako]] na [[Arsenal]].
Wenger ana shahada la [[Uhandizi katika nyancha ya Electroniki]] na [[bwana shahada]] ya [[Uchumi]] <ref>{{Cite web | url=http://www.football365.com/story/0,17033,8750_1547289,00.html | title=A few things you may not know about Arsène Wenger | work=Football365.com | accessdate=2009-12-07 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20090209011822/http://www.football365.com/story/0%2C17033%2C8750_1547289%2C00.html | archivedate=2009-02-09 }}</ref> kutoka [[Strasbourg University]] na anaelewa lugha ya [[Kifaransa]], [[Kijerumani]], [[Kihispania]] na [[Kiingereza]]; yeye pia anaongea baadhi ya [[Kiitaliano]] na [[Kijapani]].<ref>{{Cite web| url=http://www.bbc.co.uk/bbcfour/documentaries/profile/amy-lawrence.shtml| title=Amy Lawrence Q&A on Arsène Wenger| work=bbc.co.uk| accessdate=2009-12-07| archivedate=2011-02-19| archiveurl=https://web.archive.org/web/20110219055708/http://www.bbc.co.uk/bbcfour/documentaries/profile/amy-lawrence.shtml}}</ref>
== Maisha na ubia ==
Yeye ni mtoto ya Alphonse na Louise, Arsène Wenger alizaliwa mjini Strasbourg na kukulia katika kijiji cha jirani cha [[Duttlenheim]] na dadake na nduguye wakubwa. Wazazi wake walimiliki biashara ya sehemu vipuri ya magari katika Strasbourg, vilevile na [[duka la Bistro]] katika Duttlenheim inayoitwa ''La Croix d'Or.'' Akizungumzia malezi yake ''La Croix d'Or,'' yeye alisema katika hotuba ya [[Ligi ya mameneja Association:]] {{Quote|"There is no better psychological education than growing up in a pub... I learned about tactics and selection from the people talking about football in the pub - who plays on the left wing and who should be in the team."|Wenger on his childhood.<ref>{{Cite web|url=http://www.guardian.co.uk/football/2009/sep/25/arsene-wenger-arsenal-pub|title=I owe everything to growing up above a pub, says Arsène Wenger|last=Hytner|first=David|date=25 Septemba 2009 |work=The Guardian|accessdate=2009-09-28}}</ref>}}
Wenger ameoa aliyekuwa mchezaji zamani wa [[mpira wa kikapu]] Annie Brosterhous, ambaye ana [[binti]] mmoja, na sasa anaishi katika [[Totteridge, London]].<ref name="rees-guardian">{{Cite news
| url=http://www.guardian.co.uk/football/2003/aug/18/sport.comment
| title=Inside the mind of Arsene Wenger (excerpt from Wenger: The Making of a Legend by Jasper Rees)
| author =Jasper Rees
| work=The Guardian
| date=18 Agosti 2003
}}</ref><ref>{{Cite news
| url=http://www.guardian.co.uk/football/2006/oct/01/sport.comment1
| title=French lessons
| work=The Observer
| author=Amy Lawrence
| date=1 Oktoba 2006
}}</ref> Yeye pia ni [[balozi]] wa ulimwengu kwa ajili ya mdhamini wa [[FIFA World Cup]], [[Castrol]], na kama sehemu ya utaratibu wake amepeana mafunzo kadhaa makambini kwa timu ya vijana ya kimataifa duniani kote, na vilevile kupeana ushauri na kutoa maoni na utendekazi wa Castrol, hili ni mfumo rasmi wa FIFA wa kuwapima ufanisi wa timu na wachezaji katika mashindano mbalimbali.<ref>{{Cite web|url=http://www.castrol.com/castrol/genericarticle.do?categoryId=8278043&contentId=7052191|title=Arsène Wenger signs for Castrol|publisher=[[Castrol|Castrol India]]|date=2009-03-25|accessdate=2009-08-31|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130130142606/http://www.castrol.com/castrol/genericarticle.do?categoryId=8278043&contentId=7052191|archivedate=2013-01-30}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://www.themalaysianinsider.com/index.php/sports/29031-educate-coaches-and-young-players--arsene-wenger|title=Educate coaches and young players – Arsene Wenger|publisher=[[The Malaysian Insider]]|date=2008-06-09|accessdate=2009-08-31|archiveurl=https://web.archive.org/web/20150917134214/http://www.themalaysianinsider.com/index.php/sports/29031-educate-coaches-and-young-players--arsene-wenger|archivedate=2015-09-17}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://www.fcbusiness.co.uk/index.php?option=com_content&task=view&id=93&Itemid=1|title=An interview with Arsene Wenger|publisher=FC Business|accessdate=2009-08-31}}</ref> Yeye pia amajapisha kitabu juu ya usimamizi wa soka kwa minajili ya soko la[[Ujapani]], {{nihongo|''Shōsha no Spirit''|勝者のエスプリ|Shōsha no Esupuri|lit. ''The Spirit of Conquest'' in [[English language|English]] and ''L'esprit conquérant'' in [[French language|French]]}} ilichapishwa na kampuni ya uchapishaji wa japan Broadcast (kampuni ndogo ya[[NHK)]] katika Septemba 1997, ambapo yeye alidhihirisha falsafa,maadili na ujuzi wake usimamizi na vilevile mawazo yake juu ya soka la Kijapani na mchezo kwa ujumla.<ref name="rees-guardian"/><ref>{{Cite web|url=http://www.amazon.co.jp/gp/switch-language/product/4140803215/ref=dp_change_lang?ie=UTF8&language=en_JP|title=Amazon.co.jp: 勝者のエスプリ: アーセン ベンゲル, Ars`ene Wenger: 本|publisher=[[Amazon.com|Amazon Japan]]|accessdate=2009-09-02}}</ref>
== Wasifu wa Mapema ==
Wenger alitumia kiasi kubwa cha ujana wake kucheza mpira na kupanga mechi katika timu za kijiji, FC Duttlenheim, ambako alipata kuchezea timu ya kwanza akiwa na umri wa 16 na hatimaye kuajiriwa na klabu cha daraja la tatu ya AS [[Mutzig]] na meneja wa timu Max Hild, ambaye alikuwa mshauri wake baadaye ,na kumshauri kuhusu usimamizi wa soka baadaye katika utaalamu wake,na ambaye timu yake ilijulikana kucheza soka safi ligi ndogo katika Ufaransa.<ref name="rees-guardian"/> Wasifu wa Wenger kucheza ilikuwa hadimu. Yeye alicheza kama [[mlinzi]] katika vilabu ndogo mbalimbali wakati huo akisoma katika [[EUROPEEN Institut d'Etudes Commerciales Supérieures de Strasbourg]] wa [[Robert Schuman lade University]], ambapo yeye kumaliza [[shahada]] mwaka 1971.
Wenger aligeuza utaaluma katika 1978, na kuchaza mechi yake ya kwanza dhidi ya Monako [[RC Strasbourg]]. Yeye alichezea timu yake mara kumi na mbili timu ikiwemo mechi mbili ambapo walishinda [[Ligi ya ufaranza]] katika mwaka wa 1978-79, na akacheza mara moja katika Kombe la UEFA katika msimu huo. Mwaka 1981, yeye alipata cheti cha stashahada na akatuliwa kuwa kocha wa timu ya vijana ya klabu.<ref>{{Cite news|url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/2984744.stm
|title= Profile: Arsene Wenger|publisher=BBC News|date=12 Juni 2003|accessdate=24 Februari 2008}}</ref> Baada ya wakati wake katika timu ya Strasbourg, Wenger alijiunga na [[AS Cannes]] kama meneja msaidizi mwaka 1983.<ref>{{Cite web|url=http://www.guardian.co.uk/football/2006/may/14/sport.comment|title=The French revolutionary|author=Jason Cowley|work=[[The Observer]]|date=2006-05-14|accessdate=2009-09-02}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://soccernet.espn.go.com/players/manager?id=5&cc=4716|title=Arsene Wenger|publisher=[[ESPN Soccernet]]|accessdate=2009-09-02|archivedate=2010-10-30|archiveurl=https://web.archive.org/web/20101030170654/http://soccernet.espn.go.com/players/manager?id=5&cc=4716}}</ref>
== Wasifu wake wa usimamizi ==
[[Picha:Arsene Wenger 2.jpg|150px|right|thumb|Wenger akishukuru umati baada ya mchezo wa mwisho wa mwaka wa 2006-07 nyumbani msimu mnamo tarehe moja Mei mwaka wa 2007.]]
Kazi yake ya kwanza katika usimamisi ilikuwa katika klabu cha [[Nancy]], ambapo alijiunga mwaka wa 1984, lakini alipata mafanikio kidogo hapa: katika wake mwaka wake wa tatu na msimu wake wa mwisho , Nancy ilimaliza katika nafazi ya kumi na tisa na walizushwa daraja hadi ligi ya pili ya ufaranza (sasa [[Ligue 2).]] Wasifu wake wa usimamizi ilipanda ipokuwa meneja wa [[AS Monako]] mwaka wa 1987. Yeye alishinda ligi mwaka wa 1988 (msimu wake wa kwanza ) na [[Kombe la Kifaransa]] mwaka wa 1991, na kuwasajili wachezaji shupafu kama [[Glenn Hoddle, George Weah]] na [[Hermann Klinsmann.]] Yeye pia alisajili [[Youri Djorkaeff]] akiwa na umri ishirini na tatu kutoka [[klabu cha Strasbourg;]] ambaye alishinda Kombe la dunia, Youri alikuwa mfugaji wa mabao katika Ligi ya Ufaranza (mabao ishirini), katika mwaka wa mshisho kwa Wenger kuwa menaja katika Ufaransa. Wenger aliorodeshwa kuwa mojawapo wa menaja wa kusimamia saa Bayern Munich, lakini hakuweza kuchukua kazi kutokana na bodi la Monako kukataa kuruhusu Bayern Munich kuzungumza na Wenger, ingawaje walimwachilia Wenger wiki chache baadaye kazi hiyo kuwa imechukuliwa na mtu mwingine.<ref> Biographia ya Arsene Wenger ilioandikwa na Xavier Rivoire</ref>
Alihamia kwenye ligi ya Japani kufunza timu ya Nagoya Grampus nane kwa muda wa miezi kumi na tisa ambapo alipata mafanikio kubwa. Alishinda [[Kombe la Mfalme]] kikombe cha kitaifa. Yeye pia aliongoza klabu kutoka chini ya msimamo ya ligi hadi nafasi ya pili <ref name="espnsoccernet">{{Cite web| url=http://soccernet.espn.go.com/players/manager?id=5| title=ESPNsoccernet: Arsene Wenger| work=ESPNsoccernet| accessdate=2006-12-26| archivedate=2010-11-27| archiveurl=https://web.archive.org/web/20101127203615/http://soccernet.espn.go.com/players/manager?id=5}}</ref> Mafanikio yake katika klabu yake ilimwezesha kushinda [[meneja wa ligi wa mwaka {/0 katika wa mwaka 1995, meneja wa kwanza wa kigeni kufanya hivyo. {1/}]] Akiwa Grampus, yeye aliajiriwa meneja wa zamani wa Valenciennes, [[Boro Primorac]], kama msaidizi wake, ambaye walikutana mwaka wa 1993 wakati wa kashfa la upangaji mechi iliyoshirikisha [[timu]] ya [[Olympique de Marseille]], Wenger, alikuwa na maoni kwamba timu ya Marseille ilivunja sheria,aliunga mkono kikamilifu kocha huyo wa Yugoslavia alipo jaribu (hatimaye pamoja na mafanikio) kujitoa lawamani. Primorac alibakia kuwa rafiki Wenger kwa miaka ijayo, na bado anashikilia wadhifa huo.<ref>{{Cite web |url=http://sport.independent.co.uk/football/premiership/article1772317.ece |title=The Independent - miaka kumi Wenger: jinsi yeye walipanga mapinduzi ya Kifaransa |accessdate=2009-12-07 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071014010108/http://sport.independent.co.uk/football/premiership/article1772317.ece |archivedate=2007-10-14 |=https://web.archive.org/web/20071014010108/http://sport.independent.co.uk/football/premiership/article1772317.ece }}</ref>
Wakati huohuo Wenger alikuwa ameanza urafiki na aliyekuwa makamu mwenyekiti wa Arsenal [[David Dein]], baada ya wao wawili kukutana wakati Wenger alikuwa amahudhuria mechi kati ya [[Arsenal]] na [[Queens Park Rangers]] mwaka wa 1988.<ref>{{Cite web | url=http://www.arsenal.com/article.asp?article=420866&lid=&sub=Ten+Years+of+Wenger:+a+week+of+celebration&sublid=&Title=Ten+Years+of+Wenger:+a+week+of+celebration&f=rss | title=Ten Years of Wenger: a week of celebration | work=Arsenal.com | accessdate=2006-10-09 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20070930211702/http://www.arsenal.com/article.asp?article=420866&lid=&sub=Ten+Years+of+Wenger:+a+week+of+celebration&sublid=&Title=Ten+Years+of+Wenger:+a+week+of+celebration&f=rss | archivedate=2007-09-30 }}</ref> [[Baada ya Bruce Rioch]] kuachishwa kazi mna mwezi nane mwaka 1996, [[Gérard Houllier]],aliyekuwa mkurugenzi wa kiufundi wa [[Shirikisho la Soka la Kifaransa]], ilipendekeza Wenger kwa Daudi Dein katika majira ya joto ya 1996.<ref>{{Cite news | url=http://www.timesonline.co.uk/article/0,,277-2392291,00.html | title=Regrets? I've had more than a few, says title-chasing Wenger | work=Times Online | accessdate=2006-10-23 }}</ref> Arsenal ilithibitisha kuteuliwa kwake rasmi tarehe 28 Septemba 1996, na yeye rasmi kuchukua ushukani tarehe 1 Oktoba. Arsenal Wenger alikuwa meneja wa kwanza kutoka nje ya [[Uingereza.]] Ingawa hapo awali alikuwa amesemekana kuwapewa kazi kama mkurugenzi wa kiufundi [[la shirikisho la kadanda]], wakati Wenger alikuwa anajulikana kwa nadrwa katika Uingereza, ambako [[gazeti la Evening]] [[Standard]] iliandika uteuzi wake na habari kuu 'Arsene nani?'.<ref>{{Cite web | url=http://www.anr.uk.com/anr.news7dec.html | title=Press at a glance: Tuesday 7 December 1998 | work=ANR | accessdate=2006-10-09 }}</ref>
Mwezi mmoja kabla ya Wenger kuchukua rasmi hatimu ya timu ya Arsenal, Wenger aliomba klabu iwasajili viungo vya kati wa Kifaransa [[Patrick Vieira]] na [[Rémi Garde.]] Mechi yake ya kwanza ilikuwa ushindi wa mabao mawili dhidi ya [[Blackburn Rovers]] tarehe kumi na mbili Oktoba 1996. Arsenal ilimaliza ya tatu katika msimamo ligi katika msimu wake wa kwanza, na kukosa nafasi ya pili (iliyoshikiliwa na [[Newcastle United]]), na hivyo kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa, kwa wingi wa mabao.
Katika msimu wake wa pili (1997-98), Arsenal ilishinda mataji mawili ikiwemo [[Ligi Kuu]] na [[Kombe la FA]],na kuifanya kuwa mara ya pili katika historia ya klabu kushinda mataji mawili kwa msimu mmoja. Arsenal ilikata uongozi wa poiti kumi na mawili kutoka klabu cha [[Manchester United na kushinda taji la ligi]] ilifanikiwa kushinda ligi kama mechi mbili ilikuwa imesalia. Ngumo ya mafanikio hayo ilikuwa kurithi ulinzi wa [[Tony Adams, Steve Bould, Nigel Winterburn, Lee Dixon]] na [[Martin Keown]], pamoja na mshambuliaji [[Dennis Bergkamp]] na kuelewana wazajili wapya, [[Emmanuel Petit]] kama mcheza mke wa [[Patrick Vieira]], na mshabulizi wa kazi [[Marc Overmars]], na vijana mshambuliaji [[Nicolas Anelka.]]
Misimu michache zilizofuata zilikuwa tasa, wakikaribia kushinda kikombe. Katika msimu wa 1998-99, wao walipoteza taji la ligi kwa Manchester United na pointi moja siku ya mwisho ya msimu, na Manchester pia ikaondoa Arsenal katika muda wa ziada katika nusu-finali ya kikombe cha FA Cup. Msimu wa 1999-2000, Arsenal ilipoteza [[fainali]] ya [[Kombe la UEFA kwa timu ya Galatasaray kwa penalti]] na [[2001 Finali ya kombe la FA]] kwa [[Liverpool]] 2-1. Wenger alitatua kuleta wachezaji mpya wa kikosi, pamoja usajili wa utata wa mlinzi Tottenham (aliyekuwa amemaliza mmkataba)na nahodha wa zamani [[Sol Campbell]] vilevile wachezaji wa timu ya kwanza kama [[Fredrik Ljungberg]], [[Thierry Henry]] na [[Robert Pires]].
Wasajili wapya ilisaidia timu ya Wenger kushinda mataji mawili mara moja katika [[msimu wa 2001-02.]] Mechi iliyosisimua sana ilikuwa mechi ya pili kutoka mwisho dhidi ya Manchester United. Arsenal ilishinda 1-0 katika mchezo ambao Arsenal ilionekana kizidi Manchester United. Arsenal alienda msimu mzima unbeaten mbali kutoka nyumbani na kila moja alifunga katika mchezo wa Ligi Kuu kwamba msimu, na kumaliza Double kwa kumpiga Chelsea 2-0 katika fainali ya Kombe la FA na malengo kutoka [[Ray Parlour]] na Fredrik Ljungberg.
Baada ya kuanza msimu wa [[2002-03 kwa nguvu]], Arsenal ilionekana kama ingehifadhi taji la ligi kwa mara ya kwanza katika historia yao. Arsenal walikuwa wanaongoza Manchester United (ambao walishinda) kwa point nane wakati mmoja, lakini kucheza kwao ilididimia msimu ikikienda kuisha. Manchester United ilipita Arsenal katika hatua ya mwisho ya msimu na kushinda taji, Arsenal ilitupa ouuongozi wa mabao mwaili dhidi ya [[Bolton Wanderers]] na kutoka sare ya mabao mawili na kisha kupoteza wakiwa nyumbani kwa [[Leeds United]].
Arsenal walifanikiwa kushinda kombe la FA mwaka wa 2003, na msimu iliyofuata, waliandika historia kwa kushinda Ligi ya 2003-04 bila ya kupoteza mechi yeyote ,timu ya daraja la kwanza kuandikisha historia tangu 0}timu Preston North End mwaka wa 1888 -89 kufanya hivyo, hili ni historia ambayo timu ya [[AC Milan]] na [[Ajax]] walikuwa wamewaza kuandikisha katika ligi za kubwa za Ulaya. Mwaka mmoja awali, Wenger alikuwa ameskika akisema kuwa ingeweza Arsenal kucheza msimu mzima bila kushindwa.<ref> Dondoo ya Wenger's halisi ni: "inawezekana". Najua itakuwa vigumu kwa sisi kucheza msimu yote bila kushindwa. Lakini kama sisi tutashikilia mtazamo sahihi ni inawezekana kufanya hivyo. " From: {{Cite news | title=We Won't Lose One Match | publisher=The Mirror | date=21 Septemba 2002 | pages=78–79 | first=Martin | last=Lipton }}</ref>
Mechi ya Arsenal kutoshindwa kwa mechi arobaini na tisa ilifikia kikomo pale waliposhindwa na Manchester United kwa mabao mawili kwa nunge mnamo Oktoba 2004. Arsenal walikuwa na ushindi mwingine wa muda katika kampen ligi ya, lakini walishinddwa kutetea ligi na Chelsea. Faraja tena ilikuja katika Kombe la FA mwaka wa 2005, ambapo Arsenal ilishinda Manchester United kwa penalti baada ya kutoka sare ya nunge kwenye fainali.
[[Picha:In Arsene We Trust.jpg|240px|right|thumb|Wafuasi wa Arsenal wanaonyesha kadi iliyoandikwa "KWA ARSENE TUNA IMANI" Mei 2009]]
Arsenal walikuwa na misimu miwili katika 2005-06 na 2006-07 ya kutoshinda taji lolote, ambapo walimaliza katika nafasi ya nne katika hafla zote mbili. Arsenal wakiwa katika fomu mzuri walitishia kuchukua Ligi Kuu na dhoruba katika [msimu wa 2007-08, walioongoza ligi kwa muda mrefu katika msimu huo, lakini walishindwa na Chelsea na Manchester United, baada ya mguu wa mshabuliaji wao Eduardo kuvunjwa ikatatanisha kikosi changa cha Arsenal kwa wiki chache.
Kwa jumla, Arsenal imeshinda Ligi mara tatu na vikombe vya FA manne chini ya uongozi wa Wenger, hili linamfanya kuwa meneja mwenye mafanikio kubwa zaidi katika masuala ya nyara. Nyara ya [[vilabu mabingwa]] ndilo taji peke yake ambalo Wenger hajashinda,hata hivyo, Arsenal ilikaribia kushinda walikapo fika [[finali]] katika msimu wa 2005-06, kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu, ambapo walipoteza kwa mabao mawili kwa moja dhidi ya timu ya [[Barcelona]].
Mnamo Oktoba 2004, yeye alitia saini mkataba wa kuongoza kandarasi yake ambayo ingeweka ugani Emireti kupita [[msimu wa 2007-08]] /0} <ref>{{Cite news | url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/3958385.stm | title=Wenger signs new Arsenal contract | work=BBC | accessdate=27 Oktoba 2004}}</ref> Aliyekuwa makamu mwenyekiti Arsenal [[wakati huo David Dein]] alisema kuwa Wenger ana kazi ya arsenal " kwa maisha" , na alipangia kumpatia Wenger jukumu kazi ya mwanabodi wa klabu mara tu atakopo Arsenal retires mara moja yeye kama meneja.<ref>{{Cite web | url=http://home.skysports.com/list.aspx?hlid=418768&CPID=8&clid=3&lid=4161&title=Dein:+Wenger+has+job+for+life | title=Dein: Wenger has job for life | work=Sky Sports }}{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Maisha ya baadaye ya Wengerkatika Arsenal ilikuwa na maswahili chungu baada ya Daudi Dein kutoka bodi la Arsenal mnamo tarehekumi na nane mwezi wa Aprili 2007, na uvumi kuvuma kwamba Wenger atawacha kazi yake ili awe meneja wa [[Real Madrid.]] Hata hivyo, mnamo tarehe 6 Septemba 2007, Wenger ilikubali kandarasi mpya ya miaka mitatu katika Arsenal.<ref>[55] ^ {{Cite news | url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/6981442.stm|title=Wenger agrees new deal at Arsenal | work=BBC Sport}}Mkataba inadhaniwa kuwa thamani ya pouni milioni nne kila mwaka.</ref>
== Mkabala na falsafa ==
[[Picha:Arsène Wenger 2008.jpg|thumb|Wenger mwaka 2008.]]
Wenger ameelezewa kama kocha ambaye "imetumia wasifu yake kujenga timu kushinda mataji na wakati huo kkuwa hamu ya kufurahisha na kushambulia",<ref>{{Cite news
| url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/7339174.stm
| title= Wenger sticks to his guns
| work=BBC Sport
| author=Whyatt, Chris
| date=9 Aprili 2008
}}</ref> na kama mwandilishi,anashughulika sana wakfu kwa mtu binafsi na ya kiufundi wa umoja ".<ref>{{Cite news
| url=http://www.dailymail.co.uk/pages/live/articles/sport/football.html?in_article_id=560305&in_page_id=1779
| title=Arsene Wenger has made some mistakes but he's still the best Arsenal have ever had
| work=Daily Mail
| author=[[Tom Watt|Watt, Tom]]
| date=17 Aprili 2008
}}</ref> ''Gazeti ya Times'' inabainisha kuwa tangu 2003-04 mkabala na mchezo wa Wenger imekuwa msisitizo ya ushambuliaji.<ref>{{Cite news
| url=http://www.timesonline.co.uk/tol/sport/football/fink_tank/article2933477.ece
| title=Efficiency drive in defence and attack is proving Arsene Wenger right
| work=The Times
| author=[[Daniel Finkelstein|Finkelstein, Daniel]]
| date=27 Novemba 2007
| quote=For the past four years, our model shows Arsenal as an attacking team – at no point has their defence ranking been above their ranking for attack.
}}</ref> Mtindo wake wa kucheza imekuwa kinyume na mkabala wa wapinzani wake,<ref>{{Cite news
| url=http://www.timesonline.co.uk/tol/sport/football/premier_league/arsenal/article3717226.ece
| title=Why Arsene Wenger should be proud rather than cowed
| quote=Arsène Wenger could have instructed his team to play with the dispiriting pragmatism so beloved of his rival managers, but the mercurial Frenchman was not prepared to betray his nobler ideals, even when it might have improved his club’s chances of success.
| work=The Times
| author=[[Matthew Syed|Syed, Matthew]]
| date=10 Aprili 2008
}}</ref> lakini pia imekosolewa kwa kwa kukosa nguzo wa kuua".<ref>{{Cite news
| url=http://www.dailymail.co.uk/pages/live/articles/columnists/columnists.html?in_article_id=559462&in_page_id=1951&in_author_id=260
| title=Make this your final year, Joe
| work=Daily Mail
| author=[[Jeff Powell|Powell, Jeff]]
| date=13 Aprili 2008
| quote=Imaginative play to delight connoisseurs but lack of a killer touch leaving them vulnerable to more relentless opponents.
}}</ref> Ingawa Wenger kwa miaka kadhaa alichezesha kikosi chake na mfumo wa 4-4-2, tangu mwaka 2005 amekuwa mara nyingi akitegemea mfumo 4-5-1 na mshambuliaji mmoja na kiungo iliyojaa wachezaji,<ref>{{Cite web | url=http://www.arsenal-land.co.uk/columns/?col=246 | title=What is Arsenal's optimal tactical strategy? | accessdate=2009-12-07 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20090125192859/http://www.arsenal-land.co.uk/columns/?col=246 | archivedate=2009-01-25 }}</ref> hasa tangu kuhama uwanja pana wa Emirati ,<ref>{{Cite web | url=http://www.arsenalamerica.com/2006/10/06/evolution-of-the-arsenal-playing-style/ | title=Evolution of the Arsenal Playing Style | accessdate=2009-12-07 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20091201090134/http://www.arsenalamerica.com/2006/10/06/evolution-of-the-arsenal-playing-style/ | archivedate=2009-12-01 }}</ref> na katika ligi ya mabingwa.<ref>{{Cite web | url=http://www.arsenal.com/article.asp?thisNav=news&article=416732&lid=NewsHeadline&Title=Adebayor+might+not+remain+a+lone+Gunner | title=Adebayor might not remain a lone Gunner | accessdate=2009-12-07 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20130606223303/http://www.arsenal.com/article.asp?thisNav=News | archivedate=2013-06-06 }}</ref> Mwanzo kwa msimu wa 2009-10, Wenger ameanza mfumo mpya ya 4-3-3 , ikiwa na washambuliaji watano wanaobadilishana nafasikwa hiari wakati wa mechi.<ref>{{Cite web | url=http://www.guardian.co.uk/sport/blog/2009/oct/27/the-question-false-nines-jonathan-wilson }| title=Why don't more teams trust false nines? }}</ref>
Wenger ana sifa kubwa ya kutafuta talanta ya vijana wachanga. Wakati wake akiwa Monako alimleta [[mrai wa Liberia, George Weah]], ambaye baadaye akashinda tuzo la shirikisho la kandanda duniani[[ya mchezaji mzuri wa mwaka]] wakati huo akichezea [[AC Milan, Tonnerre Yaoundé]] kutoka timu y [[Kamerun]]na [[rai wa]] Nigeria [[Victor Ikpeba]], ambaye baadaye akawa [[mchezaji bora wa Afrika wa Mwaka]] kutoka [[klabu cha RFC de Liege.]] Wakati akiwa Arsenal, Wenger amesajili vijana, ambao hawakuwa wakijulikani kama vile [[Patrick Vieira, Francesc Fabregas, Robin Van Persie]] na [[Kolo Toure]], na kuwasaidia kuwa kuwa wachezaji wa duniani. Imeonekana, utetezi ambao iliweka rekodi mpya baada ya kucheza mechi kumi mfululizo bila kufungwa bao lolote wakiwa njiana kufika fainali ya[[kombe la Uefa]] dhidi ya [[Barcelona]]msimu wa 2005-06 iligharimau Arsenal chini ya pouni tano za uingereza kukusanyika.
Ingawa Wenger amefanya baadhi ya uzajili ya wachezaji wenye pesa mingi kwa Arsenal, rekodi ya matumizi yake ni nadra zaidi kuliko timu nyingine inayoongoza Ligi. Utafiti wa mwaka wa 2007,ilipata kuwa alikuwa meneja wa pekee kwenye Ligi eamefanya faida kwa uhamisho wa wachezaji,<ref>{{Cite web |url=http://www.channel4.com/news/articles/sports/wenger+most+money+wise+manager/667357 |title=Wenger wengi 'pesa busara' meneja |accessdate=2009-12-07 |archivedate=2009-08-22 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090822153528/http://www.channel4.com/news/articles/sports/wenger+most+money+wise+manager/667357 }}</ref> na kati ya mwaka wa 2004 na mwaka wa 2009 Wenger alifanya faida wastani ya pauni dola million nne nukta nne kwamsimu kutokana na uhamisho, mbali zaidi kuliko vilabu vingine vyovyote.<ref>{{Cite web|url=http://transferleague.co.uk/ |title=Transfer League |publisher=Transfer League |date=2008-06-11 |accessdate=2009-10-31}}</ref> Mfano mzuri ni ya ununuzi wa [[Nicolas Anelka]] kutoka [[Paris St Germain]] kwa pauni elfu mia tano tuna baadaye kuuzwa pauni millioni ishirini na mbili kwa [[Real Madrid]]baada ya miaka miwili tu. Hiyo ilimwezesha Wenger kununua wachezaji watatu, wakiwemo Thierry Henry, Robert Pires na [[Sylvain Wiltord]], ambao wote walicheza nafasi muhimu katika kushinda mataji mawili katika msimu wa 2001-02 na kushinda ligi katika msimu wa 2003-04.
Vilevile kwa kukuza vipaji kwa klabu, Wenger pia ameonekana kufufua wasifu ya wachezaji wakongwe akiwa Arsenal. [[Dennis Bergkamp]], ambaye alikuwa amesajiliwa na Arsenal mwaka mmoja kabla Wenger kijiunga na Arsenal, alifikia upeo wake chini ya uonngozi wa Wenger. Wenger pia alisaidia mwanafunzi wake wa awali akiwa Monako, Thierry Henry, kuwa mchezaji wa hadiri ya dunia na kumwona akiwa nahodha na mfungaji bora wa boa kwa historia ya Arsenal.
Wenger pia aligeuza mfumo wa kufanya mazoezi na kukula,kwa kutoa unywaji pombe na ukulaji wa chakula yenye mafuta mingi. Wenger alisimama na nahodha [[Tony Adams]] baada ya Adams kukubali kuwa [[ulevi]] mwaka wa 1996. Wenger alisaidia Adams wakati wa ukarabati wake, na mchezaji huyo akarejea fomu mzuri na akamwongezea wasifu yake kwa miaka kadhaa. Mafunzo ya Wenger na sheria ya malazi na chakula huenda pia ilichangia kurefusha wasifu wa wanabegi wa Arsenal kwa muda mrefu, wanabegi [[Nigel Winterburn]], [[Lee Dixon]] na [[Martin Keown]]. Wenger awali alikuwa kupanga kuwasajili wachezaji wengine kuchukua nafasi yao, lakini baadaye alitambua kwamba hakuwa na haja ya kufanya hivyo.
Wenger alikuwa na mchango wa moja kwa moja kwa muundo wa ndani wa [[uwanja]] mpya ya [[Emirates]], ambao ulifunguliwa mwaka wa 2006, na uhamisho kwa uwanja mpya ya mafunzo ya [[London Colney]].
== Plaudits na tuzo ==
{{Wikiquote}}
Wenger anafurahia pendo kubwa kutoka kwa mashabiki wa Arsenal, ambao wameonyesha imani kubwa na meneja wake wa muda mrefu wa maono yake ya muda ijaayo. Display banners wafuasi mara kwa mara wakidai "Arsène anajua" na "Katika sisi Arsène matumaini" katika matches at Emirates Stadium. Wakati Arsenal msururo wa ushindikatika kampeni wakiwa Highbury mwaka wa [[2005-06]], wafuasi walionyesha kuridhishwa kwao na kuamua kuwa " Siku ya Wenger" katika mojawebo ya sikuza mechi kali. Siku ya Wenger wulifanyika siku yake ya kuzaliwa akiadhimisha miaka hamsini na sita ya kuzaliwa mnamo tarehe ishirini na mbilimwezi wa Oktoba 2005, wakati wa mechi dhidi ya [[Manchester City.]] <ref>{{Cite web | url=http://www.arsenal.com/article.asp?thisNav=&article=359079 | title=It's Wenger Day at Highbury! | work=Arsenal.com | accessdate=2009-12-07 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20071014183632/http://www.arsenal.com/article.asp?thisNav=&article=359079 | archivedate=2007-10-14 }}</ref>
Aliyekuwa makamu mwenyekiti wa Arsenal, David Dein, alieleza Wenger kama meneja muhimu katika historia ya klabu: "Arsene kama mfanyakazi wa maajabu. Yeye alibadilisha klabu. Aligeuza wachezaji kuwa wa kiwango cha duniani. Tangu awe hapa, tumeona mpira kutoka sayari nyingine".<ref>{{Cite web | url=http://www.telegraph.co.uk/sport/main.jhtml?xml=/sport/2001/12/06/sfnwen07.xml&sSheet=/portal/2001/12/07/por_right.html | title=Arsenal sign Wenger with expert timing | work=Daily Telegraph | accessdate=2021-07-13 | archivedate=2007-12-15 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20071215130008/http://www.telegraph.co.uk/sport/main.jhtml?xml=%2Fsport%2F2001%2F12%2F06%2Fsfnwen07.xml&sSheet=%2Fportal%2F2001%2F12%2F07%2Fpor_right.html }}</ref> Katika Tarehe 18 mwezi wa Oktoba 2007, kinyago cha shaba, sawa toleo la awali la [[Herbert Chapman]], ilizindua kwake, na bodi ya wakurugenzi wa Arsenal, katika Mkutano Mkuu wa mwaka.<ref>{{Cite web| url=http://www.arsenal.com/article.asp?thisNav=News&article=483062&lid=NewsHeadline&Title=Arsenal+commission+bust+of+Ars%26egrave;ne+Wenger| title=Arsenal commission bust of Arsène Wenger| work=Arsenal.com| accessdate=2009-12-07| archiveurl=https://web.archive.org/web/20071106135002/http://www.arsenal.com/article.asp?thisNav=news&article=483062&lid=NewsHeadline&Title=Arsenal+commission+bust+of+Ars%26egrave;ne+Wenger| archivedate=2007-11-06}}</ref>
Wenger ilipewa zanaa mzuri ya kifaranza ya [[Légion d'Honneur]] mwaka wa 2002. Yeye ilipewa tuzo la [[OBE]] kwa huduma yake kwa soka ya Uingereza katika [[siku ya tuzo za kuzaliwa Malkia]] ya mwaka wa 2003, pamoja na mfaranza mwenzake ambaye alikuwa meneja wa Liverpool [[Gérard Houllier.]] Mwaka wa 2006, Wenger aliingiza ndani ya makwiji wa soka la Uingereza [[kama utambuzi mafanikio yake kama]] meneja katika Uiingereza. Yeye alikuwa meneja wa pili wa kigeni kuingishwa kwa orodha ya makwiji haoe, baada ya Mwitalia [[Dario Gradi]] wa timu ya [[Crewe Alexandra]].
Mwaka wa 2007, alipata nyota moja KUpewa jina la [[33179 Arsène Wenger]], <ref>{{Cite web|author=Alan Chamberlin |url=http://ssd.jpl.nasa.gov/sbdb.cgi?sstr=33179;orb=1;cov=0#orb |title=JPL Small-Body Database Browser |publisher=Ssd.jpl.nasa.gov |date= |accessdate=2009-10-31}}</ref> na mwanaastronomia [[Ian P. Griffin]], ambaye anasema kilabu cha Arsenal anakipenda sana.<ref>{{Cite web |url=http://web.mac.com/i_griffin/Ian_Griffins_Website/Arsenewenger.html |title=Arsenewenger |publisher=Web.mac.com |date=2007-11-21 |accessdate=2009-10-31 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110520100408/http://web.mac.com/i_griffin/Ian_Griffins_Website/Arsenewenger.html |archivedate=2011-05-20 }}</ref>
== Sakata ==
[[Picha:Arsene Wenger.JPG|thumb|Wenger imekuwa katika kesi za utatanishi]]
Timu za Wenger imeshtumiwa kukoza nidhamu, walipa [[kadi nyekundu]] sabini na tatu kati ya mwaka wa 1996 na 2008.<ref>{{Cite web | url=http://archives.tcm.ie/irishexaminer/2003/10/04/story581667712.asp | title=Wenger has no back-up plan | work=Irish Examiner | accessdate=2009-12-07 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20081230033233/http://archives.tcm.ie/irishexaminer/2003/10/04/story581667712.asp | archivedate=2008-12-30 }}</ref> Hata hivyo, katika wawili mwaka 2004 na 2005 timu ya Wenger ilishinda zawadi ya timu iliyo na nidhamu na tabia mzuri katika ligi ya Uingereza <ref>{{Cite web | url=http://www.thefa.com/Features/EnglishDomestic/Postings/2004/08/Arsenal_FairPlay.htm | archiveurl=https://web.archive.org/web/20041027082515/http://www.thefa.com/Features/EnglishDomestic/Postings/2004/08/Arsenal_FairPlay.htm | archivedate=2004-10-27 | title=Fair Play to Gunners | work=The Football Association | accessdate=2009-12-07 }}</ref><ref>{{Cite web | url=http://www.breakingnews.ie/2005/05/19/story203267.html | title=Fair Play to Arsenal could see Spurs in Europe | work=BreakingNews.ie | accessdate=2009-12-07 | archivedate=2008-12-06 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20081206055127/http://www.breakingnews.ie/2005/05/19/story203267.html }}</ref> na karibu wajishidie zawadi hilo tena mwaka wa 2006.walimaliza katika nafasi ya pili.<ref>{{Cite web | url=http://www.premierleague.com/public/downloads/publications/Fair_Play_May_06.pdf | archiveurl=https://web.archive.org/web/20060923111427/http://www.premierleague.com/public/downloads/publications/Fair_Play_May_06.pdf | archivedate=2006-09-23 | format=PDF | title=Barclays Premiership 2005/06 Fair Play League | work=Premierleague.com | accessdate=2009-12-07 }}</ref> Rekodi yao kama mojawebo ya vilabu vya michezo yenye nidhamu iliendelea hadi 2009 baada ya klabu kuwa katika nafasi nne za kwanza kwa kuwania zawadi hilo.<ref>{{Cite web|url=http://www.avfc.co.uk/page/News/0,,10265~1024029,00.html |title=MON On Fair Play | Latest News | Latest News | News | Aston Villa |publisher=Avfc.co.uk |date=2009-10-27 |accessdate=2009-10-31}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://www.whoateallthepies.tv/2009/06/what_the_200809.html |title=What the 2008/09 Premier League Fair Play table tells us » Who Ate all the Pies |publisher=Whoateallthepies.tv |date=2009-06-05 |accessdate=2009-10-31}}</ref>
Mwaka wa 1999, Wenger alipatia klabu ya [[Sheffield United]] mechi ya marudiano katika shindano la FA baada ya sintofahamu kuhuzu ushindi wa Arsenal. Bao la ushindi la Arsenal iliyofungwa na [[Marc Overmars]], ilitokana na mshambuliaji [[Kanu]] kushindwa kurudisha mpira kwa upinzani baada ya mpira kutolewa nje ili mchezaji wa Sheffield United kupata matibabu kwa ajili ya kuumia. Arsenal alishinda mechi ya marudio kwa mabao mawili kwa moja.
Yeye anajukika vizuri sana kutika na ushindani na menaja wa [[Manchester United]], [[Sir Alex Ferguson]]. Ushindani huu ulifikia kilele katika tukio la "Pizzagate" <ref>{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2006/sep/15/newsstory.sport1
| title = Pizzagate: a slice of strife
| publisher = Guardian
| date = 15 Septemba 2006
| accessdate = 18 Februari 2009
}}</ref><ref>{{Cite news
| url = http://www.telegraph.co.uk/sport/football/2392616/Untold-story-of-%27Pizzagate%27.html
| title = Untold story of 'Pizzagate'
| first = Mihir
| last = Bose
| publisher = Daily Telegraph
| date = 8 Desemba 2004
| accessdate = 18 Februari 2009
| archivedate = 2008-12-12
| archiveurl = https://web.archive.org/web/20081212224444/http://www.telegraph.co.uk/sport/football/2392616/Untold-story-of-%27Pizzagate%27.html
}}</ref> huko [[OLD TRAFFORD]] katika Oktoba mwaka wa 2004 baada ya mkwaju wa adhabu la utata ulipelekea kushindwa kwa mabao mawili kwa nunge,hivyo kufanya ushindi wa Arsenal wa mechi arobaini na tisa bila kushindwa kufikia kikomo. Baada ya mechi mwanachama wa Arsenal alidaiwa kurushia chakula upinzani katika mwingilio wa chumba cha mapumziko.<ref>{{Cite web | url=http://www.football365.com/news/story_131481.shtml | title=Wenger: I didn't see tunnel fracas | work=Football365 | accessdate=2009-12-07 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20041027235622/http://www.football365.com/news/story_131481.shtml | archivedate=2004-10-27 }}</ref> Wenger alipigwa faini ya dollar elfu kumi na tano kwa ajili ya kumwita mshambulizi wa Manchester [[Ruud van Nistelrooy]] kama mdanganyifu katika mahojiano na wandishi wa habari baada ya mechi. Yeye pia alipigwa faini nyingine baadaye kwa wito wake wa kumwita van Nistelrooy mdanganyanyifu, kuonyesha kwamba yeye aliamini yake.<ref>{{Cite news | url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/4099659.stm | title=Wenger fined over Ruud outburst | work=BBC Sport}}</ref> Mameneja wote sasa wamekubali kupunguza la toni maneno yao ushindani wao itulie.<ref>{{Cite news | url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/eng_prem/4190561.stm | title=Wenger and Ferguson to end feud | work=BBC Sport}}</ref>
Katika mwezi wa Oktoba na Novemba mwaka 2005, Wenger alijiingiza katika cheche la maneno na aliyekuwa meneja wa [[Chelsea]] [[José Mourinho.]] Mourinho alimstumu Wenger kuwa hana anapenda Chelsea kinyume na maadili ya kazi, akiwita Wenger kama panya na [[mtu anayependa maswala ya watu wengine]] <ref>{{Cite news | url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/teams/c/chelsea/4391824.stm | title=Mourinho labels Wenger a 'voyeur' | work=BBC Sport}}</ref> Mourinho alinukuliwa akisema, "Yeye's ana wasiwasi kuhusu sisi, yeye daima anazungumza kuhusu sisi - ni Chelsea, Chelsea, Chelsea, Chelsea". Wenger alijitetea kuwa alikuwa anajibu waandishi wa habari kuhusu maswali juu ya Chelsea, na akaelezea mtizamo wa Mourinho kama "isiyo na nidhamu". Mourinho tangu imenukuliwa akisema kuwa yeye anajutia kusema neno hilo "voyeur" , na Wenger amakubali msamaha wake.<ref>{{Cite news | url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/c/chelsea/4554688.stm | title=Mourinho regrets 'voyeur' comment | work=BBC Sport}}</ref>
Wenger mara nyingi imekuwa akikosolewa na meneja wengine wa wa Ligi kuwa amekosa kuchezesha wachezaji kutoka uingereza , hasa katika Ligi ya Mabingwa. Aliyekuwa meneja wa West Ham United, Alan Pardew alisema kuwa mafanikio ya Arsenal katika Ligi ya mabingwa si lazima kuwa ushindi kwa soka ya Uingereza".<ref>{{Cite web | url=http://football.guardian.co.uk/championsleague200506/story/0,,1727709,00.html | title=
This was no English victory says Taylor | work=The Guardian}}</ref> Wenger aliona suala la utaifa kama lisilo na msingi wowote na akasema, "Wakati wewe unawakilisha klabu, ni kuhusu maadili na sifa, si kuhusu paspoti", pia inaonyesha kuwa kulikuwa na kile kipengele cha kirangi alivyosema Pardew. Katika kukabiliana, Pardew alisema kuwa, "Meneja ambaye ameowa mswidi na amawazajili wachezaji kutoka duniani kote huwezi kuitwa mpaguzi wa rangi." <ref>{{Cite web | url=http://www.telegraph.co.uk/sport/football/2353083/Wenger-and-Pardew-face-an-early-rematch.html | title=
Wenger and Pardew face an early rematch | publisher=''[[The Daily Telegraph|The Telegraph]]''|author=Mick Collins|date=2006-12-31|accessdate=2009-08-14}}</ref> Wajambuzi wengine, pamoja [[Trevor Brooking]], mkurugenzi wa mpira wa maendeleo katika [[shirikisho la kandanda]], alitetea Wenger. Brooking alibainisha kuwa ukosefu wa wachezaji kutoka Uingereza katika mojawebo ya vilabu yenye mafanikio zaidi katika Uingereza ilikuwa tafakari ya kutokuwepo na talanta nchini Uingereza kuliko Wenger mwenyewe.<ref>{{Cite web | url=http://soccernet.espn.go.com/news/story?id=361745&cc=5739 | title=English kids are technically inferior, claims Brooking | work=Soccernet | accessdate=2009-12-07 | archivedate=2008-12-06 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20081206140505/http://soccernet.espn.go.com/news/story?id=361745&cc=5739 }}</ref> Wachezaji kadhaa wa Uingereza walianzia wasifu wao Arsenal chini ya usimamizi wa Wenger, wakiwemo [[David Bentley]], [[Steve Sidwell]], [[Jermaine Pennant]], [[Mathayo Upson]] na [[Ashley Cole]] na vijana wa Uingereza wenye vipaji kama vile [[Theo Walcott]], [[Kieran Gibbs]] na [[Jack Wilshere]] na sasa wanajenga wasifu wao katika Arsenal.
Baadhi ya wachezaji vijana wa Uingereza hata hivyo waliona kwamba ingekuwa mzuri kuhama mahali pengine kupata fursa zaidi timu ya kwanza. Wachezaji kama Mathayo Upson, Steve Sidwell, na David Bentley walikuwa wataalamu wenyewe, lakini walishindwa kupata nafasi ya kawaida kwa Arsenal. Mnamo Novemba mwaka wa 2007, [[Sir Alex Ferguson]] pia alikosoa Wenger kwa kutowachezesha wachezaji wengi wa Kiingereza.<ref>{{Cite news | url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/m/man_utd/7080436.stm | title=Ferguson supports Fifa quota plan | work=BBC Website}}</ref>
Wenger maneno yenye utata baada ya taarifa juu ya maamuzi ya marefari baada ya maamuzi kuenda kwa wapinzani wake.<ref>{{Cite news | url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/4539160.stm| title=FA quizzes Wenger about comments | work=BBC Sport }}</ref> Kufuatia finali ya Carling mwishoni mwa mwaka wa 2007, yeye alimwita [[mzaidizi wa refa]] kama 'mwongo', kupelekea uchunguzi na shirikisho la kandanda,<ref>{{Cite news | url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/6417007.stm | title=Wenger out of order, says ex-ref | work=BBC Website}}</ref> na kupewa faini ya dollar elfu mbili mia tano, na onyo.<ref>{{Cite news | url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/6561059.stm | title=Wenger given fine & warning by FA | work=BBC Website}}</ref> Wenger kwa mara nyingi amejaribu kutetea wachezaji wake wakati wamehusika katika matukio utata uwanjani kwa kusema kwamba hakuona tukio hilo; hili ni chaguo Wenger anasema anapendelea kwa wakati hakuna " maelezo kamilifu" ili kujitetea, na kwamba yeye ina maslahi ya mchezaji bora katika akili yake. {0
== Takwimu ==
=== Wachezaji ===
{{Football player statistics 1|YY}}
{{Football player statistics 2|FRA|YY}}
| --
| [[1978-79]]
| rowspan = "3" | [[Strasbourg]]
| rowspan = "3" | [[Daraja la kwanza]]
| 2 | | 0 | | | | | | | | | | 1 | | 0 | | | |
| --
| [[1979-80]]
| 1 | | 0 | | | | | | | | || colspan = "2 "|-|| | |
| --
| [[1980-81]]
| 8 | | 0 | | | | | | | | | | colspan = "2 "|-|| | |
{{Football player statistics 3|1|FRA}} 11 | | 0 | | | | | | | | | | 1 | | 0 | | | |
{{Football player statistics 5}} 11 | | 0 | | | | | | | | | | 1 | | 0 | | | |
|}
<ref>{{Cite web |url=http://www.racingstub.com/page.php?page=joueur&id=101 |title=Arsène WENGER - Racing Club de Strasbourg - racingstub.com |publisher=racingstub.com |date=1949-10-22 |accessdate=2009-10-31 |archivedate=2009-08-22 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090822193825/http://www.racingstub.com/page.php?page=joueur&id=101 }}</ref>
=== Msimamizi ===
{| class="wikitable" style="text-align: center"
|-
!rowspan = "2" | Timu
!rowspan = "2" | Nat
!rowspan = "2" | From
!rowspan = "2" | Kwa
!colspan = "5" | Record
|-
!G!!W!!D!!L!!Kushinda%
|-
| align = left | [[AS Nancy|Nancy]]
| align = "left" | {{Flag icon | Ufaransa}}
| align = left | 1984
| align = left | 1987 ((WDL | 114 | 33 | 30 | 51))
|-
| align = left | [[AS Monaco FC|AS Monako]]
| align = "left" | {{Flag icon | Ufaransa}}
| align = left | 1987
| align = left | 1995 ( (WDL | 266 | 130 | 53 | 83))
|-
| align = left | [[Nagoya Grampus|Nagoya Grampus Nane]]
| align = "left" | {{Flag icon | Ujapani}}
| align = left | 1995
| align = left | 1996 ((WDL | 56 | 38 | 0 * | 18))
|-
| align = left | [[Arsenal FC|Arsenal]]
| align = "left" | {{Flag icon | England}}
| align = left | 30 Septemba 1996
| align = left |''Present''((WDL | 755 | 435 | 187 | 133))
| -!colspan = "4" | Total {{WDLtot|1191|636|270|285}}
|}
{{updated|29 Novemba 2009}}<ref>{{Cite web |url=http://www.soccerbase.com/managers2.sd?managerid=92 |title=Arsene Wenger's managerial career |date= |accessdate=2 Novemba 2009 |publisher=[[Racing Post]] |archivedate=2010-03-30 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100330003951/http://www.soccerbase.com/managers2.sd?managerid=92 }}</ref>
<nowiki>*</nowiki> ''Wakati wa Wenger's umiliki huko, katika Ujapani's J-League katika tukio la scores kuwa ngazi mwishoni wa dakika 90, viberiti itakuwa waliamua kwa muda wa ziada na adhabu.''
== Tuzo ==
=== Player ===
==== Strasbourg ====
* [[Ligi ya Ufaranza: 1978-79]]
=== Msimamizi ===
{{Col-begin}}
{{Col-2}}
==== Monako ====
;Mshindi
* [[Ligi ya Ufaranza (1): 1987-88]]
* [[kombe la Ufaransa (1): 1990-91]]
;Nafasi ya pili
* [[Taji la kompe la UEFA]] (1): [[1991-92]]
* Ligi ya Ufaranza (3): [[1990-91 1991-92 1992-93]]
==== Nagoya Grampus ====
;Mshindi
* [[Kombe la Mfalme]] (1): 1996
* [[Ligi ya Japani]] (1): 1996
;Nafasi ya pili
* [[Ligi ya Japani]] (1): [[1996]]
==== Arsenal ====
;Mshindi
* [[Taji ya ligi]] (3): [[1997-98, 2001-02, 2003-04]]
* [[Kombe la FA]] (4): [[1997-98, 2001-02, 2002-03, 2004-05]]
* [[Ngao la jamii]] (4): [[1998, 1999, 2002, 2004]]
;Nafasi ya pili
* [[Kombe la UEFA (1): 2005-06]]
* [[Taji ya ligi]] (5): [[1998-99, 1999-2000, 2000-01, 2002-03, 2004-05]]
* [[Kombe la FA]] (1): [[2000-01]]
* [[Taji ya Carling (1): 2006-07]]
* [[Ngao ya jamii]] (2): [[2003, 2005]]
* [[Kombe la UEFA (1): 1999-2000]]
{{Col-2}}
{{Col-end}}
==== Binafsi ====
* Meneja wa Mwaka katika Ufaranza: 1988, 2008
* [[Meneja wa Mwaka katika ligi ya Japani:]] 1995
* [[Afisa wa Ufalme wa Uingereza:]] 2003
* [[Onze d'Or]] Kocha wa Mwaka: 2000, 2002, 2003, 2004
* [[Meneja wa Mwaka wa ligi ya Uingereza:]] 1998, 2002, 2004
* [[Lma Meneja wa Mwaka:]] 2001-02, 2003-04 <ref>{{Cite news |url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/3723881.stm |title=Wenger secures LMA award |date=18 Mei 2004 |accessdate=28 Mei 2009 |publisher=BBC Sport}}</ref>
* [[Tuzo la BBC kwa meneja wa Mwaka]] 2002, 2004
* Uhuru wa [[Islington:]] 2004 <ref>{{Cite web |url=http://www.arsenal.com/first-team/coaching-staff/ars-ne-wenger |title=Arsène Wenger | Coaching Staff | First Team |publisher=Arsenal.com |date= |accessdate=2009-10-31 |archivedate=2015-03-18 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20150318100708/http://www.arsenal.com/first-team/coaching-staff/ars-ne-wenger }}</ref>
* [[Tuzo la FWA :]] 2005 <ref>{{Cite web |url=http://www.footballwriters.co.uk/news/article/tribute_2005.html |title=Football Writers' Association: Latest News :: Arsene Wenger Tribute |publisher=Footballwriters.co.uk |date= |accessdate=2009-10-31 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110725033151/http://www.footballwriters.co.uk/news/article/tribute_2005.html |archivedate=2011-07-25 }}</ref>
* [[Makwiji wa soka Uingereza :]] 2006
* [[Meneja wa Ligi wa Mwezi:]] mara kumi <ref>{{Cite web |url=http://www.leaguemanagers.com/manager/honours-189.html |title=Arsene Wenger OBE – Honours |date= |accessdate=28 Mei 2009 |publisher=[[League Managers Association]] |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100514125406/http://www.leaguemanagers.com/manager/honours-189.html |archivedate=2010-05-14 }}</ref> (Machi 1998, Aprili 1998, Oktoba 2000,<ref>{{Cite news |url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/eng_prem/1016826.stm |title=Sheringham wins monthly award |date=10 Novemba 2000 |accessdate=28 Mei 2009 |publisher=BBC Sport}}</ref> Aprili 2002,<ref>{{Cite news |url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/teams/a/arsenal/1979708.stm |title=Arsenal duo win awards |date=10 Mei 2002 |accessdate=29 Mei 2009 |publisher=BBC Sport}}</ref> Septemba 2002,<ref>{{Cite news |url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/teams/a/arsenal/2300107.stm |title=Arsenal duo bag awards |date=4 Oktoba 2002 |accessdate=29 Mei 2009 |publisher=BBC Sport}}</ref> Agosti 2003,<ref>{{Cite news |url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/teams/a/arsenal/3104430.stm |title=Wenger wins award |date=12 Septemba 2003 |accessdate=28 Mei 2009 |publisher=BBC Sport}}</ref> Februari 2004,<ref>{{Cite news |url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/3505712.stm |title=Arsenal scoop awards double |date=12 Machi 2004 |accessdate=29 Mei 2009 |publisher=BBC Sport}}</ref> Agosti 2004,<ref>{{Cite news |url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/teams/a/arsenal/3645216.stm |title=Arsenal claim double award |date=10 Septemba 2004 |accessdate=29 Mei 2009 |publisher=BBC Sport}}</ref> Septemba 2007,<ref>{{Cite web |url=http://newsimg.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/7053374.stm |title=Arsenal pair scoop monthly awards |date=19 Oktoba 2007 |accessdate=28 Mei 2009 |publisher=BBC Sport}}</ref> Desemba 2007 <ref>{{Cite web |url=http://www.premierleague.com/page/Headlines/0,,12306~1212757,00.html |title=Wenger and Santa Cruz scoop awards |date=11 Jan 2008 |accessdate=28 Mei 2009 |publisher=Barclays Premier League |archivedate=2010-11-26 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20101126134405/http://www.premierleague.com/page/Headlines/0,,12306~1212757,00.html }}</ref>
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
== Viungo vya nje ==
{{Commons2|Arsène Wenger}}
* {{Soccerbase (manager)|id=92|name=Arsène Wenger}}
* [http://www.arsenal.com/first-team/coaching-staff/ars-ne-wenger Arsène Wenger profile tarehe Arsenal.com] {{Wayback|url=http://www.arsenal.com/first-team/coaching-staff/ars-ne-wenger |date=20150318100708 }}
* [http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/a/arsenal/5380998.stm Arsène Wenger profile juu BBC Sport]
<br />
{{Navboxes
|title=Arsène Wenger - Navigation boxes and awards
|list1=
{{FA Premier League Manager of the Year}}
{{AS Nancy managers}}
{{AS Monaco FC managers}}
{{Nagoya Grampus managers}}
{{Arsenal F.C. managers}}
{{Premier League managers}}
{{J. League Manager of the Year}}
{{Start box}}
{{S-ach}}
{{Succession box|
before=[[Ruud Gullit]]|
title=[[FA Cup]] Winning Coach|
years=1998|
after=[[Alex Ferguson|Sir Alex Ferguson]]|
}}
{{Succession box|
before=[[Gérard Houllier]]|
title=[[FA Cup]] Winning Coach|
years=2002 & 2003|
after=[[Alex Ferguson|Sir Alex Ferguson]]|
}}
{{Succession box|
before=[[Alex Ferguson|Sir Alex Ferguson]]|
title=[[FA Cup]] Winning Coach|
years=2005|
after=[[Rafael Benítez]]|
}}
{{end box}}
}}
{{Arsenal F.C. Squad}}
{{League Managers Association Manager of the Year}}
{{Persondata
| name= Wenger, Arsène
| alternative names= Wenger, Arsène
| short description=Professional football manager
| date of birth= 1949-10-22
| place of birth= [[Strasbourg]], [[Ufaransa]]
| date of death=
| place of death=
}}
{{DEFAULTSORT:Wenger, Arsene}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1949]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watu kutoka Strasbourg]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Ufaransa]]
[[Jamii:Mameneja wa mpira]]
ce8c46mt024j366is9f2o74npm8i97s
Shirika la Msalaba Mwekundu
0
33542
1235964
1207383
2022-07-27T16:06:56Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236133
1235964
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox non-profit
| Non-profit_name = Muungano wa Kimataifa wa Mwalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu
| Non-profit_logo = [[Image:Croixrouge logos.jpg|200px]]<br/>The [[Red Cross (symbol)|Red Cross]] and the [[Red Crescent (symbol)|Red Crescent]] emblems, the symbols from which the Movement derives its name.
| Non-profit_type =
| founded_date = 1863
| founder =
| location = [[Geneva]], [[Switzerland]] <!-- this parameter modifies "Headquarters" -->
| origins =
| key_people =
| area_served = Worldwide
| product =
| focus = Humanitarian
| method = Aid
| revenue =
| endowment =
| num_volunteers =
| num_employees =
| num_members =
| subsid =
| owner =
| Non-profit_slogan =
| homepage = http://www.redcross.int/
| dissolved =
| footnotes = }}
'''Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na lile la Hilali Nyekundu''' ni [[mashirika ya kibinadamu]] yenye wahudumu wa kujitolea takriban milioni 97 duniani kote <ref name="ARC-understanding">{{Cite web |url=http://www.redcross.org/portal/site/en/menuitem.d229a5f06620c6052b1ecfbf43181aa0/?vgnextoid=6c7695e5ded8e110VgnVCM10000089f0870aRCRD&vgnextchannel=5002af3fbac3b110VgnVCM10000089f0870aRCRD |title=American Red Cross: Understanding of the Movement |accessdate=2021-01-17 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100626020853/http://www.redcross.org/portal/site/en/menuitem.d229a5f06620c6052b1ecfbf43181aa0/?vgnextoid=6c7695e5ded8e110VgnVCM10000089f0870aRCRD&vgnextchannel=5002af3fbac3b110VgnVCM10000089f0870aRCRD |archivedate=2010-06-26 }}</ref> ambayo yalianzishwa ili kulinda masilahi ya afya ya binadamu, kuhakikisha heshima kwa hulka ya [[mwanadamu]], na kuzuia na kupunguza mateso ya kibinadamu, bila ubaguzi wowote kwa misingi ya [[utaifa]], [[rangi]], [[jinsia]], imani za [[kidini]], [[darasa|daraja la kijamii]] au [[maoni ya kisiasa]].
Jina maarufu la ''Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu'' ni dhana tu, kwani hakuna shirika lolote lililosajiliwa rasmi kwa jina hilo. Katika hali halisi, shirika hili lina mashirika tofauti kadhaa ambayo kisheria hujitegemea mbali na lile lingine, lakini yameungana pamoja kupitia kanuni za kimsingi, madhumuni, ishara, masharti na vyombo vya serikali. Vipengee muhimu vya shirika hili ni:
* [[Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu]] (ICRC) ni taasisi ya kibinafsi ya [[kibinadamu]] iliyoanzilishwa mnamo mwaka wa 1863 mjini [[Geneva]], [[Uswisi]] na [[Henry Dunant]]. Kamati hii inayojumuisha wanachama 25 ina mamlaka ya kipekee chini ya [[sheria ya kibinadamu ya kimataifa]] kulinda maisha na heshima ya walioathirika na migogoro mbalimbali ya kimataifa. ICRC imewahi kupatiwa [[Tuzo ya Amani ya Nobel]] mara tatu (mwaka 1917, 1944 na 1963). <ref name="NobelFactsorg">{{cite web|url=http://nobelprize.org/nobel_prizes/lists/organizations.html|title=Nobel Laureates Facts - Organizations|publisher=[[Nobel Foundation]]|accessdate=2009-10-13}}</ref>
* [[Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu]] (IFRC) ilianzishwa mwaka wa 1919 na kwa sasa huratibu shughuli kati ya 186 za kitaifa za Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu katika Shirikisho. Kimataifa, Shirikisho linaongoza na kupanga, kwa ushirikiano wa karibu wa Vyama vya wa kitaifa , misaada pamoja na kukabiliana na mahitaji ya dharura. Sekretarieti ya Shirikisho la Kimataifa ina makao yake mjini [[Geneva]], Uswizi. Mwaka wa 1963, Shirikisho (likijulikana kama Shirikisho la Vyama vya Msalaba Mwekundu) lilipatiwa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa pamoja na ICRC. <ref name="NobelFactsorg"></ref>
* [[Vyama vya kitaifa vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu]] zipo katika takriban kila nchi duniani. Kwa sasa, Vyama 186 vya kitaifa vinatambuliwa na ICRC na kujumuishwa kama wanachama kamili wa Shirikisho. Kila kipengee hufanya kazi katika nchi yake kwa mujibu wa kanuni za sheria ya kibinadamu ya kimataifa na [[amri]] ya Muungano wa kimataifa. Kwa mujibu wa hali na uwezo wake maalum, Vyama vya Kitaifa vinaweza kuchukua kazi za ziada za kibinadamu ambazo hazijatambulikana moja kwa moja katika sheria ya kibinadamu ya kimataifa au katika [[Mustakabali wa utenda kazi]] wa Muungano wa kimataifa. Katika nchi nyingi, zimejumuishwa kwa karibu sana na mfumo wa afya kwa kutoa [[Huduma ya utabibu kwa dharura]].
==Historia ya Muungano==
===Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu ===
====Solferino, Henry Dunant na kuanzilishwa kwa ICRC====
[[File:Jean Henri Dunant.jpg|thumb|Henry Dunant, mwandishi wa "A Memory ya Solferino"]]
[[File:Original Geneva Conventions.jpg|thumb|Original dokument Genève wa kwanza konventionen 1864]]
Hadi karne ya <sup>19,</sup> kulikuwa hakuna mpangilio madhubuti wa mfumo wa [[uuguzi]] wa [[jeshi]] kwa majeruhi wala usalama au taasisi zilizolindwa kuwalazia na kutibu waliokuwa wamejeruhiwa katika vita. Mnamo Juni 1859, mfanyabiashara mswizi [[Henry Dunant]] alisafiri hadi [[Italia]] na kukutana na kaizari wa Ufaransa [[Napoleon wa III]] kwa nia ya kujadili matatizo katika kuendesha biashara nchini [[Algeria]], ambayo kwa wakati huo inamilikiwa na [[Ufaransa]]. Alipowasili katika mji mdogo wa [[Solferino]] jioni ya [[24 Juni]], alishuhudia [[Vita vya Solferino]], mojawapo ya mapigano katika ya [[Vita vya Austro-Sardinian.]] Kwa siku moja, takriban askari 40,000 pande zote mbili walikufa au kuachwa wamajeruhiwa uwanjani. Henry Dunant alishtushwa sana na matokeo ya baada ya vita, mateso ya askari waliojeruhiwa na uhaba wa matibabu na huduma za kimsingi. Alitupilia mbali madhumuni ya hapo awali ya safari yake na kwa siku kadhaa akajitola kusaidia katika matibabu na kuwauguza waliojeruhiwa. Alifanikiwa kupanga msaada wa dharura kwa kuwahamasisha wakaazi kutoa misaada bila ubaguzi. Aliporudi kwao mjini [[Geneva]], aliamua kuandika kitabu kiitwacho ''[[A Memory of Solferino]]'' kilichochapishwa kwa pesa zake mwenyewe katika mwaka wa 1862. Alituma nakala za kitabu kwa viongozi wa kisiasa na kijeshi kote [[Ulaya]]. Pamoja na kuandika maelezo barabara kuhusu tajriba yake ya Solferino ya mwaka wa 1859, alipendekeza kuanzishwa kwa mashirika ya kitaifa ya kutoa misaada kwa hiari ili kusaidia kuwauguza askari waliojeruhiwa katika vita. Aidha, alipendekeza kubuniwa kwa mikataba ya kimataifa kuhakikisha ulinzi wa madaktari wasioegemea upande wowote na hospitali katika maeneo ya vita kwa ajili ya askari waliojeruhiwa vitani.
Mnamo 9 Februari 1863 mjini Geneva, Henry Dunant alianzisha "Kamati ya Watano" (pamoja na wengine wanne kutoka familia zilizojulikana sana mjini Geneva) kama tume ya uchunguzi ya [[Geneva Society for Public Welfare]]. Lengo lao lilikuwa kuchunguza uwezekano mawazo ya Dunant na kupanga kongamanao la kimataifa kuhusu uwezekano wa utekelezaji wake. Wanachama wa kamati hii, mbali na Dunant mwenyewe, walikuwa [[Gustave Moynier]], mwanasheria na mwenyekiti wa Geneva Society for Public Welfare; daktari [[Louis Appia]], aliyekuwa na uzoefu wa kazi muhimu katika upasuaji;rafiki na mwenzi wake Appia [[Theodore Maunoir]], kutoka [[Geneva Hygiene and Health Commission]] na [[Guillaume-Henri Dufour]] generali katika [[Jeshi la Uswizi]] aliyesifika sana. Siku nane baadaye, watu hao watano waliamua kubadili jina la kamati kuwa "Kamati ya Kimataifa ya Kutoa Misaada kwa waliojeruhiwa". Kutoka 26 Oktoba hadi 29 1863, kamati hiyo iliandaa kongamano la kimataifa mjini Geneva kupanga hatua za kuboresha huduma za matibabu wakati wa vita. Mkutano huo ulihudhuriwa na watu 36: wajumbe rasmi kumi na nane kutoka serikali za kitaifa, sita kutoka mashirika yasiyokuwa ya kiserikali, wajumbe saba wa kigeni wasiokuwa rasmi , na wajumbe wale tano wa Kamati ya Kimataifa. Majimbo na Falme zilizowakilishwa na wajumbe rasmi zilikuwa:
* [[File:Flagge Großherzogtum Baden (1871-1891).svg|25px]] [[Baden]]
* [[File:Flag of Bavaria (striped).svg|border|25px]] [[Bavaria]]
* [[File:Flag of France.svg|25px]] [[Ufaransa]]
* [[File:Flag of the United Kingdom.svg|25px]] [[Ufalme wa Maungano]]
* [[File:Flag of Hanover 1837-1866.svg|border|25px]] [[Hannover]]
* [[File:Flagge Großherzogtum Hessen ohne Wappen.svg|border|25px]] [[Hesse]]
* [[File:Flag of Italy (1861-1946).svg|25px]] [[Italia]]
* [[File:Prinsenvlag.svg|25px]] [[Uholanzi]]
* [[File:Flag of the Habsburg Monarchy.svg|25px]] [[Austria]]
* [[File:Flag of the Kingdom of Prussia (1803-1892).svg|border|25px]] [[Prussia]]
* [[File:Romanov Flag.svg|border|25px]] [[Urusi]]
* [[File:Flag of Saxony.svg|border|25px]] [[Saksonia]]
* [[File:Unionsflagg 1818.png|25px]] [[Uswidi]] wa [[Norwei]]
* [[File:Flag of Spain (1785-1873 and 1875-1931).svg|25px]] [[Hispania]]
Kati ya mapendekezo yaliyoandikwa katika maazimio ya mwisho wa mkutano, yaliyopitishwa tarehe 29 Oktoba 1863, yalikuwa:
* Kuundwa kwa jamii za kitaifa kwa askari waliojeruhiwa;
* Kutoegemea upande wowote Katika ulinzi wa askari waliojeruhiwa;
* Utumizi wa misaada ya kujitolea katika vita;
* Kupangwa kwa kongamano zaidi ili kutunga dhana hizi katika mikataba yenye uwezo wa kisheria za kimataifa
* Kuanzishwa kwa ishara maalum kwa ulinzi wa matabibu, yaani ukanda mweupe mkono wenye msalaba mwekundu.
[[File:Gedenkstein-rotes-kreuz-1864.jpg|thumb|Memorial kukumbuka ya kwanza ya matumizi ya alama ya Msalaba Mwekundu katika migogoro ya silaha wakati wa vita ya Dybbøl (Danmark) mwaka 1864; pamoja kujengwa mwaka 1989 na Msalaba Mwekundu kitaifa jamii wa Denmark na Ujerumani.]]
Mwaka mmoja tu baadaye, serikali ya Uswizi ilizialika serikali za nchi zote za Ulaya, pamoja na zile za [[Marekani]],[[Brazil]], na [[Mexico]], kuhudhuria kongamano rasmi la kidiplomasia. Nchi kumi na sita zilimtuma jumla ya wajumbe ishirini na sita kwenda Geneva. Mnamo 22 Agosti 1864, kongamano lilibuni [[Mkataba wa kwanza wa Geneva]] "ili kukidhi hali ya wanajeshi waliojeruhiwa katika vita". Wawakilishi wa majimbo na falme 12 walitia saini kanuni hiyo: Baden, Ubelgiji, Denmark, Ufaransa, Hesse, Italia, Uholanzi, [[Ureno]], Prussia, Uswisi, Uhispania, na [[Württemberg.]] Mkataba huo ulijumuisha makala kumi, na kuanzisha kwa mara ya kwanza masharti yenye uzito wa kisheria kuhakikisha ulinzi kwa askari waliojeruhiwa, matabibu, na taasisi maalumu za kibinadamu bila kuegemea upande wowote wakati wa vita. Isitoshe, Mkataba huo ulibainisha masharti mawili maalum ambayo yangelitambulisha Shirika la Kitaifa la kutoa misaada kwa Kamati ya Kimataifa:
* Shirika hilo la kitaifa lazima litambuliwe na serikali ya taifa kama shirika la kutoa misaada kulingana na Mkataba huo na
* Serikali ya taifa hilo lazima iwe mwanachama wa Mkataba wa Geneva.
Punde tu baada ya kufanywa kwa Mkataba wa Geneva wa kwanza, Mashirika ya kitaifa yalianzishwa katika Ubelgiji, Denmark, Ufaransa, [[Oldenburg]], Prussia, Uhispania, na Württemberg. Na pia mwaka wa 1864, Louis Appia na [[Charles van de Velde]] Kapteni katika [[Jeshi la Uholanzi]], wakawa wajumbe wa kwanza wasioegemea upande wowote kufanaya kazi chini ya Msalaba Mwekundu katika vita. Miaka mitatu baadaye yaani 1867, [[Kongamano la Kimataifa]][[la Vyama vya Kitaifa vya Misaada vya Uuguzi kwa waliojeruhiwa vitani]] lilikutana kwa mara ya kwanza.
Mwaka huohuo, Henry Dunant alilazimishwa kujitangaza kuwa [[muflisi]] kutokana na kushindwa kwa biashara kunawiri nchini [[Algeria]], hasa kwa sababu alikuwa amesahau kuangalia maslahi ya biashara yake wakati wa shughuli zake nyingi kwa manufaa ya Kamati ya Kimataifa. Utata ulioizunguka biashara ya Dunant na tetesi zilizofuata na kumharibia jina katika umma, pamoja na migogoro yake na Gustave Moynier, vilisababisha Dunant kutibuliwa kutoka nafasi yake kama mwanachama na katibu. Alishtakiwa kuwa Muflisi laghai na kibali cha kukamatwa kwake kikatolewa. Hivyo akalazimishwa kuondoka Geneva na kamwe hakuwahi karudi mji wake wa nyumbani. Katika miaka iliyofuata, Mashirika ya kitaifa yalianzishwa katika takriban kila nchi Ulaya. Mnamo 1876, kamati ilijipa jina la "Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu" (ICRC) ambalo ndilo jina lake rasmi hadi sasa. Miaka mitano baadaye, [[Shirika la Msalaba Mwekundu la Marekani]]lilianzishwa kwa juhudi za [[Clara Barton]]. Nchi zaidi zilitia saini Mkataba wa Geneva na kuanza kuuheshimu kwa uhalisi wakati wa vita. Katika muda mfupi tu, Shirika la Msalaba Mwekundu lilipata kasi kubwa kama Shirikisho la kuheshimika kimataifa, na Vyama vya kitaifa vikawa maarufu kupindukia kama namna ya kufanya kazi ya kujitolea.
Wakati [[Tuzo ya Amani ya Nobel]] ilitolewa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1901, [[Kamati ya Nobel]] ya Norway iliamua kumtuza Henry Dunant pamoja na [[Frédéric Passy]], mwanaharakati wa kimataifa. La umuhimu zaidi kuliko heshima ya tuzo yenyewe, pongezi rasmi kutoka Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu ilikarabati kuchelewa hadhi yake Henry Dunant na kutambua mchango wake muhimu katika uanzilishi wa Shirika la Msalaba Mwekundu. Dunant alikufa miaka tisa baadaye katika kituo kidogo cha kupumziia cha [[Heiden]], Usizi. Miezi miwili tu awali, adui wake wa muda Gustave Moynier alikuwa pia amekufa, na kuacha alama katika historia ya Kamati kama rais aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi.
Mwaka wa 1906, Mkataba wa Geneva wa 1864 uliundwa upya kwa mara ya kwanza. Miaka moja baadaye, [[Mkataba wa Hague X]], ulioratibishwa katika Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Amani mjini [[Hague]], uliupanua Mkataba wa Geneva kujumuisha pia Vita vya majini. Muda mfupi kabla ya [[Vita Kuu vya Kwanza vya Dunia]] kuanza mwaka wa 1914, na miaka 50 baada ya kuanzishwa kwa ICRC na kupitishwa kwa Mkataba wa Geneva, tayari kulikuwa na Vya vya kitaifa 45 duniani kote. Vuguvugu hili lilikuwa limeenea hadi nje ya [[Ulaya]] na [[Amerika ya Kaskazini]]hadi ya [[Amerika ya Kati]] na Kusini ([[Argentina]], [[Brazil]], [[Chile]], [[Cuba]], [[Mexico]], [[Peru]], [[El Salvador]], [[Urugwai]], [[Venezuela]]), Asia (Jamhuri ya [[China]], [[Japan]], [[Korea]], [[Siam]]), na [[Afrika]] (Jamhuri ya [[Afrika Kusini]]).
====ICRC wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia====
[[File:Honneur à la Croix-Rouge-1915.JPG|thumb|Kifaransa Postcard kuadhimisha jukumu la Msalaba Mwekundu manesi wakati wa Vita Kuu ya Kwanza, 1915]]
[[Vita vya kwanza vya Dunia]] vilipozuka, ICRC ilijipata imekabiliwa na changamoto kubwa hivi kwamba ingeweza kufaulu tu kama kwa ushirikiano wa karibu na Vyama vya kitaifa vya Msalaba Mwekundu. Wauguzi wa Msalaba Mwekundu kutoka duniani kote, ikiwemo Marekani na Japan, walikuja kusaidia kutoa huduma za matibabu kwa Jeshi za nchi za Ulaya zilizokuwa zikishiriki katika vita. Mnamo 15 Oktoba 1914, punde tu baada ya kuanza kwa vita, ICRC ilianzisha Uwakala wake wa Kimataifa kwa Wafungwa-wa-Vita [[(POW)]], ambao walikuwa 1,200 wengi wao wakiwa wafanyakazi wa kujitolea kabla ya mwisho wa 1914. Mwishoni mwa vita, Uwakala alikuwa umehamisha takriban barua na jumbe milioni 20, vifurushi milioni 1.9, na karibu [[faranga za Usizi]] milioni 18 katika michango ya fedha kwa Wafungwa-wa-Vita katikaa nchi zote husika. Aidha, kutokana na hatua za Uwakala huu, takriban wafungwa200,000 walibadilishanwa kati ya pande zilizokuwa zikizozana, kuachiliwa kutoka kifungoni na kurejea nyumbani kwao. Uwakala huo ulikusanya rekodi za Kadi za usajili karibu milioni 7 kati ya 1914 na 1923, kila kadi ikiwakilisha mfungwa binafsi au mtu aliyepotea. Usajili wa Kadi ulipelekea kutambulishwa kwa zaidi ya Wafungwa-wa-Vita milioni 2 na kuwawezesha kuwasiliana na familia zao. Daftari kamili imetolewa kwa mkopo kutoka kwa ICRC katika [[Makavazi ya Mashirika]] ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu mjini Geneva. Haki ya kupata Daftari hiyo bado inahifadhiwa madhubuti na ICRC.
Katika kipindi chote cha vita,ICRC ilifuatilia pande tanzu kuona kwamba vilifuata [[Mkataba wa Geneva]] wa 1907 na kutuma malalamishi kuhusu ukiukaji kwa nchi husika. Wakati [[silaha za kemikali]] zilitumika katika vita hii kwa mara ya kwanza katika historia, ICRC ilipinga vikali dhidi ya aina hii mpya ya mapambano. Hata bila kuwa na mamlaka kutoka Mikataba ya Geneva, ICRC ilijaribu kupunguza mateso ya raia wa kawaida. Katika maeneo ambayo yalikuwa yateuliwa rasmi kama "wilaya zilizomilikiwa",ICRC ingeweza kusaidia raia kwa msingi ya [[Mkataba wa Hague]] uitwao "Sheria na Kanuni za Vita vya Ardhi" ya 1907. Mkataba huu ulikuwa pia msingi wa kisheria kwa ICRC kufanya kazi za wafungwa wa vita. Mbali na kazi za Uwakala wa Kimataifa kwa Wafungwa-wa-Vita kama ilivyoelezwa hapo juu, hii ilijumuisha ukaguzi wa kambi za Wafungwa wa Vita. Jumla ya kambi 524 kote Ulaya zilitembelewa na wajumbe 41 kutoka ICRC mpaka mwisho wa vita.
Kati ya 1916 na 1918,ICRC ilichapisha [[Postkadi]] kadhaa zikionyesha mandhari kutoka kambi za Wafungwa wa Vita. Picha zilionyesha wafungwa katika shughuli za siku baada ya siku kama vile usambazaji wa barua kutoka nyumbani. Nia ya ICRC ilikuwa kuzipa familia za wafungwa hao matumaini na furaha pamoja na kupunguza wasiwasi wao kuhusu hatima ya wapendwa wao. Baada ya mwisho wa vita,ICRC ilipanga namna ya kurudi kwa takriban wafungwa 420,000 nchini kwao. Mnamo 1920, jukumu la upatanisho liliachiwa [[League of Nations]] lililoanzishwa na kumfanya mwanadiplomasia na mwanasayansi wa Norway [[Fridtjof Nansen]] kama "Balozi Mkuu kwa Upatanishi wa Wafungwa wa vita." Kazi yake ilipanuliwa baadaye ili kusaidia na kutunza wakimbizi wa vita wakati ofisi yake ikawa chini ya " Ubalozi mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Wakimbizi". Nansen, ambaye alivumbua ''[[Pasipoti ya Nansen]]'' kwa wakimbizi na kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel mwaka wa 1922, aliwateua wajumbe wawili kutoka ICRC kama manaibu wake.
Mwaka mmoja kabla mwisho vita, ICRC ilipokea Tuzo ya Amani ya 1917 kazi yake maridhawa wakati wa vita. Ilikuwa tuzo ya kipekee ya Amani ya Nobel iliyopeanwa katika kipindi cha 1914-1918. Mwaka wa 1923, Kamati ilifanya mabadiliko katika sera yake kuhusu uteuzi wa wanachama wapya. Hadi wakati huo, wananchi kutoka mji wa Geneva tu ndio walioweza kujiunga na Kamati. Kizuizi hiki kililegezwa na kujumuisha raia wa Uswizi. Kama matokeo ya moja kwa moja ya Vita vya kwanza vya Dunia, itifaki moja ilionngezwa katika Mkataba wa Geneva na kupitishwa mwaka wa 1925 ambayo ilipiga marufuku matumizi ya gesi zenye sumu na silaha za baiolojia kama silaha. Miaka minne baadaye, Mkataba wa awali ulihaririwa upya na Mkataba wa pili wa Geneva "uliohusiana na ule wa Namna ya kuwashughulikia Wafungwa wa Vita" ilianzishwa. Matukio ya Vita vya kwanza vya Dunia pamoja na shughuli za ICRC vilichangia pakubwa kuongezeka kwa sifa na mamlaka ya Kamati katika jumuiya kimataifa na kupelekea kuongezeka kwa uhodari wake.
Mapema kama mwaka wa 1934, rasimu ya pendekezo la kuongezwa kwa mkataba mwingine kwa ajili ya ulinzi wa raia wakati wa vita ulipitishwa na Kongamano la Kimataifa la Msalaba Mwekundu. Kwa bahati mbaya, serikali nyingi hazikuwa makini kutekeleza Mkataba huo na hivyo basi kutoidhinishwa kabla ya mwanzo wa [[Vita vya pili vya Dunia]].
====ICRC na Vita vya Pili vya Dunia====
[[File:HZwLazarecie1940.jpg|thumb|Red Msalaba Budskapet Łódź Polen 1940.]]
Misingi ya kisheria ya ICRC kufanaya kazi wakati wa Vita Kuu vya Pili vya Dunia ilikuwa ni Mikataba ya Geneva iliyohaririwa mwaka wa 1929. Shughuli za Kamati zilikuwa sawa na zile za wakati wa Vita Kuu vya kwanza: kuwatembelea na ufuatiliaji wa kambi za Wafungwa-wa-Vita, kuandaa misaada kwa raia, na ubadilishanaji wa habari kuhusu wafungwa na watu waliopotea. Mwishoni mwa vita, wajumbe 179 walipata kuwatembelea Wafugwa wa vita 12,750 kambini katika nchi 41. Uwakala wa Wafungwa-wa-Vita ''(Zentralauskunftsstelle für Kriegsgefangene)'' ulikuwa na wafanyakazi 3,000, na daftari ya kadi ya kufuatilia wafungwa ikiwa na rekodi milioni 45, na jumbe milioni 120 ziliweza kubadilishanwa kwa Uwakala huo. Mojawapo ya pingamizi kuu ilikuwa kwamba [[Shirika la Kijerumani la Msalaba Mwekundu]], liloendeshwa na Nazi lilikataa kushirikiana na masharti ya Geneva pamoja na ukiukaji hadharani kama vile kufurushwa kwa [[Wayahudi]] kutoka Ujerumani na [[Kambi za mauaji]] ya halaiki yaliyoendeshwa na serikali ya Ujerumani. Aidha, washiriki wengine wawili katika mgogoro huo, [[Umoja wa Kisovyeti]] na Japan, walikuwa si wanachama wa Mikataba ya Geneva ya 1929 na haikuwa lazima kwa wao kufuata sheria za mikataba.
Wakati wa vita, ICRC alishindwa kupata kufanya mkataba na serikali ya Ujerumani kuhusu namna wafungwa walivyotunzwa katika kambi walimowekwa, na hatimaye kutelekezwa kutumia shinikizo ili kuepukana na kutofanyia kazi kwa Wafungwa wa vita. ICRC pia ilishindwa kuendeleza mwitikio wa habari za kuaminika kuhusu kambi za ukatili na mauaji ya Wayahudi wa Ulaya. Jambo hili ndilo linachukuliwa kama mwanguko mkubwa zaidi katika historia ya ICRC. {{Citation needed|date=Januari 2009}} Baada ya Novemba 1943,ICRC ilipata ruhusa ya kutuma vifurushi kwa wafungwa waliojulikana kwa majina na mahali walimokuwa kambini. Kwa sababu sahihi za kupokelewa kwa vifurushi hivi mara nyingi zilifanywa na wafungwa wengine, ICRC iliweza kutambua na kusajili zaidi ya wafungwa 105,000 kambini na kupeleka takriban vifurushi milioni 1.1, hususan kambi za [[Dachau]], Buchenwald, Ravensbrück, na [[Sachsenhausen]].
Inajulikana kuwa wakati wa Vita vya pili vya Dunia, afisa wa Jeshi la Uswizi [[Maurice Rossel]] alitumwa Berlin kama mjumbe wa Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu, hivyo basi alitembelea Auschwitz mwaka wa 1943 na Theresienstadt wa 1944. [[Claude Lanzmann]] alimhoji kuhusu aliyoyashuhudia mwaka wa 1979, na kutoa makala ya ''Visitor from the living.'' <ref>{{cite web |url=http://www.cine-holocaust.de/cgi-bin/gdq?dfw00fbw002569.gd |title=VIVANT QUI PASSE. AUSCHWITZ 1943 - THERESIENSTADT 1944. R: Lanzmann [FR, 1997] |publisher=Cine-holocaust.de |date= |accessdate=2009-04-14 |archiveurl=https://www.webcitation.org/6GDxZnU1T?url=http://www.cine-holocaust.de/cgi-bin/gdq?dfw00fbw002569.gd |archivedate=2013-04-28 }}</ref>
[[File:Marcel Junod-5.jpg|thumb|left|Marcel Junod, mjumbe wa ICRC, kuwatembelea POWs katika Ujerumani. <small> (© Benoit Junod, Uswisi)</small>]]
Mnamo 12 Machi 1945, rais wa ICRC Jacob Burckhardt alipokea ujumbe kutoka kwa Sajenti Mkuu Generali [[Ernst Kaltenbrunner]] kukubali matakwa ya ICRC's ya kuruhusu wajumbe wake kutembelea kambi za Wafungwa. Mkataba huu ulikuwa na sharti ya kwamba wajumbe hawa wangekaa katika kambi mpaka mwisho wa vita. Wajumbe kumi, wakiwemo [[Louis Haefliger]] (Camp Mauthausen) Paul Dunant (Camp Theresienstadt) na [[Victor Maurer]] (Camp Dachau) walikubali kazi hii na kutembelea kambi hizo. Louis Haefliger alizuia kutibuliwa kwa nguvu au kulipuliwa kwa kambi ya Mauthausen-Gusen kwa kuwaarifu askari wa Marekani, na hivyo kuokoa maisha ya karibu Wafungwa 60,000. Matendo yake yalikaripiwa na ICRC kwa sababu waliona kwamba alipita mipaka ya mamlaka yake mwenyewe na kuhatarisha msimamo wa ICRC wa kutoegemea upande wowote. Ni mwaka wa 1990 tu ambapo hadhi yake nzuri ilirejeshwa na rais wa ICRC [[Cornelio Sommaruga]].
Mfano mwingine wa utu ulidhihirishwa na [[Friedrich Born]] (1903-1963), mjumbe wa ICRC huko [[Budapest]] ambaye aliyaokoa maisha ya pata Wayahudi 11,000 hadi 15,000 huko [[Hungaria]]. [[Marcel Junod]] (1904-1961), daktari kutoka Geneva, alikuwa mjumbe mwingine maarufu wakati wa Vita vya Pili vya Dunia. Taarifa kuhusu aliyoyashuhudia, aliyekuwa mmoja wa wageni wa kwanza kutembelea [[Hiroshima]] baada ya bomu ya atomiki kurushwa, inaweza kupatikana katika kitabu ''Warrior Without Weapons.''
Mwaka wa 1944, ICRC ilipokea Tuzo yake ya pili ya Amani ya Nobel. Kama ilivyokuwa katika Vita vya Kwanza vya Dunia, ni ICRC tu ndiyo ilipokea tuzo ya Amani ya Nobel wakati wa kipindi hicho cha vita, kati ya 1939 na 1945. Mwishoni mwa vita, ICRC ilifanya kazi na Shirika la Msalaba Mwekundu kuandaa misaada kwa nchi zilizoathirika zaidi. Mwaka wa 1948, Kamati ya ICRC ilichapisha ripoti marekebisho ikieleza shughuli zake wakati wa vita kuanzia 1 Septemba 1939 hadi 30 Juni 1947. Tangu Januari 1996, ICRC nyaraka za kipindi hiki zimekuwa wazi kwa umma na kwa kufanyiwa utafiti wa kitaaluma.
====ICRC baada ya Vita vya Pili vya Dunia====
[[File:IKRK Hauptquartier.jpg|thumb|Makao Makuu ya ICRC Geneva]]
Mnamo 12 Agosti 1949, uhariri zaidi ulifanywa kwa Mikataba miwili ya Geneva na kuratibiwa. Mkataba mwingine "kwa Manufaa ya hali ya Wanajeshi wanamaji waliojeruhiwa, kuwa wagonjwa au Waliopata dhoruba Baharini", inayojulikana kwa sasa kama Mkataba wa Pili wa Geneva, uliletwa chini ya mwamvuli wa Mkataba wa Geneva kama mwandamizi wa [[Mkataba wa Hauge X wa 1907]]. Mkataba wa 1929 wa Geneva "uliohusiana na Namna ya kuwatunza Wafungwa wa Vita" waweza kuwa Mkataba wa Geneva wa pili kutoka mtizamo wa kihistoria (kwa sababu uliandaliwa Geneva), lakini baada ya 1949 ulipata kuitwa Mkataba wa tatu kwa sababu ulikuja baada ya ule wa Hague. Kama jibu kwa masuala yaliyojiri baada ya Vita vya Pili vya Dunia, [[Mkataba wa Nne wa Geneva]] mkataba mpya "kwa Ulinzi wa Raia wakati wa Vita", ulianzishwa. Pia, itifaki za ziada za 8 Juni 1977 zilinuiwa kufanya mikataba kutumika katika migogoro ya ndani kama vile vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hii leo, mikataba hiyo minne na itifaki zilizongezwa zina makala zaidi ya 600, upanuzi wa ajabu wakati ikilinganishwa na makala 10 tu katika mkataba wa kwanza wa 1864.
Katika maadhimisho ya miaka mia moja mwaka wa 1963, ICRC, pamoja na [[Shirikisho la Vyama vya Msalaba Mwekundu]], ilipokea Tuzo yake ya tatu ya Amani ya Nobel. Tangu 1993, raia wasio wa Uswizi wameruhusiwa kuwa wajumbe wa Kamati ya ugenini, jambo ambalo hapo awali lilikuwa hifadhi ya raia wa Uswizi. Hakika, tangu wakati huo, mgawo wa wafanyakazi wasio na uraia wa Uswizi umeongezeka kwa karibu asilimia 35.
Mnamo 16 Oktoba 1990, Mkutano Mkuu wa [[Umoja wa Mataifa]] uliamua kuiteu ICRC kama [[Mwangalizi]] wa vikao vya mikutano yake na mikutano ya kamati ndogo, mara yake ya kwanza kuwahi kulifanya shirika la kibinafsi kuwa Mwangalizi. Azimio hilo lilipendekezwa na nchi wanachama 138 na lililetwa mbele ya mkutano na balozi wa Kiitaliano, [[Vieri Traxler]], kama kumbukumbu la asili ya shirika hilo katika Mapigano ya Solferino. Mkataba na serikali ya Uswizi uliotiwa saini 19 Machi 1993, aliimarisha sera ya muda ya uhuru kamili wa Kamati kutokana na kuingiliwa kwa vyovyote na Uswizi. Mkataba huo hulinda kikamilifu ICRC pamoja na mali yake yote pamoja na makao yake makuu nchini Uswizi, Hifadhi ya Nyaraka zake, kuwapa wanachama na wafanyakazi kinga kisheria, kuikinga ICRC kutotozwa ushuru na ada, kutoa dhamana ya ulinzi na kutotozwa ushuru kwa bidhaa, huduma, na fedha wakati wa usafirishaji, kuiwezesha ICRC kupata mawasiliano salama kwa kiwango sawa kama ubalozi za kigeni, na Kurahishisha kusafiri kwa Kamati ndani na nje ya Uswizi.
Wakati wa mwisho wa [[Vita Baridi]], kazi ya ICRC ilikuwa hatari zaidi. Katika miaka ya tisini, wajumbe zaidi walipoteza maisha yao kuliko wakati mwingine wowote katika historia yake, hasa wakati wa kufanya kazi katika vita na migogoro ya ndani. Visa hivi mara nyingi vilidhihirisha kutoheshimiwa kwa kanuni na ishara za ulinzi za Mikataba ya Geneva. Miongoni mwa wajumbe waliouawa walikuwa:
* Frédéric Maurice. Alikufa 19 Mei 1992 akiwa na umri wa miaka 39 siku moja tu baada ya gari la Msalaba Mwekundu alilokuwa akiandamana nalo liliposhambuliwa katika mji wa [[Sarayevo]] huko Bosnia .
* [[Fernanda Calado]] (Uhispania) [[Ingeborg Foss]] (Norway) [[Nancy Malloy]] (Kanada) [[Gunnhild Myklebust]] (Norway) [[Sheryl Thyer]] na [[Hans Elkerbout]] (Uholanzi). Waliuawa kwa kupigwa risasi kwa karibu wakiwa wamelala asubuhi na mapema mnamo 17 Desemba 1996 katika hospitali ya ICRC katika mji wa [[Nowije Atagi]] nchini [[Chechnya]] karibu na [[Grozny.]] Wauaji wao hawajawahi kushikwa na kulikuwa hakuna sababu dhahiri ya kufanya mauaji hayo.
* [[Rita Fox]] (Uswisi) [[Véronique saro]] (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zamani Zaire) [[Julio Delgado]] (Kolombia) Unen Ufoirworth (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo) [[Aduwe Boboli]] (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo) na [[Jean Molokabonge]] (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo). Mnamo 26 Aprili 2001, wakiwa na magari mawili kwenye misheni ya kupeleka misaada kaskazini mwa [[Jamhuri]] ya [[Kidemokrasia ya Kongo]], walishambuliwa kwa kufyatuliwa risasi kutoka kwa watu wasiojulikana.
* [[Ricardo Munguia]] (El Salvador). Alikuwa anafanya kazi kama mhandisi maji nchini Afghanistan na kusafiri na wenzake tarehe 27 Machi 2003 wakati gari zao zilisimamishwa na watu wasiojulikana waliokuwa wamejihami kwa silaha. Aliuawa kinyama kwa kupigwa risasi kwa karibu lakini wenzake waliruhusiwa kutoroka. Alifariki akiwa na umri wa miaka 39.
* [[Vatche Arslanian]] (Kanada). Tangu mwaka wa 2001, alifanya kazi kama mratibu wa vifaa kwa ajili ya utume wa ICRC nchini Iraq. Alikufa wakati alipokuwa akisafiri kupitia Baghdad pamoja na wanachama wa Shirika la Hilali Nyekundu la Iraq. Mnamo 8 Aprili 2003 gari lao lilijipata katikati ya mapigano makali mjini.
* [[Nadisha Yasassri Ranmuthu]] (Sri Lanka). Aliuawa na washambuliaji wasiojulikana tarehe 22 Julai 2003 wakati gari lake lilipofyatuliwa risasi karibu na mji wa [[Hilla]] kusini mwa [[Baghdad]].
===Shirikisho la Vyama vya Kimataifa vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu===
====Historia====
[[File:Henry Davison.jpg|thumb|upright|Henry Davison, Founding baba wa Ligi ya Msalaba Mwekundu jamii. (Picha kutoka: www.redcross.int)]]
Mwaka wa 1919, wawakilishi kutoka Vyama vya Kitaifa vya Msalaba Mwekundu za Uingereza, Ufaransa, Italia, Japan, na Marekani walikutana mjini Paris kuanzilisha "Shirikisho la Vyama vya Msalaba Mwekundu". Dhana ya awali ilikuwa ya [[Henry Davison]], aliyekuwa rais wa [[Shirika la Marekani]] la Msalaba Mwekundu. Hatua hii, ikiongozwa na Shirika la Msalaba Mwekundu la Marekani, ilipanua shughuli za kimataifa za Msalaba Mwekundu zaidi ya kazi halisi ya ICRC na kujumuisha utoaji wa misaada ya dharura kukabiliana na hali ambazo hazikuwa zimeesababishwa na vita (kama vile majanga yaliyosababishwa na wanadamu pamoja na yale ya kikawaida). Shirika hilo tayari lilikuwa na tajriba kubwa katiaka kutoa misaada wakati wa majanga tangu kuundwa kwake.
Kuanzishwa kwa Shirikisho, kama nyongeza ya shirika la kimataifa la Msalaba Mwekundu sambamba na ICRC, hakukuwa bila ya utata kwa sababu kadhaa. ICRC ilikuwa kwa kiasi fulani na wasiwasi juu ya uwezekano wa kuelekezana kati ya mashirika hayo mawili. Kuanzilishwa kwa Shirikisho hilo kulionekana kama jaribio la kudhoofisha nafasi ya uongozi wa ICRC vuguvugu zima na hatimaye kuhamisha nyingi ya majukumu yake wa kazi kwa taasisi ya kimataifa. Isitoshe, wanachama wote waanzilishi wa Shirikisho hilo walikuwa kutoka Vyama vya kitaifa vya nchi za [[Entente]] au kutoka washirika wa Entente. Masharti ya awali ya Shirikisho kuanzia Mei 1919 yalikuwa na kanuni zaidi ambazo zilivipa Vyama tano anzilishi hadhi ya kipekee na, kutokana na juhudi za Henry P. Davison, haki ya kudumu ya kuvizuia Vyama vya Msalaba Mwekundu vya kitaifa kutoka nchi zenye Mamlaka ya Juu, yaani [[Ujerumani]], Austria, Hungary, Bulgaria na [[Uturuki]] , na pia Chama cha Kitaifa cha Msalaba Mwekundu cha [[Urusi]]. Sheria hizi zilikuwa ni kinyume na kanuni za Msalaba Mwekundu za ulimwengu na usawa kati ya Vyama vyote vya kitaifa, hali ambayo ilizidisha matatizo ya ICRC.
Msaada wa kwanza kuwahi kupangwa na Shirika hilo ulikuwa ni kutoa misaada kwa waathirika wa njaa na baadaye mkurupuko wa ugonjwa wa typhus nchini [[Poland]]. Miaka mitano tu baada yake kuundwa, Shirika hili tayari lilikuwa limetoa maombi 47 ya michango kwa ajili ya misioni katika mataifa 34, jambo lililo ashiria haja ya kuwa na aina hii ya kazi ya Msalaba Mwekundu. Jumla ya pesa zililotolewa kutokana na maombi haya zilifika faranga million 685 za Uswizi, ambazo zilitumika kuleta vifaa vya dharura kwa waathiriwa wa njaa nchini [[Urusi]], Ujerumani, na [[Albania; mitetemeko ya ardhi nchini Chile, Uajemi, Japan, Colombia, Ecuador, Costa Rica, na Uturuki ; na ongezeko la wakimbizi kuingia Ugiriki|Albania; mitetemeko ya ardhi nchini [[Chile]], Uajemi, Japan, Colombia, Ecuador, Costa Rica, na [[Uturuki]]; na ongezeko la wakimbizi kuingia [[Ugiriki]] na Uturuki. Misioni yake ya kwanza kushughulikia janga kuu kwa Shirika hili ilikuwa baada ya tetemeko la ardhi nchini Japan la 1923 ambalo liliwaua takriban watu 200,000 na kuwaacha wangi wakiwa na majeraha au bila makao. Kutokana na uratibu wa Shirika hili, Chama cha Msalaba Mwekundu chaa Ujapani kilipokea bidhaa kutoka vyama vingine na kufikia jumla ya thamani ya dola milioni 100. Jambo lingine muhimu lililoanzishwa na Shirika hili ilikuwa uumbaji wa mashirika ya vijana ya Msalaba Mwekundu ndani ya Vyama vya kitaifa.
[[File:Timbre Turquie Croissant rouge 1928.jpg|thumb|left|A stempu kutoka Uturuki Mwekundu kusaidia Crescent, 1928.]]
Ujumbe wa pamoja kati ya ICRC na Shirika hili katika [[Vita vya wenyewe]] kwa wenyewe vya Urusi kati ya 1917 na 1922 ilikuwa mara ya kwanza kwa wanaharakati hao kuhusika katika migogoro ya ndani, ingawa bado bila ya idhini mwafaka kutoka kwa Mikataba ya Geneva. Shirika hili, pamoja na msaada kutoka zaidi ya Vyama 25 vya kitaifa, lilipangw misioni ya msaada na usambazaji wa chakula na bidhaa nyingine za misaada kwa raia walioathirika na njaa na [[maradhi]]. ICRC ilifanya kazi pamoja na [[Shirika]] la Msalaba Mwekundu la Urusi na baadaye na [[Chama cha Umoja wa Kisovyeti]], daima ikitilia mkazo msimamo wake wa kutoegemea upande wowote. Mwaka wa 1928, ya "Halmashauri ya Kimataifa" ilianzishwa kuratibu ushirikiano kati ya ICRC na Shirikisho la Vyama vya Msalama Mwekundu, kazi ambayo baadaye ilichukuliwa na "Tume Simamizi". Mwaka uo huo, sheria moja kwa harakati iliwekwa kwa mara ya kwanza, na kufafanua majukumu husika ya ICRC na Shirika hilo katika muungano.
Wakati wa [[Vita vya Abyssinian]]kati ya [[Ethiopia]] na [[Italia]] kutoka 1935 hadi 1936, Shirika hilo lilitoa mchango wa vifaa vya msaada wa thamani karibu faranga milioni 1.7 za Uswizi. Kutokana na kukataa kwa serikali ya Kiitaliano chini ya [[Benito Mussolini]] kushirikiana kwa vyovyote na Msalaba Mwekundu, bidhaa hizi zilifikishwa tu Ethiopia. Wakati wa vita hivi, takriban watu 29 walipoteza maisha yao huku akiwa chini ya ulinzi wa wazi wa Msalaba Mwekundu, wengi wao kutokana na mashambulizi ya Jeshi la Kiitaliano. Wakati wa [[Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Uhispania]] kati ya 1936 na 1939, mara tena Shirika hilo lilijiunga na ICRC kutoa misaada kwa usaidizi wa Vyama 41 vya kitaifa. Mwaka wa 1939 kabla ya Vita vya Pili vya Dunia kuanza, Shirika hilo lilihamisha makao yake makuu kutoka Paris hadi Geneva ili kufaidika na sera ya Uswisi ya kutoegemea upande wowote.
[[File:Friedensnobelpreis-1963.jpg|thumb|Sherehe ya amani ya Nobel mwaka 1963; Kutoka kushoto kwenda kulia: King Olav ya Norway, ICRC Rais Leopold Boissier, Ligi Mwenyekiti John A. MacAulay. (Picture kutoka: www.redcross.int)]]
Mwaka wa 1952, amri ya pamoja ya 1928 ilihaririwa upya kwa mara ya kwanza. Pia, kipindi cha [[Ukombozi kutoka Ukoloni]] katika miaka ya 1960-1970 kilionyesha ongezeko kubwa katika idadi ya Vyama vya kitaifa vya Msalaba na Hilali Nyekundu. Kufikia mwishoni wa miaka ya sitini, kulikuwapo na Vyama zaidi ya 100 duniani kote. Mnamo 10 Desemba 1963, Shirikisho hili pamoja na ICRC zilipokea Tuzo ya Amani ya Nobel. Mwaka wa 1983, Shirikisho lilibadili jina na kuitwa "Ligi ya Vyama vya Msalaba na Hilali Nyekundu" kuonyesha kuongezeka kwa idadi ya Vyama vya kitaifa chini ya Chama cha Hilali Nyekundu. Miaka mitatu baadaye, kanuni saba za msingi za muungano kama zilivyobuniwa mwaka wa 1965 ziliingizwa kwenye kanuni zake. Jina la Ligi lilibadilishwa tena mwaka wa 1991 na kuwa lake la sasa rasmi la "Shirikisho la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Vyama vya Hilali Nyekundu". Mwaka wa 1997, ICRC na Shirikisho zilitia saini [[Mkataba]]wa [[Seville]] ambao uliaini majukumu ya mashirika haya mawili ndani ya muungano. Mwakani 2004, Shirikisho lilianza Tume yake kubwa zaidi hadi wa leo baada ya ya [[tsunami katika Asia ya Kusini.]] Zaidi ya Vyama 40 vya Kitaifa vimefanya kazi na zaidi na wafanyikazi wa kujitolea 22,000 kuleta misaada kwa waathiriwa wengi walioachwa bila chakula na malazi na kuhatarishwa na magonjwa baada ya mikurupuko.
====Marais wa Shirikisho====
Kufikia Novemba 2009, rais wa IFRC ni [[Tadateru Konoe]] (Shirika la Msalaba Mwekundu la Kijapani). Makamu wa rais ni [[Paul Bierch]] (Kenya), Jaslin Uriah Salmon (Jamaika), Mohamed El Maadid (Qatar) na [[Bengt Westerberg]] (Uswidi).
Marais wa zamani (hadi mwaka 1977 wenye jina "Mwenyekiti") walikuwa:
{{col-begin}}
{{col-break}}
* 1919 - 1922: [[Henry Davison (Marekani)]]
* 1922 - 1935 [[John Barton Payne]] (Marekani)
* 1935 - 1938: [[Cary Travers Grayson]] (Marekani)
* 1938 - 1944: [[Norman Davis]] (Marekani)
* 1944 - 1945: [[Jean de Muralt (Uswisi)]]
* 1945 - 1950: [[Basil O'Connor]] (Marekani)
* 1950 - 1959: [[Emil Sandström (Uswidi)]]
{{col-break}}
* 1959 - 1965: [[John MacAulay (Kanada)]]
* 1965 - 1977: [[José Barroso Chávez (Mexico)]]
* 1977 - 1981: [[Adetunji Adefarasin (Nigeria)]]
* 1981 - 1987: [[Enrique de la Mata (Uhispania)]]
* 1987 - 1997: [[Mario Enrique Villarroel Lander (Venezuela)]]
* 1997 - 2000: [[Astrid Nøklebye Heiberg (Norway)]]
* 2001 - 2009: [[Juan Manuel del Toro y Rivera (Uhispania)]]
* 2009 -: Tadateru Konoé [[(Japan)]]
{{col-end}}
==Shughuli==
===Muundo wa Muungano===
[[File:Schweiz Genf IRK-Museum.jpg|thumb|Entry ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu na Red Crescent Museum mjini Geneva.]]
Kwa jumla, kuna watu milioni 97 duniani kote ambao hutumikia ICRC, Shirikisho la Kimataifa na Vyama vya Kitaifa. Na kuna jumla ya wafanyakazi wa kudumu takriban 12,000.
Kongamano la Kimataifa la 1965 huko [[Vienna]] liliratibisha kanuni saba za msingi ambazo zilifaa kutumiwa na pande zote za Muungano, na ziliongeza kwa masharti rasmi ya Muungano mwaka wa 1986.
* Ubinadamu
* Kutopendelea
* Kutoegemea Upande wowote
* Uhuru
* Kazi ya Kujitolea
* Umoja
* Ujumuiya
Kongamano la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu, ambalo hufanyika mara moja kila miaka minne, ndio taasisi ya juu zaidi katika Muungano huu. Huwaleta pamoja wajumbe kutoka Vyama vyote vya kitaifa na vilevile kutoka ICRC, Shirikisho na majimbo wanachama wa Mikataba ya Geneva. Katika kati ya mikutano, Tume Simamizi huwa na jukumu la kusimami utekelezaji wa maazimio ya kongamano hizo. Isitoshe, Tume Simamizi huratibu ushirikiano kati ya ICRC na Shirikisho. Inajumuisha wawakilishi wawili kutoka ICRC (akiwemo rais wake), wawili kutoka Shirikisho (akiwemo rais wake), na watu watano ambao huchaguliwa na Kongamano la Kimataifa. Tume Simamizi hukutana kila miezi sita hivi. Aidha, mkutano wa Baraza la Wajumbe wa Muungano hufanyika kila miaka miwili katika mfululizo wa mikutano ya Kikao Kikuu cha Shirikisho. Baraza la Wajumbe hupanga na kuratibu shughuli za pamoja za Muungano.
===Shughuli na Muundo wa ICRC===
====Tume ya ICRC na majukumu yake Katika Muungano====
[[File:Emblem of the ICRC.svg|thumb|Nembo ya ICRC]]
ICRC, kama Shirika lisiloegemea upande wowote, na ni shirika linalojitegemea ina jukumu la kuchukua msimamo wa kulinda maisha na hadhi ya waathirika wa migogoro ya kimataifa na ya ndani. Kulingana na Mkataba wa Seville wa mwaka wa 1997 , ndio "Uwakala wa mbele" wa Muungano wakati wa migogoro. Kazi za umuhimu zaidi za Kamati, ambazo zinazotokana na masharti ya Mikataba ya Geneva ni kama ifuatavyo:
* kufuatilia kuwa pande zinazozozana zinafuata Mikataba ya Geneva
* kupanga huduma za uuguzi na usaidizi kwa waliojeruhiwa katika vita
* kusimamia matibabu kwa Wafungwa wa vita
* kusaidia kutafuta watu waliopotea vitani (Huduma ya Usakaji)
* kuandaa ulinzi na huduma kwa raia wa kawaida
* kuwa mpatanishi kati ya pande zinazo zozana katika vita
====Hadhi na Muundo wa Kisheria====
ICRC ina makao yake makuu katika mji wa Geneva Uswisi na ina ofisi za nje katika nchi zipatazo 80. Ina wafanyakazi karibu 12,000 duniani kote, 800 kati yao wakifanya kazi katika makao makuu yake mjini Geneva, wataalamu 1200, nusu yao wakiwa wajumbe wake kusimamia misioni zake za kimataifa na nusu nyingine wakiwa wataalamu kama madaktari, wanasayansi wa biashara ya kilimo, Wahandisi au wakalimani, na takriban wanachama 10,000 wa Vyama vya kitaifa binafsi wakifanya kazi kwenye maeneo yenye mahitaji. Kinyume na inavyofikiriwa, ICRC si [[Shirika lisilo la kiserikali]] katika hali halisiya jina hilo, wala si shirika la kimataifa. Kwa kuweka kikwazo kwa uanachama wake kwa raia wa Uswizi tu(mfumo unaoitwa 'cooptation'), haina sera ya wazi ya uanachama usio na vikwazo kwa watu binafsi kama Mashirika mengine yasiyo ya Kiserikali. Neno "Kimataifa" katika jina lake halimaanishi uaanachama wake bali upana wa shughuli zake duniani kote kama ilivyo katika Mikataba ya Geneva. ICRC ina stahiki maalum na kulindwa kisheria katika nchi nyingi, kwa kuzingatia misingi ya sheria za kitaifa katika nchi hizi au kupitia mikataba kati ya Kamati husika ya kitaifa na serikali. Kulingana sheria za Kiswizi, ICRC inatambulika kama muungano wa kibinafsi. Kulingana na kanuni zake ni ina wanachama 15-25 raia wa Uswizi , ambao hujumuishwa kwa kipindi cha miaka minne. Hakuna idadi ya juu ambayo mtu wanaweza kuwa mwanachama ingawa zaidi ya wingi wa kura robo tatu za wanachama wote zinahitajika ili mwanachama kuchaguliwa baada ya kuitumikia mara tatu mtawalio.
Vyombo vya uongozi katika ICRC ni Kurugenzi na Bunge. Kurugenzi ndio Chombo Tendaji cha Kamati. Inajumuisha Mkurugenzi Mkuu na wakurugenzi watano katika maeneo ya "Utenda Kazi", "Rasilmali ya Kibinadamu", "Rasilimali na Usaidizi kwa Utenda Kazi", "Mawasiliano", na "Sheria na Ushirikiano wa Kimataifa ndani ya Muungano". Wanachama wa Kurugenzi wanateuliwa na Bunge na kuitumikia kwa miaka minne. Bunge, likijumuisha wanachama wote wa Kamati, hukutana mara kwa mara na linawajibika kuweka malengo, miongozo, na mikakati na kwa ajili ya kusimamia masuala ya kifedha ya Kamati. Rais wa Bunge pia ni rais wa Kamati kwa ujumla. Isitoshe, Bunge huchagua Baraza la wabunge watano ambalo lina mamlaka ya kuamua kwa niaba ya Bunge kamili katika baadhi ya mambo. Baraza pia ina wajibu wa kuandaa mikutano ya Bunge na kuwezesha mawasiliano baina ya Bunge na Kurugenzi.
Kwa kuwa Geneva iko katika sehemu ya Uswisi inayozungumza Kifaransa, ICRC kwa kawaida hufanya kazi zake kwa kutumia jina lake la Kifaransa ''Comité kimataifa de la Croix-Rouge'' (CICR). Ishara rasmi ya ICRC ni Msalaba Mwekundu juu ya kinyume cheupe na maneno "Comité KIMATAIFA GENEVE" yakiuzunguka msalaba.
====Ufadhili na masuala ya fedha====
Bajeti ya 2005 ya ICRC ilifikia kiasi cha karibu faranga million 970 za Uswizi. Nyingi ya pesa hizi hutoka Uswizi ikiwa nchi shikilizi ya hazina ya Mikataba ya Geneva, kutoka kwa Vyama vya kitaifa vya Msalaba Mwekundu, majimbo yaliyotia saini Mikataba ya Geneva, na kutoka mashirika ya kimataifa kama [[Umoja wa Ulaya.]] Malipo yote kwa ICRC ni kwa hiari na ni hupokelewa kama michango kwa msingi wa aina mbili ya maombi ambayo hutolewa na Kamati: ''Ombi la kila mwaka la Makao Makuu'' ili kufidia gharama zake za ndani na ''Maombi ya Dharura'' kwa misheni zake binafsi. Bajeti nzima ya mwaka 2005 inajumuisha takriban faranga million 819.7 za Uswizi (asilimia 85 ya kiasi chote) kwa ajili ya kazi zake na faranga million 152.1 za Uswizi (asilimia 15) kwa gharama za ndani. Mwaka wa 2005, bajeti kwa ya kushughulikia kazi zake iliongezeka kwa asilimia 8.6 na ile ya ndani kwa asilimia 1.5 ikilinganishwa na mwaka wa 2004, hasa kutokana na ongezeko la idadi na wigo wa misheni yake barani [[Afrika.]] {{Citation needed|date=Oktoba 2008}}
===Shughuli na Muundo wa Shirikisho===
====Misheni ya Shirikisho na majukumu yake ndani ya Muungano====
[[File:Emblem_of_the_IFRC.svg|thumb|Emblem ya Shirikisho]]
Shirikisho huaratibu ushirikiano kati ya Vyama vya kitaifa vya Msalaba na Hilali Nyekundu duniani kote na husaidia kuanzishwa kwa vyama vipya vya kitaifa katika nchi ambako hakuna vyama hivyo. Kimataifa, Shirikisho hupanga usaidizi katika kutoa misaada baada ya hali za dharura kama majanga, shida zilizosababishwa na wandadamu, mikurupuko ya magonjwa, wakimbizi wanapohama, na dharura nyinginezo. Kulingana na Mkataba wa Seville wa 1997, Shirikisho hili ndilo Uwakala uliopewa kipa mbele katika Muungano katika hali za dharura zozoto zinazotokea bila ya kuletwa na vita. Shirikisho hushirikiana na vyama vya kitaifa katika nchi husika - kila moja ikiitwa ''Operating National Society'' (ONS) - pamoja na Vyama vingine vya kitaifa vilivyo tayari kutoa msaada - ambavyo huitwa ''Participating National Societies'' (PNS). Kati ya vyama 187 vya kitaifa vyenye kikao katika Mkutano Mkuu wa Shirikisho kama wanachama kamili au waangalizi, ya pata 25-30 zao hufanya kazi kama PNS mara kwa mara katika nchi nyingine. Zenye bidii zaidi kati yao ni [[Mashirika ya Msalaba Mwekundu ya Marekani, Uingereza,Ujerumani]], na Vyama vya Msalaba Mwekundu vya [[Uswidi]] na [[Norway.]] Kazi nyingine muhimu ya Shirikisho ambayo imepata kipaumbele katika miaka ya hivi karibuni ni kujitoa kwake mhanga ili kupelekea kupigwa marufuku duniani matumizi ya [[bomu za kutegwa ardhini]] na kuleta matibabu, na msaada wa kisaikolojia na kijamii kwa watu waliojeruhiwa na nchi zenye mabomu hayo.
Majukumu ya Shirikisho hiyo yanaweza kuelezwa kwa muhtasari kama ifuatavyo:
* kueneza kanuni na maadili ya kibinadamu
* kutoa misaada katika hali za dharura kwa kipimo kikubwa
* kusaidia Vyama vya kitaifa katika kujitayarisha ili kukabiliana na majanga kupitia elimu kwa wanachama wake wa kujitolea na utoaji wa vifaa na vifaa vya kutoa msaada
* kusaidia miradi ya afya kwa mitaa
* kusaidia vyama vya kitaifa katika shughuli zinazohusu vijana
====Hadhi na Muundo wa Kisheria====
Kama ICRC, Shirikisho hili lina makao yake makuu mjini Geneva. Pia inaendesha ofisi za kudumu 14 za mikoa na ina karibu wajumbe 350 katika zaidi ya Jumbe 60 duniani kote. Msingi wa kisheria wa kazi ya Shirikisho ni katiba yake. Mtendaji wa Shirikisho ni sekretarieti, ikiongozwa na Katibu Mkuu. Sekretarieti huungwa mkono na vitengo vinne hususan "Support Services", "National Society and Field Support", "Policy and Relations" na "Movement Cooperation". Kitengo cha Movement Cooperation hupanga mwingiliano na ushirikiano na ICRC. Ofisi kuu zaidi ya Shirikisho ni Baraza Kuu ambalo hukutana kila baada ya miaka miwili pamoja na wajumbe kutoka Vyama vyote vya kitaifa. Miongoni mwa kazi nyingine, Baraza kuu huchagua Katibu Mkuu. Kati ya mikutano Baraza Kuu, Bodi ya Uongozi ndiyo huongoza shughuli za Shirikisho. Ina mamlaka ya kufanya maamuzi kwa niaba ya Shirikisho katika maeneo kadhaa. Bodi ya Uongozi inajumuisha rais na makamu wa rais wa Shirikisho, Mwenyekiti wa Tume ya Fedha, na wawakilishi ishirini kutoka kwa Vyama vya kitaifa. Husaidiwa na tume ya ziada nne: "Disaster Relief", "Youth", "Health & Community Services", na "Development".
Ishara ya Shirikisho ni mchanganyiko wa Mwekundu (kushoto) na Hilali Nyekundu (kulia) kwenye kinyume cheupe (zikizungukwa na mraba mwekundu ) bila maandishi mengine yoyote.
====Ufadhili na masuala ya fedha====
Sehemu muhimu zaidi za bajeti ya Shirikisho hufadhiliwa na michango kutoka Vyama vya kitaifa ambavyo ni wanachama wa Shirikisho na pia kupitia mapato kutokana na uwekezaji. Kiasi hasa cha michango kutoka kila mwanachama huwekwa na Tume ya Fedha na kuidhinishwa na Baraza Kuu. Fedha za ziada zozote, hasa za kushughulikia gharama za ghafla wakati wa kutoa misaada hutolewa kwa kupitia maombi ambayo huchapishwa na Shirikisho na hutokana na michango ya hiari ya Vyama vya kitaifa, serikali, mashirika mengine, makampuni na watu binafsi.
===Vyama vya Kitaifa ndani ya Muungano===
====Kutambulika rasmi kwa Chama cha kitaifa====
[[File:Sjd-ambulance.jpg|thumb|Ambulensi inayomilikiwa na Mexican Red Cross]]
Vyama vya Kitaifa vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu vipo katika karibu kila nchi duniani. Nchini mwao, vyama hivi huchukua kazi na majukumu kama Chama cha kitaifa kama ilivyoandikika katika [[Sheria ya Kimataifa ya Kibinadamu.]] Ndani ya Muungano, ICRC inawajibika kisheria kutambua rasmi Chama cha kitaifa kama Chama cha Msalaba Mwekundu au Chama cha Hilali Nyekundu. Kanuni za kutambulikana zimewekwa katika masharti ya Muungano. Ibara ya 4 ya masharti haya ni ''"Masharti kwa kutambuliwa kwa Vyama vya Kitaifa":''
: ''Ili kutambuliwa, kulingana na Ibara ya 5, aya ya 2b) kama Chama cha Kitaifa, Chama hicho lazima kitimize masharti yafuatayo:''
:
:# ''Kiwe kimeundwa ndani ya jimbo la nchi huru ambapo Mkataba wa Geneva kwa Kushughulikia hali ya waliojeruhiwa na wagonjwa katika vita umeidhinishwa.''
:# ''Kiwe ndicho Chama cha pekee cha Kitaifa cha Msalaba Mwekundu au Hilali Nyekundu katika Jimbo hilo na kuelekezwa kutoka Mamlaka moja ambayo itakuwa peke yake yenye uwezo wa kuiwakilisha katika shughuli zake na vipengele vingine vya Muungano.''
:# ''Kutambuliwa kisheria na serikali ya nchi yake kwa misingi ya Mikataba ya Geneva na sheria ya taifa kama shirika la kutoa misaada ya hiari, kusaidia mashirika ya umma katika uwanja wa kazi za kibinadamu.''
:# ''Kiwe na uhuru wa kuendesha shughuli zake kulingana na Kanuni za Msingi za Muungano.''
:# ''Kutumia jina na ishara ya Msalaba Mwekundu au Hilali Nyekundu kulingana na Mikataba ya Geneva.''
:# ''Kuwa kimeundwa kuweza kutimiza majukumu yake kama yalivyo katika masharti yake, pamoja na kujiandaa wakati wa amani kazi za kukabiliana na vita.''
:# ''Kufikisha shughuli zake kwa jimbo au nchi mzima.''
:# ''Kuwasajili wanachama na wafanyakazi bila Kuangalia rangi, jinsia, daraja, dini au mtazamo wa kisiasa.''
:# ''Ambatana na Maagizo ya sasa, shiriki katika umoja ambao unaunganisha vipengele muhimu vya Muungano na kushirikiana navyo.''
:# ''Heshimu kanuni za msingi za Muungano na kuelekezwa katika kazi zake na kanuni za Sheria ya kibinadamu ya kimataifa.''
Baada ya kutambulika na ICRC, Chama cha kitaifa hukubaliwa kama mwanachama wa Shirikisho la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu.
====Shughuli za Vyama vya kitaifa katika taifa na kimataifa====
Licha ya uhuru rasmi na muundo wa kazi yake, kila chama cha kitaifa bado kiko chini ya sheria za nchi yake ya nyumbani. Katika mataifa mengi, Vyama vya kitaifa vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu hufurahia stahiki ya kipekee kutokana na mikataba na serikali zao maalum au "Sheria za Msalaba Mwekundu" na kupewa uhuru kamili kama inavyotakiwa na Muungano wa Kimataifa. Kazi na majukumu ya Chama cha kitaifa kama ilivyowekwa na sheria ya Kimataifa ya Kibinadamu na Kanuni za Muungano ni pamoja na kutoa misaada ya kibinadamu katika vita na migogoro na hali za dharura kama majanga. Kutegemea uwezo wake wa kibinadamu, kiufundi, kifedha, na rasilimali, vyama vingi vya kitaifa kuchukua kazi ya ziada ya kibinadamu ndani ya nchi zao kama [[Huduma ya Kutoa Damu]] au kufanya kazi kama watoaji wa huduma ya Utabibu wa Dharura (Emergency Medical Service - EMS). ICRC na Shirikisho la Kimataifa hushirikiana na Vyama vya kitaifa katika misheni za kimataifa, hasa kwa kutoa usaidizi wa kibinadamu, nyenzo, fedha na kupanga mikakati katika maeneo ya kazi.
==Historia ya nembo==
===Nembo zinazotumiwa===
====Msalaba Mwekundu====
[[File:Flag of the Red Cross.svg|100px|left|border]]
[[File:Flag of Switzerland.svg|100px|thumb|right|Bendera ya Uswisi, ambayo awali ya Msalaba Mwekundu ni akamwambia wamekuwa derived]]
Nembo ya '''Msalaba Mwekundu''' iliidhinishwa rasmi mwaka wa 1863 huko [[Geneva]]. <ref> [http://www.icrc.org/Web/Eng/siteeng0.nsf/html/57JMB8 International Kamati Mwekundu Msalaba (ICRC)]</ref>
Bendera ya Msalaba Mwekundu haihusiani na [[Msalaba wa St George]] ambayo ni bendera ya [[Uingereza]], [[Barcelona]], [[Freiburg]], na maeneo mengine kadhaa. Ili kuepuka mkanganyiko, ishara hii inajulikana katika hifadhi nyingine kama "Msalaba Mwekundu wa Kigiriki"; jina hili pia kutumika katika sheria ya [[Marekani]] kuelezea Shirika la Msalaba Mwekundu. Msalaba mwekundu wa St George unafikia makali ya bendera, ilhali msalaba mwekundu katika bendera ya Msalaba Mwekundu haifikii.
