Wikipedia
swwiki
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mwanzo
MediaWiki 1.39.0-wmf.26
first-letter
Media
Maalum
Majadiliano
Mtumiaji
Majadiliano ya mtumiaji
Wikipedia
Majadiliano ya Wikipedia
Faili
Majadiliano ya faili
MediaWiki
Majadiliano ya MediaWiki
Kigezo
Majadiliano ya kigezo
Msaada
Majadiliano ya msaada
Jamii
Majadiliano ya jamii
Lango
Majadiliano ya lango
Wikichanzo
Majadiliano ya Wikichanzo
TimedText
TimedText talk
Module
Module talk
Gadget
Gadget talk
Gadget definition
Gadget definition talk
El Aaiún
0
3380
1244447
1193671
2022-08-25T08:28:37Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''El Aaiún''' (pia '''Laâyoune''', العيون = al-ʿUyūn) ni [[mji]] mkubwa wa [[Sahara ya Magharibi]] kwenye [[bonde]] la ''Saguia el Hamra'' karibu na [[mwambao]] wa [[Atlantiki]].
Hadi [[mwaka]] [[1976]] ilikuwa [[makao makuu]] ya utawala wa kikoloni wa [[Hispania]]. Baadaye mji ulivamiwa na [[Moroko]] pamoja na sehemu kubwa ya Sahara ya Magharibi.
[[Idadi]] ya wakazi ni takriban 200,000 wengi wao ni [[walowezi]] kutoka Moroko walioingia tangu mwisho wa 1976.
Katika muundo wa utawala wa Moroko El Aaiun ni makao makuu ya wilaya ya Laâyoune-Boujdour-Sakia El Hamra. Machoni pa wafuasi wa [[Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu]] mji unstahili kuwa [[mji mkuu]] wa nchi hii ikipata uhuru wake.
"El Aaiún" ni umbo la maandishi ya Kihispania kwa ajili ya jina la Kiarabu kinchomaanisha "chemchemi". Maandishi katika kawaida ya Kifaransa ni "Laâyoune" yanayotumika zaidi upande wa Moroko.
[[Jamii:Miji ya Moroko]]
[[Jamii:Miji ya Sahara Magharibi]]
cq75hwhqnxemq8r7dv205ccr82y9z4i
Wamwera
0
5792
1244513
1111231
2022-08-25T11:27:47Z
197.221.220.33
wikitext
text/x-wiki
'''Wamwera''' ni [[kabila]] la [[watu]] wa [[Tanzania]] wanaoishi katika [[Mkoa wa Lindi]], hasa kwenye [[Wilaya ya Nachingwea]], [[Lindi Vijijini]] na [[Ruangwa]].
Wamwera huwasiliana kwa [[lugha]] yao ya [[Kimwera]] (wao wanasema ''Shimwera''), lugha ambayo ina [[muundo]] unaoeleweka upande wa [[sarufi]] na [[matamshi]] yake, tena kwa urahisi sana. Wamwera pia ni maarufu kwa mfumo wa mfumo jike, ambao mwanamke ndio ananguvu na anapewa umiliki wa watoto na ndio mtawala mkuu na watoto hutumia majina ya koo za mama yao
Wanajitahidi kudumisha [[mila]] na [[desturi]] zao.
{{makabila ya Tanzania}}
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
{{DEFAULTSORT:Mwera}}
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
4dpbx6wz7qd9dzpkmxcdzchtyaz386f
1244514
1244513
2022-08-25T11:29:07Z
197.221.220.33
wikitext
text/x-wiki
'''Wamwera''' ni [[kabila]] la [[watu]] wa [[Tanzania]] wanaoishi katika [[Mkoa wa Lindi]], hasa kwenye [[Wilaya ya Nachingwea]], [[Lindi Vijijini]] na [[Ruangwa]].
Wamwera huwasiliana kwa [[lugha]] yao ya [[Kimwera]] (wao wanasema ''Shimwera''), lugha ambayo ina [[muundo]] unaoeleweka upande wa [[sarufi]] na [[matamshi]] yake, tena kwa urahisi sana. Wamwera pia ni maarufu kwa wa mfumo jike, ambao mwanamke ndio ananguvu na anapewa umiliki wa watoto na ndio mtawala mkuu na watoto hutumia majina ya koo za mama yao
Wanajitahidi kudumisha [[mila]] na [[desturi]] zao.
{{makabila ya Tanzania}}
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
{{DEFAULTSORT:Mwera}}
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]
b4lpthihx0gfwqqq34vm9w51fp0uwej
Marx Brothers
0
15671
1244437
1204900
2022-08-25T08:17:50Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Marx Brothers 1931.jpg|thumbnail|right|220px|Kundi la Marx Brothers. Kutoka juu hadi chini: Chico, Harpo, Groucho na Zeppo]]
'''Marx Brothers''' kilikuwa kikundi mashuhuri cha watu watano walio ndugu wachekeshaji wa katika makumbi, filamu na katika [[televisheni]]. Ndugu hao alikuwemo Chico, Harpo, Groucho, Gummo na Zeppo.
Marx Brothers walianza kama kundi la muziki, wakati wa maonyesho ya [[vaudeville]] (maonyesho ya vichekesho na sanaa katika maukumbi). Walikuwa wakifanyiana utani, kucheza sehemu za kuchekesha na kujifanya kama wanataka kupigana wakati wa maonyesho yao.
Wakiwa wnafanya maonysho yao huwa wanapata kupigiwa makofi na kufanya vizuri kuliko kazi yao rasmi ya muziki na baadaye likajakuwa kundi la vichekesho na muziki.
== Viungo vya nje ==
* {{imdb name|2580347}}
* [http://www.marx-brothers.org/index.htm www.marx-brothers.org]
* [http://marxology.marx-brothers.org/intro.htm Marxology]
* [http://www.marxbrothers.nu/index.htm The Marx Brothers Museum]
* [http://www.nightattheopera.net Marx Brothers Night at the Opera Treasury] {{Wayback|url=http://www.nightattheopera.net/ |date=20040513001401 }}
* [http://marx.comedyclassics.org/ Marx Brothers Forum] {{Wayback|url=http://marx.comedyclassics.org/ |date=20080708185512 }}
* [http://www.angelfire.com/mb2/marx/index.html Marx Brothers tribute page]
* [http://www.oraclesmusic.com/Review_Movies_2_The_Cocoanuts.php Review of Cocoanuts] {{Wayback|url=http://www.oraclesmusic.com/Review_Movies_2_The_Cocoanuts.php |date=20080510031407 }}
{{Mbegu-igiza-filamu-USA}}
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
jn24kubirl072rrnuau3796uxzwjys4
Franz Beckenbauer
0
16570
1244491
1038673
2022-08-25T09:03:43Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Franz Beckenbauer 2006 06 17.jpg|thumb|right|250px|Franz Beckenbauer.]]
'''Franz Beckenbauer''' (amezaliwa [[11 Septemba]] [[1945]]) ni mchezaji wa [[mpira wa miguu]] wa zamani kutoka nchini [[Ujerumani]].
Beckenbauer pia alikuwa [[kocha]] wa [[timu ya taifa]] ya [[Ujerumani]] na [[FC Bayern Munich]].
== Viungo vya nje ==
* [http://www.beckenbauer.de Tasisi ya Franz Beckenbauer (German)]
* [http://www.dfb.de/index.php?id=12348 Taarifa kuhusu Beckenbauer (German)]
* [http://www.planetworldcup.com/LEGENDS/beckbaur.html Portrait of Franz Beckenbauer (English)]
* [http://www.bigsoccer.com/forum/archive/index.php/t-146978.html Takwimu kuhusu Franz Beckenbauer]
{{Mbegu-cheza-mpira}}
{{DEFAULTSORT:Beckenbauer, Franz}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1945]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Ujerumani]]
[[Jamii:Makocha wa Ujerumani]]
[[Jamii:Wachezaji wa FC Bayern Munich]]
tq851o1w290fr1o0tskzurnuvdn459p
Jamii:Studio za filamu
14
16806
1244446
142568
2022-08-25T08:27:05Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Category:Filamu]]
0kslqnj6m4mq1xhxevosju1rjtethnv
MC Lyte
0
17324
1244493
1147139
2022-08-25T09:06:19Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya nje */
wikitext
text/x-wiki
{{Msanii muziki 2 <!-- See Wikipedia:WikiProject_Musicians -->
| Jina = MC Lyte
| Img = MC Lyte.jpg
| Img_capt = MC Lyte akiwa katika Tuzo za BET Hip Hop mjini Atlanta, mnamo [[14 Oktoba]] [[2007]].
| Img_size =
| Landscape =
| Background = solo_singer
| Jina la kuzaliwa = Lana Michele Moorer
| Pia anajulikana kama = MC Lyte
| Amezaliwa = [[11 Oktoba]] [[1971]]
| Asili yake = [[Brooklyn]], [[New York]]
| Ala = Sauti
| Aina = [[Muziki wa Hip Hop|Hip hop]]<br>[[Rhythm and blues|R&B]]<br>[[Rap]]
| Kazi yake = Mwanamuziki
| Miaka ya kazi = 1984–hadi leo
| Studio =
| Ameshirikiana na = [[Audio Two]]
[[Almost Septemba]]
| Tovuti = http://www.mc-lyte.com
}}
'''Lana Michele Moorer''' (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama '''MC Lyte'''; amezaliwa [[New York|Brooklyn, New York]], [[11 Oktoba]] [[1971]])<ref name=allmusic>{{cite web |url=http://www.allmusic.com/artist/mc-lyte-p72 |title=Biography |accessdate=2008-03-05 |last= Prato |first=Greg |work=[[Allmusic]] |publisher=[[All Media Guide]] }}</ref>
ni msanii wa muziki wa rap wa kike na ni ndugu wa Milk Dee na Gizmo, ambao waliokuwa wanafanya rekodi zao kwa jina la Audio Two. MC Lyte ni mmoja kati ya wanachama wa Sigma Gamma Rho Sorority, Inc.
==Muziki==
===Albamu za muziki===
* 1988 ''[[Lyte as a Rock]]''
* 1989 ''[[Eyes on This]]''
* 1991 ''[[Act Like You Know]]''
* 1993 ''[[Ain't No Other]]''
* 1996 ''[[Bad As I Wanna B]]'' <RIAA Certification>: Gold
* 1998 ''[[Seven & Seven]]''
* 1998 ''[[Badder Than B-Fore]]''
* 2001 ''[[The Very Best of MC Lyte]]''
* 2003 ''[[Da Undaground Heat, Vol. 1]]''
* 2003 ''[[The Shit I Never Dropped]]''
* 2005 ''[[Rhyme Masters]]''
* 2006 ''[[Wonder Years]]''
===Single zake===
{| class="wikitable"
! width="28" rowspan="2"| Mwaka
! width="214" rowspan="2"| Jina
! colspan="4"| Chati iliyoshika
! width="214" rowspan="2"| Albamu
|-
! width="86"| <small>[[Billboard Hot 100|US Hot 100]]
</small>
! width="86"| <small>[[R&B/Hip-Hop Tracks chart|US R&B/Hip-Hop]]</small>
! width="86"| <small>[[Rap Tracks chart|US Rap]]</small>
! width="86"| <small>[[UK Singles Chart]]</small>
|-
|rowspan="3"|[[1988 in music|1988]]
| "I Cram To Understand You (Sam)"
! –
! –
! –
! –
|align="center" rowspan="3"|''[[Lyte As A Rock]]''
|-
| "10% Dis"
! –
! –
! –
! –
|-
| "Paper Thin"
! –
! #35
! #1
! –
|-
|-
|rowspan="4"|[[1989 in music|1989]]
| "Cha Cha Cha"
! –
! –
! #1
! -
|align="center" rowspan="3"|''Eyes on This''
|-
| "Cappuccino"
! –
! –
! #8
! –
|-
|-
| "Stop Look Listen"
! –
! –
! –
! –
|-
|-
| "I'm Not Havin' It "
! –
! –
! #16
! –
|align="center"|''The First Priority Music Family: Basement Flavor''
|-
|-
|rowspan="3"|[[1991 in music|1991]]
| "When in Love"
! –
! #14
! #3
! –
|align="center" rowspan="4"|''Act Like You Know''
|-
|-
| "All That"
! –
! –
! –
! –
|-
|-
| "Poor Georgie"
! #83
! #11
! #1
! –
|-
|-
|rowspan="2"|[[1992 in music|1992]]
| "Eyes Are the Soul"
! –
! #84
! –
! –
|-
|-
| "Ice Cream Dream"
! –
! –
! #11
! –
|align="center"|''[[Mo' Money]]'' Kibwagizo/''Ain't No Other''
|-
|-
|rowspan="2"|[[1993 in music|1993]]
| "Ruffneck"
! #35
! #10
! #1
! #67
|align="center" rowspan="2"|''Ain't No Other''
|-
|-
| "I Go On"
! –
! #68
! #27
! –
|-
|-
|-
|-
|rowspan="1"|[[1994 in music|1994]]
| "[[Freedom (Various Artists song)|Freedom]]"
! #18
! #10
! –
! –
|align="center"|''[[Panther]]'' kibwagizo
|-
|-
| [[1996 in music|1996]]
| "Keep On, Keepin' On" (akimshirikisha [[Xscape]])
! #10
! #3
! #2
! #27
|align="center"|''Sunset Park'' [[kibwagizo]]
|-
|-
|rowspan="3"|[[1997 in music|1997]]
| "Cold Rock a Party" (akimshirikishaMissy Elliott na Puff Daddy)
! #11
! #5
! #1
! #15
|align="center" rowspan="3"|''Bad as I Wanna B''
|-
|-
| "Druglord Superstar"
! –
! –
! –
! –
|-
|-
| "Everyday"
! -
! #44
! –
! –
|-
|-
|rowspan="2"|[[1998 in music|1998]]
| "I Can't Make A Mistake"
! –
! –
! –
! #46
|align="center" rowspan="2"|''Seven & Seven''
|-
|-
| "It's All Yours" (akimshirikishaGina Thompson)
! –
! –
! –
! #36
|-
|-
| [[2003 in music|2003]]
| "Ride Wit Me"
! –
! –
! –
! #36
|align="center"|''Da Underground Heat Vol. 1 CD''
|-
|}
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* [http://www.mc-lyte.com/ Official website]
* {{MySpace|mclyte|MC Lyte}}
* [http://www.theshaitelboutique.com/ Boutique] {{Wayback|url=http://www.theshaitelboutique.com/ |date=20090803184012 }}
{{Mbegu-mwanamuziki-USA}}
{{DEFAULTSORT:Moorer, Lana Michele}}
[[Jamii:Wanamuziki wa Marekani]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1971]]
[[Jamii:Marapa wa Marekani]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:watu kutoka New York]]
4r00w2ce68lr7d12u3yniora4qifrbl
Kurap
0
17473
1244450
1155329
2022-08-25T08:33:34Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Kurap''' (pia inajulikana kama '''uemsii''', '''MC'', ''mashairi''', au '''kufokafoka''') ni tungo zinazoongelewa kwa kuiwakilisha mistari, au mtindo wa fokafoka, kuchezesha maneno, na [[mashairi]], ni moja kati ya chembechembe za utamaduni wa [[muziki]] wa [[hip hop]].
== Soma zaidi ==
<div class="references-small">
* {{cite book| author = Alan Light| coauthors = et al.| date = Oktoba 1999| title = The Vibe History of Hip Hop| url = https://archive.org/details/vibehistoryofhip00ligh| pages = 432| publisher = Three Rivers Press| id = ISBN 0-609-80503-7}}
* {{cite book| author = Jeff Chang| coauthors = D.J. Kool Herc | year = 2005 | month = Desemba| title = Can't Stop Won't Stop: A History of the Hip-Hop Generation | pages = 560| publisher = Picador| id = ISBN 0-312-42579-1}}
* {{cite book | author = Sacha Jenkins | coauthors = et al. | year = 1999 | month = Desemba | title = Ego Trip's Book of Rap Lists | url = https://archive.org/details/egotripsbookofra00jenk | pages = [https://archive.org/details/egotripsbookofra00jenk/page/n353 352] | publisher = St. Martin's Griffin | id = ISBN 0-312-24298-0 }}
</div>
==Tazama pia==
*[[Lango:Hip hop|Lango la Hip Hop]]
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Hip hop]]
1ghikg55wwz3umm1e8bw1ck5dleh5h9
Kigezo:Lou Bega
10
22278
1244448
209148
2022-08-25T08:30:20Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Navbox Musical artist
|name=Lou Bega
|title=[[Lou Bega]]
|background=solo_singer
|group1=Albamu zake
|list1=''[[A Little Bit of Mambo]]'' {{·}} ''[[Ladies and Gentlemen (albamu)|Ladies and Gentlemen]]'' {{·}} ''[[Lounatic]]
|group3=Single zake
|list3= "[[Mambo No. 5]]" {{·}} "[[I Got a Girl]]" {{·}} "[[Tricky, Tricky]]" {{·}} "[[Mambo Mambo]]" {{·}} "[[Gentleman (wimbo)|Gentleman]]" {{·}} "[[Just a Gigolo]]" {{·}} "[[Bachata]]" {{·}} "[[You Wanna Be Americano]]" {{·}} "[[Conchita]]"
|group5=Makala zinazohusiana
|list5=[[BMG]] {{·}} [[Big Records]] {{·}} [[RCA Records|RCA]] {{·}}
}}<noinclude>[[Category:Kigezo cha wanamuziki wa pop|{{PAGENAME}}]]
</noinclude>
0t6lz2qznbe2wincm2kkb0xasai647v
John Mott
0
24262
1244434
1123675
2022-08-25T08:12:11Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[picha:John Raleigh Mott.jpg|thumbnail|right|200px|John Mott]]
'''John Raleigh Mott''' ([[25 Mei]] [[1865]] – [[31 Januari]] [[1955]]) alikuwa [[kiongozi]] wa [[YMCA]] na mashirikia mengine ya [[Ukristo|kikristo]] kutoka nchi ya [[Marekani]].
Kuanzia [[mwaka]] wa 1895 hadi 1920 alikuwa [[Katibu mkuu|katibu mkuu]] wa [[Chama cha Wanafunzi Wakristo Duniani]].
Mwaka wa [[1910]], aliongoza [[Mkutano wa Misheni Duniani]] [[mji|mjini]] [[Edinburgh]] unaohesabika kama mwanzo wa [[ekumeni]] katika [[karne ya 20]].
Mwaka wa [[1946]], pamoja na [[Emily Balch]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Amani]]''' kwa ajili ya [[kazi]] yake ya kuanzisha na kuimarisha jumuiya za [[Mwanafunzi|wanafunzi]] kwa ajili ya [[amani]] [[Dunia|duniani]].
{{DEFAULTSORT:Mott, John}}
{{Mbegu-Mkristo}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1865]]
[[Jamii:Waliofariki 1955]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Amani]]
k1443ub7xqpvj72gh24ukic7hvjsi6j
24 (mfululizo wa TV)
0
27833
1244460
1222832
2022-08-25T08:39:20Z
Riccardo Riccioni
452
/* Viungo vya Nje */
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Television
| jina la kipindi = 24
| rated = [[Picha:TV14-V.gif|50px]]
| picha = [[Picha:24-Logo.svg|250px]]
| maelezo ya picha = logo ya ''24''
| aina = [[Mapambano]], [[Maigizo]], [[Kutisha]]
| mbunifu = [[Joel Surnow]]<br />[[Robert Cochran]]
| nyota = [[Kiefer Sutherland]]<br />[[Mary Lynn Rajskub]]<br />[[Janeane Garofalo]]<br />[[Cherry Jones]]<br />[[Carlos Bernard]]<br />[[James Morrison]]<br />[[Annie Wersching]]<br />[[Colm Feore]]<br />[[Bob Gunton]]<br />[[Rhys Coiro]]<br />[[Jeffrey Nordling]]
| nchi = [[Marekani]]
| lugha = [[Kiingereza]]
| misimu = 7
| sehemu = 168
| muda = makadirio. dk. 43.
| mtandao = [[FOX]]
| muundo wa picha = [[NTSC]] [[480i]] ([[SDTV]])<br /> [[PAL]] [[576i]] (SDTV)<br />[[720p]] ([[HDTV]]) FOX HD <br />[[1080i]] ([[HDTV]]) SKY HD
| hewani tangu = 6 Novemba 2001
| tovuti = http://www.fox.com/24/
| tv_com_id = 3866
| imdb_id = 0285331
}}
'''''24''''' ni kipindi kilichoshinda Tuzo ya [[Emmy]] na [[Golden Globe]] kikiwa kama kipindi bora cha mfululizo wa televisheni cha [[Marekani|Kimarekani]]. Kipindi hurushwa na [[televisheni]] ya [[Fox Broadcasting Company|Fox Network]] ya nchini Marekani na kuonyeshwa pia dunia nzima. Kipindi kilianza kuja kwenye TV mnamo tar. [[6 Novemba]] [[2001]], ikianza na vipengele kumi na tatu tu. Misimu yote sita ya mwanzo ilikuwa ikifanya kazi katika kitengo chao kuzuia ugaida cha [[Los Angeles]], [[Counter Terrorist Unit]] (CTU).
