Wikipedia swwiki https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo MediaWiki 1.39.0-wmf.23 first-letter Media Maalum Majadiliano Mtumiaji Majadiliano ya mtumiaji Wikipedia Majadiliano ya Wikipedia Faili Majadiliano ya faili MediaWiki Majadiliano ya MediaWiki Kigezo Majadiliano ya kigezo Msaada Majadiliano ya msaada Jamii Majadiliano ya jamii Lango Majadiliano ya lango Wikichanzo Majadiliano ya Wikichanzo TimedText TimedText talk Module Module talk Gadget Gadget talk Gadget definition Gadget definition talk Wikipedia:Makala kwa ufutaji 4 2104 1241966 1240585 2022-08-12T09:43:14Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Jamii:Makala kwa ufutaji| ]] [[Jamii:Wikipedia]] <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> <small>Majadiliano ya awali yamehamishwa kwenye kurasa hizi: * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 1|Nyaraka 1]] (2006-2010) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 2|Nyaraka 2]] (2011-2013) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 3|Nyaraka 3]] (tangu 2014) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 4|Nyaraka 4]] (2017-18) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 5|Nyaraka 5]] (2019) * [[Wikipedia:Makala kwa ufutaji/Nyaraka 6|Nyaraka 6]] (2020- 21) :::<big>'''Utaratibu wa ufutaji'''</big>: Kama yeyote anaona makala haifai, ataweka msimbo wa '''<nowiki>{{futa}}</nowiki>''' juu ya makala na kutaja sababu zake :::* a) kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala na :::* b) chini kwenye ukurasa huu kwa kuanzisha sehemu mpya chini ya kichwa '''<nowiki>==[[JINA LA MAKALA INAYOTAJWA KWA UFUTAJI]]==</nowiki>'''. :::* Azimio la kufuta si la huyu aliyeileta, ataamua mwingine. Tusubiri siku kadhaa ili mtunga makala au wengine wanaweza kuitetea au kuboresha. Tusifute haraka mno ili tusikatishe moyo wachangiaji wenzetu. :::* Isipokuwa '''uharabu unaoeleweka moja kwa moja''' unaweza kufutwa mara moja. Wachangiaji wanaoleta uharabu kwa kusudi wanaweza kubanwa kwa muda fulani au milele na wakabidhi. Tende la kumbana linapaswa kuelezwa angalau kifupi; kama ni kwa muda pia kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika. </small> <big>{{font color|red|'''Ongeza michango chini ya mstari wa mwisho!'''}}</big> __TOC__ =Makala ambazo hazikuamuliwa katika miaka ya nyuma= ==[[Chocheeni Kuni]]??== Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:38, 7 Mei 2015 (UTC) ::Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' ==Makala zilizowahi kupata alama ya "futa" bila kuletwa hapa== <small>(zilipatikana wakati wa kukagua orodha ya "Viungo viungavyo ukurasa huu" kwa ukurasa wa "Kigezo:Futa", tarehe 18-03-2020)</small> # [[Alfagems Secondary School]] # [[Alien (kiumbe)]] # [[Amini Cishugi]] # [[Amini Cishugi]] # [[DJ LYTMAS]] # [[Emmaus Shule ya Biblia]] # [[JamiiForums]] # [[Kigezo:Ambox ‎ ]] '''IBAKI, inaonekana kwa sababu inataja "Delete" ndani yake''' # [[Kigezo:Ambox/hati ]] # [[Kisoli (ukoo)]] # [[Lango:Asia]] # [[Maneno Lusasi]] # [[Mbonea]] # [[Mtumiaji:AliceShine]] # [[Mtumiaji:Jabir Mking'imle]] # [[Mtumiaji:Mholanzi]] # [[Mtumiaji:Ramad Jumanne]] # [[Mtumiaji:Silverlombard]] # [[Mtumiaji:Tegel]] # [[Mtumiaji:Veracious/Draft]] # [[Nairobi fly]] # [[Orodha ya miji ya Kiswahili]] # [[Picha:Elizabeth Michael2016.jpg]] # [[Shinz Stanz]] # [[Shule za sekondari]] # [[Stopselcub]] # [[Tumaini Lenye Baraka]] # [[Ukaguzi wa masoko]] # [[Webico]] # [[Wikipedia:Istilahi za wiki/Kiingereza]] ==[[Fatma Juma Haji]]== Makala haifuati fomati, haina ushahidi wowote kuhusu umaarufu au ukweli wa habari, hakuan jamii wala interwiki. Isahihishwe katika wiki 1 au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:20, 1 Aprili 2020 (UTC) :Chanzo kimoja kimeongezwa, angalau tunajua yupo mwalimu kwenye barefoot college bila habari zaidi, lakini chanzo kingine hakielezi kitu. Habari karibu zote ni bila ushahidi, umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:22, 10 Aprili 2020 (UTC) ==Makala za [[mtumiaji:David rango]]== David ameleta makala kadhaa ambazo zote hazionyeshi vyanzo vyovyote, pia havilingani na masharti ya umbo. Hizo ni pamoja na [[Splitting Adam ‎]], [[Rags]], [[Betty in Newyork]], [[Secret Superstar]], [[Zig na Sharko]], [[Stitches]], [[School of Rock]], [[Starfalls]], [[Aidan Gallagher]], [[PAW Patrol]], [[Danger Force]], [[Nicky, Ricky, Dicky and Dawn]], [[Haunted Hathaways]], [[Transfomers: The Last Knight]], [[Zuchu]], [[Becky Lynch]], [[Sofia the first]], [[Rango (filamu, 2011)]], [[Big Time Rush]], [[Kung Fu Panda]], [[Power Rangers Ninja Steel]]. Sijapitilia kila moja lakini idadi kubwa niliyona haziwezi kubaki kama haziongezwi vyanzo na fomati kusahihishwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 15:15, 25 Oktoba 2020 (UTC) :Pia Pj masks. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:16, 3 Novemba 2020 (UTC) ːBado hakuna dalili ya kwamba atazifanyia marekebisho tusubiri muda kidogo labda. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' 08:59, 16 Novemba 2020 (UTC) ::: Nimejaribu kupitia baadhi ya makala, napendekezwa zifutwe, hazina umaarufu huku. '''[[Mtumiaji:Czeus25 Masele|Czeus25 Masele]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Czeus25 Masele|majadiliano]])''' 08:45, 2 Juni 2021 (UTC) ::::Ukiona vile, basi futa! '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 23:05, 6 Septemba 2021 (UTC) ==Michango ya [[mtumiaji:1z beat]] == [[World Wrestling Entertainment]], [[Air force one]], [[Ertugrul]], [[Kaan Urgancıoğlu]], [[Burak Özçivit]], [[Keith lee]] , :Hazina vyanzo, umbo si sanifu; mtungaji yeye yule ([[mtumiaji:1z beat]]); zisahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:14, 26 Oktoba 2020 (UTC) ==[[Roboroach]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe au kuboreshwa. Fomati haijafuatwa, haina vyanzo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 12:59 11 Novemba 2020 UTC ==[[David cross]] '''IMEFUTWA'''== Haina vyanzo vyovyote. Iboreshwe. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth]]''' 13:02 11 Novemba 2020 UTC ==[[Maandamano ya 2020 katika Marekani]] '''IMEFUTWA'''== Sioni maana ya makala. Maandamano ni jambo la kawaida katika nchi ya kidemokrasia. Makala haina chanzo chochote kuthibitisha chaguo la maanadamano yaliyoteua. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:45, 13 Desemba 2020 (UTC) ==[[Wachagga#Maoni_juu_ya_Wachagga]] == Sioni msingi kubaki na kifungu hiki. Hakuna ushahidi wowote, na kwa mkusanyiko wa maoni ambayo mchangiaji alibahatika kusikia, ni ndefu mno. Tunakosa habari za kimsingi kuhusu kundi hilo, lakini matini ndefu ya udaka kuhusu kundi hili. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:46, 15 Januari 2021 (UTC) :Nadhani ukurasa wote kwa ujumla una marejeo machache sana na unahitaji marekebisho kwenye baadhi ya sehemu. Kipengele kilichopendekezwa kufutwa kina taarifa ambazo zinaweza kua sahishsi ila kinahitaji marejeo. '''[[Mtumiaji:Aneth David (SLU)|Aneth David (SLU)]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Aneth David (SLU)|majadiliano]])''' 14:20, 2 Julai 2021 (UTC) ::Ukipenda kusahihisha, usahihishe. Menginevyo futa, '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 14:55, 2 Julai 2021 (UTC) ==[[Assassin's Creed Odyssey]] '''IMEFUTWA'''== Sehemu ya pili haieleweki. Tafsiri ya kompyuta? Hakuna vyanzo vyovyote. Isiporekibishwa haraka, iende. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:27, 8 Machi 2021 (UTC) :Ifutwe, Haifa Bora na mpangilio abaya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:Stanley Steven]] '''IMEFUTWA'''== Ni ukurasa wa mtumiaji alipoweka matangazo ya kibiashara. Nimemwonya tayari, naipeleka hapa nisisahau onyo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:48, 13 Machi 2021 (UTC) ==[[Sheria ya Mkutano wa Brussels ya 1890]] '''IMEFUTWA'''== Makala inagusa mada muhimu katika historia lakini lugha ni mbaya mno. Nahisi ni tafsiri ya kompyuta ambayo haikuangaliwa tena. Haiwezi kubaki. Ama iandikwe upya kabisa , na kwa lemma tofaut (na sahihi), au ifutwe. Tena sijui amechukua wapi, kichwa cha Kiingereza kilikuwa kitu kama "Brussels Conference Act"; "conference act" ni maazimio ya mkutano, si "sheria". '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:14, 10 Julai 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu, labda kma mwandishi angetaka kuboresha. Lugha na mpangilio mbaya unaweza kupotosha '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:24, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Peju Layiwola]]== Sehemu za matini hazieleweki. Ni tafsiri mbaya ya kompyuta. Itengenezwe kabisa au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:56, 12 Julai 2021 (UTC) ---Naomba kuipitia na kuitengeneza. :Kuna mto aliomba kuipitia na kutengeneza ila situi nani. Sina Hakika kama nilichoona sasa ni maboresho au la. Inaonekana sio mbaya sana ilivyo sasa japo inahitaji marekebisho zaidi. :Kama inabaki alama ya futa inaweza kutolewa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ulaya na Afrika]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri ya kompyuta mbovu sana. Labda ieleweke kwanza. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 12:14, 12 Julai 2021 (UTC) :Ifutwe, kwanza haieleweki hata inahusu nini '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:27, 13 Januari 2022 (UTC) ==Kurasa juu ya VVU/UKIMWI katika nchi za Afrika== Zisiporekebishwa, naona zifutwe zote. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:13, 4 Agosti 2021 (UTC) :Bado Hazina mpangilio mzuri, zinahitaji marekebsiho au kufutwa '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:29, 13 Januari 2022 (UTC) ===[[VVU / UKIMWI nchini Ethiopia]] '''IMEFUTWA'''=== Tafsiri mbaya ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:48, 11 Agosti 2021 (UTC) ===[[UKIMWI nchini Uganda]] '''IMEFUTWA'''=== Makala jinsi ilivyo ni tokeo la google translate. Sentensi kadhaa za Kiswahili ni kinyume cha maana ya kiasili ya Kiingereza. Pamoja na hayo makala ya enwiki haileti picha halisi ya hali ya Ukimwi nchini Uganda. Ama iandikwe upya au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:59, 25 Agosti 2021 (UTC) ==[[Marimar]], [[Mi corazón es tuyo]], [[María la del Barrio]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hizo ziliundwa na mtumiaji mwenye matatizo ya lugha, sehemu kubwa ya matini haieleweki, hakuna vyanzo. Sioni maana kutumia muda kusahihisha makala isiyo na maana kwa wasomaji wetu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 23 Septemba 2021 (UTC) :Hizi zifutwe moja kwa moja. Kuboresha ni sawa na kuanza upya '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:30, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Susan Headley]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, sehemu iliyotafsiriwa haina habari inayoonyehsa umuhimu wowote, inaonyesha tafsiri ya kompyuta. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Iwapo mwandishi aliyeianzisha hatafanya mabadiliko, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Albert Gonzalez]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Kama hakuna anayetaka kuiandika upya, iende tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:18, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na were Kipala, ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:32, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Mike Gogulski]] '''IMEFUTWA'''== Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sehemu iliyotafsiriwa haionyesha umaarufu wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:20, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Nakubaliana na Kipala, makala ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[William Genovese]] '''IMEFUTWA''' == Ifutwe. Chanzo ni hasa enwiki kisichokubalika, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Umaarufu haueleweki. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:24, 5 Oktoba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:22, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Eddie Davidson]], [[Jay Cohen]], [[Max Butler]], [[Vitaly Borker]] '''ZIMEFUTWA''' == Makala zote nne zinatumia enwiki kama chanzo ambacho hakikubaliki, maudhui kuna tafsiri ya kompyuta mbaya sana. Sioni umaarufu kwa wote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:32, 5 Oktoba 2021 (UTC) ==[[Ryutaro Araga]] '''IMEFUTWA''' == Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Iboreshwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:40, 3 Desemba 2021 (UTC) :Napendekeza ifutwe, labda kama mwandishi atataka kuboresha. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:21, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Joby Iblado]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati wala haikupangwa katika jamii. Mtu mwenyewe ni maarufu kweli? Iboreshwe au kufutwa. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:32, 5 Desemba 2021 (UTC) :Napendiekeza ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Uongozi baada ya mtume]] '''IMEFUTWA''' == Tafsiri ya kompyuta ya kutetea madhehebu fulani dhidi ya mengine. Irekebishwe au ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 14:27, 16 Desemba 2021 (UTC) :Hie ifutwe tu. Ni makala kubwa ila haini mpangilio na amefanya tafsiri ya moja kwa moja '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:20, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Khaby Lame]]== Tafsiri ya kompyuta. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:42, 23 Desemba 2021 (UTC) :Inawezekana kurekebishwa ikishindikana ndio ifutwe '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:17, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Misingi ya Dini/Usul-din]]== Baada ya kuhariri kiasi nimetambua makala ni tafsiri ya sentensi kwa sentensi kutoka https://en.wikishia.net/view/Usul_al-Din. Sina uhakika kama hii inaruhusiwa tukizingatia kanuni za [[Wikipedia:Hakimiliki]]. Pamoja na hayo si nzuri tukichukua moja kwa moja lugha ya kidhehebu katika makala za kidini. Nilipoanza kuhriri niliona tayari kwamba makala hii ilisema mara kwa ma "Uislamu" ambako ni lazima kusema "Shia", kwa sababu mambo haiwezekani kudai vile kwa Waislamu wote, na kwa jumla Washia ni idadi ndogo zaidi duniani na Afrika ya Mashariki. Vilevile nilishangaa kidogo kuona walimu (maayatollah) wa dini ambao wanatajwa tu bila kuwaeleza (kama wote wangewajua), kumbe asili ni tovuti ya Kishia. Nataka kumpa mchangiaji "Pole". Ningependekeza atumie makala za en-wikipedia (ziko nyingi kuhusu Uislamu) ambako yuko huru kupanusha sehemu juu ya mafundisho ya Kishia. Ila tu hata kama Mkatoliki anachangia kuhusu mafundudisho ya kikatoliki, si sawa kutumia lugha inayodokeza mafundisho hayo ni "ya kikristo" kama madhehebu mengine yanatofautiana; ni sawa kabisa kuionyesha kama mafundisho ya kikatoliki. Hivyo ndivyo jinsi tunavyotakiwa kuandika kuhusu dini nyingine pia, hapa tukiweza kutambua tofauti zilizopo. Naomba majadiliano hapa na kwenye ukurasa wa ufutaji. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:49, 23 Desemba 2021 (UTC) :Ifutwe kwa sababu inaweza kupoteza wasomaji wasiojua uislam au hata kuleta mtafaruku '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:16, 13 Januari 2022 (UTC) ==[[Ndeiru]]== Makala haifuati fomati, haina ushuhuda wa kuwepo kwa msamiati huu. Kama upo uongezwe, kama la tufute? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:58, 27 Desemba 2021 (UTC) :Mimi sio mtaalamu wa lugha hivyo nasita sana kuchangia. Kama msamiati huu haujarasimishwa ni vizuri kufuta kwa sasa. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:14, 13 Januari 2022 (UTC) =Makala zilizoletwa hapa mwaka 2022= ==[[Tanzania Tech]] '''IMEFUTWA'''== Nina mashaka kuhusu mada. Kwanza [[lemma]] "Tanzania Tech" ni tofauti na link inayofunguliwa "Tech Platform". Halafu naona dalili kwamba makala ni jaribio la mhariri kujitangaza (linganisha [[mtumiaji:Tech Platform]] ). Sioni dalili ya [[wikipedia:Umaarufu|umaarufu]] (link ya pekee inayodai tovuti ilijadiliwa imekufa, na inaleta IP ya mwenyewe). Halafu links zinaelekea tovuti mbili tofauti: https://www.tanzaniatech.one/ na https://techplatform6.blogspot.com/. Ile ya pili inajaa nafasi za kubofya "play" na "download" bila kuonyesha inahusu nini. Hii ni hatari. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:06, 11 Januari 2022 (UTC) :Napendekeza makala hii ifutwe. Haina umaarufu wala vyanzo '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 07:13, 13 Januari 2022 (UTC) ::Basi futa. Nimepeleka mimi, ukikubali wewe - futa!° '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:33, 13 Januari 2022 (UTC) :Nadhani hii ilibadilishwa kutoka makala halisi "Tanzania Tech" kuwa makala ya "Tech Platform" ambayo haitambuliki. Nadhani kuna haja ya kutoa nafasi kwa makala kuongezewa vyanzo ili kuendelea kuwepo kwani imekwepo tokea mwaka 2016. '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 17:36, 13 Januari 2022 (UTC) ::Ndugu unaongeza wasiwasi. Makala haikuwepo tangu 2016 jinsi unavyosema; wewe ulianzisha 08:01, 2 Juni 2019. Ila matini inasema tovuti ilianzishwa 2020. Halafu uliingiza sasa habari kuwa "Tanzania Tech has raised a total of $1B in funding over 1 round." Hii inamaanisha nini? Bilioni USD moja???? Haiwezekani. Nanusu fake nzito. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:59, 14 Januari 2022 (UTC) :::Ok '''[[Mtumiaji:Amanijoseph87|Amanijoseph87]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Amanijoseph87|majadiliano]])''' 11:28, 19 Januari 2022 (UTC) ==[[Naogopa]]== Ni sawa na alivyoandika [[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] tarehe 7 Mei 2015 kuhusu [[Chocheeni Kuni]]: "Sina uhakika juu ya hali ya hakimiliki katika Tanzania kuhusu matini ya nyimbo. Nashauri mtu ajaribu kupata kibali chake, au kutoa maelezo hapo". Halafu: "Tuhamishe wikichanzo? Bado sijui mambo ya hakimiliki". --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:21, 1 Februari 2022 (UTC) ==[[Chasasa]] '''IMEREKEBISHWA'''== Nina wasiwasi kuhusu makala hiyo napendekeza ifutwe. Maana sijaona orodha ya kata au vijiji penye majina yale yanayotajwa humo. Naona shule ya sekondari ya Chasasa, hakuna nyingine. Pamoja na Kiswahili kibaya na tahajia yenye makosa mengi , tufute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 19:44, 3 Februari 2022 (UTC) :Mji huo upo: [https://www.tripmondo.com/tanzania/pemba-north-region/wete-district/chasasa/]. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:49, 4 Februari 2022 (UTC) ==[[Laverne cox]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbovu, vyanzo visivyotakiwa. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:59, 10 Februari 2022 (UTC) Binafsi naona ifutwe tuu kwasababu huyu mwenzetu amekwisha kupewa maonyo tangu hapo awali na hajataka kutafuta msaada wa kujifunza kuandika na kuhalili makala, nimechungulia jinsi ulivokua unamkumbusha lakina bado hajatekeleza yale aliyo ambiwa. -- '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[ Captain Underpants: The First Epic Movie]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeza muda wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Spider-Man: Across the Spider-Verse (Part Two)]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri mbaya, haieleweki, ifutwe au mtu awekeze wakati wa kuboresha. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Majadiliano:Spider-Man (filamu)]] '''IMEFUTWA'''== Ni dhahiri tafsiri ya kompyuta iliyosafishwa kiasi tu. Makosa yanaobaki ( "kijana mwenye akili timamu" , kuaha Kiingereza kisichotafsiriwa) yanahitaji kusafishwa tena, au makala kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:13, 16 Februari 2022 (UTC) ==[[Ukomavu wa kijusi]] '''IMEFUTWA'''== Makala haina maudhui, haina fomati wala vyanzo. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 11:29, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Purificación Angue Ondo]] '''IMEFUTWA'''== Haieleweki, sioni sababu ya kuwa na makala. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 17 Februari 2022 (UTC) ==[[Kibengali (Bangla)‎‎]] '''IMEELEKEZWA UPYA'''== Makala haieleweki, naona kunahitaji maboresho zaidi, lakini pia mwanzo wa makala hiyo na makala ya Kiingereza bado kunaonekana kuna utofauti, Pia naona Kuna haja ya kuwa na Kigezo cha Makala zisizoeleweka, huenda kuna watumiaji wasio wazuri wa lugha ya Kiswahili wanaofanya tafsiri'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 17:26, 21 Machi 2022 (UTC) :Nimeelekeza ukurasa kwenda [[Kibengali]]. Siku hizi wengi wanaandika tena makala zilizopo tayari. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 07:38, 22 Machi 2022 (UTC) ==[[Siasa za Kenya]] '''IMEFUTWA'''== Makala ni kopi kutoka [https://www.bbc.com/swahili/habari-60747793 BBC]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:01, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Mtandao wa matangazo]] '''IMEFUTWA'''== Makala haifuati fomati, haina vyanzo, kwa jumla haieleweki. Sijakuta kampuni yenye jina kama lemma. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:16, 3 Aprili 2022 (UTC) ==[[Rekodi rasmi za dunia]] '''IMEFUTWA'''== Matini ni google translate. Anayependa aokoe, menginevyo ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:43, 6 Aprili 2022 (UTC) ==[[Kuuawa kwa Javier Ambler]] '''IMEFUTWA'''== Sioni sababu ya kuwa na makala hii. Ni kifupi kiasi kwamba haieleweki historia ya tukio ilikuwaje. Kuna kasoro katika umbo la makala. Ama iboreshwe na kupanuliwa sa, au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:01, 18 Aprili 2022 (UTC) ==[[Engelbert Pigal]] '''IMESAHIHISHWA'''== Matini ni google translate 1:1. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:56, 6 Mei 2022 (UTC) ==[[Haki kwa mazingira yenye afya]] '''IMEFUTWA'''== #. Makala haina chanzo kinachoweza kukubaliwa #. Makala ni fupi mno haina kitu nje ya ufafanuzi mfupi ambao hatuhitaji kwa sababu #. makala [[Haki ya kuwa na mazingira salama]] iko tayari. Ilhali makala hii hapa haina habari zaidi, ifutwe tu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 22:03, 16 Mei 2022 (UTC) ==[[Mtumiaji:M Nex Nex I]]== Si kujitangaza? --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 13:50, 31 Mei 2022 (UTC) ::Tusikie wengine pia. Anajitangaza , lakini jinsi ilivyo sasa naona iko chini ya kiwango cha tangazo la kibiashara. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:10, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Fesikh]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:30, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Echicha]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:36, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Aframomum corrorima]]== Tafsiri ya google 1:1, enwiki kama chanzo Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:44, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Gari ya kulowekwa]]== Tafsiri ya google 1:1 Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:49, 13 Juni 2022 (UTC) '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[Chikanda]] '''IMEFUTWA'''== Makala imeundwa kwa kutumia google translate 1:1 pamoja na makosa. Isahihishwe au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 20:07, 13 Juni 2022 (UTC) '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[Namibian cuisine]] '''IMEFUTWA'''== Hii ni google translate kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Namibian_cuisine, Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[Koeksister]] IMEFUTWA== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Koeksister. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[Samp]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Samp. Isahihishwe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[Kube Cake]] '''IMEFUTWA'''== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Kube_Cake. Isahihishe kabisa au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) .. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ==[[Qustul]]== Tafsiri ya google kutoka https://en.wikipedia.org/wiki/Qustul iliyofupishwa na iliyosahihishwa kidogo, lakini muundo wa sentensi si Kiswahili. Isahihishe kabisa au kufutwa.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Utalii nchini Rwanda]]== Kama juu. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:07, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[Maalum:Michango/Brian_whizzy]]== Naona makala nyingine za mtumiaji huo, sina muda sasa kupitilia zote. Ninahisi alitumia kote google translate. Zinazobaki ni [[Franco na Afro Musica]], [[Ngoma ya Sakara ]], [[Setapa ]], [[Casper Beatz]], [[Momo Wandel Soumah]], [[Laba Sosseh]], [[Maud Meyer]] na [[Utalii nchini Somalia]]. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 21:14, 13 Juni 2022 (UTC) ==[[CLUB PLAYERS]], [[CLUB OFFICIALS]], [[Bahari United Profile]] '''ZIMEFUTWA'''== Makala hazilingani hata kidogo na fomati na maudhui ya kamusi elezo. Zifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 10:14, 20 Juni 2022 (UTC) ==[[Panishee Mdudu]] '''IMEREKEBISHWA; IBAKI'''== Huyo jamaa kwanza alijitungia ukurasa wake katika kamusi elezo, halafu ulipofutwa kwa sababu alitaka tu kujinadi alimuagiza mwenzake autunge tena kwa niaba yake. Sioni umaarufu wake, wala hamna vyanzo. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 06:33, 7 Julai 2022 (UTC) :Hapana Sioni sidhani Kama jamaa kawatuma watu pengine mchapishaji ataweka vyanzo, Mimi binafsi namtambua ni msanii kutoka Tanzania na anafahamika Link ya Makala iliyochapishwa na Mtandao maarufu wa muziki na burudani nchini Kenya Panishee mdudu au PANISHIT kwenye chart za muziki uliopakuliwa zaidi https://www.ghafla.com/these-are-the-top-ten-most-downloaded-songs-in-kenya/ Kuhusu Panishee Mdudu rejea pia kwenye mitandao yake ya jamii na kazi zake za kisanaa zinavyokubalika na watu wengi https://www.instagram.com/accounts/login/?next=/panisheemdudu/ sidhani Kama alichapisha mwenyewe kijinadi Link hii nyingine ni kutoka kwenye website kubwa Tanzania https://millardayo.com/rttn/ kuhusu habari zake na kundi lake Rotten Blood PANISHIT alifahamika zaidi baada ya kufanya wimbo aliomshirikisha Nakaay Sumari , pia alikuwa karibu na mkongwe wa hip hop , Nash Mc Hapana ukurasa huu ni halali , Mimi nipo Tanzania ambapo msanii huyu anajulikana kwenye jamii , rejea kazi zake zilizopo mtandaoni ,Vyanzo Vimeongezwa na vinazidi kuongezeka --'''[[Mtumiaji:Hip hop Sana Society|Hip Hop Sana Society]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 11:24, 7 Julai 2022 (UTC) ::Naona inaweza kubaki. Hata kama ni kweli alitunga mwenyewe awali, hata hivyo ni mwimbaji halisi. Nimeondoa sehemu za matini anapojisifu na kusimulia habari za maisha zisizo na shuhuda wowote. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:21, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Justin Yav Sony]] '''IMEFUTWA'''== Hakuna dalili za [[wikipedia:umaarufu]] wowote, hakuna vyanzo, Kiswahili kinajaa makosa. Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 06:11, 19 Julai 2022 (UTC) ==[[Malengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifa]]== Makala haina vyanzo wala ushuhuda; maudhui ya maana (ikiwa na vyanzo) yanaweza kuingia katika makala ya Kiswahili au ISasa ya lugha Tanzania. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 18:54, 20 Julai 2022 (UTC) ==[[Jinsi ya kuwekeza katika sarafu ya crypto mnamo 2022]] '''IMEFUTWA'''== Makala hailingani na masharti ya kamusi elezo. #inataja habari za pesa ya crypto kama "faida" tu, hakuna majadiliano kuhusu hasara. Makala haifuati [[Wikipedia:Msimamo wa kutopendelea upande]]. # inaelekeza kwenye ukurasa wa kibiashara # haina vyanzo Ifutwe. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:12, 21 Julai 2022 (UTC) ==[[Siku ya kilimo na maendeleo vijijini]]== Sioni maana ya makala hiyo; tukio halipo tena, liliadhimishwa kati ya wafanyakazi wa shirika chache tu, makala haieleweki vizuri. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 07:28, 21 Julai 2022 (UTC) ==[[Wanawake wa Tanzania]] '''IMEBORESHWA'''== Makala haina habari halisi kuhusu lemma yake. Ingawa lemma inafaa kupata makala kubwa, maudhui hii haisaidii kitu. Inaonekana mchangiaji alianza kutafsiri maneno ya kwanza ya makala ya Kiingereza (ambayo ni dhaifu) halafu alichoka. Heri tuifute. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:15, 21 Julai 2022 (UTC) ==[[Kundi la Algoa]]== Ni tafsiri ya kompyuta iliyosahihishwa kidogo lakini bado haieleweki.'''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:27, 21 Julai 2022 (UTC) ==[[Peta Teanet]] '''IMEFUTWA'''== Makala inatumia lugha ambayo si sanifu; hakuna chanzo; hata hakuna data kuhusu mhusika hivyo napata wasiwasi kama makala inalingana na [[Wikipedia:umaarufu]]. Ama isahihishwe sana au kufutwa. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 12:08, 28 Julai 2022 (UTC) ==[[2012 Bavet risasi]] '''IMEFUTWA'''== Makala ni hafifu na ina chanzo kimoja tu. Sioni pia kama ni mada inayostahili kuwepo kwenye Wikipedia. Iboreshwe au ifutwe. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC) ==[[Risasi ya Danny Hansford]]== Makala ifutwe au iboreshwe, ina chanzo kimoja tu ambacho ni ukurasa mwingine wa Wikipedia. '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:21, 5 Agosti 2022 (UTC) ==[[Toy bunduki]] '''IMEBORESHWA'''== Makala ifutwe au iboreshwe, haina chanzo hata kimoja na sidhani kama ina kigezo cha kua na ukurasa wake wa Wikipedia '''[[Mtumiaji:Asterlegorch367|Asterlegorch367]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Asterlegorch367|majadiliano]])''' 10:28, 5 Agosti 2022 (UTC) ==[[Pape sakho uosmane]] '''IMEFUTWA'''== Makala ni fupi mno, na pia haina vyanzo vyovyote '''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 19:59, 7 Agosti 2022 (UTC) ==[[Pamoko]]== Ni chama cha mashoga kisichojulikana. Hakuna vyanzo. Ifutwe. --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:43, 12 Agosti 2022 (UTC) remh1rt3wnn0bh5s32hs8btohxgaitz Kilwa Kivinje 0 2379 1241996 1179657 2022-08-12T10:13:51Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki <sup>Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama [[Kilwa]]</sup> {{Infobox Settlement |jina_rasmi = Kilwa Kivinje |picha_ya_satelite = |settlement_type = Jiji |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[:Jamii:Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |subdivision_name1 = [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] |subdivision_type2 = [[Wilaya]] |subdivision_name2 = [[Wilaya ya Kilwa|Kilwa]] |wakazi_kwa_ujumla = |website = }} [[File:Kilwa Kivinje.jpg|Kilwa_Kivinje|thumb|Muonekano wa Boma la Ujerumani huko Kilwa karne ya 19]] '''Kilwa Kivinje''' ni mji mdogo katika [[Wilaya ya Kilwa]] ufukoni wa [[Bahari Hindi]]. Kiutawala ni sehemu ya kata ya [[Kivinje Singino]]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, mji ulilikuwa na wakazi wapatao 15,061. [[Msimbo wa posta]] ni 65402. ==Historia== Wakati wa utawala wa [[Zanzibar]] ilikuwa makao ya [[liwali]] ya [[Sultani]] kwa ajili ya pwani la kusini la Tanganyika ikichukua nafasi ya [[Kilwa Kisiwani]] kama bandari muhimu katika sehemu hii ya pwani la kusini. Kivinje ilikuwa lengo la misafara ya watumwa katika kusini ya Tanzania. the mainland port of Kilwa Kivinje supplanted Kisiwani as the terminus of the southern slave caravan. Bandari yake ya mchanga ilifaa kwa maboti madogo ya ubao waliobeba watumwa Zanzibar. Kuna makadirio ya kwamba watumwa 20,000 walipita Kivinje kila mwaka.<ref>[https://www.expertafrica.com/tanzania/kilwa Kuhusu Kilwa pamoja na Kivinje], kwenye tovuti ya expertafrica.com, ilitazamiwa Juni 2016</ref> Mnamo mwaka 1850 Kivinje ilikuwa mji wa wakazi 12-15,000 pamoja na wanfanyabiashara wenye asili ya Uhindini. Baada ya Sultani wa zanzibar kupiga biashara ya watumwa marufuku Kivinje ilijulikana kwa kuendelea na biashara hii kwa siri. Zanzibar ilimkamata sulatani wa mwisho wa Kivinje na kumtuma nje ya mji.<ref>[http://www.mpingoconservation.org/community-forestry/where-we-work/kilwa/ Kilwa District - History] {{Wayback|url=http://www.mpingoconservation.org/community-forestry/where-we-work/kilwa/ |date=20160808063731 }} kwenye tovuti ya Mpingo Conservation and Development Initiative, ilitazamiwa Juni 2016</ref> Ilikuwa makao makuu ya wilaya tangu zamani ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani|ukoloni wa Kijerumani]]. Wakati wa [[vita ya Abushiri]] iliona mapigano dhidi ya Wajerumani na wawakilishi wa [[Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki]] waliuawa tar. [[22 Septemba]] [[1888]]. Mei 1890 Wajerumani walirudi chini ya [[meja]] [[Hermann von Wissmann]] wakateka mji bila upinzani. Wakati wa [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] Kilwa Kivinje ilikuwa makao makuu ya mkoa wa nane iliyoenea kati ya Rufiji na Lindi. Utawala wa Kijerumani kilikwisha tar. 7 Septemba 1916 siku ambako Wajerumani waliobaki mjini walijisalimisha mbele ya kikosi cha wanamaji Waingereza. Mji uliendelea kuwa makao makuu ya wilaya chini ya Waingereza. ==Hali ya mji leo== Tangu kuondoka kwa makao makuu ya wilaya mji umerudi nyuma. Nyumba za ghorofa za wafanyabiashara hazitumiki tena zimeanza kuporomoka. Boma la Kale la Wajerumani bado inatumika. Hospitali ya wilaya imebaki Kilwa Kivinje. Tarafa ina wakazi 13,374 (2002). Bandari ndogo inafaa jahazi tu . ==Tovuti za Nje== *[http://www.zum.de/psm/rta/doa12.php Taarifa ya serikali ya Ujerumani juu ya uasi mjini Kilwa (1888)] *[http://boma-kalender.de/10.html Picha za kilwa Kivinje wakati wa Wajerumani], pamoja na Boma (Kaiserliches Bezirksamt), Boma na Hospitali (Gruppe von Menschen vor der Boma und dem Hospital von Kilwa-Kivinje), Kikosi cha askari(Station Kilwa), Posta (Kais. Post, Akazienstrasse), Nyumba ya wanfanyabiashara de Souza (Haus der Firma de Souza jr. Dias & Co;) *[http://www.lonelyplanet.com/tanzania/kilwa-kivinje/introduction Kivinje kwenye Lonely Planet]. ilitazamiwa Juni 2016 ==Marejeo== {{marejeo}} {{Kata za Wilaya ya Kilwa}} {{mbegu-jio-lindi}} [[Jamii:Wilaya ya Kilwa]] [[Jamii:Kata za Mkoa wa Lindi]] [[Jamii:Miji ya Tanzania]] [[Jamii:Waswahili]] o4763nj3hcg0kk3achjfqj2376sdui8 1242000 1241996 2022-08-12T10:16:53Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki <sup>Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama [[Kilwa]]</sup> {{Infobox Settlement |jina_rasmi = Kilwa Kivinje |picha_ya_satelite = |settlement_type = Jiji |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[:Jamii:Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |subdivision_name1 = [[Mkoa wa Lindi|Lindi]] |subdivision_type2 = [[Wilaya]] |subdivision_name2 = [[Wilaya ya Kilwa|Kilwa]] |wakazi_kwa_ujumla = |website = }} [[File:Kilwa Kivinje.jpg|Kilwa_Kivinje|thumb|Muonekano wa Boma la Ujerumani huko Kilwa karne ya 19]] '''Kilwa Kivinje''' ni mji mdogo katika [[Wilaya ya Kilwa]] ufukoni wa [[Bahari Hindi]]. Kiutawala ni sehemu ya kata ya [[Kivinje Singino]]. Wakati wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa 2012, mji ulilikuwa na wakazi wapatao 15,061. [[Msimbo wa posta]] ni 65402. ==Historia== Wakati wa utawala wa [[Zanzibar]] ilikuwa makao ya [[liwali]] ya [[Sultani]] kwa ajili ya pwani la kusini la Tanganyika ikichukua nafasi ya [[Kilwa Kisiwani]] kama bandari muhimu katika sehemu hii ya pwani la kusini. Kivinje ilikuwa lengo la misafara ya watumwa katika kusini ya Tanzania. the mainland port of Kilwa Kivinje supplanted Kisiwani as the terminus of the southern slave caravan. Bandari yake ya mchanga ilifaa kwa maboti madogo ya ubao waliobeba watumwa Zanzibar. Kuna makadirio ya kwamba watumwa 20,000 walipita Kivinje kila mwaka.<ref>[https://www.expertafrica.com/tanzania/kilwa Kuhusu Kilwa pamoja na Kivinje], kwenye tovuti ya expertafrica.com, ilitazamiwa Juni 2016</ref> Mnamo mwaka 1850 Kivinje ilikuwa mji wa wakazi 12-15,000 pamoja na wanfanyabiashara wenye asili ya Uhindini. Baada ya Sultani wa zanzibar kupiga biashara ya watumwa marufuku Kivinje ilijulikana kwa kuendelea na biashara hii kwa siri. Zanzibar ilimkamata sulatani wa mwisho wa Kivinje na kumtuma nje ya mji.<ref>[http://www.mpingoconservation.org/community-forestry/where-we-work/kilwa/ Kilwa District - History] {{Wayback|url=http://www.mpingoconservation.org/community-forestry/where-we-work/kilwa/ |date=20160808063731 }} kwenye tovuti ya Mpingo Conservation and Development Initiative, ilitazamiwa Juni 2016</ref> Ilikuwa makao makuu ya wilaya tangu zamani ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani|ukoloni wa Kijerumani]]. Wakati wa [[vita ya Abushiri]] iliona mapigano dhidi ya Wajerumani na wawakilishi wa [[Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki]] waliuawa tar. [[22 Septemba]] [[1888]]. Mei 1890 Wajerumani walirudi chini ya [[meja]] [[Hermann von Wissmann]] wakateka mji bila upinzani. Wakati wa [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] Kilwa Kivinje ilikuwa makao makuu ya mkoa wa nane iliyoenea kati ya Rufiji na Lindi. Utawala wa Kijerumani kilikwisha tar. 7 Septemba 1916 siku ambako Wajerumani waliobaki mjini walijisalimisha mbele ya kikosi cha wanamaji Waingereza. Mji uliendelea kuwa makao makuu ya wilaya chini ya Waingereza. ==Hali ya mji leo== Tangu kuondoka kwa makao makuu ya wilaya mji umerudi nyuma. Nyumba za ghorofa za wafanyabiashara hazitumiki tena zimeanza kuporomoka. Boma la Kale la Wajerumani bado linatumika. Hospitali ya wilaya imebaki Kilwa Kivinje. Bandari ndogo inafaa kwa jahazi tu. Eneo la kihistoria lina [[Gofu|magofu]] ya majengo ya Waswahili ya enzi za kati na baadhi ya majengo ya kiswahili yaliyosalia kutoka mwishoni mwa [[karne ya 19]]. <ref>{{Cite journal|last=Chittick|first=H. Neville|date=1969,01,01|title=The early history of Kilwa Kivinje|url=https://jstor.org/stable/al.ch.document.sip200044|language=English}}</ref> Makazi haya yanachukuliwa kama kimbilio la wenyeji wa awali kutoka Kilwa Kisiwani ambao walikuwa wakimbizi kutoka kwa [[Vasco da Gama]] ambae alikuwa akiwafukuza mji huo mnamo 1505 na pia kuwachukua kama [[wakimbizi]] waliokimbia maharamia wa [[Madagaska]] mnamo 1822. <ref>https://journals.udsm.ac.tz/index.php/sap/article/viewFile/2758/2806</ref> ==Tovuti za Nje== *[http://www.zum.de/psm/rta/doa12.php Taarifa ya serikali ya Ujerumani juu ya uasi mjini Kilwa (1888)] *[http://boma-kalender.de/10.html Picha za kilwa Kivinje wakati wa Wajerumani], pamoja na Boma (Kaiserliches Bezirksamt), Boma na Hospitali (Gruppe von Menschen vor der Boma und dem Hospital von Kilwa-Kivinje), Kikosi cha askari(Station Kilwa), Posta (Kais. Post, Akazienstrasse), Nyumba ya wanfanyabiashara de Souza (Haus der Firma de Souza jr. Dias & Co;) *[http://www.lonelyplanet.com/tanzania/kilwa-kivinje/introduction Kivinje kwenye Lonely Planet]. ilitazamiwa Juni 2016 ==Marejeo== {{marejeo}} {{Kata za Wilaya ya Kilwa}} {{mbegu-jio-lindi}} [[Jamii:Wilaya ya Kilwa]] [[Jamii:Kata za Mkoa wa Lindi]] [[Jamii:Miji ya Tanzania]] [[Jamii:Waswahili]] 3odcfk6dkuu42hy3ju979qdnc7nge4s Namibia 0 2762 1241860 1228638 2022-08-11T12:20:47Z 2400:ADC1:10C:C000:7050:614E:FE85:2FE7 Reference added wikitext text/x-wiki {{Infobox country |native_name = Republic of Namibia <br /> ''Jamhuri ya Namibia'' |common_name =Namibia |image_flag =Flag of Namibia.svg |image_coat =Coat of Arms of Namibia.svg |image_map =LocationNamibia.png |national_motto =Unity, Liberty, Justice |national_anthem =[[Namibia, Land of the Brave]] (''Namibia, nchi ya mashujaa'') |official_languages =[[Kiingereza]]<sup>1</sup> |capital =[[Windhoek]] |latd=22 |latm=33 |latNS=S |longd=17 |longm=15 |longEW=E |largest_city =[[Windhoek]] |government_type =Jamhuri |leader_titles =[[Rais wa Namibia|Rais]]<br />[[Waziri Mkuu wa Namibia|Waziri Mkuu]] |leader_names =[[Hage Geingob]]<br />[[Saara Kuugongelwa]] |area_rank = ya 34 |area_magnitude =1 E11 |area=825,615 |areami²=318,772 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] --> |percent_water =kidogo sana |population_estimate =2,550,226<sup>2</sup> |population_estimate_rank =ya 140 |population_estimate_year =Julai 2020 |population_census =2,113,077 |population_census_year =2011 |population_density = 3.2 |population_densitymi² = 8.3 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] --> |population_density_rank = ya 235 |GDP_PPP = $15.78 billioni <!--cia.gov--> |GDP_PPP_rank = ya 127 |GDP_PPP_year= 2005 |GDP_PPP_per_capita =$7,800 |GDP_PPP_per_capita_rank = ya 103 |sovereignty_type = [[Uhuru]] |established_events = <small>Kutoka [[Afrika Kusini]]</small> |established_dates = [[21 Machi]] [[1991]] |HDI = 0.627 |HDI_rank = ya 125 |HDI_year = 2003 |HDI_category = <font color="#FFCC00">medium</font> |currency = [[Namibia dollar]] |currency_code =NAD |country_code = |time_zone = |utc_offset = +1 |time_zone_DST = |utc_offset_DST = |cctld = [[.na]] |calling_code = 264 |footnotes = }} '''Namibia''' ni nchi ya [[Afrika ya Kusini]] kwenye [[pwani]] ya [[Atlantiki]]. Imepakana na [[Angola]], [[Zambia]], [[Zimbabwe]] [[Botswana]] na [[Afrika Kusini]]. Imepata [[uhuru]] wake kutoka Afrika Kusini mwaka [[1990]] baada ya [[vita vya ukombozi]]. [[Mji mkuu]] ni [[Windhoek]] (wakazi 325,858 mwaka 2011). ==Jiografia== Sehemu kubwa ya nchi ni kavu sana na [[jangwa]] za [[Namib]] na [[Kalahari]] zinafunika [[asilimia]] kubwa ya uso wa nchi. [[Jangwa la Namib]] liko upande wa [[magharibi]] likifuata pwani ya Atlantiki kuanzia Afrika Kusini hadi Angola. Upande wa mashariki kuna [[jangwa la Kalahari]] linalovuka [[mpaka]] wa Botswana. Katikati ya majangwa hayo kuna [[nyanda za juu]] zinazofikia [[kimo]] cha [[mita]] 1700 kwa [[wastani]]. ==Historia== {{main|Historia ya Namibia}} ===Historia ya kale=== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne ya 14]] hivi [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]] walioshika utawala na hatimaye kuwa wengi kuliko wenyeji. ===Chini ya ukoloni=== Namibia katika mipaka ya sasa ilianzishwa katika [[karne ya 19]] kama [[koloni]] la [[Ujerumani]] kwa [[jina]] la [[Afrika ya Kusini-Magharibi ya Kijerumani]]. Maeneo yake yaliunganishwa mara ya kwanza kwenye [[mwaka]] [[1884]]. Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] ilivamiwa na [[Uingereza]] na [[Afrika Kusini]]. Pamoja na makoloni mengine ya Ujerumani iliwekwa chini ya [[mamlaka]] ya [[Shirikisho la Mataifa]]. Tangu mwaka [[1919]] ilikuwa [[eneo la kudhaminiwa]] kwa niaba ya [[Shirikisho la Mataifa]] chini ya [[serikali]] ya [[Afrika Kusini]]. [[Afrika ya Kusini-Magharibi]] (kwa [[Kiingereza]] ''South-West Africa'') ilikuwa jina la eneo hilo kuanzia mwaka [[1922]] hadi [[uhuru]] wa nchi ya Namibia mwaka [[1990]]. Baada ya [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]], wakati wa kuvunjwa kwa Shirikisho la Mataifa mwaka [[1946]], [[Umoja wa Mataifa]] ulichukua [[jukumu]] la kuratibu maeneo ya kudhaminiwa. Afrika Kusini haikutambua badiliko hilo ikitangaza ya kwamba hali ya udhamini ilikuwa ya Afrika ya Kusini-Magharibi tangu kuvunjwa kwa Shirikisho la Mataifa. Mwaka [[1949]] [[bunge]] la Afrika Kusini lilitangaza [[sheria]] ya kufanya eneo kuwa [[jimbo]] la [[tano]] la Afrika Kusini na kueneza [[siasa]] ya [[apartheid]] ([[ubaguzi wa rangi]]) hadi hukoikijaribu kulitendea eneo hilo kama sehemu kamili ya Afrika Kusini. Hii haikukubaliwa na [[Umoja wa Mataifa]] na nchi nyingi za [[dunia]]. Baadaye mfumo wa [[Bantustan|bantustans]] sawa na Afrika Kusini ulianzishwa pia huko ambako maeneo makubwa yenye [[rutuba]] yalitengwa kwa ajili ya [[Wazungu]] ilhali Waafrika walitakiwa kuwa na maeneo kadhaa tu kama "homeland" walipokuwa na [[haki]] ya kukaa, lakini katika maeneo mengine waliruhusiwa kukaa kama [[wafanyakazi]] kwa muda tu. Mfumo huo haukutekelezwa kwa ukali, tofauti na Afrika Kusini yenyewe. Hii haikukubaliwa na Umoja wa Mataifa ulioendelea kudai ya kwamba Afrika Kusini ilipaswa kuandaa eneo kwa uhuru. Mwaka [[1966]] [[Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa|Mkutano Mkuu]] wa [[UM]] uliamua kuondoa mamlaka ya Afrika Kusini na kuweka eneo moja kwa moja chini ya Umoja wa Mataifa. Azimio hilO halikuweza kutekelezwa kwa sababu Afrika Kusini ilikataa. Hapo [[wanamgambo]] wa [[Chama cha kisiasa|chama]] cha [[SWAPO]] walichukua [[silaha]] wakajaribu kupigania uhuru. Azimio la Mkutano Mkuu wa UM la mwaka [[1968]] lilibadilisha jina la eneo kuwa [https://etosha-app.com/ Namibia]. Mwaka [[1971]] [[Mahakama ya Kimataifa ya Haki]] ikaamua ya kwamba [[utawala]] wa Afrika Kusini si wa haki. Mwaka [[1978]] Umoja wa Mataifa uliamua ya kwamba Afrika ya Kusini-Magharibi unapaswa kupewa [[uhuru]]. Hapo serikali ya Afrika Kusini ikaanza kuchukua hatua za kuandaa uhuru wa eneo hili, lakini [[vita]] kati ya [[jeshi]] lake, SWAPO na [[wanajeshi]] wa [[Angola]] na [[Kuba]] iliendelea. Baada ya miaka ya [[vita vya kupigania uhuru]], mchakato wa kimataifa wa kuelekea uhuru ulianza na kufikia mapatano ya kumpumzisha silaha mwaka [[1988]]. Hatimaye mwaka [[1990]] nchi ilipata uhuru wake kwa jina la Namibia. ==Watu== Wakazi wengi ni wa ma[[kabila]] ya [[Wabantu]], hasa [[Waovambo]] (49.5%). Pia wako wengi wa jamii ya [[Wakhoisan]], ambao wametokana na wenyeji wa nchi. Asilimia 7 wana asili ya Ulaya, hasa [[Makaburu]] na [[Wajerumani]], na asilimia 8 ni ma[[chotara]]. Upande wa [[lugha]], [[Oshiwambo]] ni [[lugha ya kwanza]] ya karibu nusu ya wakazi, lakini [[Kiingereza]] ndicho [[lugha rasmi]] ingawa ni [[lugha ya kwanza]] ya 3% pekee za wakazi. (Angalia [[Orodha ya lugha za Namibia]].) 11.3% za wakazi wanatumia [[lugha za Kikhoisan]]. [[Kijerumani]] na [[Kiafrikaans]] zilikuwa lugha rasmi pamoja na Kiingereza hadi uhuru. Wakazi wengi hutumia Kiafrikaans kama [[lugha ya pili]], na 10.4% kama lugha ya kwanza. Kijerumani ni lugha ya kwanza ya 32% za wakazi wenye asili ya [[Ulaya]]. [[Kireno]] kinatumiwa na 4-5% za wakazi, hasa wenye asili ya Angola. Upande wa [[dini]], 87.9% za wakazi ni [[Wakristo]] (hasa [[Walutheri]] ambao ni 43.7%; [[Wakatoliki]] ni 22.8%, [[Waanglikana]] ni 17%). Waliobaki kwa kawaida wanafuata [[dini asilia za Kiafrika]] (10.2%). == Picha za Namibia == <gallery> File:Welwitschia mirabilis.jpg|Welwitschia mirabilis File:Lion Twyfelfontein Namibia.JPG|[[Twyfelfontein]] File:Red sand dune in Namibia.jpg|[[Jangwa la Namib]] File:Road to Sossusvlei.jpg|[[Sossusvlei]] File:Windhoek aerial.jpg|[[Windhoek]] File:Luderitz.jpg|[[Lüderitz]] File:Namibie Fish River Canyon 02.jpg|Fish River Canyon File:Andersson Gate, Eingang zum Etosha-Nationalpark.JPG|Mbuga ya Kitaifa ya Etosha </gallery> == Tazama pia == * [[Mikoa ya Namibia]] * [[Afrika ya Kusini-Magharibi ya Kijerumani]] * [[Afrika ya Kusini-Magharibi]] (chini ya Afrika Kusini) * [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]] * [[Demografia ya Afrika]] == Viungo vya nje == {{Commons}} * {{CIA World Factbook link|wa|Namibia}} * [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/namibia.htm Namibia] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/namibia.htm |date=20160303221805 }} from ''UCB Libraries GovPubs'' * {{dmoz|Regional/Africa/Namibia}} * {{Wikiatlas|Namibia}} * [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=NA Key Development Forecasts for Namibia] from [[International Futures]] ; Serikali * {{en}} [https://archive.is/20121203072358/http://www.grnnet.gov.na/ Tovuti rasmi] *[https://www.cia.gov/library/publications/world-leaders-1/world-leaders-n/namibia.html Chief of State and Cabinet Members] {{Wayback|url=https://www.cia.gov/library/publications/world-leaders-1/world-leaders-n/namibia.html |date=20081210072855 }} ; Elimu * [http://www.polytechnic.edu.na Polytechnic of Namibia] {{Wayback|url=http://www.polytechnic.edu.na/ |date=20090228194338 }} ; Rushwa *[http://www.business-anti-corruption.com/country-profiles/sub-saharan-africa/namibia/snapshot.aspx Namibia Corruption Profile] {{Wayback|url=http://www.business-anti-corruption.com/country-profiles/sub-saharan-africa/namibia/snapshot.aspx |date=20140220022104 }} from the [[Business Anti-Corruption Portal]] ; Utalii * [http://www.etoshanationalpark.org/ Etosha National Park] * [http://www.sossusvlei.org/ Sossusvlei] ; Kulinda amani * [http://knbsz.gov.hu/hu/letoltes/szsz/2013_1_spec.pdf UN peacekeeping in Namibia] {{Wayback|url=http://knbsz.gov.hu/hu/letoltes/szsz/2013_1_spec.pdf |date=20141217203716 }} {{Afrika}} {{African Union}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Namibia| ]] [[Jamii:Nchi za Afrika]] [[Jamii:Umoja wa Afrika]] [[Jamii:Jumuiya ya Madola]] [[Jamii:Nchi Kijerumani kinapotumika]] qjv2lyr4i7ql8sgobzvo6ccphtdi39d 1241990 1241860 2022-08-12T10:07:06Z Riccardo Riccioni 452 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/2400:ADC1:10C:C000:7050:614E:FE85:2FE7|2400:ADC1:10C:C000:7050:614E:FE85:2FE7]] ([[User talk:2400:ADC1:10C:C000:7050:614E:FE85:2FE7|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] wikitext text/x-wiki {{Infobox country |native_name = Republic of Namibia <br /> ''Jamhuri ya Namibia'' |common_name =Namibia |image_flag =Flag of Namibia.svg |image_coat =Coat of Arms of Namibia.svg |image_map =LocationNamibia.png |national_motto =Unity, Liberty, Justice |national_anthem =[[Namibia, Land of the Brave]] (''Namibia, nchi ya mashujaa'') |official_languages =[[Kiingereza]]<sup>1</sup> |capital =[[Windhoek]] |latd=22 |latm=33 |latNS=S |longd=17 |longm=15 |longEW=E |largest_city =[[Windhoek]] |government_type =Jamhuri |leader_titles =[[Rais wa Namibia|Rais]]<br />[[Waziri Mkuu wa Namibia|Waziri Mkuu]] |leader_names =[[Hage Geingob]]<br />[[Saara Kuugongelwa]] |area_rank = ya 34 |area_magnitude =1 E11 |area=825,615 |areami²=318,772 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] --> |percent_water =kidogo sana |population_estimate =2,550,226<sup>2</sup> |population_estimate_rank =ya 140 |population_estimate_year =Julai 2020 |population_census =2,113,077 |population_census_year =2011 |population_density = 3.2 |population_densitymi² = 8.3 <!