Bendera ya Msalaba Mwekundu mara nyingi pia huchanganyikiwa na [[Bendera ya Uswisi]] ambayo ni kinyume chake. Mwaka wa 1906, ili kusitisha ubishi kutokaa Uturuki kuwa bendera hii ina mizizi yake kutoka Ukristo, iliamuliwa kuwa kuendelezwe dhana ya kwamba bendera ya Msalaba Mwekundu ilitokana na kugeuzwa kwa rangi rasmi za Uswisi, ingawa hakuna ushahidi wa wazi kwamba asili hii iliwahi kupatikana <ref> [http://openlibrary.org/b/OL1955293M/From-Solferino-to-Tsushima "Kutoka Solferino kwa Tsushima", Pierre Boissier]</ref>
====Hilali Nyekundu====
[[File:Flag of the Red Crescent.svg|left|100px|border]]
Nembo ya '''Hilali Nyekundu''' ilitumiwa kwa mara ya kwanza na wafanyikazi wa kujitolea wa ICRC wakati wa vita kati ya [[Urusi]] na [[Uturuki]] (1877-1878). Ishara ilichukuliwa rasmi mwaka wa 1929, na hadi sasa imetambuliwa na nchi 33 za Kiislamu.
<br>
====Bilauri Nyekundu====
[[File:Flag of the Red Crystal.svg|left|100px|border]]
Mnamo 8 Desemba 2005, kwa kukabiliana na shinikizo za kumkubalia [[Magen David Adom]] kama mwanachama kamili wa shirika la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu, {{Citation needed|date=Novemba 2008}} nembo mpya rasmi '''nembo rasmi ya tatu katika itifaki,''' ikijulikana kama '''Bilauri nyekundu)''' ilichukuliwa baada ya kuhaririwa kwa [[Mikataba ya Geneva]] inayojulikana kama [[Itifaki ya III.]]
<br>
===Nembo zinazotambulika na kutumika===
====Simba Mwekundu na Jua====
[[File:Red Lion with Sun.svg|left|100px|border]]
'''[[Chama cha Simba Mwekundu na Jua]] cha Iran''' kilianzishwa mwaka wa 1922 na kutiwa katika Muungano wa Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu mnamo 1923. <ref>{{Cite web |url=http://www.rcs.ir/en/index.php?page_id=2&menu_id=1&menu_item_id=3 |title=Historia ya Iranian Red Crescent Society (IRCS) (IRCS website, kwa Kiingereza) |accessdate=2021-01-20 |archivedate=2007-09-28 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20070928110944/http://www.rcs.ir/en/index.php?page_id=2&menu_id=1&menu_item_id=3 }}</ref> Hata hivyo, baadhi ya ripoti zinasema kwamba ishara hii ililetwa Geneva mwaka wa 1864 {{Citation needed|date=Februari 2007}} <ref>{{Cite web |url=http://www.rcs.ir/fa/index.php?page_id=3&menu_id=1&menu_item_id=33 |title=IRCS tovuti, katika Kiajemi |accessdate=2021-01-17 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090404114921/http://www.rcs.ir/fa/index.php?page_id=3&menu_id=1&menu_item_id=33 |archivedate=2009-04-04 }}</ref> kama jawabu kwa Hilali na msalaba zilizotumiwa na Himaya mbili wapinzani wa Iran, ya Ottoman na ya Urusi. Ingawa dai hilo haliambatani na historia ya Hilali Nyekundu, historia hiyo inapendekeza kwamba Simba Mwekundu na Juo, kama Hilali Nyekundu, zawezakuwa ziliundwa wakati wa vita vya 1877-1878 kati ya Urusi na Uturuki.
Mnamo 1980, kwa sababu ya kuhusishwa kwa nembo na Shah [[Jamhuri ya Kiislamu ya Iran]] ilibadilisha Simba Mwekundu na Juo na badala yake kuweka Hilali Nyekundu, sawia na mataifa mengine ya Kiislamu. Ingawa Simba Mwekundu na Jua haitumiki sasa, Iran imehifadhi haki ya kuichukua tena wakati wowote; Mikataba ya Geneva bado inaitambua kama nembo rasmi, na ilithibitishwa na Itifaki III wakati wa kupitisha Bilauri Nyekundu. {{Citation needed|date=Novemba 2008}}
===Nembo zisizotambuliwa===
====Nyota Nyekundu ya Daudi (Magen David Adom)====
[[File:Red Star of David.svg|100px|left|border]]
Kwa kipindi cha miaka 50, [[Israeli]] iliomba kujumuishwa kwa [[Nyota Nyekundu ya Daudi]], ikisema kuwa kwa vile nembo za [[Wakristo]] na [[Waislamu]] zilitambuliwa, nembo ya [[Wayahudi]] yafaa itambuliwe vilevile. Nembo hii imetumika tangu 1935 na [[Magen David Adom]] (MDA) Chama cha kitaifa cha msaada wa kwanza cha Israeli, lakini bado hakijatambuliwa na Mikataba ya Geneva kama ishara iliyolindwa. <ref>{{Cite web |url=http://www.afmda.org/content/about%20us/history.aspx |title=American Friends of Magen David Adom - ARMDI |accessdate=2009-12-14 |archivedate=2010-03-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100301131336/http://www.afmda.org/content/about%20us/history.aspx }}</ref>
Shirika la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu lilikataa ombi la Israeli kwa miaka kadhaa, na kusema kuwa nembo ya Msalaba Mwekundu haikuwa iwakilishe Ukristo bali ilikuwa ni kugeuzwa kwa bendera ya [[Uswisi]], na pia kwamba kama Wayahudi (au kundi jingine) wangepewa nembo nyingine, kungekuwa hakuna mwisho wa idadi ya makundi ya kidini au mengine yakidai nembo yao wenyewe. Walisema kwamba ongezeko kupindukia kwa alama nyekundu kungewaondoa kutoka nia asili ya nembo ya Msalaba Mwekundu, ambayo ilikuwa iwe nembo moja ya kutambulisha magari na majengo yaliyopewa ulinzi kwa misingi ya kibinadamu.
Baadhi ya mataifa ya Kiarabu, kama vile [[Syria]], pia walipinga kuingia kwa MDA katika Shirika la Msalaba Mwekundu, na kufanya makubaliano kutowezekana kwa muda. Hata hivyo, kuanzia 2000 hadi 2006 [[Shirika la Msalaba Mwekundu la Marekani]]lilishikilia mchango wake (jumla ya dola milioni 42) kwa [[Shirikisho la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Vyama vya Hilali Nyekundu]] (IFRC) kwa sababu ya IFRC kukataa kukubali MDA; hii ilipelekea kuundwa kwa nembo ya Bilauri Nyekundu na uandikishaji wa MDA tarehe 22 Juni 2006.
Nyota Nyekundu ya Daudi haitambuliwi kama ishara iliyolindwa nje ya Israeli; badala yake, MDA hutumia nembo ya Bilauri Nyekundu wakati wa oparesheni zake za kimataifa ili kuhakikisha ulinzi. Kutegemeana hali ilivyo, inaweza kuweka Nyota Nyekundu ya Daudi ndani ya Bilauri Nyekundu, au kutumia Bilauri Nyekundu peke yake.
==Ukosoaji==
Stesheni ya Australian TV network, ABC, na kundi la haki za wazawa asili, [[Friends of Peoples Close to Nature]], ilitoa makala yaitwayo Damu Msalababani yaliyozua madai ya kuhusika kwa Shirika la Msalaba Mwekundu na Jeshi la Uingereza kufanya mauaji katika eneo la milima kusini mwa Papua ya Magharibi. Mark Davis amefanya uchunguzi wa madai kuhusu mchango wa Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu Na Jeshi la Uingereza katika hali ya mateka wa WWF ya Mei 1996. <ref name="fpcnvideos">[http://www.engagemedia.org/Members/fPcN_interCultural/videos/Blood_on_the_Cross_Xvid_720x576.avi/view fPcN medierna Kushiriki videos - Damu ya Msalaba]</ref> <ref>{{cite book |title=The politics of power: Freeport in Suharto's Indonesia |last=Leith |first=Denise |publisher=University of Hawaii Press |date=2002 |isbn=0824825667}}</ref> Kufuatia kupeperushwa kwa makala haya hewani, Shirika la Msalaba Mwekundu lilitangaza hadharani kwamba lingemteua mtu binafsi nje ya shirika hilo kuchunguza madai yaliyotolewa katika filamu na wajibu wowote kwa upande wake. Ripoti inadai kwamba si dhahiri kabisa kinwango ambacho Shirika la Msalaba Mwekundu kilihusika, baadhi ya ukosoaji ukiwa kuhusu jinsi ambayo shirika lilikushughulikia mgogoro huo. <ref name="reportonbloodonthecross"> [http://www.antenna.nl/wvi/eng/ic/pp/wp/icrcinv.html MUHTASARI NA SLUTSATSER YA uchunguzi matukio ya Mei 9, 1996 IN WESTERN PAPUA, alimkabidhi BY THE ICRC TO AN nje Consultant]</ref>
ICRC haitakiwi kutoa ushahidi katika kesi za kivita kuhusu mambo iliyoyashuhudia wakati wa kutekeleza majukumu yake. Kwa sababu hii baadhi ya wakosoaji [30] wanadai kuwa wakati mwingine ICRC huwanyima haki waathiriwa wa kivita na hivyo basi kuwezesha kutojali kwa upande wa wahalifu wa kivita.
Madai ya uongozi duni na wasiwasi kuhusu uwajibikaji na uwazi yamesababisha kujiuzulu kwa maafisa wa ngazi za juu. <ref> http://www.rte.ie/news/2009/1117/andrewsd.html</ref> <ref> http://www.irishtimes.com/newspaper/breaking/2009/1117/breaking32.htm</ref> <ref>{{Cite web |url=http://www.alertnet.org/thenews/fromthefield/irishredcr/b4a3f249899c8ad27b8afa747239b931.htm |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2009-12-14 |archivedate=2009-12-03 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20091203143933/http://www.alertnet.org/thenews/fromthefield/irishredcr/b4a3f249899c8ad27b8afa747239b931.htm }}</ref>
==Tazama pia==
* [[Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu]]
===Vitabu===
* David P. Forsythe: Humanitarian Politics: The International Committee of the Red Cross. Johns Hopkins University Press, Baltimore 1978, ISBN 0-8018-1983-0
* Henry Dunant: A Memory of Solferino. ICRC, Geneva 1986, ISBN 2-88145-006-7
* Hans Haug: Humanity for all: the International Red Cross and Red Crescent Movement. Henry Dunant Institute, Geneva in association with Paul Haupt Publishers, Bern 1993, ISBN 3-258-04719-7
* Georges Willemin, Roger Heacock: International Organization and the Evolution of World Society. Volume 2: The International Committee of the Red Cross. Martinus Nijhoff Publishers, Boston 1984, ISBN 90-247-3064-3
* Pierre Boissier: History of the International Committee of the Red Cross. Volume I: From Solferino to Tsushima. Henry Dunant Institute, Geneva 1985, ISBN 2-88044-012-2
* André Durand: History of the International Committee of the Red Cross. Volume II: From Sarajevo to Hiroshima. Henry Dunant Institute, Geneva 1984, ISBN 2-88044-009-2
* International Committee of the Red Cross: Handbook of the International Red Cross and Red Crescent Movement. 13th edition, ICRC, Geneva 1994, ISBN 2-88145-074-1
* John F. Hutchinson: Champions of Charity: War and the Rise of the Red Cross. Westview Press, Boulder 1997, ISBN 0-8133-3367-9
* Caroline Moorehead: Dunant's dream: War, Switzerland and the history of the Red Cross. HarperCollins, London 1998, ISBN 0-00-255141-1 (Hardcover edition); HarperCollins, London 1999, ISBN 0-00-638883-3 (Paperback edition)
* François Bugnion: The International Committee of the Red Cross and the protection of war victims. ICRC & Macmillan (ref. 0503), Geneva 2003, ISBN 0-333-74771-2
* Angela Bennett: The Geneva Convention: The Hidden Origins of the Red Cross. Sutton Publishing, Gloucestershire 2005, ISBN 0-7509-4147-2
* David P. Forsythe: The Humanitarians. The International Committee of the Red Cross. Cambridge University Press, Cambridge 2005, ISBN 0-521-61281-0
===Makala===
* François Bugnion: The emblem of the Red Cross: a brief history. ICRC (ref. 0316), Geneva 1977
* Jean-Philippe Lavoyer, Louis Maresca: The Role of the ICRC in the Development of International Humanitarian Law. In: International Negotiation. 4(3)/1999. Brill Academic Publishers, p. 503–527, ISSN 1382-340X
* Neville Wylie: The Sound of Silence: The History of the International Committee of the Red Cross as Past and Present. In: Diplomacy and Statecraft. 13(4)/2002. Routledge/ Taylor & Francis, p. 186–204, ISSN 0959-2296
* David P. Forsythe: "The International Committee of the Red Cross and International Humanitarian Law." In: Humanitäres Völkerrecht - Informationsschriften. The Journal of International Law of Peace and Armed Conflict. 2/2003, German Red Cross and Institute for International Law of Peace and Armed Conflict, p. 64–77, ISSN 0937-5414
* François Bugnion: Towards a comprehensive Solution to the Question of the Emblem. Revised 4th edition. ICRC (ref. 0778), Geneva 2006
==Marejeo==
{{Marejeo|2}}
==Viungo vya nje==
{{Commons}}
* [http://www.redcross.int/ Kimataifa ya msalaba mwekundu na hilali] {{Wayback|url=http://www.redcross.int/ |date=20070812092039 }}
* [http://www.rcstandcom.info/ Standing Tume ya Msalaba Mwekundu na Red Crescent]
* [http://www.icrc.org/ Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC)]
* [http://www.ifrc.org/ Shirikisho la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Vyama Red Crescent (IFRC)]
{{Coord|46|13|40|N|6|8|14|E|type:landmark_region:CH|display=title}}
{{Red Cross Red_Crescent_Movement}}
{{DEFAULTSORT:Msalaba Mwekundu, Shirika la}}
[[Category:Shirika lililoanzishwa 1863]]
[[Category:Mashirika ya kimataifa]]
rtwfsoosjs48tyg45zz6wjvh8bm8zcv
Joseph Yobo
0
33748
1235897
1204652
2022-07-27T13:52:47Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha: JosephYobo.JPG|thumb| Joseph Yobo]]
{{Football player infobox
| playername = Joseph Yobo
| image =
| fullname = Joseph Phillip Yobo
| dateofbirth = {{birth date and age|1980|9|6|df=y}}
| cityofbirth = [[Kono]]
| countryofbirth = [[Nigeria]]
| height = {{height|m=1.88}}<ref name="guardian_interview">
[[Picha:Yobo.jpg|200px]]
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2003/sep/07/sport.comment2
| title = Yobo in power play
| work = [[The Guardian]]
| date = 2003-09-07
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
| position = [[Defender (association football)#Centre back|Centre Back]]
| currentclub = [[Everton F.C.|Everton]]
| clubnumber = 4
| youthyears = 1996–1997
| youthclubs = Michellin Port-Harcourt<ref name="guardian_interview" /><ref>{{nftstat|4942}}</ref>
| years = 1998–2001<br />2001–2003<br />2001–2002<br />2002–2003<br />2003–
| clubs = [[Standard Liège]]<br />[[Olympique de Marseille|Olympique Marseille]]<br />→ [[CD Tenerife]] (loan)<br />→ [[Everton F.C.|Everton]] (loan)<br />[[Everton F.C.|Everton]]
| caps(goals) = {{0}}46 (2)<br />{{0}}23 (0)<br />{{0}}{{0}}0 (0)<br />{{0}}24 (0)<br />192 (8)
| nationalyears = 2001–
| nationalteam = [[Nigeria national football team|Nigeria]]
| nationalcaps(goals) = {{0}}65 (5)
| pcupdate = 18:23, 10 Desemba 2009 (UTC)
| ntupdate = 20:39, 18 Novemba 2009 (UTC)
}}
'''Joseph Yobo''' (alizaliwa [[6 Septemba]] [[1980]] [[Mji|mjini]] [[Kono]], [[Nigeria]] alikuwa [[mlinzi]] wa [[timu]] ya Nigeria ya [[kandanda]] na ya klabu ya [[Ligi]] ya [[Uingereza]] ya [[Everton]]. Yeye ni msaidizi wa [[nahodha]] wa [[timu ya taifa]] ya [[Nigeria]], na mchumba wake ni malkia wa urembo wa zamani [[Adaeze Igwe]] <ref>[http://news.onlinenigeria.com/templates/?a=8176 Yusufu na Adaeze]{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
Yeye ni mdogo wa [[Yobo Albert]] mchezaji wa zamani wa kimataifa kutoka Nigeria. Mwanzoni mwa Julai 2008, ndugu yake mdogo Norum Yobo <ref>{{Cite url|url=http://uk.eurosport.yahoo.com/06072008/58/premier-league-everton-offer-yobo-assistance.html
|title=Everton offer Yobo assistance}}</ref> alitekwa nyara mjini [[Bahari la Harcourt, Rivers State]], Nigeria na kushikwa kwa fidia. Hatimaye aliachiliwa huru baada ya siku 12 mnamo tarehe 17 Julai 2008 <ref>{{Cite url
|url=http://kickoffnigeria.com/static/news/article.php?id=2260
|title=Yobo's Brother Released
|accessdate=2009-12-18
|archiveurl=https://archive.today/20120525202803/http://kickoffnigeria.com/static/news/article.php?id=2260
|archivedate=2012-05-25
}}</ref>
== Kazi yake ==
=== Wasifu wa Klabu ===
Joseph Stefano Yobo alizaliwa katika [[kono Kusini mwa Nigeria]], lakini yeye alikulia mjini [[Port Harcourt]] na ni rafiki wa karibu wa [[Crewe Alexandra]] [[George Abbey]] ambaa walikuwa pamoja.<ref name="Copnall">{{cite web|url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/africa/3483353.stm|title=Abbey days|last=Copnall |first=James|date=12 Februari 2004|work=BBC Sport|accessdate=2009-04-27}}</ref> Baadaye aliomba ushauri kutoka kwa Abbey alipoamua kuhamia Uingereza.<ref name="Copnall"/>
Yobo alihama Nigeria kuenda Ubelgiji kujiunga na [[Standard Liege]] mwaka wa 1998. Alijitokeza katika timu yake mara ya kwanza mwaka wa 2000, na akaendelea kujitokeza mara 46 katika klabu ya [[Ligi Jupiler.]] Mwaka wa 2001, alinunuliwa na klabu ya Kifaransa , [[Olympique Marseille.]] <ref>
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport1/low/football/africa/1493202.stm
| title = European Preview: Belgium Transfers
| work = [[BBC]]
| date = 2001-08-15
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
Muda mfupi baada ya maamuzi yake ya kwanza, Yobo alikopeshwa katika klabu ya [[CD Tenerife]] nchini Hispania. Baada ya karibu miezi 9 Yoboalirudi Marseille, kabla ya kujiunga na klabu ya [[Everton]]ya Uiingereza, kwa mkopo tena, mwezi Julai 2002. Ada ya £ 1m ilihitajika kusajili mchezaji huyu, na yeye akawa wa kwanza kusainiwa kama mchezaji mpya na meneja [[David Moyes.]] <ref name="bbc_2002">
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport1/low/football/teams/e/everton/2098473.stm
| title = Everton complete Yobo chase
| work = [[BBC]]
| date = 2002-07-09
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref> Fursa ya kufanya hatua hiyo kudumu ilichukuliwa na kukamilika mwaka wa 2003 baada ya mzozo kati Yobo na Marseille mara ulipotatuliwa <ref name="everton_profile">{{Cite url
| url = http://www.evertonfc.com/match/former-blues.html?player_id=20
| title = Joseph Yobo - Everton F.C. Player Profile
}}{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> pamoja na kukubaliana na Everton kwa kuongeza £ 4m.
<ref>
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2002/nov/28/newsstory.sport10
| title = Everton close in on Yobo's signature
| work = [[The Guardian]]
| date = 2002-11-28
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
Yobo alikuwa mmoja wa wachezaji thabiti zaidi katika kikosi cha Everton, na alikuwa mmoja wa wachezaji saba tu katika ligi nzima waliocheza kila dakika ya kila mchezo katika kipindi cha [[2006-2007 Ligi Kuu ya msimu]]
Kuchelewa kwa kutia saini mkataba mpya na Everton, mwaka 2006, kulisababisha uvumi kuwa anahamia [[Arsenal]], <ref>
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/teams/e/everton/4873048.stm
| title = Everton face Yobo contract delay
| work = [[BBC]]
| date = 2006-04-03
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref> lakini tarehe 22 Julai Yobo alijitolea kwa Goodison Park hadi mwaka wa 2010. Kwanzia 15 Aprili 2007 Joseph Yobo ana rekodi ya wachezaji kutoka Ng'ambo katika timu ya Everton.
Katika mchuano wa [[Kombe la UEFA]] kwa mechi dhidi ya [[AE Larissa]] ya [[Ugiriki]] tarehe 25 Oktoba 2007, Yobo alichukua usukani kwani [[Phil Neville]] hakuwepo na hivyo akawa Mwafrika wa kwanza kuwa nahodha wa klabu hiyo.Mnamo tarehe 16 Mei 2009 Yobo alifunga bao lake kwanza la msimu dhidi ya West Ham United na kushinda 3-1.
Katika msimu wa 2009/10 ilibidi Yobo kuzoea kushirikiana na mshiriki wake mpya, [[Sylvain Distin]], baada [[Joleon Lescott]] kuhama na [[Phil Jagielka]] kujeruhiwa. Mnamo tarehe 29 Novemba 2009, alijifunga bao na Evertons kushindwa 2-0 na Liverpool katika katika mapambano ya timu za Merseyside. <ref>{{cite web|url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/eng_prem/8377203.stm|title=Everton 0 - 2 Liverpool|date=2009-11-29|work=BBC Sport|accessdate=2009-12-02}}</ref>
=== Wasifu wa Kimataifa ===
[[Mnigeria]] huyu aliweza kucheza mechi tatu za [[Kimataifa]] na timu ya [[Super Eagles]] <ref name="bbc_2002"/> nchini Japan na Korea ya Kusini, katika mchuano wa [[Kombe la dunia la FIFA 2002]], na kusaidia upande wake, katika bao lao moja tu katika mchuano huo<ref name="everton_profile"/> Uchezaji wake wa kimataifa umepokea maneno chanya.<ref>
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2008/jan/22/africannationscup2008.africannationscup1
| title = Yobo and Toure provide light in the dark
| work = [[The Guardian]]
| date = 2008-01-22
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
== Ufadhili ==
Katika mwaka wa 2007 Joseph Yobo alianzisha [http://www.josephyobofoundation.org Shirikisho la mapendo la Joseph Yobo ,] {{Wayback|url=http://www.josephyobofoundation.org/ |date=20080122131511 }} ili kusaidia watoto wasijiweza nchini Nigeria. Tangu tarehe 18 Julai 2007 amepatiana zaidi ya 300 tuzo za udhamini kuanzia ngazi ya msingi hadi chuo kikuu. Yobo ameanzisha sule ya kadanda katika mkoa wa [[Ogoni]] Nigeria. Yeye pia anamiliki kambi la kandanda mjini [[Lagos]] kwa kushirikiana na [[Lagos Everton FC]].
== Takwimu ==
<ref>
{{Cite url
| url = http://www.11v11.com/index.php?pageID=537&playerID=13830
| title = Joseph Yobo : Biography
}}
</ref>
<ref>
{{soccerbase|id=22826|name=Joseph Yobo}}
</ref>
{{Football player statistics 1|YY}}
{{Football player statistics 2|BEL|YY}}
{{Football player statistics 2|FRA|YY}}
== Tuzo ==
'''[[Everton]]'''
* [[Kombe la FA]]
** Nafasi ya Pili'''(1):''' [[2009]]
* [[Tuzo za CAF]] - alichaguliwa kama mchezaji bora msimu wa 2007/2008 <ref>{{cite web|url=http://www.cafonline.com/caf/awards/146-egypt-dominates-glo-caf-awards.html|title=Egypt dominates glo-caf awards|publisher=CAFonline.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{Marejeo|2}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.josephyobofoundation.org Joseph Yobo Foundation] {{Wayback|url=http://www.josephyobofoundation.org/ |date=20080122131511 }} Charity ilianzishwa na Joseph Yobo
* [http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/africa/6904226.stm BBC Coverage ya Joseph Yobo Foundation]
* [http://www.supereaglesnation.com/Records.asp Kuonekana Kitaifa] {{Wayback|url=http://www.supereaglesnation.com/Records.asp |date=20100604041417 }}
{{Navboxes colour
|title=Nigeria Squads
| bg = #008751
| fg = White
|bordercolor=
|list1=
}}
{{Nigeria Squad 2002 World Cup}}
{{Nigeria Squad 2006 Africa Cup of Nations}}
{{Nigeria Squad 2008 Africa Cup of Nations}}
{{DEFAULTSORT:Yobo, Joseph}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji wa Olympique de Marseille]]
[[Jamii:Watu kutoka Port Harcourt]]
p2t8pjm9b4d1may2mdox5ug0vp7mqxy
1235898
1235897
2022-07-27T13:54:00Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha: JosephYobo.JPG|thumb| Joseph Yobo]]
{{Football player infobox
| playername = Joseph Yobo
| image =
| fullname = Joseph Phillip Yobo
| dateofbirth = {{birth date and age|1980|9|6|df=y}}
| cityofbirth = [[Kono]]
| countryofbirth = [[Nigeria]]
| height = {{height|m=1.88}}<ref name="guardian_interview">
[[Picha:Yobo.jpg|200px]]
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2003/sep/07/sport.comment2
| title = Yobo in power play
| work = [[The Guardian]]
| date = 2003-09-07
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
| position = [[Defender (association football)#Centre back|Centre Back]]
| currentclub = [[Everton F.C.|Everton]]
| clubnumber = 4
| youthyears = 1996–1997
| youthclubs = Michellin Port-Harcourt<ref name="guardian_interview" /><ref>{{nftstat|4942}}</ref>
| years = 1998–2001<br />2001–2003<br />2001–2002<br />2002–2003<br />2003–
| clubs = [[Standard Liège]]<br />[[Olympique de Marseille|Olympique Marseille]]<br />→ [[CD Tenerife]] (loan)<br />→ [[Everton F.C.|Everton]] (loan)<br />[[Everton F.C.|Everton]]
| caps(goals) = {{0}}46 (2)<br />{{0}}23 (0)<br />{{0}}{{0}}0 (0)<br />{{0}}24 (0)<br />192 (8)
| nationalyears = 2001–
| nationalteam = [[Nigeria national football team|Nigeria]]
| nationalcaps(goals) = {{0}}65 (5)
| pcupdate = 18:23, 10 Desemba 2009 (UTC)
| ntupdate = 20:39, 18 Novemba 2009 (UTC)
}}
'''Joseph Yobo''' (alizaliwa [[6 Septemba]] [[1980]] [[Mji|mjini]] [[Kono]], [[Nigeria]] alikuwa [[mlinzi]] wa [[timu]] ya Nigeria ya [[kandanda]] na ya klabu ya [[Ligi]] ya [[Uingereza]] ya [[Everton]]. Alikuwa msaidizi wa [[nahodha]] wa [[timu ya taifa]] ya [[Nigeria]], na mchumba wake ni malkia wa urembo wa zamani [[Adaeze Igwe]].
Yeye ni mdogo wa [[Yobo Albert]] mchezaji wa zamani wa kimataifa kutoka Nigeria. Mwanzoni mwa Julai 2008, ndugu yake mdogo Norum Yobo <ref>{{Cite url|url=http://uk.eurosport.yahoo.com/06072008/58/premier-league-everton-offer-yobo-assistance.html
|title=Everton offer Yobo assistance}}</ref> alitekwa nyara mjini [[Bahari la Harcourt, Rivers State]], Nigeria na kushikwa kwa fidia. Hatimaye aliachiliwa huru baada ya siku 12 mnamo tarehe 17 Julai 2008 <ref>{{Cite url
|url=http://kickoffnigeria.com/static/news/article.php?id=2260
|title=Yobo's Brother Released
|accessdate=2009-12-18
|archiveurl=https://archive.today/20120525202803/http://kickoffnigeria.com/static/news/article.php?id=2260
|archivedate=2012-05-25
}}</ref>
== Kazi yake ==
=== Wasifu wa Klabu ===
Joseph Stefano Yobo alizaliwa katika [[kono Kusini mwa Nigeria]], lakini yeye alikulia mjini [[Port Harcourt]] na ni rafiki wa karibu wa [[Crewe Alexandra]] [[George Abbey]] ambaa walikuwa pamoja.<ref name="Copnall">{{cite web|url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/africa/3483353.stm|title=Abbey days|last=Copnall |first=James|date=12 Februari 2004|work=BBC Sport|accessdate=2009-04-27}}</ref> Baadaye aliomba ushauri kutoka kwa Abbey alipoamua kuhamia Uingereza.<ref name="Copnall"/>
Yobo alihama Nigeria kuenda Ubelgiji kujiunga na [[Standard Liege]] mwaka wa 1998. Alijitokeza katika timu yake mara ya kwanza mwaka wa 2000, na akaendelea kujitokeza mara 46 katika klabu ya [[Ligi Jupiler.]] Mwaka wa 2001, alinunuliwa na klabu ya Kifaransa , [[Olympique Marseille.]] <ref>
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport1/low/football/africa/1493202.stm
| title = European Preview: Belgium Transfers
| work = [[BBC]]
| date = 2001-08-15
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
Muda mfupi baada ya maamuzi yake ya kwanza, Yobo alikopeshwa katika klabu ya [[CD Tenerife]] nchini Hispania. Baada ya karibu miezi 9 Yoboalirudi Marseille, kabla ya kujiunga na klabu ya [[Everton]]ya Uiingereza, kwa mkopo tena, mwezi Julai 2002. Ada ya £ 1m ilihitajika kusajili mchezaji huyu, na yeye akawa wa kwanza kusainiwa kama mchezaji mpya na meneja [[David Moyes.]] <ref name="bbc_2002">
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport1/low/football/teams/e/everton/2098473.stm
| title = Everton complete Yobo chase
| work = [[BBC]]
| date = 2002-07-09
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref> Fursa ya kufanya hatua hiyo kudumu ilichukuliwa na kukamilika mwaka wa 2003 baada ya mzozo kati Yobo na Marseille mara ulipotatuliwa <ref name="everton_profile">{{Cite url
| url = http://www.evertonfc.com/match/former-blues.html?player_id=20
| title = Joseph Yobo - Everton F.C. Player Profile
}}{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> pamoja na kukubaliana na Everton kwa kuongeza £ 4m.
<ref>
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2002/nov/28/newsstory.sport10
| title = Everton close in on Yobo's signature
| work = [[The Guardian]]
| date = 2002-11-28
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
Yobo alikuwa mmoja wa wachezaji thabiti zaidi katika kikosi cha Everton, na alikuwa mmoja wa wachezaji saba tu katika ligi nzima waliocheza kila dakika ya kila mchezo katika kipindi cha [[2006-2007 Ligi Kuu ya msimu]]
Kuchelewa kwa kutia saini mkataba mpya na Everton, mwaka 2006, kulisababisha uvumi kuwa anahamia [[Arsenal]], <ref>
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/teams/e/everton/4873048.stm
| title = Everton face Yobo contract delay
| work = [[BBC]]
| date = 2006-04-03
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref> lakini tarehe 22 Julai Yobo alijitolea kwa Goodison Park hadi mwaka wa 2010. Kwanzia 15 Aprili 2007 Joseph Yobo ana rekodi ya wachezaji kutoka Ng'ambo katika timu ya Everton.
Katika mchuano wa [[Kombe la UEFA]] kwa mechi dhidi ya [[AE Larissa]] ya [[Ugiriki]] tarehe 25 Oktoba 2007, Yobo alichukua usukani kwani [[Phil Neville]] hakuwepo na hivyo akawa Mwafrika wa kwanza kuwa nahodha wa klabu hiyo.Mnamo tarehe 16 Mei 2009 Yobo alifunga bao lake kwanza la msimu dhidi ya West Ham United na kushinda 3-1.
Katika msimu wa 2009/10 ilibidi Yobo kuzoea kushirikiana na mshiriki wake mpya, [[Sylvain Distin]], baada [[Joleon Lescott]] kuhama na [[Phil Jagielka]] kujeruhiwa. Mnamo tarehe 29 Novemba 2009, alijifunga bao na Evertons kushindwa 2-0 na Liverpool katika katika mapambano ya timu za Merseyside. <ref>{{cite web|url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/eng_prem/8377203.stm|title=Everton 0 - 2 Liverpool|date=2009-11-29|work=BBC Sport|accessdate=2009-12-02}}</ref>
=== Wasifu wa Kimataifa ===
[[Mnigeria]] huyu aliweza kucheza mechi tatu za [[Kimataifa]] na timu ya [[Super Eagles]] <ref name="bbc_2002"/> nchini Japan na Korea ya Kusini, katika mchuano wa [[Kombe la dunia la FIFA 2002]], na kusaidia upande wake, katika bao lao moja tu katika mchuano huo<ref name="everton_profile"/> Uchezaji wake wa kimataifa umepokea maneno chanya.<ref>
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2008/jan/22/africannationscup2008.africannationscup1
| title = Yobo and Toure provide light in the dark
| work = [[The Guardian]]
| date = 2008-01-22
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
== Ufadhili ==
Katika mwaka wa 2007 Joseph Yobo alianzisha [http://www.josephyobofoundation.org Shirikisho la mapendo la Joseph Yobo ,] {{Wayback|url=http://www.josephyobofoundation.org/ |date=20080122131511 }} ili kusaidia watoto wasijiweza nchini Nigeria. Tangu tarehe 18 Julai 2007 amepatiana zaidi ya 300 tuzo za udhamini kuanzia ngazi ya msingi hadi chuo kikuu. Yobo ameanzisha sule ya kadanda katika mkoa wa [[Ogoni]] Nigeria. Yeye pia anamiliki kambi la kandanda mjini [[Lagos]] kwa kushirikiana na [[Lagos Everton FC]].
== Takwimu ==
<ref>
{{Cite url
| url = http://www.11v11.com/index.php?pageID=537&playerID=13830
| title = Joseph Yobo : Biography
}}
</ref>
<ref>
{{soccerbase|id=22826|name=Joseph Yobo}}
</ref>
{{Football player statistics 1|YY}}
{{Football player statistics 2|BEL|YY}}
{{Football player statistics 2|FRA|YY}}
== Tuzo ==
'''[[Everton]]'''
* [[Kombe la FA]]
** Nafasi ya Pili'''(1):''' [[2009]]
* [[Tuzo za CAF]] - alichaguliwa kama mchezaji bora msimu wa 2007/2008 <ref>{{cite web|url=http://www.cafonline.com/caf/awards/146-egypt-dominates-glo-caf-awards.html|title=Egypt dominates glo-caf awards|publisher=CAFonline.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{Marejeo|2}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.josephyobofoundation.org Joseph Yobo Foundation] {{Wayback|url=http://www.josephyobofoundation.org/ |date=20080122131511 }} Charity ilianzishwa na Joseph Yobo
* [http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/africa/6904226.stm BBC Coverage ya Joseph Yobo Foundation]
* [http://www.supereaglesnation.com/Records.asp Kuonekana Kitaifa] {{Wayback|url=http://www.supereaglesnation.com/Records.asp |date=20100604041417 }}
{{Navboxes colour
|title=Nigeria Squads
| bg = #008751
| fg = White
|bordercolor=
|list1=
}}
{{Nigeria Squad 2002 World Cup}}
{{Nigeria Squad 2006 Africa Cup of Nations}}
{{Nigeria Squad 2008 Africa Cup of Nations}}
{{DEFAULTSORT:Yobo, Joseph}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji wa Olympique de Marseille]]
[[Jamii:Watu kutoka Port Harcourt]]
86r5mz474qjd0xlkl0jd1z75fuen5i5
1235899
1235898
2022-07-27T13:56:12Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha: JosephYobo.JPG|thumb| Joseph Yobo]]
{{Football player infobox
| playername = Joseph Yobo
| image =
| fullname = Joseph Phillip Yobo
| dateofbirth = {{birth date and age|1980|9|6|df=y}}
| cityofbirth = [[Kono]]
| countryofbirth = [[Nigeria]]
| height = {{height|m=1.88}}<ref name="guardian_interview">
[[Picha:Yobo.jpg|200px]]
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2003/sep/07/sport.comment2
| title = Yobo in power play
| work = [[The Guardian]]
| date = 2003-09-07
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
| position = [[Defender (association football)#Centre back|Centre Back]]
| currentclub = [[Everton F.C.|Everton]]
| clubnumber = 4
| youthyears = 1996–1997
| youthclubs = Michellin Port-Harcourt<ref name="guardian_interview" /><ref>{{nftstat|4942}}</ref>
| years = 1998–2001<br />2001–2003<br />2001–2002<br />2002–2003<br />2003–
| clubs = [[Standard Liège]]<br />[[Olympique de Marseille|Olympique Marseille]]<br />→ [[CD Tenerife]] (loan)<br />→ [[Everton F.C.|Everton]] (loan)<br />[[Everton F.C.|Everton]]
| caps(goals) = {{0}}46 (2)<br />{{0}}23 (0)<br />{{0}}{{0}}0 (0)<br />{{0}}24 (0)<br />192 (8)
| nationalyears = 2001–
| nationalteam = [[Nigeria national football team|Nigeria]]
| nationalcaps(goals) = {{0}}65 (5)
| pcupdate = 18:23, 10 Desemba 2009 (UTC)
| ntupdate = 20:39, 18 Novemba 2009 (UTC)
}}
'''Joseph Yobo''' (alizaliwa [[6 Septemba]] [[1980]] [[Mji|mjini]] [[Kono]], [[Nigeria]] alikuwa [[mlinzi]] wa [[timu]] ya Nigeria ya [[kandanda]] na ya klabu ya [[Ligi]] ya [[Uingereza]] ya [[Everton]]. Alikuwa msaidizi wa [[nahodha]] wa [[timu ya taifa]] ya [[Nigeria]], na mchumba wake ni malkia wa urembo wa zamani [[Adaeze Igwe]].
Yeye ni mdogo wa [[Yobo Albert]] mchezaji wa zamani wa kimataifa kutoka Nigeria. Mwanzoni mwa Julai 2008, ndugu yake mdogo Norum Yobo <ref>{{Cite url|url=http://uk.eurosport.yahoo.com/06072008/58/premier-league-everton-offer-yobo-assistance.html
|title=Everton offer Yobo assistance}}</ref> alitekwa nyara mjini [[Bahari la Harcourt, Rivers State]], Nigeria na kushikwa kwa fidia. Hatimaye aliachiliwa huru baada ya siku 12 mnamo tarehe 17 Julai 2008 <ref>{{Cite url
|url=http://kickoffnigeria.com/static/news/article.php?id=2260
|title=Yobo's Brother Released
|accessdate=2009-12-18
|archiveurl=https://archive.today/20120525202803/http://kickoffnigeria.com/static/news/article.php?id=2260
|archivedate=2012-05-25
}}</ref>
== Kazi yake ==
=== Wasifu wa Klabu ===
Joseph Stefano Yobo alizaliwa katika [[kono Kusini mwa Nigeria]], lakini yeye alikulia mjini [[Port Harcourt]] na ni rafiki wa karibu wa [[Crewe Alexandra]] [[George Abbey]] ambaa walikuwa pamoja.<ref name="Copnall">{{cite web|url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/africa/3483353.stm|title=Abbey days|last=Copnall |first=James|date=12 Februari 2004|work=BBC Sport|accessdate=2009-04-27}}</ref> Baadaye aliomba ushauri kutoka kwa Abbey alipoamua kuhamia Uingereza.<ref name="Copnall"/>
Yobo alihama Nigeria kuenda Ubelgiji kujiunga na [[Standard Liege]] mwaka wa 1998. Alijitokeza katika timu yake mara ya kwanza mwaka wa 2000, na akaendelea kujitokeza mara 46 katika klabu ya [[Ligi Jupiler.]] Mwaka wa 2001, alinunuliwa na klabu ya Kifaransa, [[Olympique Marseille]]. <ref>
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport1/low/football/africa/1493202.stm
| title = European Preview: Belgium Transfers
| work = [[BBC]]
| date = 2001-08-15
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
Muda mfupi baada ya maamuzi yake ya kwanza, Yobo alikopeshwa katika klabu ya [[CD Tenerife]] nchini Hispania. Baada ya karibu miezi 9 Yoboalirudi Marseille, kabla ya kujiunga na klabu ya [[Everton]]ya Uiingereza, kwa mkopo tena, mwezi Julai 2002. Ada ya £ 1m ilihitajika kusajili mchezaji huyu, na yeye akawa wa kwanza kusainiwa kama mchezaji mpya na meneja [[David Moyes]]. <ref name="bbc_2002">
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport1/low/football/teams/e/everton/2098473.stm
| title = Everton complete Yobo chase
| work = [[BBC]]
| date = 2002-07-09
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref> Fursa ya kufanya hatua hiyo kudumu ilichukuliwa na kukamilika mwaka wa 2003 baada ya mzozo kati Yobo na Marseille mara ulipotatuliwa pamoja na kukubaliana na Everton kwa kuongeza £ 4m.
<ref>
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2002/nov/28/newsstory.sport10
| title = Everton close in on Yobo's signature
| work = [[The Guardian]]
| date = 2002-11-28
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
Yobo alikuwa mmoja wa wachezaji thabiti zaidi katika kikosi cha Everton, na alikuwa mmoja wa wachezaji saba tu katika ligi nzima waliocheza kila dakika ya kila mchezo katika kipindi cha [[2006-2007 Ligi Kuu ya msimu]]
Kuchelewa kwa kutia saini mkataba mpya na Everton, mwaka 2006, kulisababisha uvumi kuwa anahamia [[Arsenal]], <ref>
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/teams/e/everton/4873048.stm
| title = Everton face Yobo contract delay
| work = [[BBC]]
| date = 2006-04-03
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref> lakini tarehe 22 Julai Yobo alijitolea kwa Goodison Park hadi mwaka wa 2010. Kwanzia 15 Aprili 2007 Joseph Yobo ana rekodi ya wachezaji kutoka Ng'ambo katika timu ya Everton.
Katika mchuano wa [[Kombe la UEFA]] kwa mechi dhidi ya [[AE Larissa]] ya [[Ugiriki]] tarehe 25 Oktoba 2007, Yobo alichukua usukani kwani [[Phil Neville]] hakuwepo na hivyo akawa Mwafrika wa kwanza kuwa nahodha wa klabu hiyo.Mnamo tarehe 16 Mei 2009 Yobo alifunga bao lake kwanza la msimu dhidi ya West Ham United na kushinda 3-1.
Katika msimu wa 2009/10 ilibidi Yobo kuzoea kushirikiana na mshiriki wake mpya, [[Sylvain Distin]], baada [[Joleon Lescott]] kuhama na [[Phil Jagielka]] kujeruhiwa. Mnamo tarehe 29 Novemba 2009, alijifunga bao na Evertons kushindwa 2-0 na Liverpool katika katika mapambano ya timu za Merseyside. <ref>{{cite web|url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/eng_prem/8377203.stm|title=Everton 0 - 2 Liverpool|date=2009-11-29|work=BBC Sport|accessdate=2009-12-02}}</ref>
=== Wasifu wa Kimataifa ===
[[Mnigeria]] huyu aliweza kucheza mechi tatu za [[Kimataifa]] na timu ya [[Super Eagles]] <ref name="bbc_2002"/> nchini Japan na Korea ya Kusini, katika mchuano wa [[Kombe la dunia la FIFA 2002]], na kusaidia upande wake, katika bao lao moja tu katika mchuano huo<ref name="everton_profile"/> Uchezaji wake wa kimataifa umepokea maneno chanya.<ref>
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2008/jan/22/africannationscup2008.africannationscup1
| title = Yobo and Toure provide light in the dark
| work = [[The Guardian]]
| date = 2008-01-22
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
== Ufadhili ==
Katika mwaka wa 2007 Joseph Yobo alianzisha [http://www.josephyobofoundation.org Shirikisho la mapendo la Joseph Yobo ,] {{Wayback|url=http://www.josephyobofoundation.org/ |date=20080122131511 }} ili kusaidia watoto wasijiweza nchini Nigeria. Tangu tarehe 18 Julai 2007 amepatiana zaidi ya 300 tuzo za udhamini kuanzia ngazi ya msingi hadi chuo kikuu. Yobo ameanzisha sule ya kadanda katika mkoa wa [[Ogoni]] Nigeria. Yeye pia anamiliki kambi la kandanda mjini [[Lagos]] kwa kushirikiana na [[Lagos Everton FC]].
== Takwimu ==
<ref>
{{Cite url
| url = http://www.11v11.com/index.php?pageID=537&playerID=13830
| title = Joseph Yobo : Biography
}}
</ref>
<ref>
{{soccerbase|id=22826|name=Joseph Yobo}}
</ref>
{{Football player statistics 1|YY}}
{{Football player statistics 2|BEL|YY}}
{{Football player statistics 2|FRA|YY}}
== Tuzo ==
'''[[Everton]]'''
* [[Kombe la FA]]
** Nafasi ya Pili'''(1):''' [[2009]]
* [[Tuzo za CAF]] - alichaguliwa kama mchezaji bora msimu wa 2007/2008 <ref>{{cite web|url=http://www.cafonline.com/caf/awards/146-egypt-dominates-glo-caf-awards.html|title=Egypt dominates glo-caf awards|publisher=CAFonline.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{Marejeo|2}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.josephyobofoundation.org Joseph Yobo Foundation] {{Wayback|url=http://www.josephyobofoundation.org/ |date=20080122131511 }} Charity ilianzishwa na Joseph Yobo
* [http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/africa/6904226.stm BBC Coverage ya Joseph Yobo Foundation]
* [http://www.supereaglesnation.com/Records.asp Kuonekana Kitaifa] {{Wayback|url=http://www.supereaglesnation.com/Records.asp |date=20100604041417 }}
{{Navboxes colour
|title=Nigeria Squads
| bg = #008751
| fg = White
|bordercolor=
|list1=
}}
{{Nigeria Squad 2002 World Cup}}
{{Nigeria Squad 2006 Africa Cup of Nations}}
{{Nigeria Squad 2008 Africa Cup of Nations}}
{{DEFAULTSORT:Yobo, Joseph}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji wa Olympique de Marseille]]
[[Jamii:Watu kutoka Port Harcourt]]
k20wm87j4m7epxdip1eed952cfaqi1i
1235900
1235899
2022-07-27T13:58:19Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha: JosephYobo.JPG|thumb| Joseph Yobo]]
{{Football player infobox
| playername = Joseph Yobo
| image =
| fullname = Joseph Phillip Yobo
| dateofbirth = {{birth date and age|1980|9|6|df=y}}
| cityofbirth = [[Kono]]
| countryofbirth = [[Nigeria]]
| height = {{height|m=1.88}}<ref name="guardian_interview">
[[Picha:Yobo.jpg|200px]]
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2003/sep/07/sport.comment2
| title = Yobo in power play
| work = [[The Guardian]]
| date = 2003-09-07
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
| position = [[Defender (association football)#Centre back|Centre Back]]
| currentclub = [[Everton F.C.|Everton]]
| clubnumber = 4
| youthyears = 1996–1997
| youthclubs = Michellin Port-Harcourt<ref name="guardian_interview" /><ref>{{nftstat|4942}}</ref>
| years = 1998–2001<br />2001–2003<br />2001–2002<br />2002–2003<br />2003–
| clubs = [[Standard Liège]]<br />[[Olympique de Marseille|Olympique Marseille]]<br />→ [[CD Tenerife]] (loan)<br />→ [[Everton F.C.|Everton]] (loan)<br />[[Everton F.C.|Everton]]
| caps(goals) = {{0}}46 (2)<br />{{0}}23 (0)<br />{{0}}{{0}}0 (0)<br />{{0}}24 (0)<br />192 (8)
| nationalyears = 2001–
| nationalteam = [[Nigeria national football team|Nigeria]]
| nationalcaps(goals) = {{0}}65 (5)
| pcupdate = 18:23, 10 Desemba 2009 (UTC)
| ntupdate = 20:39, 18 Novemba 2009 (UTC)
}}
'''Joseph Yobo''' (alizaliwa [[Kono]], [[Nigeria]], [[6 Septemba]] [[1980]]) alikuwa [[mlinzi]] wa [[timu]] ya Nigeria ya [[kandanda]] na ya klabu ya [[Ligi]] ya [[Uingereza]] ya [[Everton]]. Alikuwa [[nahodha]] wa [[timu ya taifa]] ya [[Nigeria]], na mchumba wake ni malkia wa urembo wa zamani [[Adaeze Igwe]].
Yeye ni mdogo wa [[Yobo Albert]] mchezaji wa zamani wa kimataifa. Mwanzoni mwa Julai 2008, ndugu yake mdogo Norum Yobo <ref>{{Cite url|url=http://uk.eurosport.yahoo.com/06072008/58/premier-league-everton-offer-yobo-assistance.html
|title=Everton offer Yobo assistance}}</ref> alitekwa nyara mjini [[Bahari la Harcourt, Rivers State]], Nigeria na kushikwa kwa fidia. Hatimaye aliachiliwa huru baada ya siku 12 mnamo tarehe 17 Julai 2008 <ref>{{Cite url
|url=http://kickoffnigeria.com/static/news/article.php?id=2260
|title=Yobo's Brother Released
|accessdate=2009-12-18
|archiveurl=https://archive.today/20120525202803/http://kickoffnigeria.com/static/news/article.php?id=2260
|archivedate=2012-05-25
}}</ref>
== Kazi yake ==
=== Wasifu wa Klabu ===
Joseph Stefano Yobo alikulia mjini [[Port Harcourt]] na ni rafiki wa karibu wa [[Crewe Alexandra]], [[George Abbey]] ambaye walikua pamoja.<ref name="Copnall">{{cite web|url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/africa/3483353.stm|title=Abbey days|last=Copnall |first=James|date=12 Februari 2004|work=BBC Sport|accessdate=2009-04-27}}</ref> Baadaye aliomba ushauri kutoka kwa Abbey alipoamua kuhamia Uingereza.<ref name="Copnall"/>
Yobo alihama Nigeria kuenda Ubelgiji kujiunga na [[Standard Liege]] mwaka wa 1998. Alijitokeza katika timu yake mara ya kwanza mwaka wa 2000, na akaendelea kujitokeza mara 46 katika klabu ya [[Ligi Jupiler.]] Mwaka wa 2001, alinunuliwa na klabu ya Kifaransa, [[Olympique Marseille]]. <ref>
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport1/low/football/africa/1493202.stm
| title = European Preview: Belgium Transfers
| work = [[BBC]]
| date = 2001-08-15
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
Muda mfupi baada ya maamuzi yake ya kwanza, Yobo alikopeshwa katika klabu ya [[CD Tenerife]] nchini Hispania. Baada ya karibu miezi 9 Yoboalirudi Marseille, kabla ya kujiunga na klabu ya [[Everton]]ya Uiingereza, kwa mkopo tena, mwezi Julai 2002. Ada ya £ 1m ilihitajika kusajili mchezaji huyu, na yeye akawa wa kwanza kusainiwa kama mchezaji mpya na meneja [[David Moyes]]. <ref name="bbc_2002">
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport1/low/football/teams/e/everton/2098473.stm
| title = Everton complete Yobo chase
| work = [[BBC]]
| date = 2002-07-09
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref> Fursa ya kufanya hatua hiyo kudumu ilichukuliwa na kukamilika mwaka wa 2003 baada ya mzozo kati Yobo na Marseille mara ulipotatuliwa pamoja na kukubaliana na Everton kwa kuongeza £ 4m.
<ref>
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2002/nov/28/newsstory.sport10
| title = Everton close in on Yobo's signature
| work = [[The Guardian]]
| date = 2002-11-28
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
Yobo alikuwa mmoja wa wachezaji thabiti zaidi katika kikosi cha Everton, na alikuwa mmoja wa wachezaji saba tu katika ligi nzima waliocheza kila dakika ya kila mchezo katika kipindi cha [[2006-2007 Ligi Kuu ya msimu]]
Kuchelewa kwa kutia saini mkataba mpya na Everton, mwaka 2006, kulisababisha uvumi kuwa anahamia [[Arsenal]], <ref>
{{Cite news
| url = http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/teams/e/everton/4873048.stm
| title = Everton face Yobo contract delay
| work = [[BBC]]
| date = 2006-04-03
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref> lakini tarehe 22 Julai Yobo alijitolea kwa Goodison Park hadi mwaka wa 2010. Kwanzia 15 Aprili 2007 Joseph Yobo ana rekodi ya wachezaji kutoka Ng'ambo katika timu ya Everton.
Katika mchuano wa [[Kombe la UEFA]] kwa mechi dhidi ya [[AE Larissa]] ya [[Ugiriki]] tarehe 25 Oktoba 2007, Yobo alichukua usukani kwani [[Phil Neville]] hakuwepo na hivyo akawa Mwafrika wa kwanza kuwa nahodha wa klabu hiyo.Mnamo tarehe 16 Mei 2009 Yobo alifunga bao lake kwanza la msimu dhidi ya West Ham United na kushinda 3-1.
Katika msimu wa 2009/10 ilibidi Yobo kuzoea kushirikiana na mshiriki wake mpya, [[Sylvain Distin]], baada [[Joleon Lescott]] kuhama na [[Phil Jagielka]] kujeruhiwa. Mnamo tarehe 29 Novemba 2009, alijifunga bao na Evertons kushindwa 2-0 na Liverpool katika katika mapambano ya timu za Merseyside. <ref>{{cite web|url=http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/eng_prem/8377203.stm|title=Everton 0 - 2 Liverpool|date=2009-11-29|work=BBC Sport|accessdate=2009-12-02}}</ref>
=== Wasifu wa Kimataifa ===
[[Mnigeria]] huyu aliweza kucheza mechi tatu za [[Kimataifa]] na timu ya [[Super Eagles]] <ref name="bbc_2002"/> nchini Japan na Korea ya Kusini, katika mchuano wa [[Kombe la dunia la FIFA 2002]], na kusaidia upande wake, katika bao lao moja tu katika mchuano huo<ref name="everton_profile"/> Uchezaji wake wa kimataifa umepokea maneno chanya.<ref>
{{Cite news
| url = http://www.guardian.co.uk/football/2008/jan/22/africannationscup2008.africannationscup1
| title = Yobo and Toure provide light in the dark
| work = [[The Guardian]]
| date = 2008-01-22
| accessdate = 2008-09-19
}}
</ref>
== Ufadhili ==
Katika mwaka wa 2007 Joseph Yobo alianzisha [http://www.josephyobofoundation.org Shirikisho la mapendo la Joseph Yobo ,] {{Wayback|url=http://www.josephyobofoundation.org/ |date=20080122131511 }} ili kusaidia watoto wasijiweza nchini Nigeria. Tangu tarehe 18 Julai 2007 amepatiana zaidi ya 300 tuzo za udhamini kuanzia ngazi ya msingi hadi chuo kikuu. Yobo ameanzisha sule ya kadanda katika mkoa wa [[Ogoni]] Nigeria. Yeye pia anamiliki kambi la kandanda mjini [[Lagos]] kwa kushirikiana na [[Lagos Everton FC]].
== Takwimu ==
<ref>
{{Cite url
| url = http://www.11v11.com/index.php?pageID=537&playerID=13830
| title = Joseph Yobo : Biography
}}
</ref>
<ref>
{{soccerbase|id=22826|name=Joseph Yobo}}
</ref>
{{Football player statistics 1|YY}}
{{Football player statistics 2|BEL|YY}}
{{Football player statistics 2|FRA|YY}}
== Tuzo ==
'''[[Everton]]'''
* [[Kombe la FA]]
** Nafasi ya Pili'''(1):''' [[2009]]
* [[Tuzo za CAF]] - alichaguliwa kama mchezaji bora msimu wa 2007/2008 <ref>{{cite web|url=http://www.cafonline.com/caf/awards/146-egypt-dominates-glo-caf-awards.html|title=Egypt dominates glo-caf awards|publisher=CAFonline.com}}</ref>
== Marejeo ==
{{Marejeo|2}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.josephyobofoundation.org Joseph Yobo Foundation] {{Wayback|url=http://www.josephyobofoundation.org/ |date=20080122131511 }} Charity ilianzishwa na Joseph Yobo
* [http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/africa/6904226.stm BBC Coverage ya Joseph Yobo Foundation]
* [http://www.supereaglesnation.com/Records.asp Kuonekana Kitaifa] {{Wayback|url=http://www.supereaglesnation.com/Records.asp |date=20100604041417 }}
{{Navboxes colour
|title=Nigeria Squads
| bg = #008751
| fg = White
|bordercolor=
|list1=
}}
{{Nigeria Squad 2002 World Cup}}
{{Nigeria Squad 2006 Africa Cup of Nations}}
{{Nigeria Squad 2008 Africa Cup of Nations}}
{{DEFAULTSORT:Yobo, Joseph}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji wa Olympique de Marseille]]
[[Jamii:Watu kutoka Port Harcourt]]
ajspl0coch2apl4wwjq8lkugx1vuhyd
Adem Ljajić
0
34081
1235902
1138662
2022-07-27T14:02:45Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Football biography 2
| jinalamchezaji = Adem Ljajić
| picha = [[Picha:Adem Ljajić.JPG|250px]]
| jinakamili = Adem Ljajić
| tareheyakuzaliwa = {{birth date and age|1991|9|29|df=y}}
| mjialiozaliwa = [[Novi Pazar]]
| nchialiozaliwa = [[Socialist Federal Republic of Yugoslavia|SFR Yugoslavia]]
| urefu = {{convert|1.81|m|ftin|abbr=on}}<ref>{{Cite news |title=Adem Ljajić |url=http://www.partizan.rs/igrac.php?Jezik=en&ID=22&sec=4&sec1=1 |publisher=partizan.rs |accessdate=14 Septemba 2009 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20090907005613/http://www.partizan.rs/igrac.php?Jezik=en&ID=22&sec=4&sec1=1 |archivedate=2009-09-07 }}</ref>
| nafasi = [[Midfielder#Attacking midfielder|Attacking midfielder]]
| currentclub = [[FK Partizan|Partizan]]
| clubnumber = 22
| youthyears1 = 2005–2008 |youthclubs1 = [[FK Partizan|Partizan]]
| years1 = 2008– |clubs1 = [[FK Partizan|Partizan]] |caps1 = 38 |goals1 = 9
| nationalyears1 = 2007–2008 |nationalteam1 = [[Serbia national under-17 football team|Serbia U17]] |nationalcaps1 = 9 |nationalgoals1 = 1
| nationalyears2 = 2008–2009 |nationalteam2 = [[Serbia national under-19 football team|Serbia U19]] |nationalcaps2 = 10 |nationalgoals2 = 4
| nationalyears3 = 2008– |nationalteam3 = [[Serbia national under-21 football team|Serbia U21]] |nationalcaps3 = 10 |nationalgoals3 = 1
| pcupdate = 16:25, 17 Desemba 2009 (UTC)
| ntupdate = 20:52, 15 Novemba 2009 (UTC)
}}
'''Adem Ljajić''' (kwa [[Kikirili]]: Адем Љајић; kwa [[IPA]]: [aːdɛm ʎajitɕ]; amezaliwa [[tarehe]] [[29 Septemba]] [[1991]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] kutoka nchi ya [[Serbia]] ambaye anacheza kama [[mshambuluzi]] au katikati katika [[klabu]] ya [[FK Partizan]] katika [[ligi kuu]] ya Serbia.
Ljajić alikuwa tayari kujiunga na klabu ya Uingereza ya [[Manchester United]] mwezi Januari mwaka wa 2010,<ref name="ademq&a1">{{cite web |url=http://www.manutd.com/default.sps?pagegid={B4CEE8FA-9A47-47BC-B069-3F7A2F35DB70}&newsid=6628268 |title=Exclusive: Adem Ljajic Q&A |accessdate=12 Machi 2009 |work=ManUtd.com |publisher=Manchester United |date=4 Machi 2009 }}</ref> lakini, tarehe 2 Desemba 2009, Manchester United ilithibitisha kwamba iliamua kutochukua chaguo lao la saini yake.<ref>{{cite news |title=Manchester United end interest in Serbian Adem Ljajic |url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/m/man_utd/8392789.stm |work=BBC Sport |publisher=British Broadcasting Corporation |date=2 Desemba 2009 |accessdate=2 Desemba 2009 }}</ref>
== Wasifu wa Klabu ==
=== Partizan ===
Ljajić alizaliwa [[Novi Pazar, Serbia]] kisha [[SFR Yugoslavia]]. Alijiunga na [[FK Partizan]] akiwa na umri wa miaka 14 mwaka wa 2005. Aliweza kuonekana Partizan katika mguu wa kwanza wa raundi ya pili ya kufuzu atika UEFA ligi ya mabingwa 2008-09, tarehe 29 Julai 2008, aliingia katika kipindi cha pili baada ya mabadiliko.<ref>[6] ^ [http://www.uefa.com/competitions/ucl/fixturesresults/round=15274/match=303498/report=ev.html Ligi kuu ya UEFA- Mechi]</ref> Aliweza kuonekana mara ya pili baada ya mabadiliko katika mguu wa pili na baada ya mabadiliko tena katika mguu wa pili wa raundi ya tatu ya kufuzu. Alifungia Partizan bao la kwanza la ushindani tarehe 23 Novemba 2008, katika mechi ya ligi dhidi [[OFK Beograd]].
=== Uhusiano na Manchester United ===
Mnamo Oktoba 2008, [[Manchester United]] ilimpa Ljajić jaribio, ingawa hakuna habari iliyotolewa kuhusu urefu wa jaribio hilo awali.<ref>[http://www.manutd.com/default.sps?pagegid = (B4CEE8FA-9A47-47BC-B069-3F7A2F35DB70) & newsid = 6620488 Papers: reds jicho 'wadogo Kaka'?]</ref> Siku iliyofuatia,katibu mkuu wa Partizan Darko Grubor alithibitisha kwamba "Si kweli kwamba Ljajić alikwenda England bila ruhusa. "Tumekuwa tukiwasiliana na Manchester United kwa muda na Ljajić alikuwa pamoja na timu ya kimataifa katika Uingereza, kushiriki katika UEFA , shindano la wachezaji waliochini ya miaka 19 katika mechi za kufuzu, kwa hivyo wakati huu haiwezekani yeye kuenda majaribio. " <ref>[8] ^ [http://www.skysports.com/story/0,19528,11667_4344447,00.html Majaribio ya Manchester United: Partizan kuthibitisha Ljajic hisabu]</ref>
Mnamo 2 Januari 2009, Manchester United ilitangaza kutia saini na Ljajić na mchezaji mwenzake wa Partizan, [[Zoran Tošić]]. Tošić alikuwa ajiunge na klabu hiyo ya mara moja, wakati Ljajić alikuwa abaki katika Partizan kwa salio la mwaka wa 2009,na kujiunga na na Manchester mwezi wa Januari mwaka wa 2010.<ref>{{cite news |title=Serbians to join United |url=http://www.manutd.com/default.sps?pagegid={B4CEE8FA-9A47-47BC-B069-3F7A2F35DB70}&newsid=6624542 |work=ManUtd.com |publisher=Manchester United |date=2 Januari 2009 |accessdate=2 Januari 2009 }}</ref> Licha ya kutojiunga rasmi na klabu hadi Januari 2010, Ljajić alisafiri Manchester katika mwaka wa 2009 ili kujifunza na timu ya kwanza ya United , na hivyo wakufunzi wa klabu hizi mbili wangeweza kufuatilia maendeleo yake.<ref>{{cite interview |last=Ljajić |first=Adem |interviewer=Thompson, Gemma |title=Exclusive: Adem Ljajic interview |url=http://www.manutd.com/default.sps?pagegid={B4CEE8FA-9A47-47BC-B069-3F7A2F35DB70}&newsid=6628268 |date=4 Machi 2009 |accessdate=4 Machi 2009 }}</ref> Hata hivyo, licha ya mkataba wa klabu hizi mbili , Manchester United iliamua kutochukua chaguo kumchukua Ljajić kwa sababu ya masuala yaliyokaba klabu hiyo katika maombi ya kibali cha Ljajić cha kazi .<ref>{{cite news |first=Ben |last=Hibbs |title=Reds won't pursue Ljajic |url=http://www.manutd.com/default.sps?pagegid={F9E570E6-407E-44BC-800F-4A3110258114}&newsid=6643712 |work=ManUtd.com |publisher=Manchester United |date=3 Desemba 2009 |accessdate=3 Desemba 2009 }}</ref><ref>{{cite news |first=Matt |last=Nichols |title=Ljajic decision explained |url=http://www.manutd.com/default.sps?pagegid={F9E570E6-407E-44BC-800F-4A3110258114}&newsid=6643774 |work=ManUtd.com |publisher=Manchester United |date=4 Desemba 2009 |accessdate=4 Desemba 2009 }}</ref> Kufuatia kuzimia kwa uhamisho,Meneja wa Partizan [[Goran Stevanović]] alidai kuwa hali hiyo ilimfanya Ljajić kupata "mshtuko wa kisaikolojia ", lakini Ljajić "alitunza hali hiyo vizuri".<ref name="guardian">{{cite news |first1=Daniel |last1=Taylor |first2=Jonathan |last2=Wilson |title=Manchester United accused of causing 'psychological shock' to Adem Ljajic |url=http://www.guardian.co.uk/football/2009/dec/04/manchester-united-adem-ljajic |work=guardian.co.uk |publisher=Guardian News and Media |date=4 Desemba 2009 |accessdate=6 Desemba 2009 }}</ref> Mkurugenzi wa Kandanda wa Partizan[[Ivan Tomić]] alisema "Nadhani watajuta uamuzi huu baadaye." <ref name="guardian"/>
=== Urusi ===
Tarehe 23 Desemba 2009 kalabu zote mbili za Kirusi zinazoongoza [[Rubin Kazan]] na [[CSKA Moscow PFC]] wamejitolea kutia saini na Msabia mchezaji wa kitaifa wa chini wa miaka 21 kutoka [[FK Partizan]] <ref>[http://news.sport-express.ru/2009-12-23/337103/ претендуют на сербского Кака]</ref>
== Wasifu wa Kimataifa ==
Ljajić alijitokeza mara ya kwanza katika mechi za kimataifa katika kikosi cha [[Serbia cha wachezaji walio na umri chini wa 21]]katika [[Michuano ya kufuzu katika Ulaya]] mechi dhidi ya [[Hungaria U21]] tarehe 7 Septemba 2008.
== Takwimu ya Wasifu ==
{| class="wikitable" style="text-align:center"
|-
! rowspan="2"|Klabu
! rowspan="2"|Msimu
! colspan="2"|Ligi!
! colspan="2"|Kombe!
! colspan="2"|[[Ulaya]]
! colspan="2"|Zingine <ref>[18] ^ Yajumuisha mashindano mengine, zikiwemo FA Community Shield, UEFA Super Cup, Kombe la bara , Kombe la FIFA la Dunia</ref>
! colspan="2"|Jumla
|-
!Matokeo
!Mabao
!Matokeo
!Mabao
!Matokeo
!Mabao
!Matokeo
!Mabao
!Matokeo
!Mabao
|-
| rowspan="3"|[[Partizan]]
| [[2008-09]]
| 24
| 5
| 5
| 1
| 4
| 0
| 0
| 0
| 33
| 6.
|-
| [[2009-10]]
| 14
| 4
| 2
| 0
| 8
| 2
| 0
| 0
| 24
| 6.
|-
!Jumla
!38
!9.
!7
!1
!12
!2
!0
!0
!57
!12
|-
! colspan="2"|Jumla wa wasifu
!38
!9.
!7
!1
!12
!2
!0
!0
!57
!12
|}
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{DEFAULTSORT:Ljajic, Adem}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1991]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Serbia]]
6l5tw2u00ju0rgme6ugd1wf2s98hb51
InterContinental
0
34249
1235970
1086753
2022-07-27T16:08:14Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236078
1235970
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Holder|Holder]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:InterContinentalNewDelhi.jpg|right|198px|thumb|Hoteli ya Intercontinental The Grand, jijini Delhi, India]]
'''InterContinental''' ni aina za hoteli za anasa za hali ya juu, ilioanzishwa na Pan Am, chini ya Juan Trippe, na sasa inamilikiwa na Intercontinental Hotels Group. Ina mlolongo wa takriban hoteli 200 kwenye mataifa takriban 75.
==Historia==
InterContinental ilianzishwa mwaka wa 1946 na hoteli ya kwanza ilifunguliwa jijini Belem, Brazili. Mwaka wa 1981, kampuni ya InterContinental Hotels Corporation iliuzwa kwa kampuni ya Uingereza inayoitwa Grand Metropolitan. GrandMet iliuza IHG kwa kampuni ya Ujapani iitwayo Saison Group, mnamo 1988. Mwaka wa 1998, kampuni ya Bass plc ilinunua IHC.
==Hoteli mashuhuri kulingana na bara==
===Amerika ya Kaskazini===
*Intercontinental Los Angeles, mjini Century City, Los Angeles, California, Marekani.
*Intercontinental Kansas City katika Plaza, mjini Kansas City, Kansas City, Missouri, Marekani.
*Intercontinental Boston, mjini Boston, Massachusetts, Marekani.
*Intercontinental The Barclay, mjini [[New York City]], New York, Marekani.
*Intercontinental Chicago, mjini Chicago, Illinois, Marekani.
*Intercontinental Cleveland, mjini Cleveland, Ohio, Marekani.
*Intercontinental Harbor Court Baltimore, mjini Baltimore, Maryland, Marekani.
*Intercontinental Houston, mjini Houston, Texas, Marekani.
*Intercontinental Miami, mjini Miami, Marekani.
*Intercontinental Mark Hopkins San Francisco, iliyopo Nob Hill, mjini San Francisco, Marekani.
*Intercontinental Milwaukee, mjini Milwaukee, Wisconsin, Marekani.
*Intercontinental New Orleans, mjini [[New Orleans]], Louisiana, Marekani.
*Willard intercontinental Washington, mjini Washington, DC, Marekani.
*Intercontinental The Clement Monterey, mjini Monterey, California, Marekani.
*Intercontinental San Francisco, mjini San Francisco, California, Marekani.
*Intercontinental Montelucia Resort &amp; Spa, mjini Paradise Valley, Arizona, Marekani.
*Intercontinental Toronto-Center, mjini [[Toronto]], Ontario, Kanada
*Intercontinental Toronto-Yorkville, [[Toronto]], Ontario, Kanada
*Intercontinental Montreal, mjini [[Montreal]], Quebec, Kanada
===Amerika ya Kati===
*Real intercontinental Guatemala , mjini Guatemala City, Guatemala.
*Real intercontinental San Salvador, mjini San Salvador, El Salvador.
*Real intercontinental Tegucigalpa, mjini Honduras.
*Real intercontinental San Pedro Sula, mjini San Pedro Sula, Honduras.
*Verkliga intercontinental Managua Metrocentro, mjini Managua, Nikaragua.
*Real intercontinental Hotel & Club Tower Costa Rica, mjini San Jose, Costa Rica.
*Intercontinental Miramar Panama, katika mji wa Panama, Panama.
*Intercontinental Playa Bonita Resort & Spa, katika mji wa Panama, Panama.
===Amerika Kusini===
*Intercontinental Cali, mjini Cali, Colombia.
*Intercontinental Medellín, mjini Medellín, Kolombia.
===Ulaya===
*Intercontinental Amstel Amsterdam, mjini [[Amsterdam]], Uholanzi.
*Athenaeum intercontinental, mjini Athens, Ugiriki.
*Intercontinental Budapest Hotel, mjini Budapest, Hungary.
*Intercontinental Bukarest, mjini Bukarest, Romania.
*Intercontinental Berlin, mjini [[Berlin]], Ujerumani.
*Intercontinental Carlton Cannes, mjini Cannes, Ufaransa.
*Intercontinental Düsseldorf, mjini [[Düsseldorf]], Ujerumani.
*Intercontinental Frankfurt, mjini [[Frankfurt am Main]], Ujerumani.
*Intercontinental Geneva, mjini [[Geneva]], Uswisi
*Ceylan intercontinental Istanbul, mjini Istanbul, Uturuki.
*[[Intercontinental London Park Lane Hotel]], mjini [[London]], Uingereza.
*Intercontinental Praha, mjini Prague, Jamhuri ya Kicheki .
*[[Intercontinental Warszawa]], mjini [[Warsaw]], Poland.
*[[Intercontinental Kiev Hotel]] mjini [[Kiev]], Ukraine.
*Intercontinental iliyopo Aphrodite Hills, mjini [[Pafo]], Cypern.
===Asia===
*Daudi intercontinental Tel Aviv, mjini [[Tel Aviv]], Israel.
*The Lalit Hotel, mjini [[New Delhi]], India.
*Kimabara Hotel The Grand, mjini [[Mumbai]], India.
*Intercontinental Marine Drive Mumbai, mjini [[Mumbai]], India.
*Intercontinental Dar Ul Tawhid Makkah, mjini [[Makkah]], Saudi Arabia.
*Intercontinental Makkah, mjini [[Makkah, Saudi Arabia.]]
*Intercontinental Al Jubail, mjini [[Jubail, Saudi Arabia.]]
*Intercontinental Al Khobar, mjini [[Khobar, Saudi Arabia.]]
*Intercontinental Bangkok, mjini [[Bangkok, Thailand]]
*Intercontinental Hong Kong, mjini [[Hong Kong.]]
*[[Intercontinental Hotel, Kabul]], mjini [[Kabul, Afghanistan]] - ambayo si sehemu ya InterContinental Group.
*Intercontinental Dubai Festival City mjini [[Dubai, United Arab Emirates.]]
*Intercontinental Akaba, mjini [[Akaba, Jordan.]]
*Intercontinental Amman, mjini [[Amman, Jordan]]
*Intercontinental Manila, mjini [[Makati, Philippines]]
*Intercontinental Nanjing, mjini [[Nanjing, Jamhuri ya Watu wa China]] - ufunguzi 2010.
*[[Intercontinental Phnom Penh]], mjini [[Phnom Penh, Cambodia.]]
*Intercontinental Hotel ya Grand, mjini [[Seoul, Korea ya Kusini.]]
*Intercontinental Phoenica Beirut Hotel, mjini [[Beirut, Lebanon.]]
*Intercontinental Pudong Shanghai, mjini [[Shanghai, Jamhuri ya Watu wa China.]]
*Intercontinental Singapore, nchini [[Singapore.]]
*Intercontinental Jericho, mjini [[Jericho]], West Bank.
*Intercontinental Bethlehem (Jacir Palace), [[Bethlehemu]], West Bank.
*Intercontinental Hotel The Grand, mjini [[Yokohama, Japan.]]
*Intercontinental Mid-Plaza, mjini [[Jakarta, Indonesia]]
*Intercontinental Resort Bali, mjini [[Jimbaran, Bali]]
*Intercontinental Tashkent, mjini [[Tashkent, Uzbekistan.]]
*Intercontinental Tokyo Bay, mjini [[Tokyo, Ujapani]]
===Afrika===
*[[Intercontinental City Stars]], mjini [[Cairo]], Misri.
*[[Intercontinental Sandton Towers]], mjini [[Sandton]], [[Johannesburg]], Afrika ya Kusini.
*[[InterContinetal Asmara]], mjini [[Asmara]], Eritrea
===Australasia===
*Intercontinental Burswood, mjini [[Perth]], Australia
*Intercontinental Melbourne ya Rialto, mjini [[Melbourne, Australia]]
*Intercontinental Sydney, mjini [[Sydney]], Australia.
*Intercontinental Wellington, katika [[mji wa Wellington, New Zealand.]]
==Picha==
<center>
<gallery>
File:AmstelhotelAmsterdam.jpg|[[Amsterdam]]
File:InterContinentalNewDelhi.jpg|[[Delhi]]
File:Interconti001.jpg|[[Frankfurt am Main]]
File:HK InterContinental FrontView.JPG|[[Hong Kong]]
File:InterContinental Hotel, Singapore.JPG|[[Singapore]]
File:Hotel Intercontinental Vienna August 2006.jpg|[[Wien]]
File:InterContinental Warszawa.JPG|[[Warszawa]]
File:Willard Hotel.jpg|[[Washington]]
File:ContinentalYokohama-Bayside.jpg|[[Yokohama]]
</gallery></center>
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
*[http://www.intercontinental.com/ Intercontinental Hotels & Resorts]
[[Category:Makampuni ya Marekani]]
[[Category:Hoteli minyororo]]
e0fp4joj0ciby42qu90xo6xdw1z1bfd
Victor Obinna
0
34937
1235884
1196057
2022-07-27T13:15:20Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
wikitext
text/x-wiki
{{Football player infobox
| jinalamchezaji= Victor Nsofor Obinna
| picha = [[Picha:obinna1.jpg]]
| jinakamili = Victor Nsofor Obinna
| tareheyakuzaliwa = 25 Machi 1987
| mjialiozaliwa = [[Jos]]
| nchialiozaliwa = [[Nigeria]]
| timuyataifa = [[Nigeria]]
| urefu =
| nafasi = Mshambulizi
| klabuyasasa = [[Malaga CF]]<small>katika mpango wa mkopo<small>
| nambayaklabu = 18
| miakayavijana =
| klabuzavijana = Plateau United,Kwara Uinited, Enyimba
| miaka =
| vilabu = ,Internazionale,Chievo
| caps(goals) =
| miakayataifa =
| nationalcaps(goals) = 5
| pcupdate =
| ntupdate =
}}
'''Victor Nsofor Obinna''' (amezaliwa [[Jos]], [[Nigeria]], [[25 Machi]] [[1987]]) ni [[mchezaji]] [[kandanda]] wa [[Nigeria]] ambaye anacheza kama [[mshambuliaji]] kwa [[timu]] ya Malaga CF, akicheza kwa mpango ya mkopo kutoka timu ya [[Internazionale]].
== Wasifu ==
Obinna katika [[lugha]] ya [[Kiigbo]], linamaanisha ''Moyo wa Baba''. Yeye alichezea klabu ya [[Chievo]] katika ligi ya [[Uitalia]] ya [[Serie B]],huku akicheza kwa kawaida katika klabu hiyo hadi waliposhushwa kutoka ligi yao katika mwaka wa 2007. Yeye alichezea ka mara ya kwanza katika mchezo ya kimataifa kwa timu ya Nigeria katika Shindano la Kombe la Afrika katika mwaka wa 2006,akafunga bao moja katika michuano mitatu.Nigeria walishindwa katika michezo ya nusu fainali.
=== Wasifu wa klabu ===
==== Enyimba ====
Obinna alichezea klabu za Nigeria: Plateau United na Kwara United , kabla ya kupiga saini mkataba na Mabingwa wa Afrika wakati huo,[[Enyimba]] katika mwaka wa 2005. Hata hivyo,hakucheza mechi yoyote ya Enyimba ya kushindana. Katika mwaka uo huo, alikwenda kufanya majaribio katika klabu za Kiitaliano ya [[Internazionale]] , [[Perugia]] na [[Juventus]] kabla ya kupiga saini mkataba na klabu ya [[Brazili]] ya [[Internacional]] lakini shida za kisheria zilifanya mpango huo ufeli. Yeye alirudi Enyimba ili kushiriki katika kampeni yao ya ligi ya Nigeria na ulinzi wa Kombe la Mabingwa la CAF.
==== Chievo Verona ====
Obinna aliajiriwa na klabu ya Kiitaliano [[Chievo]] kwenye mkataba wa miaka mitatu mnamo Julai 2005. [3]. Katika msimu wake wa kwanza na Chievo, Obinna alifunga mabao sita katika michezo 26, pamoja na bao lake la kwanza katika ligi ya Serie A ya Parma katika ushindi wa 1-0, 11 Septemba 2005. Katika miezi ya kwanza ya msimu wa 2006, Obinna alikatazwa kucheza kwa kosa la kupiga saini mkataba na Internacional na Chievo katika mwaka wa 2005. Chievo walishushwa kutoka ligi hiyo mwishoni mwa msimu wa 2006-07, ikatia shaka kuhusu chenye kitamfanyikia Obinna; [4], hata hivyo, klabu iliamua kuendelea kuwa na Obinna ndani ya kikosi ili kuwasaidia kupanda na kurudi ligi kuu ya Serie A.
Tarehe 4 Oktoba 2007, Obinna alihusika katika ajali ya gari akiwa njiani akirudi nyumbani kutoka mazoezi.Alikuwa anajaribu kulihepa gari ambalo liltaka kumpita kwa kona huku akihepa na majeraha madogomadogo na mshtuko.Gari lenyewe lilibingirika mara kadhaa na likaharibika kabisa. Katika ajali,alipoteza fahamu na akapelekwa hospitali. Ajali hilo lilitokea takriban mita 100 kutoka mahali ambapo mchezaji wa Chievo wa zamani Jason Mayele alikufa katika ajali(2002).
==== Internazionale ====
[[Picha:obinna2.jpg|thumb|300px|right|Obinna akisherehekea alipofunga bao akiwa timu ya Inter]]
Katika mwezi wa Agosti 2008, Obinna alihamia Internazionale na kutia saini mkataba wa miaka minne. [5] Klabu ya [[Uingereza]] ya [[Everton]] ilitaka kumwajiri katika mpango wa mkopo lakini hawakuweza kupata kibali cha kumpa kazi kutoka serikali. Bao la kwanza la Obinna akiwa Inter lilikuwa tarehe 19 Oktoba katika ushindi wao wa 4-0 dhidi ya Roma.
==== Malaga CF ====
Tarehe 26 Agosti 2009, timu ya ligi ya [[Uhispania]] ya [[Malaga CF]] walimwajiri kwa mpango wa mkopo kutoka Internazionale kwa msimu mmoja. Yeye alifunga bao lake la kwanza kwa timu yake mpya katika mechi yao dhidi ya [[Xerez]] terehe 4 Oktoba,mechi iliisha 1-1.
=== Kazi ya Kimataifa ===
Obinna aliitwa kwenye timu ya taifa ya Nigeria hapo katika Shindano la Kombe la Afrika akifunga bao moja kabla ya timu yao kutolewa katika mkondo wa nusu fainali.
Agosti 2008, alikuwa miongoni mwa wachezaji katika kikosi cha Nigeria cha Olimpiki ya 2008 iliyo [[Beijing]]. Obinna alifunga Nigeria bao la kwanza katika ushindi wao wa 2-1 dhidi ya Ujapani. Nigeria walicheza mechi dhidi ya [[Ivory Coast]],huku Obinna akifunga mkwaju wa penalti na kupanga mchezo mzuri uliomfanya [[Peter Odemwingie]] afunge bao. Baadaye alikuwa nahodha katika timu yao iliposhinda [[Ubelgiji]] 4-1 katika mechi ya nusu fainali, walishindwa hapo baadaye katika fainali na [[Argentina]].
=== Mabao ya kimataifa ===
{| class="wikitable"
! # !! Tarehe !! Pahali !! Wapinzani !! Mabao !! Tokeo !! Shindano
|-
| 1|| 4 Februari 2006 || [[Port Said]], [[Misri]] || {{Flag icon|TUN}} Tunisia || 1-1 (6-5 pen.) || Walishinda || [[Shindano la Kombe la Afrika]]
|-
| 2|| 11 Oktoba 2008 || [[Abuja]], [[Nigeria]] || {{Flag icon|SLE}} Sierra Leone || 4-1 || Walishinda || [[Mechi ya Kuhitimu Kucheza katika Shindano Kombe la Dunia]]
|-
| 3|| 6 Juni 2009 || [[Abuja]], [[Nigeria]] || {{Flag icon|KEN}} Kenya || 3-0 || Walishinda || Mechi ya Kuhitimu Kucheza katika Shindano Kombe la Dunia
|-
| 4|| 6 Juni 2009 || [[Abuja]], [[Nigeria]] || {{Flag icon|KEN}} Kenya || 3-0 || Walishinda || Mechi ya Kuhitimu Kucheza katika Shindano Kombe la Dunia
|-
| 5|| 11 Oktoba 2009 || [[Abuja]], [[Nigeria]] || {{Flag icon|MOZ}} Msumbiji || 1-0 || Walishinda || Mechi ya Kuhitimu Kucheza katika Shindano Kombe la Dunia
|}
== Marejeo ==
# ^ "Victor Obinna". [http://sports.sportsillustrated.cnn.com/seri/players.asp?player=35498. Obinna]
# ^ [http://www.nigerian.name/w/index.php?title=Obinna Maana ya jina "Obinna"]
# ^ a b [http://www.nigerianplayers.com/player.asp?pID=372 "Victor Obinna"]
# ^ a b [http://www.channel4.com/sport/football_italia/aug22j.html "Chievo wakataa kuwa Obinna ameondoka"]
# ^ ["Everton wajaribu kumwajiri Obinna"]. BBC Sport Online. 2008-08-28. http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/africa/7586221.stm.
# ^ McLeod, Scott (2008-09-01). "Obinna??". [www.evertonfc.com. http://evertonfc.com/news/archive/obinna-deal-falls-through.html {{Webarchive|url=https://www.webcitation.org/66ETXUCYN?url=http://www.evertonfc.com/news/archive/obinna-deal-falls-through.html |date=2012-03-17 }}. Obinna??]
# ^ "Obinna pasó reconocimiento médico en el Complejo Sanitario Málaga C. F.". [www.malagacf.com. http://www.malagacf.com/noticias/obinna-paso-reconocimiento-medico-1491.html {{Wayback|url=http://www.malagacf.com/noticias/obinna-paso-reconocimiento-medico-1491.html |date=20090926071131 }} Obinna na Malaga.]
# ^ [http://www.fifa.com/mensolympic/matches/round=250016/match=300051793/report.html] {{Wayback|url=http://www.fifa.com/mensolympic/matches/round=250016/match=300051793/report.html |date=20090818163250 }}
# ^ www.ussoccer.com. [http://www.ussoccer.com/articles/viewArticle.jsp_8945664.html Niigeria Olimpiki.] {{Wayback|url=http://www.ussoccer.com/articles/viewArticle.jsp_8945664.html |date=20081203154324 }}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.footballdatabase.com/site/players/index.php?dumpPlayer=6537 Tovuti ya FootballDatabase.com]
* [http://soccernet-akamai.espn.go.com/players/stats?id=68252&cc=3888 Tovuti ya Soccernet.com] {{Wayback|url=http://soccernet-akamai.espn.go.com/players/stats?id=68252&cc=3888 |date=20090501122414 }}
* [http://www.nigerianplayers.com/player.asp?pID=372 Tovuti ya NigerianPlayers.com]
{{DEFAULTSORT:Obinna, Victor}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigbo]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji wa FC Internazionale Milano]]
iynq21rrdbosjmuqjm734138kjpdps3
Patrick Agyemang
0
35094
1235903
1147743
2022-07-27T14:18:08Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Patrick_Agyemang_1.jpg|thumbnail|right|200px|Patrick Agyemang]]
{{Football player infobox
| jinalamchezaji= Patrick Agyemang
| picha =
| jinakamili = Patrick Agyemang
| tareheyakuzaliwa = 29 Septemba 1980
| mjialiozaliwa = [[Walthamstow]]
| nchialiozaliwa = [[Uingereza]]
| timuyataifa = [[Ghana]][[File:Flag-map of Ghana.png|thumb|100px]]
| urefu = 1.85m
| nafasi = Mshambulizi
| klabuyasasa = Queens Park Rangers F.C.
| nambayaklabu = 11
| miakayavijana =
| klabuzavijana =
| miaka = 1998–2004<br/>1999–2000<br/>2004<br/>2004–2008<br/>2008-
| vilabu = Wimbledon FC<br/>Brentford FC<br/>Gillingham FC<br/>Preston North End FC <br/>Queens Park Rangers
| caps(goals) =
| miakayataifa = 2003–2006
| nationalcaps(goals) =2(1)
| nationalcaps(goals)2 =
| pcupdate =
| ntupdate =
}}
'''Patrick Agyemang''' (alizaliwa [[Walthamstow]], [[Uingereza]], [[29 Septemba]] [[1980]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[kandanda]] wa [[timu ya taifa]] ya [[Ghana]].
==Historia==
Amechezea timu yake ya taifa mechi mbili. Yeye sasa anacheza katika klabu ya [[Queens Park Rangers]] katika michuano ya Ligi ya Soka ya daraja la tatu huko Uingereza.
Klabu za zamani za Agyemang ni [[Preston North End]] na [[Wimbledon]].
==Wasifu wa Klabu==
[[File:Deepdalecomplete.jpg|thumb|250px|right|Uwanja wa Deepdale,uwanja wa Preston North End,ambako Agyemang alicheza misimu minne na kufunga mabao]]
===Wasifu wake akiwa Preston North End na klabu zingine za awali===
Agyemang alijiunga na klabu ya [[Preston North End]] katika mkataba uliokuwa na gharama ya takriban £ 300,000 kutoka Gillingham baada ya kuwa [[Priestfield]] kwa muda usiofika mwaka mmoja.
Mshambulizi huyoa alipata umaarufu akiwa Wimbledon ambako alikua na akacheza mechi 116 na kufunga mabao 22.
Agyemang alicheza mechi31 katika msimu wake wa kwanza huku akifunga mabao manne lakini bado akaorodheshwa kama ako chini ya Nugent na Cresswell katika timu hiyo.
Msimu huu, mshambulizi huyu amecheza mechi 49 ingawa 25 ya hizi aliingia kama mchezaji mbadala.Hata hivyo,alimaliza msimu akiwa mshambulizi wa pili katika orodha ya timu akiwa na mabao 6.
Mchezo wake mzuri katika msimu huo ilimfanya ateuliwe katika kikosi cha Ghana,miaka tatu baada ya kucheza katika timu ya taifa kwa mara ya kwanza.Alichezea timu ya taifa katika mechi tatu lakini hakuteuliwa katika timu ya watu 23 waliocheza katika Shindano la Kombe la Dunia 2006.
Agyemang alicheza sana kama mchezaji mbadala katika misimu yake ya kwanza [[Deepdale]] akiikngia katika nusu ya pili ya mechi.Majeraha yalipowapata wachezaji wa timu ya kwanza ,Agyemang alianza kuchezeshwa kutoka nusu ya kwanza katika mechi kadhaa za misimu ya 2006/07.Alifunga mabao kadhaa mojawapo ikiwa bao la ushindi dhidi ya [[West Bromwich Albion]].
===Wasifu wake akiwa Queens Park Rangers===
Katika mwezi wa Januari 2008, Agyemang Alihamia QUeens Park Rangers(QPR) kutoka klabu ya Preston kwa bei ya takriban £ 100,000. Alifunga bao lake la kwanza akiwa QPR katika mechi dhidi ya [[Sheffield United]] katika mechi yake ya kwanza katika ligi.
Agyemang alinawiri sana akiwa QPR na akafunga mabao matatu katika mechi tatu ya ligi, takwimu ambayo hajapita katika mechi zake zote zingine.
Baada ya kushindwa 3-1 na timu ya Watford, mnamo tarehe 7 Desemba 2009, Aygemang ,iliripotiwa ilibidi amzuie meneja wa klabu, Jim Magilton, baada ya kumpiga kwa kichwa Akos Buzsaky.
===Wasifu wa Kimataifa===
Agyemang alicheza kwa mara ya kwanza katika timu ya taifa ya Ghana katika mechi dhidi ya Nigeria mnamo 30 Mei 2003 katika Shindano la Kombe la LG,lilioandaliwa na Nigeria. Alifunga bao baada ya dakika tatu tu.Ghana , ingawaje , walishindwa 3-1. Alicheza katika mechi za kirafiki za kabla ya Shindano la Kombe la Dunia dhidi ya [[Mexico]] mnamo 1 Machi 2006. Hata hivyo alipoteza nafasi katika timu ya Ghana iliyocheza katika Shindano hilo.
== Marejeo ==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.qpr.co.uk/page/ProfilesDetail/0,,10373~8060,00.html Akiwa QPR]
* [http://www.pnefc.premiumtv.co.uk/page/ProfilesDetail/0,,10362~8060,00.html Akiwa PNE] {{Wayback|url=http://www.pnefc.premiumtv.co.uk/page/ProfilesDetail/0,,10362~8060,00.html |date=20080430105719 }}
* [http://www.ghanafa.org/ GFA]-Tovuti Rasmi ya Ghana ya Soka
* [http://discussions.ghanaweb.com/viewforum.php?f=2/ Ghanaweb] - Tovuti ya mashabiki*{{soccerbase|id=16754|name=Patrick Agyemang}}
{{DEFAULTSORT:Agyemang, Patrick}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Ghana]]
[[Jamii:Watu kutoka Walthamstow]]
tl9gc20waolvxhhso3yatbt043qzjun
1235904
1235903
2022-07-27T14:18:17Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Patrick_Agyemang_1.jpg|thumbnail|right|200px|Patrick Agyemang]]
{{Football player infobox
| jinalamchezaji= Patrick Agyemang
| picha =
| jinakamili = Patrick Agyemang
| tareheyakuzaliwa = 29 Septemba 1980
| mjialiozaliwa = [[Walthamstow]]
| nchialiozaliwa = [[Uingereza]]
| timuyataifa = [[Ghana]][[File:Flag-map of Ghana.png|thumb|100px]]
| urefu = 1.85m
| nafasi = Mshambulizi
| klabuyasasa = Queens Park Rangers F.C.
| nambayaklabu = 11
| miakayavijana =
| klabuzavijana =
| miaka = 1998–2004<br/>1999–2000<br/>2004<br/>2004–2008<br/>2008-
| vilabu = Wimbledon FC<br/>Brentford FC<br/>Gillingham FC<br/>Preston North End FC <br/>Queens Park Rangers
| caps(goals) =
| miakayataifa = 2003–2006
| nationalcaps(goals) =2(1)
| nationalcaps(goals)2 =
| pcupdate =
| ntupdate =
}}
'''Patrick Agyemang''' (alizaliwa [[Walthamstow]], [[Uingereza]], [[29 Septemba]] [[1980]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[kandanda]] wa [[timu ya taifa]] ya [[Ghana]].
==Historia==
Amechezea timu yake ya taifa mechi mbili. Yeye sasa anacheza katika klabu ya [[Queens Park Rangers]] katika michuano ya Ligi ya Soka ya daraja la tatu huko Uingereza.
Klabu za zamani za Agyemang ni [[Preston North End]] na [[Wimbledon]].
==Wasifu wa Klabu==
[[File:Deepdalecomplete.jpg|thumb|250px|right|Uwanja wa Deepdale,uwanja wa Preston North End,ambako Agyemang alicheza misimu minne na kufunga mabao]]
===Wasifu wake akiwa Preston North End na klabu zingine za awali===
Agyemang alijiunga na klabu ya [[Preston North End]] katika mkataba uliokuwa na gharama ya takriban £ 300,000 kutoka Gillingham baada ya kuwa [[Priestfield]] kwa muda usiofika mwaka mmoja.
Mshambulizi huyoa alipata umaarufu akiwa Wimbledon ambako alikua na akacheza mechi 116 na kufunga mabao 22.
Agyemang alicheza mechi31 katika msimu wake wa kwanza huku akifunga mabao manne lakini bado akaorodheshwa kama ako chini ya Nugent na Cresswell katika timu hiyo.
Msimu huu, mshambulizi huyu amecheza mechi 49 ingawa 25 ya hizi aliingia kama mchezaji mbadala.Hata hivyo,alimaliza msimu akiwa mshambulizi wa pili katika orodha ya timu akiwa na mabao 6.
Mchezo wake mzuri katika msimu huo ilimfanya ateuliwe katika kikosi cha Ghana,miaka tatu baada ya kucheza katika timu ya taifa kwa mara ya kwanza.Alichezea timu ya taifa katika mechi tatu lakini hakuteuliwa katika timu ya watu 23 waliocheza katika Shindano la Kombe la Dunia 2006.
Agyemang alicheza sana kama mchezaji mbadala katika misimu yake ya kwanza [[Deepdale]] akiikngia katika nusu ya pili ya mechi.Majeraha yalipowapata wachezaji wa timu ya kwanza ,Agyemang alianza kuchezeshwa kutoka nusu ya kwanza katika mechi kadhaa za misimu ya 2006/07.Alifunga mabao kadhaa mojawapo ikiwa bao la ushindi dhidi ya [[West Bromwich Albion]].
===Wasifu wake akiwa Queens Park Rangers===
Katika mwezi wa Januari 2008, Agyemang Alihamia QUeens Park Rangers(QPR) kutoka klabu ya Preston kwa bei ya takriban £ 100,000. Alifunga bao lake la kwanza akiwa QPR katika mechi dhidi ya [[Sheffield United]] katika mechi yake ya kwanza katika ligi.
Agyemang alinawiri sana akiwa QPR na akafunga mabao matatu katika mechi tatu ya ligi, takwimu ambayo hajapita katika mechi zake zote zingine.
Baada ya kushindwa 3-1 na timu ya Watford, mnamo tarehe 7 Desemba 2009, Aygemang ,iliripotiwa ilibidi amzuie meneja wa klabu, Jim Magilton, baada ya kumpiga kwa kichwa Akos Buzsaky.
===Wasifu wa Kimataifa===
Agyemang alicheza kwa mara ya kwanza katika timu ya taifa ya Ghana katika mechi dhidi ya Nigeria mnamo 30 Mei 2003 katika Shindano la Kombe la LG,lilioandaliwa na Nigeria. Alifunga bao baada ya dakika tatu tu.Ghana , ingawaje , walishindwa 3-1. Alicheza katika mechi za kirafiki za kabla ya Shindano la Kombe la Dunia dhidi ya [[Mexico]] mnamo 1 Machi 2006. Hata hivyo alipoteza nafasi katika timu ya Ghana iliyocheza katika Shindano hilo.
== Marejeo ==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.qpr.co.uk/page/ProfilesDetail/0,,10373~8060,00.html Akiwa QPR]
* [http://www.pnefc.premiumtv.co.uk/page/ProfilesDetail/0,,10362~8060,00.html Akiwa PNE] {{Wayback|url=http://www.pnefc.premiumtv.co.uk/page/ProfilesDetail/0,,10362~8060,00.html |date=20080430105719 }}
* [http://www.ghanafa.org/ GFA]-Tovuti Rasmi ya Ghana ya Soka
* [http://discussions.ghanaweb.com/viewforum.php?f=2/ Ghanaweb] - Tovuti ya mashabiki*{{soccerbase|id=16754|name=Patrick Agyemang}}
{{DEFAULTSORT:Agyemang, Patrick}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Ghana]]
[[Jamii:Watu kutoka Walthamstow]]
ivv6fb1720alu63mikl36e4w4fc5n00
Rashidi Yekini
0
35829
1235893
1145216
2022-07-27T13:29:30Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
wikitext
text/x-wiki
{{Football player infobox
| jinalamchezaji= Rashidi Yekini
| picha =
| jinakamili = Rashidi Yekini
| tareheyakuzaliwa = {{birth date|1963|10|23}}
| tareheyakufa = {{death date and age|2012|05|04|1963|10|23}}
| mjialiozaliwa = [[Kaduna]]
| nchialiozaliwa = [[Nigeria]]
| nchialiofia = [[Ibadan]], [[Nigeria]]
| timuyataifa = [[Nigeria]]
| urefu = 1.90m
| nafasi = Mshambulizi
| klabuyasasa = Amestaafu
| nambayaklabu =
| miakayavijana =
| klabuzavijana =
| miaka = 1981–1982<br>1982–1984<br>1984–1987<br>1987–1990<br>1990–1994<br>1994–1995<br>1995–1996<br>1997<br>1997–1998<br>1998–1999<br>1999<br>1999–2002<br>2002–2003<br>2005
| vilabu = [[United Nigerian Textiles Limited|UNTL Kaduna]]<br>[[Shooting Stars F.C.|Shooting Stars]]<br>[[Abiola Babes]]<br>[[Africa Sports National|Africa Sports]]<br>[[Vitória F.C.|Vitória Setúbal]]<br>[[Olympiacos CFP|Olympiacos]]<br>[[Sporting de Gijón|Sporting Gijón]]<br>[[Vitória F.C.|Vitória Setúbal]]<br>[[FC Zürich]]<br>[[Club Athlétique Bizertin|Bizerte]]<br>[[Al-Shabab (Saudi Arabia)|Al-Shabab]]<br>[[Africa Sports National|Africa Sports]]<br>[[Julius Berger F.C.|Julius Berger]]<br>[[Gateway F.C.|Gateway]]
| caps(goals) = - (-)<br>- (-)<br>- (-)<br>- (-)<br>108 (90)<br>4 (2)<br>14 (3)<br>14 (3)<br>28 (14)<br>- (-)<br>- (-)<br>- (-)<br>- (-)<br>- (-)
| miakayataifa = 1986–1998
| nationalcaps(goals)1 =70 (37)
| pcupdate =
| ntupdate =
}}
'''Rashidi Yekini''' ([[23 Oktoba]] [[1963]] – [[4 Mei]] [[2012]]) alikuwa [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] aliyetumikia kama [[mshambuliaji]] [[timu ya taifa]] ya [[Nigeria]].
==Wasifu wa Klabu==
Baada ya kuanza kucheza kandanda katika Ligi ya Nigeria, Yekini alihamia [[Côte d'Ivoire]] kucheza [http://en.wikipedia.org/wiki/Rashidi_Yekini#cite_note-0] katika timu ya Africa Sports National. Kutoka hapo,alihamia timu ya Vitória de Setúbal ya [[Ureno]], alipofanikiwa sana na kupata miaka mizuri katika kandanda. Hatimaye, alikuwa mwanakandanda mwenye mabao nyingi sana katika ligi ya Ureno ya daraja la kwanza katika msimu wa 1993-1994. Utendaji wake katika mwaka huo ulimpa tuzo ya Mwanakandanda bora wa Afrika katika mwaka wa 1993, wa kwanza kabisa kutoka taifa lake.
Baada ya Shindano la Kombe la Dunia la 1994,Yekini aliajiriwa na klabu ya [[OLympiacos CFP]] lakini hakuelewana na wenzake katika timu.HIvyo basi, akakusanya virago vyake na kutoka timu hiyo. Tangu hapo, kazi yake ya uchezaji haikunawiri tena hata aliporudi Vitória de Setúbal. Alicheza katika timu za [[FC Zürich]], [[Club Athlétique Bizertin]] na [[Al-Shabab]] ([[Saudi Arabia]]), kabla ya kurejea Africa Sports National. Katika mwaka wa 2003, Yekini, akiwa umri wa miaka 39, alirudi katika Ligi ya Mabingwa wa Nigeria akicheza katika klabu ya [[Julius Berger]].
Katika mwaka wa 2005, akiwa umri wa miaka 41,Yekini alirudi kucheza kwa muda mfupi akiwa pamoja na mwenzake aliyekuwa katika timu ya taifa pamoja,[[Mobi Oparaku]].Walicheza katika klabu ya [[Gateway FC]].
==Wasifu wa Kimataifa==
Alifunga mabao 37 katika mechi 70 alizocheza akiwa timu ya taifa ya Nigeria.Hivi sasa ,bado yeye ndiye anayeshikilia rekodi ya mabao mengi katika timu ya taifa ya Nigeria. Alikuwa katika timu iliyohusika katika [[Kombe la Dunia la FIFA|Shindano la Kombe la Dunia la 1994]] na [[Kombe la Dunia la FIFA|Shindano la Kombe la Dunia la 1998]].Katika Shindano hilo la 1994, alifunga bao la kwanza la Nigeria kabisa katika Kombe la Dunia la FIFA katika ushindi wao wa 3-0 dhidi ya [[Bulgaria]].
Aidha,Yekini alisaidia Nigeria kushinda [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] la 1994. Alikuwa amecheza katika michezo ya [[Olimpiki]] ya 1988 jijini [[Seoul]].Yekini alifunga mabao mengi katika Kombe la Mataifa ya Afrika kuliko mwanakandanda mwingine katika shindano hilo.
==Marejeo==
# [http://mobile.modernghana.com/mobile/33708/2/yakubu-is-a-nigerian-nigerian-paper.html Yakubu ni wa Nigeria]
==Viungo vya nje==
*[http://www.zerozerofootball.com/jogador.php?id=58074&search=1 Stats and profile at Zerozero] {{Wayback|url=http://www.zerozerofootball.com/jogador.php?id=58074&search=1 |date=20090220122653 }}
*[http://www.bdfutbol.com/en/j/j2289.html BDFutbol profile]
*[http://www.national-football-teams.com/v2/player.php?id=14468 NationalFootballTeams data]
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{DEFAULTSORT:Yekini, Rashidi}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1963]]
[[Jamii:Waliofariki 2012]]
[[Jamii:Watu kutoka Kaduna]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji wa Olympique de Marseille]]
gejfr7qftak46jqo6j81gr5sufizcbl
Thomas Ulimwengu
0
37089
1235877
1148196
2022-07-27T13:11:13Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Football player infobox
| jinalamchezaji = Thomas Ulimwengu
| picha =
| jinakamili = Thomas Emmanuel Ulimwengu
| tareheyakuzaliwa =
| mjialiozaliwa = [[Tanga]]
| nchialiozaliwa = [[Tanzania]]
| urefu =
| nafasi = Mshambuliaji
| klabuyasasa = [[Tanzania Soccer Academy]]
| nambayaklabu =11
| miakayavijana = 2008-2010
| klabuzavijana = [[Tanzania Soccer Academy]]
| miaka = 2009-2010
| vilabu = [[Moro United]]
| magolialioshinda =
| miakayataifa = 2009-2010
| timuyataifa = [[Timu ya Taifa ya Tanzania|Tanzania]]
| nationalcaps(goals) =
| pcupdate =
| ntupdate =
}}
'''Thomas Emmanuel Ulimwengu''' (amezaliwa [[14 Juni]] [[1993]]) ni [[mchezaji]] [[mpira wa miguu]] kutoka nchini [[Tanzania]], ambaye kwa sasa anaichezea [[timu]] ya [[Tanzania Soccer Academy]] na pia huichezea [[timu ya taifa]] ya Tanzania na timu ya Taifa U-20 ya Tanzania, yaani, chini ya miaka 20.
==Timu ya taifa ya Tanzania U-17==
Katika mashindano ya [[Cecafa]] 2009 U-17 Championship yaliyofanyika [[Sudan]] alijinyakulia ubingwa wa mfungaji bora katika mashindano hayo. Timu yake ya taifa ya [[Tanzania]] ilichukua nafasi ya Tatu katika mashindano hayo.
==Viungo vya nje==
*[http://sites.google.com/site/thomasulimwengu/] Thomas Ulimwengu Official Website
*[http://www.goal.com/en/news/89/africa/2009/09/02/1475562/uganda-defeat-eritrea-to-become-cecafa-u-17-champions] Kiingereza
*[http://www.tanzaniandream.com] {{Wayback|url=http://www.tanzaniandream.com/ |date=20110202162148 }} Tanzania Soccer Academy Kwa Kiingereza
{{DEFAULTSORT:Ulimwengu,Thomas}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Tanzania]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1993]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
iryrftvn5two9476lpshi7rqj9zu3ts
Bruno Sserunkuma
0
42556
1235954
1149239
2022-07-27T16:04:32Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236083
1235954
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''Bruno Sserunkuma''' (+ [[Namugongo]] [[3 Juni]] [[1886]]) ni [[mfiadini]] mmojawapo kati ya [[Wakristo]] 22 wa [[Kanisa Katoliki]] wanaojulikana na kuheshimiwa duniani kote kama [[Wafiadini wa Uganda]].
Hao walikuwa wahudumu wa [[ikulu]] ya [[kabaka]] wa [[Buganda]] [[Mwanga II]] ([[1884]] - [[1903]]) ambao waliuawa kati ya tarehe 15 Novemba 1885 na tarehe [[27 Januari]] [[1887]] kwa sababu ya kumwamini [[Yesu Kristo]] baada ya kuhubiriwa [[Injili]] na [[Wamisionari wa Afrika]] walioandaliwa na [[kardinali]] [[Charles Lavigerie]].
Hawa ndio wafiadini wa kwanza wa [[Kusini kwa Sahara]] kuheshimiwa na Kanisa Katoliki kama [[watakatifu]].
[[Sikukuu]] yao huadhimishwa tarehe [[3 Juni]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliofariki 1886]]
[[Jamii:Wafiadini Wakristo]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uganda]]
8yi1gfhelwos43s3cr2ti9ox9ttq9ym
Outkast
0
42655
1235977
896928
2022-07-27T16:09:47Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236065
1235977
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Legobot|Legobot]]
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2
| Jina = Outkast
| Img = OutKast 2001.jpg
| Img_capt = Outkast kutoka 2001
| Img_size =
| Landscape =
| Background = group_or_band
| Pia anajulikana kama =
| Asili yake = [[Atlanta]] na [[Savannah]]<br>[[Georgia (jimbo)|Georgia]], [[Marekani]]
| Aina = [[Hip hop]], [[Dirty South]], [[G-Funk]]
| Miaka ya kazi = [[1990]]-
| Studio = [[Laface Records]]
| Ameshirikiana na = [[Dungeon Family]], [[Purple Ribbon All-Stars]], [[T.I.]] [[Sleepy Brown]], [[Goodie Mob]], [[Witchdoctor (rapper)|Witchdoctor]], [[Organized Noize]], [[UGK]], [[Raekwon]]
| Tovuti = http://www.outkast.com
| Wanachama wa sasa = [[Big Boi|Antwan "Big Boi" Patton]]<br>[[André 3000|"André 3000" Benjamin]]
| Wanachama wa zamani =
}}
'''Outkast''' au '''OutKast''' ni kundi la [[muziki wa hip hop]] lenye makazi yake huko mjini [[East Point, Georgia]] nchini [[Marekani]]. Kundi linaunganishwa na watu wawili, ambao ni [[André "André 3000" Benjamin]] na [[Antwan "Big Boi" Patton]]. Kundi lilianzishwa mnamo mwaka wa 1990.
Awali walikuwa wakijulikana kama The OKB (The OutKast Brothers) lakini baadaye wakabadilisha jina la kundi na kuwa OutKast. Mtindo wa uimbaji wa zamani wa kundi hili ilikuwa mchanganyiko wa [[Dirty South]] na [[G-Funk]].<ref name=ALLMUSIC>[http://www.allmusic.com/artist/outkast-p111701 allmusic Biography]</ref> Tangu hapo, lakini, [[funk]], [[muziki wa soul|soul]], [[electronic music]], ushairi wa kutamka maneno, [[jazz]], na elementi za [[blues]] zimekuwa zikiwekwa kwenye muziki wao.<ref>{{cite web|last=Erlewine|first=Stephen Thomas|title=Speakerboxxx/The Love Below|url=http://www.allmusic.com/album/speakerboxxxthe-love-below-r651638|publisher=Allmusic|year=2003|accessdate=2008-04-20}}</ref><ref name="cnn">{{cite news|title=OutKast propels hip-hop to new heights|url=http://www.cnn.com/2004/WORLD/americas/04/15/outkast/index.html |work=CNN.com|date=2004-04-15| accessdate=2008-04-19}}</ref>
Wawili hawa ni moja kati ya makundi ya hip-hop yenye mafanikio kwa muda wote, kwa kupokea tuzo sita za [[Grammy Awards]]. Zaidi ya nakala milioni 25 zimeuzwa kwenye matoleo nane ya albamu za OutKast: albamu za studio sita, toleo la [[Big Boi and Dre Present...OutKast|vibao vikali]], na albamu ilioshinda tuzo ya Grammy Award-ikiwa kama (Albamu Bora) ''[[Speakerboxxx/The Love Below]]'', albamu ya pamoja iliyojumlisha albamu moja-moja kutoka kwa kila mwanachama.
==Diskografia==
:''Tazama pia [[:en:OutKast discography|Diskografia ya Outkast]]''
* ''[[Southernplayalisticadillacmuzik]]'' (1994)
* ''[[ATLiens]]'' (1996)
* ''[[Aquemini]]'' (1998)
* ''[[Stankonia]]'' (2000)
* ''[[Big Boi and Dre Present...OutKast]]'' (2001) ''(kompilesheni)''
* ''[[Speakerboxxx/The Love Below]]'' (2003)
* ''[[Idlewild (OutKast album)|Idlewild]]'' (2006)
==Marejeo==
{{marejeo}}
==Viungo vya Nje==
* {{MySpace|outkast}}
* [http://www.outkast.com Tovuti]
* [http://www.youtube.com/watch?v=PWgvGjAhvIw&feature=av2e Hey Ya! video rasmi katika YouTube]
{{mbegu-mwanamuziki-USA}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii:Makundi ya hip hop ya Marekani]]
s6qxub1r952ix4p4uqdoiynngvsovy4
Jamii:Wachezaji wa AS Monaco FC
14
43400
1235876
1023884
2022-07-27T13:10:27Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
:''[[Wachezaji]] wa [[AS Monaco FC]]''
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Ufaransa]]
[[Jamii:Wachezaji Mpira kilabu kwa kilabu]]
f16os0iuwqibyxbn31l25a1f3seur8d
9 KK
0
43724
1235986
897678
2022-07-27T16:12:11Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1235987
1235986
2022-07-27T16:12:27Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236048
1235987
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Legobot|Legobot]]
wikitext
text/x-wiki
{{MwakaKK|9|KK}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''9 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
== Matukio ==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
[[Jamii:Karne ya 1 KK]]
l29bpg4145fq5wu41jve2zjnzj30vy2
440 KK
0
44486
1235938
898118
2022-07-27T16:01:14Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236103
1235938
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Legobot|Legobot]]
wikitext
text/x-wiki
{{mwakaKK|440}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] 440 [[Kabla ya Kristo|KK]].
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
== Viungo vya nje ==
{{Commonscat|440 BC}}
{{Mbegu-historia}}
[[Category:Karne ya 5 KK]]
e3uyvei02vbopu6fqytcw3i1bvmqjzu
Ravensburg
0
47284
1236011
1179552
2022-07-27T16:18:08Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236050
1236011
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Mary calist mlay|Mary calist mlay]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha: Ravensburg_vom_Sennerbad_2005.jpg|thumbnail|right|280px|Mji wa Ravensburg]]
[[Picha:Germany_adm_location_map.svg|thumb|ramani ya Ravensburg,ujerumani]]
{{Infobox settlement
|jina_rasmi = Ravensburg
|picha_ya_satelite = Ravensburg vom Sennerbad 2005.jpg
|maelezo_ya_picha = Kitovu cha mji wa Ravensburg
|picha_ya_bendera =
|ukubwa_ya_bendera = 100px
|picha_ya_nembo = Wappen Ravensburg.svg
|ukubwa_ya_nembo =
|settlement_type = mji
|pushpin_map = <!-- Ujerumani -->
|pushpin_map_caption = Mahali pa mji wa Ravensburg katika [[Ujerumani]]
|coordinates_region = DE
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Ujerumani]]
|subdivision_type1 = [[Majimbo ya Ujerumani|Jimbo]]
|subdivision_name1 = [[Baden-Württemberg]]
|subdivision_type2 =
|subdivision_name2 =
|area_total_km2 =
|idadi_ya_wakazi_kwa_mwaka_wa = 2007
|wakazi_kwa_ujumla = 49.327
|website = [http://www.Ravensburg.de/ www.ravensburg.de]
}}
'''Ravensburg''' ni [[mji]] wa [[Baden-Württemberg]] nchini [[Ujerumani]]. Idadi ya wakazi wake ni takriban 49.327.
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya miji ya Baden-Württemberg]]
{{commonscat|Ravensburg}}
{{Mbegu-jio-Ujerumani}}
[[Jamii:Miji ya Baden-Württemberg]]
[[Jamii:Ravensburg|!]]
g86y925f13c23y7tl1w0ezb4olp1wp2
Strongiloidiasisi
0
55576
1236006
1203579
2022-07-27T16:16:49Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236060
1236006
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
{{lugha}}
{{Infobox disease |
Name = Strongiloidiasisi |
Image = Strongyloides stercoraliz larva.jpg |
Caption = Strongyloides stercoralis larva. Source: CDC |
ICD10 = {{ICD10|B|78||b|65}} |
ICD9 = {{ICD9|127.2}} |
ICDO = |
OMIM = |
DiseasesDB = 12559 |
MedlinePlus = |
eMedicineSubj = |
eMedicineTopic = |
MeshID = D013322 |
}}
'''Strongiloidiasisi''' ni [[ugonjwa]] wa [[binadamu]] unaosababishwa na [[minyoo]] ya [[nematodi]] (roundworm) aina ''Strongyloides stercoralis''. Minyoo hao wanaweza kuingia ndani ya [[mwili]] wa mtu na kuzaa ndani ya [[utumbo]]. [[Lava]] zake huzunguka kati ya utumbo na [[mapafu]] na kuathiri [[afya]] ya mwili. [[Dalili]] za ugonjwa ni pamoja na [[upele]] au matatizo ya kupumua.
==Mfumo wa kuishi==
[[File:Strongyloides LifeCycle en (01).tif|thumb|350px|right]]
Mfumo wa [[maisha]] ya minyoo wa strongyloides una ngazi nyingi kuliko [[wadudu]] wengi na kupishana yake kati-hai na vimelea mizunguko, na uwezo wake wa kuzaana na kuzidisha ndani ya mwili. Kuna Kuwepo aina mbili za mifumo ya maisha :
* Mfumo wa kwanza: 1) rabditiform larva kupita kwenye [[kinyesi]] anaweza kubadilika mara mbili na kuwa mabuu (moja kwa moja maendeleo) au kubadilika mara nne na kuwa ya kiume na ya kike na kutaga [[mayai]] ambayo yatakuwa mabuu. Mabuu hubadilika kuwa kizazi kipya au mabuu inayozana. Mabuu hupenya [[ngozi]] ya binadamu kuanzisha mzunguko wa vimelea.
* Vimelea mzunguko: Mabuu katika udongo hupenya ngozi ya binadamu, na ni kusafirishwa kwa mapafu ambapo kupenya tundu la mapafu na mti na koo, umezwa kisha kufikia utumbo mdogo. Katika utumbo mdogo wao Mabuu ubadilika mara mbili na kuwa minyoo wazima wa kike. Hao huingia katika wa chango na kuzalisha mayai, ambayo ukuwa kuwa mabuu rabditiform. mabuu ya rabditiform unaweza kupita kwenye kinyesi (angalia "Free-hai mzunguko" hapo juu), au unaweza kusababisha ugongwa weyewe. Kusababisha ugongwa weneyewe mabuu rabditiform ubadilika kuwa infective filariform mabuu, ambayo inaweza kupenya ngozi ya eneo perianal (nje autoinfection), katika kesi aidha, na mabuu filariform inaweza kufuata njia ilivyoelezwa hapo awali, kuwa kufanyika mfululizo wa mapafu, na mti ya koo na utumbo madogo madogo ambayo kukomaa , au wanaweza kusambaza sana katika mwili. Hadi sasa, tukio la Mabuu kusabaisha ugongwa wenyewe kwa binadamu na maambukizi ime onekana tu katika stercoralis Strongyloides na maambukizi philippinensis Capillaria. Katika kesi ya Strongyloides, kusababisha ugonjwa wenyewe inaweza kuelezea uwezekano wa maambukizi ya kuendelea kwa miaka mingi katika watu ambao wamekuwa katika eneo hilo na ugonjwa mwingi katika watu binafsi walio na upumbumishi .
==Uenezi wa kijiografia==
Kitropiki na maeneo chini yaki, lakini kesi pia hutokea katika maeneo ya baridi (ikiwa ni pamoja na Amerika ya Kusini). Mara nyingi zaidi kupatikana katika maeneo ya vijijini, mazingira ya taasisi, na chini ya makundi ya kijamii na kiuchumi.
==Dalili za Ugonjwa==
===Ugonjwa mdogo wa strongyloidiasis===
Mara kwa mara hakuna dalili. Utumbo mfumo dalili ya maumivu ya tumbo pamoja na kuharisha. Dalili ya Mapafu huwa pamoja na syndrome ya Löffler yanaweza kutokea wakati wa uhamiaji wa mabuu. Dalili ya ngozi ni pamoja na upele katika maeneo ya matako na kiuno. Dalili ya damu badilika kwa ujumla.
Strongiloidiasisi inaweza kuwa sugu na kisha kuwa bila dalili kabisa.
Strongiloidiasisi kutokana na maambukizi ya kuendelea wanaweza kuwa sawa na yale ya vidonda vya tumbo na ugonjwa wa nyongo. watu wengi na strongyloidiasis kuendelea kuteseka kwa ajili ya matibabu au upasuaji wa tumbo na ugonjwa wa nyongo hambayo hai wasaidihi.
Kuwapa dawa za tumbo kama vile Nexium, Prilosec, na Protonix ambazo upunguza sana maudhui ya }HCl ya tumboni inaruhusu strongyloides kustawi. Kwasababu hi watu wenge wenye Strongylodiasis huwa wagongwa sana waki tumia hizi dawa.
Kutafuta strongyloides kwenye kinyesi ni hasi hadi 70% ya vipimo. Ni muhimu kupima kinyesi mara kwa mara an biopsy duodenal maambukizi mbaya yakituhumiwa. Matibabu ya strongyloides inaweza kuwa vigumu na imekuwa inajulikana kuishi kwa watu binafsi kwa zaidi ya miaka 1-2 baada ya matibabu. Kuendelea kwa matibabu inaweza kuwa muhimu kama dalili yanaendelea. Matibabu yanatakiwa kuendelea mpaka dalili kutatua wenyewe.
Katika kesi za ugonjwa mwingi ya Strongiloidiasisi wanaweza kuunda vidonda kuanza kupatikana katika mfumo wa limfu ya tumbo. Hii inaweza kuwa sawa kamaa ugonjwa wa Crohn. Ni muhimu kutoanzisha tiba na steroid kwa Crohn's kama strongyloides ina tuhumiwa. Kufanya hivyo unaweza kusababisha maambukizi ya kusambazwa.
===Maambukizi===
Maaumbizi ya Strongiloidiasisi hutokea wakati wagonjwa na wagonjwa sugu wa Strongiloidiasisi huugua. Inatokea kama maumivu ya tumbo, mshtuko na nyurolojia matatizo ya mapafu na damu na uwezekano wa kusababisha kifo. ndamu kuwa mbaya hupatikana mara nyingi lakini wakati mwingine hakuna dalili.
Usambazaji yanaweza kutokea miongo mingi baada ya maambukizi ya awalina imekuwa kuhusishwa na tutumia kipimo kikubwa cha steriodi, lepromatous ukwimi,kaswende sugu upungufu wa damu, utapiamlo, kifua kikuusumu ya mionzi. Mara nyingi emependekezwa kwamba kabla ya wagonjwa kuanza tutemia dawa za kupuguza immunity wa pimwe kama wana strongyloidiasis sugu, hata hivyo, mara nyingi hii haiwezekana (vipimo mara nyingi hazipatikani) na katika nchi zilizoendelea, kiwango cha maambukizi ya strongyloidiasis sugu ni ndogo sana, hivyo ni uchunguzi wa kawaida si gharama ufanisi, isipokuwa katika maeneo ya ugonjwa huo.
==Uchunguzi wa maabara==
Utambuzi hutegemea utambulisho wa mabuu (rhabditiform na mara kwa mara filariform) kwenye kinyesi au maji ya tumbo. Uchunguzi wa sampuli nyingi inaweza kuwa ni lazima, na si mara zote za kutosha, kwa sababu uchunguzi wa moja kwa moja ya kinyesi huhepuka to onyesha ugonjwa.
Kinyesi huweza kuchunguza:
* moja kwa moja
* baada ya mkusanyiko (formalin-ethyl acetate)
* baada ya ahueni ya mayai, kwa Baermann funnel mbinu
* baada ya utamaduni na mbinu ya Harada-Mori chujio karatasi
* baada ya kukuwa kwenye sahani Agar
Utamaduni kukuza ni nyeti sana, lakini si mara kwa mara inapatikana katika Magharibi. uchunguzi wa moja kwa moja lazima kufanyika kwenye kinyesi kilicho towelwa upesi na hakijaruhusiwa kupata baridi, kwa sababu minyoo na mayai huzaa juu ya baridi na mabuu ni vigumu sana kutofautisha kutoka strongyloides.
Maji ya duodenal inaweza kuchunguza kwa kutumia mbinu kama vile Enterotest string au madhara duodenal. Mabuu inaweza kuwa wanaona katika sputum kutoka kwa wagonjwa na strongyloidiasis kusambazwa.
==Matibabu==
Madawa ya uchaguzi kwa ajili ya matibabu ya strongyloidiasis ni ivermectin. Ivermectin haiui strongyloides mabuu lakini minyoo mikubwa tu minyoo hiyo kurudia dosi inaweza kuwa muhimu vizuri kutokomeza maambukiz Kuna mzunguko auto-infective ya wiki takribani mbili ambazo Ivermectin lazima ipewe tena.lakini ni muhimu kama itakuwa si kuua strongyloides katika damu au mabuu kirefu ndani ya matumbo. Madawa nyigine ya tiba ni albendazole na thiabendazole (25 mg / kg mara mbili kwa siku kwa siku 5 400 mg upeo (kwa ujumla). Wagonjwa wote walio katika hatari ya Strongiloidiasisi kusambazwa wanapaswa kutibiwa. Si wazi muda wa matibabu kwa wagonjwa walio ugongwa uliosambazwa.
Levamisole na Mimosa pudica kila dondoo ufunga mabuu filariform ya stercoralis Strongyloides kwa zaidi ya saa moja chini. [11]
Eryngial, dondoo ya foetidum Eryngium, [12] imekuwa kuchunguzwa kama tiba kwa strongyloidiasis. [13]
Tiba za asili ni pamoja na: machungu (Artemisia absinthium), tamu machungu (Artemisia annua); pumpkin mbegu; astragalus mzizi (Astragalus membranaceus), majani culantro (Eryngium foetidum); Noni juisi (Morinda citrifolia), na hekalu tangor / kifalme Mandarin / Hekalu ya machungwa (Citrus reticulata).
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.dpd.cdc.gov/dpdx/HTML/Strongyloidiasis.htm Strongyloidiasis] {{Wayback|url=http://www.dpd.cdc.gov/dpdx/HTML/Strongyloidiasis.htm |date=20101031021045 }} . CDC: Vituo vya kuzuia na kudhibiti ugonjwa
[[Category:Maradhi ya kuambukiza]]
[[Jamii:Vidusia]]
0wqbkygb8vv9k7qqm5wffo6yuyyq7g0
Kitovu
0
56604
1235993
1041444
2022-07-27T16:13:58Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236044
1235993
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Belly Button 002.jpg|thumb|Kitovu cha [[binadamu]].]]
'''Kitovu''' (kwa [[Kilatini]]: [[:la:umbilicus|umbilicus]]) ni [[kovu]] lililopo katikati ya [[fumbatio]] baada ya [[uzi]] wa [[mshipa]] unaounganisha [[mimba]] na [[mama]] [[tumbo]]ni kukatwa na kukauka.
Kutokana na [[maana]] hiyo asili, [[neno]] kitovu linatumika kwa jambo lolote ambalo ni [[chimbuko]] la [[kitu]].
{{mbegu-anatomia}}
[[Jamii:Mwili]]
[[Jamii:viungo vya mwili]]
ecfjdefs1jjy4oikelc6zkphmx3k2tg
Saratani
0
57436
1236280
1114734
2022-07-28T09:51:54Z
196.249.97.106
wikitext
text/x-wiki
<sup>Kwa kundinyota yenye jina hili angalia [[Saratani (kundinyota)]]</sup>
[[Picha:Thorax pa peripheres Bronchialcarcinom li OF markiert.jpg|thumb|300px|Picha ya eksirei inayoonyesha [[kivuli]] cha kansa katika mapafu.]]
'''Saratani''' ''(kutoka [[Kiarabu]] سرطان, sartan)'' ni aina za [[ugonjwa]] unaotokana na [[seli]] za [[mwili]] zinazoanza kujigawa yaani kukua bila utaratibu na bila mwisho.