''24'' inaonyesha muda halisi, kila msimu unaonyesha kipindi cha msaa 24 ya maisha ya [[Jack Bauer]], ambaye anafanya kazi za kiserikali dhidi ya vitisho vya kigaidi vinavyotokea nchini mwao. Bauer mara kadhaa huwa mapambanoni kwa ajili ya Kitengo cha Kuzuia Ugaidi ambao hufanya kazi ya kujaribu kuzuia ugadi katika taifa. Kipindi pia huonyesha matendo ya makachero wengine. Misimu sita ya mwanzo yote ilikuwa ikifanyika mjini [[Los Angeles]] na sehemu za karibuni — ambazo zote ni za kizushi — mjini California, ingawa kuna baadhi ya sehemu zingine zilikuwa zikitumika vilevile. Msimui wa saba pekee ndiyo ulifanyanyika mjini [[Washington, D.C.]].<ref>{{cite web|url=http://au.tv.ign.com/articles/821/821061p1.html|title=IGN: 24: The Dead Rise|publisher=au.tv.ign.com|accessdate=2008-04-23|last=|first=|archivedate=2008-08-23|archiveurl=https://web.archive.org/web/20080823101243/http://au.tv.ign.com/articles/821/821061p1.html}}</ref> Msimu wa nane utakuwa [[New York City]], na CTU inarudishwa tena, lakini itakuwa CTU New York.<ref name="24 goes to New York">{{cite web | title= 24 goes to New York | url= http://www.slashfilm.com/2009/04/14/24-goes-to-new-york-city/ | author= EW | date= 2009-04-14 | accessdate= 2009-04-20 | archiveurl= https://web.archive.org/web/20090420015113/http://www.slashfilm.com/2009/04/14/24-goes-to-new-york-city/ | archivedate= 2009-04-20 }}</ref>
== Washiriki ==
* [[Kiefer Sutherland]] kama [[Jack Bauer]]
* [[Mary Lynn Rajskub]] kama [[Chloe O'Brian]]
* [[Carlos Bernard]] kama [[Tony Almeida]]
* [[James Morrison]] kama [[Bill Buchanan]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
== Viungo vya Nje ==
* [http://www.fox.com/24/ Official 24 website] {{Wayback|url=http://www.fox.com/24/ |date=20090307152123 }}
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:vipindi vya televisheni]]
egz2z4z4jr2eyxa0pf0zx980w8jh835
Renato Kizito Sesana
0
33834
1244431
1147846
2022-08-25T07:59:19Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Renato "Kizito" Sesana''' (alizaliwa mwaka [[1943]]) ni [[mmisionari]] wa shirika la [[Daniel Comboni]], [[mwandishi wa habari]] kutoka [[Italia]].
== Maisha ya utotoni ==
Renato Sesana alizaliwa katika [[Lecco]], Italia.
Mwaka wa 1962, alimaliza na shahada katika uhandisi, akaenda kufanya kazi katika kiwanda maarufu kilichoitwa [[Guzzi Moto Mandello del Lario]] jirani.
Sesana aliingia katika kundi la misionari katika [[Gozzano]], Italia, mwaka wa 1964. Baadaye alisoma teolojia kwa miaka minne katika [[Venegono]] [[Superiore]] na kuwa[[padre wa katoliki]] katika mwaka wa 1970. Alimiliki jina 'Kizito', baada ya [[Mtukufu Kizito]] (mdogo [[wa Mashahidi]] wa [[Uganda]], ambaye alikuwa canonized na [[Papa Paulo VI]] mwaka 1964).
Katika miaka ya 1970, Sesana aliwafanyia ''Nigrizia,'' kazi jarida maarufu la Comboni.Aliteuliwa mhariri wake kati ya 1973 na 1975, wakati wa kipindi ambacho alianza kusafiri kote [[Afrika]], kuandika na kuchukua picha.
Mwaka 1975, Sesana alisoma [[Kiingereza]] katika [[Marekani]], akiishi katika Parokia ya Msalaba Mtakatifu mjini [[Los Angeles, California.]] Alirudi Italia mwaka uliofuata, na mwaka wa 1977 alipata shahada ya udaktari katika [[sayansi ya siasa]] kutoka [[Chuo Kikuu cha Padua]], Italia. Suala lake lilikuwa juu [[Wafrika Wamerika]] walio katika [[Kanisa la Katoliki.]]
== Kazi ya kimisionari na fadhili katika Afrika ==
Kazi ya Baba Kizito ya kimisionari katika Afrika ilianza wakati yeye alipewa jukumu [[Zambia]]katika mwaka wa 1977. Aliwahi kutoa huduma katika [[Parokia]] ya vijijini kwa miaka mitatu kabla ya kuhamia mji mkuu, [[Lusaka.]] Baada ya kupewa eneo maskini linaloitwa Bauleni, Baba Kizito alifanya kazi hasa na vijana na kuanza jamii inayoitwa [[Koinonia .]]
Kat Februari 1988, yeye alitumwa kwenda [[Nairobi, Kenya]], na kuanzisha ''Mpya Watu,'' a Comboni [[Anglophone]] magazine kwa nchi za Afrika.
Mara moja mjini Nairobi, yeye kuanza walei katika jamii katika Kenya, pia hujulikana [[Koinonia]], pamoja na kundi la vijana ambao mara uvuvio maisha ya Wakristo kibiblia mapema kama ilivyoandikwa katika [[Matendo ya Mitume.]] The Community wajumbe walikuwa kutoka fani mbalimbali na asili, na wao waliishi pamoja kugawana ndoto zao, mafanikio na kushindwa. Leo hii, Koinonia Marafiki ina kuhusu wajumbe thelathini mjini Nairobi, na kumi katika Lusaka.
[[Koinonia Kenya]] ilikuwa registered kama kampuni mwili mwaka 1996, baada ambayo haifahamiki [[makampuni]] mbalimbali ya [[kijamii]] ili kusaidia kuboresha jamii ya mitaa ndani ambayo ni makao. Sina shughuli na miradi ya kijamii kutoa kipaumbele juu ya Wanyonge katika jamii, kama vile watoto katika mazingira magumu - hasa [[watoto wa mitaani]] - kama vile wanawake na vijana kutoka asili [[maskini.]]
Mbali na Nairobi na miradi Lusaka, Jumuiya tangu kuenea kwa [[Milima]] ya [[Nuba Sudan]], ambapo dada jamii, Koinonia Nuba, anaendesha shule mbili za msingi na walimu 'mafunzo ya chuo.
Beyond umisionari wake na kazi ya kibinadamu, Baba acclaimed Kizito ni [[mwandishi wa habari.]] Yeye aliandika weekly column kuitwa "Baba Kizito's Notebook" 1995-2001, katika toleo la Jumapili Daily Nation, ambalo ni Kenya's wengi sana kusoma gazeti.
Mwaka 1999, Mkutano wa Kenya Episcopal aliwaelekeza mpango naye na kuanzisha Waumini Redio, Katoliki kitaifa [[FM]] station. Utangazaji ya kituo kuanza mwezi Julai 2003, na Baba Kizito mbio hadi mapema 2006.
Baba Kizito pia aliongoza na kusaidiwa kuanzishwa Newsfromafrica.org, an elektroniska News Bulletin kwamba kuchapisha makala zilizoandikwa kutoka katika mtazamo wa watu katika ngazi ya chini ya Afrika harakati zao kwa uhuru, heshima na haki.
Kati ya mipango mingine, yeye imesaidia kuanzisha Peacelink-Afrika, portal mipango ya Afrika kwa [[amani]], na The Big Issue Kenya, ambayo ni nchi ya kwanza ya [[gazeti mitaani.]]
Hivi sasa, Baba Kizito inaendelea aktivt kusaidia na kuendeleza mipango [[Koinonia]] mbalimbali, hasa Jumuiya ya watoto wa mitaani katika miradi ya ukarabati Nairobi na Lusaka, vile vile shughuli za kujenga amani Afrika Amani Point, asasi isiyokuwa ya kiserikali iliyoanzishwa chini Koinonia.
Yeye pia linaendelea kuandika sana. Yeye ana hittills mwandishi vitabu 11 na kutafsiriwa kadhaa wengine. Katika Januari 2008, yeye uzinduzi blog mpya inayoitwa "A Life katika Afrika".
== Kashfa ==
Katika Juni 2009 Baba Kizito alikuwa mshitakiwa wa kufanya ngono na wavulana wenyeji katika jamii yake. Kuhani huyo alikanusha sana madai hayo, akisema mali ya marafiki yalikuwa malengo halisi ya watu nyuma ya shutuma.<ref>Daily Nation, 20 Juni 2009: [http://www.nation.co.ke/News/-/1056/613280/-/ukbo9e/-/index.html Boys Baba kutetea Kizito]</ref>
== Tuzo ==
*1997: Raul Follereau tuzo <ref>[http://www.aifo.it/saperne_di_piu/follereau/-premio/pagina40.html AIFO]{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
*2002: Vita Nova Nobel
==Marejeo==
{{Marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* A Life katika Afrika: Fr. Renato Kizito Sesana's blog http://kizito.blogsite.org/ {{Wayback|url=http://kizito.blogsite.org/ |date=20080318174644 }}
* Koinonia Kenya Website http://www.koinoniakenya.org
{{DEFAULTSORT:Sesana, Renato Kizito}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1943]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watu wa Italia]]
[[Jamii:wamisionari]]
[[Jamii:waandishi wa habari]]
[[Jamii:mapadri]]
nsyzo64wxilwgixm0j1ypdht12zvok9
1244432
1244431
2022-08-25T08:07:33Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Renato "Kizito" Sesana''' (alizaliwa mwaka [[1943]]) ni [[mmisionari]] wa shirika la [[Daniel Comboni]], [[mwandishi wa habari]] kutoka [[Italia]].
== Maisha ya utotoni ==
Renato Sesana alizaliwa katika [[Lecco]], Italia.
Mwaka wa 1962, alimaliza na shahada katika uhandisi, akaenda kufanya kazi katika kiwanda maarufu kilichoitwa [[Guzzi Moto]] jirani na [[Mandello del Lario]].
Sesana aliingia katika kundi la wamisionari huko [[Gozzano]], Italia, mwaka wa 1964. Baadaye alisoma [[teolojia]] kwa miaka minne huko [[Venegono Superiore]] na kuwa [[padre]] katika mwaka wa 1970. Alichukua jina 'Kizito', kwa heshima ya [[Kizito]] (mdogo kuliko [[Mashahidi wa Uganda]] wote, ambao walitangazwa watakatifu na [[Papa Paulo VI]] mwaka 1964).
Katika miaka ya 1970, Sesana alifanyia kazi ''Nigrizia,'' jarida maarufu la Wakomboni. Aliteuliwa mhariri wake kati ya 1973 na 1975, kipindi ambacho alianza kusafiri kote [[Afrika]], kuandika na kuchukua picha.
Mwaka 1975, Sesana alisoma [[Kiingereza]] katika [[Marekani]], akiishi katika Parokia ya Msalaba Mtakatifu mjini [[Los Angeles, California]]. Alirudi Italia mwaka uliofuata, na mwaka wa 1977 alipata shahada ya udaktari katika [[sayansi ya siasa]] kutoka [[Chuo Kikuu cha Padua]], Italia. Suala lake lilikuwa juu [[Wafrika Waamerika]] walio katika [[Kanisa Katoliki]].
== Kazi ya kimisionari na fadhili katika Afrika ==
Kazi ya Baba Kizito ya kimisionari katika Afrika ilianza wakati yeye alipewa jukumu [[Zambia]]katika mwaka wa 1977. Aliwahi kutoa huduma katika [[Parokia]] ya vijijini kwa miaka mitatu kabla ya kuhamia mji mkuu, [[Lusaka.]] Baada ya kupewa eneo maskini linaloitwa Bauleni, Baba Kizito alifanya kazi hasa na vijana na kuanza jamii inayoitwa [[Koinonia .]]
Kat Februari 1988, yeye alitumwa kwenda [[Nairobi, Kenya]], na kuanzisha ''Mpya Watu,'' a Comboni [[Anglophone]] magazine kwa nchi za Afrika.
Mara moja mjini Nairobi, yeye kuanza walei katika jamii katika Kenya, pia hujulikana [[Koinonia]], pamoja na kundi la vijana ambao mara uvuvio maisha ya Wakristo kibiblia mapema kama ilivyoandikwa katika [[Matendo ya Mitume.]] The Community wajumbe walikuwa kutoka fani mbalimbali na asili, na wao waliishi pamoja kugawana ndoto zao, mafanikio na kushindwa. Leo hii, Koinonia Marafiki ina kuhusu wajumbe thelathini mjini Nairobi, na kumi katika Lusaka.
[[Koinonia Kenya]] ilikuwa registered kama kampuni mwili mwaka 1996, baada ambayo haifahamiki [[makampuni]] mbalimbali ya [[kijamii]] ili kusaidia kuboresha jamii ya mitaa ndani ambayo ni makao. Sina shughuli na miradi ya kijamii kutoa kipaumbele juu ya Wanyonge katika jamii, kama vile watoto katika mazingira magumu - hasa [[watoto wa mitaani]] - kama vile wanawake na vijana kutoka asili [[maskini.]]
Mbali na Nairobi na miradi Lusaka, Jumuiya tangu kuenea kwa [[Milima]] ya [[Nuba Sudan]], ambapo dada jamii, Koinonia Nuba, anaendesha shule mbili za msingi na walimu 'mafunzo ya chuo.
Beyond umisionari wake na kazi ya kibinadamu, Baba acclaimed Kizito ni [[mwandishi wa habari.]] Yeye aliandika weekly column kuitwa "Baba Kizito's Notebook" 1995-2001, katika toleo la Jumapili Daily Nation, ambalo ni Kenya's wengi sana kusoma gazeti.
Mwaka 1999, Mkutano wa Kenya Episcopal aliwaelekeza mpango naye na kuanzisha Waumini Redio, Katoliki kitaifa [[FM]] station. Utangazaji ya kituo kuanza mwezi Julai 2003, na Baba Kizito mbio hadi mapema 2006.
Baba Kizito pia aliongoza na kusaidiwa kuanzishwa Newsfromafrica.org, an elektroniska News Bulletin kwamba kuchapisha makala zilizoandikwa kutoka katika mtazamo wa watu katika ngazi ya chini ya Afrika harakati zao kwa uhuru, heshima na haki.
Kati ya mipango mingine, yeye imesaidia kuanzisha Peacelink-Afrika, portal mipango ya Afrika kwa [[amani]], na The Big Issue Kenya, ambayo ni nchi ya kwanza ya [[gazeti mitaani.]]
Hivi sasa, Baba Kizito inaendelea aktivt kusaidia na kuendeleza mipango [[Koinonia]] mbalimbali, hasa Jumuiya ya watoto wa mitaani katika miradi ya ukarabati Nairobi na Lusaka, vile vile shughuli za kujenga amani Afrika Amani Point, asasi isiyokuwa ya kiserikali iliyoanzishwa chini Koinonia.
Yeye pia linaendelea kuandika sana. Yeye ana hittills mwandishi vitabu 11 na kutafsiriwa kadhaa wengine. Katika Januari 2008, yeye uzinduzi blog mpya inayoitwa "A Life katika Afrika".
== Kashfa ==
Katika Juni 2009 Baba Kizito alikuwa mshitakiwa wa kufanya ngono na wavulana wenyeji katika jamii yake. Kuhani huyo alikanusha sana madai hayo, akisema mali ya marafiki yalikuwa malengo halisi ya watu nyuma ya shutuma.<ref>Daily Nation, 20 Juni 2009: [http://www.nation.co.ke/News/-/1056/613280/-/ukbo9e/-/index.html Boys Baba kutetea Kizito]</ref> Hatimaye mashtaka yalifutwa<ref name="freed">Daily Nation, May 27, 2011:[http://www.nation.co.ke/News/Fr-Kizito-freed-for-lack-of-evidence--/-/1056/1170734/-/l29tyhz/-/index.html Fr Kizito freed for lack of evidence]</ref><ref name="innocent">[http://www.newsfromafrica.org/newsfromafrica/articles/art_12197.html Father Kizito Renato Sesana is Innocent]</ref>; hapo yeye akafunguliwa kesi magazeti matatu yaliyomsema vibaya.
== Tuzo ==
*1997: Raul Follereau tuzo <ref>[http://www.aifo.it/saperne_di_piu/follereau/-premio/pagina40.html AIFO]{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}</ref>
*2002: Vita Nova Nobel
*2002: Altropallone Award <ref>[http://altropallone.it/ Altropallone]</ref> He has been awarded for his commitment in the sponsorship of clean, fair and liable sport activities. He promoted the manufacturing of fair-trade footballs by Nairobi's Amani Yassets Sports Club and intended to bring back soccer and other sports as a mean of joy and fellowship.<br>
*2011: City of Sasso Marconi Journalism Award <ref>[http://www.comune.sassomarconi.bologna.it/servizi/notizie/notizie_fase02.aspx?ID=3245 Premio Sasso Marconi]</ref><br>
*2012: Regione Lombardia Peace Prize <ref>[https://archive.today/20130413062152/http://www.regione.lombardia.it/cs/Satellite?c=News&childpagename=Regione/Detail&cid=1213569925595&pagename=RGNWrapper Lombardia Peace Prize]</ref><br>
*2015: Ethical Award awarded by Associazione Culturale Plana to him and the film director Ermanno Olmi e the Uruguay president José "Pepe" [[José Mujica|Mujica]]
==Marejeo==
{{Marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* A Life katika Afrika: Fr. Renato Kizito Sesana's blog http://kizito.blogsite.org/ {{Wayback|url=http://kizito.blogsite.org/ |date=20080318174644 }}
* Koinonia Kenya Website http://www.koinoniakenya.org
* Newsfromafrica http://Newsfromafrica.org
* Radio Waumini http://www.radiowaumini.org
{{DEFAULTSORT:Sesana, Renato Kizito}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1943]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watu wa Italia]]
[[Jamii:wamisionari]]
[[Jamii:waandishi wa habari]]
[[Jamii:mapadri]]
k2qy251q7ar749eyj9b1uxqw82d8rhs
1244433
1244432
2022-08-25T08:08:43Z
Riccardo Riccioni
452
/* Tuzo */
wikitext
text/x-wiki
'''Renato "Kizito" Sesana''' (alizaliwa mwaka [[1943]]) ni [[mmisionari]] wa shirika la [[Daniel Comboni]], [[mwandishi wa habari]] kutoka [[Italia]].
== Maisha ya utotoni ==
Renato Sesana alizaliwa katika [[Lecco]], Italia.
Mwaka wa 1962, alimaliza na shahada katika uhandisi, akaenda kufanya kazi katika kiwanda maarufu kilichoitwa [[Guzzi Moto]] jirani na [[Mandello del Lario]].
Sesana aliingia katika kundi la wamisionari huko [[Gozzano]], Italia, mwaka wa 1964. Baadaye alisoma [[teolojia]] kwa miaka minne huko [[Venegono Superiore]] na kuwa [[padre]] katika mwaka wa 1970. Alichukua jina 'Kizito', kwa heshima ya [[Kizito]] (mdogo kuliko [[Mashahidi wa Uganda]] wote, ambao walitangazwa watakatifu na [[Papa Paulo VI]] mwaka 1964).
Katika miaka ya 1970, Sesana alifanyia kazi ''Nigrizia,'' jarida maarufu la Wakomboni. Aliteuliwa mhariri wake kati ya 1973 na 1975, kipindi ambacho alianza kusafiri kote [[Afrika]], kuandika na kuchukua picha.
Mwaka 1975, Sesana alisoma [[Kiingereza]] katika [[Marekani]], akiishi katika Parokia ya Msalaba Mtakatifu mjini [[Los Angeles, California]]. Alirudi Italia mwaka uliofuata, na mwaka wa 1977 alipata shahada ya udaktari katika [[sayansi ya siasa]] kutoka [[Chuo Kikuu cha Padua]], Italia. Suala lake lilikuwa juu [[Wafrika Waamerika]] walio katika [[Kanisa Katoliki]].
== Kazi ya kimisionari na fadhili katika Afrika ==
Kazi ya Baba Kizito ya kimisionari katika Afrika ilianza wakati yeye alipewa jukumu [[Zambia]]katika mwaka wa 1977. Aliwahi kutoa huduma katika [[Parokia]] ya vijijini kwa miaka mitatu kabla ya kuhamia mji mkuu, [[Lusaka.]] Baada ya kupewa eneo maskini linaloitwa Bauleni, Baba Kizito alifanya kazi hasa na vijana na kuanza jamii inayoitwa [[Koinonia .]]
Kat Februari 1988, yeye alitumwa kwenda [[Nairobi, Kenya]], na kuanzisha ''Mpya Watu,'' a Comboni [[Anglophone]] magazine kwa nchi za Afrika.
Mara moja mjini Nairobi, yeye kuanza walei katika jamii katika Kenya, pia hujulikana [[Koinonia]], pamoja na kundi la vijana ambao mara uvuvio maisha ya Wakristo kibiblia mapema kama ilivyoandikwa katika [[Matendo ya Mitume.]] The Community wajumbe walikuwa kutoka fani mbalimbali na asili, na wao waliishi pamoja kugawana ndoto zao, mafanikio na kushindwa. Leo hii, Koinonia Marafiki ina kuhusu wajumbe thelathini mjini Nairobi, na kumi katika Lusaka.