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] --> |population_density_rank = ya 235 |GDP_PPP = $15.78 billioni <!--cia.gov--> |GDP_PPP_rank = ya 127 |GDP_PPP_year= 2005 |GDP_PPP_per_capita =$7,800 |GDP_PPP_per_capita_rank = ya 103 |sovereignty_type = [[Uhuru]] |established_events = <small>Kutoka [[Afrika Kusini]]</small> |established_dates = [[21 Machi]] [[1991]] |HDI = 0.627 |HDI_rank = ya 125 |HDI_year = 2003 |HDI_category = <font color="#FFCC00">medium</font> |currency = [[Namibia dollar]] |currency_code =NAD |country_code = |time_zone = |utc_offset = +1 |time_zone_DST = |utc_offset_DST = |cctld = [[.na]] |calling_code = 264 |footnotes = }} '''Namibia''' ni nchi ya [[Afrika ya Kusini]] kwenye [[pwani]] ya [[Atlantiki]]. Imepakana na [[Angola]], [[Zambia]], [[Zimbabwe]] [[Botswana]] na [[Afrika Kusini]]. Imepata [[uhuru]] wake kutoka Afrika Kusini mwaka [[1990]] baada ya [[vita vya ukombozi]]. [[Mji mkuu]] ni [[Windhoek]] (wakazi 325,858 mwaka 2011). ==Jiografia== Sehemu kubwa ya nchi ni kavu sana na [[jangwa]] za [[Namib]] na [[Kalahari]] zinafunika [[asilimia]] kubwa ya uso wa nchi. [[Jangwa la Namib]] liko upande wa [[magharibi]] likifuata pwani ya Atlantiki kuanzia Afrika Kusini hadi Angola. Upande wa mashariki kuna [[jangwa la Kalahari]] linalovuka [[mpaka]] wa Botswana. Katikati ya majangwa hayo kuna [[nyanda za juu]] zinazofikia [[kimo]] cha [[mita]] 1700 kwa [[wastani]]. ==Historia== {{main|Historia ya Namibia}} ===Historia ya kale=== Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa [[wawindaji]] wa jamii ya [[Wasani]]. Katika [[karne ya 14]] hivi [[BK]] walifika wahamiaji [[Wabantu]] wenye [[ujuzi]] wa [[kilimo]] na [[uhunzi]] walioshika utawala na hatimaye kuwa wengi kuliko wenyeji. ===Chini ya ukoloni=== Namibia katika mipaka ya sasa ilianzishwa katika [[karne ya 19]] kama [[koloni]] la [[Ujerumani]] kwa [[jina]] la [[Afrika ya Kusini-Magharibi ya Kijerumani]]. Maeneo yake yaliunganishwa mara ya kwanza kwenye [[mwaka]] [[1884]]. Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] ilivamiwa na [[Uingereza]] na [[Afrika Kusini]]. Pamoja na makoloni mengine ya Ujerumani iliwekwa chini ya [[mamlaka]] ya [[Shirikisho la Mataifa]]. Tangu mwaka [[1919]] ilikuwa [[eneo la kudhaminiwa]] kwa niaba ya [[Shirikisho la Mataifa]] chini ya [[serikali]] ya [[Afrika Kusini]]. [[Afrika ya Kusini-Magharibi]] (kwa [[Kiingereza]] ''South-West Africa'') ilikuwa jina la eneo hilo kuanzia mwaka [[1922]] hadi [[uhuru]] wa nchi ya Namibia mwaka [[1990]]. Baada ya [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]], wakati wa kuvunjwa kwa Shirikisho la Mataifa mwaka [[1946]], [[Umoja wa Mataifa]] ulichukua [[jukumu]] la kuratibu maeneo ya kudhaminiwa. Afrika Kusini haikutambua badiliko hilo ikitangaza ya kwamba hali ya udhamini ilikuwa ya Afrika ya Kusini-Magharibi tangu kuvunjwa kwa Shirikisho la Mataifa. Mwaka [[1949]] [[bunge]] la Afrika Kusini lilitangaza [[sheria]] ya kufanya eneo kuwa [[jimbo]] la [[tano]] la Afrika Kusini na kueneza [[siasa]] ya [[apartheid]] ([[ubaguzi wa rangi]]) hadi hukoikijaribu kulitendea eneo hilo kama sehemu kamili ya Afrika Kusini. Hii haikukubaliwa na [[Umoja wa Mataifa]] na nchi nyingi za [[dunia]]. Baadaye mfumo wa [[Bantustan|bantustans]] sawa na Afrika Kusini ulianzishwa pia huko ambako maeneo makubwa yenye [[rutuba]] yalitengwa kwa ajili ya [[Wazungu]] ilhali Waafrika walitakiwa kuwa na maeneo kadhaa tu kama "homeland" walipokuwa na [[haki]] ya kukaa, lakini katika maeneo mengine waliruhusiwa kukaa kama [[wafanyakazi]] kwa muda tu. Mfumo huo haukutekelezwa kwa ukali, tofauti na Afrika Kusini yenyewe. Hii haikukubaliwa na Umoja wa Mataifa ulioendelea kudai ya kwamba Afrika Kusini ilipaswa kuandaa eneo kwa uhuru. Mwaka [[1966]] [[Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa|Mkutano Mkuu]] wa [[UM]] uliamua kuondoa mamlaka ya Afrika Kusini na kuweka eneo moja kwa moja chini ya Umoja wa Mataifa. Azimio hilO halikuweza kutekelezwa kwa sababu Afrika Kusini ilikataa. Hapo [[wanamgambo]] wa [[Chama cha kisiasa|chama]] cha [[SWAPO]] walichukua [[silaha]] wakajaribu kupigania uhuru. Azimio la Mkutano Mkuu wa UM la mwaka [[1968]] lilibadilisha jina la eneo kuwa Namibia. Mwaka [[1971]] [[Mahakama ya Kimataifa ya Haki]] ikaamua ya kwamba [[utawala]] wa Afrika Kusini si wa haki. Mwaka [[1978]] Umoja wa Mataifa uliamua ya kwamba Afrika ya Kusini-Magharibi unapaswa kupewa [[uhuru]]. Hapo serikali ya Afrika Kusini ikaanza kuchukua hatua za kuandaa uhuru wa eneo hili, lakini [[vita]] kati ya [[jeshi]] lake, SWAPO na [[wanajeshi]] wa [[Angola]] na [[Kuba]] iliendelea. Baada ya miaka ya [[vita vya kupigania uhuru]], mchakato wa kimataifa wa kuelekea uhuru ulianza na kufikia mapatano ya kumpumzisha silaha mwaka [[1988]]. Hatimaye mwaka [[1990]] nchi ilipata uhuru wake kwa jina la Namibia. ==Watu== Wakazi wengi ni wa ma[[kabila]] ya [[Wabantu]], hasa [[Waovambo]] (49.5%). Pia wako wengi wa jamii ya [[Wakhoisan]], ambao wametokana na wenyeji wa nchi. Asilimia 7 wana asili ya Ulaya, hasa [[Makaburu]] na [[Wajerumani]], na asilimia 8 ni ma[[chotara]]. Upande wa [[lugha]], [[Oshiwambo]] ni [[lugha ya kwanza]] ya karibu nusu ya wakazi, lakini [[Kiingereza]] ndicho [[lugha rasmi]] ingawa ni [[lugha ya kwanza]] ya 3% pekee za wakazi. (Angalia [[Orodha ya lugha za Namibia]].) 11.3% za wakazi wanatumia [[lugha za Kikhoisan]]. [[Kijerumani]] na [[Kiafrikaans]] zilikuwa lugha rasmi pamoja na Kiingereza hadi uhuru. Wakazi wengi hutumia Kiafrikaans kama [[lugha ya pili]], na 10.4% kama lugha ya kwanza. Kijerumani ni lugha ya kwanza ya 32% za wakazi wenye asili ya [[Ulaya]]. [[Kireno]] kinatumiwa na 4-5% za wakazi, hasa wenye asili ya Angola. Upande wa [[dini]], 87.9% za wakazi ni [[Wakristo]] (hasa [[Walutheri]] ambao ni 43.7%; [[Wakatoliki]] ni 22.8%, [[Waanglikana]] ni 17%). Waliobaki kwa kawaida wanafuata [[dini asilia za Kiafrika]] (10.2%). == Picha za Namibia == <gallery> File:Welwitschia mirabilis.jpg|Welwitschia mirabilis File:Lion Twyfelfontein Namibia.JPG|[[Twyfelfontein]] File:Red sand dune in Namibia.jpg|[[Jangwa la Namib]] File:Road to Sossusvlei.jpg|[[Sossusvlei]] File:Windhoek aerial.jpg|[[Windhoek]] File:Luderitz.jpg|[[Lüderitz]] File:Namibie Fish River Canyon 02.jpg|Fish River Canyon File:Andersson Gate, Eingang zum Etosha-Nationalpark.JPG|Mbuga ya Kitaifa ya Etosha </gallery> == Tazama pia == * [[Mikoa ya Namibia]] * [[Afrika ya Kusini-Magharibi ya Kijerumani]] * [[Afrika ya Kusini-Magharibi]] (chini ya Afrika Kusini) * [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu]] * [[Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa]] * [[Demografia ya Afrika]] == Viungo vya nje == {{Commons}} * {{CIA World Factbook link|wa|Namibia}} * [http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/namibia.htm Namibia] {{Wayback|url=http://ucblibraries.colorado.edu/govpubs/for/namibia.htm |date=20160303221805 }} from ''UCB Libraries GovPubs'' * {{dmoz|Regional/Africa/Namibia}} * {{Wikiatlas|Namibia}} * [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=NA Key Development Forecasts for Namibia] from [[International Futures]] ; Serikali * {{en}} [https://archive.is/20121203072358/http://www.grnnet.gov.na/ Tovuti rasmi] *[https://www.cia.gov/library/publications/world-leaders-1/world-leaders-n/namibia.html Chief of State and Cabinet Members] {{Wayback|url=https://www.cia.gov/library/publications/world-leaders-1/world-leaders-n/namibia.html |date=20081210072855 }} ; Elimu * [http://www.polytechnic.edu.na Polytechnic of Namibia] {{Wayback|url=http://www.polytechnic.edu.na/ |date=20090228194338 }} ; Rushwa *[http://www.business-anti-corruption.com/country-profiles/sub-saharan-africa/namibia/snapshot.aspx Namibia Corruption Profile] {{Wayback|url=http://www.business-anti-corruption.com/country-profiles/sub-saharan-africa/namibia/snapshot.aspx |date=20140220022104 }} from the [[Business Anti-Corruption Portal]] ; Utalii * [http://www.etoshanationalpark.org/ Etosha National Park] * [http://www.sossusvlei.org/ Sossusvlei] ; Kulinda amani * [http://knbsz.gov.hu/hu/letoltes/szsz/2013_1_spec.pdf UN peacekeeping in Namibia] {{Wayback|url=http://knbsz.gov.hu/hu/letoltes/szsz/2013_1_spec.pdf |date=20141217203716 }} {{Afrika}} {{African Union}} {{Mbegu-jio-Afrika}} [[Jamii:Namibia| ]] [[Jamii:Nchi za Afrika]] [[Jamii:Umoja wa Afrika]] [[Jamii:Jumuiya ya Madola]] [[Jamii:Nchi Kijerumani kinapotumika]] cig7pxyqtbwwnl3r694102c11yc8i9h Witu 0 3118 1242020 1191131 2022-08-12T10:47:07Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Picha:Flagge Witu 1890 laut Voeltzkow.jpg|thumb|350px|Bendera ya Sultani Fumobakari wa Witu mnamo mwaka 1890.]] '''Witu''' ni [[mji]] mdogo, [[kata]] na [[tarafa]] katika [[kaunti ya Lamu]], [[eneo bunge la Lamu Magharibi]], [[mashariki]] mwa [[Kenya]]<ref>Electoral Commission of Kenya: [http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency] {{webarchive |url=https://web.archive.org/web/20070929000000/http://www.agendaafrica.com/files/Voters.pdf |date=September 29, 2007 }}</ref>. Mji huu upo [[kilomita]] 5 (maili 3) [[magharibi]] mwa [[msitu wa Witu]], [[barabara|barabarani]] kutoka [[Malindi]] kwenda [[Lamu]], takriban katikati ya [[mto Tana]] na Lamu. Katika [[karne ya 19]] ilikuwa [[mji mkuu]] wa [[Usultani wa Witu]]. Kwa muda mfupi, kati ya mwaka [[1885]] hadi [[1890]], [[usultani]] wa Witu ulikuwa [[nchi lindwa]] chini ya [[Ujerumani]] na sehemu ndogo katika [[delta]] ya mto Tana ilikuwa [[koloni]] la moja kwa moja. [[Picha:Witu1890.png|thumb|350px|[[Ramani]] ya kihistoria (mnamo 1890) ya [[pwani]] ya [[kaskazini]] ya [[Afrika ya Mashariki]] pamoja na Witu.]] == Idadi ya watu == Mnamo Septemba mwaka 2013, idadi ya wakazi wa [[mji]] huo imekadiriwa kuwa 5,380.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Witu,_Kenya#cite_note-5</ref> == Historia == [[Historia]] ya Witu ilianza mwaka [[1858]] [[BK]]. [[Sultani]] wa [[Pate]] Ahmad ibn Fumo Bakari, aliyezaliwa katika [[familia]] ya watawala wa Nabahani, alijenga makao mapya [[Bara|barani]] kwa sababu alitaka kujiokoa na [[Usultani wa Zanzibar]] uliotafuta [[utawala]] juu ya [[funguvisiwa]] la [[Lamu]] wakati ule. Mashambulio ya [[Wazanzibari]] yaliendelea na kumsababisha sultani kuomba msaada wa [[ulinzi]] wa [[Ujerumani]] mara ya kwanza mwaka [[1867]]. Mwaka 1885 Sultani alifunga [[mkataba]] na [[ndugu]] [[Wajerumani]] [[Clemens na Gustav Denhardt]] akaweka nchi yake chini ya ulinzi wa [[Dola la Ujerumani]] kuanzia [[tarehe]] [[27 Mei]] 1885. Kama [[shukrani]] kwa ndugu Denhardt aliwapa eneo la [[maili za mraba]] 25 akawafanya kuwa [[waziri|mawaziri]] wake. Sultani wa Zanzibar hakufurahia habari hizi wala [[balozi]] wa [[Uingereza]] [[Zanzibar (Jiji)|Zanzibar mjini]]. Lakini mipango yao dhidi ya Witu ilishindikana kwa sababu [[serikali]] ya Ujerumani ilituma [[manowari]] [[SMS Gneisenau]] [[Afrika ya Mashariki]] na [[wanajeshi]] 30 Wajerumani walipiga kambi Witu. Mwaka [[1888]] Ujerumani ilifungua [[Posta ya Kijerumani Lamu|ofisi ya posta Lamu]] mjini kwa ajili ya [[mawasiliano]] kati ya Witu na Ujerumani kwa sababu [[meli]] zilipita mara kwa mara Lamu ilhali Witu haikuwa na [[bandari]] kamili. Serikali ya Ujerumani haikuonyesha nia ya kuimarisha utawala wake kwenye pwani ya Kenya; iliona Witu kama [[bidhaa]] kwa ajili ya [[biashara]] na Waingereza. Katika [[mkataba wa Helgoland-Zanzibar]] Witu iliachiliwa Uingereza na ulinzi wa Ujerumani ulikwisha tarehe [[1 Julai]] 1890. Wenyeji wa Witu hawakupendezwa na mabadiliko hayo kwa sababu waliogopa ya kwamba watafikishwa chini ya Zanzibar, angalau waliwajua Waaingereza kuwa karibu sana na Sultani wa Zanzibar. Walihisi kuwa Wajerumani waliwasaliti. Katika [[Septemba]] 1890 ilitokea [[ugomvi]] mkali. [[Mfanyabiashara]] Mjerumani Andreas Küntzel alitegemea kuanzisha biashara katika eneo la Sultani lakini alikataliwa kwa sababu ya [[hasira]] iliyosababishwa na mkataba wa Julai 1890. Wenzake Küntzel walijaribu kulazimisha [[afisa|maafisa]] wa Sultani kwa kuonyesha [[silaha]] lakini walikamatwa, na silaha zao kuchukuliwa. Küntzel alijaribu kuwaweka huru akamtukana sultani mbele ya watu wake. Wenyeji wenye hasira waliwaua Wajerumani wale na kushambulia [[Wazungu]] wengine. Jumla Wajerumani 9 waliuawa, wengine wakakimbia. Waingereza walituma [[jeshi]] chini ya [[Admirali]] Sir E. Freemantle wakavamia Witu katika Septemba 1890. Tarehe [[28 Oktoba]] 1890 mji mkuu wa Witu ulichomwa [[moto]] na Waingereza. Lakini mapigano yaliendelea. Kuna makadirio ya kwamba wenyeji 500 waliuawa, mji Witu ikaharibika na Sultani alitupwa [[jela]] alikokufa. Mapigano yaliendelea hadi mwaka [[1894]]. Witu ikawa koloni la Uingereza. Katika mkataba wa Helgoland-Zanzibar Uingereza iliahidi ya kwamba itaheshimu mipaka ya eneo la Witu. Awali Waingereza walimteua sultani mpya Omar-bin-Hamed aliyetoka katika [[ukoo]] wa Nabahani vilevile. Lakini baadaye hawakuheshimu tena usultani wa Witu jinsi walivyowahi kuahidi katika mkataba wa 1890 wakaitendea kama sehemu ya mkoa wa Tana tu. Baada ya [[kifo]] cha Sultani mwaka [[1923]] usultani ulikwisha kabisa. == Tazama pia == * [http://en.wikipedia.org/wiki/Rulers_of_Witu Orodha ya watawala wa Witu (en)] ==Tanbihi== {{reflist}} == Viungo vya nje == * {{de}} [http://www.deutsche-schutzgebiete.de/webpages/Witu-Karte+.jpg Ramani ya Witu ya Kijerumani] {{Wayback|url=http://www.deutsche-schutzgebiete.de/webpages/Witu-Karte+.jpg |date=20061020233959 }} * {{en}} [http://encyclopedia.jrank.org/WIL_YAK/WITU_or_VITU.html Witu or Vitu (Enc. Britannica 1911)] {{Wayback|url=http://encyclopedia.jrank.org/WIL_YAK/WITU_or_VITU.html |date=20060516170042 }} * [http://www.deutsche-schutzgebiete.de/witu-briefmarken.htm Stempu za posta ya Sultani wa Witu] * {{en}} [http://home.comcast.net/~kenyaregiment/WituExpeditions.html Habari za uvamizi wa Waingereza katika Witu 1890 na 1893 kutokana na taarifa rasmi ya Admiral Freemantle] * {{de}} [http://susi.e-technik.uni-ulm.de:8080/Meyers2/seite/werk/meyers/band/16/seite/0705/meyers_b16_s0705.html Meyers Konversationslexikon 1889 über das deutsche Witugebiet] {{Wayback|url=http://susi.e-technik.uni-ulm.de:8080/Meyers2/seite/werk/meyers/band/16/seite/0705/meyers_b16_s0705.html |date=20070611020301 }} * {{de}} [http://susi.e-technik.uni-ulm.de:8080/Meyers2/seite/werk/meyers/band/18/seite/1006/meyers_b18_s1006.html Meyers Konversationslexikon Supplement 1892 über die britische Inbesitznahme] {{Wayback|url=http://susi.e-technik.uni-ulm.de:8080/Meyers2/seite/werk/meyers/band/18/seite/1006/meyers_b18_s1006.html |date=20070612213544 }} * {{de}} [http://www.ub.bildarchiv-dkg.uni-frankfurt.de/Bildprojekt/Lexikon/Standardframeseite.php?suche=Witu Witu im Deutschen Koloniallexikon 1914/1920}] {{Hoja Kuhusu Kenya}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Ukoloni wa Ujerumani]] [[Jamii:Historia ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Lamu]] [[Jamii:Kata za Kenya]] qlbt7hv7imqahzrfk4w4c12avjmfo41 Wazinza 0 4148 1241978 1241837 2022-08-12T09:52:52Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Wazinza''' ni [[kabila]] la [[watu]] kutoka eneo la [[kusini]]-[[magharibi]] kwa [[Ziwa Viktoria]] na [[visiwa]] vya jirani, nchini [[Tanzania]]. Mwaka [[1987]] idadi ya Wazinza ilikadiriwa kuwa 138,000 [http://www.ethnologue.com/show_language.asp?code=zin]. [[Lugha]] yao ni [[Kizinza]]. [[Kazi]] yao ilikuwa [[uvuvi]], [[ufugaji]] na [[uwindaji]] pamoja na [[kilimo]]. Kwa sasa wamejikita katika anga la wasomi maana wametapakaa kila [[taaluma]] na kila mahali. ==Vyakula asilia wanavyovipenda== Wazinza walio wengi hupenda kula [[ugali]] wa [[mhogo]], [[ndizi]], [[samaki]] (hasa [[sato]], [[sangara]], [[mumi]], [[kamongo]], [[dagaa]], [[mbete]], [[nshonzi]]) na [[nyama]]. Lakini pia kutokana na uhaba wa [[Chakula|vyakula]] hivyo na mgawanyo wa makazi na kazi, Wazinza wamekuwa wakila vyakula vya aina nyingine nyingi. Mfano ni [[wali]], ugali wa [[mtama]], ugali wa [[mahindi]], [[mboga za majani]] kama vile [[msusa]], [[kisamvu]], [[mchicha]], n.k. Vyakula asilia kama [[maboga]], [[viazi vitamu]], mihogo mitamu, [[kunde]], [[maharage]] ni miongoni mwa vyakula muhimu sana kwa Wazinza. {{Makabila ya Tanzania}} {{mbegu-utamaduni-TZ}} {{DEFAULTSORT:Zinza}} [[Jamii:Makabila ya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Geita]] gdjiyniz9z25dhdktky18lnpy3a95b6 11 Agosti 0 4860 1241980 1241847 2022-08-12T09:54:10Z Riccardo Riccioni 452 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/41.59.121.196|41.59.121.196]] ([[User talk:41.59.121.196|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:InternetArchiveBot|InternetArchiveBot]] wikitext text/x-wiki {{Agosti}} Tarehe '''11 Agosti''' ni [[siku]] ya 223 ya [[mwaka]] (ya 224 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 142. ==Matukio== *[[1492]] - [[Uchaguzi]] wa [[Papa Alexander VI]] *[[1960]] - Nchi ya [[Chad]] inapata [[uhuru]] kutoka [[Ufaransa]] ==Waliozaliwa== *[[1858]] - [[Christiaan Eijkman]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1929]] *[[1921]] - [[Alex Haley]], [[mwandishi]] kutoka [[Marekani]] *[[1926]] - [[Aaron Klug]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1982]] *[[1988]] - [[Angel Kamugisha]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Tanzania]] ==Waliofariki== *[[1253]] - [[Mtakatifu]] [[Klara wa Asizi]], [[bikira]] [[Mfransisko]] kutoka [[Italia]] *[[1890]] - Mtakatifu [[John Henry Newman]], [[padri]] [[kardinali]] kutoka [[Uingereza]] *[[1937]] - [[Edith Wharton]], mwandishi kutoka [[Marekani]] *[[1972]] - [[Max Theiler]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1951]] *[[2006]] - [[Mazisi Kunene]], mwandishi kutoka [[Afrika Kusini]] ==Sikukuu== [[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] za [[watakatifu]] [[Klara wa Asizi]], [[Aleksanda wa Makaa]], [[Tibursi wa Roma]], [[Suzana wa Roma]], [[Rufino wa Asizi]], [[Taurini wa Evreux]], [[Equisi]], [[Gaugeriki wa Cambrai]] n.k. ==Viungo vya nje== {{commons|August 11|Agosti 11}} *[http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/august/11 BBC: On This Day] *[http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Aug&day=11 On This Day in Canada] {{Webarchive|url=https://archive.is/20121210025315/http://www1.sympatico.ca/cgi-bin/on_this_day?mth=Aug&day=11 |date=2012-12-10 }} {{mbegu-historia}} {{DEFAULTSORT:Agosti 11}} [[Category:Agosti]] hae1rmt6olcx1b0qjev2gk53th571ad Gedi 0 14800 1242026 1112047 2022-08-12T10:56:06Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Image:Great Mosque of Gede.jpg|thumb|250px|Maghofu ya msikiti]] [[Image:Gedi kaburi.jpg|thumb|250px|Kaburi la mwaka 1399 kati ya maghofu ya Gedi]] '''Gedi''' (pia: '''Gede''') ni [[kijiji]] cha wakazi 600 kwenye [[pwani]] ya [[Kenya]] takriban [[kilomita]] 16 [[kusini]] kwa [[Malindi]]. Ni mahali maarufu pa [[maghofu]] ya [[mji]] wa [[Waswahili]] wa Kale ndani ya msitu wa Arabuko-sokole.<ref>https://web.archive.org/web/20161202145130/http://www.museums.or.ke/content/blogcategory/22/28/</ref> Kuna maeneo 116 ya Waswahili yanayonyooka kutoka kusini mwa Somalia mpaka Vumba kuu katika mpaka wa Kenya na Tanzania.<ref>http://www.museums.or.ke/content/blogcategory/22/28/</ref> kutokana na uvumbuzi wa [[magofu]] ya Gedi uliofanywa na [[wakoloni]] miaka ya 1920, Gede imejulikana kama mji uliotambulika zaidi na maeneo yake kufanyiwa utafiti zaidi kando na maeneo ya Shanga, Manda, Ungwana, Kilwa na visiwa vya Komoro. ==Gedi ya kihistoria== Kando ya kijiji cha leo kuna eneo kubwa la maghofu. [[Ukuta|Kuta]] za [[mawe]] zinaonekana kati ya [[miti]]. [[Nyumba]] za watu, jumba la mkubwa -labda [[mfalme]]-, [[msikiti]] na [[Kaburi|makaburi]] huonekana vizuri. Mji wote ulikuwa na takriban [[ekari]] 45 na mabaki ya ukuta uliozunguka yote yaonekana hadi leo lakini nyumba nyingi zilikuwa za watu [[maskini]] zilizojengwa kwa kutumia [[udongo]] na [[mbao]] tu hazionekani tena. Hakuna uhakika Gedi ya Kale ilianzishwa lini lakini [[wataalamu]] hukadiria [[umri]] wa nyumba za kwanza zinazopatikana hadi leo kuwa wa mnamo [[karne ya 13]]/[[Karne ya 14|14]]. Kuna [[maandiko]] ya [[Kiarabu]] kwenye makaburi yanayosaidia makadirio hayo. Hakuna habari za kimaandishi juu ya mji, kwa hiyo taarifa zote zimetegemea matokeo ya [[akiolojia]]. Inaonekana Gedi ilikuwa mji [[tajiri]] uliostawi kwa [[biashara]]. Kuna mabaki ya [[bidhaa]] kutoka [[Uhindi]] ([[taa]] ya [[chuma]]), [[China]] ([[jagi]] la [[kauri]] la kipindi cha [[Ming]]), [[Venezia]], [[Italia]] ([[ushanga]] wa [[kioo]]), na [[Hispania]] ([[mkasi]]). [[Idadi]] ya wakazi inakadiriwa ilikuwa hadi 2,500. Nyumba kubwa za matajiri zilikuwa na [[vyoo]] vya [[maji]] na [[bafu]]. Mnamo [[karne ya 16]] mji uliachwa na wakazi wake. Hakuna uhakika kuhusu sababu yake. Maghofu ya Gedi yalitangazwa kuwa [[hifadhi ya taifa]] na siku hizi yatawaliwa na [[idara]] ya [[makumbusho ya Kenya]]. ==Tazama pia== *[[Bomas of Kenya]] *[[Jumba la Mtwana]] *[[Makumbusho ya Garissa]] *[[Makumbusho ya Kabarnet]] *[[Makumbusho ya Kapenguria]] *[[Makumbusho ya Kitale]] *[[Makumbusho ya Narok]] *[[Makumbusho ya reli Nairobi]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Marejeo== * James Kirkman. 1975. ''Gedi. Historical monument.'' Museum Trustees of Kenya, Nairobi. * James Kirkman. 1963. ''Gedi, the palace.'' Studies in African history, Mouton, Den Haag. * James Kirkman. 1954. ''The Arab City of Gedi.'' Oxford University Press, Oxford. * Eric P. Mitchell. 2011. "Gedi: The Lost City Revisited" ''World Explorer'' Magazine, Vol. 6, No. 2, pp.&nbsp;33–36. * Rudolf Fischer. 1984. ''Korallenstädte in Afrika. Die vorkoloniale Geschichte der Ostküste.'' Edition Piscator, Oberdorf. pp.&nbsp;107–121. ==Viungo vya Nje== *[http://www.africanmeccasafaris.com/kenya/mombasa/excursions/gediruins.asp Information about the ruins] *[https://malindians.com/travel-guides/unsolved-mystery-of-gedi-ruins/ Malindi Tourist and Information Center] {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Makumbusho ya Kenya]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Kaunti ya Kilifi]] 3owwp931pqbwx5foegysn3izy2uwdnc Anne Mwampamba 0 17479 1241923 540478 2022-08-11T21:43:45Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki '''Anne Mwampamba''' [[Miaka yake ni 34]], [[Elimu ya sekondari Meta, Mbeya]] [[Anatoka mkoa wa Mbeya|Ni Mkristo]], Mfanyakazi wa kampuni ya [[City Elevator]] ya Jijini Dar es Salaam, Tanzania. Ni muigizaji wa kikundi cha sanaa cha Alwatan kinachotngeneza [[filamu za kibongo]] nchini [[Tanzania]].Ana mtoto mmoja anayeitwa [[Blendina]] Sanaa alipenda toka alivyokuwa mdogo, katika malengo yake ilikuwa ni kuja kuwa msanii, aliangaika kutafuta vikundi mbali mbali vya kujiunga. Alijiunga na kikundi cha Brown eyes alifanikiwa kucheza sinema ya vichekesho inayoitwa Mzee Chabo. Alicheza nafasi ya msichana anayechunguliwa na Mzee Majuto. Baada ya kujiunga na kundi la Alwatan amefanikiwa kucheza sinema ya Bunge la Wachawi. Katika sinema amecheza kama mwanamke anayechukuliwa mume wake na mwanamke mchawi. Kuhusu wasanii wa kibongo anavutia na [[Mwajuma Abdul a.k.a Maimuna]] na[[Ndumbagwe Misayo a.k.a Tea]]. Kwa upande madirector (Waongozaji) anavutia na [[Haji Dilunga]] . Amesema ni muongozaji asiyekuwa na matusi wala kashfa ukilinganisha na wengine. Kuhusu wasanii wa nje ya Bongo anavutiwa na [[Genenve Nnanji]] na [[Ramsel Noah]] Anachukia majungu na watu wanaopenda kujikweza. {{mbegu-igiza-filamu}} {{DEFAULTSORT:Mwampamba, Anne}} [[Jamii:Waigizaji filamu wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] p03jy4f0k2wpi5xt4cjmbe14hw91xs3 Mbweni, Kinondoni 0 18945 1242036 1143443 2022-08-12T11:13:45Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mbweni]] hadi [[Mbweni, Kinondoni]]: kutofautisha mahali wikitext text/x-wiki {{Infobox Settlement |jina_rasmi = Kata ya Mbweni |picha_ya_satelite = |maelezo_ya_picha = |pushpin_map = Tanzania |pushpin_map_caption = Mahali pa Mbweni katika Tanzania |settlement_type = Kata |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |subdivision_name1 = [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] |subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |subdivision_name2 = [[Wilaya ya Kinondoni|Kinondoni]] |wakazi_kwa_ujumla = 3475 |latd=6 |latm=47 |lats=42 |latNS=S |longd=39 |longm=15 |longs=58 |longEW=E |website = }} '''{{BASEPAGENAME}}''' ni jina la [[kata]] ya [[Wilaya]] ya [[Kinondoni]] katika [[Mkoa wa Dar es Salaam]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''14126'''<ref>https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dsm.pdf{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>.Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2002]], kata ina wakazi wapatao 3,475 waishio humo.<ref>{{cite web|url=http://www.nbs.go.tz/index.php?option=com_phocadownload&view=category&id=88:village-stat&Itemid=106|title=2002 Population and Housing Census General Report|publisher=Government of [[Tanzania]]|language=en|accessdate=2008-08-21|archiveurl=https://web.archive.org/web/20100210060455/http://www.nbs.go.tz/index.php?option=com_phocadownload&view=category&id=88%3Avillage-stat&Itemid=106|archivedate=2010-02-10}}</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{Kata za Wilaya ya Kinondoni}} {{mbegu-jio-TZ}} [[Jamii:Mbegu za jiografia ya Tanzania]] [[Jamii:Dar es Salaam]] [[Jamii:Wilaya ya Kinondoni]] mx0ac9ur3yylrx3pa0onnjg2wl3rex3 1242040 1242036 2022-08-12T11:14:21Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{Infobox Settlement |jina_rasmi = Kata ya Mbweni |picha_ya_satelite = |maelezo_ya_picha = |pushpin_map = Tanzania |pushpin_map_caption = Mahali pa Mbweni katika Tanzania |settlement_type = Kata |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |subdivision_name1 = [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]] |subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |subdivision_name2 = [[Wilaya ya Kinondoni|Kinondoni]] |wakazi_kwa_ujumla = 3475 |latd=6 |latm=47 |lats=42 |latNS=S |longd=39 |longm=15 |longs=58 |longEW=E |website = }} '''{{BASEPAGENAME}}''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Kinondoni]] katika [[Mkoa wa Dar es Salaam]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''14126'''. Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2002]], kata ina wakazi wapatao 3,475 waishio humo.<ref>{{cite web|url=http://www.nbs.go.tz/index.php?option=com_phocadownload&view=category&id=88:village-stat&Itemid=106|title=2002 Population and Housing Census General Report|publisher=Government of [[Tanzania]]|language=en|accessdate=2008-08-21|archiveurl=https://web.archive.org/web/20100210060455/http://www.nbs.go.tz/index.php?option=com_phocadownload&view=category&id=88%3Avillage-stat&Itemid=106|archivedate=2010-02-10}}</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{Kata za Wilaya ya Kinondoni}} {{mbegu-jio-dar}} [[Jamii:Dar es Salaam]] [[Jamii:Wilaya ya Kinondoni]] r0t8n28u63jx57qjd0790kx5t6o9d7k Tongoni 0 19094 1242015 1145912 2022-08-12T10:41:07Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Tongoni''' ni [[kata]] iliyopo ndani ya eneo la [[Tanga (mji)|Jiji la Tanga]] katika [[Mkoa wa Tanga]], [[Tanzania]] yenye [[Postikodi|Postikodi namba]] 21207. Kata ina ukubwa wa kilomita za mraba 44 ( maili 17),<ref>https://www.citypopulation.de/en/tanzania/northern/admin/</ref> pia ina mwinuko wa wastani wa mita 30 (futi 98),<ref>https://elevationmap.net/tongoni-tanga-tz-1012567430</ref> Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2012]], kata ina wakazi wapatao 4,594 <ref>{{Cite web |url=http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |title=Sensa ya 2012, Tanga - Tanga CC |accessdate=2016-05-16 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20160303225919/http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf |archivedate=2016-03-03 }}</ref><ref>http://tanzania.countrystat.org/fileadmin/user_upload/countrystat_fenix/congo/docs/Census%20General%20Report-2012PHC.pdf</ref> waishio humo. Tongoni iko takriban [[kilomita]] 14 upande wa [[kusini]] wa [[kitovu]] cha [[jiji]] kando ya [[barabara]] inayokwenda [[Pangani]], ikitazama [[Bahari Hindi]]. [[Gofu|Magofu]] ya Tongani yanapatikana katika kata ya Tongani, mji wa [[Waswahili]] enzi za mawe za kati. Mahali pa kihistoria jinsi inavyoonekana leo kuna [[msikiti]] na takriban [[Kaburi|makaburi]] 20.<ref>[https://www.lonelyplanet.com/tanzania/attractions/tongoni-ruins/a/poi-sig/1439527/1331817 Tongoni Ruins], tovuti ya Lonely Planet, iliangaliwa Septemba 2018</ref> Takriban miaka 600 iliyopita kulikuwepo hapa [[mji]] wa [[Tangata]] (pia: Mtangata) iliyokuwa mahali muhimu pa [[biashara]]. Mahali pake kwenye [[mdomo]] mpana wa [[mto]] unaoishia hapa palileta nafasi salama ya kutia [[nanga]] kwa [[jahazi]]. Inasemekana ya kwamba [[nahodha]] [[Mreno]] [[Vasco da Gama]] alipumzika hapa kidogo wakati wa [[safari]] yake ya kwanza kuelekea [[Bara Hindi]] mnamo [[mwaka]] [[1498]]. Magofu ni pamoja na msikiti na makaburi yenye [[nguzo]] jinsi ilivyokuwa kawaida kwenye makaburi ya [[Waswahili]].<ref>Briggs, McIntyre ukurasa 372</ref> ==Magofu ya Tongoni== <gallery> Tongoni ruins 1.jpg| Tongoni ruins 4.jpg| Tongoni ruins 7.jpg| </gallery> ==Marejeo== {{marejeo}} ==Vitabu== * Philip Briggs, Chris McIntyre: Tanzania Safari Guide: With Kilimanjaro, Zanzibar and the Coast, Bradt Travel Guides 2013, ISBN-10: 9781841624624, ISBN-13: 978-1841624624ISBN {{mbegu-jio-tanga}} {{Kata za Wilaya ya Tanga}} [[Jamii:Mkoa wa Tanga]] [[Jamii:Wilaya ya Tanga]] [[Jamii:Waswahili]] 5j9m11ftktl2kwsdazggk1ze66qfg26 Leonard Euler 0 19189 1241977 1241834 2022-08-12T09:51:06Z Riccardo Riccioni 452 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Tkihampa|Tkihampa]] ([[User talk:Tkihampa|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] wikitext text/x-wiki [[Picha:Leonhard Euler.jpg|thumb|right|Leonhard Euler]] '''Leonhard Euler''' (tamka ''oiler'') ([[15 Aprili]] [[1707]] – [[7 Septemba]] [[1783]]) alikuwa [[mtaalamu]] wa [[hisabati]] na [[fizikia]] kutoka nchini [[Uswisi]]. Hata hivyo, sehemu kubwa ya [[maisha]] yake alikaa [[Ujerumani]] na [[Urusi]]. Alitunga maneno mengi yanayoendelea kutumiwa hadi leo na wanahisabati; alianza kutumia [[alama]] kama [[Pi (namba)|π]] kama [[namba]] ya [[duara]] au ∑ kwa jumla ya [[hesabu]]. {{mbegu-mwanasayansi}} {{BD|1707|1783|Euler, Leonhard}} [[Jamii:Wanahisabati wa Uswisi|Euler]] [[Jamii:Wanafizikia wa Uswisi|Euler]] jmoo3vmlwlcjsllb2dgrv1adlkfeu5x Wilaya ya Geita 0 20677 1241869 1195462 2022-08-11T14:19:52Z 196.249.103.49 Msukuma wikitext text/x-wiki [[Picha:Tanzania Geita location map.svg|thumb|250px|Mahali pa wilaya ya Geita (kijani) ilipokuwa katika [[mkoa wa Mwanza]].]] '''Wilaya ya Geita''' ni [[wilaya]] mojawapo ya [[Mkoa wa Geita]]. ==Watu Maarufu wilaya ya Geita== * [[Emmanuel Kasomi]] * [[Joseph lwiza kaaheku Msukuma]] Katika [[sensa]] ya mwaka 2012, [[idadi]] ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 807,619 <ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Geita Region – Geita District Council]</ref> [[Msimbo wa posta]] ni 30118 <ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2018-02-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180805072810/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf |archivedate=2018-08-05 }}</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-jio-geita}} {{Kata za Wilaya ya Geita}} [[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Geita|G]] [[Jamii:Wilaya ya Geita| ]] 71bcvkzfcfgd0ffgxgtdyyku79odvjk 1241870 1241869 2022-08-11T14:20:46Z 196.249.103.49 /* Watu Maarufu wilaya ya Geita */ kasheku wikitext text/x-wiki [[Picha:Tanzania Geita location map.svg|thumb|250px|Mahali pa wilaya ya Geita (kijani) ilipokuwa katika [[mkoa wa Mwanza]].]] '''Wilaya ya Geita''' ni [[wilaya]] mojawapo ya [[Mkoa wa Geita]]. ==Watu Maarufu wilaya ya Geita== * [[Emmanuel Kasomi]] * [[Joseph Lwinza Kasheku ‘Msukuma’]] Katika [[sensa]] ya mwaka 2012, [[idadi]] ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 807,619 <ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Geita Region – Geita District Council]</ref> [[Msimbo wa posta]] ni 30118 <ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2018-02-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180805072810/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf |archivedate=2018-08-05 }}</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-jio-geita}} {{Kata za Wilaya ya Geita}} [[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Geita|G]] [[Jamii:Wilaya ya Geita| ]] 1xizadqnrjni82d92yr9op05uke2oly 1241992 1241870 2022-08-12T10:09:44Z Riccardo Riccioni 452 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/196.249.103.49|196.249.103.49]] ([[User talk:196.249.103.49|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] wikitext text/x-wiki [[Picha:Tanzania Geita location map.svg|thumb|250px|Mahali pa wilaya ya Geita (kijani) ilipokuwa katika [[mkoa wa Mwanza]].]] '''Wilaya ya Geita''' ni [[wilaya]] mojawapo ya [[Mkoa wa Geita]]. Katika [[sensa]] ya mwaka 2012, [[idadi]] ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 807,619 <ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Geita Region – Geita District Council]</ref> [[Msimbo wa posta]] ni 30118 <ref>{{Cite web |url=https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2018-02-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180805072810/https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf |archivedate=2018-08-05 }}</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{mbegu-jio-geita}} {{Kata za Wilaya ya Geita}} [[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Geita|G]] [[Jamii:Wilaya ya Geita| ]] ggb1ahqmlb22f9a4kxgk10iz4fjfwrj Nungwi 0 21690 1242032 1168791 2022-08-12T11:06:10Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki [[Picha:Nungwi (2010-011-1318-T).jpg|thumb|Mchanga mweupe kwenye ufuko wa bahari wa Nungwi ni kati ya vivutio vya watalii]] '''Nungwi''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Unguja Kaskazini 'A']] katika [[Mkoa wa Kaskazini Unguja]], [[Tanzania]] inakadiliwa kupatikana maili 36 (kilomita 56) kaskazini mwa mji wa [[Zanzibari]], katika rasi ya Nungwi, kama [[mwendo]] wa saa moja kwa gari kutoka [[Mji Mkongwe]] wa Zanzibar. [[Postikodi]] ina [[namba]] '''73107'''. Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2002]], kata ina wakazi wapatao 7,916 waishio humo. <ref>{{cite web|url=http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/north_a.htm|title=Ripoti Kuu ya Hesabu ya Sensa ya Watu na Makazi kwa Mwaka wa 2002|publisher=Serikali ya [[Tanzania]]|language=en|accessdate=|archiveurl=https://web.archive.org/web/20031228055417/http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/north_a.htm|archivedate=2003-12-28}}</ref> Nungwi inajulikana pia kama "Ras Nungwi"<ref>http://gobackpacking.com/nungwi-village-zanzibar/</ref> maana inapatikana kwenye [[rasi]] iliyo ncha ya kaskazini ya [[Unguja|kisiwa cha Unguja]]. Katika miaka tangu mnamo mwaka 2000 Nungwi imekuwa moja kati ya vitovu vya utalii vya Unguja. Ni kijiji kikubwa kinachopatikana [[kaskazini]] ya mbali ya visiwa vya Zanzibar ambacho kinaweza kuwa kidogo kuliko eneo la [[Makunduchi]].<ref>http://gobackpacking.com/nungwi-village-zanzibar/</ref> ==Marejeo== {{marejeo}} {{Kata za Wilaya ya Unguja Kaskazini 'A'}} {{mbegu-jio-unguja}} [[Jamii:Mkoa wa Kaskazini Unguja]] [[Jamii:Wilaya ya Unguja Kaskazini 'A']] n22id2zb77dibl52o69bxdz9uyy0ut5 Orodha ya Marais wa Kenya 0 33430 1241994 1113675 2022-08-12T10:12:17Z 2409:4052:4E85:360C:0:0:5C0A:7C06 wikitext text/x-wiki [[File:Kenya presidential standard UHURU KENYATTA.svg|left|thumb|Bendera ya Rais ya Uhuru Kenyatta]] {{Politics of Kenya}} Ukarasa huu una orodha ya '''[[marais]] wa [[Kenya]]''': == Orodha ya wakuu wa serikali ya Kenya == === Jamhuri ya Kenya (1964 - hadi leo) === {{Rangi|[[Jubilee Alliance]]|#F5051c}} {{Rangi|[[National Rainbow Coalition|NARC]]/[[Party of National Unity (Kenya)|PNU]]|#0000CD}} {{Rangi|[[Kenya African National Union|KANU]]|#2BAE45}} {| class="wikitable" width="100%" ! align="left" width="10"|# ! width="100"| Picha ! width="200" width="22%"| Jina ! align="center" colspan="2" width="20%"|Muda ! align="left" width="20%" | Mwaka wa Uchaguzi/Asilimia ya wapiga kura |- | rowspan="3" align="center" style="background: #2BAE45;" |{{color|white|'''1'''}} | rowspan="3" align="center" |[[File:Jomo Kenyatta.jpg |100px]] | rowspan="3" align="center" |'''[[Jomo Kenyatta]]'''<br><small>(1893 – 1978)</small> |<small>12 Desemba</small><br />1964 |<small>6 Desemba</small><br />1969 |[[History of Kenya#Commonwealth realm and Republic|1964]] — <br> |- |<small>6 Desemba</small><br />1969 |<small>14 Octoba</small><br>1974 |[[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1969|1969]] — Hakupingwa |- |<small>14 Octoba</small><br>1974 |<small>22 Agosti</small><br>1978 (Alifariki akiwa Rais) |[[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1974|1974]] — Hakupingwa |- | colspan="6" align="center" style="background:#EEEEEE;" |''Katika muda huu, Makamu wa Rais '''[[Daniel Arap Moi]]''' alikuwa anasimamia Cheo/Kiti cha Rais.'' |- | rowspan="3" align="center" style="background: #2BAE45;" |{{color|white|'''2'''}} | rowspan="3" align="center" |[[File:Kenya-moi.jpg|100px]] | rowspan="3" align="center" |'''[[Daniel Arap Moi]]'''<br><small>(1924 – 2020)</small> |<small>8 Novemba</small><br>1979 |<small>26 Septemba</small><br>1983 |[[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1979|1979]] — Hakupingwa <ref>http://www.aaregistry.org/historic_events/view/kenya-achieves-independence</ref> |- |<small>26 Septemba</small><br>1983 |<small>21 Machi</small><br>1988 |[[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1983|1983]] — Hakupingwa <ref>http://www.aaregistry.org/historic_events/view/kenya-achieves-independence</ref> |- |<small>21 Machi</small><br>1988 |<small>29 Desemba</small><br>1992 |[[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1988|1988]] — Hakupingwa <ref>http://www.aaregistry.org/historic_events/view/kenya-achieves-independence</ref> |- | colspan="6" style="background-color:#89CFF0;" |'''Chama zote ziliwezeshwa kupingana katika Uchaguzi wa [[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1992|1992]]''' |- | rowspan="2" align="center" style="background: #2BAE45;" |{{color|white|'''(2)'''}} | rowspan="2" align="center" |[[File:Kenya-moi.jpg|100px]] | rowspan="2" align="center" |'''[[Daniel Arap Moi]]'''<br><small>(1924 – 2020)</small> |<small>29 Desemba</small><br>1992 |<small>29 Desemba</small><br>1997 |[[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1992|1992]] — 36.4% |- |<small>29 Desemba</small><br>1997 |<small>29 Desemba</small><br>2002 |[[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1997|1997]] — 40.6% |- | rowspan="2" align="center" style="background: #0000CD;" |{{color|white|'''3'''}} | rowspan="2" align="center" |[[File:Mwai Kibaki 2011-07-08.jpg|100px]] | rowspan="2" align="center" |'''[[Mwai Kibaki]]'''<br><small>(1931– )</small> |<small>29 Desemba</small><br>2002 |<small>29 Desemba</small><br>2007 |[[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2002|2002]] — 61.3% |- |<small>30 Desemba</small><br>2007 |<small>3 Aprili</small><br>2013 |[[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007|2007]] — Haijulikani % |- | align="center" style="background: #F5051c;" |{{color|white|'''4'''}} | align="center" |[[File:Uhuru Kenyatta.jpg|100px]] | align="center" |'''[[Uhuru Kenyatta]]''' <br> <small>(1961– )</small> |<small>4 Aprili</small><br>2013 |Hadi Sasa |[[Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2013|2013]] — 50.07%<br>6,158,610 |- | | | | | | |} == Tazama pia == *[[Kenya]] **[[Wakuu wa Serikali ya Kenya]] **[[Makamu wa Rais wa Kenya]] **[[Wakoloni wakuu wa Kenya]] *[[Orodha ya viongozi]] ==Marejeo== {{reflist}} {{Hoja Kuhusu Kenya}} {{Marais wa Kenya}} [[Jamii:Marais wa Kenya|!]] [[Jamii:Orodha za marais|Kenya]] ajyye8nha9corl6eejxrxrn07z08oxr Paa (Bovidae) 0 36039 1242049 1241838 2022-08-12T11:32:02Z ChriKo 35 Nyongeza picha wikitext text/x-wiki {{Uainishaji | rangi = #D3D3A4 | jina = Paa | picha = Common duiker kenya.jpg | upana_wa_picha = 250px | maelezo_ya_picha = [[Nsya]]<br><sup>(''Sylvicapra grimmia'')</sup> | himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small> | faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small> | ngeli = [[Mammalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small> | oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small> | nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small> | familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe)</small> | bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821 | nusufamilia = [[Cephalophinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na [[Paa (Bovidae)|paa]])</small> | bingwa_wa_nusufamilia = J. E. Gray, 1871 | subdivision = '''Jenasi 3, spishi 21:''' * ''[[Cephalophus]]'' <small>[[Charles Hamilton Smith|C. H. Smith]], 1827</small> ** ''[[Cephalophus adersi|C. adersi]]'' <small>[[Oldfield Thomas|Thomas]]'', 1918</small> ** ''[[Cephalophus brookei|C. brookei]]'' <small>(Thomas, 1903)</small> ** ''[[Cephalophus callipygus|C. callipygus]]'' <small>[[Wilhelm Peters|Peters]], 1876</small> ** ''[[Cephalophus dorsalis|C. dorsalis]]'' <small>[[John Edward Gray|Gray]], 1846</small> ** ''[[Cephalophus harveyi|C. harveyi]]'' <small>Thomas, 1893</small> ** ''[[Cephalophus jentinki|C. jentinki]]'' <small>Thomas, 1892</small> ** ''[[Cephalophus leucogaster|C. leucogaster]]'' <small>Gray, 1873</small> ** ''[[Cephalophus natalensis|C. natalensis]]'' <small>[[Andrew Smith|Smith]], 1834</small> ** ''[[Cephalophus niger|C. niger]]'' <small>Gray, 1846</small> ** ''[[Cephalophus nigrifrons|C. nigrifrons]]'' <small>Gray, 1871</small> ** ''[[Cephalophus ogilbyi|C. ogilbyi]]'' <small>([[George Robert Waterhouse|Waterhouse]], 1838)</small> ** ''[[Cephalophus rubidus|C. rubidus]]'' <small>Thomas, 1901</small> ** ''[[Cephalophus rufilatus|C. rufilatus]]'' <small>Gray, 1846</small> ** ''[[Cephalophus spadix|C. spadix]]'' <small>[[Frederick W. True|True]], 1890</small> ** ''[[Cephalophus silvicultor|C. silvicultor]]'' <small>([[Adam Afzelius|Afzelius]], 1815)</small> ** ''[[Cephalophus weynsi|C. weynsi]]'' <small>Thomas, 1901</small> ** ''[[Cephalophus zebra|C. zebra]]'' <small>Gray, 1838</small> * ''[[Philantomba]]'' <small>[[Edward Blyth|Blyth]], 1840</small> ** ''[[Philantomba maxwellii|P. maxwellii]]'' <small>([[Charles Hamilton Smith|C.H. Smith]], 1827)</small> ** ''[[Philantomba monticola|P. monticola]]'' <small>([[Carl Peter Thunberg|Thunberg]], 1789)</small> ** ''[[Philantomba walteri|P. walteri]]'' <small[[Marc Colyn|Colyn]] ''et al.'', 2010</small> * ''[[Sylvicapra]]'' <small>[[William Ogilby|Ogilby]], 1837</small> ** ''[[Sylvicapra grimmia|S. grimmia]]'' <small>([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758)</small> }} Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru '''Paa''' ([[ing.]] ''duiker''; huitwa pia: '''Nsya''', ''Sylvicapra grimmia''; '''Mindi''', ''Cephalophus spadix''; '''Funo''', ''Cephalophus natalensis''; na '''Chesi''', ''Philantomba monticola'') ni jina la kawaida kwa [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[Afrika]] wanaofanana na [[swala]] na walio na pembe fupi. Huainishwa katika [[nususfamilia]] [[Cephalophinae]] ya [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. [[Paa-chonge]] ni wanyama wengine katika familia [[Tragulidae]]. ==Spishi== * '''Nusufamilia Cephalophinae''' ** '''Jenasi ''Cephalophus''''' *** ''Cephalophus adersi'', [[Paa Nunga]] ([[w:Ader's Duiker|Ader's Duiker]]) *** ''Cephalophus brookei'', [[Paa wa Brooke]] ([[w:Brooke's Duiker|Brooke's Duiker]]) *** ''Cephalophus callipygus'', [[Funo wa Peters]] ([[w:Peters's Duiker|Peters's Duiker]]) *** ''Cephalophus dorsalis'', [[Paa Mgongo-mweusi]] ([[w:Bay Duiker|Bay Duiker]]) *** ''Cephalophus harveyi'', [[Funo wa Harvey]] ([[w:Harvey's Duiker|Harvey's Duiker]]) *** ''Cephalophus jentinki'', [[Paa wa Jentink]] ([[w:Jentink's Duiker|Jentink's Duiker]]) *** ''Cephalophus leucogaster'', [[Paa Tumbo-jeupe]] ([[w:White-bellied Duiker|White-bellied Duiker]]) *** ''Cephalophus natalensis'', [[Funo]] ([[w:Red Forest Duiker|Red Forest Duiker]]) *** ''Cephalophus niger'', [[Paa Mweusi]] ([[w:Black Duiker|Black Duiker]]) *** ''Cephalophus nigrifrons'', [[Paa Paji-jeusi]] ([[w:Black-fronted Duiker|Black-fronted Duiker]]) *** ''Cephalophus ogilbyi'', [[Paa wa Ogilby]] ([[w:Ogilby's Duiker|Ogilby's Duiker]]) *** ''Cephalophus rubidis'', [[Paa Mwekundu]] ([[w:Ruwenzori Duiker|Ruwenzori Duiker]]) *** ''Cephalophus rufilatus'', [[Paa Mbavu-nyekundu]] ([[w:Red-flanked Duiker|Red-flanked]]) *** ''Cephalophus silvicultor'', [[Kipoke (paa)|Kipoke]] ([[w:Yellow-backed Duiker|Yellow-backed Duiker]]) *** ''Cephalophus spadix'', [[Mindi]] ([[w:Abbott's duiker|Abbott's Duiker]]) *** ''Cephalophus weynsi'', [[Funo wa Weyns]] ([[w:Weyns's Duiker|Weyns's Duiker]]) *** ''Cephalophus zebra'', [[Paa Milia]] ([[w:Zebra Duiker|Zebra Duiker]]) ** '''Jenasi ''Philantomba''''' *** ''Philantomba maxwellii'', [[Chesi wa Maxwell]] ([[w:Maxwell's Duiker|Maxwell's Duiker]]) *** ''Philantomba monticola'', [[Chesi (mnyama)|Chesi]] ([[w:Blue Duiker|Blue duiker]]) *** ''Philantomba walteri'', [[Chesi wa Walter]] ([[w:Walter's Duiker|Walter's Duiker]]) ** '''Jenasi ''Sylvicapra''''' *** ''Sylvicapra grimmia'', [[Nsya]] ([[w:Common Duiker|Common Duiker]]) ==Picha== <gallery> Cephalophus adersi 35368339.jpg|Paa nunga Peters Duiker (Cephalophus callipygus) from behind, Campo Maan National Park.jpg|Funo wa Peters Cephalophus dorsalis.JPG|Paa mgongo-mweusi Rotducker im Okapi-Wald - Zoo Leipzig.png|Funo Cephalophus niger.jpg|Paa mweusi Cephalophe a front noir.jpg|Paa paji-jeusi Redflankedduiker.jpg|Paa mbavu-nyekundu Yellow-backed Duiker.jpg|Kipoke Cephalophus weynsi.jpg|Funo wa Weyns Cephalophus zebra.jpg|Paa milia Stavenn Cephalophus maxwellii.jpg|Chesi wa Maxwell Blue Duiker.jpg|Chesi Common Duiker1.jpg|Nsya </gallery> {{mbegu-mnyama}} {{Artiodactyla|R.2}} [[Jamii:Ng'ombe na jamaa]] [[Jamii:Wanyama wa Afrika]] [[Jamii:Wanyama wa Biblia]] tsni8rnt78d4rf03dohcufk5qxl8lil Majadiliano:Mbweni, Kinondoni 1 51444 1242038 506154 2022-08-12T11:13:46Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano:Mbweni]] hadi [[Majadiliano:Mbweni, Kinondoni]]: kutofautisha mahali wikitext text/x-wiki {{Majadiliano|noarchive=yes}} {{Mradi wa Tanzania}} pjur4zrir3pygt4rn4waka5l44250as Godfrey Mwakikagile 0 56286 1241919 1192898 2022-08-11T21:21:39Z Benix Mby 36425 /* Tanbihi */ wikitext text/x-wiki {{Infobox journalist | name = Godfrey Mwakikagile | image = | caption = | birthname = | birth_date = [[4 Oktoba 1949]] | birth_place = [[Kigoma]], [[Tanganyika]] | death_date = | death_place = | education = | nationality = [[Mtanzania]] | occupation = [[wikt:Mwanazuoni|mwanazuoni]], [[mtunzi]] and [[mwandishi wa habari]] | alias = | title = | family = | spouse = | domestic_partner = | children = | relatives = Elijah Mwakikagile (father) na Syabumi Mwakikagile (née Mwambapa, mother)<ref name="Kyoso pp. 8-9">Kyoso, David E, ''Godfrey Mwakikagile: Biography of an Africanist'', Intercontinental Books (2017), pp. 8-9, {{ISBN|9781981731503}} [https://books.google.co.uk/books?id=njZFDwAAQBAJ&pg=PA9#v=onepage&q&f=false] (last retrieved 10th November 2018)</ref> | ethnic = | notableworks = ''Nyerere and Africa: End of an Era'' (2007) ''Africa and The West'' (2000) <br>''Africans and African Americans: Complex Relations – Prospects and Challenges'' (2009) <br> ''Africa 1960 – 1970: Chronicle and Analysis'' (2009) ''Africa After Independence: Realities of Nationhood'' (2009) | religion = | salary = | networth = | credits = | agent = | URL = }} '''Godfrey Mwakikagile''' (alizaliwa [[Kigoma]], [[4 Oktoba]] [[1949]]) ni [[mwandishi]] [[Tanzania|Mtanzania]] aishiye nchini [[Marekani]]. Anajulikana hasa kwa kuandika wasifu wa [[rais]] [[Julius Kambarage Nyerere]]. Ameandika zaidi ya [[vitabu]] [[sabini]] <ref>https://www.thriftbooks.com/a/godfrey-mwakikagile/550260/</ref>. Vitabu vyake vingi vinatumiwa vyuoni katika nchi mbalimbali [[duniani]]. Ameandika vitabu vya [[siasa]], [[uchumi]], [[historia]] na masomo mengine kuhusu [[bara]] la [[Afrika]] na nchi mbalimbali katika bara hilo. Pia ameandika vitabu kuhusu watu weusi wenye asili ya Kiafrika nchini Marekani, [[Uingereza]] na visiwa vya [[Karibi]] pamoja na nchi ya [[Belize]], bara la [[Amerika]], ambayo pia ina asili ya [[watumwa]] kutoka Afrika. Pia aliwahi kuwa mwandishi wa gazeti la [[Daily News]] ambapo wakati huo lifahamika kama "The Standard". Mwakikagile alikuja kupata umaarufu baada ya kuandika kitabu kinachoitwa ''Nyerere and Africa: End of an Era'' <ref>https://books.google.co.tz/books/about/Nyerere_and_Africa.html?id=D4LcR4iOmcYC&printsec=frontcover&source=kp_read_button&redir_esc=y#v=onepage&q&f=false</ref>, ambacho ni biografia ya Rais wa kwanza wa [[Tanzania]] Julius Nyerere na ambacho kinaongelea [[Afrika]], maisha ya [[ukoloni]], [[vita vya ukombozi]] katika [[nchi]] za [[kusini mwa Afrika]] ambapo Nyerere alisaidia kwa kiasi kikubwa. == Maisha yake ya mwanzo na kazi == Kabla ya kwenda nchini [[Marekani]], Godfrey Mwakikagile alikuwa [[mwandishi wa habari]], ''Daily News'' moja kati ya [[magazeti]] makubwa na makongwe nchini Tanzania, pia ni kati ya magazeti makubwa [[Afrika Mashariki]], [[Dar es Salaam]], Tanzania. Pia aliwahi kuwa mwandishi wa habari katika Wizara ya Habari na Utangazaji, [[Dar es Salaam]]. Mhariri wa ''Daily News'' wakati ule, [[Benjamin Mkapa]], ambaye baadaye alichaguliwa kuwa [[rais]] wa Tanzania, alimsaidia kwenda Marekani kusoma. Alipokuwa [[mwanafunzi]] Chuo Kikuu cha Wayne State, [[Detroit]], [[Michigan]], nchini Marekani, Godfrey Mwakikagile alichaguliwa kuwa rais wa Chama cha Wanafunzi wa Kiafrika katika chuo hicho. Amewahi kufundisha sehemu mbalimbali nchini Marekani. Pia amealikwa na vyuo vikuu mbalimbali nchini Marekani kwenda kuzungumza na wanafunzi na walimu wa vyuo hivyo kuhusu masuala mbalimbali kwa sababu ya vitabu alivyoandika. Vyombo mbalimbali vya habari, pamoja na BBC, Voice of America (VOA), PBS (Public Broadcasting Service) ya Marekani na vingine navyo vimemwalika kuzungumza naye kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu bara la Afrika pamoja na viongozi wake na sera zao. Professor Guy Martin, katika kitabu chake, ''African Political Thought'', ameandika kwamba Godfrey Mwakikagile ni miongoni mwa wasomi wa juu kutoka bara la Afrika ambao ni "populist scholars" na "thinkers" pamoja na viongozi kama Kwame Nkrumah, Mwalimu Julius Nyerere, Amilcar Cabral, Cheikh Anta Diop, Steve Biko, na Claude Ake, katika historia ya bara hilo tangu karne nyingi zilizopita. Godfrey Mwakikagile anaendelea kuandika vitabu. Kitabu chake ambacho kilichapishwa tarehe 4 Oktoba 2019, siku yake ya kuzaliwa, kinaitwa ''Conquest of the Mind: Imperial subjugation of Africa''. ==Tanbihi== {{reflist}} {{Mbegu-mwandishi}} {{DEFAULTSORT:Mwakikagile, Godfrey}} [[Jamii:Waliozaliwa 1949]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Waandishi wa Tanzania]] [[Jamii:Afrocine 2019-Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] ouasm4rlc1fmfbnsepjdfdueehwnwoc Pofu (jenasi) 0 56407 1242051 1199971 2022-08-12T11:56:33Z ChriKo 35 Nususpishi katika sanduku wikitext text/x-wiki {{Uainishaji | rangi = #D3D3A4 | jina = Pofu | picha = BirdsOnBuck.jpg | upana_wa_picha = 250px | maelezo_ya_picha = [[Pofu magharibi]]<br><sup>(''Taurotragus derbianus'')</sup> | domeni = | himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small> | faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small> | ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small> | oda = [[Artiodactyla]] <small>(Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)</small> | nusuoda = [[Ruminantia]] <small>(Wanyama wanaocheua)</small> | familia = [[Bovidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na [[ng'ombe]])</small> | bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821 | nusufamilia = [[Bovinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na ng'ombe)</small> | jenasi = ''[[Taurotragus]]'' <small>(Pofu)</small> | bingwa_wa_jenasi = [[Johann Andreas Wagner|Wagner]], 1855 | subdivision = '''Spishi 2, nususpishi 5:''' * ''[[Taurotragus derbianus|T. derbianus]]'' <small>(J. E. Gray, 1847)</small> ** ''[[Taurotragus derbianus derbianus|T. d. derbianus]]'' <small>(J. E. Gray, 1847)</small> ** ''[[Taurotragus derbianus gigas|T. d. gigas]]'' <small>[[Theodor von Heuglin|Heuglin]], 1863</small> * ''[[Taurotragus oryx|T. oryx]]'' <small>([[Peter Simon Pallas|Pallas]], 1766)</small> ** ''[[Taurotragus oryx livingstonei|T. o. livingstonei]]'' <small>([[Philip Sclater|Sclater]], 1764)</small> ** ''[[Taurotragus oryx oryx|T. o. oryx]]'' <small>([[Peter Simon Pallas|Pallas]], 1766)</small> ** ''[[Taurotragus oryx pattersonianus|T. o. pattersonianus]]'' <small>([[Richard Lydekker|Lydekker]], 1906)</small> }} '''Pofu''', '''mbungu''' au '''mbunju''' (kwa [[Kiing.]] [[w:Eland|eland]]) ni [[mnyama|wanyamapori]] wa [[jenasi]] ''[[Taurotragus]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. Wanatokea [[savana]] zenye [[mti|miti]] katika [[Afrika]]. Wanyama hawa ni wakubwa kuliko spishi nyingine za Bovidae za Afrika. Rangi yao ni kahawianyekundu, kahawia, hudhurungi au kijivu na mara nyingi wana milia ya wima mbavuni. Wana [[ngozi]] ndefu chini ya koo lao. [[Pembe (anatomia)|Pembe]] zao ni ndefu kiasi, zile za jike ndefu kuliko zile za dume. ==Spishi== * ''Taurotragus derbianus'', [[Pofu Mkubwa]] ([[w:Giant Eland|Giant Eland]]) ** ''Taurotragus d. derbianus'', [[Pofu Mkubwa Magharibi]] ([[w:Giant Eland|Western Giant Eland]]) ** ''Taurotragus d. gigas'', [[Pofu Mkubwa Mashariki]] ([[w:Giant Eland|Eastern Giant Eland]]) * ''Taurotragus oryx'', [[Pofu wa Kawaida]] ([[w:Common Eland|Common Eland]]) ** ''Taurotragus o. livingstonei'', [[Pofu wa Zambia]] ([[w:Common Eland|Livingstone's Eland]]) ** ''Taurotragus o. oryx'', [[Pofu Kusi]] ([[w:Common Eland|Cape Eland]]) ** ''Taurotragus o. pattersonianus'', [[Pofu Mashariki]] ([[w:Common Eland|East African Eland]]) ==Picha== <gallery> Eland (Taurotragus oryx) male (32708655016).jpg|Pofu kusi Common eland mara.jpg|Pofu mashariki </gallery> {{Artiodactyla|R.4}} {{mbegu-mnyama}} [[Jamii:Ng'ombe na jamaa]] [[Jamii:Wanyama wa Afrika]] qccctlp6va141cdjgpj2ex0y29gxdib Christopher Richard Mwashinga 0 60110 1241934 1208876 2022-08-11T22:07:10Z Benix Mby 36425 /* Tanbihi */ wikitext text/x-wiki [[Picha:Chris.jpeg|thumb|right|250px| {{ PAGENAME }}]] '''Christopher R. Mwashinga, Jr''' (amezaliwa Januari 9, [[1965]]) ni [[mchungaji]], [[mwanateolojia]], [[mwandishi]] wa [[vitabu]] na [[mshairi]] kutoka nchi ya [[Tanzania]] anayeishi nchini [[Marekani]]. Amechapisha vitabu vya mashairi, teolojia, utume na historia ya dini. [[Mashairi]] yake yamechapishwa [[Singapore]] <ref> ''El Shadai Magazine.''