==Asili ya jina==
[[Jina]] la saratani linatokana na [[neno]] la [[Kiarabu]] ''sartan'' linalomaanisha pia "[[kaa]]". Sababu yake ni ya kwamba [[mtaalamu]] [[Galenos]] wa [[Ugiriki wa Kale]] aliona [[uvimbe]] uliofanana na [[miguu]] ya [[kaa]]. Jina hili lilitafsiriwa baadaye kwa [[lugha]] nyingi.
Hata kwa Kiingereza neno "[[:en:cancer (genus)|cancer]]" linaweza kutaja pia [[jenasi]] [[moja]] ya kaa. Vivyo hivyo jina la [[kundinyota]] ya [[zodiaki]] ni "[[:en:Cancer (constellation)|Cancer (constellation)]]" kwa [[Kilatini]] - Kiingereza na [[Saratani (kundinyota)]] kwa [[Kiswahili]], yote kwa maana ya [[mnyama]], si ya ugonjwa.
==Matokeo ya ugawaji hovyo wa seli mwilini==
Ukuaji huu unaleta uvimbe mwilini unaozidi kuwa mkubwa hadi unabana [[viungo]] vya mwili kama [[neva]], [[mishipa ya damu]], [[ubongo]], [[mapafu]], [[maini]], [[utumbo]] na kadhalika na hivyo kuzuia visifanye kazi. Hivyo inasababisha [[kifo]], mara nyingi baada ya kipindi cha [[maumivu]] makali.
Pamoja na hayo kansa / saratani huwa na [[tabia]] za kujisambaza mwilini mahali pengi baada ya [[muda]] fulani na kusababisha kutokea kwa vimbe nyingi mwilini vinavyoendelea kukua hovyo. Kama uvimbe hauna uwezo wa kusambaza seli zake mwilini na kusababisha vimbe mpya si saratani.
Kansa inaweza kutokea kwa [[mtu]] yeyote lakini hutokea zaidi kwa watu wenye [[umri]] mkubwa na watu wanaoathiriwa na [[kemikali]] mbalimbali. Katika [[nchi zilizoendelea]] ambako wanachi hufikia umri mkubwa saratani iko kati ya sababu kuu za [[kifo]].
[[Uchunguzi]] na [[matibabu]] ya kansa ni [[utaalamu]] wa [[onkolojia]] ndani ya somo la [[tiba]].
==Aina za saratani==
Zipo baadhi ya saratani zinazosababishwa na [[virusi]] kama vile saratani ya [[shingo ya kizazi]]. Saratani huweza kutokea kwenye sehemu mbalimbali za mwili kama vile [[mapafu]], [[matiti]]<ref>{{Citation|last=HANS|first=RAPHAEL|title=Saratani ya matiti kwa wanaume ipo|url=https://afyazetu360.blogspot.com/2018/10/mwanaume-kaugua-saratani-ya-matiti.html|work=A-Z 360|language=en-US|access-date=2018-10-18}}</ref>, [[kibofu]] cha [[mkojo]], [[shingo ya uzazi]], [[ovari]], [[utumbo]], [[koo]], [[mdomo]], [[ngozi]] n.k.
==Jinsi ya kuepuka saratani==
Hali nzuri ya [[lishe]] na mtindo bora wa [[maisha]] ni kigezo muhimu sana katika kuzuia saratani<ref>{{Cite web|url=https://afyazetu360.blogspot.com/search?q=saratani|title=A-Z 360: Matokeo ya utafutaji wa saratani|author=RAPHAEL HANS|language=en-US|work=A-Z 360|accessdate=2018-10-18}}</ref> na pia ni sehemu muhimu ya matibabu na kudumisha maisha bora baada ya matibabu ya saratani kumalizika.
Matumizi ya baadhi ya [[vyakula]] huweza kuongeza uwezekano wa kupata baadhi ya [[saratani]] na vyakula vingine huweza kupunguza uwezekano wa kupata saratani.
[[Uzito]] wa mwili [[Unene wa kupindukia|unapozidi kiasi]] unaweza pia kuongeza uwezekano wa kupata baadhi ya saratani.
Pamoja na mtindo bora wa maisha unaodumisha ulaji bora, [[mazoezi ya mwili]], [[uzazi]] na [[unyonyeshaji]] wa [[watoto wachanga]], ni muhimu pia kupata na kufuata [[ushauri]] wa wataalamu wa [[afya]] kuhusu [[upimaji]] unaoweza kugundua mapema baadhi ya saratani na kuzidhibiti. Mfano wa upimaji huo ni pamoja na upimaji wa matiti na shingo ya [[kizazi]] kwa [[wanawake]]. Kuhusu vipimo au uchunguzi unaohitajika, pata maelezo zaidi kutoka kwa wataalamu wa afya.
== Tanbihi ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* https://afyazetu360.blogspot.com/2017/05/maana-ya-saratani.html
* https://afyazetu360.blogspot.com/2017/05/mtindo-wa-chakula-kuepuka-kansa.html
{{mbegu-tiba}}
[[Jamii:Saratani]]
5thiob1gu724dox477201qy7txel2j7
1236286
1236280
2022-07-28T10:01:19Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/196.249.97.106|196.249.97.106]] ([[User talk:196.249.97.106|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Airelle|Airelle]]
wikitext
text/x-wiki
<sup>Kwa kundinyota yenye jina hili angalia [[Saratani (kundinyota)]]</sup>
[[Picha:Thorax pa peripheres Bronchialcarcinom li OF markiert.jpg|thumb|300px|Picha ya eksirei inayoonyesha [[kivuli]] cha kansa katika mapafu.]]
'''Saratani''' ''(kutoka [[Kiarabu]] سرطان, sartan)'' au '''kansa''' ''(kutoka [[Kiingereza]] cancer)'' ni aina za [[ugonjwa]] unaotokana na [[seli]] za [[mwili]] zinazoanza kujigawa yaani kukua bila utaratibu na bila mwisho.
==Asili ya jina==
[[Jina]] la saratani linatokana na [[neno]] la [[Kiarabu]] ''sartan'' linalomaanisha pia "[[kaa]]". Sababu yake ni ya kwamba [[mtaalamu]] [[Galenos]] wa [[Ugiriki wa Kale]] aliona [[uvimbe]] uliofanana na [[miguu]] ya [[kaa]]. Jina hili lilitafsiriwa baadaye kwa [[lugha]] nyingi.
Hata kwa Kiingereza neno "[[:en:cancer (genus)|cancer]]" linaweza kutaja pia [[jenasi]] [[moja]] ya kaa. Vivyo hivyo jina la [[kundinyota]] ya [[zodiaki]] ni "[[:en:Cancer (constellation)|Cancer (constellation)]]" kwa [[Kilatini]] - Kiingereza na [[Saratani (kundinyota)]] kwa [[Kiswahili]], yote kwa maana ya [[mnyama]], si ya ugonjwa.
==Matokeo ya ugawaji hovyo wa seli mwilini==
Ukuaji huu unaleta uvimbe mwilini unaozidi kuwa mkubwa hadi unabana [[viungo]] vya mwili kama [[neva]], [[mishipa ya damu]], [[ubongo]], [[mapafu]], [[maini]], [[utumbo]] na kadhalika na hivyo kuzuia visifanye kazi. Hivyo inasababisha [[kifo]], mara nyingi baada ya kipindi cha [[maumivu]] makali.
Pamoja na hayo kansa / saratani huwa na [[tabia]] za kujisambaza mwilini mahali pengi baada ya [[muda]] fulani na kusababisha kutokea kwa vimbe nyingi mwilini vinavyoendelea kukua hovyo. Kama uvimbe hauna uwezo wa kusambaza seli zake mwilini na kusababisha vimbe mpya si saratani.
Kansa inaweza kutokea kwa [[mtu]] yeyote lakini hutokea zaidi kwa watu wenye [[umri]] mkubwa na watu wanaoathiriwa na [[kemikali]] mbalimbali. Katika [[nchi zilizoendelea]] ambako wanachi hufikia umri mkubwa saratani iko kati ya sababu kuu za [[kifo]].
[[Uchunguzi]] na [[matibabu]] ya kansa ni [[utaalamu]] wa [[onkolojia]] ndani ya somo la [[tiba]].
==Aina za saratani==
Zipo baadhi ya saratani zinazosababishwa na [[virusi]] kama vile saratani ya [[shingo ya kizazi]]. Saratani huweza kutokea kwenye sehemu mbalimbali za mwili kama vile [[mapafu]], [[matiti]]<ref>{{Citation|last=HANS|first=RAPHAEL|title=Saratani ya matiti kwa wanaume ipo|url=https://afyazetu360.blogspot.com/2018/10/mwanaume-kaugua-saratani-ya-matiti.html|work=A-Z 360|language=en-US|access-date=2018-10-18}}</ref>, [[kibofu]] cha [[mkojo]], [[shingo ya uzazi]], [[ovari]], [[utumbo]], [[koo]], [[mdomo]], [[ngozi]] n.k.
==Jinsi ya kuepuka saratani==
Hali nzuri ya [[lishe]] na mtindo bora wa [[maisha]] ni kigezo muhimu sana katika kuzuia saratani<ref>{{Cite web|url=https://afyazetu360.blogspot.com/search?q=saratani|title=A-Z 360: Matokeo ya utafutaji wa saratani|author=RAPHAEL HANS|language=en-US|work=A-Z 360|accessdate=2018-10-18}}</ref> na pia ni sehemu muhimu ya matibabu na kudumisha maisha bora baada ya matibabu ya saratani kumalizika.
Matumizi ya baadhi ya [[vyakula]] huweza kuongeza uwezekano wa kupata baadhi ya [[saratani]] na vyakula vingine huweza kupunguza uwezekano wa kupata saratani.
[[Uzito]] wa mwili [[Unene wa kupindukia|unapozidi kiasi]] unaweza pia kuongeza uwezekano wa kupata baadhi ya saratani.
Pamoja na mtindo bora wa maisha unaodumisha ulaji bora, [[mazoezi ya mwili]], [[uzazi]] na [[unyonyeshaji]] wa [[watoto wachanga]], ni muhimu pia kupata na kufuata [[ushauri]] wa wataalamu wa [[afya]] kuhusu [[upimaji]] unaoweza kugundua mapema baadhi ya saratani na kuzidhibiti. Mfano wa upimaji huo ni pamoja na upimaji wa matiti na shingo ya [[kizazi]] kwa [[wanawake]]. Kuhusu vipimo au uchunguzi unaohitajika, pata maelezo zaidi kutoka kwa wataalamu wa afya.
== Tanbihi ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* https://afyazetu360.blogspot.com/2017/05/maana-ya-saratani.html
* https://afyazetu360.blogspot.com/2017/05/mtindo-wa-chakula-kuepuka-kansa.html
{{mbegu-tiba}}
[[Jamii:Saratani]]
empnhml37gfeh7f2ipfjikpmvvm0s3u
Nord-Trøndelag
0
57797
1235911
1207768
2022-07-27T15:56:10Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236132
1235911
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Steinstid_sommer.JPG|thumbnail|right|200px|Nord-Trøndelag]]
[[Picha:Norway Counties Nord-Trøndelag Position.svg|thumb|250px|right|Mahali pa {{PAGENAME}} nchini Norwei]]
'''Nord-Trøndelag''' ("Trøndelag kaskazini") ni moja kati ya [[majimbo ya Norwei]]. Jimbo lipo upande wa kaskazini mwa [[Trøndelag]]. Na kwa mwaka wa 2010, jimbo lina wakazi takriban 131,555, inaifanya liwe jimbo la nne kwa uchache wa wakazi jimboni. Manispaa kubwa jimboni hapa ni pamoja na [[Stjørdal]], [[Steinkjer]]—makao makuu wa jimbo, [[Levanger]], [[Namsos]] na [[Verdal]], Yote yakiiwa na idadi ya wakazi kati ya 21,000 na 12,000. Msingi wa uchumi katika jimbo hili hasa hutegemea huduma kadhaa zinazopatikana kwa viwanda, kilimo, samaki, umeme wa haidroliki na kadhalika. Jimbo lina mapato madogo sana kuliko jimbo lolote nchini humo.
== Manispaa ==
[[Picha:Nord-Trondelag Municipalities.png|thumb|Mahali pa manispaa za Nord-Trøndelag]]
Nord-Trøndelag imegawanyika katika manispaa 23 baada ya Inderøy na Mosvik kuunganishwa mnamo 1 Januari 2012, na kuchukua jina la Inderøy.
{|class="wikitable sortable"
! Ukubwa. !! Manispaa !! Idadi ya wakazi !! Eneo<br />(km<sup>2</sup>) !! Eneo<br />(sqmi) !! Kitovur !! class=unsortable | Mar.
|-
| {{nts|1}} || [[Flatanger]] || align=right | {{nts|1104}} || {{convert|434.8|km2|disp=table}} || [[Lauvsnes]] || align=center |
|-
| {{nts|2}} || [[Fosnes]] || align=right | {{nts|670}} || {{convert|474.6|km2|disp=table}} || [[Jøa]] || align=center |
|-
| {{nts|3}} || [[Frosta]] || align=right | {{nts|2495}} || {{convert|74.3|km2|disp=table}} || [[Frosta]] || align=center | <ref>{{cite web |url=http://www.ssb.no/kommuner/1717 |title=Tall om Frosta kommune |author=[[Statistics Norway]] |accessdate=26 Desemba 2010 |language=Norwegian |archivedate=2004-09-07 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20040907145857/http://www.ssb.no/kommuner/1717 }}</ref>
|-
| {{nts|4}} || [[Grong]] || align=right | {{nts|2361}} || {{convert|1114.3|km2|disp=table}} || [[Grong]] || align=center |
|-
| {{nts|5}} || [[Høylandet]] || align=right | {{nts|1270}} || {{convert|705.2|km2|disp=table}} || [[Høylandet]] || align=center |
|-
| {{nts|6}} || [[Inderøy]] || align=right | {{nts|5897}} || {{convert|145.1|km2|disp=table}} || [[Sakshaug]] || align=center |
|-
| {{nts|7}} || [[Leka, Norway|Leka]] || align=right | {{nts|593}} || {{convert|108.0|km2|disp=table}} || [[Leka, Norway|Leka]] || align=center |
|-
| {{nts|8}} || [[Leksvik]] || align=right | {{nts|3528}} || {{convert|400.2|km2|disp=table}} || [[Leksvik]] || align=center |
|-
| {{nts|9}} || [[Levanger]] || align=right | {{nts|18580}} || {{convert|611.3|km2|disp=table}} || [[Levanger]] || align=center |
|-
| {{nts|10}} || [[Lierne]] || align=right | {{nts|1435}} || {{convert|2640.0|km2|disp=table}} || [[Sandvika, Nord-Trøndelag|Sandvika]] || align=center |
|-
| {{nts|11}} || [[Meråker]] || align=right | {{nts|2471}} || {{convert|1273.4|km2|disp=table}} || [[Midtbygda, Nord-Trøndelag|Midtbygda]] || align=center | <ref>{{cite web |url=http://www.ssb.no/kommuner/1711 |title=Tall om Meråker kommune |author=[[Statistics Norway]] |accessdate=26 Desemba 2010 |language=Norwegian |archivedate=2007-10-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071001002637/http://www.ssb.no/kommuner/1711 }}</ref>
|-
| {{nts|12}} || [[Mosvik]] || align=right | {{nts|810}} || {{convert|205.7|km2|disp=table}} || [[Mosvik]] || align=center |
|-
| {{nts|13}} || [[Nærøy]] || align=right | {{nts|4990}} || {{convert|1013.5|km2|disp=table}} || [[Kolvereid]] || align=center |
|-
| {{nts|14}} || [[Namdalseid]] || align=right | {{nts|1697}} || {{convert|737.9|km2|disp=table}} || [[Namdalseid]] || align=center |
|-
| {{nts|15}} || [[Namsos]] || align=right | {{nts|12795}} || {{convert|757.1|km2|disp=table}} || [[Namsos]] || align=center |
|-
| {{nts|16}} || [[Namsskogan]] || align=right | {{nts|928}} || {{convert|1368.1|km2|disp=table}} || [[Namsskogan]] || align=center |
|-
| {{nts|17}} || [[Overhalla]] || align=right | {{nts|3577}} || {{convert|699.0|km2|disp=table}} || [[Ranemsletta]] || align=center |
|-
| {{nts|18}} || [[Røyrvik]] || align=right | {{nts|495}} || {{convert|1334.6|km2|disp=table}} || [[Røyrvik]] || align=center |
|-
| {{nts|19}} || [[Snåsa]] || align=right | {{nts|2164}} || {{convert|2160.4|km2|disp=table}} || [[Snåsa]] || align=center |
|-
| {{nts|20}} || [[Steinkjer]] || align=right | {{nts|21080}} || {{convert|1427.5|km2|disp=table}} || [[Steinkjer]] || align=center | <ref>{{cite web |url=http://www.ssb.no/kommuner/1702 |title=Tall om Steinkjer kommune |author=[[Statistics Norway]] |accessdate=26 Desemba 2010 |language=Norwegian |archivedate=2008-12-27 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20081227231142/http://www.ssb.no/kommuner/1702 }}</ref>
|-
| {{nts|21}} || [[Stjørdal]] || align=right | {{nts|21375}} || {{convert|919.8|km2|disp=table}} || [[Stjørdalshalsen]] || align=center | <ref>{{cite web |url=http://www.ssb.no/kommuner/1714 |title=Tall om Stjørdal kommune |author=[[Statistics Norway]] |accessdate=26 Desemba 2010 |language=Norwegian |archivedate=2011-03-02 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110302145600/http://www.ssb.no/kommuner/1714 }}</ref>
|-
| {{nts|22}} || [[Verdal]] || align=right | {{nts|14222}} || {{convert|1488.5|km2|disp=table}} || [[Verdalsøra]] || align=center |
|-
| {{nts|23}} || [[Verran]] || align=right | {{nts|2914}} || {{convert|558.5|km2|disp=table}} || [[Malm]] || align=center |
|-
| {{nts|24}} || [[Vikna]] || align=right | {{nts|4122}} || {{convert|310.2|km2|disp=table}} || [[Rørvik]] || align=center |
|}
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
{{Counties of Norway}}
{{DEFAULTSORT:Nord-Trondelag}}
[[Jamii:Majimbo ya Norwei]]
[[Jamii:Nord-Trøndelag| ]]
frhjgsk5usuyjzzg94097ba33vhs3jx
Drum (gazeti)
0
57967
1235928
900175
2022-07-27T15:59:44Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236094
1235928
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Legobot|Legobot]]
wikitext
text/x-wiki
'''Drum''' ni gazeti la [[Afrika Kusini]]. Lilianzishwa mwaka wa 1951 likawa gazeti muhimu kwa waandishi weusi kutoa sauti dhidi ya [[ubaguzi wa rangi]].
== Angalia pia ==
*[[Orodha ya Waandishi wa Afrika Kusini]]
==Marejeo==
*Chapman, Michael. 2003. ''Southern African Literatures'', University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
{{mbegu-fasihi}}
[[Jamii:Magazeti ya Afrika Kusini]]
8nb7kd4nkrcsatuk3k571type9n8hvw
Kichuwabu
0
64016
1235942
1108995
2022-07-27T16:02:21Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236081
1235942
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Idd ninga|Idd ninga]]
wikitext
text/x-wiki
'''Kichuwabu''' ni [[Lugha za Kibantu|lugha ya Kibantu]] nchini [[Msumbiji]] inayozungumzwa na [[Wachuwabu]]. Mwaka wa [[2006]] idadi ya wasemaji wa Kichuwabu imehesabiwa kuwa watu 947,000. Kufuatana na uainishaji wa [[lugha]] za Kibantu wa [[Malcolm Guthrie]] Kichuwabu iko katika kundi la P30.
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/chw lugha ya Kichuwabu kwenye Multitree]
*[http://www.language-archives.org/language/chw makala za OLAC kuhusu Kichuwabu]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/chuw1238 lugha ya Kichuwabu katika Glottolog]
*http://www.ethnologue.com/language/chw
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Chuwabu}}
[[Jamii:Lugha za Msumbiji]]
[[Jamii:Lugha za Kibantu]]
2m5cs4md2qnlvd5z339bzrw71dh8lqh
Semane
0
68087
1235923
1199261
2022-07-27T15:58:51Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236129
1235923
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox settlement
| name = Semane
| country = BWA
| subdivision_type = Kusini
| subdivision_name = Botswana
| subdivision_type1 = Wilaya
| subdivision_name1 = Southern
| subdivision_type2 = Vijiwilaya
| subdivision_name2 = Ngwaketse
| latd =
| longd =
| elevation =
| population = 549
| population_ref =
| population_year = 2011
| pushpin_map = Botswana
| pushpin_label_position = bottom
| pushpin_mapsize = 300
| pushpin_map_caption = Mahali katika Botswana
| coordinates_region = BW
}}
'''Semane''' ni kijiji katika [[Ngwaketse]], [[Wilaya ya Southern (Botswana)|Wilaya ya Southern]] huko nchini [[Botswana]]. Idadi ya wakazi wa kijijini hapa ilikuwa 549 kulingana na matokeo ya sensa ya mwaka wa 2011.
==Bibliografia==
* [http://www.cso.gov.bw/media/2011%20Census%20_Alphabetical%20Index%20of%20Districts.pdf ''2011 Census Alphabetical Index of Districts''] {{Wayback|url=http://www.cso.gov.bw/media/2011%20Census%20_Alphabetical%20Index%20of%20Districts.pdf |date=20130525113252 }} Central Statistics Office ya Botswana
* [http://www.cso.gov.bw/media/2011%20Census%20_Alphabetical%20Index%20_Population%20of%20Villages.pdf ''2011 Census Alphabetical Index of Villages''] Central Statistics Office ya Botswana
* [http://www.cso.gov.bw/media/2011%20Census%20_Alphabetical%20Index%20_Population%20of%20Localities.pdf ''2011 Census Alphabetical Index of Localities''] {{Wayback|url=http://www.cso.gov.bw/media/2011%20Census%20_Alphabetical%20Index%20_Population%20of%20Localities.pdf |date=20150923211941 }} Central Statistics Office ya Botswana
==Tazama pia==
{{Portale|Africa|Jiografia}}
* [[Vijisehemu vya Botswana]]
* [[Wilaya za Botswana]]
* [[Vijiwilaya vya Botswana]]
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.cso.gov.bw/ Central Statistics Office ya Botswana] {{Wayback|url=http://www.cso.gov.bw/ |date=20080302021935 }}
{{Wilaya ya Southern (Botswana)}}
[[Jamii:Vijiji nchini Botswana]]
[[Jamii:Wilaya ya Southern (Botswana)]]
{{Mbegu-jio-Botswana}}
03abi21shcoc6cjm0lf2es46azy7ob6
Medie
0
68127
1235982
1199037
2022-07-27T16:10:48Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236068
1235982
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox settlement
| name = Medie
| country = BWA
| subdivision_type = Kusini
| subdivision_name = Botswana
| subdivision_type1 = Wilaya
| subdivision_name1 = Kweneng
| subdivision_type2 = Vijiwilaya
| subdivision_name2 = Kweneng East
| latd =
| longd =
| elevation =
| population = 424
| population_ref =
| population_year = 2011
| pushpin_map = Botswana
| pushpin_label_position = bottom
| pushpin_mapsize = 300
| pushpin_map_caption = Mahali katika Botswana
| coordinates_region = BW
}}
'''Medie''' ni kijiji katika [[Kweneng East]], [[Wilaya ya Kweneng]] huko nchini [[Botswana]]. Idadi ya wakazi wa kijijini hapa ilikuwa 424 kulingana na matokeo ya sensa ya mwaka wa 2011.
==Bibliografia==
* [http://www.cso.gov.bw/media/2011%20Census%20_Alphabetical%20Index%20of%20Districts.pdf ''2011 Census Alphabetical Index of Districts''] {{Wayback|url=http://www.cso.gov.bw/media/2011%20Census%20_Alphabetical%20Index%20of%20Districts.pdf |date=20130525113252 }} Central Statistics Office ya Botswana
* [http://www.cso.gov.bw/media/2011%20Census%20_Alphabetical%20Index%20_Population%20of%20Villages.pdf ''2011 Census Alphabetical Index of Villages''] Central Statistics Office ya Botswana
* [http://www.cso.gov.bw/media/2011%20Census%20_Alphabetical%20Index%20_Population%20of%20Localities.pdf ''2011 Census Alphabetical Index of Localities''] {{Wayback|url=http://www.cso.gov.bw/media/2011%20Census%20_Alphabetical%20Index%20_Population%20of%20Localities.pdf |date=20150923211941 }} Central Statistics Office ya Botswana
==Tazama pia==
{{Portale|Africa|Jiografia}}
* [[Vijisehemu vya Botswana]]
* [[Wilaya za Botswana]]
* [[Vijiwilaya vya Botswana]]
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.cso.gov.bw/ Central Statistics Office ya Botswana] {{Wayback|url=http://www.cso.gov.bw/ |date=20080302021935 }}
{{Wilaya ya Kweneng}}
[[Jamii:Vijiji nchini Botswana]]
[[Jamii:Wilaya ya Kweneng]]
{{Mbegu-jio-Botswana}}
kyvujuvzj6co4ml9euvyy4g0kektk9z
Daraja la Kilombero
0
68694
1235948
911282
2022-07-27T16:03:28Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236131
1235948
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Alifazal|Alifazal]]
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox daraja
| bridge_name = Daraja la Kilombero
| native_name = {{small|{{lang-en|Kiombero Bridge}}}}
| native_name_lang =
| image = Ifakara.Ferry.Kilombero-River.JPG
| image_size =
| alt =
| caption = Kivuko cha MV Kilombero
| jina_rasmi =
| majina_megine =
| yabeba = Leni 2
| yavuka = Mto Kilombero
| mahali = 5 km kusini mwa [[Ifakara]]
| mmiliki = Serikali ya Tanzania
| msimamizi =
| architect =
| designer =
| engineer = NIMETA Consult (T) Ltd & <br> Howard Humphreys (Tanzania) Ltd
| design =
| material =
| urefu = mita 384
| upana = mita 11.3
| ujuu =
| mainspan =
| spans =
| pierswater =
| load =
| maisha =
| builder = China Railway 15<sup>th</sup> Bureau Group Corporation
| fabricator =
| ulianza = Novemba 2012
| ulimalizika =
| utakamilika = Oktoba 2014 (makadirio)
| gharama = TZS 53.7 billion
| kilifunguliwa =
| kilizinduliwa =
| toll =
| trafiki =
| preceded =
| followed =
| collapsed =
| closed =
| replaces = Kivuko cha MV Kilombero
| map_cue =
| map_image =
| map_alt =
| map_text =
| map_width =
| coordinates = {{Coord|8|11|22.46|S|36|41|36.68|E|region:TZ_type:landmark}}
| lat =
| long =
| references =
| extra = {{Location map | Tanzania
|label =
|label_size =
|alt =
|relief =
|position = right
|background =
|lon_dir = E
|lat_dir = S
|lat_deg = 7
|lat_min = 50
|lat_sec = 22.46
|lon_deg = 36
|lon_min = 41
|lon_sec = 36.68
|lat =
|long =
|mark =
|marksize =
|border = none
|float =
|width = 250
|caption = Mahali ya daraja nchini Tanzania
}}
}}
'''Daraja la Kilombero''' ni daraja chini ya ujenzi utakaovuka Mto Kilombero nchini [[Tanzania]].
{{Madaraja nchini Tanzania}}
[[Jamii:Madaraja nchini Tanzania|K]]
{{Afrika-daraja-mbegu}}
lw16ua0koj14g1ijus7bsqdxtlkcjcx
Ukoo wa Yesu
0
72158
1235994
1016193
2022-07-27T16:14:17Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236063
1235994
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:St Denis transept south.jpg|thumb|270px|[[Kioo]] chenye [[umbo]] la [[waridi]] katika [[Basilika]] la [[Mtakatifu Denis]], [[Ufaransa]], ambacho kinaonyesha vizazi vya ukoo wa Yesu kuanzia [[Yese]].]]
[[File:Genealogy of Jesus mosaic at Chora (1).jpg|thumb|270px|[[Kuba (jengo)]] ya kusini katika [[kanisa]] la [[Chora]], [[Istanbul]], inayoonyesha vizazi vya Yesu kuanzia Adamu.]]
{{Yesu Kristo}}
'''Ukoo wa Yesu''' unapatikana katika [[vitabu]] viwili vya [[Agano Jipya]]: [[Injili ya Mathayo]] ambayo inaorodhesha [[vizazi]] kuanzia [[Abrahamu]] hadi kwa [[Yosefu (mume wa Maria)]], na [[Injili ya Luka]] inayorudi nyuma kuanzia Yosefu hadi kwa [[Adamu]], aliyeumbwa na [[Mungu]] mwenyewe.
[[Injili]] hizo zote [[mbili]] zinasisitiza kwamba Yosefu si [[mzazi]] wa [[Yesu]], kwa kuwa [[Bikira Maria]] alipata [[mimba]] kwa uwezo wa [[Roho Mtakatifu]].
Pia zinasisitiza kwamba Yesu ni [[Mwana wa Daudi]], yaani kwa njia ya Yosefu, ambaye kinasaba anatokana na [[mfalme]] huyo maarufu wa [[Agano la Kale]], ana [[haki]] ya kurithi [[cheo]] chake.
Hata hivyo [[Jina|majina]] mengi ni tofauti katika orodha hizo mbili, kiasi kwamba [[wataalamu]] wanatoa maelezo mbalimbali kuhusiana na [[desturi]] za [[Israeli]] wakati ule, kwa mfano katika kutumia orodha ya vizazi, na kutokana na malengo ya [[Wainjili]] hao<ref>Marcus J. Borg, John Dominic Crossan, The First Christmas (HarperCollins, 2009) page 95.</ref><ref>R. T. France, ''The Gospel According to Matthew: An Introduction and Commentary'' (Eerdmans, 1985) page 71.</ref>, ambao wote wawili walitaka kusisitiza kihisabati kwamba Yesu amefika kwa wakati mwafaka uliopangwa na Mungu kwa makini (vizazi 14x3 kadiri ya Mathayo; 7x11 kadiri ya Luka).
Akiwaandikia [[Wayahudi]], [[mwinjili Mathayo]] alitaka kusisitiza kwamba Yesu ni Daudi mpya, lakini pia mrithi wa Abrahamu katika kuwa [[baraka]] kwa [[mataifa]] yote.
Akiwaandikia watu wa mataifa, [[mwinjili Luka]] alitaka kuonyesha kwamba Yesu ni mwana wa Adamu, hivyo anahusiana na [[binadamu]] wote.
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Genealogy of Jesus Christ}}
*[http://www.wga.hu/html/m/michelan/3sistina/6lunette/ Information on the Michelangelo frescoes]
*[http://www.greeknewtestament.com/B40C001.htm#V16 Multiple translations]
*[http://www.ccel.org/ccel/emmerich/lifemary.v.html Anne Catherine Emmerich, ''Life of the Blessed Virgin Mary'']
*[http://www.biblestudymanuals.net/genealogy_of_Jesus.htm Bible Study Manual on Genealogy of Jesus]
*[http://www.complete-bible-genealogy.com/genealogy_of_jesus.htm Genealogy of Jesus] at Complete-Bible-Genealogy.com
*[http://www.direct.ca/trinity/duel.html Dueling Genealogies] Why there are two different genealogies for Jesus.
*[http://www.rtforum.org/lt/lt11.html New Light on the Genealogies of Jesus]
{{mbegu-Biblia}}
[[Category:Yesu Kristo]]
[[Category:Injili]]
avhkj67pk3kkyuje4rju3v2osrxr0ae
Kifo cha Yesu
0
72335
1235997
1209125
2022-07-27T16:15:05Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236071
1235997
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Cristo crucificado.jpg|thumb|250px|[[Mchoro]] wa [[Diego Velázquez]], ''[[Yesu msulubiwa]]'', [[1631]], [[Prado]] ([[Madrid]], [[Hispania]]) unaonyesha anwani juu ya [[kichwa]] chake.]]
{{Yesu Kristo}}
'''Kifo cha Yesu''' [[msalaba]]ni kilitokea huko [[Yerusalemu]], nchini [[Israel|Israeli]], [[siku]] ya [[Ijumaa Kuu|Ijumaa]], labda [[tarehe]] [[7 Aprili]] [[30]] [[BK]]<ref name=CambridgeJesus >[[Christopher M. Tuckett]] in ''The Cambridge companion to Jesus'' edited by Markus N. A. Bockmuehl 2001 Cambridge Univ Press ISBN|978-0-521-79678-1 pp. 123–124</ref><ref name = "ActJ">{{cite book |last=Funk |first=Robert W. |author2=Jesus Seminar |author-link=Robert W. Funk |title=The acts of Jesus: the search for the authentic deeds of Jesus |year=1998 |publisher=Harper |location=San Francisco |isbn=978-0060629786 |url=https://archive.org/details/actsofjesuswhatd00robe |author2-link=Jesus Seminar }}</ref>.
Tukio hilo<ref>{{cite book|author=Eddy, Paul Rhodes and [[Gregory A. Boyd]] |year=2007 |title=The Jesus Legend: A Case for the Historical Reliability of the Synoptic Jesus Tradition |isbn=978-0801031144 |publisher=Baker Academic |page=172 |quote=...if there is any fact of Jesus' life that has been established by a broad consensus, it is the fact of Jesus' crucifixion.}}</ref>, pamoja na [[ufufuko wa Yesu]] unaosadikiwa na [[Ukristo]] kutokea [[siku]] ya [[tatu]] ([[Jumapili]] ya [[Pasaka ya Kikristo|Pasaka]]), ndiyo [[kiini]] cha [[imani]] ya [[dini]] hiyo mpya iliyotokana na ile ya [[Uyahudi]].
Kwa Wakristo [[fumbo]] hilo la [[Pasaka]] ndilo [[kilele]] cha [[historia ya wokovu]] inayotangazwa na [[Biblia ya Kikristo]].
Fumbo hilo lilisababisha kazi nyingi za [[sanaa ya Kikristo]], hasa [[uchoraji]] na [[uchongaji]].
==Historia==
[[Injili]] zote [[nne]] zinasimulia tukio hilo kinaganaga kuliko mengine yote ya [[maisha]] ya [[Yesu]] [[Masiya|Kristo]]: ni kama [[simulizi]] la [[saa]] baada ya saa<ref name=Powell>Powell, Mark A. ''Introducing the New Testament''. Baker Academic, (2009). ISBN 978-0-8010-2868-7</ref>.
Kadiri ya ([[Injili ya Marko|Mk]] 14:43–15:45; [[Injili ya Mathayo|Math]] 26:46–27:60; [[Injili ya Luka|Lk]] 22:47–23:53; [[Injili ya Yohane|Yoh]] 18:3–19:42), [[Ponsyo Pilato]], [[liwali]] wa [[Palestina]] ([[26]]-[[36]]), aliamua [[Yesu]] aadhibiwe hivyo kulingana na shtaka la [[Kiongozi|viongozi]] wa [[Wayahudi]] waliodai kwamba mtuhumiwa alijitangaza kuwa [[mfalme]] na kupinga [[mamlaka]] ya [[Kaisari]] wa [[Roma]], kwa wakati huo [[Tiberius]], ingawa Pilato alikuwa ametambua shtaka halikuwa la kweli, bali lilitokana na [[husuda]]<ref name="EECO 2018">{{cite encyclopedia |author-last=Granger Cook |author-first=John |year=2018 |title=Cross/Crucifixion |editor1-last=Hunter |editor1-first=David G. |editor2-last=van Geest |editor2-first=Paul J. J. |editor3-last=Lietaert Peerbolte |editor3-first=Bert Jan |encyclopedia=Brill Encyclopedia of Early Christianity Online |location=[[Leiden]] and [[Boston]] |publisher=[[Brill Publishers]] |doi=10.1163/2589-7993_EECO_SIM_00000808 |issn=2589-7993}}</ref><ref name=Kostenberger104 >''The Cradle, the Cross, and the Crown: An Introduction to the New Testament'' by [[Andreas J. Köstenberger]], L. Scott Kellum 2009 ISBN 978-0-8054-4365-3 pp. 104–108</ref><ref name="Evans, Craig A. 2001 page 316">Evans, Craig A. (2001). ''Jesus and His Contemporaries: Comparative Studies'' ISBN|0-391-04118-5 p. 316</ref><ref name="Wansbrough, Henry 2004 page 185">Wansbrough, Henry (2004). ''Jesus and the Oral Gospel Tradition'' ISBN|0-567-04090-9 p. 185</ref>.
Kadiri ya [[Injili ya Yohane]], Pilato mwenyewe alisisitiza kwamba, katika [[maandishi]] yaliyotakiwa kuwajulisha [[watu]] sababu ya adhabu hiyo, iwekwe wazi kwamba Yesu aliuawa kama [[mfalme wa Wayahudi]], ingawa [[neno]] hilo lilichukiza viongozi wa [[taifa]].
Maneno ya ilani hiyo yaliandikwa katika [[lugha]] [[tatu]]:
*[[Kilatini]]: Iesus Nazarenus Rex Iudeorum, kifupi [[INRI]],
*[[Kigiriki]]: Ἰησοῦς ὁ Ναζωραῖος ὁ Bασιλεὺς τῶν Ἰουδαίω. Kutokana na [[herufi]] hizo, [[Wagiriki]] wanaandika INBI.
*[[Kiebrania]]: ישוע הנוצרי ומלך היהודים. [[Herufi]] za kwanza za maneno hayo kwa Kiebrania ni יהוה, [[YHWH]], ndilo [[jina]] takatifu la [[Mungu]] katika [[Biblia ya Kiebrania]].
Yesu akiwa msalabani alisema maneno kadhaa. Kati ya hayo, ni maarufu [[maneno saba]] yaliyoripotiwa na Injili yakimuelekea [[Mungu Baba]], [[Bikira Maria]], [[Mtume Yohane]] na [[Dismas Mtakatifu|mhalifu aliyesulubiwa pamoja naye]].
==Maelezo ya teolojia==
Kifo cha Yesu kinaelezwa na Injili na [[Kitabu|vitabu]] vingine vya [[Agano Jipya]] kuwa [[kafara]] kwa [[Fidia ya kifedha|fidia]] ya [[dhambi]] za [[ulimwengu]] mzima.<ref name="David Hawkin">{{cite book | last = Hawkin | first = David J.| title = The twenty-first century confronts its gods: globalization, technology, and war | publisher =SUNY Press | year = 2004 | page =121}}</ref>
Yesu alipokufa, [[nafsi]] yake ya Kimungu iliendelea kushikamana na [[roho]] na [[mwili]] vilivyotengana: kwa hiyo mwili wake [[Mazishi|uliozikwa]] haukuweza kuoza [[Kaburi|kaburini]]; roho yake ilishukia [[kuzimu]] kuwatoa [[waadilifu]] waliomtangulia awaingize pamoja naye [[mbinguni]]. “Mwili wake aliuawa, bali roho yake akahuishwa, ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiri” ([[1Pet]] 3:19). “Roho yake haikuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuona uharibifu” ([[Mdo]] 2:31).
==Mitazamo tofauti==
Tangu kale walitokea watu waliokanusha ukweli wa kifo cha Yesu, hasa waliosema yeye hakuwa na mwili halisi, bali alionekana tu kuwa nao.<ref>{{harvnb|Brox|1984|p=306}}.</ref><ref>{{harvnb|Schneemelcher|Maurer|1994|p=220}}.</ref>.
[[Waislamu]] wanashikilia msimamo huo, kwamba Yesu hajafa kwa namna yoyote<ref>And [for] their saying, "Indeed, we have killed the Messiah, Jesus the son of Mary, the messenger of Allah." And they did not kill him, nor did they crucify him; but rather, it was made to appear to them so. And indeed, those who differ over it are in doubt about it. They have no knowledge of it except the following of assumption. And they did not kill him, for certain. Rather, Allah raised him to Himself. And ever is Allah Exalted in Might and Wise. [[Quran]] 4:157–158</ref>, bali alipalizwa [[mbinguni]].
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Marejeo==
* {{Cite journal| title = 'Doketismus' – eine Problemanzeige |periodical = Zeitschrift für Kirchengeschichte |last = Brox |first = Norbert |publisher =[[Kohlhammer Verlag]]|year = 1984 |volume = 95 |pages = 301–314 |issn = 0044-2925
}}
* {{cite book |title=A Theology of the Cross: The Death of Jesus in the Pauline Letters |url=https://archive.org/details/theologyofcrossd0000cous |last=Cousar |first=Charles B. |year=1990 |publisher=Fortress Press |isbn=0-8006-1558-1 }}
* {{cite journal |last=Dennis |first=John |year=2006 |title=Jesus' Death in John's Gospel: A Survey of Research from Bultmann to the Present with Special Reference to the Johannine Hyper-Texts |journal=[[Currents in Biblical Research]] |volume=4 |issue=3 |pages=331–363 |doi=10.1177/1476993X06064628 |s2cid=170326371 }}
* {{cite book|title=The Symbols of the Church|last=Dilasser|first=Maurice|year=1999|isbn=978-0-8146-2538-5|url=https://archive.org/details/symbolsofchurch00dila}}
* {{cite book |title=The Death of Jesus: Tradition and Interpretation in the Passion Narrative |last=Green |first=Joel B. |year=1988 |publisher=Mohr Siebeck |isbn=3-16-145349-2 }}
* {{cite journal |last=Humphreys |first=Colin J. |date=December 1983 |title=Dating the Crucifixion |journal=Nature |volume=306 |issue=5945 |pages=743–746 |doi=10.1038/306743a0 |author2=W. G. Waddington |bibcode=1983Natur.306..743H|s2cid=4360560 }}
* {{cite journal |last=Rosenblatt |first=Samuel |date=December 1956 |title=The Crucifixion of Jesus from the Standpoint of Pharisaic Law |url=https://archive.org/details/sim_journal-of-biblical-literature_1956-12_75_4/page/315 |journal=Journal of Biblical Literature |volume=75 |issue=4 |pages=315–321 |doi=10.2307/3261265 |publisher=The Society of Biblical Literature |jstor=3261265 }}
* {{cite book |title=Archaeology and the New Testament |last=McRay |first=John |year=1991 |publisher=Baker Books |isbn=0-8010-6267-5 }}
* {{cite book |title=Crucifixion in Antiquity |last=Samuelsson |first=Gunnar. |year=2011 |publisher=Mohr Siebeck |isbn=978-3-16-150694-9 }}
* {{Cite book|chapter = The Gospel of Peter |title = New Testament Apocrypha: Gospels and related writings |series = New Testament Apocrypha |last1 = Schneemelcher |first1 = Wilhelm |author-link = Wilhelm Schneemelcher |last2 = Maurer |first2 = Christian |editor1-last = Schneemelcher |editor1-first = Wilhelm |editor1-link = Wilhelm Schneemelcher |editor2-last = Wilson |editor2-first = McLachlan |publisher = Westminster John Knox Press |year = 1994 |orig-year = 1991 |volume = 1 |pages = 216–227 |isbn = 978-0-664-22721-0 |chapter-url = https://books.google.com/books?id=TDW0PeFSvGEC&pg=PA220 |access-date = April 25, 2012 }}
* {{cite book |title=The Crucifixion of Jesus |url=https://archive.org/details/crucifixionofjes0000sloy_l5n0 |last=Sloyan |first=Gerard S. |year=1995 |publisher=Fortress Press |isbn=0-8006-2886-1 }}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Crucifixion of Christ|Icons of the crucifixion of Christ|Paintings of the Crucifixion of Christ}}
{{Bikira Maria}}
{{mbegu-Ukristo}}
[[Jamii:Yesu Kristo]]
[[Jamii:Injili]]
[[Jamii:Teolojia]]
[[Jamii:Rozari]]
[[Jamii:Historia ya Israeli]]
7ei9yncplkcw1gzity2f8xxtnulmxq7
Kilisela
0
73316
1236021
999487
2022-07-27T16:19:57Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236026
1236021
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
'''Kilisela''' (pia '''Kiburu''') ni [[Lugha za Kiaustronesia|lugha ya Kiaustronesia]] nchini [[Indonesia]] inayozungumzwa na [[Walisela]] kwenye visiwa vya [[Buru]] na [[Seram]]. Mwaka wa 1989 idadi ya wasemaji wa Kilisela imehesabiwa kuwa watu 11,900. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kilisela iko katika kundi la Kimaluku.
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/lcl lugha ya Kilisela kwenye Multitree]
*[http://www.language-archives.org/language/lcl makala za OLAC kuhusu Kilisela]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/lise1239 lugha ya Kilisela katika Glottolog]
*[http://www.ethnologue.com/language/lcl lugha ya Kilisela kwenye Ethnologue]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Lisela}}
[[Jamii:Lugha za Indonesia]]
hucg3iuo178fkwgt1wy6k4bzot9gup1
Kisiwa cha Salas y Gomez
0
76851
1236018
1119038
2022-07-27T16:19:39Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236019
1236018
2022-07-27T16:19:49Z
Daniuu
48819
Reverted edits by [[Special:Contribs/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|talk]]) to last version by 196.249.98.133: reverting vandalism
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Salaygomez.jpg|thumbnail|right|280px|Kisiwa cha Salas y Gomez]]
'''Kisiwa cha Salas y Gomez''' kiko katika [[bahari]] ya [[Pasifiki]] na ni sehemu ya [[Jamhuri]] ya [[Chile]].
Kina eneo la [[kilometa mraba]] 0.15 na hakina wakazi.
{{mbegu-jio}}
[[Jamii:Chile]]
[[Jamii:Visiwa vya Pasifiki]]
mmvth4qrgwci7bp23dbd6dy78kpbvvz
843 KK
0
79768
1235961
960192
2022-07-27T16:06:16Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236076
1235961
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Daren jox|Daren jox]]
wikitext
text/x-wiki
{{MwakaKK|843}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''843 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 9 KK]]
s1ru52oewxbg4nekes1071jj7yrmcim
1207 KK
0
80471
1235945
961581
2022-07-27T16:02:48Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236085
1235945
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Daren jox|Daren jox]]
wikitext
text/x-wiki
{{MwakaKK|1207}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1207 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 13 KK]]
34o8swmiex7xwz1o008x0hs5q1ufskz
Baraza la mawaziri Tanzania 2015
0
80781
1235918
1208162
2022-07-27T15:57:26Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236116
1235918
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''Baraza la Mawaziri la Tanzania''' ni ngazi ya juu ya [[serikali]] au mkono wa utendaji wa [[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]] katika mfumo wa [[mgawanyo wa madaraka]].
Baraza hili linaundwa na [[rais]], makamu wa rais, [[rais wa Zanzibar]], [[waziri mkuu]] na mawaziri wote. <ref>{{cite web |url=http://www.tanzania.go.tz/cabinet.htm |title=Cabinet of Tanzania |date=May 2012 |publisher=''tanzania.go.tz'' |accessdate=May 2012 |archiveurl=https://archive.today/20130418222542/http://www.tanzania.go.tz/cabinet.htm |archivedate=2013-04-18 }}</ref> Manaibu mawaziri si sehemu ya baraza. [[Mwanasheria Mkuu]] anashiriki katika mikutano ya baraza lakini hana haki ya kupiga kura katika mikutano hiyo.
Mikutano ya baraza huongozwa na Rais kama [[mwenyekiti]], kama Rais hayupo basi mikutano hiyo huongozwa na Makamu wa Rais, na kama wote wawili hawapo mikutano hiyo huongozwa na [[Waziri Mkuu]].<ref>{{Cite web |url=http://www.judiciary.go.tz/downloads/constitution.pdf |title=Katiba ya Tanzania, fungu 54 |accessdate=2015-12-11 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20101217023916/http://www.judiciary.go.tz/downloads/constitution.pdf |archivedate=2010-12-17 }}</ref>
Serikali iliyotangazwa na [[John Magufuli]], rais wa tano wa Tanzania baada ya [[uchaguzi mkuu wa tarehe 25 Oktoba 2015|uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015]] mnamo tarehe [[10 Desemba]] [[2015]]. Isipokuwa nafasi 4 zilichelewa kutajwa majina hadi tarehe 23 Desemba, na hapo waliingia [[Jumanne Maghembe]], [[Philip Mpango]], [[Gerson Lwenge]] na [[Joyce Ndalichako]]. Siku hiyohiyo [[Makame Mbarawa]] alihamishwa kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji na kwenda Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
{| class=wikitable
! rowspan=2 | Chama anachotoka
| style="background:#228B22" |
| [[Chama Cha Mapinduzi]]
|}
{|class="wikitable"
|+ Baraza la mawaziri la Tanzania: mwishoni mwa mwaka 2015<ref>{{cite web |url=http://ikulu.go.tz/index.php/media/press_details/2111 |title=Baraza la Mawaziri |last1= |first1= |last2= |first2= |date=10 December 2015 |website= |publisher=Ikulu |access-date=11 December 2015 |quote= |accessdate=2015-12-11 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20151222143938/http://ikulu.go.tz/index.php/media/press_details/2111 |archivedate=2015-12-22 }}</ref><ref>{{cite news |last= |first= |date=10 December 2015 |title=Magufuli releases long awaited cabinet |url=http://dailynews.co.tz/index.php/home-news/44969-magufuli-releases-long-awaited-cabinet |newspaper=Daily News |location=Dar es Salaam |access-date=10 December 2015 }}</ref><ref>{{Cite tweet |author=Chama Cha Mapinduzi |author-link=Chama Cha Mapinduzi |user=ccm_tanzania |number=674924618881376256 |date=10 December 2015 |title=Rais Magufuli atangaza Baraza la Mawaziri |retweet= |access-date=10 December 2015 |language=Swahili }}</ref>
! style="background-color:#228B22;color: white"|Picha
! style="background-color:#228B22;color: white"|Majukumu
! colspan=2 style="background-color:#228B22;color: white" | Jina
|-
| [[File:John Magufuli 2015.png|75px]]
| [[rais wa Tanzania|Raisi]]<br><small>[[Amiri jeshi mkuu]]</small>
| style="background:#228B22" |
| Dr. [[John Magufuli]]
|-
| [[File:Samia Suluhu Hassan.jpg|75px]]
| [[Makamu wa Rais wa Tanzania|Makamu wa Rais]]
| style="background:#228B22" |
| [[Samia Suluhu]]
|-
| [[File:Ali Mohamed Shein, September 2014 (cropped).jpg|75px]]
| [[rais wa Zanzibar|Rais]] wa [[Zanzibar]]
| style="background:#228B22" |
| [[Ali Mohamed Shein]]
|-
| [[File:Kassim Majaliwa.jpg|75px]]
| [[Waziri Mkuu wa Tanzania| Waziri Mkuu]]
| style="background:#228B22" |
| [[Kassim Majaliwa]]
|-
| [[File:Abdallah Ulega.jpg|75px]]
| [[ Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika| Kilimo]]
| style="background:#228B22" |
| [[Abdallah Hamis Ulega]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| Waziri wa Nchi [[Ofisi ya Raisi]] <br> <small>[[TAMISEMI]], Utumishi na Utawala Bora</small>
| style="background:#228B22" |
| [[Selemani Said Jafo]]
|-
| [[File:Angellah Kairuki.jpg|75px]]
| [[ Wizara ya Madini | Madini]]
| style="background:#228B22" |
| [[Angellah Kairuki]]
|-
| [[File:January Makamba 2012.jpg|75px]]
| Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais <br><small>Masuala ya Muungano, Mazingira</small>
| style="background:#228B22" |
| [[January Makamba]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| Waziri wa Ofisi ya [[Waziri Mkuu]] <br><small>Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu</small>
| style="background:#228B22" |
| [[Jenista Mhagama]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| [[ Wizara ya Mifugo na Uvuvi | Mifugo na Uvuvi]]
| style="background:#228B22" |
| [[Luhaga Joelson Mpina]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| [[Wizara ya Sheria na Katiba|Sheria na Katiba]]
| style="background:#228B22" |
| Professor. [[Paramagamba John Aidan Mwaluko Kabudi]]
|-
| [[File:Hussein Mwinyi.jpg|75px]]
| [[Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa|Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa]]
| style="background:#228B22" |
| [[Hussein Ali Mwinyi]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| [[Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi |Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi]]
| style="background:#228B22" |
| Professor. [[Joyce Lazaro Ndalichako]]
|-
| [[File:Medard Kalemani.jpg|75px]]
| [[Wizara ya Nishati | Nishati]]
| style="background:#228B22" |
| [[Medard Matogolo Kalemani]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| [[Wizara ya Fedha na Uchumi|Wizara ya Fedha na Mipango]]
| style="background:#228B22" |
| Dr. [[Philip Mpango]]
|-
| [[File:Augustine Mahiga (cropped).jpg|75px]]
| [[Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa| Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa]]
| style="background:#228B22" |
| Dr. [[Augustine Philip Mahiga]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| [[Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto|Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto]]
| style="background:#228B22" |
| [[Ummy Ally Mwalimu]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| [[Wizara ya Mambo ya Ndani | Mambo ya Ndani]]
| style="background:#228B22" |
| [[Kangi Alphaxard Lugola]]
|-
| [[File:Charles Mwijage.jpg|75px]]
| [[Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji | Viwanda, Biashara na Uwekezaji]]
| style="background:#228B22" |
| [[Charles John Mwijage]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| [[Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo|Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo]]
| style="background:#228B22" |
| Dr. [[Harrison Mwakyembe]]
|-
| [[File:William Lukuvi cropped.png|75px]]
| [[Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi | Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi]]
| style="background:#228B22" |
| [[William Lukuvi]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| [[Wizara ya Maliasili na Utalii | Maliasili na Utalii]]
| style="background:#228B22" |
| [[Hamisi Andrea Kigwangalla]]
|-
| [[File:Makame Mbarawa IAEA.png|75px]]
| [[Wizara ya Maji na Umwagiliaji | Maji na Umwagiliaji]]
| style="background:#228B22" |
| [[Profesa Makame Mbarawa Mnyaa]]
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| [[Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano | Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano]]
| style="background:#228B22" |
| [[Isack Aloyce Kamwelwe]]
|-
| style="background:#cccccc;" colspan="5" | '''(anahudhuria mikutano ya baraza la mawaziri bila kupiga kura'''
|-
| [[File:No image.svg|75px]]
| [[Mwanasheria Mkuu wa Tanzania]]
|
| Dr. [[Adelardus Kilangi]]
|}
==Marejeo==
<references/>
==Tazama pia==
[[Wizara za Serikali ya Tanzania]]
[[Orodha_ya_Mawaziri_Wakuu_wa_Tanzania]]
[[Category:Siasa ya Tanzania]]
i209bg98drtyp4rxgax9fvam5hih1yg
Kipanchpargania
0
80977
1235999
1000799
2022-07-27T16:15:25Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236036
1235999
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
'''Kipanchpargania''' ni [[Lugha za Kihindi-Kiulaya|lugha ya Kihindi-Kiulaya]] nchini [[Uhindi]] inayozungumzwa na [[Wapanchpargania]]. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kipanchpargania imehesabiwa kuwa watu 194,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kipanchpargania iko katika kundi la Kiaryan.
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/tdb lugha ya Kipanchpargania kwenye Multitree]
*[http://www.language-archives.org/language/tdb makala za OLAC kuhusu Kipanchpargania]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/panc1246 lugha ya Kipanchpargania katika Glottolog]
*[http://www.ethnologue.com/language/tdb lugha ya Kipanchpargania kwenye Ethnologue]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Panchpargania}}
[[Jamii:Lugha za Uhindi]]
55geopwbcdev52b4c53s1ukug2iazh6
Kisylheti
0
81140
1235958
1001552
2022-07-27T16:05:20Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236082
1235958
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
'''Kisylheti''' ni [[Lugha za Kihindi-Kiulaya|lugha ya Kihindi-Kiulaya]] nchini [[Bangladesh]] na [[Uhindi]] inayozungumzwa na [[Wasylheti]]. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kisylheti nchini Uhindi imehesabiwa kuwa watu milioni tatu, na nchini Bangladesh kuna wasemaji milioni saba. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kisylheti iko katika kundi la Kiaryan.
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/syl lugha ya Kisylheti kwenye Multitree]
*[http://www.language-archives.org/language/syl makala za OLAC kuhusu Kisylheti]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/sylh1242 lugha ya Kisylheti katika Glottolog]
*[http://www.ethnologue.com/language/syl lugha ya Kisylheti kwenye Ethnologue]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Sylheti}}
[[Jamii:Lugha za Bangladesh]]
[[Jamii:Lugha za Uhindi]]
tshi0n45oblf92drawlwcaqfkypdfcp
1497 KK
0
81757
1236001
968206
2022-07-27T16:15:51Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236041
1236001
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:MCDONALN ALOYCE FUTE|MCDONALN ALOYCE FUTE]]
wikitext
text/x-wiki
{{MwakaKK|1497}}
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1497 KK''' ([[kabla ya Kristo]]).
==Matukio==
== Waliozaliwa ==
== Waliofariki ==
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Karne ya 15 KK]]
qhg3oh3rln7bjkifjnt295nl43g94l6
Garry Marshall
0
84593
1236171
990336
2022-07-27T22:26:32Z
FMSky
47199
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox actor
| jina = Garry Marshall
| picha = Garry Marshall 2013 cropped.jpg
| maelezo ya picha = Marshall, [[2013]]
| jina la kuzaliwa = {{birth date and age|1934|11|13}}
| tarehe ya kuzaliwa =
| mahala pa kuzaliwa = [[The Bronx]], [[New York]], [[United States|USA]]
| ndoa =
}}
'''Garry Kent Masciarelli''' ([[13 Novemba]], [[1934]] - [[19 Julai]] [[2016]]) alikuwa [[mwigizaji]] wa [[filamu]] na [[mchekeshaji]] kutoka nchini [[Marekani]].
== Marejeo ==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* {{imdb name|id=0005190|name=Garry Marshall}}
{{mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1934]]
[[Jamii:Waliofariki 2016]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
ilibruilqq4ha2vh60hcp0a34shjzde
Mkojo
0
85049
1235998
981586
2022-07-27T16:15:14Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236042
1235998
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:Weewee.JPG|thumb|[[Sampuli]] ya mkojo wa [[binadamu]].]]
'''Mkojo''' ni kimiminika ambacho ni takamwili itokanayo na [[mwili]] na ambayo huzalishwa na [[figo]], halafu hutolewa mwilini kupitia [[urethra]].
{{mbegu-biolojia}}
[[Jamii:Mwili]]
69qfy3pr7xvya24i6zoxinbikmj68bm
Mia tatu na sabini na saba
0
85180
1235967
991524
2022-07-27T16:07:36Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236074
1235967
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:MCDONALN ALOYCE FUTE|MCDONALN ALOYCE FUTE]]
wikitext
text/x-wiki
'''Mia tatu na sabini na saba ''' ni [[namba]] inayoandikwa '''377''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na CCCLXXVII kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Mia tatu na sabini na sita|376]] na kutangulia [[Mia tatu na sabini na nane|378]].
Vigawo vyake vya [[namba tasa]] ni: 13 x 29.
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[377 KK]] na [[377]] [[BK]].
==Tanbihi==
{{Reflist}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Category:Namba asilia]]
eod0utoqdm9uys0v49m5l6h8ru2ra9z
Ted Kooser
0
87425
1235917
988035
2022-07-27T15:57:16Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236091
1235917
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
'''Ted Kooser''' (amezaliwa [[25 Aprili]] [[1939]]) ni mshairi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Mwaka wa 2005 alipokea '''[[Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]'''.
==Viungo vya Nje==
*[https://www.poetryfoundation.org/poems-and-poets/poets/detail/ted-kooser Wasifu ya Kooser kwa Kiingereza]
{{Mbegu-mwandishi}}
{{DEFAULTSORT:Kooser, Ted}}
[[Category:Waliozaliwa 1939]]
[[Category:Watu walio hai]]
[[Category:Washairi wa Marekani]]
[[Category:Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi]]
28lcjvneg2cc5ymauflyje3xfo4dcbg
Roshoro
0
88590
1235915
992714
2022-07-27T15:56:56Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236090
1235915
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''Roshoro''' ni [[chakula]] ambacho kinatokana na mchemsho wa [[ndizi]] za kusaga.
Imetokana na [[kabila]] la [[Wameru]].
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Chakula cha Kiafrika]]
lgel98zce5kk91db7i2n7237s09ug37
Junguni
0
89489
1235922
1141336
2022-07-27T15:58:30Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236104
1235922
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
'''Junguni''' ni kata ya [[Wilaya ya Wete]] katika [[Mkoa wa Kaskazini Pemba]], [[Tanzania]]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 2547 <ref>{{Cite web |url=http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |title=Sensa ya 2012, Kaskazini Pemba - Wete DC |accessdate=2017-04-20 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20040102080416/http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |archivedate=2004-01-02 }}</ref> walioishi humo. [[Msimbo wa posta]] ni 75116.
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Wete}}
{{mbegu-jio-pemba}}
[[Jamii:Mkoa wa Pemba Kaskazini]]
[[Jamii:Wilaya ya Wete]]
tskccup78w0r4lp6j8np50no8g9nc41
Raphael Chegeni
0
89804
1236187
1212471
2022-07-28T00:56:39Z
196.249.103.135
Added content
wikitext
text/x-wiki
''' Dr. Raphael Masunga Chegeni''' (amezaliwa [[25 Mei]] [[1964]]) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[Chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Amechaguliwa kuwa [[mbunge]] wa [[Busega]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]]. <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/424 Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref> Kwa sasa ni mkuu wa mkoa wa Mara.
==Marejeo==
<references/>
{{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
5sygomcifn5i65g57hqjq49a1h5vc4n
1236232
1236187
2022-07-28T08:12:50Z
Kipala
107
Protected "[[Raphael Chegeni]]" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho))
wikitext
text/x-wiki
''' Dr. Raphael Masunga Chegeni''' (amezaliwa [[25 Mei]] [[1964]]) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[Chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Amechaguliwa kuwa [[mbunge]] wa [[Busega]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]]. <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/424 Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref> Kwa sasa ni mkuu wa mkoa wa Mara.
==Marejeo==
<references/>
{{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
5sygomcifn5i65g57hqjq49a1h5vc4n
1236234
1236232
2022-07-28T08:15:02Z
Kipala
107
Si mkuu wa mkoa wa Mara. 2022 Ally Hapi alikuwa mkuu wa mkoa wa Mara. Ona https://mara.go.tz/
wikitext
text/x-wiki
''' Dr. Raphael Masunga Chegeni''' (amezaliwa [[25 Mei]] [[1964]]) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[Chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Alichaguliwa kuwa [[mbunge]] wa [[Busega]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]]. <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/424 Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref>
==Marejeo==
<references/>
{{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
m8ijq2sc0anhxaqa1y8dy5vwibo5w6j
1236235
1236234
2022-07-28T08:15:54Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
''' Dr. Raphael Masunga Chegeni''' (amezaliwa [[25 Mei]] [[1964]]) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[Chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Alichaguliwa kuwa [[mbunge]] wa [[Busega]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]]. <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/424 Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref>
==Marejeo==
<references/>
{{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
e8ap0e4gon1tbw1xui6lhcrgmdjck3v
1236291
1236235
2022-07-28T10:41:49Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
''' Dr. Raphael Masunga Chegeni''' (amezaliwa [[25 Mei]] [[1964]]) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[Chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Alichaguliwa kuwa [[mbunge]] wa [[Busega]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]]. <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/424 Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref>
Kwenye Julai 2022 aliteuliwa kuwa mkuu wa [[Mkoa wa Mara]].<ref>[https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/president-samia-changes-10-regional-commissioners-drops-9-in-latest-appointments-3894748 President Samia changes 10 Regional Commissioners, drops 9 in latest appointments], The Citizen 28 Julai 2022</ref>
==Marejeo==
<references/>
{{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1964]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
6vt7j69rpgb324gbru2ta492wl554rf
Blasi
0
90913
1236244
1205477
2022-07-28T08:34:06Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[image:Saint Blaise Louvre OAR504.jpg|thumb|250px|''Mt. Blaise akimkabili [[gavana]] wa Kirumi'', [[Soissons]] ([[Picardy]], [[France]]), mwanzoni mwa [[karne ya 13]].</small>]]
'''Blasi''' (kwa [[Kiarmenia]]: Վլասի, Vlasi; kwa [[Kigiriki]] Βλάσιος, Vlasios) alikuwa [[mganga]] na [[askofu]] wa Sebaste katika [[Armenia ya Kale]] (leo [[Sivas]], [[Uturuki]]).
[[kifodini|Aliuawa]] kwa ajili ya [[imani]] yake ya [[Kikristo]] mwaka [[316]] katika [[dhuluma]] ya [[Kaizari|kaisari]] [[Licinius]].
Ndiyo sababu anaheshimiwa na [[madhehebu]] mengi kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa na [[Ukristo wa magharibi]] tarehe [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>, kumbe [[Ukristo wa Mashariki|mashariki]] tarehe [[11 Februari]].<ref name=kirsch>[http://www.newadvent.org/cathen/02592a.htm Kirsch, Johann Peter. "St. Blaise." The Catholic Encyclopedia. Vol. 2. New York: Robert Appleton Company, 1907. 3 Feb. 2013]</ref>
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
== Tanbihi ==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Saint Blaise}}
*[http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=28 Saint Blaise] article from Catholic.org
*[http://oca.org/saints/lives/2015/02/11/100501-hieromartyr-blaise-the-bishop-of-sebaste Hieromartyr Blaise of Sebaste]
*St. Blaise's life in Voragine's ''Golden Legend:'' [http://www.thelatinlibrary.com/voragine/blas.shtml Latin original] and [http://www.christianiconography.info/goldenLegend/blaise.htm English] (English from the Caxton translation)
* [http://www.christianiconography.info/blaise.html Saint Blaise] at the [http://www.christianiconography.info/index.html Christian Iconography] web site.
*[http://www.ewtn.com/Devotionals/novena/blaise.htm Novena in Honor of St. Blaise] {{Wayback|url=http://www.ewtn.com/Devotionals/novena/blaise.htm |date=20190517184200 }}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa karne ya 3]]
[[Category:Waliofariki 316]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Armenia]]
[[Jamii:Watakatifu wa Uturuki]]
di3jwijrdyh5jkohbf8e4m08cq1fyym
Kiyawarawarga
0
91209
1235943
1006141
2022-07-27T16:02:31Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236089
1235943
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
'''Kiyawarawarga''' kilikuwa [[Lugha za Kipama-Nyungan|lugha ya Kipama-Nyungan]] nchini [[Australia]] iliyozungumzwa na [[Wayawarawarga]] katika majimbo ya [[Australia Kusini]] na [[Queensland]]. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea lugha hii, yaani lugha ya Kiyawarawarga ilitoweka. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiyawarawarga kiko katika kundi la Kikarniki.
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/yww lugha ya Kiyawarawarga kwenye Multitree]
*[http://www.language-archives.org/language/yww makala za OLAC kuhusu Kiyawarawarga]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/yawa1258 lugha ya Kiyawarawarga katika Glottolog]
*[http://www.ethnologue.com/language/yww lugha ya Kiyawarawarga katika Ethnologue]
{{mbegu-lugha}}
{{DEFAULTSORT:Yawarawarga}}
[[Jamii:Lugha za Australia]]
11zuaw60sock9yokhyx7vb8u4z8k572
Mia tisa sabini na tisa
0
91274
1235936
1006326
2022-07-27T16:00:55Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236088
1235936
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Baba Tabita|Baba Tabita]]
wikitext
text/x-wiki
'''Mia tisa sabini na tisa''' ni [[namba]] inayoandikwa '''979''' kwa [[tarakimu]] za kawaida na CMLXXIX kwa [[namba za Kiroma|zile za Kirumi]].
Ni [[namba asilia]] inayofuata [[Mia tisa sabini na nane|978]] na kutangulia [[Mia tisa themanini|980]].
Vigawo vyake vya [[namba tasa]] ni: 11 x 89.
==Matumizi==
* Namba hurejea miaka [[979 KK]] na [[979]] [[BK]].
==Tanbihi==
{{Reflist}}
{{mbegu-hisabati}}
[[Category:Namba asilia]]
g38tboma21k6e3vn6s9g4l41ioridvs
Towashi
0
91726
1235953
1145925
2022-07-27T16:04:21Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236099
1235953
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:Chevalier Auguste de Henikstein - Kislar Agassi. Grand eunuque du G. Seineur. Bakadgi Sűlűslű. Astahi. Cuisinier du G. Seigneur.jpg|thumb|250px|Towashi mkuu wa [[ikulu]] ya [[Sultani]] wa [[Uturuki]] aliyekabidhiwa wake zake.]]
'''Towashi''' (kutoka [[neno]] la [[Kiajemi]]) ni [[mwanamume]] asiyeweza [[tendo la ndoa]], kwa mfano yule aliyehasiwa.
Katika [[historia]] ilitokea mara nyingi na kwa sababu mbalimbali kwamba watu wa namna hiyo walihitajiwa, kwa mfano ili kutunza [[Mke|wake]] wa [[mfalme]], kufanya [[kazi]] kama [[mtumwa]] bila kuzaa [[watoto]], kubaki na [[sauti]] ndogo ya kabla ya [[ubalehe]] ili kuimba vizuri, n.k.
Siku hizi watu wanakubaliana katika kulaani [[upasuaji]] kama huo kwa kuwa ni kinyume cha [[hadhi]] ya [[binadamu]] ambaye ni [[Haki za binadamu|haki yake ya msingi]] kuwa na [[mwili]] mtimilifu na kutofanywa chombo cha wengine.
Katika [[Injili]] ([[Math]] 19:12), [[Yesu]] alifananisha watu ambao kama yeye kwa ajili ya [[ufalme wa Mungu]] wanajinyima kwa hiari [[ndoa]] na [[uzazi]] na matowashi waliozaliwa na ubovu katika [[viungo vya uzazi]] na wale waliohasiwa. Sababu ni kwamba uamuzi wao wa moja kwa moja unawanyima [[tunu]] hizo, hivyo ni [[sadaka]] ambayo wanamtolea [[Mungu]] ili kueneza zaidi [[utawala]] wake.
Ingawa katika [[Agano la Kale]] matowashi hawakuruhusiwa kujiunga na [[dini]] ya [[Israeli]], [[Isaya wa Tatu]] alitabiri kwamba siku za mbele hali yao itakuwa tofauti.
Hivyo katika [[Matendo ya Mitume]] (sura ya 8) inasimuliwa jinsi [[Towashi Mwethiopia]] [[Ubatizo|alivyobatizwa]] na [[Filipo mwinjilisti]].
Nukuu kutoka katika Mathayo 19:12
"Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee." Mathayo 19:12 SUV
==Marejeo==
*[http://www.well.com/user/aquarius/guilland-eunuques.htm English translation of Rudople Guilland's essay on Byzantine eunuchs "Les Eunuques dans l'Empire Byzantin: Étude de titulature et de prosopographie byzantines", in 'Études Byzantines', Vol. I (1943), pp. 197–238 with many examples]
*{{cite book |last=Bauer |first=Susan Wise |title=The History of the Medieval World: From the Conversion of Constantine to the First Crusade |url=https://books.google.com/books?id=1u2oP2RihIgC&printsec=frontcover&source=gbs_ge_summary_r&cad=0 |accessdate=5 September 2013 |year= 2010 |edition=illustrated|publisher=W. W. Norton & Company |location= |isbn=0393078175 |page=}}
* {{cite book|title=The Tongking Gulf Through History|year=2011|publisher=University of Pennsylvania Press|isbn=0812243366|url=https://books.google.com/?id=7mlKjn3FfoMC&printsec=frontcover |edition=illustrated|accessdate=4 January 2013|editor1-first=Nola|editor1-last=Cooke|editor2-first=Tana|editor2-last=Li|editor3-first=James|editor3-last=Anderson}}
*{{cite book |last=Keay |first=John |title=China: A History|url=https://books.google.com/books?id=fcy1N5GXs4wC&printsec=frontcover&source=gbs_ge_summary_r&cad=0 |accessdate=5 September 2013 |year= 2010 |edition=|publisher=HarperCollins UK|location= |isbn=0007372086 |page=}}
* {{cite book|last=Lary|first=Diana|title=The Chinese State at the Borders|year=2007|publisher=UBC Press|isbn=0774813334|url=https://books.google.com/?id=pFzhWyoYG_wC&printsec=frontcover |edition=illustrated|editor=Diana Lary|accessdate=4 January 2013|page=}}
*{{cite book |last=McMahon |first=Keith |title=Women Shall Not Rule: Imperial Wives and Concubines in China from Han to Liao |url=https://books.google.com/books?id=gc_3IXkwG3QC&printsec=frontcover&source=gbs_ge_summary_r&cad=0 |accessdate=5 September 2013 |year= 2013 |publisher=Rowman & Littlefield Publishers |location= |isbn=1442222905 |page=}}
*{{cite book |editor1-last=Peterson |editor1-first=Barbara Bennett |title=Notable Women of China: Shang Dynasty to the Early Twentieth Century|url=https://books.google.com/books?id=KLNrqn4WLZYC&printsec=frontcover&source=gbs_ge_summary_r&cad=0 |accessdate=5 September 2013 |year= 2000 |edition=illustrated |publisher=M.E. Sharpe |location= |isbn=0765619296 |page=}}
* {{cite book|last=Tsai|first=Shih-Shan Henry|title=The Eunuchs in the Ming Dynasty (Ming Tai Huan Kuan)|year=1996|publisher=SUNY Press|isbn=0791426874|url=https://books.google.com/?id=Ka6jNJcX_ygC&printsec=frontcover |edition=illustrated|accessdate=5 January 2013}}
*Tuotuo. Liaoshi [History of Liao]. Beijing: Zhonghua shuju, 1974 (or Tuotuo, ''Liaoshi'' (Beijing: Zhonghua shuju, 1974))
* {{cite book |last1=[[Toqto'a (Yuan Dynasty)|Toqto'a]] |title=Liao Shi ''(宋史)'' |trans_title=[[History of Liao]] |year=1344|language=zh|display-authors=etal}}
*{{cite book |editor1-last= Van Derven |editor1-first= H. J. |title=Warfare in Chinese History |volume=Volume 47 of Sinica Leidensia / Sinica Leidensia |url=https://books.google.com/books?id=IXKkCXDvYFYC&printsec=frontcover&source=gbs_ge_summary_r&cad=0 |accessdate=5 September 2013 |year= 2000 |edition=illustrated |publisher=BRILL |location= |isbn=9004117741 |page=}}
* {{Cite journal | last = Wade | first = Geoff | title = Southeast Asia in the Ming Shi-lu: an open access resource | url = http://www.epress.nus.edu.sg/msl/ | publisher = Asia Research Institute and the Singapore E-Press, National University of Singapore | year = 2005 |accessdate=6 November 2012 |ref=harv |postscript = <!-- Bot inserted parameter. Either remove it; or change its value to "." for the cite to end in a ".", as necessary. -->{{inconsistent citations}}}}
*{{cite book |last=Wang |first=Yuan-Kang |title=Harmony and War: Confucian Culture and Chinese Power Politics |url=https://books.google.com/books?id=gxVfTuKsaJQC&printsec=frontcover&source=gbs_ge_summary_r&cad=0 |accessdate=5 September 2013 |year= 2013 |edition=illustrated|publisher=Columbia University Press|location= |isbn=0231522401 |page=}}
*English language Abstracts of the thesis of 祝建龙 (Zhu Jianlong), Jilin University, April 2009: 辽代后宫制度研究 二〇〇九年四月, Research on the System of Imperial Harem in the Liao Dynasty
***[http://mt.china-papers.com/2/?p=205147] {{Wayback|url=http://mt.china-papers.com/2/?p=205147 |date=20131012050639 }}
***[https://web.archive.org/web/20131012055843/http://www.p-papers.com/94270.html]
***[http://www.research-degree-thesis.com/showinfo-108-941199-0.html] {{Wayback|url=http://www.research-degree-thesis.com/showinfo-108-941199-0.html |date=20180925202303 }}
==Viungo vya nje==
{{commons category|Eunuchs}}
*[http://www.well.com/user/aquarius/cardiff.htm The Ancient Roman and Talmudic Definition of Natural Eunuchs]
*[http://www.well.com/user/aquarius "Born Eunuchs" Home Page and Library]
*[http://www.eunuch.org/ The Eunuch Archive]
*[http://www.well.com/user/aquarius/pharaonique.htm Eunuchs in Pharaonic Egypt]
*[https://books.google.com/books?id=Ka6jNJcX_ygC&printsec=frontcover The Eunuchs of Ming Dynasty China]
*[http://acc6.its.brooklyn.cuny.edu/~phalsall/texts/eunuchs1.html Hidden Power: The Palace Eunuchs of Imperial China ] {{Wayback|url=http://acc6.its.brooklyn.cuny.edu/~phalsall/texts/eunuchs1.html |date=20080727020848 }}
*[http://www.china-underground.com/magazine/38-rare-pictures-of-eunuchs-during-qing-dinasty 38 rare pictures of eunuchs during Qing Dynasty ]
*[https://web.archive.org/web/20071229064718/http://findarticles.com/p/articles/mi_m2005/is_2_38/ai_n9487441 The Perfect Servant: Eunuchs and the Social Construction of Gender in Byzantium]
*[http://jcem.endojournals.org/content/84/12/4324.full Long-Term Consequences of Castration in Men: Lessons from the Skoptzy and the Eunuchs of the Chinese and Ottoman Courts, The Journal of Clinical Endocrinology & Metabolism December 1, 1999 vol. 84 no. 12 4324-4331] {{Wayback|url=http://jcem.endojournals.org/content/84/12/4324.full |date=20120906021041 }}
{{mbegu-biolojia}}
[[Jamii:Biolojia]]
[[Jamii:Utamaduni]]
[[Jamii:Maadili]]
[[Jamii:Ukristo]]
alx6jcjw6eyvgapc8rz3pg5a1w4ziou
Metafizikia
0
93488
1235870
1235812
2022-07-27T12:59:59Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Confucius_Tang_Dynasty.jpg|thumb|Konfutsu.]]
'''Metafizikia''' ni [[tawi]] la [[falsafa]] linalochunguza [[asili]] msingi ya [[ulimwengu]].
Kifupi, metafizika inajaribu kujibu hasa maswali mawili: 1. nini kipo? 2. kama kipo, kinakaaje?
Hivyo, [[mada]] za [[uchunguzi]] za wanametafizikia ni kama vile: kuwepo, [[violwa]] na [[sifa]] zao, nafasi na [[wakati]], usababishi na uwezekano. Tawi kuu la metafizika ni [[ontologia]], uchunguzi wa kundi za kuwepo na namna zinavyohusiana.
Kuna [[dhana]] [[mbili]] pana kuhusu ni “[[dunia]]” gani haswa inayochunguzwa na metafizika. Ile maarufu, maoni ya zama inayodhani kwamba violwa zinazotibwa na metafizika ziko kuwepo huru kutokana na mtazamaji yeyote. Yenyewe ina umaarufu kidogo, na dhana za majuzi inadhani kwamba violwa ambazo zinachunguzwa na metafizikia zina kuwepo kwa akili ya mtazamaji tu, hivyo raia anakua mfumo wa kujichunguza na uchambuaji wa dhana. [[Wanafalsafa]] kadhaa, haswa [[Emmanuel Kant]] na [[Arthur Schopenhauer]], wanaongea kuhusu “dunia” zote mbili na jinsi zinavyotangamana.
Wanafalsafa kadhaa na [[wanasayansi]], kama vile wanamantiki chaya, wametupilia mbali somo zima la metafizikia na kusema halina maana, lakini wengine wanakiri kuwa somo hili ni halali.
== Etimologia ==
[[Neno]] “metafizikia” limetokana na maneno ya [[Kigiriki]]: μετα ''meta'' (“ng'ambo ya”, “juu ya” ama “baada ya”) na φυσίκή ''fysike'' ([[fizikia]]). Ilitumika mara za kwanza kama [[kichwa]] cha [[maandishi]] kadhaa ya [[Aristoteli]] kwa [[umbo]] la μετὰ τὰ φυσικά ''meta ta fysika'' baada ya fizikia.
{{mbegu-elimu}}
[[Jamii:Falsafa]]
11xvxxqnhz37oik3t8gj1mc6iawgxam
Cristian Rodriguez
0
93766
1235894
1015183
2022-07-27T13:30:59Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Cristian Rodriguez''' (alizaliwa [[Juan Lacez]], [[Urugwai]], [[30 Septemba]] [[1985]]) ni [[mchezaji]] wa [[soka]].
Alianza kucheza mpira akiwa mdogo sana; jina lake la utani waliokuwa wanamuita ni Cebolla lilitoka huko penalo kwa baba yake na sababu ya kulipenda jina hilo lilikuwa na maana nzuri ni mtu mwenye kasi, uwezo na maarifa.
Katika kipindi chake alishawahi kucheza [[Ureno]] katika [[timu]] zinazoitwa [[Benfica]] na [[Porto]]; pia alishawahi kuchezea [[Atletico Madrid]].
Rodriguez aliwakilisha timu ya taifa lake mwaka 2014 katika Kombe la Dunia.
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Uruguai]]
hkn9ltynfyclm2c6mqvohkjxaz2jfgb
1235895
1235894
2022-07-27T13:32:05Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Cristian Rodriguez''' (alizaliwa [[Juan Lacez]], [[Urugwai]], [[30 Septemba]] [[1985]]) ni [[mchezaji]] wa [[soka]].
Alianza kucheza mpira akiwa mdogo sana; jina lake la utani waliokuwa wanamuita ni Cebolla lilitoka huko penalo kwa baba yake na sababu ya kulipenda jina hilo lilikuwa na maana nzuri ni mtu mwenye kasi, uwezo na maarifa.
Katika kipindi chake alishawahi kucheza [[Ureno]] katika [[timu]] zinazoitwa [[Benfica]] na [[Porto]]; pia alishawahi kuchezea [[Atletico Madrid]].
Rodriguez aliwakilisha [[timu ya taifa]] lake mwaka 2014 katika [[Kombe la Dunia la FIFA]].
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Uruguay]]
df9jbsbbkjf14z64npb59nkh6upx1dz
Deon Burton
0
94397
1235896
1017692
2022-07-27T13:33:09Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Deon-Burton-SWFC.jpg|thumb|213x213px|Deon Burton]]
'''Deon John Burton''' (alizaliwa [[25 Oktoba]] [[1976]]) ni [[mchezaji]] wa zamani wa [[soka]] kutoka [[Jamaika]] ambaye alicheza kama [[mshambuliaji]].
[[Klabu]] zake nyingi katika [[soka]] ya [[Kiingereza]] zilijumuisha [[Portsmouth]], [[Derby County]] na [[Sheffield Jumatano]].
Aliwakilisha [[Jamaika]] kimataifa, ikiwa ni pamoja na mashindano ya [[Kombe la Dunia]] ya mwaka [[1998]], na aliitwa jina la Michezo ya Mwaka wa [[Jamaika]] mwaka [[1997]].
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1976]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Jamaika]]
prx1tj2rz3ecabzrezntyktp3zjylbo
Zulia
0
94467
1235984
1017997
2022-07-27T16:11:43Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236052
1235984
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:77.127.56.240|77.127.56.240]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:Ardabil Carpet.jpg|thumb|right|170px| Zulia aina ya [[Ardabil]]]]
[[File:Wollteppich_1.jpg|thumb|right|170px|Zulia dogo]]
'''Zulia''' ni aina ya kitambaa kinene ambacho mara nyingi hutumiwa kufunika sakafu.
Mazulia hutumiwa kwa madhumuni mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kuhami miguu ya mtu kutoka kwenye ubaridi wa sakafu ya saruji, kufanya chumba kuwa kizuri zaidi kama mahali pa kukaa sakafu (kwa mfano, wakati wa kucheza na watoto au kama mahali pa [[sala]]), kupunguza sauti ya kutembea (hasa katika majengo ya ghorofa) na kuongeza mapambo au rangi kwenye chumba. Mazulia hutengenezwa kwa rangi yoyote kwa kutumia nyuzi tofauti za rangi. Kuanzia miaka ya 2000, mazulia yanatumiwa pia katika viwanda, maduka ya rejareja na hoteli.
Inaaminiwa kuwa mazulia yalianza kutumika karne ya 3 au 2 KK huko Asia ya Magharibi, labda eneo la [[Bahari ya Kaspi]] (Irani ya kaskazini) au Miinuko ya Armenia. Zulia zee kabisa duniani ni zulia la Pazyryk<ref name="web.archive.org">{{cite web|url=https://web.archive.org/web/20131005151326/http://www.hermitagemuseum.org/html_En/03/hm3_2_7d.html|title=The State Hermitage Museum: Collection Highlights}}</ref> ambalo ni la karne ya 5 KK. Zulia hili lilifukuliwa na [[Sergei Ivanovich Rudenko]] mwaka wa 1949 kutoka kwenye milima Altai huko Siberia.
[[File: Pazyryk carpet.jpg|thumb|[[Zulia la Pazyryk]] ndio zulia zee kuliko yote duniani. Linatoka ([[Armenia]] karne ya 5 KK.)]]
== Marejeo ==
<references />
== Tazama pia ==
* [http://libmma.contentdm.oclc.org/cdm/ref/collection/p15324coll10/id/73761 Flowers underfoot : Indian carpets of the Mughal era]
== Viungo vya Nje ==
* [https://wonderopolis.org/wonder/who-invented-carpet Je ni nani aliyegundua mazulia?]
* [https://www.carpetencyclopedia.com/history Historia ya mazulia]
* [https://www.britannica.com/topic/prayer-rug Kuhusu zulia na sala]
* [https://www.thoughtco.com/how-prayer-rugs-are-used-2004512 Jinsi Waislamu wanavyotumia mazulia kwenye sala]
* [https://www.britannica.com/topic/prayer-rug Kuhusu zulia na sala]
* [https://www.acarpetcleaninglasvegas.com/how-to-remove-old-red-stains-from-carpet/ Ushauri wa jinsi ya kutunza mazulia]
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Utamaduni]]
kintnllmsdb5gcwrucgz250n5zxaep5
Nathan Morris
0
95368
1236000
1020384
2022-07-27T16:15:39Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236070
1236000
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Muddyb|Muddyb]]
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
| jina = Nathan Morris
| picha = Nathan Morris cropped.jpg
| alt =
| maelezo = Morris akitumbuiza mnamo 2008
| background = solo_singer
| jina la kuzaliwa =
| alias =
| tarehe ya kuzaliwa = {{birth date and age|1971|6|18}}
| birth_place =
| asili yake = [[Philadelphia]], [[Pennsylvania]], U.S.
| ala = Sauti, kinanda
| aina = {{hlist|[[Contemporary R&B|R&B]]|[[Soul music|soul]]|[[new jack swing]]}}
| kazi yake = {{hlist|Mwimbaji|mfanyabiashara}}
| miaka ya kazi = 1988–hadi sasa
| studio = {{hlist|[[Motown]]|[[Universal Music Group|Universal]]|[[Arista Records|Arista]]|MSM|[[Entertainment One Music|Koch]]|[[Decca Records|Decca]]|
[[Universal Music Group|UMG]]}}
| ameshirikiana na = {{hlist|[[Boyz II Men]]|[[Marc Nelson]]|[[Michael McCary]]|[[Shawn Stockman]]|[[Wanya Morris]]}}
| wavuti = {{URL|boyziimen.com}}
}}
'''Nathan Morris''' (amezaliwa [[18 Juni]], [[1971]]) ni mwimbaji na mfanyabiashara kutoka nchini [[Marekani]]. Anajulikana sana kwa kuwa miongoni mwa waanzilishi wa kundi la [[muziki wa R&B]] la Kimarekani [[Boyz II Men]].
==Jisomee==
* [http://www.bluesandsoul.com/feature/256/of_boys_ii_men_growing_pains_and_long.../ Nathan Morris in-depth interview by Pete Lewis, 'Blues & Soul' March 2008]
==Viungo vya Nje==
* {{official website|http://www.boyziimen.com/biography/nathan-morris/|Bio of Nate on Boyz II Men official website}}
* {{IMDb name|606831}}
* {{IMDb name|2693835}} (another)
* [{{Allmusic|class=artist|id=p107577|pure_url=yes}} Nathan Morris] at [[Allmusic]]
{{Boyz II Men}}
{{BD|1971}}
{{DEFAULTSORT:Morris, Nathan}}
[[Category:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Category:Wanachama wa Boyz II Men]]
{{US-RnB-singer-stub}}
o4523nny95ff4lh0prpjlgqiv4c417t
Kisiwa Vancouver
0
97829
1235972
1142264
2022-07-27T16:08:40Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1235973
1235972
2022-07-27T16:08:58Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1235974
1235973
2022-07-27T16:09:19Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236059
1235974
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
{{Coord|49|30|N|125|30|W|type:isle_scale:2500000|display=inline,title}}<ref>{{cite web|url=http://atlas.nrcan.gc.ca/site/english/learningresources/facts/islands.html/#pacific|archiveurl=https://www.webcitation.org/652MzLLWS?url=http://atlas.nrcan.gc.ca/site/english/learningresources/facts/islands.html/#pacific|archivedate=2012-01-28|title=The Atlas of Canada – Sea Islands|accessdate=2010-09-16}}</ref>
[[image:Vancouver Island contour map.png|thumb|[[Ramani]] ya kisiwa.]]
[[File:Vancouver-island-relief.jpg|thumb|right|Vancouver Island is separated from mainland British Columbia by the Strait of Georgia and Queen Charlotte Strait, and from Washington by the Juan De Fuca Strait.]]
'''Kisiwa Vancouver''' (kwa [[Kiingereza]]: '''Vancouver Island''') kiko katika [[bahari]] ya [[Pasifiki]], karibu sana na [[pwani]] ya [[Kanada]]. Ni sehemu ya [[British Columbia]]. [[Urefu]] unafikia [[km]] 460 na [[upana]] km 100,<ref>{{cite web|url=http://www.hellobc.com/vancouver-island/regional-geography.aspx|title=Regional Geography - Vancouver Island, BC - Destination BC - Official Site|website=Hellobc.com|accessdate=8 January 2018}}</ref>. Eneo lake lote ni [[km2]] 32134.
[[Kilele]] cha juu ni [[mlima]] [[Golden Hinde]] wenye [[kimo]] cha [[m]] 2,195 juu ya [[usawa wa bahari]]<ref>{{cite web|url=http://www.vancouverisland.com/parks/?id=411|title=BC Parks – Strathcona Provincial Park, Central Vancouver Island, British Columbia|accessdate=2010-09-16}}</ref>.
[[Mwaka]] [[2016]] wakazi walikuwa 775,347.
==Tanbihi==
{{reflist|30em}}
==Marejeo==
* {{Cite book |last = Cheadle|first = Chris |coauthor= |year =2008 |title = Portrait of Vancouver Island|url = https://books.google.com/books?id=Z4BllOkysoUC&lpg=PP1&dq=Vancouver%20Island&pg=PP1#v=onepage&q&f=true|publisher= Heritage House Pub|isbn= 978-1-894974-47-9 |postscript =. |accessdate =2013-06-27}}
==Viungo vya nje==
{{Commons category}}
{{wikivoyage}}
* [http://jirislama.com/index.php/en/photoblog/trips-and-pictures/58-vancisl Birds of Vancouver Island]
* [http://www.crwflags.com/fotw/images/c/ca_vi.jpg Great Seal of the crown colony of Vancouver Island]
* [http://gsc.nrcan.gc.ca/geodyn/gpscrust_e.php Measuring crustal motions in coastal British Columbia with continuous GPS] {{Wayback|url=http://gsc.nrcan.gc.ca/geodyn/gpscrust_e.php |date=20061008203950 }}
* [http://www.th.gov.bc.ca/Publications/reports_and_studies/fixed_link/fixed_link.htm BC Ministry of Transportation – Report on Fixed Link] {{Wayback|url=http://www.th.gov.bc.ca/Publications/reports_and_studies/fixed_link/fixed_link.htm |date=20100821203226 }}
*[http://archive.copanational.org/PlacesToFly/airport_view.php?pr_id=3&ap_id=85 Qualicum Beach Airport] {{Wayback|url=http://archive.copanational.org/PlacesToFly/airport_view.php?pr_id=3&ap_id=85 |date=20120309005401 }} on [[Canadian Owners and Pilots Association|COPA's]] ''Places to Fly'' airport directory
{{mbegu-jio-Kanada}}
[[Jamii:Visiwa vya Kanada|V]]
[[Category:British Columbia]]
[[Category:Visiwa vya Pasifiki|V]]
fec4ybl0akvozisofhckdz5zf5xga6c
Mto Kanyamkochola
0
98005
1235921
1035039
2022-07-27T15:57:58Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236121
1235921
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Kagera]] ([[Tanzania]] [[Kaskazini]]-[[Magharibi]]).
[[Maji]] yake yanaelekea [[mto Nile]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kagera]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Kagera]]
[[Jamii:Nile]]
27o7mlrw8jcezf9ww5sxilxrsor1o0e
Mto Keta
0
98289
1235990
1029234
2022-07-27T16:13:23Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236057
1235990
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni mmojawapo kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Katavi]], [[Tanzania]] (upande wa [[magharibi]]).
Unatiririka hadi [[ziwa Tanganyika]], hivyo [[maji]] yake yanaingia katika [[mto Kongo]] na kuishia katika [[Bahari ya Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Katavi]]
==Marejeo==
<references/>
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-katavi}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Katavi]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
exxu65vhcfbse14d19tc7r94belcc61
Mto Majimahuhu
0
99391
1236008
1031461
2022-07-27T16:17:11Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236062
1236008
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni kati ya [[mito]] ya [[mkoa wa Ruvuma]] ([[Tanzania]] [[Kusini]]) ambayo [[maji]] yake yanaishia katika [[bahari Hindi]] kupitia [[mto Ruvuma]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruvuma]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{Mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
lve7twvvf0ljy2vlm4xjbsirrrcpglt
Luis Suárez
0
99610
1235881
1165756
2022-07-27T13:13:01Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Luis Suárez Díaz.jpg|thumb|Luis Suarez akiwa Liverpool.]]
'''Luis Alberto Suárez''' (alizaliwa [[Januari 24]], 1987) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa [[Uruguay]] ambaye anacheza nafasi ya [[mshambuliaji]] katika [[timu]] ya [https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Atl%C3%A9tico_Madrid Atletico Madrid] na [[timu ya taifa]] ya Uruguay.
Luis Suarez mara nyingi huonekana kama mchezaji bora zaidi duniani, pia hujulikana kwa [[jina]] la Professional Goalscorer, Suárez ameshinda vikombe 16 katika kazi yake, ikiwa ni pamoja na [[mataji]] matano ya ligi, cheo cha [[UEFA Champions League]] (UCL) na [[Copa América]]. Suarez pia amepata viatu viwili vya [[dhahabu]],na kiatu kimoja cha dhahabu cha [[Eredivisie]].
Suarez alichezea [[AFC Ajax|Ajax]] na kisha akaenda [[Liverpool F.C.|Liverpool]], [[Barcelona F.C.|Barcelona]] na sasa hivi yupo Atletico Madrid .
{{mbegu-cheza-mpira}}
{{BD|1987|}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Uruguay]]
f5i79aw61kmfjjg3bb2p9g3qphrt9pu
Mto Mchuchuma
0
100397
1235992
1033130
2022-07-27T16:13:48Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236054
1235992
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Njombe]] ([[Nyanda za Juu za Kusini]], [[Tanzania]]).
[[Maji]] ya [[mto]] huo yanaishia [[Bahari Hindi]] kupitia [[ziwa Nyasa]] na [[mto Zambezi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Njombe]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Tanzania}}
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Mito ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Njombe]]
[[Jamii:ziwa Nyasa]]
[[Jamii:Mto Zambezi]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
n9yimmeeeu1q6nl4ow9kz6ww7zrdumn
Werburga
0
101259
1236277
1148479
2022-07-28T09:43:18Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[image:Chester Cathedral - Refektorium Ostfenster 1 St.Werburg.jpg|thumb|200px|Mt. Werburga katika [[kioo cha rangi]] cha [[kanisa kuu]] la Chester.]]
'''Werburga''' (pia: '''Wærburh''', '''Werburh''' au '''Werburgh'''; [[Stone, Staffordshire|Stone]], [[Mercia]], [[650]] hivi<ref name=stwerburghrc>{{Cite web |url=http://www.stwerburghchester.co.uk/more-about-the-catholic-faith/saints-and-intercessors/st-werburgh.aspx |title=St Werburgh's Roman Catholic Parish, Chester |accessdate=2018-06-28 |archivedate=2016-03-10 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160310163359/http://www.stwerburghchester.co.uk/more-about-the-catholic-faith/saints-and-intercessors/st-werburgh.aspx }}</ref> - [[Trentham, Staffordshire|Trentham]], [[Staffordshire]], [[3 Februari]] [[699]]<ref>{{Cite web |url=http://www.st-werburgh-spondon.org.uk/st_werburgh.php |title="History – St. Werburgh", The Parish Church of St. Werburgh, Spondon, (Church of England) |accessdate=2018-06-28 |archivedate=2016-03-04 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160304031154/http://www.st-werburgh-spondon.org.uk/st_werburgh.php }}</ref>) alikuwa [[malkia mdogo]] huko [[Uingereza]].
Alianzisha [[monasteri]] kadhaa na hatimaye kujiunga na ile ya [[Ely]] ambayo ilianzishwa na kuongozwa na [[ndugu]] zake, akawa [[abesi]] wake baada ya [[mama]] yake, Mt. [[Ermenilda]].
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] ya [[kifo]] chake<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
*Gordon Emery, ''Curious Chester'' (1999) ISBN 1-872265-94-4
*Gordon Emery, ''Chester Inside Out'' (1998) ISBN 1-872265-92-8
*Gordon Emery, ''The Chester Guide'' (2003) ISBN 1-872265-89-8
*Roy Wilding, ''Death in Chester'' (2003) ISBN 1-872265-44-8
==Viungo vya nje==
*[http://www.everything2.com/index.pl?node_id=1448240 Life of St Werbergh]
*[http://penelope.uchicago.edu/Thayer/E/Gazetteer/Places/Europe/Great_Britain/England/_Topics/churches/_Texts/KINCAT*/Ely/2.html St Werberga and her royal and saintly relatives at Ely]
*[http://www.btinternet.com/~p.g.h/travel_england_cheshire.htm Reference to Earl Hugh building the abbey church] {{Wayback|url=http://www.btinternet.com/~p.g.h/travel_england_cheshire.htm |date=20070929124058 }}
*[http://www.bwpics.co.uk/cathedral.html Steve Howe's 'Chester: a Virtual stroll Around the Walls']
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 650]]
[[Category:Waliofariki 699]]
[[Category:Mabikira]]
[[Jamii:watawa waanzilishi]]
[[Category:Wamonaki]]
[[Category:Watakatifu wa Uingereza]]
fcz8q4q6lkrw8ni26o1e6ggmoczy7f8
Mto Waseges
0
101488
1235939
1036772
2022-07-27T16:01:55Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236127
1235939
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Baringo]] nchini [[Kenya]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Baringo]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Baringo]]
4fmtl8mrwakr4tr8sz66c7azbga0pdw
Christian Eriksen
0
101864
1235880
1037523
2022-07-27T13:12:39Z
Riccardo Riccioni
452
/* Marejeo */
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Christian Eriksen v Arsenal 1314.jpg|thumb|296x296px|Christian Eriksen]]
'''Christian Eriksen''' (alizaliwa tarehe [[14 Februari]] mwaka [[1992]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] wa [[Denmark]] ambaye anacheza kama [[kiungo mshambuliaji]] katika [[klabu]] ya [[Ligi Kuu]] ya [[Uingereza]] iitwayo [[Tottenham Hotspur]] na [[timu ya taifa]] ya Denmark.
Alicheza timu yake ya taifa ya Denmark mwaka [[2010]], na alikuwa mchezaji mdogo kabisa wa Kombe la Dunia la FIFA 2010 nchini Afrika Kusini.
Mwaka [[2011]] Eriksen aliitwa Mchezaji wa Soka wa Denmark wa Mwaka, Talent ya Uholanzi ya Mwaka, Ajax Talent ya Mwaka (Tuzo la Marco van Basten), na alifanya timu ya UEFA Euro chini ya miaka 21 .
Pia alishinda Eredivisie na Ajax mwaka 2010-11, 2011-12 na mwaka 2012-13 kabla ya kuondoka kwa Tottenham mwezi Agosti [[2013]] kwa ada ya taarifa ya karibu [[Pauni|£]] 11.5 milioni.
Alishinda tuzo ya Tottenham Hotspur ya Mwaka kwa msimu wa 2013-14 na,pia ni miongoni mwa wachezaji waliochaguliwa katika kuwakilisha nchi katika [[Kombe la Dunia la FIFA 2018]].
==Heshima==
'''Ajax'''
*[[Eredivisie]]: [[2010–11 Eredivisie|2010–11]], [[2011–12 Eredivisie|2011–12]], [[2012–13 Eredivisie|2012–13]],<ref>{{cite web|url=http://english.ajax.nl/The-Club/Trophies.htm|title=Trophies|publisher=AFC Ajax|date=20 January 2015|archiveurl=https://web.archive.org/web/20150120170833/http://english.ajax.nl/The-Club/Trophies.htm|archivedate=20 January 2015}}</ref> [[2013–14 Eredivisie|2013–14]]
*[[KNVB Cup]]: [[2009–10 KNVB Cup|2009–10]]
*[[Johan Cruyff Shield]]: [[2013 Johan Cruyff Shield|2013]]<ref>{{cite web|url=http://www.rsssf.com/tablesn/nedsupcuphist.html|title=Netherlands – List of Super Cup Finals|publisher=Rec.Sport.Soccer Statistics Foundation|accessdate=20 January 2015}}</ref>
'''Tottenham Hotspur'''
*[[EFL Cup|Football League Cup]] runner-up: [[2014–15 Football League Cup|2014–15]]
'''Binafsi'''
*[[AFC Ajax|Ajax]] Talent of the Future: 2010
*Ajax Talent of the Year: 2011
*[[Danish Football Player of the Year#Young Players of the Year|Danish U-17 Talent of the Year]]: 2008
*[[Danish Football Player of the Year|Danish Talent of the Year]]: 2010, 2011<ref>{{cite web|url=http://www.insidefutbol.com/2015/01/10/tottenham-hotspur-star-christian-eriksen-wins-danish-player-of-the-year-award/182406/|title=Tottenham Hotspur Star Christian Eriksen Wins Danish Player of the Year Award|publisher=Inside Futbol|date=10 January 2015|accessdate=20 January 2015}}</ref>
*[[Johan Cruijff Award]]: 2011
*[[Dutch Footballer of the Year]] Bronze Boot: 2012
*[[Danish Football Player of the Year]]: 2013, 2014, 2015, 2017<ref>{{cite web|url=http://www.tottenhamhotspur.com/news/christian-danish-award-110115/ |title=Christian takes top Danish honour for second-successive year |publisher=Tottenham Hotspur F.C. |date=11 January 2015 |accessdate=20 January 2015}}</ref>
*[[Danish Football Player of the Year#Danish Football Association's award|Danish Football Player of the Year]] by TV2 and DFA: 2011, 2013, 2014, 2017
*[[PFA Team of the Year]]: [[PFA Team of the Year (2010s)#Premier League 9|2017–18 Premier League]]
*[[Tottenham Hotspur F.C.|Tottenham Hotspur]] Player of the Year: 2013–14, 2016–17
*[[Premier League Goal of the Month]]: April 2018<ref>{{cite news|title=Eriksen strike wins Carling Goal of the Month|publisher=Premier League |url=https://www.premierleague.com/news/682718 |language=en|date=9 May 2018|accessdate=9 May 2018}}</ref>
'''Rekodi'''
*Mchezaji wa kwanza kushinda kwa mara tatu mfululizo tuzo ya [[Mchezaji Bora wa Mwaka wa Denmark]].
*Mchezaji wa Denmark aliyefunga mabao mengi katika [[Ligi Kuu ya Uingereza]].
==Marejeo==
{{Marejeo}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:waliozaliwa 1992]]
[[Jamii:watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Denmark]]
p3pwp5garneo86c817wymestzx9i18v
Mto Tajasisi
0
102752
1235985
1039127
2022-07-27T16:11:59Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236058
1235985
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Uasin Gishu]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (eneo la [[Bonde la Ufa la Afrika Mashariki]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Uasin Gishu]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Uasin Gishu]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
rdigmbpilnk8afn897rhnwst57q295r
Mto Nyamador
0
103592
1235952
1040485
2022-07-27T16:04:11Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236126
1235952
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Homa Bay]], [[magharibi]] mwa [[Kenya]] (kwenye [[ziwa Nyanza]]).
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Homa Bay]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Homa Bay]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
e2mx0k7usbjprlrysz63zco6h40k30t
Marco Reus
0
105015
1236266
1044599
2022-07-28T09:12:26Z
Brayson Mushi
52333
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:2019-06-11 Marco Reus (cropped).jpg|thumb|Huyu ni Marco Reus]]
'''Marco Reus''' (alizaliwa [[31 Mei]] [[1989]] <ref>{{cite web |url=https://www.fifadata.com/documents/FWC/2018/pdf/FWC_2018_SQUADLISTS.PDF |title=FIFA World Cup Russia 2018: List of Players: Germany |publisher=FIFA |page=12 |date=15 July 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190611000407/https://www.fifadata.com/documents/FWC/2018/pdf/FWC_2018_SQUADLISTS.PDF |archive-date=11 June 2019}}</ref><ref>{{cite web |url=https://www.espn.co.uk/football/player/_/id/122356/marco-reus |title=Marco Reus: Overview |publisher=ESPN |access-date=27 June 2020}}</ref>
) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa [[Ujerumani]] ambaye anachezea [[klabu]] ya [[Borussia Dortmund]], ambapo yeye ni [[nahodha]] wa klabu, na [[timu ya taifa]] ya Ujerumani.
Yeye anajulikana kwa ushujaa, kasi na mbinu zake.
Reus alitumia kazi yake ya ujana huko Borussia Dortmund, kabla ya kuondoka kwa [[Rot Weiss Ahlen]]. Amechezea klabu tatu katika kazi ya soka , hasa hasa-na kwa ushawishi mkubwa-huko [[Borussia Dortmund]] wa [[Bundesliga]].Reus anacheza kama mshambulizi wa kushoto wa klabu hiyo.Kutokana na uwezo wake wa kudhibiti mpira kwa miguu miwili.
2012 ulikuwa msimu wake wa mafanikio wakati, akifunga mabao 18. Reus alikubali kuhamia klabu yake ya nyumbani Borussia Dortmund mwishoni mwa msimu huo na chini ya mkataba wa BVB hadi [[2023]].Reus amevaa jezi namba 11 kwa Dortmund.Kwa Dortmund, Reus alishinda [[DFL-Supercup]] ya [[2013]] na Kombe la Ujerumani mwaka [[2017]].
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:watu walio hai]]
[[Jamii:wachezaji mpira wa Ujerumani]]
edakn56tikihvn3ry0mbyhzuezc00nl
1236267
1236266
2022-07-28T09:12:46Z
Brayson Mushi
52333
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:2019-06-11 Marco Reus (cropped).jpg|thumb|Marco Reus]]
'''Marco Reus''' (alizaliwa [[31 Mei]] [[1989]] <ref>{{cite web |url=https://www.fifadata.com/documents/FWC/2018/pdf/FWC_2018_SQUADLISTS.PDF |title=FIFA World Cup Russia 2018: List of Players: Germany |publisher=FIFA |page=12 |date=15 July 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190611000407/https://www.fifadata.com/documents/FWC/2018/pdf/FWC_2018_SQUADLISTS.PDF |archive-date=11 June 2019}}</ref><ref>{{cite web |url=https://www.espn.co.uk/football/player/_/id/122356/marco-reus |title=Marco Reus: Overview |publisher=ESPN |access-date=27 June 2020}}</ref>
) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa [[Ujerumani]] ambaye anachezea [[klabu]] ya [[Borussia Dortmund]], ambapo yeye ni [[nahodha]] wa klabu, na [[timu ya taifa]] ya Ujerumani.
Yeye anajulikana kwa ushujaa, kasi na mbinu zake.
Reus alitumia kazi yake ya ujana huko Borussia Dortmund, kabla ya kuondoka kwa [[Rot Weiss Ahlen]]. Amechezea klabu tatu katika kazi ya soka , hasa hasa-na kwa ushawishi mkubwa-huko [[Borussia Dortmund]] wa [[Bundesliga]].Reus anacheza kama mshambulizi wa kushoto wa klabu hiyo.Kutokana na uwezo wake wa kudhibiti mpira kwa miguu miwili.
2012 ulikuwa msimu wake wa mafanikio wakati, akifunga mabao 18. Reus alikubali kuhamia klabu yake ya nyumbani Borussia Dortmund mwishoni mwa msimu huo na chini ya mkataba wa BVB hadi [[2023]].Reus amevaa jezi namba 11 kwa Dortmund.Kwa Dortmund, Reus alishinda [[DFL-Supercup]] ya [[2013]] na Kombe la Ujerumani mwaka [[2017]].
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:watu walio hai]]
[[Jamii:wachezaji mpira wa Ujerumani]]
ll727shr7v9m9fbb523084vy087y1rl
Mto Luedi (Meru)
0
105881
1235935
1046083
2022-07-27T16:00:47Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236124
1235935
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[kaunti ya Meru]], katikati ya [[Kenya]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Tana]], ambao ndio mrefu kuliko yote nchini, na hatimaye katika [[bahari ya Hindi]].
==Tazama pia==
* [[Mito ya Kenya]]
* [[Orodha ya mito ya kaunti ya Meru]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-KE}}
[[Jamii:Mito ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Meru]]
[[Jamii:Mto Tana]]
[[Jamii:Bahari ya Hindi]]
rpj50p71daxw1i512874hitposkxq26
Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga
0
107995
1235920
1061911
2022-07-27T15:57:48Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236098
1235920
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' (amezaliwa [[Bunda]], [[Mkoa wa Mara]], [[3 Novemba]] [[1966]]) ni [[askofu]] [[Kanisa Katoliki|Mkatoliki]] nchini [[Tanzania]].
Aliwekwa [[wakfu]] na [[kardinali]] [[Polycarp Pengo]] [[mwaka]] wa [[2011]] kama [[askofu]] wa [[Jimbo Katoliki la Dodoma]].
Tangu [[tarehe]] [[17 Februari]] [[2014]] hadi [[21 Desemba]] [[2018]] alikuwa askofu wa [[Jimbo Katoliki la Mpanda|Jimbo la Mpanda]], halafu akateuliwa na [[Papa Fransisko]] kuwa [[askofu mkuu]] wa [[Jimbo Kuu la Mbeya|Mbeya]] na kusimikwa tarehe [[28 Aprili]] [[2019]]
Amekuwa [[rais]] wa [[Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania]] mnamo [[Julai]] [[2018]]).
{{Mbegu-Mkristo}}
{{DEFAULTSORT:Nyaisonga, Gervas John Mwasikwabhila}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1966]]
[[Jamii:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watu wa Tanzania]]
h0wx2vepbcau4r5utwsepke1wgqib6t
Mlima Membe
0
108118
1235937
1051884
2022-07-27T16:01:05Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236118
1235937
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Iringa]] nchini [[Tanzania]].
[[Kilele]] kina [[urefu]] wa [[mita]] 2,193 juu ya [[usawa wa bahari]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima ya mkoa wa Iringa]]
*[[Orodha ya milima ya Tanzania]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-TZ}}
[[Jamii:Milima ya Tanzania]]
[[Jamii:Milima ya Afrika]]
[[Jamii:Mkoa wa Iringa]]
5jc3bi6zf0hyhmugo4ortna1uos78bl
Rongo
0
108340
1236004
1186352
2022-07-27T16:16:24Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236064
1236004
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Org_0e8fc3d781e6e635_1593078460000.jpg|thumb|Rongo.]]
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Kenya]] katika [[Kaunti ya Migori]], haya ndiyo maeneo ya watu wa [[Kamagambo]]. Rongo ni mji ambao umenawiri kwa ukulima wa [[miwa]].
[[Mwaka]] [[2009]] ulikuwa na wakazi 82,066<ref>[https://www.knbs.or.ke/download/volume-1a-population-distribution-by-administrative-units-2/?wpdmdl=3765 Sensa ya Kenya 2009] {{Wayback|url=https://www.knbs.or.ke/download/volume-1a-population-distribution-by-administrative-units-2/?wpdmdl=3765 |date=20190109205229 }}, [[tovuti]] ya [[KNBS]], ilitazamwa Januari 2009.</ref>.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{Kaunti za Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Migori]]
bwkvadavsfrs01xo03lrbdf9zbuc3j3
Ziwa Kijanebalola
0
109895
1235962
1058015
2022-07-27T16:06:26Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236097
1235962
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Rivers and lakes of Uganda.png|thumb|250px|right|[[Mito]] na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza [[ramani]].]]
'''{{PAGENAME}}''' ni [[ziwa]] dogo la [[Uganda]] [[kusini]] kwa [[Ikweta]], katika [[wilaya ya Rakai]].
Ziwa hilo lina eneo la [[kilometa mraba]] 38.89.
Ndani yake hupatikana [[kisiwa cha Kisozi]] na [[kisiwa cha Kinoni]].
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{maziwa ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Maziwa ya Uganda]]
[[Jamii:Wilaya ya Rakai]]
0lnr6jehbmc03czc6do4917xwigm0xt
Mto Kidikidi (Uganda)
0
110262
1235925
1058986
2022-07-27T15:59:14Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236117
1235925
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Adjumani]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Adjumani]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
it8lnzie4lbdrzpem2vkrhpq80xkcu7
Tom Holland
0
110350
1235875
1135939
2022-07-27T13:09:23Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Tom Holland (28036487013).jpg|alt=Tom Holland|thumb|Tom Holland]]
'''Thomas Stanley Holland''' (aliyezaliwa [[Juni 1]], [[1996]]) ni [[mwigizaji]] wa [[Uingereza]] na mcheza ngoma. Anajulikana kwa kucheza [[Spiderman|Spider-Man]] katika ''Marvel Cinematic Universe'' (MCU) [[Captain America]]: ''Civil War'' (2016), Spider-Man: Homecoming (2017), na [[Avengers: Infinity War]] (2018).
Mnamo mwaka 2003, Thomas alibainika kuwa na [[ugonjwa]] wa [[kiakili]] wa kutoweza kusoma na kuandika.
{{mbegu-igiza-filamu}}
{{BD|1996|}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Uingereza]]
7ymtvzer65fizft9z6nc3irwm4na08n
Colin Morgan
0
110356
1235874
1059143
2022-07-27T13:08:55Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:SDCC10 - Colin Morgan.jpg|alt=Colin Morgan|thumb|Colin Morgan.]]
'''Colin Morgan''' (alizaliwa [[Armagh]], [[Ireland ya Kaskazini]], [[Januari 1]], [[1986]]) ni [[mwigizaji]] kutoka [[Ireland ya Kaskazini]], anayejulikana sana kwa kucheza kama [[mhusika]] mkuu katika mfululizo wa fantasia ya BBC wa [[Merlin]].
== Maisha ya awali na elimu ==
Morgan alizaliwa na Bernard, [[mchoraji]] na [[mtunzi]], na Bernadette, [[muuguzi]]. Yeye ni mdogo wa [[ndugu]] wawili; wote walikuwa wakisali katika [[Kanisa Katoliki]].
{{mbegu-igiza-filamu}}
{{BD|1986|}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Ireland Kaskazini]]
4eumjqatfzskh01f8ghmtr09qlvfe8b
Sándor Ziffer
0
110362
1236023
1089389
2022-07-27T16:20:19Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236025
1236023
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Holder|Holder]]
wikitext
text/x-wiki
'''Sándor Ziffer''' ([[Eger]], [[Austria-Hungaria]], [[5 Mei]] [[1880]] - [[Nagybánya]], [[Romania]], [[8 Septemba]] [[1962]]) alikuwa [[mchoraji]] wa [[Hungaria]].
Ziffer alisomea [[Budapest]] na [[w:de: Akademie der Bildenden Künste München]].
<ref>https://www.hung-art.hu/frames-e.html?/english/z/zullich/index.html</ref>
==Marejeo==
<references/>
{{DEFAULTSORT:Ziffer, Sandor}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1880]]
[[Jamii:Waliofariki 1962]]
[[Jamii:Wasanii wa Hungaria]]
exax6qqrzxbe6tgt0vs9h0dbk118sl1
Mto Apyer
0
110396
1235944
1059277
2022-07-27T16:02:40Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236109
1235944
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amolatar]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amolatar]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
rt3luf811n1p0g71hooeb4m8o6pi0a8
Mto Layo (Uganda)
0
110502
1235965
1059442
2022-07-27T16:07:10Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236080
1235965
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana [[Mkoa wa Kaskazini (Uganda)|kaskazini]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Amuru]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Amuru]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
4nqrhyn0vsigk2xhu8k9m7g2c56v5vl
Dizasta Vina
0
111827
1236284
1235055
2022-07-28T09:59:11Z
Benix Mby
36425
Kuboresha mpangilio wa makala
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
|picha=Dizasta panorama.png
|maelezo=Dizasta Vina akiwa Stejini—Septemba 2018, [[Dar es Salaam]],[[Tanzania]].
|tarehe ya kuzaliwa= {{birth date and age|1993|2|17|df=yes}}
|mahali pa kuzaliwa= [[Iringa]],[[Tanzania]]
| Kazi yake = *[[Rapa]]
*[[Mtunzi wa Nyimbo]]
*[[Mshairi]]
*[[Mtayarishaji wa rekodi]]
|Jina=Dizasta Vina|Jina la kuzaliwa=Edger Vicent|Jina lingine=Fundi Vina<br>Professor Tungo<br>The Black Maradona|Miaka ya kazi=2007 - hadi leo|Studio=[[Panorama Authentik]]|Ameshirikiana na=*[[One The Incredible]]
*[[Nikki Mbishi]]
*[[Ringle Beatz]]
*JCB wa [[Watengwa]]|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Mbeya]], [[Tanzania]]}}
'''Edger Vicent''' (anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii]] kama '''Dizasta Vina'''; amezaliwa [[17 Februari]] [[1993]]) ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[Hip Hop]] na [[mtayarishaji wa muziki]] kutoka nchini [[Tanzania]].
Ni msanii ambaye muundo wa mashairi yake unajumuisha usimulia wa matukio na hadithi za maisha halisi ya jamii aliyotokea. Tungo zake zinajulikana kwa kuakisi maisha ya raia wa kawaida wa Tanzania na [[Afrika]] kwa ujumla.
Alianza [[kurap]] mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na [[SM Straight Music Freestyle Battle]] mwaka wa 2010 mkoani Iringa. Mashindano haya yalimjenga kisanaa na baadaye alijiunga na [[Tamaduni Muzik]] kupitia shindano la utafutaji wa vipaji. Mnamo mwaka wa 2012 alianza kupata umaarufu kwenye tasnia ya muziki nchini Tanzania, baada ya kutoa wimbo uliokwenda kwa jina la "Harder".<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina Biography, Music Career, Awards, Relationships and Net Worth ⚜ Latest music news online|url=https://mdundo.com/news/21110|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-28|language=en}}</ref>
Mnamo mwaka wa 2017, alitoa kandamseto yake ya kwanza "[[The Wonderboy Mixtape]]". Aliachia nyimbo kadhaa na kufanikiwa kutoa albamu yake ya kwanza "[[JESUSta]]" mwaka wa 2018. Mnamo tarehe 27 Desemba 2020, alitoa albamu yake ya pili "[[The Verteller]]".<ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/dizasta-vina-the-verteller/|accessdate=2022-07-28|language=en}}</ref> Kando na kutoa nyimbo, Dizasta amekuwa akifanya utayarishaji wa nyimbo zake, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma namna ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti.
== Maisha ya awali na elimu ==
Dizasta Vina ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanaume pekee akiwa na dada zake wawili, alizaliwa mnamo tarehe [[17 Februari]] [[1993]]. Ingawa kiasili ni [[Wanyakyusa|Mnyakyusa]] kutoka [[Mbeya]] (mkoa uliopo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania) alizaliwa [[mkoa wa Iringa]] kabla ya wazazi wake kuhamia [[Dar es Salaam]] ambako alianza shule.
Elimu yake ya msingi aliipata katika shule ya msingi ya "Kimanga" iliyopo [[wilaya ya Ilala]] jijini Dar es Salaam aliandikishwa katika shule hiyo mnamo mwaka wa 2000. Mwaka wa 2007 alijiunga na elimu ya sekondari katika shule binafsi ya "White Lake High School" iliyopo eneo la Changanyikeni jijini Dar es Salaam kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya "Southern Highlands Secondary School" iliyopo Soweto jijini [[Mbeya (mji)|Mbeya]] — mnamo mwaka wa 2O1O. Aliendelea na kidato cha tano katika shule ya "Kigoma High School" mkoani [[Kigoma]] ambapo alisoma kwa muda wa miezi minne tu kabla ya kumalizia masomo yake ya elimu ya sekondari katika shule ya "Mbeya High School". Dizasta alijiunga na masomo ya elimu ya juu mwaka wa 2013 katika [[Chuo cha Usimamizi wa Fedha]] (IFM) kilichopo jijini Dar es Salaam na kusoma shahada ya kwanza ya uhasibu.
== Kazi ya muziki ==
[[Picha:Dizasta_Vina_katika_Pozi.png|alt=|thumb|Dizasta vina katika Pozi — 2019.]]
Alianza kuupenda muziki tangu akiwa mtoto,anasema "familia yetu inapenda muziki sana, mama na dada zangu wote waliimba kwaya katika vipindi tofauti,na wengine bado wanaimba mpaka sasa". Dizasta Vina alikuwa anakariri nyimbo za wasanii mbalimbali wakubwa hapa Tanzania kama [[Professor Jay]], [[Afande Sele]], [[Juma Nature]] na [[Solo Thang]] na hata watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo. Anasema "Nilipata msukumo mkubwa wa kufanya muziki kutoka katika album ya [[Machozi Jasho na Damu]] ya [[Professor Jay]]".
Dizasta vina alianza rasmi kujihusisha na kazi ya sanaa mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika matamasha na mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na '''SM Straight Music Freestyle Battle''' mwaka 2010 [[Mkoa wa Iringa|mkoani Iringa]]. Hapa ndipo alipoanza hamasa ya kutaka kuwa MC. Vuguvugu hili liliendelea hadi kufikia kuwa huyu Dizasta Vina wa leo.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-zawadi-nyingine-kwa-wapenda-hiphop-tanzania.1419722/|title=Dizasta Vina: Zawadi nyingine kwa wapenda HipHop Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref>
Mnamo mwaka wa 2011 alikutana na [[mtayarishaji wa muziki]] aliyemwinua kisanaa, [[Duke Touchez]].", Duke alimpa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na [[Tamaduni Muzik]] ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya "Tamaduni Foundation" Dizasta alishiriki mashindano ya kughani katika tamasha la [http://tamadunimuzik.blogspot.com/2012/08/uzinduzi-wa-santuri-5-kwa-pamoja.html kuachia Santuri 5 kwa mpigo] (African Son ya [[Stereo]], Sauti ya Jogoo ya [[Nikki Mbishi]], [[Mzimu wa Shabaan Robert]] ya [[Nash MC|Nash Mc]],Underground Legendary ya Duke Touchez na Mathematrix ya Songa na Ghetto Ambassador) na kufanikiwa kujiunga rasmi na [[Tamaduni Muzik]] .
Mwaka 2012 alifanikiwa kuachia wimbo wake rasmi [[Harder]] na kushiriki katika nyimbo kadhaa za kushirikiana ikiwa ni pamoja na [[The ultimate]], [[Sauti ya Mtaa]] na nyinginezo kwa kipindi cha kati ya mwaka 2012 na 2013. Mwaka 2013 aliachia nyimbo zingine kama vile [[Tega sikio]], [[Goli la ushindi]], [[Nyumba Ndogo]] na [[Sister]], pia alishiriki kwenye "[[Underground Project]]" ya [[mtayarishaji wa muziki]] anayefahamika kwa jina la [[AK 47]], katika wimbo unaoitwa [[Heavyweight]] akishirikiana na msanii wa kike [[Tifa Flows]].
Pia alishiriki katika santuri ya [[Uwezo]] ya [[mtayarishaji wa muziki]] Ngwesa katika wimbo wa [[Miss tamaduni]] akishirikiana na Jeff Duma. Mwaka huo huo alishiriki katika albumu ya upande wa pili wa sarafu ya muandaaji wa [[muziki]] [[Abby Mp]], kazi ya kilinge ya [[Duke Touchez]], albumu ya [[Kiutu Uzima]] ya msanii [[Kadgo]], Kanda mseto ya Slow Jams ya muandaaji wa muziki - [[Innocent Mujwahuki]], [[Tamaduni Foundation]] ya Ngwesa na [[Representing Africa Popote]] ya [[One the Incredible]].
Mwaka 2015 alitoa wimbo unaoitwa [[Kijogoo]] na kushiriki katika wimbo wa [[Siku Nikifa]] wa Kipepe.
Dizasta Vina anatajwa kuwa ni miongoni mwa [[Muziki wa kizazi kipya|wasanii wa kizazi kipya]] wanaoleta heshima ya hip hop Tanzania na kibao chake kinachojulikana kama '''Kanisa''' kilifanya vizuri ambapo ndani yake kuna uandishi wa kipekee ambao umeenda tofauti na ule uliokuwa umezoeleka (masimulizi/mipasho).<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-anaweza-akawa-ndio-best-rapper-tanzania.1483766/|title=Dizasta Vina anaweza akawa ndio best rapper Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref>
Mara kadhaa amekuwa akitajwa kama mwanahip hop bora na mtunzi mzuri wa nyimbo za masimulizi nchini Tanzania.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/best-5-storytelling-rap-songs.1410105/|title=Best 5 Storytelling Rap Songs|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref>
===2018–2020: ''The Verteller''===
{{main|The Verteller}}
Mnamo Desemba 27, 2020, Dizasta alitoa albamu yake ya pili ''The Verteller''. Albamu imeshirikisha wasanii wengine ikiwa ni pamoja na Tk Nendeze, [[Adam ShuleKongwe]], Bokonya, Wakiafrika, Nasra Sayeed na Dash. Uzalishaji wake ulishughulikiwa na Ringle Beats (ambaye pia amesimama kama mtayarishaji mkuu), Cjmoker na Jcob.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina - Simulizi, Ubunifu na Maisha ya Jamii yake Ndani ya Album ya The Verteller.|url=https://medium.com/@BenixMatrix/dizasta-vina-simulizi-ubunifu-na-maisha-ya-jamii-yake-ndani-ya-album-ya-the-verteller-c5d5b6594974|work=Medium|date=2022-05-27|accessdate=2022-05-30|language=en|author=Bernard Mwakililo}}</ref>
== Kutayarisha muziki ==
[[Picha:Dizasta_Vina.png|alt=|thumb|350x350px|Dizasta Vina akiwa katika studio za '''Panorama Authentik''' jijini Dar es Salaam, Tanzania— mnamo tarehe 17 Februari, 2018.]]
Miaka ya karibuni amekuwa akitayarisha muziki wake mwenyewe, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Baadhi ya vibao vyake mashuhuri alivyotayarisha mwenyewe ni pamoja na [[Fallen Angel]] iliyotoka [[Julai 23]] 2016, '''Kanisa''' iliyotoka [[Novemba 13]] 2016 na [[The Lost One]] iliyotoka [[Aprili 2017]].