[[Koinonia Kenya]] ilikuwa registered kama kampuni mwili mwaka 1996, baada ambayo haifahamiki [[makampuni]] mbalimbali ya [[kijamii]] ili kusaidia kuboresha jamii ya mitaa ndani ambayo ni makao. Sina shughuli na miradi ya kijamii kutoa kipaumbele juu ya Wanyonge katika jamii, kama vile watoto katika mazingira magumu - hasa [[watoto wa mitaani]] - kama vile wanawake na vijana kutoka asili [[maskini.]]
Mbali na Nairobi na miradi Lusaka, Jumuiya tangu kuenea kwa [[Milima]] ya [[Nuba Sudan]], ambapo dada jamii, Koinonia Nuba, anaendesha shule mbili za msingi na walimu 'mafunzo ya chuo.
Beyond umisionari wake na kazi ya kibinadamu, Baba acclaimed Kizito ni [[mwandishi wa habari.]] Yeye aliandika weekly column kuitwa "Baba Kizito's Notebook" 1995-2001, katika toleo la Jumapili Daily Nation, ambalo ni Kenya's wengi sana kusoma gazeti.
Mwaka 1999, Mkutano wa Kenya Episcopal aliwaelekeza mpango naye na kuanzisha Waumini Redio, Katoliki kitaifa [[FM]] station. Utangazaji ya kituo kuanza mwezi Julai 2003, na Baba Kizito mbio hadi mapema 2006.
Baba Kizito pia aliongoza na kusaidiwa kuanzishwa Newsfromafrica.org, an elektroniska News Bulletin kwamba kuchapisha makala zilizoandikwa kutoka katika mtazamo wa watu katika ngazi ya chini ya Afrika harakati zao kwa uhuru, heshima na haki.
Kati ya mipango mingine, yeye imesaidia kuanzisha Peacelink-Afrika, portal mipango ya Afrika kwa [[amani]], na The Big Issue Kenya, ambayo ni nchi ya kwanza ya [[gazeti mitaani.]]
Hivi sasa, Baba Kizito inaendelea aktivt kusaidia na kuendeleza mipango [[Koinonia]] mbalimbali, hasa Jumuiya ya watoto wa mitaani katika miradi ya ukarabati Nairobi na Lusaka, vile vile shughuli za kujenga amani Afrika Amani Point, asasi isiyokuwa ya kiserikali iliyoanzishwa chini Koinonia.
Yeye pia linaendelea kuandika sana. Yeye ana hittills mwandishi vitabu 11 na kutafsiriwa kadhaa wengine. Katika Januari 2008, yeye uzinduzi blog mpya inayoitwa "A Life katika Afrika".
== Kashfa ==
Katika Juni 2009 Baba Kizito alikuwa mshitakiwa wa kufanya ngono na wavulana wenyeji katika jamii yake. Kuhani huyo alikanusha sana madai hayo, akisema mali ya marafiki yalikuwa malengo halisi ya watu nyuma ya shutuma.<ref>Daily Nation, 20 Juni 2009: [http://www.nation.co.ke/News/-/1056/613280/-/ukbo9e/-/index.html Boys Baba kutetea Kizito]</ref> Hatimaye mashtaka yalifutwa<ref name="freed">Daily Nation, May 27, 2011:[http://www.nation.co.ke/News/Fr-Kizito-freed-for-lack-of-evidence--/-/1056/1170734/-/l29tyhz/-/index.html Fr Kizito freed for lack of evidence]</ref><ref name="innocent">[http://www.newsfromafrica.org/newsfromafrica/articles/art_12197.html Father Kizito Renato Sesana is Innocent]</ref>; hapo yeye akafunguliwa kesi magazeti matatu yaliyomsema vibaya.
== Tuzo ==
*1997: Raul Follereau tuzo <ref>[http://www.aifo.it/english/gen/follereau/follereauaward.htm Raoul Follereau Award]</ref><br>
*2002: Vita Nova Nobel
*2002: Altropallone Award <ref>[http://altropallone.it/ Altropallone]</ref> He has been awarded for his commitment in the sponsorship of clean, fair and liable sport activities. He promoted the manufacturing of fair-trade footballs by Nairobi's Amani Yassets Sports Club and intended to bring back soccer and other sports as a mean of joy and fellowship.<br>
*2011: City of Sasso Marconi Journalism Award <ref>[http://www.comune.sassomarconi.bologna.it/servizi/notizie/notizie_fase02.aspx?ID=3245 Premio Sasso Marconi]</ref><br>
*2012: Regione Lombardia Peace Prize <ref>[https://archive.today/20130413062152/http://www.regione.lombardia.it/cs/Satellite?c=News&childpagename=Regione/Detail&cid=1213569925595&pagename=RGNWrapper Lombardia Peace Prize]</ref><br>
*2015: Ethical Award awarded by Associazione Culturale Plana to him and the film director Ermanno Olmi e the Uruguay president José "Pepe" [[José Mujica|Mujica]]
==Marejeo==
{{Marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* A Life katika Afrika: Fr. Renato Kizito Sesana's blog http://kizito.blogsite.org/ {{Wayback|url=http://kizito.blogsite.org/ |date=20080318174644 }}
* Koinonia Kenya Website http://www.koinoniakenya.org
* Newsfromafrica http://Newsfromafrica.org
* Radio Waumini http://www.radiowaumini.org
{{DEFAULTSORT:Sesana, Renato Kizito}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1943]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Watu wa Italia]]
[[Jamii:wamisionari]]
[[Jamii:waandishi wa habari]]
[[Jamii:mapadri]]
aankg0xmc0hefz3juot68rhib4okzyq
Dubai Cares
0
34491
1244496
1207147
2022-08-25T09:10:18Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Image:Dubai_Cares.JPG|thumb|Dubai Cares]]
'''Dubai Cares''' (kwa Kiarabu: دبي العطاء) ni mpango wa maslahi ya kibinadamu ambao unataka kutoa [[elimu]] kwa watoto katika sehemu maskini duniani. Ilizinduliwa Septemba 2007 na Sheikh [[Mohammed bin Rashid Al Maktoum]], Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wa [[Umoja wa Falme za Kiarabu]], na Mtawala wa [[Dubai]]. Mwezi Aprili 2008, Dubai Cares ilikuwa mchango wa Dubai Umoja kwa Mataifa ya Maendeleo ya Milenia ya kutoa elimu ya msingi kwa kila mtoto ifikapo mwaka 2015 na ilikuwa msingi mkubwa ulimwenguni iliyokuwa na kazi ya kuboresha elimu ya msingi katika nchi zinazoendelea. <ref name="grt"></ref> Lengo ni kuwaelimisha watoto milioni 1 katika nchi maskini. <ref>{{cite web |url=http://www.dubaicares.ae/eng/default.asp |title=Dubai Cares |accessdate=2007-11-09 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20071109171438/http://www.dubaicares.ae/eng/default.asp |archivedate=2007-11-09 }}</ref> <ref name="wam">{{cite news|url=http://www.gulfnews.com/nation/Government/10281598.html|title=Hamdan Highlights UAE Role in Helping the Poor|date=2009-02-02|publisher=Gulf News|accessdate=2009-03-01|archiveurl=https://web.archive.org/web/20090203193447/http://www.gulfnews.com/nation/Government/10281598.html|archivedate=2009-02-03}}</ref> Miongoni mwa miradi mingine, Dubai Cares imekuwa inaohusika na [[Save the Children]] nchini Sudan, kwa kutoa ruzuku ya milioni $ 16.6. <ref name="grt">{{cite news|url=http://www.alertnet.org/thenews/fromthefield/SaveChAlli/a5d44b438e36fb6d32ed57378ba695b5.htm|title=Dubai Cares Provides Multimillion Dollar Grant for Save the Children's Sudan Education Programs|coauthors=International Save the Children Alliance|date=2008-04-15|publisher=Reuters|accessdate=2009-03-01|archivedate=2008-12-04|archiveurl=https://web.archive.org/web/20081204144645/http://www.alertnet.org/thenews/fromthefield/SaveChAlli/a5d44b438e36fb6d32ed57378ba695b5.htm}}</ref>
Mbali na kazi yao inayohusiana na elimu, Dubai Cares imekuwa inahusika na michango ya [[Myanmar]] kufuatia [[Tufani Nargis]] kupitia mahema, vifaa vya kufundishia na vifaa vya shule.
== Marejeo ==
{{reflist}}
== Viungo vya nje ==
* [http://www.dubaicares.ae/eng/default.asp Tovuti rasmi ya kiingereza ya Dubai Cares] {{Wayback|url=http://www.dubaicares.ae/eng/default.asp |date=20081210210211 }}
{{UAE-stub}}
{{Asia-org-stub}}
[[Category:Mashirika ya kimataifa]]
rtq9ifuoa6tmry81dlbvvib7ja11hhf
Dubai Desert Classic
0
34494
1244499
1223865
2022-08-25T09:13:48Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox golf tournament
|jina = Dubai Desert Classic
|image =
|mahali = {{Flag icon|UAE}} [[Dubai]],</br>[[United Arab Emirates]]
|ilianzishwa = 1989
|uwanja = [[Emirates Golf Club]]
|par = 72
|umbali = 7,301
|ziara = [[PGA European Tour|European Tour]]
|jinsi = [[Stroke play]]
|pesa = [[United States dollar|$]]2,500,000
|mwezi = Januari
|jumla = 266 [[Thomas Bjørn]] (2001)
|shimo = -22 ''(kama ilivyo hapa juu)''
|mshindi wa sasa = {{Flag icon|NIR}} [[Rory McIlroy]]
}}
[[Picha: ODDC_Logo_Red.png|thumb|Nembo ya Dubai Desert Classic]]
'''Dubai Desert Classic''' ni mchuano wa utaalam wa [[gofu]] unaofanyika kila mwaka huko [[Dubai]] katika [[United Arab Emirates]]. Imekuwa sehemu ya ratiba ya [[European Tour]] tangu kuzinduliwa mwaka [[1989]] na ilikuwa sehemu ya kwanza ya ratiba ya European Tour kufanyiwa Mashariki ya Kati. Isipokuwa makala ya 1999 na 2000, ambayo yalifanyika katika [[Dubai Creek Golf & Yacht Club]], imekuwa ikichezewa kwenye kozi la "Majlis katika [[Emirates Golf Club]].
Tukio limebainishwa kwa kuvutia baadhi ya nyota wakubwa duniani wa gofu kwa msaada wa pesa nyingi zilizotakikana za ushiriki. [[Ernie Els]] amekuwa na mafanikio zaidi kwani ameshinda Desert Classic mara tatu. Mdhamini mkuu wa tukio hilo ni [[Dubal]], pamoja na wadhamini-wasaidizi wakiwa pamoja na: [[Omega]], [[EmiratesNBD]], [[Golf Jumeirah Estates]], [[CNN]], [[Emaar]], [[Emirates Airlines]], [[BMW]] na [[Gulf News]].
== Washindi ==
{| class="wikitable"
!Mwaka
!Mshindi
!Pointi
|-
! colspan="4"|Dubai Desert Classic
|-
| 2009
| {{Flag icon|NIR}} [[Rory McIlroy]]
| 269 (-19)
|-
| 2008
| {{Flag icon|USA}} [[Tiger Woods]]
| 274 (-14)
|-
| 2007
| {{Flag icon|SWE}} [[Henrik Stenson]]
| 269 (-19)
|-
| 2006
| {{Flag icon|USA}} [[Tiger Woods]]
| 269 (-19) <sup>PO</sup>
|-
| 2005
| {{Flag icon|RSA}} [[Ernie Els]]
| 269 (-19)
|-
| 2004
| {{Flag icon|USA}} [[Marko O'Meara]]
| 271 (-17)
|-
| 2003
| {{Flag icon|NED}} [[Robert-Jan Derksen]]
| 271 (-17)
|-
| 2002
| {{Flag icon|RSA}} [[Ernie Els]]
| 272 (-16)
|-
| 2001
| {{Flag icon|DEN}} [[Thomas Bjørn]]
| 266 (-22)
|-
| 2000
| {{Flag icon|ARG}} [[José Cóceres]]
| 274 (-14)
|-
| 1999
| {{Flag icon|ENG}} [[David Howell]]
| 275 (-13)
|-
| 1998
| {{Flag icon|ESP}} [[José María Olazábal]]
| 269 (-19)
|-
| 1997
| {{Flag icon|AUS}} [[Richard Green]]
| 272 (-16) <sup>PO</sup>
|-
| 1996
| {{Flag icon|SCO}} [[Colin Montgomerie]]
| 270 (-18)
|-
| 1995
| {{Flag icon|USA}} [[Fred Couples]]
| 268 (-20)
|-
| 1994
| {{Flag icon|RSA}} [[Ernie Els]]
| 268 (-20)
|-
| 1993
| {{Flag icon|RSA|1928}} [[Wayne Westner]]
| 274 (-14)
|-
| 1992
| {{Flag icon|ESP}} [[Seve Ballesteros]]
| 272 (-16) <sup>PO</sup>
|-
! colspan="4"|Emirates Airlines Desert Classic
|-
| 1990
| {{Flag icon|IRL}} [[Eamonn Darcy]]
| 276 (-12)
|-
! colspan="4"|Karl Litten Desert Classic
|-
| 1989
| {{Flag icon|ENG}} [[Mark James]]
| 277 (-11) <sup>PO</sup>
|-
|}
== Angalia pia ==
Matukio mengine mawili ambayo ni sehemu ya Gulf Swing:
* [[Abu Dhabi Golf Championship]]
* [[Qatar Masters]]
== Viungo vya nje ==
* [http://www.dubaidesertclassic.com Tovuti rasmi ya Dubai]
* [http://www.europeantour.com/default.sps?pageid=127&pagegid=%7BAEFB93B0%2DEFF5%2D4C05%2DAB0F%2DFD08D947D944%7D&eventid=2008006&infosid=3&pageno=1 Habari katika tovuti rasmi ya European Tour] {{Wayback|url=http://www.europeantour.com/default.sps?pageid=127&pagegid=%7BAEFB93B0%2DEFF5%2D4C05%2DAB0F%2DFD08D947D944%7D&eventid=2008006&infosid=3&pageno=1 |date=20081224211801 }}
* [http://dubaigolf.info/dubaigolfhistory.html Historia ya Dubai Golf] {{Wayback|url=http://dubaigolf.info/dubaigolfhistory.html |date=20100510185945 }}
{{European Tour}}
[[Jamii:Michezo nchini Falme za Kiarabu]]
[[Jamii:Dubai]]
rfdyd0nylk0uqz16fb4t129c0kq4cm9
Kigezo:Mbegu-mwanariadha-kenya
10
35040
1244500
914452
2022-08-25T09:15:57Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{| style="font-size:90%; width: 65%; padding: 3px; margin: 0 auto;" class=toccolours
|-
| [[Picha:Flag_of_Kenya.svg|30px| ]]
|Makala hii kuhusu Mwanariadha wa [[Kenya]] bado ni '''mbegu'''. <br> Je, unajua kitu kuhusu '''{{FULLPAGENAME}}''' kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? <br />Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? <br />Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa [{{SERVER}}/w/index.php?stub&title={{FULLPAGENAMEE}}&action=edit kuihariri na kuongeza habari]''.
|}<includeonly>[[Jamii:Mbegu za waandishi]]</includeonly><noinclude>
[[Jamii:Mbegu za Kenya| ]]
</noinclude>
lgbhu1ycyopz87jxt4ldcfufthkrp33
Washeba
0
35052
1244490
1086669
2022-08-25T09:00:57Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Panel Almaqah Louvre DAO18.jpg|thumb|Maandishi ya Jamii ya Washeba yakiandikwa kwa ajili ya mungu wa mwezi [[Almaqah]]]]
[[Picha:BronzeManNashqum.jpg|thumb|"Mtu wa Shaba" alipatikana katika [[Al Bayda']] (Nashqum ya kale, ufalme wa [[Sheba]]), karne ya 6 hadi 5 KK katika makumbusho ya [[Louvre]].]]
[[Picha:Sabaean-drachm.jpg|thumb|]]
'''Washeba''' au '''Sabæans''' ({{lang-ar|السبأيين}}) walikuwa watu waliokuwa wakizungumza lugha ya Kiarabu cha Kale cha Kusini, waliokuwa wanaishi katika nchi ya sasa [[Yemen]], upande wa Kusini-Magharibi mwa mkono nchi Uarabuni.
<!--; kuanzia miaka 2000KK hadi katika karne ya 8KK - walichangia kwa kuzingatia mambo yafuatayo.-->. Baadhi ya watu wa kabila la Washeba waliwahi kuishi katika eneo la [[D'mt]], lililopo kaskazini mwa [[Ethiopia]] na [[Eritrea]], hii ni kutokana na mapenzi yao juu ya [[Bahari ya Shamu]]<ref>Stuart Munro-Hay, ''Aksum: An African Civilization of Late Antiquity'', 1991.</ref>.
==Historia==
Watu wa kale wa Ufalme wa ''Sheba''' walianza kupotea kufikia katika milenia ya pili hadi kufikia katika karne ya 1 KK. Katika wakati huu, eneo lao lilivamiwa na kukaliwa na watu wa jamii ya [[Himyar]], lakini baada ya kuanguka kwa ufalme wa [[Himyar]] uliokuwa ukiongozwa na mfalme [[Saba]] na [[Dhu-Raydan]] watu wa kabila la Washeba wa kipindi cha kati walitokezea tena. Hii ikiwa ni katika karne ya pili. Lakini hatimaye eneo hili lilivamiwa na kutawaliwa na [[Himyarite]] mwishoni mwa karne ya tatu. Mji mkuu wa eneo hili ni [[Ma'rib]]. Ufalme huu uliahimia katika pembezoni mwa Jangwa eneo lililoitwa [[Sayhad]] na [[medieval]] Wanajiografia wa Kiarabu na ndio inayoitwa sasa [[Ramlat al-Sab`atayn]].
Watu wa kabila la Washeba walikuwa ni Waarabu wa Kusini. Na kila kabila katika eneo hili walikuwa na eneo la ufalme wake katika eneo la Yemen ya kale. Jamii ya watu wa '''Minaeans''' wakikaa katika eneo la Kaskazini mwa bahari Ya Shamu, na wakati watu wa kabila la '''Sabeans''' wakikaa katika upande wa kusini, huku wakiendelea kutanuka kuelekea katika nyanda za juu za bahari.Watu wa jamii ya '''Qatabanians''' wakikaa katika upande wa mashariki yao, na jamii ya '''Hadramites''' wakikaa upande wao wa Mashariki.
Jamii ya Washeba, kama jamii nyingine yoyote ya Kiarabu na wakazi wa falme za Yemen wa kipindi hicho hicho walikuwa wakijihususha na shughuli za biashara zenye kuleta faida ya hali ya juu. Mara kadhaa walikuwa wakijihusisha na shughuli za Kuuza ubani au uvumba na manemane <ref>[http://www.infoplease.com/ipa/A0108153.html Yemen]</ref>
Baadhi ya wanahistoria wanaamini kuwa, watu wa jamii zote hizi walikuwa ni watu wa taifa moja wa Ufalme wa [[Sheba]]. Waliacha kumbukumbu nyingi katika majengo ya [[Musnad]] kama herufi za zamani za Kiarabu, nyaraka kadhaa zilizoandikwa kwa lugha ya Kiarabu.
Nyaraka hizi zilihusu imani ya kuabudu Mungu, na zisijechanganywa na zile za jamii ya [[Washeba]] Zilizotajwa katika kitabu kitakatifu cha [[Quran]], ambapo majina yake yameandikwa katika maandishi ya kiarabu pia.
Kutokana na mamalaka yao juu ya [[Bahari ya Shamu]] Baadhi ya watu wa kabila la Washeba,
walibaki katika eneo la Kaskazini mwa [[Ethiopia]]na [[Eritrea]] katika kipindi cha Washeba kutaka ufalme wa [[D`mt]]. Wanahistoria wengi wanaamini ustaarabu huu kuwa ndio wa asili katika eneo hili,<ref>Stuart Munro-Hay, ''Aksum: An African Civilization of Late Antiquity''. Edinburgh: University Press, 1991, pp.57. </ref> . Lakini wengine bado wanauona kuwa D'mt ni mchanganyiko wa tamaduni kadhaa za makabila mbalimbali yaliyoishi pamoja.;<ref>Taddesse Tamrat, ''Church and State in Ethiopia: 1270-1527'' (Oxford: Oxford University Press, 1972), pp.5-13.</ref> Watu wachache bado wanaendelea kuona Ufalme kuwa wote ni ufalmwe wa Sheba au wa wa[[Eritrea]] na wa[[Ethiopia]] lakini pia wengine husema kuwa, ni wahamiaji wa mwisho wa Sabean lakini ushahidi wao huo wote hua hauna mashiko.
Katika ''[[Res Gestae Divi Augusti]]'', [[Augustus]] anadai kuwa:
<blockquote> Kwa mamlaka ya utabiri wangu, vikosi viwili vya manajeshi waliongozwa kwa karibu wakati sawa na kuingia katika nchi za Ethiopia na Uarabuni.Nchini Ethipia wavamizi hawa walifika hadi katika mji wa Nabata ulio karibu na mji wa [[Meroe]]. Nchini [[Arabia]] wanajeshi hawa waliweza kujipenyeza na kufika hadi katika eneo la [[Mariba]]<ref>[[Res Gestae Divi Augusti]], paragraph 26.5, [[s:Res Gestae Divi Augusti|translation]] from [[Wikisource]]</ref></blockquote>
Lakni hata hivyo, maneno haya ya Res Gestae Divi Augusti ni maneno ya propaganda na hakuna sehemu nyingine inayoonesha au kuwa na ushahidi wake.