</ref>, Tanzania <ref>Tanzania's ''Sunday News'' of October 1991; January 1992; </ref>, Kenya <ref> Kenya's ''Sunday Nation'' of 18 June 1995; 13 August 1995</ref> na Marekani<ref> ''The League of American Poets' Anthology: A Treasury of American Poetry'' Vol. III, published in 2007; ''Literature Evangelist Magazine'' published by the General Conference of Seventh-day Adventists, June 1996; and ''Great Poems of the Western World'', 2010</ref>. Anaandika vitabu kwa [[lugha]] ya [[Kiingereza]] na [[Kiswahili]]. __TOC__ ==Asili na Familia== Alizaliwa akiwa mtoto wa tatu wa mzee Richard Male Mwashinga kutoka katika ukoo wa kichifu (Mwene) katika kitongoji cha [[Igawilo]], jijini [[Mbeya]], na mama Christine Mwaselela toka kitongoji cha [[Inyala]], Mbeya, nchini [[Tanzania]]. Kwa miaka mingi wazazi wake waliishi katika eneo la [[Uyole]] ndani ya Jiji la Mbeya.<ref> ''Moments of my Christian Experience'', Berrien Springs, MI: Maximum Hope, 2016</ref> ==Elimu== Christopher R. Mwashinga alisoma katika shule ya msingi Ngare-Nairobi, mkoani Kilimanjaro. Alihitimu elimu ya sekondari katika shule za [[Igawilo]] Sekondari iliyoko jijini Mbeya [[1988]] [[kidato cha nne]] na Shule ya Sekondari ya Wavulana Songea [[1991]][[kidato cha sita]]. Alipomaliza masomo ya sekondari, alijiunga na Chuo Kikuu {{Arusha}} kusomea theolojia mwaka [[1993]]. Mwaka [[1994]] alihamia Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki,[[Baraton nchini Kenya]] alipotunukiwa shahada ya kwanza BA katika theolojia mwaka [[1997]]<ref>''Gazeti la Parapanda'' Gazeti Na. 2, Toleo la 1, Januari-Juni, [[2004]]</ref>. Vile vile alitunukiwa shahada mbili za uzamili katika mambo ya theolojia,[[Master of Divinity]] MDiv ([[2008]])<ref>''IN TOUCH'' Volume 2 Issue 3. A Newsletter of the Seminary Student Forum, March [[2008]]. Andrews University.</ref> na Master of Arts, MA in Systematic Theology,([[2010]])<ref>Bruce Bauer, ed. ''Diversity: Challenges and Opportunities.'' Berrien Springs, MI: Department of World Mission, Andrews University, 2010, 79-82.</ref>,zote katika Chuo Kikuu cha Andrews kilichopo katika jimbo la Michigan nchini [[Marekeni]]; mahali ambapo baadaye alijiunga na masomo ya shahada ya juu ya Udaktari wa Falsafa ([[Ph.D]]) katika fani ya theolojia.<ref>''The Andrews University Seminary Student Journal'' Vol. 2, No. 1, 2016: 33-51</ref> ==Huduma kwa Vijana na Wanafunzi== [[Picha:048.JPG|thumb|right|250px| {{PAGENAME}}]] Alifanya kazi kama Mkurugenzi wa idara ya Elimu na Vijana katika Jimbo la Mashariki mwa Tanzania la Kanisa la Waadventista wa Sabato kuanzia 1997-2005.<ref>Mwashinga, ''Enduring the Cross: Messages of Salvation and Hope,'' 250-252</ref><ref>Seventh-day Adventist Year Book 2005, p. 51</ref> Jimbo la Mashariki mwa Tanzania linajumuisha mikoa ya [[Dar Es Salaam]], Morogoro, Dodoma, Pwani, Mtwara na Lindi kwa upande wa Tanzania bara, na mikoa yote ya Tanzania visiwani. Kazi yake ilimpatia fursa ya kukutana na wakuu wa vyuo vikuu vingi katika mabara matano duniani. Sauti yake ilikuwa ikisikika mara kwa mara katika vyuo vikuu vya Afrika Mashariki hasa kati ya 1992-2005. Kila mwaka alikuwa akifanya mikutano mikubwa ya Injili katika majumba ya mikutano ya vyuo vikuu mbalimbali kama vile Nkrumah Hall ([[Chuo Kikuu cha Dar es salaam]]), Multi-Purpose Hall ([[Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine]]), New Assembly Hall ([[Chuo Kikuu Mzumbe]]); na katika taasisi nyingine nyingi za elimu ya juu nchini Tanzania kama vile Chuo Kikuu cha Sayansi ya Tiba, Muhimbili, Chuo Kikuu cha Ardhi, Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Chuo cha Ufundi Arusha, Taasisi ya Teknolojia Dar Es Salaam, Chuo Kikuu Arusha, Chuo cha Ufundi Mbeya n.k.<ref>Christopher Mwashinga,Jr ''The Works of Christopher Mwashinga Volume II: Sermons, Speeches, and Poems'' (Berrien Springs, MI: Maximum Hope Books,2014),609.</ref><ref>Seventh-day Adventist Year Book 2005, p. 51</ref> Vile vile katika mikutano ya kila mwaka ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya Afrika Mashariki alikuwa mhutubu katika vyuo vikuu mbalimbali kama vile Chuo Kikuu cha Nairobi,Chuo Kikuu cha Moi, Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki, Baraton, na Chuo cha Teknolojia cha Mombasa, vilivyopo nchini Kenya. Katika nchi ya Uganda alihutubu katika Chuo Kikuu cha Makerere na Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbarara. Mikutano yake ilihudhuriwa na wanafunzi na wahadhiri wengi katika vyuo hivyo. Katika hotuba zake pamoja na kuhubiri Injili, alitumia fursa hiyo kuwahamasisha wanafunzi na jumuiya za vyuo vikuu kutokata tamaa na kuweka malengo ya juu katika kutoa mchango wao wa huduma bora kwa jamii kwa ujumla. Mara nyingi alikemea ubaguzi, ubinafsi, kupenda pesa zaidi kuliko kupenda watu, na alisisitiza kwamba ili nchi yoyote iendelee, wasomi wake lazima wawajibike katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa,huku wakiwajali wananchi wa kawaida ambao wengi wao hawajapata fursa yakusoma katika taasisi za elimu ya juu kama wao. Alizoea kuwakumbusha wasikilizaji wake kwamba maendeleo siku zote yanaanzia chini kwenda juu na siyo kinyume chake. "Wananchi wa kawaida wakiendelea, nchi itaendelea." Siku zote aliwasisitizia juu ya umuhimu wa kuwa wazalendo kweli kweli na kwamba ni muhimu kuwa na mapenzi mema na nchi yao. Aliwakumbusha wasomi kwamba Ukristo wa kweli na uzalendo wa kweli havipingani. Mtu anaweza kuwa Mkristo wa kweli na mzalendo wa kweli kwa wakati mmoja. Vile vile mtu anaweza kuwa na mafanikio kitaaluma na akawa na bidii katika maswala ya imani. Kitabu chake kiitwacho ''Rays of Hope: Living to Make a Difference'' ni makusanyo ya baadhi ya hotuba zake zilizopendwa sana na jumuiya za vyuo vikuu vya Tanzania. Vile vile baadhi mahuburi yake aliyoyahubiri katika vyuo vikuu vingi yamechapishwa katika kitabu kinachoitwa: ''Enduring the Cross: Messages of Salvation and Hope.''<ref>''Enduring the Cross: Messages of Salvation and Hope,'' 250-252</ref> == Ushairi na Uandishi== ===Ushairi=== Kwa zaidi ya miaka thelathini, Christopher Mwashinga amekuwa akiandika mashairi ya Kiswahili na Kiingereza. Mashairi yake ya Kiingereza yamechapwa katika magazeti na vitabu maarufu kakika nchi mbalimbali duniani. Nchini Tanzania mashairi yake ya Kiingereza yalitokea zaidi katika gazeti la ''Sunday News'' hasa katika miaka ya tisini.<ref>Tanzania's ''Sunday News'' of October 6, 1991; ''Sunday News'' January 19,1992; ''Sunday News'' May 10, 1992 </ref> Yalichapishwa vile vile katika nchini Kenya katika gazeti maarufu la "Sunday Nation" <ref> Kenya's ''Sunday Nation'' of June 18, 1995; Jaly 9, 1995; November 26, 1995</ref>. Yalichapishwa pia nchini Singapore, na Marekani. Nchini Marekani, mashairi yake yalichapishwa na makampuni makubwa kama vile ''The League of American Poets''<ref> ''The League of American Poets' Anthology: A Treasury of American Poetry'' Vol. III, published in 2007</ref> na Famous Poets Press katika kitabu chao cha Mashairi Makuu ya Ulimwengu wa Magharibi (Great Poems of the Western World)<ref>''Great Poems of the Western World'', 2010</ref>; <ref>''PS:It's Poetry: An Anthology of Eclectic Contemporary Poems Written by Poets Around the Globe.''</ref>. Mashairi yake ya Kiswahili yamechapishwa katika magazeti na majarida mbalimbali pia ikiwa ni pamoja na gazeti la ''Sauti Kuu''<ref> ''Sauti Kuu'' Alhamisi, Januari 30, 2020; Alhamisi, Februari 13,2020; Alhamisi, Januari 13-19, 2022.</ref> Mashairi yake mengi yanapatikana katika vitabu vyake vitano vya Kiingereza, [[''Beaches of Golden Sand'']]: Inspirational Poems''; ''Windows of Love''; ''Ocean of Grace''; ''Short Poems of Christopher Mwashinga'' na ''Collected Poems of Christopher Mwashinga.'' Mashairi yake ya Kiswahili yamechapishwa katika vitabu zaidi ya kumi ikiwa ni pamoja na ''Sauti Toka Ughaibuni''; ''Kilele cha Tumaini''; ''[[Tumaini Lenye Baraka: Diwani ya Christopher Mwashinga]]''; ''Sauti ya Faraja na Matumaini''; ''Mdomo Mmoja na Masikio Mawili: Mashairi ya Watoto'' ;''Mionzi ya Matumaini''; ''Njia ya Matumaini''; "Kazi za Christopher Mwashinga, Juzuu ya 3: Mashairi'' na ''Mwenge wa Matumaini.'' Mashairi yake pia yamekuwa yakighanwa au kusomwa katika vyombo mbalimbali vya habari kama vile televisheni na redio katika nchi mbalimbali duniani.<ref> https://www.youtube.com/watch?v=4lCJjpEFs3Q </ref> ; <ref> https://www.youtube.com/watch?v=EkCL5NfJFxQ</ref> ;<ref> https://www.youtube.com/watch?v=y3WXarWW5SQ </ref>; <ref> https://www.youtube.com/watch?v=yvcEfEt7BH4 </ref> Historia ya kazi yake ya kutunga mashairi ya Kiswahili inapatikana hapa [[Ushairi wa Christopher Richard Mwashinga]]. ===Uandishi wa vitabu vingine=== Pamoja na vitabu vya mashairi, ameandika vitabu vingine zaidi ya ishirini ikiwa ni pamoja na: '' A History of Christianity in East Africa: The Beginning and Development of Missions'' ; ''Rays of Hope: Living to Make a Difference'', ''Enduring the Cross: Messages of Salvation and Hope'', ''Barua na Mashairi'' ,'' Mission Theology and a History of Christian Missions in East Africa'' ''Utume na Ukristo Katika Afrika Mashariki'', ''Uadventista Barani Afrika: Channgamoto na Fursa za Ukuaji'', pamoja na majuzuu kadhaa ya makusanyo ya kazi zake za Kiingereza na za Kiswahili ikiwa ni pamoja na The Works of Christopher Mwashinga Vols I, II, III. IV. Pia Kazi zake za Kiswahili Juzuu ya 1,2,3,na 4. Journals and Diaries (1)'' Berrien Springs, MI: Maximum Hope, 2017</ref>. Vitabu vyake vimechapishwa na makala zake za kisomi na kitaaluma zimechapishwa na makampuni mbalimbali ya uchapishaji ikiwa ni pamoja na [[AuthorHouse]], ''Journal of the Adventist Theological Society''; ''Journal of Adventist Mission Studies''; ''Andrews University Seminary Student Journal'' na vingine vimechapishwa na Maximum Hope Books (Independent-publishing) kwa kushirikiana na Amazon.com. == Uanachama katika vyama vya kitaaluma== * Adventist Theological Society * American Academy of Religion * Michigan Academy of Science, Arts, and Letters * American Academy of Poets * Evangelical Theological Society ==Machapisho yake== ===Vitabu vya Kiswahili=== ==Ushairi== * 2022: ''Mwenge wa Matumaini'' ISBN: 979-8409199289 * 2021: ''Njia ya Matumaini'' ISBN: 9798517546630 * 2020: ''Mionzi ya Matumaini'' ISBN: 9798656208864 * 2019: ''Mdomo Mmoja, Masikio Mawili: Mashairi ya Watoto'' ISBN 978-9976-5177-3-6 * 2018: ''Sauti ya Faraja na Matumaini'' ISBN 978-9976-5177-1-2 * 2017: ''[[Tumaini Lenye Baraka]]'' ISBN 978-0-990-32931-2 * 2016: ''Kilele Cha Tumaini'' ISBN 978-9987-9460-9-9 * 2014: ''Sauti Toka Ughaibuni'' ISBN 978-9987-9460-3-7 ==Vitabu vingine== * 2020: ''Waraka wa Paulo kwa Waefeso" ISBN 979-8666909997'' * 2018: ''Kumtumaini Yesu'' ISBN 978-9976-5177-0-5 * 2017: ''Uadventista Barani Afrika: Changamoto na Fursa za Ukuaji'' ISBN 978-9987-9460-2-0 * 2014: ''Waadventista Wasabato na Utunzaji wa Sabato: Historia Fupi'' ISBN 978-9987-9460-5-1 * 2013: ''Utume na Ukristo Katika Afrika Mashariki'' ISBN 978-9987-9460-1-3 * 2013: ''Barua na Mashairi'' ISBN 978-0-9832322-6-1 ===Mradi wa makusanyo ya kazi za Kiswahili za Christopher Mwashinga=== *''2019: Kazi za Christopher Mwashinga, Juzuu ya I: Maandiko ya Awali'' ISBN 978-9976-5177-2-9 *''2020: Kazi za Christopher Mwashinga, Juzuu II: Utume, Theolojia, Mahubiri, Barua'' ISBN 978-9976-5177-7-4 *''2020: Kazi za Christopher Mwashinga, Juzuu III: Mashairi'' ISBN 978-9976-5177-5-0 ===Vitabu vya Kiingereza=== *''2019: Short Poems of Christopher Mwashinga'' ISBN 978-1696-7894-3-1 *''2019: Crisscrossing the United States'' ISBN 978-1693-3522-6-3 *''2016: Moments of my Christian Experience'' ISBN 978-9987-9460-7-5 *''2016: Ocean of Grace'' ISBN 978-1524620974 *''2014: Insights From Bible Lands: Turkey, Israel, Egypt, and Greece'' (2014) ISBN 978-0-9832322-7-8 *''2013: Mission Theology and a History of Christian Missions in East Africa'' (2013) ISBN 978-0-9832322-5-4 *''2012: Enduring the Cross:Messages of Salvation of Hope'' (2012) ISBN 978-0-9832322-0-9 *''2011: Windows of Love'' (2012) ISBN 978-0-9832322-30 *''2011: Rays of Hope: Living to Make a Difference'' (2011) ISBN 9780983232216 *''2009: Beaches of Golden Sand: Inspirational Poems'' (2009) ISBN 978-0-615-30674-2 *''2020: A History of Christianity in East Africa: The Beginning and Development of Missions'' ISBN 979-8669049034 *''2021: Collected Poems of Christopher Mwashinga'' ISBN: 9798795994154 ===Mradi wa makusanyo ya kazi za Kiingereza za Christopher Mwashinga=== *''2014: The Works of Christopher Mwashinga Vol. I, Letters'' ISBN 978-0-9832322-8-5 *''2014: The Works of Christopher Mwashinga Vol. II, Sermons, Addresses, and Poems'' ISBN 978-0-9832322-9-2 *''2020: The Works of Christopher Mwashinga Vol. III, Theology and Mission'' ISBN 978-0-9903293-4-3 *''2017: The Works of Christopher Mwashinga Vol. IV, Journals and Diaries'' (1) ISBN 978-0-9903293-2-9 == Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii:Waliozaliwa 1965]] [[Jamii:Waandishi wa Tanzania]] [[Jamii:Washairi wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] 8g1s7nxucerctlyplfaclbpt05ur65t Victor Kilasile Mwambalaswa 0 62346 1241922 1203869 2022-08-11T21:39:35Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''Victor Kilasile Mwambalaswa''' (amezaliwa tar. [[8 Mei]] [[1953]]) ni mbunge wa jimbo la [[Lupa]] katika bunge la kitaifa huko nchini [[Tanzania]].<ref>{{Cite web|url=http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_2836.html|title=Mengi kuhusu Victor Kilasile Mwambalaswa|date=17 Julai 2006|accessdate=11 Novemba 2011|archivedate=2011-10-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20111018180045/http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_2836.html}}</ref> Anatokea katika chama cha [[CCM]]. ==Tazama pia== * [[Wabunge wa Tanzania]] ==Marejeo== {{Marejeo}} {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} {{DEFAULTSORT:Mwambalaswa, Victor}} [[Jamii:Waliozaliwa 1953]] [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] qp11z2wry1hca95kdlfndkv8grh5o4u Harrison George Mwakyembe 0 62348 1241914 1191029 2022-08-11T20:50:00Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki [[File:Harrison Mwakyembe.jpg|thumb|Mwakyembe]] '''Harrison George Mwakyembe''' (amezaliwa tar. [[10 Desemba]] [[1955]]) ni mbunge wa jimbo la [[Kyela]] katika bunge la kitaifa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini [[Tanzania]].<ref>{{Cite web|url=http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_1608.html|title=Mengi kuhusu Harrison George Mwakyembe|date=16 Mei 2008|accessdate=11 Novemba 2011|archivedate=2011-10-19|archiveurl=https://web.archive.org/web/20111019182045/http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_1608.html}}</ref> Anatokea katika chama cha [[CCM]]. ==Tazama pia== * [[Wabunge wa Tanzania]] ==Marejeo== {{Marejeo}} {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} {{DEFAULTSORT:Mwakyembe, Harrison}} [[Jamii:Waliozaliwa 1955]] [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] 1c4g2xhfmbhwiym3kgp0hlsafn9pff7 David Homeli Mwakyusa 0 62354 1241920 1188106 2022-08-11T21:23:42Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''David Homeli Mwakyusa''' (amezaliwa tar. [[9 Mei]] [[1942]]) ni mbunge wa jimbo la [[Rungwe Magharibi]] katika bunge la kitaifa huko nchini [[Tanzania]].<ref>{{Cite web|url=http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_391.html|title=Mengi kuhusu David Homeli Mwakyusa|date=18 Februari 2008|accessdate=11 Novemba 2011|archivedate=2011-10-19|archiveurl=https://web.archive.org/web/20111019113106/http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_391.html}}</ref> Anatokea katika chama cha [[CCM]]. ==Tazama pia== * [[Wabunge wa Tanzania]] ==Marejeo== {{Marejeo}} {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} {{DEFAULTSORT:Mwakyusa, David}} [[Jamii:Waliozaliwa 1942]] [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] pz0d5h48wwq3moy06jcxnqtmp9vjbec Mark Mwandosya 0 62355 1241912 1204891 2022-08-11T20:48:23Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki [[File:Mark Mwandosya.jpg|thumb|Mark Mwandosya.]] '''Mark James Mwandosya''' (amezaliwa [[28 Desemba]] [[1949]]) aliwahi kuwa [[mbunge]] wa jimbo la [[Rungwe Mashariki]] katika [[bunge]] la kitaifa nchini [[Tanzania]] kuanzia Novemba [[2000]] hadi Julai mwaka [[2015]].<ref>{{Cite web|url=http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_461.html|title=Mengi kuhusu Mark James Mwandosya|date=1 Septemba 2008|accessdate=11 Novemba 2011|archivedate=2011-10-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20111018075923/http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_461.html}}</ref> Alitokea katika [[Chama cha kisiasa|chama cha]] [[CCM]]. Alikuwa [[waziri]] wa usafiri 2000-2005<ref>Hassan Muhiddin, [http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2006/01/05/57238.html "JK’s beefed up team"] {{Wayback|url=http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2006/01/05/57238.html |date=20070103223211 }}, ''Guardian'' (IPP Media), January 5, 2006.</ref> halafu waziri wa maji 2008 hadi 2012<ref>Austin Beyadi, [http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2008/02/13/108285.html "Public welcomes new cabinet"], ''Guardian'' (IPP Media), February 13, 2008.</ref>, akaendelea kuwa waziri hadi 2015. ==Tazama pia== * [[Wabunge wa Tanzania]] ==Marejeo== {{Marejeo}} {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} {{DEFAULTSORT:Mwandosya, Mark}} [[Jamii:Waliozaliwa 1949]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] 7czrh1t98fa4atmn2ee06yedhkp9dk7 Mkoa wa Geita 0 64418 1241866 1214195 2022-08-11T14:13:49Z 196.249.103.49 /* Majimbo ya bunge */ watu Maarufu wikitext text/x-wiki {{Infobox settlement |jina_rasmi = Mkoa wa Geita <br> |settlement_type = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |native_name = |picha_ya_satelite = Coat of arms of Tanzania.svg |ukubwawapicha = 100px |maelezo_ya_picha = [[Nembo ya Tanzania]] |nickname = |image_flag = |image_seal = |image_map = Tanzania Geita Region location map.svg |mapsize = |map_caption = Mahali pa Mikoa ya Geita na Mwanza katika [[Tanzania]] kabla ya umegaji |coordinates_region = TZ |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |subdivision_name1 = |subdivision_type2 = [[Mji mkuu]] |subdivision_name2 = [[Geita]] |leader_title = Mkuu wa Mkoa |leader_name = |established_title = |established_date = |area_magnitude = |area_total_km2 = |area_land_km2 = |area_water_km2 = |idadi_ya_wakazi_kwa_mwaka_wa = 2002 |population_note = |wakazi_kwa_ujumla = |latd=|latm= |lats=|latNS=S |longd=|longm= |longs=|longEW=E |elevation_m = |blank_name = |blank_info = |website = |footnotes = }} '''Mkoa wa Geita''' ni kati ya [[Mikoa ya Tanzania|mikoa 31]] ya [[Tanzania]]. Umepakana na [[Mkoa wa Kagera|Kagera]] upande wa [[magharibi]], [[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]] upande wa [[kusini]] na [[Mkoa wa Mwanza|Mwanza]] upande wa [[mashariki]]. [[Ziwa la Viktoria Nyanza]] liko [[kaskazini]]. [[Makao makuu]] ya [[mkoa]] yapo [[Geita]] [[Mji|mjini]]. Kabla ya kuanzishwa mkoa mpya wa Geita, eneo hili lilikuwa sehemu ya mkoa wa Mwanza ambao ulikuwa na wakazi 2,942,148 ([[sensa]] ya mwaka [[2002]]) katika [[wilaya]] 8 ukiwa na eneo la km<sup>2</sup> 19,592. Mkoa wa Geita ulikadiriwa kuwa na wakazi 1,882,141 mnamo mwaka 2015.<ref>[http://www.nbs.go.tz/nbs/takwimu/references/Tanzania_in_Figures_2015.pdf 17 Population Distribution and Average Annual Intercensal Growth Rate by Region, Tanzania], Tanzania in Figures, tovuti ya Tanzania National Bureau of Statistics, iliangaliwa Septemba 2017</ref> == Wilaya za mkoa wa Geita == Wilaya za [[mkoa]] huo mpya ni * [[wilaya ya Bukombe|Bukombe]], * [[wilaya ya Chato|Chato]], * [[wilaya ya Geita|Geita]], * [[wilaya ya Mbongwe|Mbongwe]] na * [[wilaya ya Nyang'hwale|Nyang'hwale]]. == Wakazi == Ma[[kabila]] makubwa katika mkoa huu ni [[Wasukuma]], [[Wasumbwa]], [[Walongo]] na [[Wazinza]]. ==Majimbo ya bunge== Wakati wa [[uchaguzi mkuu]] wa Tanzania mwaka 2015 mkoa huu ulikuwa na [[jimbo la uchaguzi|majimbo ya uchaguzi]] yafuatayo: * Geita Mjini : mbunge ni [[Costantine John Kanyansu]] ([[CCM]]) * Geita Vijijini : mbunge ni [[Joseph Lwinza Kasheku ‘Msukuma’]] ([[CCM]]) * Busanda : mbunge ni [[Tumaini Magesa]] ([[CCM]]) * Mbogwe : mbunge ni [[Augustino Masele]] ([[CCM]]) * Bukombe : mbunge ni [[Doitto Mashaka Biteko]] ([[CCM]]) * Chato : mbunge ni Dk. [[Medard Matogolo Kalemani]] ([[CCM]]) ==Watu Maarufu mkoa wa Geita== *[[Doto Biteko]] *[[Emmanuel kasomi]] *[[Joseph kasheku]] *[[John Pombe Magufuli]] *[[Fatty]] *[[Mabina]] ==Tazama pia== * [[Orodha ya milima ya mkoa wa Geita]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Geita]] ==Tanbihi== <references/> == Viungo vya nje == * [http://web.archive.org/web/20031215152641/http://www.tanzania.go.tz/census/census/mwanza.htm Matokeo ya Sensa 2002 kwa Mwanza]* [http://www.tanzania.go.tz Serikali ya Tanzania]{{Wayback|url=http://www.tanzania.go.tz/census/census/mwanza.htm |date=20031215152641 }} * [http://www.mwanzacommunity.org/sukumaswahili.html Wasukuma] {{Wayback|url=http://www.mwanzacommunity.org/sukumaswahili.html |date=20080703205611 }} * [http://lakezoneinvestmentforum.go.tz/sites/default/files/Geita%20%20Investment%20Profile%20Consolidated_0.pdf Geita investment profile] {{Wayback|url=http://lakezoneinvestmentforum.go.tz/sites/default/files/Geita%20%20Investment%20Profile%20Consolidated_0.pdf |date=20160311002126 }} {{mbegu-jio-geita}} {{Mikoa ya Tanzania}} [[Jamii:Mikoa ya Tanzania|G]] [[Jamii:Mkoa wa Geita| ]] 9cs773ecvisbi12olq21j0me5rq0fxm 1241868 1241866 2022-08-11T14:17:38Z 196.249.103.49 /* Watu Maarufu mkoa wa Geita */ mabian wikitext text/x-wiki {{Infobox settlement |jina_rasmi = Mkoa wa Geita <br> |settlement_type = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |native_name = |picha_ya_satelite = Coat of arms of Tanzania.svg |ukubwawapicha = 100px |maelezo_ya_picha = [[Nembo ya Tanzania]] |nickname = |image_flag = |image_seal = |image_map = Tanzania Geita Region location map.svg |mapsize = |map_caption = Mahali pa Mikoa ya Geita na Mwanza katika [[Tanzania]] kabla ya umegaji |coordinates_region = TZ |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |subdivision_name1 = |subdivision_type2 = [[Mji mkuu]] |subdivision_name2 = [[Geita]] |leader_title = Mkuu wa Mkoa |leader_name = |established_title = |established_date = |area_magnitude = |area_total_km2 = |area_land_km2 = |area_water_km2 = |idadi_ya_wakazi_kwa_mwaka_wa = 2002 |population_note = |wakazi_kwa_ujumla = |latd=|latm= |lats=|latNS=S |longd=|longm= |longs=|longEW=E |elevation_m = |blank_name = |blank_info = |website = |footnotes = }} '''Mkoa wa Geita''' ni kati ya [[Mikoa ya Tanzania|mikoa 31]] ya [[Tanzania]]. Umepakana na [[Mkoa wa Kagera|Kagera]] upande wa [[magharibi]], [[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]] upande wa [[kusini]] na [[Mkoa wa Mwanza|Mwanza]] upande wa [[mashariki]]. [[Ziwa la Viktoria Nyanza]] liko [[kaskazini]]. [[Makao makuu]] ya [[mkoa]] yapo [[Geita]] [[Mji|mjini]]. Kabla ya kuanzishwa mkoa mpya wa Geita, eneo hili lilikuwa sehemu ya mkoa wa Mwanza ambao ulikuwa na wakazi 2,942,148 ([[sensa]] ya mwaka [[2002]]) katika [[wilaya]] 8 ukiwa na eneo la km<sup>2</sup> 19,592. Mkoa wa Geita ulikadiriwa kuwa na wakazi 1,882,141 mnamo mwaka 2015.<ref>[http://www.nbs.go.tz/nbs/takwimu/references/Tanzania_in_Figures_2015.pdf 17 Population Distribution and Average Annual Intercensal Growth Rate by Region, Tanzania], Tanzania in Figures, tovuti ya Tanzania National Bureau of Statistics, iliangaliwa Septemba 2017</ref> == Wilaya za mkoa wa Geita == Wilaya za [[mkoa]] huo mpya ni * [[wilaya ya Bukombe|Bukombe]], * [[wilaya ya Chato|Chato]], * [[wilaya ya Geita|Geita]], * [[wilaya ya Mbongwe|Mbongwe]] na * [[wilaya ya Nyang'hwale|Nyang'hwale]]. == Wakazi == Ma[[kabila]] makubwa katika mkoa huu ni [[Wasukuma]], [[Wasumbwa]], [[Walongo]] na [[Wazinza]]. ==Majimbo ya bunge== Wakati wa [[uchaguzi mkuu]] wa Tanzania mwaka 2015 mkoa huu ulikuwa na [[jimbo la uchaguzi|majimbo ya uchaguzi]] yafuatayo: * Geita Mjini : mbunge ni [[Costantine John Kanyansu]] ([[CCM]]) * Geita Vijijini : mbunge ni [[Joseph Lwinza Kasheku ‘Msukuma’]] ([[CCM]]) * Busanda : mbunge ni [[Tumaini Magesa]] ([[CCM]]) * Mbogwe : mbunge ni [[Augustino Masele]] ([[CCM]]) * Bukombe : mbunge ni [[Doitto Mashaka Biteko]] ([[CCM]]) * Chato : mbunge ni Dk. [[Medard Matogolo Kalemani]] ([[CCM]]) ==Watu Maarufu mkoa wa Geita== * [[Doto Biteko]] * [[Emmanuel Kasomi]] * [[Joseph kasheku]] * [[John Pombe Magufuli]] * [[Fatty]] * [[Mabina]] ==Tazama pia== * [[Orodha ya milima ya mkoa wa Geita]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Geita]] ==Tanbihi== <references/> == Viungo vya nje == * [http://web.archive.org/web/20031215152641/http://www.tanzania.go.tz/census/census/mwanza.htm Matokeo ya Sensa 2002 kwa Mwanza]* [http://www.tanzania.go.tz Serikali ya Tanzania]{{Wayback|url=http://www.tanzania.go.tz/census/census/mwanza.htm |date=20031215152641 }} * [http://www.mwanzacommunity.org/sukumaswahili.html Wasukuma] {{Wayback|url=http://www.mwanzacommunity.org/sukumaswahili.html |date=20080703205611 }} * [http://lakezoneinvestmentforum.go.tz/sites/default/files/Geita%20%20Investment%20Profile%20Consolidated_0.pdf Geita investment profile] {{Wayback|url=http://lakezoneinvestmentforum.go.tz/sites/default/files/Geita%20%20Investment%20Profile%20Consolidated_0.pdf |date=20160311002126 }} {{mbegu-jio-geita}} {{Mikoa ya Tanzania}} [[Jamii:Mikoa ya Tanzania|G]] [[Jamii:Mkoa wa Geita| ]] lyto0du17fwligizl421ruzwx8vb5gs 1241991 1241868 2022-08-12T10:09:22Z Riccardo Riccioni 452 Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/196.249.103.49|196.249.103.49]] ([[User talk:196.249.103.49|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] wikitext text/x-wiki {{Infobox settlement |jina_rasmi = Mkoa wa Geita <br> |settlement_type = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]] |native_name = |picha_ya_satelite = Coat of arms of Tanzania.svg |ukubwawapicha = 100px |maelezo_ya_picha = [[Nembo ya Tanzania]] |nickname = |image_flag = |image_seal = |image_map = Tanzania Geita Region location map.svg |mapsize = |map_caption = Mahali pa Mikoa ya Geita na Mwanza katika [[Tanzania]] kabla ya umegaji |coordinates_region = TZ |subdivision_type = [[Madola|Nchi]] |subdivision_name = [[Tanzania]] |subdivision_type1 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |subdivision_name1 = |subdivision_type2 = [[Mji mkuu]] |subdivision_name2 = [[Geita]] |leader_title = Mkuu wa Mkoa |leader_name = |established_title = |established_date = |area_magnitude = |area_total_km2 = |area_land_km2 = |area_water_km2 = |idadi_ya_wakazi_kwa_mwaka_wa = 2002 |population_note = |wakazi_kwa_ujumla = |latd=|latm= |lats=|latNS=S |longd=|longm= |longs=|longEW=E |elevation_m = |blank_name = |blank_info = |website = |footnotes = }} '''Mkoa wa Geita''' ni kati ya [[Mikoa ya Tanzania|mikoa 31]] ya [[Tanzania]]. Umepakana na [[Mkoa wa Kagera|Kagera]] upande wa [[magharibi]], [[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]] upande wa [[kusini]] na [[Mkoa wa Mwanza|Mwanza]] upande wa [[mashariki]]. [[Ziwa la Viktoria Nyanza]] liko [[kaskazini]]. [[Makao makuu]] ya [[mkoa]] yapo [[Geita]] [[Mji|mjini]]. Kabla ya kuanzishwa mkoa mpya wa Geita, eneo hili lilikuwa sehemu ya mkoa wa Mwanza ambao ulikuwa na wakazi 2,942,148 ([[sensa]] ya mwaka [[2002]]) katika [[wilaya]] 8 ukiwa na eneo la km<sup>2</sup> 19,592. Mkoa wa Geita ulikadiriwa kuwa na wakazi 1,882,141 mnamo mwaka 2015.<ref>[http://www.nbs.go.tz/nbs/takwimu/references/Tanzania_in_Figures_2015.pdf 17 Population Distribution and Average Annual Intercensal Growth Rate by Region, Tanzania], Tanzania in Figures, tovuti ya Tanzania National Bureau of Statistics, iliangaliwa Septemba 2017</ref> == Wilaya za mkoa wa Geita == Wilaya za [[mkoa]] huo mpya ni * [[wilaya ya Bukombe|Bukombe]], * [[wilaya ya Chato|Chato]], * [[wilaya ya Geita|Geita]], * [[wilaya ya Mbongwe|Mbongwe]] na * [[wilaya ya Nyang'hwale|Nyang'hwale]]. == Wakazi == Ma[[kabila]] makubwa katika mkoa huu ni [[Wasukuma]], [[Wasumbwa]], [[Walongo]] na [[Wazinza]]. ==Majimbo ya bunge== Wakati wa [[uchaguzi mkuu]] wa Tanzania mwaka 2015 mkoa huu ulikuwa na [[jimbo la uchaguzi|majimbo ya uchaguzi]] yafuatayo: * Geita Mjini : mbunge ni [[Costantine John Kanyansu]] ([[CCM]]) * Geita Vijijini : mbunge ni [[Joseph Lwinza Kasheku ‘Msukuma’]] ([[CCM]]) * Busanda : mbunge ni [[Tumaini Magesa]] ([[CCM]]) * Mbogwe : mbunge ni [[Augustino Masele]] ([[CCM]]) * Bukombe : mbunge ni [[Doitto Mashaka Biteko]] ([[CCM]]) * Chato : mbunge ni Dk. [[Medard Matogolo Kalemani]] ([[CCM]]) ==Tazama pia== * [[Orodha ya milima ya mkoa wa Geita]] * [[Orodha ya mito ya mkoa wa Geita]] ==Tanbihi== <references/> == Viungo vya nje == * [http://web.archive.org/web/20031215152641/http://www.tanzania.go.tz/census/census/mwanza.htm Matokeo ya Sensa 2002 kwa Mwanza]* [http://www.tanzania.go.tz Serikali ya Tanzania]{{Wayback|url=http://www.tanzania.go.tz/census/census/mwanza.htm |date=20031215152641 }} * [http://www.mwanzacommunity.org/sukumaswahili.html Wasukuma] {{Wayback|url=http://www.mwanzacommunity.org/sukumaswahili.html |date=20080703205611 }} * [http://lakezoneinvestmentforum.go.tz/sites/default/files/Geita%20%20Investment%20Profile%20Consolidated_0.pdf Geita investment profile] {{Wayback|url=http://lakezoneinvestmentforum.go.tz/sites/default/files/Geita%20%20Investment%20Profile%20Consolidated_0.pdf |date=20160311002126 }} {{mbegu-jio-geita}} {{Mikoa ya Tanzania}} [[Jamii:Mikoa ya Tanzania|G]] [[Jamii:Mkoa wa Geita| ]] 4tzw3qypnoaa4bo4v2h0zstp0od691h Stashahada 0 72211 1241865 1179384 2022-08-11T14:02:18Z 196.249.103.49 Diploma wikitext text/x-wiki [[Picha:SheepskinDiploma.jpg|thumb|Stashahad]] {{fupi}} '''Stashahada''' (pia '''diploma''' kutoka [[Kilatini]] kupitia [[Kiingereza]]) ni kama [[cheti]] cha [[elimu]] chenye maana ya maelezo mafupi juu ya kuhitimu masomo. Stashahada kwa baadhi ya Mataifa kusomwa na watu walio maliza [[Astashahada]] au wale walio maliza Elimu ya upili ya juu na hawakuwa na kigezo cha kujiunga na [[Shahada]] ya Kwanza {{mbegu-elimu}} [[Jamii:Elimu]] ag42scu0n27uvtbke9s9h6f0f68i506 Joseph Mbilinyi 0 89709 1241909 1228509 2022-08-11T20:43:22Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''Joseph Osmund Mbilinyi''' (anajulikana sana kwa jina lake la kisanii kama '''Mr. II''' na '''Sugu''' au '''2-proud'''; amezaliwa [[1 Mei]] [[1972]]) ni [[rapa]], [[mwanaharakati]] wa [[haki za binadamu]] na [[mwanasiasa]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Ni miongoni mwa [[waanzilishi]] wa awali kabisa wa [[hip hop ya Tanzania]], kwanza akiwa na [[Da Young Mob]], ambao alishirikiana nao katika kinyang'anyiro cha [[Yo Rap Bonanza]] iliyokuwa inaandaliwa na akina Kim the Boyz na Ibony Moalim katika miaka ya 1990, kabla ya kwenda kuwa rapa wa kujitegemea na kutoa [[albamu]] ya kwanza iliyokwenda kwa jina la [[Ni Mimi]] mnamo mwaka wa 1995. Vivile Sugu ni [[mwanasiasa]] wa [[Chama cha kisiasa]] cha [[Chama cha Demokrasia na Maendeleo]] ([[CHADEMA]]). Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa [[ Mbeya Mjini]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]].<ref>[https://www.parliament.go.tz/administrations/239 Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref><ref>{{Cite web |url=http://www.univie.ac.at/ecco/stichproben/Nr5_Englert.pdf |title=Microsoft Word – Stichproben_Nr5_FERTIG.doc<!-- Bot generated title --> |accessdate=2017-10-04 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20050110051715/http://www.univie.ac.at/ecco/stichproben/Nr5_Englert.pdf |archivedate=2005-01-10 }}</ref> <ref name="stylusmagazine.com">{{Cite web |url=http://www.stylusmagazine.com/articles/pop_playground/bongoflava-the-primer.htm |title=Bongoflava: The Primer – Pop Playground – Stylus Magazine<!-- Bot generated title --> |accessdate=2017-10-04 |archivedate=2011-01-08 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20110108044748/http://stylusmagazine.com/articles/pop_playground/bongoflava-the-primer.htm }}</ref> Mwishoni mwa mwezi Agosti, 2017, Sugu alifungua [[hoteli]] jijini Mbeya na kuipa jina la "Desderia Hotel".<ref>[http://www.richardmwambe.com/sugu-afungua-hoteli-ya-kifahari/ SUGU AFUNGUA HOTELI YA KIFAHARI] {{Wayback|url=http://www.richardmwambe.com/sugu-afungua-hoteli-ya-kifahari/ |date=20180720070655 }} ingizo la tarehe 1 Septemba, 2017 - wavuti ya Richard Mwambe</ref> ==Diskografia== Mr. II ndiyo [[msanii]] pekee wa [[hip hop ya Tanzania]] ambaye katoa albamu nyingi: * [[Ni Mimi]] (1995) * [[Ndani ya Bongo]] (1996) * [[Niite Mister II]] (1998) * [[Nje ya Bongo]] (1999) * [[Milenia (albamu)|Milenia]] (2000) * [[Muziki na Maisha]] (2001) * [[Itikadi (albamu)|Itikadi]] (2002) * [[Sugu (albamu)|Sugu]] (2004) * [[Coming of Age-Ujio Wa Umri]] (2006) * [[VETO]] (2009) * Antivirus Mixtapes ==Marejeo== <references/> {{mbegu-mwanamuziki-TZ}} {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} [[Jamii:Waliozaliwa 1972]] [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] [[Jamii:Bunge la Tanzania]] [[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] 4bwptpcjz4xfo2995gbgg85utals84p Mary Machuche Mwanjelwa 0 89724 1241926 1033452 2022-08-11T21:49:31Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''Mary Machuche Mwanjelwa ''' (amezaliwa tarehe [[27 Agosti]] [[1965]]) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[chama cha siasa]] cha [[CCM]]. Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa [[viti maalumu -Mbeya Mjini]] kwa mwaka [[2015]] – [[2020]]. <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/204 Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} [[Jamii:Waliozaliwa 1965]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] [[Jamii:Bunge la Tanzania]] [[Jamii:Wanasiasa wanawake Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] dk77jj66kxvixrhqwvhzah44lxiig0v Tulia Ackson 0 89793 1241913 1224424 2022-08-11T20:49:03Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''Tulia Ackson''' (amezaliwa [[23 Novemba]] [[1976]]) ni [[mwanasheria]] na [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] mwanachama wa [[Chama cha kisiasa]] cha [[Chama cha Mapinduzi]] (CCM). [[Tarehe]] [[1 Februari]] [[2022]] alichaguliwa na [[Mbunge|wabunge]] wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa [[spika]] wa [[Bunge la Tanzania|Bunge hilo]]. <ref>{{Cite web |url=https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/tulia-ackson-mwansasu-elected-speaker-of-tanzania-s-parliament-3701320 |title=Nakala iliyohifadhiwa |accessdate=2022-02-01 |archivedate=2022-02-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20220201125740/https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/tulia-ackson-mwansasu-elected-speaker-of-tanzania-s-parliament-3701320 }}</ref> ==Maisha== Ackson alizaliwa kwenye [[kata]] ya [[Bulyaga]], [[Tukuyu]], kwenye [[wilaya ya Rungwe]]. Alisoma [[shule]] huko Tukuyu na [[Mbeya]]. Miaka [[1998]]-[[2003]] alisoma [[sheria]] kwenye [[chuo kikuu cha Dar es Salaam]] akaendelea kusomea [[shahada]] ya [[uzamivu]] huko [[Cape Town]], [[Afrika Kusini]] miaka [[2005]]-[[2007]]. Alirudi [[Dar es Salaam]] alipofundisha sheria kwenye [[chuo kikuu]] hadi [[mwaka]] [[2014]] alipoteuliwa na rais [[Jakaya Kikwete]] kuwa mjumbe wa [[Bunge Maalum la Katiba]]. Mwaka [[2015]] alikuwa kati ya [[Wabunge wa Tanzania 2015|wabunge]] 10 walioteuliwa na rais [[John Magufuli]] kuingia bungeni kwa miaka [[2015]] – [[2020]] <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/401 Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref> akachaguliwa pia kuwa [[naibu spika]]. ==Marejeo== <references/> {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} [[Jamii:Waliozaliwa 1976]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] [[Jamii:Bunge la Tanzania]] [[Jamii:Wanasiasa wanawake Tanzania]] [[Jamii:Spika wa Bunge la Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] g4ftc1qjhuqztwmo1oztsaw6dfr3mfv Sophia Hebron Mwakagenda 0 90455 1241927 1090772 2022-08-11T21:53:44Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''Sophia Hebron Mwakagenda''' ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[chama cha kisiasa]] cha [[CHADEMA]]. Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa [[Rungwe]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]]. <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/ Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref> ==Marejeo== <references/> {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] [[Jamii:Bunge la Tanzania]][[Jamii:Wanasiasa wanawake Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] myw9r6uw1oac83z5c72a364p6u2ziuf Atupele Fredy Mwakibete 0 90459 1241924 1090840 2022-08-11T21:44:59Z Benix Mby 36425 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''Atupele Fredy Mwakibete''' ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[chama cha kisiasa]] cha [[CCM]]. Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa [[Busokelo]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]]. <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/ Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref> ==Marejeo== <references/> {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] [[Jamii:Bunge la Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] d1scskbeot6vt04mnzfnaxkilumq7fm Facebook 0 91808 1241890 1125894 2022-08-11T19:13:22Z Benix Mby 36425 /* Tanbihi */ wikitext text/x-wiki [[picha:Facebook_f_logo_(2019).svg|thumbnail|right|200px|Nembo ya Facebook]] '''Facebook''' ni [[shirika]] linalolenga [[faida]] lililopo [[Menlo Park]], [[California]], [[Marekani]] ambalo hutoa [[huduma]] za [[mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]]. [[Tovuti]] ya Facebook ilizinduliwa [[tarehe]] [[4 Februari]] [[2004]] na [[Mark Zuckerberg]] pamoja na wenzake wa [[Chuo Kikuu cha Harvard]] [[Eduardo Saverin]], [[Andrew McCollum]], [[Dustin Moskovitz]] na [[Chris Hughes]].<ref>{{cite web |first=Nicholas |last=Carlson |title=At Last -- The Full Story Of How Facebook Was Founded |url=http://www.businessinsider.com/how-facebook-was-founded-2010-3 |website=[[Business Insider]] |publisher=[[Axel Springer SE]] |date=March 5, 2010 |accessdate=March 23, 2017}}</ref> [[Mwanzilishi|Waanzilishi]] awali walikuwa wachache na kufanya uanachama wa tovuti kwa [[wanafunzi]] wa Harvard; hata hivyo baadaye walipanua orodha ya [[vyuo vikuu]] na katika [[mji]] wa [[Boston]], [[shule]] za [[Ivy League]] na [[Chuo Kikuu cha Stanford]]. Facebook hatua kwa hatua iliongeza msaada kwa wanafunzi katika vyuo vikuu vingine mbalimbali na hatimaye kwa wanafunzi wa [[sekondari|shule ya sekondari]] pia. Tangu mwaka [[2006]], mtu yeyote aliyefikisha miaka 13 aliruhusiwa kujisajili na kutumia Facebook, ingawa tofauti zilikuwepo katika mahitaji ya [[umri]] mdogo, kutegemea [[sheria]] za nchi husika.<ref>{{cite web |url= https://www.facebook.com/help/parents |title=Information For Parents and Educators |publisher= Facebook |accessdate=March 1, 2015}}</ref> [[Jina]] la Facebook linatoka kwenye [[kitabu]] cha [[face book]] ambacho mara nyingi hutolewa kwa [[wanafunzi]] wa [[Chuo Kikuu]] cha [[Umoja wa Mataifa]].<ref name="Growth">{{cite news |accessdate =December 19, 2008 |url= http://venturebeat.com/2008/12/18/2008-growth-puts-facebook-in-better-position-to-make-money/ |title=2008 Growth Puts Facebook In Better Position to Make Money |work=VentureBeat |location =San Francisco |date=December 18, 2008 |author=Eldon, Eric}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} {{mbegu}} [[Jamii:Intaneti]] [[Jamii:Mitandao ya kijamii]] [[Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii ya Marekani]] fb4h2okcsx6l5hjx84azbnykxvc920c Instagram 0 92496 1241863 1140821 2022-08-11T13:12:53Z 196.249.103.49 Tumblr wikitext text/x-wiki [[File:instagram logo 2016.svg|150px|thumb|right|<br />[[File:Instagram logo.svg|105px]]]] '''Instagram''' ni [[mtandao wa kijamii]] unaoruhusu mtumiaji kupata [[huduma]] ya kushirikisha [[picha]] za kawaida na za [[video]] [[Mtandao|mtandaoni]]. [[Programu]] hii hutumika katika [[simu]] aidha za [[iPhone]] au mfumo uendeshaji wa [[Android]]. Programu inakupa fursa ya kuchukua picha na video, na kuzipitisha katika vichujio vyake ili itakate na kisha kuishirikisha na wale wanaokufuata. Vilevile inakupa fursa ya kushirikisha na mitandao mingine ya kijamii kama vile [[Facebook]], [[Twitter]], [[JamiiTalk]], [[Tumblr]] na [[Flickr]].<ref name=nov2010>{{cite web|last=Frommer|first=Dan|title=Here's How To Use Instagram|url=http://www.businessinsider.com/instagram-2010-11|work=[[Business Insider]]|accessdate=May 20, 2011|date=November 1, 2010}}</ref> Mtandao huo uliundwa na [[Kevin Systrom]] na [[Mike Krieger]] na kutolewa rasmi [[tarehe]] [[6 Oktoba]] [[2010]]. Hivi sasa unamilikiwa na kampuni ya [[Facebook]] baada ya kununuliwa kwa [[Dola ya Kimarekani|dola za Kimarekani]] [[bilioni]] 1 Aprili [[2012]]. Baada ya kuanzishwa mwaka 2010, Instagram ilipata umaarufu mkubwa na kupata watumiaji [[milioni]] moja ndani ya miezi miwili, milioni 10 ndani ya [[mwaka]] mmoja na milioni 800 hadi [[Septemba]] [[2017]]. Hadi [[Oktoba]] [[2015]] kulikuwa na picha bilioni 40 toka kwa watumiaji. ==Historia== Kevin Systrom aliweka picha ya kwanza kwenye mtandao huo tarehe [[16 Julai]] 2010. <ref>{{cite web|url=https://www.instagram.com/p/C/?hl=en|title=Instagram post by Kevin Systrom • Jul 16, 2010 at 9:24pm UTC|website=Instagram}}</ref><ref>{{cite web|url=http://time.com/2983030/heres-the-first-instagram-photo-ever/|title=Here's The First Instagram Photo Ever|website=Time}}</ref> The photo shows a dog in Mexico and Systrom's girlfriend's foot; the photo has been enhanced using Instagram's X-PRO2 filter.<ref>{{cite web|url=http://time.com/4061227/instagram-first-photo/|title=This is Instagram's first photo ever|website=Time}}</ref> Tarehe [[6 Oktoba]] 2010 app rasmi ya kwanza ya Instagram ilitolewa.<ref>{{cite web |first=MG |last=Siegler |title=Instagram Launches with the Hope of Igniting Communication Through Images |url=https://techcrunch.com/2010/10/06/instagram-launch/ |website=[[TechCrunch]] |publisher=[[AOL]] |date=October 6, 2010 |accessdate=April 8, 2017}}</ref><ref>{{cite web |title=Welcome to Instagram |url=http://blog.instagram.com/post/8755272623/welcome-to-instagram |publisher=Instagram |date=October 5, 2010 |accessdate=April 8, 2017 |archiveurl=https://www.webcitation.org/6AAqvRrbu?url=http://blog.instagram.com/post/8755272623/welcome-to-instagram |archivedate=2012-08-25 }}</ref> ==Matangazo== Kama ilivyo kwa mitandao mingine ya kijamii, Instagram inapata mamilioni ya fedha toka kwenye matangazo. Mnamo [[Oktoba]] [[2013]], Instagram ilianza jitihada za kupata [[fedha]] kupitia matangazo ya video na picha nchini [[Marekani]]. <ref>{{cite web |first=Matthew |last=Panzarino |title=Instagram To Start Showing In-Feed Video And Image Ads To US Users |url=https://techcrunch.com/2013/10/03/instagram-starts-showing-in-feed-video-and-image-ads-to-us-users/ |website=[[TechCrunch]] |publisher=[[AOL]] |date=October 3, 2013 |accessdate=April 23, 2017}}</ref><ref>{{cite web |first=Adrian |last=Covert |title=Instagram: Now with ads |url=http://money.cnn.com/2013/10/03/technology/social/instagram-ads/ |website=CNN Tech |publisher=[[CNN]] |date=October 3, 2013 |accessdate=April 23, 2017}}</ref> Mnamo Juni 2014, Instagram ilitangaza ujio wa matangazo nchini Uingereza, Canada na Australia.<ref>{{cite web |first=Jackie |last=Dove |title=Instagram will introduce ads in the UK, Canada and Australia 'later this year' |url=https://thenextweb.com/creativity/2014/06/09/instagram-plans-ad-rollout-uk-canada-australia/ |website=The Next Web |date=June 9, 2014 |accessdate=April 23, 2017}}</ref> Mnamo Mei 2016, Instagram ilitangaza uzinduzi wa zana mpya za akaunti za biashara, ikiwa ni pamoja na maelezo mafupi ya biashara, na uwezo wa kugeuza picha, video au maandishi kuwa matangazo moja kwa moja kutoka kwenye programu ya Instagram yenyewe.<ref name="tc-insights">{{cite web |first=Sarah |last=Perez |title=Instagram officially announces its new business tools |url=https://techcrunch.com/2016/05/31/instagram-officially-announces-its-new-business-tools/ |website=[[TechCrunch]] |publisher=[[AOL]] |date=May 31, 2016 |accessdate=April 23, 2017}}</ref> Mnamo Februari 2016, Instagram ilitangaza kwamba ilikuwa na matangazo 200,000.