Uwezo wake mkubwa kama mtayarishaji ulianza kuonekana kupitia mfululizo wa nyimbo zake kama vile [[Hatia]], [[Nobody is Safe]], [[Hatia II]], [[Hatia III]] na [[Kikaoni]], kibao ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa kwa wapenzi wa utamaduni wa handakini kutokana na kugusa maisha ya familia na ndoa. Wimbo huu ulipotoka ulileta sura mpya kwa wasikilizaji wa hip hop ya Tanzania. Dizasta kwa mara ya kwanza alipata mwaliko kwenye [[Dakika 10 za Maangamizi]] kipindi kidogo ndani ya kipindi cha [[Planet Bongo]] cha [[East Africa Radio]] kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa. Ndani ya kipindi, mistari ya wimbo wa Kanisa ilifanya kila mtu kumsikiliza Dizasta Vina kwa umakini na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana na kuamsha maswali mengi baada ya kulizungumzia '''kanisa''' kwa mapana zaidi<ref>{{Citation|last=EastAfricaRadio|title=Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina {{!}} Planet Bongo I|date=2018-02-13|url=https://www.youtube.com/watch?v=TS4E3bG1b30|access-date=2019-05-06}}</ref>.
Anakubali kuwa amepata sana utaalamu na mbinu za kutayarisha muziki kutokana na kufanya kazi na watayarishaji wengine wa muziki wa Kitanzania kama [[Duke Touchez]], [[Ray Teknohama]] na [[Ringle Beats]]. Dizasta anaamini kuwa na taaluma ya kutayarisha muziki wake mwenyewe kuna faida kubwa kwani kunafanya afikie hisia halisi za wimbo tofauti na pale anapotafuta na kujenga mahusiano ya kimuziki na mtayarishaji mwingine.
== Dizasta Vina na Tamaduni Muzik ==
Tamaduni ni lebo ambayo Dizasta Vina alifanya nayo kazi baada ya uwezo na uelewa wake kuhusu utamaduni wa Hiphop kumvutia [[Duke Touchez]] ambaye alifanikisha Dizasta kujiunga na "Tamaduni Foundation" akiwa na wasanii kama One the Incredible, Nikki Mbishi, Boshoo na wengineo. Kupitia Tamaduni Muzik waliweza kubadilisha na kutimiza nguzo karibia zote za hip hop zinavyotaka. Maoni ya Dizasta Vina kuhusu Tamaduni Muzik ni kwamba ndio wao waliobadilisha mtazamo na mwelekeo mzimaa wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Kupitia wao, tuliweza kuona kutolewa kwa albamu kwa sana hata kwa wasanii wachanga, kutoa kandamseto, kurudisha maonesho ya hip hop kukusanya wasanii “Kilingeni” huko Msasani Club.
Kifupi Tamaduni Muzik imehakikisha sanaa ya muziki wa hip hop inapata nafasi kubwa katika jamii ya Watanzania. Wameutetea mno muziki huu.
==Diskografia==
{{main|Diskografia ya Dizasta Vina}}
Hii ni orodha ya albamu za muziki alizotoa Dizasta Vina.
{| class="wikitable sortable"
|-
! Na. !! Jina la albamu !! Mwaka !! Maelezo
|-
| 1. || [[THE WONDERBOY]] || 2017 || Kandamseto ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina.
|-
| 2. || [[ JESUSta]] || 2018|| Albamu rasmi ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina.
|-
| 3. || [[The Verteller]] || 2020 || Albamu ya pili kutoka kwa Dizasta Vina.
|-
|}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.youtube.com/channel/UCUSYOPQshUmYKJKMfVB_zgw/ Video za Dizasta Vina] katika [[YouTube|Youtube]]
* [https://www.boomplay.com/artists/3288611 Nyimbo za Dizasta Vina mtandaoni]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki-TZ}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]]
[[Jamii:Hip Hop ya Bongo]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]]
5xbj30x4orjubfwuxmhj0ej8ddwcmd7
1236293
1236284
2022-07-28T10:56:09Z
Benix Mby
36425
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox musical artist 2
|picha=Dizasta panorama.png
|maelezo=Dizasta Vina akiwa Stejini—Septemba 2018, [[Dar es Salaam]],[[Tanzania]].
|tarehe ya kuzaliwa= {{birth date and age|1993|2|17|df=yes}}
|mahali pa kuzaliwa= [[Iringa]],[[Tanzania]]
| Kazi yake = *[[Rapa]]
*[[Mtunzi wa Nyimbo]]
*[[Mshairi]]
*[[Mtayarishaji wa rekodi]]
|Jina=Dizasta Vina|Jina la kuzaliwa=Edger Vicent|Jina lingine=Fundi Vina<br>Professor Tungo<br>The Black Maradona|Miaka ya kazi=2007 - hadi leo|Studio=[[Panorama Authentik]]|Ameshirikiana na=*[[One The Incredible]]
*[[Nikki Mbishi]]
*[[Ringle Beatz]]
*JCB wa [[Watengwa]]|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Mbeya]], [[Tanzania]]|Background=solo_singer}}
'''Edger Vicent''' (anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii]] kama '''Dizasta Vina'''; amezaliwa [[17 Februari]] [[1993]]) ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[Hip Hop]] na [[mtayarishaji wa muziki]] kutoka nchini [[Tanzania]].
Ni msanii ambaye muundo wa mashairi yake unajumuisha usimulia wa matukio na hadithi za maisha halisi ya jamii aliyotokea. Tungo zake zinajulikana kwa kuakisi maisha ya raia wa kawaida wa Tanzania na [[Afrika]] kwa ujumla.
Alianza [[kurap]] mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na [[SM Straight Music Freestyle Battle]] mwaka wa 2010 mkoani Iringa. Mashindano haya yalimjenga kisanaa na baadaye alijiunga na [[Tamaduni Muzik]] kupitia shindano la utafutaji wa vipaji. Mnamo mwaka wa 2012 alianza kupata umaarufu kwenye tasnia ya muziki nchini Tanzania, baada ya kutoa wimbo uliokwenda kwa jina la "Harder".<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina Biography, Music Career, Awards, Relationships and Net Worth ⚜ Latest music news online|url=https://mdundo.com/news/21110|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-28|language=en}}</ref>
Mnamo mwaka wa 2017, alitoa kandamseto yake ya kwanza "[[The Wonderboy Mixtape]]". Aliachia nyimbo kadhaa na kufanikiwa kutoa albamu yake ya kwanza "[[JESUSta]]" mwaka wa 2018. Mnamo tarehe 27 Desemba 2020, alitoa albamu yake ya pili "[[The Verteller]]".<ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/dizasta-vina-the-verteller/|accessdate=2022-07-28|language=en}}</ref> Kando na kutoa nyimbo, Dizasta amekuwa akifanya utayarishaji wa nyimbo zake, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma namna ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti.
== Maisha ya awali na elimu ==
Dizasta Vina ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanaume pekee akiwa na dada zake wawili, alizaliwa mnamo tarehe [[17 Februari]] [[1993]]. Ingawa kiasili ni [[Wanyakyusa|Mnyakyusa]] kutoka [[Mbeya]] (mkoa uliopo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania) alizaliwa [[mkoa wa Iringa]] kabla ya wazazi wake kuhamia [[Dar es Salaam]] ambako alianza shule.
Elimu yake ya msingi aliipata katika shule ya msingi ya "Kimanga" iliyopo [[wilaya ya Ilala]] jijini Dar es Salaam aliandikishwa katika shule hiyo mnamo mwaka wa 2000. Mwaka wa 2007 alijiunga na elimu ya sekondari katika shule binafsi ya "White Lake High School" iliyopo eneo la Changanyikeni jijini Dar es Salaam kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya "Southern Highlands Secondary School" iliyopo Soweto jijini [[Mbeya (mji)|Mbeya]] — mnamo mwaka wa 2O1O. Aliendelea na kidato cha tano katika shule ya "Kigoma High School" mkoani [[Kigoma]] ambapo alisoma kwa muda wa miezi minne tu kabla ya kumalizia masomo yake ya elimu ya sekondari katika shule ya "Mbeya High School". Dizasta alijiunga na masomo ya elimu ya juu mwaka wa 2013 katika [[Chuo cha Usimamizi wa Fedha]] (IFM) kilichopo jijini Dar es Salaam na kusoma shahada ya kwanza ya uhasibu.
== Kazi ya muziki ==
[[Picha:Dizasta_Vina_katika_Pozi.png|alt=|thumb|Dizasta vina katika Pozi — 2019.]]
Alianza kuupenda muziki tangu akiwa mtoto,anasema "familia yetu inapenda muziki sana, mama na dada zangu wote waliimba kwaya katika vipindi tofauti,na wengine bado wanaimba mpaka sasa". Dizasta Vina alikuwa anakariri nyimbo za wasanii mbalimbali wakubwa hapa Tanzania kama [[Professor Jay]], [[Afande Sele]], [[Juma Nature]] na [[Solo Thang]] na hata watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo. Anasema "Nilipata msukumo mkubwa wa kufanya muziki kutoka katika album ya [[Machozi Jasho na Damu]] ya [[Professor Jay]]".
Dizasta vina alianza rasmi kujihusisha na kazi ya sanaa mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika matamasha na mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na '''SM Straight Music Freestyle Battle''' mwaka 2010 [[Mkoa wa Iringa|mkoani Iringa]]. Hapa ndipo alipoanza hamasa ya kutaka kuwa MC. Vuguvugu hili liliendelea hadi kufikia kuwa huyu Dizasta Vina wa leo.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-zawadi-nyingine-kwa-wapenda-hiphop-tanzania.1419722/|title=Dizasta Vina: Zawadi nyingine kwa wapenda HipHop Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref>
Mnamo mwaka wa 2011 alikutana na [[mtayarishaji wa muziki]] aliyemwinua kisanaa, [[Duke Touchez]].", Duke alimpa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na [[Tamaduni Muzik]] ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya "Tamaduni Foundation" Dizasta alishiriki mashindano ya kughani katika tamasha la [http://tamadunimuzik.blogspot.com/2012/08/uzinduzi-wa-santuri-5-kwa-pamoja.html kuachia Santuri 5 kwa mpigo] (African Son ya [[Stereo]], Sauti ya Jogoo ya [[Nikki Mbishi]], [[Mzimu wa Shabaan Robert]] ya [[Nash MC|Nash Mc]],Underground Legendary ya Duke Touchez na Mathematrix ya Songa na Ghetto Ambassador) na kufanikiwa kujiunga rasmi na [[Tamaduni Muzik]] .
Mwaka 2012 alifanikiwa kuachia wimbo wake rasmi [[Harder]] na kushiriki katika nyimbo kadhaa za kushirikiana ikiwa ni pamoja na [[The ultimate]], [[Sauti ya Mtaa]] na nyinginezo kwa kipindi cha kati ya mwaka 2012 na 2013. Mwaka 2013 aliachia nyimbo zingine kama vile [[Tega sikio]], [[Goli la ushindi]], [[Nyumba Ndogo]] na [[Sister]], pia alishiriki kwenye "[[Underground Project]]" ya [[mtayarishaji wa muziki]] anayefahamika kwa jina la [[AK 47]], katika wimbo unaoitwa [[Heavyweight]] akishirikiana na msanii wa kike [[Tifa Flows]].
Pia alishiriki katika santuri ya [[Uwezo]] ya [[mtayarishaji wa muziki]] Ngwesa katika wimbo wa [[Miss tamaduni]] akishirikiana na Jeff Duma. Mwaka huo huo alishiriki katika albumu ya upande wa pili wa sarafu ya muandaaji wa [[muziki]] [[Abby Mp]], kazi ya kilinge ya [[Duke Touchez]], albumu ya [[Kiutu Uzima]] ya msanii [[Kadgo]], Kanda mseto ya Slow Jams ya muandaaji wa muziki - [[Innocent Mujwahuki]], [[Tamaduni Foundation]] ya Ngwesa na [[Representing Africa Popote]] ya [[One the Incredible]].
Mwaka 2015 alitoa wimbo unaoitwa [[Kijogoo]] na kushiriki katika wimbo wa [[Siku Nikifa]] wa Kipepe.
Dizasta Vina anatajwa kuwa ni miongoni mwa [[Muziki wa kizazi kipya|wasanii wa kizazi kipya]] wanaoleta heshima ya hip hop Tanzania na kibao chake kinachojulikana kama '''Kanisa''' kilifanya vizuri ambapo ndani yake kuna uandishi wa kipekee ambao umeenda tofauti na ule uliokuwa umezoeleka (masimulizi/mipasho).<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-anaweza-akawa-ndio-best-rapper-tanzania.1483766/|title=Dizasta Vina anaweza akawa ndio best rapper Tanzania|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref>
Mara kadhaa amekuwa akitajwa kama mwanahip hop bora na mtunzi mzuri wa nyimbo za masimulizi nchini Tanzania.<ref>{{Cite web|url=https://www.jamiiforums.com/threads/best-5-storytelling-rap-songs.1410105/|title=Best 5 Storytelling Rap Songs|language=en-US|work=JamiiForums|accessdate=2019-05-06}}</ref>
===2018–2020: ''The Verteller''===
{{main|The Verteller}}
Mnamo Desemba 27, 2020, Dizasta alitoa albamu yake ya pili ''The Verteller''. Albamu imeshirikisha wasanii wengine ikiwa ni pamoja na Tk Nendeze, [[Adam ShuleKongwe]], Bokonya, Wakiafrika, Nasra Sayeed na Dash. Uzalishaji wake ulishughulikiwa na Ringle Beats (ambaye pia amesimama kama mtayarishaji mkuu), Cjmoker na Jcob.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina - Simulizi, Ubunifu na Maisha ya Jamii yake Ndani ya Album ya The Verteller.|url=https://medium.com/@BenixMatrix/dizasta-vina-simulizi-ubunifu-na-maisha-ya-jamii-yake-ndani-ya-album-ya-the-verteller-c5d5b6594974|work=Medium|date=2022-05-27|accessdate=2022-05-30|language=en|author=Bernard Mwakililo}}</ref>
== Kutayarisha muziki ==
[[Picha:Dizasta_Vina.png|alt=|thumb|350x350px|Dizasta Vina akiwa katika studio za '''Panorama Authentik''' jijini Dar es Salaam, Tanzania— mnamo tarehe 17 Februari, 2018.]]
Miaka ya karibuni amekuwa akitayarisha muziki wake mwenyewe, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Baadhi ya vibao vyake mashuhuri alivyotayarisha mwenyewe ni pamoja na [[Fallen Angel]] iliyotoka [[Julai 23]] 2016, '''Kanisa''' iliyotoka [[Novemba 13]] 2016 na [[The Lost One]] iliyotoka [[Aprili 2017]].
Uwezo wake mkubwa kama mtayarishaji ulianza kuonekana kupitia mfululizo wa nyimbo zake kama vile [[Hatia]], [[Nobody is Safe]], [[Hatia II]], [[Hatia III]] na [[Kikaoni]], kibao ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa kwa wapenzi wa utamaduni wa handakini kutokana na kugusa maisha ya familia na ndoa. Wimbo huu ulipotoka ulileta sura mpya kwa wasikilizaji wa hip hop ya Tanzania. Dizasta kwa mara ya kwanza alipata mwaliko kwenye [[Dakika 10 za Maangamizi]] kipindi kidogo ndani ya kipindi cha [[Planet Bongo]] cha [[East Africa Radio]] kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa. Ndani ya kipindi, mistari ya wimbo wa Kanisa ilifanya kila mtu kumsikiliza Dizasta Vina kwa umakini na mistari hiyo imesisimua watu wengi sana na kuamsha maswali mengi baada ya kulizungumzia '''kanisa''' kwa mapana zaidi<ref>{{Citation|last=EastAfricaRadio|title=Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina {{!}} Planet Bongo I|date=2018-02-13|url=https://www.youtube.com/watch?v=TS4E3bG1b30|access-date=2019-05-06}}</ref>.
Anakubali kuwa amepata sana utaalamu na mbinu za kutayarisha muziki kutokana na kufanya kazi na watayarishaji wengine wa muziki wa Kitanzania kama [[Duke Touchez]], [[Ray Teknohama]] na [[Ringle Beats]]. Dizasta anaamini kuwa na taaluma ya kutayarisha muziki wake mwenyewe kuna faida kubwa kwani kunafanya afikie hisia halisi za wimbo tofauti na pale anapotafuta na kujenga mahusiano ya kimuziki na mtayarishaji mwingine.
== Dizasta Vina na Tamaduni Muzik ==
Tamaduni ni lebo ambayo Dizasta Vina alifanya nayo kazi baada ya uwezo na uelewa wake kuhusu utamaduni wa Hiphop kumvutia [[Duke Touchez]] ambaye alifanikisha Dizasta kujiunga na "Tamaduni Foundation" akiwa na wasanii kama One the Incredible, Nikki Mbishi, Boshoo na wengineo. Kupitia Tamaduni Muzik waliweza kubadilisha na kutimiza nguzo karibia zote za hip hop zinavyotaka. Maoni ya Dizasta Vina kuhusu Tamaduni Muzik ni kwamba ndio wao waliobadilisha mtazamo na mwelekeo mzimaa wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Kupitia wao, tuliweza kuona kutolewa kwa albamu kwa sana hata kwa wasanii wachanga, kutoa kandamseto, kurudisha maonesho ya hip hop kukusanya wasanii “Kilingeni” huko Msasani Club.
Kifupi Tamaduni Muzik imehakikisha sanaa ya muziki wa hip hop inapata nafasi kubwa katika jamii ya Watanzania. Wameutetea mno muziki huu.
==Diskografia==
{{main|Diskografia ya Dizasta Vina}}
Hii ni orodha ya albamu za muziki alizotoa Dizasta Vina.
{| class="wikitable sortable"
|-
! Na. !! Jina la albamu !! Mwaka !! Maelezo
|-
| 1. || [[THE WONDERBOY]] || 2017 || Kandamseto ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina.
|-
| 2. || [[ JESUSta]] || 2018|| Albamu rasmi ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina.
|-
| 3. || [[The Verteller]] || 2020 || Albamu ya pili kutoka kwa Dizasta Vina.
|-
|}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.youtube.com/channel/UCUSYOPQshUmYKJKMfVB_zgw/ Video za Dizasta Vina] katika [[YouTube|Youtube]]
* [https://www.boomplay.com/artists/3288611 Nyimbo za Dizasta Vina mtandaoni]
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanamuziki-TZ}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]]
[[Jamii:Hip Hop ya Bongo]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]]
c40ma9pj1c6qoib035sns160wyxaxfl
Orodha ya mito ya wilaya ya Pallisa
0
112873
1235912
1080174
2022-07-27T15:56:20Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236115
1235912
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''Orodha ya mito ya wilaya ya Pallisa''' inataja kwa mpangilio wa [[alfabeti]] baadhi tu ya [[mito]] ya eneo hilo la [[Uganda]] [[Mkoa wa Mashariki (Uganda)|mashariki]] kabla ya kumegwa ili kuunda [[wilaya ya Butebo|wilaya mpya ya Butebo]].
* [[Mto Kakoro]]
* [[Mto Nabwali]]
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Orodha za kijiografia]]
[[Jamii:Wilaya ya Pallisa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Mkoa wa Mashariki (Uganda)]]
g8yuvcc2m75vcf7onrn4x7q5rpkpkwc
Yevhen Konoplyanka
0
113360
1235883
1067134
2022-07-27T13:14:16Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Yevhen Konoplyanka2013.jpg|thumb|Yevhen Konoplyanka]]
'''Yevhen Olehovych Konoplyanka''' {amezaliwa [[29 Septemba]] [[1989]]) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa [[Ukraina]] ambaye anacheza kama [[mshambuliaji]] wa pembeni katika [[klabu]] ya [[Schalke 04]] ya [[Ujerumani]] na [[timu ya taifa]] ya [[Ukraine]].
==Kazi ya klabu==
===Schalke 04===
Tarehe 30 Agosti 2016 Konoplyanka alisajiliwa kwa [[mkopo]] katika [[klabu]] ya [[Schalke 04]] kwa kiasi cha [[€]] 12.5 [[milioni]].
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:waliozaliwa 1989]]
[[Jamii:watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Ukraine]]
m0fu5io74l6cofd0e0w4tmyim8e6ld3
Mto Dobana
0
113700
1235981
1068523
2022-07-27T16:10:35Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236053
1235981
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:Abbay OSM.png|thumb|[[Ramani]] ya [[beseni]] la mto Abay.]]
'''Mto Dobana''' unapatikana [[magharibi]] mwa [[Ethiopia]].
Ni [[tawimto]] la [[mto Didessa]], ambao ni tawimto la [[mto Abay]].
== Tazama pia ==
*[[Orodha ya mito ya Ethiopia]]
== Tanbihi ==
{{reflist}}
{{mito ya Ethiopia}}
{{mbegu-jio-Ethiopia}}
[[Category:Mito ya Ethiopia]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
2bwf3z8wdsbevekzdpi9d8intixebow
Mto Isigomi
0
113932
1235931
1069054
2022-07-27T16:00:10Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236119
1235931
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kabarole]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kabarole]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
pt8ngyo5274tn6xedu1esbje307ubiz
Mto Irumba
0
114201
1235914
1069518
2022-07-27T15:56:42Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236120
1235914
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Ntungamo]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Ntungamo]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Ntungamo]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
7x8yg9lhpbswnde53b41ue2fcql6vca
Mto Karundi
0
114370
1235949
1070199
2022-07-27T16:03:40Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236108
1235949
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Kanungu]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Kanungu]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
*[https://web.archive.org/web/20100717033047/http://www.iwmi.cgiar.org/wetlands/pdf/Africa/Region2/UGANDA.pdf Rivers and Lakes of Uganda].
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Kanungu]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
76fcbnz2m4ld4ljvs9vftdnkmlyvi7j
Mto Nyamukuta
0
114640
1236020
1071460
2022-07-27T16:19:49Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236034
1236020
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[wilaya ya Buliisa]], [[Mkoa wa Magharibi (Uganda)|magharibi]] mwa [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[Ziwa Albert (Afrika)|ziwa Albert]], [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
* [[Orodha ya mito ya wilaya ya Buliisa]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Wilaya ya Buliisa]]
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:ziwa Mwitanzige]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
1ns5rgk9wja9ohwujved4wmc369ltmu
Tarafa ya Ayamé
0
115333
1235959
1081966
2022-07-27T16:05:43Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236125
1235959
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Ivcom|Ivcom]]
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = Tarafa ya Ayamé
|picha_ya_satelite =
|maelezo_ya_picha =
|picha_ya_bendera =
|ukubwa_ya_bendera =
|picha_ya_satelite = Coat of arms of Ivory Coast.svg
|ukubwawapicha = 100px
|maelezo_ya_picha = Nembo ya Cote d'Ivoire
|pushpin_map = Côte d'Ivoire
|pushpin_map_caption = Eneo katika Côte d'Ivoire
|pushpin_mapsize =300
|settlement_type = Jiji
|subdivision_type = [[Nchi]]
|subdivision_name = {{flag|Cote d'Ivoire}}
|subdivision_type1 = [[Majimbo ya Cote d'Ivoire|Jimbo]]
|subdivision_name1 = [[Jimbo la Comoé| Comoé]]
|subdivision_type2 = [[Mikoa ya Cote d'Ivoire |Mkoa]]
|subdivision_name2 = [[Mkoa wa Sud-Comoé| Sud-Comoé]]
| subdivision_type3 = [[Wilaya za Cote d'Ivoire| Wilaya]]
| subdivision_name3 = [[Wilaya ya Aboisso| Aboisso]]
| established_title =
| established_date =
|wakazi_kwa_ujumla = 14,195 <ref name=geohive>{{cite web|title=Côte d'Ivoire|url=http://www.geohive.com/cntry/coteivoire.aspx|website=geohive.com|accessdate=22 Julai 2019}}</ref>
|latd=5|latm=36|lats=21|latNS=N
|longd=3|longm=9|longs=25|longEW=W
|website =
}}
'''Tarafa ya Ayamé''' (kwa [[Kifaransa]]: ''Sous-préfecture d'Ayamé'') ni [[moja]] kati ya [[Tarafa]] 8 za [[Wilaya ya Aboisso]] katika [[Mkoa wa Sud-Comoé]] ulioko [[kusini]]-[[mashariki]] mwa [[Cote d'Ivoire]]<ref name=Sud-Comoé>{{cite web|title=RGPH 2014, Répertoire des localités, Région Sud-Comoé|url=http://www.ins.ci/n/documents/rgph/SUD-COMOE.pdf|website=ins.ci|accessdate=22 Julai 2019}}</ref>.
[[Mwaka]] [[2014]] [[idadi]] ya wakazi ilikuwa 14,195 <ref name=geohive/>.
[[Makao makuu]] yako Ayamé (mji).
Hapa chini ni majina ya vijiji 8 vya tarafa ya Ayamé na idadi ya wakazi mwaka 2014 <ref name=Sud-Comoé/>:
# Ayamé (8 601)
# Diéviesso (924)
# Akressi (2 645)
# Amoakro (695)
# Biaka (293)
# Ebokoffikro (387)
# Gnamienkro (325)
# Koukourandoumi (325)
==Marejeo==
<small><references/></small>
{{Mbegu-jio-Cote d'Ivoire}}
[[Jamii:Tarafa za Cote d'Ivoire]]
cvjb351xaykjjudapm46vmpcmlyej4o
Mto Mubitakalwuto
0
116206
1235980
1077904
2022-07-27T16:10:24Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236066
1235980
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana katika [[Mkoa wa Kati (Uganda)|Mkoa wa Kati]] nchini [[Uganda]].
[[Maji]] yake yanaishia katika [[mto Naili]] na hatimaye katika [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya Uganda]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mito ya Uganda}}
{{mbegu-jio-Uganda}}
[[Jamii:Mito ya Uganda]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
7cxzv5wq6pie7ciy8dnst92pv8gt07a
Selerino wa Karthago
0
117741
1236257
1137629
2022-07-28T09:04:35Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Selerino wa Karthago''' (alifariki [[251]]) alikuwa [[Mkristo]] wa [[mji]] huo (karibu na [[Tunisi]] ya leo) katika [[karne ya 3]].
Kama [[bibi]] yake [[Selerina wa Karthago|Selerina]], [[Laurenti na Ignasi]], [[askari]][ [ndugu]] wa [[wazazi]] wake, alikubali kufungwa [[pingu]] na kuteswa na hatimaye kuuawa kwa ajili ya [[imani]] yake.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa hasa [[tarehe]] [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref><ref>https://catholicsaints.info/saint-celerinus-of-carthage/</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 3]]
[[Jamii:Waliofariki 251]]
[[Jamii:Wafiadini Wakristo]]
[[Jamii:Watakatifu wa Tunisia]]
isve4pjqgmnmivgaj1aebmkqbnjpsg7
1236264
1236257
2022-07-28T09:09:31Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Selerino wa Karthago''' (alifariki [[251]]) alikuwa [[Mkristo]] wa [[mji]] huo (karibu na [[Tunisi]] ya leo) katika [[karne ya 3]].
Kama [[bibi]] yake [[Selerina wa Karthago|Selerina]], na [[Laurenti na Ignasi]], [[askari]] [[ndugu]] wa [[wazazi]] wake, alikubali kufungwa [[pingu]] na kuteswa kwa namna mbalimbali na hatimaye kuuawa kwa ajili ya [[imani]] yake.
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa hasa [[tarehe]] [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref><ref>https://catholicsaints.info/saint-celerinus-of-carthage/</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 3]]
[[Jamii:Waliofariki 251]]
[[Jamii:Wafiadini Wakristo]]
[[Jamii:Watakatifu wa Tunisia]]
c3kd5y5m3i4mc80fqjkttd0c5dhu004
Selerina wa Karthago
0
117742
1236259
1137627
2022-07-28T09:05:15Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Selerina wa Karthago''' (alifariki [[250]] hivi) alikuwa [[mwanamke]] [[Mkristo]] wa [[mji]] huo (karibu na [[Tunisi]] ya leo) katika [[karne ya 3]].
Alikubali kufungwa pingu na kuteswa na hatimaye kuuawa kwa ajili ya [[imani]] yake katika [[dhuluma]] ya [[kaisari]] [[Decius]].
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa hasa [[tarehe]] [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref> pamoja na [[Laurenti na Ignasi]]<ref>http://catholicsaints.info/saint-clerina-of-carthage/</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliofariki 250]]
[[Jamii:Wafiadini Wakristo]]
[[Jamii:Watakatifu wa Tunisia]]
ne9l8r4k4aneq5ijydgmlzy816i81si
1236263
1236259
2022-07-28T09:08:50Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Selerina wa Karthago''' (alifariki [[250]] hivi) alikuwa [[mwanamke]] [[Mkristo]] wa [[mji]] huo (karibu na [[Tunisi]] ya leo) katika [[karne ya 3]].
Alikubali kufungwa pingu na kuteswa kwa namna mbalimbali na hatimaye kuuawa kwa ajili ya [[imani]] yake katika [[dhuluma]] ya [[kaisari]] [[Decius]].
Tangu kale anaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa hasa [[tarehe]] [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref> pamoja na [[Laurenti na Ignasi]]<ref>http://catholicsaints.info/saint-clerina-of-carthage/</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliofariki 250]]
[[Jamii:Wafiadini Wakristo]]
[[Jamii:Watakatifu wa Tunisia]]
fcq868sebe8hmunbzs0bzctdbv3txod
Laurenti na Ignasi
0
117743
1236261
1137628
2022-07-28T09:07:39Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Laurenti na Ignasi''' (walifariki [[250]] hivi) walikuwa [[Mkristo]] wa [[Karthago]] (karibu na [[Tunisi]] ya leo) katika [[dhuluma]] ya [[kaisari]] [[Decius]].
Kama [[Selerina wa Karthago]], [[askari]] hao, walikubali kufungwa pingu na kuteswa kwa namna mbalimbali na hatimaye kuuawa kwa ajili ya [[imani]] yao. [[Sipriani mfiadini|Sipriani]] aliandika juu yao.
Tangu kale wanaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[watakatifu]] [[wafiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa hasa [[tarehe]] [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref> pamoja na [[Selerina wa Karthago|Selerina]], [[dada]] yao<ref>https://catholicsaints.info/saint-laurentius-of-carthage/</ref><ref>https://catholicsaints.info/saint-ignatius-of-africa/</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliofariki 250]]
[[Jamii:Wafiadini Wakristo]]
[[Jamii:Watakatifu wa Tunisia]]
r5n2wb5hfsjwyys5380bz2jgyf7hbdf
1236262
1236261
2022-07-28T09:08:30Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Laurenti na Ignasi''' (walifariki [[250]] hivi) walikuwa [[Mkristo]] wa [[Karthago]] (karibu na [[Tunisi]] ya leo) katika [[dhuluma]] ya [[kaisari]] [[Decius]].
Kama [[Selerina wa Karthago]], [[askari]] hao, walikubali kufungwa pingu na kuteswa kwa namna mbalimbali na hatimaye kuuawa kwa ajili ya [[imani]] yao. [[Sipriani mfiadini|Sipriani]] aliandika juu yao.
Tangu kale wanaheshimiwa na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[watakatifu]] [[wafiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa hasa [[tarehe]] [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref> pamoja na [[Selerina wa Karthago|Selerina]], [[mama]] wa mmojawao<ref>https://catholicsaints.info/saint-laurentius-of-carthage/</ref><ref>https://catholicsaints.info/saint-ignatius-of-africa/</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliofariki 250]]
[[Jamii:Wafiadini Wakristo]]
[[Jamii:Watakatifu wa Tunisia]]
nzeqb4uqgjgb477ruqp88jbaayfkucx
Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki
0
118659
1235989
1139645
2022-07-27T16:13:13Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236056
1235989
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
'''Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki''' ni [[chuo kikuu]] binafsi kilichopo katika [[jiji]] la [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]].<ref>{{cite web |url=http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Recognised_Universities_Colleges_Centres.pdf |archive-url=https://web.archive.org/web/20150924113511/http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Recognised_Universities_Colleges_Centres.pdf |url-status=dead |archive-date=24 September 2015 |title=Orodha ya Vyuo Vikuu |format=[[PDF]] |publisher=[[Tanzania Commission for Universities]] |accessdate=15 July 2013 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20150924113511/http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Recognised_Universities_Colleges_Centres.pdf |archivedate=2015-09-24 }}</ref> Kinatambuliwa nchini Tanzania na kimethibitishwa na tume ya vyuo vikuu nchini [[Tanzania]]. Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki kilianzishwa [[mwaka]] [[1997]], na kilikuwa chuo cha mwanzo binafsi kupatiwa uthibitisho mwezi Juni mwaka [[2000]].
==Taaluma==
Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki kinatoa [[shahada]], [[stashahada]] na [[astahashada]] katika [[fani]] zifuatazo:
===Shahada ya Kwanza===
*Shahada ya Udaktari (Miaka 5)
*Shahada ya Sayansi ya Uuguzi (Miaka 4)
=== Shahada za Uzamivu ===
*Shahada ya uzamivu ya afya ya watoto (Miaka 3)
===Stashahada===
*Stashahada ya Uuguzi (kwa wasioko kazini) - (Miaka 3)
*Stashahada ya Uuguzi kwa walioko kazini - (inatolewa kwa njia ya mtandao)- (Miaka 2)
===Astashahada===
*Astashahada ya Uuguzi (Miaka 2)
*Astashahada ya Ukunga (Miezi 6)
==Marejeo==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* {{http://www.hkmu.ac.tz/}{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}
{{Vyuo vikuu vya Tanzania}}
{{mbegu-elimu}}
[[Category:Vyuo vikuu vya Tanzania]]
l5opp4p6olv6c5wcvgicx3fr37irqu9
Mkataba
0
119342
1236010
1093559
2022-07-27T16:17:42Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236033
1236010
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:Handshake.jpg|thumb|right|300px|Kushikana mikono ni ishara ya kukubaliana.]]
'''Mkataba''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]; kwa [[Kiingereza]]: "contract") ni [[makubaliano]] ambayo yana nguvu za kisheria, hivyo yanaweza yakadaiwa yatekelezwe. Kumbe si kila mara hivyo kwa [[ahadi]], kwa mfano ile inayotolewa na [[mzazi]] kwa [[mtoto]] wake.
[[Sheria]] zinazoshinikiza utelezaji wa ahadi zinatofautiana kadiri ya nchi, [[desturi]] n.k. lakini kwa kawaida inategemea kama waliokubaliana walitaka maneno yao yawe ya kudaiwa hata mbele ya mahakama au serikali.
Mara nyingi, mkataba wenye nguvu ya kisheria huwa kwa [[maandishi]] na [[saini]], lakini si lazima iwe hivyo daima.
Upande mmoja ukivunja mkataba, upande wa pili unaweza kufungua [[kesi]].
{{mbegu-sheria}}
[[Category:Sheria]]
9hs3hd7xss1nnnx2owcdsyssb50i6jn
Vikta, Viktorini na wenzao
0
120121
1235913
1096097
2022-07-27T15:56:30Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236101
1235913
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' Adyutus, Kwarto, Moyeseti, Kwinti na Simplisi ni kati ya [[Wakristo]] wa [[Moroko]] waliouawa kwa ajili ya [[imani]] yao.
Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu [[historia]] yao, hawaorodheshwi tena na [[Martyrologium Romanum]].
Tangu kale wanaheshimiwa kama [[watakatifu]] [[wafiadini]].
[[Sikukuu]] yao huadhimishwa [[tarehe]] [[18 Desemba]].
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Moroko]]
e7uygu4lhhikrbr6giipjc0pp7o57a3
Publi wa Afrika
0
120228
1235975
1096447
2022-07-27T16:09:28Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236049
1235975
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' alikuwa [[Mkristo]] wa [[Afrika Kaskazini]] katika [[karne]] za kwanza.
Tangu kale anaheshimiwa kama [[mtakatifu]] [[mfiadini]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[19 Februari]].
Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu [[historia]] yake, haorodheshwi tena na [[Martyrologium Romanum]]<ref><http://catholicsaints.info/saint-publius-of-north-africa-19-february/></ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Wafiadini Wakristo]]
[[Category:Watakatifu wa Afrika Kaskazini]]
dag09awwofaarjk1u61u4fxxkp0g2et
Hospitali ya Mtakatifu Joseph Peramiho
0
121978
1236007
1103400
2022-07-27T16:17:01Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236035
1236007
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''Hospitali ya Mtakatifu Joseph Peramiho''' ni [[hospitali ya rufaa]] inayopatikana ndani ya [[kata]] ya [[Peramiho]], [[mkoa wa Ruvuma]]<ref>https://www.eahealth.org/directory/search/organisations/st-john-peramiho-referral-hospital</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu}}
[[Jamii:Mkoa wa Ruvuma]]
[[Jamii:Hospitali za Tanzania]]
1d4el76plx6maer99zse2iprb9kslhm
Mto Nyarubanda
0
123214
1235940
1105154
2022-07-27T16:02:03Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236087
1235940
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' unapatikana nchini [[Burundi]] ([[mkoa wa Gitega]], [[mkoa wa Kayanza]], [[mkoa wa Ngozi]] na [[mkoa wa Karuzi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Mto Ruvubu]], [[Mto Naili]] na hatimaye [[Bahari ya Kati]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Kayanza]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ngozi]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Karuzi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|N]]
[[Jamii:Mkoa wa Gitega]]
[[Jamii:Mkoa wa Kayanza]]
[[Jamii:Mkoa wa Ngozi]]
[[Jamii:Mkoa wa Karuzi]]
[[Jamii:Nile]]
[[Jamii:Mediteranea]]
rs245iur6j378kngm7yx6ragxfv0aln
Mto Gasongati (Burundi)
0
123392
1235983
1105507
2022-07-27T16:11:27Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236051
1235983
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana [[magharibi]] mwa [[Burundi]] ([[mkoa wa Bubanza]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Bubanza]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|G]]
[[Jamii:Mkoa wa Bubanza]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
0c3lz96ijs15j5st129nqbm0nyt5rx7
Kishiko lingishi
0
128353
1235988
1126161
2022-07-27T16:13:03Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236038
1235988
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Bézier 3 big.svg|thumb|379x379px|Kishiko lingishi ambacho kinabadilisha umbo la [[mstari mnyoofu]].]]
Katika [[utarakilishi]] na [[kiolesura michoro cha mtumiaji]], '''kishiko lingishi''' (kwa [[Kiingereza]]: ''sizing handle'' au ''adjustment handle'') ni [[Sanduku|kisanduku]] ambacho kinaweza kubadilisha [[ukubwa]] na [[umbo]] la [[elementi]] iliyochaguliwa na mtumiaji.
Kishiko lingishi ni [[elementi dhibiti]] iliyoonyeshwa katika [[Pembe (jiometria)|pembe]] na [[ukingo]] wa elementi iliyochaguliwa.
== Marejeo ==
* Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
{{tech-stub}}
[[Jamii:Kompyuta]]
[[Jamii:Jiometria]]
jrmx1w1gly526a11fgu1gg7iq1sjaah
Waskolopi
0
128612
1235916
1126582
2022-07-27T15:57:07Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236111
1235916
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Piarist.svg|thumb|[[Lebo]] ya shirika.]]
'''Waskolopi''' ni [[jina]] lililozoeleka la [[watawa]] wa shirika linaloitwa kwa [[Kilatini]] ''Ordo Clericorum Regularium pauperum Matris Dei Scholarum Piarum'' (kwa [[Kiingereza]]: ''Order of Poor Clerics Regular of the Mother of God of the Pious Schools''; [[kifupi]]: '''SchP'''). Lengo ni kuwapa [[elimu]] [[watoto]] [[maskini]].
Shirika hilo lilianzishwa na [[Yosefu Calasanz]] [[tarehe]] [[25 Machi]] [[1617]] na kwa sasa lina watawa 1,400 hivi [[duniani]] kote<ref>[http://www.scolopi.org www.scolopi.org]</ref>.
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* [[P. Helyot]], ''Histoire des ordres religieuses'' (1715), iv. 281
* J. A. Seyffert, ''Ordensregeln der Piaristen'' (Halle, 1783)
* J. Schaller, ''Gedanken über die Ordensfassung der Piaristen'' (Prague, 1805)
* A. Heimbucher, ''Orden und Kongregationen'' (1897) ii. 271
* articles by O. Zockler in Herzog-Hauck's ''Real-encyklopadie für protestantische Theologie'' (1904), vol. xv.
* C. Kniel in ''Wetzer and Welte's Kirchen-lexikon'' (1895), vol. ix.
For Calasanz, see
* Timon-David, ''Vie de St Joseph Calasance'' (Marseilles, 1884)
==Viungo vya nje==
* [http://www.scolopi.org General Curia of the Piarists: Official website]
* [http://www.piarist.info Piarists in the U.S.A.]
* [http://www.escolapiosbetania.org Piarists in Spain]
* [http://www.pijarzy.pl Piarists in Poland]
* [http://www.piaristen.at Piarists in Austria]
* [http://www.piarista.hu Piarists in Hungary]
* [http://www.scolopi.it Piarists in Italy]
* [http://www.piaristi.sk Piarists in Slovakia]
* [http://stemarthe.free.fr/piaristes/index_uk.htm Piarist parish in France]
* [http://piaristfathers.tripod.com/id19.html Piarists in Japan and Philippines]
* [http://www.facebook.com/PiaristVocations Piarist Vocations]
{{mbegu-katoliki}}
[[Jamii:Mashirika ya kitawa]]
[[Jamii:Waskolopi]]
akgkxvsz38yw3m22ncx5l3yq7sdnuva
Catherine Apalat
0
130755
1235865
1212908
2022-07-27T12:43:18Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Catherine Apalat.jpg|thumb|Catherine Apalat.jpg]]
'''Catherine Apalat''' (alizaliwa [[Tororo]], [[Uganda]], [[28 Agosti]] [[1981]]) ni [[mwanahabari]], mtayarishaji wa [[filamu]] na mpiga [[picha]] wa Uganda, “Media Women's Association” (UMWA).<ref name=":0">{{Cite book|last=UMWA|first=UMWA|title=A Gender Analysis Report on media and Elections|publisher=UMWA|year=2016|isbn=|location=Kampala|pages=18}}</ref> Mnamo [[Aprili]] [[2013]], Apalat alikuwa meneja wa [[programu]] ya Mama FM iliyo chini ya UMWA.<ref name=":1">{{Cite web|title=UGANDA MEDIA WOMEN'S ASSOCIATION & MAMA FM|url=https://www.umwamamafm.co.ug/|access-date=2020-06-26|language=en-US}}</ref>
==Maisha ya awali na elimu ==
Apalat alizaliwa na David Livingstone Ongadi, Mwalimu wa shule ya msingi, na Grace Onyadi, mtaalamu wa masuala ya mawasiliano. Apalat aliudhuria shule ya msingi itwayo ''Rock View'' hadi mwaka [[1994]] kabla ya kujiunga na Tororo Girls na baadaye shule ya “Our Lady of Gayaza” kwa ajili ya elimu yake ya sekondari mwaka [[1995]]-[[2000]]. Apalat alisoma [[Makerere University]] na kutunukiwa shahada ya [[uzamili]] katika masuala ya mawasiliano mwaka [[2005]].
== Kazi ==
Apalat alifanya kazi na Makerere University kwenye idara ya mawasiliano na uandaaji wa filamu mwaka 2002. Apalat alitengeneza filamu fupi kumi za dakika kumi za kuchekesha na kiubunifu kama vile "Salongo’s Gift" na "Portrait of an artist". Apalat alijiunga na Radio kubwa na kufanya kazi kwenye idara ya utangazaji wa habari,uandaaji,uhariri na iliyobobea na utangazaji wa maswala ya jinai mwaka 2003. Apalat alijiunga na [[“the Great Lakes Film Production”]] mwaka 2005-2006 ambapo alifanya kazi kama mwandishi wa stori na mwendelezaji filamu.
Toka mwaka 2007 mpaka sasa, Apalat anafanya kazi kama mtayarishaji wa filamu na mpiga picha kwenye kituo cha “Uganda Media Women’s Association Newspaper pull out (The Other Voice) na “Grass Root Women Empowerment Network (GWEN) Magazine”. Apalat alifanya kazi kama mshiriki wa Fredskorpset (FK) na (Norway Peace Corp) pamoja na Chuo cha Uandishi wa Habari na Mawasiliano (CJMC FM) mnamo 2011, uko Nepal. Wizara ya Mawasiliano ya Nepali, Nepal ilitambua mchango wa Apalat katika kuonyesha mila na tamaduni tofauti za Kiafrika kupitia filamu katika tamasha la kwanza la filamu la Nepal Afrika mnamo Mei 2011.<ref>{{Cite web|last=Nepal Film Festival|first=Nepal Film Festival|date=|title=Media Coverage - Nepal Africa Film Festival|url=https://www.nepalafricafilmfestival.com.np/media/2011.html|url-status=live|archive-url=https://www.nepalafricafilmfestival.com.np/media/2011.html|archive-date=2011-05-24|access-date=2020-06-25|website=www.nepalafricafilmfestival.com.np|accessdate=2020-10-17|archivedate=2020-06-28|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200628033455/https://www.nepalafricafilmfestival.com.np/media/2011.html}}</ref><ref>{{Cite web|date=2013-01-18|title=Faces of FK media women|url=https://umwablog.wordpress.com/2013/01/18/faces-of-fk-media-women/|access-date=2020-06-25|website=Uganda Media Women's Assocaition|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Gallery - Nepal Africa Film Festival|url=https://www.nepalafricafilmfestival.com.np/gallery/2011.html|access-date=2020-06-25|website=www.nepalafricafilmfestival.com.np|accessdate=2020-10-17|archivedate=2020-06-25|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200625135524/https://www.nepalafricafilmfestival.com.np/gallery/2011.html}}</ref>
Mpaka [[Aprili]] [[2013]], Apalat alikua ni [[mkurugenzi]] wa Programu kwenye Kituo cha Redio ya Jamii “Mama Fm”, huko Uganda.<ref name=":1" /> Apalat ilifanya kazi na wafanyakazi wa redio hiyo kuhakikisha kuwa dhamira ya redio inazingatiwa pia inazalisha programu zinazozingatia jinsia, ujumbe wa matangazo na maigizo.
== Utafiti ==
Apalat ameshiriki katika miradi kadhaa ya utafiti ikiwa ni pamoja na "“<nowiki>[[Grass roots Women in Technology]]</nowiki> mnamo 2013, uchambuzi wa Hadhira kwa wasikilizaji wa Mama FM mnamo 2014 na Mradi wa Ufuatiliaji wa Vyombo vya Habari [[Duniani]] (GMMP) mnamo 2015 na Chama cha Wanawake Vyombo vya Habari nchini Uganda.<ref name=":0" />
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Uganda]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
52sdfgn8unkadjkacu4ev6x7j8px155
1235866
1235865
2022-07-27T12:48:19Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Catherine Apalat.jpg|thumb|Catherine Apalat.jpg]]
'''Catherine Apalat''' (alizaliwa [[Tororo]], [[Uganda]], [[28 Agosti]] [[1981]]) ni [[mwanahabari]], mtayarishaji wa [[filamu]] na mpiga [[picha]] wa Uganda, “Media Women's Association” (UMWA).<ref name=":0">{{Cite book|last=UMWA|first=UMWA|title=A Gender Analysis Report on media and Elections|publisher=UMWA|year=2016|isbn=|location=Kampala|pages=18}}</ref> Mnamo [[Aprili]] [[2013]], Apalat alikuwa meneja wa [[programu]] ya Mama FM iliyo chini ya UMWA.<ref name=":1">{{Cite web|title=UGANDA MEDIA WOMEN'S ASSOCIATION & MAMA FM|url=https://www.umwamamafm.co.ug/|access-date=2020-06-26|language=en-US}}</ref>
==Maisha ya awali na elimu ==
Apalat alizaliwa na David Livingstone Ongadi, [[mwalimu]] wa [[shule ya msingi]], na Grace Onyadi, [[mtaalamu]] wa masuala ya [[mawasiliano]]. Apalat aliudhuria shule ya msingi itwayo ''Rock View'' hadi mwaka [[1994]] kabla ya kujiunga na Tororo Girls na baadaye shule ya “Our Lady of Gayaza” kwa ajili ya elimu yake ya sekondari mwaka [[1995]]-[[2000]]. Apalat alisoma [[Makerere University]] na kutunukiwa shahada ya [[uzamili]] katika masuala ya mawasiliano mwaka [[2005]].
== Kazi ==
Apalat alifanya kazi na Makerere University kwenye idara ya mawasiliano na uandaaji wa filamu mwaka 2002. Apalat alitengeneza filamu fupi kumi za dakika kumi za kuchekesha na kiubunifu kama vile "Salongo’s Gift" na "Portrait of an artist". Apalat alijiunga na Radio kubwa na kufanya kazi kwenye idara ya utangazaji wa habari,uandaaji,uhariri na iliyobobea na utangazaji wa maswala ya jinai mwaka 2003. Apalat alijiunga na [[“the Great Lakes Film Production”]] mwaka [[2005]]-[[2006]] ambapo alifanya kazi kama [[mwandishi]] wa stori na mwendelezaji [[filamu]].
Toka mwaka [[2007]] mpaka sasa, Apalat anafanya kazi kama mtayarishaji wa filamu na mpiga picha kwenye kituo cha “Uganda Media Women’s Association Newspaper pull out (The Other Voice) na “Grass Root Women Empowerment Network (GWEN) Magazine”. Apalat alifanya kazi kama mshiriki wa Fredskorpset (FK) na (Norway Peace Corp) pamoja na Chuo cha Uandishi wa Habari na Mawasiliano (CJMC FM) mnamo 2011, uko Nepal. Wizara ya Mawasiliano ya Nepali, Nepal ilitambua mchango wa Apalat katika kuonyesha mila na tamaduni tofauti za Kiafrika kupitia filamu katika tamasha la kwanza la filamu la Nepal Afrika mnamo Mei 2011.<ref>{{Cite web|last=Nepal Film Festival|first=Nepal Film Festival|date=|title=Media Coverage - Nepal Africa Film Festival|url=https://www.nepalafricafilmfestival.com.np/media/2011.html|url-status=live|archive-url=https://www.nepalafricafilmfestival.com.np/media/2011.html|archive-date=2011-05-24|access-date=2020-06-25|website=www.nepalafricafilmfestival.com.np|accessdate=2020-10-17|archivedate=2020-06-28|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200628033455/https://www.nepalafricafilmfestival.com.np/media/2011.html}}</ref><ref>{{Cite web|date=2013-01-18|title=Faces of FK media women|url=https://umwablog.wordpress.com/2013/01/18/faces-of-fk-media-women/|access-date=2020-06-25|website=Uganda Media Women's Assocaition|language=en}}</ref><ref>{{Cite web|title=Gallery - Nepal Africa Film Festival|url=https://www.nepalafricafilmfestival.com.np/gallery/2011.html|access-date=2020-06-25|website=www.nepalafricafilmfestival.com.np|accessdate=2020-10-17|archivedate=2020-06-25|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200625135524/https://www.nepalafricafilmfestival.com.np/gallery/2011.html}}</ref>
Mpaka [[Aprili]] [[2013]], Apalat alikua ni [[mkurugenzi]] wa Programu kwenye Kituo cha Redio ya Jamii “Mama Fm”, huko Uganda.<ref name=":1" /> Apalat ilifanya kazi na wafanyakazi wa redio hiyo kuhakikisha kuwa dhamira ya redio inazingatiwa pia inazalisha programu zinazozingatia jinsia, ujumbe wa matangazo na maigizo.
== Utafiti ==
Apalat ameshiriki katika miradi kadhaa ya utafiti ikiwa ni pamoja na "“<nowiki>[[Grass roots Women in Technology]]</nowiki> mnamo 2013, uchambuzi wa Hadhira kwa wasikilizaji wa Mama FM mnamo 2014 na Mradi wa Ufuatiliaji wa Vyombo vya Habari [[Duniani]] (GMMP) mnamo 2015 na Chama cha Wanawake Vyombo vya Habari nchini Uganda.<ref name=":0" />
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1981]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Uganda]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
0sydqb9eq6jzvozdm8b5itz8k3oo7f0
Klaudina Thevenet
0
132534
1236269
1149858
2022-07-28T09:13:52Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Saint Claudine Thevenet.jpg|thumb|Mt. Klaudina alivyochorwa.]]
'''Klaudina Thevenet''' ([[jina la kitawa]]: '''Maria wa Mt. Ignasi'''; [[Lyon]], [[30 Machi]] [[1774]] – Lyon, [[3 Februari]] [[1837]]) alikuwa [[bikira]] wa [[Ufaransa]] aliyesukumwa na [[upendo]] mkubwa kufanya [[juhudi]] za kuanzisha [[shirika]] la “Masista wa Mioyo Mitakatifu ya Yesu na Maria" kwa ajili ya kuhudumia [[wasichana]] wa mazingira hatarishi ([[1815]]).
[[Papa Yohane Paulo II]] alimtangaza [[mwenye heri]] [[tarehe]] [[4 Oktoba]] [[1981]], halafu [[mtakatifu]] tarehe [[21 Machi]] [[1993]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa kila [[mwaka]] kwenye tarehe ya [[kifo]] chake<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
{{commons category}}
*[https://web.archive.org/web/20150808133354/http://www.genrjm.org/ Congrégation des Religieuses de Jésus-Marie]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Category:Waliozaliwa 1774]]
[[Category:Waliofariki 1837]]
[[Jamii:Mabikira]]
[[Jamii:Watawa waanzilishi]]
[[Category:Watakatifu wa Ufaransa]]
mczuupnnv1y39vnts9tkukhsbypx7k8
Historia ya Haiti
0
134205
1236016
1157723
2022-07-27T16:19:07Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236045
1236016
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''Historia ya Haiti''' inahusu eneo ambalo leo linaunda [[jamhuri]] ya [[Haiti]].
==Mwanzo na ukoloni wa Hispania==
Wakazi asilia walikuwa [[Waindio]] [[Waarawak]].
Baada ya kufika kwa [[Kristoforo Kolumbus]] na [[utawala]] wa [[Hispania]] [[idadi]] yao ilipungua haraka kutokana na [[magonjwa]] ya [[Ulaya]] ambayo hawakuzoea na kukosa [[Kingamwili|kinga]] dhidi yake, lakini pia kutokana na kutendwa kwa unyama na mabwana wapya.
[[Wahispania]] walianzisha [[Shamba|mashamba]] kwa kutegemea kazi ya [[watumwa]] kutoka [[Afrika]].
Mnamo [[mwaka]] [[1600]] Waindio wachache tu walibaki kutoka ma[[lakhi]] wakati wa Kolumbus wakapotea kabisa kwa njia ya kuoa au kuolewa na [[Wazungu]] na [[Waafrika]].
== Ukoloni wa Ufaransa ==
Katika [[karne ya 17]] [[Ufaransa|Wafaransa]] walifika [[Kisiwa|kisiwani]] wakanunua [[theluthi]] moja ya kisiwa wakaiita "Saint-Domingue" kilichokuwa baadaye Haiti. Wafaransa walileta watumwa wengi kutoka Afrika na kujenga [[uchumi]] wa mashamba makubwa, hasa ya [[miwa]]. [[Koloni]] la Saint-Domingue lilikuwa koloni tajiri la Ufaransa katika [[Amerika]].
== Mapinduzi ya Ufaransa ==
Wakati wa [[mapinduzi ya Ufaransa]] ya mwaka [[1789]] koloni lilikuwa na wakazi wa aina nne:
* Wazungu, hasa Wafaransa, waliokuwa mabwana lakini walikuwa na tofauti kubwa kati yao: wengine [[tajiri]] sana wengine [[maskini]] - jumla takriban watu 32,000
* [[Chotara|machotara]] na Weusi huru ambao walikuwa [[raia]] wa daraja ya pili; wengine walikuwa matajiri na mabwana wa mashamba na pia wa watumwa - jumla watu 28,000
* watumwa wenye asili ya Kiafrika - jumla watu 500,000
* Wamaroni walikuwa watumwa [[wakimbizi]] walioishi [[Mlima|mlimani]] katika [[pori]] - idadi yao haijulikani lakini hawakuwa wengi.
Mapinduzi ya Ufaransa na kutangaziwa kwa [[haki za kibinadamu]] vilisababisha matumaini ya machotara wenye [[mali]] ya kukubaliwa kama raia kamili wenye [[haki ya kupiga kura]]. Wenyewe hawakutegemea kumaliza utumwa uliokuwa msingi wa uchumi. Lakini matumaini yao yalishindikana wakakataliwa na watawala kisiwani.
[[Picha:Toussaint L'Ouverture.jpg|thumb|250px|Toussaint L'Ouverture kiongozi wa uhuru wa Haiti]]
== Mapinduzi ya Haiti ==
Sehemu ya matajiri kati ya Wazungu walitaka kujitenga na Ufaransa kwa msaada wa [[Uingereza]] na Hispania wakichukia [[mapinduzi]] katika Ufaransa. Watumwa na Weusi huru wenye [[elimu]] walifuata habari hizi wakaogopa ya kwamba utawala wa mabwana hao bila [[sheria]] za Ufaransa utakuwa mbaya kuliko hali jinsi ilivyokuwa wakaanza mapinduzi.
[[Kiongozi]] wao alikuwa [[Toussaint L'Ouverture]] aliyefaulu kushika [[serikali]] ya koloni tangu mwaka [[1798]]. Awali alipigania [[jeshi]] la Ufaransa; baada ya [[bunge]] la [[Paris]] kutangaza mwisho wa utumwa alishirikiana na Ufaransa dhidi ya jeshi la mabwana wenye mashamba waliotaka kuendeleza utumwa katika nchi ya kujitegemea.
Toussaint L'Ouverture alishinda pia [[Waingereza]] waliotaka kuwasaidia wapinzani Wafaransa wa [[Paris]] na mwaka [[1801]] akateka [[kaskazini]] mwa kisiwa iliyokuwa eneo la Kihispania na kutawala [[Hispaniola]] yote akitangaza kote mwisho wa utumwa.
Lakini mnamo mwaka [[1802]] [[siasa]] ya Paris ilibadilika na mtawala [[Napoleon Bonaparte]] aliamua kurudisha Hispaniola katika hali ya awali akatuma jeshi kubwa la [[askari]] 40,000. L'Ouverture alikamatwa alipokubali kushauriana na [[jenerali]] Mfaransa akapelekwa kama mfungwa Ulaya. Lakini [[makamu]] wake Jean-Jacques Dessalines aliposikia kuhusu mipango ya Ufaransa ya kurudisha utumwa alianza [[vita]] upya. Katika vita vikali Wafaransa walishindwa na Dessalines alitangaza [[uhuru]] wa koloni tarehe [[1 Januari]] [[1804]] kwa [[jina]] la "Haiti" kama "Jamhuri ya watu weusi".
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Historia ya Amerika|H]]
[[Jamii:Haiti]]
3s5g56by1w5wx99jp6wpygks1dzepiu
Ghulam Ali (mwimbaji)
0
134472
1235996
1161779
2022-07-27T16:14:49Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236069
1235996
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
{{Mtu Mashuhuri
|jina = Ghulam Ali khan
غلام علی خان
ਗੁਲਾਮ ਅਲੀ ਖਾਨ
ग़ुलाम अली ख़ान
|picha = Gulam ali copy.jpg
|caption = Ghulam Ali akiwa Chennai
|tarehe_ya_kuzaliwa = {{Umri na tarehe ya kuzaliwa|1940|12|05|df=yes}}
|mahala_pa_kuzaliwa = Kalekay Nagra, Punjab, British India (Pakistan ya sasa)
|tarehe_ya_kufa = <!-- {{Death date and age|YYYY|MM|DD|YYYY|MM|DD}} -->
|mahala_alipofia =
|majina_mengine =
|anajulikana_kwa_ajili_ya = Uimbaji na mtunzi wa ghazals
|kazi_yake = [[Mwimbaji]]
|utaifa = [[Pakistan]]
}}
'''Ustad Ghulam Ali''' (kwa [[Kiurdu]]: غُلام علی; amezaliwa [[5 Desemba]] [[1940]]) ni [[mwimbaji]] wa [[ghazal]] kutoka [[Pakistan|nchini Pakistan]] wa Patiala Gharana. Pia amekuwa mashuhuri kwa uchezaji. Ghulam Ali alikuwa [[mwanafunzi]] wa Bade Ghulam Ali Khan (elder Ghulam Ali Khan). Ali pia alifundishwa na [[kaka]] zake Bade Ghulam Ali - Barkat Ali Khan na Mubarak Ali Khan.
Ghulam Ali anachukuliwa kuwa mmoja wa waimbaji bora wa ghazal wa enzi yake. [[Mtindo]] wake na tofauti zake katika kuimba Ghazals zimetajwa kuwa za kipekee, kwani anachanganya [[muziki]] wa [[Utamaduni|kitamaduni]] wa Hindustani na ule wa ghazal, tofauti na mwimbaji mwingine yeyote wa ghazal. Ghulan ni maarufu sana [[Pakistan|nchini Pakistan]], [[India]], [[Afghanistan]], [[Nepal]], [[Bangladeshi]], na pia miongoni mwa watu wa Asia Kusini walioishi Amerika, Uingereza na [[nchi]] za [[Mashariki]] ya Kati.<ref name=":0">{{Cite web|title=Legendary singer Ghulam Ali — Part IV|url=http://apnaorg.com/articles/dailytimes-25/index.shtml|work=apnaorg.com|accessdate=2021-04-11}}</ref>
Ghazals zake nyingi maarufu zimetumika katika [[sinema]] za Bollywood. Ghazals zake maarufu ni pamoja na Chupke Chupke Raat Din, Kal Chaudhvin Ki Raat Thi, Hungama Hai Kyon Barpa, Chamakte Chand Ko, Kiya Hai Pyar Jis, Mei Nazar Sé Pee Raha Hoon, Mastana Peeyé, Yé dil yé pagal dil, Apni Dhun Mein Rehta Hoon ghazal na Nasir Kazmi, "Ham Ko Kiske Gham Ne Maara". Albamu yake ya hivi karibuni "Hasratein" iliteuliwa katika kitengo cha Albamu Bora ya Ghazal kwenye Tuzo za Star GIMA 2014. Alikuwa amemwooa Afsana Ali na wana [[binti]] aitwae Manjari Ghulam Ali.
Mnamo mwaka wa 2015, kwa sababu ya [[maandamano]] ya Shiv Sena huko [[Mumbai]], tamasha lake lilifutwa.<ref>https://www.nytimes.com/2015/10/09/world/asia/pakistan-singer-ghulam-ali-concert-canceled-india.html</ref> Baadae, alipokea mialiko kutoka kwa [[Waziri Mkuu]] wa [[Delhi]] Arvind Kejriwal, Waziri Mkuu wa Bengal Magharibi Mamata Banerjee na Waziri Mkuu wa Uttar Pradesh Akhilesh Yadav.<ref name=":1">{{Cite web|title=Ghulam Ali Performs in Lucknow, Meets Akhilesh Yadav|url=https://www.ndtv.com/india-news/ghulam-ali-performs-in-lucknow-meets-akhilesh-yadav-1230674|work=NDTV.com|accessdate=2021-04-11}}</ref> Baada ya kughairiwa, alitumbuiza huko [[Lucknow, India]],<ref name=":1" /> [[New Delhi]] na huko [[Trivandrum]], na [[Kozhikode]], [[Kerala]], [[India]].<ref name=":2">{{Cite web|title=Ghulam Ali doesn’t want to be used for political mileage; won’t perform in India|url=https://zeenews.india.com/entertainment/music/ghulam-ali-doesn%E2%80%99t-want-to-be-used-for-political-mileage-won%E2%80%99t-perform-in-india_1818138.html|work=Zee News|date=2015-11-04|accessdate=2021-04-11|language=en}}</ref>
Katika habari iliyoripotiwa mnamo 2015, Ghulam Ali alisema kwamba hatafanya maonyesho huko India siku zijazo. Alisema kuwa hataki kutumiwa kwa masuala ya [[Siasa|kisiasa]].<ref name=":2" />
== Maisha ya awali ==
Jina lake 'Ghulam Ali' alipewa na [[baba]] yake, [[shabiki]] mkubwa wa [[Bade Ghulam Ali Khan]] ambaye, zamani, alikuwa akiishi Lahore. Ghulam Ali alikuwa akimsikiliza Khan kila wakati tangu utoto wake.
Ghulam Ali alikutana na Ustad Bade Ghulam Ali Khan, kwa mara ya kwanza, wakati alikuwa katika [[ujana]] wake. Ustad Bade Ghulam Ali Khan alikuwa amezuru Kabul, [[Afghanistan]] na, wakati wa kurudi [[India]], baba yake Ghulam Ali alimwomba Ustad amchukue [[Mtoto|mwanawe]] kama [[mwanafunzi]]. Lakini Khan alisisitiza kwamba kwa kuwa hakuwa karibu na mjini, mafunzo ya kawaida hayangewezekana. Lakini baada ya maombi ya mara kwa mara kutoka kwa baba ya Ghulam Ali, Ustad Bade Ghulam Ali Khan alimwuliza [[kijana]] Ghulam Ali kuimba kitu. Haikuwa rahisi kuwa na ujasiri wa kuimba mbele yake. Alijipa ujasiri wa kuimba Thumri "Saiyyan Bolo Tanik Mose Rahiyo Na Jaye." Baada ya kumaliza, Ustad alimkumbatia na kumfanya [[mwanafunzi]] wake.<ref name=":0" />
== Kazi ==
Ghulam Ali alianza kuimba ndani ya Redio Pakistan, Lahore mnamo 1960. Pamoja na kuimba ghazals, Ghulam Ali anatunga [[muziki]] kwa ghazals yake. Nyimbo zake ni za raga na wakati mwingine ni pamoja na mchanganyiko wa kisayansi wa ragas. Anajulikana kwa kuchanganya Gharana-gaayaki ndani ya ghazal na hii inaupa uimbaji wake uwezo wa kugusa mioyo ya [[watu]]. Anaimba nyimbo za Kipunjabi pia. Nyimbo zake nyingi za Kipunjabi zimekuwa maarufu na zimekuwa sehemu ya ugawanyiko wa [[Utamaduni|kitamaduni]] wa [[Punjab]]. Ingawa katokea [[Pakistan]], Ghulam Ali bado ni maarufu nchini [[India]] kama vile alivyo [[Pakistan]]. Asha Bhosle amefanya albamu za pamoja za muziki naye.
Alitambulishwa kwenye [[sinema]] ya Kihindi na [[wimbo]] wa [[filamu]] wa Kihindi Chupke Chupke Raat Din ulioandikwa na [[mshairi]] Hasrat Mohani katika filamu ya B. R. Chopra, Nikaah (1982).<ref name=":3">{{Cite web|title=Ghulam Ali|url=http://www.imdb.com/name/nm1265094/|work=IMDb|accessdate=2021-04-11}}</ref> Ghazals nyingine maarufu ni pamoja na Hungama Hai Kyon Barpa na Awaargi. Mara nyingi huchagua ghazal za washairi mashuhuri.
Wakati akiulizwa juu ya vikundi vya pop vya Pakistani, Ghulam Ali alijibu, "Kwa kweli, nimeshangazwa sana na mtindo wao wa kuimba. Je! Unawezaje kuimba wimbo kwa kukimbia, kururuka na kuzunguka jukwaani? Jukwaa linalenga kutumbuiza sio sarakasi."<ref name=":0" />
[[Picha:Ghulam Ali.jpg|thumb|Ghulam Ali akiwa Hyderabad, 2007]]
Ghulam Ali pia ameimba ghazals za Kinepali kama Kina kina timro tasveer, Gajalu tee thula thula aankha, Lolaaeka tee thula na Ke chha ra diun katika lugha ya Kinepali na Narayan Gopal, [[mwimbaji]] anayejulikana wa [[Nepali]], na mtunzi Deepak Jangam. Nyimbo hizo ziliandikwa na Mfalme Mahendra wa [[Nepal]]. Nyimbo hizi zilikusanywa katika albamu inayoitwa Narayan Gopal, Ghulam Ali Ra Ma, na ni maarufu kati ya [[Mapenzi|wapenzi]] wa [[muziki]] wa Kinepali hadi leo.<ref name=":0" />
Moja ya matamasha yake ya kukumbukwa ilikuwa katika Taj Mahal.<ref name=":4">{{Cite web|title=Ghulam Ali sings in praise of the Taj {{!}} undefined News - Times of India|url=https://timesofindia.indiatimes.com/bombay-times/ghulam-ali-sings-in-praise-of-the-taj/articleshow/2189319.cms|work=The Times of India|accessdate=2021-04-11|language=en|author=Nimisha Tiwari {{!}} TNN {{!}} Jul 10, 2007, 00:00 Ist}}</ref> Alipoulizwa juu ya [[siku]] zijazo za waimbaji wa ghazal, alisema alifurahiya waimbaji maarufu kama mwimbaji wa ghazal Adithya Srinivasan, ambaye alifanya kazi ya ufunguzi kwenye tamasha lake mnamo 2012 huko [[Bangalore]].<ref>{{Cite web|title=From the words of Ghalib ... {{!}} Deccan Chronicle|url=https://web.archive.org/web/20131203002513/http://www.deccanchronicle.com/130721/entertainment-tvmusic/article/words-ghalib|work=web.archive.org|date=2013-12-03|accessdate=2021-04-11}}</ref> Hivi karibuni, mnamo [[Februari]] 2013, maestro alikua [[mtu]] wa kwanza kupokea [[tuzo]] ya Bade Ghulam Ali Khan. Akizungumzia hili, alisema, "Nina deni kwa [[serikali]] ya [[India]] kwa kunipa tuzo hii. Kwangu, ni tuzo kubwa zaidi ambayo nimepokea kwa sababu imepewa jina la guru langu." Alipata pia tuzo ya kwanza ya Swaralaya Global Legend (2016) huko Trivandrum, Kerala, India.<ref>{{Citation|last=Reporter|first=Staff|title=Swaralaya award presented to Ghulam Ali|date=2016-01-15|url=https://www.thehindu.com/news/cities/kozhikode/Swaralaya-award-presented-to-Ghulam-Ali/article14001394.ece|work=The Hindu|language=en-IN|issn=0971-751X|access-date=2021-04-11}}</ref> Ghulam Ali pia alikuwa mwimbaji wa chaguo la Marehemu Mfalme wa Nepal Mahendra Birbikram Shah Dev. Ghulam Ali aliimba nyimbo kadhaa maarufu zilizoandikwa na Mfalme Mahendra.<ref name=":0" />
== Ghazals/ nyimbo mashuhuri ==
* ''Aah ko chahiyye ek umr asar honey tak'' (mshairi: The Great Mirza Ghalib)<ref name="Technofundo">[http://www.technofundo.com/fun/music/ga/index.html To Ghulam Ali With Love] {{Wayback|url=http://www.technofundo.com/fun/music/ga/index.html |date=20160303235101 }} Technofundo.com website, Published 19 September 2007. Retrieved 16 July 2019</ref>
* ''Ae husn-e-beparwah tujhe shola kahoon ya shabnam kahoon'' (mshairi: Bashir Badr)
* ''Apni Dhun Mein Rehta Hun, Mai Bhi Tere Jaisa Hun'' (mshairi: Nasir Kazmi)<ref name="APNA">{{cite web|url=http://apnaorg.com/articles/dailytimes-25/index.shtml|author=Amjad Parvez|website=Academy of the Punjab in North America (APNA) website|title=Legendary singer Ghulam Ali|date=8 April 2014|access-date=16 July 2019}}</ref>
* ''Apni Tasveer Ko Aankhon Se (mshairi: Shahzad Ahmad)''
* ''Arz-e-gham say bhi faaida tou nahin'' (mshairi: Raees Warsi)
* ''Awaargi'' (mshairi: Mohsin Naqvi)
* ''Teri Yaad Yaad (mshairi: Sameer)''
* ''Saaqi Sharab Laa''
* ''Baharon ko Chaman''
* ''Barsan Lagi Sawan Bundiya Raja (mshairi: Traditional)''
* ''Bata do tum humein bedaad karna'' (mshairi: Riaz Khairabadi)
* ''Bechain bahut phirna ghabraaye huye rehna'' (mshairi: Munir Niazi)
* ''Chamakte Chand Ko Tuta Hua Tara Bana Dala (mshairi: Anand Bakshi)''
* ''Chhup Chhupa Ke Piyo''
* ''Chupke Chupke Raat Din'' (mshairi: Hasrat Mohani)<ref name=":3" /><ref name=":0" /><ref name="Technofundo" />
* ''Dard-e-dil dard aashna jaane'' (mshairi: Bahadur Shah Zafar)
* ''Dareeche Be-sada Koi Nahin Hai'' (mshairi: Sabir Zafar)
* ''Dil Buk Buk Ahro''
* ''Dil Jala Ke Mera Muskuraate Hain Woh''
* ''Dil dhadakne ka sabab yaad aaya'' (mshairi: Nasir Kazmi)
* ''Dil Mein Ek Leher Si Uthi Hai Abhi'' (mshairi: Nasir Kazmi)<ref name=":4" /><ref name="Technofundo" />
* ''Fasle Aise Bhi Honge (mshairi: Adeem Hashmi)''
* ''Gajalu Ti Thula Thula Aankha'' (mshairi: King Mahendra of Nepal)<ref name="APNA" />
* ''Hadaff-e-Gham na kiya sang-e-mallamat nay mujhay'' (mshairi: Raees Warsi)
* ''Heer'' (Punjabi Traditional)
* ''Hum Tere Shahar Mein Aaye Hain Musafir Ki Tarha''
* ''Hum To Kitnon Ko Mahzabeen Kehte Hain''
* ''Humko Kiske Gham Ne Mara'' ''(mshairi: Masroor Anwar)''
* Hungama Hai Kyon Barpa (Akbar Allahabadi)<ref name="Technofundo" /><ref name="APNA" />
* ''Itni muddat baad mile ho (mshairi: Mohsin Naqvi)''
* ''Jin ke honton pe hansi''
* ''Kachhi Deewar Hoon Thokar Na Lagana''
* ''Kaisi Chali Hai Abke Hawa''
* Kal Chaudhvin Ki Raat Thi (mshairi: Ibn-e-Insha)<ref name="Technofundo" /><ref name="APNA" />
* ''Kal Raat Bazm mein jo mila''
* ''Kehte Hain Mujhse Ishq Ka Afsana Chahiye'' (Qamar Jalalabadi)
* ''Khuli Jo Aankh (mshairi:'' ''Farhat Shehzad)''<ref name="Technofundo" />
* ''Khushboo Gunche Talash Karti Hai''
* ''Khushboo Jaise Log Mile''
* ''Ki Pucchde Ho Haal'' (Punjabi song)
* ''Kina Kina Timro Tasveer''(Nepali Song)<ref name="APNA" />
* ''Kiya Hai Pyaar Jise'' (mshairi: Qateel Shifai)<ref name="Technofundo" /><ref name="APNA" />
* ''koi humnafas nahi hai''
* ''koi ummid bar nahi aati'' (mshairi: Ghalib)<ref name="Technofundo" />
* ''Lolayeka ti thula'' (Nepali Song)
* ''Main Nazar Se Pee Raha Hoon''<ref name="APNA" />
* ''Mehfil Mein Baar Baar'' (Agha Bismil)
* ''Mere shoq da nai aitbar tenu'' mshairi: Ghulam Mustafa Tabassum
* ''Niyat-e-shauq bhar na jaaye kahin'' (mshairi: Nasir Kazmi)
* ''Ni Chambe Diye Bandh Kaliye'' (Punjabi song)
* ''Nit de vichore sada'' (Punjabi song)
* ''Pata laga mainu huun ki judai'' (Punjabi song)
* ''Patta Patta Boota Boota'' (mshairi: Meer Taqi Meer)
* ''Paara Paara Hua Pairaahan-e-Jaan'' (mshairi: Syed Razid-e-Ramzi)
* ''Pehli waari aj hona'' (Punjabi song)
* ''Phir Kisi Rahguzar Par Shahyad'' (mshairi: Ahmed Faraz)
* ''Phir Sawan Rut Ki Pawan Chali, Tum Yaad Aaye'' (mshairi: Nasir Kazmi)
* ''Rabba Mere Haal Da'' (Punjabi song)
* "Rahe ishq ki inteha chahata hoon"
* ''Ranj Ki Jab Guftagu Hone Lagi'' (mshairi: Daag Dehlavi)
* ''Roya Karenge Aap Bhi (mshairi: Momin Khan Momin)''<ref name="APNA" />
* ''Shauq Har Rang Raqeeb-E-Sar-O-Samaan Nikla'' (mshairi: Ghalib)<ref name="Technofundo" />
* ''Tak Patri Waaleya Lekh Mere'' (Punjabi song)
* ''Tamaam Umr Tera Intezar Kiya'' (mshairi: Hafeez Hoshiarpuri)
* ''Tumhare Khat Mein Naya Ik Salaam Kis Ka Thaa'' (mshairi: Daag Dehlavi)<ref name="APNA" />
* ''Woh Kabhi Mil Jayen Tau'' (mshairi: Akhtar Sheerani)<ref name="APNA" />
* ''Woh Jo Hum Mein Tum Mein Qarar Tha'' (mshairi: Momin Khan Momin)<ref name="APNA" />
* ''Yeh Batein Jhooti Batein Hain'' mshairi: Ibn-e-Insha<ref name="APNA" />
* ''Yeh Dil Yeh Pagal Dil'' (mshairi: Mohsin Naqvi)<ref name="APNA" />
* ''Zakhm-e-Tanhai Mein Khusboo-e-Heena Kiski Thi''
* ''Zehaal-e-miskin mukun taghaful'' (mshairi: Amir Khusroo)<ref name="Technofundo" />
== Diskografia ==
* ''Tere Shehar Mein'' – 1996<ref name="APNA" />
* ''Lamha Lamha'' – 1997
* ''Mahtab'' – 1997
* ''Madhosh'' – 1999
* ''Khushboo'' – 2000
* ''Rabba Yaar Milaade'' – 2000
* ''Passions'' – 2000
* ''Sajda'' – 2001
* ''Visaal'' – 2004<ref name="Technofundo" />
* ''Aabshaar'' – 2006
* ''Parchhaiyan'' – 2006
* ''Husn-E-Ghazal'' – 2007
* ''The Enchanter'' – 2010
* ''Anjuman Behtareen Ghazalein''<ref name="APNA" />
* ''At His Very Best'' Ghulam Ali
* ''Aawargee''
* ''Dillagee''
* ''Ghazalain – Live at Islamabad''<ref name="APNA" />
* ''Ghazals''
* ''Great Ghazals''
* ''Geet Aur Ghazals''
* ''Hungama Live in Concert Vol.1''<ref name="APNA" />
* ''Haseen Lamhe''
* ''Khwahish''
* ''Live in USA Vol 2 – Private Mehfil Series''
* ''Live in USA Vol 1 – Private Mehfil Series''
* ''Mast Nazren -Ecstatic Glances Live in London'', 1984<ref name="APNA" />
* ''Narayan Gopal, Ghulam Ali Ra Ma'' (Nepali Ghazals)<ref name="APNA" />
* ''Once More''
* ''Poems of Love''
* ''Saadgi''
* ''Suraag – In Concert''
* ''Suno''
* ''Soulful''
* ''Saugaat''
* ''The Golden Moments – Patta Patta Boota Boota''
* ''The Finest Recordings of Ghulam Ali''
* ''The Golden Collection''
* ''With Love''
* ''Kalaam-E-Mohabbat'' (Ghazals written by Sant Darshan Singh Ji)
* ''Chupke Chupke – Live in Concert, England''
* ''Rang Tarang vol 1,2''
* ''Janay Walay''
* ''Heer''
* ''Ghulam Ali – The Very Best''
* ''Ghulam Ali – Mehfil – Collection From Live Concerts''
* ''The Best of Ghulam Ali''
* ''Awargi—Ghulam Ali – Vocal CDNF418/419 Live. Vol.3 & 4.''
* ''Aitbaar''
* ''Aadaab Ustad (Ghazals)''
* ''Ghulam Ali Vol.1 and 2''
* ''A Ghazal Treat – Ghulam Ali in Concert'';;
* ''Ghulam Ali in Concert''
* ''Awargi (Live) Vol 1 and 2''
* ''Moods and Emotions''
* ''Ek Ehsaas – A Confluence of the Finest Ghazal Voices''
* ''Best of Ghulam Ali''
* ''Greatest Hits Of Ghulam Ali''
* ''The Golden Moments Ghulam Ali'' (Vol.1)<ref name="APNA" />
* ''A Live Concert''
* ''The Best of Ghulam Ali''
* ''Once More''<ref name="APNA" />
* ''Mehraab''
* ''Ghulam Ali Live at India Gate – Swar Utsav 2001 – Songs of the Wandering Soul''<ref name="APNA" />
* ''Ghalib – Ghazals – Ghulam Ali – Mehdi Hassan''
* ''The Latest, the best"\''
* ''Meraj-E-Ghazal, Ghulam Ali & Asha Bhosle''<ref name="Technofundo" /><ref name="APNA" />
== Tuzo na kutambuliwa ==
* Pride of Performance Award mnamo 1979 na [[Rais]] wa [[Pakistan]].
* Sitara-i-Imtiaz Award (Star of distinction) mnamo 2013 na [[Rais]] wa [[Pakistan]].<ref name="APNA" />
== Marejeo ==
<references />
== Viungo vya nje ==
* [https://www.youtube.com/watch?v=j3_CkTWf5HE, 'Best of Ghulam Ali Songs' on YouTube]
[[Jamii:Waliozaliwa 1940]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waimbaji wa Pakistan]]
[[Jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi|P]
[[Jamii:Feminism and Folklore 2021 in Tanzania]]
ng6v1q537tpkhmkht15xtuqcwcu1ihd
Mto Bugenyuzi (Ruyigi)
0
135089
1235924
1161983
2022-07-27T15:59:03Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236102
1235924
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|B]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|B]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
0x14u5rq5c9skszizvy4cy8g2ozjsfg
Mto Kwibumba
0
135122
1235941
1162021
2022-07-27T16:02:12Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236084
1235941
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[Korongo (jiografia)|korongo]] linalopatikana katika [[mkoa wa Ruyigi]] ([[mashariki]] mwa [[Burundi]]).
[[Maji]] yake huelekea [[Ziwa Tanganyika]], [[Mto Kongo]] na hatimaye [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Ruyigi]]
* [[Orodha ya mito ya Burundi]]
* [[Mito mirefu ya Afrika]]
==Tanbihi==
{{Reflist}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
{{mbegu-jio-Burundi}}
[[Jamii:Mito ya Burundi|K]]
[[Jamii:Mkoa wa Ruyigi|K]]
[[Jamii:Ziwa Tanganyika]]
[[Jamii:Mto Kongo]]
[[Jamii:Atlantiki]]
ox7kc4jc5x1okz95i23gk9zz3zy42za
Jermano wa Konstantinopoli
0
135553
1235966
1204615
2022-07-27T16:07:21Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236077
1235966
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:Patriarch Germanus I of Constantinople.jpg|thumb|[[Picha takatifu]] ya kwake akiwa katika [[mavazi]] ya [[ibada]].]]
'''Jermano I wa Konstantinopoli''' ([[Konstantinopoli]], leo nchini [[Uturuki]], [[634]] hivi - Platanion, [[732]] hivi) alikuwa [[Patriarki]] wa [[mji]] huo kuanzia [[mwaka]] [[715]] hadi [[730]]<ref>{{Cite web|url=https://www.patriarchate.org/list-of-ecumenical-patriarchs?p_p_id=101_INSTANCE_u1pdiOuFkFSc&p_p_lifecycle=0&p_p_state=normal&p_p_mode=view&p_p_col_id=column-1&p_p_col_pos=1&p_p_col_count=2&_101_INSTANCE_u1pdiOuFkFSc_delta=20&_101_INSTANCE_u1pdiOuFkFSc_keywords=&_101_INSTANCE_u1pdiOuFkFSc_advancedSearch=false&_101_INSTANCE_u1pdiOuFkFSc_andOperator=true&p_r_p_564233524_resetCur=false&_101_INSTANCE_u1pdiOuFkFSc_cur=13|title=Ecumenical Patriarchs}}</ref> alipolazimishwa na [[kaisari]] [[Leo III]] kujiuzulu na kwenda uhamishoni kwa kutetea [[heshima]] kwa [[picha takatifu]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/92525</ref>.
Kabla ya hapo alitetea [[imani sahihi]] kuhusu [[utashi]] wa kibinadamu wa [[Yesu Kristo]].
[[Maandishi]] yake machache yametufikia<ref name="newadvent.org">[http://www.newadvent.org/cathen/06484a.htm Kirsch, Johann Peter. "St. Germanus I." The Catholic Encyclopedia. Vol. 6. New York: Robert Appleton Company, 1909. 24 Jun. 2013]</ref>; kati yake ni maarufu zaidi yale kuhusu [[Bikira Maria]]<ref>Pope Pius XII included one of his texts in the apostolic constitution proclaiming Mary's assumption into heaven a dogma of the Church.</ref>.
Anaheshimiwa tangu kale na [[Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa [[tarehe]] [[12 Mei]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref><ref>{{el}} ''[http://www.synaxarion.gr/gr/sid/3124/sxsaintinfo.aspx Ὁ Ἅγιος Γερμανὸς Πατριάρχης Κωνσταντινουπόλεως].'' 12 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
*[[Mababu wa Kanisa]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* {{Cite book | last=Cameron | first=Averil | last2=Ward-Perkins | first2=Bryan. | last3=Whitby | first3=Michael | title=The Cambridge ancient history 14. Late Antiquity: empire and successors, A.D. 425 - 600 | year=2000 | publisher=Cambridge University Press | isbn=0-521-32591-9 }}
*Gross, Ernie. ''This Day in Religion''. New York: Neil-Schuman Publishers, 1990. ISBN 1-55570-045-4.
*[[Cyril Mango|Mango, Cyril]], "Historical Introduction," in Bryer & Herrin, eds., ''Iconoclasm'', pp. 2–3., 1977, Centre for Byzantine Studies, University of Birmingham, ISBN 0704402262
*{{cite book|last=Treadgold|first =Warren|title =A History of the Byzantine State and Society| publisher = University of Stanford Press|year = 1997| location = Stanford| isbn =0-8047-2630-2}}
* GERMANO DI COSTANTINOPOLI, Storia ecclesiastica e contemplazione mistica. Traduzione, introduzione e note a cura di Antonio Calisi, Independently published, 2020. ISBN|979-8689839646
==Viungo vya nje==
{{Commons category|Germanos I of Constantinople}}
*[http://www.ldysinger.com/@texts/0720_germanus/02_div-liturgy.htm ''On the Divine Liturgy''], Online text (English and Greek)
*[http://www.ncregister.com/site/article/st._germanus_of_constantinople/ Pope Benedict XVI. "On St. Germanus of Constantinople", General Audience, 29 April 2009] {{Wayback|url=http://www.ncregister.com/site/article/st._germanus_of_constantinople/ |date=20190911072728 }}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 634]]
[[Category:Waliofariki 732]]
[[Jamii:Wamonaki]]
[[Category:Maaskofu Wakatoliki]]
[[Category:Mababu wa Kanisa]]
[[Category:Watakatifu wa Uturuki]]
0zid5l61osstciylwxbi8v4oc0nwe5m
Betty Bayé
0
135681
1235851
1232874
2022-07-27T12:11:25Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Betty Winston Bayé''' (alizaliwa [[Aprili 12]], [[1946]]) ni M[[marekani]] mwenye [[asili]] ya [[Afrika]]. Ni [[mwandishi wa habari]], na mshiriki wa zamani wa bodi ya wahariri ya gazeti la ''Courier-Journal'' katika Louisville, Kentucky, na [[kampuni]] ya Gannett, ni mwenyeji wa kipindi cha "The Betty Baye Show". Yeye ni [[Makamu wa Rais]] wa zamani wa Chama cha Kitaifa cha Wanahabari Weusi na ni maarufu sana.<ref name=univla>{{cite web|url=http://louisville.edu/womenscenter/our-programs/kwbf/past-festivals/kentucky-womens-book-festival-1/presenter-pages-1/betty-baye|title=Betty Baye — Women's Center|website=louisville.edu}}</ref><ref name=who>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=dd4iAQAAMAAJ|title=Who's Who in Black Louisville: The Inaugural Edition|first=Sunny C.|last=Martin|date=1 February 2007|publisher=Who's Who Publishing Company|isbn=9781933879161|via=Google Books}}</ref>
== Wasifu ==
Betty Winston Bayé alilelewa, pamoja na dada zake wawili huko [[New York City]], Harlem.<ref name=work>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=6Hn0gN9XD24C&pg=PA14|title=Work, Sister, Work: How Black Women Can Get Ahead in Today's Business Environment|first=Cydney|last=Shields|date=2 February 1994|publisher=Simon and Schuster|isbn=9780671873059|via=Google Books}}</ref>{{Page needed|date=December 2017}}<ref name=von>{{cite web|url=https://www.npr.org/templates/story/story.php?storyId=5070642|title=Remembering Sgt. Clarence Lavon Floyd|publisher=}}</ref><ref name="connections">{{cite web|url=https://www.ket.org/episode/KCWRS%20000901/|title=Betty Baye (#901) – Connections – KET|last=Shaw|first=Renee|date=September 4, 2013|publisher=Kentucky Educational Television (KET)}}</ref> Wazazi wake walikuwa George na Betty Winston..<ref name=blackjournalists>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=I21yBNr9eQoC|title=Black Journalists: The NABJ Story|first=Wayne|last=Dawkins|date=18 October 1997|publisher=August Press LLC|isbn=9780963572042|via=Google Books}}</ref>{{Page needed|date=December 2017}} Bayé hakuenda chuo kikuu mara tu baada ya kumaliza shule ya upili. Alikuwa mfanyakazi kama karani na mwishoni mwa mwaka wa 1960 aliacha kazi iyo na kufwata ndoto yake ya kuwa mwigizaji katika ukumbi wa The National Black Theatre huko Harlem chini ya uongozi wa Barbara Ann Teer.<ref name=blackjournalists /><ref name=NPR>{{cite web|url=https://www.npr.org/templates/story/story.php?storyId=4779985|title=Betty Baye: 'What's in a Name?'|publisher=}}</ref> Mnamo 1979, Bayé alihitimu shahada ya kwanza ya Mawasiliano kutoka Chuo cha Hunter na mnamo 1980 shahada nyingine ya uandishi wa habari kutoka Chuo Kikuu cha The Columbia, Shule ya Uzamili ya Uandishi wa Habari. <ref name=ANCBio>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=a7kT7EDFakAC&pg=PA22|title=Biographical Dictionary of American Newspaper Columnists|first=Sam G.|last=Riley|date=18 October 1995|publisher=Greenwood Publishing Group|isbn=9780313291920|via=Google Books}}</ref>{{Page needed|date=December 2017}} <ref name=blackjournalists /> <ref name=familyaffair>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=LtDtAAAAMAAJ|title=Family Affair: What It Means to be African American Today|first=Gil L.|last=Robertson|date=18 October 2017|publisher=Bolden|isbn=9781932841350|via=Google Books}}</ref>
== Taaluma ==
Bayé alikuwa na taaluma kadhaa wakati wa uhai wake. Alianza kufanya kazi ya ukarani kabla ya kwenda chuo kikuu.<ref name=work /> Bayé alianza kazi yake ya utangazaji Mt. Vernon, [[New York]] for the ''Daily Argus'' from 1980–1984. Pia akawa mtangazaji wa ''Courier-Journal'' toka mwaka 1984–1986. Bayé alijiunga na bodi ya wahariri kama mhariri msaidizi kutoka mwaka 1986-1988 na kisha kuwa msaidizi wa mhariri wa majirani kutoka 1988-1990.<ref name=familyaffair /> From 1990–1991, aliondoka Courier na kwenda kuwa mtu wa karibu wa Nieman huko [[Harvard]]. Alirudi kwenye kazi ya magazeti gazeti baada ya kuondoka huko Harvard.<ref name=ANCBio /> Alifanya kazi uko "Courier" kwa karibu miaka thelathini na akaachishwa kazi na wafanyikazi wengine wengi wa Gannett.<ref name=wfpl>{{cite web|url=http://wfpl.org/noise-and-notes-betty-bay-still-speaks/|title=Noise and Notes: Betty Bayé (Still) Speaks! - 89.3 WFPL News Louisville|first=Phillip M.|last=Bailey|date=1 December 2012|publisher=}}</ref> Mbali na kazi yake ya magazeti, Bayé alichangia majarida kama "Essence Magazine", "Main Man", na "BlackAmericanWed.com".<ref name=univla /><ref name=ANCBio /> Kwa miaka 6 alitangaza kipindi cha "''The Betty Bayé Show''" na pia alitangaza katika kipindi cha "''Travis Smiley Show''".<ref name=univla /><ref name=familyaffair />
=== Baadhi ya kazi zake za uandishi ===
Bayé Aliandika vitabu viwili, "''The Africans''" Mwaka [[1983]] na "''Blackbird''" Mwaka [[2000]].<ref name=univla /><ref name=website>{{cite web|url=http://www.bettybaye.com/our-story/|title=About Betty Baye – Betty Baye Journalist|publisher=}}</ref> Bayé Alichangia kwenye kitabu cha "''Family Affairs: What It Means to be African American Today''",<ref name=familyaffair /> "''Tribe Became a Nation''",<ref name=blackjournalists /> Na "''Work Sister Work''".<ref name=work /> Pia alitajwa kwenye kitabu cha "''Passing for Black: The Life and Careers of Mae Stret Kidd''".<ref>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=swPI4AKQ5tQC&pg=PA84|title=Passing for Black: The Life and Careers of Mae Street Kidd|first1=Wade H.|last1=Hall|first2=Wade|last2=Hall|first3=Mae Street|last3=Kidd|date=25 November 1997|publisher=University Press of Kentucky|isbn=0813109485|via=Google Books}}</ref>
== Vitabu ==
* Betty Bayé, "Let's Talk Black", in Thinking Black: Some of the Nation's Best Black Columnists Speak Their Mind, edited by Dewayne Wikham. Crown Publishing Group, 1997.
* Betty Bayé, ''Blackbird''. Newport News, Va.: August Press, 2000.
== Tuzo ==
* NABJ Hall of Fame 2013
* Simmons College of [[Kentucky]], honorary doctorate of humanities<ref name="website" />
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
igwmxt1hpbrz3t2ddmxwyf1zxb5d67y
1235852
1235851
2022-07-27T12:12:28Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Betty Winston Bayé''' (alizaliwa [[Aprili 12]], [[1946]]) ni M[[marekani]] mwenye [[asili]] ya [[Afrika]]. Ni [[mwandishi wa habari]], na mshiriki wa zamani wa bodi ya wahariri ya gazeti la ''Courier-Journal'' katika Louisville, Kentucky, na [[kampuni]] ya Gannett, ni mwenyeji wa kipindi cha "The Betty Baye Show". Yeye ni [[Makamu wa rais|Makamu wa Rais]] wa zamani wa Chama cha Kitaifa cha Wanahabari Weusi na ni maarufu sana.<ref name=univla>{{cite web|url=http://louisville.edu/womenscenter/our-programs/kwbf/past-festivals/kentucky-womens-book-festival-1/presenter-pages-1/betty-baye|title=Betty Baye — Women's Center|website=louisville.edu}}</ref><ref name=who>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=dd4iAQAAMAAJ|title=Who's Who in Black Louisville: The Inaugural Edition|first=Sunny C.|last=Martin|date=1 February 2007|publisher=Who's Who Publishing Company|isbn=9781933879161|via=Google Books}}</ref>
== Wasifu ==
Betty Winston Bayé alilelewa, pamoja na dada zake wawili huko [[New York City]], Harlem.<ref name=work>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=6Hn0gN9XD24C&pg=PA14|title=Work, Sister, Work: How Black Women Can Get Ahead in Today's Business Environment|first=Cydney|last=Shields|date=2 February 1994|publisher=Simon and Schuster|isbn=9780671873059|via=Google Books}}</ref>{{Page needed|date=December 2017}}<ref name=von>{{cite web|url=https://www.npr.org/templates/story/story.php?storyId=5070642|title=Remembering Sgt. Clarence Lavon Floyd|publisher=}}</ref><ref name="connections">{{cite web|url=https://www.ket.org/episode/KCWRS%20000901/|title=Betty Baye (#901) – Connections – KET|last=Shaw|first=Renee|date=September 4, 2013|publisher=Kentucky Educational Television (KET)}}</ref> Wazazi wake walikuwa George na Betty Winston..<ref name=blackjournalists>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=I21yBNr9eQoC|title=Black Journalists: The NABJ Story|first=Wayne|last=Dawkins|date=18 October 1997|publisher=August Press LLC|isbn=9780963572042|via=Google Books}}</ref>{{Page needed|date=December 2017}} Bayé hakuenda chuo kikuu mara tu baada ya kumaliza shule ya upili. Alikuwa mfanyakazi kama karani na mwishoni mwa mwaka wa 1960 aliacha kazi iyo na kufwata ndoto yake ya kuwa mwigizaji katika ukumbi wa The National Black Theatre huko Harlem chini ya uongozi wa Barbara Ann Teer.<ref name=blackjournalists /><ref name=NPR>{{cite web|url=https://www.npr.org/templates/story/story.php?storyId=4779985|title=Betty Baye: 'What's in a Name?'|publisher=}}</ref> Mnamo 1979, Bayé alihitimu shahada ya kwanza ya Mawasiliano kutoka Chuo cha Hunter na mnamo 1980 shahada nyingine ya uandishi wa habari kutoka Chuo Kikuu cha The Columbia, Shule ya Uzamili ya Uandishi wa Habari. <ref name=ANCBio>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=a7kT7EDFakAC&pg=PA22|title=Biographical Dictionary of American Newspaper Columnists|first=Sam G.|last=Riley|date=18 October 1995|publisher=Greenwood Publishing Group|isbn=9780313291920|via=Google Books}}</ref>{{Page needed|date=December 2017}} <ref name=blackjournalists /> <ref name=familyaffair>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=LtDtAAAAMAAJ|title=Family Affair: What It Means to be African American Today|first=Gil L.|last=Robertson|date=18 October 2017|publisher=Bolden|isbn=9781932841350|via=Google Books}}</ref>
== Taaluma ==
Bayé alikuwa na taaluma kadhaa wakati wa uhai wake. Alianza kufanya kazi ya ukarani kabla ya kwenda chuo kikuu.<ref name=work /> Bayé alianza kazi yake ya utangazaji Mt. Vernon, [[New York]] for the ''Daily Argus'' from 1980–1984. Pia akawa mtangazaji wa ''Courier-Journal'' toka mwaka 1984–1986. Bayé alijiunga na bodi ya wahariri kama mhariri msaidizi kutoka mwaka 1986-1988 na kisha kuwa msaidizi wa mhariri wa majirani kutoka 1988-1990.<ref name=familyaffair /> From 1990–1991, aliondoka Courier na kwenda kuwa mtu wa karibu wa Nieman huko [[Harvard]]. Alirudi kwenye kazi ya magazeti gazeti baada ya kuondoka huko Harvard.<ref name=ANCBio /> Alifanya kazi uko "Courier" kwa karibu miaka thelathini na akaachishwa kazi na wafanyikazi wengine wengi wa Gannett.<ref name=wfpl>{{cite web|url=http://wfpl.org/noise-and-notes-betty-bay-still-speaks/|title=Noise and Notes: Betty Bayé (Still) Speaks! - 89.3 WFPL News Louisville|first=Phillip M.|last=Bailey|date=1 December 2012|publisher=}}</ref> Mbali na kazi yake ya magazeti, Bayé alichangia majarida kama "Essence Magazine", "Main Man", na "BlackAmericanWed.com".<ref name=univla /><ref name=ANCBio /> Kwa miaka 6 alitangaza kipindi cha "''The Betty Bayé Show''" na pia alitangaza katika kipindi cha "''Travis Smiley Show''".<ref name=univla /><ref name=familyaffair />
=== Baadhi ya kazi zake za uandishi ===
Bayé Aliandika vitabu viwili, "''The Africans''" Mwaka [[1983]] na "''Blackbird''" Mwaka [[2000]].<ref name=univla /><ref name=website>{{cite web|url=http://www.bettybaye.com/our-story/|title=About Betty Baye – Betty Baye Journalist|publisher=}}</ref> Bayé Alichangia kwenye kitabu cha "''Family Affairs: What It Means to be African American Today''",<ref name=familyaffair /> "''Tribe Became a Nation''",<ref name=blackjournalists /> Na "''Work Sister Work''".<ref name=work /> Pia alitajwa kwenye kitabu cha "''Passing for Black: The Life and Careers of Mae Stret Kidd''".<ref>{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=swPI4AKQ5tQC&pg=PA84|title=Passing for Black: The Life and Careers of Mae Street Kidd|first1=Wade H.|last1=Hall|first2=Wade|last2=Hall|first3=Mae Street|last3=Kidd|date=25 November 1997|publisher=University Press of Kentucky|isbn=0813109485|via=Google Books}}</ref>
== Vitabu ==
* Betty Bayé, "Let's Talk Black", in Thinking Black: Some of the Nation's Best Black Columnists Speak Their Mind, edited by Dewayne Wikham. Crown Publishing Group, 1997.
* Betty Bayé, ''Blackbird''. Newport News, Va.: August Press, 2000.
== Tuzo ==
* NABJ Hall of Fame 2013
* Simmons College of [[Kentucky]], honorary doctorate of humanities<ref name="website" />
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1946]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
37f7gnyqtoupf0815zei0ibdlfcefru
Belva Davis
0
135691
1235848
1188775
2022-07-27T12:06:57Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Belva Davis''' ([[jina]] la kuzaliwa '''Belvagene Melton''', [[Monroe, Louisiana]], [[13 Oktoba]] [[1932]]) ni [[mwandishi wa habari]] wa [[redio]] na [[televisheni]] wa Kimarekani; ni [[mwanamke]] wa kwanza Mmarekani mweusi kuwa [[mwandishi wa habari]] katika [[televisheni]] ya West Coast ya [[Marekani]]. Ameshinda [[tuzo]] nane na ametambuliwa na Wanawake wa [[Amerika]] katika [[Redio]] na [[Televisheni]] na Chama cha Kitaifa cha Wanahabari Weusi.
Baada ya kukua katika mji wa [[Oakland]], [[California]], Davis alianza kuandika makala za kujitegemea katika majarida mnamo mwaka [[1957]]. Ndani ya miaka michache, alianza kuripoti kwenye redio na televisheni. Kama mwandishi.Davis aliongoza hafla nyingi muhimu za siku, pamoja na masuala ya ubaguzi rangi, jinsia, na siasa. Alikuwa mwanamke wa kwanza kuandaa kipidi chake mwenyewe cha mazungumzo kabla ya kustahafu mnamo mwaka [[2012]].
==Maisha ya Awali==
Belvagene Melton alizaliwa na [[Florence]] na John Melton ni mkubwa kati ya watoto wanne.<ref name=granddame/><ref>{{cite news|url=http://www.sfgate.com/entertainment/article/Newswoman-Belva-Davis-reflects-on-her-life-2478107.php|title=Newswoman Belva Davis reflects on her life|first=Julian|last=Guthrie|newspaper=San Francisco Chronicle|date=January 20, 2011|accessdate=January 7, 2013}}</ref>mama yake alikua na miaka minne alipokua anajifungua Belva,na Belva miaka yake ya mwanzoni ameisha na ndugu tofautitofauti.<ref name=mercury/> Alipokuwa na umri wa miaka nane, Belva na familia yake, ikiwa ni pamoja na shangazi na binamu, walihamia kwenye nyumba ya vyumba viwili huko Oakland Magharibi kitongoji cha karibu na [[Oakland, California]].watu kumi na moja waliishi katika ghorofa hiyo.<ref name=granddame>{{cite news|url=http://www.sfgate.com/news/article/Belva-Davis-grande-dame-of-Bay-Area-journalism-3189237.php |title=Belva Davis, grande dame of Bay Area journalism |first=Carolyn |last=Jones|newspaper=[[San Francisco Chronicle]] |date=May 9, 2010 |accessdate=November 14, 2012}}</ref> Baadaye Davis aliongea juu ya ujana wake na kusema , "Nilijifunza kuishi. Na nilipokuwa nikihama kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine , nilijifunza kubadilika. Na wakati nilipokuwa mzee, niligundua kuwa ninaweza kuwa chochote kile ambacho ningehitaji kuwa."<ref name=mercury/>
Mwishoni mwa miaka ya [[1940]], wazazi wake waliweza kumudu nyumba huko Berkeley, California. Davis alihitimu kutoka [[Berkeley High School (Berkeley, California) mnamo 1951, na kuwa mshiriki wa kwanza wa familia yake kuhitimu kutoka shule ya pili. Aliomba na kukubaliwa katika Chuo Kikuu cha Jimbo la San Francisco lakini hakuwa na uwezo wa kuhudhuria chuo kikuu.<ref>{{cite web|url=http://www.mediabistro.com/articles/details.asp?aID=12154& |title=SO WHAT DO YOU, DO BELVA DAVIS, PIONEERING BROADCAST JOURNALIST, TV HOST AND AUTHOR? |publisher=Mediabistro |date=July 30, 2014 |first=Janelle |last=Harris |accessdate=October 15, 2014 }}</ref> SAlienda kufanya kazi kama mchapishaji huko Oakland Naval Supply Depot, akipata $2,000 kwa mwaka.<ref name=granddame/>
== Kazi ya uandishi wa habari ==
Davis alikubali kazi ya kujitegemea mnamo mwaka [[1957]] katika jarida la Jet,jarida linalozingatia maswala ya wamerakani weusi, na likawa la kwanza kwa uchapishaji. Alipokea $ 5 kwa kila kipande bila mstari. Kwa miaka michache baadae, alianza kuandika machapisho mengine ya Kiafrika pamoja na Amerika..
==Maisha binafsi==
Belva aliolewa na Frank Davis mnamo [[Januari 1]] mwaka [[1952]]. Walijaliwa watoto wawili na mjukuu wa kike, Davisi alikutana na mume wake wa pili ,Bill Moore mwaka [[1967]] alipokua anafanya kazi katika KPIX-TV.<ref name=granddame/><ref name=oakleaf>{{cite web|url=http://www.theoakleafnews.com/arts-entertainment/2012/05/15/bay-area-journalist-gives-inspiring-lecture/|title=Bay Area Journalist gives inspiring lecture|first=Jessie|last=De La O|work=The Oak Leaf|location=[[Santa Rosa, California]]|date=May 15, 2012|accessdate=January 7, 2012}}{{cite news|url=http://nl.newsbank.com/nl-search/we/Archives?p_product=SA&p_theme=sa&p_action=search&p_maxdocs=200&p_topdoc=1&p_text_direct-0=0EAFEE8308ED16A5&p_field_direct-0=document_id&p_perpage=10&p_sort=YMD_date:D&s_trackval=GooglePM|title=Finding a Personal Side to the Homeless Story: Journalists Find a Cause in Petaluma|date=December 8, 1999|first=Janet |last=Holman Parmer|newspaper=[[The Press Democrat]]|location=Santa Rosa, California|accessdate=January 7, 2013}} {{subscription required|date=January 2013}}</ref> Belva Davis, alikuwa ni mwanamke wa pekee katika redio pamoja na tv mbalimbali.
== Nukuu ==
* “Usiogope nafasi kati ya ndoto zako za ukweli. Ikiwa unaweza kuiota, unaweza kuifanya iwe hivyo. ” <ref> https://www.goodreads.com/quotes/129983-don-t-be- fear-of-the-space-between-your-dreams-and </ref>
==Heshima ==
Davis alishinda tuzo nane San Francisco.<ref name=retire>{{cite news|first=Nanette |last=Asimov |url=http://www.sfgate.com/bayarea/article/Groundbreaking-journalist-Belva-Davis-to-retire-3354154.php |title=Groundbreaking journalist Belva Davis to retire |newspaper=San Francisco Chronicle |date=February 23, 2012 |accessdate=November 14, 2012}}</ref> Yeye ni mwanachama wa heshima wa Alpha Kappa Alpha.<ref name="honorary">{{cite web |url=http://aka1908.org/present/membership/#honorary|title=Membership: Honorary Members|publisher=Alpha Kappa Alpha Sorority, Incorporated|accessdate=October 12, 2007 |archiveurl = https://web.archive.org/web/20070928000231/http://aka1908.org/present/membership/#honorary |archivedate = September 28, 2007}}</ref> Amepokea tuzo za mafanikio ya maisha kutoka kwa Wanawake wa Amerika katika Redio na Televisheni na Chama cha Kitaifa cha Wanahabari Weusi.<ref name=granddame/>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1952]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
t3rppgy3z52uvdnpi03apcpje9jnt89
Christine Devine
0
135692
1236203
1188716
2022-07-28T05:39:07Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Christine Devine''' (alizaliwa mnamo [[2 Novemba]], [[1965]]) ni [[mwandishi]] wa [[televisheni]] ya nchini [[Marekani]] huko [[Los Angeles]]. Ni muendeshaji wa kipindi cha KTTV's ''Fox 11 News''.
Ameshinda Emmy 16, pamoja na [[Tuzo]] ya kifahari ya Magavana.<ref>{{Cite web|url=http://diversitynewsmagazine.com/2011/08/07/christine-devine-recipient-of-the-63rd-la-area-governors-award-nbc4-tops-63rd-annual-los-angeles-area-emmys/#.WLhalfnytPY|title=Christine Devine recipient of the 63rd LA Area Governors Award & NBC4 Tops 63rd Annual Los Angeles Area Emmys {{!}} Diversity News Magazine Published by Diversity News Publications - Arts & Entertainment, Awards, Breaking News, Celebrity News, Features, Fashion, Movies, Sports|last=Desk|first=News|access-date=2017-03-02|archive-url=https://web.archive.org/web/20170826030932/http://diversitynewsmagazine.com/2011/08/07/christine-devine-recipient-of-the-63rd-la-area-governors-award-nbc4-tops-63rd-annual-los-angeles-area-emmys/#.WLhalfnytPY|archive-date=2017-08-26|url-status=dead|accessdate=2021-05-15|archivedate=2017-08-26|archiveurl=https://web.archive.org/web/20170826030932/http://diversitynewsmagazine.com/2011/08/07/christine-devine-recipient-of-the-63rd-la-area-governors-award-nbc4-tops-63rd-annual-los-angeles-area-emmys/#.WLhalfnytPY}}</ref>
Emmy sita zilikuwa za umahiri wake na [[habari]] bora. <ref>{{Cite web|url=http://go.galegroup.com/ps/retrieve.do?tabID=T003&resultListType=RESULT_LIST&searchResultsType=SingleTab&searchType=BasicSearchForm¤tPosition=1&docId=GALE%7CA183850635&docType=Article&sort=Relevance&contentSegment=&prodId=ITOF&contentSet=GALE%7CA183850635&searchId=R3&userGroupName=mlin|title=Gale - Enter Product Login|website=go.galegroup.com|access-date=2017-03-02}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
4s15dvkruwcbj8yjo6693txht5o571w
Caitlin Dickerson
0
135696
1235861
1189059
2022-07-27T12:35:33Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Caitlin Dickerson @ SXSW 2019 (40387795433).jpg|thumb|Caitlin_Dickerson]]
'''Caitlin Dickerson''' ni [[mwandishi wa habari]] wa [[Marekani]]. Yeye ni mwandishi wa ''The Atlantic ,'' aliyelenga uhamiaji. Hapo awali alifanya [[kazi]] kama mwandishi wa kitaifa wa ''[[The New York Times]] ,'' mchambuzi wa kisiasa wa [[CNN]], na mwandishi wa uchunguzi wa [[NPR]] . Alipewa tuzo ya Peabody ya mwaka 2015. Kwa safu maalumu ya NPR juu ya upimaji wa mbio za gesi ya haradali kwa wanajeshi wa Amerika. Katika vita ya pili ya dunia. <ref name=":0">{{Cite web|url=https://ladyclever.com/profiles/caitlin-dickerson-on-npr-journalism-and-success/|title=Caitlin Dickerson on NPR, Journalism, and Success|work=Ladyclever|accessdate=2019-07-03}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.npr.org/about-npr/474765803/peabody-award-2016-winner|title=2015 Peabody Award For NPR's Investigation Of Secret Mustard Gas Testing|work=NPR.org|language=en|accessdate=2019-07-03}}</ref> <ref>{{Cite web|url=http://www.peabodyawards.com/award-profile/secret-mustard-gas-experiments|title=Secret Mustard Gas Experiments|work=www.peabodyawards.com|language=en|accessdate=2019-07-03}}</ref>
== Kazi ==
Dickerson alianza [[taaluma]] yake kama mtaalam katika NPR. Kufuatia mafunzo yake, alifanya [[kazi]] NPR kama mtayarishaji, kabla ya kuchukua jukumu kwenye Dawati la Uchunguzi la NPR. <ref name=":0">{{Cite web|url=https://ladyclever.com/profiles/caitlin-dickerson-on-npr-journalism-and-success/|title=Caitlin Dickerson on NPR, Journalism, and Success|work=Ladyclever|accessdate=2019-07-03}}</ref>
Mnamo [[mwaka]] [[2016]], Dickerson aliripoti juu ya upimaji wa [[gesi]] ya haradali na [[jeshi]] la <nowiki>[[Amerika]]</nowiki> kwa wanajeshi wa Amerika wakati wa vita ya pili ya dunia, ambapo wahusika walipangwa kwa rangi ya ngozi zao. <ref>{{Cite web|url=https://www.npr.org/2015/06/22/415194765/u-s-troops-tested-by-race-in-secret-world-war-ii-chemical-experiments|title=Secret World War II Chemical Experiments Tested Troops By Race|work=NPR.org|language=en|first=Caitlin|author=Dickerson|date=2015-06-22|accessdate=2019-07-05}}</ref> Ripoti yake, iliyochapishwa kama uchunguzi maalum wa sehemu mbili na NPR, ilifunua kwamba Idara ya Maswala ya Veteran ilikuwa imevunja ahadi ambayo ilikuwa imetoa miaka ya [[1990]] kutafuta na kutoa fidia kwa maveterani ambao walipata majeraha ya kudumu kutokana na upimaji. <ref>{{Cite web|url=https://www.npr.org/2015/06/23/416408655/the-vas-broken-promise-to-thousands-of-vets-exposed-to-mustard-gas|title=The VA's Broken Promise To Thousands Of Vets Exposed To Mustard Gas|first=Caitlin|author=Dickerson|work=NPR.org|language=en|date=2015-06-23|accessdate=2019-07-05}}</ref> Congress ilijibu ripoti hiyo kwa kuitisha uchunguzi na usikilizwaji, mwishowe ikapelekea kupitishwa kwa sheria ya kufidia wahusika wa majaribio. <ref>{{Cite web|url=https://www.npr.org/sections/thetwo-way/2017/08/03/534896928/for-veterans-mustard-gassed-in-secret-tests-help-now-sits-on-presidents-desk|title=For Veterans Mustard-Gassed In Secret Tests, Help Now Sits On President's Desk|first=Colin|author=Dwyer|work=NPR.org|language=en|date=2017-08-03|accessdate=2019-07-05}}</ref> Kwa kazi yao, Dickerson na timu yake ya uchunguzi walipewa Tuzo ya Peabody ya [[2015]] na Tuzo ya kitaifa ya RTDNA ya Edward R. Murrow ya 2016 . <ref>{{Cite web|url=http://www.peabodyawards.com/award-profile/secret-mustard-gas-experiments|title=Secret Mustard Gas Experiments (NPR News)|work=www.peabodyawards.com|language=en|date=2015|accessdate=2019-07-05}}</ref> <ref>{{Cite web|url=https://www.rtdna.org/content/2016_national_edward_r_murrow_award_winners|title=2016 National Edward R. Murrow Award Winners|work=www.rtdna.org|language=en|accessdate=2019-07-05}}</ref>
Mnamo 2016, Dickerson alijiunga na wafanyikazi wa ''The New York Times'' kama mwandishi wa kitaifa wa uhamiaji. Dickerson amevunja hadithi kadhaa kwa ''Times'' juu ya kuhamishwa na kuwekwa kizuizini kwa wahamiaji wasio na hati. Mnamo Juni 2019 aliripoti juu ya msongamano na hali mbaya ya kituo cha mpakani kinahifadhi mamia ya watoto.
Dickerson ni mgeni mara kwa mara kwenye jarida la habari la ''The Daily'' na ameshiriki vipindi kadhaa. <ref>{{Cite web|url=http://timesevents.nytimes.com/TheDailyLA|title='The Daily': Immigration in the Trump Era|work=timesevents.nytimes.com|date=2018-09-20|accessdate=2019-07-05|archivedate=2019-07-05|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190705233705/https://timesevents.nytimes.com/TheDailyLA}}</ref>
== Angalia pia ==
* [[:en:New_Yorkers_in_journalism|New Yorkers in journalism]]
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
[[Jamii:waandishi wa habari]]
[[Jamii:wanawake wa Marekani]]
bebs42epv08xulbe3am18193gr40dyg
Daphne Valerius
0
136076
1236208
1188681
2022-07-28T05:52:09Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Daphne Valerius''' ni [[msanii]] wa [[filamu]] alizaliwa katika [[mji]] wa [[Brooklyn, New York|Brooklyn]], [[New York (jimbo)|New York]] na kukulia [[kisiwa]] cha [[Rhode Island]].
Anajulikana zaidi kwa kutengeneza filamu ''The Souls of Black Girls'' mnamo [[mwaka]] [[2007]]. Valerius pia ni [[mhusika]] katika kuzalisha baadhi ya vipindi katika kituo cha [[American Broadcasting Company|ABC]], [[Fox Broadcasting Company|FOX]] na [[BET]].<ref name="official">{{Cite web |url=http://www.daphnevalerius.com/ |title=Daphne Valerius |website=DaphneValerius.com |access-date=25 Feb 2017}}</ref>
==Elimu==
Valerius alisoma [[chuo kikuu]] cha St. John's University huko [[New York City]] na kupata stashahada ya masuala ya [[mawasiliano]] mwaka [[2003]]. Akiwa bado mwanafunzi, alianza kupata uzoefu wake wa kwanza kwa kutengeneza na kuongoza uandaji wa picha za mitandao. Valerius alifanya utafiti wake wa kwanza kuhusu kujithamini na kujiamini.<ref name="uri">{{Cite web |url=https://today.uri.edu/news/producer-daphne-valerius-to-present-documentary-the-souls-of-black-girls-feb-27/ |title=Producer DaphneMakala hii kuhusu mambo ya michezo bad Valerius to present documentary, The Souls of Black Girls, Feb. 27 |publisher=University of Rhode Island |location=Kingston |date=16 Feb 2008 |access-date=25 Feb 2017}}</ref><ref name="sobg">{{Cite web |url=http://www.soulsofblackgirls.com|title=The Souls of Black Girls |website=SoulsofBlackGirls.com |access-date=25 Feb 2017}}</ref>
Valerius aliendelea na utafiti huo akiwa anasomea [[shahada ya uzamili]] katika masuala ya utangazaji na uandishi wa habari kutoka Emerson College, na kumaliza mnamo mwaka 2006.<ref name="uri" />Kutokana na kazi zake, alipokea tuzo ya Associated Press ya Maswala ya Umma.<ref name="aspire">{{Cite web |url=http://www.aspire.tv/daphne-valerius/ |title=Daphne Valerius |last=Aspire TV |authorlink=Aspire (TV network) |website=aspire.tv |access-date=25 Feb 2017 |archive-url=https://web.archive.org/web/20170226132936/http://www.aspire.tv/daphne-valerius/ |archive-date=26 February 2017 |url-status=dead |accessdate=2021-07-03 |archivedate=2017-02-26 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20170226132936/http://www.aspire.tv/daphne-valerius/ }}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
ourihkb67nv2c5g52s302v1chlttcgu
Dorothy Butler Gilliam
0
136189
1236213
1188710
2022-07-28T06:15:12Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Dorothy Pearl Butler Gilliam''' (alizaliwa [[Novemba 24]], [[1936]]) ni [[mwandishi wa habari]] [[Mmarekani]] mwenye [[asili]] mchanganyiko wa kiafrika na kimarekani.Dorothy ndiye [[mwandishi]] wa kike wa kwanza katika ''Chapisho la Washington''.
== Wasifu==
Gilliam alizaliwa [[Memphis, Tennessee]] akiwa mtoto wa nane wa Adee Conklin Butler na Jessie Mae Norment Butler.
Alimaliza cum laude kutoka [[chuo kikuu]] cha Lincoln cha Missouri ndani ya mji wa Jefferson uliopo Missouri, na shahada ya uandishi wa habari<ref name="SRQ Grant">{{cite news |last1=Grant |first1=Ashley |title= Kishindo cha Utofauti na Usawa. |url=https://www.srqmagazine.com/articles/1170/The-Roar-of-Diversity-and-Equality |access-date=February 12, 2021 |work=SRQ Magazine |date=May 2019}}</ref> alipata shahada ya uzamili katika [Chuo kikuu cha Columbia Shule ya uzamili ya wahitimu].
Gilliam alianza kazi yake katika ''chapisho la Washington'' mwezi wa kumi na moja, mwaka (1961) kama mwandishi juu ya dawati la jiji. Alikuwa mwanamke mwandishi wa kwanza Mwafrika- Mmarekani kuajiriwa kwenye majarida . Mnamo mwaka (1979), alianza kuandika wasifu ulio fahamika kama ''Chapisho'', iliyojumuisha elimu, siasa, mbio; safu hiyo iliendesha mara kwa mara katika sehemu ya Metro kwa miaka 19.
Kwa kuongezea katika kazi yake kwenye ''Chapisho la Washington'', alikuwa ni mwanaharakati aliyejitolea kwenye huduma za umma, kutoka siku zake akisaidia kupanga maandamano dhidi ya ''[New York Daily News]' baada ya kuwafuta kazi theluthi mbili ya wafanyikazi wake wa Kiafrika na Amerika ', kwa mmiliki wake kama raisi wa [National Association of Black Journalists] kutoka (1993) mpaka 1995.
Kiufupi alikuwa akifundisha uandishi wa habari katika chuo kikuu cha [American University] na chuo kikuu cha [Howard].
Gilliam alitengeneza mpango wa maendeleo wa waandishi habari wadogo, ambao ilitengenezwa kuleta zaidi watu wenye umri mdogo katika uwandishi wa habari ulimwenguni, kwa ''Chapisho la Washington'' Mnamo mwaka 1997. waanshi wa habari walifanya kazi pamoja na wanafunzi katika shule za upili za mitaa, na wakati mwingine, ''Chapisho'' huchapisha magazeti ya shule za upili kwa shule hizo.
Mnamo [[mwaka]] [[2004]], wakati alishikilia nafasi ya (JB)na Maurice C. Shapiro Fellow huko chuo kikuu cha [George Washington School of Media and Public Affairs], Gilliam alianzisha vyombo vya habari vya wahamiaji wakuu, mpango wa kwanza wa kitaifa wa ushauri wa uandishi wa habari kwa wanafunzi wasiostahili katika shule za mijini. Mpango uliwatuma waandishi habari wakongwe na kujitolea kwa vyuo vikuu kuwaelimisha wanafunzi waandishi wa habari kwa shule za pili katika jiji la [Washington, D.C.] na[[Philadelphia].
Klabu ya Waandishi wa Habari ya Washington ilimpa Gilliam Tuzo ya Mafanikio ya Maisha yote mnamo 2010.
Kituo cha Kitaifa cha Utafiti wa Afya kilimpa Gilliam Tuzo yake ya Mafanikio ya Maisha ya Kike ya Wanawake katika mwaka wa 2019.
Ni mwanachama wa [Alpha Kappa Alpha Sorority, Inc.]
Gilliam aliolewa na [Sam Gilliam], alifahamika vizuri kama [ mwanasanaa dhahania]. Walipeana taraka mnamo mwaka 1980s lakini anawatoto watatu (Stephanie, Melissa, na [Leah Gilliam|Leah]) na pia anawajukuu watatu.
==Wasifu==
*{{cite book |last1=Gilliam |first1=Dorothy Butler |title=Trailblazer: a pioneering journalist's fight to make the media look more like America |date=2019 |publisher=Center Street |location=Nashville |isbn=9781546076315 |oclc=1081422787 |language=English}}
==Viungo vya Nje ==
*{{official|https://www.dorothybgilliam.com/}}
* [http://www.thehistorymakers.com/biography/dorothy-b-gilliam-39 Dorothy B. Gilliam, The HistoryMakers] {{Wayback|url=http://www.thehistorymakers.com/biography/dorothy-b-gilliam-39 |date=20160729080311 }}
* [http://beta.wpcf.org/oralhistory/gill1.html Dorothy Gilliam, Washington Press Club Foundation Oral History Project: Women in Journalism]
{{BD|1936|}}
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii: Arusha Translation-a-thon]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]]
djew607jmdohk4en0kl9j2mamv66sov
Celeste Headlee
0
136201
1235867
1217915
2022-07-27T12:52:36Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Celeste Headlee, co-host of The Takeaway, April, 2012.jpg|thumb|Celeste Headlee]]
'''Celeste Headlee''' (alizaliwa [[Desemba 30]], [[1969]]) ni mtangazaji wa redio, mwandishi wa majarida mbalimbali, mzungumzaji kwenye hadhara tofauti nchini [[Marekani]].
Akiwa na [[umri]] wa miaka 20, katika [[kazi]] zake za utangazaji wa redio, alikuwa ameshawahi kufanya kipindi mfululizo na [[shirika]] kubwa la utangazaji wa umma la Georgia kijulikanacho kama, "On Second though"<ref>{{cite web |title=About Celeste Headlee |url=https://celesteheadlee.com/about-celeste-headlee/ |website=Celeste Headlee |accessdate=20 October 2020}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.gpb.org/news/2018/04/09/virginia-prescott-named-new-host-of-gpb-radios-on-second-thought|title=Virginia Prescott Named New Host of GPB Radio's "On Second Thought"|date=April 9, 2018|website=Georgia Public Broadcasting|accessdate=December 28, 2018}}</ref> na kuwa mwenyeji wa kipindi cha asubuhi cha taifa kijulikanacho kama , "The takeaway". Kabla ya mwaka 2009, aliwahi kuwa mwandishi wa midwest cha NPR ''siku baada ya siku'' na kuwa mwenyeji wa mtiririko wa vipindi vya wiki katika maonyesho ya Radio ya taifa ya Dertroit. Pia Headlee ni mwandishi wa kitabu "We Need to Talk: How to Have Conversation That Matter" (Harper Wave, September 19, 2017).