==Tazama pia==
*[[Yemen]]
==Tanbihi==
{{marejeo}}
==Marejeo==
*Bafaqīh, M. ‛A., ''L'unification du Yémen antique. La lutte entre Saba’, Himyar et le Hadramawt de Ier au IIIème siècle de l'ère chrétienne''. Paris, 1990 (Bibliothèque de Raydan, 1).
*[[Andrey Korotayev]]. ''Ancient Yemen''. Oxford: Oxford University Press, 1995. ISBN 0-19-922237-1[http://www.amazon.com/gp/product/0199222371].
*[[Andrey Korotayev]]. ''Pre-Islamic Yemen''. Wiesbaden: Harrassowitz Verlag, 1996. ISBN 3-447-03679-6.
*Ryckmans, J., Müller, W. W., and ‛Abdallah, Yu., ''Textes du Yémen Antique inscrits sur bois''. Louvain-la-Neuve, 1994 (Publications de l'Institut Orientaliste de Louvain, 43).
*[http://www.infoplease.com/ipa/A0108153.html Info Please]
*[http://www.britannica.com/eb/article-45966 Article] at [[Encyclopedia Britannica]]
==Viungo vya Nje==
*[http://www.mnh.si.edu/epigraphy/e_pre-islamic/fig04_sabaean.htm S. Arabian "Inscription of Abraha" in the Sabaic language] at Smithsonian/NMNH website
[[Jamii:Waarabu]]
[[Jamii:Historia ya Yemen]]
f2ouqs1aek78drszmmnhz7ufcodlrq3
The Joplin Globe
0
35953
1244461
1177827
2022-08-25T08:40:22Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox gazo
| jina = The Joplin Globe
| jina la gazeti = The Joplin Globe
| picha =
| aina = Gazeti la kila siku
| lilianzishwa = [[1896]]
| eneo =
| mwanzilishi = Thomas G. Barbee
| nchi = {{Flag icon|USA}} [[Marekani]]
| mhariri =
| mmiliki = Kampuni ya Magazeti ya Community (CNC)
| makaomakuu = * 117 East Fourth Street<br>* Joplin<br>* Missouri 64801
| mchapishaji = Dan Chiodo
| usambazaji = 30,558 kila siku
| lilikwisha =
| machapisho =
| tovuti = http://www.joplinglobe.com
}}
[[Picha:Fourth_Street_Joplin.jpg|thumb|muonekano wa ofisi]]
'''The Joplin Globe''' ni gazeti la kuchapishwa kila siku kwa wiki katika eneo la [[Joplin]], [[Missouri]],[[Marekani]]. Linasambazwa katika makata 14 katika kusinimashariki mwa Missouri. Tangu mwaka wa 2002, imemilikiwa na shirika la Community Newspaper Holdings.
Gazeti hili linaajiri wanahabari 45 katika chumba chake cha habari. Kaulimbiu yake ya masoko ni "Ni dunia yako. Sisi tunawasilisha tu." [1]
==Habari ya Bonnie na Clyde==
Katika mwaka wa 1933, ''The Joplin Globe'' ilipata habari muhimu sana ya kitaifa baada ya kupata kamera iliyoachwa nyuma na [[Bonnie na Clyde]].
Baada ya mapambano na polisi wa mtaa, walichapisha picha zilizotolewa kutoka filamu ya kamera hiyo. Picha hizi ni kama zile maarufu za Bonnie akimshika Clyde na kuigiza kuwa amemshikia Clyde bastola na za Bonnie akiwa akiwa ameshika bastola mkononi mmoja na sigara mdomoni mwake.
==Mwanzilishi==
Thomas G. Barbee alizaliwa katika mwezi wa Oktoba 1870 katika [[Ritchey]], katika kata la Newton, Missouri. Thomas alimwoa Laura (jina lake la pili halijulikani) aliyekuwa amezaliwa Januari 1874 katika Missouri. Barbee alimiliki ''Joplin Globe'' na akaanzisha kuchapisha gazeti la ''Joplin Tribune.'' Barbee alifariki tarehe 18 Oktoba 1924 katika Joplin, kata la Jasper, Missouri.
==Marejeo==
# [http://www.cnhi-can.com/circulation CNHI-CAN Circulation, figures for an undetermined date] {{Wayback|url=http://www.cnhi-can.com/circulation |date=20070212191101 }},.
# [http://www.joplinglobeonline.com/zope/faq.php Joplin Globe FAQ] {{Wayback|url=http://www.joplinglobeonline.com/zope/faq.php |date=20081006085245 }}, .
# [http://www.crimelibrary.com/gangsters_outlaws/outlaws/bonnie/8.html Court TV, CrimeLab website] {{Wayback|url=http://www.crimelibrary.com/gangsters_outlaws/outlaws/bonnie/8.html |date=20081222134253 }}, ukurasa wa Bonnie na Clyde.
==Viungo vya nje==
* [http://www.joplinglobe.com/ Tovuti Rasmi ya ''Joplin Globe'']
* [http://www.cnhi.com/ Tovuti rasmi ya CNHI]
{{CNHI|Joplin Globe}}
[[Jamii:Missouri]]
[[Jamii:Magazeti ya Marekani]]
cuye31l0tf9spnlqjs2qdc5wb2de6ft
Tume ya Maendeleo katika Niger Delta
0
36138
1244495
1145963
2022-08-25T09:08:28Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{| class="toccolours" border="1" cellpadding="4" style="float:right;margin:0 0 1em 1em;width:20em;border-collapse:collapse;font-size:95%;clear:right"
|+ <td><font size="+1">'''Tume ya Maendeleo katika Niger Delta''' </font></td>
|-
| style = align = "center" colspan = "2"
| [[File:Logo-nddc.jpg|80px]]
|-
| '''Kuanzishwa:'''
| 5 Juni 2000
|-
| '''Mwenyekiti:'''
| [[Hewa Makamu Antioch Larry Koinyan]]
|-
| '''{{nowrap|Managing Director:}}'''
| Mr Chibuzor Ugwoha
|-
| '''Makao makuu'''
| [[Port Harcourt, Rivers State, Nigeria]]
|-
| '''Tovuti'''
| http://www.nddc.gov.ng [http://www.nddc.gov.ng ]
|}
'''Tume ya Maendeleo katika Niger Delta''' ni [[shirika la Serikali ya Shirikisho]] lililoanzishwa na rais [[wa Nigeria, Olusegun Obasanjo]] mwaka wa 2000 pamoja na mamlaka ya kuendeleza kanda la [[Niger Delta]] lenye wingi wa mafuta kusini mwa [[Nigeria.]]
Mnamo Septemba 2008, Rais [[Umaru Yar'Adua]] alitangaza uundaji wa wizara ya Niger Delta Wizara, pamoja na Tume ya Maendeleo katika Niger Delta kuwa shirika la umma chini ya wizara hiyo.
==Historia==
Uanzilishi wa Tume ya Maendeleo katika Niger Delta ilikuwa jibu kwa kilio cha wakazi wa Niger Delta, eneo lenye wakazi kutoka makabila madogo tofauti. Katika miaka ya 1990 makabila haya, hasa [[Ijaw]] na [[Ogoni]] yalianzisha mashirika ya kukabiliana na serikali ya Nigeria na makampuni ya mafuta ya kimataifa kama [[Shell.]] Wakazi wa Niger Delta wanaendelea kudai udhibiti wa raslimali ya mafuta ya petroli katika eneo hili. Madai yao yanaonyeshwa wazi na uharibifu wa mazingira na uchafuzi kutoka shughuli za mafuta ambazo zinaendeshwa katika kanda tangu mwishoni mwa miaka ya 1950. Hata hivyo, wakazi katika maeneo haya ya mafuta hupokea fedha kidogo au wakati mwingine hakuna kutoka sekta hii ya dola bilioni nyingi katika kila ambapo makampuni ya kigeni na maafisa wa serikali wenye ufisadi hufaidika ni na rushwa ya viongozi wa serikali; remediation mazingira hatua ni chache na kidogo. Kanda hili huwa na maendeleo duni sana na ni maskini kulingana na kiwango cha chini cha maisha bora katika Nigeria.
Matokeo haya yalisababisha mgongano kati ya serikali na makampuni ya mafuta, pamoja na jumuiya nyingine. Kama matokeo, uchimbaji wa mafuta umeadhiriwa kutokana na fujo na vijana au mashirikakatika shughuli za majaribio ya mabadiliko. Usumbufu huu umekuwea ghali mno kwa sekta ya mafuta nchini Nigeria, na makampuni ya kimataifa na serikali wamekuja na mbinu ya kuzuia usumbufu huu; Tume ya Maendeleo katika Niger Delta ni matokeo ya wasiwasi na wajibu wake ni kujaribu kukamilisha ya wakazi wa eneo hili .
==Mamlaka na utendaji==
[[File:Obasanjo-odili-ugochukwu.JPG|200px|thumb|Rais, Olusegun Obasanjo (kushoto), Gavana wa jimbo la Mto ,Petro Odili (katikati), na Mwenyekiti wa Tume ya Maendeleo katika Niger Delta, Onyema Ugochukwu (kulia) wakati wa ufunguzi wa makao makuu ya Tume ya Maendeleo katika Niger Delta mjini Port Harcourt.]]
Tume ya Maendeleo katika Niger Delta hufanya kazi ili kuboresha mazingira ya kijamii na katika mkoa wa Kusini ambao unatisha kulingana na ripoti tume hii. Hata hivyo, shirika hili linashutumiwa kutokana na vitendo vya ufisadi .
Ili kufanikiwa katika mwelekeo wake,bodi imeweza kutambua maeneo yafuatayo.
Maendeleo ya kijamii na miundombinu
Teknolojia
Uamsho na mafanikio ya kiuchumi
Utulivu wa ikolojia / mazingira
Maendeleo ya binadamu
==Mwenyekiti Mkuu==
Nafasi ya Mwenyekiti Mkuu katika Tume ya Maendeleo katika Niger Delta imekuwa suala la kujadiliwa. Suluhisho lilipatiana ambapo nafasi hii ilizunguka katika maeneo tisa yaliyokuwa na mafuta kwa kufuata herufi: Abia, Akwa Ibom, Bayelsa, Cross River, Delta, Edo, IMO, Ondo na Mito.
==Marejeo==
{{Reflist}}
* [http://www.vanguardngr.com/articles/2002/viewpoints/vp211012007.html NDDC: matarajio hutiririka kama mto] {{Wayback|url=http://www.vanguardngr.com/articles/2002/viewpoints/vp211012007.html |date=20071013231802 }}
* [http://allafrica.com/stories/200701070182.html Alaibe, Mkubwa mpya wa Tume ya Maendeleo katika Niger Delta, aweka Malengo]
* [http://thetidenews.com/article.aspx?qrDate=07/05/2006&qrTitle=Senator%20Ararume%20lauds%20NDDC&qrColumn=NIGER%20DELTA ] {{Wayback|url=http://thetidenews.com/article.aspx?qrDate=07%2F05%2F2006&qrTitle=Senator%20Ararume%20lauds%20NDDC&qrColumn=NIGER%20DELTA |date=20160303192819 }}
* [http://news.biafranigeriaworld.com/archive/2003/sep/30/0038.html Tume ya Maendeleo katika Niger Delta inarekebisha uharibifu wa miaka 50 ]
* [http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/1704398.stm Usaidizi katika Delta ya Nigeria]
==Viungo vya nje==
* Tovuti ya NDDC amabapo unaweza kupata mpango [http://www.nddc.gov.ng www.nddc.gov.ng.]
* [http://www.my-nigeria.com/?tag=niger-delta-development-commission Habari juu ya Tume ya Maendeleo katika Niger Delta ]
{{Federal Ministries of Nigeria}}
*[http://geography.berkeley.edu/programcourses/CoursePagesFA2006/GeogC32/EmpireofOil_MWatts.pdf ] {{Wayback|url=http://geography.berkeley.edu/programcourses/CoursePagesFA2006/GeogC32/EmpireofOil_MWatts.pdf |date=20060912071430 }}
{{Nigeria-gov-stub}}
[[Jamii:Uchumi wa Nigeria]]
[[Jamii:Siasa ya Nigeria]]
ao4a55jfbbnlbqbt6fmodj9zoqv6fzj
Walter Murch
0
37499
1244435
895162
2022-08-25T08:13:39Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox actor
| jina = Walter Murch
| picha = WalterMurchWorking.jpg
| maelezo ya picha = Walter Murch in Buenos Aires, Argentina, 2008
| jina la kuzaliwa = Walter Scott Murch
| tarehe ya kuzaliwa = {{birth date and age|1943|07|12}}
| mahala pa kuzaliwa = [[New York City, New York]]
| kazi yake = [[Mhariri wa filamu]], [[usanifu wa sauti|Msanifu sauti]]
| miaka ya kazi = 1969 - mpaka sasa
| ndoa = Aggie Murch (1965-)
}}
'''Walter Scott Murch''' (amezaliwa [[12 Julai]] [[1943]]) ni [[mhariri wa filamu]] na [[usanifu sauti|msanifu sauti]] kutoka nchini [[Marekani]]. Huyu ni [[mtoto]] wa [[Uchoraji|mchoraji]] [[Walter Tandy Murch]] (1907-1967).
==Marejeo==
{{Marejeo}}
==Viungo vya nje==
* {{IMDb name|id=0004555|name=Walter Murch}}
* [http://www.filmsound.org/murch/murch.htm Walter Murch Articles] at [http://www.filmsound.org Filmsound.org]
* [http://www.transom.org/guests/review/200504.review.murch.html Transom Review]
* [http://www.npr.org/templates/story/story.php?storyId=4994411 Behind the Scenes with Film Editor Walter Murch] interview at NPR All Things Considered, 8 Novemba 2005
* [http://www.archive.org/details/dicksonfilmtwo Edison-Dickson Kinetophone Project 1894]
* [http://bldgblog.blogspot.com/2007/04/heliocentric-pantheon-interview-with.html Heliocentric Pantheon: an interview with Walter Murch]
* [http://www.waltdisneysreturntooz.com Return to Oz - Ultimate Movie Site], Photos, videos, memorabilia, just about everything you have ever wanted to know about Walter's movie Return to Oz.
{{Mbegu-mtu}}
{{DEFAULTSORT:Murch, Walter}}
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1943]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
smqgshthf9x58pjm5jmyf7jstt7rrjd
Chandigarh
0
39969
1244477
1122498
2022-08-25T08:52:49Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Palace of Assembly Chandigarh 2006.jpg|thumbnail|right|280px|Ikulu ya Bunge Chandigarh]]
[[Picha:Chandigarh in India (disputed hatched).svg|thumb|right|300px|Mahali pa Chandigarh katika Uhindi]]
'''Chandigarh''' ni [[mji]] wa [[Uhindi]] [[kaskazini]]. Eneo lake lahesabiwa kama eneo maalumu la kitaifa, si sehemu ya [[Majimbo ya Uhindi|jimbo]] lolote, lakini wakati huohuo ni [[mji mkuu]] wa majimbo mawili jirani, yaani [[Punjab (Uhindi)|Punjab]] na [[Haryana]].
Eneo lina kilomita za mraba 114 na [[idadi]] ya wakazi inafikia [[milioni]] 1.1.
[[Lugha]] kuu ni [[Kipunjabi]], [[Kihindi]] na [[Kiingereza]].
Hadi mwaka 1947 Chandighar ilikuwa kijiji cha kawaida. Baada ya ugawaji wa Punjab kati ya Uhindi na [[Pakistan]] iliteuliwa kama mahali opa mji mkuu mpya upande wa Kihindi. Kundi la [[Msanifu|wasanifu]] wa kimataifa lilipanga mji mpya na mashuhuri kati yao alikuwa Mswisi [[Le Corbusier]].
{{mbegu-jio-Uhindi}}
{{India}}
[[Jamii:Majimbo ya Uhindi]]
elxpqdl4lvxkg03gaiqw5p6ju7c7jbg
Thane
0
43655
1244419
1197017
2022-08-24T20:35:47Z
CommonsDelinker
234
Removing [[:c:File:Eagleridge_in_Thane_Thane_by_Hiranandani_Dwello.jpg|Eagleridge_in_Thane_Thane_by_Hiranandani_Dwello.jpg]], it has been deleted from Commons by [[:c:User:Túrelio|Túrelio]] because: [[:c:COM:L|Copyright violation]]: https://dwello.in/view
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = Thane
|picha_ya_satelite = Mumbai Bombay Night.jpg
|maelezo_ya_picha = Hirandani Meadows katika Thane
|pushpin_map = Uhindi
|pushpin_map_caption = Mahali pa mji wa Thane katika Uhindi
|picha_ya_bendera = Flag of Thane.svg
|ukubwa_wa_picha = 100px
|picha_ya_seal = Seal of Thane.svg
|seal_size =
|settlement_type = Mji
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Uhindi]]
|subdivision_type1 = [[Majimbo ya Uhindi|Jimbo]]
|subdivision_name1 = [[Maharashtra]]
|subdivision_type2 = [[:en:Regions and divisions of Maharashtra|Wilaya]]
|subdivision_name2 = [[:en:Thane Division|Thane]]
|wakazi_kwa_ujumla = 1261517
|latd=19 |latm=10 |lats=00 |latNS=N
|longd=72 |longm=57 |longs=00 |longEW=E
|website = http://www.thane.nic.in/
}}
'''Thane''' ni mji wa [[Uhindi]] katika jimbo la [[Maharashtra]]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2004, mji una wakazi wapatao milioni 1.4 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 15 kutoka [[juu ya usawa wa bahari]]. Eneo lake ni 147 [[Kilomita ya mraba|km²]].
== Viungo vya nje ==
* {{en}} [http://www.thane.nic.in/ Tovuti] {{Wayback|url=http://www.thane.nic.in/ |date=20190528104254 }}
{{commonscat}}
{{mbegu-jio-Uhindi}}
[[Jamii:Miji ya Uhindi]]
[[Jamii:Maharashtra]]
[[Jamii:Mumbai]]
mu5mu4do4lkumq3na5hja8klmvwtqlu
Panya-miti
0
64528
1244389
1199615
2022-08-24T14:42:57Z
ChriKo
35
Spishi katika sanduku
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Panya-miti
| picha = Graphiurus ocularis00.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Panya-miti kinyago (''Graphiurus ocularis'')
| himaya = [[Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mammalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Rodentia]] <small>(Wagugunaji)</small>
| nusuoda = [[Sciuromorpha]] <small>(Wanyama kama [[kindi (mnyama)|kindi]])</small>
| familia = [[Gliridae]]
| bingwa_wa_familia = [[Jeanette Muirhead|Muirhead]], 1819
| subdivision = '''Jenasi 9, spishi 29:'''
* ''[[Chaetocauda]]'' <small>[[Yu-Hsi Moltze Wang|Wang]], 1985</small>
** ''[[Chaetocauda sichuanensis|C. sichuanensis]]'' <small>Wang, 1985</small>
* ''[[Dryomys]]'' <small>[[Oldfield Thomas|Thomas]], 1906</small>
** ''[[Dryomys laniger|D. laniger]]'' <small>[[Heinz Felten|Felten]] & [[David Storch|Storch]], 1968</small>
** ''[[Dryomys niethammeri|D. niethammeri]]'' <small>[[Mary Ellen Holden|Holden]], 1996</small>
** ''[[Dryomys nitedula|D. nitedula]]'' <small>([[Peter Simon Pallas|Pallas]], 1778)</small>
* ''[[Eliomys]]'' <small>[[Johann Andreas Wagner|Wagner]], 1840</small>
** ''[[Eliomys melanurus|E. melanurus]]'' <small>(Wagner, 1840)</small>
** ''[[Eliomys munbyanus|E. munbyanus]]'' <small>([[Auguste Nicolas Pomel|Pomel]], 1856)</small>
** ''[[Eliomys quercinus|E. quercinus]]'' <small>([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1766)</small>
* ''[[Glirulus]]'' <small>Thomas, 1906</small>
** ''[[Glirulus japonicus|G. japonicus]]'' <small>([[Heinrich Rudolf Schinz|Schinz]], 1845</small>
* ''[[Glis]]'' <small>[[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1762</small>
** ''[[Glis glis|G. glis]]'' <small>(Linnaeus, 1766)</small>
* ''[[Graphiurus]]'' <small>[[Johannes Smuts|Smuts]], 1832</small>
** ''[[Graphiurus angolensis|G. angolensis]]'' <small>[[William Edward de Winton|De Winton]], 1897</small>
** ''[[Graphiurus christyi|G. christyi]]'' <small>[[John Guy Dollman|Dollman]], 1914</small>
** ''[[Graphiurus crassicaudatus|G. crassicaudatus]]'' <small>([[Fredericus Anna Jentink|Jentink]], 1888)</small>
** ''[[Graphiurus johnstoni|G. johnstoni]]'' <small>[[Oldfield Thomas|Thomas]], 1898</small>
** ''[[Graphiurus kelleni|G. kelleni]]'' <small>([[Caspar Louis Reuvens|Reuvens]], 1890)</small>
** ''[[Graphiurus lorraineus|G. lorraineus]]'' <small>Dollman, 1910</small>
** ''[[Graphiurus microtis|G. microtis]]'' <small>([[Theophil Noack|Noack]], 1887)</small>
** ''[[Graphiurus monardi|G. monardi]]'' <small>([[Jane St. Leger|St. Leger]])< 1936</small>
** ''[[Graphiurus murinus|G. murinus]]'' <small>([[Anselme Gaëtan Desmarest|Desmarest]], 1822)</small>
** ''[[Graphiurus nagtglasii|G. nagtglasii]]'' <small>Jentink, 1888</small>
** ''[[Graphiurus ocularis|G. ocularis]]'' <small>([[Andrew Smith|Smith]], 1829)</small>
** ''[[Graphiurus platyops|G. platyops]]'' <small>Thomas, 1897</small>
** ''[[Graphiurus rupicola|G. rupicola]]'' <small>(Thomas & [[Martin Hinton|Hinton]], 1925)</small>
** ''[[Graphiurus surdus|G. surdus]]'' <small>Dollman, 1912</small>
** ''[[Graphiurus walterverheyeni|G. walterverheyeni]], <small>Holden & Levine, 2009</small>
* ''[[Muscardinus]]'' <small>[[Johann Jakob Kaup|Kaup]], 1829</small>
** ''[[Muscardinus avellanarius|M. avellanarius]]'' (Linnaeus, 1758)</small>
* ''[[Myomimus]]'' <small>[[Sergej Ivanovich Ognew|Ognev]], 1924</small>
** ''[[Myomimus personatus|M. personatus]]'' <small>[[Sergey Ivanovich Ognev|Ognev]], 1924</small>
** ''[[Myomimus roachi|M. roachi]]'' <small>([[Dorothea Minola Alice Bate|Bate]], 1937)
** ''[[Myomimus setzeri|M. setzeri]]'' <small>Rossolimo, 1876</small>
* ''[[Selevinia]]'' <small>[[Belosludov]] & [[Bazhanov]], 1939</small>
** ''[[Selevinia betpakdalaensis|S. betpakdalaensis]]'' <small>[[B.A. Belosludov|Belosludov]] & [[Valeryan Semenovich Bazhanov|Bazhanov]], 1939</small>
}}
'''Panya-miti''' ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Gliridae]]. Spishi nyingi hupanda miti na huishi katika matundu ya mti au matago ya ndege. Wanyama hawa wanafanana na [[kindi]] wadogo. Urefu wa mwili wao ni kutoka mnamo sm 8 hadi sm 20 na wana mkia wenye urefu karibu na mwili. Rangi yao ni kahawia, kijivu au nyeusi na chini nyeupe kwa kawaida. Spishi nyingine zina mabaka. Hula [[beri]], [[tunda|matunda]] na [[kokwa|makokwa]] hasa lakini [[ua|maua]], [[jani|majani]], [[gamba]] la mti, [[dudu|wadudu]] na [[yai|mayai]] pia. Jike huzaa hadi zaidi ya watoto 10.