<ref>{{cite web |first=Anthony |last=Ha |title=There Are Now 200K Advertisers on Instagram |url=https://techcrunch.com/2016/02/24/200k-advertisers-on-instagram/ |website=[[TechCrunch]] |publisher=[[AOL]] |date=February 24, 2016 |accessdate=April 23, 2017}}</ref> Hii iliongezeka hadi kwa watangazaji wa kazi 500,000 mwezi Septemba 2016,<ref>{{cite web |first=Anthony |last=Ha |title=And now there are 500K active advertisers on Instagram |url=https://techcrunch.com/2016/09/22/instagram-500k/ |website=[[TechCrunch]] |publisher=[[AOL]] |date=September 22, 2016 |accessdate=April 23, 2017}}</ref> na milioni moja mwezi Machi 2017.<ref>{{cite web |first=David |last=Ingram |title=Instagram says advertising base tops one million businesses |url=https://www.reuters.com/article/us-instagram-advertising-idUSKBN16T1LK |website=[[Reuters]] |publisher=[[Thomson Reuters]] |date=March 22, 2017 |accessdate=April 23, 2017}}</ref>. Programu mbalimbali zimejitokeza kuwezesha watangazaji kujitanza kwenye Instagram kutokana na umaarufu wake. == Kutumia Instagram == Unapotumia programu ya Instagram, yafaa kwanza uangalie ni [[heshitegi]] gani ambazo zinapendwa sana na watu na ambazo zina wafuasi wengi. Ni vizuri pia uwe na picha maalumu ambayo inaonyesha wewe ni nani na taarifa ndogo kukuhusu ili wafuasi wako waweze kujua msimamo wako na masuala unayozingatia. Ili kupata wafuasi wengi, inabidi uwe ukijipiga picha nyingi mara kwa mara na kuziweka katika mtandao. Picha zenyewe zafaa ziwe zimepigwa vizuri na kamera au simu ili ziwe wazi na kuonekana kwa urahisi. Waweza pia kujua jinsi unavyoendelea katika kupata wafuasi na picha zako kupendeka kwa kufanya ukaguzi ili ujue kama waendelea vizuri na masuala yako yanafuatiliwa na watu. Instagram pia inakupa nafasi ya kutoa [[hadithi]] yako kwa Instagram stories. == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * {{Official website|http://instagram.com}} * [https://www.facebook.com/instagram Ukurasa wa Instagram kwenye Facebook] {{mbegu-utamaduni}} [[Category:Mitandao ya kijamii]] 1t2yb3flwjwabs9ls23ex3j6oj29wiz 1241889 1241863 2022-08-11T19:10:53Z Benix Mby 36425 /* Viungo vya nje */ wikitext text/x-wiki [[File:instagram logo 2016.svg|150px|thumb|right|<br />[[File:Instagram logo.svg|105px]]]] '''Instagram''' ni [[mtandao wa kijamii]] unaoruhusu mtumiaji kupata [[huduma]] ya kushirikisha [[picha]] za kawaida na za [[video]] [[Mtandao|mtandaoni]]. [[Programu]] hii hutumika katika [[simu]] aidha za [[iPhone]] au mfumo uendeshaji wa [[Android]]. Programu inakupa fursa ya kuchukua picha na video, na kuzipitisha katika vichujio vyake ili itakate na kisha kuishirikisha na wale wanaokufuata. Vilevile inakupa fursa ya kushirikisha na mitandao mingine ya kijamii kama vile [[Facebook]], [[Twitter]], [[JamiiTalk]], [[Tumblr]] na [[Flickr]].<ref name=nov2010>{{cite web|last=Frommer|first=Dan|title=Here's How To Use Instagram|url=http://www.businessinsider.com/instagram-2010-11|work=[[Business Insider]]|accessdate=May 20, 2011|date=November 1, 2010}}</ref> Mtandao huo uliundwa na [[Kevin Systrom]] na [[Mike Krieger]] na kutolewa rasmi [[tarehe]] [[6 Oktoba]] [[2010]]. Hivi sasa unamilikiwa na kampuni ya [[Facebook]] baada ya kununuliwa kwa [[Dola ya Kimarekani|dola za Kimarekani]] [[bilioni]] 1 Aprili [[2012]]. Baada ya kuanzishwa mwaka 2010, Instagram ilipata umaarufu mkubwa na kupata watumiaji [[milioni]] moja ndani ya miezi miwili, milioni 10 ndani ya [[mwaka]] mmoja na milioni 800 hadi [[Septemba]] [[2017]]. Hadi [[Oktoba]] [[2015]] kulikuwa na picha bilioni 40 toka kwa watumiaji. ==Historia== Kevin Systrom aliweka picha ya kwanza kwenye mtandao huo tarehe [[16 Julai]] 2010. <ref>{{cite web|url=https://www.instagram.com/p/C/?hl=en|title=Instagram post by Kevin Systrom • Jul 16, 2010 at 9:24pm UTC|website=Instagram}}</ref><ref>{{cite web|url=http://time.com/2983030/heres-the-first-instagram-photo-ever/|title=Here's The First Instagram Photo Ever|website=Time}}</ref> The photo shows a dog in Mexico and Systrom's girlfriend's foot; the photo has been enhanced using Instagram's X-PRO2 filter.<ref>{{cite web|url=http://time.com/4061227/instagram-first-photo/|title=This is Instagram's first photo ever|website=Time}}</ref> Tarehe [[6 Oktoba]] 2010 app rasmi ya kwanza ya Instagram ilitolewa.<ref>{{cite web |first=MG |last=Siegler |title=Instagram Launches with the Hope of Igniting Communication Through Images |url=https://techcrunch.com/2010/10/06/instagram-launch/ |website=[[TechCrunch]] |publisher=[[AOL]] |date=October 6, 2010 |accessdate=April 8, 2017}}</ref><ref>{{cite web |title=Welcome to Instagram |url=http://blog.instagram.com/post/8755272623/welcome-to-instagram |publisher=Instagram |date=October 5, 2010 |accessdate=April 8, 2017 |archiveurl=https://www.webcitation.org/6AAqvRrbu?url=http://blog.instagram.com/post/8755272623/welcome-to-instagram |archivedate=2012-08-25 }}</ref> ==Matangazo== Kama ilivyo kwa mitandao mingine ya kijamii, Instagram inapata mamilioni ya fedha toka kwenye matangazo. Mnamo [[Oktoba]] [[2013]], Instagram ilianza jitihada za kupata [[fedha]] kupitia matangazo ya video na picha nchini [[Marekani]]. <ref>{{cite web |first=Matthew |last=Panzarino |title=Instagram To Start Showing In-Feed Video And Image Ads To US Users |url=https://techcrunch.com/2013/10/03/instagram-starts-showing-in-feed-video-and-image-ads-to-us-users/ |website=[[TechCrunch]] |publisher=[[AOL]] |date=October 3, 2013 |accessdate=April 23, 2017}}</ref><ref>{{cite web |first=Adrian |last=Covert |title=Instagram: Now with ads |url=http://money.cnn.com/2013/10/03/technology/social/instagram-ads/ |website=CNN Tech |publisher=[[CNN]] |date=October 3, 2013 |accessdate=April 23, 2017}}</ref> Mnamo Juni 2014, Instagram ilitangaza ujio wa matangazo nchini Uingereza, Canada na Australia.<ref>{{cite web |first=Jackie |last=Dove |title=Instagram will introduce ads in the UK, Canada and Australia 'later this year' |url=https://thenextweb.com/creativity/2014/06/09/instagram-plans-ad-rollout-uk-canada-australia/ |website=The Next Web |date=June 9, 2014 |accessdate=April 23, 2017}}</ref> Mnamo Mei 2016, Instagram ilitangaza uzinduzi wa zana mpya za akaunti za biashara, ikiwa ni pamoja na maelezo mafupi ya biashara, na uwezo wa kugeuza picha, video au maandishi kuwa matangazo moja kwa moja kutoka kwenye programu ya Instagram yenyewe.<ref name="tc-insights">{{cite web |first=Sarah |last=Perez |title=Instagram officially announces its new business tools |url=https://techcrunch.com/2016/05/31/instagram-officially-announces-its-new-business-tools/ |website=[[TechCrunch]] |publisher=[[AOL]] |date=May 31, 2016 |accessdate=April 23, 2017}}</ref> Mnamo Februari 2016, Instagram ilitangaza kwamba ilikuwa na matangazo 200,000.<ref>{{cite web |first=Anthony |last=Ha |title=There Are Now 200K Advertisers on Instagram |url=https://techcrunch.com/2016/02/24/200k-advertisers-on-instagram/ |website=[[TechCrunch]] |publisher=[[AOL]] |date=February 24, 2016 |accessdate=April 23, 2017}}</ref> Hii iliongezeka hadi kwa watangazaji wa kazi 500,000 mwezi Septemba 2016,<ref>{{cite web |first=Anthony |last=Ha |title=And now there are 500K active advertisers on Instagram |url=https://techcrunch.com/2016/09/22/instagram-500k/ |website=[[TechCrunch]] |publisher=[[AOL]] |date=September 22, 2016 |accessdate=April 23, 2017}}</ref> na milioni moja mwezi Machi 2017.<ref>{{cite web |first=David |last=Ingram |title=Instagram says advertising base tops one million businesses |url=https://www.reuters.com/article/us-instagram-advertising-idUSKBN16T1LK |website=[[Reuters]] |publisher=[[Thomson Reuters]] |date=March 22, 2017 |accessdate=April 23, 2017}}</ref>. Programu mbalimbali zimejitokeza kuwezesha watangazaji kujitanza kwenye Instagram kutokana na umaarufu wake. == Kutumia Instagram == Unapotumia programu ya Instagram, yafaa kwanza uangalie ni [[heshitegi]] gani ambazo zinapendwa sana na watu na ambazo zina wafuasi wengi. Ni vizuri pia uwe na picha maalumu ambayo inaonyesha wewe ni nani na taarifa ndogo kukuhusu ili wafuasi wako waweze kujua msimamo wako na masuala unayozingatia. Ili kupata wafuasi wengi, inabidi uwe ukijipiga picha nyingi mara kwa mara na kuziweka katika mtandao. Picha zenyewe zafaa ziwe zimepigwa vizuri na kamera au simu ili ziwe wazi na kuonekana kwa urahisi. Waweza pia kujua jinsi unavyoendelea katika kupata wafuasi na picha zako kupendeka kwa kufanya ukaguzi ili ujue kama waendelea vizuri na masuala yako yanafuatiliwa na watu. Instagram pia inakupa nafasi ya kutoa [[hadithi]] yako kwa Instagram stories. == Marejeo == {{reflist}} ==Viungo vya nje== * {{Official website|http://instagram.com}} * [https://www.facebook.com/instagram Ukurasa wa Instagram kwenye Facebook] {{mbegu-utamaduni}} [[Jamii:Mitandao ya kijamii]] [[Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii ya Marekani]] iaq80j0o0qs5wun9b9pwl211hktd5x1 Twitter 0 92497 1241864 1201617 2022-08-11T13:21:26Z 196.249.103.49 Jukwaa la Mtandao wikitext text/x-wiki [[File:Twitter logo.svg|thumb|200px|Logo ya sasa ya '''{{PAGENAME}}''']] '''Twitter''' ni [[huduma ya mtandao wa kijamii|mtandao wa kijamii]] unaotoa huduma ya kutuma vijiujumbe vidogo vinavyoitwa "Tweets" na kushea na watu wanaokufuata. Vilevle huduma hii hutazamiwa kama [[blogu]] ndogo pia Twitter huitwa jukwaa la Mtandao Kama ilivyo [[JamiiTalk]]. Watumiaji wanatumia [[simu za mkononi]] au [[kompyuta]] kutuma na kusoma jumbe. Tweet zinaweza kuwa na maneno yenye urefu wa 140 tu. Hata hivyo mwaka 2017 kampuni hii ilitangaza kuongeza idadi ya urefu wa maneno hadi 280.<ref>"[https://money.cnn.com/2017/11/07/technology/twitter-280-character-limit/ Twitter will double its character count for most users].</ref> Maneno haya au jumbe hizi zinaonekana katika ukurasa wa mtumiaji. Tweet hizi aghalabu zinaweza kusomwa na mtu yeyote, lakini mtumaji anaweza pia kuzifanya ziwe faragha. Tweet ambazo ni faragha zinaweza kuonekana kwa wale ambao wanakufuata tu. Watumiaji wanaweza kujiandikisha na kutweet kwa watu wengine. Mtindo huo unaitwa ''following'' au kufuata, na wanaojiandikisha wanaitwa ''followers'' au wafuasi. Mwishoni mwa mwaka wa 2009, watumiaji waliweza kufuata orodha za muumbaji.<ref name="lists1">{{cite web|url=http://blog.twitter.com/2009/10/theres-list-for-that.html |title=There's a List for That |publisher=blog.twitter.com |date=October 30, 2009 |accessdate=February 1, 2010}}</ref><ref name="lists2">{{cite web |url=http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 |title=Twitter Lists! |publisher=help.twitter.com |date=November 9, 2009 |accessdate=February 1, 2010 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20091222223731/http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 |archivedate=2009-12-22 |=https://web.archive.org/web/20091116092359/http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 }}</ref> Watumiaji wanaweza kupokea tweets kwa kutumia wavuti ya Twitter. Vilevile wanaweza kutumia programu pepe ambazo zinafanya kaza na Twitter kwenye [[simujanja]]. <ref>{{cite web |url=http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code |title=Using Twitter With Your Phone |quote=We currently support 2-way (sending and receiving) Twitter SMS via short codes and 1-way (sending only) via long codes. |publisher=Twitter Support |accessdate=2010-06-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100315200218/http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code |archivedate=2010-03-15 |=https://web.archive.org/web/20100315200218/http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} == Viungo Nje == * [https://twitter.com Twitter] - Tovuti Ramsi * [http://blog.twitter.com Twitter blog] - Blogu rasmi [[Jamii:Mitandao ya kijamii]] 3vjkzhgacsckk8bfvywc7lq2cik094y 1241881 1241864 2022-08-11T18:47:34Z Benix Mby 36425 Viungo vya nje wikitext text/x-wiki [[File:Twitter logo.svg|thumb|200px|Logo ya sasa ya '''{{PAGENAME}}''']] '''Twitter''' ni [[huduma ya mtandao wa kijamii|mtandao wa kijamii]] unaotoa huduma ya kutuma vijiujumbe vidogo vinavyoitwa "Tweets" na kushea na watu wanaokufuata. Vilevle huduma hii hutazamiwa kama [[blogu]] ndogo pia Twitter huitwa jukwaa la Mtandao Kama ilivyo [[JamiiTalk]]. Watumiaji wanatumia [[simu za mkononi]] au [[kompyuta]] kutuma na kusoma jumbe. Tweet zinaweza kuwa na maneno yenye urefu wa 140 tu. Hata hivyo mwaka 2017 kampuni hii ilitangaza kuongeza idadi ya urefu wa maneno hadi 280.<ref>"[https://money.cnn.com/2017/11/07/technology/twitter-280-character-limit/ Twitter will double its character count for most users].</ref> Maneno haya au jumbe hizi zinaonekana katika ukurasa wa mtumiaji. Tweet hizi aghalabu zinaweza kusomwa na mtu yeyote, lakini mtumaji anaweza pia kuzifanya ziwe faragha. Tweet ambazo ni faragha zinaweza kuonekana kwa wale ambao wanakufuata tu. Watumiaji wanaweza kujiandikisha na kutweet kwa watu wengine. Mtindo huo unaitwa ''following'' au kufuata, na wanaojiandikisha wanaitwa ''followers'' au wafuasi. Mwishoni mwa mwaka wa 2009, watumiaji waliweza kufuata orodha za muumbaji.<ref name="lists1">{{cite web|url=http://blog.twitter.com/2009/10/theres-list-for-that.html |title=There's a List for That |publisher=blog.twitter.com |date=October 30, 2009 |accessdate=February 1, 2010}}</ref><ref name="lists2">{{cite web |url=http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 |title=Twitter Lists! |publisher=help.twitter.com |date=November 9, 2009 |accessdate=February 1, 2010 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20091222223731/http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 |archivedate=2009-12-22 |=https://web.archive.org/web/20091116092359/http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 }}</ref> Watumiaji wanaweza kupokea tweets kwa kutumia wavuti ya Twitter. Vilevile wanaweza kutumia programu pepe ambazo zinafanya kaza na Twitter kwenye [[simujanja]]. <ref>{{cite web |url=http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code |title=Using Twitter With Your Phone |quote=We currently support 2-way (sending and receiving) Twitter SMS via short codes and 1-way (sending only) via long codes. |publisher=Twitter Support |accessdate=2010-06-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100315200218/http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code |archivedate=2010-03-15 |=https://web.archive.org/web/20100315200218/http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} == Viungo Nje == {{Sister project links|auto=1|wikt=Twitter|d=y}} * [https://twitter.com Twitter] - Tovuti Ramsi * [http://blog.twitter.com Twitter blog] - Blogu rasmi [[Jamii:Mitandao ya kijamii]] qabpp3c9emgfp1zth5k37bicanx5zm6 1241882 1241881 2022-08-11T18:54:41Z Benix Mby 36425 /* Viungo vya nje */ wikitext text/x-wiki [[File:Twitter logo.svg|thumb|200px|Logo ya sasa ya '''{{PAGENAME}}''']] '''Twitter''' ni [[huduma ya mtandao wa kijamii|mtandao wa kijamii]] unaotoa huduma ya kutuma vijiujumbe vidogo vinavyoitwa "Tweets" na kushea na watu wanaokufuata. Vilevle huduma hii hutazamiwa kama [[blogu]] ndogo pia Twitter huitwa jukwaa la Mtandao Kama ilivyo [[JamiiTalk]]. Watumiaji wanatumia [[simu za mkononi]] au [[kompyuta]] kutuma na kusoma jumbe. Tweet zinaweza kuwa na maneno yenye urefu wa 140 tu. Hata hivyo mwaka 2017 kampuni hii ilitangaza kuongeza idadi ya urefu wa maneno hadi 280.<ref>"[https://money.cnn.com/2017/11/07/technology/twitter-280-character-limit/ Twitter will double its character count for most users].</ref> Maneno haya au jumbe hizi zinaonekana katika ukurasa wa mtumiaji. Tweet hizi aghalabu zinaweza kusomwa na mtu yeyote, lakini mtumaji anaweza pia kuzifanya ziwe faragha. Tweet ambazo ni faragha zinaweza kuonekana kwa wale ambao wanakufuata tu. Watumiaji wanaweza kujiandikisha na kutweet kwa watu wengine. Mtindo huo unaitwa ''following'' au kufuata, na wanaojiandikisha wanaitwa ''followers'' au wafuasi. Mwishoni mwa mwaka wa 2009, watumiaji waliweza kufuata orodha za muumbaji.<ref name="lists1">{{cite web|url=http://blog.twitter.com/2009/10/theres-list-for-that.html |title=There's a List for That |publisher=blog.twitter.com |date=October 30, 2009 |accessdate=February 1, 2010}}</ref><ref name="lists2">{{cite web |url=http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 |title=Twitter Lists! |publisher=help.twitter.com |date=November 9, 2009 |accessdate=February 1, 2010 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20091222223731/http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 |archivedate=2009-12-22 |=https://web.archive.org/web/20091116092359/http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 }}</ref> Watumiaji wanaweza kupokea tweets kwa kutumia wavuti ya Twitter. Vilevile wanaweza kutumia programu pepe ambazo zinafanya kaza na Twitter kwenye [[simujanja]]. <ref>{{cite web |url=http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code |title=Using Twitter With Your Phone |quote=We currently support 2-way (sending and receiving) Twitter SMS via short codes and 1-way (sending only) via long codes. |publisher=Twitter Support |accessdate=2010-06-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100315200218/http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code |archivedate=2010-03-15 |=https://web.archive.org/web/20100315200218/http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code }}</ref> == Marejeo == {{reflist}} == Viungo vya nje == * [https://twitter.com Twitter] - Tovuti Ramsi * [http://blog.twitter.com Twitter blog] - Blogu rasmi {{Sister project links|auto=1|wikt=Twitter|d=y}} [[Jamii:Twitter]] [[Jamii:Mitandao ya kijamii]] kdqctwdnrmmyscrd8tey7dgevn9tona 1241901 1241882 2022-08-11T19:56:38Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki [[File:Twitter logo.svg|thumb|200px|Logo ya sasa ya '''{{PAGENAME}}''']] '''Twitter''' ni [[mtandao wa kijamii]] unaotoa huduma ya kutuma vijiujumbe vidogo vinavyoitwa "Tweets" na kushea na watu wanaokufuata. Unamilikiwa na kampuni ya Marekani [[Twitter, Inc]]. Watumiaji wanatumia [[simu za mkononi]] au [[kompyuta]] kutuma na kusoma jumbe. Tweet zinaweza kuwa na maneno yenye urefu wa 140 tu. Hata hivyo mwaka 2017 kampuni hii ilitangaza kuongeza idadi ya urefu wa maneno hadi 280.<ref>"[https://money.cnn.com/2017/11/07/technology/twitter-280-character-limit/ Twitter will double its character count for most users].</ref> Maneno haya au jumbe hizi zinaonekana katika ukurasa wa mtumiaji. Tweet hizi aghalabu zinaweza kusomwa na mtu yeyote, lakini mtumaji anaweza pia kuzifanya ziwe faragha. Tweet ambazo ni faragha zinaweza kuonekana kwa wale ambao wanakufuata tu. Watumiaji wanaweza kujiandikisha na kutweet kwa watu wengine. Mtindo huo unaitwa ''following'' au kufuata, na wanaojiandikisha wanaitwa ''followers'' au wafuasi. Mwishoni mwa mwaka wa 2009, watumiaji waliweza kufuata orodha za muumbaji.<ref name="lists1">{{cite web|url=http://blog.twitter.com/2009/10/theres-list-for-that.html |title=There's a List for That |publisher=blog.twitter.com |date=October 30, 2009 |accessdate=February 1, 2010}}</ref><ref name="lists2">{{cite web |url=http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 |title=Twitter Lists! |publisher=help.twitter.com |date=November 9, 2009 |accessdate=February 1, 2010 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20091222223731/http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 |archivedate=2009-12-22 |=https://web.archive.org/web/20091116092359/http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 }}</ref> Watumiaji wanaweza kupokea tweets kwa kutumia wavuti ya Twitter. Vilevile wanaweza kutumia programu pepe ambazo zinafanya kazi na Twitter kwenye [[simujanja]]. <ref>{{cite web |url=http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code |title=Using Twitter With Your Phone |quote=We currently support 2-way (sending and receiving) Twitter SMS via short codes and 1-way (sending only) via long codes. |publisher=Twitter Support |accessdate=2010-06-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100315200218/http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code |archivedate=2010-03-15 |=https://web.archive.org/web/20100315200218/http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code }}</ref> Twitter ilianzishwa na [[Jack Dorsey]], [[Noah Glass]], [[Biz Stone]], na [[Evan Williams]] mnamo Machi 2006 na kuzinduliwa mnamo Julai mwaka huo huo. Twitter, Inc. ina makao yake makuu San Francisco, California na ina zaidi ya ofisi 25 duniani kote. <ref>{{Cite web|title=About Twitter {{!}} Our company purpose, principles, leadership|url=https://about.twitter.com/en/who-we-are/our-company.html|work=about.twitter.com|accessdate=2022-08-11|language=en}}</ref> Kufikia mwaka wa 2012, twitter ilikuwa na watumiaji zaidi ya milioni 100 na walituma tweets milioni 340 kwa siku.<ref>{{Cite web|title=Twitter turns six|url=https://blog.twitter.com/en_us/a/2012/twitter-turns-six|work=blog.twitter.com|accessdate=2022-08-11|language=en-us}}</ref> Mnamo mwaka wa 2013, ilikuwa mojawapo ya tovuti kumi zilizotembelewa zaidi. Kufikia mwanzoni mwa 2019, Twitter ilikuwa na zaidi ya watumiaji milioni 330.<ref>{{Cite web|title=Twitter overcounted active users since 2014, shares surge on profit hopes|url=https://www.usatoday.com/story/tech/news/2017/10/26/twitter-overcounted-active-users-since-2014-shares-surge/801968001/|work=USA TODAY|accessdate=2022-08-11|language=en-US|author=Brett Molina and Brett Molina}}</ref> == Tanbihi == {{reflist}} == Viungo vya nje == * [https://twitter.com Twitter] - Tovuti Ramsi * [http://blog.twitter.com Twitter blog] - Blogu rasmi {{Sister project links|auto=1|wikt=Twitter|d=y}} [[Jamii:Twitter]] [[Jamii:Mitandao ya kijamii]] hxcf6fow8n3goes20chw0xhz3sp6kf3 1241902 1241901 2022-08-11T20:01:38Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki [[File:Twitter logo.svg|thumb|200px|Logo ya sasa ya '''{{PAGENAME}}''']] '''Twitter''' ni [[mtandao wa kijamii]] unaotoa huduma ya kutuma vijiujumbe vidogo vinavyoitwa "Tweets" na kushea na watu wanaokufuata. Unamilikiwa na kampuni ya Marekani [[Twitter, Inc]]. Watumiaji wanatumia [[simu za mkononi]] au [[kompyuta]] kutuma na kusoma jumbe. Tweet zinaweza kuwa na maneno yenye urefu wa 140 tu. Hata hivyo mwaka 2017 kampuni hii ilitangaza kuongeza idadi ya urefu wa maneno hadi 280.<ref>"[https://money.cnn.com/2017/11/07/technology/twitter-280-character-limit/ Twitter will double its character count for most users].</ref> Maneno haya au jumbe hizi zinaonekana katika ukurasa wa mtumiaji. Tweet hizi aghalabu zinaweza kusomwa na mtu yeyote, lakini mtumaji anaweza pia kuzifanya ziwe faragha. Tweet ambazo ni faragha zinaweza kuonekana kwa wale ambao wanakufuata tu. Watumiaji wanaweza kujiandikisha na kutweet kwa watu wengine. Mtindo huo unaitwa ''following'' au kufuata, na wanaojiandikisha wanaitwa ''followers'' au wafuasi. Mwishoni mwa mwaka wa 2009, watumiaji waliweza kufuata orodha za muumbaji.<ref name="lists1">{{cite web|url=http://blog.twitter.com/2009/10/theres-list-for-that.html |title=There's a List for That |publisher=blog.twitter.com |date=October 30, 2009 |accessdate=February 1, 2010}}</ref><ref name="lists2">{{cite web |url=http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 |title=Twitter Lists! |publisher=help.twitter.com |date=November 9, 2009 |accessdate=February 1, 2010 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20091222223731/http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 |archivedate=2009-12-22 |=https://web.archive.org/web/20091116092359/http://help.twitter.com/forums/10711/entries/76460 }}</ref> Watumiaji wanaweza kupokea tweets kwa kutumia wavuti ya Twitter. Vilevile wanaweza kutumia programu pepe ambazo zinafanya kazi na Twitter kwenye [[simujanja]]. <ref>{{cite web |url=http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code |title=Using Twitter With Your Phone |quote=We currently support 2-way (sending and receiving) Twitter SMS via short codes and 1-way (sending only) via long codes. |publisher=Twitter Support |accessdate=2010-06-01 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20100315200218/http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code |archivedate=2010-03-15 |=https://web.archive.org/web/20100315200218/http://help.twitter.com/entries/14226-how-to-find-your-twitter-short-long-code }}</ref> Twitter ilianzishwa na [[Jack Dorsey]], [[Noah Glass]], [[Biz Stone]], na [[Evan Williams]] mnamo Machi 2006 na kuzinduliwa mnamo Julai mwaka huo huo. Twitter, Inc. ina makao yake makuu [[San Francisco]], [[California]] na ina zaidi ya ofisi 25 duniani kote. <ref>{{Cite web|title=About Twitter {{!}} Our company purpose, principles, leadership|url=https://about.twitter.com/en/who-we-are/our-company.html|work=about.twitter.com|accessdate=2022-08-11|language=en}}</ref> Kufikia mwaka wa 2012, twitter ilikuwa na watumiaji zaidi ya milioni 100 na walituma tweets milioni 340 kwa siku.<ref>{{Cite web|title=Twitter turns six|url=https://blog.twitter.com/en_us/a/2012/twitter-turns-six|work=blog.twitter.com|accessdate=2022-08-11|language=en-us}}</ref> Mnamo mwaka wa 2013, ilikuwa mojawapo ya tovuti kumi zilizotembelewa zaidi. Kufikia mwanzoni mwa 2019, Twitter ilikuwa na zaidi ya watumiaji milioni 330.<ref>{{Cite web|title=Twitter overcounted active users since 2014, shares surge on profit hopes|url=https://www.usatoday.com/story/tech/news/2017/10/26/twitter-overcounted-active-users-since-2014-shares-surge/801968001/|work=USA TODAY|accessdate=2022-08-11|language=en-US|author=Brett Molina and Brett Molina}}</ref> == Tanbihi == {{reflist}} == Viungo vya nje == * [https://twitter.com Twitter] - Tovuti Ramsi * [http://blog.twitter.com Twitter blog] - Blogu rasmi {{Sister project links|auto=1|wikt=Twitter|d=y}} [[Jamii:Twitter]] [[Jamii:Mitandao ya kijamii]] qjr22dfr0qon7xn0zt6vzsdaiv1e7kz Mtandao wa kijamii 0 92582 1241861 1178869 2022-08-11T13:09:43Z 196.249.103.49 Tanzania wikitext text/x-wiki '''Mtandao wa kijamii''' au '''Mitandao ya kijamii''' ni [[wavuti]] au [[huduma]] ambapo watu huongea, au hujumuishwa pamoja na watu wengine aidha ndani ya nchi au [[ulimwenguni]] kote. Huduma ya mitandao ya kijamii inaweza kuunganisha watu wenye shauku/mapenzi ya aina moja (kama vile [[mpira wa miguu]], [[shule]], [[ndondi]], [[chakula|vyakula vya aina mbalimbali]], [[filamu]], [[dini]] na kadhalika) pamoja na [[urafiki]]. Sehemu kubwa ya mitandao ya kijamii inakupa fursa ya kutengeneza taarifa zako katika ukurasa wako ikiwa ni pamoja na [[picha]] na maelezo kiasi kuhusu wewe mwenyewe, hasa yale ya msingi: unaishi wapi, una asili ya wapi, [[elimu]], unapenda nini na kadhalika. Mitandao ya kijamii ilianza kupendekeza tangu hatua za awali za uvumbuzi wa [[wavuti wa Walimwengu]] kwenye [[mwaka]] [[1993]].<ref>''The Network Nation 2'' by S. Roxanne Hiltz and Murray Turoff (Addison-Wesley, 1978, 1993)</ref> Baadhi ya mitandao ya kijamii ambayo ni maarufu sana ni pamoja na [[Facebook]], [[Instagram]], [[Twitter]] na [[JamiiTalk]] kwa [[Tanzania]] inasaidia kuongeza kasi ya [[mawasiliano]] ulimwenguni. Hata matumizi ya [[simu za mkononi]] zimeanza kupungua umaarufu wake hasa kwa mtindo wa uharaka wake wa kupeana jumbe kupitia mitandao hiyo. Mitandao ya kijamii inatumika kuwaleta watu pamoja na kujenga urafiki miongoni mwao. Mitandao ya kijamii inatumika kupeana taarifa na watu wengine. Matumizi zaidi ya mitandao ya kijamii yanaendelea kuvumbuliwa katika nyanja tofauti ikiwemo elimu<ref>{{Cite web|url=http://csic.georgetown.edu/magazine/social-media-reshaping-todays-education-system/|title=How Social Media is Reshaping Today's Education System|author=Lori Wade|language=en-US|work=Center for Social Impact Communication|accessdate=2019-06-03}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.lcibs.co.uk/the-role-of-social-media-in-education/|title=The Role of Social Media in Education|author=Khanyie Dlamini|date=2017-07-20|language=en-US|work=LCIBS - London College of International Business Studies|accessdate=2019-06-03|archivedate=2020-07-26|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200726190222/https://www.lcibs.co.uk/the-role-of-social-media-in-education/}}</ref>, biashara, matangazo ya kibiashara, siasa<ref>{{Cite web|url=https://www.thoughtco.com/how-social-media-has-changed-politics-3367534|title=Social Media in Politics - Twitter and Facebook as Campaigns Tools|author=The Nieman Foundation for fairness in investigative reporting|language=en|work=ThoughtCo|accessdate=2019-06-03}}</ref>, ajira<ref>{{Cite web|url=https://blogs.cornell.edu/react/2018/05/16/the-impact-of-social-media-on-employment-the-good-the-bad-and-the-ugly/|title=The Impact of Social Media On Employment: The Good, the Bad, and the Ugly|author=Ben Young|date=2018-05-16|language=en-ZA|work=React at Cornell University|accessdate=2019-06-03}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.naceweb.org/talent-acquisition/student-attitudes/the-role-of-social-media-in-the-job-search/|title=The Role of Social Media in the Job Search|author=National Association of Colleges and Employers Staff|date=2017-12-11|work=National Association of Colleges and Employers|accessdate=2019-06-03}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.shrm.org/hr-today/news/hr-magazine/pages/0914-social-media-hiring.aspx|title=LEGAL TRENDS Social Media Use in Hiring: Assessing the Risks|author=Jonathan A. Segal|date=2018-04-11|language=en-US|work=SHRM|accessdate=2019-06-03}}</ref>, afya na matibabu<ref>{{Cite web|url=https://elearning.scranton.edu/resource/business-leadership/top-5-ways-social-media-is-used-by-healthcare-professionals|title=Top 5 Ways Social Media is Used by Healthcare Professionals|author=The University of Scranton|date=2013-09-17|language=en|work=The University of Scranton Online|accessdate=2019-06-03}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Smith|first=Stephen W.|last2=Sherbino|first2=Jonathan|last3=Ennis-O'Connor|first3=Marie|last4=Haymond|first4=Shannon|last5=Carley|first5=Simon|last6=Berkwits|first6=Michael|last7=Saenger|first7=Amy K.|date=2018-09-01|title=The Power of Social Media in Medicine and Medical Education: Opportunities, Risks, and Rewards|url=http://clinchem.aaccjnls.org/content/64/9/1284|journal=Clinical Chemistry|language=en|volume=64|issue=9|pages=1284–1290|doi=10.1373/clinchem.2018.288225|issn=0009-9147|pmid=29789353}}</ref>, utawala<ref>{{Cite web|url=https://gsdrc.org/publications/social-media-and-governance/|title=Social media and governance|author=Evie Browne|date=2015-01-01|language=en-US|work=GSDRC|accessdate=2019-06-03}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://blog.hootsuite.com/social-media-government/|title=Social Media in Government: Benefits, Challenges, and How it’s Used|author=Hootsuite|date=2019-02-25|language=en-US|work=Hootsuite Social Media Management|accessdate=2019-06-03}}</ref> na kadhalika. Mitandao mingi ya kijamii inapatikana katika simu za mikononi hasa zile [[simujanja]]. Kuna baadhi ya makampuni yanafungia uwezo wa kuingia katika mitandao ya kijamii hasa kwa malalamiko ya kwamba waajiriwa wanapoteza muda mwingi katika mitandao hiyo. == Oroha ya mitandao ya kijamii == *[[Facebook]] *[[Google+]] *[[LinkedIn]] *[[MySpace]] *[[Twitter]] *[[Pinterest]] *[[Tumblr]] *[[Youtube]] *[[Instagram]] *[[Musically|Musical.ly]] *[[Kik]] *[[Snapchat]] *[[Wattpad]] *[[Whatsapp]] == Tanbihi == {{reflist}} ==Marejeo== * https://en.wikipedia.org/wiki/Social_media * https://en.wikipedia.org/wiki/Social_media_in_education * https://en.wikipedia.org/wiki/Social_media_use_in_politics == Viungo vya nje == *[https://removify.com.au/blog/how-to-prepare-your-online-presence-for-your-dream-job-interview/ Mawaidha jinsi ya kunufaika na mitandao ya kijamii unapotafuta kazi na kushiriki mahojiano ya kazi] {{tech-stub}} [[Category:Mitandao ya kijamii]] [[Category:Teknolojia]] r7p3my3yj9qwrjdg53n75kypu11a70m 1241862 1241861 2022-08-11T13:10:48Z 196.249.103.49 /* Oroha ya mitandao ya kijamii */ JamiiTalk wikitext text/x-wiki '''Mtandao wa kijamii''' au '''Mitandao ya kijamii''' ni [[wavuti]] au [[huduma]] ambapo watu huongea, au hujumuishwa pamoja na watu wengine aidha ndani ya nchi au [[ulimwenguni]] kote. Huduma ya mitandao ya kijamii inaweza kuunganisha watu wenye shauku/mapenzi ya aina moja (kama vile [[mpira wa miguu]], [[shule]], [[ndondi]], [[chakula|vyakula vya aina mbalimbali]], [[filamu]], [[dini]] na kadhalika) pamoja na [[urafiki]]. Sehemu kubwa ya mitandao ya kijamii inakupa fursa ya kutengeneza taarifa zako katika ukurasa wako ikiwa ni pamoja na [[picha]] na maelezo kiasi kuhusu wewe mwenyewe, hasa yale ya msingi: unaishi wapi, una asili ya wapi, [[elimu]], unapenda nini na kadhalika. Mitandao ya kijamii ilianza kupendekeza tangu hatua za awali za uvumbuzi wa [[wavuti wa Walimwengu]] kwenye [[mwaka]] [[1993]].<ref>''The Network Nation 2'' by S. Roxanne Hiltz and Murray Turoff (Addison-Wesley, 1978, 1993)</ref> Baadhi ya mitandao ya kijamii ambayo ni maarufu sana ni pamoja na [[Facebook]], [[Instagram]], [[Twitter]] na [[JamiiTalk]] kwa [[Tanzania]] inasaidia kuongeza kasi ya [[mawasiliano]] ulimwenguni. Hata matumizi ya [[simu za mkononi]] zimeanza kupungua umaarufu wake hasa kwa mtindo wa uharaka wake wa kupeana jumbe kupitia mitandao hiyo. Mitandao ya kijamii inatumika kuwaleta watu pamoja na kujenga urafiki miongoni mwao. Mitandao ya kijamii inatumika kupeana taarifa na watu wengine. Matumizi zaidi ya mitandao ya kijamii yanaendelea kuvumbuliwa katika nyanja tofauti ikiwemo elimu<ref>{{Cite web|url=http://csic.georgetown.edu/magazine/social-media-reshaping-todays-education-system/|title=How Social Media is Reshaping Today's Education System|author=Lori Wade|language=en-US|work=Center for Social Impact Communication|accessdate=2019-06-03}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.lcibs.co.uk/the-role-of-social-media-in-education/|title=The Role of Social Media in Education|author=Khanyie Dlamini|date=2017-07-20|language=en-US|work=LCIBS - London College of International Business Studies|accessdate=2019-06-03|archivedate=2020-07-26|archiveurl=https://web.archive.org/web/20200726190222/https://www.lcibs.co.uk/the-role-of-social-media-in-education/}}</ref>, biashara, matangazo ya kibiashara, siasa<ref>{{Cite web|url=https://www.thoughtco.com/how-social-media-has-changed-politics-3367534|title=Social Media in Politics - Twitter and Facebook as Campaigns Tools|author=The Nieman Foundation for fairness in investigative reporting|language=en|work=ThoughtCo|accessdate=2019-06-03}}</ref>, ajira<ref>{{Cite web|url=https://blogs.cornell.edu/react/2018/05/16/the-impact-of-social-media-on-employment-the-good-the-bad-and-the-ugly/|title=The Impact of Social Media On Employment: The Good, the Bad, and the Ugly|author=Ben Young|date=2018-05-16|language=en-ZA|work=React at Cornell University|accessdate=2019-06-03}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.naceweb.org/talent-acquisition/student-attitudes/the-role-of-social-media-in-the-job-search/|title=The Role of Social Media in the Job Search|author=National Association of Colleges and Employers Staff|date=2017-12-11|work=National Association of Colleges and Employers|accessdate=2019-06-03}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://www.shrm.org/hr-today/news/hr-magazine/pages/0914-social-media-hiring.aspx|title=LEGAL TRENDS Social Media Use in Hiring: Assessing the Risks|author=Jonathan A. Segal|date=2018-04-11|language=en-US|work=SHRM|accessdate=2019-06-03}}</ref>, afya na matibabu<ref>{{Cite web|url=https://elearning.scranton.edu/resource/business-leadership/top-5-ways-social-media-is-used-by-healthcare-professionals|title=Top 5 Ways Social Media is Used by Healthcare Professionals|author=The University of Scranton|date=2013-09-17|language=en|work=The University of Scranton Online|accessdate=2019-06-03}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Smith|first=Stephen W.|last2=Sherbino|first2=Jonathan|last3=Ennis-O'Connor|first3=Marie|last4=Haymond|first4=Shannon|last5=Carley|first5=Simon|last6=Berkwits|first6=Michael|last7=Saenger|first7=Amy K.|date=2018-09-01|title=The Power of Social Media in Medicine and Medical Education: Opportunities, Risks, and Rewards|url=http://clinchem.aaccjnls.org/content/64/9/1284|journal=Clinical Chemistry|language=en|volume=64|issue=9|pages=1284–1290|doi=10.1373/clinchem.2018.288225|issn=0009-9147|pmid=29789353}}</ref>, utawala<ref>{{Cite web|url=https://gsdrc.org/publications/social-media-and-governance/|title=Social media and governance|author=Evie Browne|date=2015-01-01|language=en-US|work=GSDRC|accessdate=2019-06-03}}</ref><ref>{{Cite web|url=https://blog.hootsuite.com/social-media-government/|title=Social Media in Government: Benefits, Challenges, and How it’s Used|author=Hootsuite|date=2019-02-25|language=en-US|work=Hootsuite Social Media Management|accessdate=2019-06-03}}</ref> na kadhalika. Mitandao mingi ya kijamii inapatikana katika simu za mikononi hasa zile [[simujanja]]. Kuna baadhi ya makampuni yanafungia uwezo wa kuingia katika mitandao ya kijamii hasa kwa malalamiko ya kwamba waajiriwa wanapoteza muda mwingi katika mitandao hiyo. == Oroha ya mitandao ya kijamii == *[[Facebook]] *[[Google+]] *[[JamiiTalk]] *[[LinkedIn]] *[[MySpace]] *[[Twitter]] *[[Pinterest]] *[[Tumblr]] *[[Youtube]] *[[Instagram]] *[[Musically|Musical.ly]] *[[Kik]] *[[Snapchat]] *[[Wattpad]] *[[Whatsapp]] == Tanbihi == {{reflist}} ==Marejeo== * https://en.wikipedia.org/wiki/Social_media * https://en.wikipedia.org/wiki/Social_media_in_education * https://en.wikipedia.org/wiki/Social_media_use_in_politics == Viungo vya nje == *[https://removify.com.au/blog/how-to-prepare-your-online-presence-for-your-dream-job-interview/ Mawaidha jinsi ya kunufaika na mitandao ya kijamii unapotafuta kazi na kushiriki mahojiano ya kazi] {{tech-stub}} [[Category:Mitandao ya kijamii]] [[Category:Teknolojia]] 7vtycn24vl5rgqoarbo9fu7hg2lzef4 Rayvanny 0 95132 1241916 1177753 2022-08-11T20:54:37Z Benix Mby 36425 /* Tanbihi */ wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist |Jina = Rayvanny |Img = |Img_capt = |Background = solo_singer |Jina la kuzaliwa = Raymond Shaban Mwakyusa |Pia anajulikana kama = Rayvanny |Amezaliwa = {{birth date and age|1993|8|22|df=yes}} |Asili yake = [[Mbeya]],[[Tanzania]] |Ala = [[Piano]], [[Mwimbaji|sauti]] |Aina = [[Bongo Flava]],''Afro Pop'' |Kazi yake = [[Mwimbaji]]-[[mtunzi wa nyimbo|mtunzi]], [[mtayarishaji wa rekodi]] |Miaka ya kazi = 2011–mpaka sasa |Studio = [[Wasafi Records]],[[Next Level Music]] |Ameshirikiana na = [[Harmonize]], [[Diamond Platnumz]] |Tovuti = [https://www.mrtechsite.com/2019/09/wordpress-or-blogger-which-one-is-best.html/ Rayvanny] }} [[Picha: Rayvany.jpg|thumb| Rayvanny]] '''Raymond Shaban Mwakyusa''' (anafahamika zaidi kwa jina lake kama '''Rayvanny'''; amezaliwa [[22 Agosti]] [[1993]]) ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa [[muziki]] wa [[muziki wa kizazi kipya|kizazi kipya]] kutoka [[Tanzania]] (kwa [[asili]] ni [[mtu]] wa [[Mkoa|mkoani]] [[Mbeya]]). == Wasifu == "Rayvanny" alianza kujulikana kupitia [[wimbo]] wake "[[Kwetu]]"<ref>{{Cite web|url=http://www.mtvbase.com/news/acts-to-lookout-for-in-2017/vnwv7i|title=mtv news {{!}} top african acts to lookout for in 2017 {{!}} MTV Africa|website=www.mtvbase.com|access-date=2017-10-03|accessdate=2017-11-29|archivedate=2017-11-15|archiveurl=https://web.archive.org/web/20171115195710/http://www.mtvbase.com/news/acts-to-lookout-for-in-2017/vnwv7i}}</ref> si siku nyingi sana tangu [[Harmonize]] atoe wimbo wake wa [[Bado]]. Baadaye Natafuta Kiki, Sugu ambayo imetolewa kama wimbo wa ziada tu hasa ukizingatia umechukua biti ya Bow Wow (What's My Name). Halafu Mbeleko, Shikwambi, Zezeta na Kijuso aliyoimba na [[Queen Darleen]], Pochi Nene aliyoimba na s2kizzy na baadaye Mwanza wimbo ambao aliimba na msanii mwenzie [[Diamond Platnumz]]. Wimbo huo ulifungiwa na Baraza la Sanaa nchini Tanzania [[BASATA]] kutokana na kutokuwa na [[maadili]] mema hivyo kufanya wimbo huo kufungiwa kupigwa kwenye [[vyombo vya habari]] nchini [[Tanzania]]. Baada ya wimbo huo kufungiwa yeye na Diamond walitoa wimbo uitwao Tetema, wimbo ambao ulipendwa na watu wengi kuufanya kuwa na watazamaji wengi kwenye [[mitandao ya kijamii]] kwa muda mfupi sana. ==Albamu== {| class="wikitable" |+NYIMBO !Nambari !Mada ya wimbo !Mwaka !Tan<ref>{{Cite web|url=http://notjustok.com/eastafrica/?s=RAYVANNY|title=You searched for RAYVANNY - Notjustok East Africa|website=Notjustok East Africa|language=en-US|access-date=2017-10-03}}</ref> |- |1. |'''''"Kwetu"''''' |2016 | |- |2. |'''''"Natafuta Kiki"''''' |2016 | |- |3. |'''''"Sugu"''''' |2017 | |- |4. |'''''"Mbeleko"''''' |2017 | |- |5. |'''''"Shikwambi"''''' |2017 | |- |5. |'''''"Zezeta"''''' |2017 | |- |6. |'''''"Chuma Ulete"''''' |2017 | |- |7. |'''''"Unaibiwa"''''' |2017 | |} {| class="wikitable" |+Nyimbo za kolabo !Nambari !Mada ya Wimbo !Mwaka !Mwanamuziki mkuu !Tan |- |1. |"Salome" |2016 |[[Diamond Platnumz]] | |- |2. |" Kijuso" |2017 |Queen Darling |<ref>{{Cite news|url=http://notjustok.com/eastafrica/2017/02/20/video-queen-darleen-ft-rayvanny-kijuso/|title=VIDEO : Queen Darleen Ft. Rayvanny - Kijuso - Notjustok East Africa|date=2017-02-20|work=Notjustok East Africa|access-date=2017-10-03|language=en-US}}</ref> |- |3. |"Zilipendwa" |2017 |WCB WASAFI ARTIST ( Rayvanny, Rich Mavoko, [[Diamond Platnumz]], Maromboso, [[Harmonize (musician)|Harmonize]], Lava Lava, Queen Darling ) |<ref>{{Cite web|url=http://www.mtvbase.com/news/wcb-wasafis-artists-collaborate/4fro81|title=MTV News {{!}}wcb wasafi’s artists collaborate on "zilipendwa" {{!}} MTV Africa|website=www.mtvbase.com|access-date=2017-10-03|accessdate=2017-11-29|archivedate=2017-11-18|archiveurl=https://web.archive.org/web/20171118233704/http://www.mtvbase.com/news/wcb-wasafis-artists-collaborate/4fro81}}</ref><ref>{{Cite news|url=http://afrofire.com/diamond-platnumz-harmonize-rich-mavoko-rayvanny-zilipendwa-official-video/|title=Diamond Platnumz, Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny - Zilipendwa (Official Video) - AfroFire|date=2017-08-26|work=AfroFire|access-date=2017-10-03|language=en-US}}</ref><ref>{{Cite news|url=https://olagist.net/music-rayvanny-tetema-remix-ii-ft-patoranking-zlatan-diamond-platnumz/|title=Rayvanny – Tetema (Remix) II Ft Patoranking, Zlatan & Diamond Platnumz - OlaGist|date=2019-08-29|work=OlaGist|access-date=2019-12-05|language=en-US}}</ref> |- |1. |"Cuppy jollof on the jet" |2020 |[[Rema]] | |- |} ==Tanbihi== {{Marejeo|2}} {{Mbegu-mwanamuziki-TZ}} [[Jamii:Waliozaliwa 1994]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] g37kycw4thdbwjft6f05e00l9psnnun Kisiwa cha Yambe 0 96508 1242035 1202893 2022-08-12T11:11:32Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''{{PAGENAME}}''' ni [[kisiwa]] kikubwa kuliko vyote vya [[mkoa wa Tanga]], nchini [[Tanzania]], ambacho kinapatikana katika [[Bahari ya Hindi]]. Kisiwa hicho kimo chini ya mamlaka ya Hifadhi ya Tanga Coelacanth Marine Park ambayo imo chini ya taasisi ya Tanzania Marine Parks and Reserves. Kisiwa hicho ni kati ya visiwa vyenye [[Gofu|magofu]] ya [[historia]] ya [[Waswahili]], ambayo bado kufukuliwa.<ref>James De Vere Allen. “Swahili Architecture in the Later Middle Ages.” African Arts, vol. 7, no. 2, UCLA James S. Coleman African Studies Center, 1974, pp. 42–84, https://doi.org/10.2307/3334723.</ref><ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James De Vere|date=1974|title=Swahili Architecture in the Later Middle Ages|url=https://www.jstor.org/stable/3334723|journal=African Arts|volume=7|issue=2|pages=42–84|doi=10.2307/3334723|issn=0001-9933}}</ref> Ni eneo linalotunzwa kutokana na upatikanaji wa mabaki ya [[kihistoria]] linalopatikana mashariki mwa mji wa Tanga katika wilaya ya Tanga, iliyopo mkoa wa Tanga nchini Tanzania. Eneo hili linapatikana ndani ya Tanga Coelacanth Marine Park (TCMP). Kisiwa hiki kinaongozwa na hifadhi ya bahari nchini Tanzania.<ref>{{Cite web|title=Marine Parks {{!}} Marine Parks|url=https://www.marineparks.go.tz/index.php/home/parks#tanga|work=www.marineparks.go.tz|accessdate=2022-08-12}}</ref> ==Tazama pia== * [[Orodha ya visiwa vya Tanzania]] ==Tanbihi== {{reflist}} ==Viungo vya nje== * [http://www.geonames.org Geonames.org] {{mbegu-jio-tanga}} [[Jamii:Miji ya kale ya Waswahili]] [[Jamii:Historia ya Mkoa wa Tanga]] [[Jamii:Historia ya Tanzania]] [[Jamii:Visiwa vya Tanzania]] [[Jamii:Visiwa vya Bahari ya Hindi]] [[Jamii:Mkoa wa Tanga]] 14n46a2thz6giflzhc14ru8fgwq6ngp Davis Mwamunyange 0 104251 1241925 1112954 2022-08-11T21:46:41Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki '''Davis Mwamunyange''' (alizaliwa [[mwaka]] wa [[1959]] katika [[mkoa wa Mbeya]]) alikuwa Mkuu wa [[Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania]]. Alichaguliwa na [[Rais]] wa [[Tanzania]] [[Jakaya Kikwete]] mwezi [[Septemba]] [[2007]]. Kabla ya kuteuliwa kwake alikuwa [[Mkurugenzi Mkuu]] wa [[Serikali]]. {{mbegu-mtu}} {{BD|1959|}} [[Jamii:Watu wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] n18o6dm2twjueoevqo0oqh2x57bbaqq Dizasta Vina 0 111827 1241918 1236686 2022-08-11T21:17:38Z Benix Mby 36425 /* Viungo vya nje */ wikitext text/x-wiki {{Infobox musical artist 2 |picha=Dizasta panorama.png |maelezo=Dizasta Vina akiwa Stejini—Septemba 2018, [[Dar es Salaam]],[[Tanzania]]. |tarehe ya kuzaliwa= {{birth date and age|1993|2|17|df=yes}} |mahali pa kuzaliwa= [[Iringa]],[[Tanzania]] | Kazi yake = *[[Rapa]] *[[Mtunzi wa Nyimbo]] *[[Mshairi]] *[[Mtayarishaji wa rekodi]] |Jina=Dizasta Vina|Jina la kuzaliwa=Edger Vicent|Jina lingine=Fundi Vina<br>Professor Tungo<br>The Black Maradona|Miaka ya kazi=2007 - hadi leo|Studio=[[Panorama Authentik]]|Ameshirikiana na=*[[One The Incredible]] *[[Nikki Mbishi]] *[[Ringle Beatz]] *JCB wa [[Watengwa]]|Aina ya muziki=[[Muziki wa hip hop|Hip hop]]|Ala=[[Sauti]]<br />[[Ngoma]]<br />[[Kinanda]]|Chimbuko=[[Mbeya]], [[Tanzania]]|Background=solo_singer}} '''Edger Vicent''' (anafahamika zaidi kwa [[jina la kisanii]] kama '''Dizasta Vina'''; amezaliwa [[17 Februari]] [[1993]]) ni [[msanii]] wa [[muziki]] wa [[Hip Hop]] na [[mtayarishaji wa muziki]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Ni msanii ambaye muundo wa mashairi yake unajumuisha usimulia wa matukio na hadithi za maisha halisi ya jamii aliyotokea. Tungo zake zinajulikana kwa kuakisi maisha ya raia wa kawaida wa Tanzania na [[Afrika]] kwa ujumla. Alianza [[kurap]] mnamo mwaka wa [[2007]] kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ikiwa ni pamoja na [[SM Straight Music Freestyle Battle]] mwaka wa [[2010]] mkoani Iringa. Mashindano haya yalimjenga kisanaa na baadaye alijiunga na [[Tamaduni Muzik]] kupitia shindano la utafutaji wa vipaji. Mnamo mwaka wa [[2012]] alianza kupata umaarufu kwenye tasnia ya muziki nchini Tanzania, baada ya kutoa wimbo uliokwenda kwa jina la "Harder".<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina Biography, Music Career, Awards, Relationships and Net Worth ⚜ Latest music news online|url=https://mdundo.com/news/21110|work=mdundo.com|accessdate=2022-07-28|language=en}}</ref> Mnamo mwaka wa 2017, alitoa kandamseto yake ya kwanza "[[The Wonderboy Mixtape]]". Aliachia nyimbo kadhaa na kufanikiwa kutoa albamu yake ya kwanza "[[JESUSta]]" mwaka wa 2018. Mnamo tarehe 27 Desemba [[2020]], alitoa albamu yake ya pili "[[The Verteller]]".<ref>{{Cite web|title=Micshariki Africa|url=https://micshariki.africa/dizasta-vina-the-verteller/|accessdate=2022-07-28|language=en}}</ref> Kando na kutoa nyimbo, Dizasta amekuwa akifanya utayarishaji wa nyimbo zake, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma namna ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. == Maisha ya awali na elimu == Dizasta Vina ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yake na ni mwanaume pekee akiwa na dada zake wawili, alizaliwa mnamo tarehe [[17 Februari]] [[1993]]. Ingawa kiasili ni [[Wanyakyusa|Mnyakyusa]] kutoka [[Mbeya]] (mkoa uliopo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania) alizaliwa [[mkoa wa Iringa]] kabla ya wazazi wake kuhamia [[Dar es Salaam]] ambako alianza shule. Elimu yake ya msingi aliipata katika shule ya msingi ya "Kimanga" iliyopo [[wilaya ya Ilala]] jijini Dar es Salaam aliandikishwa katika shule hiyo mnamo mwaka wa 2000. Mwaka wa 2007 alijiunga na elimu ya sekondari katika shule binafsi ya "White Lake High School" iliyopo eneo la Changanyikeni jijini Dar es Salaam kisha kumaliza masomo ya sekondari katika shule ya "Southern Highlands Secondary School" iliyopo Soweto jijini [[Mbeya (mji)|Mbeya]] — mnamo mwaka wa 2O1O. Aliendelea na kidato cha tano katika shule ya "Kigoma High School" mkoani [[Kigoma]] ambapo alisoma kwa muda wa miezi minne tu kabla ya kumalizia masomo yake ya elimu ya sekondari katika shule ya "Mbeya High School". Dizasta alijiunga na masomo ya elimu ya juu mwaka wa 2013 katika [[Chuo cha Usimamizi wa Fedha]] (IFM) kilichopo jijini Dar es Salaam na kusoma shahada ya kwanza ya uhasibu. == Kazi ya muziki == [[Picha:Dizasta_Vina_katika_Pozi.png|alt=|thumb|Dizasta vina katika Pozi — 2019.]] Dizasta Vina amezaliwa katika familia inayopenda muziki na alianza kufuatilia muziki tangu akiwa na umri mdogo. Msukumo wa kuupenda muziki aliupata kutoka kwa familia yake. Mama yake aliimba kwaya kanisani na pia kwa vipindi tofauti, dada zake walijiunga na uimbaji wa kwaya na wengine bado wanaimba mpaka sasa. Wakati anakua, Vina alijulikana mtaani kwa kukariri nyimbo za wanamuziki mashuhuri nchini Tanzania kama vile [[Professor Jay]], [[Afande Sele]], [[Juma Nature]], na [[Solo Thang]]. Wakati fulani, watu walikuwa wakimpa pesa ili awaimbie baadhi ya nyimbo zilizotamba wakati huo. Alianza kutamani kuwa mchanaji baada ya kusikiliza albamu ya "[[Machozi Jasho na Damu]]" ya Professor Jay. Dizasta vina alianza rasmi kujishughulisha na masuala ya muziki mnamo mwaka wa 2007 kwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ya kurap ikiwa ni pamoja na [[SM Straight Music Freestyle Battle]] mwaka wa 2010 mkoani Iringa. Mashindano kama haya yalimjengea msingi wa kuwa mwanamuziki na kumpa hamasa ya kujifunza zaidi kuhusu misingi ya utamaduni wa hip hop. Mnamo mwaka wa 2011 alikutana na mtayarishaji wa muziki, [[Duke Touchez]]. Duke alimpa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na [[Tamaduni Muzik]] ambayo kwa kipindi hicho ilikuwa inatafuta vipaji vipya kwa ajili ya "[[Tamaduni Foundation]]". Dizasta alishiriki shindano ya kuchana lililofanyika wakati wa tamasha la kuachia santuri tano kwa mpigo ("African Son" ya Stereo, "Sauti ya Jogoo" ya [[Nikki Mbishi]], "Mzimu wa Shaaban Robert" ya [[Nash MC]], "Underground Legendary" ya Duke Touchez na "Mathematrix" ya Songa na Ghetto Ambassador).