==Maisha ya Awali==
Celeste Headlee alizaliwa mwezi Desemba 30, 1969 [[Whittier, California]], akiwa binti wa Judith Anne Still, mwandishi, na Larry Headlee, akiwa mtaalamu wa miamba ya majini. baba yake akiwa na asili ya bara la ulaya. Bibi na babu zake wakiwa watunzi William Grant Still na mcheza kinanda Verna Arvey. Babu yake akiwa na asili ya Marekani mweusi na bibi yake akiwa na asili ya Myahudi Mrusi.<ref>gpb.org [http://www.gpb.org/blogs/on-second-thought/2015/05/20/im-black-im-white-im-both-im-neither On Second Thought] May 20, 2015</ref>
Headlee alihitimu katika [[chuo]] cha Northern Arizona University (NAU) na kupata shahada ya uzamili ya utumbuizaji wa sauti katika chuo kikuu cha Michigan.<ref>{{Cite web|url=https://azdailysun.com/entertainment/going-retro-celeste-headlee-who-got-her-start-in-flagstaff/article_3e63e117-6677-5454-b3cf-e42d650e9461.html|title=Going 'Retro': Celeste Headlee, who got her start in Flagstaff, to co-host PBS show|last=McManis|first=Sam|date=6 October 2019|website=Arizona Daily Sun|language=en|access-date=2020-03-30}}</ref>
==Kazi za Uandishi==
Headlee alianza kazi yake kama mtangazaji wa habari na mwandishi katika kituo cha redio cha taifa cha Arizona KNAU katika jiji la Flagstaff mnamo mwaka 1999<ref name="africlassical.blogspot.com">{{cite web|url=https://africlassical.blogspot.com/2012/01/a2schoolsorg-pri-co-host-celeste.html|title=A2Schools.org: PRI Co-Host Celeste Headlee, Conductor John McLaughlin Williams & Singer Daniel Washington in Ann Arbor Jan. 13|last=Zick|first=William J.|date=January 16, 2012|website=Africlassical|accessdate=December 28, 2018}}</ref> na kuaza kusikika rasmi katika Redio stesheni jijini Longstaff KVNA. Mnamo mwaka 2001, alikuja kuwa mtangazaji na mwandishi wa habari wa redio WDET-FM, Radio ya umma ya Detroit, akiwa mwenyeji wa kila wiki liitwalo ''Front Row Center''.<ref>{{cite web|url=http://environmentreport.org/|title=Thanks for visiting the Environment Report's home page.|accessdate=December 28, 2018}}</ref><ref>{{cite web|url=http://www.michiguide.com/archives2006/2006/05/metro-detroit-newsmakers-may-4.html|title=Metro Detroit: Newsmakers May 4, 2006 – Michiguide.com 2006 News Archives|website=michiguide.com|accessdate=December 28, 2018|archivedate=2016-03-04|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160304053523/http://www.michiguide.com/archives2006/2006/05/metro-detroit-newsmakers-may-4.html}}</ref>
Mnamo mwaka 2006 alianza kufanya kazi na Redio ya taifa (National Public Radio), kutengeneza hadithi, kutangaza habari za punde, na kuzalisha ushirikiano wa muda mrefu.<ref>{{cite web|url=https://www.npr.org/search?query=celeste+headlee|title=NPR Search : NPR|publisher=NPR|accessdate=December 28, 2018}}</ref> Headlee was the Midwest Correspondent for NPR's ''Day to Day'' na habari zake kurushwa na NPR, Public Radio International, mtandao wa Pacifica , Great Lakes Radio Consortium, na Habari za kitaifa za asili.<ref>[http://www.pri.org/about/press-releases/new-cohost-takeaway1611.html ''The Takeaway''.] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20120614033208/http://www.pri.org/about/press-releases/new-cohost-takeaway1611.html |date=June 14, 2012 }}</ref>
Mnamo mwaka 2009 mpaka [[Agosti]] [[2012]],<ref>{{cite web|url=https://twitter.com/CelesteHeadlee/status/238341577460826112|title=@silouette74 I left the Takeaway – my last day was Friday.|first=Celeste|last=Headlee|date=August 22, 2012|accessdate=December 28, 2018}}{{Primary source inline|date=March 2020}}</ref> Headlee alikuwa mwenyeji (akishirikiana na John Hockenberry) wa ''The Takeaway'',kutangaza taarifa ya habari ya Taifa mubashara ikiwa imezalishwa na Public Radio International<ref>[http://www.pri.org/celeste-headlee-bio.html PRI bio.] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20120311151440/http://www.pri.org/celeste-headlee-bio.html |date=March 11, 2012 }}</ref> na WNYC [[New York]]. Mnamo Desemba 2017, alionekana kama mmoja wa wanawake waanzilishi wa ''Takeaway'' mwenyeji mkuu alieacha kipidi kutokana na kuchukizwa na unyanyasaji na kutoheshimika na Hockenberry.<ref name="Kim2017">{{cite news|last1=Kim|first1=Suki|title=Public-Radio Icon John Hockenberry Accused of Harassing Female Colleagues|url=https://www.thecut.com/2017/12/public-radio-icon-john-hockenberry-accused-of-harassment.html|accessdate=December 10, 2017|work=The Cut |date=December 1, 2017}}</ref> Wanawake wengine waliohusishwa na kipindi hicho walijitokeza kutokana na kukumbwa na tatizo hilo na pia waliokumbwa na unyanyasaji kingono walijitokeza pia.<ref name="Kim2017"/>
Mwishoni mwa [[mwaka]] [[2012]], akiwa kama mgeni mwenyeji wa kipindi cha NPR ''Tell Me More'', Na mgeni mwenyeji bila uwepo wa Neal Conan katika ''Talk of the Nation''.
Mnamo mwaka 2014, alianzisha kipindi cha ''On Second Thought'' katika shirika la umma wa Georgia (Georgia Public Broadcasting).<ref name=":1">{{Cite news|last=Ho|first=Rodney|url=https://www.newspapers.com/clip/47695126/the-atlanta-constitution/|title=Celeste Headlee Headlines New WRAS Show|date=2014-10-20|work=The Atlanta Constitution|access-date=2020-03-30|pages=D1|via=Newspapers.com}}and{{Cite news|url=https://www.newspapers.com/clip/47696242/the-atlanta-constitution/|title=Headlee|date=2014-10-20|work=The Atlanta Constitution|access-date=2020-03-30|pages=D4|via=Newspapers.com}}</ref> kipindi kilichochukua lisaa limoja katika redio kilihusisha habari za kitaifa na kimataifa kiichohusisha Georgia ya Kusini.
kwa sasa Headlee ni msimamizi mkuu wa kipindi cha ''Retro Report'' kinachorushwa na shirika la PBS.<ref name=":0">{{Cite web|url=https://www.publishersweekly.com/pw/by-topic/new-titles/adult-announcements/article/81449-social-anxiety-self-help-books-2019-2020.html|title=Social Anxiety: Self-Help Books 2019–2020|last=Kelemen|first=Jasmina|date=11 October 2019|website=Publishers Weekly|access-date=30 March 2020}}</ref>
==Tuzo za Uandishi wa Habari==
Headlee aliweza kutunukiwa tuzo kutoka Michigan cha AP,<ref>{{cite web|url=https://newsroom.wayne.edu/|title=Welcome|date=February 13, 2018|website=Newsroom|accessdate=December 28, 2018}}</ref> Umoja wa waandishi wa habari wa Michigan (Michigan Association of Broadcasters), na jamii ya Metro (Metro Detroit Society of Professional Journalists).<ref>{{cite web|url=http://www.thetakeaway.org/people/celeste-headlee/|title=Awards.|accessdate=December 28, 2018|archive-url=https://web.archive.org/web/20160221171825/http://www.thetakeaway.org/people/celeste-headlee/|archive-date=February 21, 2016|url-status=dead|archivedate=2016-02-21|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160221171825/http://www.thetakeaway.org/people/celeste-headlee/}}</ref> Headlee anafanya kazi kama msimamizi na mkurugenzi wa NPR Next Generation , ambacho chenye lengo la kufundha vijana wachanga kuwa waandishi wa habari wazuri. Akiwa anaishi Arizona, Headlee alikuwa mwanachama wa wasanii wa Roster wa Arizona Commission on the Arts. Mwaka 2011 alitajwa kama mwandishi wa habari wa Getty Arts Journalism Fellow na chuo cha USC's Annenberg School of Journalism.<ref>{{cite web|url=https://www.mediabistro.com/fishbowlla/usc-annenberg-announces-2011-getty-arts-journalism-fellows_b41675|title=Getty Arts Journalism Fellows.|accessdate=December 28, 2018|archive-url=https://web.archive.org/web/20111016072718/http://www.mediabistro.com/fishbowlla/usc-annenberg-announces-2011-getty-arts-journalism-fellows_b41675|archive-date=October 16, 2011|url-status=dead|archivedate=2011-10-16|archiveurl=https://web.archive.org/web/20111016072718/http://www.mediabistro.com/fishbowlla/usc-annenberg-announces-2011-getty-arts-journalism-fellows_b41675}}</ref>
== Uandishi ==
[[Kitabu]] chake cha mwaka [[2017]], book, ''We Need to Talk: How to Have Conversations That Matter'' kilichotoka mnamo mwezi May 2015 TEDx talk alichotoa [[Savannah, Georgia|Savannah]], na kuzungumziaa namna gani watu wanaweza kuboresha mawasiliano yao.<ref>{{Cite web|url=https://www.publishersweekly.com/978-0-06-266900-1|title=We Need to Talk: How to Have Conversations That Matter|website=Publishers Weekly|access-date=30 March 2020}}</ref><ref>{{Cite news|last=Rhone|first=Nedra|url=https://www.newspapers.com/clip/47696898/the-atlanta-constitution/|title=GPB Host Headlee Wants Us to Have Conversations That Matter|date=2017-08-10|work=The Atlanta Constitution|access-date=2020-03-30|pages=D6|via=Newspapers.com}}</ref> She also covers relevant research in the book and helps people create strategies for their conversations.<ref>{{Cite web|url=https://www.kirkusreviews.com/book-reviews/celeste-headlee/we-need-to-talk/|title=We Need to Talk: How to Have Conversations That Matter|website=Kirkus|access-date=30 March 2020}}</ref>
Kitabu chake cha ''Do Nothing'' (2020) anazungumza namna program ya kidigitali kilivyotengenezwa kuwafanya watu wakasirike zaidi wasipozalisha vya kutosha katika maisha yao.<ref name=":0" /> In the book, Headlee asserts the importance of leisure time and connecting genuinely with other people.<ref>{{Cite web|url=https://www.kirkusreviews.com/book-reviews/celeste-headlee/do-nothing/|title=Do Nothing|website=Kirkus|access-date=30 March 2020}}</ref>
==Elimu ya Muziki na Kazi==
Kapata mafunzo ya hali ya juu [[soprano]],<ref name=":1" /> Headlee graduated from the Idyllwild Arts Academy (part of the Idyllwild Arts Foundation) in 1987 and received a B.A. in Vocal Performance at Northern Arizona University in 1993, graduating with honors.<ref>{{cite web|url=https://nau.edu/Legacy/|title=Welcome – The NAU Legacy: – People Making a Difference – Northern Arizona University|website=nau.edu|accessdate=December 28, 2018|archivedate=2018-06-24|archiveurl=https://web.archive.org/web/20180624195745/https://nau.edu/Legacy/}}</ref>
Headlee aliweza kupata shahada ya uzamili yake ya muziki ya utumbuizaji kwa sauti katika chuo cha Michigan (University of Michigan) mnamo ,waka 1998, akisoma pamoja na Freda Herseth, Leslie Guinn, and George Shirley, na kuchambua wimbo na Martin Katz.
Headlee aliweza fanya maonyesho na Jumba la kumbukumbu la taifa la sanaa,<ref>[https://mail.google.com/mail/?ui=2&view=bsp&ver=ohhl4rw8mbn4 National Gallery of Art.]</ref> Butler Center for Arkansas Studies, the Distinguished Artist Series at the Church of the Red Rocks, Colorado College,<ref>[http://coloradocollege.edu/Publications/newsreleases/JanFeb2002/concerts.html Colorado College Performance.] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20060924120634/http://www.coloradocollege.edu/publications/newsreleases/JanFeb2002/concerts.html |date=September 24, 2006 }}</ref> the Detroit Institute of Arts, Yavapai College, Wagner College<ref>{{cite web|url=https://wagner.edu/newsroom/node-1674/|title='Porgy & Bess Concert,' May 1|last=Wagner College Work One Campus Road Staten Isl|date=April 26, 2011|website=Newsroom|accessdate=December 28, 2018}}</ref> and Wayne State University, among other venues. Aliweza pia kutumbuiza katika kampuni tofauti kama msimamizi wa michezo wa Michigan, kampuni ya Sedona Repertory, wachezaji wa Harlequin (Olympia, Washington), kituo cha sanaa cha Seldon, na Lakes Lyric Opera.<ref>[http://greatlakeschambermusic.org/Scripts/_pastartists.asp The Great Lakes Opera.] {{webarchive|url=https://web.archive.org/web/20120624062846/http://greatlakeschambermusic.org/scripts/_pastartists.asp |date=June 24, 2012 }}</ref>
==Maisha Binafsi==
Headlee alikuwa na watoto wawili.<ref name=":1" />
Headlee ni mjukuu wa mtunzi William Grant Still. Mara kwa mara alifanya maonesho katika shughuli mbalimbali za muziki ya wima na kuimba wimbo wa imara "Levee Land"<ref>{{cite web|url=http://www.florencemills.com/stillarticle.htm|title=Levee Land, William Grant Still and Florence Mills|website=florencemills.com|accessdate=December 28, 2018}}</ref> on the CD<ref>{{cite web|url=http://orlabs.oclc.org/identities/lccn-nr95-43127/|title=Music of Afro-American Composers.|accessdate=December 28, 2018}}</ref> iliyozalishwa na chuo cha Arizona kaskazini Wind Symphony. Aliweza pata mafunzo tofauti kuhusu Miziki ya Still akiwa katika shule ya upili<ref name="africlassical.blogspot.com" /> na chuoni na kuwa mhariri katika toleo la pili la kitabu, ''William Grant Still na the Fusion of Cultures in American Music'', na kuziunganisha kazi za Still's.
==Viungo vya Nje==
*[http://www.thetakeaway.org/ "The Takeaway''] on PRI
*[https://web.archive.org/web/20120311151440/http://www.pri.org/celeste-headlee-bio.html "Public Radio International"] PRI - Biography (Archived)
*{{Twitter}}
*[https://web.archive.org/web/20151220001342/http://www.nywici.org/features/interview/celeste-headlee "New York Women in Communications"] NYWICI - Biography (Archived)
*[https://web.archive.org/web/20130603030836/http://www.thetakeaway.org/2012/jan/02/civil-war-still-difficult-race-issue/ "The Civil War: Celeste Headlee's Story"] radio broadcast.
*[http://www.ted.com/talks/celeste_headlee_10_ways_to_have_a_better_conversation#t-412101 "TED talk 2016"]
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1969]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
b3slr22cxjbgbg77kkycxzx8jt9ynvd
Dori J. Maynard
0
136205
1236212
1188767
2022-07-28T06:10:09Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Dori J. Maynard''' ([[4 Mei]] [[1958]] <ref name="nyti_Dori">{{Cite web | title = Dori J. Maynard, Who Sought Diversity in Journalism, Dies at 56 | last = Fox | first = Margalit | work = nytimes.com | date = February 25, 2015 | accessdate = March 4, 2015 | url = https://www.nytimes.com/2015/02/26/business/dori-j-maynard-who-sought-diversity-in-journalism-dies-at-56.html?_r=0 | quote = }}</ref> – [[24 Februari]] [[2015]]) alikuwa [[rais]] wa taasisi ya uandishi wa habari iitwayo ''Robert C. Maynard Institute for Journalism Education'' huko [[Oakland, California]], taasisi iliyohusika na kutoa taarifa katika nchi kwa usahihi na kwa usawa na kuonyesha sehemu zote za jamii.
[[Taasisi]] imefundisha maelfu ya [[waandishi wa habari]] wa rangi, pamoja na mhariri wa kitaifa wa ''The Washington Post'', uhariri wa ''Oakland Tribune'' na mlatini wapekee katika {{citation needed|date=February 2015}}kuhariri habari iliyoshika nafasi kubwa katika jiji kuu . pia alikuwa ni mwandishi katika ''Letters to My Children'', mkusanyiko wa nguzo za kitaifa na baba yake marehemu [[Robert C. Maynard]],. na insha za utangulizi na Dori. Pia alihudumu kwenye bodi ya ''Sigma Delta Chi Foundation'', pamoja na Bodi ya Wageni ya Ushirika wa ''John S. Knight''.
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Waliofariki 2015]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
8mdb37aqk8p8njp5skpos5h647rjv3t
Chaédria LaBouvier
0
136213
1236202
1187576
2022-07-28T05:37:40Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Chaédria LaBouvier''' (alizaliwa mnamo [[5 Julai]], [[1984]]/[[1985]]<ref name=2016-Medium-ForBlackWomen>{{cite news|last1=LaBouvier|first1=Chaédria|title=For Black Women, For Mourning and Expecting More From Whiteness|url=https://medium.com/@chaedria/for-black-women-for-mourning-and-for-expecting-more-from-whiteness-8ccf09224953|work=Medium|date=July 7, 2016|language=en}}</ref><ref name=2019-NYTimes-BehindBasquiat>{{cite news|last1=Mitter|first1=Siddhartha|title=Behind Basquiat's 'Defacement': Reframing a Tragedy|url=https://www.nytimes.com/2019/07/30/arts/design/basquiat-defacement-guggenheim-curator.html|work=The New York Times|date=July 30, 2019}}</ref>) ni [[mtunzi]] na [[mwandishi wa habari]] wa [[Marekani]].
Mnamo mwaka wa [[2019]], LaBouvier alikuwa mtunzi mweusi wa kwanza, mwanamke mweusi wa kwanza na mtu wa kwanza wa asili ya Cuba kusimamia kwenye maonyesho katika historia ya miaka 80 ya ''Solomon R. Guggenheim'', na vile vile wa kwanza kama mwandishi mweusi wa katalogi ya ''Guggenheim'', katika maonyesho ya ''Basquiat's Defacement: The Untold Story''. Kukosoa kwake juu ya matibabu yake na jumba la kumbukumbu kulisababisha Guggenheim kuajiri mfanyakazi wake wa kwanza mweusi katika mwaka huo.
== Maisha ya awali na elimu ==
Mnamo mwaka [[2007]], LaBouvier alipokea Shahada ya Sanaa Katika historia kutoka katika chuo cha ''Williams College''.<ref>{{Cite web|title=Getting a Read On: Basquiat and Black Lives Matter|url=https://artmuseum.williams.edu/getting-a-read-on-basquiat-and-black-lives-matter/|access-date=June 3, 2020|website=Williams College Museum of Art|language=en-US}}</ref> Mnamo mwaka [[2014]], alipata shahada ya ''Master of Fine Arts'' katika uandishi wa skrini kutoka chuo kikuu cha California, Los Angeles (UCLA).<ref name=":2">{{Cite web|last=|first=|date=|title=Chaédria LaBouvier|url=https://fsp.duke.edu/speakers/chaedria-labouvier/|url-status=live|archive-url=|archive-date=|access-date=June 3, 2020|website=Duke Forum for Scholars and Publics|language=en-US}}</ref>
== Kazi ==
Mnamo mwaka wa [[2019]], LaBouvier aliajiriwa katika Njumba la makumbusho la ''Solomon R. Guggenheim'' kama mtunzi mweusi wa kwanza na mwanamke wa kwanza mweusi katika historia ya jumba la makumbusho ya ''Solomon R. Guggenheim'' kuandaa maonyesho.<ref name=2019-NYTimes-BehindBasquiat /> LaBouvier pia ni mwandishi wa kwanza mweusi kuandika katalogi ya Guggenheim.<ref>{{Cite web|last=|first=|date=2019|title=Chaédria LaBouvier|url=https://interactives.theroot.com/root-100-2019/chaedria-labouvier/|url-status=live|archive-url=|archive-date=|access-date=June 3, 2020|website=The Root}}</ref>
Maonyesho hayo ya ''Basquiat's Defacement: The Untold Story'', yaliyofunguliwa mnamo Juni mwaka 2019 na hayakuangazia tu kazi ya Basquiat, lakini pia historia ya Kifo cha ''Michael Stewart'', ambaye kifo chake kilitokana na Ukatili wa Polisi huko Marekani ilichochea uchoraji,<ref name=":0">{{Cite news|last=McDonald|first=John|date=August 31, 2019|title=Death of an Artist|work=Sydney Morning Herald|url=http://search.ebscohost.com/login.aspx?direct=true&db=n5h&AN=DOC76UWUFULMDY19JHG8E4D&site=ehost-live.|url-status=live|url-access=subscription|access-date=June 3, 2020|via=EBSCOhost}}</ref> Uchoraji mwingine na Basquiat juu ya mada ya ukatili wa polisi na sanaa akishirikiana na Stewart na Keith Haring, George Condo na Lyle Ashton Harris pia walijumuishwa katika maonyesho hayo.<ref name=":3">{{Cite web|last=McClinton|first=Dream|date=June 2, 2019|title=Defacement: The Tragic Story of Basquiat's Most Personal Painting|url=http://www.theguardian.com/artanddesign/2019/jun/28/defacement-the-tragic-story-of-basquiats-most-personal-painting|url-status=live|archive-url=|archive-date=|access-date=June 3, 2020|website=The Guardian|language=en}}</ref> Lengo la kipindi hicho juu ya Stewart na mapambano ya wanaume weusi wanaoishi Marekani waliweka onyesho hilo mbali na maonyesho mengine kwenye Basquiat kulingana na WNYC.<ref>{{Cite web|last=Solomon|first=Deborah|date=June 28, 2019|title=Review: A Better Basquiat Show|url=https://www.wnyc.org/story/review-better-basquiat-show/|url-status=live|archive-url=|archive-date=|access-date=June 3, 2020|website=WNYC|language=en}}</ref> Onyesho liliendeshwa kwa miezi mitano na mamia ya maelfu ya wageni.<ref name=":1">{{Cite web|last=Greig|first=Jonathan|date=November 19, 2019|title=Blavity News & Politics|url=https://blavity.com/the-guggenheim-museum-has-hired-its-first-full-time-black-curator-following-claims-of-racism|url-status=live|archive-url=|archive-date=|access-date=June 3, 2020|website=Blavity News & Politics|language=en}}</ref>
Mnamo tarehe [[25 Februari]] mwaka [[2021]], LaBouvier alipokea Orodha ya washindi wa Medali ya Bicentennial kutoka katika chuo cha Williams,<ref>{{Citation|title=Chaédria LaBouvier '07: Williams Bicentennial Medalist 2021 (Virtual Event)|url=https://www.youtube.com/watch?v=WC5tZxLNn-I|language=en|access-date=2021-03-20}}</ref> na kuwa mshindi mdogo zaidi katika historia ya tuzo hiyo hadi sasa.<ref>{{Cite web|last=LaBouvier|first=Chaédria|date=February 26, 2020|title=Personal Twitter account|url=https://twitter.com/chaedria/status/1365348151335477255|url-status=live|access-date=2021-03-20|website=Twitter|language=en}}</ref>
== Ushawishi wa kitamaduni ==
LaBouvier aliita uzoefu wake na Guggenheim kama ilivyoundwa na mkurugenzi wa kisanii ''Nancy Spector'' na uongozi mwingine kama uzoefu wa kibaguzi zaidi wa maisha yake.<ref>{{Cite web|last=LaBouvier|first=Chaédria|date=June 3, 2020|title=Personal Twitter account|url=https://twitter.com/chaedria/status/1268381115338948608|url-status=live}}</ref> Kwanza aliweka sehemu za matibabu yake hadharani kwenye jopo la mwisho la majadiliano ya kipindi hicho, ambacho anadai kwamba aliachwa kimakusudi kama juhudi ya kulipiza kisasi kutoka kwa Spector.<ref>{{Cite web|last=Bad News Women|first=Twitter user|date=November 5, 2019|title=It went down at the Guggenheim!|url=https://twitter.com/badnewswomen/status/1191892273694461952|url-status=live|access-date=March 20, 2020}}</ref> LaBouvier alielezea visa maalumu vya matibabu yake kwenye akaunti yake binafsi ya Twitter na katika nakala za habari.<ref>{{Cite web|title=The Guggenheim Tried To Erase Chaédria LaBouvier’s Work But She Won't Let Them|url=https://www.essence.com/feature/chaedria-labouvier-erasure-basquiat-exhibit-guggenheim/|access-date=2021-03-20|website=Essence|language=en-US}}</ref>
Baada ya ukosoaji kutoka kwa LaBouvier, Guggenheim iliajiri kampuni ya nje kuchunguza madai yake. Hatimaye haikupata ushahidi wowote kwamba Bi LaBouvier alikuwa chini ya matibabu mabaya kwa msingi wa rangi yake.<ref>{{Cite web|last=Liscia|first=Valentina Di|date=2020-10-08|title=Amid Controversy, Nancy Spector Steps Down From the Guggenheim Museum|url=https://hyperallergic.com/593353/nancy-spector-resigns-guggenheim-museum/|access-date=2021-03-20|website=Hyperallergic|language=en-US}}</ref> Walakini, wakati uchunguzi unaendelea, wafanyakazi wa makumbusho waliwasilisha barua ya umma kwa bodi hiyo, ikiwataka kuchukua nafasi ya wajumbe wa baraza kuu la mawaziri ambao wamethibitisha mara kwa mara kwamba hawajitolei kuchukua hatua za kupingana na ubaguzi na hawana nia njema na viongozi wa BIPOC.<ref>{{Cite web|date=2020-07-04|title=Letter to the Board|url=https://abetterguggenheim.com/letter-to-board/|access-date=2021-03-20|website=A Better Guggenheim|language=en}}</ref> Baada ya hitimisho la uchunguzi, Spector alijitolea kwa hiari na jumba la kumbukumbu.<ref>{{Cite news|last=Pogrebin|first=Robin|date=October 8, 2020|title=Guggenheim's Top Curator Is Out as Inquiry Into Basquiat Show Ends|work=The New York Times|url=https://www.nytimes.com/2020/10/08/arts/design/guggenheim-investigation-nancy-spector.html|url-status=live|access-date=March 20, 2021}}</ref>
Kwa sababu ya taarifa na matendo yake ya umma, LaBouvier ametambuliwa kama kichocheo cha harakati ya kubadilisha Makumbusho,<ref>{{Cite web|last=Collins|first=Bianca|date=2020-11-11|title=Chaédria LaBouvier|url=https://artillerymag.com/chaedria-labouvier/|access-date=2021-03-21|website=Artillery Magazine|language=en-US}}</ref> kampeni inayoongozwa na mfanyakazi kushinikiza makumbusho kuchukua hatua madhubuti kuelekea usawa na haki.<ref>{{Cite web|last=Anonymous|title=Change the Museum Instagram account|url=https://www.instagram.com/changethemuseum|url-status=live|access-date=March 21, 2021|website=Instagram}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
{{BD|1985|}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Marekani]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
9vye1e003u6vdyet3b50ds73vujd07q
Carole Simpson
0
136232
1235863
1188646
2022-07-27T12:37:50Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
[[picha:The Rhododendron (serial) (1969) (14804840833).jpg|thumb|200px|right|Carole Simpson mwanamke Mnegro wa kwanza kutia nanga kwenye habari za mitandaoni (1969)_(14804840833)]]
'''Carole Simpson''' (alizaliwa [[Desemba 7]], [[1941]]<ref>{{cite book|last=Simpson|first=Carole|title=Newslady|year=2010|publisher= [[AuthorHouse]] |isbn=978-1-4520-6237-2|page=[https://archive.org/details/newslady00simp/page/5 5]|url=https://archive.org/details/newslady00simp|url-access=registration|quote=Carole Simpson december 1941.}}</ref> ni [[Mmarekani]] mahiri katika [[uandishi wa habari]].
== Elimu na Taaluma ==
Simpson, mhitimu wa [[Chuo Kikuu]] cha [[Michigan]], alianza [[kazi]] yake kwenye [[redio]] huko WCFL (AM) nchini [[Chicago]], [[Illinois]], na baadaye aliajiriwa kwenye kituo cha WBBM (AM). Alihamia utangazaji wa [[runinga]] huko Chicago WMAQ-TV na kuingia NBC News mnamo 1975, akiwa [[mwanamke]] [[Mnegro]] wa kwanza kutia nanga kwenye habari kuu za mtandao.<ref name=":0">{{Cite book|title = Contributions of Black Women to American|publisher = Kenday Press, Inc.|year = 1982|location = Columbia, South Carolina|page = 305|editor-last = Davis|editor-first = Marianna W.|volume = 1}}</ref> Alijiunga na Habari za ABC mnamo 1982, na alikuwa akitangaza Habari za Ulimwenguni Leo "kutoka 1988 hadi Oktoba 2003.<ref name=answers>[http://www.answers.com/topic/carole-simpson "Carole Simpson Bio"]. [[Answers.com]].</ref>
== Maisha binafsi ==
Simpson ni binamu yake mwandishi wa habari za michezo na mtangazaji wa ''ESPN '' anayeitwa Michael Wilbon.<ref>{{cite web|archive-url=https://web.archive.org/web/20021123195731/https://www.washingtonpost.com/wp-srv/liveonline/02/regulars/sports/tkwilbon/r_sports_tkwilbon102802.htm|archive-date=November 23, 2002|title= The Chat House|url=https://www.washingtonpost.com/wp-srv/liveonline/02/regulars/sports/tkwilbon/r_sports_tkwilbon102802.htm|work=The Washington Post|last=Kornheiser|first=Tony|last2=Wilbon|first2=Michael|date=October 21, 2002|access-date=March 6, 2020|url-status=dead}}</ref>
== Viungo vya nje ==
* [https://web.archive.org/web/20071028074324/http://www.thecrusade.net/words/mt-archives/000118.shtml "Interview with Carole Simpson"]. Retrieved November 27, 2007.
* [https://web.archive.org/web/20110716080720/https://www.pomfretschool.org/podium/default.aspx?t=44764 "Carole Simpson 2008 Schwartz Visiting Fellow"].
* [https://thebroadcaster.com/sfe-awards/ "Carole Simpson Honored in 1993 with Striving for Excellence Awards"] through The Minorities in Broadcasting Training Program
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1941]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
r5xdm99bio95y7o09roerzde42lrtdu
Danyelle Sargent
0
136258
1236206
1187614
2022-07-28T05:46:17Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Danyelle Sargent-Musselman''' (alizaliwa [[Mei 7]] [[1978]]) alikuwa [[mtangazaji]] wa [[televisheni ]] wa [[habari]] za [[michezo]] wa nchini [[Marekani]] .
===Elimu na Kazi===
Sargent alihitimu [[Chuo Kikuu cha Florida]] na kuanza [[kazi]] kama mtangazaji wa televisheni kwenye kituo cha WGXA, huko ''Macon, Georgia''. Kabla ya kujiunga na ''ESPN'', alifanya kazi kama mtangazaji wa habari za [[michezo]] katika chaneli ya michezo kuanzia mwaka [[2002]] hadi [[2004]] huko ''Kansas City, Missouri''.
Alikuwa mwandishi wa pembeni wa Wakuu wa Jiji la Kansas wakati wa kipindi cha mwaka 2004. Aliwahi kuwa mtangazaji mkuu mwaka [[2005]] na [[2006]] wa ''Chama cha Kimataifa cha Wanariadha''(NCAA)[[https://en.wikipedia.org/wiki/National_Collegiate_Athletic_Association]].
==Maisha binafsi==
Sargent aliolewa na kocha mkuu wa mpira wa kikapu wa [[Arkansas Razorbacks]], Eric Musselman. Katika ndoa yao walipata mtoto wa kike mnamo mwaka [[2010]]. Sargent pia ana watoto wawili wa nje ya ndoa.
==Viungo Vya nje==
*[http://www.mercurynews.com/columns/ci_10828831 Brief article from the San Jose Mercury News] about the Bill Walsh incident.
{{BD|1978|}}
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-michezo}}
[[Jamii:Wanamichezo wa Marekani]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
dx9m6a14f92735kzojkymu16c06j6wi
1236207
1236206
2022-07-28T05:49:30Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Danyelle Sargent-Musselman''' (alizaliwa [[Mei 7]] [[1978]]) alikuwa [[mtangazaji]] wa [[televisheni ]] wa [[habari]] za [[michezo]] wa nchini [[Marekani]] .
===Elimu na Kazi===
Sargent alihitimu [[Chuo Kikuu cha Florida]] na kuanza [[kazi]] kama mtangazaji wa televisheni kwenye kituo cha WGXA, huko ''Macon, Georgia''. Kabla ya kujiunga na ''ESPN'', alifanya kazi kama mtangazaji wa habari za [[michezo]] katika chaneli ya michezo kuanzia mwaka [[2002]] hadi [[2004]] huko ''Kansas City, Missouri''.
Alikuwa mwandishi wa pembeni wa Wakuu wa Jiji la Kansas wakati wa kipindi cha mwaka 2004. Aliwahi kuwa mtangazaji mkuu mwaka [[2005]] na [[2006]] wa ''Chama cha Kimataifa cha Wanariadha''(NCAA).
==Maisha binafsi==
Sargent aliolewa na kocha mkuu wa mpira wa kikapu wa [[Arkansas Razorbacks]], Eric Musselman. Katika ndoa yao walipata mtoto wa kike mnamo mwaka [[2010]]. Sargent pia ana watoto wawili wa nje ya ndoa.
==Viungo Vya nje==
*[http://www.mercurynews.com/columns/ci_10828831 Brief article from the San Jose Mercury News] about the Bill Walsh incident.
{{BD|1978|}}
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-michezo}}
[[Jamii:Wanamichezo wa Marekani]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
7q1lxgey998a6vwl1swaibgpfzvgns9
Bea Moten-Foster
0
136302
1235847
1235846
2022-07-27T12:05:01Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Bea Moten-Foster''' ([[1938]]–[[2011]]) alikuwa [[mwandishi wa habari]] wa [[redio]] aliyeishi nchini [[Marekani]], na [[mwanzilishi]] na mchapishaji wa Muncie Times, [[gazeti]] la Kiafrika-Amerika aliyehudumia Muncie, [[Indiana]] na miji inayoizunguka.
Mbali na kazi yake ya magazeti, Moten-Foster anakumbukwa kama Mmarekani wa kwanza wa Kiafrika kutangazwa kutoka Umoja wa Mataifa, mtangazaji wa kwanza wa redio mwanamke wa Kiafrika huko [[Indianapolis]], na mwanamke wa kwanza mwenye asili mchanganyiko wa kiafrika na kimarekani kuandaa kipindi cha [[televisheni]] huko [[Indianapolis]].
== Maisha ya awali na kazi ya redio==
Moten-Foster alizaliwa na Beatrice Moten huko Selma, [[Alabama]], mnamo [[Julai 20]], [[1937]]. Alipomaliza shule ya upili, Moten-Foster alihamia [[Birmingham]], na kuanza kazi yake kama mwandishi wa redio. Baadaye alihamia [[Miami]], [[Florida]] | Miami, ambapo alishiriki onyesho la usiku mzima jazz na Flip Wilson kwenye kituo cha redio WFAB (Miami). Baada ya WFAB kubadilika kuwa mtindo ya lugha ya Kihispania, alihamia [[New York City]].
Kuanzia [[1965]] hadi [[1969]], Moten-Foster aliandaa kipindi cha redio kwenye WNJR iitwayo Wasifu wa Kiafrika (African Profiles) ambapo aliorodhesha [[wanadiplomasia]] 65 wa Kiafrika. Kwa uwezo huu, alikuwa Mmarekani wa kwanza wa Kiafrika kutangazwa kutoka Umoja wa Mataifa.
== Kazi ya Indianapolis==
Moten-Foster aliwahi kuwa mtangazaji wa kwanza wa redio mwanamke Mweusi huko [[Indianapolis]]. Moten-Foster mwanzoni alihamia [[Indianapolis]] kwa kujaribu kupatana na mumewe wa kwanza, ambaye alikuwa amehamia huko.
Katika miaka ya 1970, Moten-Foster aliwahi kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Indianapolis Black Bicentennial.Kamati, iliyoanzishwa mnamo 1975, ilikuwa sehemu ya kuongezeka kwa kupendeza kwa historia ya watu Weusi huko [[Indiana]] wakati wa miaka ya 1970. Kamati ilikusudia kuchapisha vitabu viwili, lakini mradi ulikwama na Moten-Foster badala yake akakamilisha moja ya vitabu, kitabu cha upishi, yeye mwenyewe.
Kitabu cha mwaka wa [[1976]] cha Moten-Foster Miaka 200 ya Mapishi kinakumbukwa kama mfano wa ufufuaji wa vyakula vya Kiafrika na Amerika miaka ya [[1970]]. Kitabu hicho kilijengwa juu ya uzoefu wake kama mwandishi wa Umoja wa Mataifa(UN) katika miaka ya [[1960]], wakati alipokusanya mapishi ya Kiafrika kutoka kwa wanadiplomasia wengi.
Mnamo [[1989]], Moten-Foster alikua mtangazaji wa kipindi cha televisheni kwenye WFBM-TV, na kumfanya kua mtangazaji wa kwanza mwanamke mweusi wa runinga huko Indianapolis.
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mwandishi}}
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1938]]
[[Jamii:Waliofariki 2011]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
nolp3m2icb6wqsecaxmb140w9wvazw4
Barbara Kaija
0
136326
1235995
1235845
2022-07-27T16:14:33Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236047
1235995
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Anuary Rajabu|Anuary Rajabu]]
wikitext
text/x-wiki
'''Barbara Kaija''' (alizaliwa [[1964]]) ni [[mwandishi wa habari]] na [[mwalimu]] wa [[Uganda]], ambaye ni [[mhariri]] mkuu wa kituo cha [[habari]] cha Vision Group na [[magazeti]], pamoja na chapisho la kila siku la [[Kiingereza]] "New Vision".<ref>{{cite web |url=https://www.newvision.co.ug/new_vision/news/1419927/vision-celebrates |title=New Vision celebrates 30 years |accessdate=4 November 2017 |date=18 March 2016 |last=Mary Karugaba |first=and Carol Natukunda |newspaper=[[New Vision (newspaper)|New Vision]] |location=Kampala |archive-date=11 May 2019 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190511083713/https://www.newvision.co.ug/new_vision/news/1419927/vision-celebrates |url-status=dead |archivedate=2019-05-11 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20190511083713/https://www.newvision.co.ug/new_vision/news/1419927/vision-celebrates }}</ref>
==Maisha ya awali na elimu ==
Alisoma katika [[Chuo Kikuu cha Makerere]], [[chuo kikuu]] kikongwe cha umma cha Uganda, alihitimu [[Shahada ya kwanza]] ya [[Sanaa]] katika Elimu. Ikifwatiwa na [[shahada ya uzamili]] ya Sanaa katika [[elimu]], chuo kikuu cha Makerere. Baadaye, alipata shahada ya uzamili wa Sanaa katika uandishi wa habari na masomo ya habari, kutoka Chuo Kikuu cha Rhodes, huko, [[Afrika Kusini]]. Pia ana Stashahada ya Uandishi wa Habari wa Vitendo, aliyoipata [[Cardiff]], nchini [[Uingereza]], chini ya ufadhili wa Thomson Foundation.<ref name="Ed">{{cite web| date=206 |last=NVG |url=https://visiongroup.co.ug/senior-management/ | title=New Vision Group: Senior Management |accessdate=4 November 2017 | location=Kampala |publisher=New Vision Group (NVG)}}</ref>
== Kazi ==
Alifanya kazi katika Vision Group kwa zaidi ya miaka 25. Mnamo [[1992]], aliajiriwa kama mkufunzi wa wahariri wadogo. Baada ya muda, alipewa majukumu zaidi na akapandashwa cheo na kua Mhariri wa Makala ya Naibu. Baadaye alikua Mhariri wa Vipengele, akihudumu katika nafasi hiyo kwa miaka kumi. Aliteuliwa kuwa naibu Mhariri Mkuu mnamo [[2006]] na alikua Mhariri Mkuu mwaka [[2010]]. Kutokana na uwezo wake wa sasa, anasimamia viwango vya uandishi wa habari na mkakati wa majukwaa yote ya media (magazeti, redio, televisheni, mtandao na media ya kijamii).Alipochukua nafasi ya Mhariri Mkuu mwaka 2010, alikua mwanamke wa kwanza wa Uganda kuwa mhariri mkuu wa gazeti kuu la Uganda katika historia ya nchi hiyo..<ref name="Rec">{{cite web| url=http://www.monitor.co.ug/News/National/688334-1120990-ap66lmz/index.html |title=Today's Uganda top fifty women movers | date=8 March 2011 | location=Kampala | newspaper=[[Daily Monitor]]|accessdate=4 November 2017 }}</ref>
== Utambuzi ==
Barbara Kaija ana shauku ya uandishi wa [[habari]] na kujitolea kufundisha wengine. Amebobea katika "uandishi wa habari za maendeleo", ambamo amefundisha na kusimamia waandishi wa habari wengi wa Uganda. Mnamo mwaka wa [[2012]], alipewa tuzo ya "Jubilee ya Kitaifa", kwa kutambua kazi yake.<ref name="Ed"/> In March 2011, the Ugandan newspaper Daily Monitor, part of the [[Aga Khan]]-owned [[Nation Media Group]], named her one of "''Today's Uganda Top Fifty Women Movers''".<ref name="Rec"/>
==Maisha binafsi==
Barbara Kaija ameolewa.<ref name="Ed"/> Amezaliwa mara ya pili na kwa sasa [[imani]] ya [[Kikristo]] inaongoza [[maisha]] yake.
==Viungo vya Nje==
*[https://visiongroup.co.ug/ Website of Vision Group]
*[https://www.newvision.co.ug/ Website of the New Vision Newspaper]
*[https://acme-ug.org/2016/10/06/we-need-independent-media-regulation-vision-group-editor-in-chief/ We need independent media regulation – Vision Group Editor-in-Chief] As of 6 October 2016.
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1976]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Uganda]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
cvw4z5fj909t84wxk0ypf5w7kueixjz
Joselyn Dumas
0
136394
1236215
1214551
2022-07-28T06:21:58Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Jocelyn_Dumas.jpg|thumbnail|right|200px|Joselyn Dumas]]
'''Joselyn Dumas''' (alizaliwa [[31 Agosti]] [[1980]]) <ref>{{Cite web|url=https://buzzghana.com/joselyn-dumas-interesting-facts/|title=Joselyn Dumas Biography, Daughter, Husband, Relationships And More|date=2017-11-21|website=BuzzGhana - Famous People, Celebrity Bios, Updates and Trendy News|language=en-US|access-date=2019-04-13}}</ref> ni mtangazaji na [[mwigizaji]] wa [[Ghana]].
Mwaka [[2014]] aliigiza kwenye filamu ya ''A Northern Affair'', jukumu ambalo lilimpatia tuzo iliyoitwa ''Ghana Movie Award'' na ''Africa Movie Academy Award'' na kuteuliwa kwa Africa Movie Tuzo ya Chuo cha Mwigizaji Bora katika Jukumu La Kuongoza.<ref>{{Cite web|url=https://yen.com.gh/114957-joselyn-dumas-bio-family-career-story.html|title=Joselyn Dumas bio: family, career and story|last=Gracia|first=Zindzy|date=2018-09-04|website=Yen.com.gh - Ghana news.|language=en|access-date=2019-04-13}}</ref>
== Maisha ya mapema ==
Dumas alizaliwa [[Ghana]] na maisha ya utoto wake aliishi huko [[Accra]], Ghana. Alipata elimu yake ya msingi katika Shule ya Nyota ya Asubuhi "Morning Star School" <ref>{{Cite web|url=https://www.mostarschool.edu.gh/|title=Morning Star School – Knowledge is Power for Service|language=en-US|access-date=2019-04-13|accessdate=2021-05-25|archivedate=2019-04-13|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190413132545/https://www.mostarschool.edu.gh/}}</ref> na aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya ''Archbishop Porter Girls High School''<ref>{{Cite web|url=https://www.ghlinks.com.gh/joselyn-dumas-full-biography-celebrity-bio/|title=Joselyn Dumas Full Biography [Celebrity Bio]|date=2018-07-23|website=GhLinks.com.gh™|language=en-US|access-date=2019-04-13}}</ref> Ambapo alikua Mkuu wa Burudani. Joselyn aliendeleza masomo yake huko [[ Marekani ]] ambapo alisomea kupata Shahada ya Sheria na Utawala.
== Kazi ==
=== Kazi ya Televisheni ===
Joselyn Dumas alikuwa akifanya kazi za kujitolea za kisheria hadi alipohamia [[Ghana]] kufuata ndoto zake za kuwa mtu wa Televisheni. Alicheza kwanza kwenye Televisheni kama mwenyeji wa "Rhythmz" ya Charter House, onyesho la burudani, ambalo lilimfanya ahojiane na watu mashuhuri wengi.<ref>{{Cite web|url=https://buzzghana.com/joselyn-dumas-interesting-facts/|title=Joselyn Dumas Biography, Daughter, Husband, Relationships And More|date=2017-11-21|website=BuzzGhana - Famous People, Celebrity Bios, Updates and Trendy News|language=en-US|access-date=2019-04-13}}</ref> Alikuwa akiwindwa na Mtandao wa Televisheni uliojulikana kama defunct TV Network, ViaSat 1 ili kuandaa onyesho lao la kwanza lililozungumziwa kwenye kipindi cha "The One Show",<ref>{{cite web | url=http://www.ghanacelebrities.com/2010/07/16/jocelyn-dumas-to-host-the-one-show-on-viasat-1/ | title=Dumas chosen to host The One Show on VIASAT1 | publisher=ghanacelebrities.com | date=16 July 2010 | accessdate=15 July 2014}}</ref> ambayo kilirushwa hewani kutoka [[2010]] hadi [[2014]]. Alikuwa mwenyeji wa kipindi cha mazungumzo ya Runinga ''At Home with Joselyn Dumas'' Ambayo kilirushwa Afrika nzima na sehemu za [[Ulaya]]. <ref>{{cite web | url=http://www.ghanacelebrities.com/2013/07/27/at-home-with-joselyn-dumas-launched-check-out-all-the-photos/ | title=At Home with Joselyn Dumas Launched! Check out All the Photos | publisher=ghanacelebrities.com | date=27 July 2013 | accessdate=21 August 2014}}</ref>
== Tuzo na utambuzi ==
{| class="wikitable sortable" border="0"
|+
|-
! scope="col" | Mwaka
! scope="col" | Tuzo
! scope="col" | Kipengele
! scope="col" | Matokeo
|-
| [[2011]] || Ghana Movie Awards (GMA) || Best Actress in a Leading Role ||
|-
| [[2012]] || Radio and Television Personality Awards (RTP) || Best Entertainment Host of the Year ||
|-
| 2013 || Radio and Television Personality Awards (RTP) ||
*Radio/TV Personality of the Year
*Female Entertainment Host of the Year
*Female Presenter of the Year
| 2013 || 4syte TV || Hottest Ghanaian Celebrity ||
|-
| [[2013]] || Ghana Movie Awards (GMA) || Best Supporting Actress ||
|-
| 2013 || City People Entertainment Awards ||
*Stellar Contribution to the Movie & Media Industry in Africa
*Tremendous Growth in the Movie Industry
|-
| 2014 || Africa Movie Academy Awards (AMAA) || Best Actress in a Leading Role ||
|-
| 2014 || Africa Magic Viewers' Choice Awards (AMVCA) || Best Actress in a Leading Role ||
|-
| [[2014]] || All Africa Media Networks || Outstanding Personality in Creative Entrepreneurship ||
|-
| 2014 || Ghana Movie Awards || Best Actress in a Lead Role ||
|-
| 2015 || Africa Magic Viewers' Choice Awards (AMVCA) || Best Actress in a Drama ||
|-
| 2015 || GN Bank Awards || Best Actress ||
|-
| [[2015]] || Blog Ghana Awards || Best Instagram Page ||
|-
| [[2016]] || Golden Movie Awardsn || Best Actress,TV Series Shampaign ||
|-
| 2016 || Ghana Make-Up Awards || Most Glamorous Celebrity ||
|-
| 2016 || Shortlisted]] || Among Africas Top 3 women in Entertainment ||
|-
| [[2018]] || International Achievement Recognition Award UK|IARA UK || Best Actress ||
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-igiza-filamu}}
{{DEFAULTSORT:Dumas, Joselyn}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1980]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Ghana]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
j3hpbv0bbina9rmwlv8jq103zh229we
Doreen Andoh
0
136457
1236211
1187713
2022-07-28T06:06:24Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Doreen Andoh''' ni mtu wa nchini [[Ghana]], mtangazaji wa [[redio]] na [[runinga]]. Pia ni [[balozi]] wa [[bidhaa]] mbalimbali.
Amefanya [[kazi]] kwenye redio kwa zaidi ya miaka 20 kwa hivyo yeye ni mmoja wa watangazaji waliodumu kwa muda mrefu kwenye eneo la [[Ghana]].<ref>{{Cite web|url=http://www.newsghana.com.gh/doreen-andoh-appointed-shield-paint-brand-ambassador/|title=Doreen Andoh Appointed Shield Paint Brand Ambassador|last=Ghana|first=News|website=News Ghana|access-date=2016-04-09}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/46012-doreen-andoh-radio-s-queen-of-quality.html|title=Doreen Andoh: Radio’s queen of quality - Graphic Online|last=Quansah|first=Hadiza Nuhhu-Billa|website=www.graphic.com.gh|access-date=2016-04-09}}</ref><ref name=":0">{{Cite web|date=2020-06-28|title=Doreen Andoh marks 25 years with The Multimedia Group Limited|url=https://www.myjoyonline.com/entertainment/radio-tv/doreen-andoh-marks-25-years-with-the-multimedia-group-limited/|access-date=2020-10-02|website=MyJoyOnline.com|language=en-US|accessdate=2021-05-26|archivedate=2021-04-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210418224525/https://www.myjoyonline.com/entertainment/radio-tv/doreen-andoh-marks-25-years-with-the-multimedia-group-limited/}}</ref>
Hivi sasa ni mtangazaji wa vipindi vya redio vya [[asubuhi]] kwenye redio ijulikanayo kama Joy FM na mara nyingi anaelezewa kama [[malkia]] wa redio ya [[Ghana]].<ref>{{Cite web|url=http://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/46012-doreen-andoh-radio-s-queen-of-quality.html|title=Doreen Andoh: Radio’s queen of quality - Graphic Online|last=Quansah|first=Hadiza Nuhhu-Billa|website=www.graphic.com.gh|access-date=2016-04-09}}</ref>
== Tuzo ==
Doreen alikuwa [[mwanamke]] wa kwanza kupokea [[Tuzo]] ya mtangazaji bora wa [[mwaka]] mnamo [[2001]]. Amepewa hadhi kama Malkia wa Airwaves na Mtandao wa Wanawake wanaoongoza, na mnamo mwaka [[2013]] alishinda tuzo ya mtangazaji bora wa kike [[Ghana]] Tuzo za Wanawake.<ref>{{Cite web|url=http://edition.myjoyonline.com/pages/news/201306/106985.php|title=Joy Fm’s Doreen Andoh wins outstanding female presenter at Ghana Women's Awards 2013|last=|first=|date=|website=Myjoyonline.com|publisher=Multimedia Group Limited|access-date=|archive-url=https://web.archive.org/web/20160418220512/http://edition.myjoyonline.com/pages/news/201306/106985.php|archive-date=2016-04-18|url-status=dead|accessdate=2021-05-26|archivedate=2016-04-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20160418220512/http://edition.myjoyonline.com/pages/news/201306/106985.php}}</ref><ref name=":0" />
== Marejeo ==
{{Reflist|30em}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanawake wa Ghana]]
[[Jamii:Watu wa Ghana]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
nfr2pzbmxhnxp73bjh555zely5g2zzw
Betty Nambooze
0
136499
1235854
1188599
2022-07-27T12:19:55Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Betty Nambooze Bakireke''':
Anajulikana kama ''Betty Nambooze'' ni [[mwandishi wa habari]] na [[mwanasiasa]] wa [[Uganda]]. Anahudumu kama mwanachama wa [[Bunge]] la [[Uganda]], akiwakilisha [[Manispaa]] ya [[Mukono]], iliyopo katika [[Wilaya ya Mukono]]<Ref>https://web.archive.org/web/20160304053147/http://www.parliament.go.ug/mpdata/mps.hei?p=f&n=t&details=t&j=541.000000&const=Mukono+County+North&dist_id=8.000000&distname=Mukono imewekwa mnamo 27-07-2022 </ref>.
==Viungo Vya Nje==
*[https://web.archive.org/web/20160319224843/http://www.parliament.go.ug/new/ Website of the [Parliament of Uganda]
*[http://ugandaradionetwork.com/story/betty-nambooze-triumphs-in-mukono-north-mp-elections Betty Nambooze Triumphs in Mukono North MP Elections]
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-mwanasiasa}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Uganda]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
kvpcjipmxg9pqnovf4d5g6spytux7yz
Daniel Chongolo
0
136509
1236204
1224802
2022-07-28T05:41:33Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Daniel Godfrey Chongolo''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Tanzania]] na kwasasa ni [[Katibu mkuu]] wa [[Chama cha Mapinduzi]] akichukua nafasi iliyo achwa wazi na [[Bashiru Ally]]; aliteuliwa chini ya raisi wa sasa Mh, [[Samia Suluhu Hassan]] mnamo [[Aprili 30]], [[2021]].<ref>{{cite web|url=https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/daniel-chongolo-appointed-ccm-s-secretary-general-3382806|title=Daniel Chongolo appointed CCM's Secretary General|publisher=The Citizen|accessdate=30 April 2021|archivedate=2021-05-03|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210503041752/https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/daniel-chongolo-appointed-ccm-s-secretary-general-3382806}}</ref> <ref>{{cite web| url=https://ccmchama.blogspot.com/2021/04/katibu-mkuu-wa-ccm-daniel-chongolo.html|title=CCM Secretary General Daniel Chongolo|publisher=Chama Cha Mapinduzi|accessdate=30 April 2021}}</ref>.
Kabla ya nafasi ya ukatibu mkuu, Chongolo alikuwa mkuu wa [[Wilaya ya Kinondoni]] iliyopo katika mkoa wa [[Dar es salaam]] na kabla ya hapo, aliwahi kuhudumu kama mkuu wa wilaya ya [[Longido]] mkoani [[Manyara]]. <ref>[https://www.youtube.com/watch?v=dJMLpIr6Uy4 This is the new General Secretary of CCM]</ref> <ref>[https://www.habarileo.co.tz/habari/2021-05-01608cb132cf331.aspx Daniel Gabriel Chongolo as a new SG of CCM Party]</ref> <ref>[https://www.malunde.com/2021/04/daniel-chongolo-katibu-mkuu-wa-ccm.html Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa CCM]</ref>
==Elimu==
Mnamo mwaka [[2014]] Chongolo alihitimu katika [[Chuo Kikuu Huria cha Tanzania]] na kupokea [[shahada]], mahafali yake yalihudhuriwa na mjumbe wa halmashauri kuu ya ''CCM'' [[Asha Abdullah Juma]].<ref>{{Cite web| url=https://ccmchama.blogspot.com/2013/10/makada-wa-ccm-wangara-katika-mahafali.html|title=Prominent CCM members shines through their graduation|publisher=Chama Cha Mapinduzi|accessdate=26 October 2013}}</ref>
==Siasa==
Kabla ya kuteuliwa Chongolo alikuwa [[mkurugenzi]] wa kitengo cha [[mawasiliano]] cha Chama cha Mapinduzi makao makuu [[Dodoma]].<ref>{{Cite web| url=http://bashir-nkoromo.blogspot.com/2013/10/mahafali-ya-25-chuo-kikuu-huria-cha.html|title=Daniel Chongolo and other CCM Member leaders succeed in High Learning|publisher=Nkoromo}}</ref> <ref>{{Cite web| url=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/huyu-ndiye-daniel-chongolo-3384384|title=Who is Daniel Chongolo|publisher=Mwananchi Media|accessdate=1 May 2021}}</ref>
==Viungo vya nje==
{{Sister project links|d=106685733|display=Daniel Chongolo}}
* {{Instagram|daniel_godfrey_chongolo|Daniel Chongolo}}
{{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}}
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
ea60hxs3cbe3cuwd453i742shu05tuy
Daudi Mwangosi
0
136557
1236209
1201768
2022-07-28T05:55:51Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Daudi Mwangosi''' ([[1972]] — [[Septemba 2]], [[2012]]) alikuwa [[mwandishi wa habari]] wa kituo binafsi cha [[runinga]] cha Chanell Ten, ambaye aliuliwa katika [[kijiji]] cha [[Nyololo]], [[wilaya ya Mufindi]], [[mkoa wa Iringa]] ,wakati wa [[maandamano]] ya wafuasi wa [[Chadema]].<ref name=guardian>{{cite news|url=http://www.guardian.co.uk/media/greenslade/2012/sep/03/journalist-safety-tanzania?newsfeed=true |title=Tanzanian TV journalist killed |newspaper=The Guardian (UK) |date=September 3, 2012}}</ref><ref name=cpjstory>{{cite web|url=https://cpj.org/2012/09/prominent-tanzanian-journalist-killed-in-scuffle-w.php|title=Prominent Tanzanian journalist killed in scuffle with police|work=Committee to Protect Journalists|date=September 4, 2012}}</ref>
== Taaluma ==
Daudi Mwangosi alianza [[kazi]] ya uandishi wa habari mnamo [[mwaka]] [[2015]] katika kituo cha runinga cha ''Chanell ten'' ambacho ni kituo cha habari binafsi na mnamo mwaka [[2011]] alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa waandishi wa habari Iringa.
== Kifo ==
Mnamo [[2 Septemba]] [[2012]], Daudi Mwangosi aliuliwa katika [[kijiji]] cha Nyololo wakati akifuatilia ufunguzi wa ofisi ya Chadema, chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Mwangosi alikuwa akifuatilia tukio la ufunguzi huo na wakati huo polisi walikuwa wamezuia mkusanyiko wa wafuasi wa chama hicho cha siasa kwa sababu ilidaiwa kuwa kinyume cha [[sheria]].<ref name=nation>{{cite web |url=http://www.nation.co.ke/News/Team+to+investigate+killing+of+Dar+TV+reporter+/-/1056/1496612/-/hjo8csz/-/index.html |title=Team to investigate killing of Dar TV reporter - News |publisher=nation.co.ke |date= |accessdate=2013-10-05 |archivedate=2012-09-06 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20120906063334/http://www.nation.co.ke/News/Team+to+investigate+killing+of+Dar+TV+reporter+/-/1056/1496612/-/hjo8csz/-/index.html }}</ref>, Mwangosi aliuliwa kwa kupigwa bomu wakati akijaribu kumsaidia muandishi mwenzake Godfrey Mushi alokuwa muandishi wa gazeti la Nipashe .<ref name=reuters>{{cite web |last=Ng |first=Fumbuka |url=http://in.reuters.com/article/2012/09/04/tanzania-journalist-idINDEE8830AL20120904 |title=Tanzanian journalist killed reporting police-opposition clash |publisher=Reuters |date=September 4, 2012 |accessdate=April 22, 2017 |archivedate=2014-03-18 |archiveurl=https://archive.today/20140318041727/http://in.reuters.com/article/2012/09/04/tanzania-journalist-idINDEE8830AL20120904 |=https://archive.today/20140318041727/http://in.reuters.com/article/2012/09/04/tanzania-journalist-idINDEE8830AL20120904 }}</ref><ref name=cpjstory /><ref name=cpj/>
Mwangosi aliaga [[dunia]] baada ya kupigwa [bomu la machozi] tumboni kwa karibu zaidi na kusababisha mauti yake, [[askari]] alohusika na mauaji yake alihukumiwa kifungo cha miaka kumi na tano gerezani.
Mwangosi aliaga dunia akiwa na [[umri]] wa miaka arobaini, aliacha [[mke]] na watoto wanne.<ref name=cpjbio>{{cite web|url=https://cpj.org/killed/2012/daudi-mwangosi.php|title=Daudi Mwangosi|publisher=Committee to Protect Journalists|date=September 2, 2012}}</ref>, alizikwa katika kijiji cha Busoka mkoani [[Mbeya]].<ref name=roztoday>{{cite web|url=http://roztoday.blogspot.com/2012/09/mwandishi-daudi-mwangosi-azikwa.html|title=MWANDISHI DAUDI MWANGOSI AZIKWA KIJIJINI KWAKE...|first=|last=UjenziOnline|publisher=}}</ref><ref name=cpj>{{cite web|url=http://cpj.org/2012/09/prominent-tanzanian-journalist-killed-in-scuffle-w.php |title=Prominent Tanzanian journalist killed in scuffle with police - |publisher=Committee to Protect Journalists |date=2012-09-04 |accessdate=2013-10-05}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1972]]
[[Jamii:Waliofariki 2012]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
cnqlxzoxb3n1tcbo4vhxq6er6nnm5mu
Charles Ebune
0
136638
1235868
1218196
2022-07-27T12:55:27Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Charles Ebune''' (alizaliwa [[12 Julai]], [[mwaka]] [[1986]]) ni [[mwandishi wa habari]] kutokea nchini [[Cameroon]] ambaye anajulikana kwa kuwa nanga kuu ya mpango wa Cameroon maarufu zaidi wa masuala ya kimataifa unaoitwa ''Globewatch'' na watazamaji wanaokadiriwa kuwa milioni 8 kila wiki, inayopatikana katika mitandao mingi ya kijamii.
Alikuwa mshindi wa [[tuzo]] za Sonnah za Mtangazaji Bora wa [[Televisheni]] mnamo mwaka [[2013]].<ref>{{cite web|url= http://nexdimempire.com/tag/cameroon-academy-awards-sonnah-awards/ |title= RECAP : SONNAH AWARDS 2013 – A BEGUILING CEREMONY ! |accessdate=2 July 2017 }}</ref>Ana digrii ya uzamili katika Uandishi wa Habari na Historia kutoka vyuo vikuu vya Yaoundé I na Chuo Kikuu cha Yaoundé II mtawaliwa. Mnamo 2016 aliorodheshwa kama mmoja wa vijana 50 wenye ushawishi mkubwa wa Cameroon.
==Kazi==
Charles Ebune amehoji watu wafuatao; Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa, Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka la Kimataifa, Mwenyekiti wa zamani wa Tume Huru ya Uchaguzi ya Nigeria, Rais wa Bunge la Afrika, Katibu Mkuu msaidizi wa UN, Mtendaji wa Tume ya Uchumi ya UN ya Afrika na mmoja wa wagombea wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ujao, Mkurugenzi Mkuu wa Unesco, Irina Bokova na balozi wa zamani wa Marekani nchini Cameroon, Michael Hoza.<ref>{{cite web|url=https://cm.usembassy.gov/ambassador-grants-interview-crtv/|title=Ambassador Grants Interview to CRTV|date=30 January 2016|accessdate=1 July 2017|archive-url=https://web.archive.org/web/20170611191924/https://cm.usembassy.gov/ambassador-grants-interview-crtv/|archive-date=11 June 2017|url-status=dead|archivedate=2017-06-11|archiveurl=https://web.archive.org/web/20170611191924/https://cm.usembassy.gov/ambassador-grants-interview-crtv/}}</ref> Ebune pia amehoji Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu, Mkurugenzi Mtendaji wa Mpango wa Chakula Ulimwenguni, Waziri wa Uingereza wa Afrika, Rais wa Uswizi, na Mwakilishi wa Kudumu wa Merika kwa Umoja wa Mataifa. Mataifa. Ebune hufundisha masomo ya uandishi wa habari katika Shule ya Juu ya Mawasiliano ya Misa na pia hutumika kama msaidizi wa waandishi wa habari kwa Mkurugenzi Mkuu wa Uchaguzi Cameroon.<ref>according to his own Linkedin profile. This source does not endorse his CV: {{cite web|url= https://cm.usembassy.gov/n-110116/|title= CRTV's Charles Ebune Conducts Interview on U.S. Elections|date= 1 November 2016|accessdate= 1 July 2017|archivedate= 2021-05-11|archiveurl= https://web.archive.org/web/20210511160210/https://cm.usembassy.gov/n-110116/}}</ref>
==Viungo vya nje==
*[https://web.archive.org/web/20170714232233/http://crtv.cm/fr/image-galleries/globewatch-on-crtv-36.htm]
*[https://web.archive.org/web/20170606124756/http://crtv.cm/fr/globewatch-20.htm]
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Watu wa Kamerun]]
[[Jamii:Waandishi wa habari]]
a5fzkof3595j5g6ciq6s6x164ctgbfl
Benaouda Hadj Hacène Bachterzi
0
136657
1235850
1188691
2022-07-27T12:09:46Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Benaouda Hadj Hacène Bachterzi''', alizaliwa [[1894]]-[[1958]] alikuwa [[mwanasiasa]] wa [[Algeria]] na mtangazaji. <ref name="Benkada">{{citation |last=Benkada|first=Saddek|year=1999|chapter=Elites émergentes et mobilisation de masse L'affaire du cimetière musulman d'Oran (février-mai 1934)|title=Emeutes et mouvements sociaux au Maghreb: perspective comparée|publisher=KARTHALA Editions|isbn=2865379981|page=80}}.</ref> .Alianzisha na kusimamia Es-Sandjak Etandard na Le cri indigene , ambazo zilizingatia masilahi ya Waislamu wenye asili ya [[Algeria]] wakati wa utawala wa kikoloni wa kifaransa. Bachterzi pia alishiriki kikamilifu katika vyama vingi na alichaguliwa kama diwani wa Manispaa huko [[Oran]] akiwa na umri wa miaka ishirini na tano .<ref name="Rouina&Souiah">{{citation |last1=Rouina|first1=Karim M.|last2=Souiah|first2=Mehdi|year=1999|title=Journaux algériens d’Oran 1830-1962 Portrait d’une presse indigène « tolérée »|volume=2|issue=5|journal=Algerian Scientific Journal Platform|page=32}}.</ref>
== Maisha ya Awali ==
Bachterzi alizaliwa huko [[Oran]] katika moja ya familia kongwe za mabepari wa [[asili]] watu wa [[Kituruki]]. <ref name="Benkada"/><ref name="Rouina&Souiah"/>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii: Wanasiasa wa Algeria]]
[[Jamii: Arusha Translation-a-thon]]
1qlia81kdxyd1b9wbab63s8luzcy1nu
Denise Epoté
0
136684
1236210
1207275
2022-07-28T06:00:47Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Denise Laurence Djengué Epoté'''<ref name=":0">{{Cite web|title = Cameroon-Info.Net - Jardin secret: Denise Epoté Durand, journaliste|url = http://www.cameroon-info.net/stories/0,13868,@,jardin-secret-denise-epote-durand-journaliste.html|website = Cameroon-info.net|accessdate = 2016-01-22|archive-url = https://web.archive.org/web/20160128160719/http://www.cameroon-info.net/stories/0,13868,@,jardin-secret-denise-epote-durand-journaliste.html|archive-date = 2016-01-28|url-status = dead|archivedate = 2016-01-28|archiveurl = https://web.archive.org/web/20160128160719/http://www.cameroon-info.net/stories/0,13868,@,jardin-secret-denise-epote-durand-journaliste.html}}</ref> (alizaliwa [[Nkongsamba]], [[22 Novemba]] [[1954]]) ni [[Mkameruni]] na mkuu wa watangazaji Afrika katika televisheni ya French network,TV5 Monde.
Ni [[mwanamke]] wa kwanza kutangaza [[habari]] kwa [[lugha]] ya [[Kifaransa]] kwenye [[televisheni]] ya taifa, nchini Kameruni CTV, ambayo baadae ilikuja kujulikana kama Cameroon Radio Television CRTV.
Mnamo [[Januari]] [[2022]], Mwishoni mwa bodi ya [[mkurugenzi|wakurugenzi]] ya kikundi cha waandishi wa habari, Denise Epoté aliteuliwa mara tatu kama Mkurugenzi wa Uuzaji wa TV5Monde, PCA ya TV5Monde USA na PCA ya TV5Monde Latin America, akichukua ofisi mnamo Februari 1, 2022.<ref>{{Cite web|title = Denise Epoté prend du galon au sein de TV5 Monde|url = https://www.financialafrik.com/2022/01/11/denise-epote-prend-du-galon-au-sein-de-tv5-monde/|website = Financial Afrik|accessdate = 2022-01-12}}</ref>
==Maisha==
Baba yake na Jean Claude Epoté, alikuwa mtumishi wa umma na mtawala wa kifedha, na mama yake Mizpah Florina Mbella, alifanya kazi kama mtunza hazina wa "Douala". Ambao wote hivi sasa wamestaafu.<ref name=":0" />
Alikuwa mtoto wa kwanza katika [[familia]] ya watoto wawili wa kike na wakiume wa wili.Baada ya elimu yake ya sekondari katika shule ya Lycée Général Leclerc mji wa Yaounde,Epoté alichaguliwa kujiunga na kusomea uandishi wa habari katika chuo cha kimataifa cha uandishi wa habari mjini Yaoundé, ambacho kinajulikana kama Graduate School of Science na Yaounde Techniques of Information and Communication.<ref>{{Cite web|first = Flore|last = Ekoulle|title = Cameroun Online - Denise Epoté : un talent de femme|url = http://www.cameroun-online.com/index.php/portraits/item/11308-denise-epote-un-talent-de-femme|website = Cameroun-online.com|accessdate = 2016-01-28|archive-url = https://web.archive.org/web/20160203024342/http://www.cameroun-online.com/index.php/portraits/item/11308-denise-epote-un-talent-de-femme|archive-date = 2016-02-03|url-status = dead|archivedate = 2016-02-03|archiveurl = https://web.archive.org/web/20160203024342/http://www.cameroun-online.com/index.php/portraits/item/11308-denise-epote-un-talent-de-femme}}.</ref> Mnamo mwaka 1991, aliolewa na Mr.Durand aliyekuwa mkurugenzi msaidizi wa kazi za muhimu,ambapo walikuja kuachana baadae.<ref>{{cite web|url=http://www.topvisages.net/entrevue/21-06-09.php |title=Archived copy |accessdate=2016-01-30 |url-status=dead |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160131204116/http://www.topvisages.net/entrevue/21-06-09.php |archivedate=2016-01-31 }}</ref>
==Kazi==
Mwaka [[1981]], alianza kazi ya uandishi wa habari katika radio ya Kameruni mwaka 1985, alikuwa mwanamke wa kwanza mtangazaji katika mzunguko wa waandishi wa habari nchini Kameruni.Akiwa anatumia lugha ya kiingereza na mtangazaji mwenzake Eric Chinje, wawili hao walikuwa wakisoma habari kwa lugha ya kiingereza kuanzia mwaka 1985 hadi 1993.<ref name=":1">{{Cite web|title = DENISE EPOTE: "Les femmes doivent savoir dire non"|url = http://www.leral.net/DENISE-EPOTE-Les-femmes-doivent-savoir-dire-non_a8513.html|website = Leral.net S'informer en temps réel|accessdate = 2016-01-28}}</ref> Aliachana na Radio ya CRTV mwaka 1993,<ref name=":1" /> na kuhamia TV5Monde na Radio ya kimataifa ya Ufaransa.<ref>{{Cite web|title = Denise Epoté / France Inter|url = http://www.franceinter.fr/personne-denise-epote-0|website = France Inter|accessdate = 2016-01-22}}.</ref>
Februari mwaka [[2010]], Epoté alitunukiwa usiku wa nne wa wajenzi.<ref name=":1" />
==Broadcasts==
Tangu mwaka 1999, Epoté amekuwa mtangazaji mkuu wa kipindi cha wiki kinachoitwa "if you tell me the whole truth". kipindi hicho kilikuwa kimewalenga watu wa afrika waliokuwa na utayari wa malengo ya baadae ya Afrika.<ref>{{Cite web|title = TV5MONDE : accueil|url = http://www.tv5monde.com/cms/chaine-francophone/Revoir-nos-emissions/Et-si-vous-me-disiez-toute-la-verite/p-18206-accueil.htm|website = TV5MONDE|accessdate = 2016-01-28}}.</ref>
Mwaka [[2009]], walisherekea miaka kumi ya kipindi hicho, Epoté alifanya kipindi na Rais wa Mali kipindi hicho Amadou Toumani Toure.Tangu hapo Epoté alifanya mahojiano na watu wengi wenye kazi tofauti wakiwemo Andry Rajoelina, Omar Bongo Ondimba, James Alix Michel, General Mohamed Ould Abdel Aziz, na Aminata Traoré.<ref>{{Cite web|title = JournalDuMali.com: Denise Epoté Durand a interviewé ATT à Bamako|url = http://www.journaldumali.com/article.php?aid=554|website = Journaldumali.com|accessdate = 2016-01-28|archivedate = 2013-10-17|archiveurl = https://web.archive.org/web/20131017220855/http://journaldumali.com/article.php?aid=554}}.</ref>
Ni [[kiongozi]] wa watangazaji katika Televisheni ya TV5Monde, na ni mtangazaji mkuu wa kipindi ambacho kinawaruhusu wahandishi wa habari kutoka Ufaransa kuzungumza habari za bara la Africa.<ref>{{Cite web|title = TV5MONDE Afrique - L'actualité de l'Afrique en tv video|url = http://www.tv5monde.com/TV5Site/afrique/|website = Tv5monde.com|accessdate = 2016-01-28}}.</ref>
Kila jumapili, amekuwa akitoa mchango wake na malengo yake ya habari za Afrika, kwa wiki zilizo pita, ambayo inafahamika kama Wiki ya Denise Epoté, kwenye radio ya France Internationale.<ref>{{Cite web|date = |title = La semaine de RFI|url = http://www.rfi.fr/emission/semaine|website = rfi.fr|accessdate = 2016-01-28}}.</ref>
==Tuzo==
Mwaka [[2014]], Epoté alitajwa na shirika la Forbes miongoni mwa watu maarufu kati ya watu mia moja katika bara la [[Afrika]].
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1954]]
[[Jamii:Wanawake wa Kamerun]]
[[Jamii:waandishi wa habari]]
37kxv7vuskr65xd2dr5xkg85imoilf6
Danièle Boni-Claverie
0
136687
1235860
1188687
2022-07-27T12:32:36Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Danièle Boni-Claverie''' (alizaliwa mnamo [[mwaka]] [[1942]]) ni [[mwandishi wa habari]] na [[mwanasiasa]] huko nchini [[Ivory Coast]]. Alihudumu [[serikali|serikalini]] katika [[Baraza la Mawaziri|baraza la mawaziri]] katika nchi hiyo na alikuwa mwanzilishi na [[rais]] wa [[Jumuiya]] ya Muungano wa serikali..<ref name=jeunenov2017/>
Ni binti wa "Alphonse Boni" , alizaliwa Tiassalé. Alifanya kazi kama mwandishi wa habari, akiwa mhariri mkuu wa gazeti na kisha kuwa mkuu wa Radiodiffusion Television Ivoirienne (RTI)).<ref name=jeunenov2017/><ref>{{cite news |url=https://www.ladepeche.fr/article/1999/07/11/237231-danielle-est-ministre-en-cote-d-ivoire.html |title=Danielle est ministre en Côte d'Ivoire |work=La Dépêche |date=November 7, 1999 |language=fr}}</ref><ref>{{cite news |url=https://www.jeuneafrique.com/140832/politique/c-te-d-ivoire-boni-claverie-reprend-le-combat-pour-la-lib-ration-des-pro-gbagbo/ |title=Côte d’Ivoire : Boni-Claverie reprend le combat pour la libération des pro-Gbagbo |work=Jeune Afrique |date=July 11, 2012 |language=fr}}</ref>
Hapo awali alikuwa mwanachama wa "Democratic Party of Côte d'Ivoire - African Democratic Rally | Democratic Party ya Côte d'Ivoire",. Boni-Claverie aliwahi kuwa [[Waziri]] wa [[mawasiliano]] katika serikali iliyokuwa ikiongozwa na Daniel Kablan Duncan kutoka [[1993]] hadi [[1999]]. Alihudumu kama waziri wa wanawake, familia na watoto katika serikali ya Gilbert Aké kutoka [[2010]] hadi [[2011]].<ref name=jeunenov2017>{{cite news |url=https://www.jeuneafrique.com/mag/485255/politique/femmes-politiques-ivoiriennes-dinfluence-daniele-boni-claverie-presidente-de-lurd/ |title=Femmes politiques ivoiriennes d’influence : Danièle Boni-Claverie, présidente de l’URD |work=Jeune Afrique |language=fr}}</ref><ref>{{cite news |url=https://www.jeuneafrique.com/183360/politique/laurent-gbagbo-forme-son-gouvernement-sans-les-barons-du-fpi/ |title=Laurent Gbagbo forme son gouvernement sans les barons du FPI |work=Jeune Afrique |date=December 7, 2010 |language=fr}}</ref>
Alikamatwa mnamo [[Oktoba]] [[2016]] baada ya kushiriki katika maandamano ya kuomba rasimu mpya ya [[katiba]] ya nchi hiyo iondolewe.<ref>{{cite news |url=https://www.jeuneafrique.com/366896/politique/cote-divoire-plusieurs-dirigeants-de-lopposition-interpelles-manifestation-a-abidjan/ |title=Côte d’Ivoire : plusieurs dirigeants de l’opposition interpellés avant une manifestation à Abidjan |work=Jeune Afrique |date=October 20, 2016 |language=fr}}</ref>
== Marejeo==
{{Reflist}}
{{DEFAULTSORT:Boni-Claverie, Daniele}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1940]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
rnstowrpsb6ucb3deae1kicczqxssy8
Lisa Castel
0
136699
1235864
1188648
2022-07-27T12:39:54Z
Anuary Rajabu
45588
wikitext
text/x-wiki
'''Lisa Castel''' alizaliwa mnamo [[22 Desemba]] mwaka [[1955]] huko ''Quela'', ''Malanje Province'',ni Mwanahabari na Mwandishi wa nchini [[Angola]].
Kulingana na ''Luís Kandjimbo'', Castel ni mwana kikundi wa waandishi wa kike wa kisasa huko [[Angola]] kama vile ''Ana Paula Tavares'', ''Amélia da Lomba'' na ''Ana de Santana'', ambaye anamtaja kama "Kizazi cha kutokuwa na uhakika" ("Geração das Incertezas"), waandishi ambao kwa kawaida huonyesha uchungu katika kazi zao, wakionyesha kukatishwa tamaa na hali ya kisiasa na kijamii nchini humo. <ref name = "infopedia">{{cite web|url=http://www.infopedia.pt/$amelia-dalomba;jsessionid=9xzhKuxz2whLLAFyu8So1g__|title=Amélia Dalomba|publisher=Infopedia.pt|accessdate=5 October 2014|language=Portuguese}}</ref>
Castel amefanya kazi kwa "Jornal de Angola" na jarida la "Archote ''. Yeye ndiye mwandishi wa mkusanyiko wa mashairi "Mukanda", iliyochapishwa mnamo mwaka [[1988]].<ref>{{cite web|url=http://www.infopedia.pt/$lisa-castel|title=Lisa Castel|publisher=Infopedia.pt|accessdate=5 October 2014|language=Portuguese}}</ref>
== Kazi ==
* "Mukanda", Luanda, Angola: União dos Escritores Angolanos, 1988.
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanawake wa Angola]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1955 ]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Arusha Translation-a-thon]]
21qd4c8moxg10xmhgsbrysel1bl6aba
Nyumba ya Mungu
0
136932
1235929
1206108
2022-07-27T15:59:52Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236096
1235929
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:Nyumba ya Mungu Reservoir + Kilimandscharo.jpg|thumb|[[Picha]] la bwawa kutoka [[Anga|angani]].]]
'''Nyumba ya Mungu''' ni [[bwawa]] linalozalisha [[umeme]] ambalo lipo katika [[wilaya ya Mwanga]], [[mkoa wa Kilimanjaro]].
Nyumba ya Mungu ipo kwenye [[bonde]] la [[mto Pangani]]; [[maji]] yake yanatoka katika [[Mto Kikuletwa|Kikuletwa]] na [[Mto Ruvu|Ruvu]]. Mito ya Kikuletwa na Ruvu hutiririsha takriban [[Kilomita ya mraba|kilomita za mraba]] 7,500 (sq mi 2,900).
[[Lambo]] lilitengenezwa kwa ajili ya [[kilimo]] cha [[umwagiliaji]], kuzalisha umeme na [[viwanda]] vya [[samaki]] vilivyo kuwa karibu na pale. Madhumuni ya mwanzo ya kujenga bwawa hili yalikuwa kuhifadhi mtiririko wa [[mafuriko]], ambayo yangeruhusu [[maendeleo]] ya [[ekari]] 30,000 za kilimo cha umwagiliaji na [[uzalishaji]] wa [[nishati]] ya [[umeme]].
Kufikia mwaka [[1970]] bwawa hili lilikuwa na uzalishaji wa samaki wa [[Tilapia]] unaostawi. Hata hivyo, hii haikuchukua muda mrefu na ripoti zilizofuata kutoka mwaka [[1972]] mpaka [[1973]] zilionyesha kupungua kwa kiasi kikubwa cha [[bidhaa]] za samaki.
{{mbegu-jio-kilimanjaro}}
[[Jamii:Malambo]]
[[Jamii:Wilaya ya Mwanga]]
5xesgs9r1ezrbuvt5zcn6135cpxhubg
Uwanja wa michezo wa jeshi la Cairo
0
137710
1235955
1173282
2022-07-27T16:04:43Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236079
1235955
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Kelvin kevoo|Kelvin kevoo]]
wikitext
text/x-wiki
{{tafsiri kompyuta}}
'''Uwanja wa michezo wa chuo cha jeshi la Cairo''' (kwa [[Kiarabu]] إستاد الكلية الحربية بالقاهرة) ni uwanja uliopo katika mji wa [[Cairo]], [[Misri]] na unastahimili takribani watu 28,500.
Ulikuwa ni moja ya viwanja sita vilivyotumika katika Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka [[2006]], yaliyo fanyika Misri. Unapatikana Maili saba kutoka barabara inayoelekea uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cairo.
Ulijengwa mnamo mwaka [[1989]] kwa matumizi ya timu za jeshi na wanafunzi katika chuo cha kijeshi. Uwanja huo ulitumika kuanda michezo ya nyumbani ya [[Al Ahly]] na [[Zamalek]] wakati wa ukarabati wa Uwanja wa Kimataifa wa Cairo na mara kwa mara bado unatumika kuanda mechi mbalimbali.
==marejeo==
{{mbegu-michezo}}
[[jamii:Africa Wiki Challenge Arusha]]
[[jamii:viwanja vya michezo Misri]]
myx6ygi46jlgwvhvue4zmzor6rtegpm
Majadiliano ya mtumiaji:CCavadov
3
137907
1236189
1170763
2022-07-28T02:12:58Z
Xqbot
1852
Bot: Fixing double redirect to [[Majadiliano ya mtumiaji:Grenzsoldat]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Majadiliano ya mtumiaji:Grenzsoldat]]
jqsmgrsqu1raera5ea5rb41cx385zt8
Majadiliano ya mtumiaji:Kelvin kevoo
3
137933
1236180
1226874
2022-07-27T23:21:17Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Diego Tinotenda Chikombeka''' (amezaliwa Februari 5, 1998), anajulikana kitaalamu kama Diego Tryno ni mwanamuziki wa kisasa wa mjini wa [[Zimbabwe na mwanamuziki]] wa [[hip-hop]]. Anajulikana pia nchini kwa majina ya jukwaani ikiwa ni pamoja na "Mr. Coffee Please" na "The Future Billionaire".
== Maisha ya awali ==
Diego alizaliwa [[Mutare]], Zimbabwe katika Hospitali ya Wilaya ya [[Sakubva]].<ref> name =newsguard>{{Cite web | url=http://newsguard.co.zw/2019/12/02/manicaland-artiste-defies-odds/ |title = Msanii wa Manicaland amekaidi odds|date = 2019-12-02}}</ref> Alikuwa mtoto wa kwanza kuzaliwa na mama yake Fungisai Kanjera na baba yake Christopher Chikombwe. Alipokuwa akisoma shule ya msingi, alihamia [[Zvishavane] kwa muda na kurejea Mutare kumalizia elimu yake ya msingi. Alisomea Shule ya Upili ya Chikanga kabla ya kuhamia [[Harare]], na kumaliza shule ya upili katika Shule ya Upili ya Living Waters.<ref name=storify>{{Cite web | url=https://www.storifynews.com/the-curious-tale-of-the-southern-african-star-diego-and-his-industry/ |title = Hadithi ya Kustaajabisha ya nyota wa Kusini mwa Afrika Diego na wake sekta | Storify News|tarehe = 2019-11-21}}</ref> Wakati wa masomo yake, Tryno alifanya mazoezi ya muziki faraghani, kwa kuwa wazazi wake hawakuvumilia uamuzi wake wa kutafuta muziki.<ref> name=newsday2>{{Cite web|url =https://www.newsday.co.zw/2019/10/diego-known-abroad-stranger-at-home/|title = Diego: Anajulikana nje ya nchi, mgeni nyumbani|tarehe = 2019-10-17}}</ref>
== Kazi ya muziki ==
Aliwahi kufanya muziki wa [[Zimdancehall]] kwa jina Ricky D kabla ya kuhamia hip-hop.<ref name="newsguard" /> Tryno alirekodi wimbo wake wa kwanza wa hip-hop mwaka wa 2014 unaoitwa "Go Diego Go" na akashinda yake ya kwanza. tuzo ya kikanda katika Tuzo za Muziki za Zambezi mwaka huo huo.<ref> name=newsday1>{{Cite web|url = https://www.newsday.co.zw/2019/08/wanamuziki-wapigana-dhidi-graft|title = Mwanamuziki fight against graft|date = 26 August 2019}}</ref> Mnamo 2015 alifanya show yake ya kwanza ya moja kwa moja katika Summer Jam ikifuatiwa na ziara ya ngoma ya "I wanna see you".<ref name="Bulawayo24" /> Anafanya muziki nchini [[Lugha ya Kiingereza|Kiingereza]], [[Lugha ya Kishona|Shona]], na [[Lugha ya Kindebele cha Kaskazini|Ndebele]] na wimbo wake wa kwanza wa Kishona ulikuwa mwaka wa 2015 aliposhiriki katika wimbo na mwimbaji TC.<ref>{ {Taja mtandao | url=https://zimmagazine.com/10-things-you-didnt-know-about-diego-tryno-zimmagazine/ |title = Mambo 10 ambayo hukujua kuhusu Diego Tryno-Zimmagazine|tarehe = 2019-09- 17}}</ref><ref name="newsguard" /> Tryno amefanya kazi na watayarishaji wa kikanda na kimataifa katika utayarishaji wa muziki wake. Mtayarishaji mmoja mashuhuri alikuwa Dry AFM kutoka Botswana ambaye alichangia katika uchanganyaji wa wimbo wake Yolo.<ref>{{Cite web|url=https://www.lounge263.co.zw/diegotryno/|title=Diego Tryno Dates Botswana Producer |last=Lounge263|date=2016-10-20|website=Lounge263 Mag|language=en-US|access-date=2019-07-21|archive-url=https://web.archive.org/web/ 20190722005012/https://www.lounge263.co.zw/diegotryno/|archive-date=2019-07-22|url-status=dead}}</ref>
=== 2018 ===
Mnamo Oktoba 2018, Tryno alitoa albamu yake ya kwanza ''Lazarus (Age Volume 1)'' ambayo ilikuwa mchango wa kwanza wa mradi wake wa ''All Generations Entwined''.<ref>{{Cite web|url = https://blownaija .com/e-news-diego-tryno-and-all-generations-entwined-volumes-1-5-age-vol-1-5/|title = [E-Habari] Diego Tryno na Vizazi Vyote Juzuu 1- 5 (Umri Vol 1-5)|last = Blow|first = Baba|date = 15 Septemba 2019|tovuti = Blow Naija|language = en|access-date = 15 Novemba 2019}}</ref> Albamu ilitolewa mnamo ushirikiano na albamu ya msanii wa Hip-hop wa Zimbabwe Ti Gonzi "Best Mero" siku hiyo hiyo na ukumbi na wimbo wa kwanza uliaminika kimakosa kuwa Albamu ya Injili.<ref name="Hallelujahmag">{{cite web|url=https:/ /hallelujahmag.com/2019/12/05/kitambulisho-cha-wanamuziki-vipofu-kwa-aina-kwa-uinjilisti-sababu-kesi-ya-diego-tryno/|title=Wanamuziki wasioona utambulisho wa aina kwa ajili ya uinjilisti|kazi =Hallelujahmag|date=2019-12-05}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.hmetro.co.zw/i-sing-hipu-hopu-not -hip-hop-ti-gonzi/|title=Naimba hipu hopu si hip hop – Ti Gonzi|last=H-Metro|website=H-Metro|language=en-GB|access-date=2019-07-21 }}</ref> Albamu ya kwanza ya Tryno ilisambazwa sana kwenye vituo vya redio vikiwemo Star Fm, ZiFm, Hevoi Fm huko Masvingo na SA's Metro Fm.<ref>{{Cite web | url=https://globenews24.online/ahadi-zilizovunjika-zinatishia-kazi-ya-wasanii/ | title=Ahadi zilizovunjwa zinatishia kazi ya msanii | Globenews24}}</ref> Baada ya albamu yake ya kwanza, Tryno alijaribu kuchanganya muziki wa kisasa wa mjini, sungura, injili, na asili ya Zimbabwe.<ref name="oyosnews">{{cite web|url=http://oyos.news /tengeneza-njia-kwa-new-hip-hop-influencers-diego-tryno-on-an-anti-graft-note|title = Wape njia washawishi wapya wa Hip-hop- Diego Tryno juu ya kupinga ufisadi kumbuka - OyOsNews - Habari zako zote za Zim Mtu Mashuhuri|last = Codingest|tarehe = 11 Novemba 2019|tovuti = OyOsNews|language = en|tarehe ya ufikiaji = 15 Novemba 2019}}</ref> Oktoba 30, 2018, Diego alitoa toleo lake la kwanza video "Mabvuta" moja kwa moja kwenye ZiFm Stereo na Zimbabwe [[ZBC TV]].
=== 2019 ===
Mnamo mwaka wa 2019 Tryno alitoa wimbo wake ''Cooler Box'' ambao uliingia kwenye chati za redio za Zimbabwe na aliahidi kuachia albamu yake ya pili ''Stories (Age Vol 2)'' ambayo alishindwa kuitoa katika tarehe aliyoahidi na ikavutia. maoni hasi kutoka kwa mashabiki wake.<ref>https://www.thehararetimes.com/zim-hip-hop-artist-diego-tryno-delays-album-release-manager-blames-power-cuts/</ref> Desemba 2019 alikanusha uvumi kuhusu ziara nchini Kenya na akaghairi ziara nyingine zozote za uvumi.<ref>{{Cite web |url=https://koenzagh.com/2019/12/17/diego-tryno-cancels-xmas-tour- inaondoa tetesi/ |title=Nakala iliyohifadhiwa |access-date=2019-12-21 |archive-date=2019-12-21 |archive-url=https://web.archive.org/web/20191221165821/https: //koenzagh.com/2019/12/17/diego-tryno-cancels-xmas-tour-clears-rumours/ |url-status=dead }}</ref>
== Video ==
{| class="wikitable"
|+
!Mwaka
!Kichwa
!Mkurugenzi
!Kumb
|-
|2018
|Mabvuta
|Media Empire
|
|-
|2019
|Sungai ft Dj Monte
|Denford Mkasi
|
|}
==Marejeleo==
{{reflist|30em}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.afro.video/en/artist/diego-tryno/ Video]
* [https://www.youtube.com/watch?v=6FKTP34EKFU Wasifu]
* [https://www.youtube.com/watch?v=Mahojiano ya Zrsbl9UXGcw kwenye Star FM]
* [https://www.youtube.com/watch?v=DEfrfvZJq88 Mahojiano kwenye Hevoi FM]
[[Kitengo: Waliozaliwa 1998]]
[[Jamii:Watu wanaoishi]]
c4uy7kqeiczeyz7vha33cof37z4t1w6
Ngand'o
0
138273
1235926
1190411
2022-07-27T15:59:25Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236122
1235926
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[Nairobi]], [[mji mkuu]] wa [[Kenya]], katika [[eneo bunge la Dagoretti Kusini]].
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{nairobi}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Mitaa ya Nairobi]]
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:kaunti ya Nairobi]]
j8sbizsy2woo9l4cp19l1mrobda99jk
Diaryatou Bah
0
139866
1236022
1214005
2022-07-27T16:20:07Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236030
1236022
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Siwema Nikini|Siwema Nikini]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:Diaryatou Bah.jpg|thumb|Diaryatou Bah]]
'''Diaryatou Bah''' (alizaliwa [[Guinea]] [[1985]]) ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] uko [[Guinea]]. Ni mkaazi wa [[Ufaransa]] na [[mwanzilishi]] wa ''Espoirs et Combats des femmes'' ("Matumaini na Mapambano ya Wanawake"), taasisi inayopinga [[ukeketaji]] na ukatili kwa wanawake. Anafanya kazi na [[taasisi]] nyingine kama 'Excision' na 'Ni Putes Ni Soumises'.
Mwaka [[2018]] alitunukiwa tuzo ya ujasiri ya Elles, kama utambuzi wa kazi yake dhidi ya ukeketaji wa wanawake.
== Maisha ya Mwanzo ==
Diaryatou Bah anatoka katika familia kubwa ya watoto 32, na ni binti wa baba mwenye wake wengi.<ref name=":0">{{Cite web|last=Andrieu|first=Laura|date=2019-02-06|title="Je n'ai jamais oublié ce que j'ai ressenti" : Diaryatou Bah, victime d'excision devenue militante|url=https://madame.lefigaro.fr/societe/diaryatou-bah-victime-dexcision-devenue-militante-060219-163497|url-status=live|access-date=2021-02-16|website=Madame Figaro|language=fr|archive-url=https://web.archive.org/web/20190206171047/http://madame.lefigaro.fr/societe/diaryatou-bah-victime-dexcision-devenue-militante-060219-163497 |archive-date=2019-02-06 }}</ref> Alikulia utoto wake kwenye kijiji kidogo cha Sakile, nakulelewa na bibi yake katika jumuiya ya wanawake hadi alipokuwa na umri wa [[miaka]] [[10]].<ref name=":1">{{Cite web|last=Pacheco|first=Jadine Labbé|date=2017-07-10|title=Diaryatou Bah : "L'exciseuse a couvert mon visage de feuilles fraîches"|url=https://www.nouvelobs.com/rue89/nos-vies-intimes/20170710.OBS1909/diaryatou-bah-l-exciseuse-a-couvert-mon-visage-de-feuilles-fraiches.html|url-status=live|access-date=2021-02-16|website=L'Obs|language=fr|archive-url=https://web.archive.org/web/20181124164532/https://www.nouvelobs.com/rue89/nos-vies-intimes/20170710.OBS1909/diaryatou-bah-l-exciseuse-a-couvert-mon-visage-de-feuilles-fraiches.html |archive-date=2018-11-24 }}</ref><ref name=":2">{{Cite web|last=Magal|first=Marylou|date=2017-07-07|title=Diaspora - Diaryatou Bah, une femme courage contre l'excision|url=https://www.lepoint.fr/afrique/diaspora-diaryatou-bah-une-femme-courage-contre-l-excision-07-07-2017-2141385_3826.php|access-date=2021-02-16|website=Le Point|language=fr}}</ref>
Mwaka [[1993]] alipofikisha umri wa miaka 8 alikeketwa.<ref name=":0" /> Katika kifo cha bibi yake, Bah aliungana tena na baba yake na wake zake wengine watatu huko Conakry.<ref name=":1" />Akiwa na umri wa miaka 13, alilazimishwa kuolewa na mwanamume mwenye umri wa miaka 45 anayeishi [[Amsterdam]], hivyo aliondoka [[Guinea]] na kuishi na mumewe huko Uropa.<ref name=":1" /><ref name=":2" />Mwathirika wa mara kwa mara wa ubakaji wa ndoa na aina nyingine za unyanyasaji wa kimapenzi (alipata mimba kwa mara ya kwanza akiwa na umri wa miaka 14). Wanandoa hao walihamia huko [[Paris]] mnamo [[2003]], na visa vya kitalii viliisha, na kumwacha kwa huruma ya mumewe.<ref name=":0" /><ref name=":2" /><ref name=":3">{{Cite web|last=Gonnet|first=Julie|date=2017-09-13|title=Excision, mariage forcé, viol : Diaryatou Bah a su mettre des mots sur les maux|url=https://www.jeuneafrique.com/mag/472884/societe/excision-mariage-force-viol-diaryatou-bah-a-su-mettre-des-mots-sur-les-maux/|url-status=live|access-date=2021-02-16|website=Jeune Afrique|language=fr-FR|archive-url=https://web.archive.org/web/20170913185520/http://www.jeuneafrique.com/mag/472884/societe/excision-mariage-force-viol-diaryatou-bah-a-su-mettre-des-mots-sur-les-maux/ |archive-date=2017-09-13 }}</ref>Lakini alipokuwa akisafiri kwenda Afrika kumtembelea mke wake mwingine, alitazama kipindi cha televisheni kilichoonyesha ushuhuda wa mwanamke ambaye alitoroka ndoa ya kulazimishwa. Hii ilimtia moyo kuomba msaada katika ukumbi wa jiji la Les Lilas, ambako alikuwa akiishi.<ref name=":2" />
Baada ya mumewe kurudi, aliamua kumuacha. The Aide sociale à l'enfance [ fr ], mfumo wa ustawi wa watoto wa [[Ufaransa]], ulichukua jukumu la malezi yake, na aliwekwa katika nyumba ya vijana inayojulikana kama foyer de jeunes travailleurs na aliweza kujifunza Kifaransa.<ref name=":4">{{Cite news|date=2017-07-05|title=Diaryatou Bah: "l'excision est un cri que l'on n'oublie jamais"|language=fr|work=BBC News Afrique|url=https://www.bbc.com/afrique/monde-40505569|url-status=live|access-date=2021-02-16}}</ref>
Alipata kibali cha makazi mwaka wa 2005, na uraia wa Ufaransa mwaka wa 2014.<ref name=":0" /><ref name=":2" />
== Harakati zake ==
Akiwa na umri wa miaka 20, alijua kikamilifu umuhimu wa kukatwa kwake, na mwaka wa [[2006]] alichapisha wasifu wake On m'a volé mon enfance ("Niliibiwa Utoto Wangu").<ref name=":2" /> Akikumbuka ushuhuda wa mwanamke huyo uliompelekea kutoroka kutoka kwa ndoa yake ya kulazimishwa, Bah alihisi alitaka kushiriki ushuhuda wake mwenyewe.<ref name=":4" />
Mwaka huo huo, alianzisha shirika lake, Espoirs et Combats des femmes. Lengo lake ni kupiga vita [[ukeketaji]] na ukatili dhidi ya wanawake.<ref name=":2" /> Bah anasema kwamba ukurasa wa [[Facebook]] wa shirika hilo hupokea jumbe nyingi kutoka kwa wanawake vijana wa Kiafrika wanaojihusisha na hadithi yake na kuomba ushauri.<ref name=":1" /> Wakati huo huo, Bah alikua mwalimu katika kituo cha ushirikiano wa kijamii na shirika lisilo la faida la Aurore [ fr ], kufanya kazi katika magereza, hasa Fleury-Mérogis, kuelimisha wafungwa kuhusu unyanyasaji dhidi ya wanawake.<ref name=":3" />
Mwaka [[2008]], alizindua kampeni ya elimu nchini Guinea, ambapo, kulingana na [[UNICEF]], 97% ya wasichana wanakabiliwa na ukeketaji. Mnamo 2011, aliwekwa kama msimamizi wa kamati ya shirika la Ni Putes Ni Soumises juu ya ukombozi wa wanawake nchini Ufaransa. Pia alijishughulisha na kampeni za kutokuwa na dini.<ref>{{Cite news|last=Boëton|first=Marie|date=2011-09-21|title=Les femmes portant la burqa sont très peu inquiétées par la justice|language=fr-FR|work=La Croix|url=https://www.la-croix.com/Actualite/France/Les-femmes-portant-la-burqa-sont-tres-peu-inquietees-par-la-justice-2011-09-21-736239|url-status=live|access-date=2021-02-16|issn=0242-6056}}</ref>
Katika miaka iliyofuata, Bah alishiriki katika kazi ya shirika la Excision, parlons-en ! ("Excision, Let's Talk About It!")<ref name=":3" /> na kuwa balozi wa kampeni ya Alerte excision ("Excision Alert"), iliyokusudiwa kuwaonya wasichana wachanga juu ya hatari ya ukeketaji ambayo inaweza kuja kwa kutembelea wazazi wao. nchi za nyumbani.<ref>{{Cite web|date=2017-07-05|title=Diaryatou, excisée à 8 ans: c'est "un cri que l'on n'oublie jamais"|url=https://www.lexpress.fr/actualites/1/actualite/diaryatou-excisee-a-8-ans-c-est-un-cri-que-l-on-n-oublie-jamais_1924454.html|access-date=2021-02-16|website=LExpress.fr|language=fr}}</ref> Elimu ndiyo kitovu cha harakati zake, kwani kujifunza kusoma ilikuwa hatua muhimu katika uhuru wake.<ref>{{Cite web|last1=Jamali Elo|first1=Yara|last2=Herz|first2=Virginie|date=2015-02-06|title=ActuElles - Mutilations génitales : 30 millions de filles à sauver|url=https://www.france24.com/fr/20150206-actuelles-mutilations-genitales-femmes-excision-mariages-forces-egypte-nepal|url-status=live|access-date=2021-02-16|website=France 24|language=fr|archive-url=https://web.archive.org/web/20150206202331/http://www.france24.com/fr/20150206-actuelles-mutilations-genitales-femmes-excision-mariages-forces-egypte-nepal/ |archive-date=2015-02-06 }}</ref>
== Utambuzi ==
Mnamo [[Oktoba]] [[2018]], kwa kutambua mapambano yake dhidi ya ukeketaji, alipokea tuzo ya Elles de France ya ujasiri kutoka kwa rais wa eneo la Île-de-France, Valérie Pécresse.<ref>{{Cite web|date=2018-11-14|title="Trophées Elles de France": découvrez les 6 femmes lauréates|url=https://www.bfmtv.com/societe/trophees-elles-de-france-decouvrez-les-6-femmes-laureates_AN-201811140098.html|url-status=live|access-date=2021-02-16|website=BFMTV|language=fr}}</ref> Alipopokea heshima hiyo, Bah alisema:<blockquote>"Asante kwa watu wote kwa kujitolea, wanaharakati, wafanyikazi wa kijamii. Ndiyo, mimi ni mwanaharakati wa masuala ya wanawake. Nimetembea katika njia ya hofu na aibu. Kuwa hapa leo kunanipa nguvu ya kuendelea na mapambano. Kutokujua kusoma na kuandika unaua wanawake. Ilikuwa kwa kujifunza kusoma na kuandika kwamba niliweza kuwa mwanamke huru."<ref>{{Cite web|date=2019-10-17|title=Diaryatou Bah, Trophée ellesdeFrance 2018 du courage|url=https://www.iledefrance.fr/diaryatou-bah-trophee-ellesdefrance-2018-du-courage|url-status=live|access-date=2021-02-16|website=Région Île-de-France|language=fr|archive-url=https://web.archive.org/web/20200920021507/https://www.iledefrance.fr/diaryatou-bah-trophee-ellesdefrance-2018-du-courage |archive-date=2020-09-20 }}</ref></blockquote>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanaharakati wa Guinea]]
[[Jamii:Wanawake wa Guinea]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1985]]
[[Jamii:Mashindano ya uandishi wa makala za haki za binadamu]]
td1b45wa3eus09mmhf8wi41zgy2l19n
Ndarugo
0
140596
1235960
1185124
2022-07-27T16:05:54Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236106
1235960
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Kiambu]], [[Eneo bunge la Gatundu Kusini]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Kiambu]]
q5c02s2xnhqv7j2udvl797buszs1rqj
Lopur
0
140615
1235976
1185147
2022-07-27T16:09:38Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236061
1235976
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[kaunti ya Turkana]], [[Eneo bunge la Turkana Magharibi]], nchini [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
[[Jamii:Kata za Kenya]]
[[Jamii:Kaunti ya Turkana]]
k0mraw1hcqvmktkcch73b4ws0qomned
Biturana
0
142779
1236009
1193355
2022-07-27T16:17:32Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236032
1236009
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''Biturana''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Kibondo]] katika [[Mkoa wa Kigoma]], [[Tanzania]].
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Kibondo }}
[[Jamii:Wilaya ya Kibondo]]
[[Jamii:Mkoa wa Kigoma]]
7w8zyv127jukpk51rmdr2mkn9a6aiws
Loyiso Gola
0
143024
1235991
1194442
2022-07-27T16:13:39Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236039
1235991
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Super8 Devs|Super8 Devs]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Loyiso Gola cropped.jpg|thumb|Picha ya Loyiso Gola]]
'''Loyiso Gola''' (amezaliwa 16 Mei 1983)<ref>{{cite web|title=Loyiso Gola |url=http://www.tvsa.co.za/actors/viewactor.aspx?actorid=7813 |website=TVSA |accessdate=4 October 2014 |archiveurl=https://www.webcitation.org/6T4xaeLXu?url=http://www.tvsa.co.za/actors/viewactor.aspx?actorid=7813 |archivedate=4 October 2014 |url-status=live }}</ref> ni [[Afrika Kusini|muafrika kusini]] mchekeshaji wa jukwaani.
==Marejeo==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Arusha MoAC]]
[[Jamii:Watu wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1983]]
ba41ds3kfvjkyw4x2f0gzna2ia1jw0z
Soyo
0
145466
1236012
1206284
2022-07-27T16:18:19Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236029
1236012
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo [[kaskazini]] [[magharibi]] mwa [[nchi]] ya [[Angola]] katika [[mkoa wa Zaire]].
[[Mwaka]] [[2009]] [[idadi]] ya wakazi ilikuwa 75,224<ref>https://web.archive.org/web/20150923204417/http://www.citypopulation.de/Angola.html </ref>.
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Angola]]
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-jio-Angola}}
[[Jamii:Miji ya Angola]]
[[Jamii:Zaire (mkoa)]]
0u04iugnhek2qrobvxl4o9lbto7dnua
Mékhé
0
145857
1235971
1208360
2022-07-27T16:08:27Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236072
1235971
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] uliopo katika [[nchi]] ya [[Senegal]], [[mkoa wa Thies]].
[[Mwaka]] [[2013]] [[idadi]] ya watu ilikadiriwa kuwa 22,943 <ref>Chanzo: Agence Nationale de la Statistique et de la Démographie du Sénégal (ANSD)</ref>
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Senegal]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Afrika}}
[[Jamii:Miji ya Senegal]]
[[Jamii:Mkoa wa Thies]]
btw4vexkxjx6qm69lm9rlh2g5mn6qdt
Dhow Countries Music Academy
0
146465
1235969
1210861
2022-07-27T16:08:01Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236073
1235969
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[File:Zanzibar Taarab Kidumbak Ensemble.jpg|thumb|right|Kikundi cha Taarab/Kidumbak, mwaka 2015]]
'''Dhow Countries Music Academy (DCMA)''' ni [[shule]] ya [[muziki]] ya kwanza na ya pekee huko [[Zanzibar]], [[Tanzania]], iliyopo katika Nyumba ya zamani ya forodha katika [[Mji Mkongwe]].
Chuo hicho kinasaidia na kuhifadhi urithi wa muziki wa "[[taarabu]]" unaojumuisha nchi zilizopo kando ya mwambao wa [[Bahari ya Hindi]] na [[Ghuba ya Uajemi]]. Madhumuni maalum ni kufundisha muziki wa jadi, kama vile [[Taarab]], Kidumbaki na Ngoma.
"Katika miaka ya hivi karibuni, Chuo hiki cha Muziki cha Kisiwa cha Tanzania kimekuwa kituo muhimu cha mkutano wa eneo la utamaduni wa ndani."<ref>Luca Beti: ''Sansibars bewegende Rhythmen.'' In: ''One World.'' 02/2018, p. 38-40, [https://www.eda.admin.ch/dam/deza/de/documents/publikationen/Eine-Welt/eine-welt-2018-2_DE.pdf full text]</ref>
==Madhumuni==
Chuo hichi kilianzishwa mnamo mwaka 2002 na kwa miaka mingi kilikuwa na wanafunzi zaidi ya 1500. DCMA ni mmoja ya wajumbe maarufu wa muziki wa taarab ulimwenguni. Kimepata sifa inayoongezeka kimataifa ya kufundisha muziki wa jadi. Mnamo mwaka 2007, Hildegard Kiel, mkurugenzi na mwanzilishi wa DCMA alichaguliwa kwenye tuzo ya BBC World Music Award, wakitambua mchango wake mkubwa katika kufufua urithi wa muziki wa Zanzibar na anga ya muziki ulimwenguni kote. Mnamo Oktoba 2010 DCMA ilishinda Tuzo ya Muziki ya Roskilde kwa kufundisha muziki wa jadi.<ref>[https://worldmusiccentral.org/2010/10/14/roskilde-festival-world-music-award-goes-to-dhow-countries-music-academy-in-zanzibar/ World Music Award 2010 of ''Roskilde Festivals'' for DCMA]</ref>
Katika mafunzo ya wanafunzi nikuhakikisha na kuendeleza Ujuzi na maarifa ya urithi wa kipekee wa muziki wa kitamaduni. Chuo cha Muziki cha Dhow Countries Music Academy kilichukua jina lake kutoka katika meli ya kitamaduni, [[jahazi]], iliyoundwa na Waarabu, nakutumika katika eneo la Bahari ya Hindi. Rasi ya Arabia ina historia tajiri ya usafiri wa bahari na kubadilishana utamaduni na pwani ya Afrika Mashariki. Jahazi zimetumika katika eneo hili kwa karne nyingi, na zilikuwa muhimu katika kukuza uvuvi, kuzamia lulu na biashara pamoja na mabadilishano ya kitamaduni. DCMA ni kituo kikuu cha mafundisho na utendaji wa utamaduni wa muziki ambao walisafiri kwa meli kutoka Mashariki ya Kati hadi Afrika kupitia Bahari ya Hindi.
Dhamira ya Chuo cha Muziki cha ''Dhow Countries Music Academy'' ni kuwa na mchango mkubwa katika kuimarisha tasnia ya muziki wa Zanzibar kwa kufanya utafiti, kuhifadhi, kutoa mafunzo, kukuza na kuendeleza urithi wa muziki wa Zanzibar na "Dhow Countries", zote kikanda na kimataifa. Kabla ya DCMA kuanzishwa, muziki wa asili Zanzibar ulikuwa karibu kusahaulika. Kulikuwa na vikundi kadhaa vya asili ya taarab, na ni vijana wachache sana waliokuwa tayari kutunza urithi huo. Lakini tangu DCMA ianzishe dhamira yake hali ilibadilika, muziki wa kitamaduni na Wanamuziki wakitamaduni walizidi kuongezeka.
==Elimu ya muziki==
Mtaala wa DCMA unatoa elimu bora kuanzia mwanzo hadi ngazi ya juu. Kozi za cheti na diploma ni pamoja na kozi za nadharia ya muziki wa Waswahili hasa watu wa Zanzibar, yaani muziki wa Mashariki-Kiarabu. Ingawa ni maalumu katika muziki wa jadi wa Kiarabu na Kiafrika katika eneo hilo, DCMA pia hutoa fursa kwa wanafunzi kujifunza zana zinazotumika katika utamaduni wa muziki wa Magharibi.
Mafunzo ya muziki katika DCMA yanajumuisha:
# Mafunzo ya chombo na sauti kupitia masomo ya kibinafsi na ya darasa. Masomo haya yanazingatia ujuzi wa utendakazi kwenye vyombo mbalimbali ikijumuisha [[Fidla]], oud, [[zeze]], [[gitaa]], [[piano]], kinanda cha kielektroniki, Kiarabu, Kinanda cha Mkononi na [[filimbi]].
# Mafunzo ya kiwango cha cheti na diploma katika masomo ya utendaji ambayo pia yanajumuisha kozi ya muziki wa kitamaduni wa Kiarabu na Kiafrika na njia za kutafiti utamaduni huo.
Wakati lengo kuu la DCMA ni kuhifadhi na kukuza urithi wa muziki wa Zanzibar, katika miaka ya hivi karibuni imeanzisha kozi za muziki katika utamaduni na masomo maalum, matamasha na eneo la kazi na wahandisi wa sauti, washirika wa tamasha kutoka kote ulimwenguni na wanamuziki wa kitaaluma, kama Cleveland Watkiss, [[Oliver Mtukudzi]], Ricardo Garcia, Blitz the Ambassador, Moussa Diallo, Harald Lassen, Florian Ross, Grzegorz Niemczuk, Leon Michael King, Piotr Damasiewicz, Derek Gripper, Makadem na wengine.
Zaidi ya hayo, DCMA hutoa semina maalum, ziara za kubadilishana na shughuli za mtandao mwaka mzima, kwa mfano, mkutano wa Kumbukumbu, Nguvu na ujuzi katika Muziki wa Kiafrika na Zaidi, mnamo Juni 2015, iliwasilishwa kwa kushirikiana na Vyuo Vikuu vya Ghana na Nigeria katika Afrika Magharibi na Chuo cha Johannes Mainz na Chuo cha Hildesheim nchini Ujerumani.<ref>{{Cite web |url=https://www.uni-hildesheim.de/center-for-world-music/forschung/konferenzen/memory-power-and-knowledge-in-african-music-and-beyond/ |title=University of Hildesheim: ''Center for World Music Congress'', DCMA, June 2015 |accessdate=2022-02-18 |archivedate=2021-01-27 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20210127004409/https://www.uni-hildesheim.de/center-for-world-music/forschung/konferenzen/memory-power-and-knowledge-in-african-music-and-beyond/ }}</ref>
==Elimu kwa watoto==
DCMA inatoa masomo ya muziki ya bure kwa zaidi ya watoto 100 katika shule 6 za msingi huko Zanzibar. Kujifunza muziki kuna faida nyingi kwa watoto. Inasaidia ukuaji wao wa kielimu, kijamii na kihisia. Huendeleza ujuzi wa lugha. Utafiti umeonyesha kuwa wale wanaofanya elimu ya muziki wana matokeo bora katika mitihani kwa kiwango cha juu kuliko kawaida. Pia wanapata alama za juu katika shule ya sekondari. Elimu ya muziki huendeleza ujuzi ambao ni muhimu katika mahali pa kazi. DCMA pia inasaidia watoto wenye ulemavu mbalimbali. Tangu mwaka 2012 DCMA imefundisha katika Shule ya Msingi Kisiwadui kikundi cha watoto wenye ulemavu wa viungo yaani upofu, matatizo ya kusikia na wanaotembelea viti vya magurudumu. Mwaka huu Chuo kilianza kufanya kazi na shirika la NGO ndani ya Kahesa Zanzibar na inatoa elimu ya muziki bila malipo kwa watoto wenye ugonjwa wa vinasaba na usonji.
==Shughuli za elimu ya uenezi==
Pamoja na shughuli zake katika Mji Mkongwe, Zanzibar, DCMA ilianza mpango wa kufikia watu wa vijijini ili kujibu maombi ya jumuiya za vijijini kuleta elimu ya muziki na ujuzi wa uimbaji wa muziki katika maeneo ya mbali zaidi. Hii ni kweli hasa kwa maeneo yale ambapo vikundi vidogo vya ala za kitamaduni vinaendelea kuwepo na kuhangaika kuishi. [[Mahonda]], kijiji kidogo karibu kilomita 25 nje ya [[Mji Mkongwe]], ni mwanachama wa Chuo hichi cha Muziki. Kazi za DCMA katika [[Mahonda]] zinalenga watu ambao tayari wana ujuzi fulani katika muziki, kuwawezesha kusambaza ujuzi wao kwa wengine mara kwa mara. Wanafunzi waliofanikiwa wamealikwa kusoma muda wote huko DCMA katika Mji Mkongwe, ambayo inawaongoza kwenye ngazi ya vyeti na ngazi ya diploma.
==Bendi za DCMA==
Bendi za DCMA, wanafunzi na walimu hutembelea Zanzibar mara kwa mara ili kuimarisha maisha ya kitamaduni ya Zanzibar kupitia matamasha na maonyesho katika vilabu na migahawa. kwa mfano, matamasha ya Taarab na muziki wa Afro, hivyo hushirikisha muziki wa Afro-fusion, jazz, afrobeat na bongo-flava. Zaidi ya hayo, DCMA huandaa mara kwa mara michuano maalum ya wanamuziki wa kimataifa na warsha za umma za Ngoma. Baadhi ya bendi zilizotoka DCMA zimepata heshima za kimataifa nje ya Zanzibar:
* ''Taarab / Kidumbak Ensemble'' inawakilisha muziki wa kitamaduni wa magharibi mwa Bahari ya Hindi, mitindo ya ala na sauti ya mchanganyiko huu wa muziki wa Kiarabu na Kiafrika.<ref>[https://www.musicinafrica.net/directory/zanzibar-taarabkidumbak-ensemble/ „Music in Africa“ Portal about ''taarab-kidumbak-Ensemble'']</ref>
* ''Mapanya Band'', iliyoanzishwa mwaka wa 2016, ni moja ya makundi ya vijana yenye matumaini zaidi huko Zanzibar na inamchanganyiko wa kipekee wa Afro-Fusion, Hip-Hop na Reggae.<ref>[https://www.musicinafrica.net/directory/mapanya-band/ „Music in Africa“ Portal about ''Mapanya-Band'']</ref>
* ''Siti and the Band'', ilianzishwa mwaka wa 2015, kama waimbaji na wachezaji wa oud Siti Amina, Rahma Ameir (zeze) na Gora Mohammed (Qanun) waliamua kujitolea kwenye muziki wa Taarab kwa ushawishi wao binafsi ili kuunganisha muziki.<ref>[https://www.musicinafrica.net/directory/siti-and-band/ „Music in Africa“ Portal about ''Siti-and-the-Band'']</ref>
* ''Mcharuko'' inawakilisha Zanzibar na Dar es Salaam tangu mwaka 2017, pamoja na mchanganyiko wa mitindo maarufu ya muziki ya Kiafrika iliyoongozwa na Christopher Anthony (filimbi ya jazz), yenye gitaa, ngoma na sauti.
* ''Afro Jazz Group'', mchanganyiko wenye nguvu wa mitindo ya Kiafrika, Kiarabu na mtindo wa Magharibi.
* Vilevile ''DCMA Ngoma Group'', inayoongozwa na nguli wa ngoma Zanzibar Mzee Kheri.
== Maonyesho ya kimataifa ==
Tangu DCMA ianzishwe, vikundi vingi vimejitokeza kwenye matamasha nchini Tanzania, nchi nyingine za Afrika na sehemu nyingine za duniani, kwa mfano, kila mwaka vikundi vya DCMA vinashiriki katika Tamasha la Sauti za Busara huko Zanzibar; mwaka 2005 kikundi cha taarab cha DCMA kilishiriki katika Tamasha la Mela nchini Ufaransa, mwaka 2015 kundi la taarab la DCMA lilishiriki katika Tamasha la Shujaa huko Wroclaw, Poland, katika tamasha la Afrika huko Würzburg, Ujerumani, mwaka 2016 kwenye Tamasha la Orient Tallinn, Estonia ilisema machache tu katika maonyesho hayo ya kimataifa.
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Elimu ya Tanzania]]
[[Jamii:Zanzibar]]
[[Jamii:WikiVibrance_Tanzania]]
bo0kujypx3fka2bzxkay2nc4dl38pwy
Dorcas Shikobe
0
146990
1235951
1213660
2022-07-27T16:04:00Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236086
1235951
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
'''Dorcas Sikobe Nixon''' (alizaliwa [[4 Aprili]] [[1989]]) ni [[Mpira wa miguu|mwanasoka]] wa [[Kenya]] ambaye anacheza kama [[Beki|mtetezi]] wa klabu ya Lakatamia FC ya [[Kupro]] na [[Nahodha (chama cha soka)|nahodha]] wa [[Timu ya taifa ya kandanda ya wanawake ya Kenya|timu ya taifa ya wanawake ya Kenya]].
==Maisha ya zamani==
Nixon anatokea [[Kakamega]].
==Kazi ya kimataifa==
Nixon alichezea Kenya katika [[Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake 2016]]. <ref>{{Cite web|url=http://83.138.137.249/Portals/0/WAFCON%202016/Kenya%20VS%20Nigeria.pdf|title=StartListForMedia}}{{Dead link|date=March 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>.
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Kenya]]
[[Jamii:Arusha Women in Wiki]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1989]]
a06h21to2z95n9x6zw99hsa5s9ax5jt
Mary Wanjiku Kinuthia
0
147103
1236156
1213420
2022-07-27T19:28:48Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mary Wanjiku Kinuthia''' <ref name=S>{{Cite web|url=http://www.soka25east.com/kenya-name-awcon-squad/|title=Kenya name AWCON squad|website=Soka25east}}</ref>.alizaliwa [[19 Februari]] [[1990]].<ref>{{Cite web|url=http://admin.cafonline.com/en-us/competitions/10theditionwomensafcon-cameroon2016/TeamDetails/playerdetails?CompetitionPlayerId=4EIwtqkJ4uVkGjjRplnp2ZIrUeCwkyYBTFICvpMJ422WJJXXYWGlAQDXU7BeSp7n|website=CAF|title=Competitions - 10th Edition Women's AFCON-cameroon 2016 - Team Details - Player Details}}</ref>. Ni mwanasoka nchini [[Kenya]] ambaye anacheza Kama mshambuliaji.Amekuwa mwanachama wa timu ya Wanawake Nchini Kenya.
==Kazi za Kimataifa==
Kinuth alichezea kenya katika mashindano ya kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake [[2016]].<ref>{{Cite web|url=http://83.138.137.249/Portals/0/WAFCON%202016/Kenya%20VS%20Nigeria.pdf|title=StartListForMedia}}</ref>.
==Marejeo==
[[Jamii:Waliozaliwa 1990]]
[[Jamii:Arusha Women in Wiki]]
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:wachezaji mpira wanawake Kenya]]
qvkt73h2m4xytoz6ggqypuvmjhu6qpq
John Nasasira
0
147598
1235930
1217605
2022-07-27T15:59:59Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236112
1235930
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]]
wikitext
text/x-wiki
'''John Nwoono Nasasira''' ni [[mhandisi]] na [[mwanasiasa]] wa [[Uganda]]. Alikuwa hivi karibuni [[waziri]] wa [[Habari]] na [[Teknolojia]] ya [[Mawasiliano]] katika baraza la mawaziri la [[Uganda]], lakini alijiuzulu kama [[mbunge]] [[mwezi]] [[Agosti]] [[2016]], akitaja [[Afya]] mbaya."<ref>{{Cite news|url=http://www.monitor.co.ug/News/National/Nasasira-quits-MPs-race-after-27-years/688334-2819348-format-xhtml-7w9rc9z/index.html|title=Nasasira quits MPs race after 27 years|newspaper=Daily Monitor|language=en-UK|access-date=2016-11-07}}</ref> Aliteuliwa kuwa [[mbunge]] tarehe [[23 Mei]] [[2013]], akichukua nafasi ya Ruhakana Rugunda.<ref name="UKHC">{{cite web|url=http://www.ugandahighcommission.co.uk/Government/Cabinet.aspx |title=Cabinet of the Government of the Republic of Uganda As At 23 May 2013 |accessdate=4 March 2015 |date=23 May 2013 |last=UHCUK |publisher=Uganda High Commission to the United Kingdom (UHCUK) |url-status=dead |archiveurl=https://web.archive.org/web/20150402091711/http://www.ugandahighcommission.co.uk/Government/Cabinet.aspx |archivedate= 2 April 2015 }}</ref>Kabla ya hapo, kuanzia [[Mei 27 ]][[2011]] hadi [[Mei 23]] [[2013]], alifanya kazi kama mratibu Mkuu wa [[Serikali]].<ref>{{cite web | accessdate=4 March 2015|url=https://www.facebook.com/note.php?note_id=10150208384704078&comments | title=Comprehensive List of New Cabinet Appointments & Dropped Ministers | last=Uganda State House | publisher=[[Facebook.com]] | date=27 May 2011}}</ref>Tangu [[mwaka]] [[1996]] hadi [[2011]], alikuwa [[Waziri]] wa [[Ujenzi]] na Uchukuzi. Anawakilisha pia [[kaunti]] ya [[Kazo]], [[Wilaya]] ya [[Kiruhura]] katika [[Bunge]], nafasi ambayo amekuwa akifanya tangu [[mwaka]] [[1989]].<ref name="Profile">{{cite web | publisher=[[Parliament of Uganda]] (POU) | url=http://www.parliament.go.ug/mpdata/mps.hei?p=f&n=t&details=t&j=194&const=Kazo++County&dist_id=69&distname=Kiruhura | title=Profile of John Nwoono Nasasira, Member of Parliament for Kazo County, Kiruhura District | last=POU | accessdate=2022-03-16 | archivedate=2016-03-04 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20160304112749/http://www.parliament.go.ug/mpdata/mps.hei?p=f&n=t&details=t&j=194&const=Kazo++County&dist_id=69&distname=Kiruhura }}</ref>
==Elimu==
Alizaliwa [[Wilaya]] ya Kiruhura mnamo [[1 Mei]] [[1952]]. Nasamira ana shahada ya [[sayansi]] katika uhandisi wa [[sayansi]], [[shahada]] kutoka [[chuo kikuu]] cha [[Nairobi]].<ref name="Profile"/>
==Marejeo==
{{Mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanasiasa]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Uganda]]
[[Jamii:Wiki4uni]]
[[Jamii:Afrocuration Project 2022 Tanzania]]
jotbstb6pppq0ibvutyqe3jkvln5er5
Marta Stobba
0
148157
1235882
1216827
2022-07-27T13:13:38Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Marta Stobba.jpg|thumb|180px|right|Marta Stobba]]
'''Marta Stobba''' (alizaliwa [[15 Mei]] [[1986]] ) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa nchini [[poland]]. Anacheza kama [[Kiungo (michezo)|kiungo]] wa [[timu]] ya [[wanawake]] ya ''BV Cloppenburg'' huko [[Ujerumani]].<ref>[http://www.bvckicker.de/index.php?page=137 2011-12 squad] in Cloppenburg's website</ref><ref>[https://int.soccerway.com/players/marta-stobba/98915/ Statistics] in Soccerway</ref> Awali alichezea timu ya Czarni Sosnowiec, Gol Częstochowa na Unia Racibórz kwenye [[ligi]] ya ''Ekstraliga'' huko poland.<ref>[http://www.90minut.pl/liga/0/liga5149.html Statistics] in 90minut.pl</ref>Pia ni mchezaji wa [[timu ya taifa]] ya poland.
<ref>[https://web.archive.org/web/20130701110938/http://www.fifa.com/worldfootball/statisticsandrecords/players/player=264729/index.html Statistics] in [[FIFA]]'s website</ref><ref>[http://www.uefa.com/womenseuro/teams/player=67476/profile/index.html Profile] in [[UEFA]]'s website</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1986]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Poland]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
ru8521umr3z2p3zmaxuz2m9p5s4v19b
Njacko Backo
0
148882
1236152
1224229
2022-07-27T19:22:40Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Njacko Backo''' ni mwanamuziki, mshahiri, mwandishi,mtumbuizaji,mtunzi na mwalimu wa dansi kutoka [[Kamerun]]. Alizaliwa 1958 na kulelewa katika familia ya wanamuziki.<ref>{{Cite web|url=http://www.blackincanada.com/2010/11/19/njacko-backo/|title=Njacko Backo Biography|last=|first=|date=|website=Black In Canada|language=en-US|url-status=live|archive-url=|archive-date=|access-date=2019-11-21}}</ref>
Alitumia muda wake mwingi wa utotoni katika kijiji cha Bazou magharibi mwa Kamerun ambapo alitambulishwa kwenye muziki. Kama watoto wengi katika kijiji chake, alianza kucheza kibati na kutengeneza vifaa. Kwa msaada wa bibi yake, Njacko alikutana na wakuu wa kijiji waliomfundisha namna ya kucheza muziki.Alijifunza ngoma, Kalimba, Kibati na zaa koua.