[[Panya-miti wa Kulika|Panya-miti wa kulika]] alikuwa huliwa sana na [[Warumi]] wa kale. Siku hizi bado huliwa huko [[Slovenia]]
==Spishi za Afrika==
* ''Graphiurus angolensis'', [[Panya-miti wa Angola]] ([[w:Angolan African Dormouse|Angolan African Dormouse]])
* ''Graphiurus christyi'', [[Panya-miti wa Christy]] ([[w:Christy's Dormouse|Christy's Dormouse]])
* ''Graphiurus crassicaudatus'', [[Panya-miti wa Jentink]] ([[w:Jentink's Dormouse|Jentink's Dormouse]])
* ''Graphiurus johnstoni'', [[Panya-miti wa Johnston]] ([[w:Johnston's African Dormouse|Johnston's African Dormouse]])
* ''Graphiurus kelleni'', [[Panya-miti wa Kellen]] ([[w:Kellen's Dormouse|Kellen's Dormouse]])
* ''Graphiurus lorraineus'', [[Panya-miti wa Lorrain]] ([[w:Lorrain Dormouse|Lorrain Dormouse]])
* ''Graphiurus microtis'', [[Panya-miti Masikio-madogo]] ([[w:Small-eared Dormouse|Small-eared Dormouse]])
* ''Graphiurus monardi'', [[Panya-miti wa Monard]] ([[w:Monard's Dormouse|Monard's Dormouse]])
* ''Graphiurus murinus'', [[Panya-miti Mdogo]] ([[w:Woodland Dormouse|Woodland Dormouse]])
* ''Graphiurus nagtglasii'', [[Panya-miti wa Nagtglas]] ([[w:Nagtglas's African Dormouse|Nagtglas's African Dormouse]])
* ''Graphiurus ocularis'', [[Panya-miti Kinyago]] ([[w:Spectacled Dormouse|Spectacled Dormouse]])
* ''Graphiurus platyops'', [[Panya-miti Miwamba]] ([[w:Rock Dormouse|Rock Dormouse]])
* ''Graphiurus rupicola'', [[Panya-miti Mawe]] ([[w:Stone Dormouse|Stone Dormouse]])
* ''Graphiurus surdus'', [[Panya-miti Mkimya]] ([[w:Silent Dormouse|Silent Dormouse]])
* ''Graphiurus walterverheyeni'', [[Panya-miti wa Verheyen]] ([[w:Walter Verheyen's African Dormouse|Walter Verheyen's African Dormouse]])
==Spishi za Ulaya na Asia==
* ''Chaetocauda sichuanensis'' ([[w:Chinese Dormouse|Chinese Dormouse]])
* ''Dryomys laniger'' ([[w:Woolly Dormouse|Woolly Dormouse]])
* ''Dryomys niethammeri'' ([[w:Balochistan Forest Dormouse|Balochistan Forest Dormouse]])
* ''Dryomys nitedula'' ([[w:Forest Dormouse|Forest Dormouse]])
* ''Eliomys melanurus'' ([[w:Asian Garden Dormouse|Asian Garden Dormouse]])
* ''Eliomys munbyanus'' ([[w:Maghreb Garden Dormouse|Maghreb Garden Dormouse]])
* ''Eliomys quercinus'' ([[w:Garden Dormouse|Garden Dormouse]])
* ''Glirulus japonicus'' ([[w:Japanese Dormouse|Japanese Dormouse]])
* ''Glis glis'' ([[w:Edible Dormouse|Edible Dormouse]])
* ''Muscardinus avellanarius'' ([[w:Hazel Dormouse|Hazel Dormouse]])
* ''Myomimus personatus'' ([[w:Masked Mouse-tailed Dormouse|Masked Mouse-tailed Dormouse]])
* ''Myomimus roachi'' ([[w:Roach's Mouse-tailed Dormouse|Roach's Mouse-tailed Dormouse]])
* ''Myomimus setzeri'' ([[w:Setzer's Mouse-tailed Dormouse|Setzer's Mouse-tailed Dormouse]])
* ''Selevinia betpakdalaensis'' ([[w:Desert Dormouse|Desert Dormouse]])
==Spishi za kabla ya historia==
* ''Hypnomys morphaeus'' ([[w:Hypnomys|Majorcan Giant Dormouse]], Pleistocene na mwanzo wa Holocene ya [[Majorca]])
* ''Hypnomys mahonensis'' ([[w: Hypnomys mahonensis|Minorca Giant Dormouse]], Pleistocene na mwanzo wa Holocene ya [[Minorca]])
* ''Oligodyromys''
* ''Bransatoglis adroveri'' (Mwanzo wa Oligocene ya Majorca)
* ''Bransatoglis planus'' (Mwanzo wa Oligocene ya [[Eurasia]])
==Picha==
<gallery>
Dormouse on hand.jpg|Panya-miti mdogo
</gallery>
<gallery>
File:Dryomys nitedula.jpg|Forest dormouse
File:Gartenschlaefer in Natur.jpg|Garden dormouse
File:Siebenschlaefer.jpg|Edible dormouse
File:Haselmaus.jpg|Hazel dormouse
</gallery>
[[Jamii:Kindi na jamaa]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
3sfvbskb0e5bhyog5iepvf5yyv3y488
Madhara yasiyolengwa
0
68511
1244475
1204832
2022-08-25T08:48:35Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Madhara yasiyolengwa''', '''Uharibifu wa nyongeza''', au '''Uharibifu wa Ziada''' (kutoka [[Kiingereza]]: '''Collateral damage''') ni istilahi ya kutaja tukio lisilokusudiwa. Istilahi hiyo hasa hutumika kijeshi katika hali ya kutaja uharibifu wa mali za raia au watu majeruhi ambao si wapiganaji, yaani, raia ya wa kawaida tu.<ref name=Merriam-Webster>{{cite web|url=http://www.merriam-webster.com/dictionary/collateral%20damage |title=collateral damage |publisher=[[Merriam-Webster]]}}</ref>
Mfano ni wakati wa matumizi ya [[silaha]] kama [[mzinga]], [[bomu]] au [[kombora]] dhidi ya wanajeshi adui nyumba za kiraia au watu raia wanaweza kupigwa ama kwa kosa au kutokana na ukali wa mlipuko.
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya Nje==
* [http://acdis.illinois.edu/publications/207/publication-BeyondPrecisionIssuesofMoralityandDecisionMakinginMinimizingCollateralCasualties.html ''Beyond Precision: Issues of Morality and Decision Making in Minimizing Collateral Casualties''] {{Wayback|url=http://acdis.illinois.edu/publications/207/publication-BeyondPrecisionIssuesofMoralityandDecisionMakinginMinimizingCollateralCasualties.html |date=20100705085027 }}, ACDIS Occasional Paper by Lt. Col. Dwight A. Roblyer
* [http://www.fas.org/irp/doddir/usaf/afpam14-210/part20.htm USAF Intelligence Targeting Guide - Attachment 7 : Collateral Damage]
* [http://www.tandfonline.com/doi/abs/10.1300/J134v10n04_06#preview The Culture of Collateral Damage: A Genealogy by Glen Perice, The Journal of Poverty, Volume 10, No. 4, 2007]
* [http://www.army-technology.com/glossary/collateral-damage.html Army Technology] {{Wayback|url=http://www.army-technology.com/glossary/collateral-damage.html |date=20070225125147 }}
* [http://www.findarticles.com/p/articles/mi_m6007/is_56/ai_n14700122/pg_16 Air Force Law Review, Wntr, 2005 by Jefferson D. Reynolds]
* [http://www.friendsjournal.org/contents/2003/04april/feature.html The Faces of “Collateral Damage” by Charlie Clements, Friends Journal, April 2003] {{Wayback|url=http://www.friendsjournal.org/contents/2003/04april/feature.html |date=20070217034358 }}
* [http://www.truthinmedia.org/truthinmedia/Kosovo/War/PhotoAlbum/photos-war-7.html Collateral Damage during NATO bombing of SR Yugoslavia 1999] {{Wayback|url=http://www.truthinmedia.org/truthinmedia/Kosovo/War/PhotoAlbum/photos-war-7.html |date=20080924091531 }} Warning: explicit images
* [http://www.zmag.org/znet/viewArticle/1571 "Collateral Damage: A Military Euphemism for Murder"] {{Wayback|url=http://www.zmag.org/znet/viewArticle/1571 |date=20090527142007 }} by Camillo "Mac" Bica, Znet, April 16, 2007
{{mbegu}}
{{DEFAULTSORT:Uharibifu wa Nyongeza}}
[[Jamii:vita]]
[[Jamii:Siasa]]
bn1q3rfs2kr99op5abu7lvtkg8kx4m5
Kidiri (mnyama)
0
68952
1244384
1199446
2022-08-24T13:27:57Z
ChriKo
35
Nyongeza picha
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Kidiri
| picha = South Luangwa National Park, Zambia (2509343686).jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Kidiri kijivu (''Paraxerus cepapi'')
| himaya = [[Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Rodentia]] <small>(Wagugunaji)</small>
| nusuoda = [[Sciuromorpha]] <small>(Wanyama kama [[kindi (mnyama)|kindi]])</small>
| familia = [[Sciuridae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na kindi)</small>
| bingwa_wa_familia = [[Jeanette Muirhead|Muirhead]], 1819
| nusufamilia = [[Xerinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na kindi)</small>
| bingwa_wa_nusufamilia = [[Henry Fairfield Osborn|Osborn]], 1910
| kabila = [[Protoxerini]] <small>(Wanyama wanaofanana sana na kindi)</small>
| jenasi = ''[[Paraxerus]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[Charles Immanuel Forsyth Major|Forsyth Major]], 1893
| subdivision = '''Spishi 11:'''
* ''[[Paraxerus alexandri|P. alexandri]]'' <small>([[Oldfield Thomas|Thomas]] & [[Robert Charles Wroughton|Wroughton]], 1907)</small>
* ''[[Paraxerus boehmi|P. boehmi]]'' <small>([[Anton Reichenow|Reichenow]], 1886)</small>
* ''[[Paraxerus cepapi|P. cepapi]]'' <small>([[Andrew Smith|A. Smith]], 1836)</small>
* ''[[Paraxerus cooperi|P. cooperi]]'' <small>[[Robert William Hayman|Hayman]], 1950</small>
* ''[[Paraxerus flavovittis|P. flavovittis]]'' <small>([[Wilhelm Peters|Peters]], 1852)</small>
* ''[[Paraxerus lucifer|P. lucifer]]'' <small>(Thomas, 1897)</small>
* ''[[Paraxerus ochraceus|P. ochraceus]]'' <small>([[Joseph Huet|Huet]], 1880)</small>
* ''[[Paraxerus palliatus|P. palliatus]]'' <small>(Peters, 1852)</small>
* ''[[Paraxerus poensis|P. poensis]]'' <small>(A. Smith, 1830)</small>
* ''[[Paraxerus vexillarius|P. vexillarius]]'' <small>([[James Andrew Kershaw|Kershaw]], 1923)</small>
* ''[[Paraxerus vincenti|P. vincenti]]'' <small>Hayman, 1950</small>
}}
'''Kidiri''' ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[jenasi]] ''[[Paraxerus]]'' katika [[kabila (biolojia)|kabila]] [[Protoxerini]] la [[familia (biolojia)|familia]] [[Sciuridae]] ambao wanafanana sana na [[kindi (mnyama)|kindi]]. Tofauti na hawa, ambao hukaa mitini takriban saa zote, kidiri hupitisha muda mrefu ardhini lakini hulala katika tundu mtini. Wanatokea [[msitu|misitu]] mikavu na minyevu ya [[Afrika]]. Hula [[mbegu]], [[kokwa|makokwa]], [[tunda|matunda]], [[tumba|matumba]], [[chipukizi|machipukizi]] na [[mdudu|wadudu]].
==Spishi==
* ''Paraxerus alexandri'', [[Kidiri wa Alexander]] ([[w:Alexander's Bush Squirrel|Alexander's Bush Squirrel]])
* ''Paraxerus boehmi'', [[Kidiri wa Böhm]] ([[w:Boehm's Bush Squirrel|Böhm's Bush Squirrel]])
* ''Paraxerus cepapi'', [[Kidiri Kijivu]] ([[w:Smith's Bush Squirrel|Smith's Bush Squirrel]])
* ''Paraxerus cooperi'', [[Kidiri-milima]] ([[w:Cooper's Mountain Squirrel|Cooper's Mountain Squirrel]])
* ''Paraxerus flavovittis'', [[Kidiri Miraba]] ([[w:Striped Bush Squirrel|Striped Bush Squirrel]])
* ''Paraxerus lucifer'', [[Kidiri Mweusi na Mwekundu]] ([[w:Black and Red Bush Squirrel|Black and Red Bush Squirrel]])
* ''Paraxerus ochraceus'', [[Kidiri Ukaria]] ([[w:Ochre Bush Squirrel|Ochre Bush Squirrel]])
* ''Paraxerus palliatus'', [[Kidiri Mwekundu]] ([[w:Red Bush Squirrel|Red Bush Squirrel]])
* ''Paraxerus poensis'', [[Kidiri Kijani]] ([[w:Green Bush Squirrel|Green Bush Squirrel]])
* ''Paraxerus vexillarius'', [[Kidiri Njano]] ([[w:Swynnerton's Bush Squirrel|Swynnerton's Bush Squirrel]])
* ''Paraxerus vincenti'', [[Kidiri wa Vincent]] ([[w:Vincent's Bush Squirrel|Vincent's Bush Squirrel]])
==Picha==
<gallery>
Paraxerus ochraceus.jpg|Kidiri ukaria
Hörnchen 2.jpg|Kidiri mwekundu
Paraxerus poensis 29258968 (cropped).jpg|Kidiri kijani
</gallery>
[[Jamii:Kindi na jamaa]]
kfeefo0lpbl5ybqlrz4xk4dekfnrghw
Kindi-miraba
0
68966
1244386
1199529
2022-08-24T13:35:44Z
ChriKo
35
Nyongeza picha
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Kindi-miraba
| picha = Funisciurus congicus at Opuwo 02.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Kindi-miraba wa Kongo (''Funisciurus congicus'')
| himaya = [[Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mamalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Rodentia]] <small>(Wagugunaji)</small>
| nusuoda = [[Sciuromorpha]] <small>(Wanyama kama [[kindi (mnyama)|kindi]])</small>
| familia = [[Sciuridae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na kindi)</small>
| bingwa_wa_familia = [[Jeanette Muirhead|Muirhead]], 1819
| nusufamilia = [[Xerinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na kindi)</small>
| bingwa_wa_nusufamilia = [[Henry Fairfield Osborn|Osborn]], 1910
| kabila = [[Protoxerini]] <small>(Wanyama wanaofanana sana na kindi)</small>
| jenasi = ''[[Funisciurus]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[Édouard Louis Trouessart|Trouessart]], 1880
| subdivision = '''Spishi 9:'''
* ''[[Funisciurus anerythrus|F. anerythrus]]'' <small>([[Oldfield Thomas|Thomas]], 1890)</small><br>
* ''[[Funisciurus bayonii|F. bayonii]]'' <small>([[José Vicente Barbosa du Bocage|Bocage]], 1890)</small><br>
* ''[[Funisciurus carruthersi|F. carruthersi]]'' <small>Thomas, 1906</small><br>
* ''[[Funisciurus congicus|F. congicus]]'' <small>([[Heinrich Kuhl|Kuhl]], 1820)</small><br>
* ''[[Funisciurus isabella|F. isabella]]'' <small>(Gray, 1862)</small><br>
* ''[[Funisciurus lemniscatus|F. lemniscatus]]'' <small>([[John Eatton Le Conte|Le Conte]], 1857)</small><br>
* ''[[Funisciurus leucogenys|F. leucogenys]]'' <small>([[George Robert Waterhouse|Waterhouse]], 1842)</small><br>
* ''[[Funisciurus pyrropus|F. pyrropus]]'' <small>([[Frédéric Cuvier|F. Cuvier]], 1833)</small><br>
* ''[[Funisciurus substriatus|F. substriatus]]'' <small>[[William Edward de Winton|De Winton]], 1899</small>
}}
'''Kindi-miraba''' ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[jenasi]] ''[[Funisciurus]]'' katika [[kabila (biolojia)|kabila]] [[Protoxerini]] la [[familia (biolojia)|familia]] [[Sciuridae]]. Kama [[kindi (mnyama)|kindi]] wote [[spishi]] hizi hupitisha muda mitini hasa lakini huteremka ardhini mara kwa mara. Wanatokea [[msitu|misitu]] ya [[Afrika ya Kati]] mpaka [[Senegali]] ya Kusini magharibi na mpaka [[Namibia]] ya Kaskazini kusini. Hula [[mbegu]], [[kokwa|makokwa]], [[tunda|matunda]], [[tumba|matumba]], [[chipukizi|machipukizi]] na [[mdudu|wadudu]].