<ref>{{Cite web|title=:::::::::TAMADUNIMUZIK::::::::::: UZINDUZI WA SANTURI 5 KWA PAMOJA|url=http://tamadunimuzik.blogspot.com/2012/08/uzinduzi-wa-santuri-5-kwa-pamoja.html|date=2012-08-11|accessdate=2022-07-28|author=Tamadunimuzik}}</ref> Baada ya shindano hilo alifanikiwa kujiunga rasmi na Tamaduni Muzik. Alianza kupata umaarufu mnamo mwaka wa 2012, alipotoa wimbo wake wa kwanza 'Harder'.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina: Zawadi nyingine kwa wapenda HipHop Tanzania|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-zawadi-nyingine-kwa-wapenda-hiphop-tanzania.1419722/|work=JamiiForums|accessdate=2022-07-28|language=en-US}}</ref> Mwaka wa 2013, Dizasta alitoa wimbo ulioitwa "Tega sikio", kisha akatoa "Goli la ushindi", "Nyumba Ndogo" na "Sister". Dizasta alishirikishwa kwenye albamu ya "Underground Project" ya mtayarishaji wa muziki anayefahamika kwa jina la AK 47, kwenye wimbo uliokwenda kwa jina la "Heavyweight" alishirikiana na mwanamuziki wa kike, [[Tifa Flows]]. Mwaka huo huo alishirikishwa katika albamu ya "Upande wa pili wa sarafu" ya mtayarishaji wa muziki Abby Mp, kazi ya kilinge ya Duke Touchez, albamu ya "Kiutu Uzima" ya msanii Kadgo, Kandamseto ya "Slow Jams" ya mtayarishaji wa muziki - Innocent Mujwahuki, "Tamaduni Foundation" ya Ngwesa na "Representing Africa Popote" ya [[One the Incredible]]. Dizasta akiwa anaendelea na masomo ya chuo kikuu alijifunza mambo madogo madogo ya kuwa mwanamuziki wa kujitegemea. Kufikia mwaka wa 2015, Vina alikuwa maarufu nchini Tanzania baada ya kutoa wimbo wa ‘Kijogoo’ na ‘Siku Nikifa’. Mwaka 2017 alitoa kandamseto yake ya kwanza iliyokwenda kwa jina la "[[The Wonderboy Mixtape]]". Kandamseto hii ilivuta usikivu wa wadau wengi wa muziki na alianza kuzungumziwa kupitia media mbalimbali kama mmoja wa wasanii bora wa kizazi kipya na mtunzi mahiri wa nyimbo za masimulizi.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina anaweza akawa ndio best rapper Tanzania|url=https://www.jamiiforums.com/threads/dizasta-vina-anaweza-akawa-ndio-best-rapper-tanzania.1483766/|work=JamiiForums|accessdate=2022-07-28|language=en-US}}</ref> Mnamo 14 Februari 2018, Dizasta alipata mwaliko kwenye "Dakika 10 za Maangamizi" kipindi kidogo ndani ya kipindi cha Planet Bongo cha [[East Africa Radio]]. Iliripotiwa kuwa kipindi chake cha mitindo huru ni mojawapo ya kipindi bora zaidi kwenye mfululizo wa kipindi hicho.<ref>{{Citation|title=Dakika 10 Za Maangamizi- Dizasta Vina {{!}} Planet Bongo I|url=https://www.youtube.com/watch?v=TS4E3bG1b30|language=sw-TZ|access-date=2022-07-28}}</ref> ===2018: ''JESUSta''=== Desemba mwaka wa 2018, Dizasta Vina alitoa albamu yake ya kwanza iliyoitwa "[[JESUSta]]". Albamu hiyo yenye nyimbo 20 imeshirikisha wasanii wengine ikiwa ni pamoja na [[Nikki Mbishi]], Shaolin Senetor, Bokonya, Kinya, [[Motra the Future]], [[Boshoo]] na Jeff Mduma. Albamu ilivuta hisia za wapenzi wengi wa muziki wa hip hop kote nchini na ilijumuisha nyimbo maarufu kama "The Lost One", "Nobody is Safe", " Kanisa", na "Hatia". Wimbo wa "Kikaoni" ambao aliutayarisha mwenyewe uliingia katika chati za vituo kadhaa vya redio jijini Dar es Salaam na kote Tanzania.<ref>{{Cite web|title=Audiomack {{!}} Free Music Sharing and Discovery|url=https://audiomack.com/dizastavina/song/dizasta-vina-kikaoni-1|work=audiomack.com|accessdate=2022-07-28|language=en}}</ref> ===2020:''The Verteller''=== {{main|The Verteller}} "The Verteller" albamu ya pili ya Dizasta Vina ilitolewa tarehe 27 Desemba 2020 ilitolewa kupitia Panorama Authentik na utayarishaji wake ulishughulikiwa na Ringle Beatz (ambaye pia amesimama kama mtayarishaji mkuu), Cjmoker na Jcob. Dizasta alirekodi albamu hii kati ya mwaka 2019 na 2020. The Verteller ina jumla ya nyimbo 20 kama mtangulizi wake na imeshirikisha wasanii wengine kutoka nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na Tk Nendeze, Adam ShuleKongwe, Bokonya, Wakiafrika, Nasra Sayeed na Dash. Albamu ilipokelewa vyema na mashabiki na wapenzi wa muziki. Nyimbo kama "Ndoano", " The Confession of a Mad Man", "Wimbo usio bora", " Kesho" na "Muscular Feminist" zilimletea umaarufu zaidi wa kitaifa na ufuasi mkubwa wa mashabiki.<ref>{{Cite web|title=Dizasta Vina - Simulizi, Ubunifu na Maisha ya Jamii yake Ndani ya Album ya The Verteller.|url=https://medium.com/@BenixMatrix/dizasta-vina-simulizi-ubunifu-na-maisha-ya-jamii-yake-ndani-ya-album-ya-the-verteller-c5d5b6594974|work=Medium|date=2022-05-27|accessdate=2022-05-30|language=en|author=Bernard Mwakililo}}</ref> == Kutayarisha muziki == [[Picha:Dizasta_Vina.png|alt=|thumb|350x350px|Dizasta Vina akiwa katika studio za '''Panorama Authentik''' jijini Dar es Salaam, Tanzania— mnamo tarehe 17 Februari, 2018.]] Miaka ya karibuni, Dizasta amekuwa akitayarisha muziki wake mwenyewe, hii ni baada ya kuamua kukaa chini na kuanza kusoma jinsi ya kutayarisha muziki na kufanya uhandisi wa sauti. Baadhi ya nyimbo zake mashuhuri alizotayarisha mwenyewe ni pamoja na "Fallen Angel" iliyotoka tarehe 23 Julai 2016, "Kanisa" iliyotoka 13 Novemba 2016 na "The Lost One" iliyotoka Aprili 2017. Uwezo wake mkubwa kama mtayarishaji ulianza kuonekana kupitia mfululizo wa nyimbo zake kama vile "Hatia", "Nobody is Safe", "Hatia II", na "Hatia III" na "Kikaoni", kibao kilicho jizolea umaarufu mkubwa kwa wapenzi wa utamaduni wa handakini kutokana na kugusa maisha ya familia na ndoa. Katika albamu ya " The Verteller" alishiriki kutayarisha wimbo wa "Tatoo Ya Asili", "A Confession of a Mad Teacher","A Confession of a Mad Son", "Ndoano", "Maabara" na "Kifo. Anakubali kuwa amepata utaalamu na mbinu nyingi zaidi za kutayarisha muziki kutokana na kufanya kazi na watayarishaji wengine wa muziki wa Kitanzania kama Duke Touchez, Ray Teknohama na Ringle Beatz. Dizasta anaamini kuwa na taaluma ya kutayarisha muziki wake mwenyewe kuna faida kubwa kwani kunafanya afikie hisia halisi za wimbo tofauti na pale anapotafuta na kujenga mahusiano ya kimuziki na mtayarishaji mwingine. == Dizasta Vina na Tamaduni Muzik == Tamaduni ni lebo ambayo Dizasta Vina alifanya nayo kazi baada ya uwezo na uelewa wake kuhusu utamaduni wa hip hop kumvutia Duke Touchez ambaye alifanikisha Dizasta kujiunga na "Tamaduni Foundation" akiwa na wasanii kama One the Incredible, Nikki Mbishi, Boshoo na wengineo. Kupitia Tamaduni Muzik waliweza kubadilisha na kutimiza nguzo karibia zote za hip hop zinavyotaka. Maoni ya Dizasta Vina kuhusu Tamaduni Muzik ni kwamba ndio wao waliobadilisha mtazamo na mwelekeo mzima wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Kupitia wao, tuliweza kuona kutolewa kwa albamu kwa sana hata kwa wasanii wachanga, kutoa kandamseto, kurudisha maonesho ya hip hop kukusanya wasanii “Kilingeni” huko Msasani Club. ==Diskografia== {{main|Diskografia ya Dizasta Vina}} Hii ni orodha ya albamu za muziki alizotoa Dizasta Vina. {| class="wikitable sortable" |- ! Na. !! Jina la albamu !! Mwaka !! Maelezo |- | 1. || [[THE WONDERBOY Mixtape]] || 2017 || Kandamseto ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 2. || [[ JESUSta]] || 2018|| Albamu rasmi ya kwanza kutoka kwa Dizasta Vina. |- | 3. || [[The Verteller]] || 2020 || Albamu ya pili kutoka kwa Dizasta Vina. |} == Tanbihi == {{Reflist}} == Viungo vya nje == {{Commons category|Dizasta Vina}} *{{Twitter|dizastavina}} *{{Instagram|dizastavina}} *{{YouTube|user=dizastavina|Dizasta Vina}} {{BD|1993}} [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] [[Jamii:Hip Hop ya Bongo]] [[Jamii:Wanamuziki wa Hip Hop wa Tanzania]] [[Jamii:Watu kutoka Mbeya]] fe75jgwtp2bqy85bdbtw2edd6rmm5au Mtumiaji:Jumanne Mwita 2 113517 1241859 1241857 2022-08-11T12:08:29Z Jumanne Mwita 28716 wikitext text/x-wiki {{short description|Tanzanian peasant and 2th director}} {{Use dmy dates|date=April 2019}} {{Infobox officeholder |name = Jumanne Amos Mwita |image = <!-- Do not change this image without first presenting your preferred replacement on the talk page. -->Jumanne Mwita.jpg |caption = Jumanne Amos Mwita (Tanzanian Peasant) |image_size = 250x |office = [[Mkulima Mtanzania]] |term_start = 26 April 2013 |term_end = Novemba 2022 |1blankname = Mkurugenzi |1namedata = [[Jumanne Mwita]] {{small|(2018)}} <br> {{small|(April –2019)}} |office2 = Credit Officer <br> Maswi Credit Company Limited |order1 = |director company = [[Mjomba Investiment Company Limited]] |term_start3 = Februari 2017 |term_end3 = Aprili 2019 |co-director3 = [[Jennipher Nkoba Marwa]] |co-director4 = [[Deus Mniko Mgesi]] |order2 = |birth_name = Jumanne Amos Mwita<ref> |birth_date = {{birth date and age |df=yes|1995|06|06}} |birth_place = [[Katoro]], [[Geita]], [[Tanzania]] |origin = [[Kahama]], [[Tanzania]] |nationality = [[Mtanzania]] |Spouse = Janeth Mgongo ||relations = married |children = 2 |residence = [[Katoro]], [[Geita]] |alma_mater = [[Form-Four]] |occupation = |profession = Mkulima |religion = [[Mkiristo]] |signature = |signature_alt = |associated_acts = |website = {{Blogger|www.jumanne255.com|jumanne255}} |image_size = 250px |footnotes = |data1 = <!--Company Branch--> |nickname = Bhoke Nyanswi |branch company = [[Maswa]] |unit = |battles = }} == Asili == Amezaliwa [[6 June]] [[1995]] katika [[kijiji]] cha Nyantare, [[kata]] ya [[Guta]], [[tarafa]] ya Guta, [[Wilaya ya Bunda]], [[mkoa wa Mara]]. [[Lugha mama]] inayotumika ni [[Kikurya]]. Alizaliwa katika [[familia]] ya [[Wakulima Masikini]]. [[Babu]] yake Mzee Mwita Machage alikuwa [[Mfugaji na Mkulima]] wa [[Bunda]]. Jumanne Mwita amesimulia [[hadithi yake]] ya kifamilia wakati [[mama]] yake alipokuwa [[mja mzito]], bibi yake alitamka kuwa ikiwa atakuwa mama atazaa mtoto wa mwisho kama akiwa wa kiume atampatie [[urithi]] wa [[cheo]] chake mpaka jina lake. Jumanne aliposoma [[Shule ya Sekondari ya Kibaha]] alikuwa ni mtu asiye na furaha kwa sababu hakujua hatima yake itakuwaje kwa sababu ya mahitaji ya shule vilevile ada kwa ujumla ndicho kilichokuwa kikimsibu matokeo yake akaacha shule akiwa kidato cha kwanza na ni [[Mwanafunzi]] ambae alikuwa akipenda shule toka akiwa mdogo. == Historia ya maisha yake kwa ufupi == '''Jumanne Amos Mwita alizaliwa siku ya [[Jumanne]] Tarehe''' [[06]] [[June]] [[1995]] '''katika [[kijiji]] cha [[Nyantare]], [[Wilaya]] ya [[Bunda vijijini]] huko [[Musoma]], [[Mkoa]] wa [[Mara]], nchini [[Tanzania]].''' Ni mtoto wa 3 kati watoto 3 wa [[Nyanswi Mwita Machage]],[[Kabila]] lake ni [[Mkurya]]. Alibadili [[jina]] kuacha kuitwa [[Bhoke Nyanswi Mwita]] baada ya kuona haliendani na jinsia yake nakuona anaweza kulibadili kwa kuapa [[Mahakamani]] basi alifanya hivyo kwa kuapa mahakamani mpaka sasa anatumia jina la [[Jumanne Amos Mwita]] kiharali. == Masomo == Mwaka [[2003]] – [[2009]] akasoma [[Shule ya Msingi]] Mbulu, halafu [[2010]] [[Shule ya Sekondari]] (Nyasubi Sec School) Kahama, halafu Baada ya kumaliza [[shule ya msingi]] alichaguliwa kwenda [[Sekondari]] , sekondari ya [[Nyasubi sekondari School]] aliendelea kusoma Elimu yake ya Sekondari kwa muda wa miezi 4 tu baada ya hapo aliacha shule sababu ya kukoswa [[Ada]]. Baafa ya kukoswa ada niliachana kabisa na maswala ya [[Shule]] na badalayake alijikita zaidi katika [[Ufundi ujenzi]] kama saiadia fundi na [[Fundi seremala]]. ==Kazi yake kuu?== Ni mfanyakazi na mwajiriwa katika kampuni ya kutoa [[Mikopo]] iliyosajiliwa nchi Tanzania kiharali. kampuni inaitwa [[Maswi Credit Company Ltd]] ambayo amehudumu kwa taklibani miaka 5 kuanzia [[2013]] hadi [[2017]] baada ya kuanzisha kampuni yake wakishirikiana na wakurugenzi wenzake ambao ni [[Jennifer Nkoba]] na [[Deus Mgesi]]. ==Kampuni!== Pia [[Jumanne]] amewahi kuwa mmoja wa [[wakurugenzi]] na mwanzilishi wa [[kampuni]] iitwayo [[Mjomba Investment Company Limited]]. Kampuni hiyo ilidumu katika kipindi cha [[miaka 3]] ilikuwa ikitoa huduma ya [[mikopo]] kwa [[wajasiliamali]] na [[wafanyakazi]] wa [[Serikalini]] gxeopyc9duf6url4z5l9cpdvfuc75um 1241892 1241859 2022-08-11T19:26:30Z Jumanne Mwita 28716 /* Asili */ wikitext text/x-wiki {{short description|Tanzanian peasant and 2th director}} {{Use dmy dates|date=April 2019}} {{Infobox officeholder |name = Jumanne Amos Mwita |image = <!-- Do not change this image without first presenting your preferred replacement on the talk page. -->Jumanne Mwita.jpg |caption = Jumanne Amos Mwita (Tanzanian Peasant) |image_size = 250x |office = [[Mkulima Mtanzania]] |term_start = 26 April 2013 |term_end = Novemba 2022 |1blankname = Mkurugenzi |1namedata = [[Jumanne Mwita]] {{small|(2018)}} <br> {{small|(April –2019)}} |office2 = Credit Officer <br> Maswi Credit Company Limited |order1 = |director company = [[Mjomba Investiment Company Limited]] |term_start3 = Februari 2017 |term_end3 = Aprili 2019 |co-director3 = [[Jennipher Nkoba Marwa]] |co-director4 = [[Deus Mniko Mgesi]] |order2 = |birth_name = Jumanne Amos Mwita<ref> |birth_date = {{birth date and age |df=yes|1995|06|06}} |birth_place = [[Katoro]], [[Geita]], [[Tanzania]] |origin = [[Kahama]], [[Tanzania]] |nationality = [[Mtanzania]] |Spouse = Janeth Mgongo ||relations = married |children = 2 |residence = [[Katoro]], [[Geita]] |alma_mater = [[Form-Four]] |occupation = |profession = Mkulima |religion = [[Mkiristo]] |signature = |signature_alt = |associated_acts = |website = {{Blogger|www.jumanne255.com|jumanne255}} |image_size = 250px |footnotes = |data1 = <!--Company Branch--> |nickname = Bhoke Nyanswi |branch company = [[Maswa]] |unit = |battles = }} == Asili == Amezaliwa [[6]] [[June]], [[1995]] katika [[kijiji]] cha Nyantare, [[Kata]] ya [[Guta]], [[Tarafa]] ya Guta, [[Wilaya ya Bunda]], [[Mkoa]] wa [[Mara]]. [[Lugha]] anayozungumza ni [[Kikurya]]. Na [[Kiswahili]] na Lugha ya Kibiashara. Alizaliwa katika [[familia]] ya [[Wakulima]] [[Masikini]]. [[Babu]] yake Mzee Mwita Machage alikuwa [[Mfugaji]] na [[Mkulima]] huko Mkoa wa [[Mara]] Wilaya ya [[Bunda]]. [[Jumanne]] [[Mwita]] amesimulia [[Hadithi]] yake ya kifamilia wakati [[Mama]] yake alipokuwa [[Mja mzito]], bibi yake alitamka kuwa ikiwa atakuwa mama atazaa mtoto wa mwisho kama akiwa wa kiume atampatie [[Urithi]] wa [[cheo]] chake mpaka jina lake. Jumanne aliposoma [[Shule]] ya [[Sekondari]] [[Nyasubi]] alikuwa ni mtu asiye na furaha kwa sababu hakujua hatima yake itakuwaje kwa sababu ya mahitaji ya shule vilevile ada kwa ujumla ndicho kilichokuwa kikimsibu [[matokeo]] yake akaacha shule akiwa [[Kidato]] cha [[kwanza]] ni [[Mwanafunzi]] ambae alikuwa akipenda shule toka akiwa mdogo. == Historia ya maisha yake kwa ufupi == '''Jumanne Amos Mwita alizaliwa siku ya [[Jumanne]] Tarehe''' [[06]] [[June]] [[1995]] '''katika [[kijiji]] cha [[Nyantare]], [[Wilaya]] ya [[Bunda vijijini]] huko [[Musoma]], [[Mkoa]] wa [[Mara]], nchini [[Tanzania]].''' Ni mtoto wa 3 kati watoto 3 wa [[Nyanswi Mwita Machage]],[[Kabila]] lake ni [[Mkurya]]. Alibadili [[jina]] kuacha kuitwa [[Bhoke Nyanswi Mwita]] baada ya kuona haliendani na jinsia yake nakuona anaweza kulibadili kwa kuapa [[Mahakamani]] basi alifanya hivyo kwa kuapa mahakamani mpaka sasa anatumia jina la [[Jumanne Amos Mwita]] kiharali. == Masomo == Mwaka [[2003]] – [[2009]] akasoma [[Shule ya Msingi]] Mbulu, halafu [[2010]] [[Shule ya Sekondari]] (Nyasubi Sec School) Kahama, halafu Baada ya kumaliza [[shule ya msingi]] alichaguliwa kwenda [[Sekondari]] , sekondari ya [[Nyasubi sekondari School]] aliendelea kusoma Elimu yake ya Sekondari kwa muda wa miezi 4 tu baada ya hapo aliacha shule sababu ya kukoswa [[Ada]]. Baafa ya kukoswa ada niliachana kabisa na maswala ya [[Shule]] na badalayake alijikita zaidi katika [[Ufundi ujenzi]] kama saiadia fundi na [[Fundi seremala]]. ==Kazi yake kuu?== Ni mfanyakazi na mwajiriwa katika kampuni ya kutoa [[Mikopo]] iliyosajiliwa nchi Tanzania kiharali. kampuni inaitwa [[Maswi Credit Company Ltd]] ambayo amehudumu kwa taklibani miaka 5 kuanzia [[2013]] hadi [[2017]] baada ya kuanzisha kampuni yake wakishirikiana na wakurugenzi wenzake ambao ni [[Jennifer Nkoba]] na [[Deus Mgesi]]. ==Kampuni!== Pia [[Jumanne]] amewahi kuwa mmoja wa [[wakurugenzi]] na mwanzilishi wa [[kampuni]] iitwayo [[Mjomba Investment Company Limited]]. Kampuni hiyo ilidumu katika kipindi cha [[miaka 3]] ilikuwa ikitoa huduma ya [[mikopo]] kwa [[wajasiliamali]] na [[wafanyakazi]] wa [[Serikalini]] 4xh485ss35jr6roys83biiwpinxxpgt 1241895 1241892 2022-08-11T19:43:25Z Jumanne Mwita 28716 /* Masomo */ wikitext text/x-wiki {{short description|Tanzanian peasant and 2th director}} {{Use dmy dates|date=April 2019}} {{Infobox officeholder |name = Jumanne Amos Mwita |image = <!-- Do not change this image without first presenting your preferred replacement on the talk page. -->Jumanne Mwita.jpg |caption = Jumanne Amos Mwita (Tanzanian Peasant) |image_size = 250x |office = [[Mkulima Mtanzania]] |term_start = 26 April 2013 |term_end = Novemba 2022 |1blankname = Mkurugenzi |1namedata = [[Jumanne Mwita]] {{small|(2018)}} <br> {{small|(April –2019)}} |office2 = Credit Officer <br> Maswi Credit Company Limited |order1 = |director company = [[Mjomba Investiment Company Limited]] |term_start3 = Februari 2017 |term_end3 = Aprili 2019 |co-director3 = [[Jennipher Nkoba Marwa]] |co-director4 = [[Deus Mniko Mgesi]] |order2 = |birth_name = Jumanne Amos Mwita<ref> |birth_date = {{birth date and age |df=yes|1995|06|06}} |birth_place = [[Katoro]], [[Geita]], [[Tanzania]] |origin = [[Kahama]], [[Tanzania]] |nationality = [[Mtanzania]] |Spouse = Janeth Mgongo ||relations = married |children = 2 |residence = [[Katoro]], [[Geita]] |alma_mater = [[Form-Four]] |occupation = |profession = Mkulima |religion = [[Mkiristo]] |signature = |signature_alt = |associated_acts = |website = {{Blogger|www.jumanne255.com|jumanne255}} |image_size = 250px |footnotes = |data1 = <!--Company Branch--> |nickname = Bhoke Nyanswi |branch company = [[Maswa]] |unit = |battles = }} == Asili == Amezaliwa [[6]] [[June]], [[1995]] katika [[kijiji]] cha Nyantare, [[Kata]] ya [[Guta]], [[Tarafa]] ya Guta, [[Wilaya ya Bunda]], [[Mkoa]] wa [[Mara]]. [[Lugha]] anayozungumza ni [[Kikurya]]. Na [[Kiswahili]] na Lugha ya Kibiashara. Alizaliwa katika [[familia]] ya [[Wakulima]] [[Masikini]]. [[Babu]] yake Mzee Mwita Machage alikuwa [[Mfugaji]] na [[Mkulima]] huko Mkoa wa [[Mara]] Wilaya ya [[Bunda]]. [[Jumanne]] [[Mwita]] amesimulia [[Hadithi]] yake ya kifamilia wakati [[Mama]] yake alipokuwa [[Mja mzito]], bibi yake alitamka kuwa ikiwa atakuwa mama atazaa mtoto wa mwisho kama akiwa wa kiume atampatie [[Urithi]] wa [[cheo]] chake mpaka jina lake. Jumanne aliposoma [[Shule]] ya [[Sekondari]] [[Nyasubi]] alikuwa ni mtu asiye na furaha kwa sababu hakujua hatima yake itakuwaje kwa sababu ya mahitaji ya shule vilevile ada kwa ujumla ndicho kilichokuwa kikimsibu [[matokeo]] yake akaacha shule akiwa [[Kidato]] cha [[kwanza]] ni [[Mwanafunzi]] ambae alikuwa akipenda shule toka akiwa mdogo. == Historia ya maisha yake kwa ufupi == '''Jumanne Amos Mwita alizaliwa siku ya [[Jumanne]] Tarehe''' [[06]] [[June]] [[1995]] '''katika [[kijiji]] cha [[Nyantare]], [[Wilaya]] ya [[Bunda vijijini]] huko [[Musoma]], [[Mkoa]] wa [[Mara]], nchini [[Tanzania]].''' Ni mtoto wa 3 kati watoto 3 wa [[Nyanswi Mwita Machage]],[[Kabila]] lake ni [[Mkurya]]. Alibadili [[jina]] kuacha kuitwa [[Bhoke Nyanswi Mwita]] baada ya kuona haliendani na jinsia yake nakuona anaweza kulibadili kwa kuapa [[Mahakamani]] basi alifanya hivyo kwa kuapa mahakamani mpaka sasa anatumia jina la [[Jumanne Amos Mwita]] kiharali. == Masomo == Mwaka [[2003]] – [[2009]] akasoma [[Shule ya Msingi]] Mbulu, Mwaka [[2010]] [[Shule]] ya [[Sekondari]] [[Nyasubi]] Sec [[School]] Kahama, halafu Baada ya kumaliza [[shule ya msingi]] alichaguliwa kwenda [[Kidato]] cha [[Kwanza]] katika [[Sekondari]], ya [[Nyasubi]] aliendelea [[kusoma]] [[Elimu]] yake ya [[Sekondari]] kwa muda wa [[miezi]] [[4]] tu baada ya hapo aliacha shule sababu ikiwa ni kushindwa kulipia [[Ada]]. Baada ya kukoswa [[ada]] aliachana kabisa na maswala ya [[Shule]] na badala yake alijikita zaidi katika [[Ufundi]] [[ujenzi]] kama [[saiadia]] [[fundi]] na vilevilevile aijifunza pia [[ufundi]] [[seremala]]. [[fundi]] [[viatu]]], [[ufundi]] wa [[kupauwa]] yaani kugonga [[bati]] [[Nyumba]] ==Kazi yake kuu?== Ni mfanyakazi na mwajiriwa katika kampuni ya kutoa [[Mikopo]] iliyosajiliwa nchi Tanzania kiharali. kampuni inaitwa [[Maswi Credit Company Ltd]] ambayo amehudumu kwa taklibani miaka 5 kuanzia [[2013]] hadi [[2017]] baada ya kuanzisha kampuni yake wakishirikiana na wakurugenzi wenzake ambao ni [[Jennifer Nkoba]] na [[Deus Mgesi]]. ==Kampuni!== Pia [[Jumanne]] amewahi kuwa mmoja wa [[wakurugenzi]] na mwanzilishi wa [[kampuni]] iitwayo [[Mjomba Investment Company Limited]]. Kampuni hiyo ilidumu katika kipindi cha [[miaka 3]] ilikuwa ikitoa huduma ya [[mikopo]] kwa [[wajasiliamali]] na [[wafanyakazi]] wa [[Serikalini]] azxx09t90p52i8byzcst7dkyle8giqo 1241900 1241895 2022-08-11T19:49:23Z Jumanne Mwita 28716 /* Historia ya maisha yake kwa ufupi */ wikitext text/x-wiki {{short description|Tanzanian peasant and 2th director}} {{Use dmy dates|date=April 2019}} {{Infobox officeholder |name = Jumanne Amos Mwita |image = <!-- Do not change this image without first presenting your preferred replacement on the talk page. -->Jumanne Mwita.jpg |caption = Jumanne Amos Mwita (Tanzanian Peasant) |image_size = 250x |office = [[Mkulima Mtanzania]] |term_start = 26 April 2013 |term_end = Novemba 2022 |1blankname = Mkurugenzi |1namedata = [[Jumanne Mwita]] {{small|(2018)}} <br> {{small|(April –2019)}} |office2 = Credit Officer <br> Maswi Credit Company Limited |order1 = |director company = [[Mjomba Investiment Company Limited]] |term_start3 = Februari 2017 |term_end3 = Aprili 2019 |co-director3 = [[Jennipher Nkoba Marwa]] |co-director4 = [[Deus Mniko Mgesi]] |order2 = |birth_name = Jumanne Amos Mwita<ref> |birth_date = {{birth date and age |df=yes|1995|06|06}} |birth_place = [[Katoro]], [[Geita]], [[Tanzania]] |origin = [[Kahama]], [[Tanzania]] |nationality = [[Mtanzania]] |Spouse = Janeth Mgongo ||relations = married |children = 2 |residence = [[Katoro]], [[Geita]] |alma_mater = [[Form-Four]] |occupation = |profession = Mkulima |religion = [[Mkiristo]] |signature = |signature_alt = |associated_acts = |website = {{Blogger|www.jumanne255.com|jumanne255}} |image_size = 250px |footnotes = |data1 = <!--Company Branch--> |nickname = Bhoke Nyanswi |branch company = [[Maswa]] |unit = |battles = }} == Asili == Amezaliwa [[6]] [[June]], [[1995]] katika [[kijiji]] cha Nyantare, [[Kata]] ya [[Guta]], [[Tarafa]] ya Guta, [[Wilaya ya Bunda]], [[Mkoa]] wa [[Mara]]. [[Lugha]] anayozungumza ni [[Kikurya]]. Na [[Kiswahili]] na Lugha ya Kibiashara. Alizaliwa katika [[familia]] ya [[Wakulima]] [[Masikini]]. [[Babu]] yake Mzee Mwita Machage alikuwa [[Mfugaji]] na [[Mkulima]] huko Mkoa wa [[Mara]] Wilaya ya [[Bunda]]. [[Jumanne]] [[Mwita]] amesimulia [[Hadithi]] yake ya kifamilia wakati [[Mama]] yake alipokuwa [[Mja mzito]], bibi yake alitamka kuwa ikiwa atakuwa mama atazaa mtoto wa mwisho kama akiwa wa kiume atampatie [[Urithi]] wa [[cheo]] chake mpaka jina lake. Jumanne aliposoma [[Shule]] ya [[Sekondari]] [[Nyasubi]] alikuwa ni mtu asiye na furaha kwa sababu hakujua hatima yake itakuwaje kwa sababu ya mahitaji ya shule vilevile ada kwa ujumla ndicho kilichokuwa kikimsibu [[matokeo]] yake akaacha shule akiwa [[Kidato]] cha [[kwanza]] ni [[Mwanafunzi]] ambae alikuwa akipenda shule toka akiwa mdogo. == Historia ya maisha yake kwa ufupi == '''Jumanne Amos Mwita alizaliwa siku ya [[Jumanne]] Tarehe''' [[06]] [[June]] [[1995]] '''katika [[kijiji]] cha [[Nyantare]], [[Wilaya]] ya [[Bunda]] [[Vijijini]] huko [[Musoma]], [[Mkoa]] wa [[Mara]], nchini [[Tanzania]].''' Ni mtoto wa 3 kati [[Watoto]] [[3]] wa [[Nyanswi]] [[Mwita]] [[Machage]], [[Kabila]] ni [[mkurya]]. Alibadili [[jina]] kuacha kuitwa [[Bhoke]] [[Nyanswi]] [[Mwita]] baada ya kuona haliendani na [[jinsia]] yake akabadili kwa [[kuapa]] [[Mahakamani]] basi alifanya hivyo kwa kuapa [[mahakamani]] mpaka sasa anatumia jina la [[Jumanne]] [[Amos]] [[Mwita]] kiharali. == Masomo == Mwaka [[2003]] – [[2009]] akasoma [[Shule ya Msingi]] Mbulu, Mwaka [[2010]] [[Shule]] ya [[Sekondari]] [[Nyasubi]] Sec [[School]] Kahama, halafu Baada ya kumaliza [[shule ya msingi]] alichaguliwa kwenda [[Kidato]] cha [[Kwanza]] katika [[Sekondari]], ya [[Nyasubi]] aliendelea [[kusoma]] [[Elimu]] yake ya [[Sekondari]] kwa muda wa [[miezi]] [[4]] tu baada ya hapo aliacha shule sababu ikiwa ni kushindwa kulipia [[Ada]]. Baada ya kukoswa [[ada]] aliachana kabisa na maswala ya [[Shule]] na badala yake alijikita zaidi katika [[Ufundi]] [[ujenzi]] kama [[saiadia]] [[fundi]] na vilevilevile aijifunza pia [[ufundi]] [[seremala]]. [[fundi]] [[viatu]]], [[ufundi]] wa [[kupauwa]] yaani kugonga [[bati]] [[Nyumba]] ==Kazi yake kuu?== Ni mfanyakazi na mwajiriwa katika kampuni ya kutoa [[Mikopo]] iliyosajiliwa nchi Tanzania kiharali. kampuni inaitwa [[Maswi Credit Company Ltd]] ambayo amehudumu kwa taklibani miaka 5 kuanzia [[2013]] hadi [[2017]] baada ya kuanzisha kampuni yake wakishirikiana na wakurugenzi wenzake ambao ni [[Jennifer Nkoba]] na [[Deus Mgesi]]. ==Kampuni!== Pia [[Jumanne]] amewahi kuwa mmoja wa [[wakurugenzi]] na mwanzilishi wa [[kampuni]] iitwayo [[Mjomba Investment Company Limited]]. Kampuni hiyo ilidumu katika kipindi cha [[miaka 3]] ilikuwa ikitoa huduma ya [[mikopo]] kwa [[wajasiliamali]] na [[wafanyakazi]] wa [[Serikalini]] s3jevwzmtoq8sfbcecxq5ohyo7sduzj Majadiliano ya mtumiaji:Mwilwana 3 141388 1241995 1189107 2022-08-12T10:12:38Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{karibu}}'''[[Mtumiaji:Idd ninga|Idd ninga]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Idd ninga|majadiliano]])''' 20:37, 29 Agosti 2021 (UTC) :Ndugu, lengo la Wikipedia si kutangaza Kasomi au mwingine yeyote. Ukurasa mmoja kwake unatosha, tena unaweza ukafutwa wakati wowote. Usirudishe kurasa tulizozifuta, la sivyo tutakuzuia usiweze kuhariri tena. Amani kwako! --'''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:12, 12 Agosti 2022 (UTC) ayd6qrzdrvyrk3q3e9cg7knx9wfsyxs Dawit Fikadu 0 142885 1241941 1193687 2022-08-11T23:22:35Z Zafer 21927 Photo add wikitext text/x-wiki [[File:5. Islamic Solidarity Games 2021 Konya Athletics Men 10000m 20220810.jpg|thumb|250px|Dawit in 2021 Islamic Solidarity Games]] '''Dawit Fikadu Admasu''' (alizaliwa 29 Disemba [[1996]]) ni mkimbiaji wa [[mbio]] ndefu wa [[Bahrain]].<ref>{{Cite web|title=Dawit FIKADU {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://www.worldathletics.org/athletes/bahrain/dawit-fikadu-14648596|work=www.worldathletics.org|accessdate=2021-10-02}}</ref> Akiwa na asili ya Ethiopia, alipata uraia wa Bahraini mwaka 2017. Alishinda mbio za Saint Silvester Road mwaka 2014 na 2017 na mbio za Okpekpe Road mwaka 2019. Pia alishinda mbio za mita 10,000 kwenye Ubingwa wa Riadha Asia mwaka 2019. == Marejeo == {{reflist}} {{BD|1996|}} [[Jamii:Wanariadha wa Bahrain]] [[Jamii:USLW DOM]] m412z6ddwwzwccseqfpyn6y0q6a3dmu 1241946 1241941 2022-08-12T05:22:46Z Anuary Rajabu 45588 wikitext text/x-wiki [[File:5. Islamic Solidarity Games 2021 Konya Athletics Men 10000m 20220810.jpg|thumb|250px|Dawit in 2021 Islamic Solidarity Games]] '''Dawit Fikadu Admasu''' (alizaliwa [[29 Desemba|29 Disemba]] [[1996]]) ni mkimbiaji wa [[mbio]] ndefu wa [[Bahrain]].<ref>{{Cite web|title=Dawit FIKADU {{!}} Profile {{!}} World Athletics|url=https://www.worldathletics.org/athletes/bahrain/dawit-fikadu-14648596|work=www.worldathletics.org|accessdate=2021-10-02}}</ref> Akiwa na asili ya Ethiopia, alipata uraia wa Bahraini mwaka 2017. Alishinda mbio za Saint Silvester Road mwaka 2014 na 2017 na mbio za Okpekpe Road mwaka 2019. Pia alishinda mbio za mita 10,000 kwenye Ubingwa wa Riadha Asia mwaka 2019. == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Wanariadha wa Bahrain]] [[Jamii:USLW DOM]] rij4mpsjcxdswzij84la4bpk58byyui United States International University Africa 0 144673 1241898 1200877 2022-08-11T19:43:54Z EmausBot 5566 Bot: Fixing double redirect to [[Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Marekani - Afrika]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Marekani - Afrika]] n8nk0dd3bllva8g4kwozrj20zuwcpjl Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Amerika cha Afrika 0 144674 1241894 1200879 2022-08-11T19:43:24Z EmausBot 5566 Bot: Fixing double redirect to [[Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Marekani - Afrika]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Marekani - Afrika]] n8nk0dd3bllva8g4kwozrj20zuwcpjl Kombe la Dunia la FIFA 2022 0 148404 1241929 1234180 2022-08-11T22:02:12Z Filmwijker 34013 wikitext text/x-wiki '''Kombe la Dunia la FIFA 2022''' (kwa [[Kiarabu]] :كَأسُ اَلعَالَمِ] 2022, Gulf Arabic: كَاسُ اَلعَالَمِ ٢٠٢٢) ni mchuano wa 22 wa [[Kombe la Dunia la FIFA]] unaohusisha [[Timu ya taifa|timu za taifa]] za [[Mwanaume|wanaume]] katika [[Mpira wa miguu|mchezo wa soka]]. Michuano hii inashirikisha timu za wanaume kutoka [[nchi]] mbalimbali [[Dunia|duniani]] ambazo ni [[FIFA|wanachama wa FIFA]] na hufanyika mara moja kila baada ya miaka minne. Michuano hii imepangwa kufanyika [[Qatar]] kuanzia [[20 Novemba]] hadi [[18 Desemba]] [[2022]]. Hili litakuwa Kombe la Dunia la kwanza kufanyika katika [[Uarabuni|nchi za Kiarabu]]<ref>{{Cite news |date=15 July 2018 |title=Amir: 2022 World Cup Qatar a tournament for all Arabs |work=Gulf Times |url=http://www.gulf-times.com/story/599599/Amir-2022-World-Cup-Qatar-a-tournament-for-all-Ara |url-status=live |access-date=7 September 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180907183342/https://www.gulf-times.com/story/599599/Amir-2022-World-Cup-Qatar-a-tournament-for-all-Ara |archive-date=7 September 2018}}</ref> na litakuwa Kombe la Dunia la pili kufanyika katika [[bara la Asia]] baada ya mashindano ya [[2002]] kufanyika nchini [[Korea Kusini]] na [[Japani]].<ref>{{Cite web |last=Taylor |first=Daniel |date=15 July 2018 |title=France seal second World Cup triumph with 4–2 win over brave Croatia |url=https://www.theguardian.com/football/2018/jul/15/france-croatia-world-cup-final-match-report |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20190626195043/https://www.theguardian.com/football/2018/jul/15/france-croatia-world-cup-final-match-report |archive-date=26 June 2019 |access-date=7 September 2018 |website=The Guardian}}</ref> Mashindano haya yatakuwa ya mwisho yakihusisha jumla ya timu 32. Ufikapo [[mwaka]] [[2026]] kutakuwa na ongezeko la jumla ya timu 48. Mabingwa wa Kombe la Dunia [[mwaka]] [[2018]] ilikuwa timu ya taifa ya [[Ufaransa]]. <ref>{{Cite web |date=19 March 2015 |title=FIFA Executive Committee confirms November/December event period for Qatar 2022 |url=https://www.fifa.com/worldcup/qatar2022/news/y=2015/m=3/news=fifa-executive-committee-confirms-november-december-event-period-for-q-2567789.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20180910210625/https://www.fifa.com/worldcup/qatar2022/news/y=2015/m=3/news=fifa-executive-committee-confirms-november-december-event-period-for-q-2567789.html |archive-date=10 September 2018 |access-date=5 December 2017 |publisher=FIFA |accessdate=2022-04-02 |archivedate=2018-09-10 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180910210625/https://www.fifa.com/worldcup/qatar2022/news/y=2015/m=3/news=fifa-executive-committee-confirms-november-december-event-period-for-q-2567789.html }}</ref> Kutokana na [[majira ya joto]] nchini Qatar, Kombe hili la Dunia litafanyika kuanzia 21 Novemba hadi 18 Desemba 2022, na kufanya kuwa mashindano ya kwanza kutokufanyika katikati ya mwaka kati ya mwezi [[Mei]], [[Juni]], au [[Julai]]. ==Timu zilizofuzu== Kufikia tarehe [[31 Machi]] 2022, ma[[taifa]] 29 yamefuzu kucheza kombe la dunia 2022 ikiwa ni pamoja na mataifa 22 yaliyoshiriki katika mashindano yaliyopita ya mwaka [[2018]]. Qatar ni timu pekee inayocheza mechi yake ya kwanza katika Kombe la Dunia la FIFA, na kuwa wenyeji wa kwanza kucheza mashindano hayo tangu nchini Italia mwaka [[1934]].<ref>{{Cite news |last=Palmer |first=Dan |date=31 July 2017 |title=Hosts Qatar to compete in qualifying for 2022 World Cup |work=insidethegames.biz |publisher=Dunsar Media Company |url=https://www.insidethegames.biz/articles/1053493/hosts-qatar-to-compete-in-qualifying-for-2022-world-cup |url-status=live |access-date=15 August 2017 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190606063449/https://www.insidethegames.biz/articles/1053493/hosts-qatar-to-compete-in-qualifying-for-2022-world-cup |archive-date=6 June 2019}}</ref><ref>{{Cite web |title=FIFA World Cup Qualifier: Canada joy as Jamaica rout seals first finals berth since 1986-Sports News , Firstpost |url=https://www.firstpost.com/sports/fifa-world-cup-qualifier-canada-joy-as-jamaica-rout-seals-first-finals-berth-since-1986-10494471.html |website=Firstpost |date=28 March 2022 |access-date=28 March 2022}}</ref> Mabingwa mara nne wa [[Ulaya]] na washindi wa UEFA Euro 2020, [[Italia]], walishindwa kufuzu kwa mara ya pili mfululizo katika Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia yao, walipopoteza nusu fainali za kufuzu dhidi ya [[Jamhuri ya Masedonia Kaskazini|Masedonia Kaskazini]].<ref>{{cite news |url=https://www.bbc.com/sport/football/60869125 |title=Italy 0–1 North Macedonia: European champions stunned in World Cup play-offs |work=[[BBC Sport]] |date=24 March 2022 |access-date=24 March 2022}}</ref> {| class="wikitable sortable" |- ! width=110| Timu Ya Taifa ! width=220| Kufuzu kama ! width=100| Tarehe ya Kufuzu ! data-sort-type="number"|Idadi ya Miaka Aliyofuzu Kucheza <br/>Kombe La Dunia La Fifa<sup>'''[[#1|1]]'''</sup> ! width=290|Nafasi Aliyofika Katika Mashindano <br /> Ya Kombe la Dunia Yaliyopita |- | [[picha:Flag of Qatar.svg|left|30px|]][[Qatar]] || Mwenyeji wa mashindano || {{Sort|2010-12-02|2 disemba 2010}} || Mwaka 1 ([[2022]]) || {{sort|z|—}} |- | {{GER|Ujerumani}} || Mshindi UEFA kundi J || {{Sort|2021-10-11|11 oktoba 2021}} || miaka 20 ([[1934]], [[1938]], '''[[1954]]'', [[1958]], [[1962]], [[1966]], [[1970]], '''''[[1974]]''''', [[1978]], [[1982]], [[1986]], '''[[1990]]''', [[1994]], [[1998]], [[2002]], ''[[2006]]'', [[2010]], '''[[2014]]''', [[2018]], [[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka [[1954]], [[1974]], [[1990]], [[2014]],. |- | {{DNK|Dänemark}} || Mshindi wa UEFA kundi F|| {{Sort|2021-10-12|12 oktoba 2021}} || miaka 6 ([[1986]], [[1998]], [[2002]], [[2010]], [[Kombe la Dunia la FIFA 2018|2018]],[[2022]]) || {{sort|6|Robo fainali}} ([[1998]]) |- | {{BRA|Brazil}} || Mshindi wa kombe la CONMEBOL || {{Sort|2021-11-11|11 Novemba 2021}} || Miaka 22 ([[1930]], [[1934]], [[1938]], ''[[1950]]'', [[1954]], '''[[1958]]''', '''[[1962]]''', [[1966]], '''[[1970]]''', [[1974]], [[1978]], [[1982]], [[1986]], [[1990]], '''[[1994]]''', [[1998]], '''[[2002]]''', [[2006]], [[2010]], ''[[2014]]'', [[2018]],[[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka ([[1958]], [[1962]], [[1970]], [[1994]], [[2002]]) |- |{{FRA|Ufaransa}} || Mshindi wa UEFA kundi D || {{Sort|2021-11-13|13 Novemba 2021}} || Miaka 16 ([[1930]], [[1934]], ''[[1938]]'', [[1954]], [[1958]], [[1966]], [[1978]], [[1982]], [[1986]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]],[[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka ([[1998]], [[2018]]) |- |{{BEL|Ubeligiji}} || Mshindi wa UEFA kundi E || {{nowrap|{{Sort|2021-11-13|13 Novemba 2021}}}} || Miaka 14 ([[1930]], [[1934]], [[1938]], [[1954]], [[1970]], [[1982]], [[1986]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2014]], [[2018]],[[2022]]) || {{sort|3|Nafasi ya Tatu}} ([[Kombe la Dunia la FIFA 2018|2018]]) |- | {{HRV|Kroatien}} || Mshindi wa UEFA kundi H || {{Sort|2021-11-14|14 Novemba 2021}} || Miaka 6 ([[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|2|Runners-up}} ([[2018]]) |- | {{ESP|Uhispania}} || Mshindi wa UEFA kundi B || {{Sort|2021-11-14|14 Novemba 2021}} || Miaka 16 ([[1934]], [[1950]], [[1962]], [[1966]], [[1978]], [[1982]], [[1986]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka ([[2010]]) |- | {{SRB|Serbia}} || Mshindi wa UEFA kundi A || {{Sort|2021-11-14|14 Novemba 2021}} || Miaka 13 ([[1930]], [[1950]], [[1954]], [[1958]], [[1962]], [[1974]], [[1982]], [[1990]], [[1998]], [[2006]], [[2010]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|4|Nafasi ya nne}} ([[1930]], [[1962]]). |- | {{ENG|Uingereza}} || Mshindi wa UEFA kundi I || {{Sort|2021-11-15|15 Novemba 2021}} || Miaka 16 ([[1950]], [[1954]], [[1958]], [[1962]], [[1966]], [[1970]], [[1982]], [[1986]], [[1990]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka ([[1966]]) |- | [[picha:Flag of Switzerland.svg|left|30px|]][[Uswisi]] || Mshindi wa UEFA kundi C || {{Sort|2021-11-15|15 Novemba 2021}} || Miaka 12 ([[1934]], [[1938]], [[1950]], [[1954]], [[1962]], [[1966]], [[1994]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|6|Robo-Fainali}} ([[1934]], [[1938]], [[1954]]) |- | {{NED|Uholanzi}} || Mshindi wa UEFA kundi G || {{Sort|2021-11-16|16 Novemba 2021}} || Miaka 11 ([[1934]], [[1938]], [[1974]], [[1978]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2022]]) || {{sort|2|Runners-up}} ([[1974]], [[1978]], [[2010]]) |- | {{ARG|}} || CONMEBOL runners-up || {{Sort|2021-11-16|16 Novemba 2021}} || Miaka 18 ([[1930]], [[1934]], [[1958]], [[1962]], [[1966]], [[1974]], [[1978]], [[1982]], [[1986]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} ([[1978]], [[1986]]) |- | {{IRN|}} ||AFC awamu ya tatu, mshindi wa kundi A || {{Sort|2022-01-27|27 Januari 2022}} || Miaka 6 ([[1978]], [[1998]], [[2006]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|8|Hatua ya makundi}} ([[1978]], [[1998]], [[2006]], [[2014]], [[2018]]) |- | {{KOR|}} || AFC awamu ya tatu kundi A - runners-up || {{Sort|2022-02-01|1 Februari 2022}} || Miaka 11 ([[1954]], [[1986]], [[1990]], [[1994]] , [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]]) || {{sort|4|Nafasi ya nne}} ([[2002]]) |- | {{JPN|Japan}} || AFC awamu ya tatu kundi B - runners-up || {{Sort|2022-03-24|24 Machi 2022}} || Miaka 7 ([[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|7|Hatua ya mtoano ya 16 bora}} ([[2002]], [[2010]], [[2018]]) |- | [[picha:Flag of Saudi Arabia.svg|left|30px|]][[Saudi Arabia]] || AFC awamu ya tatu, mshindi wa kundi B || {{Sort|2022-03-24|24 Machi 2022}} || Miaka 6 ([[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|7|Hatua ya mtoano ya 16 bora}} ([[1994]]) |- | {{ECU|}} || CONMEBOL - nafasi ya nne|| {{Sort|2022-03-24|24 Machi 2022}} || Miaka 4 ([[2002]], [[2006]], [[2014]], [[2022]]) || {{sort|7|Hatua ya mtoano ya 16 bora}} ([[2006]]) |- | [[picha:Flag of Uruguay.svg|left|30px|]][[Uruguay]]|| CONMEBOL- nafasi ya tatu || {{Sort|2022-03-24|24 Machi 2022}} || Miaka 14 ([[1930]], [[1950]], [[1954]], [[1962]], [[1966]], [[1970]], [[1974]], [[1986]], [[1990]], [[2002]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka ([[1930]], [[1950]]) |- | {{CAN|}} || Mshindi wa CONCACAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-27|27 Machi 2022}} || Miaka 2 ([[1986]], [[2022]]) || {{sort|8|Hatua ya makundi}} ([[1986]]) |- | {{GHA|}} || Mshindi wa CAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 4 ([[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2022]]) || {{sort|6|Robo-fainali}} ([[2010]]) |- | {{SEN|}} || Mshindi wa CAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 3 ([[2002]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|6|Robo-fainali}} ([[2002]]) |- | [[picha:Flag of Portugal.svg|left|30px|]][[Ureno]] || Mshindi wa UEFA awamu ya pili || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 8 ([[1966]], [[1986]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|3|Nafasi ya tatu}} ([[1966]]) |- | {{POL|}} || Mshindi wa UEFA awamu ya pili || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 9 ([[1938]], [[1974]], [[1978]], [[1982]], [[1986]], [[2002]], [[2006]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|3|Nafasi ya tatu}} ([[1974]], [[1982]]) |- | {{TUN|}} || Mshindi wa CAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 6 ([[1978]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|8|Hatua ya makundi}} ([[1978]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2018]]) |- | {{MAR|}} || Mshindi wa CAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 6 ([[1970]], [[1986]], [[1994]], [[1998]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|7|Hatua ya mtoano ya 16 bora}} ([[1986]]) |- | {{CMR|}} || Mshindi wa CAF awamu ya tatu|| {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 8 ([[1982]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2010]], [[2014]]. [[2022]]) || {{sort|6|Robo-fainali}} ([[1990]]) |- | {{USA|}} || Nafasi ya tatu - CONCACAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-30|30 Machi 2022}} || Miaka 11 ([[1930]], [[1934]], [[1950]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2022]]) || {{sort|3|Nafasi ya tatu}} ([[1930]]) |- | {{MEX|}} || CONCACAF awamu ya tatu- runners-up || {{Sort|2022-03-30|30 Machi 2022}} || Miaka 17 ([[1930]], [[1950]], [[1954]], [[1958]], [[1962]], [[1966]], [[1970]], [[1978]], [[1986]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|6|Robo-fainali}} ([[1970]], [[1986]]) |} ==Waamuzi wa michezo (marefa)== Tarehe [[19 Mei]] 2022, FIFA ilitangaza orodha ya [[refa|marefa]] 36, na marefa wasaidizi 69 na marefa 24 [[Refa msaidizi wa video|wasaidizi wa video]] (VAR) katika mashindano hayo.<ref>{{cite web |url=https://www.fifa.com/tournaments/mens/worldcup/qatar2022/media-releases/36-referees-69-assistant-referees-and-24-video-match-officials-appointed-for-fifa-world-cup-qatar-2022 |title=36 referees, 69 assistant referees and 24 video match officials appointed for FIFA World Cup Qatar 2022 |work=FIFA |date=19 May 2022 |access-date=19 May 2022}}</ref><ref>{{cite web |url=https://digitalhub.fifa.com/m/1da4b811328add8f/original/MEDIA-Alphabetical-order-List-of-Match-Officials-FWC-2022-Qatar.pdf |title=FIFA World Cup Qatar 2022 – List of appointed FIFA Match Officials |work=FIFA |date=19 May 2022 |access-date=19 May 2022}}</ref> Kati ya Waamuzi 36 FIFA ilipanga waamuzi wawili wawili kutoka katika mataifa mbalimbali yakiwemo Argentina, Brazil, Uingereza na Ufaransa. Kwa mara ya kwanza waamuzi wanawake watachezesha baadhi ya mechi katika mashindano hayo.<ref>{{cite web |url=https://www.espn.com/soccer/fifa-world-cup/story/4669636/qatar-world-cup-female-referees-to-feature-for-first-time-in-mens-competition |title=Qatar World Cup: Women referees to feature for first time in men's competition |date=20 May 2022|publisher=ESPN |access-date=20 May 2022}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.fifa.com/tournaments/womens/womensworldcup/france2019/news/frappart-final-role-a-huge-sense-of-pride|title=Frappart: Final role a huge source of pride}}</ref> Stéphanie Frappart kutoka nchini [[Ufaransa]], Rwanda Salima Mukansanga na Yoshimi Yamashita kutoka [[Japani]] walikuwa marefa wa kike wa kwanza kuteuliwa kushiriki katika [[Kombe]] la Dunia la fifa kwa [[wanaume]] mwaka 2022 na wataungana na wanawake watatu ambao ni wasaidizi wa marefa.<ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/referee_summary/bakary-gassama|title=Bakary Gassama}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/referee_summary/juan-pablo-belatti/1/2|title=Juan Pablo Belatti}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/report/wm-2018-in-russland-finale-frankreich-kroatien|title=World Cup 2018 Russia}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/referee_summary/cesar-ramos_4/1/1|title=César Ramos Palazuelos}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/referee_summary/janny-sikazwe/1/1|title=Janny Sikazwe}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/referee_summary/alireza-faghani|title=Alireza Faghani}}</ref> ==Viwanja== Mapendekezo matano ya kwanza ya Kombe la [[Dunia]] yalipendekezwa mwanzoni mwa [[Machi]] [[2010]]. [[Nchi]] hiyo inadhamiria viwanja hivyo kuakisi masuala ya [[historia|kihistoria]] na [[utamaduni|kiutamaduni]] ya Qatar, itakayozingatia vigezo na masharti yafuatayo: [[urithi]], faraja, ufikiaji, na uendelevu.<ref>{{Cite journal |title=Football and Sustainability in the Desert, Qatar 2022 Green World Cup's Stadiums: Legal Perspective |journal=European Journal of Social Sciences |date=December 2017 |pages=475–493 |ssrn=3096185|last1=Hayajneh |first1=Abdelnaser |last2=Elbarrawy |first2=Hassan |last3=El Shazly |first3=Yassin |last4=Rashid |first4=Tarek }}</ref> Viwanja hivyo vitawekewa mfumo wa utoaji [[baridi]] ambao unalenga kupunguza [[joto]] ndani ya uwanja hadi 20 °C (36 °F), lakini bado haijafahamika kama hatua hii itafanya kazi kwenye viwanja vilivyo wazi. [[Mradi|Miradi]] yote mitano ya uwanja iliyozinduliwa imeundwa na mbunifu wa nchini [[Ujerumani]],[[Albert Speer]] na washirika wengine. [[Uwanja wa Michezo wa Al Bayt|Uwanja wa Al Bayt]] utakuwa uwanja wa pekee wa ndani wa nane kutumika. Ripoti iliyotolewa tarehe [[9 Desemba]] [[2010]] ilimnukuu [[Rais]] wa FIFA [[Sepp Blatter]] akisema kwamba ma[[taifa]] mengine yanaweza kuwa mwenyeji wa mechi wakati wa Kombe la Dunia. Hata hivyo, hakuna nchi maalum zilizopewa jina kwenye ripoti hiyo. Blatter aliongeza kwa kusema kwamba uamuzi wowote lazima uchukuliwe na Qatar kwanza na kisha kupitishwa na kamati tendaji ya FIFA.<ref name="Hosting neighbours">{{Cite news |date=9 December 2010 |title=Report: Qatar neighbors could host 2022 WC games |publisher=Fox Soccer/AP |url=http://msn.foxsports.com/foxsoccer/worldcup/story/Qatar-neighbors-could-host-WC-games |archive-url=https://web.archive.org/web/20110426080343/http://msn.foxsports.com/foxsoccer/worldcup/story/Qatar-neighbors-could-host-WC-games |archive-date=26 April 2011}}</ref> Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa [[Aprili]] [[2013]] na [[Merrill Lynch]], kitengo cha uwekezaji wa [[benki]] ya [[Amerika]], waandaaji wa Qatar wameomba FIFA kupitisha [[idadi]] ndogo ya viwanja kwa sababu ya [[gharama]] kuongezeka.<ref>{{Cite web |date=25 April 2013 |title=Qatar 2022: Nine stadiums instead of twelve?&nbsp;– |url=http://stadiumdb.com/news/2013/04/qatar_2022_nine_stadium_instead_of_twelve |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20131005094237/http://stadiumdb.com/news/2013/04/qatar_2022_nine_stadium_instead_of_twelve |archive-date=5 October 2013 |access-date=25 May 2013 |publisher=Stadiumdb.com}}</ref> Ingawa, kufikia [[Aprili]] [[2017]], FIFA ilikuwa bado haijakamilisha idadi ya viwanja ambavyo Qatar ingefikia katika kipindi cha [[miaka]] mitano, [[Kamati]] Kuu ya Uwasilishaji na Urithi ya Qatar ilisema ilitarajia kuwa kutakuwa na vituo nane ndani na karibu na [[Doha]] (isipokuwa [[Al Khor]]).<ref>{{Cite web |date=6 July 2018 |title=Stadiums |url=https://www.sc.qa/en/stadiums |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20171114015238/http://www.sc.qa/en/stadiums |archive-date=14 November 2017 |access-date=8 January 2018 |website=Supreme Committee for Delivery & Legacy}}</ref> Mnamo [[Januari]] [[2019]], Infantino alisema kuwa FIFA ilikuwa inachunguza uwezekano wa kuwa na nchi jirani za mwenyeji wa mechi wakati wa mashindano, ili kupunguza [[mvutano]] wa ki[[siasa]].<ref>{{Cite web |date=2 January 2019 |title=Infantino: Qatar neighbours could help host World Cup |url=http://www.espn.com/soccer/fifa-world-cup/story/3741308/infantino-qatar-neighbours-could-help-host-2022-world-cup |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20190102161434/http://www.espn.com/soccer/fifa-world-cup/story/3741308/infantino-qatar-neighbours-could-help-host-2022-world-cup |archive-date=2 January 2019 |access-date=2 January 2019 |website=ESPN}}</ref> [[Uwanja wa Michezo wa 974|Uwanja wa 974]], ambao zamani ulijulikana kama Ras Abu Aboud, ni uwanja wa saba wa Kombe la Dunia la FIFA 2022 kukamilika. [[Jina]] lake linatokana na idadi ya makontena ya [[meli]] yaliyotumiwa katika [[ujenzi]] wake. Uwanja 974 utatumika kuchezea mechi saba wakati wa michuano ya kombe la dunia.<ref>{{Citation |last=Welle (www.dw.com) |first=Deutsche |title=Qatar touts dismountable stadium for 'sustainable' 2022 World Cup {{!}} DW {{!