==Maisha Binafsi==
Njacko aliondoka Kamerun akiwa na umri wa miaka 17.<ref>{{Cite web|url=https://worldmusiccentral.org/2016/07/16/artist-profiles-njacko-backo/|title=Artist Profiles: Njacko Backo {{!}} World Music Central.org|language=en-US|access-date=2019-11-21}}</ref> na kuendelea kusoma muziki wa kisasa na wa kitamaduni wa kiafrika wakati aliposafiri katika nchi za Afrika ya kati na Magharibi ambazo baadhi ni [[Nigeria]], [[Benin]], [[Togo]], [[Ghana]], [[Ivory Coast]], [[Burkina Faso]], [[Senegal]], [[Niger]] na [[Mali]]. Wakati akiishi [[Ulaya]], Njacko aliendelea kufanya kazi kama mwanamuziki, mchezaji dansi na mwalimu wa dansi na kufanya kazi na vikundi kama vile ''Africa Salimata'', ''Ernest Cissé'', ''Sosoba'', ''Vinjama'' na ''Mioso Mika''.<ref>[https://www.collectiveculture.ca/get-cultured-the-more-you-read "The More You Read: Los Angeles Actor & Writer, Clark Backo's IGTV series & Podcast"]. ''Collective Culture'', July 2020.</ref>
== Kazi ==
Kwa sasa Njacko anaishi [[Toronto, Ontario|Toronto,Ontario]], [[Canada]] ila awali alifikia Montréal Quebec mwaka 1989.Alifanya kazi pamoja na wanamuziki wengine wa kiafrika akiwemo hayati Boubacar Diabaté, Oumar Diayé, na mcheza dansi Zab Maboungou. Aliunda bendi yake Njacko Backo na Kalimba Kalimba mwaka 1990 na amekwisha toa [[albamu]] 11 mpaka sasa. Njacko Backo alitumbuiza katika tamasha la Montreal, Louisiana Folk na ''Houston International Jazz '' ambazo ni miongoni mwa matamasha nyingi alizozifanya. Pia amekwisha tunga muziki kwa ajili ya [[filamu]] ikiwemo filamu kama ''To Walk with Lions'', ''Born Free'' na ''Spirit in the Tree''.<ref>{{Cite web|url=https://www.tanzaniaweb.com/TanzaniaHomePage/people/person.php?ID=1293#|title=Njacko Backo, Musician|website=www.tanzaniaweb.com|access-date=2019-11-21}}{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Ukiachilia mbali muziki, Njacko anafundisha katika eneo la Toronto kupitia shirika linaloitwa Mariaposa.<ref>{{cite web|url=http://www.mariposaintheschools.ca/?page_id=17|title=Our Artists|last=|first=|author-link=|date=|work=|publisher=Mariposa in the School|format=|doi=|accessdate=November 13, 2012}}</ref>
==Marejeo==
[[Jamii:Wanamuziki wa Kamerun]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
nvh1be2btwmmq9spmh66dxo8cppeznu
1236153
1236152
2022-07-27T19:23:56Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Njacko Backo''' ni mwanamuziki, mshahiri, mwandishi,mtumbuizaji,mtunzi na mwalimu wa dansi kutoka [[Kamerun]]. Alizaliwa 1958 na kulelewa katika familia ya wanamuziki.<ref>{{Cite web|url=http://www.blackincanada.com/2010/11/19/njacko-backo/|title=Njacko Backo Biography|last=|first=|date=|website=Black In Canada|language=en-US|url-status=live|archive-url=|archive-date=|access-date=2019-11-21}}</ref>
Alitumia muda wake mwingi wa utotoni katika kijiji cha Bazou magharibi mwa Kamerun ambapo alitambulishwa kwenye muziki. Kama watoto wengi katika kijiji chake, alianza kucheza kibati na kutengeneza vifaa. Kwa msaada wa bibi yake, Njacko alikutana na wakuu wa kijiji waliomfundisha namna ya kucheza muziki.Alijifunza ngoma, Kalimba, Kibati na zaa koua.
==Maisha Binafsi==
Njacko aliondoka Kamerun akiwa na umri wa miaka 17.<ref>{{Cite web|url=https://worldmusiccentral.org/2016/07/16/artist-profiles-njacko-backo/|title=Artist Profiles: Njacko Backo {{!}} World Music Central.org|language=en-US|access-date=2019-11-21}}</ref> na kuendelea kusoma muziki wa kisasa na wa kitamaduni wa kiafrika wakati aliposafiri katika nchi za Afrika ya kati na Magharibi ambazo baadhi ni [[Nigeria]], [[Benin]], [[Togo]], [[Ghana]], [[Ivory Coast]], [[Burkina Faso]], [[Senegal]], [[Niger]] na [[Mali]]. Wakati akiishi [[Ulaya]], Njacko aliendelea kufanya kazi kama mwanamuziki, mchezaji dansi na mwalimu wa dansi na kufanya kazi na vikundi kama vile ''Africa Salimata'', ''Ernest Cissé'', ''Sosoba'', ''Vinjama'' na ''Mioso Mika''.<ref>[https://www.collectiveculture.ca/get-cultured-the-more-you-read "The More You Read: Los Angeles Actor & Writer, Clark Backo's IGTV series & Podcast"]. ''Collective Culture'', July 2020.</ref>
== Kazi ==
Kwa sasa Njacko anaishi [[Toronto, Ontario|Toronto,Ontario]], [[Canada]] ila awali alifikia Montréal Quebec mwaka 1989.Alifanya kazi pamoja na wanamuziki wengine wa kiafrika akiwemo hayati Boubacar Diabaté, Oumar Diayé, na mcheza dansi Zab Maboungou. Aliunda bendi yake Njacko Backo na Kalimba Kalimba mwaka 1990 na amekwisha toa [[albamu]] 11 mpaka sasa. Njacko Backo alitumbuiza katika tamasha la Montreal, Louisiana Folk na ''Houston International Jazz '' ambazo ni miongoni mwa matamasha nyingi alizozifanya. Pia amekwisha tunga muziki kwa ajili ya [[filamu]] ikiwemo filamu kama ''To Walk with Lions'', ''Born Free'' na ''Spirit in the Tree''.<ref>{{Cite web|url=https://www.tanzaniaweb.com/TanzaniaHomePage/people/person.php?ID=1293#|title=Njacko Backo, Musician|website=www.tanzaniaweb.com|access-date=2019-11-21}}</ref> Ukiachilia mbali muziki, Njacko anafundisha katika eneo la Toronto kupitia shirika linaloitwa Mariaposa.<ref>{{cite web|url=http://www.mariposaintheschools.ca/?page_id=17|title=Our Artists|last=|first=|author-link=|date=|work=|publisher=Mariposa in the School|format=|doi=|accessdate=November 13, 2012}}</ref>
==Marejeo==
[[Jamii:Wanamuziki wa Kamerun]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
rmnz31geuwhtwwrd9m7oao8fs9yk09z
Appietus
0
148883
1236172
1224557
2022-07-27T22:43:22Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Appiah Dankwah''', maarufu kama Appietus (aliyezaliwa 12 Machi 1977) ni mwigizaji mwanamuziki wa [[Ghana]], mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti anayeishi [[Accra]], Ghana. Jina Appietus lilipata umaarufu kutokana na sahihi yake "Appietus in the mix". Walakini, iliundwa kutoka kwa kifungu cha maneno "Zana za Appiahs". Amekuwa mshindi wa tuzo sita za [[tasnia ya muziki]] katika kipindi cha miaka 10 tangu mwanzo wa taaluma yake. Alishinda tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Muziki wa Ghana 2015 na Mhandisi wa Sauti, Tuzo za Sun Shine Music Awards 2010 za Mhandisi Bora wa Sauti na Tuzo za Muziki za [[Uingereza]] za [[Ghana]], Mhandisi Bora wa Sauti mwaka wa 2008. Kazi yake ya ajabu pia imempelekea kuwakilisha nchi katika baadhi ya programu za kimataifa ikijumuisha WOMEX 2013 huko Wales, [[Uingereza]] na Worldtronics huko [[Berlin]], [[Ujerumani]] 2012.
==Maisha, taaluma na mtindo==
=== Maisha ya awali ===
Appiah Dankwah alizaliwa na Osei Poku na Susana Appiah<ref name="ghanaweb1"/> huko [[Accra]], lakini kutoka [[Adjumani|Aduman]] katika [[Mkoa wa Ashanti]], Appietus ameolewa na Freda Appiah Dankwah akiwa na wanne. watoto (Nkunim Appiah Dankwah, Nshira Appiah Dankwah, Enigye Appiah Dankwah na Ayeyi Appiah Dankwah).<ref name="ghanabase2007" /> Alisoma Shule ya Sekondari ya Ebenezer huko Dannsoman (Darasa la 1993). Akiwa na umri mdogo, alikuwa na shauku ya kucheza ala na alitumia kitu chochote alichokutana nacho kutoa sauti. Baba yake alimnunulia [[kinanda]] chake cha kwanza ya kuchezea ili kukuza talanta yake. Appietus alichukua fursa hiyo kujifunza kucheza ala katika [[Kanisa]] la Four Square Gospel Church, Mount Olivet Methodist Church na Alive Chapel Intentional na alianza kujifunza misingi ya uhandisi wa sauti katika Studio za Fredma Adabraka, Accra, mwaka wa 1995.<ref name= "ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" />
=== Kazi ===
Aliendelea kukuza utaalam wake na kuboresha sifa zake za uhandisi wa sauti kutoka kwa Fredma Studios huko Adabraka huko Accra.<ref name="ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" /> Baadaye alihamia Kay's Frequency katika Asylum Down ambako alihamia zaidi. aliboresha ujuzi wake wa utayarishaji katika mwaka wa 1998. Pia alifanya kazi katika Kampsite Studios katika maghorofa ya Dansoman SSNIT katika mwaka wa 2003 baada ya kuhitimu kutoka Kay's Frequency. Hatimaye alianzisha studio yake (Creative Studioz) huko Dansoman Sahara mwaka wa 2006. Creative Studioz ilianza kama ushirikiano kati ya Amandzeba na Appietus hadi mkataba ulipoisha Appietus alipochukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji hadi sasa.<ref>{ {cite web|title=Appietus katika kurekebisha, kiko wapi kipindi chake cha uhalisia cha muziki?|url=http://www.modernghana.com/music/6512/3/appietus-in-a-fix-where-is-his -music-reality-show.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modern Ghana Media Communication Ltd.|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>Amepata fursa ya kuwa kwenye jopo la Aikoni za Vodafone mwaka wa 2012 na 2013.<ref>{{cite web|title=Eazzy anacheza jaji mgeni kwenye Icons za Vodafone + Nini Gena West na Appietus wanafikiria kuhusu Toleo la Mtaa!|url =http://www.ameyawdebrah.com/eazzy-plays-guest-judge-on-vodafone-icons-what-gena-west-and-appietus-think-about-the-street-edition/|website=www. ameyawdebrah.com|publisher=Ameyaw Debrah|accessdate=8 Aprili 2015}}</ref><ref>{{cite web|title=Aikoni za Vodafone: Toleo la Mtaa: Zakia and Seed evicted|url=http://www.viasat1{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} .com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|publisher=ViaSat 1|accessdate=8 Aprili 2015|archive-url=https://web.archive.org/ web/20160304231335/http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|archive-date=4 {{Wayback|url=http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs{{!}}archive-date=4 |date=20160304231335 }} Machi 2016=deurl} }</ref> Aliongoza kundi lililoshinda Icons za Vodafone za 2012 na ambapo msanii mashuhuri Wiyalala ametokea.
Mnamo 2014, Appietus alishirikiana na COPILOT Music and Sound kwenye jalada la Carlinhos Brown "Maria Caipirnha (Samba da Bahia)". Mpangilio huu uliwakilisha ala za muziki na mitindo ya [[Ghana]] kwa [[Visa Inc.|Visa's]] "Samba of the World", kampeni ya kidijitali ya Kombe la Dunia la FIFA la 2014.<ref>{{Cite web|title=Appietus,|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1001&mode=biography|website=www.ghanaweb.com|access-date=2020-05-26}}< /rejea>
=== Mtindo ===
Appietus ana uwezo mwingi katika kazi yake na siku zote amependelea kumpa Mungu heshima juu ya mafanikio ya kazi yake.<ref>{{cite web|title=Appietus in the Mix|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage /audio/artikel.php?ID=191777|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015|archivedate=2021-04-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210422110329/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/}}</ref> Umahiri wake umethibitishwa katika utayarishaji wake, kutokana na aina mbalimbali anazotunga na (au) kumbukumbu. Mtindo wake siku zote umekuwa wa kuendana na mtiririko wa mitindo gani, amerekodi aina kadhaa za muziki (Afro-Pop, Hi-Life, [[Reggae]], [[Injili]],Jumba la Ngoma African Traditional, Hiplife, Azonto), ambayo inathibitisha uwezo wake wa kurekebisha kwa urahisi hitaji linapotokea. Kutoka kwa taaluma yake kuu kama mhandisi wa sauti pia amejidhihirisha katika fani zingine kama vile kuimba na kuigiza. )Castro.<ref>{{cite web|title=Appietus: Niko tayari kuimba|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID=314406|website= www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref> Ameongoza zaidi tasnia hii kwa kuanzisha kipindi cha uhalisia <nowiki>''Appietus Idolz''</nowiki>, ambacho kililenga kuwinda. vipaji vya muziki.<ref name="Appietus Idolz finals in February">{{cite web|title=Fainali za Appietus Idolz mwezi Februari|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID= 137581|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
==== Appietus Idolz ====
Appietus Idolz, ilikuwa onyesho la kwanza kabisa la ukweli kuandaliwa nchini [[Ghana]] na mhandisi wa sauti. Wazo lilikuwa kuzalisha vipaji halisi ambao walikuwa na uwezo wa kufanya muziki wao wenyewe baada ya mashindano. Kipindi hicho hakikuwaruhusu washiriki kuimba nyimbo za wasanii wengine mashuhuri bali waimbe wimbo ambao walikuwa wametunga awali kulingana na mapigo ya Apietus.<ref>{{Cite web|url = http://www.ghanabase.com/news/ 2007/1471.asp|title = Appietus Idolz Imezinduliwa|date = 22 Julai 2007|accessdate = 28 Machi 2015|tovuti = ghanabase.com|publisher = Ghanabase|last = |first = |archivedate = 2020-05-13|archiveurl = https://web.archive.org/web/20200513142620/http://www.ghanabase.com/news/}}</ref> Msukumo wa ukweli huu onyesho lilitoka kwa mustakabali wa [[Tasnia ya muziki|tasnia ya muziki,]] kwani Appietus alitarajia [[rapa]] wachache ambao walihitaji mtu wa kuwatayarisha. Baada ya kukutana na watu kadhaa waliotamani kuwatayarisha, aliunda wazo la kutoa vipaji bora zaidi ya wote waliowakilisha kwenye reality show yake.<ref name="Appietus Idolz finals in February"/><ref>{ {cite web|title=Appietus aanzisha onyesho lake la uhalisia|url=http://www.ghanabase.com/news/2007/1434.asp|website=www.ghanabase.com|publisher=GhanaBase|accessdate=27{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Machi 2015}}</ref> Mshindi wa kipindi TJ, kwa sasa anatayarishwa na Appietus chini ya lebo ya Creative Records.<ref name="Appietus"/><ref>{{cite web |title=Tj I Love You Winner Ya appietus idolz iliyo na appietus |url=http: //mp3.linkmuzik.com/post/music/tj_i_love_you_winner_of_i_you_winner_of_featuring_appietus/ |Mchapishaji=28 Machi 2015 }}</ref>
==== Mkusanyiko wa Appietus ====
''Appietus Compilation'' ni mchanganyiko wa mastaa bora wa muziki wa Ghana kwenye jukwaa moja. Appietus hushirikiana na safu ya nyota za muziki kwenye mkusanyiko mmoja. Kiini cha mkusanyo huo kilikuwa ni yeye kuweka pamoja nyimbo ambazo zitaacha midundo isiyoisha katika akili za watumiaji. Ndani ya kipindi cha miaka saba (2008–2015) ametoa makusanyo matatu: ''The Revolution'', ''Tip of the Iceberg'', na ''Appietus Compilation Volume 3 (Azonto Fiesta)''.<ref> {{cite web|title=APPIETUS COMPILATION OUT|url=http://www.modernghana.com/music/11557/3/appietus-compilation-out.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modernghana|accessdate =30 Machi 2015}}</ref>
==Viungo vya nje==
*[https://www.facebook.com/AppietusBeatz?ref=hl Appietus Ukurasa wa Facebook]
*[https://mobile.twitter.com/AppietusInDaMix?s=15 Ukurasa wa Twitter wa Appietus]
*[https://i.instagram.com/appietusmix Ukurasa wa Instagram wa Appietus]
*[https://www.youtube.com/watch?v=AU0RS4xp9TU Mahojiano ya Appietus na DJ Abrantie wa Capital Radio]
*[http://www.bbc.co.uk/programmes/p01mq62z Appietus anazungumza na DJ Edu wa BBC]
*[https://www.youtube.com/watch?v=uOrdSLXrJ6o#t=13 TJ "Trust Jah"- Dem Try ( Mshindi wa The Appietus Idolz Msimu wa 1 )]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
cqw9dj4ryh37ugg44d93cgb18xu1ovj
1236173
1236172
2022-07-27T22:47:28Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Appiah Dankwah''', maarufu kama Appietus (aliyezaliwa 12 Machi 1977) ni mwigizaji mwanamuziki wa [[Ghana]], mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti anayeishi [[Accra]], Ghana. Jina Appietus lilipata umaarufu kutokana na sahihi yake "Appietus in the mix". Walakini, iliundwa kutoka kwa kifungu cha maneno "Zana za Appiahs". Amekuwa mshindi wa tuzo sita za [[tasnia ya muziki]] katika kipindi cha miaka 10 tangu mwanzo wa taaluma yake. Alishinda tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Muziki wa Ghana 2015 na Mhandisi wa Sauti, Tuzo za Sun Shine Music Awards 2010 za Mhandisi Bora wa Sauti na Tuzo za Muziki za [[Uingereza]] za [[Ghana]], Mhandisi Bora wa Sauti mwaka wa 2008. Kazi yake ya ajabu pia imempelekea kuwakilisha nchi katika baadhi ya programu za kimataifa ikijumuisha WOMEX 2013 huko Wales, [[Uingereza]] na Worldtronics huko [[Berlin]], [[Ujerumani]] 2012.
==Maisha, taaluma na mtindo==
=== Maisha ya awali ===
Appiah Dankwah alizaliwa na Osei Poku na Susana Appiah<ref name="ghanaweb1"/> huko [[Accra]], lakini kutoka [[Adjumani|Aduman]] katika [[Mkoa wa Ashanti]], Appietus ameolewa na Freda Appiah Dankwah akiwa na wanne. watoto (Nkunim Appiah Dankwah, Nshira Appiah Dankwah, Enigye Appiah Dankwah na Ayeyi Appiah Dankwah).<ref name="ghanabase2007" /> Alisoma Shule ya Sekondari ya Ebenezer huko Dannsoman (Darasa la 1993). Akiwa na umri mdogo, alikuwa na shauku ya kucheza ala na alitumia kitu chochote alichokutana nacho kutoa sauti. Baba yake alimnunulia [[kinanda]] chake cha kwanza ya kuchezea ili kukuza talanta yake. Appietus alichukua fursa hiyo kujifunza kucheza ala katika [[Kanisa]] la Four Square Gospel Church, Mount Olivet Methodist Church na Alive Chapel Intentional na alianza kujifunza misingi ya uhandisi wa sauti katika Studio za Fredma Adabraka, Accra, mwaka wa 1995.<ref name= "ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" />
=== Kazi ===
Aliendelea kukuza utaalam wake na kuboresha sifa zake za uhandisi wa sauti kutoka kwa Fredma Studios huko Adabraka huko Accra.<ref name="ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" /> Baadaye alihamia Kay's Frequency katika Asylum Down ambako alihamia zaidi. aliboresha ujuzi wake wa utayarishaji katika mwaka wa 1998. Pia alifanya kazi katika Kampsite Studios katika maghorofa ya Dansoman SSNIT katika mwaka wa 2003 baada ya kuhitimu kutoka Kay's Frequency. Hatimaye alianzisha studio yake (Creative Studioz) huko Dansoman Sahara mwaka wa 2006. Creative Studioz ilianza kama ushirikiano kati ya Amandzeba na Appietus hadi mkataba ulipoisha Appietus alipochukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji hadi sasa.<ref>{ {cite web|title=Appietus katika kurekebisha, kiko wapi kipindi chake cha uhalisia cha muziki?|url=http://www.modernghana.com/music/6512/3/appietus-in-a-fix-where-is-his -music-reality-show.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modern Ghana Media Communication Ltd.|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>Amepata fursa ya kuwa kwenye jopo la Aikoni za Vodafone mwaka wa 2012 na 2013.<ref>{{cite web|title=Eazzy anacheza jaji mgeni kwenye Icons za Vodafone + Nini Gena West na Appietus wanafikiria kuhusu Toleo la Mtaa!|url =http://www.ameyawdebrah.com/eazzy-plays-guest-judge-on-vodafone-icons-what-gena-west-and-appietus-think-about-the-street-edition/|website=www. ameyawdebrah.com|publisher=Ameyaw Debrah|accessdate=8 Aprili 2015}}</ref><ref>{{cite web|title=Aikoni za Vodafone: Toleo la Mtaa: Zakia and Seed evicted|url=http://www.viasat1{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} .com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|publisher=ViaSat 1|accessdate=8 Aprili 2015|archive-url=https://web.archive.org/ web/20160304231335/http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|archive-date=4 {{Wayback|url=http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs{{!}}archive-date=4 |date=20160304231335 }} Machi 2016=deurl} }</ref> Aliongoza kundi lililoshinda Icons za Vodafone za 2012 na ambapo msanii mashuhuri Wiyalala ametokea.
Mnamo 2014, Appietus alishirikiana na COPILOT Music and Sound kwenye jalada la Carlinhos Brown "Maria Caipirnha (Samba da Bahia)". Mpangilio huu uliwakilisha ala za muziki na mitindo ya [[Ghana]] kwa [[Visa Inc.|Visa's]] "Samba of the World", kampeni ya kidijitali ya Kombe la Dunia la FIFA la 2014.<ref>{{Cite web|title=Appietus,|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1001&mode=biography|website=www.ghanaweb.com|access-date=2020-05-26}}< /rejea>
=== Mtindo ===
Appietus ana uwezo mwingi katika kazi yake na siku zote amependelea kumpa Mungu heshima juu ya mafanikio ya kazi yake.<ref>{{cite web|title=Appietus in the Mix|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage /audio/artikel.php?ID=191777|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015|archivedate=2021-04-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210422110329/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/}}</ref> Umahiri wake umethibitishwa katika utayarishaji wake, kutokana na aina mbalimbali anazotunga na (au) kumbukumbu. Mtindo wake siku zote umekuwa wa kuendana na mtiririko wa mitindo gani, amerekodi aina kadhaa za muziki (Afro-Pop, Hi-Life, [[Reggae]], [[Injili]],Jumba la Ngoma African Traditional, Hiplife, Azonto), ambayo inathibitisha uwezo wake wa kurekebisha kwa urahisi hitaji linapotokea. Kutoka kwa taaluma yake kuu kama mhandisi wa sauti pia amejidhihirisha katika fani zingine kama vile kuimba na kuigiza. )Castro.<ref>{{cite web|title=Appietus: Niko tayari kuimba|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID=314406|website= www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref> Ameongoza zaidi tasnia hii kwa kuanzisha kipindi cha uhalisia <nowiki>''Appietus Idolz''</nowiki>, ambacho kililenga kuwinda. vipaji vya muziki.<ref name="Appietus Idolz finals in February">{{cite web|title=Fainali za Appietus Idolz mwezi Februari|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID= 137581|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>
==== Appietus Idolz ====
Appietus Idolz, ilikuwa onyesho la kwanza kabisa la ukweli kuandaliwa nchini [[Ghana]] na mhandisi wa sauti. Wazo lilikuwa kuzalisha vipaji halisi ambao walikuwa na uwezo wa kufanya muziki wao wenyewe baada ya mashindano. Kipindi hicho hakikuwaruhusu washiriki kuimba nyimbo za wasanii wengine mashuhuri bali waimbe wimbo ambao walikuwa wametunga awali kulingana na mapigo ya Apietus.<ref>{{Cite web|url = http://www.ghanabase.com/news/ 2007/1471.asp|title = Appietus Idolz Imezinduliwa|date = 22 Julai 2007|accessdate = 28 Machi 2015|tovuti = ghanabase.com|publisher = Ghanabase|last = |first = |archivedate = 2020-05-13|archiveurl = https://web.archive.org/web/20200513142620/http://www.ghanabase.com/news/}}</ref> Msukumo wa ukweli huu onyesho lilitoka kwa mustakabali wa [[Tasnia ya muziki|tasnia ya muziki,]] kwani Appietus alitarajia [[rapa]] wachache ambao walihitaji mtu wa kuwatayarisha. Baada ya kukutana na watu kadhaa waliotamani kuwatayarisha, aliunda wazo la kutoa vipaji bora zaidi ya wote waliowakilisha kwenye reality show yake.<ref name="Appietus Idolz finals in February"/><ref>{ {cite web|title=Appietus aanzisha onyesho lake la uhalisia|url=http://www.ghanabase.com/news/2007/1434.asp|website=www.ghanabase.com|publisher=GhanaBase|accessdate=27{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Machi 2015}}</ref> Mshindi wa kipindi TJ, kwa sasa anatayarishwa na Appietus chini ya lebo ya Creative Records.<ref name="Appietus"/><ref>{{cite web |title=Tj I Love You Winner Ya appietus idolz iliyo na appietus |url=http: //mp3.linkmuzik.com/post/music/tj_i_love_you_winner_of_i_you_winner_of_featuring_appietus/ |Mchapishaji=28 Machi 2015 }}</ref>
==== Mkusanyiko wa Appietus ====
''Appietus Compilation'' ni mchanganyiko wa mastaa bora wa muziki wa Ghana kwenye jukwaa moja. Appietus hushirikiana na safu ya nyota za muziki kwenye mkusanyiko mmoja. Kiini cha mkusanyo huo kilikuwa ni yeye kuweka pamoja nyimbo ambazo zitaacha midundo isiyoisha katika akili za watumiaji. Ndani ya kipindi cha miaka saba (2008–2015) ametoa makusanyo matatu: ''The Revolution'', ''Tip of the Iceberg'', na ''Appietus Compilation Volume 3 (Azonto Fiesta)''.<ref> {{cite web|title=APPIETUS COMPILATION OUT|url=http://www.modernghana.com/music/11557/3/appietus-compilation-out.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modernghana|accessdate =30 Machi 2015}}</ref>
==Viungo vya nje==
*[https://www.facebook.com/AppietusBeatz?ref=hl Appietus Ukurasa wa Facebook]
*[https://mobile.twitter.com/AppietusInDaMix?s=15 Ukurasa wa Twitter wa Appietus]
*[https://i.instagram.com/appietusmix Ukurasa wa Instagram wa Appietus]
*[https://www.youtube.com/watch?v=AU0RS4xp9TU Mahojiano ya Appietus na DJ Abrantie wa Capital Radio]
*[http://www.bbc.co.uk/programmes/p01mq62z Appietus anazungumza na DJ Edu wa BBC]
*[https://www.youtube.com/watch?v=uOrdSLXrJ6o#t=13 TJ "Trust Jah"- Dem Try ( Mshindi wa The Appietus Idolz Msimu wa 1 )]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
qv3n115fe1vfshyd7gdpdpfijxmib2d
1236174
1236173
2022-07-27T22:52:03Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Appiah Dankwah''', maarufu kama Appietus (aliyezaliwa 12 Machi 1977) ni mwigizaji mwanamuziki wa [[Ghana]], mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti anayeishi [[Accra]], Ghana. Jina Appietus lilipata umaarufu kutokana na sahihi yake "Appietus in the mix". Walakini, iliundwa kutoka kwa kifungu cha maneno "Zana za Appiahs". Amekuwa mshindi wa tuzo sita za [[tasnia ya muziki]] katika kipindi cha miaka 10 tangu mwanzo wa taaluma yake. Alishinda tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Muziki wa Ghana 2015 na Mhandisi wa Sauti, Tuzo za Sun Shine Music Awards 2010 za Mhandisi Bora wa Sauti na Tuzo za Muziki za [[Uingereza]] za [[Ghana]], Mhandisi Bora wa Sauti mwaka wa 2008. Kazi yake ya ajabu pia imempelekea kuwakilisha nchi katika baadhi ya programu za kimataifa ikijumuisha WOMEX 2013 huko Wales, [[Uingereza]] na Worldtronics huko [[Berlin]], [[Ujerumani]] 2012.
==Maisha, taaluma na mtindo==
=== Maisha ya awali ===
Appiah Dankwah alizaliwa na Osei Poku na Susana Appiah<ref name="ghanaweb1"/> huko [[Accra]], lakini kutoka [[Adjumani|Aduman]] katika [[Mkoa wa Ashanti]], Appietus ameolewa na Freda Appiah Dankwah akiwa na wanne. watoto (Nkunim Appiah Dankwah, Nshira Appiah Dankwah, Enigye Appiah Dankwah na Ayeyi Appiah Dankwah).<ref name="ghanabase2007" /> Alisoma Shule ya Sekondari ya Ebenezer huko Dannsoman (Darasa la 1993). Akiwa na umri mdogo, alikuwa na shauku ya kucheza ala na alitumia kitu chochote alichokutana nacho kutoa sauti. Baba yake alimnunulia [[kinanda]] chake cha kwanza ya kuchezea ili kukuza talanta yake. Appietus alichukua fursa hiyo kujifunza kucheza ala katika [[Kanisa]] la Four Square Gospel Church, Mount Olivet Methodist Church na Alive Chapel Intentional na alianza kujifunza misingi ya uhandisi wa sauti katika Studio za Fredma Adabraka, Accra, mwaka wa 1995.<ref name= "ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" />
=== Kazi ===
Aliendelea kukuza utaalam wake na kuboresha sifa zake za uhandisi wa sauti kutoka kwa Fredma Studios huko Adabraka huko Accra.<ref name="ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" /> Baadaye alihamia Kay's Frequency katika Asylum Down ambako alihamia zaidi. aliboresha ujuzi wake wa utayarishaji katika mwaka wa 1998. Pia alifanya kazi katika Kampsite Studios katika maghorofa ya Dansoman SSNIT katika mwaka wa 2003 baada ya kuhitimu kutoka Kay's Frequency. Hatimaye alianzisha studio yake (Creative Studioz) huko Dansoman Sahara mwaka wa 2006. Creative Studioz ilianza kama ushirikiano kati ya Amandzeba na Appietus hadi mkataba ulipoisha Appietus alipochukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji hadi sasa.<ref>{{cite web|title=Appietus katika kurekebisha, kiko wapi kipindi chake cha uhalisia cha muziki?|url=http://www.modernghana.com/music/6512/3/appietus-in-a-fix-where-is-his -music-reality-show.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modern Ghana Media Communication Ltd.|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>Amepata fursa ya kuwa kwenye jopo la Aikoni za Vodafone mwaka wa 2012 na 2013.<ref>{{cite web|title=Eazzy anacheza jaji mgeni kwenye Icons za Vodafone + Nini Gena West na Appietus wanafikiria kuhusu Toleo la Mtaa!|url =http://www.ameyawdebrah.com/eazzy-plays-guest-judge-on-vodafone-icons-what-gena-west-and-appietus-think-about-the-street-edition/|website=www. ameyawdebrah.com|publisher=Ameyaw Debrah|accessdate=8 Aprili 2015}}</ref><ref>{{cite web|title=Aikoni za Vodafone: Toleo la Mtaa: Zakia and Seed evicted|url=http://www.viasat1 .com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|publisher=ViaSat 1|accessdate=8 Aprili 2015|archive-url=https://web.archive.org/ web/20160304231335/http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|archive-date=4 {{Wayback|url=http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs{{!}}archive-date=4 |date=20160304231335 }} Machi 2016=deurl} }</ref> Aliongoza kundi lililoshinda Icons za Vodafone za 2012 na ambapo msanii mashuhuri Wiyalala ametokea.
Mnamo 2014, Appietus alishirikiana na COPILOT Music and Sound kwenye jalada la Carlinhos Brown "Maria Caipirnha (Samba da Bahia)". Mpangilio huu uliwakilisha ala za muziki na mitindo ya [[Ghana]] kwa [[Visa Inc.|Visa's]] "Samba of the World", kampeni ya kidijitali ya Kombe la Dunia la FIFA la 2014.<ref>{{Cite web|title=Appietus,|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1001&mode=biography|website=www.ghanaweb.com|access-date=2020-05-26}}<ref>
=== Mtindo ===
Appietus ana uwezo mwingi katika kazi yake na siku zote amependelea kumpa Mungu heshima juu ya mafanikio ya kazi yake.<ref>{{cite web|title=Appietus in the Mix|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage /audio/artikel.php?ID=191777|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015|archivedate=2021-04-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210422110329/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/}}</ref> Umahiri wake umethibitishwa katika utayarishaji wake, kutokana na aina mbalimbali anazotunga na (au) kumbukumbu. Mtindo wake siku zote umekuwa wa kuendana na mtiririko wa mitindo gani, amerekodi aina kadhaa za muziki (Afro-Pop, Hi-Life, [[Reggae]], [[Injili]],Jumba la Ngoma African Traditional, Hiplife, Azonto), ambayo inathibitisha uwezo wake wa kurekebisha kwa urahisi hitaji linapotokea. Kutoka kwa taaluma yake kuu kama mhandisi wa sauti pia amejidhihirisha katika fani zingine kama vile kuimba na kuigiza. )Castro.<ref>{{cite web|title=Appietus: Niko tayari kuimba|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID=314406|website= www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref> Ameongoza zaidi tasnia hii kwa kuanzisha kipindi cha uhalisia <nowiki>''Appietus Idolz''</nowiki>, ambacho kililenga kuwinda. vipaji vya muziki.<ref name="Appietus Idolz finals in February">{{cite web|title=Fainali za Appietus Idolz mwezi Februari|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID= 137581|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>
==== Appietus Idolz ====
Appietus Idolz, ilikuwa onyesho la kwanza kabisa la ukweli kuandaliwa nchini [[Ghana]] na mhandisi wa sauti. Wazo lilikuwa kuzalisha vipaji halisi ambao walikuwa na uwezo wa kufanya muziki wao wenyewe baada ya mashindano. Kipindi hicho hakikuwaruhusu washiriki kuimba nyimbo za wasanii wengine mashuhuri bali waimbe wimbo ambao walikuwa wametunga awali kulingana na mapigo ya Apietus.<ref>{{Cite web|url = http://www.ghanabase.com/news/ 2007/1471.asp|title = Appietus Idolz Imezinduliwa|date = 22 Julai 2007|accessdate = 28 Machi 2015|tovuti = ghanabase.com|publisher = Ghanabase|last = |first = |archivedate = 2020-05-13|archiveurl = https://web.archive.org/web/20200513142620/http://www.ghanabase.com/news/}}</ref> Msukumo wa ukweli huu onyesho lilitoka kwa mustakabali wa [[Tasnia ya muziki|tasnia ya muziki,]] kwani Appietus alitarajia [[rapa]] wachache ambao walihitaji mtu wa kuwatayarisha. Baada ya kukutana na watu kadhaa waliotamani kuwatayarisha, aliunda wazo la kutoa vipaji bora zaidi ya wote waliowakilisha kwenye reality show yake.<ref name="Appietus Idolz finals in February"/><ref>{ {cite web|title=Appietus aanzisha onyesho lake la uhalisia|url=http://www.ghanabase.com/news/2007/1434.asp|website=www.ghanabase.com|publisher=GhanaBase|accessdate=27{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Machi 2015}}</ref> Mshindi wa kipindi TJ, kwa sasa anatayarishwa na Appietus chini ya lebo ya Creative Records.<ref name="Appietus"/><ref>{{cite web |title=Tj I Love You Winner Ya appietus idolz iliyo na appietus |url=http: //mp3.linkmuzik.com/post/music/tj_i_love_you_winner_of_i_you_winner_of_featuring_appietus/ |Mchapishaji=28 Machi 2015 }}</ref>
==== Mkusanyiko wa Appietus ====
''Appietus Compilation'' ni mchanganyiko wa mastaa bora wa muziki wa Ghana kwenye jukwaa moja. Appietus hushirikiana na safu ya nyota za muziki kwenye mkusanyiko mmoja. Kiini cha mkusanyo huo kilikuwa ni yeye kuweka pamoja nyimbo ambazo zitaacha midundo isiyoisha katika akili za watumiaji. Ndani ya kipindi cha miaka saba (2008–2015) ametoa makusanyo matatu: ''The Revolution'', ''Tip of the Iceberg'', na ''Appietus Compilation Volume 3 (Azonto Fiesta)''.<ref> {{cite web|title=APPIETUS COMPILATION OUT|url=http://www.modernghana.com/music/11557/3/appietus-compilation-out.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modernghana|accessdate =30 Machi 2015}}</ref>
==Viungo vya nje==
*[https://www.facebook.com/AppietusBeatz?ref=hl Appietus Ukurasa wa Facebook]
*[https://mobile.twitter.com/AppietusInDaMix?s=15 Ukurasa wa Twitter wa Appietus]
*[https://i.instagram.com/appietusmix Ukurasa wa Instagram wa Appietus]
*[https://www.youtube.com/watch?v=AU0RS4xp9TU Mahojiano ya Appietus na DJ Abrantie wa Capital Radio]
*[http://www.bbc.co.uk/programmes/p01mq62z Appietus anazungumza na DJ Edu wa BBC]
*[https://www.youtube.com/watch?v=uOrdSLXrJ6o#t=13 TJ "Trust Jah"- Dem Try ( Mshindi wa The Appietus Idolz Msimu wa 1 )]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
qd8og57j3fcuekvm9mdy2e04yr93iuo
1236175
1236174
2022-07-27T22:55:37Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Appiah Dankwah''', maarufu kama Appietus (aliyezaliwa 12 Machi 1977) ni mwigizaji mwanamuziki wa [[Ghana]], mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti anayeishi [[Accra]], Ghana. Jina Appietus lilipata umaarufu kutokana na sahihi yake "Appietus in the mix". Walakini, iliundwa kutoka kwa kifungu cha maneno "Zana za Appiahs". Amekuwa mshindi wa tuzo sita za [[tasnia ya muziki]] katika kipindi cha miaka 10 tangu mwanzo wa taaluma yake. Alishinda tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Muziki wa Ghana 2015 na Mhandisi wa Sauti, Tuzo za Sun Shine Music Awards 2010 za Mhandisi Bora wa Sauti na Tuzo za Muziki za [[Uingereza]] za [[Ghana]], Mhandisi Bora wa Sauti mwaka wa 2008. Kazi yake ya ajabu pia imempelekea kuwakilisha nchi katika baadhi ya programu za kimataifa ikijumuisha WOMEX 2013 huko Wales, [[Uingereza]] na Worldtronics huko [[Berlin]], [[Ujerumani]] 2012.
==Maisha, taaluma na mtindo==
=== Maisha ya awali ===
Appiah Dankwah alizaliwa na Osei Poku na Susana Appiah<ref name="ghanaweb1"/> huko [[Accra]], lakini kutoka [[Adjumani|Aduman]] katika [[Mkoa wa Ashanti]], Appietus ameolewa na Freda Appiah Dankwah akiwa na wanne. watoto (Nkunim Appiah Dankwah, Nshira Appiah Dankwah, Enigye Appiah Dankwah na Ayeyi Appiah Dankwah).<ref name="ghanabase2007" /> Alisoma Shule ya Sekondari ya Ebenezer huko Dannsoman (Darasa la 1993). Akiwa na umri mdogo, alikuwa na shauku ya kucheza ala na alitumia kitu chochote alichokutana nacho kutoa sauti. Baba yake alimnunulia [[kinanda]] chake cha kwanza ya kuchezea ili kukuza talanta yake. Appietus alichukua fursa hiyo kujifunza kucheza ala katika [[Kanisa]] la Four Square Gospel Church, Mount Olivet Methodist Church na Alive Chapel Intentional na alianza kujifunza misingi ya uhandisi wa sauti katika Studio za Fredma Adabraka, Accra, mwaka wa 1995.<ref name= "ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" />
=== Kazi ===
Aliendelea kukuza utaalam wake na kuboresha sifa zake za uhandisi wa sauti kutoka kwa Fredma Studios huko Adabraka huko Accra.<ref name="ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" /> Baadaye alihamia Kay's Frequency katika Asylum Down ambako alihamia zaidi. aliboresha ujuzi wake wa utayarishaji katika mwaka wa 1998. Pia alifanya kazi katika Kampsite Studios katika maghorofa ya Dansoman SSNIT katika mwaka wa 2003 baada ya kuhitimu kutoka Kay's Frequency. Hatimaye alianzisha studio yake (Creative Studioz) huko Dansoman Sahara mwaka wa 2006. Creative Studioz ilianza kama ushirikiano kati ya Amandzeba na Appietus hadi mkataba ulipoisha Appietus alipochukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji hadi sasa.<ref>{{cite web|title=Appietus katika kurekebisha, kiko wapi kipindi chake cha uhalisia cha muziki?|url=http://www.modernghana.com/music/6512/3/appietus-in-a-fix-where-is-his -music-reality-show.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modern Ghana Media Communication Ltd.|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>Amepata fursa ya kuwa kwenye jopo la Aikoni za Vodafone mwaka wa 2012 na 2013.<ref>{{cite web|title=Eazzy anacheza jaji mgeni kwenye Icons za Vodafone + Nini Gena West na Appietus wanafikiria kuhusu Toleo la Mtaa!|url =http://www.ameyawdebrah.com/eazzy-plays-guest-judge-on-vodafone-icons-what-gena-west-and-appietus-think-about-the-street-edition/|website=www. ameyawdebrah.com|publisher=Ameyaw Debrah|accessdate=8 Aprili 2015}}</ref><ref>{{cite web|title=Aikoni za Vodafone: Toleo la Mtaa: Zakia and Seed evicted|url=http://www.viasat1 .com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|publisher=ViaSat 1|accessdate=8 Aprili 2015|archive-url=https://web.archive.org/ web/20160304231335/http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|archive-date=4 {{Wayback|url=http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs{{!}}archive-date=4 |date=20160304231335 }} Machi 2016=deurl} }</ref> Aliongoza kundi lililoshinda Icons za Vodafone za 2012 na ambapo msanii mashuhuri Wiyalala ametokea.
Mnamo 2014, Appietus alishirikiana na COPILOT Music and Sound kwenye jalada la Carlinhos Brown "Maria Caipirnha (Samba da Bahia)". Mpangilio huu uliwakilisha ala za muziki na mitindo ya [[Ghana]] kwa [[Visa Inc.|Visa's]] "Samba of the World", kampeni ya kidijitali ya Kombe la Dunia la FIFA la 2014.<ref>{{Cite web|title=Appietus,|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1001&mode=biography|website=www.ghanaweb.com|access-date=2020-05-26}}</ref>
=== Mtindo ===
Appietus ana uwezo mwingi katika kazi yake na siku zote amependelea kumpa Mungu heshima juu ya mafanikio ya kazi yake.<ref>{{cite web|title=Appietus in the Mix|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage /audio/artikel.php?ID=191777|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015|archivedate=2021-04-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210422110329/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/}}</ref> Umahiri wake umethibitishwa katika utayarishaji wake, kutokana na aina mbalimbali anazotunga na (au) kumbukumbu. Mtindo wake siku zote umekuwa wa kuendana na mtiririko wa mitindo gani, amerekodi aina kadhaa za muziki (Afro-Pop, Hi-Life, [[Reggae]], [[Injili]],Jumba la Ngoma African Traditional, Hiplife, Azonto), ambayo inathibitisha uwezo wake wa kurekebisha kwa urahisi hitaji linapotokea. Kutoka kwa taaluma yake kuu kama mhandisi wa sauti pia amejidhihirisha katika fani zingine kama vile kuimba na kuigiza. )Castro.<ref>{{cite web|title=Appietus: Niko tayari kuimba|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID=314406|website= www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref> Ameongoza zaidi tasnia hii kwa kuanzisha kipindi cha uhalisia <nowiki>''Appietus Idolz''</nowiki>, ambacho kililenga kuwinda. vipaji vya muziki.<ref name="Appietus Idolz finals in February">{{cite web|title=Fainali za Appietus Idolz mwezi Februari|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID= 137581|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>
==== Appietus Idolz ====
Appietus Idolz, ilikuwa onyesho la kwanza kabisa la ukweli kuandaliwa nchini [[Ghana]] na mhandisi wa sauti. Wazo lilikuwa kuzalisha vipaji halisi ambao walikuwa na uwezo wa kufanya muziki wao wenyewe baada ya mashindano. Kipindi hicho hakikuwaruhusu washiriki kuimba nyimbo za wasanii wengine mashuhuri bali waimbe wimbo ambao walikuwa wametunga awali kulingana na mapigo ya Apietus.<ref>{{Cite web|url = http://www.ghanabase.com/news/ 2007/1471.asp|title = Appietus Idolz Imezinduliwa|date = 22 Julai 2007|accessdate = 28 Machi 2015|tovuti = ghanabase.com|publisher = Ghanabase|last = |first = |archivedate = 2020-05-13|archiveurl = https://web.archive.org/web/20200513142620/http://www.ghanabase.com/news/}}</ref> Msukumo wa ukweli huu onyesho lilitoka kwa mustakabali wa [[Tasnia ya muziki|tasnia ya muziki,]] kwani Appietus alitarajia [[rapa]] wachache ambao walihitaji mtu wa kuwatayarisha. Baada ya kukutana na watu kadhaa waliotamani kuwatayarisha, aliunda wazo la kutoa vipaji bora zaidi ya wote waliowakilisha kwenye reality show yake.<ref name="Appietus Idolz finals in February"/><ref>{ {cite web|title=Appietus aanzisha onyesho lake la uhalisia|url=http://www.ghanabase.com/news/2007/1434.asp|website=www.ghanabase.com|publisher=GhanaBase|accessdate=27{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Machi 2015}}</ref> Mshindi wa kipindi TJ, kwa sasa anatayarishwa na Appietus chini ya lebo ya Creative Records.<ref name="Appietus"/><ref>{{cite web |title=Tj I Love You Winner Ya appietus idolz iliyo na appietus |url=http: //mp3.linkmuzik.com/post/music/tj_i_love_you_winner_of_i_you_winner_of_featuring_appietus/ |Mchapishaji=28 Machi 2015 }}</ref>
==== Mkusanyiko wa Appietus ====
''Appietus Compilation'' ni mchanganyiko wa mastaa bora wa muziki wa Ghana kwenye jukwaa moja. Appietus hushirikiana na safu ya nyota za muziki kwenye mkusanyiko mmoja. Kiini cha mkusanyo huo kilikuwa ni yeye kuweka pamoja nyimbo ambazo zitaacha midundo isiyoisha katika akili za watumiaji. Ndani ya kipindi cha miaka saba (2008–2015) ametoa makusanyo matatu: ''The Revolution'', ''Tip of the Iceberg'', na ''Appietus Compilation Volume 3 (Azonto Fiesta)''.<ref> {{cite web|title=APPIETUS COMPILATION OUT|url=http://www.modernghana.com/music/11557/3/appietus-compilation-out.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modernghana|accessdate =30 Machi 2015}}</ref>
==Viungo vya nje==
*[https://www.facebook.com/AppietusBeatz?ref=hl Appietus Ukurasa wa Facebook]
*[https://mobile.twitter.com/AppietusInDaMix?s=15 Ukurasa wa Twitter wa Appietus]
*[https://i.instagram.com/appietusmix Ukurasa wa Instagram wa Appietus]
*[https://www.youtube.com/watch?v=AU0RS4xp9TU Mahojiano ya Appietus na DJ Abrantie wa Capital Radio]
*[http://www.bbc.co.uk/programmes/p01mq62z Appietus anazungumza na DJ Edu wa BBC]
*[https://www.youtube.com/watch?v=uOrdSLXrJ6o#t=13 TJ "Trust Jah"- Dem Try ( Mshindi wa The Appietus Idolz Msimu wa 1 )]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
5gn571ri4ghfkun75srwwevxerq1bbl
1236176
1236175
2022-07-27T23:02:54Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Appiah Dankwah''', maarufu kama Appietus (aliyezaliwa 12 Machi 1977) ni mwigizaji mwanamuziki wa [[Ghana]], mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti anayeishi [[Accra]], Ghana. Jina Appietus lilipata umaarufu kutokana na sahihi yake "Appietus in the mix". Walakini, iliundwa kutoka kwa kifungu cha maneno "Zana za Appiahs". Amekuwa mshindi wa tuzo sita za [[tasnia ya muziki]] katika kipindi cha miaka 10 tangu mwanzo wa taaluma yake. Alishinda tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Muziki wa Ghana 2015 na Mhandisi wa Sauti, Tuzo za Sun Shine Music Awards 2010 za Mhandisi Bora wa Sauti na Tuzo za Muziki za [[Uingereza]] za [[Ghana]], Mhandisi Bora wa Sauti mwaka wa 2008. Kazi yake ya ajabu pia imempelekea kuwakilisha nchi katika baadhi ya programu za kimataifa ikijumuisha WOMEX 2013 huko Wales, [[Uingereza]] na Worldtronics huko [[Berlin]], [[Ujerumani]] 2012.
==Maisha, taaluma na mtindo==
=== Maisha ya awali ===
Appiah Dankwah alizaliwa na Osei Poku na Susana Appiah<ref name="ghanaweb1"/> huko [[Accra]], lakini kutoka [[Adjumani|Aduman]] katika [[Mkoa wa Ashanti]], Appietus ameolewa na Freda Appiah Dankwah akiwa na wanne. watoto (Nkunim Appiah Dankwah, Nshira Appiah Dankwah, Enigye Appiah Dankwah na Ayeyi Appiah Dankwah).<ref name="ghanabase2007" /> Alisoma Shule ya Sekondari ya Ebenezer huko Dannsoman (Darasa la 1993). Akiwa na umri mdogo, alikuwa na shauku ya kucheza ala na alitumia kitu chochote alichokutana nacho kutoa sauti. Baba yake alimnunulia [[kinanda]] chake cha kwanza ya kuchezea ili kukuza talanta yake. Appietus alichukua fursa hiyo kujifunza kucheza ala katika [[Kanisa]] la Four Square Gospel Church, Mount Olivet Methodist Church na Alive Chapel Intentional na alianza kujifunza misingi ya uhandisi wa sauti katika Studio za Fredma Adabraka, Accra, mwaka wa 1995.<ref name= "ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" />
=== Kazi ===
Aliendelea kukuza utaalam wake na kuboresha sifa zake za uhandisi wa sauti kutoka kwa Fredma Studios huko Adabraka huko Accra.<ref name="ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" /> Baadaye alihamia Kay's Frequency katika Asylum Down ambako alihamia zaidi. aliboresha ujuzi wake wa utayarishaji katika mwaka wa 1998. Pia alifanya kazi katika Kampsite Studios katika maghorofa ya Dansoman SSNIT katika mwaka wa 2003 baada ya kuhitimu kutoka Kay's Frequency. Hatimaye alianzisha studio yake (Creative Studioz) huko Dansoman Sahara mwaka wa 2006. Creative Studioz ilianza kama ushirikiano kati ya Amandzeba na Appietus hadi mkataba ulipoisha Appietus alipochukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji hadi sasa.<ref>{{cite web|title=Appietus katika kurekebisha, kiko wapi kipindi chake cha uhalisia cha muziki?|url=http://www.modernghana.com/music/6512/3/appietus-in-a-fix-where-is-his -music-reality-show.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modern Ghana Media Communication Ltd.|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>Amepata fursa ya kuwa kwenye jopo la Aikoni za Vodafone mwaka wa 2012 na 2013.<ref>{{cite web|title=Eazzy anacheza jaji mgeni kwenye Icons za Vodafone + Nini Gena West na Appietus wanafikiria kuhusu Toleo la Mtaa!|url =http://www.ameyawdebrah.com/eazzy-plays-guest-judge-on-vodafone-icons-what-gena-west-and-appietus-think-about-the-street-edition/|website=www. ameyawdebrah.com|publisher=Ameyaw Debrah|accessdate=8 Aprili 2015}}</ref><ref>{{cite web|title=Aikoni za Vodafone: Toleo la Mtaa: Zakia and Seed evicted|url=http://www.viasat1 .com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|publisher=ViaSat 1|accessdate=8 Aprili 2015|archive-url=https://web.archive.org/ web/20160304231335/http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|archive-date=4 {{Wayback|url=http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs{{!}}archive-date=4 |date=20160304231335 }} Machi 2016=deurl}}</ref> Aliongoza kundi lililoshinda Icons za Vodafone za 2012 na ambapo msanii mashuhuri Wiyalala ametokea.
Mnamo 2014, Appietus alishirikiana na COPILOT Music and Sound kwenye jalada la Carlinhos Brown "Maria Caipirnha (Samba da Bahia)". Mpangilio huu uliwakilisha ala za muziki na mitindo ya [[Ghana]] kwa [[Visa Inc.|Visa's]] "Samba of the World", kampeni ya kidijitali ya Kombe la Dunia la FIFA la 2014.<ref>{{Cite web|title=Appietus,|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1001&mode=biography|website=www.ghanaweb.com|access-date=2020-05-26}}</ref>
=== Mtindo ===
Appietus ana uwezo mwingi katika kazi yake na siku zote amependelea kumpa Mungu heshima juu ya mafanikio ya kazi yake.<ref>{{cite web|title=Appietus in the Mix|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage /audio/artikel.php?ID=191777|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015|archivedate=2021-04-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210422110329/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/}}</ref> Umahiri wake umethibitishwa katika utayarishaji wake, kutokana na aina mbalimbali anazotunga na (au) kumbukumbu. Mtindo wake siku zote umekuwa wa kuendana na mtiririko wa mitindo gani, amerekodi aina kadhaa za muziki (Afro-Pop, Hi-Life, [[Reggae]], [[Injili]],Jumba la Ngoma African Traditional, Hiplife, Azonto), ambayo inathibitisha uwezo wake wa kurekebisha kwa urahisi hitaji linapotokea. Kutoka kwa taaluma yake kuu kama mhandisi wa sauti pia amejidhihirisha katika fani zingine kama vile kuimba na kuigiza. )Castro.<ref>{{cite web|title=Appietus: Niko tayari kuimba|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID=314406|website= www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref> Ameongoza zaidi tasnia hii kwa kuanzisha kipindi cha uhalisia <nowiki>''Appietus Idolz''</nowiki>, ambacho kililenga kuwinda. vipaji vya muziki.<ref> name="Appietus Idolz finals in February">{{cite web|title=Fainali za Appietus Idolz mwezi Februari|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID= 137581|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>
==== Appietus Idolz ====
Appietus Idolz, ilikuwa onyesho la kwanza kabisa la ukweli kuandaliwa nchini [[Ghana]] na mhandisi wa sauti. Wazo lilikuwa kuzalisha vipaji halisi ambao walikuwa na uwezo wa kufanya muziki wao wenyewe baada ya mashindano. Kipindi hicho hakikuwaruhusu washiriki kuimba nyimbo za wasanii wengine mashuhuri bali waimbe wimbo ambao walikuwa wametunga awali kulingana na mapigo ya Apietus.<ref>{{Cite web|url = http://www.ghanabase.com/news/ 2007/1471.asp|title = Appietus Idolz Imezinduliwa|date = 22 Julai 2007|accessdate = 28 Machi 2015|tovuti = ghanabase.com|publisher = Ghanabase|last = |first = |archivedate = 2020-05-13|archiveurl = https://web.archive.org/web/20200513142620/http://www.ghanabase.com/news/}}</ref> Msukumo wa ukweli huu onyesho lilitoka kwa mustakabali wa [[Tasnia ya muziki|tasnia ya muziki,]] kwani Appietus alitarajia [[rapa]] wachache ambao walihitaji mtu wa kuwatayarisha. Baada ya kukutana na watu kadhaa waliotamani kuwatayarisha, aliunda wazo la kutoa vipaji bora zaidi ya wote waliowakilisha kwenye reality show yake.<ref name="Appietus Idolz finals in February"/><ref>{ {cite web|title=Appietus aanzisha onyesho lake la uhalisia|url=http://www.ghanabase.com/news/2007/1434.asp|website=www.ghanabase.com|publisher=GhanaBase|accessdate=27{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} Machi 2015}}</ref> Mshindi wa kipindi TJ, kwa sasa anatayarishwa na Appietus chini ya lebo ya Creative Records.<ref name="Appietus"/><ref>{{cite web |title=Tj I Love You Winner Ya appietus idolz iliyo na appietus |url=http: //mp3.linkmuzik.com/post/music/tj_i_love_you_winner_of_i_you_winner_of_featuring_appietus/ |Mchapishaji=28 Machi 2015 }}</ref>
==== Mkusanyiko wa Appietus ====
''Appietus Compilation'' ni mchanganyiko wa mastaa bora wa muziki wa Ghana kwenye jukwaa moja. Appietus hushirikiana na safu ya nyota za muziki kwenye mkusanyiko mmoja. Kiini cha mkusanyo huo kilikuwa ni yeye kuweka pamoja nyimbo ambazo zitaacha midundo isiyoisha katika akili za watumiaji. Ndani ya kipindi cha miaka saba (2008–2015) ametoa makusanyo matatu: ''The Revolution'', ''Tip of the Iceberg'', na ''Appietus Compilation Volume 3 (Azonto Fiesta)''.<ref> {{cite web|title=APPIETUS COMPILATION OUT|url=http://www.modernghana.com/music/11557/3/appietus-compilation-out.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modernghana|accessdate =30 Machi 2015}}</ref>
==Viungo vya nje==
*[https://www.facebook.com/AppietusBeatz?ref=hl Appietus Ukurasa wa Facebook]
*[https://mobile.twitter.com/AppietusInDaMix?s=15 Ukurasa wa Twitter wa Appietus]
*[https://i.instagram.com/appietusmix Ukurasa wa Instagram wa Appietus]
*[https://www.youtube.com/watch?v=AU0RS4xp9TU Mahojiano ya Appietus na DJ Abrantie wa Capital Radio]
*[http://www.bbc.co.uk/programmes/p01mq62z Appietus anazungumza na DJ Edu wa BBC]
*[https://www.youtube.com/watch?v=uOrdSLXrJ6o#t=13 TJ "Trust Jah"- Dem Try ( Mshindi wa The Appietus Idolz Msimu wa 1 )]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
efez4zvr4red41c54mfxw95la9ix64h
1236177
1236176
2022-07-27T23:10:41Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Appiah Dankwah''', maarufu kama Appietus (aliyezaliwa 12 Machi 1977) ni mwigizaji mwanamuziki wa [[Ghana]], mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti anayeishi [[Accra]], Ghana. Jina Appietus lilipata umaarufu kutokana na sahihi yake "Appietus in the mix". Walakini, iliundwa kutoka kwa kifungu cha maneno "Zana za Appiahs". Amekuwa mshindi wa tuzo sita za [[tasnia ya muziki]] katika kipindi cha miaka 10 tangu mwanzo wa taaluma yake. Alishinda tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Muziki wa Ghana 2015 na Mhandisi wa Sauti, Tuzo za Sun Shine Music Awards 2010 za Mhandisi Bora wa Sauti na Tuzo za Muziki za [[Uingereza]] za [[Ghana]], Mhandisi Bora wa Sauti mwaka wa 2008. Kazi yake ya ajabu pia imempelekea kuwakilisha nchi katika baadhi ya programu za kimataifa ikijumuisha WOMEX 2013 huko Wales, [[Uingereza]] na Worldtronics huko [[Berlin]], [[Ujerumani]] 2012.
==Maisha, taaluma na mtindo==
=== Maisha ya awali ===
Appiah Dankwah alizaliwa na Osei Poku na Susana Appiah<ref name="ghanaweb1"/> huko [[Accra]], lakini kutoka [[Adjumani|Aduman]] katika [[Mkoa wa Ashanti]], Appietus ameolewa na Freda Appiah Dankwah akiwa na wanne. watoto (Nkunim Appiah Dankwah, Nshira Appiah Dankwah, Enigye Appiah Dankwah na Ayeyi Appiah Dankwah).<ref name="ghanabase2007" /> Alisoma Shule ya Sekondari ya Ebenezer huko Dannsoman (Darasa la 1993). Akiwa na umri mdogo, alikuwa na shauku ya kucheza ala na alitumia kitu chochote alichokutana nacho kutoa sauti. Baba yake alimnunulia [[kinanda]] chake cha kwanza ya kuchezea ili kukuza talanta yake. Appietus alichukua fursa hiyo kujifunza kucheza ala katika [[Kanisa]] la Four Square Gospel Church, Mount Olivet Methodist Church na Alive Chapel Intentional na alianza kujifunza misingi ya uhandisi wa sauti katika Studio za Fredma Adabraka, Accra, mwaka wa 1995.<ref> name= "ghanaweb1" </ref><ref> name="ghanabase2007" </ref>
=== Kazi ===
Aliendelea kukuza utaalam wake na kuboresha sifa zake za uhandisi wa sauti kutoka kwa Fredma Studios huko Adabraka huko Accra.<ref name="ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" /> Baadaye alihamia Kay's Frequency katika Asylum Down ambako alihamia zaidi. aliboresha ujuzi wake wa utayarishaji katika mwaka wa 1998. Pia alifanya kazi katika Kampsite Studios katika maghorofa ya Dansoman SSNIT katika mwaka wa 2003 baada ya kuhitimu kutoka Kay's Frequency. Hatimaye alianzisha studio yake (Creative Studioz) huko Dansoman Sahara mwaka wa 2006. Creative Studioz ilianza kama ushirikiano kati ya Amandzeba na Appietus hadi mkataba ulipoisha Appietus alipochukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji hadi sasa.<ref>{{cite web|title=Appietus katika kurekebisha, kiko wapi kipindi chake cha uhalisia cha muziki?|url=http://www.modernghana.com/music/6512/3/appietus-in-a-fix-where-is-his -music-reality-show.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modern Ghana Media Communication Ltd.|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>Amepata fursa ya kuwa kwenye jopo la Aikoni za Vodafone mwaka wa 2012 na 2013.<ref>{{cite web|title=Eazzy anacheza jaji mgeni kwenye Icons za Vodafone + Nini Gena West na Appietus wanafikiria kuhusu Toleo la Mtaa!|url =http://www.ameyawdebrah.com/eazzy-plays-guest-judge-on-vodafone-icons-what-gena-west-and-appietus-think-about-the-street-edition/|website=www. ameyawdebrah.com|publisher=Ameyaw Debrah|accessdate=8 Aprili 2015}}</ref><ref>{{cite web|title=Aikoni za Vodafone: Toleo la Mtaa: Zakia and Seed evicted|url=http://www.viasat1 .com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|publisher=ViaSat 1|accessdate=8 Aprili 2015|archive-url=https://web.archive.org/ web/20160304231335/http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|archive-date=4 {{Wayback|url=http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs{{!}}archive-date=4 |date=20160304231335 }} Machi 2016=deurl}}</ref> Aliongoza kundi lililoshinda Icons za Vodafone za 2012 na ambapo msanii mashuhuri Wiyalala ametokea.
Mnamo 2014, Appietus alishirikiana na COPILOT Music and Sound kwenye jalada la Carlinhos Brown "Maria Caipirnha (Samba da Bahia)". Mpangilio huu uliwakilisha ala za muziki na mitindo ya [[Ghana]] kwa [[Visa Inc.|Visa's]] "Samba of the World", kampeni ya kidijitali ya Kombe la Dunia la FIFA la 2014.<ref>{{Cite web|title=Appietus,|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1001&mode=biography|website=www.ghanaweb.com|access-date=2020-05-26}}</ref>
=== Mtindo ===
Appietus ana uwezo mwingi katika kazi yake na siku zote amependelea kumpa Mungu heshima juu ya mafanikio ya kazi yake.<ref>{{cite web|title=Appietus in the Mix|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage /audio/artikel.php?ID=191777|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015|archivedate=2021-04-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210422110329/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/}}</ref> Umahiri wake umethibitishwa katika utayarishaji wake, kutokana na aina mbalimbali anazotunga na (au) kumbukumbu. Mtindo wake siku zote umekuwa wa kuendana na mtiririko wa mitindo gani, amerekodi aina kadhaa za muziki (Afro-Pop, Hi-Life, [[Reggae]], [[Injili]],Jumba la Ngoma African Traditional, Hiplife, Azonto), ambayo inathibitisha uwezo wake wa kurekebisha kwa urahisi hitaji linapotokea. Kutoka kwa taaluma yake kuu kama mhandisi wa sauti pia amejidhihirisha katika fani zingine kama vile kuimba na kuigiza. )Castro.<ref>{{cite web|title=Appietus: Niko tayari kuimba|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID=314406|website= www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref> Ameongoza zaidi tasnia hii kwa kuanzisha kipindi cha uhalisia <nowiki>''Appietus Idolz''</nowiki>, ambacho kililenga kuwinda. vipaji vya muziki.<ref> name="Appietus Idolz finals in February">{{cite web|title=Fainali za Appietus Idolz mwezi Februari|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID= 137581|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>
==== Appietus Idolz ====
Appietus Idolz, ilikuwa onyesho la kwanza kabisa la ukweli kuandaliwa nchini [[Ghana]] na mhandisi wa sauti. Wazo lilikuwa kuzalisha vipaji halisi ambao walikuwa na uwezo wa kufanya muziki wao wenyewe baada ya mashindano. Kipindi hicho hakikuwaruhusu washiriki kuimba nyimbo za wasanii wengine mashuhuri bali waimbe wimbo ambao walikuwa wametunga awali kulingana na mapigo ya Apietus.<ref>{{Cite web|url = http://www.ghanabase.com/news/ 2007/1471.asp|title = Appietus Idolz Imezinduliwa|date = 22 Julai 2007|accessdate = 28 Machi 2015|tovuti = ghanabase.com|publisher = Ghanabase|last = |first = |archivedate = 2020-05-13|archiveurl = https://web.archive.org/web/20200513142620/http://www.ghanabase.com/news/}}</ref> Msukumo wa ukweli huu onyesho lilitoka kwa mustakabali wa [[Tasnia ya muziki|tasnia ya muziki,]] kwani Appietus alitarajia [[rapa]] wachache ambao walihitaji mtu wa kuwatayarisha. Baada ya kukutana na watu kadhaa waliotamani kuwatayarisha, aliunda wazo la kutoa vipaji bora zaidi ya wote waliowakilisha kwenye reality show yake.<ref> name="Appietus Idolz finals in February"</ref><ref>{{cite web|title=Appietus aanzisha onyesho lake la uhalisia|url=http://www.ghanabase.com/news/2007/1434.asp|website=www.ghanabase.com|publisher=GhanaBase|accessdate=27</ref> Mshindi wa kipindi TJ, kwa sasa anatayarishwa na Appietus chini ya lebo ya Creative Records.<ref> name="Appietus"</ref><ref>{{cite web |title=Tj I Love You Winner Ya appietus idolz iliyo na appietus |url=http: //mp3.linkmuzik.com/post/music/tj_i_love_you_winner_of_i_you_winner_of_featuring_appietus/ |Mchapishaji=28 Machi 2015 }}</ref>
==== Mkusanyiko wa Appietus ====
''Appietus Compilation'' ni mchanganyiko wa mastaa bora wa muziki wa Ghana kwenye jukwaa moja. Appietus hushirikiana na safu ya nyota za muziki kwenye mkusanyiko mmoja. Kiini cha mkusanyo huo kilikuwa ni yeye kuweka pamoja nyimbo ambazo zitaacha midundo isiyoisha katika akili za watumiaji. Ndani ya kipindi cha miaka saba (2008–2015) ametoa makusanyo matatu: ''The Revolution'', ''Tip of the Iceberg'', na ''Appietus Compilation Volume 3 (Azonto Fiesta)''.<ref> {{cite web|title=APPIETUS COMPILATION OUT|url=http://www.modernghana.com/music/11557/3/appietus-compilation-out.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modernghana|accessdate =30 Machi 2015}}</ref>
==Viungo vya nje==
*[https://www.facebook.com/AppietusBeatz?ref=hl Appietus Ukurasa wa Facebook]
*[https://mobile.twitter.com/AppietusInDaMix?s=15 Ukurasa wa Twitter wa Appietus]
*[https://i.instagram.com/appietusmix Ukurasa wa Instagram wa Appietus]
*[https://www.youtube.com/watch?v=AU0RS4xp9TU Mahojiano ya Appietus na DJ Abrantie wa Capital Radio]
*[http://www.bbc.co.uk/programmes/p01mq62z Appietus anazungumza na DJ Edu wa BBC]
*[https://www.youtube.com/watch?v=uOrdSLXrJ6o#t=13 TJ "Trust Jah"- Dem Try ( Mshindi wa The Appietus Idolz Msimu wa 1 )]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
02jcjsglz6edtj5ygxjptmwqbp65zjy
1236178
1236177
2022-07-27T23:13:04Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Appiah Dankwah''', maarufu kama Appietus (aliyezaliwa 12 Machi 1977) ni mwigizaji mwanamuziki wa [[Ghana]], mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti anayeishi [[Accra]], Ghana. Jina Appietus lilipata umaarufu kutokana na sahihi yake "Appietus in the mix". Walakini, iliundwa kutoka kwa kifungu cha maneno "Zana za Appiahs". Amekuwa mshindi wa tuzo sita za [[tasnia ya muziki]] katika kipindi cha miaka 10 tangu mwanzo wa taaluma yake. Alishinda tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Muziki wa Ghana 2015 na Mhandisi wa Sauti, Tuzo za Sun Shine Music Awards 2010 za Mhandisi Bora wa Sauti na Tuzo za Muziki za [[Uingereza]] za [[Ghana]], Mhandisi Bora wa Sauti mwaka wa 2008. Kazi yake ya ajabu pia imempelekea kuwakilisha nchi katika baadhi ya programu za kimataifa ikijumuisha WOMEX 2013 huko Wales, [[Uingereza]] na Worldtronics huko [[Berlin]], [[Ujerumani]] 2012.
==Maisha, taaluma na mtindo==
=== Maisha ya awali ===
Appiah Dankwah alizaliwa na Osei Poku na Susana Appiah<ref> name="ghanaweb1"</ref> huko [[Accra]], lakini kutoka [[Adjumani|Aduman]] katika [[Mkoa wa Ashanti]], Appietus ameolewa na Freda Appiah Dankwah akiwa na wanne. watoto (Nkunim Appiah Dankwah, Nshira Appiah Dankwah, Enigye Appiah Dankwah na Ayeyi Appiah Dankwah).<ref> name="ghanabase2007" </ref> Alisoma Shule ya Sekondari ya Ebenezer huko Dannsoman (Darasa la 1993). Akiwa na umri mdogo, alikuwa na shauku ya kucheza ala na alitumia kitu chochote alichokutana nacho kutoa sauti. Baba yake alimnunulia [[kinanda]] chake cha kwanza ya kuchezea ili kukuza talanta yake. Appietus alichukua fursa hiyo kujifunza kucheza ala katika [[Kanisa]] la Four Square Gospel Church, Mount Olivet Methodist Church na Alive Chapel Intentional na alianza kujifunza misingi ya uhandisi wa sauti katika Studio za Fredma Adabraka, Accra, mwaka wa 1995.<ref> name= "ghanaweb1" </ref><ref> name="ghanabase2007" </ref>
=== Kazi ===
Aliendelea kukuza utaalam wake na kuboresha sifa zake za uhandisi wa sauti kutoka kwa Fredma Studios huko Adabraka huko Accra.<ref name="ghanaweb1" /><ref name="ghanabase2007" /> Baadaye alihamia Kay's Frequency katika Asylum Down ambako alihamia zaidi. aliboresha ujuzi wake wa utayarishaji katika mwaka wa 1998. Pia alifanya kazi katika Kampsite Studios katika maghorofa ya Dansoman SSNIT katika mwaka wa 2003 baada ya kuhitimu kutoka Kay's Frequency. Hatimaye alianzisha studio yake (Creative Studioz) huko Dansoman Sahara mwaka wa 2006. Creative Studioz ilianza kama ushirikiano kati ya Amandzeba na Appietus hadi mkataba ulipoisha Appietus alipochukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji hadi sasa.<ref>{{cite web|title=Appietus katika kurekebisha, kiko wapi kipindi chake cha uhalisia cha muziki?|url=http://www.modernghana.com/music/6512/3/appietus-in-a-fix-where-is-his -music-reality-show.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modern Ghana Media Communication Ltd.|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>Amepata fursa ya kuwa kwenye jopo la Aikoni za Vodafone mwaka wa 2012 na 2013.<ref>{{cite web|title=Eazzy anacheza jaji mgeni kwenye Icons za Vodafone + Nini Gena West na Appietus wanafikiria kuhusu Toleo la Mtaa!|url =http://www.ameyawdebrah.com/eazzy-plays-guest-judge-on-vodafone-icons-what-gena-west-and-appietus-think-about-the-street-edition/|website=www. ameyawdebrah.com|publisher=Ameyaw Debrah|accessdate=8 Aprili 2015}}</ref><ref>{{cite web|title=Aikoni za Vodafone: Toleo la Mtaa: Zakia and Seed evicted|url=http://www.viasat1 .com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|publisher=ViaSat 1|accessdate=8 Aprili 2015|archive-url=https://web.archive.org/ web/20160304231335/http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|archive-date=4 {{Wayback|url=http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs{{!}}archive-date=4 |date=20160304231335 }} Machi 2016=deurl}}</ref> Aliongoza kundi lililoshinda Icons za Vodafone za 2012 na ambapo msanii mashuhuri Wiyalala ametokea.
Mnamo 2014, Appietus alishirikiana na COPILOT Music and Sound kwenye jalada la Carlinhos Brown "Maria Caipirnha (Samba da Bahia)". Mpangilio huu uliwakilisha ala za muziki na mitindo ya [[Ghana]] kwa [[Visa Inc.|Visa's]] "Samba of the World", kampeni ya kidijitali ya Kombe la Dunia la FIFA la 2014.<ref>{{Cite web|title=Appietus,|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1001&mode=biography|website=www.ghanaweb.com|access-date=2020-05-26}}</ref>
=== Mtindo ===
Appietus ana uwezo mwingi katika kazi yake na siku zote amependelea kumpa Mungu heshima juu ya mafanikio ya kazi yake.<ref>{{cite web|title=Appietus in the Mix|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage /audio/artikel.php?ID=191777|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015|archivedate=2021-04-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210422110329/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/}}</ref> Umahiri wake umethibitishwa katika utayarishaji wake, kutokana na aina mbalimbali anazotunga na (au) kumbukumbu. Mtindo wake siku zote umekuwa wa kuendana na mtiririko wa mitindo gani, amerekodi aina kadhaa za muziki (Afro-Pop, Hi-Life, [[Reggae]], [[Injili]],Jumba la Ngoma African Traditional, Hiplife, Azonto), ambayo inathibitisha uwezo wake wa kurekebisha kwa urahisi hitaji linapotokea. Kutoka kwa taaluma yake kuu kama mhandisi wa sauti pia amejidhihirisha katika fani zingine kama vile kuimba na kuigiza. )Castro.<ref>{{cite web|title=Appietus: Niko tayari kuimba|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID=314406|website= www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref> Ameongoza zaidi tasnia hii kwa kuanzisha kipindi cha uhalisia <nowiki>''Appietus Idolz''</nowiki>, ambacho kililenga kuwinda. vipaji vya muziki.<ref> name="Appietus Idolz finals in February">{{cite web|title=Fainali za Appietus Idolz mwezi Februari|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID= 137581|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>
==== Appietus Idolz ====
Appietus Idolz, ilikuwa onyesho la kwanza kabisa la ukweli kuandaliwa nchini [[Ghana]] na mhandisi wa sauti. Wazo lilikuwa kuzalisha vipaji halisi ambao walikuwa na uwezo wa kufanya muziki wao wenyewe baada ya mashindano. Kipindi hicho hakikuwaruhusu washiriki kuimba nyimbo za wasanii wengine mashuhuri bali waimbe wimbo ambao walikuwa wametunga awali kulingana na mapigo ya Apietus.<ref>{{Cite web|url = http://www.ghanabase.com/news/ 2007/1471.asp|title = Appietus Idolz Imezinduliwa|date = 22 Julai 2007|accessdate = 28 Machi 2015|tovuti = ghanabase.com|publisher = Ghanabase|last = |first = |archivedate = 2020-05-13|archiveurl = https://web.archive.org/web/20200513142620/http://www.ghanabase.com/news/}}</ref> Msukumo wa ukweli huu onyesho lilitoka kwa mustakabali wa [[Tasnia ya muziki|tasnia ya muziki,]] kwani Appietus alitarajia [[rapa]] wachache ambao walihitaji mtu wa kuwatayarisha. Baada ya kukutana na watu kadhaa waliotamani kuwatayarisha, aliunda wazo la kutoa vipaji bora zaidi ya wote waliowakilisha kwenye reality show yake.<ref> name="Appietus Idolz finals in February"</ref><ref>{{cite web|title=Appietus aanzisha onyesho lake la uhalisia|url=http://www.ghanabase.com/news/2007/1434.asp|website=www.ghanabase.com|publisher=GhanaBase|accessdate=27</ref> Mshindi wa kipindi TJ, kwa sasa anatayarishwa na Appietus chini ya lebo ya Creative Records.<ref> name="Appietus"</ref><ref>{{cite web |title=Tj I Love You Winner Ya appietus idolz iliyo na appietus |url=http: //mp3.linkmuzik.com/post/music/tj_i_love_you_winner_of_i_you_winner_of_featuring_appietus/ |Mchapishaji=28 Machi 2015 }}</ref>
==== Mkusanyiko wa Appietus ====
''Appietus Compilation'' ni mchanganyiko wa mastaa bora wa muziki wa Ghana kwenye jukwaa moja. Appietus hushirikiana na safu ya nyota za muziki kwenye mkusanyiko mmoja. Kiini cha mkusanyo huo kilikuwa ni yeye kuweka pamoja nyimbo ambazo zitaacha midundo isiyoisha katika akili za watumiaji. Ndani ya kipindi cha miaka saba (2008–2015) ametoa makusanyo matatu: ''The Revolution'', ''Tip of the Iceberg'', na ''Appietus Compilation Volume 3 (Azonto Fiesta)''.<ref> {{cite web|title=APPIETUS COMPILATION OUT|url=http://www.modernghana.com/music/11557/3/appietus-compilation-out.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modernghana|accessdate =30 Machi 2015}}</ref>
==Viungo vya nje==
*[https://www.facebook.com/AppietusBeatz?ref=hl Appietus Ukurasa wa Facebook]
*[https://mobile.twitter.com/AppietusInDaMix?s=15 Ukurasa wa Twitter wa Appietus]
*[https://i.instagram.com/appietusmix Ukurasa wa Instagram wa Appietus]
*[https://www.youtube.com/watch?v=AU0RS4xp9TU Mahojiano ya Appietus na DJ Abrantie wa Capital Radio]
*[http://www.bbc.co.uk/programmes/p01mq62z Appietus anazungumza na DJ Edu wa BBC]
*[https://www.youtube.com/watch?v=uOrdSLXrJ6o#t=13 TJ "Trust Jah"- Dem Try ( Mshindi wa The Appietus Idolz Msimu wa 1 )]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
7iu405tnmhdajvqyk8yzjctyvmuqmwi
1236179
1236178
2022-07-27T23:14:51Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Appiah Dankwah''', maarufu kama Appietus (aliyezaliwa 12 Machi 1977) ni mwigizaji mwanamuziki wa [[Ghana]], mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti anayeishi [[Accra]], Ghana. Jina Appietus lilipata umaarufu kutokana na sahihi yake "Appietus in the mix". Walakini, iliundwa kutoka kwa kifungu cha maneno "Zana za Appiahs". Amekuwa mshindi wa tuzo sita za [[tasnia ya muziki]] katika kipindi cha miaka 10 tangu mwanzo wa taaluma yake. Alishinda tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Muziki wa Ghana 2015 na Mhandisi wa Sauti, Tuzo za Sun Shine Music Awards 2010 za Mhandisi Bora wa Sauti na Tuzo za Muziki za [[Uingereza]] za [[Ghana]], Mhandisi Bora wa Sauti mwaka wa 2008. Kazi yake ya ajabu pia imempelekea kuwakilisha nchi katika baadhi ya programu za kimataifa ikijumuisha WOMEX 2013 huko Wales, [[Uingereza]] na Worldtronics huko [[Berlin]], [[Ujerumani]] 2012.
==Maisha, taaluma na mtindo==
=== Maisha ya awali ===
Appiah Dankwah alizaliwa na Osei Poku na Susana Appiah<ref> name="ghanaweb1"</ref> huko [[Accra]], lakini kutoka [[Adjumani|Aduman]] katika [[Mkoa wa Ashanti]], Appietus ameolewa na Freda Appiah Dankwah akiwa na wanne. watoto (Nkunim Appiah Dankwah, Nshira Appiah Dankwah, Enigye Appiah Dankwah na Ayeyi Appiah Dankwah).<ref> name="ghanabase2007" </ref> Alisoma Shule ya Sekondari ya Ebenezer huko Dannsoman (Darasa la 1993). Akiwa na umri mdogo, alikuwa na shauku ya kucheza ala na alitumia kitu chochote alichokutana nacho kutoa sauti. Baba yake alimnunulia [[kinanda]] chake cha kwanza ya kuchezea ili kukuza talanta yake. Appietus alichukua fursa hiyo kujifunza kucheza ala katika [[Kanisa]] la Four Square Gospel Church, Mount Olivet Methodist Church na Alive Chapel Intentional na alianza kujifunza misingi ya uhandisi wa sauti katika Studio za Fredma Adabraka, Accra, mwaka wa 1995.<ref> name= "ghanaweb1" </ref><ref> name="ghanabase2007" </ref>
=== Kazi ===
Aliendelea kukuza utaalam wake na kuboresha sifa zake za uhandisi wa sauti kutoka kwa Fredma Studios huko Adabraka huko Accra.<ref> name="ghanaweb1" </ref><ref> name="ghanabase2007" </ref> Baadaye alihamia Kay's Frequency katika Asylum Down ambako alihamia zaidi. aliboresha ujuzi wake wa utayarishaji katika mwaka wa 1998. Pia alifanya kazi katika Kampsite Studios katika maghorofa ya Dansoman SSNIT katika mwaka wa 2003 baada ya kuhitimu kutoka Kay's Frequency. Hatimaye alianzisha studio yake (Creative Studioz) huko Dansoman Sahara mwaka wa 2006. Creative Studioz ilianza kama ushirikiano kati ya Amandzeba na Appietus hadi mkataba ulipoisha Appietus alipochukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji hadi sasa.<ref>{{cite web|title=Appietus katika kurekebisha, kiko wapi kipindi chake cha uhalisia cha muziki?|url=http://www.modernghana.com/music/6512/3/appietus-in-a-fix-where-is-his -music-reality-show.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modern Ghana Media Communication Ltd.|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>Amepata fursa ya kuwa kwenye jopo la Aikoni za Vodafone mwaka wa 2012 na 2013.<ref>{{cite web|title=Eazzy anacheza jaji mgeni kwenye Icons za Vodafone + Nini Gena West na Appietus wanafikiria kuhusu Toleo la Mtaa!|url =http://www.ameyawdebrah.com/eazzy-plays-guest-judge-on-vodafone-icons-what-gena-west-and-appietus-think-about-the-street-edition/|website=www. ameyawdebrah.com|publisher=Ameyaw Debrah|accessdate=8 Aprili 2015}}</ref><ref>{{cite web|title=Aikoni za Vodafone: Toleo la Mtaa: Zakia and Seed evicted|url=http://www.viasat1 .com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|publisher=ViaSat 1|accessdate=8 Aprili 2015|archive-url=https://web.archive.org/ web/20160304231335/http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs|archive-date=4 {{Wayback|url=http://www.viasat1.com.gh/news/entertainment/article.php?postId=1344#sthash.bIeyxtMp.2Nb4HW2g.dpbs{{!}}archive-date=4 |date=20160304231335 }} Machi 2016=deurl}}</ref> Aliongoza kundi lililoshinda Icons za Vodafone za 2012 na ambapo msanii mashuhuri Wiyalala ametokea.
Mnamo 2014, Appietus alishirikiana na COPILOT Music and Sound kwenye jalada la Carlinhos Brown "Maria Caipirnha (Samba da Bahia)". Mpangilio huu uliwakilisha ala za muziki na mitindo ya [[Ghana]] kwa [[Visa Inc.|Visa's]] "Samba of the World", kampeni ya kidijitali ya Kombe la Dunia la FIFA la 2014.<ref>{{Cite web|title=Appietus,|url=https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/people/person.php?ID=1001&mode=biography|website=www.ghanaweb.com|access-date=2020-05-26}}</ref>
=== Mtindo ===
Appietus ana uwezo mwingi katika kazi yake na siku zote amependelea kumpa Mungu heshima juu ya mafanikio ya kazi yake.<ref>{{cite web|title=Appietus in the Mix|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage /audio/artikel.php?ID=191777|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015|archivedate=2021-04-22|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210422110329/https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/}}</ref> Umahiri wake umethibitishwa katika utayarishaji wake, kutokana na aina mbalimbali anazotunga na (au) kumbukumbu. Mtindo wake siku zote umekuwa wa kuendana na mtiririko wa mitindo gani, amerekodi aina kadhaa za muziki (Afro-Pop, Hi-Life, [[Reggae]], [[Injili]],Jumba la Ngoma African Traditional, Hiplife, Azonto), ambayo inathibitisha uwezo wake wa kurekebisha kwa urahisi hitaji linapotokea. Kutoka kwa taaluma yake kuu kama mhandisi wa sauti pia amejidhihirisha katika fani zingine kama vile kuimba na kuigiza. )Castro.<ref>{{cite web|title=Appietus: Niko tayari kuimba|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID=314406|website= www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref> Ameongoza zaidi tasnia hii kwa kuanzisha kipindi cha uhalisia <nowiki>''Appietus Idolz''</nowiki>, ambacho kililenga kuwinda. vipaji vya muziki.<ref> name="Appietus Idolz finals in February">{{cite web|title=Fainali za Appietus Idolz mwezi Februari|url=http://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/artikel.php?ID= 137581|website=www.ghanaweb.com|publisher=GhanaWeb|accessdate=27 Machi 2015}}</ref>
==== Appietus Idolz ====
Appietus Idolz, ilikuwa onyesho la kwanza kabisa la ukweli kuandaliwa nchini [[Ghana]] na mhandisi wa sauti. Wazo lilikuwa kuzalisha vipaji halisi ambao walikuwa na uwezo wa kufanya muziki wao wenyewe baada ya mashindano. Kipindi hicho hakikuwaruhusu washiriki kuimba nyimbo za wasanii wengine mashuhuri bali waimbe wimbo ambao walikuwa wametunga awali kulingana na mapigo ya Apietus.<ref>{{Cite web|url = http://www.ghanabase.com/news/ 2007/1471.asp|title = Appietus Idolz Imezinduliwa|date = 22 Julai 2007|accessdate = 28 Machi 2015|tovuti = ghanabase.com|publisher = Ghanabase|last = |first = |archivedate = 2020-05-13|archiveurl = https://web.archive.org/web/20200513142620/http://www.ghanabase.com/news/}}</ref> Msukumo wa ukweli huu onyesho lilitoka kwa mustakabali wa [[Tasnia ya muziki|tasnia ya muziki,]] kwani Appietus alitarajia [[rapa]] wachache ambao walihitaji mtu wa kuwatayarisha. Baada ya kukutana na watu kadhaa waliotamani kuwatayarisha, aliunda wazo la kutoa vipaji bora zaidi ya wote waliowakilisha kwenye reality show yake.<ref> name="Appietus Idolz finals in February"</ref><ref>{{cite web|title=Appietus aanzisha onyesho lake la uhalisia|url=http://www.ghanabase.com/news/2007/1434.asp|website=www.ghanabase.com|publisher=GhanaBase|accessdate=27</ref> Mshindi wa kipindi TJ, kwa sasa anatayarishwa na Appietus chini ya lebo ya Creative Records.<ref> name="Appietus"</ref><ref>{{cite web |title=Tj I Love You Winner Ya appietus idolz iliyo na appietus |url=http: //mp3.linkmuzik.com/post/music/tj_i_love_you_winner_of_i_you_winner_of_featuring_appietus/ |Mchapishaji=28 Machi 2015 }}</ref>
==== Mkusanyiko wa Appietus ====
''Appietus Compilation'' ni mchanganyiko wa mastaa bora wa muziki wa Ghana kwenye jukwaa moja. Appietus hushirikiana na safu ya nyota za muziki kwenye mkusanyiko mmoja. Kiini cha mkusanyo huo kilikuwa ni yeye kuweka pamoja nyimbo ambazo zitaacha midundo isiyoisha katika akili za watumiaji. Ndani ya kipindi cha miaka saba (2008–2015) ametoa makusanyo matatu: ''The Revolution'', ''Tip of the Iceberg'', na ''Appietus Compilation Volume 3 (Azonto Fiesta)''.<ref> {{cite web|title=APPIETUS COMPILATION OUT|url=http://www.modernghana.com/music/11557/3/appietus-compilation-out.html|website=www.modernghana.com|publisher=Modernghana|accessdate =30 Machi 2015}}</ref>
==Viungo vya nje==
*[https://www.facebook.com/AppietusBeatz?ref=hl Appietus Ukurasa wa Facebook]
*[https://mobile.twitter.com/AppietusInDaMix?s=15 Ukurasa wa Twitter wa Appietus]
*[https://i.instagram.com/appietusmix Ukurasa wa Instagram wa Appietus]
*[https://www.youtube.com/watch?v=AU0RS4xp9TU Mahojiano ya Appietus na DJ Abrantie wa Capital Radio]
*[http://www.bbc.co.uk/programmes/p01mq62z Appietus anazungumza na DJ Edu wa BBC]
*[https://www.youtube.com/watch?v=uOrdSLXrJ6o#t=13 TJ "Trust Jah"- Dem Try ( Mshindi wa The Appietus Idolz Msimu wa 1 )]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1977]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
55k4s2s123uujd7scoj4l666qfmf03f
IBali
0
148937
1236154
1223929
2022-07-27T19:25:11Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Ataindum Donald Nge''' (Amezaliwa Septemba 2, 1997) ni mwanamuziki wa [[Kameruni]] na mtumbuizaji anayefahimika kwa jina la '''Ibali''' akiwa jukwaani. Pia ni mwanaharakati wa haki za binadamu. <ref>{{cite web |last1=Elf |first1=An |title=The Birth of a Pan-African Prophet; Ibali The Spiritual Artist |url=https://critiqsite.com/2020/07/22/the-birth-of-a-pan-african-prophet-ibali-the-spiritual-artist/ |website=Critiqsite |date=22 July 2020 |accessdate=2022-04-23 |archivedate=2020-09-29 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200929211214/https://critiqsite.com/2020/07/22/the-birth-of-a-pan-african-prophet-ibali-the-spiritual-artist/ }}</ref><ref>{{cite web |last1=Chi |first1=Fabz |title=[Music Video] Ibali - Legendary |url=https://kesamagazine.com/music-video-ibali-legendary/ |website=KESA Magazine}}</ref>
==Maisha ya awali na kazi==
Ibali alizaliwa Bamenda, Kameruni. Ibali anandugu 3 na yeye ndiye mzaliwa wa kwanza katika familia yao. Alianza kurekodi muziki mwaka 2014 kwa jina la brandi ''Dolly Pearl''.<ref>{{cite web |title=Dolly Pearl Rebrands himself {{!}} Welcome To Lady-T's World |url=https://www.ladyt237.com/index.php/2020/08/11/dolly-pearl-rebrands-himself/ |website=Ladyt237}}</ref>
IBali aliachia nyimbo mbalimbali akiwashirikisha wasanii kama vile Richard Kings, Magasco, Blaise B, na Daddy Black.<ref>{{cite web |title=Uprising Dolly Pearl Speaks Up |url=http://bamendaonline.net/index.php/2018/07/01/uprising-dolly-pearl-speaks-up/ |website=Bamenda Online |date=1 July 2018 |accessdate=2022-04-23 |archivedate=2020-09-25 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200925200636/http://bamendaonline.net/index.php/2018/07/01/uprising-dolly-pearl-speaks-up/ }}</ref><ref>{{cite web |last1=Kange |first1=Victor |title=Afro-Spiritual Artiste IBALI Crowned "Messiah Of Cameroonian Music" By DJs |url=https://www.237showbiz.com/news/afro-spiritual-artiste-ibali-crowned-messiah-of-cameroonian-music-by-djs/ |website=Cameroon's #1 Music and Entertainment Portal}}</ref>
Januari 2021, Ibali alizindua video yake mpya iitwayo ''Revelation'' chini ya albamu yake ya ''Prophetic''.<ref>{{cite web |title=Artist IBALI Drops His Empowering New Single "Revelation" |url=https://www.wonderlandmagazine.com/2021/02/02/premiere-ibali-revelation/ |website=Wonderland |date=2 February 2021}}</ref>
==Diskografia==
===Albamu===
*Prophetic (2021)
===Nyimbo===
*Legendary
*One People
*Revelation
===Zilizoshirikishwa===
*Dolly Pearl ft Blaise B
*Dolly Pearl Cado ft Daddy Black
==Marejeo==
[[Jamii:Wanamuziki wa Kamerun]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
bic3nxpgczpal8xgfdfune24l54o86z
Rachael Kungu
0
148939
1235862
1220540
2022-07-27T12:36:23Z
Abubakari Sixberth
53268
wikitext
text/x-wiki
'''Rachael Ray Kungu''', ambaye anatumia jina la kisanii '''DJ Rachael''', (aliyezaliwa c.[[1978]]), ni mcheza diski wa Uganda, mfanyabiashara na msanii wa kurekodi, ambaye taaluma yake inaenea kote. miaka 25. Yeye ndiye mwanzilishi wa ''Femme Electronic'' na mmiliki wa ''Scraych Rekords'', studio ya kibinafsi ya sauti..<ref name="1R">{{cite web|newspaper=[[Daily Monitor]] |date=7 February 2016 |url=https://www.monitor.co.ug/Magazines/Life/DJ-Rachael--Queen-of-the-turntables/689856-3064882-poi0qb/index.html | title=DJ Rachael: Queen of the turntables |access-date=8 March 2019 |author=Edgar R. Batte |location=Kampala}}</ref>
Mnamo [[Juni]] [[2017]], Gazeti la Makamu lilimtaja Rachael Kungu, kama "DJ wa kwanza wa kike Afrika Mashariki".<ref name="2R">{{cite web|title=DJ Rachael Wants to See More Women in Ugandan Dance Music |date=2 June 2017 |author=Alice McCool |url=https://www.vice.com/en_us/article/7xz39x/dj-rachael-uganda-dance-music-women |access-date=8 March 2019 |location=New York City}}</ref>
==Usuli na maisha ya awali==
Rachael Kungu alizaliwa [[Uganda]] circa [[1978]], na alikulia katika kitongoji cha hali ya juu kiitwacho Muyenga, katika Kitengo cha sasa cha Makindye, ndani ya mji mkuu wa [[Uganda]] [[Kampala]] . Katika miaka ya [[1990]], Hotel International Muyenga ilikuwa maarufu kwa karamu zake za mchana ambazo zilitembelewa sana na vijana. Rachael alikuwa mmoja wa vijana wengi waliohudhuria mikusanyiko ya watu. Alikua sehemu ya Muyenga Youth Club.<ref name="1R"/>
Rachael alipokuwa na umri wa miaka 13, alitazama kwenye video Deidra Muriel Roper (DJ Spinderella), deejay wa kike wa Marekani na rapa wakitumbuiza na akafurahishwa. Msanii wa Amerika alikuwa na ushawishi mkubwa kwa kijana mchanga. Katika klabu hiyo, Rachael alitambulishwa kwa nyota wa kimataifa kama Salt-n-Pepa, Roxanne Shante, MC Lyte, Run-DMC pamoja na Kid N Play. Alianza kuiga jinsi mastaa hao wa kimataifa walivyotumbuiza na pia kukariri jinsi walivyo-rap jambo ambalo lilimfanya apate nafasi kwenye sanduku la deejay mjini..<ref name="1R"/>
Kwa vile alikuwa bado kijana mdogo, Mjombake aliandamana naye hadi Club Pulsations, ambapo DJ Wasswa Junior alimfundisha jinsi ya kutumia turntable. Pia anamtembelea DJ Alex Ndawula kwa kumfundisha ujuzi fulani. Wakufunzi wengine ni pamoja na marehemu DJ Berry.<ref name="1R"/>
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Uganda]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu wa Uganda]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1978]]
op6e21x6sgejre2dtze9gl86xp0l427
Kweku Darlington
0
148945
1236181
1226853
2022-07-27T23:33:50Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Emmanuel Kweku Owusu Darlington''' (aliyezaliwa 17 Julai 1996), maarufu kama Kweku [[Darlington Michaels|Darlington]], ni mwanamuziki wa [[Ghana]], mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji kutoka [[Kumasi]]. Alipata umaarufu kwa wimbo maarufu 'Sika Aba Fie'. Alitoa remix ya wimbo huo iliyoshirikisha [[Fameye]], [[Kuami Eugene]], Yaw Tog na Kweku Flick.
== Kazi ==
Darlington alianza kuandika na kurekodi muziki akiwa na umri wa miaka 14.<ref name=":0">{{Cite web |last=Annor |first=Caleb Asante |date=2021-10-13 |title=Kweku Darlington Owns 'Sika Wimbo wa Kankan' – Wakili wa Kisheria |url=https://yfmghana.com/kweku-darlington-owns-sika-kankan-song-legal-counsel/ |access-tarehe=2022-04-22 |website=YFM Ghana |lugha =en-US}}</ref> Mnamo 2019, aliingia TV3 Mentor Toleo la kipindi cha uhalisia kilichopakiwa upya. Aliingia kwenye kambi ya buti. Hata hivyo alifukuzwa wakati wa onyesho la kwanza la kufukuzwa mnamo 12 Januari 2020.<ref>{{Cite web|last=|first=|title=Watatu waliofukuzwa kutoka kwa Mentor Reloaded ya TV3|url=https:/ /3news.com/three-evicted-from-tv3s-mentor-reloaded/|access-date=2022-04-22|website=3NEWS|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite web |tarehe=2020-01-14 |title=Watatu Waliofukuzwa Kutoka kwa Mentor wa TV3 Wapakiwa Upya |url=https://dailyguidenetwork.com/three-evicted-from-tv3s-mentor-reloaded/ |access-date=2022-04-22 |website=DailyGuide Network |language=en-US}}</ref> Baada ya kuacha onyesho, alitoa nyimbo kadhaa mnamo 2020 zikiwemo; AMANI (sema hapana kwa chuki dhidi ya wageni), Here We Go, Owuo, Promise, Obaa ne Barima na Nyansa. Obaa ne Barima ndiye aliyefanikiwa zaidi kati ya nyimbo hizo kulingana na uchezaji wa wakati wa maongezi wa redio na mitiririko ya video. Mnamo tarehe 21 Machi 2021, alitoa Sika Aba Fie iliyoangazia Yaw Tog na Kweku Flick. Wimbo huo ukawa moja ya nyimbo zilizovuma katika mwaka wa 2021. Ilikuwa kwenye chati kuu za redio za [[Ghana]] kwa wiki kadhaa. Hili lilileta umakini zaidi kwa talanta na nyimbo zake huku vyombo vya habari vikimtaja kuwa mmoja wa wasanii waliochipuka mwaka wa 2021.<ref>{{Cite web |last=Asare |first=Simon |date=24 Oktoba 2021 |title=Kweku Darlington iko tayari kuleta matokeo katika tasnia ya muziki |url=https://www.gna.org.gh/1.21235158 |access-date=22 Aprili 2022 |website=Shirika la Habari la Ghana |language=}}</ref><ref name=":0" /> Mnamo tarehe 14 Mei 2021, alitoa remix ya "Sika Aba Fie", iliyoshirikisha [[Fameye]], [[Kuami Eugene]], Yaw Tog na Kweku Flick.
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Ghana-bio-stub}}
{{Africa-musician-stub}}
{{DEFAULTSORT:Darlington, Kweku}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1996]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
cri8bfwg0fwrg6hv8lruiv5s36dsc7w
Joe Morris (mtunzi wa nyimbo)
0
148959
1236134
1223948
2022-07-27T16:23:18Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Joseph Morris''' (amezaliwa huko [[Palapye]], [[Botswana]] mnamo [[1966]]) ni [[mwanamuziki]] wa Botswana.
Kuvutiwa kwake na [[muziki]] kulianza mapema, akicheza ngoma huku akiwa na umri wa miaka 8, baadaye [[gitaa]] akiwa na miaka 12, baadaye Kibodi na [[kinanda]] akiwa na miaka 14. Kwa sasa anamiliki studio ya kurekodi <ref name='Gospel'>{{cite news | title=Gospel lovers to taste house styled album | date=2004-01-13 | url =http://www.gov.bw/cgi-bin/news.cgi?d=20040113&i=Gospel_lovers_to_taste_house_styled_album | work =Daily News | access-date = 2010-02-08 }}</ref> ametengeneza zaidi ya [[albamu]] 30. Mojawapo ya mambo muhimu kwake ilikuwa kutolewa kwa wimbo huo uliovuma "Ditlhopho Di Tsile" mwaka 2004,<ref name="AnotherJoe">{{cite news|first=Tlotlo|last=Matshediso|title=Another Joe Morris offer|date=2004-11-23|url=http://www.midweeksun.co.bw/386478719298.html|work=The Midweek Sun|access-date=2010-02-08|archive-url=https://web.archive.org/web/20041220081953/http://www.midweeksun.co.bw/386478719298.html|archive-date=2004-12-20|accessdate=2022-04-23}}</ref> wimbo alioutunga na kuimba mwenyewe ulioandaliwa na kuendeshwa na Tume ya Uhuru ya Uchaguzi ya Botswana ili kukuza uchaguzi wa kitaifa katika jaribio la kupunguza kutokujali kwa wapiga kura. Kuanzia mwaka wa 2006 hadi mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa [[Kiajemi]] imehesabiwa kuwa watu watano.
Alikuwa na jukumu katika kuimarisha sekta ya rekodi ya watoto ya Botswana, na kazi ya kutosha sio tu katika uzalishaji wake mwenyewe lakini pia na watu kama Socca Moruakgomo na albamu ya afrojazz, kuzaliwa kwa kundi la pop Davet Crew na Kast.
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje ==
* [https://web.archive.org/web/20041220081953/http://www.midweeksun.co.bw/386478719298.html ''The Midweek Sun'' article]
{{BD|1966|}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Botswana]]
3lkr3uu6p04b2xu5ytg3uwz85oqdosi
Namakula Mary Bata
0
148961
1236182
1225989
2022-07-27T23:40:29Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Namakula Mary Bata''', (Amazaliwa [[22 Desemba|22 Dicemba]] [[1993]]),anajulikana kama '''Mary Bata''', ni mtunzi wa kike wa [[Uganda]], [[msanii]].<ref>{{cite web | date=17 June 2018 | url=https://www.hipipo.com/home/artists/mary-bata/ | title=Mary Bata | accessdate=5 April 2020 | first=Editor | last=HiPipo | newspaper=HiPipo | location=Kampala | archivedate=2020-08-10 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20200810083643/https://www.hipipo.com/home/artists/mary-bata/ }}</ref><ref>{{cite web |date=26 March 2019 |url=https://www.bukedde.co.ug/bukedde/amawulire/1497042/mary-bata-acamudde-minista-amelia-kyambadde |title=Mary Bata acamudde Minista Amelia Kyambadde |accessdate=5 April 2020 |first=Paddy |last=Bukenya |newspaper=Bukedde |location=Kampala |archivedate=2020-04-06 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20200406110739/https://www.bukedde.co.ug/bukedde/amawulire/1497042/mary-bata-acamudde-minista-amelia-kyambadde }}</ref><ref>{{cite web| date=23 March 2016| url=https://www.newvision.co.ug/new_vision/news/1420317/mary-bata-hospitalised |title=Mary Bata hospitalised |accessdate=5 April 2020 |first=Kyle Duncun | last=Kushaba |newspaper=New Vision|location=Kampala}}</ref><ref>{{Cite web|url= http://xclusive.co.ug/2015/11/10/pics-singer-mary-bata-excites-mbabazi-mukono-paralyzed/|title= PICS! Singer Mary Bata Excites Mbabazi, Mukono Paralyzed|date= November 11, 2015|accessdate= 2022-04-23|archivedate= 2020-04-06|archiveurl= https://web.archive.org/web/20200406110734/http://xclusive.co.ug/2015/11/10/pics-singer-mary-bata-excites-mbabazi-mukono-paralyzed/}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://chano8.com/mary-bata-fired-manager/|title=Why Mary Bata Fired Her Manager – Chano8}}</ref><ref>https://www.bukedde.co.ug/bukedde/kasalabecca/1405005/omuyimbi-marybata-atya-abasajja-abeeyambud</ref>
==Awali==
Bata alisoma [[shule]] ya Msingi Kabata, [[shule]] ya Sekondari ya Chuo cha Maky Nateete na kwenda YMCA alikosoma na kutunukiwa stashahada ya Cosmetology & ubunifu mwaka 2013.<ref>{{cite web| date=26 March 2016| url=https://www.howwebiz.ug/news/showbiz/9769/mystery-man-balloons-singer-mary-bata.php|title=Mystery Man Balloons Singer Mary Bata|accessdate=5 April 2020 |first=Paddy | last=Bukenya |newspaper=Howwebiz|location=Kampala}}</ref><ref name="auto">https://www.bukedde.co.ug/bukedde/kasalabecca/1398359/mary-bata-asumuludde-saluti</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Uganda]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
jujig1snxo8g2pni8k9q2vlugx1lu5x
Ines Abdel-Dayem
0
149017
1236135
1220696
2022-07-27T16:33:29Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Ines Abdel-Dayem''' ni raia wa [[Misri]] na mpiga [[filimbi]] mashuhuri, apo awali alikua ni Mwenyekiti wa Cairo Opera House na ndiye Waziri wa Utamaduni wa Misri kwa sasa tangu Januari 2018.<ref name="ahram newculture">[http://english.ahram.org.eg/NewsContentP/5/288149/Arts--Culture/Ines-AbdelDayem-appointed-Egypts-new-culture-minis.aspx Cairo Opera Chairwoman Ines Abdel-Dayem appointed Egypt's new culture minister], ''Ahram.org'', 14 January 2018</ref>
== Historia ==
Ines Abdel-Dayem alisoma katika idara ya filimbi ya Cairo Conservatoire ambapo alihitimu mwaka wa 1984. Mnamo 1990, alipata diploma ya utendaji kutoka École Normale de Musique de Paris.<ref name="ahram newculture" />
Mnamo 2003, Abdel-Dayem aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa Cairo Symphony Orchestra. Mnamo 2005, alikua mkuu wa Conservatoire ya Cairo, na muda mfupi baadae akawa makamu wa rais wa Chuo cha Sanaa..<ref name="ahram newculture" />
Mnamo Februari 2012, Ines Abdel-Dayem alikua mwenyekiti wa Cairo Opera House. Mnamo Mei 2013, alipoteza wadhifa huu baada ya Undugu wa Kiislamu kuingia madarakani nchini humo, lakini alirejeshwa muda mfupi baadaye Julai 2013.<ref name="ahram newculture" /> Walakini, alikataa ofa ya kuwa Waziri wa Utamaduni wa nchi.<ref>[https://ifacca.org/en/news/2013/07/14/ines-abdel-dayem-be-appointed-egypt-culture-minist/ Ines Abdel-Dayem to be appointed Egypt culture minister: Source], ''Ifacca.org'', 14 July 2013</ref> [https://www.francemusique.fr/actualite-musicale/egypte-une-femme-presque-nommee-ministre-de-la-culture-3438 Egypte : une femme (presque) nommée ministre de la Culture], ''Francemusique.fr'', 17 July 2013</ref>
Mnamo Januari 2018, aliteuliwa kuwa Waziri wa Utamaaduni wa Misri.<ref name="ahram newculture" /> ndiye waziri wa pili wa Misri kutoka katika historia ya kisanii.<ref>[https://www.egypttoday.com/Article/4/43202/Ines-Abdel-Dayem-epitome-of-the-classical-scene-future-in Ines Abdel Dayem, epitome of the classical scene future in Egypt], ''Egypttoday.com'', 19 February 2018</ref> Mnamo Machi 2018, alimteua Mohamed Hefzy kama Rais wa mwaka wa Tamasha la Kimataifa la Filamu la Cairo.<ref>Nick Vivarelli, [https://variety.com/2018/film/news/egyptian-producer-mohammed-hefzy-appointed-cairo-film-festival-president-exclusive-1202740130/ Egyptian Producer Mohamed Hefzy Appointed Cairo Film Festival President (EXCLUSIVE)], ''Variety.com'', 30 March 2018</ref>
== Tuzo ==
* 2018: Tuzo ya Muziki wa Jazz ya Ujerumani<ref>[http://www.egypttoday.com/Article/4/48610/Ines-Abdel-Dayem-receives-German-Jazz-Music-Award-at-Berlin Ines Abdel Dayem receives German Jazz Music Award at Berlin ceremony], ''Egypttoday.com'', 25 April 2018</ref>
* 2001: Tuzo la Jimbo la Misri katika Sanaa<ref name="ahram newculture" />
* 1982:
** Tuzo ya nafasi ya kwanza katika Fédération Nationale des Unions des Conservatoires Municipaux<ref name="ahram newculture" />
** Tuzo ya nafasi ya kwanza katika Concours Général de Musique et d'Art Dramatique<ref name="ahram newculture" />
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Misri]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
12kx0bxyeb9287r7l04w63gc9uh6siq
Paco Sery
0
149025
1236160
1224250
2022-07-27T20:01:29Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Paco Sery''' (alizaliwa mnamo [[1 Mei|1 mei]] [[1956]], [[Cote d'Ivoire|Côte d'Ivoire]])<ref>{{cite web|url=http://en.afrik.com/musik/paco-sery/artist/1452|title=Paco Sery - African artists|date=15 March 2010|publisher=Afrik.com|accessdate=13 June 2010|archivedate=2020-06-15|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200615165959/https://www.afrik-musique.com/paco-sery/artiste/1452}}</ref> ni [[mwanamuziki]] wa [[dunia]] na mpiga [[Ngoma (muziki)|ngoma]] wa jazz fusion<ref name="Budofsky2006">{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=MWA6a9AKhzUC&pg=PA93|title=The drummer: 100 years of rhythmic power and invention|last=Budofsky|first=Adam|publisher=Hal Leonard Corporation|isbn=978-1-4234-0567-2|page=93}}</ref>. Aliimba na Joe Zawinul <ref name="BogdanovWoodstra2001">{{cite book|url=https://books.google.com/books?id=Z6TpuVW6QA4C&pg=PT1416|title=All music guide: the definitive guide to popular music|last1=Bogdanov|first1=Vladimir|last2=Woodstra|first2=Chris|last3=Erlewine|first3=Stephen Thomas|publisher=Hal Leonard Corporation|year=2001|isbn=978-0-87930-627-4|page=1435}}</ref> na Eddy Louiss. Pia ana Bendi yake mwenyewe ambayo alitoa [[albamu]] yake ya kwanza ya solo ya ''Voyages'', mnamo mwaka [[2000]].
==Marejeo==
[[Jamii: Wanamuziki wa Rwanda]]
[[Jamii: Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii: waliozaliwa 1956]]
[[Jamii: Waliohai]]
i3xe76wxc9b6spmjwhwfh1zjz1sgi9t
MoShang
0
149040
1236136
1223356
2022-07-27T16:45:41Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:MoShang.jpg|thumb|mwanamuziki wa downtempo na mtayarishaji wa muziki asili yake kutoka Afrika Kusini]]
'''MoShang''' ni mwanamuziki wa mtindo wa taratibu na mtayarishaji mwenye asili ya [[Afrika Kusini]]. Anajulikana kama Kinara wa Sauti na amekuwa akiishi [[Taiwan]] tangu 2003.
==Maisha ya awali na historia ya muziki==
MoShang ni mtunzi wa [[Uchina]] wa SESAC- mtunzi mshirika Jean Marais. Alianza kama mwimbaji wa [[kwaya]] mapema miaka ya 1980 huko [[Cape Town]], Afrika Kusini wakati huo alipata [[Tarakilishi|kompyuta]] yake ya kwanza, Commodore VIC-20. Ingechukua muda, hata hivyo, kwa upendo wake wa muziki na kompyuta kupata usemi wake bora. Marais alipata sifa kwa mara ya kwanza kama mwimbaji mkuu/mtangulizi wa bendi ya muziki ya roki ya Afrika Kusini ya Duusman.<ref>{{cite web|url= http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2000/07/07/7/9.html|author= Redelinghuys, Pieter|publisher= Die Burger|title= Duusman se taak was klaarblyklik om Snor City te gaan bevry|accessdate= 24 April 2011|archive-url= https://web.archive.org/web/20120322181639/http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2000/07/07/7/9.html|archive-date= 22 March 2012|url-status= dead|archivedate= 2012-03-22|archiveurl= https://web.archive.org/web/20120322181639/http://152.111.1.87/argief/berigte/dieburger/2000/07/07/7/9.html}}</ref> na kama mpiga saksafoni wa kikundi cha Tsunami; pia aliwahi kuwa mtayarishaji wa [[albamu]] tatu zilizoshinda tuzo za kumheshimu mshairi [[Breyten Breytenbach]] na kuunda nusu ya wasanii wawili wa pop wa Kiafrikana 12 Hz wakiwa na Riku Lätti.<ref>{{cite web|url= http://www.riku.co.za/12hz/rapport.htm|author= Du Toit, Wikus|publisher= Rapport|title= 12Hz: Nou|accessdate= 24 April 2011|archive-url= https://web.archive.org/web/20110725230125/http://www.riku.co.za/12hz/rapport.htm|archive-date= 25 July 2011|url-status= dead}}</ref> Alipata tuzo ya kifahari ya Avanti Craft ya Afrika Kusini kwa alama zake kwenye filamu fupi "Angels in a Cage"<ref>{{cite web|url= https://www.imdb.com/title/tt0231144|publisher= imdb.com|title= Angels in a Cage|accessdate = 24 April 2011}}</ref>
Marais walihamia mji wa Taiwan wa Taichung mwaka wa 2003; toleo lake la kwanza kama MoShang, Made in Taiwan, lilitolewa kwa alama ya Onse Plate (Kiafrikaans kwa Rekodi Zetu) mwaka wa 2004. Yake ya pili, Chill Dynasty, ilifuatiwa mwaka wa 2006. Muziki wake ulichaguliwa kwa Discovery HD uzalishaji Sikukuu za Ajabu za Ulimwengu.Mnamo 2009, alichaguliwa kama mshindi katika kitengo cha sauti cha Ubuntu 9.04 Free Culture Showcase na wimbo wake Invocation ulisambazwa pamoja na toleo hilo la OS.<ref>{{cite web|url= http://www.jonobacon.org/2009/03/24/ubuntu-904-free-culture-showcase-winners|author= Bacon, Jono|publisher= jonobacon.org|title= UBUNTU 9.04 FREE CULTURE SHOWCASE WINNERS!|accessdate= 24 April 2011|archivedate= 2016-08-06|archiveurl= https://web.archive.org/web/20160806082657/http://www.jonobacon.org/2009/03/24/ubuntu-904-free-culture-showcase-winners/}}</ref>
Mnamo 2009 aliungana (kama Jean Marais) na Andre van Rensburg na Louis Minnaar na kutoa mradi/albamu wa Eentonig
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
of410zbukn4ziczshnlftty8jawcauk
Gerard Sekoto
0
149075
1236161
1220863
2022-07-27T20:03:27Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Gerard Sekoto''' (Alizaliwa mnamo tarehe [[9]] [[Disemba]] [[1913]] - [[20]] [[Machi]] [[1993]],alikua [[Msanii]] na [[Mwanamuziki]] wa [[Afrika Kusini]].Alitambuliwa Kama mwanzilishi wa [[Sanaa]] [[nyeusi]] na uhalisia wa kijamii.Kazi yake ilioneshwa [[Paris]], [[Stockholm]], [[Venice]], [[Washington]], na [[Senegal]] pia [[Afrika Kusini]].
==Maisha ya Awali==
Sekoto alizaliwa mnamo tarehe 9 Disemba 1913 katika Misheni ya [[Kilutheri]] huko [[Botshabelo]] karibu na [[Middelburg]]<ref>John Peffer, ''Art and the End of Apartheid'', University of Virginia Press, 1991, p. 2.</ref>.Alikua [[Mtoto]] wa kiume wa Andeas Sekoto, mshiriki wa waongofi wapya wa [[Kikristo]].Sokote alisoma [[shule]] ya Wonderhoek aliyoanzishwa na baba yake.<ref>{{Cite web|url=https://www.sahistory.org.za/dated-event/south-african-artist-gerard-sekoto-born|title=South African artist Gerard Sekoto is born {{!}} South African History Online|website=www.sahistory.org.za|access-date=2019-11-20}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii: Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii: Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii: Waliozaliwa 1913]]
[[Jamii: Waliofariki 1993]]
s0gewhmf3h9djpal90u84ce0uys886v
Moses Mchunu
0
149082
1236163
1220876
2022-07-27T20:06:53Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Moses Mchunu'''(alizaliwa mnamo mwaka [[1953]])<ref name="LarkinGE">{{cite book|title=Encyclopedia of Popular Music{{!}}The Guinness Encyclopedia of Popular Music|date=1992|publisher=Guinness Publishing|isbn=0-85112-939-0|editor=Colin Larkin (writer){{!}}Colin Larkin|edition=First|page=1571}}</ref> ni [[mwanamuziki]] wa Maskandi kutokea kwa Zulu-Natal, [[Afrika Kusini]].Anajulikana Sana kwa wimbo wake wa "Qhwayilahle",ambao ulishirikishwa kwenye [[albamu]] ya Indestructible Beat ya [[Soweto]] mnamo mwaka [[1985]].<ref>{{cite book|last= Nathan Brackett, Christian David Hoard|title=The New Rolling Stone Album Guide|publisher=Simon and Schuster|date=2004|pages=[https://archive.org/details/newrollingstonea00brac/page/n929 916]|isbn=9780743201698|url=https://archive.org/details/newrollingstonea00brac|url-access= registration|quote= Moses Mchunu.}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii: Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii: Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii: Waliozaliwa 1953]]
[[Jamii: Waliohai]]
gvsv3tdw4stwxubgcsb0yoz5vsoz52m
Mandla Mofokeng
0
149104
1236137
1220926
2022-07-27T17:01:58Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mandla Daniel Mofokeng''' (alizaliwa 11 Septemba 1967) na ni mwanamuziki mtindo wa kwaito , mwimbaji na mtayarishaji anaejulikana kwa jina la '''Spikiri''' kutokea Meadowlands, [[Soweto]] na mwanachama wa kundi la Kwaito Trompies
Alianza kazi yake kama mchezaji dansi mnamo 1985, chini ya ulezi wa mwanamuziki wa [[Afrika Kusini]] [[Sello Chicco Twala]]. Baadaye alianzisha kikundi cha disco kilichoitwa MM De Luxe na rafiki yake du Masilela mwaka wa 1988. Wawili hawa walirekodi [[albamu]] mbili zilizofaulu mwaka wa 1989 na 1990 na kuanzisha kile kilichokuja kujulikana kama kwaito ya leo. Mapenzi yake ya muziki yalimfanya Mandla kujiandikisha katika Shule ya Muziki ya Fuba mnamo 1991 kusomea uhandisi na [[kinanda]]. Katika miaka ya 1990 alikuwa akitayarisha muziki wa wasanii kama Chimora, Kamazu, Senyaka na Fatty Boom Boom anayejulikana zaidi kama Tsekeleke. Mandla Mofokeng anayejulikana kwa tabia yake ya kujitutumua ni mwanachama mwanzilishi wa kikundi cha kwanza cha kwaito Trompies.<ref name="Harris">{{cite web|url={{Allmusic|class=artist|id=p513067/biography|pure_url=yes}}|title=Biography: Trompies|last=Harris|first=Craig|publisher=[[Allmusic]]|accessdate=15 June 2010}}</ref>ambayo imetoa idadi ya albamu ambazo baadhi yake zimeonekana na kuchukuliwa kuwa za asili za aina hiyo. Pia ni mwanachama mwanzilishi na mkurugenzi mwenza wa label yenye ushawishi mkubwa ya Kalawa Jazzmee, ambayo imetoa wasanii wengi wa kwaito wanaojulikana, wakiwemo Boom Shaka, Bongo Muffin, Alaska, BOP (Brothers) wa Amani), na Thebe. Kwa sasa anakaa kwenye bodi ya wakurugenzi katika kampuni ya Kalawa Jazmee Recording na pia ni mmoja wa wapangaji wakuu katika timu ya utayarishaji ya kampuni ya DCC (Dangerous Combination Crew). Michango yake ya hivi majuzi ni pamoja na rekodi za mafanikio za Brothers of Peace, Thebe, Bongo Maffin, Alaska, Mafikizolo, Jakarumba, MaWillies na Tokollo na Kabelo miradi ya pekee. Hivi majuzi, alikuwa mmoja wa watayarishaji wa Mafikizolo na Kabelo walioshinda tuzo. Vipaji mbalimbali vya muziki vya Mandla Spikiri vinaweza kushuhudiwa katika miradi ambayo amefanya kazi na wasanii wa aina nyingine za muziki, hizi ni pamoja na Don Laka, Moses Molelekwa, Bra Hugh Masikela, Vicky Vilakazi na Hashi Elimhlopheh.
Katika hafla ya 2 ya Tuzo za Mzansi Kwaito na Muziki wa Nyumbani, alishinda tuzo ya ''Msanii Bora wa Kiume wa Kwaito''.<ref>{{cite web|title=DJ Zinhle, Spikiri win big at Mzansi Kwaito & House Music Awards|url= https://www.iol.co.za/sundayindependent/dj-zinhle-spikiri-win-big-at-mzansi-kwaito-and-house-music-awards-12164090|work=Independent Online|date=26 November 2017|first=Amanda|last=Maliba}}</ref>
==Marejeo==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
43rjfofc1shx5k0kl7tuy8otteqr2s5
Moneoa Moshesh
0
149113
1236138
1220966
2022-07-27T17:05:51Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Moneoa Moshesh-Sowazi''' (alizaliwa {{Birth date|mf=yes|1989|11|06}}), ni mwimbaji-mtunzi wa nyimbo na mwigizaji wa [[Afrika Kusini]] anayejulikana kama '''Moneoa'''.<ref>{{Cite web|date=9 August 2017|title=Moneoa Moshesh|url=https://afternoonexpress.co.za/guests/moneoa-moshesh/3230|url-status=live|access-date=17 December 2021|website=[[Afternoon Express]]}}</ref> Alipata umaarufu baada ya kutoa baadhi ya miziki yake. ambayo ilifanya vizuri ni kama vile Is, Bhanxa na Pretty Disaster, nyimbo za mwisho pamoja na Da Capo..<ref name=":3">{{Cite news|last=Njoki|first=Eunice|date=30 November 2020|title=Moneoa Moshesh bio: age, family, songs, acting, nominations, awards, profile.|work=briefly.co.za|url=https://briefly.co.za/88557-moneoa-moshesh-bio-age-family-songs-acting-nominations-awards-profile.html|access-date=17 December 2021}}</ref>
Ameigiza filamu ya [[Johannesburg]] ya geto inayosambazwa (bila kutabirika) karibu na vurugu za 1958 za Sophia Town dhidi ya watekelezaji sheria iliyoitwa ''Back of the Moon'<nowiki/>'' ambapo aliigiza ''<nowiki/>'Eve Msomi'<nowiki/>'' pamoja na mshindi wa tuzo ''<nowiki/>'S'Dumo Mtshali'
== References ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
1qg3fd1frvra1bu6mw8zo5s07xrqj8l
1236139
1236138
2022-07-27T17:06:39Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Moneoa Moshesh-Sowazi''' (alizaliwa {{Birth date|mf=yes|1989|11|06}}), ni mwimbaji-mtunzi wa nyimbo na mwigizaji wa [[Afrika Kusini]] anayejulikana kama '''Moneoa'''.<ref>{{Cite web|date=9 August 2017|title=Moneoa Moshesh|url=https://afternoonexpress.co.za/guests/moneoa-moshesh/3230|url-status=live|access-date=17 December 2021|website=[[Afternoon Express]]}}</ref> Alipata umaarufu baada ya kutoa baadhi ya miziki yake. ambayo ilifanya vizuri ni kama vile Is, Bhanxa na Pretty Disaster, nyimbo za mwisho pamoja na Da Capo..<ref name=":3">{{Cite news|last=Njoki|first=Eunice|date=30 November 2020|title=Moneoa Moshesh bio: age, family, songs, acting, nominations, awards, profile.|work=briefly.co.za|url=https://briefly.co.za/88557-moneoa-moshesh-bio-age-family-songs-acting-nominations-awards-profile.html|access-date=17 December 2021}}</ref>
Ameigiza filamu ya [[Johannesburg]] ya geto inayosambazwa (bila kutabirika) karibu na vurugu za 1958 za Sophia Town dhidi ya watekelezaji sheria iliyoitwa ''Back of the Moon'<nowiki/>'' ambapo aliigiza ''<nowiki/>'Eve Msomi'<nowiki/>'' pamoja na mshindi wa tuzo ''<nowiki/>'S'Dumo Mtshali'
== References ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
68f7dgwsgbi2x5nypealb8cjkkq6g73
Valiant Swart
0
149121
1236195
1222381
2022-07-28T03:46:33Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Valiant Swart''' (mzaliwa wa Pierre Nolte, 25 Novemba 1965) ni mwanamuziki wa [[Afrika Kusini]], mwimbaji wa nyimbo za asili za [[Kiafrikaans|Kiafrikana]], na mwigizaji kutoka [[Wellington]].
==Kazi==
Alizaliwa Wellington, aliishi [[Stellenbosch]]. Mnamo 1977, akiwa na umri wa miaka 11, Valiant alipewa [[gitaa]] na baba yake na akajifundisha kucheza nyimbo za wasanii kama vile George Baker na Joe Dolan. Miaka miwili baadaye alimiliki gitaa lake la kwanza la umeme. Anaandika na kuimba kwa [[Kiingereza]] na [[Kiafrikaans|Kiafrikana]]. Kazi ambayo ilianzishwa na wasanii kama Anton Goosen na, baadaye, Koos Kombuis iliendelea na Swart.