==Spishi==
* ''Funisciurus anerythrus'', [[Kindi-miraba wa Thomas]] ([[w:Thomas's Rope Squirrel|Thomas's Rope Squirrel]])
* ''Funisciurus bayonii'', [[Kindi-miraba wa Lunda]] ([[w:Lunda Rope Squirrel|Lunda Rope Squirrel]])
* ''Funisciurus carruthersi'', [[Kindi-miraba Milima]] ([[w:Carruther's Mountain Squirrel|Carruther's Mountain Squirrel]])
* ''Funisciurus congicus'', [[Kindi-miraba wa Kongo]] ([[w:Congo Rope Squirrel|Congo Rope Squirrel]])
* ''Funisciurus isabella'', [[Kindi-miraba wa Gray]] ([[w:Lady Burton's Rope Squirrel|Lady Burton's Rope Squirrel]])
* ''Funisciurus lemniscatus'', [[Kindi-miraba Utepe]] ([[w:Ribboned Rope Squirrel|Ribboned Rope Squirrel]])
* ''Funisciurus leucogenys'', [[Kindi-miraba Kichwa-machungwa]] ([[w:Red-cheeked Rope Squirrel|Red-cheeked Rope Squirrel]])
* ''Funisciurus pyrrhopus'', [[Kindi-miraba Miguu-myekundu]] ([[w:Fire-footed Rope Squirrel|Fire-footed Rope Squirrel]])
* ''Funisciurus substriatus'', [[Kindi-miraba wa Kintampo]] ([[w:Kintampo Rope Squirrel|Kintampo Rope Squirrel]])
==Picha==
<gallery>
Funisciurus pyrropus.png|Kindi-miraba miguu-myekundu
</gallery>
[[Jamii:Kindi na jamaa]]
tsd9qn49e3y26ya3aw27s0knvifnlcw
Kindi-jua
0
68974
1244385
1199528
2022-08-24T13:33:32Z
ChriKo
35
Nyongeza picha
wikitext
text/x-wiki
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina = Kindi-jua
| picha = Heliosciurus gambianus in Gambia 0001.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha = Kindi-jua kijivu (''Heliosciurus gambianus'')
| himaya = [[Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mammalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| oda = [[Rodentia]] <small>(Wagugunaji)</small>
| nusuoda = [[Sciuromorpha]] <small>(Wanyama kama [[kindi (mnyama)|kindi]])</small>
| familia = [[Sciuridae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na kindi)</small>
| bingwa_wa_familia = [[Jeanette Muirhead|Muirhead]], 1819
| nusufamilia = [[Xerinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na kindi)</small>
| bingwa_wa_nusufamilia = [[Henry Fairfield Osborn|Osborn]], 1910
| kabila = [[Protoxerini]] <small>(Wanyama wanaofanana sana na kindi)</small>
| jenasi = ''[[Heliosciurus]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[Édouard Louis Trouessart|Trouessart]], 1880
| subdivision = '''Spishi 6:'''
* ''[[Heliosciurus gambianus|H. gambianus]]'' <small>([[William Ogilby|Ogilby]], 1835)</small><br>
* ''[[Heliosciurus mutabilis|H. mutabilis]]'' <small>([[Wilhelm Peters|Peters]], 1852)</small><br>
* ''[[Heliosciurus punctatus|H. punctatus]]'' <small>([[Coenraad Jacob Temminck|Temminck]], 1853)</small><br>
* ''[[Heliosciurus rufobrachium|H. rufobrachium]]'' <small>([[George Robert Waterhouse|Waterhouse]], 1842)</small><br>
* ''[[Heliosciurus ruwenzorii|H. ruwenzorii]]'' <small>([[Harold Schwann|Schwann]], 1904)</small><br>
* ''[[Heliosciurus undulatus|H. undulatus]]'' <small>([[Frederick W. True|True]], 1892)</small>
}}
'''Kindi-jua''' ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wa [[jenasi]] ''[[Heliosciurus]]'' katika [[kabila (biolojia)|kabila]] [[Protoxerini]] la [[familia (biolojia)|familia]] [[Sciuridae]]. Mkia yao una miviringo myeusi na kahawia au kijivu. Kama [[kindi (mnyama)|kindi]] wote [[spishi]] hizi hupitisha takribani saa zote mitini na huteremka kwa nadra ardhini. Hupatikana mara nyingi wakipumzika juani, sababu ya jina lao. Wanatokea [[msitu|misitu]] ya [[Afrika ya Magharibi]], [[Afrika ya Kati|ya Kati]] na [[Afrika ya Mashariki|ya Mashariki]] kutoka [[Senegali]] mpaka [[Eritrea]] na [[Zimbabwe]]. Hula [[mbegu]], [[kokwa|makokwa]], [[tunda|matunda]], [[tumba|matumba]], [[chipukizi|machipukizi]], [[mdudu|wadudu]], [[yai|mayai]] na [[mjusi|mijusi]], [[ndege (mnyama)|ndege]] na [[mnyama|wanyama]] wadogo.
==Spishi==
* ''Heliosciurus gambianus'', [[Kindi-jua Kijivu]] ([[w:Gambian Sun Squirrel|Gambian Sun Squirrel]])
* ''Heliosciurus mutabilis'', [[Kindi-jua Kusi]] ([[w:Mutable Sun Squirrel|Mutable Sun Squirrel]])
* ''Heliosciurus punctatus'', [[Kindi-jua Mdogo]] ([[w:Small Sun Squirrel|Small Sun Squirrel]])
* ''Heliosciurus rufobrachium'', [[Kindi-jua Miguu-myekundu]] ([[w:Red-legged Sun Squirrel|Red-legged Sun Squirrel]])
* ''Heliosciurus ruwenzorii'', [[Kindi-jua wa Ruwenzori]] ([[w:Ruwenzori Sun Squirrel|Ruwenzori Sun Squirrel]])
* ''Heliosciurus undulatus'', [[Kindi-jua Mashariki]] ([[w:Zanj Sun Squirrel|Zanj Sun Squirrel]])
==Picha==
<gallery>
Small sun squirrel (Heliosciurus punctatus).jpg|Kindi-jua mdogo
Red-legged sun squirrel (Heliosciurus rufobrachium) 2.jpg|Kindi-jua miguu-myekundu
Heliosciurus ruwenzorii 24181289 (cropped).jpg|Kindi-jua wa Ruwenzori
</gallery>
[[Jamii:Kindi na jamaa]]
auxh391dfzinqmhv1gxckcn1mvtccfu
Puntland
0
87349
1244387
1242397
2022-08-24T13:36:04Z
Seemsrathytaway
55639
wikitext
text/x-wiki
[[File:Harti map areas eligible for Puntland citizenship.png|300px|thumb|Mahali pa Puntland katika Somalia na kwenye Pembe la Afrika]]
'''Puntland''' (kwa [[Kisomali]]: Dowladda Puntland ee Soomaaliya, ''Dola la Puntland katika Somalia'') ni jimbo la kujitegema la [[Somalia]]. Jimbo hili liko kwenye Somalia [[kaskazini]]-[[mashariki]] liko kamili kwenye ncha ya [[Pembe la Afrika]].
[[Jina]] linatokana na nchi ya [[Punt]] ya Kale inayotajwa katika [[maandiko]] ya [[Misri ya Kale]]. Hadi leo haijulikani jina hili linataja kweli sehemu gani, lakini [[wataalamu]] wengi huamini ilikuwa mahali fulani kwenye [[pwani]] ya Somalia.<ref>[http://digital.library.upenn.edu/women/edwards/pharaohs/pharaohs-8.html Queen Hatasu, and Her Expedition to the Land of Punt], mlango 8 katika Pharaohs Fellahs and Explorers. by Amelia Edwards. New York: Harper & Brothers, 1891. (First edition.) pp. 261-300. Ilitazamiwa tar. 10 Januari 2017 kwenye tovuti ya http://digital.library.upenn.edu</ref>
Baada ya kuporomoka kwa Somalia katika [[vita ya wenyewe kwa wenyewe]] kuanzia mwaka [[1991]] viongozi wa eneo hili walijitangaza kuwa jimbo la kujitawala.<ref>{{Cite web |url=http://www.puntlandgovt.com/puntland-state-of-somalia/ |title=Puntland State of Somalia |accessdate=2017-01-11 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20141221121642/http://www.puntlandgovt.com/puntland-state-of-somalia/ |archivedate=2014-12-21 }}</ref> Tofauti na jirani yake [[Somaliland]] iliyotangaza [[uhuru]] wake, Puntland ilijipa [[katiba]] kama jimbo ndani ya Somalia ingawa hali halisi inajitawala tu.
Kwa jumla Puntand ilifaulu kutunza [[amani]] na kuepuka kushirikishwa katika [[vita]] ndani ya Somalia upande wa [[kusini]].
Sehemu ya [[magharibi]] inayoitwa [[Sanaag]] inadaiwa pia na Somaliland kwa sababu sehemu hii iliwahi kuwa ndani ya [[Somalia ya Kiingereza]] wakati wa [[ukoloni]], lakini wakazi waliamua kujiunga na Puntland.
[[Mji mkuu]] ni [[Garoowe]] lakini [[kitovu]] cha [[uchumi]] ni [[Boosaaso]].
==Watu==
[[Idadi]] ya wakazi ni 4,284,633 kufuatana na kadirio la mwaka [[2015]]. <ref>[http://goobjoog.com/english/puntland-issues-report-of-population-estimation-of-its-residents/ Puntland Issues Report of population Estimation of Its Residents]</ref>
[[Lugha rasmi]] za [[serikali]] ni Kisomalia, [[Kiarabu]] na [[Kiingereza]].
Wakazi wote ni [[Waislamu]] [[Wasunni]]. [[Uislamu]] ulitangazwa katika katiba kuwa [[dini rasmi]] na [[dini]] pekee linalokubaliwa. <ref>[web.archive.org/web/20071110124027/http://www.puntlandgovt.com/PuntlandConstitution.doc {{Wayback|url=http://www.puntlandgovt.com/PuntlandConstitution.doc |date=20071110124027 }} Katiba la Puntland, fungu 6]</ref>
==Marejeo==
<references/>
[[Category:Somalia]]
0wrgjntak9zymqugd6a31zpcuw3h84b
1244391
1244387
2022-08-24T16:12:26Z
Kipala
107
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Seemsrathytaway|Seemsrathytaway]] ([[User talk:Seemsrathytaway|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:LocationPuntland3.png|300px|thumb|Mahali pa Puntland katika Somalia na kwenye Pembe la Afrika; ''buluu nyeupe inaonyesha sehemu zake zisizokubaliwa na majirani'']]
'''Puntland''' (kwa [[Kisomali]]: Dowladda Puntland ee Soomaaliya, ''Dola la Puntland katika Somalia'') ni jimbo la kujitegema la [[Somalia]]. Jimbo hili liko kwenye Somalia [[kaskazini]]-[[mashariki]] liko kamili kwenye ncha ya [[Pembe la Afrika]].
[[File:Pembe la fedheha.png|300px|thumb|Mahali pa Puntland katika Somalia na kwenye Pembe la Afrika]]
[[Jina]] linatokana na nchi ya [[Punt]] ya Kale inayotajwa katika [[maandiko]] ya [[Misri ya Kale]]. Hadi leo haijulikani jina hili linataja kweli sehemu gani, lakini [[wataalamu]] wengi huamini ilikuwa mahali fulani kwenye [[pwani]] ya Somalia.<ref>[http://digital.library.upenn.edu/women/edwards/pharaohs/pharaohs-8.html Queen Hatasu, and Her Expedition to the Land of Punt], mlango 8 katika Pharaohs Fellahs and Explorers. by Amelia Edwards. New York: Harper & Brothers, 1891. (First edition.) pp. 261-300. Ilitazamiwa tar. 10 Januari 2017 kwenye tovuti ya http://digital.library.upenn.edu</ref>
Baada ya kuporomoka kwa Somalia katika [[vita ya wenyewe kwa wenyewe]] kuanzia mwaka [[1991]] viongozi wa eneo hili walijitangaza kuwa jimbo la kujitawala.<ref>{{Cite web |url=http://www.puntlandgovt.com/puntland-state-of-somalia/ |title=Puntland State of Somalia |accessdate=2017-01-11 |archiveurl=https://web.archive.org/web/20141221121642/http://www.puntlandgovt.com/puntland-state-of-somalia/ |archivedate=2014-12-21 }}</ref> Tofauti na jirani yake [[Somaliland]] iliyotangaza [[uhuru]] wake, Puntland ilijipa [[katiba]] kama jimbo ndani ya Somalia ingawa hali halisi inajitawala tu.
Kwa jumla Puntand ilifaulu kutunza [[amani]] na kuepuka kushirikishwa katika [[vita]] ndani ya Somalia upande wa [[kusini]].
Sehemu ya [[magharibi]] inayoitwa [[Sanaag]] inadaiwa pia na Somaliland kwa sababu sehemu hii iliwahi kuwa ndani ya [[Somalia ya Kiingereza]] wakati wa [[ukoloni]], lakini wakazi waliamua kujiunga na Puntland.
[[Mji mkuu]] ni [[Garoowe]] lakini [[kitovu]] cha [[uchumi]] ni [[Boosaaso]].
==Watu==
[[Idadi]] ya wakazi ni 4,284,633 kufuatana na kadirio la mwaka [[2015]]. <ref>[http://goobjoog.com/english/puntland-issues-report-of-population-estimation-of-its-residents/ Puntland Issues Report of population Estimation of Its Residents]</ref>
[[Lugha rasmi]] za [[serikali]] ni Kisomalia, [[Kiarabu]] na [[Kiingereza]].
Wakazi wote ni [[Waislamu]] [[Wasunni]]. [[Uislamu]] ulitangazwa katika katiba kuwa [[dini rasmi]] na [[dini]] pekee linalokubaliwa. <ref>[web.archive.org/web/20071110124027/http://www.puntlandgovt.com/PuntlandConstitution.doc {{Wayback|url=http://www.puntlandgovt.com/PuntlandConstitution.doc |date=20071110124027 }} Katiba la Puntland, fungu 6]</ref>
==Marejeo==
<references/>
[[Category:Somalia]]
ltrw5yc4ggqgwgtssutxxr2ydwt0boy
Wamandinka
0
89383
1244482
1146411
2022-08-25T08:56:40Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[File:Catalan Atlas BNF Sheet 6 Mansa Musa.jpg|thumb|Safari ya Sultani [[Musa I of Mali|Mansa Musa]] ya kutembelea [[Mecca]] mnamo [[1324]] akiwa na [[dhahabu]] ilivutia sana [[Mashariki ya Kati]] na Waislamu wa [[Afrika Magharibi]] kwa Wamandinka.]]
'''Wamandinka''' (pia wanajulikana kama '''Mandenka''', '''Mandinko''', '''Mandingo''', '''Manding''' au '''Malinke''')<ref name="Mwakikagile2010p43">{{cite book|author=Godfrey Mwakikagile|title=The Gambia and Its People: Ethnic Identities and Cultural Integration in Africa |url=https://books.google.com/books?id=ZL7wIvRlXSwC |year=2010|publisher=New Africa Press|isbn=978-9987-16-023-5|pages=43–44}}</ref> ni [[jina]] la [[kabila]] kubwa huko [[Afrika ya Magharibi]]. Wanakadiriwa kufikia [[milioni]] [[kumi na moja]] (makundi mengine makubwa ya kikabila katika eneo hilo ambao hawahusiani ni pamoja na [[Wafula]], [[Wahausa]] na [[Wasonghai]]). Wamandinka ni kizazi cha [[Dola la Mali]], ambao walitamba sana wakati wa [[utawala]] wa [[mfalme]] wa [[Kimandinka]] [[Sundiata Keita]].
==Marejeo==
{{Reflist}}
==Jisomee==
*{{Cite book| title = Mande Music: Traditional and Modern Music of the Maninka and Mandinka of Western Africa | last = Charry | first = Eric S. | year = 2000 | publisher = University of Chicago Press | location = Chicago | isbn = 0-226-10161-4}}
* Lucie Gallistel Colvin. ''Historical Dictionary of Senegal''. Scarecrow Press/ Metuchen. NJ - Kondon (1981) pp. 216–217
* Pascal James Imperato. ''Historical Dictionary of Mali''. Scarecrow Press/ Metuchen. NJ - Kondon (1986) pp. 190–191
* Robert J. Mundt. ''Historical Dictionary of the Ivory Coast (Côte d'Ivoire)''. Scarecrow Press/ Metuchen. NJ - Kondon (1987) pp. 98–99
* Robert W. Nicholls. "The Mocko Jumbie of the U.S. Virgin Islands; History and Antecedents". ''African Arts'', Vol. 32, No. 3 (Autumn, 1999), pp. 48–61+94-96
* Matt Schaffer (Editor). "Djinns, Stars and Warriors: Mandinka Legends from Pakao, Senegal" (''African Sources for African History'', 5) Brill Academic Publishers (2003) ISBN 978-90-04-13124-8
* Matt Schaffer. [http://muse.jhu.edu/demo/history_in_africa/v032/32.1schaffer.html "Bound to Africa: The Mandinka Legacy in The New World"]. ''History in Africa'' 32 (2005) 321-369
* [http://www.ethnologue.com/show_language.asp?code=mnk ETHNOLOGUE Languages of the World- Thirteenth Edition (1996)].
==Viungo vya Nje==
* [http://www.mnsu.edu/emuseum/cultural/oldworld/africa/mandinka.html Mandinka] {{Wayback|url=http://www.mnsu.edu/emuseum/cultural/oldworld/africa/mandinka.html |date=20051228053720 }}
* [http://www.mnsu.edu/emuseum/cultural/oldworld/africa/malinke.html Malinke] {{Wayback|url=http://www.mnsu.edu/emuseum/cultural/oldworld/africa/malinke.html |date=20100531210522 }}
<!-- * [http://www.rootsyrecords.com/ A website devoted to Mandinka djembe drumming] -->
* [http://www.beatrootbeat.org.uk A UK based website devoted to playing Malinke djembe rhythms]
* [http://www.ethnologue.com/show_language.asp?code=mlq The Ethnologue page for this people group]
{{DEFAULTSORT:Wamandinka}}
[[Category:Makabila ya Burkina Faso]]
[[Category:Makabila ya Guinea]]
[[Category:Makabila ya Guinea Bisau]]
[[Category:Makabila ya Cote d'Ivoire]]
[[Category:Makabila ya Mali]]
[[Category:Makabila ya Mauritania]]
[[Category:Makabila ya Senegal]]
[[Category:Makabila ya Sierra Leone]]
[[Category:Makabila ya Gambia]]
[[Category:Uislamu barani Afrika]]
d2ahg2vk8n95wh0uyy4qpla0cglbvx8
Mlima Good Hope
0
95257
1244409
1020074
2022-08-24T19:36:14Z
102.23.98.17
wikitext
text/x-wiki
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mlima]] wa [[Kanada]], wenye [[kimo]] cha [[mita]] 3,356 juu ya [[usawa wa bahari]].
==Tazama pia==
* [[Orodha ya milima]]
{{mbegu-jio-Kanada}}
[[Jamii:Milima ya Kanada]]
85zmvcmdvv6g5moo3af2kuua3rrntx9
PPSSPP
0
100712
1244383
1179870
2022-08-24T11:59:29Z
41.222.179.25
9
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:PPSSPP_1.0.1-2635-g62b3484_main_interface.png|thumb|PPSSPP]]
{{Infobox software
| name = PPSSPP
| logo = [[File:PPSSPP logo.svg|64px|PPSSPP icon]]
| logo caption = <!-- Caption for above logo -->
| screenshot = PPSSPP 1.0.1-2635-g62b3484 main interface.png
| screenshot size = 300px
| caption = PPSSPP v1.0.1-2635 running on [[Fedora 22]]
| author = Henrik Rydgård (a.k.a. hrydgard)
| developer = PPSSPP Team
| released = {{Start date and age|2012|11|01}}
| latest release version = 1.8.0
| latest release date = {{Start date and age|2019|03|14}}<ref>{{cite web|url=https://ppsspp.org/#news|title=PPSSPP homepage|at=News section|accessdate=30 October 2018}}</ref>
| status = Active
| programming language = [[C++]], [[C (programming language)|C]]<ref>{{cite web|url=https://github.com/hrydgard/ppsspp|title=PPSSPP on Github.com}}</ref>
| operating system = [[Microsoft Windows|Windows]], [[macOS]], [[Linux]], [[iOS]], [[Android (operating system)|Android]], [[BlackBerry 10]], [[Symbian]]
| platform = [[IA-32]], [[x86-64]], [[ARM architecture|ARM]], [[ARM architecture|ARM64]]
| size = 16.1 MB: [[Microsoft Windows|Windows]] [[IA-32|32-bit]]<br>17.8 MB: [[Microsoft Windows|Windows]] [[x86-64|64-bit]]<br>19.7 MB: [[macOS]] [[x86-64|64-bit]]<br>28.2 MB: [[Android (operating system)|Android]]<br>10.0 MB: [[BlackBerry 10]]<br>9.2 MB: [[Symbian]]<br>13.4 MB: [[Source code]]
| language = {{collapsible list|title=38 languages|[[English language|English]], [[Arabic language|Arabic]], [[Brazilian Portuguese]], [[Bulgarian language|Bulgarian]], [[Chinese language|Chinese]] ([[Simplified Chinese characters|simplified]] and [[Traditional Chinese characters|traditional]]), [[Czech language|Czech]], [[Danish language|Danish]], [[Dutch language|Dutch]], [[Finnish language|Finnish]], [[French language|French]], [[German language|German]], [[Greek language|Greek]], [[Hebrew language|Hebrew]], [[Hebrew language|Hebrew (invert)]], [[Indonesian language|Indonesian]], [[Hungarian language|Hungarian]], [[Italian language|Italian]], [[Japanese language|Japanese]], [[Korean language|Korean]], [[Malaysian language|Malaysian]], [[Norwegian language|Norwegian]], [[Persian language|Persian]], [[Polish language|Polish]], [[Portuguese language|Portuguese]], [[Romanian language|Romanian]], [[Russian language|Russian]], [[Spanish language|Spanish]], [[Swedish language|Swedish]], [[Tagalog language|Tagalog]], [[Taiwanese Hokkien|Taiwanese]], [[Thai language|Thai]], [[Turkish language|Turkish]], [[Vietnamese language|Vietnamese]], [[Ukrainian language|Ukrainian]]}}
| genre = [[Video game console emulator]]
| license = [[GNU GPLv2]]+
}}
'''PPSSPP''' ni [[mchezo]] wa [[kompyuta]] uliotolewa mnamo [[Novemba 1]], [[2012]] kwa [[leseni]] chini ya GNU GPLv2 au baadapye.
Mradi wa PPSSPP uliundwa na [[Henrik Rydgård|H]]0[[Henrik Rydgård|enrik Rydgård]], mmoja wa washiriki wa emulator wa Dolphin.