}} 25 November 2021 |url=https://www.dw.com/en/qatar-touts-dismountable-stadium-for-sustainable-2022-world-cup/a-59921732 |access-date=30 November 2021}}</ref> {| class="wikitable" style="text-align:center;" |- !Mji wa [[Lusail]] !Mji wa [[Al Khor]] !colspan=2|Mji wa [[Doha]] |- |[[Uwanja wa Michezo wa Lusail Iconic ]] |[[Uwanja wa Michezo wa Al Bayt ‎]] |[[Uwanja wa Michezo wa 974 ]] |[[Uwanja wa Michezo wa Al Thumama ‎]] |- |Uwezo: '''80,000'''<br /> |Uwezo: '''60,000''' |Uwezo: '''40,000''' |Uwezo: '''40,000''' |- |[[File:Lusail Iconic Stadium final render.jpg|200px]] | | |[[File:Al Thumama Stadium.jpg|200px]] |- |- !colspan=3|Mji wa [[Al Rayyan]] !Mji wa [[Al Wakrah]] |- |[[Uwanja wa Michezo wa Education City]] |[[Uwanja wa Michezo wa Ahmad bin Ali ‎]] |[[Uwanja wa Michezo wa Khalifa ‎]] |[[Uwanja wa Michezo wa Al Janoub]] |- |Uwezo: '''45,350''' |Uwezo: '''44,740'''<small></small> |Uwezo: '''40,000'''<br /><small>''(umeongezewa)''</small> |Uwezo: '''40,000''' |- |[[File:Aerial view of Education City Stadium and Oxygen Park in Al Rayyan (Education City Stadium) crop.jpg|200px]] | |[[File:Khalifa_Stadium,_Doha,_Brazil_vs_Argentina_(2010).jpg|200x200px]] |[[File:Visita ao estádio de futebol Al Janoub.jpg|200px]] |} ==Ratiba== Ratiba ya mechi ilithibitishwa na FIFA tarehe [[15 Julai]] 2020.<ref name="schedule confirmed">{{Cite web |date=15 July 2020 |title=FIFA World Cup match schedule confirmed: hosts Qatar to kick off 2022 tournament at Al Bayt Stadium |url=https://www.fifa.com/worldcup/news/fifa-world-cuptm-match-schedule-confirmed-hosts-qatar-to-kick-off-2022-tournamen |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20201205083706/https://www.fifa.com/worldcup/news/fifa-world-cuptm-match-schedule-confirmed-hosts-qatar-to-kick-off-2022-tournamen |archive-date=5 December 2020 |access-date=15 July 2020 |publisher=FIFA.com}}</ref> Mechi pekee ya kwanza katika hatua ya makundi itachezwa siku ya ufunguzi kati ya wenyeji [[Qatar]] dhidi ya [[Ekuador]], itachezwa tarehe [[21 Novemba]] 2022 kwenye uwanja wa Al Bayt. Na mechi nne zitakua zikichezwa kila siku katika nyakati tofauti tofauti. Na fainali itachezwa tarehe [[18 Desemba]] 2022 kwenye Uwanja wa Iconic wa Lusail.<ref name="schedule">{{Cite web |title=FIFA World Cup Qatar 2022 Match Schedule |url=https://digitalhub.fifa.com/m/11c3473bd955b473/original/zh9sqqpotyf6jhqpv2uw-pdf.pdf |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20200715162206/https://resources.fifa.com/image/upload/fifa-world-cup-qatar-2022-match-schedule-x6962.pdf?cloudid=zh9sqqpotyf6jhqpv2uw |archive-date=15 July 2020 |access-date=15 July 2020 |publisher=FIFA.com}}</ref> ===Matumizi ya Uwanja Kwenye Hatua ya Makundi=== [[Kundi]] A, B, E na F watatumia [[Uwanja wa Michezo wa Al Bayt |Uwanja wa Al Bayt]], [[Uwanja wa Michezo wa Khalifa|Uwanja wa Kimataifa wa Khalifa]], [[Uwanja wa Michezo wa Al Thumama|Uwanja wa Al Thumama]] pamoja na [[Uwanja wa Michezo wa Ahmad bin Ali|Uwanja wa Ahmad bin Ali]]. Kundi C, D, G na H watatumia [[Uwanja wa Michezo wa Lusail Iconic|Uwanja wa Iconic wa Lusail]], [[Uwanja wa Michezo wa 974|Uwanja wa 974]], [[Uwanja wa Michezo wa Education City]] pamoja na [[Uwanja wa Michezo wa Al Janoub|Uwanja wa Al Janoub]]. FIFA ilipanga hatua ya makundi tarehe 1 Aprili 2022.<ref>{{cite web |url=https://www.fifa.com/tournaments/mens/worldcup/qatar2022/media-releases/final-match-schedule-for-the-fifa-world-cup-qatar-2022-tm-now-available-on |title=Final match schedule for the FIFA World Cup Qatar 2022 now available |publisher=FIFA |date=1 April 2022 |access-date=1 April 2022}}</ref><ref>{{cite web |url=https://digitalhub.fifa.com/m/6a616c6cf19bc57a/original/FWC-2022-Match-Schedule.pdf |title=FIFA World Cup Qatar 2022 – Match Schedule |publisher=FIFA |date=1 April 2022 |access-date=1 April 2022}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-michezo}} [[Jamii:Mpira wa Miguu]] [[Jamii:Qatar]] 0kl39kxokoi1qga330j15osxvgk6zhg 1241931 1241929 2022-08-11T22:02:38Z Filmwijker 34013 wikitext text/x-wiki '''Kombe la Dunia la FIFA 2022''' (kwa [[Kiarabu]] :كَأسُ اَلعَالَمِ] 2022, Gulf Arabic: كَاسُ اَلعَالَمِ ٢٠٢٢) ni mchuano wa 22 wa [[Kombe la Dunia la FIFA]] unaohusisha [[Timu ya taifa|timu za taifa]] za [[Mwanaume|wanaume]] katika [[Mpira wa miguu|mchezo wa soka]]. Michuano hii inashirikisha timu za wanaume kutoka [[nchi]] mbalimbali [[Dunia|duniani]] ambazo ni [[FIFA|wanachama wa FIFA]] na hufanyika mara moja kila baada ya miaka minne. Michuano hii imepangwa kufanyika [[Qatar]] kuanzia [[20 Novemba]] hadi [[18 Desemba]] [[2022]]. Hili litakuwa Kombe la Dunia la kwanza kufanyika katika [[Uarabuni|nchi za Kiarabu]]<ref>{{Cite news |date=15 July 2018 |title=Amir: 2022 World Cup Qatar a tournament for all Arabs |work=Gulf Times |url=http://www.gulf-times.com/story/599599/Amir-2022-World-Cup-Qatar-a-tournament-for-all-Ara |url-status=live |access-date=7 September 2018 |archive-url=https://web.archive.org/web/20180907183342/https://www.gulf-times.com/story/599599/Amir-2022-World-Cup-Qatar-a-tournament-for-all-Ara |archive-date=7 September 2018}}</ref> na litakuwa Kombe la Dunia la pili kufanyika katika [[bara la Asia]] baada ya mashindano ya [[2002]] kufanyika nchini [[Korea Kusini]] na [[Japani]].<ref>{{Cite web |last=Taylor |first=Daniel |date=15 July 2018 |title=France seal second World Cup triumph with 4–2 win over brave Croatia |url=https://www.theguardian.com/football/2018/jul/15/france-croatia-world-cup-final-match-report |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20190626195043/https://www.theguardian.com/football/2018/jul/15/france-croatia-world-cup-final-match-report |archive-date=26 June 2019 |access-date=7 September 2018 |website=The Guardian}}</ref> Mashindano haya yatakuwa ya mwisho yakihusisha jumla ya timu 32. Ufikapo [[mwaka]] [[2026]] kutakuwa na ongezeko la jumla ya timu 48. Mabingwa wa Kombe la Dunia [[mwaka]] [[2018]] ilikuwa timu ya taifa ya [[Ufaransa]]. <ref>{{Cite web |date=19 March 2015 |title=FIFA Executive Committee confirms November/December event period for Qatar 2022 |url=https://www.fifa.com/worldcup/qatar2022/news/y=2015/m=3/news=fifa-executive-committee-confirms-november-december-event-period-for-q-2567789.html |url-status=dead |archive-url=https://web.archive.org/web/20180910210625/https://www.fifa.com/worldcup/qatar2022/news/y=2015/m=3/news=fifa-executive-committee-confirms-november-december-event-period-for-q-2567789.html |archive-date=10 September 2018 |access-date=5 December 2017 |publisher=FIFA |accessdate=2022-04-02 |archivedate=2018-09-10 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20180910210625/https://www.fifa.com/worldcup/qatar2022/news/y=2015/m=3/news=fifa-executive-committee-confirms-november-december-event-period-for-q-2567789.html }}</ref> Kutokana na [[majira ya joto]] nchini Qatar, Kombe hili la Dunia litafanyika kuanzia 20 Novemba hadi 18 Desemba 2022, na kufanya kuwa mashindano ya kwanza kutokufanyika katikati ya mwaka kati ya mwezi [[Mei]], [[Juni]], au [[Julai]]. ==Timu zilizofuzu== Kufikia tarehe [[31 Machi]] 2022, ma[[taifa]] 29 yamefuzu kucheza kombe la dunia 2022 ikiwa ni pamoja na mataifa 22 yaliyoshiriki katika mashindano yaliyopita ya mwaka [[2018]]. Qatar ni timu pekee inayocheza mechi yake ya kwanza katika Kombe la Dunia la FIFA, na kuwa wenyeji wa kwanza kucheza mashindano hayo tangu nchini Italia mwaka [[1934]].<ref>{{Cite news |last=Palmer |first=Dan |date=31 July 2017 |title=Hosts Qatar to compete in qualifying for 2022 World Cup |work=insidethegames.biz |publisher=Dunsar Media Company |url=https://www.insidethegames.biz/articles/1053493/hosts-qatar-to-compete-in-qualifying-for-2022-world-cup |url-status=live |access-date=15 August 2017 |archive-url=https://web.archive.org/web/20190606063449/https://www.insidethegames.biz/articles/1053493/hosts-qatar-to-compete-in-qualifying-for-2022-world-cup |archive-date=6 June 2019}}</ref><ref>{{Cite web |title=FIFA World Cup Qualifier: Canada joy as Jamaica rout seals first finals berth since 1986-Sports News , Firstpost |url=https://www.firstpost.com/sports/fifa-world-cup-qualifier-canada-joy-as-jamaica-rout-seals-first-finals-berth-since-1986-10494471.html |website=Firstpost |date=28 March 2022 |access-date=28 March 2022}}</ref> Mabingwa mara nne wa [[Ulaya]] na washindi wa UEFA Euro 2020, [[Italia]], walishindwa kufuzu kwa mara ya pili mfululizo katika Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia yao, walipopoteza nusu fainali za kufuzu dhidi ya [[Jamhuri ya Masedonia Kaskazini|Masedonia Kaskazini]].<ref>{{cite news |url=https://www.bbc.com/sport/football/60869125 |title=Italy 0–1 North Macedonia: European champions stunned in World Cup play-offs |work=[[BBC Sport]] |date=24 March 2022 |access-date=24 March 2022}}</ref> {| class="wikitable sortable" |- ! width=110| Timu Ya Taifa ! width=220| Kufuzu kama ! width=100| Tarehe ya Kufuzu ! data-sort-type="number"|Idadi ya Miaka Aliyofuzu Kucheza <br/>Kombe La Dunia La Fifa<sup>'''[[#1|1]]'''</sup> ! width=290|Nafasi Aliyofika Katika Mashindano <br /> Ya Kombe la Dunia Yaliyopita |- | [[picha:Flag of Qatar.svg|left|30px|]][[Qatar]] || Mwenyeji wa mashindano || {{Sort|2010-12-02|2 disemba 2010}} || Mwaka 1 ([[2022]]) || {{sort|z|—}} |- | {{GER|Ujerumani}} || Mshindi UEFA kundi J || {{Sort|2021-10-11|11 oktoba 2021}} || miaka 20 ([[1934]], [[1938]], '''[[1954]]'', [[1958]], [[1962]], [[1966]], [[1970]], '''''[[1974]]''''', [[1978]], [[1982]], [[1986]], '''[[1990]]''', [[1994]], [[1998]], [[2002]], ''[[2006]]'', [[2010]], '''[[2014]]''', [[2018]], [[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka [[1954]], [[1974]], [[1990]], [[2014]],. |- | {{DNK|Dänemark}} || Mshindi wa UEFA kundi F|| {{Sort|2021-10-12|12 oktoba 2021}} || miaka 6 ([[1986]], [[1998]], [[2002]], [[2010]], [[Kombe la Dunia la FIFA 2018|2018]],[[2022]]) || {{sort|6|Robo fainali}} ([[1998]]) |- | {{BRA|Brazil}} || Mshindi wa kombe la CONMEBOL || {{Sort|2021-11-11|11 Novemba 2021}} || Miaka 22 ([[1930]], [[1934]], [[1938]], ''[[1950]]'', [[1954]], '''[[1958]]''', '''[[1962]]''', [[1966]], '''[[1970]]''', [[1974]], [[1978]], [[1982]], [[1986]], [[1990]], '''[[1994]]''', [[1998]], '''[[2002]]''', [[2006]], [[2010]], ''[[2014]]'', [[2018]],[[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka ([[1958]], [[1962]], [[1970]], [[1994]], [[2002]]) |- |{{FRA|Ufaransa}} || Mshindi wa UEFA kundi D || {{Sort|2021-11-13|13 Novemba 2021}} || Miaka 16 ([[1930]], [[1934]], ''[[1938]]'', [[1954]], [[1958]], [[1966]], [[1978]], [[1982]], [[1986]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]],[[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka ([[1998]], [[2018]]) |- |{{BEL|Ubeligiji}} || Mshindi wa UEFA kundi E || {{nowrap|{{Sort|2021-11-13|13 Novemba 2021}}}} || Miaka 14 ([[1930]], [[1934]], [[1938]], [[1954]], [[1970]], [[1982]], [[1986]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2014]], [[2018]],[[2022]]) || {{sort|3|Nafasi ya Tatu}} ([[Kombe la Dunia la FIFA 2018|2018]]) |- | {{HRV|Kroatien}} || Mshindi wa UEFA kundi H || {{Sort|2021-11-14|14 Novemba 2021}} || Miaka 6 ([[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|2|Runners-up}} ([[2018]]) |- | {{ESP|Uhispania}} || Mshindi wa UEFA kundi B || {{Sort|2021-11-14|14 Novemba 2021}} || Miaka 16 ([[1934]], [[1950]], [[1962]], [[1966]], [[1978]], [[1982]], [[1986]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka ([[2010]]) |- | {{SRB|Serbia}} || Mshindi wa UEFA kundi A || {{Sort|2021-11-14|14 Novemba 2021}} || Miaka 13 ([[1930]], [[1950]], [[1954]], [[1958]], [[1962]], [[1974]], [[1982]], [[1990]], [[1998]], [[2006]], [[2010]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|4|Nafasi ya nne}} ([[1930]], [[1962]]). |- | {{ENG|Uingereza}} || Mshindi wa UEFA kundi I || {{Sort|2021-11-15|15 Novemba 2021}} || Miaka 16 ([[1950]], [[1954]], [[1958]], [[1962]], [[1966]], [[1970]], [[1982]], [[1986]], [[1990]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka ([[1966]]) |- | [[picha:Flag of Switzerland.svg|left|30px|]][[Uswisi]] || Mshindi wa UEFA kundi C || {{Sort|2021-11-15|15 Novemba 2021}} || Miaka 12 ([[1934]], [[1938]], [[1950]], [[1954]], [[1962]], [[1966]], [[1994]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|6|Robo-Fainali}} ([[1934]], [[1938]], [[1954]]) |- | {{NED|Uholanzi}} || Mshindi wa UEFA kundi G || {{Sort|2021-11-16|16 Novemba 2021}} || Miaka 11 ([[1934]], [[1938]], [[1974]], [[1978]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2022]]) || {{sort|2|Runners-up}} ([[1974]], [[1978]], [[2010]]) |- | {{ARG|}} || CONMEBOL runners-up || {{Sort|2021-11-16|16 Novemba 2021}} || Miaka 18 ([[1930]], [[1934]], [[1958]], [[1962]], [[1966]], [[1974]], [[1978]], [[1982]], [[1986]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} ([[1978]], [[1986]]) |- | {{IRN|}} ||AFC awamu ya tatu, mshindi wa kundi A || {{Sort|2022-01-27|27 Januari 2022}} || Miaka 6 ([[1978]], [[1998]], [[2006]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|8|Hatua ya makundi}} ([[1978]], [[1998]], [[2006]], [[2014]], [[2018]]) |- | {{KOR|}} || AFC awamu ya tatu kundi A - runners-up || {{Sort|2022-02-01|1 Februari 2022}} || Miaka 11 ([[1954]], [[1986]], [[1990]], [[1994]] , [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]]) || {{sort|4|Nafasi ya nne}} ([[2002]]) |- | {{JPN|Japan}} || AFC awamu ya tatu kundi B - runners-up || {{Sort|2022-03-24|24 Machi 2022}} || Miaka 7 ([[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|7|Hatua ya mtoano ya 16 bora}} ([[2002]], [[2010]], [[2018]]) |- | [[picha:Flag of Saudi Arabia.svg|left|30px|]][[Saudi Arabia]] || AFC awamu ya tatu, mshindi wa kundi B || {{Sort|2022-03-24|24 Machi 2022}} || Miaka 6 ([[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|7|Hatua ya mtoano ya 16 bora}} ([[1994]]) |- | {{ECU|}} || CONMEBOL - nafasi ya nne|| {{Sort|2022-03-24|24 Machi 2022}} || Miaka 4 ([[2002]], [[2006]], [[2014]], [[2022]]) || {{sort|7|Hatua ya mtoano ya 16 bora}} ([[2006]]) |- | [[picha:Flag of Uruguay.svg|left|30px|]][[Uruguay]]|| CONMEBOL- nafasi ya tatu || {{Sort|2022-03-24|24 Machi 2022}} || Miaka 14 ([[1930]], [[1950]], [[1954]], [[1962]], [[1966]], [[1970]], [[1974]], [[1986]], [[1990]], [[2002]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|1|'''Mshindi'''}} wa kombe la dunia la FIFA mwaka ([[1930]], [[1950]]) |- | {{CAN|}} || Mshindi wa CONCACAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-27|27 Machi 2022}} || Miaka 2 ([[1986]], [[2022]]) || {{sort|8|Hatua ya makundi}} ([[1986]]) |- | {{GHA|}} || Mshindi wa CAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 4 ([[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2022]]) || {{sort|6|Robo-fainali}} ([[2010]]) |- | {{SEN|}} || Mshindi wa CAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 3 ([[2002]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|6|Robo-fainali}} ([[2002]]) |- | [[picha:Flag of Portugal.svg|left|30px|]][[Ureno]] || Mshindi wa UEFA awamu ya pili || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 8 ([[1966]], [[1986]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|3|Nafasi ya tatu}} ([[1966]]) |- | {{POL|}} || Mshindi wa UEFA awamu ya pili || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 9 ([[1938]], [[1974]], [[1978]], [[1982]], [[1986]], [[2002]], [[2006]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|3|Nafasi ya tatu}} ([[1974]], [[1982]]) |- | {{TUN|}} || Mshindi wa CAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 6 ([[1978]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|8|Hatua ya makundi}} ([[1978]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2018]]) |- | {{MAR|}} || Mshindi wa CAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 6 ([[1970]], [[1986]], [[1994]], [[1998]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|7|Hatua ya mtoano ya 16 bora}} ([[1986]]) |- | {{CMR|}} || Mshindi wa CAF awamu ya tatu|| {{Sort|2022-03-29|29 Machi 2022}} || Miaka 8 ([[1982]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2010]], [[2014]]. [[2022]]) || {{sort|6|Robo-fainali}} ([[1990]]) |- | {{USA|}} || Nafasi ya tatu - CONCACAF awamu ya tatu || {{Sort|2022-03-30|30 Machi 2022}} || Miaka 11 ([[1930]], [[1934]], [[1950]], [[1990]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2022]]) || {{sort|3|Nafasi ya tatu}} ([[1930]]) |- | {{MEX|}} || CONCACAF awamu ya tatu- runners-up || {{Sort|2022-03-30|30 Machi 2022}} || Miaka 17 ([[1930]], [[1950]], [[1954]], [[1958]], [[1962]], [[1966]], [[1970]], [[1978]], [[1986]], [[1994]], [[1998]], [[2002]], [[2006]], [[2010]], [[2014]], [[2018]], [[2022]]) || {{sort|6|Robo-fainali}} ([[1970]], [[1986]]) |} ==Waamuzi wa michezo (marefa)== Tarehe [[19 Mei]] 2022, FIFA ilitangaza orodha ya [[refa|marefa]] 36, na marefa wasaidizi 69 na marefa 24 [[Refa msaidizi wa video|wasaidizi wa video]] (VAR) katika mashindano hayo.<ref>{{cite web |url=https://www.fifa.com/tournaments/mens/worldcup/qatar2022/media-releases/36-referees-69-assistant-referees-and-24-video-match-officials-appointed-for-fifa-world-cup-qatar-2022 |title=36 referees, 69 assistant referees and 24 video match officials appointed for FIFA World Cup Qatar 2022 |work=FIFA |date=19 May 2022 |access-date=19 May 2022}}</ref><ref>{{cite web |url=https://digitalhub.fifa.com/m/1da4b811328add8f/original/MEDIA-Alphabetical-order-List-of-Match-Officials-FWC-2022-Qatar.pdf |title=FIFA World Cup Qatar 2022 – List of appointed FIFA Match Officials |work=FIFA |date=19 May 2022 |access-date=19 May 2022}}</ref> Kati ya Waamuzi 36 FIFA ilipanga waamuzi wawili wawili kutoka katika mataifa mbalimbali yakiwemo Argentina, Brazil, Uingereza na Ufaransa. Kwa mara ya kwanza waamuzi wanawake watachezesha baadhi ya mechi katika mashindano hayo.<ref>{{cite web |url=https://www.espn.com/soccer/fifa-world-cup/story/4669636/qatar-world-cup-female-referees-to-feature-for-first-time-in-mens-competition |title=Qatar World Cup: Women referees to feature for first time in men's competition |date=20 May 2022|publisher=ESPN |access-date=20 May 2022}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.fifa.com/tournaments/womens/womensworldcup/france2019/news/frappart-final-role-a-huge-sense-of-pride|title=Frappart: Final role a huge source of pride}}</ref> Stéphanie Frappart kutoka nchini [[Ufaransa]], Rwanda Salima Mukansanga na Yoshimi Yamashita kutoka [[Japani]] walikuwa marefa wa kike wa kwanza kuteuliwa kushiriki katika [[Kombe]] la Dunia la fifa kwa [[wanaume]] mwaka 2022 na wataungana na wanawake watatu ambao ni wasaidizi wa marefa.<ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/referee_summary/bakary-gassama|title=Bakary Gassama}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/referee_summary/juan-pablo-belatti/1/2|title=Juan Pablo Belatti}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/report/wm-2018-in-russland-finale-frankreich-kroatien|title=World Cup 2018 Russia}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/referee_summary/cesar-ramos_4/1/1|title=César Ramos Palazuelos}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/referee_summary/janny-sikazwe/1/1|title=Janny Sikazwe}}</ref><ref>{{cite web|url=https://www.worldfootball.net/referee_summary/alireza-faghani|title=Alireza Faghani}}</ref> ==Viwanja== Mapendekezo matano ya kwanza ya Kombe la [[Dunia]] yalipendekezwa mwanzoni mwa [[Machi]] [[2010]]. [[Nchi]] hiyo inadhamiria viwanja hivyo kuakisi masuala ya [[historia|kihistoria]] na [[utamaduni|kiutamaduni]] ya Qatar, itakayozingatia vigezo na masharti yafuatayo: [[urithi]], faraja, ufikiaji, na uendelevu.<ref>{{Cite journal |title=Football and Sustainability in the Desert, Qatar 2022 Green World Cup's Stadiums: Legal Perspective |journal=European Journal of Social Sciences |date=December 2017 |pages=475–493 |ssrn=3096185|last1=Hayajneh |first1=Abdelnaser |last2=Elbarrawy |first2=Hassan |last3=El Shazly |first3=Yassin |last4=Rashid |first4=Tarek }}</ref> Viwanja hivyo vitawekewa mfumo wa utoaji [[baridi]] ambao unalenga kupunguza [[joto]] ndani ya uwanja hadi 20 °C (36 °F), lakini bado haijafahamika kama hatua hii itafanya kazi kwenye viwanja vilivyo wazi. [[Mradi|Miradi]] yote mitano ya uwanja iliyozinduliwa imeundwa na mbunifu wa nchini [[Ujerumani]],[[Albert Speer]] na washirika wengine. [[Uwanja wa Michezo wa Al Bayt|Uwanja wa Al Bayt]] utakuwa uwanja wa pekee wa ndani wa nane kutumika. Ripoti iliyotolewa tarehe [[9 Desemba]] [[2010]] ilimnukuu [[Rais]] wa FIFA [[Sepp Blatter]] akisema kwamba ma[[taifa]] mengine yanaweza kuwa mwenyeji wa mechi wakati wa Kombe la Dunia. Hata hivyo, hakuna nchi maalum zilizopewa jina kwenye ripoti hiyo. Blatter aliongeza kwa kusema kwamba uamuzi wowote lazima uchukuliwe na Qatar kwanza na kisha kupitishwa na kamati tendaji ya FIFA.<ref name="Hosting neighbours">{{Cite news |date=9 December 2010 |title=Report: Qatar neighbors could host 2022 WC games |publisher=Fox Soccer/AP |url=http://msn.foxsports.com/foxsoccer/worldcup/story/Qatar-neighbors-could-host-WC-games |archive-url=https://web.archive.org/web/20110426080343/http://msn.foxsports.com/foxsoccer/worldcup/story/Qatar-neighbors-could-host-WC-games |archive-date=26 April 2011}}</ref> Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa [[Aprili]] [[2013]] na [[Merrill Lynch]], kitengo cha uwekezaji wa [[benki]] ya [[Amerika]], waandaaji wa Qatar wameomba FIFA kupitisha [[idadi]] ndogo ya viwanja kwa sababu ya [[gharama]] kuongezeka.<ref>{{Cite web |date=25 April 2013 |title=Qatar 2022: Nine stadiums instead of twelve?&nbsp;– |url=http://stadiumdb.com/news/2013/04/qatar_2022_nine_stadium_instead_of_twelve |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20131005094237/http://stadiumdb.com/news/2013/04/qatar_2022_nine_stadium_instead_of_twelve |archive-date=5 October 2013 |access-date=25 May 2013 |publisher=Stadiumdb.com}}</ref> Ingawa, kufikia [[Aprili]] [[2017]], FIFA ilikuwa bado haijakamilisha idadi ya viwanja ambavyo Qatar ingefikia katika kipindi cha [[miaka]] mitano, [[Kamati]] Kuu ya Uwasilishaji na Urithi ya Qatar ilisema ilitarajia kuwa kutakuwa na vituo nane ndani na karibu na [[Doha]] (isipokuwa [[Al Khor]]).<ref>{{Cite web |date=6 July 2018 |title=Stadiums |url=https://www.sc.qa/en/stadiums |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20171114015238/http://www.sc.qa/en/stadiums |archive-date=14 November 2017 |access-date=8 January 2018 |website=Supreme Committee for Delivery & Legacy}}</ref> Mnamo [[Januari]] [[2019]], Infantino alisema kuwa FIFA ilikuwa inachunguza uwezekano wa kuwa na nchi jirani za mwenyeji wa mechi wakati wa mashindano, ili kupunguza [[mvutano]] wa ki[[siasa]].<ref>{{Cite web |date=2 January 2019 |title=Infantino: Qatar neighbours could help host World Cup |url=http://www.espn.com/soccer/fifa-world-cup/story/3741308/infantino-qatar-neighbours-could-help-host-2022-world-cup |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20190102161434/http://www.espn.com/soccer/fifa-world-cup/story/3741308/infantino-qatar-neighbours-could-help-host-2022-world-cup |archive-date=2 January 2019 |access-date=2 January 2019 |website=ESPN}}</ref> [[Uwanja wa Michezo wa 974|Uwanja wa 974]], ambao zamani ulijulikana kama Ras Abu Aboud, ni uwanja wa saba wa Kombe la Dunia la FIFA 2022 kukamilika. [[Jina]] lake linatokana na idadi ya makontena ya [[meli]] yaliyotumiwa katika [[ujenzi]] wake. Uwanja 974 utatumika kuchezea mechi saba wakati wa michuano ya kombe la dunia.<ref>{{Citation |last=Welle (www.dw.com) |first=Deutsche |title=Qatar touts dismountable stadium for 'sustainable' 2022 World Cup {{!}} DW {{!}} 25 November 2021 |url=https://www.dw.com/en/qatar-touts-dismountable-stadium-for-sustainable-2022-world-cup/a-59921732 |access-date=30 November 2021}}</ref> {| class="wikitable" style="text-align:center;" |- !Mji wa [[Lusail]] !Mji wa [[Al Khor]] !colspan=2|Mji wa [[Doha]] |- |[[Uwanja wa Michezo wa Lusail Iconic ]] |[[Uwanja wa Michezo wa Al Bayt ‎]] |[[Uwanja wa Michezo wa 974 ]] |[[Uwanja wa Michezo wa Al Thumama ‎]] |- |Uwezo: '''80,000'''<br /> |Uwezo: '''60,000''' |Uwezo: '''40,000''' |Uwezo: '''40,000''' |- |[[File:Lusail Iconic Stadium final render.jpg|200px]] | | |[[File:Al Thumama Stadium.jpg|200px]] |- |- !colspan=3|Mji wa [[Al Rayyan]] !Mji wa [[Al Wakrah]] |- |[[Uwanja wa Michezo wa Education City]] |[[Uwanja wa Michezo wa Ahmad bin Ali ‎]] |[[Uwanja wa Michezo wa Khalifa ‎]] |[[Uwanja wa Michezo wa Al Janoub]] |- |Uwezo: '''45,350''' |Uwezo: '''44,740'''<small></small> |Uwezo: '''40,000'''<br /><small>''(umeongezewa)''</small> |Uwezo: '''40,000''' |- |[[File:Aerial view of Education City Stadium and Oxygen Park in Al Rayyan (Education City Stadium) crop.jpg|200px]] | |[[File:Khalifa_Stadium,_Doha,_Brazil_vs_Argentina_(2010).jpg|200x200px]] |[[File:Visita ao estádio de futebol Al Janoub.jpg|200px]] |} ==Ratiba== Ratiba ya mechi ilithibitishwa na FIFA tarehe [[15 Julai]] 2020.<ref name="schedule confirmed">{{Cite web |date=15 July 2020 |title=FIFA World Cup match schedule confirmed: hosts Qatar to kick off 2022 tournament at Al Bayt Stadium |url=https://www.fifa.com/worldcup/news/fifa-world-cuptm-match-schedule-confirmed-hosts-qatar-to-kick-off-2022-tournamen |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20201205083706/https://www.fifa.com/worldcup/news/fifa-world-cuptm-match-schedule-confirmed-hosts-qatar-to-kick-off-2022-tournamen |archive-date=5 December 2020 |access-date=15 July 2020 |publisher=FIFA.com}}</ref> Mechi pekee ya kwanza katika hatua ya makundi itachezwa siku ya ufunguzi kati ya wenyeji [[Qatar]] dhidi ya [[Ekuador]], itachezwa tarehe [[21 Novemba]] 2022 kwenye uwanja wa Al Bayt. Na mechi nne zitakua zikichezwa kila siku katika nyakati tofauti tofauti. Na fainali itachezwa tarehe [[18 Desemba]] 2022 kwenye Uwanja wa Iconic wa Lusail.<ref name="schedule">{{Cite web |title=FIFA World Cup Qatar 2022 Match Schedule |url=https://digitalhub.fifa.com/m/11c3473bd955b473/original/zh9sqqpotyf6jhqpv2uw-pdf.pdf |url-status=live |archive-url=https://web.archive.org/web/20200715162206/https://resources.fifa.com/image/upload/fifa-world-cup-qatar-2022-match-schedule-x6962.pdf?cloudid=zh9sqqpotyf6jhqpv2uw |archive-date=15 July 2020 |access-date=15 July 2020 |publisher=FIFA.com}}</ref> ===Matumizi ya Uwanja Kwenye Hatua ya Makundi=== [[Kundi]] A, B, E na F watatumia [[Uwanja wa Michezo wa Al Bayt |Uwanja wa Al Bayt]], [[Uwanja wa Michezo wa Khalifa|Uwanja wa Kimataifa wa Khalifa]], [[Uwanja wa Michezo wa Al Thumama|Uwanja wa Al Thumama]] pamoja na [[Uwanja wa Michezo wa Ahmad bin Ali|Uwanja wa Ahmad bin Ali]]. Kundi C, D, G na H watatumia [[Uwanja wa Michezo wa Lusail Iconic|Uwanja wa Iconic wa Lusail]], [[Uwanja wa Michezo wa 974|Uwanja wa 974]], [[Uwanja wa Michezo wa Education City]] pamoja na [[Uwanja wa Michezo wa Al Janoub|Uwanja wa Al Janoub]]. FIFA ilipanga hatua ya makundi tarehe 1 Aprili 2022.<ref>{{cite web |url=https://www.fifa.com/tournaments/mens/worldcup/qatar2022/media-releases/final-match-schedule-for-the-fifa-world-cup-qatar-2022-tm-now-available-on |title=Final match schedule for the FIFA World Cup Qatar 2022 now available |publisher=FIFA |date=1 April 2022 |access-date=1 April 2022}}</ref><ref>{{cite web |url=https://digitalhub.fifa.com/m/6a616c6cf19bc57a/original/FWC-2022-Match-Schedule.pdf |title=FIFA World Cup Qatar 2022 – Match Schedule |publisher=FIFA |date=1 April 2022 |access-date=1 April 2022}}</ref> ==Marejeo== {{reflist}} {{Mbegu-michezo}} [[Jamii:Mpira wa Miguu]] [[Jamii:Qatar]] 3myrjlvcdgz5yqv9zm5rvpxdx9pcj71 JamiiTalk 0 155319 1241867 1240142 2022-08-11T14:15:53Z 196.249.103.49 Mtandao wikitext text/x-wiki '''JamiiTalk''' ni [[tovuti]] ya [[mtandao wa kijamii]] iliyoko nchini [[Tanzania]] iliyoanzishwa mnamo [[mwaka]] [[2022]] na Kasomi. Mtandao huo ni [[jukwaa]] maarufu [[mtandao|mtandaoni]]. JamiiTalk ilizinduliwa rasmi mnamo [[Machi]] [[2022]] kwa [[jina]] la JamiiTalk, na ilikuwa na vikao kadhaa mkondoni. Mtandao huu ulianzishwa na "'kasomi"' '''JamiiTalk''' ni [[shirika]] [[Mtandao]] lisilolenga [[faida]] lililopo [[Tanzania]] ambalo hutoa [[huduma]] za [[mtandao wa kijamii|mitandao ya kijamii]]. [[Tovuti]] ya JamiiTalk ilizinduliwa [[tarehe]] [[22 March]] [[2022]] na [[Emmanuel Kasomi]] pamoja na Mwenzake. [[Kasomi]] alivumbua mtandao huo akiwa [[Chuoni]] [[Mwanzilishi|Waanzilishi]] awali walikuwa wawili na kufanya uanachama wa tovuti kwa [[wanafunzi]] ; hata hivyo baadaye walipanua orodha ya [[ Watu]] wanao tumia mtandao huo na katika [[Nchi]] mbalimbali. Mtandao wa [[JamiiTalk]] ulijitanua hatua kwa hatua iliongeza msaada kwa wanafunzi katika vyuo vikuu vingine mbalimbali na hatimaye kwa wanafunzi wa [[sekondari|shule ya sekondari]] pia na Watu mbalimbali hasa walio taka kujifunza mambo mbalimbali na kutafuta kazi au suluhisho. Tangu mwaka [[2022]], mtu yeyote aliyefikisha miaka 13 aliruhusiwa kujisajili na kutumia JamiiTalk, ingawa tofauti zilikuwepo katika mahitaji ya [[umri]] mdogo, kutegemea [[sheria]] za nchi husika.<ref>{{cite web |url= https://www.jamiitalk.com/mwongozo-kwa-washiriki |title=Mwongozo kwa watumiaji wa JamiiTalk}}</ref> [[Jina]] la JamiiTalk linatoka kwenye [[Jamii]] ambapo ni mkusanyiko wa Watu mbalimbali katika sehemu moja, na [[Talk]] ambacho ni neno la kiingereza lenye maana ya kujadili/kusema. Maana ya JamiiTalk kwa ujumla ni Jamii inayo jadili maswala mbalimbali mara nyingi hutolewa kwa [[Jamii]] ==Marejeo== {{Reflist}} 1x85tzmuktpq583q1djd4abqxb7a5tr Something Necessary(filamu) 0 156150 1241897 1241347 2022-08-11T19:43:44Z EmausBot 5566 Bot: Fixing double redirect to [[Something Necessary]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Something Necessary]] axgfr69fuxuxcga29bry7dwl9874x63 Injini za diseli 0 156216 1241896 1241448 2022-08-11T19:43:34Z EmausBot 5566 Bot: Fixing double redirect to [[Injini ya dizeli]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Injini ya dizeli]] 9pvn6wbgyxg65qd546utjtnjgn2slhm Bwana Myombekere na Mkewe Bugonoka, Mtoto wao Ntulanalwo na Binti Bulihwali 0 156439 1241961 1241742 2022-08-12T09:37:08Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''''Bwana Myombekere na Mkewe Bugonoka, Mtoto wao Ntulanalwo na Binti Bulihwali''''' ni [[riwaya]] iliyo andikwa na mwandishi [[Tanzania|Mtanzania]] [[Aniceti Kitereza]]. Ni riwaya inayoelezea kwa upana maisha na [[historia]] ya [[Wakerewe]] katika vizazi vitatu vilivyopita.<ref>{{Cite web|title=Den allra vackraste kärlekshistorien - hd.se|url=https://web.archive.org/web/20130927144112/http://hd.se/kultur/boken/2009/01/11/den-allra-vackraste/|work=web.archive.org|date=2013-09-27|accessdate=2022-08-09}}</ref><ref>{{Cite web|title=Mkuki Nyanto|url=https://mkukinanyota.com/|work=mkukinanyota.com|accessdate=2022-08-09}}</ref> Ilichapishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1981 katika [[Kiswahili]] na Nyumba ya Uchapishaji Tanzania, lakini ilikamilika mwaka 1945 katika lugha mama ya [[Kikerewe]]. Kwa kuwa hakuna kampuni ya uchapishaji iliyo kuwa tayari kuchapisha riwaya iyo katika [[lugha]] ya kikerewe iliyo hatarini kutoweka, Kitereza ali[[tafsiri]] mwenyewe riwaya hiyo kwa Kiswahili muda mfupi kabla ya kukutwa na mauti, na ilichukua miaka 35 kupata mchapishaji. Tangu, imetafsiriwa katika lugha za [[Kiingereza]], Kijerumani, Kifaransa na Kiswidishi. Riwaya hii ndiyo pekee iliyoandikwa kwa lugha ya Kikerewe, na ni riwaya ya iliyo andikwa kwa kina zaidi kuhusu maisha na desturi za kabla ya ukoloni iliyochapishwa katika lugha ya Kiafrika.<ref>{{Cite web|title=Introduktion till den afrikanska litteraturen|url=https://varldslitteratur.se/afrika/introduktion|work=Världslitteratur.se|date=2011-04-29|accessdate=2022-08-09|language=sv}}</ref> Tafsiri ya [[Kijerumani]] ilichapishwa mwaka 1990 katika sehemu mbili ambayo ni wasifu na maelezo baada ya [[mauti]], Ikielezea [[utamaduni]] na kiisimu ambao msomaji anaweza kuhitaji.<ref>{{Cite web|title=Aniceti Kitereza: Die Kinder der Regenmacher|url=http://www.unionsverlag.com/info/title.asp?title_id=2059|work=www.unionsverlag.com|accessdate=2022-08-09|language=de}}</ref> Katika lugha ya kifaransa ili tafsiriwa na Simon Baguma Mweze na Olivier Barlet pia kuchapishwa katika sehemu mbili ilikuwa ni mwaka 1999: ''Watoto wa mvua''<ref>{{Cite web|title=LES ENFANTS DU FAISEUR DE PLUIE, Aniceti Kitereza - livre, ebook, epub - idée lecture|url=https://www.editions-harmattan.fr/index_harmattan.asp?navig=catalogue&obj=livre&razSqlClone=1&no=2281|work=www.editions-harmattan.fr|accessdate=2022-08-09|language=fr}}</ref> na ''muuaji wa nyoka''.<ref>{{Cite web|title=LE TUEUR DE SERPENTS, Aniceti Kitereza - livre, ebook, epub|url=https://www.editions-harmattan.fr/index_harmattan.asp?navig=catalogue&obj=livre&razSqlClone=1&no=8380|work=www.editions-harmattan.fr|accessdate=2022-08-09|language=fr}}</ref>Tafsiri ya kiswidi ilifata misingi ya kijerumani lakini ni sehemu ya kwanza pekee iliyochapishwa. == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Fasihi ya Kiswahili]] 2zd4crevqjtedi8b2tti1ov06byk8rw 1241962 1241961 2022-08-12T09:37:31Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Bwana Myombekere na Mkewe Bugonoka, Mtoto wao Ntulanalwo na Binti Bulihwali.]] hadi [[Bwana Myombekere na Mkewe Bugonoka, Mtoto wao Ntulanalwo na Binti Bulihwali]]: urahisi wa kuupata wikitext text/x-wiki '''''Bwana Myombekere na Mkewe Bugonoka, Mtoto wao Ntulanalwo na Binti Bulihwali''''' ni [[riwaya]] iliyo andikwa na mwandishi [[Tanzania|Mtanzania]] [[Aniceti Kitereza]]. Ni riwaya inayoelezea kwa upana maisha na [[historia]] ya [[Wakerewe]] katika vizazi vitatu vilivyopita.<ref>{{Cite web|title=Den allra vackraste kärlekshistorien - hd.se|url=https://web.archive.org/web/20130927144112/http://hd.se/kultur/boken/2009/01/11/den-allra-vackraste/|work=web.archive.org|date=2013-09-27|accessdate=2022-08-09}}</ref><ref>{{Cite web|title=Mkuki Nyanto|url=https://mkukinanyota.com/|work=mkukinanyota.com|accessdate=2022-08-09}}</ref> Ilichapishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1981 katika [[Kiswahili]] na Nyumba ya Uchapishaji Tanzania, lakini ilikamilika mwaka 1945 katika lugha mama ya [[Kikerewe]]. Kwa kuwa hakuna kampuni ya uchapishaji iliyo kuwa tayari kuchapisha riwaya iyo katika [[lugha]] ya kikerewe iliyo hatarini kutoweka, Kitereza ali[[tafsiri]] mwenyewe riwaya hiyo kwa Kiswahili muda mfupi kabla ya kukutwa na mauti, na ilichukua miaka 35 kupata mchapishaji. Tangu, imetafsiriwa katika lugha za [[Kiingereza]], Kijerumani, Kifaransa na Kiswidishi. Riwaya hii ndiyo pekee iliyoandikwa kwa lugha ya Kikerewe, na ni riwaya ya iliyo andikwa kwa kina zaidi kuhusu maisha na desturi za kabla ya ukoloni iliyochapishwa katika lugha ya Kiafrika.<ref>{{Cite web|title=Introduktion till den afrikanska litteraturen|url=https://varldslitteratur.se/afrika/introduktion|work=Världslitteratur.se|date=2011-04-29|accessdate=2022-08-09|language=sv}}</ref> Tafsiri ya [[Kijerumani]] ilichapishwa mwaka 1990 katika sehemu mbili ambayo ni wasifu na maelezo baada ya [[mauti]], Ikielezea [[utamaduni]] na kiisimu ambao msomaji anaweza kuhitaji.<ref>{{Cite web|title=Aniceti Kitereza: Die Kinder der Regenmacher|url=http://www.unionsverlag.com/info/title.asp?title_id=2059|work=www.unionsverlag.com|accessdate=2022-08-09|language=de}}</ref> Katika lugha ya kifaransa ili tafsiriwa na Simon Baguma Mweze na Olivier Barlet pia kuchapishwa katika sehemu mbili ilikuwa ni mwaka 1999: ''Watoto wa mvua''<ref>{{Cite web|title=LES ENFANTS DU FAISEUR DE PLUIE, Aniceti Kitereza - livre, ebook, epub - idée lecture|url=https://www.editions-harmattan.fr/index_harmattan.asp?navig=catalogue&obj=livre&razSqlClone=1&no=2281|work=www.editions-harmattan.fr|accessdate=2022-08-09|language=fr}}</ref> na ''muuaji wa nyoka''.<ref>{{Cite web|title=LE TUEUR DE SERPENTS, Aniceti Kitereza - livre, ebook, epub|url=https://www.editions-harmattan.fr/index_harmattan.asp?navig=catalogue&obj=livre&razSqlClone=1&no=8380|work=www.editions-harmattan.fr|accessdate=2022-08-09|language=fr}}</ref>Tafsiri ya kiswidi ilifata misingi ya kijerumani lakini ni sehemu ya kwanza pekee iliyochapishwa. == Marejeo == {{reflist}} [[Jamii:Fasihi ya Kiswahili]] 2zd4crevqjtedi8b2tti1ov06byk8rw The African Queen 0 156451 1241969 1241815 2022-08-12T09:45:36Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[The African Queen (filamu)]] hadi [[The African Queen]]: urahisi wa kuupata wikitext text/x-wiki '''''The African Queen''''' ni filamu ya matukio iliyotoka mwaka 1951 kutoka kwa [[Uingereza|Waingereza]] na [[Amerika]] iloyo chukuliwa kutoka kwenye [[riwaya]] ya mwaka 1935 yenye jina sawa ya C. S. Forester.<ref>{{Cite web|title=The African Queen (1951) at Reel Classics|url=http://www.reelclassics.com/Movies/African/african.htm|work=www.reelclassics.com|accessdate=2022-08-10}}</ref> Filamu hii iliongozwa na John Huston wakati Sam Spiegel na John Woolf wakiwa watayalishaji.<ref>{{Citation|title=The African Queen (film)|date=2022-07-30|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=The_African_Queen_(film)&oldid=1101387037|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-10}}</ref> == Wahusika == * [[Humphrey Bogart]] ambaye alicheza kama Charlie Allnut * [[Katharine Hepburn]] ambaye alicheza kama Rose Sayer * Robert Morley ambaye alicheza kama Reverend Samuel Sayer, "The Brother" * Peter Bull ambaye alicheza kama kapteni wa ''Königin Luise'' * Theodore Bikel ambaye alicheza kama afisa wa kwanza wa ''Königin Luise'' * Walter Gotell ambaye alicheza kama afisa wa pili wa ''Königin Luise'' * Peter Swanwick ambaye alicheza kama afisa wa kwanza wa Fort Shona * Richard Marner ambaye alicheza kama afisa wa pili wa Fort Shona * Gerald Onn ambaye alicheza kama afisa mdogo wa ''Königin Luise'' (uncredited) == Marejeo == [[Jamii:Filamu ya Wingereza]] [[Jamii:Filamu ya mwaka 1951]] [[Jamii:Filamu ya Amerika]] [[Jamii:Riwaya]] mky5k65rfkv8grsyejhkye3os9u3m7l 1241971 1241969 2022-08-12T09:47:20Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''''The African Queen''''' ni filamu ya matukio iliyotoka mwaka 1951 kutoka [[Uingereza]] na [[Marekani]] iliyochukuliwa kutoka kwenye [[riwaya]] ya mwaka 1935 yenye jina sawa ya C. S. Forester.<ref>{{Cite web|title=The African Queen (1951) at Reel Classics|url=http://www.reelclassics.com/Movies/African/african.htm|work=www.reelclassics.com|accessdate=2022-08-10}}</ref> Filamu hii iliongozwa na John Huston wakati Sam Spiegel na John Woolf wakiwa watayarishaji. == Wahusika == * [[Humphrey Bogart]] ambaye alicheza kama Charlie Allnut * [[Katharine Hepburn]] ambaye alicheza kama Rose Sayer * Robert Morley ambaye alicheza kama Reverend Samuel Sayer, "The Brother" * Peter Bull ambaye alicheza kama kapteni wa ''Königin Luise'' * Theodore Bikel ambaye alicheza kama afisa wa kwanza wa ''Königin Luise'' * Walter Gotell ambaye alicheza kama afisa wa pili wa ''Königin Luise'' * Peter Swanwick ambaye alicheza kama afisa wa kwanza wa Fort Shona * Richard Marner ambaye alicheza kama afisa wa pili wa Fort Shona * Gerald Onn ambaye alicheza kama afisa mdogo wa ''Königin Luise'' (uncredited) == Marejeo == [[Jamii:Filamu za Uingereza]] [[Jamii:Filamu za 1951]] [[Jamii:Filamu za Marekani]] ecmvm1ir24z0q02qkp9n7ltz24wdh06 John Coyne (mwandishi) 0 156455 1241972 1241822 2022-08-12T09:48:34Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[John Coyne (writer)]] hadi [[John Coyne (mwandishi)]]: jina la Kiswahili wikitext text/x-wiki '''John Coyne''' (amezaliwa 1937) Ni mwandishi wa [[Marekani|kimarekani.]][1] Ni mwandhishi wa vitabu zaidi ya 25 vikiwemo vitabu [[visivyo vya uongo]] na vile vya [[uongo]], ikijumuisha [[tamtilia kadhaa za kutisha|Riwaya kadhaa za kutisha,]] hadithi fupi fupi ambazo zimeweza kukusanywa ndani ya bora ya anthologies mfano ''Modern Master of Horror na [[The Year’s Best Fantasy]]'' na ''[[Horror]].'' Alikuwa ni [[mtunza amani]] aliyepita wa kujitolea na mpenzi wa maisha yake katika [[Gofu (michezo)|Gofu]], ameweza kuhariri na kuandikia vitabu vinavyojihusisha na masomo yote mawili, ikijumuisha ''The Caddie Who Knew Ben Hogan, The caddie Who Played With Hickory na The Caddie Who Won the Masters.'' Kitabu chake cha hivi karibuni ni haddithi ya kimapenzi ilinayoitwa Long Ago na Far Away [[Jamii:Amani]] [[Jamii:USW CHSS]] soxuz854m5hqops9aw3pl6wjbzw4e5h Majadiliano ya mtumiaji:B67n89 3 156466 1241981 1241849 2022-08-12T09:54:37Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:54, 12 Agosti 2022 (UTC) 6dfwgra53oeucjlgdb3cjx8odwo706v Chwaka, Pemba 0 156467 1241982 1241851 2022-08-12T09:57:47Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Chwaka''' (''Magofu ya mji wa kale wa Chwaka'') ni eneo la kihistoria la [[Waswahili]] la [[Zama za Kati]] karibu na kijiji cha Chwaka kilichopo [[Wilaya ya Micheweni]] [[Mkoa wa Pemba Kaskazini|Mkoa wa Kaskazini]], [[Pemba (kisiwa)|Pemba]]. Kuna [[msikiti]] wa Kiswahili uliochimbwa kwenye eneo hilo la kihistoria.<ref>{{Cite journal|last=LaViolette|first=Adria|last2=Fleisher|first2=Jeffrey|date=2009|title=The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD|url=https://www.jstor.org/stable/40646777|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=42|issue=3|pages=433–455|issn=0361-7882}}</ref> Maeneo ya kihistoria ya magofu haya ni kilomita 6 kutoka mji mdogo wa Konde, mwisho wa njia ambayo ina urefu wa mita 900 kuelekea kijiji cha Tumbe kwenye njia ya kijiji cha Myumoni. Mahali pa akiolojia ni alama ya wazi kutoka barabarani na ni wazi kwa umma. Katika kisiwa kizima cha [[Pemba (kisiwa)|Pemba]], magofu haya ni miongoni mwa maeneo yaliyohifadhiwa vyema. Eneo hili lina maandishi ya mapema yaliyoandikwa [[karne ya 13]]. Hata hivyo, Harun Bin Ali, mtoto wa Mkame Ndune wa Pujini. Makazi haya, ambayo yalijumuisha eneo la hekta 20, yalikuwa na ngome kubwa ya kasri, kumbi za karamu, misikiti miwili, vyuma vya chuma, na bandari katika mkondo wa karibu. Mji huu uliachwa katika [[karne ya 16]].<ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref> Kuta za [[msikiti]] mkubwa huo na matao yake ya lango bado zipo hadi leo.Mabaki (bakuli, keramik) ambayo yaligunduliwa wakati wa uchimbaji sasa yanaonyeshwa kwenye Makumbusho ya Albert huko [[London]] pamoja na Makumbusho ya [[Mji Mkongwe]] huko [[Stone Town]], ambayo imefungwa kwa muda kutokana na kuporomoka kwa sehemu ya jumba la zamani.<ref>{{Cite web|title=Early notification of collapse of House of Wonders in Zanzibar|url=https://whc.unesco.org/en/news/2233/|work=UNESCO World Heritage Centre|accessdate=2022-08-11|language=en|author=UNESCO World Heritage Centre}}</ref> Kulingana na mwasisi, mke wa Harun aliomba kwamba mbegu ziunganishwe na chokaa ili kushikilia msikiti mdogo unaojulikana kama Msikiti Chooko, au "msikiti wa nafaka za kijani," pamoja na Makaburi kadhaa, likiwemo la Harun, yamefunuliwa nyuma ya msikiti huo.<ref>{{Cite web|title=Local history – Culture - CHWAKA RUINS - Konde|url=https://www.petitfute.co.uk/v42146-konde/c1173-visites-points-d-interet/c976-archeologie-artisanat-science-et-technique/c979-histoire-locale-culture/1524293-ruines-de-chwaka.html|work=www.petitfute.co.uk|accessdate=2022-08-11|language=en}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Zama za Kati]] [[Jamii:Mkoa wa Pemba Kaskazini]] [[Jamii:Makumbusho ya Tanzania]] [[Jamii:Wilaya ya Micheweni]] mss7v9ru6owkteuhav4a9akufzb1o52 1241983 1241982 2022-08-12T09:58:13Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Chwaka''' (''Magofu ya mji wa kale wa Chwaka'') ni eneo la kihistoria la [[Waswahili]] la [[Zama za Kati]] karibu na kijiji cha Chwaka kilichopo [[Wilaya ya Micheweni]] [[Mkoa wa Pemba Kaskazini|Mkoa wa Kaskazini]], [[Pemba (kisiwa)|Pemba]]. Kuna [[msikiti]] wa Kiswahili uliochimbwa kwenye eneo hilo la kihistoria.<ref>{{Cite journal|last=LaViolette|first=Adria|last2=Fleisher|first2=Jeffrey|date=2009|title=The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD|url=https://www.jstor.org/stable/40646777|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=42|issue=3|pages=433–455|issn=0361-7882}}</ref> Maeneo ya kihistoria ya magofu haya ni kilomita 6 kutoka mji mdogo wa Konde, mwisho wa njia ambayo ina urefu wa mita 900 kuelekea kijiji cha Tumbe kwenye njia ya kijiji cha Myumoni. Mahali pa akiolojia ni alama ya wazi kutoka barabarani na ni wazi kwa umma. Katika kisiwa kizima cha [[Pemba (kisiwa)|Pemba]], magofu haya ni miongoni mwa maeneo yaliyohifadhiwa vyema. Eneo hili lina maandishi ya mapema yaliyoandikwa [[karne ya 13]]. Hata hivyo, Harun Bin Ali, mtoto wa Mkame Ndune wa Pujini. Makazi haya, ambayo yalijumuisha eneo la hekta 20, yalikuwa na ngome kubwa ya kasri, kumbi za karamu, misikiti miwili, vyuma vya chuma, na bandari katika mkondo wa karibu. Mji huu uliachwa katika [[karne ya 16]].<ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref> Kuta za [[msikiti]] mkubwa huo na matao yake ya lango bado zipo hadi leo.Mabaki (bakuli, keramik) ambayo yaligunduliwa wakati wa uchimbaji sasa yanaonyeshwa kwenye Makumbusho ya Albert huko [[London]] pamoja na Makumbusho ya [[Mji Mkongwe]] huko [[Stone Town]], ambayo imefungwa kwa muda kutokana na kuporomoka kwa sehemu ya jumba la zamani.<ref>{{Cite web|title=Early notification of collapse of House of Wonders in Zanzibar|url=https://whc.unesco.org/en/news/2233/|work=UNESCO World Heritage Centre|accessdate=2022-08-11|language=en|author=UNESCO World Heritage Centre}}</ref> Kulingana na mwasisi, mke wa Harun aliomba kwamba mbegu ziunganishwe na chokaa ili kushikilia msikiti mdogo unaojulikana kama Msikiti Chooko, au "msikiti wa nafaka za kijani," pamoja na Makaburi kadhaa, likiwemo la Harun, yamefunuliwa nyuma ya msikiti huo.<ref>{{Cite web|title=Local history – Culture - CHWAKA RUINS - Konde|url=https://www.petitfute.co.uk/v42146-konde/c1173-visites-points-d-interet/c976-archeologie-artisanat-science-et-technique/c979-histoire-locale-culture/1524293-ruines-de-chwaka.html|work=www.petitfute.co.uk|accessdate=2022-08-11|language=en}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Mkoa wa Pemba Kaskazini]] [[Jamii:Makumbusho ya Tanzania]] [[Jamii:Wilaya ya Micheweni]] h763na6lrerbafu0gtbx9owmf9pnve1 Sanje ya Kati 0 156468 1241984 1241852 2022-08-12T10:01:08Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Sanje ya Kati''' (''Kisiwa cha kale cha Sanje ya Kati'') ni eneo la kihistoria ambalo hawaishi watu lililopo kisiwa cha Sanje ya kati kata ya [[Pande Mikoma]] Mkoani [[Lindi (mkoa)|Lindi]], kwenye [[Pwani]] ya [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Tanzania]]. Eneo ili ni nyumbani kwa [[Waswahili]] enzi za mawe za kati ni eneo ambalo halija chimbuliwa kikamilifu.<ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James De Vere|date=1974|title=Swahili Architecture in the Later Middle Ages|url=https://www.jstor.org/stable/3334723|journal=African Arts|volume=7|issue=2|pages=42–84|doi=10.2307/3334723|issn=0001-9933}}</ref><ref>{{Citation|title=Sanje ya Kati|date=2022-06-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Sanje_ya_Kati&oldid=1092634001|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref><ref>{{Citation|title=Sanje ya Kati|date=2022-06-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Sanje_ya_Kati&oldid=1092634001|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref><ref>{{Citation|title=Sanje ya Kati|date=2022-06-11|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Sanje_ya_Kati&oldid=1092634001|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:visiwa vya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Lindi]] e05x8mhethh4ywd1krhbzu0fgy5l1pr 1241985 1241984 2022-08-12T10:01:39Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Sanje ya Kati''' (''Kisiwa cha kale cha Sanje ya Kati'') ni eneo la kihistoria ambalo hawaishi watu lililopo kisiwa cha Sanje ya kati kata ya [[Pande Mikoma]] Mkoani [[Lindi (mkoa)|Lindi]], kwenye [[Pwani]] ya [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Tanzania]]. Eneo hili ni nyumbani kwa [[Waswahili]] enzi za mawe za kati ni eneo ambalo halijachimbuliwa kikamilifu.<ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James De Vere|date=1974|title=Swahili Architecture in the Later Middle Ages|url=https://www.jstor.org/stable/3334723|journal=African Arts|volume=7|issue=2|pages=42–84|doi=10.2307/3334723|issn=0001-9933}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:visiwa vya Tanzania]] [[Jamii:Mkoa wa Lindi]] 79qciqv5k6275bzvx13z4fo3uwxp0dx Kipungani 0 156470 1241986 1241855 2022-08-12T10:03:56Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Kipungani''' ni makazi ya kihistoria ya [[lugha]] ya [[Kiswahili]] yanayopatikana kwenye [[Lamu (kisiwa)|Kisiwa cha Lamu]] katika Pwani ya [[Kenya]].<ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James de Vere|date=1981|title=Swahili Culture and the Nature of East Coast Settlement|url=https://www.jstor.org/stable/218047|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=14|issue=2|pages=306–334|doi=10.2307/218047|issn=0361-7882}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Miji ya Kenya]] [[Jamii:Kaunti ya Lamu]] cefg0ho746tgsh7v3tmsb6fwvxj0xyf Tanga, Tanzania 0 156471 1241987 1241856 2022-08-12T10:04:53Z Riccardo Riccioni 452 Maandishi yaliyokuwepo yalichukuliwa nafasi na '#REDIRECT[[[[Tanga (mji)|Tanga]]]]' wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[[[Tanga (mji)|Tanga]]]] 643rg56zfh8pu2fkbntdwgjddzvxtmj 1241988 1241987 2022-08-12T10:05:04Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Tanga (mji)]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[Tanga (mji)|Tanga]] khsp99ehmyyre056b9aujczhyf1jl6z Kivinje 0 156474 1241873 2022-08-11T15:39:21Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Kilwa Kivinje Historic Site''' (Swahili Mji wa Kale wa Kivinje) ni eneo la kihistoria lililohifadhiwa katika kata ya [[Kilwa Kivinje]], Wilaya ya [[Kilwa]], Mkoa wa [[Lindi (mji)|Lindi]] katika mwambao wa [[Bahari ya Hindi]] nchini [[Tanzania]]. Ni eneo la kihistoria ambalo ni [[Gofu|magofu]] ya majengo ya waswahili ya enzi za kati na baadhi ya majengo ya kiswahili yaliyosalia kutoka mwishoni mwa [[karne ya 19]]. <ref>{{Cite journal|last=Chittick|first=H. Neville|date=1969,01,01|title=The early history of Kilwa Kivinje|url=https://jstor.org/stable/al.ch.document.sip200044|language=English}}</ref>Makazi haya yanachukuliwa kama kimbilio la wenyeji wa awali kutoka Kilwa Kisiwani ambao walikuwa wakimbizi kutoka kwa [[Vasco da Gama]] ambae alikuwa akiwafukuza mji huo mnamo 1505 na pia kuwachukua kama [[wakimbizi]] waliokimbia maharamia wa [[Madagaska]] mnamo 1822. <ref>https://journals.udsm.ac.tz/index.php/sap/article/viewFile/2758/2806</ref> == Marejeo == [[Jamii:Makumbusho]] [[Jamii:Tanga]] 5i1ujhxeyjbjbj7dexnxf7gbfp9qcbk 1241998 1241873 2022-08-12T10:14:31Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Kilwa Kivinje]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[Kilwa Kivinje]] 7wfl2rpaeqfhttr05f0e67eacxkwkgu Mtangazaji 0 156475 1241874 2022-08-11T16:11:51Z Africona 55394 Created Article wikitext text/x-wiki '''''Mtangazaji''''' ni mtu anayeeneza au kutangaza [[habari]] za kitu, Mfano: Mtangazaji wa redio, Mtangazaji wa Biashara<ref>{{Cite web|title=Biashara ya Duka: Jinsi ya Kuanzisha na Kupata Faida Nzuri (2022)|url=https://africona.net/biashara-ya-duka/|work=AFRICONA|date=2022-05-29|accessdate=2022-08-11|language=en-US|author=Teacher Pizo}}</ref>. == List ya Watangazaji wa Habari Tanzania == * [[Millard Ayo]] - Amplifaya na Clouds FM * Farhia Middle - ITV na Radio One. * Hamis Mandi aka B12 - XXL Clouds FM. * Raheem Da Prince - The Switch, Times FM. * Jabir Saleh - The Jump Off, Times FM. * Sam Misago - Power Jams , EA Radio. * Bizzo - Show Time; New Chapter, RFA. * Perfect Crispin - Club 10, Clouds FM. * Jimmy Jamal - Daladala Beat, Magic FM. * Maulid Kitenge - ITV na Radio One. * Falma Almas Nyakanga - [[Azam TV|Azam]]. * Grace Kingarawe - [[Shirika la Utangazaji Tanzania|TBC1]]. Hao Ni Baadhi ya Watangazaji Mbalimbali [[Habari]] Pamoja na Vipindi Mbalimbali Vya [[Redio]] Pamoja na Television Tanzania<ref>{{Cite web|title=LIST OF BEST TELEVISION CHANNELS IN TANZANIA (2022)|url=https://africona.net/best-television-channels-tanzania/|work=AFRICONA|date=2022-05-29|accessdate=2022-08-11|language=en-US|author=Teacher Pizo}}</ref>. == References == {{Reflist}} oiz8se131o9rbtthif01py050s0ntmx 1242003 1241874 2022-08-12T10:21:49Z 41.221.34.182 wikitext text/x-wiki '''Mtangazaji''' ni mtu anayeeneza au kutangaza [[habari]] za kitu, kwa mfano: [[biashara]]. Siku hizi anatumia hasa [[vyombo vya habari]] kama vile [[Televisheni|runinga]] <ref>{{Cite web|title=LIST OF BEST TELEVISION CHANNELS IN TANZANIA (2022)|url=https://africona.net/best-television-channels-tanzania/|work=AFRICONA|date=2022-05-29|accessdate=2022-08-11|language=en-US|author=Teacher Pizo}}</ref>.. == Baadhi ya watangazaji wa Tanzania == * [[Millard Ayo]] - Amplifaya na Clouds FM * Farhia Middle - ITV na Radio One. * Hamis Mandi aka B12 - XXL Clouds FM. * Raheem Da Prince - The Switch, Times FM. * Jabir Saleh - The Jump Off, Times FM. * Sam Misago - Power Jams , EA Radio. * Bizzo - Show Time; New Chapter, RFA. * Perfect Crispin - Club 10, Clouds FM. * Jimmy Jamal - Daladala Beat, Magic FM. * Maulid Kitenge - ITV na Radio One. * Falma Almas Nyakanga - [[Azam TV|Azam]]. * Grace Kingarawe - [[Shirika la Utangazaji Tanzania|TBC1]]. == Tanbihi == {{Reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Kazi]] arox4e5paxk7xuttdu2s7zwxzu990rn Mambrui 0 156476 1241875 2022-08-11T16:19:55Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Mambrui''' Ni Mji wa makazi unaopatikana katika jimbo la Pwani ya [[Kenya]],ulioko mashariki mwa Mji wa Marikebuni kando ya Barabara ya Malindi-Garissa, kusini mwa Gongoni na kaskazini mwa [[Malindi (Kenya)|Malindi]]. Mambrui ni eneo la mradi wa timu ya [[wanaakiolojia]] wa [[Kenya]] na [[China]], ambao walikua wanatafuta ushahidi wa kuwasiliana na Wachina wakati wa zama za Emperor Yongle. Oktoba 2010, timu ilitangaza hadharani kuhusu [[Ugunduzi na usahihishaji wa makosa|ugunduzi]] wa [[sarafu]] ya Kichina ya Yongle Tongbao ya mwanzoni mwa [[karne ya 15]], mabaki ya kinu cha kuyeyusha chuma kilichoambatana na slag ya chuma, na sehemu ya jade-kijani ya porcelaini inayoaminika kutoka kwa Long Quan, tanuru. ambayo ilitengeneza kaure kwa ajili ya [[familia]] ya kifalme wakati wa Nasaba ya Ming. <ref>{{Citation|title=Could a rusty coin re-write Chinese-African history?|date=2010-10-18|url=https://www.bbc.com/news/world-africa-11531398|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2022-08-11}}</ref>[[Ugunduzi na usahihishaji wa makosa|Ugunduzi]] huu unaweza kuthibitisha kwamba tarehe za biashara ya kwanza ya kimataifa ya Afrika Mashariki ni miongo kadhaa kabla ya kuwasili kwa [[Vasco da Gama|Vasco Da Gama]], ni uwezekano mkubwa wakati wa misafara ya Zheng He.<ref>{{Citation|title=Could a rusty coin re-write Chinese-African history?|date=2010-10-18|url=https://www.bbc.com/news/world-africa-11531398|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2022-08-11}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Akiolojia]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Makumbusho ya Kenya]] b60k1frt82ftonyo2ei26u3whlin03p 1242004 1241875 2022-08-12T10:24:47Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Mambrui''' ni mahali wa makazi unaopatikana katika eneo la pwani ya [[Kenya]], ulioko mashariki mwa mji wa Marikebuni kando ya Barabara ya Malindi-Garissa, kusini mwa Gongoni na kaskazini mwa [[Malindi (Kenya)|Malindi]]. Mambrui ni eneo la mradi wa timu ya [[wanaakiolojia]] wa [[Kenya]] na [[China]], ambao walikua wanatafuta ushahidi wa kuwasiliana na Wachina wakati wa zama za Emperor Yongle. Mnamo Oktoba 2010, timu ilitangaza hadharani kuhusu [[ugunduzi]] wa [[sarafu]] ya Kichina ya Yongle Tongbao ya mwanzoni mwa [[karne ya 15]], mabaki ya kinu cha kuyeyusha chuma kilichoambatana na slag ya chuma, na sehemu ya jade-kijani ya porcelaini inayoaminika kutoka kwa Long Quan, tanuru. ambayo ilitengeneza kaure kwa ajili ya [[familia]] ya kifalme wakati wa Nasaba ya Ming. <ref>{{Citation|title=Could a rusty coin re-write Chinese-African history?|date=2010-10-18|url=https://www.bbc.com/news/world-africa-11531398|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2022-08-11}}</ref>[[Ugunduzi na usahihishaji wa makosa|Ugunduzi]] huu unaweza kuthibitisha kwamba tarehe za biashara ya kwanza ya kimataifa ya Afrika Mashariki ni miongo kadhaa kabla ya kuwasili kwa [[Vasco da Gama]], ni uwezekano mkubwa wakati wa misafara ya Zheng He.<ref>{{Citation|title=Could a rusty coin re-write Chinese-African history?|date=2010-10-18|url=https://www.bbc.com/news/world-africa-11531398|work=BBC News|language=en-GB|access-date=2022-08-11}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Makumbusho ya Kenya]] qdeqcfjrxv4xf765ettm217vxncus97 Manza Bay 0 156477 1241876 2022-08-11T17:18:58Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Manza Bay''' Ni [[ghuba]] iliopo nchini [[Tanzania]]. Inapatikana ufukweni mwa [[bahari ya Hindi]], maili 10 (kilomita 16) kaskazini mwa [[Mji wa Tanga|mji wa Tanga.]] == Historia == Kwenye kampeni ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia|Vita ya Kwanza]] ya Kidunia ya Afrika Mashariki , [[Jeshi]] la Wanamaji la Kifalme lililinda meli HMS Hyacinth isishambuliwe na kuharibiwa na meli ya [[Wajerumani]] kutoka [[ghuba]] ya Manza ilikua tarehe 14 mwezi wa nne 1915. ilikuwa meli namba 3,587 GRT ya Uingereza ya shehena, Rubens, na mamlaka ya Ujerumani ambayo walikamata meli hiyo huko Hamburg mwaka 1914. Jeshi la Wanamaji la [[Ujerumani]] lilimficha Rubens kama meli ya mizigo ya Denmark Kronborg na kumtuma kujaza cruiser SMS Königsberg katika [[Bahari ya Hindi|Bahari ya Hindi.]]<ref name=":0">https://wrecksite.eu/wreck.aspx?102286</ref> kikunda cha [[Ujerumani|wajerumani]] walifanikiwa kuifunga [[meli]] yao kwenye [[ghuba]], wakaokoa [[silaha]] zao na risasi kutoka kwa shehena ya Rubens, na kuiacha.Silaha na risasi zilisaidia vikosi vya nchi kavu vya Ujerumani katika [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]] kuendelea na kampeni yao kupinga dhidi ya vikosi vya Uingereza na Dola.<ref name=":0" /> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Ghuba]] [[Jamii:Jeshi la Tanzania]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] tdadibmp6r434q5cs2zmddv9msw6upt 1242005 1241876 2022-08-12T10:27:35Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Manza Bay''' Ni [[ghuba]] iliopo nchini [[Tanzania]]. Inapatikana ufukweni mwa [[bahari ya Hindi]], maili 10 (kilomita 16) kaskazini mwa [[Mji wa Tanga|mji wa Tanga.]] == Historia == Kwenye kampeni ya [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] katika Afrika Mashariki, [[Jeshi]] la Wanamaji la Kifalme lililinda meli HMS Hyacinth isishambuliwe na kuharibiwa na meli ya [[Wajerumani]] kutoka [[ghuba]] ya Manza ilikua tarehe 14 mwezi wa nne 1915. ilikuwa meli namba 3,587 GRT ya Uingereza ya shehena, Rubens, na mamlaka ya Ujerumani ambayo walikamata meli hiyo huko Hamburg mwaka 1914. Jeshi la Wanamaji la [[Ujerumani]] lilimficha Rubens kama meli ya mizigo ya Denmark Kronborg na kumtuma kujaza cruiser SMS Königsberg katika [[Bahari ya Hindi|Bahari ya Hindi.]]<ref name=":0">https://wrecksite.eu/wreck.aspx?102286</ref> Kikundi cha [[Ujerumani|Wajerumani]] walifanikiwa kuifunga [[meli]] yao kwenye [[ghuba]], wakaokoa [[silaha]] zao na risasi kutoka kwa shehena ya Rubens, na kuiacha.Silaha na risasi zilisaidia vikosi vya nchi kavu vya Ujerumani katika [[Afrika ya Mashariki|Afrika Mashariki]] kuendelea na kampeni yao kupinga dhidi ya vikosi vya Uingereza na Dola.<ref name=":0" /> == Marejeo == [[Jamii:Ghuba]] [[Jamii:Mkoa wa Tanga]] [[Jamii:Bahari ya Hindi]] 69b9cuyfdqp0nntaqtm0sjpjx8wjdup Mduuni 0 156478 1241877 2022-08-11T17:35:28Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Mduuni Ruins''' (Swahili ''Mji wa Kale wa Msuka Mjini'') Ni eneo lililohifadhiwa la kihistoria lililopo ndani ya Wilaya ya [[Micheweni]] Mkoa wa Kaskazini [[Pemba (kisiwa)|Pemba]] nchini [[Tanzania]]. Makazi haya yalianzishwa 1100 CE<ref>{{Cite journal|last=LaViolette|first=Adria|last2=Fleisher|first2=Jeffrey|date=2009|title=The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD|url=https://www.jstor.org/stable/40646777|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=42|issue=3|pages=433–455|issn=0361-7882}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Fleisher|first=Jeffrey B.|date=2010|title=Swahili Synoecism: Rural Settlements and Town Formation on the Central East African Coast, A.D. 750–1500|url=https://www.jstor.org/stable/24406708|journal=Journal of Field Archaeology|volume=35|issue=3|pages=265–282|issn=0093-4690}}</ref><ref>{{Cite web|title=Zanzibar Historical Sites - Saving Tour|url=https://www.savingtour.online/zanzibar-historical-sites/|date=2020-04-12|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref><ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James de Vere|date=1981|title=Swahili Culture and the Nature of East Coast Settlement|url=https://www.jstor.org/stable/218047|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=14|issue=2|pages=306–334|doi=10.2307/218047|issn=0361-7882}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Schacht|first=J.|date=1957|title=An Unknown Type of Minbar and Its Historical Significance|url=https://www.jstor.org/stable/4629034|journal=Ars Orientalis|volume=2|pages=149–173|issn=0571-1371}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Pemba]] [[Jamii:Waswahili]] ezg1jil8hcj6pvisu7ypl5vkus31q5o 1241879 1241877 2022-08-11T18:05:50Z Immah 146 55367 wikitext text/x-wiki '''Mduuni Ruins''' (''Mji wa Kale wa Msuka Mjini'') Ni eneo lililohifadhiwa la kihistoria lililopo ndani ya Wilaya ya [[Micheweni]] Mkoa wa Kaskazini [[Pemba (kisiwa)|Pemba]] nchini [[Tanzania]]. Makazi haya yalianzishwa 1100 CE<ref>{{Cite journal|last=LaViolette|first=Adria|last2=Fleisher|first2=Jeffrey|date=2009|title=The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD|url=https://www.jstor.org/stable/40646777|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=42|issue=3|pages=433–455|issn=0361-7882}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Fleisher|first=Jeffrey B.|date=2010|title=Swahili Synoecism: Rural Settlements and Town Formation on the Central East African Coast, A.D. 750–1500|url=https://www.jstor.org/stable/24406708|journal=Journal of Field Archaeology|volume=35|issue=3|pages=265–282|issn=0093-4690}}</ref><ref>{{Cite web|title=Zanzibar Historical Sites - Saving Tour|url=https://www.savingtour.online/zanzibar-historical-sites/|date=2020-04-12|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref><ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James de Vere|date=1981|title=Swahili Culture and the Nature of East Coast Settlement|url=https://www.jstor.org/stable/218047|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=14|issue=2|pages=306–334|doi=10.2307/218047|issn=0361-7882}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Schacht|first=J.|date=1957|title=An Unknown Type of Minbar and Its Historical Significance|url=https://www.jstor.org/stable/4629034|journal=Ars Orientalis|volume=2|pages=149–173|issn=0571-1371}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Pemba]] [[Jamii:Waswahili]] 7npbcimwca4xsin4hjxke0o9b9i7ies 1242006 1241879 2022-08-12T10:29:26Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Mduuni''' (''Mji wa Kale wa Msuka Mjini'') ni eneo lililohifadhiwa la kihistoria lililopo ndani ya [[Wilaya ya Micheweni]], [[Mkoa wa Pemba Kaskazini|Mkoa wa Kaskazini]] [[Pemba (kisiwa)|Pemba]] nchini [[Tanzania]]. Makazi haya yalianzishwa mnamo [[1100]] [[Baada ya Kristo|BK]]<ref>{{Cite journal|last=LaViolette|first=Adria|last2=Fleisher|first2=Jeffrey|date=2009|title=The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD|url=https://www.jstor.org/stable/40646777|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=42|issue=3|pages=433–455|issn=0361-7882}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Fleisher|first=Jeffrey B.|date=2010|title=Swahili Synoecism: Rural Settlements and Town Formation on the Central East African Coast, A.D. 750–1500|url=https://www.jstor.org/stable/24406708|journal=Journal of Field Archaeology|volume=35|issue=3|pages=265–282|issn=0093-4690}}</ref><ref>{{Cite web|title=Zanzibar Historical Sites - Saving Tour|url=https://www.savingtour.online/zanzibar-historical-sites/|date=2020-04-12|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref><ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James de Vere|date=1981|title=Swahili Culture and the Nature of East Coast Settlement|url=https://www.jstor.org/stable/218047|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=14|issue=2|pages=306–334|doi=10.2307/218047|issn=0361-7882}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Schacht|first=J.|date=1957|title=An Unknown Type of Minbar and Its Historical Significance|url=https://www.jstor.org/stable/4629034|journal=Ars Orientalis|volume=2|pages=149–173|issn=0571-1371}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Wilaya ya Micheweni]] [[Jamii:Mkoa wa Pemba Kaskazini]] [[Jamii:Waswahili]] nk0j67hg7zlnkqeeaps6hg7ly5s65k5 Mkia wa Ng'ombe 0 156479 1241878 2022-08-11T17:59:43Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Mkia wa Ng'ombe Ruins''' (''Magofu ya mji wa Kale wa Mkia wa Ng'ombe )'' Ni eneo lililohifadhiwa la kihistoria lililopo ndani ya Wilaya ya [[Micheweni]] Mkoa wa Kaskazini [[Pemba (kisiwa)|Pemba]] nchini [[Tanzania]]. Makazi haya yalianzishwa 15 CE na kutelekezwa katika [[karne ya 16]]. Kuna magofu ya msikiti, makaburi na baadhi ya majengo ya mawe. eneo hili liko katika hatari kubwa zaidi ya mmomonyoko.<ref>{{Cite journal|last=Spear|first=Thomas|date=2000|title=Early Swahili History Reconsidered|url=https://www.jstor.org/stable/220649|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=33|issue=2|pages=257–290|doi=10.2307/220649|issn=0361-7882}}</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref><ref>{{Cite journal|last=Fleisher|first=Jeffrey B.|date=2010|title=Swahili Synoecism: Rural Settlements and Town Formation on the Central East African Coast, A.D. 750–1500|url=https://www.jstor.org/stable/24406708|journal=Journal of Field Archaeology|volume=35|issue=3|pages=265–282|issn=0093-4690}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://jstor.org/stable/al.ch.document.puhc025|title=Zanzibar: its history and its people|last=Ingrams|first=W.H.|date=1967,01,01|publisher=Frank Cass & Co., Ltd.|language=English}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Pemba]] 1oxnp1n58clmalpcq8vj8sjn7huvmag 1242007 1241878 2022-08-12T10:30:52Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Mkia wa Ng'ombe Ruins''' (''Magofu ya mji wa Kale wa Mkia wa Ng'ombe )'' ni eneo lililohifadhiwa la kihistoria lililopo ndani ya [[Wilaya ya Micheweni]] [[Mkoa wa Pemba Kaskazini|Mkoa wa Kaskazini]] [[Pemba (kisiwa)|Pemba]] nchini [[Tanzania]]. Makazi haya yalianzishwa karne ya 15 na kutelekezwa katika [[karne ya 16]]. Kuna magofu ya msikiti, makaburi na baadhi ya majengo ya mawe. eneo hili liko katika hatari kubwa zaidi ya mmomonyoko.<ref>{{Cite journal|last=Spear|first=Thomas|date=2000|title=Early Swahili History Reconsidered|url=https://www.jstor.org/stable/220649|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=33|issue=2|pages=257–290|doi=10.2307/220649|issn=0361-7882}}</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref><ref>{{Cite journal|last=Fleisher|first=Jeffrey B.|date=2010|title=Swahili Synoecism: Rural Settlements and Town Formation on the Central East African Coast, A.D. 750–1500|url=https://www.jstor.org/stable/24406708|journal=Journal of Field Archaeology|volume=35|issue=3|pages=265–282|issn=0093-4690}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://jstor.org/stable/al.ch.document.puhc025|title=Zanzibar: its history and its people|last=Ingrams|first=W.H.|date=1967,01,01|publisher=Frank Cass & Co., Ltd.|language=English}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Wilaya ya Micheweni]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Mkoa wa Pemba Kaskazini]] 3zkb7g333tob62faa2bux83gn7b6b6q Magofu ya Msuka Mjini 0 156480 1241880 2022-08-11T18:46:02Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Msuka Mjini Ruins''' (''Mji wa Kale wa Msuka Mjini'') Ni eneo lililohifadhiwa la kihistoria lililopo ndani ya Wilaya ya [[Micheweni]] Mkoa wa Kaskazini [[Pemba (kisiwa)|Pemba]] nchini [[Tanzania]]. Msuka Mjini ina [[msikiti]] wa Kiswahili tokea karne ya kumi na tano uliohifadhiwa katika [[Gofu|magofu]] kwenye peninsula ya Kigomasha kisiwani humo. Tarehe ya 816AH (1414 CE) imechongwa sehemu ya ndani ya duara ya mirhabu.<ref>{{Cite web|title=Zanzibar Historical Sites - Saving Tour|url=https://www.savingtour.online/zanzibar-historical-sites/|date=2020-04-12|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref><ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James de Vere|date=1981|title=Swahili Culture and the Nature of East Coast Settlement|url=https://www.jstor.org/stable/218047|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=14|issue=2|pages=306–334|doi=10.2307/218047|issn=0361-7882}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Schacht|first=J.|date=1957|title=An Unknown Type of Minbar and Its Historical Significance|url=https://www.jstor.org/stable/4629034|journal=Ars Orientalis|volume=2|pages=149–173|issn=0571-1371}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Pemba]] ge84zgg02ixuc85whsuo6cnlfi21d7y 1242008 1241880 2022-08-12T10:31:25Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Msuka Mjini Ruins]] hadi [[Magofu ya Msuka Mjini]]: jina la Kiswahili wikitext text/x-wiki '''Msuka Mjini Ruins''' (''Mji wa Kale wa Msuka Mjini'') Ni eneo lililohifadhiwa la kihistoria lililopo ndani ya Wilaya ya [[Micheweni]] Mkoa wa Kaskazini [[Pemba (kisiwa)|Pemba]] nchini [[Tanzania]]. Msuka Mjini ina [[msikiti]] wa Kiswahili tokea karne ya kumi na tano uliohifadhiwa katika [[Gofu|magofu]] kwenye peninsula ya Kigomasha kisiwani humo. Tarehe ya 816AH (1414 CE) imechongwa sehemu ya ndani ya duara ya mirhabu.<ref>{{Cite web|title=Zanzibar Historical Sites - Saving Tour|url=https://www.savingtour.online/zanzibar-historical-sites/|date=2020-04-12|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref><ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James de Vere|date=1981|title=Swahili Culture and the Nature of East Coast Settlement|url=https://www.jstor.org/stable/218047|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=14|issue=2|pages=306–334|doi=10.2307/218047|issn=0361-7882}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Schacht|first=J.|date=1957|title=An Unknown Type of Minbar and Its Historical Significance|url=https://www.jstor.org/stable/4629034|journal=Ars Orientalis|volume=2|pages=149–173|issn=0571-1371}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Pemba]] ge84zgg02ixuc85whsuo6cnlfi21d7y 1242010 1242008 2022-08-12T10:32:31Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Magofu ya Msuka Mjini''' (''Mji wa Kale wa Msuka Mjini'') ni eneo lililohifadhiwa la kihistoria lililopo ndani ya [[Wilaya ya Micheweni]], [[Mkoa wa Pemba Kaskazini|Mkoa wa Kaskazini]] [[Pemba (kisiwa)|Pemba]] nchini [[Tanzania]]. Msuka Mjini ina [[msikiti]] wa Kiswahili tokea karne ya kumi na tano uliohifadhiwa katika [[Gofu|magofu]] kwenye peninsula ya Kigomasha kisiwani humo. Tarehe ya 816AH (1414 CE) imechongwa sehemu ya ndani ya duara ya mirhabu.<ref>{{Cite web|title=Zanzibar Historical Sites - Saving Tour|url=https://www.savingtour.online/zanzibar-historical-sites/|date=2020-04-12|accessdate=2022-08-11|language=en-US}}</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref><ref>{{Cite journal|last=Allen|first=James de Vere|date=1981|title=Swahili Culture and the Nature of East Coast Settlement|url=https://www.jstor.org/stable/218047|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=14|issue=2|pages=306–334|doi=10.2307/218047|issn=0361-7882}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Schacht|first=J.|date=1957|title=An Unknown Type of Minbar and Its Historical Significance|url=https://www.jstor.org/stable/4629034|journal=Ars Orientalis|volume=2|pages=149–173|issn=0571-1371}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Wilaya ya Micheweni]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Mkoa wa Pemba Kaskazini]] joeme4xtgsl37q87l2mji9slhb51ofk Jamii:Twitter 14 156481 1241883 2022-08-11T18:55:12Z Benix Mby 36425 Created blank page wikitext text/x-wiki phoiac9h4m842xq45sp7s6u21eteeq1 1241884 1241883 2022-08-11T19:01:53Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Commons cat|Twitter}} [[Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii za Marekani]] pu06h7l9gysrnox3n2a9igagsqau8vj 1241888 1241884 2022-08-11T19:08:07Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Commons cat|Twitter}} [[Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii ya Marekani]] mxgpwi630os85co5jw3cuugcmyv98zi Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii ya Marekani 14 156482 1241885 2022-08-11T19:03:17Z Benix Mby 36425 Created blank page wikitext text/x-wiki phoiac9h4m842xq45sp7s6u21eteeq1 1241886 1241885 2022-08-11T19:06:59Z Benix Mby 36425 Benix Mby alihamisha ukurasa wa [[Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii za Marekani]] hadi [[Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii ya Marekani]] wikitext text/x-wiki phoiac9h4m842xq45sp7s6u21eteeq1 Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii za Marekani 14 156483 1241887 2022-08-11T19:06:59Z Benix Mby 36425 Benix Mby alihamisha ukurasa wa [[Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii za Marekani]] hadi [[Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii ya Marekani]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[:Jamii:Tovuti za mitandao ya kijamii ya Marekani]] 92cd94mxnodxrjqx9uvbovb4x1c6rp1 Tiwi, Kenya 0 156484 1241891 2022-08-11T19:18:37Z Kamara2109 55365 chapisho jipya wikitext text/x-wiki Tiwi ni makazi madogo na ya mapumziko yaliyoko pwani nchini [[Kenya]].<ref>{{Cite web|title=Kenya Safari: Expert Advice & Custom Trips – Why Go|url=https://www.go2africa.com/destinations/kenya/why-go|work=www.go2africa.com|accessdate=2022-08-11}}</ref> Yanapatikana kasikazini mwa ufukwe wa Diani, ni takribani kilomita 17 kusini mwa [[Mombasa]].<ref>http://www.kilimanjaro.com/airlines/airkenya/schedule.htm</ref> Eneo limehifadiwa na [[uwanja wa ndege]] wa Ukunda ulipo [[barabara]] ya A14. == Marejeo == [[Jamii:Makazi]] [[Jamii:Kenya]] [[Jamii:Mombasa]] ssybi5lmt9uh0fmcq9pslw1eadgtshw Magofu ya Pujini 0 156485 1241893 2022-08-11T19:29:19Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Pujini Ruins''' (''Magofu ya mji wa kale wa Pujini'' ) Ni Magofu ya kihistoria ya [[Zama za Kati]] jirani na kijiji cha [[Pujini]] kilichopo Wilaya ya [[Chake Chake]] Mkoa wa Kusini [[Pemba (kisiwa)|Pemba]].<ref>{{Cite journal|last=Spear|first=Thomas|date=2000-01|title=Swahili History and Society to 1900: A Classified Bibliography|url=https://www.cambridge.org/core/journals/history-in-africa/article/abs/swahili-history-and-society-to-1900-a-classified-bibliography/4CF02C869C5BEF4B9B90E550476CFB09|journal=History in Africa|language=en|volume=27|pages=339–373|doi=10.2307/3172120|issn=0361-5413}}</ref> eneo lilijulikana kama ngome Inaaminika kuwa jumba hilo lilijulikana kuwa la Mkame Mdume.<ref>{{Cite journal|last=LaViolette|first=Adria|last2=Fleisher|first2=Jeffrey|date=2009|title=The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD|url=https://www.jstor.org/stable/40646777|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=42|issue=3|pages=433–455|issn=0361-7882}}</ref> <ref>{{Cite journal|last=Ingrams|first=William Harold|date=1800,01,01|title=The chief's trumpet or sacred horn in East Africa|url=https://jstor.org/stable/60230294|language=English}}</ref>Ni moja kati ya Maeneo kadhaa ya Kihistoria ya Kitaifa katika kisiwa cha Pemba yakiwemo [[Chambani|Chamban]]<nowiki/>i na [[Maghofu ya Ras Mkumbuu|Ras Mkumbuu.]] == Marejeo == [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Pemba]] iu0mzb3tt80minw5rge2na45hfjzh4c 1242011 1241893 2022-08-12T10:34:08Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Pujini Ruins]] hadi [[Magofu ya Pujini]]: jina la Kiswahili wikitext text/x-wiki '''Pujini Ruins''' (''Magofu ya mji wa kale wa Pujini'' ) Ni Magofu ya kihistoria ya [[Zama za Kati]] jirani na kijiji cha [[Pujini]] kilichopo Wilaya ya [[Chake Chake]] Mkoa wa Kusini [[Pemba (kisiwa)|Pemba]].<ref>{{Cite journal|last=Spear|first=Thomas|date=2000-01|title=Swahili History and Society to 1900: A Classified Bibliography|url=https://www.cambridge.org/core/journals/history-in-africa/article/abs/swahili-history-and-society-to-1900-a-classified-bibliography/4CF02C869C5BEF4B9B90E550476CFB09|journal=History in Africa|language=en|volume=27|pages=339–373|doi=10.2307/3172120|issn=0361-5413}}</ref> eneo lilijulikana kama ngome Inaaminika kuwa jumba hilo lilijulikana kuwa la Mkame Mdume.<ref>{{Cite journal|last=LaViolette|first=Adria|last2=Fleisher|first2=Jeffrey|date=2009|title=The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD|url=https://www.jstor.org/stable/40646777|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=42|issue=3|pages=433–455|issn=0361-7882}}</ref> <ref>{{Cite journal|last=Ingrams|first=William Harold|date=1800,01,01|title=The chief's trumpet or sacred horn in East Africa|url=https://jstor.org/stable/60230294|language=English}}</ref>Ni moja kati ya Maeneo kadhaa ya Kihistoria ya Kitaifa katika kisiwa cha Pemba yakiwemo [[Chambani|Chamban]]<nowiki/>i na [[Maghofu ya Ras Mkumbuu|Ras Mkumbuu.]] == Marejeo == [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Pemba]] iu0mzb3tt80minw5rge2na45hfjzh4c 1242013 1242011 2022-08-12T10:35:44Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Magofu ya Pujini''' (''Magofu ya mji wa kale wa Pujini'') ni magofu ya kihistoria ya [[Zama za Kati]] jirani na [[kijiji]] cha [[Pujini]] kilichopo [[Wilaya ya Chake Chake]] [[Mkoa wa Pemba Kusini|Mkoa wa Kusini]] [[Pemba (kisiwa)|Pemba]].<ref>{{Cite journal|last=Spear|first=Thomas|date=2000-01|title=Swahili History and Society to 1900: A Classified Bibliography|url=https://www.cambridge.org/core/journals/history-in-africa/article/abs/swahili-history-and-society-to-1900-a-classified-bibliography/4CF02C869C5BEF4B9B90E550476CFB09|journal=History in Africa|language=en|volume=27|pages=339–373|doi=10.2307/3172120|issn=0361-5413}}</ref> eneo lilijulikana kama ngome Inaaminika kuwa jumba hilo lilijulikana kuwa la Mkame Mdume.<ref>{{Cite journal|last=LaViolette|first=Adria|last2=Fleisher|first2=Jeffrey|date=2009|title=The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD|url=https://www.jstor.org/stable/40646777|journal=The International Journal of African Historical Studies|volume=42|issue=3|pages=433–455|issn=0361-7882}}</ref> <ref>{{Cite journal|last=Ingrams|first=William Harold|date=1800,01,01|title=The chief's trumpet or sacred horn in East Africa|url=https://jstor.org/stable/60230294|language=English}}</ref> Ni moja kati ya Maeneo kadhaa ya Kihistoria ya Kitaifa katika kisiwa cha Pemba yakiwemo [[Chambani]] na [[Maghofu ya Ras Mkumbuu|Ras Mkumbuu.]] == Marejeo == [[Jamii:Wilaya ya Chake Chake]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Mkoa wa Pemba Kusini]] kdhpvldjvidctoa4bftpfd8fxtqjehy Tongoni, Tanga 0 156486 1241899 2022-08-11T19:48:21Z Kamara2109 55365 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''''Tongani''''' ni kata ya utawala wilayani na mkoani [[Tanga (mji)|Tanga]] nchini [[Tanzania]]. Kata ina ukubwa wa kilomita za mraba 44 ( maili 17),<ref>https://www.citypopulation.de/en/tanzania/northern/admin/</ref> pia ina mwinuko wa wastani wa mita 30 (futi 98),<ref>https://elevationmap.net/tongoni-tanga-tz-1012567430</ref> Kutokana na sensa ya mwaka 2012 kata hii ilikuwa na jumla ya watu 4,594.<ref>http://tanzania.countrystat.org/fileadmin/user_upload/countrystat_fenix/congo/docs/Census%20General%20Report-2012PHC.pdf</ref> [[Gofu|Magofu]] ya Tongani yanapatikana katika kata ya Tongani, mji wa [[Waswahili]] enzi za mawe za kati. == Marejeo == [[Jamii:Magofu]] [[Jamii:Tanga]] [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Waswahili]] 3lqd1xlk20kupiwur763qbuw3akp53a 1241947 1241899 2022-08-12T05:24:29Z Anuary Rajabu 45588 wikitext text/x-wiki '''Tongani''' ni kata ya utawala wilayani na mkoani [[Tanga (mji)|Tanga]] nchini [[Tanzania]]. Kata ina ukubwa wa kilomita za mraba 44 ( maili 17),<ref>https://www.citypopulation.de/en/tanzania/northern/admin/</ref> pia ina mwinuko wa wastani wa mita 30 (futi 98),<ref>https://elevationmap.net/tongoni-tanga-tz-1012567430</ref> Kutokana na sensa ya mwaka 2012 kata hii ilikuwa na jumla ya watu 4,594.<ref>http://tanzania.countrystat.org/fileadmin/user_upload/countrystat_fenix/congo/docs/Census%20General%20Report-2012PHC.pdf</ref> [[Gofu|Magofu]] ya Tongani yanapatikana katika kata ya Tongani, mji wa [[Waswahili]] enzi za mawe za kati. == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-jio-Tanzania}} [[Jamii:Magofu]] [[Jamii:Tanga]] [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Waswahili]] 930ho6udmyez4niforhw5p4bpn10u2v 1242014 1241947 2022-08-12T10:37:10Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Tongoni]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[tongoni]] pxvip1ua9vf6yld4c3xz61qbuuxbhmm Wange 0 156487 1241903 2022-08-11T20:10:54Z Kamara2109 55365 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''''Wange''''' ni makazi ya kihistoria ya [[Waswahili]] katika [[Kaunti za Kenya|Kaunti]] ya [[Lamu]] nchini [[Kenya]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Wange#cite_note-1</ref> == Marejeo == pap00rbk4kr5ogygrhzpyks6ik7i1e0 1241948 1241903 2022-08-12T05:25:29Z Anuary Rajabu 45588 wikitext text/x-wiki '''Wange''' ni makazi ya kihistoria ya [[Waswahili]] katika [[Kaunti za Kenya|Kaunti]] ya [[Lamu]] nchini [[Kenya]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Wange#cite_note-1</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} mowxv9tk8pzkeahh6r4xgrlqxizodh9 1242017 1241948 2022-08-12T10:42:57Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Wange''' ni makazi ya kihistoria ya [[Waswahili]] katika [[Kaunti za Kenya|Kaunti]] ya [[Lamu]] nchini [[Kenya]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Wange#cite_note-1</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Kaunti ya Lamu]] owez50i63hz56ozmeogxrh74qd1wlco Siyu 0 156488 1241904 2022-08-11T20:27:16Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Siyu''' ni eneo la makazi ya [[pwani]] ya kaskazini ya [[Kisiwa]] cha [[Pate]], ndani ya Visiwa vya [[Lamu (kisiwa)|Lamu]] katika Mkoa wa Pwani wa [[Kenya]]. [[Umri]] wa Siyu haujulikani, lakini unaweza kuwa wa [[karne ya 13]].<ref>{{Citation|title=Siyu|date=2021-12-10|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Siyu&oldid=1059602983|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref> Kuna baadhi ya mahesabu yanayotaja meli ya Kichina ya Zheng iliyozama karibu na Kisiwa cha Lamu nchini [[Kenya]] mwaka 1415. <ref>{{Citation|title=Siyu|date=2021-12-10|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Siyu&oldid=1059602983|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref>Walionusurika walikaa kisiwani na kuoa wanawake wenyeji. Hii imethibitishwa hivi karibuni na [[akiolojia]] kwenye [[kisiwa]] hicho ambayo imesababisha kupatikana kwa ushahidi wa kupendekeza uhusiano huu. Uchunguzi [[vinasaba]] uliofanyika kwa baadhi ya wakazi kutoka Siyu unaonyesha kuwa kweli wana mababu wa [[Kichina]].<ref>{{Citation|title=Siyu|date=2021-12-10|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Siyu&oldid=1059602983|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref><ref>{{Cite web|title=Feature: Kenyan girl with Chinese blood steals limelight|url=https://web.archive.org/web/20130508162350/http://ke.china-embassy.org/eng/sbgx/t202741.htm|work=web.archive.org|date=2013-05-08|accessdate=2022-08-11}}</ref><ref>{{Citation|last=Kristof|first=Nicholas D.|title=1492: The Prequel|date=1999-06-06|url=https://www.nytimes.com/1999/06/06/magazine/1492-the-prequel.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2022-08-11}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] isv492tpwto71x2er2rq9z53chdscpf 1241905 1241904 2022-08-11T20:31:37Z Immah 146 55367 wikitext text/x-wiki '''Siyu''' ni eneo la makazi ya [[pwani]] ya kaskazini ya [[Kisiwa]] cha [[Pate]], ndani ya Visiwa vya [[Lamu (kisiwa)|Lamu]] katika Mkoa wa Pwani wa [[Kenya]]. [[Umri]] wa Siyu haujulikani, lakini unaweza kuwa wa [[karne ya 13]].<ref>{{Citation|title=Siyu|date=2021-12-10|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Siyu&oldid=1059602983|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref> Kuna baadhi ya mahesabu yanayotaja meli ya Kichina ya Zheng iliyozama karibu na Kisiwa cha Lamu nchini [[Kenya]] mwaka 1415. <ref>[[:en:Siyu#CITEREFEngelRamos2013|https://en.wikipedia.org/wiki/Siyu#CITEREhttps://en.wikipedia.org/wiki/Siyu#https://en.wikipedia.org/wiki/Siyu#CITEREFEngelRamos2013]]</ref>Walionusurika walikaa kisiwani na kuoa wanawake wenyeji. Hii imethibitishwa hivi karibuni na [[akiolojia]] kwenye [[kisiwa]] hicho ambayo imesababisha kupatikana kwa ushahidi wa kupendekeza uhusiano huu. Uchunguzi [[vinasaba]] uliofanyika kwa baadhi ya wakazi kutoka Siyu unaonyesha kuwa kweli wana mababu wa [[Kichina]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Siyu#CITEREFEngelRamos2013</ref><ref>{{Cite web|title=Feature: Kenyan girl with Chinese blood steals limelight|url=https://web.archive.org/web/20130508162350/http://ke.china-embassy.org/eng/sbgx/t202741.htm|work=web.archive.org|date=2013-05-08|accessdate=2022-08-11}}</ref><ref>{{Citation|last=Kristof|first=Nicholas D.|title=1492: The Prequel|date=1999-06-06|url=https://www.nytimes.com/1999/06/06/magazine/1492-the-prequel.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2022-08-11}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] 0drxx6j1vdgwgrua4be7xxla16xii20 1241906 1241905 2022-08-11T20:35:32Z Immah 146 55367 wikitext text/x-wiki '''Siyu''' ni eneo la makazi ya [[pwani]] ya kaskazini ya [[Kisiwa]] cha [[Pate]], ndani ya Visiwa vya [[Lamu (kisiwa)|Lamu]] katika Mkoa wa Pwani wa [[Kenya]]. [[Umri]] wa Siyu haujulikani, lakini unaweza kuwa wa [[karne ya 13]].<ref>{{Citation|title=Siyu|date=2021-12-10|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Siyu&oldid=1059602983|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref> Kuna baadhi ya mahesabu yanayotaja meli ya Kichina ya Zheng iliyozama karibu na Kisiwa cha Lamu nchini [[Kenya]] mwaka 1415.<ref>https://books.google.com/books?id=xQP_F_tA7ScC&pg=PA163</ref> Walionusurika walikaa kisiwani na kuoa wanawake wenyeji. Hii imethibitishwa hivi karibuni na [[akiolojia]] kwenye [[kisiwa]] hicho ambayo imesababisha kupatikana kwa ushahidi wa kupendekeza uhusiano huu. Uchunguzi [[vinasaba]] uliofanyika kwa baadhi ya wakazi kutoka Siyu unaonyesha kuwa kweli wana mababu wa [[Kichina]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Siyu#CITEREFEngelRamos2013</ref><ref>{{Cite web|title=Feature: Kenyan girl with Chinese blood steals limelight|url=https://web.archive.org/web/20130508162350/http://ke.china-embassy.org/eng/sbgx/t202741.htm|work=web.archive.org|date=2013-05-08|accessdate=2022-08-11}}</ref><ref>{{Citation|last=Kristof|first=Nicholas D.|title=1492: The Prequel|date=1999-06-06|url=https://www.nytimes.com/1999/06/06/magazine/1492-the-prequel.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2022-08-11}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] <references /> tdajvfqcy4bmotab651x86m96qqlvzk 1241954 1241906 2022-08-12T05:31:18Z Anuary Rajabu 45588 wikitext text/x-wiki '''Siyu''' ni eneo la makazi ya [[pwani]] ya kaskazini ya [[Kisiwa]] cha [[Pate]], ndani ya Visiwa vya [[Lamu (kisiwa)|Lamu]] katika Mkoa wa Pwani wa [[Kenya]]. [[Umri]] wa Siyu haujulikani, lakini unaweza kuwa wa [[karne ya 13]].<ref>{{Citation|title=Siyu|date=2021-12-10|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Siyu&oldid=1059602983|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref> Kuna baadhi ya mahesabu yanayotaja meli ya Kichina ya Zheng iliyozama karibu na Kisiwa cha Lamu nchini [[Kenya]] mwaka 1415.<ref>https://books.google.com/books?id=xQP_F_tA7ScC&pg=PA163</ref> Walionusurika walikaa kisiwani na kuoa wanawake wenyeji. Hii imethibitishwa hivi karibuni na [[akiolojia]] kwenye [[kisiwa]] hicho ambayo imesababisha kupatikana kwa ushahidi wa kupendekeza uhusiano huu. Uchunguzi [[vinasaba]] uliofanyika kwa baadhi ya wakazi kutoka Siyu unaonyesha kuwa kweli wana mababu wa [[Kichina]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Siyu#CITEREFEngelRamos2013</ref><ref>{{Cite web|title=Feature: Kenyan girl with Chinese blood steals limelight|url=https://web.archive.org/web/20130508162350/http://ke.china-embassy.org/eng/sbgx/t202741.htm|work=web.archive.org|date=2013-05-08|accessdate=2022-08-11}}</ref><ref>{{Citation|last=Kristof|first=Nicholas D.|title=1492: The Prequel|date=1999-06-06|url=https://www.nytimes.com/1999/06/06/magazine/1492-the-prequel.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2022-08-11}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Waswahili]] <references /> c39oz74lrinr4nhgmsyzasy4gh514g6 1242018 1241954 2022-08-12T10:43:45Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Siyu''' ni eneo la makazi ya [[pwani]] ya kaskazini ya [[Kisiwa]] cha [[Pate]], ndani ya Visiwa vya [[Lamu (kisiwa)|Lamu]] katika Pwani ya [[Kenya]]. [[Umri]] wa Siyu haujulikani, lakini unaweza kuwa wa [[karne ya 13]].<ref>{{Citation|title=Siyu|date=2021-12-10|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Siyu&oldid=1059602983|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-11}}</ref> Kuna baadhi ya mahesabu yanayotaja meli ya Kichina ya Zheng iliyozama karibu na Kisiwa cha Lamu nchini [[Kenya]] mwaka 1415.<ref>https://books.google.com/books?id=xQP_F_tA7ScC&pg=PA163</ref> Walionusurika walikaa kisiwani na kuoa wanawake wenyeji. Hii imethibitishwa hivi karibuni na [[akiolojia]] kwenye [[kisiwa]] hicho ambayo imesababisha kupatikana kwa ushahidi wa kupendekeza uhusiano huu. Uchunguzi [[vinasaba]] uliofanyika kwa baadhi ya wakazi kutoka Siyu unaonyesha kuwa kweli wana mababu wa [[Kichina]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Siyu#CITEREFEngelRamos2013</ref><ref>{{Cite web|title=Feature: Kenyan girl with Chinese blood steals limelight|url=https://web.archive.org/web/20130508162350/http://ke.china-embassy.org/eng/sbgx/t202741.htm|work=web.archive.org|date=2013-05-08|accessdate=2022-08-11}}</ref><ref>{{Citation|last=Kristof|first=Nicholas D.|title=1492: The Prequel|date=1999-06-06|url=https://www.nytimes.com/1999/06/06/magazine/1492-the-prequel.html|work=The New York Times|language=en-US|issn=0362-4331|access-date=2022-08-11}}</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Kaunti ya Lamu]] agyc3ba03deyfaurllewe0ln0fphqro Witu, Kenya 0 156489 1241907 2022-08-11T20:42:16Z Kamara2109 55365 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''''Witu'''''<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Witu,_Kenya#cite_note-1</ref> ni soko mdogo la mji katika [[Kaunti za Kenya|kaunti]] ya [[Lamu]] nchini [[Kenya]], [[Afrika ya Mashariki|Afrika mashariki]]. Hapo awali ulikuwa mji mkuu wa [[Usultani wa Witu]]. == Mahali == Mji huu upo [[kilomita]] 5 (maili 3) [[magharibi]] mwa [[msitu]] wa Witu. == Idadi ya watu == Kufikia mwezi septemba mwaka 2013, idadi ya wakazi wa [[mji]] huo imekadiliwa kuwa 5,380.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Witu,_Kenya#cite_note-5</ref> == Marejeo == [[Jamii:Mji]] [[Jamii:Kenya]] [[Jamii:Afrika mashariki]] [[Jamii:Kaunti]] [[Jamii:Waswahili]] 2azzebjdasicnza8yqxybaxkqsghuxo 1241908 1241907 2022-08-11T20:42:43Z Kamara2109 55365 /* Mahali */ wikitext text/x-wiki '''''Witu'''''<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Witu,_Kenya#cite_note-1</ref> ni soko dogo la mji katika [[Kaunti za Kenya|kaunti]] ya [[Lamu]] nchini [[Kenya]], [[Afrika ya Mashariki|Afrika mashariki]]. Hapo awali ulikuwa mji mkuu wa [[Usultani wa Witu]]. == Mahali == Mji huu upo [[kilomita]] 5 (maili 3) [[magharibi]] mwa [[msitu]] wa Witu. == Idadi ya watu == Kufikia mwezi septemba mwaka 2013, idadi ya wakazi wa [[mji]] huo imekadiliwa kuwa 5,380.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Witu,_Kenya#cite_note-5</ref> == Marejeo == [[Jamii:Mji]] [[Jamii:Kenya]] [[Jamii:Afrika mashariki]] [[Jamii:Kaunti]] [[Jamii:Waswahili]] maym1l3gpn632fs3fmj048zqyjx4gde 1241910 1241908 2022-08-11T20:43:24Z Kamara2109 55365 /* Mahali */ wikitext text/x-wiki '''''Witu'''''<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Witu,_Kenya#cite_note-1</ref> ni soko dogo la mji, katika [[Kaunti za Kenya|kaunti]] ya [[Lamu]] nchini [[Kenya]], [[Afrika ya Mashariki|Afrika mashariki]]. Hapo awali ulikuwa mji mkuu wa [[Usultani wa Witu]]. == Mahali == Mji huu upo [[kilomita]] 5 (maili 3) [[magharibi]] mwa [[msitu]] wa Witu. == Idadi ya watu == Kufikia mwezi septemba mwaka 2013, idadi ya wakazi wa [[mji]] huo imekadiliwa kuwa 5,380.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Witu,_Kenya#cite_note-5</ref> == Marejeo == [[Jamii:Mji]] [[Jamii:Kenya]] [[Jamii:Afrika mashariki]] [[Jamii:Kaunti]] [[Jamii:Waswahili]] eziqqunxkfue9cdrj6twork5q14ciyn 1241953 1241910 2022-08-12T05:30:08Z Anuary Rajabu 45588 wikitext text/x-wiki '''''Witu'''''<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Witu,_Kenya#cite_note-1</ref> ni soko dogo la mji, katika [[Kaunti za Kenya|kaunti]] ya [[Lamu]] nchini [[Kenya]], [[Afrika ya Mashariki|Afrika mashariki]]. Hapo awali ulikuwa mji mkuu wa [[Usultani wa Witu]]. == Mahali == Mji huu upo [[kilomita]] 5 (maili 3) [[magharibi]] mwa [[msitu]] wa Witu. == Idadi ya watu == Kufikia mwezi septemba mwaka 2013, idadi ya wakazi wa [[mji]] huo imekadiliwa kuwa 5,380.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Witu,_Kenya#cite_note-5</ref> == Marejeo == {{Reflist}} [[Jamii:Mji]] [[Jamii:Kenya]] [[Jamii:Afrika mashariki]] [[Jamii:Kaunti]] [[Jamii:Waswahili]] d6e5o0wtvsijq0ql4fgeo40vcmlimj2 1242019 1241953 2022-08-12T10:44:44Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Witu]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[Witu]] hn3mo0wc9ryydgj6ukjebxfhb83uzfy Jamii:Watu kutoka Mbeya 14 156490 1241911 2022-08-11T20:46:19Z Benix Mby 36425 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Commonscat|People of Mbeya}} [[Jamii:Watu wa Tanzania kwa eneo|Mbeya]] [[Jamii:Mbeya|Watu]]' wikitext text/x-wiki {{Commonscat|People of Mbeya}} [[Jamii:Watu wa Tanzania kwa eneo|Mbeya]] [[Jamii:Mbeya|Watu]] 3a0jop14hirqsw6ea06lblf4su189ec 1241935 1241911 2022-08-11T22:14:24Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Commonscat|People of Mbeya}} [[Jamii:Watu wa Tanzania kwa eneo|Mbeya]] [[Jamii:Mkoa wa Mbeya|Watu]] kisexax2e0rvhivqscrkak84p6aph5y 1241937 1241935 2022-08-11T22:15:45Z Benix Mby 36425 wikitext text/x-wiki {{Commonscat|People of Mbeya}} [[Jamii:Watu wa Tanzania kwa eneo|Mbeya]] [[Jamii:Mbeya|Watu]] 3a0jop14hirqsw6ea06lblf4su189ec Mapishi ya Kizanzibari 0 156491 1241915 2022-08-11T20:50:50Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Zanzibari cuisine''' inaonyesha [[mvuto]] kadhaa tofauti, kama matokeo ya asili ya [[tamaduni]] nyingi na [[makabila]] mengi ya urithi wa [[Zanzibar (Jiji)|Zanzibar]] na [[Waswahili]]. Ni mchanganyiko wa [[mila]] mbalimbali za [[upishi]], ikiwa ni pamoja na Bantu, Kiarabu, Kireno, Kihindi, Uingereza na hata vyakula vya Kichina. == Maejeo == [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Waswahili]] n4957crju5ship45rve1ynsk6vl0pj0 1242021 1241915 2022-08-12T10:48:25Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Zanzibari cuisine]] hadi [[Mapishi ya Kizanzibari]]: jina la Kiswahili wikitext text/x-wiki '''Zanzibari cuisine''' inaonyesha [[mvuto]] kadhaa tofauti, kama matokeo ya asili ya [[tamaduni]] nyingi na [[makabila]] mengi ya urithi wa [[Zanzibar (Jiji)|Zanzibar]] na [[Waswahili]]. Ni mchanganyiko wa [[mila]] mbalimbali za [[upishi]], ikiwa ni pamoja na Bantu, Kiarabu, Kireno, Kihindi, Uingereza na hata vyakula vya Kichina. == Maejeo == [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Waswahili]] n4957crju5ship45rve1ynsk6vl0pj0 Ngalawa 0 156492 1241917 2022-08-11T21:13:57Z Kamara2109 55365 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''''Ngalawa au Ungalawa''''' ni [[mtumbwi]] wa kitamadumi wa [[Waswahili]] waishio [[Zanzibari]] na [[pwani]] ya [[Tanzania]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Ngalawa#cite_note-jbj-1</ref> Kawaida huwa na urefu wa mita 5 mpaka 6 pia utengenezwa na vitu viwili, mlingonti uliowekwa katikati (mara nyingi huinama kidogo kuelekea mbele) na moja la pembetatu. Inatumika kwa [[usafiri]] wa umbali mfupi wa bidhaa au watu, pamoja na [[mashua]] ya [[uvuvi]]. == Marejeo == [[Jamii:Mashua]] [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Pwani]] [[Jamii:Uvuvi]] i5me22mgyr3m02jz3d7o862zraxwryr 1241952 1241917 2022-08-12T05:28:54Z Anuary Rajabu 45588 wikitext text/x-wiki '''Ngalawa au Ungalawa''' ni [[mtumbwi]] wa kitamadumi wa [[Waswahili]] waishio [[Zanzibari]] na [[pwani]] ya [[Tanzania]].<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Ngalawa#cite_note-jbj-1</ref> Kawaida huwa na urefu wa mita 5 mpaka 6 pia utengenezwa na vitu viwili, mlingonti uliowekwa katikati (mara nyingi huinama kidogo kuelekea mbele) na moja la pembetatu. Inatumika kwa [[usafiri]] wa umbali mfupi wa bidhaa au watu, pamoja na [[mashua]] ya [[uvuvi]]. == Marejeo == [[Jamii:Mashua]] [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Pwani]] [[Jamii:Uvuvi]] bq1wya22d13rzl3rb44zyk3sws1wc2s 1242023 1241952 2022-08-12T10:50:03Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Ngalawa au Ungalawa''' ni [[mtumbwi]] wa kitamadumi wa [[Waswahili]] waishio [[Zanzibari]] na [[pwani]] ya [[Tanzania]]. Kawaida huwa na urefu wa mita 5 mpaka 6 pia utengenezwa na vitu viwili, mlingonti uliowekwa katikati (mara nyingi huinama kidogo kuelekea mbele) na moja la pembetatu. Inatumika kwa [[usafiri]] wa umbali mfupi wa bidhaa au watu, pamoja na [[mashua]] ya [[uvuvi]]. == Marejeo == [[Jamii:Mashua]] [[Jamii:Zanzibar]] [[Jamii:Utamaduni wa Tanzania]] [[Jamii:Uvuvi]] ifuobqbeave1hr13x7kysd09inzaeem Shirazi era 0 156493 1241921 2022-08-11T21:35:32Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Shirazi era''' inahusu asili ya zamani za [[historia]] ya Kusini-mashariki mwa Afrika (na hasa [[Tanzania]]), kati ya [[karne ya 13]] na [[karne ya 15]]. waswahili wengi katika eneo la [[pwani]] ya kati wanadai kuwa miji yao ulianzishwa na [[waajemi]] kutoka eneo la [[shiraz]] katika [[karne ya 13]].Mara baada ya kukubaliwa kama ukweli utafiti wa kisasa umekanusha asili ya wanashirazi kwa miji ya waswahili, badala yake kusisitiza mambo mbalimbali ya kijamii yaliyosababisha kudai utambulisho huu. == Marejeo == [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Waswahili]] abaly1kqaq3emihdny834mjuq7idy48 1242024 1241921 2022-08-12T10:51:24Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki {{tafsiri kompyuta}} '''Shirazi era''' inahusu asili ya zamani za [[historia]] ya Kusini-mashariki mwa Afrika (na hasa [[Tanzania]]), kati ya [[karne ya 13]] na [[karne ya 15]]. waswahili wengi katika eneo la [[pwani]] ya kati wanadai kuwa miji yao ulianzishwa na [[waajemi]] kutoka eneo la [[shiraz]] katika [[karne ya 13]].Mara baada ya kukubaliwa kama ukweli utafiti wa kisasa umekanusha asili ya wanashirazi kwa miji ya waswahili, badala yake kusisitiza mambo mbalimbali ya kijamii yaliyosababisha kudai utambulisho huu. == Marejeo == [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Waswahili]] 10dybpfcxl1hx78f4unovh6zf3b0ax5 Kizimkazi 0 156495 1241930 2022-08-11T22:02:28Z Kamara2109 55365 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''''Kizimkazi''''' pia hujulikana kama Kizimkazi Mtendeni ni kijiji cha Wavuvi kilicho kuwa na uzio kusini mwa [[pwani]] ya [[Zanzibari|zanzibari,]] [[Tanzania]]. Uko maili tatu kusini-mashariki mwa [[Msikiti]] wa Kizimkazi (unaopatikana Kizimkazi, Dimbani ambao ujulikana kama Dimbani).