Ametoa idadi kubwa ya [[albamu]] zilizoanza mwaka wa 1996 na albamu ''Die Mystic Boer''. Mnamo 2014, alitoa ushirikiano na rapa wa Afrika Kusini Jack Parow unaoitwa ''Tema van jou lied''. <ref>http://www.timeslive.co.za/entertainment/music/2014/04/25/jack-parow-and-valiant-swart-team-up-for-new-single Ilirudishwa 23 Mei 2014</ ref>
=== Mwanavamizi ===
Anajulikana zaidi kwa wimbo wake "Sonvanger" (maana yake ''kikamata jua'') kutoka kwa albamu yake ya 2002 ''Maanhare''. Aliandika wimbo huo baada ya kujiua kwa kutisha kwa mwanamuziki na mwimbaji wa Kiafrikana, mwandishi wa habari na mwandishi wa tamthilia Johannes Kerkorrel (aliyezaliwa Ralph John Rabie, 1960 - 12 Novemba 2002). Swart aliiandika akilini mwa mamake mwanamuziki, Anne, akimtamani mwanawe aliyepotea.<nowiki><ref></nowiki>[https://rwrant.co.za/valiant-swart-interview/ rwrant.co.za: Liefde By Die Dam Cape Town: Mahojiano ya Valiant Swart]</ref><ref>[https://www.news24.com/News24/Touching-tribute-to-Kerkorrel-20021121 News24: Kugusa heshima kwa Kerkorrel]</ref>
Anaongeza katika mahojiano: "Wimbo huo tangu wakati huo umeanza maisha yake mwenyewe; inaonekana kuwa umeleta faraja kwa watu wengi waliofiwa, ambayo, kusema kweli, inanifanya nijisikie vizuri."
Wimbo huu umeshughulikiwa mara nyingi hasa na Corlea Botha, Jurie Els, Laurika Rauch, Karen Zoid, [[Theuns Jordaan]] na Refentse.
==Diskografia==
===Albamu===
*''Die Mystic Boer'' (1996)
*''Dorpstraat Revisited'' (1996)
*''Kopskoot'' (1997)
*''Roekeloos'' (1998)
*''Deur kufa Donker Vallei'' (1999)
*''Boland Punk'' (2001)
*''Maanhare'' (2002)
*''Wimbo vir Katryn'' (2003)
*'''n Jaar in die son'' (pamoja na Koos Kombuis) (2003)
*''@ Jinx'' (pamoja na Mel Botes) (2004)
*''Mystic Myle'' (2005)
*''Horisontaal'' (2006)
*''Vuur en Vlam'' (pamoja na Ollie Viljoen) (2007)
*''Vrydagaand/Saterdagaand'' (2008)
*''Wild en Wakker'' (pamoja na Ollie Viljoen) (2010)
*''Nagrit'' (2015)
===Single===
*"Dis my Kruis" (1996)
*"Hoteli ya Boomtown" (1996)
*"Die skoene moet jy dra" (1996)
*"Dis 'n honde lewe" (1997)
*"Eldorado" (1997)
* "Ware liefde" (1997)
* "Eyeshadow" (1998)
*"Roekeloos" (1998)
*"Sonvanger" (2002)
*"Matrooslied" (2002)
*"Jakarandastraat" (2003)
* "Liefde katika vitongoji vya kufa" (2003)
* "Dans alikutana na mtoto wangu" (2003)
*"Die sewe af" (2003)
*"Lekker verby" (2003)
*"Baba se vastrap" (2003)
*"Horisontaal" (2006)
*"Vaalhoed se baas" (2006)
* "Spook en dizeli" (2008)
*"Heaven Hill blues" (2008)
*"Tema van jou alidanganya" (pamoja na Jack Parow) (2014)
==DVDs==
*Kuishi katika die Staatsteater (2003)
==Tuzo==
*Albamu Bora ya Muziki wa Jadi wa Kiafrika (pamoja na Ollie Viljoen)<ref>[http://entertainment.bizcommunity.com/?p=451 » Washindi wa Tuzo za Muziki za MTN Afrika Kusini | entertainment.bizcommunity.com<!-- Kichwa kilichotolewa na Boti -->]</ref> - Vuur en Vlam: [[Tuzo za Muziki za Afrika Kusini]] 2008
==Marejeo==
{{reflist}}
{{DEFAULTSORT:Swart, Valiant}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
6973gjndirszy26gn5gbignu9odv79b
Strike Vilakazi
0
149123
1236196
1226329
2022-07-28T05:09:53Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mgomo David Vilakazi''' (pia imeandikwa Vilakezi) alikuwa mwimbaji wa [[Afrika Kusini]], mpiga ngoma, mpiga tarumbeta, mtunzi, na mtayarishaji wa muziki. Alijulikana kwa kutunga wimbo wa kupinga ubaguzi wa rangi "Meadowlands", na kwa kazi yake kama mtayarishaji, ambapo alikuwa na ushawishi mkubwa katika ukuzaji wa mbaqanga.
=="Meadowlands"==
Makazi ya Sophiatown yalikuwa yameharibiwa na serikali ya ubaguzi ya Afrika Kusini mwaka wa 1955, na wenyeji wake 60,000 walihamia kwa lazima, wengi wao hadi kwenye makazi yanayojulikana kama Meadowlands. Kuhama kwao kulazimishwa kulimchochea Vilakazi kuandika "Meadowlands".<ref name=Vershbow>{{cite journal|last=Vershbow|first=Michela E.|title=Sauti za Upinzani: Nafasi ya Muziki katika Vuguvugu la Kupinga Ubaguzi wa Rangi Afrika Kusini. |journal=Inquiries Journal|volume=2|issue=6|year=2010|url=http://www.inquiriesjournal.com/articles/265/sauti-za-kupinga-jukumu-la-muziki- in-south-africas-anti-apartheid-movement|accessdate=26 October 2016}}</ref> "Meadowlands" iliwekwa kuwa "infectious jive beat". Iliangazia mwandishi wa muziki Todd Matshikiza kwenye [[kinanda]].<ref name=Ansell>{{cite book|title=Soweto Blues: Jazz, Muziki Maarufu, na Siasa nchini Afrika Kusini|first=Gwen|last=Ansell|publisher=A&C Black| url=https://books.google.com/books?id=_fwkCIKoTpgC|year=2005|isbn=978-0-8264-1753-4|page=79}}</ref> Maneno ya wimbo huo yaliandikwa katika lugha tatu; IsiZulu, SeSotho, na (''tsotsitaal)''lugha ya mtaani.<ref name=Ansell/> Kwa sauti ya juu juu, wimbo huu ulitafsiriwa vibaya kama unaunga mkono hatua ya Kusini. Serikali ya Kiafrika; kwa sababu hiyo, Vilakazi alipongezwa kwa hilo na afisa wa serikali, na kulingana na baadhi ya vyanzo, maombi ya makazi yaliharakishwa.<ref name=Ansell/> Hapo awali ilifanywa na Nancy Jacobs and Her Sisters, kama na wengi nyimbo nyingine za maandamano ya kipindi hiki, "Meadowlands" zilifanywa kuwa maarufu ndani na nje ya Afrika Kusini na [[Miriam Makeba]],<ref name=Vershbow/> na ikawa wimbo wa harakati dhidi ya ubaguzi wa rangi.<ref> name=Schumann</ref>
==Kazi ya uzalishaji==
Alipoandika "Meadowlands", Vilakazi alikuwa "skauti mwenye vipaji" wa kampuni ya utayarishaji muziki "Troubadour".<ref name="Coplan" /> Kuanzia 1952 hadi 1970 pia aliendesha kitengo cha weusi cha kampuni ya utayarishaji wa muziki Rekodi za Toni ya Kweli.<ref name="Broughton">{{cite book|last1=Broughton|first1=Simon|last2=Ellingham|first2=Mark|last3=Lusk|first3=Jon| title=Mwongozo Mbaya kwa Muziki wa Ulimwenguni: Afrika & Mashariki ya Kati|year=2006|publisher=Rough Guides|isbn=9781843535515|page=354|url=https://books.google.com/books?id=kbc7AQAAIAAJ}} </ref> Alikuwa miongoni mwa wanamuziki wa kwanza kushirikiana na shirika la South African Society of Composers, Authors, and Music Publishers, ambalo lilitaka kuwakilisha wanamuziki katika baadhi ya masuala ya kisheria. Mnamo 1962, kazi zake zilichukuliwa kwa kiasi kikubwa na Shirika la Haki za Muziki Kusini mwa Afrika (SAMRO).<ref name=Mojapelo>{{cite book|title=Beyond Memory|url=https://archive.org/details/beyondmemoryreco00moja|first=Max|last=Mojapelo|year= 2008|publisher=African Minds|location=Somerset West, Afrika Kusini|isbn=978-1-920299-28-6|pages=[https://archive.org/details/beyondmemoryreco00moja/page/n40 24], 55–57}}</ref> Mnamo 1954, alirekodi Anazungumza Mashiyane akipiga pennywhistle, na baadaye angemshawishi Mashiyane kwamba muziki uleule ungesikika vyema zaidi kwenye [[tarumbeta]]. Muziki uliotokea umeelezwa kuwa mtindo wa awali zaidi wa ''mbaqanga'', aina ambayo ingesalia kuwa maarufu miongoni mwa watu weusi wa Afrika Kusini kwa miaka mingi.<ref> name="Broughton" </ref>
==Marejeleo==
{{reflist|24em}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
d2lv4f0ygyyiua0dnqjqqzdxssp1nwy
1236197
1236196
2022-07-28T05:11:52Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mgomo David Vilakazi''' (pia imeandikwa Vilakezi) alikuwa mwimbaji wa [[Afrika Kusini]], mpiga ngoma, mpiga tarumbeta, mtunzi, na mtayarishaji wa muziki. Alijulikana kwa kutunga wimbo wa kupinga ubaguzi wa rangi "Meadowlands", na kwa kazi yake kama mtayarishaji, ambapo alikuwa na ushawishi mkubwa katika ukuzaji wa mbaqanga.
=="Meadowlands"==
Makazi ya Sophiatown yalikuwa yameharibiwa na serikali ya ubaguzi ya Afrika Kusini mwaka wa 1955, na wenyeji wake 60,000 walihamia kwa lazima, wengi wao hadi kwenye makazi yanayojulikana kama Meadowlands. Kuhama kwao kulazimishwa kulimchochea Vilakazi kuandika "Meadowlands".<ref name=Vershbow>{{cite journal|last=Vershbow|first=Michela E.|title=Sauti za Upinzani: Nafasi ya Muziki katika Vuguvugu la Kupinga Ubaguzi wa Rangi Afrika Kusini. |journal=Inquiries Journal|volume=2|issue=6|year=2010|url=http://www.inquiriesjournal.com/articles/265/sauti-za-kupinga-jukumu-la-muziki- in-south-africas-anti-apartheid-movement|accessdate=26 October 2016}}</ref> "Meadowlands" iliwekwa kuwa "infectious jive beat". Iliangazia mwandishi wa muziki Todd Matshikiza kwenye [[kinanda]].<ref name=Ansell>{{cite book|title=Soweto Blues: Jazz, Muziki Maarufu, na Siasa nchini Afrika Kusini|first=Gwen|last=Ansell|publisher=A&C Black| url=https://books.google.com/books?id=_fwkCIKoTpgC|year=2005|isbn=978-0-8264-1753-4|page=79}}</ref> Maneno ya wimbo huo yaliandikwa katika lugha tatu; IsiZulu, SeSotho, na (''tsotsitaal)''lugha ya mtaani.<ref name=Ansell/> Kwa sauti ya juu juu, wimbo huu ulitafsiriwa vibaya kama unaunga mkono hatua ya Kusini. Serikali ya Kiafrika; kwa sababu hiyo, Vilakazi alipongezwa kwa hilo na afisa wa serikali, na kulingana na baadhi ya vyanzo, maombi ya makazi yaliharakishwa.<ref name=Ansell/> Hapo awali ilifanywa na Nancy Jacobs and Her Sisters, kama na wengi nyimbo nyingine za maandamano ya kipindi hiki, "Meadowlands" zilifanywa kuwa maarufu ndani na nje ya Afrika Kusini na [[Miriam Makeba]],<ref name=Vershbow/> na ikawa wimbo wa harakati dhidi ya ubaguzi wa rangi.<ref name=Schumann></ref>
==Kazi ya uzalishaji==
Alipoandika "Meadowlands", Vilakazi alikuwa "skauti mwenye vipaji" wa kampuni ya utayarishaji muziki "Troubadour".<ref name="Coplan" /> Kuanzia 1952 hadi 1970 pia aliendesha kitengo cha weusi cha kampuni ya utayarishaji wa muziki Rekodi za Toni ya Kweli.<ref name="Broughton">{{cite book|last1=Broughton|first1=Simon|last2=Ellingham|first2=Mark|last3=Lusk|first3=Jon| title=Mwongozo Mbaya kwa Muziki wa Ulimwenguni: Afrika & Mashariki ya Kati|year=2006|publisher=Rough Guides|isbn=9781843535515|page=354|url=https://books.google.com/books?id=kbc7AQAAIAAJ}} </ref> Alikuwa miongoni mwa wanamuziki wa kwanza kushirikiana na shirika la South African Society of Composers, Authors, and Music Publishers, ambalo lilitaka kuwakilisha wanamuziki katika baadhi ya masuala ya kisheria. Mnamo 1962, kazi zake zilichukuliwa kwa kiasi kikubwa na Shirika la Haki za Muziki Kusini mwa Afrika (SAMRO).<ref name=Mojapelo>{{cite book|title=Beyond Memory|url=https://archive.org/details/beyondmemoryreco00moja|first=Max|last=Mojapelo|year= 2008|publisher=African Minds|location=Somerset West, Afrika Kusini|isbn=978-1-920299-28-6|pages=[https://archive.org/details/beyondmemoryreco00moja/page/n40 24], 55–57}}</ref> Mnamo 1954, alirekodi Anazungumza Mashiyane akipiga pennywhistle, na baadaye angemshawishi Mashiyane kwamba muziki uleule ungesikika vyema zaidi kwenye [[tarumbeta]]. Muziki uliotokea umeelezwa kuwa mtindo wa awali zaidi wa ''mbaqanga'', aina ambayo ingesalia kuwa maarufu miongoni mwa watu weusi wa Afrika Kusini kwa miaka mingi.<ref> name="Broughton" </ref>
==Marejeleo==
{{reflist|24em}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
93es2k92at64ki6cbszpfu62cs8mvpc
1236198
1236197
2022-07-28T05:13:38Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mgomo David Vilakazi''' (pia imeandikwa Vilakezi) alikuwa mwimbaji wa [[Afrika Kusini]], mpiga ngoma, mpiga tarumbeta, mtunzi, na mtayarishaji wa muziki. Alijulikana kwa kutunga wimbo wa kupinga ubaguzi wa rangi "Meadowlands", na kwa kazi yake kama mtayarishaji, ambapo alikuwa na ushawishi mkubwa katika ukuzaji wa mbaqanga.
=="Meadowlands"==
Makazi ya Sophiatown yalikuwa yameharibiwa na serikali ya ubaguzi ya Afrika Kusini mwaka wa 1955, na wenyeji wake 60,000 walihamia kwa lazima, wengi wao hadi kwenye makazi yanayojulikana kama Meadowlands. Kuhama kwao kulazimishwa kulimchochea Vilakazi kuandika "Meadowlands".<ref name=Vershbow>{{cite journal|last=Vershbow|first=Michela E.|title=Sauti za Upinzani: Nafasi ya Muziki katika Vuguvugu la Kupinga Ubaguzi wa Rangi Afrika Kusini. |journal=Inquiries Journal|volume=2|issue=6|year=2010|url=http://www.inquiriesjournal.com/articles/265/sauti-za-kupinga-jukumu-la-muziki- in-south-africas-anti-apartheid-movement|accessdate=26 October 2016}}</ref> "Meadowlands" iliwekwa kuwa "infectious jive beat". Iliangazia mwandishi wa muziki Todd Matshikiza kwenye [[kinanda]].<ref name=Ansell>{{cite book|title=Soweto Blues: Jazz, Muziki Maarufu, na Siasa nchini Afrika Kusini|first=Gwen|last=Ansell|publisher=A&C Black| url=https://books.google.com/books?id=_fwkCIKoTpgC|year=2005|isbn=978-0-8264-1753-4|page=79}}</ref> Maneno ya wimbo huo yaliandikwa katika lugha tatu; IsiZulu, SeSotho, na (''tsotsitaal)''lugha ya mtaani.<ref name=Ansell/> Kwa sauti ya juu juu, wimbo huu ulitafsiriwa vibaya kama unaunga mkono hatua ya Kusini. Serikali ya Kiafrika; kwa sababu hiyo, Vilakazi alipongezwa kwa hilo na afisa wa serikali, na kulingana na baadhi ya vyanzo, maombi ya makazi yaliharakishwa.<ref name=Ansell/> Hapo awali ilifanywa na Nancy Jacobs and Her Sisters, kama na wengi nyimbo nyingine za maandamano ya kipindi hiki, "Meadowlands" zilifanywa kuwa maarufu ndani na nje ya Afrika Kusini na [[Miriam Makeba]],<ref name=Vershbow/> na ikawa wimbo wa harakati dhidi ya ubaguzi wa rangi.<ref name=Schumann</ref>
==Kazi ya uzalishaji==
Alipoandika "Meadowlands", Vilakazi alikuwa "skauti mwenye vipaji" wa kampuni ya utayarishaji muziki "Troubadour".<ref>name="Coplan" </ref> Kuanzia 1952 hadi 1970 pia aliendesha kitengo cha weusi cha kampuni ya utayarishaji wa muziki Rekodi za Toni ya Kweli.<ref name="Broughton">{{cite book|last1=Broughton|first1=Simon|last2=Ellingham|first2=Mark|last3=Lusk|first3=Jon| title=Mwongozo Mbaya kwa Muziki wa Ulimwenguni: Afrika & Mashariki ya Kati|year=2006|publisher=Rough Guides|isbn=9781843535515|page=354|url=https://books.google.com/books?id=kbc7AQAAIAAJ}} </ref> Alikuwa miongoni mwa wanamuziki wa kwanza kushirikiana na shirika la South African Society of Composers, Authors, and Music Publishers, ambalo lilitaka kuwakilisha wanamuziki katika baadhi ya masuala ya kisheria. Mnamo 1962, kazi zake zilichukuliwa kwa kiasi kikubwa na Shirika la Haki za Muziki Kusini mwa Afrika (SAMRO).<ref name=Mojapelo>{{cite book|title=Beyond Memory|url=https://archive.org/details/beyondmemoryreco00moja|first=Max|last=Mojapelo|year= 2008|publisher=African Minds|location=Somerset West, Afrika Kusini|isbn=978-1-920299-28-6|pages=[https://archive.org/details/beyondmemoryreco00moja/page/n40 24], 55–57}}</ref> Mnamo 1954, alirekodi Anazungumza Mashiyane akipiga pennywhistle, na baadaye angemshawishi Mashiyane kwamba muziki uleule ungesikika vyema zaidi kwenye [[tarumbeta]]. Muziki uliotokea umeelezwa kuwa mtindo wa awali zaidi wa ''mbaqanga'', aina ambayo ingesalia kuwa maarufu miongoni mwa watu weusi wa Afrika Kusini kwa miaka mingi.<ref> name="Broughton" </ref>
==Marejeleo==
{{reflist|24em}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
fjomb8uow9q0fau0qnn9pxchhf1u7du
1236199
1236198
2022-07-28T05:15:22Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mgomo David Vilakazi''' (pia imeandikwa Vilakezi) alikuwa mwimbaji wa [[Afrika Kusini]], mpiga ngoma, mpiga tarumbeta, mtunzi, na mtayarishaji wa muziki. Alijulikana kwa kutunga wimbo wa kupinga ubaguzi wa rangi "Meadowlands", na kwa kazi yake kama mtayarishaji, ambapo alikuwa na ushawishi mkubwa katika ukuzaji wa mbaqanga.
=="Meadowlands"==
Makazi ya Sophiatown yalikuwa yameharibiwa na serikali ya ubaguzi ya Afrika Kusini mwaka wa 1955, na wenyeji wake 60,000 walihamia kwa lazima, wengi wao hadi kwenye makazi yanayojulikana kama Meadowlands. Kuhama kwao kulazimishwa kulimchochea Vilakazi kuandika "Meadowlands".<ref name=Vershbow>{{cite journal|last=Vershbow|first=Michela E.|title=Sauti za Upinzani: Nafasi ya Muziki katika Vuguvugu la Kupinga Ubaguzi wa Rangi Afrika Kusini. |journal=Inquiries Journal|volume=2|issue=6|year=2010|url=http://www.inquiriesjournal.com/articles/265/sauti-za-kupinga-jukumu-la-muziki- in-south-africas-anti-apartheid-movement|accessdate=26 October 2016}}</ref> "Meadowlands" iliwekwa kuwa "infectious jive beat". Iliangazia mwandishi wa muziki Todd Matshikiza kwenye [[kinanda]].<ref name=Ansell>{{cite book|title=Soweto Blues: Jazz, Muziki Maarufu, na Siasa nchini Afrika Kusini|first=Gwen|last=Ansell|publisher=A&C Black| url=https://books.google.com/books?id=_fwkCIKoTpgC|year=2005|isbn=978-0-8264-1753-4|page=79}}</ref> Maneno ya wimbo huo yaliandikwa katika lugha tatu; IsiZulu, SeSotho, na (''tsotsitaal)''lugha ya mtaani.<ref name=Ansell/> Kwa sauti ya juu juu, wimbo huu ulitafsiriwa vibaya kama unaunga mkono hatua ya Kusini. Serikali ya Kiafrika; kwa sababu hiyo, Vilakazi alipongezwa kwa hilo na afisa wa serikali, na kulingana na baadhi ya vyanzo, maombi ya makazi yaliharakishwa.<ref name=Ansell/> Hapo awali ilifanywa na Nancy Jacobs and Her Sisters, kama na wengi nyimbo nyingine za maandamano ya kipindi hiki, "Meadowlands" zilifanywa kuwa maarufu ndani na nje ya Afrika Kusini na [[Miriam Makeba]],<ref name=Vershbow/> na ikawa wimbo wa harakati dhidi ya ubaguzi wa rangi.<ref> name=Schumann</ref>
==Kazi ya uzalishaji==
Alipoandika "Meadowlands", Vilakazi alikuwa "skauti mwenye vipaji" wa kampuni ya utayarishaji muziki "Troubadour".<ref>name="Coplan" </ref> Kuanzia 1952 hadi 1970 pia aliendesha kitengo cha weusi cha kampuni ya utayarishaji wa muziki Rekodi za Toni ya Kweli.<ref name="Broughton">{{cite book|last1=Broughton|first1=Simon|last2=Ellingham|first2=Mark|last3=Lusk|first3=Jon| title=Mwongozo Mbaya kwa Muziki wa Ulimwenguni: Afrika & Mashariki ya Kati|year=2006|publisher=Rough Guides|isbn=9781843535515|page=354|url=https://books.google.com/books?id=kbc7AQAAIAAJ}} </ref> Alikuwa miongoni mwa wanamuziki wa kwanza kushirikiana na shirika la South African Society of Composers, Authors, and Music Publishers, ambalo lilitaka kuwakilisha wanamuziki katika baadhi ya masuala ya kisheria. Mnamo 1962, kazi zake zilichukuliwa kwa kiasi kikubwa na Shirika la Haki za Muziki Kusini mwa Afrika (SAMRO).<ref name=Mojapelo>{{cite book|title=Beyond Memory|url=https://archive.org/details/beyondmemoryreco00moja|first=Max|last=Mojapelo|year= 2008|publisher=African Minds|location=Somerset West, Afrika Kusini|isbn=978-1-920299-28-6|pages=[https://archive.org/details/beyondmemoryreco00moja/page/n40 24], 55–57}}</ref> Mnamo 1954, alirekodi Anazungumza Mashiyane akipiga pennywhistle, na baadaye angemshawishi Mashiyane kwamba muziki uleule ungesikika vyema zaidi kwenye [[tarumbeta]]. Muziki uliotokea umeelezwa kuwa mtindo wa awali zaidi wa ''mbaqanga'', aina ambayo ingesalia kuwa maarufu miongoni mwa watu weusi wa Afrika Kusini kwa miaka mingi.<ref> name="Broughton" </ref>
==Marejeleo==
{{reflist|24em}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
emu3qgfxr21dpnowoxsa1vsf7bkx51d
Peta Teanet
0
149124
1236200
1232154
2022-07-28T05:21:23Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Peta Teanet''' alikuwa mwanamuziki wa disko wa [[Afrika Kusini]] mwenye asili ya Shangaan.
Aliishi katika kijiji cha Thapane, huko Bolobedu kusini huko Ga-Modjadji. Aliuawa na polisi huko Bushbuckridge Acornhoek wakati wa mabishano. Alisomea shule seiondari ya juu k katika Shule ysekondarilya juu i ya Kgwekgwe katika Kijiji cha Moleketla, Bolobedu Kusini. Alianza kuju[[Kishona|a Kisho]]<nowiki/>na na pia alikuwa na nyimbo kadhaa alizoimba kw[[Kishona|a Kisho]]<nowiki/>na. Alizaliwa Afrika Kusini[[Albamu|. Alba]]<nowiki/>mu yake ya kwanza, Maxaka (sisi ni jamaa) ilirekodiwa mwaka wa 1988. Muziki wake uliathiriwa na Paul Ndlovu. Yeye ni mzaliwa wa tatu wa Emma Teanet ambaye pia alikuwa mwanamuziki. Peta Teanet alikuwa mfalme bora na mfalme wa Muziki wa Disco wa Xitsonga wakati wake, alicheza muziki wake na wasanii kama: Penny Penny ambaye alikuwa rafiki yake, Foster Teanet mdogo wake, Joe Shirimane na wengine wengi. Alikuwa mmoja wa wanamuziki wa disco wa xitsonga. Iliyokuwa kata 11 chini ya Manispaa ya Mtaa ya Greater Tzaneen, Wilaya ya Mopani, sasa imebadilisha jina lake kuwa wadi ya Peta Teanet.
Peta Teanet productions : Emma Teanet (mama) ;Fosta Teanet (Brother);Jeanet Teanet (binti) ;Vuyelwa (mke) ;Shamila (Mke) ; Ashante ;Girlie Mafurha ;Linah Khama; Samsom Mthombeni ;The BIG T;Wireless Julius Bomba; Luz de Sá na Tinito wa le Msumbiji. Peta aliwasaidia wapenda roho na Jenerali Musca ;Penny Penny ;Sunglen Chabalala ; Nesi Matlala na Candy N'wayingwani jinsi ya kutengeneza muziki.
Peta alikuwa almasi ambaye hakushindwa katika disko la Xitsonga kuanzia 1988-1996.
Kifo cha mtu huyu wa hadithi kinaweza kuelezewa vyema na wakaazi wa Acornhoek, hapa ndipo Peta Teanet alionekana akiigiza mara ya mwisho. Acornhoek Mahali pa Kifo cha mfalme wa Xitsonga Disco. Roho yake mpendwa ipumzike kwa amani na daima atakumbukwa na familia na mashabiki wake.
==Diskografia==
*(1988) Maxaka
*(1989) Kesi ya Talaka
*(1990) Vibao Zaidi Kutoka kwa Peta Teanet
*(1991) Albamu ya Injili pamoja na Watumishi Maalum
*(1991) Peta Teanet Halisi
*(1992) Saka Naye Jive
*(1992) Mashujaa Peta Teanet na Paul Ndlovu
*(1993) Jahman Teanet
*(1993) Uta ku Tsakisa
*(1994) Peta Itakusisimua
*(1995) Pashashi Mbili
*(1996) Mfalme Wa Shangaan Disco
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{DEFAULTSORT:Teanet, Peta}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Watu kutoka Soweto]]
[[Jamii:Waliofariki 1996]]
jhrnmntqy1rqafrfuaj4fdzwt6su5li
1236201
1236200
2022-07-28T05:34:51Z
Anuary Rajabu
45588
/* Diskografia */
wikitext
text/x-wiki
'''Peta Teanet''' alikuwa mwanamuziki wa disko wa [[Afrika Kusini]] mwenye asili ya Shangaan.
Aliishi katika kijiji cha Thapane, huko Bolobedu kusini huko Ga-Modjadji. Aliuawa na polisi huko Bushbuckridge Acornhoek wakati wa mabishano. Alisomea shule seiondari ya juu k katika Shule ysekondarilya juu i ya Kgwekgwe katika Kijiji cha Moleketla, Bolobedu Kusini. Alianza kuju[[Kishona|a Kisho]]<nowiki/>na na pia alikuwa na nyimbo kadhaa alizoimba kw[[Kishona|a Kisho]]<nowiki/>na. Alizaliwa Afrika Kusini[[Albamu|. Alba]]<nowiki/>mu yake ya kwanza, Maxaka (sisi ni jamaa) ilirekodiwa mwaka wa 1988. Muziki wake uliathiriwa na Paul Ndlovu. Yeye ni mzaliwa wa tatu wa Emma Teanet ambaye pia alikuwa mwanamuziki. Peta Teanet alikuwa mfalme bora na mfalme wa Muziki wa Disco wa Xitsonga wakati wake, alicheza muziki wake na wasanii kama: Penny Penny ambaye alikuwa rafiki yake, Foster Teanet mdogo wake, Joe Shirimane na wengine wengi. Alikuwa mmoja wa wanamuziki wa disco wa xitsonga. Iliyokuwa kata 11 chini ya Manispaa ya Mtaa ya Greater Tzaneen, Wilaya ya Mopani, sasa imebadilisha jina lake kuwa wadi ya Peta Teanet.
Peta Teanet productions : Emma Teanet (mama) ;Fosta Teanet (Brother);Jeanet Teanet (binti) ;Vuyelwa (mke) ;Shamila (Mke) ; Ashante ;Girlie Mafurha ;Linah Khama; Samsom Mthombeni ;The BIG T;Wireless Julius Bomba; Luz de Sá na Tinito wa le Msumbiji. Peta aliwasaidia wapenda roho na Jenerali Musca ;Penny Penny ;Sunglen Chabalala ; Nesi Matlala na Candy N'wayingwani jinsi ya kutengeneza muziki.
Peta alikuwa almasi ambaye hakushindwa katika disko la Xitsonga kuanzia 1988-1996.
Kifo cha mtu huyu wa hadithi kinaweza kuelezewa vyema na wakaazi wa Acornhoek, hapa ndipo Peta Teanet alionekana akiigiza mara ya mwisho. Acornhoek Mahali pa Kifo cha mfalme wa Xitsonga Disco. Roho yake mpendwa ipumzike kwa amani na daima atakumbukwa na familia na mashabiki wake.
==Diskografia==
*([[1988]]) Maxaka
*([[1989]]) Kesi ya Talaka
*([[1990]]) Vibao Zaidi Kutoka kwa Peta Teanet
*([[1991]]) Albamu ya Injili pamoja na Watumishi Maalum
*(1991) Peta Teanet Halisi
*([[1992]]) Saka Naye Jive
*(1992) Mashujaa Peta Teanet na Paul Ndlovu
*([[1993]]) Jahman Teanet
*(1993) Uta ku Tsakisa
*([[1994]]) Peta Itakusisimua
*([[1995]]) Pashashi Mbili
*([[1996]]) Mfalme Wa Shangaan Disco
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{DEFAULTSORT:Teanet, Peta}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Watu kutoka Soweto]]
[[Jamii:Waliofariki 1996]]
pykexmstdxd14h8qerdnj4ht3my0xv9
Euphonik
0
149127
1236258
1232577
2022-07-28T09:04:48Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Themba performs at Womadelaide 2020.jpg|thumb|267x267px|'''Themba nimtumbuizaji katika WOMADelaide 2020''']]
'''DJ Themba''', pia anajulikana kama Euphonik (aliyezaliwa 6 Desemba 1983), ni DJ wa [[Afrika Kusini]], mtayarishaji wa muziki, na mtangazaji wa redio. Anajulikana zaidi kwa kucheza muziki wa nyumbani chini ya jina la Euphonik.
==Maisha ya awali==
Nkosi alizaliwa [[Mpumalanga]], Afrika Kusini mnamo 6 Desemba 1983. Alitumia utoto wake huko Likazi, baadaye akahamia [[Klerksdorp]], na kisha Benoni. Mapenzi yake ya awali ya muziki yalichochewa na wasanii ambao baba yake aliwasikiliza - kama vile The Spinners, Marvin Gaye, Stimela, na [[Hugh Masekela]].<ref name=Owen>{{cite web|author=Owen|url=http://www.owens.co.za/profile/173/Euphonik|title=Profile, Euphonik|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|year=2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20140422034619/http://www.owens.co.za/profile/173/Euphonik|archive-date=22 Aprili 2014|url-status=dead}}</ ref> Alianza DJ wakati wa ujana wake na akajiimarisha haraka katika eneo la muziki wa vilabu. Haikuchukua muda mrefu kabla ya michanganyiko yake kupata uchezaji wa redio, mwanzoni kwenye kituo cha kikanda cha YFM. Kisha akapewa fursa ya kutangaza vipindi vyake kwenye kituo cha redio cha taifa 5FM.<ref>{{cite web|title=5FM azindua mabadiliko ya safu|url=https://m.bizcommunity.com/Article/196/59/ 13962.html|work=Biz Community|date=28 Machi 2007}}</ref>
==Kazi ya muziki==
=== Euphonik (2003–2016) ===
Euphonik alianza kuigiza kwa mara ya kwanza mwaka wa 2003 na akapata kutambuliwa mwaka wa 2004 wakati yeye na DJ wa Afrika Kusini, DJ Kent walipoungana na kutoa [[albamu]] pamoja, ''Kentphonik''.
Mnamo 2004, Euphonik alianza kazi yake ya redio kwenye YFM, kituo cha redio cha kikanda nchini Afrika Kusini, akifanya mchanganyiko kwenye vipindi vya redio. Alitiwa saini na kampuni ya rekodi ya Soul Candi Records mwaka wa 2006.<ref name="Soul Candi">{{cite web|author=Soul Candi|url=http://www.soulcandi.co.za/index.php/artists -board/euphonik/|archive-url=https://web.archive.org/web/20140505113040/http://www.soulcandi.co.za/index.php/artists-board/euphonik/|url-status=dead|archive-date=5 Mei 2014|accessdate=25 Machi 2014|title=Euphonik|location=Afrika Kusini|year=2013}}</ref>
Alikuwa YFM hadi 2006, alipohamia 5FM, ambapo alikuwa na vipindi viwili vya kila wiki. Onyesho lake la Jumamosi, ''Ultimix Weekend Edition'', liliangazia muziki mpya na mchanganyiko kutoka kwa ma-DJ kote Afrika Kusini na mipaka ya kimataifa. Kipindi hicho cha saa tatu (18:00 – 22:00) ndicho kilibuniwa na mojawapo ya vipengele maarufu vya 5FM, Ultimix @6, ambacho kinaweza kusikika kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa kwenye kipindi cha Roger Goode. Kipindi hiki kinahusisha michanganyiko ya dakika 30 na hutumika kama jukwaa la kuonyesha vipaji vya DJ baadhi ya wasanii wa densi na musos maarufu duniani. Kipindi cha Jumamosi usiku kilikatishwa mwaka wa 2014. Kipindi chake cha Jumapili, ''My House'', ni kipindi kinachohusu nyimbo za hivi punde na maarufu zaidi za nyimbo za nyumbani kutoka kote ulimwenguni.<ref name=5FM />
Euphonik amezunguka ulimwengu na amecheza katika maeneo kama vile [[New York]], [[Miami]], Ibiza, [[Dubai]], [[Uingereza]], [[Hispania|Uhispania]], na kote [[Afrika]]. Ameshiriki hatua na Tiesto, Swedish House Mafia, Avicii, Afrojack, Hardwell, Skrillex, Nicky Romero, Deadmau5, Louie Vega, na Richie Hawtin.
Mnamo 2009, Euphonik na rafiki wa muda mrefu DJ Fresh waliunda chapa pamoja, inayoitwa F.Eu. Tangu 2009, wamerekodi jumla ya albamu nne pamoja. Wawili hao husafiri kwenda Ibiza na Miami kila mwaka kucheza kwenye hafla kama vile Uvamizi wa Miami wa Afrika Kusini na Ultra Fest Miami. Mnamo 2014 na 2015, waliongoza Ultra Fest Afrika Kusini na pia nahodha wa safari ya karamu ya "Oh Ship" kutoka [[Durban]], [[Afrika Kusini]] hadi Kisiwa cha [[Ureno]].<ref name=MSC>{{cite web|url=http://www. msccruises.co.za/za_en/Special-Cruises/Theme-Cruises/Oh_ship.aspx|title=OH SHIP 3|publisher=MSC|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|year=2014}}</ref>
Mnamo 2013, wimbo wa Euphonik akiwa na Mwafrika Kusini DJ Fresh na Nyanda, "Cool and Deadly", ulipanda hadi nambari moja kwenye 5FM Top 40.
Tangu 2006, amekuwa na kipindi cha redio cha kila wiki katika kituo cha redio cha taifa cha Afrika Kusini 5FM, ''My House'', kinachorushwa Jumapili jioni.<ref name=5FM>{{cite web|author=5FM|url=http ://www.5fm.co.za/sabc/home/5fm/shows/onairpersonalities/details?id=12274982-5af4-43a8-b9e7-7721a9397b87&title=DJ%20Euphonik|title=On Airuphonik DJ, SABC|accessdate=25 Machi 2014 |location=Afrika Kusini|year=2013}}</ref>
Ameteuliwa kwa [[tuzo]] kadhaa katika [[Tuzo za Muziki za Afrika Kusini]] na Metro FM Tuzo za Muziki. Mnamo 2014, alishinda tuzo yake ya kwanza - tuzo ya Metro FM ya Albamu Bora ya Kukusanya kwa albamu yake, Kwa ''The Love of House Volume 5''.<ref>{{cite web|author=BPM Mag|url=http: //bpmmag.co.za/news/dj-euphonik-bags-best-compilation-album-metro-fm-awards/|title=DJ Euphonik apokea 'Albamu Bora ya Kukusanya' katika Tuzo za Metro FM|accessdate=25 Machi 2014|location=South Africa|year=2014|archivedate=2014-03-16|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140316180954/http://bpmmag.co.za/news/dj-euphonik-bags-best-compilation-album-metro-fm-awards/}}</ref> Aliteuliwa katika Tuzo za Muziki za Afrika Kusini za 2014 za Remix of the Year kwa wimbo wake "Hallelujah Anyway".<ref name="Destiny Connect">{{cite web|author=Destiny Connect|url=http://www.desstinyconnect.com/2014/03/13/sama-2014-nominees-announced/|title=Sama 2014 walioteuliwa walitangazwa|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|mwaka=2014}}</ref>Mnamo 2015, aliteuliwa mara mbili katika Tuzo za Muziki za Metro FM za Albamu Bora ya Kukusanya kwa albamu yake, ''For The Love of House Volume 6'', na pia kwa Wimbo Bora wa Mwaka wa "Busa".
=== Themba (2017–sasa) ===
Mnamo 2017, Euphonik alianza kutumbuiza kwa jina bandia la '''Themba''', akichanganya muziki wa techno na wa nyumbani katika seti na utayarishaji wake wa DJ.<ref>{{Cite web|url=https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa -live/2019-10-24-kahawa-nyeusi-imempongeza-dj-themba-kwa-kuanza-upya/|title=Black Coffee anampongeza DJ Themba kwa kuanza 'upya'|website=TimesLIVE|language=en-ZA|access -date=2020-02-17}}</ref> Tangu atumie jina lake jipya la bandia, amefanya kazi na waimbaji mbalimbali wa Afrika Kusini, watunzi wa nyimbo na waimbaji wa midundo ili kutoa nyimbo asilia za techno na za nyumbani. Muziki wake umetolewa kwenye lebo mbalimbali za rekodi, zikiwemo zinavuma tangu '82 Knee Deep in Sound na Yoshitoshi. Ametumbuiza pamoja na Black Coffee nchini Afrika Kusini na Ibiza na akacheza katika Ultra Music's Festival mwaka wa 2018. Aliteuliwa kwa Mchezaji Bora Mpya 2018 na Best Breakthrough 2019 katika Ibiza DJ Awards. .<ref name=":0">{{Cite web|url=https://www.womadelaide.com.au/artists/themba|title=Themba - WOMADelaide 2020|website=www.womadelaide.com.au|access-date=2020-02-17|accessdate=2022-04-24|archivedate=2020-11-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201129112951/https://www.womadelaide.com.au/artists/themba}}</ref> Aliunga mkono Faithless kwenye ziara yao ya Afrika Kusini<ref name=":1">{{Cite web|url=https://www.redentadvisor .net/dj/themba/biography|title=RA: Themba|website=Mshauri wa Mkazi|access-date=2020-02-17}}{{Dead link|date=July 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> na kutekeleza seti ya kufunga huko Womadelaide [[Australia Kusini|Kusini Australia]] mwaka wa 2020.<ref name=":0" />
==Ushauri==
Euphonik aliweka pamoja warsha ya kila mwaka ya siku moja inayoitwa DJ-101. Warsha hiyo ilitumiwa kushiriki ujuzi wake kuhusu [[tasnia ya muziki]] na DJ na wale wanaotamani kuwa na taaluma katika tasnia hiyo. Pia aliendesha Programu ya Ushauri ya mwaka mmoja, Phuture DJs, ambapo alichukua ma DJ wawili wajao kutoka kote nchini na kuwafundisha mambo ya ndani na nje ya ulimwengu wa DJ. Mwishoni mwa Mpango wa Ushauri, ma DJ hao wawili na Euphonik walitoa CD pamoja kwa ajili ya kutolewa ndani na kukuza kitaifa.<ref name="DJ 101">{{cite web|url=http://www.dj101.co. za/|title=DJ 101|publisher=DJ 101|location=South Africa}}</ref> Yeye ni/balozi wa shirika la hisani la Bridges For Music nchini Afrika Kusini na anawashauri wanamuziki na ma-DJ vijana wa Afrika Kusini katika ubunifu wao. maendeleo.<ref name=":1" />
==Diskografia==
=== Albamu za studio ===
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 1''<ref name=Musica>{{cite web|url=http://www.musica.co.za/cd/id/6009701571103/Euphonik-For_The_Love_Of_House_3|archive-url =https://web.archive.org/web/20110927085633/http://www.musica.co.za/cd/id/6009701571103/Euphonik-For_The_Love_Of_House_3|url-status=dead|17 September-tarehe 1 Septemba-20 kwenye kumbukumbu |title=Euphonik Kwa Upendo wa Nyumba 3|publisher=Musica|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|year=2013|df=dmy-all}}</ref>
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 2''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 3''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 4''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 5''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 6''
=== Albamu mchanganyiko ===
* ''Soul Candi Vikao vya 5''
* ''Kwa The DJs Juzuu ya 1''
* ''Kwa The DJs Volume 2''
* ''Kwa The DJs Volume 3''
* ''Phuture DJs''
* ''F.EU katika Klabu''
* ''F.EU katika Studio''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 1''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 2''
=== Albamu mchanganyiko ===
* ''Soul Candi Vikao vya 5''
* ''Kwa The DJs Juzuu ya 1''
* ''Kwa The DJs Volume 2''
* ''Kwa The DJs Volume 3''
* ''Phuture DJs''
* ''F.EU katika Klabu''
* ''F.EU katika Studio''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 1''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 2''
== Marejeleo ==
{{reflist}}
8jyvwdef80mlvzaa1vvwftf122vst03
1236265
1236258
2022-07-28T09:11:16Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Themba performs at Womadelaide 2020.jpg|thumb|267x267px|'''Themba nimtumbuizaji katika WOMADelaide 2020''']]
'''DJ Themba''', pia anajulikana kama Euphonik (aliyezaliwa 6 Desemba 1983), ni DJ wa [[Afrika Kusini]], mtayarishaji wa muziki, na mtangazaji wa redio. Anajulikana zaidi kwa kucheza muziki wa nyumbani chini ya jina la Euphonik.
==Maisha ya awali==
Nkosi alizaliwa [[Mpumalanga]], Afrika Kusini mnamo 6 Desemba 1983. Alitumia utoto wake huko Likazi, baadaye akahamia [[Klerksdorp]], na kisha Benoni. Mapenzi yake ya awali ya muziki yalichochewa na wasanii ambao baba yake aliwasikiliza - kama vile The Spinners, Marvin Gaye, Stimela, na [[Hugh Masekela]].<ref name=Owen>{{cite web|author=Owen|url=http://www.owens.co.za/profile/173/Euphonik|title=Profile, Euphonik|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|year=2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20140422034619/http://www.owens.co.za/profile/173/Euphonik|archive-date=22 Aprili 2014|url-status=dead}}</ ref> Alianza DJ wakati wa ujana wake na akajiimarisha haraka katika eneo la muziki wa vilabu. Haikuchukua muda mrefu kabla ya michanganyiko yake kupata uchezaji wa redio, mwanzoni kwenye kituo cha kikanda cha YFM. Kisha akapewa fursa ya kutangaza vipindi vyake kwenye kituo cha redio cha taifa 5FM.<ref>{{cite web|title=5FM azindua mabadiliko ya safu|url=https://m.bizcommunity.com/Article/196/59/ 13962.html|work=Biz Community|date=28 Machi 2007}}</ref>
==Kazi ya muziki==
=== Euphonik (2003–2016) ===
Euphonik alianza kuigiza kwa mara ya kwanza mwaka wa 2003 na akapata kutambuliwa mwaka wa 2004 wakati yeye na DJ wa Afrika Kusini, DJ Kent walipoungana na kutoa [[albamu]] pamoja, ''Kentphonik''.
Mnamo 2004, Euphonik alianza kazi yake ya redio kwenye YFM, kituo cha redio cha kikanda nchini Afrika Kusini, akifanya mchanganyiko kwenye vipindi vya redio. Alitiwa saini na kampuni ya rekodi ya Soul Candi Records mwaka wa 2006.<ref name="Soul Candi">{{cite web|author=Soul Candi|url=http://www.soulcandi.co.za/index.php/artists -board/euphonik/|archive-url=https://web.archive.org/web/20140505113040/http://www.soulcandi.co.za/index.php/artists-board/euphonik/|url-status=dead|archive-date=5 Mei 2014|accessdate=25 Machi 2014|title=Euphonik|location=Afrika Kusini|year=2013}}</ref>
Alikuwa YFM hadi 2006, alipohamia 5FM, ambapo alikuwa na vipindi viwili vya kila wiki. Onyesho lake la Jumamosi, ''Ultimix Weekend Edition'', liliangazia muziki mpya na mchanganyiko kutoka kwa ma-DJ kote Afrika Kusini na mipaka ya kimataifa. Kipindi hicho cha saa tatu (18:00 – 22:00) ndicho kilibuniwa na mojawapo ya vipengele maarufu vya 5FM, Ultimix @6, ambacho kinaweza kusikika kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa kwenye kipindi cha Roger Goode. Kipindi hiki kinahusisha michanganyiko ya dakika 30 na hutumika kama jukwaa la kuonyesha vipaji vya DJ baadhi ya wasanii wa densi na musos maarufu duniani. Kipindi cha Jumamosi usiku kilikatishwa mwaka wa 2014. Kipindi chake cha Jumapili, ''My House'', ni kipindi kinachohusu nyimbo za hivi punde na maarufu zaidi za nyimbo za nyumbani kutoka kote ulimwenguni.<ref name=5FM />
Euphonik amezunguka ulimwengu na amecheza katika maeneo kama vile [[New York]], [[Miami]], Ibiza, [[Dubai]], [[Uingereza]], [[Hispania|Uhispania]], na kote [[Afrika]]. Ameshiriki hatua na Tiesto, Swedish House Mafia, Avicii, Afrojack, Hardwell, Skrillex, Nicky Romero, Deadmau5, Louie Vega, na Richie Hawtin.
Mnamo 2009, Euphonik na rafiki wa muda mrefu DJ Fresh waliunda chapa pamoja, inayoitwa F.Eu. Tangu 2009, wamerekodi jumla ya albamu nne pamoja. Wawili hao husafiri kwenda Ibiza na Miami kila mwaka kucheza kwenye hafla kama vile Uvamizi wa Miami wa Afrika Kusini na Ultra Fest Miami. Mnamo 2014 na 2015, waliongoza Ultra Fest Afrika Kusini na pia nahodha wa safari ya karamu ya "Oh Ship" kutoka [[Durban]], [[Afrika Kusini]] hadi Kisiwa cha [[Ureno]].<ref name=MSC>{{cite web|url=http://www. msccruises.co.za/za_en/Special-Cruises/Theme-Cruises/Oh_ship.aspx|title=OH SHIP 3|publisher=MSC|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|year=2014}}</ref>
Mnamo 2013, wimbo wa Euphonik akiwa na Mwafrika Kusini DJ Fresh na Nyanda, "Cool and Deadly", ulipanda hadi nambari moja kwenye 5FM Top 40.
Tangu 2006, amekuwa na kipindi cha redio cha kila wiki katika kituo cha redio cha taifa cha Afrika Kusini 5FM, ''My House'', kinachorushwa Jumapili jioni.<ref name=5FM>{{cite web|author=5FM|url=http ://www.5fm.co.za/sabc/home/5fm/shows/onairpersonalities/details?id=12274982-5af4-43a8-b9e7-7721a9397b87&title=DJ%20Euphonik|title=On Airuphonik DJ, SABC|accessdate=25 Machi 2014 |location=Afrika Kusini|year=2013}}</ref>
Ameteuliwa kwa [[tuzo]] kadhaa katika [[Tuzo za Muziki za Afrika Kusini]] na Metro FM Tuzo za Muziki. Mnamo 2014, alishinda tuzo yake ya kwanza - tuzo ya Metro FM ya Albamu Bora ya Kukusanya kwa albamu yake, Kwa ''The Love of House Volume 5''.<ref>{{cite web|author=BPM Mag|url=http: //bpmmag.co.za/news/dj-euphonik-bags-best-compilation-album-metro-fm-awards/|title=DJ Euphonik apokea 'Albamu Bora ya Kukusanya' katika Tuzo za Metro FM|accessdate=25 Machi 2014|location=South Africa|year=2014|archivedate=2014-03-16|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140316180954/http://bpmmag.co.za/news/dj-euphonik-bags-best-compilation-album-metro-fm-awards/}}</ref> Aliteuliwa katika Tuzo za Muziki za Afrika Kusini za 2014 za Remix of the Year kwa wimbo wake "Hallelujah Anyway".<ref name="Destiny Connect">{{cite web|author=Destiny Connect|url=http://www.desstinyconnect.com/2014/03/13/sama-2014-nominees-announced/|title=Sama 2014 walioteuliwa walitangazwa|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|mwaka=2014}}</ref>Mnamo 2015, aliteuliwa mara mbili katika Tuzo za Muziki za Metro FM za Albamu Bora ya Kukusanya kwa albamu yake, ''For The Love of House Volume 6'', na pia kwa Wimbo Bora wa Mwaka wa "Busa".
=== Themba (2017–sasa) ===
Mnamo 2017, Euphonik alianza kutumbuiza kwa jina bandia la '''Themba''', akichanganya muziki wa techno na wa nyumbani katika seti na utayarishaji wake wa DJ.<ref>{{Cite web|url=https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa -live/2019-10-24-kahawa-nyeusi-imempongeza-dj-themba-kwa-kuanza-upya/|title=Black Coffee anampongeza DJ Themba kwa kuanza 'upya'|website=TimesLIVE|language=en-ZA|access -date=2020-02-17}}</ref> Tangu atumie jina lake jipya la bandia, amefanya kazi na waimbaji mbalimbali wa Afrika Kusini, watunzi wa nyimbo na waimbaji wa midundo ili kutoa nyimbo asilia za techno na za nyumbani. Muziki wake umetolewa kwenye lebo mbalimbali za rekodi, zikiwemo zinavuma tangu '82 Knee Deep in Sound na Yoshitoshi. Ametumbuiza pamoja na Black Coffee nchini Afrika Kusini na Ibiza na akacheza katika Ultra Music's Festival mwaka wa 2018. Aliteuliwa kwa Mchezaji Bora Mpya 2018 na Best Breakthrough 2019 katika Ibiza DJ Awards. .<ref name=":0">{{Cite web|url=https://www.womadelaide.com.au/artists/themba|title=Themba - WOMADelaide 2020|website=www.womadelaide.com.au|access-date=2020-02-17|accessdate=2022-04-24|archivedate=2020-11-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201129112951/https://www.womadelaide.com.au/artists/themba}}</ref> Aliunga mkono Faithless kwenye ziara yao ya Afrika Kusini<ref name=":1">{{Cite web|url=https://www.redentadvisor .net/dj/themba/biography|title=RA: Themba|website=Mshauri wa Mkazi|access-date=2020-02-17}}</ref> na kutekeleza seti ya kufunga huko Womadelaide [[Australia Kusini|Kusini Australia]] mwaka wa 2020.<ref name=":0" />
==Ushauri==
Euphonik aliweka pamoja warsha ya kila mwaka ya siku moja inayoitwa DJ-101. Warsha hiyo ilitumiwa kushiriki ujuzi wake kuhusu [[tasnia ya muziki]] na DJ na wale wanaotamani kuwa na taaluma katika tasnia hiyo. Pia aliendesha Programu ya Ushauri ya mwaka mmoja, Phuture DJs, ambapo alichukua ma DJ wawili wajao kutoka kote nchini na kuwafundisha mambo ya ndani na nje ya ulimwengu wa DJ. Mwishoni mwa Mpango wa Ushauri, ma DJ hao wawili na Euphonik walitoa CD pamoja kwa ajili ya kutolewa ndani na kukuza kitaifa.<ref name="DJ 101">{{cite web|url=http://www.dj101.co. za/|title=DJ 101|publisher=DJ 101|location=South Africa}}</ref> Yeye ni/balozi wa shirika la hisani la Bridges For Music nchini Afrika Kusini na anawashauri wanamuziki na ma-DJ vijana wa Afrika Kusini katika ubunifu wao. maendeleo.<ref name=":1" />
==Diskografia==
=== Albamu za studio ===
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 1''<ref name=Musica>{{cite web|url=http://www.musica.co.za/cd/id/6009701571103/Euphonik-For_The_Love_Of_House_3|archive-url =https://web.archive.org/web/20110927085633/http://www.musica.co.za/cd/id/6009701571103/Euphonik-For_The_Love_Of_House_3|url-status=dead|17 September-tarehe 1 Septemba-20 kwenye kumbukumbu |title=Euphonik Kwa Upendo wa Nyumba 3|publisher=Musica|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|year=2013|df=dmy-all}}</ref>
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 2''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 3''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 4''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 5''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 6''
=== Albamu mchanganyiko ===
* ''Soul Candi Vikao vya 5''
* ''Kwa The DJs Juzuu ya 1''
* ''Kwa The DJs Volume 2''
* ''Kwa The DJs Volume 3''
* ''Phuture DJs''
* ''F.EU katika Klabu''
* ''F.EU katika Studio''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 1''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 2''
=== Albamu mchanganyiko ===
* ''Soul Candi Vikao vya 5''
* ''Kwa The DJs Juzuu ya 1''
* ''Kwa The DJs Volume 2''
* ''Kwa The DJs Volume 3''
* ''Phuture DJs''
* ''F.EU katika Klabu''
* ''F.EU katika Studio''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 1''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 2''
== Marejeleo ==
{{reflist}}
6w2izgx209ignfs2j1npv5r2n0fku8b
1236268
1236265
2022-07-28T09:13:12Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Themba performs at Womadelaide 2020.jpg|thumb|267x267px|'''Themba nimtumbuizaji katika WOMADelaide 2020''']]
'''DJ Themba''', pia anajulikana kama Euphonik (aliyezaliwa 6 Desemba 1983), ni DJ wa [[Afrika Kusini]], mtayarishaji wa muziki, na mtangazaji wa redio. Anajulikana zaidi kwa kucheza muziki wa nyumbani chini ya jina la Euphonik.
==Maisha ya awali==
Nkosi alizaliwa [[Mpumalanga]], Afrika Kusini mnamo 6 Desemba 1983. Alitumia utoto wake huko Likazi, baadaye akahamia [[Klerksdorp]], na kisha Benoni. Mapenzi yake ya awali ya muziki yalichochewa na wasanii ambao baba yake aliwasikiliza - kama vile The Spinners, Marvin Gaye, Stimela, na [[Hugh Masekela]].<ref name=Owen>{{cite web|author=Owen|url=http://www.owens.co.za/profile/173/Euphonik|title=Profile, Euphonik|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|year=2013|archive-url=https://web.archive.org/web/20140422034619/http://www.owens.co.za/profile/173/Euphonik|archive-date=22 Aprili 2014|url-status=dead}}</ref> Alianza DJ wakati wa ujana wake na akajiimarisha haraka katika eneo la muziki wa vilabu. Haikuchukua muda mrefu kabla ya michanganyiko yake kupata uchezaji wa redio, mwanzoni kwenye kituo cha kikanda cha YFM. Kisha akapewa fursa ya kutangaza vipindi vyake kwenye kituo cha redio cha taifa 5FM.<ref>{{cite web|title=5FM azindua mabadiliko ya safu|url=https://m.bizcommunity.com/Article/196/59/ 13962.html|work=Biz Community|date=28 Machi 2007}}</ref>
==Kazi ya muziki==
=== Euphonik (2003–2016) ===
Euphonik alianza kuigiza kwa mara ya kwanza mwaka wa 2003 na akapata kutambuliwa mwaka wa 2004 wakati yeye na DJ wa Afrika Kusini, DJ Kent walipoungana na kutoa [[albamu]] pamoja, ''Kentphonik''.
Mnamo 2004, Euphonik alianza kazi yake ya redio kwenye YFM, kituo cha redio cha kikanda nchini Afrika Kusini, akifanya mchanganyiko kwenye vipindi vya redio. Alitiwa saini na kampuni ya rekodi ya Soul Candi Records mwaka wa 2006.<ref name="Soul Candi">{{cite web|author=Soul Candi|url=http://www.soulcandi.co.za/index.php/artists -board/euphonik/|archive-url=https://web.archive.org/web/20140505113040/http://www.soulcandi.co.za/index.php/artists-board/euphonik/|url-status=dead|archive-date=5 Mei 2014|accessdate=25 Machi 2014|title=Euphonik|location=Afrika Kusini|year=2013}}</ref>
Alikuwa YFM hadi 2006, alipohamia 5FM, ambapo alikuwa na vipindi viwili vya kila wiki. Onyesho lake la Jumamosi, ''Ultimix Weekend Edition'', liliangazia muziki mpya na mchanganyiko kutoka kwa ma-DJ kote Afrika Kusini na mipaka ya kimataifa. Kipindi hicho cha saa tatu (18:00 – 22:00) ndicho kilibuniwa na mojawapo ya vipengele maarufu vya 5FM, Ultimix @6, ambacho kinaweza kusikika kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa kwenye kipindi cha Roger Goode. Kipindi hiki kinahusisha michanganyiko ya dakika 30 na hutumika kama jukwaa la kuonyesha vipaji vya DJ baadhi ya wasanii wa densi na musos maarufu duniani. Kipindi cha Jumamosi usiku kilikatishwa mwaka wa 2014. Kipindi chake cha Jumapili, ''My House'', ni kipindi kinachohusu nyimbo za hivi punde na maarufu zaidi za nyimbo za nyumbani kutoka kote ulimwenguni.<ref name=5FM />
Euphonik amezunguka ulimwengu na amecheza katika maeneo kama vile [[New York]], [[Miami]], Ibiza, [[Dubai]], [[Uingereza]], [[Hispania|Uhispania]], na kote [[Afrika]]. Ameshiriki hatua na Tiesto, Swedish House Mafia, Avicii, Afrojack, Hardwell, Skrillex, Nicky Romero, Deadmau5, Louie Vega, na Richie Hawtin.
Mnamo 2009, Euphonik na rafiki wa muda mrefu DJ Fresh waliunda chapa pamoja, inayoitwa F.Eu. Tangu 2009, wamerekodi jumla ya albamu nne pamoja. Wawili hao husafiri kwenda Ibiza na Miami kila mwaka kucheza kwenye hafla kama vile Uvamizi wa Miami wa Afrika Kusini na Ultra Fest Miami. Mnamo 2014 na 2015, waliongoza Ultra Fest Afrika Kusini na pia nahodha wa safari ya karamu ya "Oh Ship" kutoka [[Durban]], [[Afrika Kusini]] hadi Kisiwa cha [[Ureno]].<ref name=MSC>{{cite web|url=http://www. msccruises.co.za/za_en/Special-Cruises/Theme-Cruises/Oh_ship.aspx|title=OH SHIP 3|publisher=MSC|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|year=2014}}</ref>
Mnamo 2013, wimbo wa Euphonik akiwa na Mwafrika Kusini DJ Fresh na Nyanda, "Cool and Deadly", ulipanda hadi nambari moja kwenye 5FM Top 40.
Tangu 2006, amekuwa na kipindi cha redio cha kila wiki katika kituo cha redio cha taifa cha Afrika Kusini 5FM, ''My House'', kinachorushwa Jumapili jioni.<ref name=5FM>{{cite web|author=5FM|url=http ://www.5fm.co.za/sabc/home/5fm/shows/onairpersonalities/details?id=12274982-5af4-43a8-b9e7-7721a9397b87&title=DJ%20Euphonik|title=On Airuphonik DJ, SABC|accessdate=25 Machi 2014 |location=Afrika Kusini|year=2013}}</ref>
Ameteuliwa kwa [[tuzo]] kadhaa katika [[Tuzo za Muziki za Afrika Kusini]] na Metro FM Tuzo za Muziki. Mnamo 2014, alishinda tuzo yake ya kwanza - tuzo ya Metro FM ya Albamu Bora ya Kukusanya kwa albamu yake, Kwa ''The Love of House Volume 5''.<ref>{{cite web|author=BPM Mag|url=http: //bpmmag.co.za/news/dj-euphonik-bags-best-compilation-album-metro-fm-awards/|title=DJ Euphonik apokea 'Albamu Bora ya Kukusanya' katika Tuzo za Metro FM|accessdate=25 Machi 2014|location=South Africa|year=2014|archivedate=2014-03-16|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140316180954/http://bpmmag.co.za/news/dj-euphonik-bags-best-compilation-album-metro-fm-awards/}}</ref> Aliteuliwa katika Tuzo za Muziki za Afrika Kusini za 2014 za Remix of the Year kwa wimbo wake "Hallelujah Anyway".<ref name="Destiny Connect">{{cite web|author=Destiny Connect|url=http://www.desstinyconnect.com/2014/03/13/sama-2014-nominees-announced/|title=Sama 2014 walioteuliwa walitangazwa|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|mwaka=2014}}</ref>Mnamo 2015, aliteuliwa mara mbili katika Tuzo za Muziki za Metro FM za Albamu Bora ya Kukusanya kwa albamu yake, ''For The Love of House Volume 6'', na pia kwa Wimbo Bora wa Mwaka wa "Busa".
=== Themba (2017–sasa) ===
Mnamo 2017, Euphonik alianza kutumbuiza kwa jina bandia la '''Themba''', akichanganya muziki wa techno na wa nyumbani katika seti na utayarishaji wake wa DJ.<ref>{{Cite web|url=https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa -live/2019-10-24-kahawa-nyeusi-imempongeza-dj-themba-kwa-kuanza-upya/|title=Black Coffee anampongeza DJ Themba kwa kuanza 'upya'|website=TimesLIVE|language=en-ZA|access -date=2020-02-17}}</ref> Tangu atumie jina lake jipya la bandia, amefanya kazi na waimbaji mbalimbali wa Afrika Kusini, watunzi wa nyimbo na waimbaji wa midundo ili kutoa nyimbo asilia za techno na za nyumbani. Muziki wake umetolewa kwenye lebo mbalimbali za rekodi, zikiwemo zinavuma tangu '82 Knee Deep in Sound na Yoshitoshi. Ametumbuiza pamoja na Black Coffee nchini Afrika Kusini na Ibiza na akacheza katika Ultra Music's Festival mwaka wa 2018. Aliteuliwa kwa Mchezaji Bora Mpya 2018 na Best Breakthrough 2019 katika Ibiza DJ Awards. .<ref name=":0">{{Cite web|url=https://www.womadelaide.com.au/artists/themba|title=Themba - WOMADelaide 2020|website=www.womadelaide.com.au|access-date=2020-02-17|accessdate=2022-04-24|archivedate=2020-11-29|archiveurl=https://web.archive.org/web/20201129112951/https://www.womadelaide.com.au/artists/themba}}</ref> Aliunga mkono Faithless kwenye ziara yao ya Afrika Kusini<ref name=":1">{{Cite web|url=https://www.redentadvisor .net/dj/themba/biography|title=RA: Themba|website=Mshauri wa Mkazi|access-date=2020-02-17}}</ref> na kutekeleza seti ya kufunga huko Womadelaide [[Australia Kusini|Kusini Australia]] mwaka wa 2020.<ref name=":0" />
==Ushauri==
Euphonik aliweka pamoja warsha ya kila mwaka ya siku moja inayoitwa DJ-101. Warsha hiyo ilitumiwa kushiriki ujuzi wake kuhusu [[tasnia ya muziki]] na DJ na wale wanaotamani kuwa na taaluma katika tasnia hiyo. Pia aliendesha Programu ya Ushauri ya mwaka mmoja, Phuture DJs, ambapo alichukua ma DJ wawili wajao kutoka kote nchini na kuwafundisha mambo ya ndani na nje ya ulimwengu wa DJ. Mwishoni mwa Mpango wa Ushauri, ma DJ hao wawili na Euphonik walitoa CD pamoja kwa ajili ya kutolewa ndani na kukuza kitaifa.<ref name="DJ 101">{{cite web|url=http://www.dj101.co. za/|title=DJ 101|publisher=DJ 101|location=South Africa}}</ref> Yeye ni/balozi wa shirika la hisani la Bridges For Music nchini Afrika Kusini na anawashauri wanamuziki na ma-DJ vijana wa Afrika Kusini katika ubunifu wao. maendeleo.<ref name=":1" />
==Diskografia==
=== Albamu za studio ===
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 1''<ref name=Musica>{{cite web|url=http://www.musica.co.za/cd/id/6009701571103/Euphonik-For_The_Love_Of_House_3|archive-url =https://web.archive.org/web/20110927085633/http://www.musica.co.za/cd/id/6009701571103/Euphonik-For_The_Love_Of_House_3|url-status=dead|17 September-tarehe 1 Septemba-20 kwenye kumbukumbu |title=Euphonik Kwa Upendo wa Nyumba 3|publisher=Musica|accessdate=25 Machi 2014|location=Afrika Kusini|year=2013|df=dmy-all}}</ref>
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 2''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 3''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 4''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 5''
* ''Kwa Upendo wa Nyumba Juzuu ya 6''
=== Albamu mchanganyiko ===
* ''Soul Candi Vikao vya 5''
* ''Kwa The DJs Juzuu ya 1''
* ''Kwa The DJs Volume 2''
* ''Kwa The DJs Volume 3''
* ''Phuture DJs''
* ''F.EU katika Klabu''
* ''F.EU katika Studio''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 1''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 2''
=== Albamu mchanganyiko ===
* ''Soul Candi Vikao vya 5''
* ''Kwa The DJs Juzuu ya 1''
* ''Kwa The DJs Volume 2''
* ''Kwa The DJs Volume 3''
* ''Phuture DJs''
* ''F.EU katika Klabu''
* ''F.EU katika Studio''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 1''
* ''Euphonik amkabidhi DJ Essentials Volume 2''
== Marejeleo ==
{{reflist}}
ez5pds3sv6x8jd98i2p0aki3nkl3iu6
DJ Tira
0
149128
1236273
1226887
2022-07-28T09:34:40Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Mthokozisi Khathi''' (amezaliwa Agosti 24, [[1976]]) anayejulikana kitaaluma kwa jina lake la kisanii DJ Tira, ni DJ, mtayarishaji wa rekodi na msanii wa Kwaito wa [[Afrika Kusini]]. Mzaliwa wa Hlabisa, Tira alihamisha [[Durban]] akiwa na umri wa miaka 3. Yeye ni sehemu ya kikundi kilichogundua aina ya muziki ya Gqom. Kazi yake ya muziki ilianza akiwa na umri wa miaka 20 mwaka wa 1996, alipokuwa akihudhuria Chuo Kikuu cha [[KwaZulu-Natal]] na kutia saini mkataba wa rekodi na kutoa [[albamu]] ya mkusanyiko Real Makoya mwaka wa 2001.
Khathi alipata umaarufu baada ya kushinda shindano la Smirnoff SA DJ Knockout mwaka wa 2000. Kando na kazi yake ya peke yake, pia anajulikana kama mwanachama wa kundi la muziki la Afrika Kusini la Durbans Finest. Tira alisaini mkataba wa rekodi na Kalawa Jazmee mwaka wa 2005 na akaanzisha lebo yake ya rekodi ya Afrotaiment mwaka wa 2007, albamu yake ya kwanza Ezase Afro Vol:1 (2008), ilifanikiwa kibiashara.
Albamu ya nne ya Tira 21 Years Of DJ Tira (2020), ambayo iliidhinishwa kuwa platinamu na Tasnia ya Kurekodi ya Afrika Kusini (RiSA) Albamu hii inajumuisha nyimbo bora zaidi za chati "Nguwe" na "Uyandazi". Albamu yake ya tano ya studio Rockstar Forever (2021), ilipata nambari 1 kwenye chati ya iTunes. Khathi alicheza kwa mara ya kwanza kwenye skrini kama jaji mgeni kwenye kipindi cha talanta cha televisheni cha 1 na 2 (2021).
==Maisha ya awali na kazi==
Khathi alizaliwa KwaHlabisa Village, [[KwaZulu-Natal]], familia yake ilihamia [[Durban]] mwaka wa 1979. Khathi alihudhuria Shule ya sekondari ya juu ya Mlokothwa na aliandikisha masomo yake mwaka wa 1995, akisoma rasilimali watu katika Chuo Kikuu cha Natal kinachojulikana sasa kama UKZN.
===1996-2001:Mwanzo wa kazi na DJ Tira===
Alipata hamu ya kuwa DJ wakati bado yuko varsity wakati alianza kucheza kama DJ, Mnamo 1996.<ref name="thenation" /> Karibu 2001 alitoa rekodi yake ya kwanza iliyoitwa ''Real Makoya'', ambayo ni albamu ya mkusanyiko pamoja na DJ Khabzela. Mnamo 2005, alisaini mkataba wake wa rekodi na Kalawa Jazzmee. Aliimba chini ya kundi lililoitwa ''Tzozo En Professor'' na baadaye kuunda ''Durbans Finest'' pamoja na DJ Sox chini ya Kalawa Jazmee Records. Ana historia na Oskido kuwa ndiye aliyemsaini mkataba wake wa kwanza wa muziki, tangu wakati huo akawa nyota. Alianzisha Ezase Afro iliyoanguka chini ya Kalawa baadaye akiwa peke yake.<ref>{{cite web|title=Msanifu bora wa muziki wa Durban|url=https://www.iol.co.za/entertainment/celebrity-news/local/dj-tira-durbans-finest-music-architect-12203627|website=IOL Entertainment| accessdate=18 Aprili 2018}}</ref> Tira na Sox kwa pamoja walitoa mfululizo albamu ya mkusanyiko uliopewa jina chini ya ''Durbans Finest''.
Mnamo 2007, Alizindua studio yake ya kurekodi ''Afrotainment'' na kumsaini DJ Cndo kama msanii wa kwanza kwenye lebo yake ya rekodi. mtayarishaji wa muziki. Baadaye mwaka huo huo DJ Tira alitia saini kwenye kundi la kwaito [[Big Nuz]] baada ya kuhama kutoka [[Johannesburg]] hadi asili yao, [[Durban]]. Mnamo mwaka wa 2008, DJ Tira kama msanii maarufu, alionekana kwenye nyimbo mbili kwenye chati za redio za mijini na chati za maduka ya muziki pamoja na [[Big Nuz]] "Ubala Lolo" na [[DJ Clock]] "Mahamba Yedwa" ya [[Big Nuz]]. .
===2008:''Ezase Afro Vol:1''===
Mnamo 2008, alitoa mradi wake wa kwanza wa pekee chini ya rekodi lebo yake iliyoitwa ''Ezase Afro Vol:1''. Ncedo Mbundwini, kutoka Mount Frere alikuwa mtayarishaji mkuu wa nyimbo nyingi zilizovuma kwenye albamu hii. Albamu hii inaungwa mkono na mwonekano wa mgeni wa Bricks, Daddy, Big Nuz na Joocy wa Afrosoul. Ezase Afro toleo la 1 ilivuma sana album na kufanya vizuri sokoni kwani iliuza zaidi ya nakala 20,000.
=== 2019-2020: ''Ikhenani'', ''Miaka 21 ya DJ Tira'' ===
Mnamo Machi 2019, wimbo wake "Amachankura" ulioshirikisha TNS ulitolewa kama wimbo wa kwanza wa albamu. Mnamo Julai 2019 wimbo wa pili "Thank You Mr DJ" uliomshirikisha Joocy ulitolewa.<ref>{{cite web|title=DJ Tira kuachia wimbo mpya, Thank You Mr DJ, akimshirikisha Joocy {{!}} JustNje|url=https://justnje.com/dj-tira-to-release-a-new-single-thankyou-mr-dj-featuring-joocy/|publisher=JustNje|access-date=11 Julai 2019}}</ref> Tira alitoa ''Ikhenani'' mnamo Septemba 13, 2019.<ref>{{cite web|title=DJ Tira atoa albamu yake inayotarajiwa kwa hamu, Ikhenani {{!}} JustNje|url=https://justnje.com /dj-tira-atoa-albamu-yake-iliyokuwa-inatarajiwa-sana-ikhenani/|publisher=JustNje|access-date=13 Septemba 2019}}</ref>
''Ikhenani'' alishinda Albamu Bora ya Kwaito katika sherehe ya 26 ya Tuzo za Muziki za Afrika Kusini.<ref>{{cite web|title=Hii ndiyo Orodha ya Tuzo za Muziki za Afrika Kusini za 2020 ( SAMAs) Washindi - OkayAfrica |url=https://www.okayafrica.com/amp/2020-south-african-music-awards-samas-winners-2646905755|publisher =OkayAfrica|first=Nobantu|last=Shabangu|access- tarehe=Agosti 16, 2020}}</ref>
Mnamo Agosti 24, 2020, albamu yake ya nne ya 'Miaka 21 ya DJ Tira'' ilitolewa nchini Afrika Kusini, kusherehekea miaka 21 katika [[tasnia ya muziki]]. Albamu hiyo iliidhinishwa kuwa platinamu na tasnia ya Kurekodi ya Afrika Kusini (RiSA).''
Mnamo Machi 2021, alishiriki shindano la kuonyesha vipaji la SABC 1 liitwalo ''1's na 2'' msimu wa 6.<ref>{{cite web|title=Speedsta Na DJ Tira Wajiunge na 1 na 2s Msimu wa Sita - ZAlebs|url= https ://zalebs.com/top-of-the/dj-zinhle/speedsta-and-dj-tira-join-1s-and-2s-season-six|tarehe=March 14, 2021|work=Zalebs}}</ref>
=== 2021-sasa:''Rockstar Forever'' ===
Mnamo tarehe 25 Juni, 2021, alitoa albamu yake ya tano ya 'Rockstar Forever'', ilitolewa nchini Afrika Kusini. Albamu hiyo imewashirikisha Q Twins, Makhadzi, Western Boyz, Jumbo, Prince Bulo, Biza Wethu, Mampintsha, Joocy, Ntencane, Proffesor, Beast, Tabia mbaya zaidi, Dladla Mshunqisi, BlaQRythm, Mtebza & Khazozo.
''Rockstar Forever'' imeshika nafasi ya 1 kwenye chati za iTunes Afrika Kusini.
==Maisha ya binafsi==
DJ Tira amemuoawa na Gugu Khathi na wana watoto wawili wa kiume na mmoja wa kike Junior, Chase na Chichi Khathi.<ref name="thenation">{{cite web|author =|url=https://thenation.co.za/ bio/dj-tira-biography/|title=Wasifu wa DJ Tira, Umri, Mke,Nyimbo, Gari, Maelezo ya Mawasiliano, Harusi na Wana|publisher =thenation.co.za
|last=Joseph Nkosi|tarehe=}}</ref>
DJ Tira na mkewe waliandaa Umabo [[sherehe]] nyumbani kwake KwaHlabisa, KwaZulu-Natal.<ref>{{Cite web|url=https://www.news24.com/drum /news/dj-tira-imtambulisha-mke-kwa-ancestors-20170728|title=DJ Tira amtambulisha mke kwa mababu|first=Qhama|last=Dayile|website=Drum}}</ref>
==Diskografia==
===Orodha ya albamu za studio===
{| class="wikitable"
!Kichwa cha Albamu
!Maelezo ya Albamu
!Vyeti
|-
|''Ezase Afro Vol:1''
|
* Iliyotolewa: 12 Desemba 2013
* Lebo: Afrotainment
* Miundo: CD, [[Upakuaji wa dijiti (muziki)| Upakuaji wa kidijitali]]
|
|-
|''Ezase Afro Vol:2''
|
* Iliyotolewa: 2012
* Lebo: Afrotainment
* Fomati: CD, Upakuaji wa Dijiti
|
|-
| ''Ikhenani''
|mtindo=|
*Iliyotolewa: 13 Septemba 2019
*Lebo: Afrotaiment
*Umbiza: [[Upakuaji wa muziki|upakuaji wa dijitali]], [[Compact Disc|CD]]
|
|-
| ''Miaka 21 ya DJ Tira''
|mtindo=|
*Iliyotolewa: 24 Agosti 2020
*Lebo: Afrotaiment
*Umbiza: [[Upakuaji wa muziki|upakuaji wa dijitali]]
| (RiSA): Platinamu
|-
|''Rockstar Forever''
|mtindo=|
*Iliyotolewa: Juni 2021
*Lebo: Afrotaiment
*Umbiza: [[Upakuaji wa muziki|upakuaji wa dijitali]]
|
|}
===Albamu za mkusanyiko===
{| class="wikitable"
!Kichwa cha Albamu
!Maelezo ya Albamu
|-
|''Real Makoya {{ndogo|(pamoja na DJ Khabzela)}}''
|
* Iliyotolewa: 2001
* Miundo: CD
|-
|''Durbans Finest Vol:1 {{small|(pamoja na Sox na Ncedo M)}}''
|
* Iliyotolewa: 2004
* Miundo: [[CD]]
|-
|''Durbans Finest Vol:2 {{ndogo|(with Sox)}}''
|
* Iliyotolewa: 2005
* Miundo: CD
|-
|}
===Orodha ya albamu za studio===
{| class="wikitable"
!Kichwa cha Albamu
!Maelezo ya Albamu
!Vyeti
|-
|''Ezase Afro Vol:1''
|
* Iliyotolewa: 12 Desemba 2013
* Lebo: Afrotainment
* Miundo: CD, [[Upakuaji wa dijiti (muziki)| Upakuaji wa kidijitali]]
|
|-
|''Ezase Afro Vol:2''
|
* Iliyotolewa: 2012
* Lebo: Afrotainment
* Fomati: CD, Upakuaji wa Dijiti
|
|-
| ''Ikhenani''
|mtindo=|
*Iliyotolewa: 13 Septemba 2019
*Lebo: Afrotaiment
*Umbiza: [[Upakuaji wa muziki|upakuaji wa dijitali]], [[Compact Disc|CD]]
|
|-
| ''Miaka 21 ya DJ Tira''
|mtindo=|
*Iliyotolewa: 24 Agosti 2020
*Lebo: Afrotaiment
*Umbiza: [[Upakuaji wa muziki|upakuaji wa dijitali]]
| (RiSA): Platinamu
|-
|''Rockstar Forever''
|mtindo=|
*Iliyotolewa: Juni 2021
*Lebo: Afrotaiment
*Umbiza: [[Upakuaji wa muziki|upakuaji wa dijitali]]
|
|}
===Albamu za mkusanyiko===
{| class="wikitable"
!Kichwa cha Albamu
!Maelezo ya Albamu
|-
|''Real Makoya {{ndogo|(pamoja na DJ Khabzela)}}''
|
* Iliyotolewa: 2001
* Miundo: CD
|-
|''Durbans Finest Vol:1 {{small|(pamoja na Sox na Ncedo M)}}''
|
* Iliyotolewa: 2004
* Miundo: [[CD]]
|-
|''Durbans Finest Vol:2 {{ndogo|(with Sox)}}''
|
* Iliyotolewa: 2005
* Miundo: CD
|-
|}
==Tuzo na uteuzi==
{| class="wikitable"
|-
!Mwaka
!Sherehe ya Tuzo
!Tuzo
!Kazi/Mpokeaji
!matokeo
! {{Abblv|Rejea.|Marejeleo}}
|-
! safu mlalo="1" | <div align="center">2004</div>
! [[Metro FM Music Awards|AMFMA]]
| Albamu bora ya Mkusanyiko
| "Durbans Finest Vol:1"
| {{alishinda}}
|
|-
! <div align="center">2018</div>
! [[2018 Tuzo za Muziki wa Dansi Afrika Kusini|DMSA]]
| Kitendo Bora cha Moja kwa Moja
| rowspan="3"|Yeye Mwenyewe
| {{nom}}
|
|-
!2019
![[Tuzo za Muziki za Afrika Kusini|SAMA]]
|Rekodi ya
Mwaka
|{{aliyeteuliwa}}
|<ref>{{Cite web|url=http://www.bona.co.za/2019-sama-record-of-the-year-nominees/|title=2019 Rekodi ya Mwaka 2019 walioteuliwa SAMA|first= Kwanele|last=Mathebula|date=Mei 31, 2019}}</ref>
|-
!rowspan="2"|2020
![[Tuzo za 26 za Muziki za Afrika Kusini|26 SAMA]]
|Kwaito Bora/Gqom/Amapiano
|{{aliyeteuliwa}}
|
|-
| [[1st KZN Entertainment Awards]]
| Tuzo la Mafanikio Maalum
| Mwenyewe
|{{alishinda}}
|<ref>{{cite web|title=Talent overload: Washindi wote kutoka kwa Tuzo za kwanza za KZN Entertainment|url=https://www.thesouthafrican.com/lifestyle/entertainment/winners-knz-entertainment-awards/amp/ |website=The South African}}</ref>
|}
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
hk54g6xxovb06a2u6id069v45krk4tb
Kabelo Mabalane
0
149137
1236141
1222363
2022-07-27T17:32:28Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Kabelo Mabalane''' (anayejulikana kwa jina lake la kisanii kama Kabelo au Bouga Luv, alizaliwa 15 Desemba 1976) ni mwanamuziki wa kwaito wa [[Afrika Kusini]], mtunzi wa nyimbo na mwigizaji. Yeye ni mwanachama wa kwaito watatu TKZee. Amefungua maonyesho ya wanamuziki maarufu duniani kama vile [[Jay-Z|Jay-Z,]] [[50 Cent]], [[Ja Rule]] na [[Rihanna]]. Nimmiliki mwenza wa Faith Records, kampuni huru ya muziki ya Afrika Kusini. Pia amekuwa jaji kwenye SA's Got Talent kwa misimu miwili iliyopita mwaka wa 2014.
===Kazi ya muziki===
Mwaka wa 2000 Kabelo alitoa [[albamu]] yake ya kwanza ya kila mtu anayetazama, ikijumuisha nyimbo maarufu za "Pantsula For Life" na "Amasheleni". Albamu hiyo ilienda kwa platinamu ndani ya wiki za kutolewa, na kuuza nakala 100,000. Hivi karibuni alitoa wimbo wake wa pili wa studio unaoitwa Rebel With A Cause ikiwa ni pamoja na nyimbo maarufu "It's My House" na "Ayeye". Albamu hiyo ilionekana kuwa na mafanikio mengine makubwa, na kufikia hadhi ya platinamu, na kuuza nakala 130,000.
Kabelo alishinda Tuzo ya Muziki ya Afrika Kusini mwaka wa 2003 kwa albamu yake ya pili ya studio, Rebel with a Cause. Alishinda Tuzo la Kora la 2004 la Msanii Bora wa Kiume Kusini mwa Afrika.
Mnamo 2005, Kabelo alisaini mkataba na [[Reebok]] kutengeneza sneaker inayoitwa Bouga Luv.
Amekimbia Comrades Marathon mara tatu kuanzia 2006 hadi 2008. Mnamo 2008 alimaliza chini ya mwendo wa saa 10 tu. Pia aliandikwa kwenye jalada la Agosti 2008 la jarida la Runner's World.
Pamoja na wanabendi wenzake wa TKZEE (Tokollo Tshabalala na Zwai Bala), Kabelo alitumbuiza kwenye Sherehe za Ufunguzi wa Kombe la Dunia la Fifa 2010.
Katika muda wote wa shule ya upili, Kabelo alikuwa akijishughulisha sana na michezo. Mnamo 2005 alianza kujiandaa kwa Comrades Marathon, mbio za kilomita 93. Tangu 2006, hadi sasa, ameingia na kukamilisha tano kati ya mbio hizo. Mnamo 2008 Kamati ya Olimpiki ya Shirikisho la Michezo la Afrika Kusini (SASCOC) ilimchagua kuwa Balozi wa [[Olimpiki]].
Mnamo Aprili 2010, Kabelo alitajwa kama mtangazaji wa kipindi kipya cha mazungumzo ya michezo na mtindo wa maisha katika kituo cha Afrika Kusini cha SABC2 kinachorushwa siku ya Ijumaa saa 21:30.
Katika Tuzo za 30 za Mwanahabari Bora wa Mwaka wa SAB, tarehe 6 Septemba 2010, Kabelo alitunukiwa tuzo mbili, ya Mtangazaji Bora wa Kijamii na Mtangazaji Bora wa Televisheni ya Mpya.
===Maisha binafsi===
Kabelo alifunga ndoa na mwigizaji wa Afrika Kusini, Gail Nkoane katika sherehe ya faragha tarehe 9 Februari 2013. Wanandoa hao wana watoto wawili pamoja; binti, Zoe Leano Mabalane, alizaliwa tarehe 28 Machi 2015 na mwana aliyeitwa Khumo aliyezaliwa tarehe 31 Januari 2018. Katika mahojiano ya hivi majuzi na MacG (Podcast and Chill with MacG), Kabelo alizungumzia maisha yake ya zamani, muziki na wenzake wa Kwaito, wazazi wake, GBV na Mungu. Mabalane anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii wa kwaito wanaouza zaidi wakati wote.
===Diskografia===
===Albamu za pekee===
*2000:''Kila Mtu Anatazama''
*2002: ''Mwasi kwa Sababu''
*2003: ''Na Beat Inaendelea''
*2004:''Albamu ya Bouga Luv''
*2006: ''Kutoka''
*2007: ''Mimi ni Mfalme''
*2011: ''Isiyekufa - Vol. 1''
*2012: ''Isiyekufa - Vol. 2''
*2015: ''Isiyekufa - Vol 3''
===Albamu na TKZee===
*1996: ''Chukua Eazy''
*1997: ''Phalafala''
*1998: ''Shibobo''
*1998:''Halloween''
*1999: ''Guz 2001 (familia ya TKZee)''
*2001: ''Utatu''
*2005: ''Guz hits''
*2009: ''Kurudi Nyumbani'
===Marejeo===
{{Reflist}}<ref>http://www.tonight.co.za/index.php?fSectionId=346&fArticleId=3442705</ref>http://www.iol.co.za/index.php?set_id=9&click_id=102&art_id=vn20030709074744852C480627<nowiki/>http://www.tvsa.co.za/mastershowinfo.asp?mastershowid=2141<nowiki/>http://www.afropop.org/multi/feature/ID/454/Kora+Awards+Report:+2004<nowiki/>http://www.sabreakingnews.co.za/2015/03/31/kabelo-and-gail-mabalane-welcome-birth-of-first-child/
{{DEFAULTSORT:Mabalane, Kabelo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1976]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
85fu59ahhefyksvy5tgk7u59x1orjel
1236142
1236141
2022-07-27T17:48:04Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Kabelo Mabalane''' (anayejulikana kwa jina lake la kisanii kama Kabelo au Bouga Luv, alizaliwa 15 Desemba 1976) ni mwanamuziki wa kwaito wa [[Afrika Kusini]], mtunzi wa nyimbo na mwigizaji. Yeye ni mwanachama wa kwaito watatu TKZee. Amefungua maonyesho ya wanamuziki maarufu duniani kama vile [[Jay-Z|Jay-Z,]] [[50 Cent]], [[Ja Rule]] na [[Rihanna]]. Nimmiliki mwenza wa Faith Records, kampuni huru ya muziki ya Afrika Kusini. Pia amekuwa jaji kwenye SA's Got Talent kwa misimu miwili iliyopita mwaka wa 2014.
===Kazi ya muziki===
Mwaka wa 2000 Kabelo alitoa [[albamu]] yake ya kwanza ya kila mtu anayetazama, ikijumuisha nyimbo maarufu za "Pantsula For Life" na "Amasheleni". Albamu hiyo ilienda kwa platinamu ndani ya wiki za kutolewa, na kuuza nakala 100,000. Hivi karibuni alitoa wimbo wake wa pili wa studio unaoitwa Rebel With A Cause ikiwa ni pamoja na nyimbo maarufu "It's My House" na "Ayeye". Albamu hiyo ilionekana kuwa na mafanikio mengine makubwa, na kufikia hadhi ya platinamu, na kuuza nakala 130,000.
Kabelo alishinda Tuzo ya Muziki ya Afrika Kusini mwaka wa 2003 kwa albamu yake ya pili ya studio, Rebel with a Cause. Alishinda Tuzo la Kora la 2004 la Msanii Bora wa Kiume Kusini mwa Afrika.
Mnamo 2005, Kabelo alisaini mkataba na [[Reebok]] kutengeneza sneaker inayoitwa Bouga Luv.
Amekimbia Comrades Marathon mara tatu kuanzia 2006 hadi 2008. Mnamo 2008 alimaliza chini ya mwendo wa saa 10 tu. Pia aliandikwa kwenye jalada la Agosti 2008 la jarida la Runner's World.
Pamoja na wanabendi wenzake wa TKZEE (Tokollo Tshabalala na Zwai Bala), Kabelo alitumbuiza kwenye Sherehe za Ufunguzi wa Kombe la Dunia la Fifa 2010.
Katika muda wote wa shule ya upili, Kabelo alikuwa akijishughulisha sana na michezo. Mnamo 2005 alianza kujiandaa kwa Comrades Marathon, mbio za kilomita 93. Tangu 2006, hadi sasa, ameingia na kukamilisha tano kati ya mbio hizo. Mnamo 2008 Kamati ya Olimpiki ya Shirikisho la Michezo la Afrika Kusini (SASCOC) ilimchagua kuwa Balozi wa [[Olimpiki]].
Mnamo Aprili 2010, Kabelo alitajwa kama mtangazaji wa kipindi kipya cha mazungumzo ya michezo na mtindo wa maisha katika kituo cha Afrika Kusini cha SABC2 kinachorushwa siku ya Ijumaa saa 21:30.
Katika Tuzo za 30 za Mwanahabari Bora wa Mwaka wa SAB, tarehe 6 Septemba 2010, Kabelo alitunukiwa tuzo mbili, ya Mtangazaji Bora wa Kijamii na Mtangazaji Bora wa Televisheni ya Mpya.
===Maisha binafsi===
Kabelo alifunga ndoa na mwigizaji wa Afrika Kusini, Gail Nkoane katika sherehe ya faragha tarehe 9 Februari 2013. Wanandoa hao wana watoto wawili pamoja; binti, Zoe Leano Mabalane, alizaliwa tarehe 28 Machi 2015 na mwana aliyeitwa Khumo aliyezaliwa tarehe 31 Januari 2018. Katika mahojiano ya hivi majuzi na MacG (Podcast and Chill with MacG), Kabelo alizungumzia maisha yake ya zamani, muziki na wenzake wa Kwaito, wazazi wake, GBV na Mungu. Mabalane anachukuliwa kuwa mmoja wa wasanii wa kwaito wanaouza zaidi wakati wote.
===Diskografia===
===Albamu za pekee===
*2000:''Kila Mtu Anatazama''
*2002: ''Mwasi kwa Sababu''
*2003: ''Na Beat Inaendelea''
*2004:''Albamu ya Bouga Luv''
*2006: ''Kutoka''
*2007: ''Mimi ni Mfalme''
*2011: ''Isiyekufa - Vol. 1''
*2012: ''Isiyekufa - Vol. 2''
*2015: ''Isiyekufa - Vol 3''
===Albamu na TKZee===
*1996: ''Chukua Eazy''
*1997: ''Phalafala''
*1998: ''Shibobo''
*1998:''Halloween''
*1999: ''Guz 2001 (familia ya TKZee)''
*2001: ''Utatu''
*2005: ''Guz hits''
*2009: ''Kurudi Nyumbani'
===Marejeo===
{{Reflist}}<ref>http://www.tonight.co.za/index.php?fSectionId=346&fArticleId=3442705</ref><ref>http://www.iol.co.za/index.php?set_id=9&click_id=102&art_id=vn20030709074744852C480627</ref><ref>http://www.tvsa.co.za/mastershowinfo.asp?mastershowid=2141</ref><ref>http://www.afropop.org/multi/feature/ID/454/Kora+Awards+Report:+2004</ref><ref>http://www.sabreakingnews.co.za/2015/03/31/kabelo-and-gail-mabalane-welcome-birth-of-first-child/</ref>
{{DEFAULTSORT:Mabalane, Kabelo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1976]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
lfe61iwwyrkoh9xtdj5sa084wqb7yej
Sipho Mabuse
0
149139
1236144
1226567
2022-07-27T18:05:35Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Sipho "Hotstix" Mabuse''' (amezaliwa [[Johannesburg]], 2 Novemba [[1951]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Afrika Kusini]].
Sipho alikulia [[Soweto]]. Mama yake alikuwa [[Zulu|Mzulu]] na baba yake alikuwa Mtswana. Sipho na bendi yake walikuwa wakisimamiwa na Solly Nkuta, Baada ya kuacha shule katika miaka ya 1960, Mabuse alianza katika kundi la Afro-soul The Beaters katikati ya miaka ya 1970. Baada ya ziara ya mafanikio nchini [[Zimbabwe]] walibadilisha jina la kundi hilo na kuwa Harari, bendi ya afrosoul inayoongozwa na Mabuse. Waliporudi katika nchi yao huko Afrika Kusini walianza kuchorwa na muziki wa [[Kimarekani]] wa funk, soul, na pop, ulioimbwa kwa [[Kizulu]] na Kisotho na [[Kiingereza]]. Pia amewarekodi na kuwatayarisha, miongoni mwa wengine, Miriam Makeba, Hugh Masekela, Ray Phiri na Sibongile Khumalo.
Mabuse anahusika na "Burn Out" mwanzoni mwa miaka ya 1980 ambayo iliuza zaidi ya nakala 500,000, na kibao cha Disco Shangaan cha mwishoni mwa miaka ya 1980, "Jive Soweto".
Binti yake ni mwimbaji Mpho Skeef.
Mabuse alirejea shuleni akiwa na umri wa miaka 60, na kumaliza darasa lake la 12 mwaka wa 2012 katika Kituo cha Mafunzo ya Jamii cha Peter Lengene. Alisema ana nia ya kuendelea na chuo kikuu na kusomea [[anthropolojia]]. Rais [[Jacob Zuma]] alimsifu kwa kutoa "msukumo kwetu sote kwa kutuonyesha kwamba mtu hazeeki sana kwa elimu."
==Wasifu==
Sipho Cecil Peter Mabuse alizaliwa tarehe 2 Novemba 1951 huko Masakeng (Shantytown), [[Orlando, Florida|Orlando Magharibi.]] Akiwa na umri mdogo wa miaka 8 alianza kucheza ngoma ambazo aliendelea kuzifahamu na kumpatia jina la utani "Hotstix" - jina ambalo limekuwa sawa naye hadi leo. Kisha akaendelea kuwa mwimbaji wa ala nyingi kupitia kujifunza na kumudu vyombo vingine kama vile [[filimbi]], [[kinanda]], saksafoni, [[kalimba]], na ngoma za Kiafrika.
Kazi ya muziki ya Sipho ilianza alipoanzisha kundi lililoitwa The Beaters akiwa na marafiki zake wawili Selby Ntuli na “Om” Alec Khaoli, alipokuwa na umri wa miaka 15 tu. Baada ya kuzuru [[Zimbabwe]] ([[Rhodesia]]) mwaka wa 1974, na kuweka wakfu wimbo "Harari" kwa watu wa mji huo, kikundi baadaye kilibadilisha jina lake la jukwaa na kuwa Harari - na kuendelea kupata sifa kama moja ya vitendo vilivyofanikiwa zaidi vilivyotawala wenyeji. [[tasnia ya muziki]] katika miaka ya 70 ikiwa na "mitetemo ya kujisikia vizuri ya Afro-rock iliyokolezwa na baadhi ya watu wanaopata sauti ya chini kwenye anga", "kutetemeka kwa sauti ya toto, ngoma ya konga na kupumua kwa sauti ya filimbi na pennywhisltes". Mnamo 1978, Harari alialikwa kutumbuiza huko [[USA]] na mwanamuziki mwenzake Hugh Masekela, lakini kiongozi wa bendi hiyo Selby Ntuli alikufa na kumwacha Sipho kama kiongozi mpya. Chini ya kiongozi mpya, kikundi kiliendelea kusaidia na kuunga mkono wanamuziki mashuhuri kama vile Percy Sledge, Timmy Thomas, Letta Mbula, Brook Benton, na Wilson Pickett kwenye ziara zao za Afrika Kusini. Mnamo 1982, kikundi kiligawanyika na kumpa Sipho nafasi ya kuzindua kazi yake ya peke yake na kumfanya kuwa mmoja wa waanzilishi wa pop ya kijijini wakati akiendesha wimbi la muziki wa disco.
Mnamo 1983, Sipho alitoa wimbo wake wa "Burn Out" ambao ulichangia maisha yake ya peke yake kuwa maarufu kwa kuuza nakala zaidi ya nusu milioni na bado ni maarufu leo. Baadhi ya nyimbo zake zingine maarufu ni pamoja na wimbo wake wa 1986 wa Jive Soweto na wimbo wa 1989 wa kupinga ubaguzi wa rangi "Chant of the Marching" miongoni mwa nyimbo zingine.
Wakati wa kazi yake ya muziki ya miaka 50 zaidi, Sipho ametumbuiza kote [[Afrika]], [[Ulaya]], na [[Marekani]]. Amerekodi na kutoa wasanii magwiji kama vile [[Miriam Makeba]], [[Hugh Masekela]], Ray Phiri na Sibongile Khumalo. Alikuwa mmiliki wa klabu maarufu ya usiku ya Kippies na alikaa kwenye bodi za Baraza la Sanaa la Taifa na SAMRO (Shirika la Haki za Wanamuziki wa Afrika Kusini).
Pia amekusanya sifa za kutosha kuendana na kazi yake ya ajabu. Mnamo 2005, alipokea Tuzo ya Mafanikio ya Maisha ya Afrika Kusini ya Tuzo ya Muziki na akatunukiwa Tuzo ya Silver ya Ikhamanga kwa mchango wake katika nyanja ya muziki. Mnamo 2013, Gallo alitoa mkusanyiko mpya wa vibao kwenye CD na DVD.
Tarehe 2 Novemba 2021 Sipho alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ya 70. Anaendelea kufanya kazi mara kwa mara.
== Marejeo ==
[[Jamii:Waimbaji wa Afrika Kusini]]
lj15i54ydfz5hi7ryf13s91oy1daomc
1236146
1236144
2022-07-27T18:08:15Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Sipho "Hotstix" Mabuse''' (amezaliwa [[Johannesburg]], 2 Novemba [[1951]]) ni [[mwimbaji]] wa [[Afrika Kusini]].
Sipho alikulia [[Soweto]]. Mama yake alikuwa [[Zulu|Mzulu]] na baba yake alikuwa Mtswana. Sipho na bendi yake walikuwa wakisimamiwa na Solly Nkuta, Baada ya kuacha shule katika miaka ya 1960, Mabuse alianza katika kundi la Afro-soul The Beaters katikati ya miaka ya 1970. Baada ya ziara ya mafanikio nchini [[Zimbabwe]] walibadilisha jina la kundi hilo na kuwa Harari, bendi ya afrosoul inayoongozwa na Mabuse. Waliporudi katika nchi yao huko Afrika Kusini walianza kuchorwa na muziki wa [[Kimarekani]] wa funk, soul, na pop, ulioimbwa kwa [[Kizulu]] na Kisotho na [[Kiingereza]]. Pia amewarekodi na kuwatayarisha, miongoni mwa wengine, Miriam Makeba, Hugh Masekela, Ray Phiri na Sibongile Khumalo.
Mabuse anahusika na "Burn Out" mwanzoni mwa miaka ya 1980 ambayo iliuza zaidi ya nakala 500,000, na kibao cha Disco Shangaan cha mwishoni mwa miaka ya 1980, "Jive Soweto".
Binti yake ni mwimbaji Mpho Skeef.
Mabuse alirejea shuleni akiwa na umri wa miaka 60, na kumaliza darasa lake la 12 mwaka wa 2012 katika Kituo cha Mafunzo ya Jamii cha Peter Lengene. Alisema ana nia ya kuendelea na chuo kikuu na kusomea [[anthropolojia]]. Rais [[Jacob Zuma]] alimsifu kwa kutoa "msukumo kwetu sote kwa kutuonyesha kwamba mtu hazeeki sana kwa elimu."
==Wasifu==
Sipho Cecil Peter Mabuse alizaliwa tarehe 2 Novemba 1951 huko Masakeng (Shantytown), [[Orlando, Florida|Orlando Magharibi.]] Akiwa na umri mdogo wa miaka 8 alianza kucheza ngoma ambazo aliendelea kuzifahamu na kumpatia jina la utani "Hotstix" - jina ambalo limekuwa sawa naye hadi leo. Kisha akaendelea kuwa mwimbaji wa ala nyingi kupitia kujifunza na kumudu vyombo vingine kama vile [[filimbi]], [[kinanda]], saksafoni, [[kalimba]], na ngoma za Kiafrika.
Kazi ya muziki ya Sipho ilianza alipoanzisha kundi lililoitwa The Beaters akiwa na marafiki zake wawili Selby Ntuli na “Om” Alec Khaoli, alipokuwa na umri wa miaka 15 tu. Baada ya kuzuru [[Zimbabwe]] ([[Rhodesia]]) mwaka wa 1974, na kuweka wakfu wimbo "Harari" kwa watu wa mji huo, kikundi baadaye kilibadilisha jina lake la jukwaa na kuwa Harari - na kuendelea kupata sifa kama moja ya vitendo vilivyofanikiwa zaidi vilivyotawala wenyeji. [[tasnia ya muziki]] katika miaka ya 70 ikiwa na "mitetemo ya kujisikia vizuri ya Afro-rock iliyokolezwa na baadhi ya watu wanaopata sauti ya chini kwenye anga", "kutetemeka kwa sauti ya toto, ngoma ya konga na kupumua kwa sauti ya filimbi na pennywhisltes". Mnamo 1978, Harari alialikwa kutumbuiza huko [[USA]] na mwanamuziki mwenzake Hugh Masekela, lakini kiongozi wa bendi hiyo Selby Ntuli alikufa na kumwacha Sipho kama kiongozi mpya. Chini ya kiongozi mpya, kikundi kiliendelea kusaidia na kuunga mkono wanamuziki mashuhuri kama vile Percy Sledge, Timmy Thomas, Letta Mbula, Brook Benton, na Wilson Pickett kwenye ziara zao za Afrika Kusini. Mnamo 1982, kikundi kiligawanyika na kumpa Sipho nafasi ya kuzindua kazi yake ya peke yake na kumfanya kuwa mmoja wa waanzilishi wa pop ya kijijini wakati akiendesha wimbi la muziki wa disco.
Mnamo 1983, Sipho alitoa wimbo wake wa "Burn Out" ambao ulichangia maisha yake ya peke yake kuwa maarufu kwa kuuza nakala zaidi ya nusu milioni na bado ni maarufu leo. Baadhi ya nyimbo zake zingine maarufu ni pamoja na wimbo wake wa 1986 wa Jive Soweto na wimbo wa 1989 wa kupinga ubaguzi wa rangi "Chant of the Marching" miongoni mwa nyimbo zingine.
Wakati wa kazi yake ya muziki ya miaka 50 zaidi, Sipho ametumbuiza kote [[Afrika]], [[Ulaya]], na [[Marekani]]. Amerekodi na kutoa wasanii magwiji kama vile [[Miriam Makeba]], [[Hugh Masekela]], Ray Phiri na Sibongile Khumalo. Alikuwa mmiliki wa klabu maarufu ya usiku ya Kippies na alikaa kwenye bodi za Baraza la Sanaa la Taifa na SAMRO (Shirika la Haki za Wanamuziki wa Afrika Kusini).
Pia amekusanya sifa za kutosha kuendana na kazi yake ya ajabu. Mnamo 2005, alipokea Tuzo ya Mafanikio ya Maisha ya Afrika Kusini ya Tuzo ya Muziki na akatunukiwa Tuzo ya Silver ya Ikhamanga kwa mchango wake katika nyanja ya muziki. Mnamo 2013, Gallo alitoa mkusanyiko mpya wa vibao kwenye CD na DVD.
Tarehe 2 Novemba 2021 Sipho alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ya 70. Anaendelea kufanya kazi mara kwa mara.
== Marejeo ==
<ref>https://www.bbc.co.uk/news/world-africa-19049001</ref><ref>http://digitalclassroom.co.za/digitalclassroom/latestnews/17-education-news/2012/122-sipho-hotstix-mabuse-celebrity-pupil-at-60</ref><ref>https://www.pressreader.com/south-africa/sunday-world-8839/20191110/281500753068440</ref><ref>https://www.news24.com/citypress/news/artists-sign-petition-to-force-samro-to-pay-20201219</ref>
[[Jamii:Waimbaji wa Afrika Kusini]]
koho9m615ax7g0ktn8pcvlnww8dq378
Ringo Madlingozi
0
149141
1236147
1226867
2022-07-27T18:33:21Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Ringo Madlingozi''' (amezaliwa 12 Disemba 1964) ni mwimbaji wa [[Afrika Kusini]], [[mtunzi wa nyimbo]], [[mtayarishaji wa rekodi]] na Mjumbe wa Bunge la Kitaifa la Afrika Kusini. Madlingozi alipata umaarufu wakati yeye na bendi yake ya Peto waliposhinda shindano la Shell Road to Fame mwaka wa 1986. Baadaye alianzisha kundi lililoitwa Gecko Moon akiwa na Alan Cameron, mwanachama mwenzake wa Peto.
== Maisha ya awali ==
Madlingozi alizaliwa Peddie, [[Eastern Cape]]. Kukutana kwa bahati na mtayarishaji maarufu na mkuu wa Island Records, Chris Blackwell, kulibadilisha mkondo wa maisha ya ubunifu ya Madlingozi. "Blackwell alinilaumu kwa kutofuata kile ninachokijua zaidi - watu wangu, lugha yangu na utamaduni wangu," Madlingozi alisema. "Ilikuwa ni kama mwanga mkali ulikuwa umewashwa akilini mwangu na hii ilisababisha kurekodiwa kwa [[albamu]] yangu ya kwanza, ''Vukani''."
Albamu hiyo iliashiria mwelekeo mpya kwa Madlingozi. Kwa maana halisi ni "Amka", albamu hiyo ilimtia mizizi Madlingozi katika aina ya Pop ya [[Kiafrikaans|Kiafrika]], ikitoa ufafanuzi kwa midundo ya "ukuxhentsa" ambayo ilimtia moyo mwimbaji katika ujana wake wakati yeye. alikuwa akisikiliza "amagqirha" au waganga wa kienyeji katika mtaa wake na kufahamu midundo yao. Kuongezwa kwa sauti ya kisasa wakati bado kukiegemezwa katika utamaduni wa [[gitaa]] [[Xhosa]], kuliimarisha kile ambacho sasa kinajulikana kama sauti ya "Ringo". Sauti imepata mwonekano wake katika matoleo mengine kadhaa, kila moja ikizingatia mafanikio ya mwisho.<ref name=":0" />
== Kazi ==
=== Muziki ===
Baadaye Madlingozi aliunda kundi lililoitwa Gecko Moon na Alan Cameron, mwanachama mwenzake wa Peto. Wimbo wao maarufu ulikuwa "Green-Green", ambao ulikuwa wimbo tofauti na kupokelewa vyema na wapenzi wa muziki.<ref name=":0">{{Cite web|url=https://www.tvsa.co.za /actors/viewactor.aspx?actorid=6291|title=Ringo Madlingozi|website=TVSA}}</ref>
Albamu ya kwanza ya Madlingozi, ''Vukani'', iliuza makumi ya maelfu ya nakala.{{Citation needed|date=June 2021}}
Baadaye amepokea tuzo nyingi kwa ajili ya albamu zake katika [[Tuzo za Muziki za Afrika Kusini]] (SAMA) na Kora Awards, ambapo, miongoni mwa wengine, alishinda Msanii Bora wa Kiume Kusini mwa Afrika na Tuzo za Bara la Afrika. . Alishirikiana na kundi la kimataifa UB40 kama sehemu ya [[Umoja wa Mataifa]] mpango wa uhamasishaji kuhusu [[Ukimwi|UKIMWI]] duniani kote, kurekodi maneno ya [[Kixhosa]] ya "Cover Up".<ref name=":0" />
=== Siasa ===
Mnamo Mei 2019, Madlingozi aliapishwa kama Mbunge katika utawala wa sita wa serikali ya kidemokrasia ya Jamhuri ya Afrika Kusini. Ameshutumiwa kwa kutetea kauli za kibaguzi zinazoainisha watu wa rangi kama vile Waasia(“Wahindi” nchini Afrika Kusini), watu wa rangi mchanganyiko(“Warangi” nchini Afrika Kusini) na wazungu kuwa ni wabaguzi wa rangi.<ref>https://citizen{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} .co.za/news/south-africa/1957899/wanamuziki-wanaoshirikiana-na-malema-over-indians-are-racist-comments/</ref>
=== Muziki ===
Baadaye Madlingozi aliunda kundi lililoitwa Gecko Moon na Alan Cameron, mwanachama mwenzake wa Peto. Wimbo wao maarufu ulikuwa "Green-Green", ambao ulikuwa wimbo tofauti na kupokelewa vyema na wapenzi wa muziki.<ref name=":0">{{Cite web|url=https://www.tvsa.co.za /actors/viewactor.aspx?actorid=6291|title=Ringo Madlingozi|website=TVSA}}</ref>
[[Albamu]] ya kwanza ya Madlingozi, ''Vukani'', iliuza makumi ya maelfu ya nakala.{{Citation needed|date=June 2021}}
Baadaye amepokea tuzo nyingi kwa ajili ya albamu zake katika [[Tuzo za Muziki za Afrika Kusini]] (SAMA) na Kora Awards, ambapo, miongoni mwa wengine, alishinda Msanii Bora wa Kiume Kusini mwa Afrika na Tuzo za Bara la Afrika. . Alishirikiana na kundi la kimataifa UB40 kama sehemu ya [[Umoja wa Mataifa]] mpango wa uhamasishaji kuhusu UKIMWI duniani kote, kurekodi maneno ya Kixhosa ya "Cover Up".<ref name=":0" />
=== Siasa ===
Mnamo Mei 2019, Madlingozi aliapishwa kama Mbunge katika utawala wa sita wa serikali ya kidemokrasia ya Jamhuri ya Afrika Kusini. Ameshutumiwa kwa kutetea kauli za kibaguzi zinazoainisha watu wa rangi kama vile Waasia(“Wahindi” nchini Afrika Kusini), watu wa rangi mchanganyiko(“Warangi” nchini Afrika Kusini) na wazungu kuwa ni wabaguzi wa rangi.<ref>https://citizen{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }} .co.za/news/south-africa/1957899/wanamuziki-wanaoshirikiana-na-malema-over-indians-are-racist-comments/</ref>
== Athari za kisanii ==
Shujaa wa sauti wa Madlingozi ni Victor Ndlazilwane.<ref>{{Cite book|title=Soweto Blues: Jazz, Muziki Maarufu na Siasa yuko Afrika Kusini|last=Gwen|first=Ansell|publisher=The Continuum International Publishing Group Inc 15 East 26 Street, New York, NY 10010|year=2005|isbn=0-8264-1753-1|location=USA|pages=289}}</ref> Wasanii wengi wanaokuja kama Nathi Mankayi na Vusi Nova wameathiriwa na Madlingnozi.
== Kazi ya uhisani ==
Kwa miaka michache iliyopita Madlingozi amekuwa akifanya kazi na kusaidia katika vituo vifuatavyo:
* Makao ya Walemavu Takalani huko [[Soweto]]
* Nyumba ya Sinethemba huko Benoni
* Mahali pa Usalama ya Van Rijn huko Benoni
* Siyazigabisa Nyumba ya Matumaini huko [[Tembisa]] na [[Port Elizabeth]]
* Enkuselweni Mahali pa Usalama
* Huko Enkuselweni, Madlingozi hufanya kazi na vijana kuwahamasisha na kutoa msaada wa kifedha kwa njia ya michango na matamasha ya faida.
Huko Van Rijn amekuwa akifanya vivyo hivyo na kuwasaidia katika mafunzo ya muziki na pamoja na Sindi Dlathu wa ''Muvhango'' maarufu; pia waliwafundisha watoto kucheza. Amesaidia mara chache kukusanya nguo za [[Krismasi]] na kutoa zawadi za Krismasi kwa watoto huko.
Katika nyumba ya Takalani ametoa burudani kwa wakazi kwa njia ya vipindi vya bila malipo na pia hutoa michango ya chakula na kifedha kila inapobidi.
Huko Sinethemba, ana jukumu zaidi la mzazi kwa watoto, kwani ni nyumba ndogo, yenye watoto wachache. Yeye huwaongoza na kuwatia moyo watoto na kuwasindikiza kwa shughuli zao za shule, kama vile Ngoma za Matric. Anasaidia kwa kununua nguo na zawadi kwa watoto na kusaidia popote na wakati wowote inapohitajika.
Huko [[Durban]], pamoja na Nkosi Ngubane, walianzisha Mradi wa Adopt a Child, ambapo mtu anamsaidia mtoto yatima.
Katika siku za hivi majuzi, amepewa ubalozi wa Kampeni ya [[VVU/UKIMWI nchini Afrika Kusini|VVU/UKIMWI]] na Kupinga Unyanyasaji wa Wanawake na Watoto na Idara ya Ustawi wa Jamii ya [[Gauteng]].
Pia amefanya kazi na Khuluma Ndoda, vuguvugu la kupinga unyanyasaji wa wanawake lililoanzishwa na mwigizaji Patrick Shai.
Madlingozi alionekana kwenye kipindi cha tatu cha TV maalum cha chemsha bongo ''Test the Nation'', kilichoitwa ''Mtihani wa Kitaifa wa Uzazi'', kama mgeni maarufu.<ref name=":0" />
== Diskografia<ref>{{Cite web|url=https://www.allmusic.com/artist/ringo-madlingozi-mn0000138541|title=Ringo Madlingozi {{!}} Diskografia ya Albamu {{!}} AllMusic|tovuti =allmusic.com}}</ref> ==
*''Sondelani'' (1997)
*''Mamelani'' (1998)
*''Into Yam''' (1999)
*''Buyisa'' (2000)
*''Ntumba'' (2002)
*''Baleka'' (2004)
*''Ndim'lo'' (2006)
*''Nyimbo za mapenzi'' (2006)
*''Ringo Live DVD'' (2003)
*''Ringo Live CD'' (2003)<ref>{{Cite web|url=https://www.discogs.com/artist/3012757-Ringo-Madlingozi|title=Ringo Madlingozi {{!}} Diskografia & Nyimbo {{!}} Discogs|website=Discogs}}</ref>
==Tuzo na Uteuzi==
{| class="wikitable"
|+
!Mwaka
!Tuzo
!Kategoria
!Kazi ya Mpokeaji/Aliyeteuliwa
!matokeo
|-
| 1999
|Tuzo za Muziki za Afrika Kusini
| Mwimbaji Bora wa Kiume
|Ringo Madlingozi<ref>{{Cite web|url=http://sarockdigest.com/archives/issue_17.html|title="The 5th FNB African Music Awards"|website=SA Rock Digest (Mhariri wa 17)}} </ ref>
|{{Alishinda}}
|-
| 1999
|Tuzo za Kora
|Msanii Bora kutoka Kusini mwa Afrika
|Ringo Madlingozi
|{{Alishinda}}
|-
|2004
|Tuzo za Muziki za Afrika Kusini
|Albamu Bora ya Afro Pop
|''Baleka''
|{{Alishinda}}
|-
|2015
|Tuzo za Muziki za Afrika Kusini<ref>{{cite news|url=http://www.channel24.co.za/Music/News/Hawa-ndio-wote-wa-2015-Sama-washindi-so-far-20150419 |title=Hawa ndio washindi wote wa Sama 2015|date=19 Aprili 2015|access-date=16 Machi 2016|publisher=Channel24}}</ref>
|
|Ringo Madlingozi
|{{Alishinda}}
|}
==Marejeleo==
{{reflist}}
oyrmjspwayq8ong20f78mnn21u9gui9
Madosini
0
149143
1236148
1223372
2022-07-27T18:43:03Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Latozi "Madosini" Mpahleni''' (alizaliwa Dlomo tarehe 25 Desemba [[1943]])<ref>{{Citation|title=Madosini|date=2022-04-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Madosini&oldid=1084896787|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-07}}</ref> <ref>{{Citation|title=Madosini|date=2022-04-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Madosini&oldid=1084896787|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-07}}</ref>ni mwanamuziki wa [[Afrika Kusini]], anayejulikana kwa kupiga ala za kitamaduni za [[Kixhosa]] kama vile pinde za muziki za uhadi na mhrubhe, na isitolotolo. Anaimba kwa jina la Madosini na anachukuliwa kuwa "hazina ya taifa"<ref>{{Citation|title=Madosini|date=2022-04-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Madosini&oldid=1084896787|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-07}}</ref> katika nyanja yake. Kwa miaka mingi ameshirikiana na kuandika nyimbo na Mwimbaji wa Rock wa Uingereza Patrick Duff na mnamo 2003 waliendelea kufanya matamasha kadhaa yaliyofanikiwa pamoja ulimwenguni kote. Ameshirikiana na wanamuziki wa Afrika Kusini Thandiswa Mazwai, Ringo, Derek Gripper na Gilberto Gil mwanamuziki maarufu wa [[Brazil]]. Ushirikiano wake wa hivi punde zaidi na wanamuziki Hilton Schilder, Jonny Blundell, Lulu Plaitjies na Pedro Espi-Sanchis umefanikisha kurekodiwa kwa CD ya African/Jazz fusion kwa jina la AmaThongo na matamasha mbalimbali barani Afrika. Madosini na Pedro wametumbuiza pamoja katika sherehe nyingi za muziki na vilevile kusimulia hadithi na sherehe za ushairi duniani kote, hasa Tamasha la Kimataifa la Ushairi la Medellin nchini [[Kolombia]].
Kuanzia 2006, Madosini alitumbuiza katika tamasha nyingi za [[Wamadi|WOMAD]] kote ulimwenguni, na alikuwa mtu wa kwanza kurekodiwa katika mradi wa Tamasha la Musical Elders Archives.<ref>{{Citation|title=Madosini|date=2022-04-27|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Madosini&oldid=1084896787|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-07}}</ref>
[[Faili:Madosini.jpg|thumb|ni mwanamuziki wa Afrika Kusini]]
Moyo na mapenzi ya Madosini kwa muziki ni makubwa na anaendelea kutumbuiza duniani kote. Muziki wake huwapeleka watazamaji ndani kabisa ya vyanzo vya muziki na kuwakilisha baadhi ya chimbuko la awali la [[Jazz]] [[Afrika|barani Afrika]]. Anatumia njia za Lydian na Mixolydian na pia sahihi za mara kwa mara za nyongeza kama vile 9/8. Sikiliza wimbo wake Modokali http://www.youtube.com/watch?v=_OLf3yX6Euk
==Marejeo==
{{reflist}}
{{DEFAULTSORT:Madosini}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1943]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
a8oelzb82ptdkuk3ngb67vfirrex9wp
Arthur Mafokate
0
149144
1236150
1226869
2022-07-27T19:00:27Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Arthur Mafokate''' (amezaliwa 10 Julai 1962) ni mwanamuziki na mtayarishaji wa kwaito wa [[Afrika Kusini]]. Mnamo 1994, alitoa [[albamu]] yake ya kwanza iliyoitwa Windy Windy na wimbo wa "Amagents Ayaphanda".
==Maisha na kazi==
=== Maisha ya awali ===
Arthur Mafokate alizaliwa tarehe 10 Julai na ni mtoto wa mpanda farasi wa [[Olimpiki]] na mwanahisani Enos Mafokate. Alizaliwa [[Soweto]], Mkoa wa Gauteng na familia yake baadaye ikahamia [[Midrand]]. Alikua dansa anayeunga mkono wasanii wakiwemo Brenda Fassie, Monwa & Son na Johnny Mokhali.{{citation needed|date=Februari 2016}}
===Hit ya Kwaito ya Kwanza===
Alitoa wimbo wa kwanza wa kwaito na wimbo wake wa 1995 "Kaffir" ambao hadi sasa umeuza zaidi ya nakala 500,000.<ref>Mhlambi, Thokozani.'Kwaitofabulous': The Study of a South African urban genre. Jarida la Sanaa ya Muziki Barani Afrika. juzuu ya 1 116–127. [[Chuo Kikuu cha Cape Town]]. 2004</ref> Maneno yake yanaakisi uhuru mpya ulioibuka baada ya mabadiliko ya kisiasa ya 1994, ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa katiba mpya na mfumo wa uchaguzi wa kidemokrasia.<ref>[https://2009-2017.state.gov/r/ pa/ei/bgn/2898.htm Afrika Kusini (02/08)<!-- Jina la Bot -->]</ref> Jina, "Kaffir," ni jina neno la kudhalilisha linalotumiwa zaidi nchini [[Afrika Kusini]] kama lugha ya kikabila kuwarejelea watu weusi. Katika wimbo wake, Mafokate anapinga matumizi ya neno "kafir," akidai kuwa mwajiri wake (aitwaye "baas" au bosi) asingependa kuitwa "bobbejaan," au [[mbuni]].
Katika Tuzo za Mzansi Kwaito na Muziki wa House 2021, wimbo wake "Hlokoloza" ulipokea uteuzi wa wimbo Bora wa Kwaito.<ref>{{cite web|url=https://www.musicinafrica.net/magazine/mzansi-kwaito-na -house-music-awards-2021-all-nominees|title=Mzansi Kwaito and House Music Awards 2021: All nominees|first= Ano |last=Shumba|date=18 June 2021 |work=Music in Africa}}</ref>
=== Maisha ya awali ===
Arthur Mafokate alizaliwa tarehe 10 Julai na ni mtoto wa mpanda farasi wa Olimpiki na mwanahisani Enos Mafokate. Alizaliwa Soweto, Mkoa wa Gauteng na familia yake baadaye ikahamia Midrand. Alikua dansa anayeunga mkono wasanii wakiwemo Brenda Fassie, Monwa & Son na Johnny Mokhali.{{citation needed|date=Februari 2016}}
== Utata ==
Mnamo mwaka wa 2017, msanii Cici, ambaye wakati huo alikuwa mpenzi wake na kusainiwa na lebo ya Mafokate, alimshutumu kwa unyanyasaji wa kimwili wakati wa kuishi pamoja. Cici pia alidai kuwa Mafokate alimkokota na gari lake kwa mita chache na kusababisha majeraha kwenye eneo la [[fupanyonga]]. Alilazwa katika hospitali ya kibinafsi ya Netcare Waterfall ambako alifanyiwa upasuaji wa nyonga.<ref>{{Cite web|title=Nilidhulumiwa kingono na kihisia mikononi mwa Arthur Mafokate - Cici|url=https://www.sowetanlive.co.za /entertainment/2018-08-23-nimeteswa- kingono-na-kihisia-at-arthur-mafokates-hands-cici/|access-date=2020-11-07|website=The Sowetan|language=en -ZA}}</ref> Alikamatwa na kuachiliwa kwa dhamana akisubiri kesi mahakamani. Cici pia alichapisha picha zinazoonyesha majeraha yake aliyoyapata na kusababisha kulaaniwa kwa Mafokate jambo ambalo lilisababisha kufuta 100MenMarch ambayo ilikuwa maandamano ya kuangazia ukatili wa kijinsia unaofanywa na wanaume zaidi dhidi ya wanawake na watoto.<ref>{{Cite web|last=Magadla|first=Mahlohonolo|title=CiCi anashiriki picha ya majeraha kutokana na madai ya unyanyasaji kutoka kwa Arthur Mafokate|url=https://www.news24.com/drum/celebs/cici-shares-picha-ya-majeruhi- kutokana-kudaiwa-matusi-kutoka-arthur-mafokate-20180710|access-date=2020-11-07|website=Drum|language=en-US}}{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Mafokate alikanusha tuhuma zote na kukutwa hana hatia. na mahakama ya Midrand mwaka wa 2019.<ref>{{Cite web|title=Arthur Mafokate hakupatikana na hatia ya kumpiga mpenzi wa zamani CiCi|url=https://www.news24.com/news24/SouthAfrica/News/arthur-mafokate -kupatikana-hana-hatia-ya-kumshambulia-mpenzi-wa-mpenzi-cici-20190828|tarehe-ya-kufikia=2020-11-07|website=News24|language=en-US}}{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
==Tuzo==
Mnamo 1998 alishinda Wimbo Bora wa Mwaka kwa wimbo wake Oyi Oyi kwenye Tuzo za SAMA FNB. Mafokate, anayetajwa kuwa Mfalme wa Kwaito, alikuwa msanii wa kwanza kushinda kipengele cha Tuzo za Muziki za Afrika Kusini cha Wimbo Bora wa Mwaka kama ilivyopigiwa kura na umma. Alitambuliwa kwa mchango wake katika muziki huu wa kizazi kipya katika 2007 FNB South African Music Awards.<ref name="South African Music">[http://www.music.org.za/artist. asp?id=92 Muziki wa Afrika Kusini<!-- Jina lililotolewa na Bot -->]{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref> Ushindi wake katika kitengo cha 'Wimbo Bora wa Mwaka', unaonyesha umaarufu wa kipekee wa aina ya muziki ambayo haichambui historia nyeusi. mapambano kama muziki wa kitamaduni wa Afrika Kusini umefanya mara nyingi. Aina ya muziki wa Kwaito ilitokana na "kuondolewa kwa vikwazo nchini Afrika Kusini ambavyo viliwapa wanamuziki fursa rahisi ya kupata nyimbo za kimataifa na marekebisho makubwa ya udhibiti, huku hali ya kisiasa kuwa rahisi ikiruhusu uhuru zaidi wa kujieleza. Uhuru wa kujieleza kulimaanisha kwamba kwa mara ya kwanza, vijana wa Afrika Kusini wangeweza kutoa sauti zao."<ref>Mhlambi, Thokozani. "'Kwaitofabulous': Utafiti wa aina ya mijini ya Afrika Kusini." Journal of the Musical Arts in Africa, vol 1 (2004): 116</ref> Akitoa sauti yake kupitia wimbo Oyi Oyi, Mafokate aligonga mwamba maalum na watazamaji wa Afrika Kusini "katika mwaka ambao shindano lilikuwa kali, akionyesha mvuto wa kudumu kwa mamia ya maelfu ya mashabiki wake".<ref name="South African Music" /> Tofauti na sifa za kisiasa za mara nyingi za muziki wa kwaito, Mafokate anashughulikia tajriba ya watu weusi wa tabaka la chini nchini Afrika Kusini katika sehemu kubwa ya muziki wake. muziki kama inavyodhihirishwa katika maneno ya "Kafir". Mafokate anaelezea mafanikio yake kwa maneno haya: "Ninajituma kwa kila kitu ninachofanya. Nipe script sasa ya kuonyesha tabia, kwa mfano, utaona kujitolea kwangu. Siwezi kudai sura yangu haina chochote cha kufanya. kwa mafanikio yangu. Ni kile kinachotoka ndani yangu kabisa".<ref name="South African Music" />
Arthur alitunukiwa katika 2016 Afrika Kusini Metro FM Awards na Tuzo ya Mafanikio ya Maisha kwa kutambua taaluma yake ya burudani yenye mafanikio mwenye umri wa miaka 22.<ref>{{Cite web|title=Washindi wote wa 15 Tuzo za Muziki za MetroFM|url=https://www.timeslive.co.za/sunday-times/lifestyle/2016-02-28-wote-washindi-wa-15th-metrofm-music-awards/|access -date=2020-11-20|website=TimesLIVE|language=en-ZA}}{{Dead link|date=May 2022 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.timeslive.co.za/sundaytimes/lifestyle/ entertainment/2016/02/28/Wote-washindi-wa-15-MetroFM-Music-Awards|title=Washindi wote wa Tuzo za 15 za MetroFM Music}}</ref>
== Diskografia ==
=== Albamu ===
* 1994: ''Windy Windy''
* 1994: ''Scamtho''
* 1995: ''Kafir''
* 1996: ''Die Poppe Sal Dans''
* 1997: ''Oyi Oyi''
* 1998: ''Chomi''
* 1999: ''Umpostoli''
* 2000: ''Mnike''
* 2001: ''Seven Phezulu''
* 2002: ''Haai Bo''
* 2003: ''Skulvyt''
* 2004: ''Mamarela''
* 2005: ''Sika''
* 2006: ''Vanilla na Chokoleti''
* 2007: ''Dankie''
* 2007: ''Arthur Vs DJ Mbuso: Raundi ya 1''
* 2008: ''Kwaito Meets House''
* 2011: ''Hlokoloza''
* 2013: ''Kamanda''
==Marejeleo==
{{Reflist}}
4xftgkbsjfhy8wa4yrdj5kz4j3n1o5b
Getatchew Mekurya
0
149146
1236186
1224127
2022-07-27T23:51:36Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Getatchew Mekurya'''
'''Getatchew Mekurya''' Alizaliwa tarehe [[14 Machi]] [[1935]] huko Yifat, [[Ethiopia]].