Kuanzia mwezi wa [[Machi]] [[2017]], michezo 984 umeweza kuchezeka katika PPSSPP.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Michezo ya kompyuta]]
ockrdqasajszbxvkm02pki39buac8nj
1244424
1244383
2022-08-25T07:35:08Z
Riccardo Riccioni
452
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/41.222.179.25|41.222.179.25]] ([[User talk:41.222.179.25|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Kelvin kevoo|Kelvin kevoo]]
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:PPSSPP_1.0.1-2635-g62b3484_main_interface.png|thumb|PPSSPP]]
{{Infobox software
| name = PPSSPP
| logo = [[File:PPSSPP logo.svg|64px|PPSSPP icon]]
| logo caption = <!-- Caption for above logo -->
| screenshot = PPSSPP 1.0.1-2635-g62b3484 main interface.png
| screenshot size = 300px
| caption = PPSSPP v1.0.1-2635 running on [[Fedora 22]]
| author = Henrik Rydgård (a.k.a. hrydgard)
| developer = PPSSPP Team
| released = {{Start date and age|2012|11|01}}
| latest release version = 1.8.0
| latest release date = {{Start date and age|2019|03|14}}<ref>{{cite web|url=https://ppsspp.org/#news|title=PPSSPP homepage|at=News section|accessdate=30 October 2018}}</ref>
| status = Active
| programming language = [[C++]], [[C (programming language)|C]]<ref>{{cite web|url=https://github.com/hrydgard/ppsspp|title=PPSSPP on Github.com}}</ref>
| operating system = [[Microsoft Windows|Windows]], [[macOS]], [[Linux]], [[iOS]], [[Android (operating system)|Android]], [[BlackBerry 10]], [[Symbian]]
| platform = [[IA-32]], [[x86-64]], [[ARM architecture|ARM]], [[ARM architecture|ARM64]]
| size = 16.1 MB: [[Microsoft Windows|Windows]] [[IA-32|32-bit]]<br>17.8 MB: [[Microsoft Windows|Windows]] [[x86-64|64-bit]]<br>19.7 MB: [[macOS]] [[x86-64|64-bit]]<br>28.2 MB: [[Android (operating system)|Android]]<br>10.0 MB: [[BlackBerry 10]]<br>9.2 MB: [[Symbian]]<br>13.4 MB: [[Source code]]
| language = {{collapsible list|title=38 languages|[[English language|English]], [[Arabic language|Arabic]], [[Brazilian Portuguese]], [[Bulgarian language|Bulgarian]], [[Chinese language|Chinese]] ([[Simplified Chinese characters|simplified]] and [[Traditional Chinese characters|traditional]]), [[Czech language|Czech]], [[Danish language|Danish]], [[Dutch language|Dutch]], [[Finnish language|Finnish]], [[French language|French]], [[German language|German]], [[Greek language|Greek]], [[Hebrew language|Hebrew]], [[Hebrew language|Hebrew (invert)]], [[Indonesian language|Indonesian]], [[Hungarian language|Hungarian]], [[Italian language|Italian]], [[Japanese language|Japanese]], [[Korean language|Korean]], [[Malaysian language|Malaysian]], [[Norwegian language|Norwegian]], [[Persian language|Persian]], [[Polish language|Polish]], [[Portuguese language|Portuguese]], [[Romanian language|Romanian]], [[Russian language|Russian]], [[Spanish language|Spanish]], [[Swedish language|Swedish]], [[Tagalog language|Tagalog]], [[Taiwanese Hokkien|Taiwanese]], [[Thai language|Thai]], [[Turkish language|Turkish]], [[Vietnamese language|Vietnamese]], [[Ukrainian language|Ukrainian]]}}
| genre = [[Video game console emulator]]
| license = [[GNU GPLv2]]+
}}
'''PPSSPP''' ni [[mchezo]] wa [[kompyuta]] uliotolewa mnamo [[Novemba 1]], [[2012]] kwa [[leseni]] chini ya GNU GPLv2 au baadaye.
Mradi wa PPSSPP uliundwa na [[Henrik Rydgård]], mmoja wa washiriki wa emulator wa Dolphin.
Kuanzia mwezi wa [[Machi]] [[2017]], michezo 984 umeweza kuchezeka katika PPSSPP.
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-michezo}}
[[Jamii:Michezo ya kompyuta]]
bv23zcndqvu4s6q8re3k9rg9p9taoud
Algorithm
0
101015
1244404
1125475
2022-08-24T19:16:41Z
Justinangelina
55641
wikitext
text/x-wiki
'''Algorithm''' au ('''algorithimu''' kwa [[kiswahili]]) ni [[njia]] ya kutatua kwa hatua chache magumu katika [[hisabati]]. Njia hiyo inaweza kufanya [[hesabu]] na [[usindikaji]] wa [[data]].
[[Jina]] linatokana na [[mwanahisabati]] wa [[Uajemi]] [[al-Khwarizmi]] aliyetoa maelekezo ya kwanza ya namna hiyo katika [[karne ya 9]] [[BK]].
https://alparslanduygu.com/seo
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Hisabati]]
jpw73gn0xg7gkk8atv9wqjh6uu9bzci
1244405
1244404
2022-08-24T19:17:28Z
WikiBayer
34745
Reverted edits by [[Special:Contribs/Justinangelina|Justinangelina]] ([[User talk:Justinangelina|talk]]) to last version by UmojaWetu: reverting vandalism
wikitext
text/x-wiki
'''Algorithm''' au ('''algorithimu''' kwa [[kiswahili]]) ni [[njia]] ya kutatua kwa hatua chache magumu katika [[hisabati]]. Njia hiyo inaweza kufanya [[hesabu]] na [[usindikaji]] wa [[data]].
[[Jina]] linatokana na [[mwanahisabati]] wa [[Uajemi]] [[al-Khwarizmi]] aliyetoa maelekezo ya kwanza ya namna hiyo katika [[karne ya 9]] [[BK]].
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Hisabati]]
3rp8t73l2pq2sc58c32cb5fi8aazepd
Jimbo la Gôh-Djiboua
0
113644
1244478
1076550
2022-08-25T08:53:34Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = Jimbo la Gôh-Djiboua
|picha_ya_satelite =
|maelezo_ya_picha =
|picha_ya_bendera =
|ukubwa_ya_bendera =
|picha_ya_satelite = Coat of arms of Ivory Coast.svg
|ukubwawapicha = 100px
|maelezo_ya_picha = Nembo ya Cote d'Ivoire
|pushpin_map = Côte d'Ivoire
|pushpin_map_caption = Eneo katika Côte d'Ivoire
|pushpin_mapsize =300
|settlement_type = Jiji
|subdivision_type = [[Nchi]]
|subdivision_name = {{flag|Cote d'Ivoire}}
|subdivision_type1 = [[Majimbo za Cote d'Ivoire|Jimbo]]
|subdivision_name1 = Gôh-Djiboua
|subdivision_type2 =
|subdivision_name2 =
| subdivision_type3 =
| subdivision_name3 =
| established_title =
| established_date =
|wakazi_kwa_ujumla = 1,605,286<ref name=statoids>{{cite web|title=Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast)|url=http://www.statoids.com/uci.html|website=Statoids.com|accessdate=12 Juni 2019}}</ref>
|website =
|latd= 5|latm=57 |lats= 13|latNS=N
|longd= 5|longm= 36|longs= 25|longEW=W
}}
'''Jimbo la Gôh-Djiboua''' (kwa [[Kifaransa]]: ''District du Gôh-Djiboua'') ni [[moja]] kati ya [[Majimbo za Cote d'Ivoire|majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire]]. Iko [[kusini]] mwa nchi<ref name=statoids/>.
[[Mwaka]] [[2014]], (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) [[idadi]] ya wakazi ilikuwa watu 1,605,286<ref name=statoids/>.
[[Makao makuu]] yako [[Gagnoa]].
==Mikoa ==
* '''[[Mkoa wa Gôh]]''' ([[Gagnoa]])
** [[Wilaya ya Gagnoa]]
** [[Wilaya ya Oumé]]
* '''[[Mkoa wa Lôh-Djiboua]]''' ([[Divo]])
** [[Wilaya ya Divo]]
** [[Wilaya ya Guitry]]
** [[Wilaya ya Lakota]]
==Marejeo==
<references/>
{{Mbegu-jio-Cote d'Ivoire}}
[[Jamii:Majimbo ya Cote d'Ivoire]]
c3ul6xneq86605ecd3665fa7wn15ays
SEO
0
113646
1244392
1244382
2022-08-24T16:13:52Z
Kipala
107
Masahihisho aliyefanya [[Special:Contributions/Sametovkaya|Sametovkaya]] ([[User talk:Sametovkaya|Majadiliano]]) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na [[User:Riccardo Riccioni|Riccardo Riccioni]]
wikitext
text/x-wiki
'''SEO''' ([[kifupi]] cha [[Neno|maneno]] ya [[Kiingereza]]: ''Search engine optimization'') ni utaratibu wa kuongeza [[ubora]] na wingi wa watembeleaji wa [[tovuti]] kwa kuongeza upatikanaji wa tovuti au [[ukurasa]] mmojawapo wa tovuti kwa watumiaji wa tovuti za kutafuta kurasa na habari [[Mtandao|mtandaoni]].<ref>{{Cite web|url=https://www.webopedia.com/TERM/S/SEO.html|title=SEO - search engine optimization|last=|first=|date=|website=Webopedia|archive-url=|archive-date=|dead-url=}}</ref><br> Utaratibu huo unajumuisha tu uboreshaji usiotumia malipo ya matangazo.
[https://ozguraltun.com.tr/ SEO] inaweza kulenga tovuti za kutafuta za aina mbalimbali kama vile utafutaji wa [[picha]], utafutaji wa [[video]], [[Jarida|majarida]] ya kitaaluma, <ref name="aseo">{{cite web|url=https://www.sciplore.org/publications/2010-ASEO--preprint.pdf|title=Academic Search Engine Optimization (ASEO): Optimizing Scholarly Literature for Google Scholar and Co.|author=Beel, Jöran and Gipp, Bela and Wilde, Erik|first=|date=|year=2010|website=|publisher=Journal of Scholarly Publishing|pages=176–190|archive-url=|archive-date=|dead-url=|accessdate=April 18, 2010|archiveurl=https://web.archive.org/web/20171118043054/http://www.sciplore.org/publications/2010-ASEO--preprint.pdf|archivedate=2017-11-18}}</ref> utafutaji wa habari na utafutaji wa kisekta.
Uboreshaji wa tovuti unaweza kujumuisha kuhariri habari zilizomo kwenye tovuti hiyo, kuboresha [[HTML]] na mbinu nyingine nyingi. Baadhi ya mbinu zinakubalika na tovuti za kutafuta ile mbinu nyingine huonekana kuwa ni za ulaghai.<ref>[https://www.webopedia.com/TERM/B/Black_Hat_SEO.html "What is Blackhat SEO?" June 14, 2019.]</ref>
Kufikia [[Mei]] [[2015]], utafutaji kwa kutumia [[simu za mkononi]] ulipiku ule wa kutumia [[kompyuta]].<ref>[https://adwords.blogspot.com/2015/05/building-for-next-moment.html "Inside AdWords: Building for the next moment" ''Google Inside Adwords'' May 15, 2015.]</ref>
Kama mbinu ya kujitangaza mtandaoni, [http://SEO https://ozguraltun.com.tr/] inatazama jinsi tovuti za kutafuta zinavyofanya kazi, [[algorithm]] zinazoonyesha [[tabia]] za tovuti za kutafuta, maneno yanatotumiwa na watafutaji, n.k.
== Historia ==
Waangalizi wa tovuti na watoa habari walianza kuboresha tovuti kwa njia hiyo toka katikati ya [[1990]]. Mwanzoni, waangalizi wa tovuti walitakiwa kutuma [[anwani]] za tovuti zao kwa tovuti za kutafuta.<ref>{{cite web | url=http://www.thinkpink.com/bp/Thesis/Thesis.pdf| format =PDF | title=Finding What People Want: Experiences with the WebCrawler|accessdate=May 7, 2007| publisher=The Second International WWW Conference Chicago, USA, October 17–20, 1994|author=Brian Pinkerton}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist|30em}}
== Viungo vya nje ==
*{{DMOZ|Computers/Internet/Web_Design_and_Development/Promotion/|Web Development Promotion}}
*[https://alparslanduygu.com/seo SEO - Arama Motoru Optimizasyonu]
*[https://ankara-seouzmani.blogspot.com/ SEO Uzmanı]
* [https://support.google.com/webmasters/bin/answer.py?hl=en&answer=35769 Google Webmaster Guidelines]
* [https://static.googleusercontent.com/media/www.google.com/en//insidesearch/howsearchworks/assets/searchqualityevaluatorguidelines.pdf Google Search Quality Evaluators Guidelines, July 20, 2018 (PDF)]
* [https://help.yahoo.com/kb/search/SLN2245.html Yahoo! Webmaster Guidelines]
* [http://www.bing.com/webmaster/help/webmaster-guidelines-30fba23a Bing Webmaster Guidelines]
* "[https://www.nytimes.com/2011/02/13/business/13search.html The Dirty Little Secrets of Search]", article in [[The New York Times]] (February 12, 2011)
* {{Youtube|id=7Hk5uVv8JpM|title=Google I/O 2010 – SEO site advice from the experts}} – Technical tutorial on search engine optimization, given at [[Google I/O]] 2010.
{{tech-stub}}
[[Jamii:Kifupi]]
[[Jamii:Intaneti]]
as538m4obheywnqixakc9kfx21kc2rf
1244396
1244392
2022-08-24T16:39:24Z
Kipala
107
kuondoa matangazo ya kibiashara
wikitext
text/x-wiki
'''SEO''' ([[kifupi]] cha [[Neno|maneno]] ya [[Kiingereza]]: ''Search engine optimization'') ni utaratibu wa kuongeza [[ubora]] na wingi wa watembeleaji wa [[tovuti]] kwa kuongeza upatikanaji wa tovuti au [[ukurasa]] mmojawapo wa tovuti kwa watumiaji wa tovuti za kutafuta kurasa na habari [[Mtandao|mtandaoni]].<ref>{{Cite web|url=https://www.webopedia.com/TERM/S/SEO.html|title=SEO - search engine optimization|last=|first=|date=|website=Webopedia|archive-url=|archive-date=|dead-url=}}</ref><br> Utaratibu huo unajumuisha tu uboreshaji usiotumia malipo ya matangazo.
[https://ozguraltun.com.tr/ SEO] inaweza kulenga tovuti za kutafuta za aina mbalimbali kama vile utafutaji wa [[picha]], utafutaji wa [[video]], [[Jarida|majarida]] ya kitaaluma, <ref name="aseo">{{cite web|url=https://www.sciplore.org/publications/2010-ASEO--preprint.pdf|title=Academic Search Engine Optimization (ASEO): Optimizing Scholarly Literature for Google Scholar and Co.|author=Beel, Jöran and Gipp, Bela and Wilde, Erik|first=|date=|year=2010|website=|publisher=Journal of Scholarly Publishing|pages=176–190|archive-url=|archive-date=|dead-url=|accessdate=April 18, 2010|archiveurl=https://web.archive.org/web/20171118043054/http://www.sciplore.org/publications/2010-ASEO--preprint.pdf|archivedate=2017-11-18}}</ref> utafutaji wa habari na utafutaji wa kisekta.
Uboreshaji wa tovuti unaweza kujumuisha kuhariri habari zilizomo kwenye tovuti hiyo, kuboresha [[HTML]] na mbinu nyingine nyingi. Baadhi ya mbinu zinakubalika na tovuti za kutafuta ile mbinu nyingine huonekana kuwa ni za ulaghai.<ref>[https://www.webopedia.com/TERM/B/Black_Hat_SEO.html "What is Blackhat SEO?" June 14, 2019.]</ref>
Kufikia [[Mei]] [[2015]], utafutaji kwa kutumia [[simu za mkononi]] ulipiku ule wa kutumia [[kompyuta]].<ref>[https://adwords.blogspot.com/2015/05/building-for-next-moment.html "Inside AdWords: Building for the next moment" ''Google Inside Adwords'' May 15, 2015.]</ref>
Kama mbinu ya kujitangaza mtandaoni, [http://SEO https://ozguraltun.com.tr/] inatazama jinsi tovuti za kutafuta zinavyofanya kazi, [[algorithm]] zinazoonyesha [[tabia]] za tovuti za kutafuta, maneno yanatotumiwa na watafutaji, n.k.
== Historia ==
Waangalizi wa tovuti na watoa habari walianza kuboresha tovuti kwa njia hiyo toka katikati ya [[1990]]. Mwanzoni, waangalizi wa tovuti walitakiwa kutuma [[anwani]] za tovuti zao kwa tovuti za kutafuta.<ref>{{cite web | url=http://www.thinkpink.com/bp/Thesis/Thesis.pdf| format =PDF | title=Finding What People Want: Experiences with the WebCrawler|accessdate=May 7, 2007| publisher=The Second International WWW Conference Chicago, USA, October 17–20, 1994|author=Brian Pinkerton}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist|30em}}
== Viungo vya nje ==
*{{DMOZ|Computers/Internet/Web_Design_and_Development/Promotion/|Web Development Promotion}}
* [https://support.google.com/webmasters/bin/answer.py?hl=en&answer=35769 Google Webmaster Guidelines]
* [https://static.googleusercontent.com/media/www.google.com/en//insidesearch/howsearchworks/assets/searchqualityevaluatorguidelines.pdf Google Search Quality Evaluators Guidelines, July 20, 2018 (PDF)]
* [https://help.yahoo.com/kb/search/SLN2245.html Yahoo! Webmaster Guidelines]
* [http://www.bing.com/webmaster/help/webmaster-guidelines-30fba23a Bing Webmaster Guidelines]
* "[https://www.nytimes.com/2011/02/13/business/13search.html The Dirty Little Secrets of Search]", article in [[The New York Times]] (February 12, 2011)
{{tech-stub}}
[[Jamii:Kifupi]]
[[Jamii:Intaneti]]
m52tpplxvs82qcdavg68d4f6039m0ur
1244397
1244396
2022-08-24T16:39:34Z
Kipala
107
Protected "[[SEO]]" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho))
wikitext
text/x-wiki
'''SEO''' ([[kifupi]] cha [[Neno|maneno]] ya [[Kiingereza]]: ''Search engine optimization'') ni utaratibu wa kuongeza [[ubora]] na wingi wa watembeleaji wa [[tovuti]] kwa kuongeza upatikanaji wa tovuti au [[ukurasa]] mmojawapo wa tovuti kwa watumiaji wa tovuti za kutafuta kurasa na habari [[Mtandao|mtandaoni]].<ref>{{Cite web|url=https://www.webopedia.com/TERM/S/SEO.html|title=SEO - search engine optimization|last=|first=|date=|website=Webopedia|archive-url=|archive-date=|dead-url=}}</ref><br> Utaratibu huo unajumuisha tu uboreshaji usiotumia malipo ya matangazo.
[https://ozguraltun.com.tr/ SEO] inaweza kulenga tovuti za kutafuta za aina mbalimbali kama vile utafutaji wa [[picha]], utafutaji wa [[video]], [[Jarida|majarida]] ya kitaaluma, <ref name="aseo">{{cite web|url=https://www.sciplore.org/publications/2010-ASEO--preprint.pdf|title=Academic Search Engine Optimization (ASEO): Optimizing Scholarly Literature for Google Scholar and Co.|author=Beel, Jöran and Gipp, Bela and Wilde, Erik|first=|date=|year=2010|website=|publisher=Journal of Scholarly Publishing|pages=176–190|archive-url=|archive-date=|dead-url=|accessdate=April 18, 2010|archiveurl=https://web.archive.org/web/20171118043054/http://www.sciplore.org/publications/2010-ASEO--preprint.pdf|archivedate=2017-11-18}}</ref> utafutaji wa habari na utafutaji wa kisekta.
Uboreshaji wa tovuti unaweza kujumuisha kuhariri habari zilizomo kwenye tovuti hiyo, kuboresha [[HTML]] na mbinu nyingine nyingi. Baadhi ya mbinu zinakubalika na tovuti za kutafuta ile mbinu nyingine huonekana kuwa ni za ulaghai.<ref>[https://www.webopedia.com/TERM/B/Black_Hat_SEO.html "What is Blackhat SEO?" June 14, 2019.]</ref>
Kufikia [[Mei]] [[2015]], utafutaji kwa kutumia [[simu za mkononi]] ulipiku ule wa kutumia [[kompyuta]].<ref>[https://adwords.blogspot.com/2015/05/building-for-next-moment.html "Inside AdWords: Building for the next moment" ''Google Inside Adwords'' May 15, 2015.]</ref>
Kama mbinu ya kujitangaza mtandaoni, [http://SEO https://ozguraltun.com.tr/] inatazama jinsi tovuti za kutafuta zinavyofanya kazi, [[algorithm]] zinazoonyesha [[tabia]] za tovuti za kutafuta, maneno yanatotumiwa na watafutaji, n.k.