<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Kizimkazi#cite_note-archnet-1</ref> Miaka ya hivi karibuni, Kizimkazi imekuwa kivutio kikubwa cha [[Utalii|watalii]], kwani ziara za kila siku za boti hupangwa ili kuwaleta wageni ufukweni kutazama [[pomboo]] na kuogelea nao. == Marejeo == [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Kijiji]] [[Jamii:Wavuvi]] [[Jamii:Dimbani]] tw553byp5i9o8cmfkkjgqu88lms0x7v 1241932 1241930 2022-08-11T22:03:40Z Kamara2109 55365 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''''Kizimkazi''''' pia hujulikana kama Kizimkazi Mtendeni ni kijiji cha [[Wavuvi]] kilicho kuwa na uzio kusini mwa [[pwani]] ya [[Zanzibari|zanzibari,]] [[Tanzania]]. Uko maili tatu kusini-mashariki mwa [[Msikiti]] wa Kizimkazi (unaopatikana Kizimkazi, Dimbani ambao ujulikana kama Dimbani).<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Kizimkazi#cite_note-archnet-1</ref> Miaka ya hivi karibuni, Kizimkazi imekuwa kivutio kikubwa cha [[Utalii|watalii]], kwani ziara za kila siku za boti hupangwa ili kuwaleta wageni ufukweni kutazama [[pomboo]] na kuogelea nao. == Marejeo == [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Kijiji]] [[Jamii:Wavuvi]] [[Jamii:Dimbani]] mmalznap7whn0nywbf0u3fpjglzuhlk 1241933 1241932 2022-08-11T22:05:09Z Kamara2109 55365 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''''Kizimkazi''''' pia hujulikana kama Kizimkazi Mtendeni ni kijiji cha [[Wavuvi]] kilicho kuwa na uzio kusini mwa [[pwani]] ya [[Zanzibari|zanzibari,]] [[Tanzania]]. Uko maili tatu kusini-mashariki mwa [[Msikiti]] wa Kizimkazi (unaopatikana Kizimkazi, Dimbani ambao mara nyingi hujulikana kama Dimbani).<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Kizimkazi#cite_note-archnet-1</ref> Miaka ya hivi karibuni, Kizimkazi imekuwa kivutio kikubwa cha [[Utalii|watalii]], kwani ziara za kila siku za boti hupangwa ili kuwaleta wageni ufukweni kutazama [[pomboo]] na kuogelea nao. == Marejeo == [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Kijiji]] [[Jamii:Wavuvi]] [[Jamii:Dimbani]] m6box2atkifhyao8wh8orkf1l3zrmzv 1241951 1241933 2022-08-12T05:27:46Z Anuary Rajabu 45588 wikitext text/x-wiki '''Kizimkazi''' pia hujulikana kama Kizimkazi Mtendeni ni kijiji cha [[Wavuvi]] kilicho kuwa na uzio kusini mwa [[pwani]] ya [[Zanzibari|zanzibari,]] [[Tanzania]]. Uko maili tatu kusini-mashariki mwa [[Msikiti]] wa Kizimkazi (unaopatikana Kizimkazi, Dimbani ambao mara nyingi hujulikana kama Dimbani).<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Kizimkazi#cite_note-archnet-1</ref> Miaka ya hivi karibuni, Kizimkazi imekuwa kivutio kikubwa cha [[Utalii|watalii]], kwani ziara za kila siku za boti hupangwa ili kuwaleta wageni ufukweni kutazama [[pomboo]] na kuogelea nao. == Marejeo == [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Kijiji]] [[Jamii:Wavuvi]] [[Jamii:Dimbani]] cgo95laygjo1drww8ir2yw9k4i3lfx0 1242029 1241951 2022-08-12T10:59:33Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Kizimkazi''' (pia hujulikana kama Kizimkazi Mtendeni) ni kijiji cha [[wavuvi]] kilichokuwa na uzio kusini mwa [[pwani]] ya [[Zanzibar]], [[Tanzania]]. Kiko maili tatu kusini-mashariki mwa [[Msikiti wa Kizimkazi]] (unaopatikana [[Kizimkazi Dimbani]] ambao mara nyingi hujulikana kama Dimbani).<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Kizimkazi#cite_note-archnet-1</ref> Miaka ya hivi karibuni, Kizimkazi imekuwa kivutio kikubwa cha [[Utalii|watalii]], kwani ziara za kila siku za boti hupangwa ili kuwaleta wageni ufukweni kutazama [[pomboo]] na kuogelea nao. == Marejeo == [[Jamii:Vivutio vya Tanzania]] [[Jamii:Miji ya Zanzibar]] avmaq409l7t9re9iuwgj0dzn5sfwq1w 1242030 1242029 2022-08-12T10:59:50Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Kizimkazi''' (pia hujulikana kama Kizimkazi Mtendeni) ni kijiji cha [[wavuvi]] kilichokuwa na uzio kusini mwa [[pwani]] ya [[Zanzibar]], [[Tanzania]]. Kiko maili tatu kusini-mashariki mwa [[Msikiti wa Kizimkazi]] (unaopatikana [[Kizimkazi Dimbani]] ambao mara nyingi hujulikana kama Dimbani). Miaka ya hivi karibuni, Kizimkazi imekuwa kivutio kikubwa cha [[Utalii|watalii]], kwani ziara za kila siku za boti hupangwa ili kuwaleta wageni ufukweni kutazama [[pomboo]] na kuogelea nao. == Marejeo == [[Jamii:Vivutio vya Tanzania]] [[Jamii:Zanzibar]] qx6fj8mfliupvdr1rpazuhp1mf815uj Kofia (hat) 0 156496 1241936 2022-08-11T22:14:31Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''kofia''' ni aina ya [[kofia]] ya silinda isiyo na ukingo yenye taji bapa, inayovaliwa na [[wanaume]] wa Kisomali na [[Waswahili]] katika [[Afrika Mashariki]], hasa katika miji ya [[Somalia]], [[Kenya]], [[Uganda]], [[Tanzania]], [[Malawi]],kaskazini na pwani ya Msumbiji, pia huvaliwa kwa mara kwa mara nchini [[Oman]]. [[Kofia]] ni neno la [[Kiswahili]] linalomanisha kofia.<ref>{{Cite web|title=Bishopston Net: Online Dictionary Query- kofia|url=https://web.archive.org/web/20110213072146/http://kofia.dictionary.bishopston.net/|work=web.archive.org|date=2011-02-13|accessdate=2022-08-11}}</ref> Kofia huvaliwa na dashiki,shati la rangi ya Kiafrika linaloitwa shati la kitenge katika baadhi ya mikoa ya [[Afrika Mashariki]]. Nchini [[Uganda]], kofia huvaliwa pamoja na kanzu kenye hafla zisizo rasmi.[[Jomo Kenyatta]], Rais wa kwanza wa Kenya, alipigwa picha mara nyingi akiwa amevalia [[kofia]].nchini [[Comoro]] Kofia ni maarufu. Kofia ya kitamaduni ina matundu madogo ya pini ambayo huruhusu hewa kuzunguka.Katika Afrika Magharibi, kofia hii inaitwa kufi. == Bargashia == [[Zanzibar]], na Kaskazini mwa [[Uganda]], [[Bargashia]] ni kofia maarufu. Kofia hii ilipewa jina la Barghash bin Said wa [[Zanzibar]],aliyekuwa mwanzilishi wa Sultani Zanzibar. Tofauti na kofia, imefunikwa kwa nguo na haina mashimo ya pini. Kama kofia, bargashia huvaliwa kama kofia pamoja na [[kanzu]].<ref>{{Cite web|title=TANZANIA.RU :: OFFICIAL WEBSITE OF THE EMBASSY OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA IN RUSSIA|url=https://web.archive.org/web/20110430162650/http://www.tanzania.ru/english/archive03.html|work=web.archive.org|date=2011-04-30|accessdate=2022-08-11}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Mavazi]] sr9abwbw4wgdberqfqwirnqqqk8cv5v 1241938 1241936 2022-08-11T22:15:57Z Immah 146 55367 wikitext text/x-wiki '''kofia''' ni aina ya [[kofia]] ya silinda isiyo na ukingo yenye taji bapa, inayovaliwa na [[wanaume]] wa Kisomali na [[Waswahili]] katika [[Afrika Mashariki]], hasa katika miji ya [[Somalia]], [[Kenya]], [[Uganda]], [[Tanzania]], [[Malawi]],kaskazini na pwani ya Msumbiji, pia huvaliwa kwa mara kwa mara nchini [[Oman]]. [[Kofia]] ni neno la [[Kiswahili]] linalomanisha kofia.<ref>https://web.archive.org/web/20110213072146/http://kofia.dictionary.bishopston.net/</ref> Kofia huvaliwa na dashiki,shati la rangi ya Kiafrika linaloitwa shati la kitenge katika baadhi ya mikoa ya [[Afrika Mashariki]]. Nchini [[Uganda]], kofia huvaliwa pamoja na kanzu kenye hafla zisizo rasmi.[[Jomo Kenyatta]], Rais wa kwanza wa Kenya, alipigwa picha mara nyingi akiwa amevalia [[kofia]].nchini [[Comoro]] Kofia ni maarufu. Kofia ya kitamaduni ina matundu madogo ya pini ambayo huruhusu hewa kuzunguka.Katika Afrika Magharibi, kofia hii inaitwa kufi. == Bargashia == [[Zanzibar]], na Kaskazini mwa [[Uganda]], [[Bargashia]] ni kofia maarufu. Kofia hii ilipewa jina la Barghash bin Said wa [[Zanzibar]],aliyekuwa mwanzilishi wa Sultani Zanzibar. Tofauti na kofia, imefunikwa kwa nguo na haina mashimo ya pini. Kama kofia, bargashia huvaliwa kama kofia pamoja na [[kanzu]].<ref>https://web.archive.org/web/20110430162650/http://www.tanzania.ru/english/archive03.html</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Mavazi]] ahi2fxtsbhf1ki54fgy237pb8ljjrl3 1241950 1241938 2022-08-12T05:27:14Z Anuary Rajabu 45588 wikitext text/x-wiki '''kofia''' ni aina ya [[kofia]] ya silinda isiyo na ukingo yenye taji bapa, inayovaliwa na [[wanaume]] wa Kisomali na [[Waswahili]] katika [[Afrika Mashariki]], hasa katika miji ya [[Somalia]], [[Kenya]], [[Uganda]], [[Tanzania]], [[Malawi]],kaskazini na pwani ya Msumbiji, pia huvaliwa kwa mara kwa mara nchini [[Oman]]. [[Kofia]] ni neno la [[Kiswahili]] linalomanisha kofia.<ref>https://web.archive.org/web/20110213072146/http://kofia.dictionary.bishopston.net/</ref> Kofia huvaliwa na dashiki,shati la rangi ya Kiafrika linaloitwa shati la kitenge katika baadhi ya mikoa ya [[Afrika Mashariki]]. Nchini [[Uganda]], kofia huvaliwa pamoja na kanzu kenye hafla zisizo rasmi.[[Jomo Kenyatta]], Rais wa kwanza wa Kenya, alipigwa picha mara nyingi akiwa amevalia [[kofia]].nchini [[Comoro]] Kofia ni maarufu. Kofia ya kitamaduni ina matundu madogo ya pini ambayo huruhusu hewa kuzunguka.Katika Afrika Magharibi, kofia hii inaitwa kufi. == Bargashia == [[Zanzibar]], na Kaskazini mwa [[Uganda]], [[Bargashia]] ni kofia maarufu. Kofia hii ilipewa jina la Barghash bin Said wa [[Zanzibar]],aliyekuwa mwanzilishi wa Sultani Zanzibar. Tofauti na kofia, imefunikwa kwa nguo na haina mashimo ya pini. Kama kofia, bargashia huvaliwa kama kofia pamoja na [[kanzu]].<ref>https://web.archive.org/web/20110430162650/http://www.tanzania.ru/english/archive03.html</ref> == Marejeo == {{Reflist}} [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Mavazi]] e15booksjim7vg833qj29a8xe9rd22n Nungwi(kisiwa) 0 156497 1241939 2022-08-11T22:36:10Z Awadhi Awampo 48284 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''Nungwi''' au '''Rasi''' '''Nungwi;''' <ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/9780754655541</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/9789976986037</ref><ref>http://gobackpacking.com/nungwi-village-zanzibar/</ref>Ni kijiji kikubwa kinachopatiakan [[kaskazini]] ya mbali ya visiwa vya zanzibari. Kijiji hiki kina [[kadiriwa]] kuwa na idadi ya watu takribani 5,563, Nungwi ni eneo mji wa makazi unaotazamiwa kuwa wa pili au wa tatu kwa ukubwa katika visiwa vya Zanzibari amabo kina weza kuwa [[kidogo]] kuliko eneo la [[Makunduchi]].<ref>http://gobackpacking.com/nungwi-village-zanzibar/</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/9789976986037</ref>Kijiji hiki kinapatikana katika kata ya [[Nungwi]] wilaya ya kaskazini katika mkoa wa [[Unguja]] kaskazini.anaungwi inakadiliwa kupatiakana maili 36 (kilomita 56) kaskazini mwa mji wa [[Zanzibari]],katika penisula ya Nungwi inapatikana kama [[mwendo]] wa lisaa limoja kwa gari kutoka mji wa mawe wa zanzibari. == marejeo == [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Nungwi]] [[Jamii:Tanzania]] gvu80xf1zrjs4latd5ezltlch14a0pg 1241949 1241939 2022-08-12T05:26:44Z Anuary Rajabu 45588 wikitext text/x-wiki '''Nungwi''' au '''Rasi''' '''Nungwi;''' <ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/9780754655541</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/9789976986037</ref><ref>http://gobackpacking.com/nungwi-village-zanzibar/</ref>Ni kijiji kikubwa kinachopatiakan [[kaskazini]] ya mbali ya visiwa vya zanzibari. Kijiji hiki kina [[kadiriwa]] kuwa na idadi ya watu takribani 5,563, Nungwi ni eneo mji wa makazi unaotazamiwa kuwa wa pili au wa tatu kwa ukubwa katika visiwa vya Zanzibari amabo kina weza kuwa [[kidogo]] kuliko eneo la [[Makunduchi]].<ref>http://gobackpacking.com/nungwi-village-zanzibar/</ref><ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Special:BookSources/9789976986037</ref>Kijiji hiki kinapatikana katika kata ya [[Nungwi]] wilaya ya kaskazini katika mkoa wa [[Unguja]] kaskazini.anaungwi inakadiliwa kupatiakana maili 36 (kilomita 56) kaskazini mwa mji wa [[Zanzibari]],katika penisula ya Nungwi inapatikana kama [[mwendo]] wa lisaa limoja kwa gari kutoka mji wa mawe wa zanzibari. == Marejeo == {{Reflist}} [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Nungwi]] [[Jamii:Tanzania]] 6f6wcoi9v00i2yjoagjd8a2cbzoaj9w 1242031 1241949 2022-08-12T11:01:45Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Nungwi]] wikitext text/x-wiki #REDIRECT[[Nungwi]] cffhmgkllreprkv0rr6ed9ledm1e9xj Fardosa Ahmed 0 156498 1241940 2022-08-11T23:21:05Z Kamara2109 55365 chapisho jipya wikitext text/x-wiki [[Daktari|Dokta]] Fardosa Ahmed alizaliwa mwaka 1985 ni [[mjasiriamali]], msimamizi wa [[afya]], ambaye ana hudumu kama [[afisa]] mkuu wa utendaji katika [[Hospitali]] ya Premier, [[Mombasa]] Kituo binafsi cha afya yeye kama muanzilishi na mmiliki.<ref>https://www.businessdailyafrica.com/corporate/enterprise/Doctor-targets-foreign-bound-patients/4003126-5170032-cmckvz/index.html</ref> == Elimu == Alisomea Shule ya Msingi Makini, jijini Nairobi, mji mkuu wa [[Kenya]]. Kisha alihamia Shule ya Loreto Convent Valley Road, jijini Nairobi, ambako alihitimu [[stashahada]] ya Shule ya Upili. Kisha alijiunga katika [[Chuo Kikuu]] cha Nairobi, ambako alisomea [[Uzamivu|udaktari]] wa binadamu, na kuhitimu Shahada ya Udaktari na Upasuaji.<ref>https://www.businessdailyafrica.com/corporate/enterprise/Doctor-targets-foreign-bound-patients/4003126-5170032-cmckvz/index.html</ref> Badae ,alipata stashahada ya uzamili katika usimamizi wa afya.<ref>https://cdn.nation.co.ke/pdfs/Top40under40Women2018.pdf</ref> == Marejeo == [[Jamii:Afya]] [[Jamii:Kenya]] [[Jamii:Daktari]] [[Jamii:Upasuaji]] ftbu2u9fhtm4yuga4c2mpe810z889kh 1241942 1241940 2022-08-11T23:24:17Z Kamara2109 55365 /* Elimu */ wikitext text/x-wiki [[Daktari|Dokta]] Fardosa Ahmed alizaliwa mwaka 1985 nchini Kenya ni [[mjasiriamali]], msimamizi wa [[afya]], ambaye ana hudumu kama [[afisa]] mkuu wa utendaji katika [[Hospitali]] ya Premier, [[Mombasa]] Kituo binafsi cha afya ambacho yeye ndo muanzilishi na mmiliki.<ref>https://www.businessdailyafrica.com/corporate/enterprise/Doctor-targets-foreign-bound-patients/4003126-5170032-cmckvz/index.html</ref> == Elimu == Alisomea Shule ya Msingi Makini, jijini Nairobi, mji mkuu wa [[Kenya]]. Kisha alihamia Shule ya Loreto Convent Valley Road, jijini Nairobi, ambako alihitimu [[stashahada]] ya Shule ya Upili. Kisha alijiunga katika [[Chuo Kikuu]] cha Nairobi, ambako alisomea [[Uzamivu|udaktari]] wa binadamu, na kuhitimu Shahada ya Udaktari na Upasuaji.<ref>https://www.businessdailyafrica.com/corporate/enterprise/Doctor-targets-foreign-bound-patients/4003126-5170032-cmckvz/index.html</ref> Badae ,alipata stashahada ya uzamili katika usimamizi wa afya.<ref>https://cdn.nation.co.ke/pdfs/Top40under40Women2018.pdf</ref> == Marejeo == [[Jamii:Afya]] [[Jamii:Kenya]] [[Jamii:Daktari]] [[Jamii:Upasuaji]] 4rtxr25bzrjy9t0wf2dlktelbgeuxvq 1241945 1241942 2022-08-12T05:21:41Z Anuary Rajabu 45588 wikitext text/x-wiki [[Daktari|Dokta]] '''Fardosa Ahmed''' alizaliwa mwaka 1985 nchini Kenya ni [[mjasiriamali]], msimamizi wa [[afya]], ambaye ana hudumu kama [[afisa]] mkuu wa utendaji katika [[Hospitali]] ya Premier, [[Mombasa]] Kituo binafsi cha afya ambacho yeye ndo muanzilishi na mmiliki.<ref>https://www.businessdailyafrica.com/corporate/enterprise/Doctor-targets-foreign-bound-patients/4003126-5170032-cmckvz/index.html</ref> == Elimu == Alisomea Shule ya Msingi Makini, jijini Nairobi, mji mkuu wa [[Kenya]]. Kisha alihamia Shule ya Loreto Convent Valley Road, jijini Nairobi, ambako alihitimu [[stashahada]] ya Shule ya Upili. Kisha alijiunga katika [[Chuo Kikuu]] cha Nairobi, ambako alisomea [[Uzamivu|udaktari]] wa binadamu, na kuhitimu Shahada ya Udaktari na Upasuaji.<ref>https://www.businessdailyafrica.com/corporate/enterprise/Doctor-targets-foreign-bound-patients/4003126-5170032-cmckvz/index.html</ref> Badae ,alipata stashahada ya uzamili katika usimamizi wa afya.<ref>https://cdn.nation.co.ke/pdfs/Top40under40Women2018.pdf</ref> == Marejeo == {{Reflist}} {{mbegu-mtu}} [[Jamii:Afya]] [[Jamii:Kenya]] [[Jamii:Daktari]] [[Jamii:Upasuaji]] jksufswwik7pddr60y8qajk7523r3gy Eneo Huru la Biashara Afrika 0 156499 1241943 2022-08-12T03:27:11Z XICO 55447 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA)''' ni [[makubaliano]] ya [[biashara]] huria ya [[Afrika]] kati ya nchi 54 wanachama wa [[Umoja wa Afrika]] (AU).<ref>{{Cite web |url=https://www.un.org/africarenewal/sw/magazine/desemba-2021/eneo-huru-la-biashara-afrika-afcfta-kukuza-sekta-ya-ubunifu-kutoa-ajira-kwa |title=Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA) kukuza sekta ya ubunifu, kutoa ajira kwa vijana |accessdate=2022-08-12 |date=2021-12-03 |last=Obonyo |first...' wikitext text/x-wiki '''Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA)''' ni [[makubaliano]] ya [[biashara]] huria ya [[Afrika]] kati ya nchi 54 wanachama wa [[Umoja wa Afrika]] (AU).<ref>{{Cite web |url=https://www.un.org/africarenewal/sw/magazine/desemba-2021/eneo-huru-la-biashara-afrika-afcfta-kukuza-sekta-ya-ubunifu-kutoa-ajira-kwa |title=Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA) kukuza sekta ya ubunifu, kutoa ajira kwa vijana |accessdate=2022-08-12 |date=2021-12-03 |last=Obonyo |first=Raphael }}</ref> Mkataba huo ulitiwa saini mjini [[Kigali]] Machi 21, 2018.<ref name=aj>{{cite web| url=https://www.aljazeera.com/news/2018/03/african-continental-free-trade-area-afcfta-180317191954318.html |title=African Continental Free Trade Area: What you need to know|work=[[Al Jazeera]] |author=Loes Witschge |date=March 20, 2018}}</ref><ref>{{cite news |url=https://www.bloomberg.com/news/articles/2018-03-21/africa-set-to-agree-3-trillion-trade-bloc-without-key-economy |title=Africa Set to Agree $3 Trillion Trade Bloc, Without Key Economy |date=2018-03-21 |work=Bloomberg.com |language=en |df=mdy-all |access-date=2018-03-21}}</ref><ref>{{cite news |url=http://www.africanews.com/2018/03/21/forty-four-countries-sign-historic-africa-union-free-trade-agreement/ |title=Forty-four countries sign historic African Union free trade agreement {{!}} Africanews |last=AfricaNews |work=Africanews |access-date=2018-03-21 |language=en}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii:Afrika]] oiic2ovnv32ymnd5h2wyu4spnwb0csg 1241944 1241943 2022-08-12T03:29:38Z XICO 55447 wikitext text/x-wiki '''Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA)''' ni [[makubaliano]] ya [[biashara]] huria ya [[Afrika]] kati ya nchi 54 wanachama wa [[Umoja wa Afrika]] (AU).<ref>{{Cite web |url=https://www.un.org/africarenewal/sw/magazine/desemba-2021/eneo-huru-la-biashara-afrika-afcfta-kukuza-sekta-ya-ubunifu-kutoa-ajira-kwa |title=Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA) kukuza sekta ya ubunifu, kutoa ajira kwa vijana |accessdate=2022-08-12 |date=2021-12-03 |last=Obonyo |first=Raphael }}</ref> Mkataba huo ulitiwa saini mjini [[Kigali]] Machi 21, 2018.<ref name=aj>{{cite web| url=https://www.aljazeera.com/news/2018/03/african-continental-free-trade-area-afcfta-180317191954318.html |title=African Continental Free Trade Area: What you need to know|work=[[Al Jazeera]] |author=Loes Witschge |date=March 20, 2018|language=en}}</ref><ref>{{cite news |url=https://www.bloomberg.com/news/articles/2018-03-21/africa-set-to-agree-3-trillion-trade-bloc-without-key-economy |title=Africa Set to Agree $3 Trillion Trade Bloc, Without Key Economy |date=2018-03-21 |work=Bloomberg.com |language=en |df=mdy-all |access-date=2018-03-21}}</ref><ref>{{cite news |url=http://www.africanews.com/2018/03/21/forty-four-countries-sign-historic-africa-union-free-trade-agreement/ |title=Forty-four countries sign historic African Union free trade agreement {{!}} Africanews |last=AfricaNews |work=Africanews |access-date=2018-03-21 |language=en}}</ref> ==Tanbihi== {{reflist}} [[Jamii:Afrika]] e8o4tgm11ksy8na9dlaxkf8228ivooj Majadiliano ya mtumiaji:XICO 3 156500 1241955 2022-08-12T06:15:19Z Olimasy 26935 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Karibu}} .. ~~~' wikitext text/x-wiki {{Karibu}} .. '''[[Mtumiaji:Olimasy|Olimasy]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Olimasy|majadiliano]])''' ef0ma2tyexbe0d7576v9iezodk9jfv1 Mark Klein 0 156501 1241956 2022-08-12T07:26:29Z Husseyn Issa 44885 Anzisha Makala wikitext text/x-wiki '''Mark Klein''' ni fundi na mtoa taarifa wa zamani wa AT&T ambaye alifichua maelezo ya ushirikiano wa kampuni hiyo na Shirika la Usalama la Kitaifa la [[Marekani]] katika uundaji wa maunzi ya mtandao kwenye [[tovuti]] inayojulikana kama ''Room 641A'' ili kufuatilia, kunasa na kuchakata [[mawasiliano]] ya simu ya Marekani. Habari ilikuja kushika vichwa vya habari nchini humo mnamo Mei 2006. Aliandika kitabu kuhusu NSA na ushirikiano wa AT&T katika kuchunguza kila mtu kwenye mtandao na uzoefu wake katika kuigundua na kujaribu kuwaambia umma inayoitwa ''Wiring Up The Big Brother Machine''...''And Fighting It''. Kwa kutambua mchango wake,Shirika la kielectroniki(Electronic Frontier Foundation) ilimchagua Klein kama mmoja wa washindi wa Tuzo zake za ''Pioneer'' za 2008.<ref>{{Cite web|title=NBC News - Breaking News & Top Stories - Latest World, US & Local News|url=https://www.nbcnews.com/|work=NBC News|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref> Kwa zaidi ya miaka 22 Mark Klein alifanya kazi kwa AT&T. Kuanzia na [[kampuni]] kama Fundi wa Mawasiliano huko [[New York]], ambapo alikaa kutoka Novemba 1981 hadi Machi 1991, baadaye aliendelea na wadhifa huo huko [[California]] hadi [[1998]]. Kuanzia Januari 1998 hadi Oktoba 2003, Klein alifanya kazi kama Mshiriki wa Mtandao wa [[Tarakilishi|Kompyuta]] huko [[San Francisco]]. Kuanzia Oktoba 2003, alirejea katika nafasi ya Fundi wa Mawasiliano, na kisha akastaafu Mei 2004. == Marejeo == [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Mbegu za wanasayansi]] [[Jamii:Mbegu za wanasayansi wa Marekani]] [[Jamii:Teknolojia]] [[Jamii:Kompyuta]] [[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]] gwjoddk779j8y9o53mkcd6doas978dj 1241957 1241956 2022-08-12T07:27:59Z Husseyn Issa 44885 Ongezeko la Picha wikitext text/x-wiki [[Faili:Mark Klein AT&T.jpg|thumb|Mark Klein AT&T]] '''Mark Klein''' ni fundi na mtoa taarifa wa zamani wa AT&T ambaye alifichua maelezo ya ushirikiano wa kampuni hiyo na Shirika la Usalama la Kitaifa la [[Marekani]] katika uundaji wa maunzi ya mtandao kwenye [[tovuti]] inayojulikana kama ''Room 641A'' ili kufuatilia, kunasa na kuchakata [[mawasiliano]] ya simu ya Marekani. Habari ilikuja kushika vichwa vya habari nchini humo mnamo Mei 2006. Aliandika kitabu kuhusu NSA na ushirikiano wa AT&T katika kuchunguza kila mtu kwenye mtandao na uzoefu wake katika kuigundua na kujaribu kuwaambia umma inayoitwa ''Wiring Up The Big Brother Machine''...''And Fighting It''. Kwa kutambua mchango wake,Shirika la kielectroniki(Electronic Frontier Foundation) ilimchagua Klein kama mmoja wa washindi wa Tuzo zake za ''Pioneer'' za 2008.<ref>{{Cite web|title=NBC News - Breaking News & Top Stories - Latest World, US & Local News|url=https://www.nbcnews.com/|work=NBC News|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref> Kwa zaidi ya miaka 22 Mark Klein alifanya kazi kwa AT&T. Kuanzia na [[kampuni]] kama Fundi wa Mawasiliano huko [[New York]], ambapo alikaa kutoka Novemba 1981 hadi Machi 1991, baadaye aliendelea na wadhifa huo huko [[California]] hadi [[1998]]. Kuanzia Januari 1998 hadi Oktoba 2003, Klein alifanya kazi kama Mshiriki wa Mtandao wa [[Tarakilishi|Kompyuta]] huko [[San Francisco]]. Kuanzia Oktoba 2003, alirejea katika nafasi ya Fundi wa Mawasiliano, na kisha akastaafu Mei 2004. == Marejeo == [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Mbegu za wanasayansi]] [[Jamii:Mbegu za wanasayansi wa Marekani]] [[Jamii:Teknolojia]] [[Jamii:Kompyuta]] [[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]] nlly1vbrk318fr8d8kt2lmmi8vfih7a Keith Moore 0 156502 1241958 2022-08-12T07:59:56Z Husseyn Issa 44885 Anzisha Makala wikitext text/x-wiki '''Keith Moore''' (aliyezaliwa tarehe 12 Oktoba 1960) ni [[mwandishi]] na mwandishi mwenza wa RFC(hati za maelezo ya kiufundi na maelezo ya shirika kwenye mtandao) za IETF zinazohusiana na [[Itifaki (utarakilishi)|itifaki]] ama kanuni za kufatwa za MIME na SMTP za [[barua pepe]] za ki[[elektroniki]], miongoni mwa zingine: * <nowiki>RFC 1870</nowiki>, ikifafanua utaratibu wa kuruhusu wateja na [[seva]] za SMTP kuepuka kuhamisha jumbe kubwa kiasi kwamba zitakataliwa; * <nowiki>RFC 2017</nowiki>, ikifafanua (haijatekelezwa mara chache) inamaanisha kuruhusu ujumbe wa MIME kuwa na viambatisho ambavyo maudhui yake halisi yanarejelewa na ''URL(Uniform Resource Locator)'' ikimaanisha anwani ya ukurasa wa [[Intaneti|wavuti]]. * <nowiki>RFC 2047</nowiki> iliyorekebishwa na <nowiki>RFC 2231</nowiki>, ikifafanua utaratibu wa kuruhusu herufi zisizo za ASCII katika sehemu za maandishi za kichwa cha ujumbe (lakini si katika anwani za barua pepe); * <nowiki>RFC 3461</nowiki> ikiwa mmbadala wa <nowiki>RFC 1891</nowiki>, * <nowiki>RFC 3463</nowiki> ikiwa mmbadala wa <nowiki>RFC 1893</nowiki>, * <nowiki>RFC 3464</nowiki> ikiwa mmbadala wa <nowiki>RFC 1894</nowiki>, ambayo kwa pamoja inafafanua utaratibu wa kawaida wa kuripoti kushindwa kwa uwasilishaji au mafanikio katika barua pepe ya mtandao, * <nowiki>RFC 3834</nowiki>, viwango vya michakato ambayo hujibu kiotomati barua pepe; na * <nowiki>RFC 8314</nowiki>, inapendekeza matumizi ya TLS kwa uwasilishaji na ufikiaji wa barua pepe, na kuacha kutumika kwa matoleo ya maandishi wazi ya itifaki zinazotumika kwa madhumuni hayo.<ref>{{Cite web|title=Who can save us? It's 2018 and some email is still sent as cleartext|url=https://www.theregister.com/2018/02/01/ietf_attacks_cleartext_email/|work=www.theregister.com|accessdate=2022-08-12|language=en|author=Richard Chirgwin}}</ref> Pia ameandika kuhusu RFCs kwenye mada zingine, zikiwemo: * <nowiki>RFC 2964</nowiki>, Matumizi ya Usimamizi wa HTTP ( matumizi ya "vidakuzi" kushughulikia masuala ya faragha ama siri); * <nowiki>RFC 3205</nowiki>, Juu ya matumizi ya HTTP (inayojadili matumizi ya HTTP kama safu chini ya itifaki zingine); na * <nowiki>RFC 3056</nowiki>, inayoelezea utaratibu wa 6to4 wa kuunganisha pakiti za IPv6 kwenye mtandao wa IPv4 Alizaliwa huko [[Nashville, Tennessee|Nashville]], Tennessee, [[Marekani]]. Alipata Shahada ya Sayansi katika [[Uhandisi]] wa [[Umeme]] kutoka Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Tennessee mnamo 1985, na Shahada ya [[Uzamili]] ya Sayansi katika Sayansi ya [[Tarakilishi|Kompyuta]] kutoka Chuo Kikuu cha Tennessee mnamo 1996. Kuanzia mwaka 1996 hadi 1999 alihudumu kama mshiriki wa Kikundi cha Uendeshaji cha Uhandisi wa Mtandao kama mmoja wa wakurugenzi wawili wa eneo la Maombi katika kikundi hicho.<ref>{{Cite web|title=IESG Past Members|url=https://www.ietf.org/about/groups/iesg/past-members/|work=IETF|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Waliozaliwa 1960]] [[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]] [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Mbegu za wanasayansi]] [[Jamii:Mbegu za wanasayansi wa Marekani]] [[Jamii:Teknolojia]] [[Jamii:Kompyuta]] c7vhdecskguctkri60blau9sstbrzio Dan Kaminsky 0 156503 1241959 2022-08-12T09:34:59Z Husseyn Issa 44885 Anzisha Makala wikitext text/x-wiki '''Daniel Kaminsky''' (kuzaliwa Februari 7, 1979 - 23 Aprili 2021) alikuwa mtafiti wa usalama wa [[Tarakilishi|kompyuta]] wa [[Marekani]]. Alikuwa mwanzilishi mwenza na [[mwanasayansi]] mkuu wa ''WhiteOps'', kampuni ya usalama wa kompyuta. Hapo awali alifanya kazi kwenye kampuni ya ''Cisco'', Avaya, na ''IOActive'', ambapo alikuwa mkurugenzi wa majaribio ya kupenya(Udukuzi wa mtandaoni)<ref>{{Citation|last=Singel|first=Ryan|title=ISPs' Error Page Ads Let Hackers Hijack Entire Web, Researcher Discloses|url=https://www.wired.com/2008/04/isps-error-page/|work=Wired|language=en-US|issn=1059-1028|access-date=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite web|title=What is DNS rebinding attack? - Definition from WhatIs.com|url=https://www.techtarget.com/searchsecurity/definition/DNS-rebinding-attack|work=SearchSecurity|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref>. Gazeti la [[The New York Times|New York Times]] lilimtaja Kaminsky kuwa "mwokozi wa usalama wa Mtandao" na "Paul Revere wa kidijitali"<ref>{{Cite web|title=Daniel Kaminsky, Internet Security Savior, Dies at 42 - The New York …|url=https://archive.ph/D3i3B|work=archive.ph|date=2021-04-29|accessdate=2022-08-12}}</ref>. == Maisha ya Awali == Daniel Kaminsky alizaliwa huko [[San Francisco]] mnamo Februari 7, 1979 , baba akijulikana kama Marshall Kaminsky na mama Trudy Maurer. Mama yake aliliambia gazeti la The New York Times kwamba baada ya baba yake kumnunulia kompyuta ya ''RadioShack'' akiwa na umri wa miaka minne, Kaminsky alianza kujifunza namna ya kutumia na kuandika lugha za kompyuta akiwa na umri wa miaka mitano. Akiwa na umri wa miaka 11, mama yake alipokea simu kutoka kwa msimamizi wa usalama wa serikali ambaye alimwambia kwamba Kaminsky alikuwa ametumia majaribio ya kupenya ili kuingilia kompyuta za kijeshi, na kwamba mtandao wa familia hiyo ungekatwa. Mama yake alijibu kwa kusema ikiwa mtandao wao utakatwa, angetoa tangazo katika shirika la habari la San Francisco lijulikanalo kama ''San Francisco Chronicle'' kutangaza ukweli kwamba mtoto wake wa miaka 11 anaweza kuvunja usalama wa kompyuta za kijeshi. Badala yake, suala la kufungiwa mtandao kwa siku tatu kwa Kaminsky ulijadiliwa. == Marejeo == [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]] [[Jamii:Kompyuta]] [[Jamii:Teknolojia]] [[Jamii:Mbegu za wanasayansi wa Marekani]] rfp65kar7fpoay1ia908e66vhn0vu6w 1241960 1241959 2022-08-12T09:36:31Z Husseyn Issa 44885 Ongezeko la Picha wikitext text/x-wiki [[Faili:Dan Kaminsky 2014.jpg|thumb|Dan Kaminsky 2014]] '''Daniel Kaminsky''' (kuzaliwa Februari 7, 1979 - 23 Aprili 2021) alikuwa mtafiti wa usalama wa [[Tarakilishi|kompyuta]] wa [[Marekani]]. Alikuwa mwanzilishi mwenza na [[mwanasayansi]] mkuu wa ''WhiteOps'', kampuni ya usalama wa kompyuta. Hapo awali alifanya kazi kwenye kampuni ya ''Cisco'', Avaya, na ''IOActive'', ambapo alikuwa mkurugenzi wa majaribio ya kupenya(Udukuzi wa mtandaoni)<ref>{{Citation|last=Singel|first=Ryan|title=ISPs' Error Page Ads Let Hackers Hijack Entire Web, Researcher Discloses|url=https://www.wired.com/2008/04/isps-error-page/|work=Wired|language=en-US|issn=1059-1028|access-date=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite web|title=What is DNS rebinding attack? - Definition from WhatIs.com|url=https://www.techtarget.com/searchsecurity/definition/DNS-rebinding-attack|work=SearchSecurity|accessdate=2022-08-12|language=en}}</ref>. Gazeti la [[The New York Times|New York Times]] lilimtaja Kaminsky kuwa "mwokozi wa usalama wa Mtandao" na "Paul Revere wa kidijitali"<ref>{{Cite web|title=Daniel Kaminsky, Internet Security Savior, Dies at 42 - The New York …|url=https://archive.ph/D3i3B|work=archive.ph|date=2021-04-29|accessdate=2022-08-12}}</ref>. == Maisha ya Awali == Daniel Kaminsky alizaliwa huko [[San Francisco]] mnamo Februari 7, 1979 , baba akijulikana kama Marshall Kaminsky na mama Trudy Maurer. Mama yake aliliambia gazeti la The New York Times kwamba baada ya baba yake kumnunulia kompyuta ya ''RadioShack'' akiwa na umri wa miaka minne, Kaminsky alianza kujifunza namna ya kutumia na kuandika lugha za kompyuta akiwa na umri wa miaka mitano. Akiwa na umri wa miaka 11, mama yake alipokea simu kutoka kwa msimamizi wa usalama wa serikali ambaye alimwambia kwamba Kaminsky alikuwa ametumia majaribio ya kupenya ili kuingilia kompyuta za kijeshi, na kwamba mtandao wa familia hiyo ungekatwa. Mama yake alijibu kwa kusema ikiwa mtandao wao utakatwa, angetoa tangazo katika shirika la habari la San Francisco lijulikanalo kama ''San Francisco Chronicle'' kutangaza ukweli kwamba mtoto wake wa miaka 11 anaweza kuvunja usalama wa kompyuta za kijeshi. Badala yake, suala la kufungiwa mtandao kwa siku tatu kwa Kaminsky ulijadiliwa. == Marejeo == [[Jamii:Watu wa Marekani]] [[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]] [[Jamii:Kompyuta]] [[Jamii:Teknolojia]] [[Jamii:Mbegu za wanasayansi wa Marekani]] b66qa6tnnhs3gfethj8tv70r8245lpb Bwana Myombekere na Mkewe Bugonoka, Mtoto wao Ntulanalwo na Binti Bulihwali. 0 156504 1241963 2022-08-12T09:37:31Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Bwana Myombekere na Mkewe Bugonoka, Mtoto wao Ntulanalwo na Binti Bulihwali.]] hadi [[Bwana Myombekere na Mkewe Bugonoka, Mtoto wao Ntulanalwo na Binti Bulihwali]]: urahisi wa kuupata wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Bwana Myombekere na Mkewe Bugonoka, Mtoto wao Ntulanalwo na Binti Bulihwali]] nb9vxxeo4w1nkqb4hsqhmzoj9bubv2w Majadiliano ya mtumiaji:Sametovkaya 3 156506 1241967 2022-08-12T09:44:10Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:44, 12 Agosti 2022 (UTC) c921agx8a9umymae2l1rik4c7xy0efz Majadiliano ya mtumiaji:Smokermk7 3 156507 1241968 2022-08-12T09:45:07Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:45, 12 Agosti 2022 (UTC) 74frglq4rvacqbd4dl0n3z08djogci1 The African Queen (filamu) 0 156508 1241970 2022-08-12T09:45:36Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[The African Queen (filamu)]] hadi [[The African Queen]]: urahisi wa kuupata wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[The African Queen]] eix49scacezpn75d2ptiejc4eus3ots John Coyne (writer) 0 156509 1241973 2022-08-12T09:48:34Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[John Coyne (writer)]] hadi [[John Coyne (mwandishi)]]: jina la Kiswahili wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[John Coyne (mwandishi)]] 2di0hsxu7jvvs8wdai7shcdobqaw5gx Majadiliano ya mtumiaji:Abdulkarim000 3 156510 1241974 2022-08-12T09:49:03Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:49, 12 Agosti 2022 (UTC) kens0084ctj2ee1tedvm2vg4fbunblz Majadiliano ya mtumiaji:Rosebahati 3 156511 1241975 2022-08-12T09:49:20Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:49, 12 Agosti 2022 (UTC) kens0084ctj2ee1tedvm2vg4fbunblz Majadiliano ya mtumiaji:Tkihampa 3 156512 1241976 2022-08-12T09:50:22Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:50, 12 Agosti 2022 (UTC) cqrwtu10tgvhdn34vy45t9ee0dw8bok Majadiliano ya mtumiaji:Crotx 3 156513 1241979 2022-08-12T09:53:15Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 09:53, 12 Agosti 2022 (UTC) tc87wldgopgi46hqsuoqgqd8d0ipjrr Majadiliano ya mtumiaji:Iddy Abdallah 3 156515 1241993 2022-08-12T10:10:14Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:10, 12 Agosti 2022 (UTC) sd41qx33jr9s912v6s3w6uifqfey86b Mbweni, Zanzibar 0 156516 1241997 2022-08-12T10:14:04Z Kamara2109 55365 chapisho jipya wikitext text/x-wiki Mbweni ni mji unaopatikana kisiwani [[Unguja]], Zanzibari nchini [[Tanzania|Tanzania.]] Inapatikana pwani ya kati magharibi, kilomta saba kusini mwa mji mkuu na mkongwe wa zanzibari.<ref>https://mapcarta.com/12654220</ref> Ni mji wenye [[safari]] nyingi za [[Utalii|watalii]] na wenyeji. Vivutio vya Mbweni, bustani za maua na magofu ya karine ya 19 ya Wakristu. == Rejea pia == * [[:en:List_of_Swahili_settlements_of_the_East_African_coast|List of Swahili settlements of the East African coast]] == Marejeo == * Finke, J. (2006) ''The Rough Guide to Zanzibar (2nd edition).'' New York: Rough Guides [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Wakirstu]] [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Mji wa kale]] broh5dsd6bxibklg5eowf4fpiz2l5bs 1241999 1241997 2022-08-12T10:14:59Z Kamara2109 55365 /* Rejea pia */ wikitext text/x-wiki Mbweni ni mji unaopatikana kisiwani [[Unguja]], Zanzibari nchini [[Tanzania|Tanzania.]] Inapatikana pwani ya kati magharibi, kilomita saba kusini mwa mji mkuu na mkongwe wa zanzibari.<ref>https://mapcarta.com/12654220</ref> Ni mji wenye [[safari]] nyingi za [[Utalii|watalii]] na wenyeji. Vivutio vya Mbweni, bustani za maua na magofu ya karine ya 19 ya Wakristu. == Rejea pia == * [[:en:List_of_Swahili_settlements_of_the_East_African_coast|List of Swahili settlements of the East African coast]] == Marejeo == * Finke, J. (2006) ''The Rough Guide to Zanzibar (2nd edition).'' New York: Rough Guides [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Wakirstu]] [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Mji wa kale]] 5p1frq957dkuk7cmdyeidoa2y387470 1242041 1241999 2022-08-12T11:14:38Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mbweni, Zanzibari]] hadi [[Mbweni, Zanzibar]]: urahisi wa kuupata wikitext text/x-wiki Mbweni ni mji unaopatikana kisiwani [[Unguja]], Zanzibari nchini [[Tanzania|Tanzania.]] Inapatikana pwani ya kati magharibi, kilomita saba kusini mwa mji mkuu na mkongwe wa zanzibari.<ref>https://mapcarta.com/12654220</ref> Ni mji wenye [[safari]] nyingi za [[Utalii|watalii]] na wenyeji. Vivutio vya Mbweni, bustani za maua na magofu ya karine ya 19 ya Wakristu. == Rejea pia == * [[:en:List_of_Swahili_settlements_of_the_East_African_coast|List of Swahili settlements of the East African coast]] == Marejeo == * Finke, J. (2006) ''The Rough Guide to Zanzibar (2nd edition).'' New York: Rough Guides [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Wakirstu]] [[Jamii:Zanzibari]] [[Jamii:Mji wa kale]] 5p1frq957dkuk7cmdyeidoa2y387470 1242043 1242041 2022-08-12T11:16:02Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Mbweni''' ni [[mji]] unaopatikana kisiwani [[Unguja]], nchini [[Tanzania]], pwani ya kati magharibi, kilomita saba kusini mwa mji mkuu na mkongwe wa [[Zanzibar (Jiji)|Zanzibar]].<ref>https://mapcarta.com/12654220</ref> Ni mji wenye [[safari]] nyingi za [[Utalii|watalii]] na wenyeji. Vivutio vya Mbweni, bustani za maua na magofu ya karine ya 19 ya Wakristu. == Rejea pia == * [[:en:List_of_Swahili_settlements_of_the_East_African_coast|List of Swahili settlements of the East African coast]] == Marejeo == * Finke, J. (2006) ''The Rough Guide to Zanzibar (2nd edition).'' New York: Rough Guides [[Jamii:Miji ya Tanzania]] [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Zanzibar]] hhlmd3stu2rhv0huugtyztrcxxkb8ab Majadiliano ya mtumiaji:Africona 3 156517 1242001 2022-08-12T10:17:28Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:17, 12 Agosti 2022 (UTC) jqby3u0k9zn49x4tiuxlunhxznfa65g Magofu ya Mnarani 0 156518 1242002 2022-08-12T10:18:43Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Mnarani ruins''' Ni mabaki ya [[Msikiti|misikiti]] miwili karibu na [[Mnarani]] katika [[Kilifi]], nchini [[Kenya]].Kuchumbiana kutoka [[karne ya 15]], misikiti ipo maeneo ya bluff inayoelekea mkondo wa Kilifi kutoka upande wa kusini.<ref>{{Citation|title=Mnarani ruins|date=2022-05-22|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Mnarani_ruins&oldid=1089176452|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Kirkman|first=James|date=1959|title=Mnarani of Kilifi: The Mosques and Tombs|url=https://www.jstor.org/stable/4629101|journal=Ars Orientalis|volume=3|pages=95–112|issn=0571-1371}}</ref> Makazi haya yapo maeneo yaliyoanzishwa [[karne ya 14]], na maeneo haya pia yana idadi ya makaburi. == Marejeo == [[Jamii:Kenya]] [[Jamii:Waswahili]] fw7085bqpqnjkn0l3anpep3bsv992bs 1242044 1242002 2022-08-12T11:17:18Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mnarani ruins]] hadi [[Magofu ya Mnarani]]: jina la Kiswahili wikitext text/x-wiki '''Mnarani ruins''' Ni mabaki ya [[Msikiti|misikiti]] miwili karibu na [[Mnarani]] katika [[Kilifi]], nchini [[Kenya]].Kuchumbiana kutoka [[karne ya 15]], misikiti ipo maeneo ya bluff inayoelekea mkondo wa Kilifi kutoka upande wa kusini.<ref>{{Citation|title=Mnarani ruins|date=2022-05-22|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Mnarani_ruins&oldid=1089176452|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Kirkman|first=James|date=1959|title=Mnarani of Kilifi: The Mosques and Tombs|url=https://www.jstor.org/stable/4629101|journal=Ars Orientalis|volume=3|pages=95–112|issn=0571-1371}}</ref> Makazi haya yapo maeneo yaliyoanzishwa [[karne ya 14]], na maeneo haya pia yana idadi ya makaburi. == Marejeo == [[Jamii:Kenya]] [[Jamii:Waswahili]] fw7085bqpqnjkn0l3anpep3bsv992bs 1242046 1242044 2022-08-12T11:18:28Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Magofu ya Mnarani''' ni mabaki ya [[Msikiti|misikiti]] miwili karibu na [[Mnarani]] katika [[kaunti ya Kilifi]], nchini [[Kenya]]. Kuchumbiana kutoka [[karne ya 15]], misikiti ipo maeneo ya bluff inayoelekea mkondo wa Kilifi kutoka upande wa kusini.<ref>{{Citation|title=Mnarani ruins|date=2022-05-22|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Mnarani_ruins&oldid=1089176452|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Kirkman|first=James|date=1959|title=Mnarani of Kilifi: The Mosques and Tombs|url=https://www.jstor.org/stable/4629101|journal=Ars Orientalis|volume=3|pages=95–112|issn=0571-1371}}</ref> Makazi haya yapo maeneo yaliyoanzishwa [[karne ya 14]], na maeneo haya pia yana idadi ya makaburi. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kaunti ya Kilifi]] [[Jamii:Waswahili]] s2ermoxk1wwow9td01ea6lg6qz20pyi 1242047 1242046 2022-08-12T11:18:45Z Riccardo Riccioni 452 wikitext text/x-wiki '''Magofu ya Mnarani''' ni mabaki ya [[Msikiti|misikiti]] miwili karibu na [[Mnarani]] katika [[kaunti ya Kilifi]], nchini [[Kenya]]. Kuchumbiana kutoka [[karne ya 15]], misikiti ipo maeneo ya bluff inayoelekea mkondo wa Kilifi kutoka upande wa kusini.<ref>{{Cite journal|last=Kirkman|first=James|date=1959|title=Mnarani of Kilifi: The Mosques and Tombs|url=https://www.jstor.org/stable/4629101|journal=Ars Orientalis|volume=3|pages=95–112|issn=0571-1371}}</ref> Makazi haya yapo maeneo yaliyoanzishwa [[karne ya 14]], na maeneo haya pia yana idadi ya makaburi. == Marejeo == {{reflist}} {{mbegu-jio-Kenya}} [[Jamii:Kaunti ya Kilifi]] [[Jamii:Waswahili]] 0rg4oelyu86ulz1j06fdz0kmobb49az Msuka Mjini Ruins 0 156519 1242009 2022-08-12T10:31:25Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Msuka Mjini Ruins]] hadi [[Magofu ya Msuka Mjini]]: jina la Kiswahili wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Magofu ya Msuka Mjini]] 49f2vkjg2qofo1dfgd2qmhqdoh3nkef Pujini Ruins 0 156520 1242012 2022-08-12T10:34:08Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Pujini Ruins]] hadi [[Magofu ya Pujini]]: jina la Kiswahili wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Magofu ya Pujini]] l2g055ev0clmz49py2mwxrqcapgnuck Majadiliano ya mtumiaji:Ramadhani Mkumba 3 156521 1242016 2022-08-12T10:41:46Z Riccardo Riccioni 452 Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}} ~~~~' wikitext text/x-wiki {{karibu}} '''[[Mtumiaji:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Riccardo Riccioni|majadiliano]])''' 10:41, 12 Agosti 2022 (UTC) 8b0fsc7a90nqo5j3nigqgw15bsqacfs Zanzibari cuisine 0 156522 1242022 2022-08-12T10:48:25Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Zanzibari cuisine]] hadi [[Mapishi ya Kizanzibari]]: jina la Kiswahili wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Mapishi ya Kizanzibari]] q4jpk7rf7kx3blt54vzbcmlkrbyl12f Jabari(maumbile) 0 156523 1242025 2022-08-12T10:53:30Z Kahabi Assa 55366 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''Jabari;'''Ni jina linalo [[wakilisha]] mtu mwenye [[nguvu]] ,mwili mkubwa na misuli mingi,neno jabari limetoholewa kutoka katika lugha ya [[kiarabu]] ambalo mara nyingi [[hupewa]] vijana wakiume [[wakimarekani]] wenye asili ya [[kiafrika]] ,pia neno jabari linaweza kutumika kama jina la katika [[Lugha ya taifa|lugha]] ya kiarabu. == <ref>{{Cite web|title=Jabari|url=https://ohbabynames.com/all-baby-names/jabari/|work=Oh Baby! Names|accessdate=2022-08-12|language=en-US}}</ref> == == marejeo == [[Jamii:Kiarabu]] [[Jamii:Kiswahili]] 82m8vxe3ykxvp4oofgk3oun5yrjnn3m Lugha ya sidi 0 156524 1242027 2022-08-12T10:58:10Z Kamara2109 55365 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''''Sidi''''' pia hujulika kama Habsi (Kihabeshi), ni lugha ya [[Lugha za Kibantu|kibantu]] iliyotoka nchini [[Uhindi|India]], chimbuko lake likiwa ni Kiswahili. Ili ripotiwa kuwa bado Wasidi bado wanazungumza [[lugha]] iyo katikati karne ya 20 huko Kathiawari, Gujarati.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Sidi_language#cite_note-2</ref> == Marejeo == [[Jamii:Kibantu]] [[Jamii:India]] [[Jamii:Kiswahili]] ohat453p386iyjx8e7uysa87hcdyrbq 1242028 1242027 2022-08-12T10:58:50Z Kamara2109 55365 /* Marejeo */ wikitext text/x-wiki '''''Sidi''''' pia hujulika kama Habsi (Kihabeshi), ni lugha ya [[Lugha za Kibantu|kibantu]] iliyotoka nchini [[Uhindi|India]], chimbuko lake likiwa ni Kiswahili. Ili ripotiwa kuwa Wasidi bado wanazungumza [[lugha]] iyo katikati karne ya 20 huko Kathiawari, Gujarati.<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Sidi_language#cite_note-2</ref> == Marejeo == [[Jamii:Kibantu]] [[Jamii:India]] [[Jamii:Kiswahili]] tuliz15hedjlcrxqpncv9ib9j9wyt9f Kichokochwe Ruins(magofu) 0 156525 1242033 2022-08-12T11:07:19Z Kahabi Assa 55366 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''Kichokochwe''' '''Ruins'''(Magofu ya mji wa kale wa Kichokochwe); [[Magofu]] haya ni meneo ya [[kihistoria]] yaliyohofadhiwa, maeneo haya yanapatikana ndani ya wilaya ya Wete iliyopo mkoani Pemba kaskazini nchini Tanzania.maeneo haya ni sehemu ya [[Mabaki ya risasi|mabaki]] ya [[magofu]] ya makazi ya waswahili yakiwa na [[majengo]] kama [[Msikiti wa Sultan Ahmed|Msikiti]] pamoja na [[Makaburi]].<ref>{{Cite journal|last=Schacht|first=J.|date=1961|title=Further Notes on the Staircase Minaret|url=https://www.jstor.org/stable/4629137|journal=Ars Orientalis|volume=4|pages=137–141|issn=0571-1371}}</ref><ref>http://erepository.uonbi.ac.ke/bitstream/handle/11295/63888/Kessy_The%20economic%20basis%20and%20the%20location%20of%20some%20%20iron%20age%20%20settlements.pdf?sequence=2</ref> == marejeo == [[Jamii:Tanzania]] [[Jamii:Pemba]] t8ve9knerzsfu2ah7tvggte1utgr18h Majitu 0 156526 1242034 2022-08-12T11:10:59Z Immah 146 55367 Chapisho Jipya wikitext text/x-wiki '''Majitu''' Ni neno la [[Kiswahili]] linalotumiwa kurejelea viumbe wa ngano ambao walikuwa maarufu katika masimulizi ya Kiafrika. Majitu, au Jitu katika umoja, kama hadithi na hekaya zinavyosema, lilikuwa na nguvu za fumbo na mabadiliko ya umbo ili kuchanganyika na wanadamu. Mwingiliano wao na [[wanadamu]] kuna wakati ulipelekea migogoro, ambayo mara kwa mara iliishia kuwapendelea wanadamu. [[Hadithi]] za Majitu bado ni maarufu, na katika miaka ya 1980 ilikuwa mada ya kipindi cha televisheni cha Sisi Majitu kilichotayarishwa katika nchini ya [[kenya]] na [[Shirika la Utangazaji la Kenya]] (KBC). pia kwa sasa kuna juhudi za kufufua hadithi hizi maarufu katika siku za hivi karibuni katika mfumo wa kipindi cha uhuishaji cha Majitu TV na mtayarishaji wa uhuishaji na VisualFX Peter Mute kutoka Kenya. Kulingana na ukimya wa [[Historia|hisitoria]] hii.<ref>http://www.yebikenya.com/</ref> [[Jamii:Waswahili]] [[Jamii:Historia]] [[Jamii:Kenya]] 9b8fnkoc7jp7hh8y0uqlq3ug2sxjtsw Mbweni 0 156527 1242037 2022-08-12T11:13:46Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mbweni]] hadi [[Mbweni, Kinondoni]]: kutofautisha mahali wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Mbweni, Kinondoni]] 2vb405vqfe9qdxylz2q226hkuc2aorh Majadiliano:Mbweni 1 156528 1242039 2022-08-12T11:13:46Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Majadiliano:Mbweni]] hadi [[Majadiliano:Mbweni, Kinondoni]]: kutofautisha mahali wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Majadiliano:Mbweni, Kinondoni]] b1uzy9p246ztayx1wn03kb4oq8g11je Mbweni, Zanzibari 0 156529 1242042 2022-08-12T11:14:38Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mbweni, Zanzibari]] hadi [[Mbweni, Zanzibar]]: urahisi wa kuupata wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Mbweni, Zanzibar]] jkk3y46gw0v7b7w865qvr23tq25hdz5 Mnarani ruins 0 156530 1242045 2022-08-12T11:17:18Z Riccardo Riccioni 452 Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mnarani ruins]] hadi [[Magofu ya Mnarani]]: jina la Kiswahili wikitext text/x-wiki #REDIRECT [[Magofu ya Mnarani]] cbhlg5tqmatcvytuepbvcyix59zsx1e Kiswahili cha socotra 0 156531 1242048 2022-08-12T11:23:33Z Kamara2109 55365 chapisho jipya wikitext text/x-wiki '''''Kiswahili cha socotra''''' ni aina ya [[kiswahili]] kilichotoweka<ref>https://en.wikipedia.org/wiki/Socotra_Swahili_language#cite_note-Guthrie-1</ref> kina zungumzwa kisiwani [[Sokotra|Socotra]] nchini [[Yemen|Yemeni.]] iliripotiwa kuzungumzwa sehemu tano za kisiwa hicho (watu wapatao 2,000) mwaka 1962.<ref>{{Citation|title=Socotra Swahili language|date=2022-06-18|url=https://en.wikipedia.org/w/index.php?title=Socotra_Swahili_language&oldid=1093784197|work=Wikipedia|language=en|access-date=2022-08-12}}</ref> == Marejeo == [[Jamii:Kiswahili]] [[Jamii:Yemeni]] [[Jamii:Kisiwa]] d5r4mjlzyvm285nimfpm3d9lcolvwp7 Ellis Jones(mwanasosholojia) 0 156532 1242050 2022-08-12T11:45:07Z Segyjoe 49837 Anzisha makala wikitext text/x-wiki '''Ellis McNatt Jones''' (amezaliwa Februari 25, 1970) ni mwanasosholojia na mwandishi wa Marekani katika [[Chuo cha The Holy Cross]]. Utafiti wake umezingatia [[matumizi ya kimaadili]], [[uwajibikaji makampuni kwa jamii]], na harakati za maisha. Anajulikana sana kwa utafiti wake wa kutafsiri rekodi za kijamii na kimazingira za kampuni katika mfumo wa ukadiriaji wa A hadi F ili kutumiwa na watumiaji. == Marejeo == [[Jamii:Amani]] [[Jamii:USW CHSS]] 2z9ih7w9q6acdngnj85r2nikv5crj9p