[[Faili:Getatchew Mekuria.jpg|thumb|'''Getatchew Mekurya''']]
[[14]] [[Machi]] [[1935]] - [[4]] [[Aprili]] [[2016]] [<ref>{{Citation|title=Getatchew Mekurya|date=2022-05-04|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Getatchew_Mekurya&oldid=1086225706|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-10}}</ref>] alikuwa mpiga saksafoni wa jazi wa [[Ethiopia]].[<ref>{{Citation|title=Getatchew Mekurya|date=2022-05-04|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Getatchew_Mekurya&oldid=1086225706|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-10}}</ref>]
==Maisha binafsi==
Mke wa Mekurya, Ayalech alifariki mwaka wa 2015. Mekurya alifariki mwaka wa (2016) kutokana na ugonjwa wa mguu uliosababishwa na kisukari, akiwa na umri wa miaka 81. Aliacha watoto tisa na wajukuu wengi.[<ref>{{Citation|title=Getatchew Mekurya|date=2022-05-04|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Getatchew_Mekurya&oldid=1086225706|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-10}}</ref>][<ref>{{Citation|title=Getatchew Mekurya|date=2022-05-04|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Getatchew_Mekurya&oldid=1086225706|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-10}}</ref>]
==marejeo==
<references />
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ethiopia]]
8k89m78orvwck4bm5zz3svmt2r8l03z
1236194
1236186
2022-07-28T03:36:21Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Getatchew Mekurya'''
'''Getatchew Mekurya''' Alizaliwa tarehe [[14 Machi]] [[1935]] huko Yifat, [[Ethiopia]].
[[Faili:Getatchew Mekuria.jpg|thumb|'''Getatchew Mekurya''']]
[[14]] [[Machi]] [[1935]] - [[4]] [[Aprili]] [[2016]] [<ref>{{Citation|title=Getatchew Mekurya|date=2022-05-04|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Getatchew_Mekurya&oldid=1086225706|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-10}}</ref>] alikuwa mpiga tarumbeta wa [[Jazz|jazi]] wa [[Ethiopia]].[<ref>{{Citation|title=Getatchew Mekurya|date=2022-05-04|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Getatchew_Mekurya&oldid=1086225706|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-10}}</ref>]
==Maisha binafsi==
Mke wa Mekurya, Ayalech alifariki mwaka wa 2015. Mekurya alifariki mwaka wa (2016) kutokana na ugonjwa wa mguu uliosababishwa na kisukari, akiwa na umri wa miaka 81. Aliacha watoto tisa na wajukuu wengi.[<ref>{{Citation|title=Getatchew Mekurya|date=2022-05-04|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Getatchew_Mekurya&oldid=1086225706|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-10}}</ref>][<ref>{{Citation|title=Getatchew Mekurya|date=2022-05-04|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Getatchew_Mekurya&oldid=1086225706|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-05-10}}</ref>]
==marejeo==
<references />
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ethiopia]]
r2smvq8zq7q8tgs8li0rg2tk24lj3p5
Neddy Atieno
0
149169
1236155
1221067
2022-07-27T19:26:37Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Neddy Atieno Okoth''' amezaliwa 8 Julai [[1992]], anajulikana kama Neddy Atieno ni kiungo wa timu ya mpira [[Kenya]] na alicheza kama kiungo cha mbele Cha Ulinzi stars na timu ya taifa ya mpira wa miguu ya wanawake wa Kenya.
==Kazi ya kimataifa==
Atieno alichezea Kenya katika ngazi ya juu wakati wa kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika la Wanawake wa 2018.<ref>{{Citeweb|url=http://admin.cafonline.com/en-us/competitions/11theditionwomenafcon-ghana2018/MatchDetails?MatchId=yTc3IoJVHO6FZwJH%2bO5JrawK9P4gipWO22ws62ssf8NESbW0ScfxH4vQx80duSv8|website=CAF|title=Competitions - 11th Edition Women AFCON- GHANA 2018 - Match Details}}</ref>
==Marejeo==
[[Jamii:Wanawake wa Kenya]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wanawake Kenya]]
[[Jamii:Arusha Women in Wiki]]
0kpi53jeslv5mhvy97qnw3jfiehjfov
Tulsa Pittaway
0
149170
1236157
1221082
2022-07-27T19:36:05Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Tulsa Pittaway'''
Tulsa Pittaway (mzaliwa wa Tulsa Theodore Pittaway; Disemba 9, [[1974]] - 21 Mei [[2017]]) alikuwa mwanamuziki, mwimbaji na mtunzi wa [[Afrika Kusini]]. Alijulikana zaidi kama mpiga ngoma wa bendi ya muziki ya indie iliyoshinda kwa tuzo ya Muziki ya Afrika Kusini Watershed <ref>https://www.allmusic.com/artist/watershed-mn0001427195/biography</ref> pamoja na Evolver One <ref>http://www.expressoshow.com/articles/Music---Evolver-One?articleID=1389and</ref> na Brothering. <ref>https://www.metal-archives.com/bands/Brothering/113575</ref> Pia alijulikana kwa kazi zake za pekee. <ref>http://younitedtv.com/page/New_Music_by_Tulsa_Pittaway/190/28/index.php</ref>
==Marejeo==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
c1sni4q9sa94u4von7wo8o3jp96b18i
Okzharp
0
149180
1235934
1234558
2022-07-27T16:00:36Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236110
1235934
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Hussein m mmbaga|Hussein m mmbaga]]
wikitext
text/x-wiki
'''Gervase Gordon''', alijulikana zaidi kama, '''OKZharp''' ni [[Mtayarishaji wa Muziki|mtayarishaji wa muziki]] na DJ wa nchini [[Afrika Kusini]].
== Maisha ya mapema na kazi ==
Pamoja na washirika wake wa awali katika kundi la watu watatu lenye makao yake Uingereza, LV, pia alisaidia kutengeneza wimbo "Boomslang" ambao alimshirikisha mwanamuziki Okmalumkoolkat mwaka wa 2010 na ilitolewa kupitia Hyperdub . <ref name=":"1"">{{Cite web|url=https://pitchfork.com/reviews/albums/okzharp-and-manthe-ribane-closer-apart/|title=Okzharp & Manthe Ribane: Closer Apart|work=pitchfork.com|accessdate=11 April 2021}}</ref>
Kwa utayarishaji wake mwenyewe, ameshirikiana mara kwa mara na msanii wa uigizaji na mwimbaji [[Manthe Ribane]] . Mnamo mwaka 2015, alitoa EP yake ya kwanza, ''Dumella 113'' akimshirikisha [[Manthe Ribane]] ambayo ilitolewa kupitia Hyperdub . <ref>{{Cite web|url=https://www.https://www.theransomnote.com/music/news/watch-okzharp-to-release-debut-12-through-hyperdub/|title=Watch: Okzharp To Release Debut 12" Through Hyperdub|work=theransomnote.com|accessdate=11 April 2021|archivedate=2013-08-19|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130819141428/http://https/}}</ref>
Mapema 2016, alitoa EP yake ya pili ''Gated'' with Samrai <ref>{{Cite web|url=https://djmag.com/music/garage/gated-ep|title=OKZHARP & SAMRAI - GATED EP|work=djmag.com|accessdate=11 April 2021|archivedate=2021-05-12|archiveurl=https://web.archive.org/web/20210512223638/https://djmag.com/music/garage/gated-ep}}</ref> na katika mwaka huo huo, alitoa EP yake ya tatu ''Mwambie Maono Yako'' ambayo alimshirikisha [[Manthe Ribane]] na ilitolewa kupitia Hyperdub . <ref>{{Cite web|url=https://ra.co/reviews/19969|title=OKZharp & Manthe Ribane - Tell Your Vision EP|work=Resident Advisor|accessdate=11 April 2021|archivedate=2022-04-24|archiveurl=https://web.archive.org/web/20220424195521/https://ra.co/reviews/19969}}</ref> EP iliandikwa na kurekodiwa London kwa muda wa wiki mbili Januari 2016. <ref>{{Cite web|url=https://hyperdub.net/products/okzharp-manthe-ribane-tell-your-vision-hdb102|title=Okzharp & Manthe Ribane, Tell Your Vision|work=hyperdub.net|accessdate=11 April 2021}}</ref>
Mnamo mwaka 2018, alitoa albamu yake ya kwanza iliyoathiriwa na R&B, ''Closer Apart'', akimshirikisha mwimbaji [[Manthe Ribane]] na ilitolewa Hyperdub . <ref name=":"1"2">{{Cite web|url=https://pitchfork.com/reviews/albums/okzharp-and-manthe-ribane-closer-apart/|title=Okzharp & Manthe Ribane: Closer Apart|work=pitchfork.com|accessdate=11 April 2021}}</ref> Jina la albamu lilirejelea uhusiano wao wa muziki wa masafa marefu, huku Ribane akiwa nchini [[Afrika Kusini]] na OKZharp akiishi [[Ufalme wa Muungano|Uingereza]] . Akifafanua albamu yake:
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
<references />
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
[[Jamii:Afrika Kusini]]
98yamlrpqzi42ejimaov925ctxmdwxq
Neels Mattheus
0
149209
1236275
1225999
2022-07-28T09:38:15Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
Neels Matthewus (30 Agosti 1935 – 23 Januari 2003) alikuwa mwanamuziki wa kitamaduni wa Kiafrikana wa [[Afrika Kusini]].
Mattheus alikuwa mmoja wa wanamuziki wa kitamaduni wa Afrika Kusini wa aina ya [[Boeremusiek]]. Kazi yake ilidumu kwa [[miongo]] kadhaa, na ilijumuisha maonyesho ya redio na televisheni, zawadi na tuzo.
Alijulikana kwa uchezaji mzuri wa tamasha la virtuoso, na aliunganisha aina ya kitamaduni ya [[Boeremusiek]] na aina za baadaye kama vile [[jazz]] ili kutoa sauti changamfu, ya kisasa huku akihifadhi asili na uzuri wa Boeremusiek. Akiwa mwigizaji wa kawaida kwenye sherehe na kumbi za dansi kotekote Afrika Kusini, Mattheus alipata sifa ya urafiki na uchangamfu. Vibao vyake, kama vile Groot Leeu Mazurka, Mooi Bly na Gamtoos Opskud, vilifurahiwa na Waafrika Kusini wa rika zote.
Mattheus aliacha watoto wawili wa kiume, Deon na Kevin, wote wanamuziki wa Boeremusiek na muziki wa rock kwa njia yao wenyewe, ambao wameanzisha bendi iliyopewa jina la baba yao, wakicheza pia na wajukuu zake, Michelle na Jo-Anne.
== Marejeo ==
<ref>http://www.theherald.co.za/herald/2003/01/24/news/n20_24012003.htm</ref>
==Viungo vya nje==
* [http://www.mattheusmusiek.co.za Website of Mattheus band] {{Wayback|url=http://www.mattheusmusiek.co.za/ |date=20101119060302 }}
{{mbegu-mwanamuziki}}
{{DEFAULTSORT:Mattheus, Neels}}
{{BD|1935|2003}}
[[Category:wanamuziki wa Afrika Kusini]]
oz9chrsd2wqban1ylpn3dc6knhzlpzv
Vincent Mahlangu
0
149211
1236279
1222368
2022-07-28T09:51:01Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Sandile Vincent Mahlangu''' (aliyezaliwa 6 Septemba [[1993]]) ni mwigizaji na mwimbaji wa [[Afrika Kusini]]. Anajulikana zaidi kwa uigizaji wake katika mfululizo maarufu wa TV ambao ni Single Guys na Isithembiso na [[filamu]] yake maarufu Shaft 6.
==Maisha binafsi==
Alizaliwa tarehe 6 Septemba 1993 huko [[Middelburg]], [[Mpumalanga]], [[Afrika Kusini]].<ref name= iharare>{{cite web | url=https://iharare.com/is-cindy-mahlangu-inahusiana-na-sandile-mahlangu-katika-maisha-halisi/| title=Je Cindy Mahlangu Anahusiana Na Sandile Mahlangu Katika Maisha Halisi |publisher=iharare | access-date=18 Novemba 2020}}</ref> Alisoma katika Shule ya sekondari ya juu ya Steelcrest kwa ajili ya elimu, baada ya kuchaguliwa kuwa mwanafunzi wa mafunzo ya [[umeme]] katika SAMANCOR Ferrochrome huko Middelburg alitumwa kufanya yake ya mazoezi ya kazi huko Kaskazini Magharibi, kisha baadaye akahitimu katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Tshwane (TUT) na shahada ya uhandisi wa Umeme mwaka wa 2017. Katika mwaka huo huo, alihamia [[Johannesburg]] kuendeleza [[uigizaji]]. <ref name=chumba cha wanafunzi />
==Kazi==
Alishiriki pia katika kipindi maarufu cha opera Rhythm City (mfululizo wa TV) mnamo Julai 2016, ambapo alicheza nafasi ya 'Fedha'.<ref>{{cite web | url=https://iono.fm/e/560035| title=Gusa Viwango – Vincent Mahlangu |mchapishaji=iono | access-date=18 Novemba 2020}}</ref> Jukumu lake 'Cheezeboi' katika kipindi maarufu cha televisheni ''Isithembiso'' lilipata umaarufu mkubwa miongoni mwa umma. Hapo awali ikijirudia, alipandishwa cheo na kuwa mwigizaji nyota wa Msimu wa 2 wa mfululizo huo.<ref name= tvsa />
Ameshiriki katika matangazo kadhaa ya KFC, Debonairs Pizza, Halls, Sunbet International, Cell C na Stimorol.<ref name= iharare />
Mnamo 2017, alicheza nafasi ya mwanafunzi wa aina-A med 'Siya' katika safu ya [[runinga]] ya ''Single Guys'' katika msimu wa pili.
Mnamo 2018, aliigiza filamu ya ''Shaft 6'' sambamba na [[Vuyo Dabula]] na [[Deon Lotz]] akicheza nafasi ya 'Uuta Mazibuko'.<ref> name= iharare</ref><ref> name= studentroom </ref>
Mnamo 2020 alicheza nafasi ya 'Simo Shabangu' katika e.tv kipindi cha televisheni cha opera ''Scandal!'' na katika mwaka huohuo, aliigiza filamu ya asili ya [[Netflix]] iliyosifika sana ''How to Ruin Christmas: The Wedding'' kama 'Sbu Twala' alibadilisha nafasi yake kama. 'Sbu Twala' kwa awamu ya pili ya "Jinsi ya Kuharibu [[Krismasi]]" iliyoandikwa 'Mazishi'.<ref> name= tvsa </ref><ref> name= studentroom </ref>
==Filamu==
{| class="wikitable"
|-
! Mwaka!! Filamu!! Jukumu!! Aina!! Kumb.
|-
| 2016 | ''[[Rhythm City (mfululizo wa TV)]]''|| Fedha | Sabuni Opera ||
|-
| 2017 | ''Single Guys''|| Siya | TV Sitcom ||
|-
| 2018 - 2020 || ''Isithembiso'' || Cheezboi | Telenovela |
|-
| 2020 | ''Shaft 6'' || Uuta Mazibuko || Filamu |
|-
| 2020 | ''[[Kashfa! (Mfululizo wa TV)|Kashfa!]]'' || Simo Shabangu || Sabuni Opera ||
|-
| 2020 | ''[[Jinsi ya Kuharibu Krismasi]] : Harusi'' || Sbu Twala || Vichekesho vya Kimapenzi ||
|-
| 2021 | ''[[Jinsi ya Kuharibu Krismasi]]: Mazishi'' || Sbu Twala || Vichekesho vya Kimapenzi ||
|-
| 2022 | ''[[Durban Gen]]'' || Fikile “Ficks” || Drama ya Matibabu Telenovela ||
|-
| 2022 | ''[[Umbuso]]'' || Samora Nyandeni || Mfululizo wa TV |
|}
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* IMDb|nm9341350
{{DEFAULTSORT:Mahlangu, Vincent}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1993]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Afrika Kusini]]
dsk52d5yhyxfuep4qyu1ojosiow59u8
1236281
1236279
2022-07-28T09:52:38Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Sandile Vincent Mahlangu''' (aliyezaliwa 6 Septemba [[1993]]) ni mwigizaji na mwimbaji wa [[Afrika Kusini]]. Anajulikana zaidi kwa uigizaji wake katika mfululizo maarufu wa TV ambao ni Single Guys na Isithembiso na [[filamu]] yake maarufu Shaft 6.
==Maisha binafsi==
Alizaliwa tarehe 6 Septemba 1993 huko [[Middelburg]], [[Mpumalanga]], [[Afrika Kusini]].<ref name= iharare>{{cite web | url=https://iharare.com/is-cindy-mahlangu-inahusiana-na-sandile-mahlangu-katika-maisha-halisi/| title=Je Cindy Mahlangu Anahusiana Na Sandile Mahlangu Katika Maisha Halisi |publisher=iharare | access-date=18 Novemba 2020}}</ref> Alisoma katika Shule ya sekondari ya juu ya Steelcrest kwa ajili ya elimu, baada ya kuchaguliwa kuwa mwanafunzi wa mafunzo ya [[umeme]] katika SAMANCOR Ferrochrome huko Middelburg alitumwa kufanya yake ya mazoezi ya kazi huko Kaskazini Magharibi, kisha baadaye akahitimu katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Tshwane (TUT) na shahada ya uhandisi wa Umeme mwaka wa 2017. Katika mwaka huo huo, alihamia [[Johannesburg]] kuendeleza [[uigizaji]]. <ref>name=chumba cha wanafunzi </ref>
==Kazi==
Alishiriki pia katika kipindi maarufu cha opera Rhythm City (mfululizo wa TV) mnamo Julai 2016, ambapo alicheza nafasi ya 'Fedha'.<ref>{{cite web | url=https://iono.fm/e/560035| title=Gusa Viwango – Vincent Mahlangu |mchapishaji=iono | access-date=18 Novemba 2020}}</ref> Jukumu lake 'Cheezeboi' katika kipindi maarufu cha televisheni ''Isithembiso'' lilipata umaarufu mkubwa miongoni mwa umma. Hapo awali ikijirudia, alipandishwa cheo na kuwa mwigizaji nyota wa Msimu wa 2 wa mfululizo huo.<ref name= tvsa />
Ameshiriki katika matangazo kadhaa ya KFC, Debonairs Pizza, Halls, Sunbet International, Cell C na Stimorol.<ref name= iharare />
Mnamo 2017, alicheza nafasi ya mwanafunzi wa aina-A med 'Siya' katika safu ya [[runinga]] ya ''Single Guys'' katika msimu wa pili.
Mnamo 2018, aliigiza filamu ya ''Shaft 6'' sambamba na [[Vuyo Dabula]] na [[Deon Lotz]] akicheza nafasi ya 'Uuta Mazibuko'.<ref> name= iharare</ref><ref> name= studentroom </ref>
Mnamo 2020 alicheza nafasi ya 'Simo Shabangu' katika e.tv kipindi cha televisheni cha opera ''Scandal!'' na katika mwaka huohuo, aliigiza filamu ya asili ya [[Netflix]] iliyosifika sana ''How to Ruin Christmas: The Wedding'' kama 'Sbu Twala' alibadilisha nafasi yake kama. 'Sbu Twala' kwa awamu ya pili ya "Jinsi ya Kuharibu [[Krismasi]]" iliyoandikwa 'Mazishi'.<ref> name= tvsa </ref><ref> name= studentroom </ref>
==Filamu==
{| class="wikitable"
|-
! Mwaka!! Filamu!! Jukumu!! Aina!! Kumb.
|-
| 2016 | ''[[Rhythm City (mfululizo wa TV)]]''|| Fedha | Sabuni Opera ||
|-
| 2017 | ''Single Guys''|| Siya | TV Sitcom ||
|-
| 2018 - 2020 || ''Isithembiso'' || Cheezboi | Telenovela |
|-
| 2020 | ''Shaft 6'' || Uuta Mazibuko || Filamu |
|-
| 2020 | ''[[Kashfa! (Mfululizo wa TV)|Kashfa!]]'' || Simo Shabangu || Sabuni Opera ||
|-
| 2020 | ''[[Jinsi ya Kuharibu Krismasi]] : Harusi'' || Sbu Twala || Vichekesho vya Kimapenzi ||
|-
| 2021 | ''[[Jinsi ya Kuharibu Krismasi]]: Mazishi'' || Sbu Twala || Vichekesho vya Kimapenzi ||
|-
| 2022 | ''[[Durban Gen]]'' || Fikile “Ficks” || Drama ya Matibabu Telenovela ||
|-
| 2022 | ''[[Umbuso]]'' || Samora Nyandeni || Mfululizo wa TV |
|}
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* IMDb|nm9341350
{{DEFAULTSORT:Mahlangu, Vincent}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1993]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Afrika Kusini]]
0h9eouu94xjj4bvfcuvss51d6r7fnsx
1236282
1236281
2022-07-28T09:53:46Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Sandile Vincent Mahlangu''' (aliyezaliwa 6 Septemba [[1993]]) ni mwigizaji na mwimbaji wa [[Afrika Kusini]]. Anajulikana zaidi kwa uigizaji wake katika mfululizo maarufu wa TV ambao ni Single Guys na Isithembiso na [[filamu]] yake maarufu Shaft 6.
==Maisha binafsi==
Alizaliwa tarehe 6 Septemba 1993 huko [[Middelburg]], [[Mpumalanga]], [[Afrika Kusini]].<ref name= iharare>{{cite web | url=https://iharare.com/is-cindy-mahlangu-inahusiana-na-sandile-mahlangu-katika-maisha-halisi/| title=Je Cindy Mahlangu Anahusiana Na Sandile Mahlangu Katika Maisha Halisi |publisher=iharare | access-date=18 Novemba 2020}}</ref> Alisoma katika Shule ya sekondari ya juu ya Steelcrest kwa ajili ya elimu, baada ya kuchaguliwa kuwa mwanafunzi wa mafunzo ya [[umeme]] katika SAMANCOR Ferrochrome huko Middelburg alitumwa kufanya yake ya mazoezi ya kazi huko Kaskazini Magharibi, kisha baadaye akahitimu katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Tshwane (TUT) na shahada ya uhandisi wa Umeme mwaka wa 2017. Katika mwaka huo huo, alihamia [[Johannesburg]] kuendeleza [[uigizaji]]. <ref>name=chumba cha wanafunzi </ref>
==Kazi==
Alishiriki pia katika kipindi maarufu cha opera Rhythm City (mfululizo wa TV) mnamo Julai 2016, ambapo alicheza nafasi ya 'Fedha'.<ref>{{cite web | url=https://iono.fm/e/560035| title=Gusa Viwango – Vincent Mahlangu |mchapishaji=iono | access-date=18 Novemba 2020}}</ref> Jukumu lake 'Cheezeboi' katika kipindi maarufu cha televisheni ''Isithembiso'' lilipata umaarufu mkubwa miongoni mwa umma. Hapo awali ikijirudia, alipandishwa cheo na kuwa mwigizaji nyota wa Msimu wa 2 wa mfululizo huo.<ref> name= tvsa </ref>
Ameshiriki katika matangazo kadhaa ya KFC, Debonairs Pizza, Halls, Sunbet International, Cell C na Stimorol.<ref name= iharare />
Mnamo 2017, alicheza nafasi ya mwanafunzi wa aina-A med 'Siya' katika safu ya [[runinga]] ya ''Single Guys'' katika msimu wa pili.
Mnamo 2018, aliigiza filamu ya ''Shaft 6'' sambamba na [[Vuyo Dabula]] na [[Deon Lotz]] akicheza nafasi ya 'Uuta Mazibuko'.<ref> name= iharare</ref><ref> name= studentroom </ref>
Mnamo 2020 alicheza nafasi ya 'Simo Shabangu' katika e.tv kipindi cha televisheni cha opera ''Scandal!'' na katika mwaka huohuo, aliigiza filamu ya asili ya [[Netflix]] iliyosifika sana ''How to Ruin Christmas: The Wedding'' kama 'Sbu Twala' alibadilisha nafasi yake kama. 'Sbu Twala' kwa awamu ya pili ya "Jinsi ya Kuharibu [[Krismasi]]" iliyoandikwa 'Mazishi'.<ref> name= tvsa </ref><ref> name= studentroom </ref>
==Filamu==
{| class="wikitable"
|-
! Mwaka!! Filamu!! Jukumu!! Aina!! Kumb.
|-
| 2016 | ''[[Rhythm City (mfululizo wa TV)]]''|| Fedha | Sabuni Opera ||
|-
| 2017 | ''Single Guys''|| Siya | TV Sitcom ||
|-
| 2018 - 2020 || ''Isithembiso'' || Cheezboi | Telenovela |
|-
| 2020 | ''Shaft 6'' || Uuta Mazibuko || Filamu |
|-
| 2020 | ''[[Kashfa! (Mfululizo wa TV)|Kashfa!]]'' || Simo Shabangu || Sabuni Opera ||
|-
| 2020 | ''[[Jinsi ya Kuharibu Krismasi]] : Harusi'' || Sbu Twala || Vichekesho vya Kimapenzi ||
|-
| 2021 | ''[[Jinsi ya Kuharibu Krismasi]]: Mazishi'' || Sbu Twala || Vichekesho vya Kimapenzi ||
|-
| 2022 | ''[[Durban Gen]]'' || Fikile “Ficks” || Drama ya Matibabu Telenovela ||
|-
| 2022 | ''[[Umbuso]]'' || Samora Nyandeni || Mfululizo wa TV |
|}
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* IMDb|nm9341350
{{DEFAULTSORT:Mahlangu, Vincent}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1993]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Afrika Kusini]]
t9mo9wd6oqptznl4ox12p86wsvl758l
Maggz
0
149212
1236290
1222366
2022-07-28T10:18:19Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Gift Magubane''' (anayejulikana kama '''Maggz''') ni rapa wa Afrika Kusini aliyejulikana sana kwa wakati wake na Cashtime Life wakati muziki wa [[Hip Hop]] ulipokuwa katika kilele chake nchini [[Afrika Kusini]], na kwa maonyesho yake ya wageni kwenye 'Heaven ya Da L.E.S. ' na 'Mambo Halisi' pamoja na [[AKA]].
Rapa huyo aliachana na muziki, na alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya kisheria ambayo yalikaribia kumpeleka jela miaka 15 kwa sababu ya Bongani Fassie.
== Marejeo ==
<ref>https://sahiphopmag.co.za/2017/02/10-things-many-people-dont-know-maggz/</ref><ref>https://www.okayafrica.com/maggz-for-life-and-glory-op-ed/</ref><ref>https://www.zkhiphani.co.za/maggz-signs-special-deal-mabala-noise/</ref><ref>https://zalebs.com/rouge/why-we-dont-want-rouge-become-female-maggz</ref><ref>https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2017-01-26-rapper-maggz-set-to-leave-cashtime-but-the-labels-future-is-secure/</ref><ref>https://www.yomzansi.com/2016/06/17/da-l-e-s-releases-music-video-for-real-stuff-with-aka-magzz/</ref><ref>https://www.timeslive.co.za/tshisa-live/tshisa-live/2021-08-27-rapper-maggz-opens-up-about-his-social-media-hiatus-music-comeback/</ref><ref>https://sahiphopmag.co.za/2021/09/maggz-reveals-how-he-almost-went-to-jail-because-of-bongani-fassie/</ref><ref>"8 years later, Maggz and Bongani Fassie are STILL beefing"</ref><ref>https://samusicmag.co.za/2018/03/maggz-on-his-beef-with-bongani-fassie/</ref>
== Viungo vya nje ==
* {{Instagram|magzz100}}
{{DEFAULTSORT:Maggz}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waimbaji wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Afrika Kusini]]
ag593878o69y7quninjjew0bkshx9te
Chaabi
0
149309
1235853
1234477
2022-07-27T12:13:41Z
Abubakari Sixberth
53268
wikitext
text/x-wiki
'''Chaabi''' (inajulikana kama '''Chaâbi''', '''Sha-bii''', au '''Sha'bii''', kwa maana ya "watu") inarejelea aina mbalimbali za [[muziki]] za [[Afrika ya Kaskazini|Afrika Kaskazini]] kama vile chaabi wa [[Algeria]], chaabi cha [[Moroko]] na chaabi cha [[Misri]].
Muziki wa ''Chaabi'' mara nyingi hupatikana katika [[harusi]] na mtindo huu mara nyingi huhusishwa na [[sherehe]]. Matumizi ya lugha maarufu na uundaji wa midundo mipya imefanya mtindo huu kuwa kijalizo muhimu cha densi.
== Wasanii maarufu ==
* Hicham.Bajit
* Jedwan
* Yassin Bounous
* Daoudi Abdullah
* Saïd Senhaji
* El Hadj M'Hamed El Anka
* El Hachemi Guerouabi
* [[Amar Ezzahi]]
* Dahmane El Harrachi
* Kamel Messaoudi
* Hamada Helal
* Bab L' Bluz
== Viungo vya nje ==
* [http://www.facebook.com/Hicham.Bajit?filter=1 Hicham.Bajit]
* [http://www.MaghrebSpace.net MaghrebSpace]
* [https://web.archive.org/web/20090916062742/http://www.nachattube.com/ nachattube]
* [http://www.dailyzik.com dailyzik]
* [https://www.nytimes.com/2012/10/13/arts/music/algerian-chaabi-musicians-reunite-in-the-band-el-gusto.html NYTimes feature]
==Marejeo==
{{Reflist}}
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:muziki wa Afrika]]
sgw5qamjfe06ojymuab8eq95w0c75du
Muziki wa Chimurenga
0
149337
1236140
1221896
2022-07-27T17:10:15Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Muziki wa Chimurenga''' ni aina ya [[muziki]] maarufu nchini [[Zimbabwe]] iliyobuniwa na kupendwa na [[Thomas Mapfumo]].
Chimurenga ni [[neno]] la [[lugha]] ya [[Kishona]] kwa ajili ya [[ukombozi]], ambalo liliingia katika matumizi ya kawaida wakati wa Vita vya Kichaka vya [[Rhodesia]]. Ufafanuzi wa kisasa wa neno hili limepanuliwa ili kuelezea mapambano ya haki za binadamu, utu wa kisiasa na haki ya kijamii . Mapfumo alibuni mtindo wa muziki unaotegemea muziki wa Mbira wa kitamaduni wa Kishona, lakini ulichezwa kwa ala za kisasa za kielektroniki, zenye mashairi yenye sifa ya maoni ya kijamii na kisiasa.<ref>{{Cite web|url=http://www.zambuko.com/mbirapage/resource_guide/pages/music/chimurenga.html|title=What Is Chimurenga?|website=www.zambuko.com|access-date=2016-07-06}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
* http://www.zambuko.com/mbirapage/resource_guide/pages/music/chimurenga.html
{{Mbegu-muziki}}
[[jamii:muziki wa Afrika]]
[[jamii:Arusha Editathon Muziki]]
gvs8ti5b4fvhrn19uzuglcy3s9xzzqg
MBS (hip hop)
0
149353
1236185
1221810
2022-07-27T23:47:09Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''MBS,''' kifupi cha Le Micro Brise Le Silence (kipaza sauti huvunja ukimya) ni kikundi cha muziki wa kufoka kilichoanzishwa mwaka [[1988]] nchini [[Algeria]]. Wanaimba kwa [[Kiarabu]], Kabyle na [[Kifaransa]] wanaongozwa na Rabah Ourrad. Nyimbo zao mara nyingi huzungumza dhidi ya [[serikali]] ya Algeria. <ref>https://en.m.wikipedia.org/wiki/MBS_(hip_hop)#cite_ref-1</ref>
== Diskografia ==
* '''1997''', ''Ouled al Bahdja'' (Children of the Radiant One)
* '''1998''', ''Hbibti Aouama'' (My Lover Is a Good Swimmer)
* '''1999''', ''Le Micro Brise Le Silence'' (The Mic Breaks the Silence)
* '''2001''', ''Wellew'' (They Have Returned)
* '''2005''', ''Maquis Bla Sleh'' (Marquis Without Weapons)
=== Rabah (solo)Edit ===
* '''2002''', ''Galouli'' (They Told Me)
* '''2003''', ''Djabha gagant'' (Winning Front)
* '''2004''', ''President''
* '''2011''', ''Dernier Cri'' (Last Cry)
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
pnp7ne05zmd2jky5k8aiuekyv6z3r0c
Umqombothi (wimbo)
0
149384
1236183
1221949
2022-07-27T23:43:24Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox song
| jina = Umqombothi
| cover =
| alt =
| aina = nyimbo
| msanii = [[Yvonne Chaka Chaka]]
| albamu = [[Thank you Mr. DJ]]
| iliachiliwa = 1988
| kurekodiwa = 1988
| studio =
| venue =
| aina ya muziki = Afropop
| ukubwa = 5:54
| lebo = Roy B. Records
| mwandishi = Sello "Chicco" Twala and Attie van Wyk
| producer =
| prev_title =
| prev_year =
| next_title =
| next_year =
}}
'''Umqombothi''' ("Bia ya Kiafrika"; matamshi ya [[Kixhosa]]: [um̩k͡ǃomboːtʰi]) ni [[wimbo]] ulioimbwa na mwimbaji wa [[Afrika Kusini]] [[Yvonne Chaka Chaka]]. Ulitungwa na Sello "Chicco" Twala na Attie van Wyk. Umqombothi kwa Kixhosa, ni bia, ambayo hupatikana nchini Afrika Kusini kutokana na [[mahindi]], kimea cha mahindi, chachu na [[maji]].
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
diq4oe30nqoieqesnjcxxsfbefrygx6
Rajery
0
149440
1235859
1222043
2022-07-27T12:30:10Z
Abubakari Sixberth
53268
wikitext
text/x-wiki
'''Rajery''' jina lake kamili ni Germain Randrianrisoa, ni mchezaji wa valiha kutoka [[Madagaska]] ambaye alianzisha orchestra ya kisasa ya valiha.<ref>https://www.allmusic.com/artist/rajery-mn0000394261/biography</ref> <ref>https://www.smallislandbigsong.com/rajery</ref>Akiwa mtoto mdogo (miezi 11 ), alipoteza vidole vyote kwenye mkono wake mmoja, akiwa kwenye harusi aliyokwenda akiwa na wazazi wake<ref>https://www.allmusic.com/artist/rajery-mn0000394261/biography?1651401983900</ref> baadaye, akawa mchezaji wa valiha aliyejifundisha mwenyewe.<ref>https://worldmusiccentral.org/tag/rajery/</ref>
== Wasifu ==
Rajery alizaliwa mwaka wa [[1965]] huko [[Madagaska]] kaskazini.<ref name=":0">https://www.theadvocate.com/gambit/new_orleans/events/stage_previews_reviews/article_a633559c-96bd-5262-9f02-27b8d5c011d3.html</ref> Akiwa kijana, alitaniwa na rika lake kwa kutaka kucheza valiha, chombo ambacho kwa kawaida huhitaji matumizi mengi ya mikono yote miwili. Hata hivyo, kutokana na [[ulemavu]] wake, alibuni mbinu na mtindo wa kipekee wa muziki<ref name=":0" />. Kwa wakati huu, hapakuwa na njia ya kupata maelekezo rasmi ya kucheza valiha. Rajery alifanya kazi ya kutatua tatizo hili kupitia uandishi wake wa kitabu Siri ya Valiha, ambacho kilijumuisha pia mfumo wa nukuu za muziki. Tangu [[2006]], Rajery amekuwa mwanachama wa kundi la watatu la muziki ya 3MA, ambayo yeye hutembelea na kurekodi.<ref name=":0" />
== Diskografia ==
* ''Dorotanety'' (Indigo, Label Bleu, 1999)<ref name=":1">https://mg.co.za/article/2003-06-10-malagasy-musician-revives-tradition/</ref>
* ''Fanamby'' (Indigo, Label Bleu, 2001)<ref name=":1" />
* ''Anarouz'' (Six Degrees Records, 2017, as a member of 3MA)<ref name=":0" />
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Madagaska]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
<references />
[[Jamii:Waliozaliwa 1965]]
gzf30vzyo2qu8bmj56avykaz2pg3131
Feliciano dos Santos
0
149483
1235856
1222265
2022-07-27T12:23:48Z
Abubakari Sixberth
53268
wikitext
text/x-wiki
'''Feliciano dos Santos''' ni mwanamuziki wa [[Msumbiji]] na mwanamazingira, anayetoka [[Mkoa wa Niassa]], huko Msumbiji. Alitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman mwaka wa [[2008]], kwa matumizi yake ya muziki kukuza haja ya kuboresha miundombinu ya maji na usafi wa mazingira katika eneo la Niassa.<ref>http://www.goldmanprize.org/2008/africa</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
<references />
[[Jamii:Wanamuziki wa Msumbiji]]
[[Jamii:Watu wa Msumbiji]]
pzlx9hcy1v6bplmuro7ndsdrt9fn0j3
1235857
1235856
2022-07-27T12:24:54Z
Abubakari Sixberth
53268
wikitext
text/x-wiki
'''Feliciano dos Santos''' ni mwanamuziki wa [[Msumbiji]] na mwanamazingira, anayetoka [[Mkoa wa Niassa]], huko Msumbiji. Alitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman mwaka wa [[2008]], kwa matumizi yake ya muziki kukuza haja ya kuboresha miundombinu ya maji na usafi wa mazingira katika eneo la Niassa.<ref>http://www.goldmanprize.org/2008/africa</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Mbegu za muziki]]
[[Jamii:Sanaa ya Afrika]]
<references />
[[Jamii:Watu wa Msumbiji]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Msumbiji]]
3mgv01gb1pdfbk4643tt563hnmaqbd9
KGee
0
149655
1235855
1223098
2022-07-27T12:20:54Z
Abubakari Sixberth
53268
wikitext
text/x-wiki
'''Panford Kofi Gad Manye''', anayejulikana kwa jina moja la '''KGee''', ni mwimbaji wa muziki wa hiplife na rapa wa [[hip-hop]] kutoka [[Ghana]].
Alianza kama nusu nyingine ya wanahiplife wawili KgPM na The PM (pia huitwa The Prhyme Minister).<ref>https://www.peacefmonline.com/pages/showbiz/music/201203/103406.php</ref><ref>https://www.ghanaweb.com/GhanaHomePage/entertainment/Kgee-of-KgPM-resurfaces-with-new-hit-single-No-Longtin-675769</ref>
Walitoa albamu yao ya kwanza iliyoitwa Saa Na Wotiɛ, iliyowashirikisha Blitz the Ambassador na Obrafour.
Baadaye walitoa wimbo wa Azonto ulioitwa Xtra Large ambao pia walimshirikisha mwimbaji wa [[Ghana]] Atumpan.<ref>https://www.ghanamotion.com/kgpm-xtra-large-featuring-atumpan-official-video/</ref>
== Utambuzi na mtindo wa muziki ==
KGee alianza kama mwanachama wa KgPM mwishoni mwa miaka ya 90 lakini alichukua muda wa kupumzika ili kuzingatia Chuo Kikuu. Alirudi na wimbo mmoja wa No Long Tin ambao ulifika nambari 18 kwenye kitengo cha chati za ulimwengu kwenye duka la muziki la iTunes. Pia alitoa Dey By You akiwashirikisha Yaa Pono na Akwaboah
Anamiliki Just Amazing Music na ametia saini Spicer na Gemini Orleans kwenye lebo ya rekodi.<ref>https://www.ghanamusic.com/interviews/1-on-1/2018/07/30/1-on-1-shatta-wale-sarkodie-and-stonebwoy-raised-the-bar-kgee/</ref>
KGee alitoa albamu ya kwanza yenye nyimbo 11 inayoitwa Safari ambayo iliwashirikisha wasanii kama Medikal, DopeNation, KelvynBoy, Gemini Orleans, Spicer Dabz na iliyotayarishwa na Keezyonthebeat, B2 na MOG Beatz.<ref>https://www.ghanamusic.com/news/from-diaspora/2021/01/13/safari-kgee-to-take-fans-on-a-musical-journey-with-debut-album-on-february-12/</ref>
== Kazi ya muziki ==
=== Albumu ===
* Safari
=== Nyimbo pekepeke ===
* No Long Tin
* Dey By You
* Play You<ref>https://www.ghanamusic.com/audio/singles-audio/2019/04/24/audio-play-you-by-kgee-feat-king-maaga-gemini-orleans-boham/</ref>
* Encore<ref>https://www.ghanamusic.com/audio/singles-audio/2019/04/24/audio-play-you-by-kgee-feat-king-maaga-gemini-orleans-boham/</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Ghana]]
<references />
[[Jamii:Watu wa Ghana]]
kygrd86d29cc2n2bo31ajyfqzkr9gcy
Tuzo za wanamuziki wa Ghoema
0
149695
1236158
1223072
2022-07-27T19:37:49Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
Sherehe ya mwisho ya muziki wa Ghoema [[Afrika Kusini|Afrika kusini]] iliyo tambua mafanikio ya [[waafrika]] kwenye secta ya muziki.Ni aina ya sherehe ya kipekee ya tuzo za muziki unaojitegemea Afrika kusini.Tafrija hiyo ilijulikana mnamo [[2012]] na kuwakilishwa kwa uwaminifu na Ghoema.Sherehe hiyo ilifanyika kila mwaka wa mwezi machi.<ref>http://ghoema.co.za/oor-die-ghoemas-2/</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
njknghhty7jo0nsamv3vuq4m6jutjli
The Headies 2010
0
149758
1236165
1226187
2022-07-27T20:09:32Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
Toleo la tano la [[Tuzo]] za [[Dunia]] la [[Hip Hop]] lilifanyika mnamo tarehe [[16]] [[mei]] [[2009]] katika [[Hoteli]] ya Eko na suites katika [[Kisiwa]] cha Victoria,[[Lagos]].
[[Sherehe]] ilifanyika bila mwenyeji.Wande coal ndiye aleyekua [[mshindi]] mkubwa zaidi wa usiku huo akiwa na [[tungo]] tano.[[Don Jazzy|Don jazzy]] alishinda tuzo ta [[Mtayarishaji]] bora wa [[mwaka]].Wana Hip hop wawili Skuki walishinda kitengo cha Next Rated.<ref>{{cite web | url=http://www.bellanaija.com/2010/06/02/music-glamour-lots-of-yellow-as-wande-coal-da-grin-dominate-the-2010-hiphop-world-awards/ | title=Music, Glamour & Lots of Yellow as Wande Coal & Da Grin dominate the 2010 HipHop World Awards | publisher=Bellanaija | date=2 June 2010 | accessdate=16 May 2014}}</ref><ref>{{cite web | url=http://www.underdarock.com/blog/hip-hop-awards-2010-nominee-list/ | title=Hip Hop Awards 2010 Nominee List! | publisher=underDaRock.com | date=6 April 2010 | accessdate=16 May 2014 | author=Lawal, Habeeb | archivedate=2015-10-06 | archiveurl=https://web.archive.org/web/20151006161047/http://www.underdarock.com/blog/hip-hop-awards-2010-nominee-list/ }}</ref><ref>{{cite web|url=http://thenet.ng/2010/05/hiphopworld-awards-to-honour-dagrin/|title=Hiphopworld Awards To Honour Dagrin|publisher=Nigerian Entertainment Today|date=10 May 2010|accessdate=16 May 2014|author=Fagbule Olanike{{!}}Fagbule, Nike|archivedate=2014-05-30|archiveurl=https://web.archive.org/web/20140530064510/http://thenet.ng/2010/05/hiphopworld-awards-to-honour-dagrin/}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii: Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii: Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii: Tuzo za muziki wa Afrika]]
fy4vryms5l8bw5hjvxkk6pz1mbm6olg
Alla Khallidi
0
149800
1236151
1223249
2022-07-27T19:11:32Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
"'Alā Khallidī" (Kiarabu: ألا خلّدي) ulikuwa wimbo wa taifa wa [[Tunisia]] kuanzia mwaka [[1958]] hadi [[1987]]. Ulitumika wakati wa Urais wa '''Habib Bourguiba''' hadi kuanguka kwake mwaka [[1987]]. '''Humat al-Hima''' ulikuwa wimbo wa taifa kwa muda kati ya mwisho wa utawala wa kifalme tarehe 25 Julai [[1957]] na kupitishwa kwa '''Ala Khallidi''' kama wimbo rasmi wa taifa. Mnamo mwaka [[1958]], Wizara ya Elimu iliandaa mashindano, ambayo [[washairi]] 53 na [[wanamuziki]] 23 walishiriki. Matokeo yalichunguzwa kwanza na tume ya Bodi ya Elimu, ambayo ilichagua mawasilisho ya mshairi wa wimbo '''Jalaleddine Naccache''' (1910-1989) na mtunzi na mkurugenzi wa Conservatoire ya Tunis Salah El Mahdi (1925-2014). Kazi hizo ziliwasilishwa kwa rais bila kutangaza uteuzi ambao tayari umefanywa. Alichagua toleo sawa na tume. Ili kuwa na uhakika kabisa, maafisa walifanya mkutano mwingine mkubwa zaidi maarufu huko [[Monasteri|Monastir]], jiji la kuzaliwa la rais, ambapo nyimbo zote 23 zilichezwa. Wimbo wa Naccache na El Mahdi ulishinda, na taifa likaupitisha rasmi tarehe 20 Machi, Siku ya Uhuru wa [[Tunisia]], mwaka huo.
'''Humat al-Hima''' alichukua nafasi ya Ala Khallidi kufuatia mapinduzi yaliyomweka '''Zine El Abidine Ben Ali''' madarakani tarehe 7 Novemba [[1987]].
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
[[Jamii:Nyimbo za Taifa za Afrika]]
ir25znssq7t7dq2azegk50ck9r0nna4
The Headies 2019
0
149810
1236159
1223498
2022-07-27T19:57:47Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
The Headies 2019 lilikuwa toleo la 13 Headies. Ilifanyika Oktoba 19, 2019, katika Kituo cha Mikutano Eko katika Kisiwa cha Victoria, [[Lagos]].
Themed "Power of a Dream", hafla hiyo iliandaliwa na rapa wa [[Nigeria]] Reminisce na mwigizaji/mtangazaji maarufu Nancy Isime.<ref><nowiki>https://thenationonlineng.net/full-list-of-winners-at-headies-2019</nowiki></ref> <ref>https://www.pulse.ng/entertainment/music/reminisce-and-nancy-isime-to-host-2019-headies/v9923l8</ref>Baada ya kuorodhesha maelfu ya washiriki.wa maingizo yaliyowasilishwa kati ya Januari [[2018]] na Juni [[2019]], waandalizi wa hafla hiyo walitangazwa na kuteuliwa tarehe 1 Oktoba [[2019]].[[Burna Boy]] aliweka rekodi ya uteuzi mwingi zaidi katika usiku mmoja na uteuzi 10.<ref>https://www.channelstv.com/2019/10/02/2019-headies-awards-burna-boy-makes-history-with-10-nominations</ref> Teni alifuatiwa na 6 na [[Wizkid]] 5. Sherehe hiyo iliangazia maonyesho kutoka kwa wasanii kadhaa, wakiwemo Styl-Plus, Sunny Neji, Duncan Mighty, Teni na Victor AD. <ref><nowiki>https://www.pulse.ng/entertainment/music/falz-burna-boy-teni-rema-and-other-talking-points-from-headies-2019/8gb78ng</nowiki></ref> Teni alishinda tuzo nyingi zaidi kwa 4. Rema alishinda tuzo ya Next Rated, akiwashinda Fireboy DML, Joeboy, Lyta, Victor AD na Zlatan. <ref><nowiki>https://thenationonlineng.net/breaking-headies-2019-rema-emerges-the-next-rated-artist-of-the-year</nowiki></ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
[[Jamii:Mbegu za muziki wa Afrika]]
b4bo831b9vh87jlpju5erjm2p636ufz
Dominique Janssen
0
149895
1235878
1228877
2022-07-27T13:12:00Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Dominique Bloodworth 20191116 (1).jpg|thumb|180px|right|Dominique Janssen]]
'''Dominique Johanna Anna Petrone Janssen RON''' (alizaliwa [[17 Januari]] [[1995]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Uholanzi]] ambaye anacheza kama [[beki]] katika klabu ya [[wanawake]] ya VfL Wolfsburg kwenye ligi ya Frauen-Bundesliga nchini [[Ujerumani]] na [[timu ya taifa]] ya wanawake ya nchini Uholanzi.<ref>{{cite web |url=https://rfs.ru/en/match/47025 |title=Women's World Cup 2019 – Match: Netherlands 2:0 Denmark (5 October 2018) |work=[[Russian Football Union]] |access-date=13 January 2021 |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20210113030857/https://rfs.ru/en/match/47025 |archive-date=13 January 2021}}</ref><ref>{{cite web |url=https://www.fifa.com/womensworldcup/players/player=387074/index.html |archive-url=https://web.archive.org/web/20150610041546/http://www.fifa.com/womensworldcup/players/player=387074/index.html |url-status=dead |archive-date=10 June 2015 |title=Profile |publisher=FIFA.com |access-date=24 June 2015 |accessdate=2022-05-08 |archivedate=2018-06-21 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180621221144/https://www.fifa.com/womensworldcup/players/player=387074/index.html }} {{Wayback|url=https://www.fifa.com/womensworldcup/players/player=387074/index.html |date=20180621221144 }}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1995]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Uholanzi]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Uholanzi]]
6halyq71xvmqxtdgu5v90wg3zfpreh8
1235879
1235878
2022-07-27T13:12:06Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Dominique Bloodworth 20191116 (1).jpg|thumb|180px|right|Dominique Janssen]]
'''Dominique Johanna Anna Petrone Janssen RON''' (alizaliwa [[17 Januari]] [[1995]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] nchini [[Uholanzi]] ambaye anacheza kama [[beki]] katika klabu ya [[wanawake]] ya VfL Wolfsburg kwenye ligi ya Frauen-Bundesliga nchini [[Ujerumani]] na [[timu ya taifa]] ya wanawake ya nchini Uholanzi.<ref>{{cite web |url=https://rfs.ru/en/match/47025 |title=Women's World Cup 2019 – Match: Netherlands 2:0 Denmark (5 October 2018) |work=[[Russian Football Union]] |access-date=13 January 2021 |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20210113030857/https://rfs.ru/en/match/47025 |archive-date=13 January 2021}}</ref><ref>{{cite web |url=https://www.fifa.com/womensworldcup/players/player=387074/index.html |archive-url=https://web.archive.org/web/20150610041546/http://www.fifa.com/womensworldcup/players/player=387074/index.html |url-status=dead |archive-date=10 June 2015 |title=Profile |publisher=FIFA.com |access-date=24 June 2015 |accessdate=2022-05-08 |archivedate=2018-06-21 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180621221144/https://www.fifa.com/womensworldcup/players/player=387074/index.html }} {{Wayback|url=https://www.fifa.com/womensworldcup/players/player=387074/index.html |date=20180621221144 }}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1995]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Uholanzi]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Uholanzi]]
k43ivzx6lrjf4xww2ifypc98k2nr7oc
Vaiavy Chila
0
150026
1236205
1235455
2022-07-28T05:44:52Z
217.29.135.46
wikitext
text/x-wiki
'''Vaiavy Chila''', anayejulikana pia kama '''Chila''', ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa ''mauzo'' kutoka eneo la pwani la kaskazini la [[Madagaska]] . Kwa kawaida anaitwa Princess of Salegy kwenye vyombo vya habari vya Kimalagasi, <ref>{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier|publisher=Newsmada.com|date=31 December 2012|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo|accessdate=20 April 2013|language=French|archivedate=2013-01-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130102103141/http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo}}</ref> kwa [[heshima]] ya nyota wa kwanza wa kike wa mauzo na "Queen of Salegy", Ninie Doniah . Mapema katika taaluma yake alitumbuiza kama dansi wa Tianjama <ref>{{Cite web|author=Lucien|first=Jean Paul|title=Tournée: Vaiavy Chila réussit à Mayotte|publisher=L'Hebdo de Madagascar|date=25 December 2012|url=http://www.lhebdomada.com/index.php?p=display&id=1671|accessdate=20 April 2013|language=French}}</ref> na Jaojoby Junior, kikundi kilichoundwa na watoto wazima wa nyota mkuu Jaojoby, "Mfalme wa Salegy". <ref>{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Jao’s pub: Vaiavy Chila à l’affiche du premier anniversaire|publisher=Newsmada.com|date=1 June 2012|url=http://www.newsmada.com/2011/jaos-pub-vaiavy-chila-a-laffiche-du-premier-anniversaire/|accessdate=20 April 2013|language=French}} Alianza kazi ya peke yake mwaka wa [[2004]], alitoa albamu nne katika muongo uliofuata: ''Mahangôma'', ''Walli Walla'', ''Nahita Zaho Anao Niany'', na ''Zaho Tia Anao Vadiko.''
==Diskografia==
{| class="wikitable"
|-
! Title
! Released
! Label
! Tracks (Length)
|-
| ''Mitapolaka''
| 2011
| Studio ProRossy
| 12 (43'55")
|-
|}
--> anarejelea mtindo wake wa muziki kama ''salegy mahangôma'' . Mara nyingi husindikizwa na wasanii zaidi ya 20, wakiwemo wanamuziki wanaounga mkono na wacheza densi. Mnamo mwaka wa [[2013]] msanii huyo alizindua ziara ya kimataifa ili kutangaza albamu yake ya tano. <ref name="sylvestre">{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier|publisher=Newsmada.com|date=31 December 2012|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo|accessdate=20 April 2013|language=French|archivedate=2013-01-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130102103141/http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo}}" data-ve-ignore="true" id="CITEREFM.2012">M., Vonjy (31 December 2012). [http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo "Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier"] {{Wayback|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo |date=20130102103141 }} (in French). Newsmada.com. Retrieved
[[Category:CS1 French-language sources (fr)]]</ref>{{Listen|filename=Vaiavy_Chila_-_Walli_Wallah.ogg|title=Vaiavy Chila "Walli Wallah" (2006)|description=Salegy as performed by Vaiavy Chila|format=[[Ogg]]}}
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
<references />
[[Jamii:Wanamuziki wa Madagaska]]
[[Jamii:Watu wa Madagaska]]
b2dk7y8ryn8vuma8fcjl9vlo1isl99y
1236214
1236205
2022-07-28T06:20:31Z
Abubakari Sixberth
53268
wikitext
text/x-wiki
'''Vaiavy Chila''', anayejulikana pia kama '''Chila''', ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa ''mauzo'' kutoka eneo la pwani la kaskazini la [[Madagaska]] . Kwa kawaida anaitwa Princess of Salegy kwenye vyombo vya habari vya Kimalagasi, <ref>{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier|publisher=Newsmada.com|date=31 December 2012|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo|accessdate=20 April 2013|language=French|archivedate=2013-01-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130102103141/http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo}}</ref> kwa [[heshima]] ya nyota wa kwanza wa kike wa mauzo na "Queen of Salegy", Ninie Doniah . Mapema katika taaluma yake alitumbuiza kama dansi wa Tianjama <ref>{{Cite web|author=Lucien|first=Jean Paul|title=Tournée: Vaiavy Chila réussit à Mayotte|publisher=L'Hebdo de Madagascar|date=25 December 2012|url=http://www.lhebdomada.com/index.php?p=display&id=1671|accessdate=20 April 2013|language=French}}</ref> na Jaojoby Junior, kikundi kilichoundwa na watoto wazima wa nyota mkuu Jaojoby, "Mfalme wa Salegy". <ref>{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Jao’s pub: Vaiavy Chila à l’affiche du premier anniversaire|publisher=Newsmada.com|date=1 June 2012|url=http://www.newsmada.com/2011/jaos-pub-vaiavy-chila-a-laffiche-du-premier-anniversaire/|accessdate=20 April 2013|language=French}}</ref> Alianza kazi ya peke yake mwaka wa [[2004]], alitoa albamu nne katika muongo uliofuata: ''Mahangôma'', ''Walli Walla'', ''Nahita Zaho Anao Niany'', na ''Zaho Tia Anao Vadiko.''
==Diskografia==
{| class="wikitable"
|-
! Title
! Released
! Label
! Tracks (Length)
|-
| ''Mitapolaka''
| 2011
| Studio ProRossy
| 12 (43'55")
|-
|}
--> anarejelea mtindo wake wa muziki kama ''salegy mahangôma'' . Mara nyingi husindikizwa na wasanii zaidi ya 20, wakiwemo wanamuziki wanaounga mkono na wacheza densi. Mnamo mwaka wa [[2013]] msanii huyo alizindua ziara ya kimataifa ili kutangaza albamu yake ya tano. <ref name="sylvestre">{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier|publisher=Newsmada.com|date=31 December 2012|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo|accessdate=20 April 2013|language=French|archivedate=2013-01-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130102103141/http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo}}" data-ve-ignore="true" id="CITEREFM.2012">M., Vonjy (31 December 2012). [http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo "Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier"] {{Wayback|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo |date=20130102103141 }} (in French). Newsmada.com. Retrieved
[[Category:CS1 French-language sources (fr)]]</ref>{{Listen|filename=Vaiavy_Chila_-_Walli_Wallah.ogg|title=Vaiavy Chila "Walli Wallah" (2006)|description=Salegy as performed by Vaiavy Chila|format=[[Ogg]]}}
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
<references />
[[Jamii:Wanamuziki wa Madagaska]]
[[Jamii:Watu wa Madagaska]]
h4fyesklp6htfhz2fvponw9x7fe5nlg
1236226
1236214
2022-07-28T07:32:50Z
Kipala
107
Jamii:Wanamuziki wa Madagaska iko ndani ya Jamii:Watu wa Madagaska, hivyo nafuta "Watu wa Madagaska"
wikitext
text/x-wiki
'''Vaiavy Chila''', anayejulikana pia kama '''Chila''', ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa ''mauzo'' kutoka eneo la pwani la kaskazini la [[Madagaska]] . Kwa kawaida anaitwa Princess of Salegy kwenye vyombo vya habari vya Kimalagasi, <ref>{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier|publisher=Newsmada.com|date=31 December 2012|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo|accessdate=20 April 2013|language=French|archivedate=2013-01-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130102103141/http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo}}</ref> kwa [[heshima]] ya nyota wa kwanza wa kike wa mauzo na "Queen of Salegy", Ninie Doniah . Mapema katika taaluma yake alitumbuiza kama dansi wa Tianjama <ref>{{Cite web|author=Lucien|first=Jean Paul|title=Tournée: Vaiavy Chila réussit à Mayotte|publisher=L'Hebdo de Madagascar|date=25 December 2012|url=http://www.lhebdomada.com/index.php?p=display&id=1671|accessdate=20 April 2013|language=French}}</ref> na Jaojoby Junior, kikundi kilichoundwa na watoto wazima wa nyota mkuu Jaojoby, "Mfalme wa Salegy". <ref>{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Jao’s pub: Vaiavy Chila à l’affiche du premier anniversaire|publisher=Newsmada.com|date=1 June 2012|url=http://www.newsmada.com/2011/jaos-pub-vaiavy-chila-a-laffiche-du-premier-anniversaire/|accessdate=20 April 2013|language=French}} Alianza kazi ya peke yake mwaka wa [[2004]], alitoa albamu nne katika muongo uliofuata: ''Mahangôma'', ''Walli Walla'', ''Nahita Zaho Anao Niany'', na ''Zaho Tia Anao Vadiko.''
==Diskografia==
{| class="wikitable"
|-
! Title
! Released
! Label
! Tracks (Length)
|-
| ''Mitapolaka''
| 2011
| Studio ProRossy
| 12 (43'55")
|-
|}
--> anarejelea mtindo wake wa muziki kama ''salegy mahangôma'' . Mara nyingi husindikizwa na wasanii zaidi ya 20, wakiwemo wanamuziki wanaounga mkono na wacheza densi. Mnamo mwaka wa [[2013]] msanii huyo alizindua ziara ya kimataifa ili kutangaza albamu yake ya tano. <ref name="sylvestre">{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier|publisher=Newsmada.com|date=31 December 2012|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo|accessdate=20 April 2013|language=French|archivedate=2013-01-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130102103141/http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo}}" data-ve-ignore="true" id="CITEREFM.2012">M., Vonjy (31 December 2012). [http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo "Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier"] {{Wayback|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo |date=20130102103141 }} (in French). Newsmada.com. Retrieved
[[Category:CS1 French-language sources (fr)]]</ref>{{Listen|filename=Vaiavy_Chila_-_Walli_Wallah.ogg|title=Vaiavy Chila "Walli Wallah" (2006)|description=Salegy as performed by Vaiavy Chila|format=[[Ogg]]}}
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
<references />
[[Jamii:Wanamuziki wa Madagaska]]
5sp7767kisek0txlpm7qnnmoqac53pc
1236289
1236226
2022-07-28T10:15:02Z
Abubakari Sixberth
53268
wikitext
text/x-wiki
'''Vaiavy Chila''', anayejulikana pia kama '''Chila''', ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa ''mauzo'' kutoka eneo la pwani la kaskazini la [[Madagaska]] . Kwa kawaida anaitwa Princess of Salegy kwenye vyombo vya habari vya Kimalagasi, <ref>{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier|publisher=Newsmada.com|date=31 December 2012|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo|accessdate=20 April 2013|language=French|archivedate=2013-01-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130102103141/http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo}}</ref> kwa [[heshima]] ya nyota wa kwanza wa kike wa mauzo na "Queen of Salegy", Ninie Doniah . Mapema katika taaluma yake alitumbuiza kama dansi wa Tianjama <ref>{{Cite web|author=Lucien|first=Jean Paul|title=Tournée: Vaiavy Chila réussit à Mayotte|publisher=L'Hebdo de Madagascar|date=25 December 2012|url=http://www.lhebdomada.com/index.php?p=display&id=1671|accessdate=20 April 2013|language=French}}</ref> na Jaojoby Junior, kikundi kilichoundwa na watoto wazima wa nyota mkuu Jaojoby, "Mfalme wa Salegy". <ref>{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Jao’s pub: Vaiavy Chila à l’affiche du premier anniversaire|publisher=Newsmada.com|date=1 June 2012|url=http://www.newsmada.com/2011/jaos-pub-vaiavy-chila-a-laffiche-du-premier-anniversaire/|accessdate=20 April 2013|language=French}}</ref> Alianza kazi ya peke yake mwaka wa [[2004]], alitoa albamu nne katika muongo uliofuata: ''Mahangôma'', ''Walli Walla'', ''Nahita Zaho Anao Niany'', na ''Zaho Tia Anao Vadiko.''
==Diskografia==
{| class="wikitable"
|-
! Title
! Released
! Label
! Tracks (Length)
|-
| ''Mitapolaka''
| 2011
| Studio ProRossy
| 12 (43'55")
|-
|}
--> anarejelea mtindo wake wa muziki kama ''salegy mahangôma'' . Mara nyingi husindikizwa na wasanii zaidi ya 20, wakiwemo wanamuziki wanaounga mkono na wacheza densi. Mnamo mwaka wa [[2013]] msanii huyo alizindua ziara ya kimataifa ili kutangaza albamu yake ya tano. <ref name="sylvestre">{{Cite web|author=M.|first=Vonjy|title=Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier|publisher=Newsmada.com|date=31 December 2012|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo|accessdate=20 April 2013|language=French|archivedate=2013-01-02|archiveurl=https://web.archive.org/web/20130102103141/http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo}}" data-ve-ignore="true" id="CITEREFM.2012">M., Vonjy (31 December 2012). [http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo "Réveillon de fin d'année : Vaiavy Chila se fait une place au Glacier"] {{Wayback|url=http://www.newsmada.com/index.php/culture/5653-reveillon-de-fin-dannee-vaiavy-chila-se-fait-une-place-au-glacier#.UXHaoJxBmSo |date=20130102103141 }} (in French). Newsmada.com. Retrieved
[[Category:CS1 French-language sources (fr)]]</ref>{{Listen|filename=Vaiavy_Chila_-_Walli_Wallah.ogg|title=Vaiavy Chila "Walli Wallah" (2006)|description=Salegy as performed by Vaiavy Chila|format=[[Ogg]]}}
== Marejeo ==
[[Jamii:Arusha Editathon Muziki]]
<references />
[[Jamii:Wanamuziki wa Madagaska]]
syfod7j0cmq6kg4sscsku8dmx9yykiu
Gloria Chinasa
0
150216
1236216
1227145
2022-07-28T06:44:29Z
Charles Emanueli
55048
wikitext
text/x-wiki
'''Gloria Chinasa Okoro''' (anajulikana kama Gloria Chinasa alizaliwa tarehe [[8 Desemba]] [[1987]]) ni [[mchezaji]] wa [[mpira wa miguu]] ambaye anacheza kama [[mshambuliaji]]. Alizaliwa nchini [[Nigeria]] anacheza katika klabu ya [[Guinea ya Ikweta]]..<ref>[http://es.uefa.com/teamsandplayers/players/player=250031538/profile/index.html] {{Wayback|url=http://es.uefa.com/teamsandplayers/players/player=250031538/profile/index.html |date=20170827102854 }} [[UEFA]]</ref><ref>{{cite web|archive-url=https://web.archive.org/web/20110710112548/https://www.fifa.com/worldfootball/statisticsandrecords/players/player=265822/index.html|url=https://www.fifa.com/worldfootball/statisticsandrecords/players/player=265822/index.html|title=FIFA Player Statistics: CHINASA|publisher=FIFA.com|archive-date=10 July 2011|accessdate=29 September 2018|archivedate=2011-07-10|archiveurl=https://web.archive.org/web/20110710112548/https://www.fifa.com/worldfootball/statisticsandrecords/players/player=265822/index.html}}</ref>
==Marejeo==
{{reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa kike]]
[[Jamii:Wanawake wa Nigeria]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Nigeria]]
tcdek3ctne29n8mjwomly5x5bdkoaq5
Uchafuzi wa ardhi
0
150276
1236167
1225375
2022-07-27T20:11:05Z
Rajabmraja
53510
wikitext
text/x-wiki
'''Uchafuzi wa Ardhi''' husababishwa kwa kuwepo na [[kemikali]] za xenobiotic (zinazotengenezwa na [[binadamu]]) au mabadiliko mengine ya [[mazingira]] ya asili ya [[udongo]]. Kwa kawaida husababishwa na shughuli za [[viwanda]], [[kemikali]] za [[kilimo]] au utupaji holela wa taka.
{{mbegu}}
[[Jamii:WikiForHumanRights 2022 Tanzania]]
[[Jamii:Ekolojia]]
a0f2gnjak4koowspwtqef5o8o46qkl4
Eniola Aluko
0
150335
1236005
1234990
2022-07-27T16:16:35Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236037
1236005
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Justine Msechu|Justine Msechu]]
wikitext
text/x-wiki
'''Eniola Aluko''' (alizaliwa [[21 Februari]] [[1987]]) ni [[mkurugenzi]] wa [[Mpira wa miguu|mpira]] wa miguu, mtoa maoni, na [[mchezaji]] wa zamani wa kulipwa. Mnamo [[Mei]] [[2021]] alikua mkurugenzi wa michezo wa timu ya ''Angel City FC'' huko [[Los Angeles]], [[Marekani]]. <ref name="acfc">{{Cite news|date=20 May 2021}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Alizaliwa [[Lagos]], [[Nigeria]], kwa Gbenga na Sileola, Aluko alihamia na [[familia]] yake huko [[Birmingham]] katika eneo la West Midlands nchini [[Uingereza]] akiwa na [[umri]] wa miezi sita. <ref name="STL">{{Cite news|url=http://www.stltoday.com/stltoday/sports/stories.nsf/soccer/story/6260A70C8F1ACABD862575FB00051318?OpenDocument|title=Athletica's Aluko prepares for life as an attorney|last=Timmermann|first=Tom}}</ref> <ref>{{Cite news|url=https://www.kickoff.com/news/articles/south-africa-news/categories/news/news/aluko-hungry-for-2010-wc-action/518244|title=Aluko hungry for 2010 WC action}}</ref> <ref>{{Cite news|url=https://www.theguardian.com/football/2017/oct/21/footballer-whose-hero-is-atticus-finch-from-to-kill-a-mockingbird|title=Eniola Aluko: the footballing whistleblower whose hero is Atticus Finch|last=Kelner|first=Martha}}</ref> Alikua akicheza mpira wa miguu na [[kaka]] yake Sone Aluko na marafiki zake. Pia alicheza michezo mingine, ikiwa ni pamoja na [[tenisi]]. <ref>{{Cite news|last=Moore|first=Glen|title=Women's football in Britain: Doing it for themselves|url=https://www.independent.co.uk/sport/football/news/women-s-football-britain-doing-it-themselves-10125165.html}}</ref> Alipokuwa akikua, Aluko alikua shabiki wa [[Manchester United F.C.|Manchester United]] . <ref>{{Cite web|author=Fagbemi|first=Ayo|title=Eni Aluko: Stand Empowered|work=GAFFER|url=https://gaffer.online/features/football/eni-aluko-standing-out-standing-up/|accessdate=2 March 2021}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1987]]
[[Jamii:Wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
0fw0klkxg3q0ujqrv4zqujw744d83uw
Ma Jun (mwanamazingira)
0
150906
1236002
1232367
2022-07-27T16:16:03Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236043
1236002
2022-07-27T16:21:11Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Idd ninga|Idd ninga]]
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Ma_Jun_-_Annual_Meeting_of_the_New_Champions_2012_crop.jpg|thumb|Ma Jun]]
'''Ma Jun''' ( alizaliwa [[22 Mei]] [[1968]]) ni [[mwanamazingira]] wa [[China]], mshauri wa [[mazingira]], na mwandishi wa habari. Yeye ni mkurugenzi wa Taasisi ya Masuala ya Umma na Mazingira (IPE).
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:WikiForHumanRights 2022 Tanzania]]
[[Jamii:Ekolojia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1968]]
phczpri52ebfa5vph37ica6mzgb89qg
Hali Halisi
0
151440
1235932
1231946
2022-07-27T16:00:18Z
2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404
wikitext
text/x-wiki
1236113
1235932
2022-07-27T16:21:46Z
Daniuu
48819
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404]] ([[User talk:2A00:F41:4834:5431:E55B:C558:DE7C:5404|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Benix Mby|Benix Mby]]
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox film|jina=Hali Halisi - Rap as an alternative medium in Tanzania|picha=Hali-halisi-dvd-cover-1024x6851.jpg|mwongozaji=Martin Meulenberg|mtayarishaji=Thomas Gesthuizen|mhariri=Patrick Pauwe|msambazaji=Madunia Foundation|muda=30|nchi=Tanzania|lugha=List{{{!}}
*[[Kiswahili]]
*[[Kiingereza]]|imetolewa=1999|sinematografi=Joost Kahmann|maelezo_ya_picha=Kava la DVD la dokumentari ya Hali Halisi.|ukubwa_wa_picha=600 × 600 px}}
'''''Hali Halisi''''' ni dokumentari kuhusu muziki wa rap nchini [[Tanzania]]. Hali halisi (msemo wa [[kiswahili]] wenye maana ya "the real situation" kwa [[kiingereza]]) inaonyesha [[Kurap|rap]] kama chombo mbadala kwa wasanii kueneza ufahamu juu ya maswala mbalimbali yanayohusu jamii zao. Rapa na wataalamu mbalimbali wanatoa maoni yao kuhusu matukio ya kuibuka kwa miondoko ya hip hop jijini [[Dar es Salaam]] na kisiwa cha [[Jamhuri ya Watu wa Zanzibar|Zanzibar]]. Na pia, mawazo yao kuhusu umuhimu wa [[kurap]] kama chombo cha mawasiliano.<ref>{{Cite web|title=Hali Halisi, rap as an alternative medium in Tanzania|url=https://www.africanhiphop.com/projects/documentary-hali-halisi/|work=Africanhiphop|date=2009-06-14|accessdate=2022-06-04|language=en-US}}</ref>
Filamu hii ya dakika [[thelathini]] ilirekodiwa mwaka [[1999]] na [[Madunia Foundation]] (wakati huo, shirika lisilo la kiserikali lenye makao yake makuu nchini [[Uholanzi]] ambalo linaunga mkono sanaa ya wanamuzi wa Kiafrika).<ref>{{Cite web|title=Tanzania: Hali Halisi: Rap as an Alternative Medium in Tanzania|url=https://allafrica.com/stories/200607031132.html|work=allAfrica.com|date=2006-07-03|accessdate=2022-06-03|language=en|author=Msia Kibona Clark}}</ref>
[[Hali Halisi]] iliongozwa na [[Martin Maulenberg]] (alikuwa mwalimu wa shule ya uandishi wa habari huko [[Utrecht]], [[Uholanzi]] na utafiti ulifanywa na [[Thomas Gesthuizen]] (anafahamika zaidi kwa jina la [[DJ Jumanne]] au J4) ni mwanzilishi wa tovuti ya [[African Hip Hop.com|Africanhiphop. com]].
Hali Halisi ilishirikisha wasanii maarufu wa hip hop nchini Tanzania kwa wakati huo. Wasanii kama Gangstas With Matatizo ("matatizo") au [[G.W.M|GWM]], [[Joseph Mbilinyi|Mr II ( 2Proud au Sugu)]], [[Deplowmatz]], [[Gangwe Mobb]], [[X Plastaz]] na [[Bantu Pound]] ni miongoni mwa vikundi vya kwanza vya rap nchini Tanzania kupata usikivu wa kitaifa.<ref>{{Cite web|title=Tanzania: Hali Halisi: Rap as an Alternative Medium in Tanzania|url=https://allafrica.com/stories/200607031132.html|work=allAfrica.com|date=2006-07-03|accessdate=2022-06-04|language=en|author=Msia Kibona Clark}}</ref>
== Washiriki ==
Baadhi ya wasanii walioshiriki ''Hali Halisi'':
* [[KBC]] ([[Kwanza Unit]] / Clouds FM)
* [[Bonnie Luv]] (Mawingu studio / Clouds FM)
* [[Gangwe Mobb]] ([[Inspector Haroun|Inspekta Haroun]])
* [[G.W.M]] (D-Chief & KR)
* [[Bantu Pound]] (Soggy Doggy, Snaz-T)
* [[X Plastaz]] & Fortune Tellers (Arusha)
* [[Joseph Mbilinyi|Mr II (pia anajulikana kama 2Proud na Sugu)]]
* [[Deplowmatz]] ([[Dola Soul]] aka Balozi & Saigon)
* Ras Pompidou
* Abbas & Baraka (Underground Souls)
* Sos B (Black Houndz)
* [[P. Funk|P-Funk]] (Mtayarishaji)
* Bad Gear (Coca Cola popstars)
* Mack D
* [[Taji Liundi]] (Clouds/Mawingu)
* Cool Para (Zanzibar)
* Sebastian Maganga ((Uhuru FM)
Wataalam kutoka [[Baraza la Sanaa Tanzania]] (BASATA) na Redio Tanzania pia walishiriki.
== Mapokezi ==
Hali Halisi ilionyeshwa kwenye [[Tamasha la Filamu la Kimataifa la Zanzibar]] (ZIFF) mwaka 2001 na [[Vancouver International Hip Hop Film Festival]] mwaka 2004. Pia imewahi kuonyeshwa na [[ITV Tanzania]] na kwenye matamasha mengine ya filamu dunia kote.<ref>{{Cite web|title=Hali Halisi [Film]|url=https://www.comminit.com/content/hali-halisi-film|work=The Communication Initiative Network|accessdate=2022-06-03|language=en}}</ref>
== Tuzo za H2O ==
Hali Halisi ilishinda tuzo ya "''Best Short Documentary''" kwenye toleo la nne la tamasha la filamu la H2O (Hip Hop Odyssey) lililofanyika Novemba 2004 katika ukumbi wa Symphony Space jijini [[New York]], [[Marekani]].<ref>{{Cite web|title=Hali Halisi, rap as an alternative medium in Tanzania|url=https://www.africanhiphop.com/projects/documentary-hali-halisi/|work=Africanhiphop|date=2009-06-14|accessdate=2022-06-03|language=en-US}}</ref>
Ilikuwa mara ya kwanza kwa filamu inayohusu utamaduni wa hip hop [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]] kukubalika kwa kiwango kikubwa nje ya bara la [[Afrika]].
Tarehe [[7 Novemba]] wakati wa sherehe za tuzo hizo, mwanamuziki [[Jean Grae]] alikabidhi tuzo hiyo kwa mtayarishaji mwenza [[Thomas Gesthuizen]]. Wasanii waliohudhuria ni pamoja na [[Afrika Bambaata]], [[DJ Kool Herc]], [[Grandmaster Caz]] wa kundi la [[Cold Crush Brothers]], kundi la [[UTFO]], [[MC Lyte|Mc Lyte]], Dres kutoka kundi la Black Sheep na [[Lord Jamar]] kutoka kundi la [[Brand Nubian]]. Wasanii wadogo kwa wakati huo kama Jojo (K-Ci na Jojo), Murs na [[Keith Murray]] pia walihudhuria.
Mtanzania Dola Soul, ambaye pia alishiriki kwenye ''Hali Halisi'' ni moja ya watu waliohudhuria tuzo hizo. Katika tukio hilo tuzo za heshima zilitolewa kwa [[Kurtis Blow]], [[Queen Latifah]], [[RZA]] na [[Russell Simmons]]. Mtayarishaji mkongwe wa filamu [[Melvin Van Peebles]] na mwanamuziki [[Roxanne Shante]] walitoa pongezi kwa Madunia Foundation.
== Marejeo ==
{{marejeo}}
[[Jamii:Hip hop ya Tanzania]]
[[Jamii:Muziki wa Tanzania]]
jy9wg01bqcmpr5zqqwjly2kdgzl1cdg
Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav soni
3
153201
1236169
1233787
2022-07-27T20:16:35Z
Justin yav sony5
55136
wikitext
text/x-wiki
== ==
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:33, 18 Julai 2022 (UTC)
::Umetunga makala juu yako mwenyewe. Hairuhusiwi hapa. Makala itafutwa. Unaweza kupeleka maudhui kwenye ukurasa wako wa mtumiaji, pale inakubaliwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:24, 19 Julai 2022 (UTC)
ok kuwa na user box yangu ni fanye dje '''[[Mtumiaji:Justin yav sony5|Justin yav sony5]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sony5|majadiliano]])''' 20:16, 27 Julai 2022 (UTC)
ck2111ao6bn1bs8flt1o15c14ayhtvw
1236219
1236169
2022-07-28T06:50:33Z
Justin yav sony0
54968
Justin yav sony0 alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sony0]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav soni]]
wikitext
text/x-wiki
== ==
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:33, 18 Julai 2022 (UTC)
::Umetunga makala juu yako mwenyewe. Hairuhusiwi hapa. Makala itafutwa. Unaweza kupeleka maudhui kwenye ukurasa wako wa mtumiaji, pale inakubaliwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:24, 19 Julai 2022 (UTC)
ok kuwa na user box yangu ni fanye dje '''[[Mtumiaji:Justin yav sony5|Justin yav sony5]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sony5|majadiliano]])''' 20:16, 27 Julai 2022 (UTC)
ck2111ao6bn1bs8flt1o15c14ayhtvw
1236225
1236219
2022-07-28T07:31:21Z
Kipala
107
Reply
wikitext
text/x-wiki
== ==
{{karibu}}'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:33, 18 Julai 2022 (UTC)
::Umetunga makala juu yako mwenyewe. Hairuhusiwi hapa. Makala itafutwa. Unaweza kupeleka maudhui kwenye ukurasa wako wa mtumiaji, pale inakubaliwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:24, 19 Julai 2022 (UTC)
ok kuwa na user box yangu ni fanye dje '''[[Mtumiaji:Justin yav sony5|Justin yav sony5]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sony5|majadiliano]])''' 20:16, 27 Julai 2022 (UTC)
:Jaribu kukopi box sahili kutoka enwiki au simplewiki '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:31, 28 Julai 2022 (UTC)
lp0d7uyd296lh8ylp7di0ni2y7d5y9m
Kianglikana
0
153302
1236188
1235103
2022-07-28T02:12:53Z
Xqbot
1852
Bot: Fixing double redirect to [[Waanglikana]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Waanglikana]]
6zi2hmvgnozxos262xmig0vtt5mami3
James E. Lyons
0
153404
1236145
1235748
2022-07-27T18:05:51Z
Awadhi Awampo
48284
wikitext
text/x-wiki
'''James E. Lyons, Sr''' (amezaliwa 1943) ni msimamizi wa kitaaluma mwenye asili ya Amerika na alihudumu kama raisi katika chuo kikuu cha kihistoria cha watu weusi. Pia ni raisi mstaafu katika [[Chuo kikuu cha Bowie|chuo kikuu cha Bowie, Jackson]] na [[chuo kikuu cha Califonia, Dominguez Hills]]. Lyons alikua raisi wa mpito katika vyuo mbali mbali kama [[chuo kikuu cha Dillard]] chuo kikuu cha umma cha watu weusi cha Colombia,, na [[chuo kishirikishi cha Concordia Alabama]]. pia alikua ni katibu katika bodi ya uongozi inayohusika na elimu ya juu ya Mayland
== Maisha ya awali na Elimu ==
Lyons alizaliwa mwaka 1943 na kukua katika mji uliopo pwani uliojulikana kwa jina la [[New Haven, Connecticut|New Haven, connecticut]] huko [[Marekani]].<ref>{{Cite web|title=President of CSU Dominguez Hills to retire|url=https://www.latimes.com/archives/la-xpm-2006-nov-19-me-lyons19-story.html|work=Los Angeles Times|date=2006-11-19|accessdate=2022-07-26|language=en-US|author=Facebook, Twitter, Show more sharing options, Facebook, Twitter, LinkedIn}}</ref><ref>http://www.jsums.edu/margaretwalkercenter/files/2013/03/lyons.pdf?d50037</ref> Shahada zake zote alizipata katika chuo kikuu cha [[Connecticut]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1943]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wasomi wa Amerika]]
[[Jamii:Editathons swwiki]]
ez7omrk5drzlyusa0kklgagmd6bhagd
Jamii:Wanahabari wa Cote d'Ivoire
14
153419
1235871
1235814
2022-07-27T13:00:47Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[jamii:Wanahabari]]
[[jamii:watu wa Cote d'Ivoire]]
mssfiztyp68lyimy1nq55hahfig1li7
1235872
1235871
2022-07-27T13:01:02Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[jamii:Waandishi wa habari]]
[[jamii:watu wa Cote d'Ivoire]]
2656lz4vwysjkkvb9jmidil4r2pdhu9
Mtumiaji:Justin yav soni
2
153420
1236162
1235818
2022-07-27T20:04:19Z
Justin yav sony5
55136
justin yav sony
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Justin yav sonyy.jpg|thumb|justin yav sony en 2022]] welcome
hufzkf9cmqmjjzow5zix9q3tshwrhmm
1236217
1236162
2022-07-28T06:50:32Z
Justin yav sony0
54968
Justin yav sony0 alihamisha ukurasa wa [[Mtumiaji:Justin yav sony0]] hadi [[Mtumiaji:Justin yav soni]]
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Justin yav sonyy.jpg|thumb|justin yav sony en 2022]] welcome
hufzkf9cmqmjjzow5zix9q3tshwrhmm
Jamii:Wanamuziki wa Msumbiji
14
153421
1235858
2022-07-27T12:25:50Z
Abubakari Sixberth
53268
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<nowiki>[[Wanamuziki wa Msumbiji]]</nowiki>'
wikitext
text/x-wiki
<nowiki>[[Wanamuziki wa Msumbiji]]</nowiki>
9k2o5wan7nimcninoslh2apq17ilbaf
1235873
1235858
2022-07-27T13:04:58Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[jamii:Wanamuziki nchi kwa nchi|M]]
[[jamii:watu wa Msumbiji]]
iek02zchlfna4756mkigvu74aduxkw8
Jamii:Wachezaji mpira wa Japan
14
153422
1235885
2022-07-27T13:16:34Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Jamii:Wachezaji mpira wa Japani]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[jamii:wachezaji mpira wa Japani]]
q7zr5slnddgeytwkqkgbg0h0lnya3c4
Jamii:Wachezaji mpira wa Malaysia
14
153423
1235886
2022-07-27T13:17:58Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Malaysia]] [[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi|M]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Malaysia]]
[[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi|M]]
ed9tkbcnk5qmvzlunybhj948fi0mmiy
1235887
1235886
2022-07-27T13:18:44Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Malaysia]]
[[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi]]
2kpnd4num8fulbnvupo1xzbtn63ic5x
Jamii:Wachezaji mpira wa Jamaika
14
153424
1235888
2022-07-27T13:19:12Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Jamaika]] [[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi|J]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Jamaika]]
[[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi|J]]
hb4zvlmetem4tygtf3ubwa7hrryx5ww
Jamii:Wachezaji mpira wa Hungaria
14
153425
1235889
2022-07-27T13:20:13Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Hungaria]] [[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi|H]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Hungaria]]
[[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi|H]]
p2kc2xu3qgv2nq2jsvbvguofeg93coi
Jamii:Wachezaji mpira wa Guinea Bisau
14
153426
1235890
2022-07-27T13:21:42Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Guinea Bisau]] [[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi|G]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Guinea Bisau]]
[[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi|G]]
eey5xlnsk8eiuvjldoa9x15y92dnajz
Jamii:Wachezaji mpira wa Armenia
14
153427
1235891
2022-07-27T13:22:50Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Armenia]] [[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi|A]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Armenia]]
[[Jamii:wachezaji mpira nchi kwa nchi|A]]
ay4f2zyb9fushlahs3tfbje0rublwkv
Kidudu-deraya
0
153429
1235906
2022-07-27T14:53:42Z
ChriKo
35
Ukurasa mpya
wikitext
text/x-wiki
{{uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Kidudu-deraya
| picha = Spinoloricus.png
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo ya picha = Kidudu-deraya (''Spinoloricus'' sp.)
| himaya = [[Animalia]]
| nusuhimaya = [[Eumetazoa]]
| kundi_bila_tabaka = [[Bilateria]]
| kundi2_bila_tabaka = [[Prostomia]]
| faila_ya_juu = [[Ecdysozoa]]
| faila = [[Loricifera]]
| bingwa_wa_faila = [[Reinhardt Møbjerg Kristensen|Kristensen]], 1983
| oda = [[Nanaloricida]]
| bingwa_wa_oda = Kristensen, 1983
| subdivision = '''Familia 3:'''<br>
* [[Nanaloricidae]] <small>Kristensen, 1983</small>
* [[Pliciloricidae]] <small>Kristensen & [[Robert P. Higgins|Higgins]], 1986</small>
* [[Urnaloricidae]] <small>[[Iben Heiner|Heiner]] & Kristensen, 2009</small>
}}
'''Vidudu-deraya''' ni [[mnyama|wanyama]] wadogo sana wa [[bahari]] wa [[oda]] [[Nanaloricida]], oda pekee ya [[faila]] [[Loricifera]] wanaofunikwa na [[bamba|mabamba]] kama [[deraya]]. Wana urefu wa [[mm]] 0.1-1. Huishi katika [[masimbi]] ya [[sakafu ya bahari]] kwa [[kina|vina]] vyote, aina zote za masimbi na [[latitudo]] zote<ref name=Ruppert-Fox-Barnes-2004>
{{cite book
|editor1-last=Ruppert |editor1-first=Edward E.
|editor2-last=Fox |editor2-first=Richard S.
|editor3-last=Barnes |editor3-first=Robert D.
|year=2004
|title=Invertebrate Zoology |edition=7th
|page=[https://archive.org/details/isbn_9780030259821/page/776 776]
|isbn=978-0-03-025982-1
|url-access=registration
|url=https://archive.org/details/isbn_9780030259821/page/776
}}
</ref>.
Wanyama hao wamefunua hivi karibuni kiasi. Faila yao imeelezewa [[mwaka]] [[1983]] na [[Reinhardt Møbjerg Kristensen|Kristensen]]. Mnamo [[2021]] [[spishi]] 43 zilikuwa zimeelezewa<ref name=Neves-Kirstensen-Møbjerg-2021>
{{cite news
|last1=Cardoso Neves |first1=Ricardo
|last2=Kristensen |first2=Reinhardt Møbjerg
|last3=Møbjerg |first3=Nadja
|date=5 May 2021
|title=New records on the rich loriciferan fauna of Trezen ar Skoden (Roscoff, France): Description of two new species of Nanaloricus and the new genus Scutiloricus
|journal=PLOS ONE |doi=10.1371/journal.pone.0250403
|id=id 10.1371
|doi-access=free
}}
</ref>, lakini spishi nyingine 100 zinasalia kuelezewa<ref name=Gad-2005>
{{cite journal
|last=Gad |first=Gunnar
|date=17 June 2005
|title=Successive reduction of the last instar larva of Loricifera, as evidenced by two new species of Pliciloricus from the Great Meteor Seamount (Atlantic Ocean)
|journal=Zoologischer Anzeiger
|volume=243 |issue=4 |pages=239–271
|doi=10.1016/j.jcz.2004.09.001
}}
</ref>.
Wana [[kiwiliwili]] kikubwa kilichozungukwa na mabamba sita ya deraya. [[Kichwa]], ambacho hubeba [[mwiba|miiba]] mingi iliyopinidika nyuma, huunganishwa na kiwiliwili kupitia [[shingo]] yenye [[pingili]] ambayo inaweza kurudishwa ndani ya deraya. [[Mdomo]] unaoweza kubenuliwa uko ncha ya mbele na umezungukwa na [[sindano]] nane. [[Ubongo]] umesitawi vizuri na umeunganishwa moja kwa moja na kila mwiba. [[Kamba ya neva]] hupita upande wa chini kuelekea ncha ya nyuma. [[Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula]] huanza na [[mfereji]] wa mdomo ambao unaweza kutolewa. Kisha hufuata [[koromeo]] ya umbo la [[tufe]] iliyo na [[musuli|misuli]] yenye nguvu na hatimaye [[utumbo]] ulionyooka ambao hufunguka katika [[mkundu]] mwishoni kabisa <ref>{https://www.notesonzoology.com/phylum-loricifera/phylum-loricifera-features-and-classification-marine-animals/1732}</ref>.
==Picha==
<gallery>
Pliciloricus enigmatus.jpg|''Pliciloricus enigmaticus''
</gallery>
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii:Vidudu-deraya]]
efdl1af6h79c864um75qriz7o5bfpak
Loricifera
0
153430
1235907
2022-07-27T14:59:27Z
ChriKo
35
Redirect mpya
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Kidudu-deraya]]
[[Jamii:Loricifera]]
0tyo8tgah73o0uyo200icfpc5fognts
Jamii:Loricifera
14
153431
1235908
2022-07-27T15:00:32Z
ChriKo
35
Jamii mpya
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Ecdysozoa]]
s98bjuzvh0k6l8qtmadigvslgzk091l
Jamii:Vidudu-deraya
14
153432
1235909
2022-07-27T15:01:20Z
ChriKo
35
Redirect mpya
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wanyama]]
854ms27hcsntdk56fl0jjk95ft2vnc7
Margarita McCoy
0
153433
1236143
2022-07-27T17:52:27Z
Segyjoe
49837
Anzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Margarita Piel McCoy'''( 25 Mei 1923 – 31 Machi 2016 ) alikuwa [[mwalimu]] na [[mpanga miji]] wa Kimarekani. McCoy alikuwa miongoni mwa wanawake wa kwanza nchini [[Marekani]] kufikia [[umiliki wa kitaaluma]] kama [[profesa]] wa mipango miji, na wa kwanza kuwa mwenyekiti wa idara ya mipango miji.<ref>{{Citation|title=Margarita McCoy|date=2022-01-18|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Margarita_McCoy&oldid=1066410227|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-07-27}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Biolojia]]
[[Jamii:Ekolojia]]
[[Jamii:Mazingira]]
[[Jamii:Umoja wa Mataifa]]
[[Jamii:Wiki4HumanRights USW]]
ig1m0gbwghp0wdemlktuzuvo2qa14ts
1236231
1236143
2022-07-28T08:03:50Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Margarita Piel McCoy''' (25 Mei [[1923]] – 31 Machi [[2016]]) alikuwa [[mwalimu]] na [[mpanga miji]] wa [[Marekani]]. McCoy alikuwa miongoni mwa wanawake wa kwanza nchini kufikia [[umiliki wa kitaaluma]] kama [[profesa]] wa mipango miji, na wa kwanza kuwa mwenyekiti wa idara ya mipango miji.
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{BD|1923|2016}}
[[Jamii:Wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wiki4HumanRights USW]]
qf1o3njxw0cu1243ab7um0p5qrixeyn
Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sonyy
3
153436
1236220
2022-07-28T06:50:33Z
Justin yav sony0
54968
Justin yav sony0 alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sony0]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav soni]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav soni]]
i5xud28l01qk8j5gxpkejpg1v1qbgrx
1236223
1236220
2022-07-28T06:50:55Z
Justin yav sony0
54968
Justin yav sony0 alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sony0]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sonyy]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav soni]]
i5xud28l01qk8j5gxpkejpg1v1qbgrx
Mtumiaji:Justin yav sony0
2
153437
1236222
2022-07-28T06:50:55Z
Justin yav sony0
54968
Justin yav sony0 alihamisha ukurasa wa [[Mtumiaji:Justin yav sony0]] hadi [[Mtumiaji:Justin yav sonyy]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Mtumiaji:Justin yav sonyy]]
7s61aojaz2bwb7ee1heuxaxvx2izpsx
Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sony0
3
153438
1236224
2022-07-28T06:50:55Z
Justin yav sony0
54968
Justin yav sony0 alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sony0]] hadi [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sonyy]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Majadiliano ya mtumiaji:Justin yav sonyy]]
j9spp857spbjuka5gjjt0ot4vfqlh33
Ashar Aziz
0
153440
1236239
2022-07-28T08:22:56Z
Bs-Afrique
49732
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
'''Ashar Aziz''' (Alizaliwa 1959) ni [[mhandisi]] wa [[umeme]] raia wa pakistani na marekani, [[mfanyabiashara]] na mhisani wa mambo ya jamii.Anafahimika kama mvumbuzi wakampuni ya usalama wa mtandao FIreEye<ref>{{Cite web|title=Rampant FireEye Shares Makes Founder Ashar Aziz A Cybersecurity Billionaire|url=https://www.forbes.com/sites/ryanmac/2014/03/05/rampant-fireeye-stock-makes-founder-ashar-aziz-a-cybersecurity-billionaire/|work=Forbes|accessdate=2022-07-28|language=en|author=Ryan Mac}}</ref> huko bonde la siliconi .
Alivyokuwa Bilionea, <ref>Making the Impossible Possible: Ashar Aziz | The New Spaces</ref><ref>{{Cite web|title=Shares Of Newly Public Company FireEye Have Gone Nuts, And They've Turned This Man Into A Billionaire|url=https://www.businessinsider.com/fireeye-goes-nuts-creates-billionaire-2014-3|work=Business Insider|accessdate=2022-07-28|language=en-US|author=Julie Bort}}</ref>zamani alikadiriwa utajiri wa dola zaidi ya [[milioni]] 233 kwa mwaka 2015<ref>{{Cite web|title=Ashar Aziz Net Worth (2022) – wallmine.com|url=https://au.wallmine.com/people/9676/ashar-aziz|work=au.wallmine.com|accessdate=2022-07-28|language=en-au}}</ref>.
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1959]]
[[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Mbegu za wanasayansi]]
[[Jamii:Kompyuta]]
[[Jamii:Teknolojia]]
4nk8fhexgw1qae8l4oun8f4qehkstjc
1236240
1236239
2022-07-28T08:26:33Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Ashar Aziz''' (alizaliwa [[1959]]) ni [[mhandisi]] wa [[umeme]] [[raia]] wa [[Pakistan|Pakistani]] na [[Marekani]], [[mfanyabiashara]] na mhisani wa mambo ya jamii.
Anafahimika kama mvumbuzi wa [[kampuni]] ya [[usalama wa mtandao]] FireEye<ref>{{Cite web|title=Rampant FireEye Shares Makes Founder Ashar Aziz A Cybersecurity Billionaire|url=https://www.forbes.com/sites/ryanmac/2014/03/05/rampant-fireeye-stock-makes-founder-ashar-aziz-a-cybersecurity-billionaire/|work=Forbes|accessdate=2022-07-28|language=en|author=Ryan Mac}}</ref> huko bonde la silikoni.
Bilionea huyo <ref>Making the Impossible Possible: Ashar Aziz | The New Spaces</ref><ref>{{Cite web|title=Shares Of Newly Public Company FireEye Have Gone Nuts, And They've Turned This Man Into A Billionaire|url=https://www.businessinsider.com/fireeye-goes-nuts-creates-billionaire-2014-3|work=Business Insider|accessdate=2022-07-28|language=en-US|author=Julie Bort}}</ref> alikadiriwa kuwa na utajiri wa [[Dolar ya Marekani|dola]] zaidi ya [[milioni]] 233 mwaka 2015<ref>{{Cite web|title=Ashar Aziz Net Worth (2022) – wallmine.com|url=https://au.wallmine.com/people/9676/ashar-aziz|work=au.wallmine.com|accessdate=2022-07-28|language=en-au}}</ref>.
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1959]]
[[Jamii:Wahandisi wa Marekani]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wahandisi wa Pakistan]]
tsoe8k4wtalhuy5iisd836ecpn4brc8
Jamii:Wahandisi wa Pakistan
14
153441
1236241
2022-07-28T08:27:27Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:watu wa Pakistan]] [[Jamii:wahandisi nchi kwa nchi|P]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:watu wa Pakistan]]
[[Jamii:wahandisi nchi kwa nchi|P]]
er8z2127a0wc2iywpogvnchqbjef2oy
Baruch Awerbuch
0
153442
1236246
2022-07-28T08:36:33Z
Bs-Afrique
49732
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
'''Baruch Awerbuch''' (Alizaliwa 1958) ni [[mwanasayansi]] wa kompyuta na [[profesa]] wa sayansi ya kompyuta<ref>{{Cite web|title= Baruch Awerbuch's home page|url=https://www.cs.jhu.edu/~baruch/|work=www.cs.jhu.edu|accessdate=2022-07-28}}</ref> katika chuo cha Johns Hopkins mwenye uraia wa [[Israel|Israeli]] na [[Marekani]]. Anafahamika kwa tafiti zake za uchakataji mifumo ya [[Tarakilishi|kompyuta]]<ref>Baruch Awerbuch's research works | Johns Hopkins University, MD (JHU) and other places (researchgate.net)</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Mbegu za wanasayansi]]
[[Jamii:Kompyuta]]
[[Jamii:Teknolojia]]
4owhsd6e0xno0x6t5k806l3cp2gafff
1236252
1236246
2022-07-28T08:52:31Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Baruch Awerbuch''' (alizaliwa [[1958]]) ni [[mwanasayansi]] wa [[kompyuta]] na [[profesa]] wa [[sayansi ya kompyuta]]<ref>{{Cite web|title= Baruch Awerbuch's home page|url=https://www.cs.jhu.edu/~baruch/|work=www.cs.jhu.edu|accessdate=2022-07-28}}</ref> katika chuo cha Johns Hopkins mwenye [[uraia]] wa [[Israel|Israeli]] na [[Marekani]].
Anafahamika kwa tafiti zake za uchakataji mifumo ya [[Tarakilishi|kompyuta]]<ref>Baruch Awerbuch's research works | Johns Hopkins University, MD (JHU) and other places (researchgate.net)</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Wahandisi wa Marekani]]
[[Jamii:Wahandisi wa Israeli]]
dln7qkkngc5e9obxndgrr15nhlpm2h8
Borussia Dortmund
0
153443
1236248
2022-07-28T08:46:45Z
Brayson Mushi
52333
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:Borussia_Dortmund_logo.svg|right|thumb|180x180px|Nembo ya Borussia Dortmund]] '''Borussia Dortmund''' ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini [[Ujerumani]].Ni klabu ya michezo ya kitaalamu ya Ujerumani iliyoko jiji la [[Dortmund]],Inajulikana zaidi kwa timu yake ya [[mpira wa miguu]] ya wanaume, ambayo inacheza katika [[Bundesliga]].Klabu hiyo imeshinda michuano minane ya ligi, tano [[DFB-Pokals]],kombe moja la Ligi ya mabingwa barani Ulaya [[UEFA]],...'
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borussia_Dortmund_logo.svg|right|thumb|180x180px|Nembo ya Borussia Dortmund]]
'''Borussia Dortmund''' ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini [[Ujerumani]].Ni klabu ya michezo ya kitaalamu ya Ujerumani iliyoko jiji la [[Dortmund]],Inajulikana zaidi kwa timu yake ya [[mpira wa miguu]] ya wanaume, ambayo inacheza katika [[Bundesliga]].Klabu hiyo imeshinda michuano minane ya ligi, tano [[DFB-Pokals]],kombe moja la Ligi ya mabingwa barani Ulaya [[UEFA]], Kombe la mabara moja, na Kombe la Washindi wa [[UEFA|UEFA Cup]].<ref>{{cite web|url=http://www.bvb.de/eng/News/Overview/The-fourth-biggest-club-in-the-world|title=The fourth biggest club in the world|publisher=bvb.de|date=28 November 2016|access-date=29 November 2016}}</ref>Rangi za Borussia Dortmund ni nyeusi na njano.<ref name="Talksports">{{Cite web|url=https://talksport.com/football/525568/top-50-average-football-attendances-in-the-world-in-the-last-five-years-including-manchester-united-barcelona-and-borussia-dortmund/|title=The top 50 average attendances in football over the last five years|date=12 April 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Mpira wa Miguu]]
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Ujerumani]]
[[Jamii:Mbegu za michezo]]
s62ow9xncotq49v9kcppw9ywhyfkno4
1236253
1236248
2022-07-28T08:55:23Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borussia_Dortmund_logo.svg|right|thumb|180x180px|Nembo ya Borussia Dortmund]]
'''Borussia Dortmund''' ni klabu ya mpira wa miguu wa kitaalamu ya nchini [[Ujerumani]]. Ni klabu iliyoko jiji la [[Dortmund]]. Inajulikana zaidi kwa timu yake ya [[mpira wa miguu]] ya wanaume, ambayo inacheza katika [[Bundesliga]]. Klabu hiyo imeshinda michuano minane ya ligi, tano [[DFB-Pokals]], kombe moja la Ligi ya mabingwa barani Ulaya [[UEFA]], Kombe la mabara moja, na Kombe la Washindi wa [[UEFA|UEFA Cup]].<ref>{{cite web|url=http://www.bvb.de/eng/News/Overview/The-fourth-biggest-club-in-the-world|title=The fourth biggest club in the world|publisher=bvb.de|date=28 November 2016|access-date=29 November 2016}}</ref>
Rangi za Borussia Dortmund ni nyeusi na njano.<ref name="Talksports">{{Cite web|url=https://talksport.com/football/525568/top-50-average-football-attendances-in-the-world-in-the-last-five-years-including-manchester-united-barcelona-and-borussia-dortmund/|title=The top 50 average attendances in football over the last five years|date=12 April 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Dortmund]]
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Ujerumani]]
sw9ma8x4nok9zryzrr21y7z7v6na7hr
1236254
1236253
2022-07-28T08:58:21Z
Hussein m mmbaga
52054
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Borussia_Dortmund_logo.svg|right|thumb|180x180px|Nembo ya Borussia Dortmund]]
'''Borussia Dortmund''' ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini [[Ujerumani]]. Ni klabu ya michezo ya kitaalamu ya Ujerumani iliyoko jiji la [[Dortmund]],Inajulikana zaidi kwa timu yake ya [[mpira wa miguu]] ya wanaume, ambayo inacheza katika [[Bundesliga]]. Klabu hiyo imeshinda michuano minane ya ligi, makombe matano ya [[DFB-Pokals]], kombe moja la Ligi ya mabingwa barani Ulaya [[UEFA]], Kombe moja la mabara(International club cup), na Kombe la Washindi wa [[UEFA|UEFA Cup]].<ref>{{cite web|url=http://www.bvb.de/eng/News/Overview/The-fourth-biggest-club-in-the-world|title=The fourth biggest club in the world|publisher=bvb.de|date=28 November 2016|access-date=29 November 2016}}</ref>Rangi za Borussia Dortmund ni [[nyeusi]] na [[njano]].<ref name="Talksports">{{Cite web|url=https://talksport.com/football/525568/top-50-average-football-attendances-in-the-world-in-the-last-five-years-including-manchester-united-barcelona-and-borussia-dortmund/|title=The top 50 average attendances in football over the last five years|date=12 April 2019}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Mpira wa Miguu]]
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Ujerumani]]
[[Jamii:Mbegu za michezo]]
qtbcuhs0298s45s2151nlyh596s1fl5
Armenia ya Kale
0
153444
1236249
2022-07-28T08:50:13Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[File:Arshakuni Armenia 150-en.svg|thumb|upright=1.3|Armenia ya Kale, [[150 KK]].]] '''Armenia ya Kale''' ilikuwa nchi muhimu ya [[Asia]] [[Asia ya Magharibi|Magharibi]]. Polepole ilirudi nyuma na wakazi wake [[Maangamizi ya Waarmenia|waliangamizwa]] au kuhama. Katika nchi ndogo ya [[Kaukazi]] inayoitwa [[Armenia]] leo, wako watu [[milioni]] 3, kumbe milioni 8 wanaishi kwingine. ==Tazama pia== * [[Historia ya Armenia]] {{mbegu-historia}} Jamii:Nchi z...'
wikitext
text/x-wiki
[[File:Arshakuni Armenia 150-en.svg|thumb|upright=1.3|Armenia ya Kale, [[150 KK]].]]
'''Armenia ya Kale''' ilikuwa nchi muhimu ya [[Asia]] [[Asia ya Magharibi|Magharibi]]. Polepole ilirudi nyuma na wakazi wake [[Maangamizi ya Waarmenia|waliangamizwa]] au kuhama.
Katika nchi ndogo ya [[Kaukazi]] inayoitwa [[Armenia]] leo, wako watu [[milioni]] 3, kumbe milioni 8 wanaishi kwingine.
==Tazama pia==
* [[Historia ya Armenia]]
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Nchi za kihistoria za Asia]]
[[Jamii:Armenia]]
m7y7fx92uwx2k2b6xpeyzolzgjv0vqh
Leonio wa Poitiers
0
153445
1236270
2022-07-28T09:21:45Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Picha:Chapelle Saint-Lienne La Roche-sur-Yon.jpg|[[Chapeli|Kikanisa]] chake huko La Roche-sur-Yon.]] '''Leonio wa Poitiers''' (pia: '''Leonius, Lienne'''; aliishi nchini [[Ufaransa]], [[karne ya 4]]) alikuwa [[padri]] [[rafiki]] wa [[Hilari wa Poitiers]] aliyemfuata uhamishoni huko [[Frigia]] (leo nchini [[Uturuki]])<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/39430</ref>. Tangu kale anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]<ref>https://nominis.cef.fr/contenus/saint...'
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Chapelle Saint-Lienne La Roche-sur-Yon.jpg|[[Chapeli|Kikanisa]] chake huko La Roche-sur-Yon.]]
'''Leonio wa Poitiers''' (pia: '''Leonius, Lienne'''; aliishi nchini [[Ufaransa]], [[karne ya 4]]) alikuwa [[padri]] [[rafiki]] wa [[Hilari wa Poitiers]] aliyemfuata uhamishoni huko [[Frigia]] (leo nchini [[Uturuki]])<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/39430</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]<ref>https://nominis.cef.fr/contenus/saint/5739/Saint-Leone.html</ref>.
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 4]]
[[Jamii:Waliofariki karne ya 4]]
[[Category:Mapadri]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ufaransa]]
0364wb9cjvk0dqft4chbiawklsqlsa6
1236271
1236270
2022-07-28T09:22:09Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Chapelle Saint-Lienne La Roche-sur-Yon.jpg|thumb|[[Chapeli|Kikanisa]] chake huko La Roche-sur-Yon.]]
'''Leonio wa Poitiers''' (pia: '''Leonius, Lienne'''; aliishi nchini [[Ufaransa]], [[karne ya 4]]) alikuwa [[padri]] [[rafiki]] wa [[Hilari wa Poitiers]] aliyemfuata uhamishoni huko [[Frigia]] (leo nchini [[Uturuki]])<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/39430</ref>.
Tangu kale anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]<ref>https://nominis.cef.fr/contenus/saint/5739/Saint-Leone.html</ref>.
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa tarehe [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 4]]
[[Jamii:Waliofariki karne ya 4]]
[[Category:Mapadri]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ufaransa]]
r86nbqxdbwoo7zz3va8zd74yzoe5der
Henriette Avram
0
153446
1236272
2022-07-28T09:32:25Z
Bs-Afrique
49732
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
'''Henriette Davidson Avram''' (Oktoba 7, 1919 -Aprili 22,2006) alikuwa mchunguza mifumo na programa wa [[Tarakilishi|kompyuta]] aliyetengenza mpangilio wa mashine kusoma katalogi, ni mfumo wa kimataifa wakuhifadhi [[data]] na bibliografia na taarifa zilizoshikiliwa na [[Maktaba|maktaba.]]
Maendeleo ya mpangilio wa katalogi ulibadilisha kabisa mfumo wa utunzaji wa kumbukumbu na taarifa kwenye maktaba ya kongresi kati ya mwaka [[1960]] hadi miaka ya [[1970]]<ref>{{Citation|last=Schudel|first=Matt|title=Henriette D. Avram; Transformed Libraries|date=2006-04-28|url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2006/04/27/AR2006042702105.html|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2022-07-28}}</ref>.
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]]
[[Jamii:Kompyuta]]
[[Jamii:Teknolojia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1919]]
[[Jamii:Mbegu za wanasayansi]]
qphu9y5tanhc4t4yahlooyg2mxqzm9h
1236287
1236272
2022-07-28T10:03:37Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Henriette Davidson Avram''' (Oktoba 7, [[1919]] -Aprili 22, [[2006]]) alikuwa mchunguza mifumo na [[Programu ya kompyuta|programu]] za [[Tarakilishi|kompyuta]] aliyetengenza mpangilio wa mashine kusoma katalogi, ni mfumo wa kimataifa wa kuhifadhi [[data]] na bibliografia na taarifa zilizoshikiliwa na [[maktaba]].
Maendeleo ya mpangilio wa katalogi ulibadilisha kabisa mfumo wa utunzaji wa kumbukumbu na taarifa kwenye maktaba ya kongresi kati ya mwaka [[1960]] hadi miaka ya [[1970]]<ref>{{Citation|last=Schudel|first=Matt|title=Henriette D. Avram; Transformed Libraries|date=2006-04-28|url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2006/04/27/AR2006042702105.html|language=en-US|issn=0190-8286|access-date=2022-07-28}}</ref>.
== Marejeo ==
[[Jamii:Wahandisi wa Marekani]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1919]]
[[Jamii:waliofariki 2006]]
es8c2orzuocn2enwb9ezrnt6g6mjzec
Adelino wa Celles
0
153447
1236274
2022-07-28T09:37:19Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[File:Visé St. Martin 162.JPG|thumb|Mt. Adelino katika [[dirisha]] la [[kioo cha rangi]] huko huko Visé.]] '''Adelino wa Celles''' (pia: '''Hadelinus'''; alifariki [[690]] hivi<ref name=Goyau>[http://www.newadvent.org/cathen/10679a.htm Goyau, Georges. "Namur." The Catholic Encyclopedia] Vol. 10. New York: Robert Appleton Company, 1911. 3 December 2021</ref>) kwanza alifanya [[kazi]] [[ikulu]]<ref name=celles>[https://houyet.be/loisirs/culture/nos-villag...'
wikitext
text/x-wiki
[[File:Visé St. Martin 162.JPG|thumb|Mt. Adelino katika [[dirisha]] la [[kioo cha rangi]] huko huko Visé.]]
'''Adelino wa Celles''' (pia: '''Hadelinus'''; alifariki [[690]] hivi<ref name=Goyau>[http://www.newadvent.org/cathen/10679a.htm Goyau, Georges. "Namur." The Catholic Encyclopedia] Vol. 10. New York: Robert Appleton Company, 1911. 3 December 2021</ref>) kwanza alifanya [[kazi]] [[ikulu]]<ref name=celles>[https://houyet.be/loisirs/culture/nos-villages/celles/ "Celles", Bienvenue à Houyet]</ref> , halafu akawa [[mmonaki]], [[padri]], [[mmisionari]], [[mwanzilishi]] wa [[monasteri]] na hatimaye [[mkaapweke]]<ref>[https://catholicsaints.info/book-of-saints-hadelin/ Monks of Ramsgate. "Hadelin". ''Book of Saints''] 1921. CatholicSaints.Info. 1 September 2013 </ref>.
Alifanya kazi ya kueneza [[Injili]] hasa [[Ubelgiji]], akishirikiana na [[mwalimu]] wake, [[askofu]] [[Remakli]]<ref>[http://www.orthodoxengland.org.uk/saintsh.htm "Hadelin", Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome]</ref> .
Tangu kale ameheshimiwa na [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]]<ref>Baring-Gould, Sabine. "Hadelin", ''The Lives of the Saints'', Volume II, London, John C. Nimmo, 1897</ref>.
[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 7]]
[[Jamii:Waliofariki 690]]
[[Jamii:Wamonaki]]
[[Jamii:Wamisionari]]
[[Jamii:Mapadri]]
[[Jamii:watawa waanzilishi]]
[[Jamii:wakaapweke]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ubelgiji]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ufaransa]]
is8zfrzvdkw3l3eo895wtc08356eybu
Verburga wa Ely
0
153448
1236276
2022-07-28T09:40:50Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Werburga]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT[[Werburga]]
pvcjgyw7okgdlrml78d0ig5zfyrm3zz
Berlinda
0
153449
1236283
2022-07-28T09:58:58Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[File:Meerbeke glasraam Sint-Berlindis.JPG|thumb|Mt. Berlinda katika [[dirisha]] la [[kioo cha rangi]] huko huko Meerbeke.]] '''Berlinda''' (pia: '''Berlindis, Berlenda, Berelenda, Bellaude'''; alifariki [[702]]) alikuwa [[binti]] [[mtemi]] aliyepata kuwa [[mmonaki]] [[Wabenedikto|Mbenedikto]] na hatimaye [[mkaapweke]] akiishi [[mji|mjini]] [[Meerbeke]] (leo nchini [[Ubelgiji]]) kwa [[Ufukara wa hiari|ufukara]] na [[upendo]]. Tangu kale ameheshimiwa na [...'
wikitext
text/x-wiki
[[File:Meerbeke glasraam Sint-Berlindis.JPG|thumb|Mt. Berlinda katika [[dirisha]] la [[kioo cha rangi]] huko huko Meerbeke.]]
'''Berlinda''' (pia: '''Berlindis, Berlenda, Berelenda, Bellaude'''; alifariki [[702]]) alikuwa [[binti]] [[mtemi]] aliyepata kuwa [[mmonaki]] [[Wabenedikto|Mbenedikto]] na hatimaye [[mkaapweke]] akiishi [[mji|mjini]] [[Meerbeke]] (leo nchini [[Ubelgiji]]) kwa [[Ufukara wa hiari|ufukara]] na [[upendo]].
Tangu kale ameheshimiwa na [[Kanisa Katoliki|Wakatoliki]] na [[Waorthodoksi]] kama [[mtakatifu]].
[[Sikukuu]] yake ni [[tarehe]] [[3 Februari]]<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu wa Afrika]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
==Marejeo==
* Van Droogenbroeck, F. J., [https://www.academia.edu/4610345/ 'Paltsgraaf Wigerik van Lotharingen, inspiratiebron voor de legendarische graaf Witger in de Vita Gudilae'], ''Eigen Schoon en De Brabander'' 93 (2010) 113–136.
* Van Droogenbroeck, F. J., [https://www.academia.edu/4578359/ 'Hugo van Lobbes (1033-1053), auteur van de Vita Amalbergae viduae, Vita S. Reinildis en Vita S. Berlendis'], ''Eigen Schoon en De Brabander'' 94 (2011) 367–402.
==Viungo vya nje==
* [http://saints.sqpn.com/saint-berlindis-of-meerbeke/ Berlinda at Saints.SQPN.com]
{{mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa karne ya 7]]
[[Jamii:Waliofariki 702]]
[[Jamii:Wamonaki]]
[[Jamii:Wabenedikto]]
[[Jamii:wakaapweke]]
[[Jamii:Watakatifu wa Ubelgiji]]
l7fm8x3ecpq68y5me9ghhx3jq1w9l6i
Jamii:Waliofariki 702
14
153450
1236285
2022-07-28T09:59:49Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:waliofariki karne ya 8]] [[Jamii:702]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:waliofariki karne ya 8]]
[[Jamii:702]]
ah1mp610yzzrde9io26ri3ql1aultbk
Marc Auslander
0
153451
1236292
2022-07-28T10:43:07Z
Bs-Afrique
49732
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
'''Marc Auslander''' ni mwanasayansi wa kompyuta wa kutoka nchi ya Marekani aliyechangia kwenye kutengeneza PL/8 compiler. Alitumia maisha yote ya kazi kwenye kituo cha Thomas J. Watson cha utafiti na uchunguzi ya kampuni ya IBM iliyoko Yorktown Heights, New York.
Alipokea shahada ya sanaa ya Hisabati kutoka chuo kikuu cha Princeton mwaka1963. Alijiunga na IBM mwaka huo huo. Mwaka 1991 alitajwa kama mshirika wa IBM. Alistaafu mwaka 2004 lakini aliendelea na kujishughulishana kampuni,kama mnufaika wa ushirika na kampuni.<ref>https://researcher.watson.ibm.com/researcher/view.php?person=us-Marc_Auslander</ref><ref>{{Cite web|title=Mr. Marc Auslander|url=https://nae.edu/30194/Mr-Marc-Auslander|work=NAE Website|accessdate=2022-07-28}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]]
[[Jamii:Teknolojia]]
[[Jamii:Kompyuta]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
rqt3o8nus9ww395basiv72312uylyeo
Donna Auguste
0
153452
1236294
2022-07-28T11:18:09Z
Bs-Afrique
49732
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
'''Donna Auguste ('''amezaliwa mwaka1958) ni mfanyabiashara, mjasiriamali na mhisani kwa mambo ya jamii mwenye asili ya marekani na afrika. Akishirikiana na na mwenzake John Meier mkurugenzi mtendaji kuanzisha kampuni ya Freshwater Software kati ya mwaka 1996 mpaka 2000<ref>https://www.ncwit.org/profile/donna-auguste</ref>. Kabla ya kuanzisha Freshwater, alikuwa ni mhandisi katika kampuni ya kompyuta ya Apple alikuwa anasaidia na kusimamia uundaji wa kifaa cha usaidizi wa kidigitali cha Newton<ref>{{Cite web|title=She’s Fresh - Black Enterprise|url=https://archive.ph/iFHi5|work=archive.ph|date=2013-01-18|accessdate=2022-07-28}}</ref>.
== Marejeo ==
[[Jamii:Teknolojia]]
[[Jamii:Kompyuta]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1958]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]]
s8s3mybg14xviab7oev8k2paktiqcqt
Pep Guardiola
0
153453
1236295
2022-07-28T11:48:41Z
Brayson Mushi
52333
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Faili:Pep_2017_(cropped).jpg|right|thumb|214x214px|Pep Guardiola akiwa na Manchester City mnamo 2017]] '''Josep''' "'''Pep'''" '''Guardiola Sala''' (amezaliwa 18 [[Januari|January]] [[1971]] <ref>{{Cite web|title=Pep Guardiola|url=http://www.fcbayern.de/en/teams/first-team/pep-guardiola/index.php|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20140517124418/http://www.fcbayern.de/en/teams/first-team/pep-guardiola/index.php|archive-date=17 May 20...'
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Pep_2017_(cropped).jpg|right|thumb|214x214px|Pep Guardiola akiwa na Manchester City mnamo 2017]]
'''Josep''' "'''Pep'''" '''Guardiola Sala''' (amezaliwa 18 [[Januari|January]] [[1971]] <ref>{{Cite web|title=Pep Guardiola|url=http://www.fcbayern.de/en/teams/first-team/pep-guardiola/index.php|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20140517124418/http://www.fcbayern.de/en/teams/first-team/pep-guardiola/index.php|archive-date=17 May 2014|access-date=16 May 2014|publisher=fcbayern.de}}</ref>) ni [[meneja]] wa [[soka]] la kulipwa,Raia wa [[Hispania|Uhispania]] na mchezaji wa [[mpira wa miguu]] wa zamani, ambaye ni meneja wa sasa wa klabu ya Ligi ya Premia ya [[Manchester City]]. Anachukuliwa kuwa mmoja wa wasimamizi wakuu wa wakati wote <ref name="greatest1">{{Cite web|last=Mark|first=Lomas|date=5 August 2013|title=Greatest Managers, No. 18: Pep Guardiola|url=http://www.espn.com/soccer/news/story/_/id/1513648/pep-guardiola|access-date=29 December 2014|publisher=ESPNFC|archive-date=23 January 2018|archive-url=https://web.archive.org/web/20180123035535/http://www.espn.com/soccer/news/story/_/id/1513648/pep-guardiola|url-status=live}}</ref> na anashikilia rekodi za mechi nyingi mfululizo za ligi alizoshinda kwenye [[La Liga]] akiwa na klabu ya [[Barcelona F.C.]]<ref>{{Cite web|date=31 December 2017|title=Man City fail to match Bayern for longest winning run in Europe's top 5 leagues|url=http://www.espn.co.uk/football/club/manchester-city/382/blog/post/3311049/man-city-fail-to-match-bayern-for-longest-winning-run-in-europes-top-5-leagues|publisher=ESPN|access-date=4 January 2018|archive-date=3 January 2018|archive-url=https://web.archive.org/web/20180103164246/http://www.espn.co.uk/football/club/manchester-city/382/blog/post/3311049/man-city-fail-to-match-bayern-for-longest-winning-run-in-europes-top-5-leagues|url-status=live}}</ref>
Guardiola alikuwa [[Kiungo (michezo)|kiungo mkabaji]].Alitumia muda mwingi wa maisha yake akiwa na Barcelona,Pia alikuwa sehemu ya timu ya [[Johan Cruyff]] iliyoshinda kombe la kwanza la klabu bingwa Ulaya mwaka [[1992]] <ref>{{Cite web|title=Josep Guardiola – The Boy from Santpedor|url=http://www.spain-football.org/josep-guardiola.html|url-status=dead|archive-url=https://web.archive.org/web/20130110210922/http://www.spain-football.org/josep-guardiola.html|archive-date=10 January 2013|access-date=16 January 2013|publisher=spain-football.org}}</ref>. na kushinda makombe manne mfululizo katika ligi kuu ya Uhispania ([[1991]]-[[1994]]).Alikuwa nahodha wa timu kutoka mwaka [[1997]] hadi [[2001]] alipoondoka katika klabu hiyo.Guardiola aliwahi kucheza [[Brescia]] na [[Roma]] nchini [[Italia]], Al-Ahli ya [[Qatar]], na [[Dorados de Sinaloa]] ya [[Mexiko|Mexico]].Alicheza mara 47 akiwa kama nahodha wa timu ya taifa ya Uhispania , na alicheza kwenye [[Kombe la Dunia la FIFA]] la mwaka 1994, na vile vile kwenye UEFA Euro ya mwaka [[2000]].
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-cheza-mpira}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1971]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Hispania]]
o222jrg663v8sksr1wvs39g9027rqzx
Isaac L. Auerbach
0
153454
1236296
2022-07-28T11:55:51Z
Bs-Afrique
49732
Anzisha Makala
wikitext
text/x-wiki
'''Isaac L. Auerbach''' (Oktoba 9, [[1921]]- Disemba 24, [[1992]])<ref>{{Cite book|url=http://archive.org/details/whowaswhoinameri11marq|title=Who was who in America : with world notables|last=Marquis Who's Who|date=1996|publisher=Reed Elsevier|others=Internet Archive|isbn=978-0-8379-0225-8}}</ref> alikuwa miongoni wa wanzilishi na watetezi wa [[teknolojia]] za uchakataji wa kompyuta, anaeshikilia hati miliki 15, raisi mwanzilishi wa shirikisho la kimataifa la uchakataji wa taarifa. (1960-1965)<ref>{{Cite web|title=IT History Society|url=https://web.archive.org/web/20120403053341/http://ithistory.org/honor_roll/fame-detail.php?recordID=394|work=web.archive.org|date=2012-04-03|accessdate=2022-07-28}}</ref><ref>{{Cite web|title=The Day of the President|url=https://www.ifip.org/secretariat/Presidents.htm|work=www.ifip.org|accessdate=2022-07-28}}</ref>, mwanachama wa National Academy of Sciences, mtendaji kwenye Shirika la Burroughs na muundaji wa [[Tarakilishi|kompyuta]] za awali wa SPerry Univac. Shirikisho la kimataifa la uchakataji wa [[taarifa]] lilianzisha tuzo kwa jina lake.
== Marejeo ==
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]]
[[Jamii:Kompyuta]]
[[Jamii:Teknolojia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1921]]
filbdzwp4dqjokf3tpbc3anstxbgp8i