== Historia ==
Waangalizi wa tovuti na watoa habari walianza kuboresha tovuti kwa njia hiyo toka katikati ya [[1990]]. Mwanzoni, waangalizi wa tovuti walitakiwa kutuma [[anwani]] za tovuti zao kwa tovuti za kutafuta.<ref>{{cite web | url=http://www.thinkpink.com/bp/Thesis/Thesis.pdf| format =PDF | title=Finding What People Want: Experiences with the WebCrawler|accessdate=May 7, 2007| publisher=The Second International WWW Conference Chicago, USA, October 17–20, 1994|author=Brian Pinkerton}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist|30em}}
== Viungo vya nje ==
*{{DMOZ|Computers/Internet/Web_Design_and_Development/Promotion/|Web Development Promotion}}
* [https://support.google.com/webmasters/bin/answer.py?hl=en&answer=35769 Google Webmaster Guidelines]
* [https://static.googleusercontent.com/media/www.google.com/en//insidesearch/howsearchworks/assets/searchqualityevaluatorguidelines.pdf Google Search Quality Evaluators Guidelines, July 20, 2018 (PDF)]
* [https://help.yahoo.com/kb/search/SLN2245.html Yahoo! Webmaster Guidelines]
* [http://www.bing.com/webmaster/help/webmaster-guidelines-30fba23a Bing Webmaster Guidelines]
* "[https://www.nytimes.com/2011/02/13/business/13search.html The Dirty Little Secrets of Search]", article in [[The New York Times]] (February 12, 2011)
{{tech-stub}}
[[Jamii:Kifupi]]
[[Jamii:Intaneti]]
m52tpplxvs82qcdavg68d4f6039m0ur
Cologno Monzese
0
135244
1244388
1179087
2022-08-24T14:17:52Z
CommonsDelinker
234
Removing [[:c:File:Cologno_monzese_mediaset.png|Cologno_monzese_mediaset.png]], it has been deleted from Commons by [[:c:User:Yann|Yann]] because: per [[:c:COM:SPEEDY|]].
wikitext
text/x-wiki
[[Picha:Map of comune of Cologno Monzese (province of Milan, region Lombardy, Italy).svg|thumb|Ramani ya Cologno Monzese]]
'''{{PAGENAME}}''' ni [[mji]] wa [[Lombardia]], [[Italia Kaskazini]] wenye wakazi 45,786 ([[sensa]] ya [[mwaka]] [[2011]]).
==Tazama pia==
* [[Orodha ya miji ya Italia]]
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-jio-Italia}}
[[Jamii:Miji ya Italia]]
[[Jamii:Lombardia]]
rzmy52329o00mradqxkw8mq1nr34v9s
Ștefan Berariu
0
144437
1244394
1244141
2022-08-24T16:31:15Z
CommonsDelinker
234
Replacing 20220813_ECM22_Rowing_7840.jpg with [[File:20220813_ECM22_Rowing_7840_Ștefan_Berariu.jpg]] (by [[:c:User:CommonsDelinker|CommonsDelinker]] because: [[:c:COM:FR|File renamed]]:).
wikitext
text/x-wiki
[[File:20220813 ECM22 Rowing 7840 Ștefan Berariu.jpg|thumb|Berariu 2022]]
'''Ștefan Constantin Berariu''' (alizaliwa [[14 Januari]] [[1999]]) ni mpiga makasia wa [[Romania]].
Katika mashindano ya kupiga makasia kwa watu wanne pamoja alishinda [[medali]] za fedha katika [[michezo ya Olimpiki]] ya majira ya joto 2020, michuano ya [[Ulaya]] 2021 na michuano ya kupiga makasia duniani, medali ya dhahabu katika michuano ya kupiga makasia Ulaya kwa wenye umri wa chini ya miaka 23 (2019), michuano ya kupiga makasia Ulaya kwa wenye umri wa chini ya miaka 23 (2020) na michuano ya kupiga makasia Ulaya kwa wenye umri wa chini ya miaka 23 (2021).<ref>https://wyniki.wioslarstwo.poznan.pl/results_pdf/226___05-09-2021___2021%20European%20Rowing%20U23%20Championships/Results/race-81___event-66___name-BM4-___eta-FA.pdf</ref>
{{BD|1999|}}
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Wanamichezo wa Romania]]
[[Jamii:USLWO]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1999]]
1ayfbl3dsww14rgfgzvcy47nz6an59g
Clemento Suarez
0
147982
1244438
1217176
2022-08-25T08:19:31Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Clement Ashiteye,''' anayejulikana kama '''Clemento Suarez''', ni [[mchekeshaji]] na [[mwigizaji]] kutoka [[Ghana]]. <ref>{{Cite web|url=https://ghanaweekend.com/2019/05/28/5-things-you-didnt-know-about-comic-actor-clemento-suarez/|title=5 things you didn't know about comic actor Clemento Suarez|date=2019-05-28|work=Ghana Weekend|language=en-US|accessdate=2019-10-12}}</ref>
== Maisha ya awali ==
Clemento Suarez alizaliwa [[Tema]] ; baba yake ni Victor Tetteh wa [[Teshie]]. Alisoma elimu ya msingi kwenye Shule ya Wazazi ya Vichrist, [[Shule ya Upili]] ya ''Bethel Junior'', na kuendelea hadi Shule ya Sekondari ya Tema . Elimu yake ya juu ya Sanaa ya Maonyesho aliipata katika Chuo Kikuu cha Ghana huko Legon ambako alihitimu mwaka wa [[2010]]. <ref>{{Cite web|url=https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/clemento-suarez-comedy-makes-me-feel-like-superman.html|title=Clemento Suarez: Comedy makes me feel like superman|date=2018-05-04|work=Graphic Online|language=en-gb|accessdate=2019-10-12}}</ref>
== Maisha binafsi ==
Ameoa Sylvia Bioh. <ref>{{Cite web|title=Comedian Clemento Suarez marries long time love|url=https://www.graphic.com.gh/entertainment/showbiz-news/comedian-clemento-suarez-marries-long-time-love.html|accessdate=2021-10-18|work=Graphic Online|language=en-gb}}</ref> <ref>{{Cite web|title=Fans react to Clemento Suarez wedding photos - MyJoyOnline.com|url=https://www.myjoyonline.com/fans-react-to-clemento-suarez-wedding-photos/|accessdate=2021-10-18|work=www.myjoyonline.com|language=en-US}}</ref> <ref>{{Cite web|author=Bonney|first=Abigail|date=2020-10-26|title=Clemento Suarez ties knot? [Photos]|url=https://www.adomonline.com/clemento-suarez-ties-knot-photos/|accessdate=2021-10-18|work=Adomonline.com|language=en-US}}</ref>
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Ghana]]
[[Jamii:Afrocuration Project 2022 Tanzania]]
gqk4g5pakqqqbyggp6c4w3fxq1d1xcg
Uuaji wa Ramarley Graham
0
148663
1244443
1219771
2022-08-25T08:24:44Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mauaji ya Ramarley Graham]] hadi [[Uuaji wa Ramarley Graham]]: usahihi wa jina
wikitext
text/x-wiki
Kupigwa [[Risasi (metali)|risasi]] kwa Ramarley Graham kulifanyika katika mtaa wa Bronx katika jiji la New York mnamo Februari 2, 2012. Richard Haste, afisa wa Idara ya polisi ya New York, alimpiga risasi Graham katika bafu la nyumba ya marehemu. Graham mwenye [[umri]] wa miaka 18 alikuwa na bangi wakati afisa Haste alipojaribu kumzuia barabarani. Graham alikimbilia kwenye nyumba ya mama yake mkubwa, na akaingia bafuni kutupa bangi. Afisa Haste alijilazimisha kuingia ndani ya jengo hilo, akaupiga teke mlango wa mbele kisha akavunja bafu, ambapo alimpiga risasi Ramarley Graham hadi kufa. Haste aliweza kuonekana kwenye kamera za uchunguzi akitabasamu na kucheka pamoja na maofisa na wapelelezi—[[Mwanaume|wanaume]] walewale ambao wangetoa ushahidi baadaye walikuwa wamemwambia Haste kwamba Graham alikuwa na bunduki. Haste alidai kuamini kwamba Graham amekuwa akitafuta bunduki kwenye kiuno chake, lakini hakuna silaha iliyopatikana.<ref>{{Cite web|title=Cops cheer NYPD Officer Richard Haste, charged in death of teen Ramarley Graham|url=https://www.nydailynews.com/news/crime/nypd-officer-richard-haste-surrenders-face-charges-on-duty-killing-ramarley-graham-article-1.1094739|work=nydailynews.com|accessdate=2022-04-16|author=MATTHEW LYSIAK, Daniel Beekman, Larry McShane}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanaume]]
[[Jamii:USLW]]
[[Jamii:Waliofariki 2012]]
[[Jamii:Mbegu]]
a1u1csuv8o47i4ldegtmsmjlzz89cwn
1244445
1244443
2022-08-25T08:25:44Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
Uuaji wa Ramarley Graham ulifanyika katika mtaa wa Bronx, jiji la New York mnamo Februari 2, 2012.
Richard Haste, afisa wa Idara ya polisi ya New York, alimpiga risasi Graham katika bafu la nyumba ya marehemu. Graham mwenye [[umri]] wa miaka 18 alikuwa na bangi wakati afisa Haste alipojaribu kumzuia barabarani. Graham alikimbilia kwenye nyumba ya mama yake mkubwa, na akaingia bafuni kutupa bangi. Afisa Haste alijilazimisha kuingia ndani ya jengo hilo, akaupiga teke mlango wa mbele kisha akavunja bafu, ambapo alimpiga risasi Ramarley Graham hadi kufa. Haste aliweza kuonekana kwenye kamera za uchunguzi akitabasamu na kucheka pamoja na maofisa na wapelelezi—[[Mwanaume|wanaume]] walewale ambao wangetoa ushahidi baadaye walikuwa wamemwambia Haste kwamba Graham alikuwa na bunduki. Haste alidai kuamini kwamba Graham amekuwa akitafuta bunduki kwenye kiuno chake, lakini hakuna silaha iliyopatikana.<ref>{{Cite web|title=Cops cheer NYPD Officer Richard Haste, charged in death of teen Ramarley Graham|url=https://www.nydailynews.com/news/crime/nypd-officer-richard-haste-surrenders-face-charges-on-duty-killing-ramarley-graham-article-1.1094739|work=nydailynews.com|accessdate=2022-04-16|author=MATTHEW LYSIAK, Daniel Beekman, Larry McShane}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanaume wa Marekani]]
[[Jamii:Waliofariki 2012]]
jb7yh2wzxmz2noyha22ddd8207voc5g
Rebecca Chalker
0
156952
1244449
1242847
2022-08-25T08:32:22Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Rebecca Chalker''' (amezaliwa 1943) ni [[mwanaharakati]] wa [[haki za wanawake]] ambaye ni [[mwandishi]] wa [[Kitabu|vitabu]] kadhaa vya [[afya za wanawake]]. <ref>{{Cite book|url=https://books.google.com/books?id=HRouCAAAQBAJ&newbks=0&printsec=frontcover&pg=PA79&hl=en|title=Feminists Who Changed America, 1963-1975|last=Love|first=Barbara J.|date=2006-09-22|publisher=University of Illinois Press|isbn=978-0-252-09747-8|language=en}}</ref>
== Marejeo ==
{{reflist}}
{{BD|1943|}}
[[Jamii:USW CHSS]]
[[Jamii:wanawake wa Marekani]]
[[Jamii:Wanaharakati wa Marekani]]
[[Jamii:waandishi wa Marekani]]
7ja3ceyva0n6fgsxb50uuq96qbgarbp
Mark M. Ford
0
156953
1244476
1242848
2022-08-25T08:50:37Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Mark Morgan Ford''' (pia anajulikana kama '''Michael Masterson''') ni [[mwandishi]], mjasiriamali, mchapishaji, mwekezaji, mtengeneza filamu, [[mkusanyaji wa sanaa]], na mshauri wa masoko ya moja kwa moja na kutangaza viwanda wa [[Marekani]].<ref>{{Cite journal|last=Spickard|first=Paul|date=2012|title=Becoming Yellow: A Short History of Racial Thinking by Michael Keevak|url=http://dx.doi.org/10.1353/cri.2012.0023|journal=China Review International|volume=19|issue=1|pages=103–105|doi=10.1353/cri.2012.0023|issn=1527-9367}}</ref>
Ford ni mwandishi wa Zaidi ya dazeni 2 za vitabu na mamia ya insha za [[ujasiriamali]],kujenga utajiri, uchumi, na [[uandishi]]. Pia ameandika vitabu 4 vya mashairi, ukusanyaji wa hadithi fupi (ndoto ya chui), na kitabu kilicho tumia kichwa cha habari maneno yanayo tenda.<ref>{{Cite journal|date=2008-09-01|title=Mechanisms that Influence the Performance of Beach Nourishment: A Case Study in Delray Beach, Florida, U.S.A.|url=http://dx.doi.org/10.2112/06-0749.1|journal=Journal of Coastal Research|volume=2008|issue=245|pages=1304|doi=10.2112/06-0749.1|issn=0749-0208}}</ref><ref>{{Cite journal|last=Bruter|first=Michael|last2=Harrison|first2=Sarah|date=2020-05-26|title=Inside the Mind of a Voter|url=http://dx.doi.org/10.23943/princeton/9780691182896.001.0001|doi=10.23943/princeton/9780691182896.001.0001}}</ref><ref>https://www.amazon.com/Dreaming-Tigers-Mark-Morgan-Ford/dp/1733876707</ref>
Mara nyingi biashara za kuandika za Ford’s zinachapishwa na Michael Masterson. Vitabu vyake, Automatic Wealth and Ready, Moto, lengo, walitambulika kwenye ''[[Wall Street Journal]]'' na ''[[New York Times]]'' orodha ya muuzaji bora.<ref>{{Citation|last=Löfflmann|first=Georg|title=Competing Visions for America – Popular Discourses of Grand Strategy on the New York Times Best-Sellers List|date=2017-01-08|url=http://dx.doi.org/10.3366/edinburgh/9781474419765.003.0004|work=American Grand Strategy under Obama|publisher=Edinburgh University Press|access-date=2022-08-15}}</ref><ref>{{Citation|last=Stephens|first=William|title=November 19. Thursday|date=1958-01-01|url=http://dx.doi.org/10.1093/oseo/instance.00251358|work=Wormsloe Foundation Publications, Vol. 2: The Journal of William Stephens, Vol. 1: 1741–1743|publisher=Oxford University Press|access-date=2022-08-15}}</ref><ref>{{Citation|last=Mérat|first=Alix|title=19. Un best-seller à la bibliothèque !|date=2021-01-13|url=http://dx.doi.org/10.3917/arco.bessa.2021.01.0343|work=Best-sellers|pages=343–353|publisher=Armand Colin|access-date=2022-08-15}}</ref>
Ford anafanya kazi kwenye [[maendeleo ya uwekezaji]] kote ndani ya Marekani na nje ya nchi.<ref>{{Cite book|url=http://dx.doi.org/10.4324/9780203958520|title=Saracens and the Making of English Identity|last=Bly Calkin|first=Siobhain|date=2013-11-05|publisher=Routledge|isbn=978-1-135-47164-4}}</ref>
Tangu 1993, amekuwa kiongozi katika ukuaji wa kimkakati kwaajili ya [[Agora, Inc]]., mchapishaji wa majarida na vitabu.
Mwaka 2014, Ford ameshirikiana kuandika tamthiliya kuchekesha ya miaka ijayo filamu baada ya usiku wa manane na Steven Cabrera.<ref>{{Cite journal|last=Palmer|first=Landon|date=2020-08-20|title=Rock Star/Movie Star|url=http://dx.doi.org/10.1093/oso/9780190888404.001.0001|doi=10.1093/oso/9780190888404.001.0001}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:watu wa Marekani]]
[[Jamii:USW CHSS]]
nj81c5trm1ya8gefu0zfe06rea3sjoa
Churchill Show
0
156978
1244436
1242906
2022-08-25T08:16:52Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''''Churchill Show''''' ''(zamani Churchill Live)''<ref>https://www.tandfonline.com/doi/abs/10.1080/13696815.2022.2072819</ref> ni kipindi cha vichekesho nchini [[Kenya]] kinachoongozwa na mchekeshaji Daniel "Churchill" Ndambuki, kilichoonyeshwa kwa mara ya kwanza mwaka 2007 kwenye mtandao wa NTV. Kipindi hicho kinarushwa moja kwa moja kutoka viwanja vya Carnivore jijini [[Nairobi]].
== Wachekeshaji ==
* Eric Omondi (mcheshi)
* Felix Omondi
* MC Jessie
* Chipukeezy
* Fred Omondi
* Karis (mcheshi)
* YY (Oliver Otieno)
* Janyando Mig Mig
* Owago Onyiro
* Poet Teardrops
* Teacher Wanjiku
* Eddie Butita
* Alex Mungahi
* Mammito Eunice
* Steven Oduor
== Marejeo ==
{{reflist}}
[[Jamii:Kenya]]
cllvje0u1psm7ztf3n4zvqhr27o6ffy
Michael Cardei
0
156992
1244440
1243644
2022-08-25T08:23:23Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
'''Mihaela Cardei''' ni [[mwanasayansi]] wa [[kompyuta]] nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Romania]] anayejulikana sana kwa utafiti wake kuhusu mtandao wa matangazo ya pasiwaya. Ni profesa katika idara ya kompyuta na uhandisi wa Umeme na Sayansi ya Kompyuta katika chuo kikuu cha [[Florida Atlantic.]]<ref>{{Cite web|title=Mihaela Cardei|url=https://www.fau.edu/engineering/directory/faculty/cardei-m/index.php|work=Florida Atlantic University|accessdate=2022-08-16|language=en}}</ref>
== Elimu na Taaluma ==
Cardei alipata shahada ya kwanza katika sayansi ya Kompyuta mwaka 1995 na uzamili katika sayansi ya Kompyuta mwaka 1996, Katika Chuo Kikuu cha Politehnica cha Bucharest. Alimaliza Ph.D mwaka 2003 katika Chuo Kikuu cha Minnesota akiwa chini ya usimamizi wa Ding-Zhu Du.<ref>http://www.cse.fau.edu/~mihaela/HTML/MihaelaCardeiCV.pdf</ref><ref>https://mathgenealogy.org/id.php?id=171936</ref>
Alijiunga na Chuo Kikuu cha Florida Atlantic kama Profesa msaidizi mnamo mwaka 2003, alipandishwa cheo na kuwa Profesa Mwaka 2014.<ref>http://www.cse.fau.edu/~mihaela/HTML/MihaelaCardeiCV.pdf</ref>
== Utambuzi ==
Alitajwa na Chuo kikuu cha Florida Atlantic kuwa mtafiti bora wa mwaka katika ngazi ya profesa msaidizi kwa mwaka 2006-2007
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
6o4olrmleb8awng6m3yr8se1f3ttkro
1244441
1244440
2022-08-25T08:24:05Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mihael Cardei]] hadi [[Michael Cardei]]: usahihi wa jina
wikitext
text/x-wiki
'''Mihaela Cardei''' ni [[mwanasayansi]] wa [[kompyuta]] nchini [[Marekani]] mwenye asili ya [[Romania]] anayejulikana sana kwa utafiti wake kuhusu mtandao wa matangazo ya pasiwaya. Ni profesa katika idara ya kompyuta na uhandisi wa Umeme na Sayansi ya Kompyuta katika chuo kikuu cha [[Florida Atlantic.]]<ref>{{Cite web|title=Mihaela Cardei|url=https://www.fau.edu/engineering/directory/faculty/cardei-m/index.php|work=Florida Atlantic University|accessdate=2022-08-16|language=en}}</ref>
== Elimu na Taaluma ==
Cardei alipata shahada ya kwanza katika sayansi ya Kompyuta mwaka 1995 na uzamili katika sayansi ya Kompyuta mwaka 1996, Katika Chuo Kikuu cha Politehnica cha Bucharest. Alimaliza Ph.D mwaka 2003 katika Chuo Kikuu cha Minnesota akiwa chini ya usimamizi wa Ding-Zhu Du.<ref>http://www.cse.fau.edu/~mihaela/HTML/MihaelaCardeiCV.pdf</ref><ref>https://mathgenealogy.org/id.php?id=171936</ref>
Alijiunga na Chuo Kikuu cha Florida Atlantic kama Profesa msaidizi mnamo mwaka 2003, alipandishwa cheo na kuwa Profesa Mwaka 2014.<ref>http://www.cse.fau.edu/~mihaela/HTML/MihaelaCardeiCV.pdf</ref>
== Utambuzi ==
Alitajwa na Chuo kikuu cha Florida Atlantic kuwa mtafiti bora wa mwaka katika ngazi ya profesa msaidizi kwa mwaka 2006-2007
== Marejeo ==
{{Reflist}}
[[Jamii:Wanasayansi wa Marekani]]
[[Jamii:Watu wa Marekani]]
6o4olrmleb8awng6m3yr8se1f3ttkro
Majadiliano:Bettina Arndt
1
157182
1244398
1243773
2022-08-24T17:24:27Z
92.31.142.14
/* Angelique Rockas */
wikitext
text/x-wiki
phoiac9h4m842xq45sp7s6u21eteeq1
Majadiliano ya mtumiaji:Seemsrathytaway
3
157463
1244390
2022-08-24T16:12:01Z
Kipala
107
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{karibu}}<nowiki>~~~~</nowiki> ~~~~'
wikitext
text/x-wiki
{{karibu}}<nowiki>~~~~</nowiki> '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 16:12, 24 Agosti 2022 (UTC)
2gtcp45q5c0vc3e7lppk0twh1di15e8
Mtumiaji:Sametovkaya
2
157464
1244393
2022-08-24T16:16:12Z
Kipala
107
This user is blocked for inserting commercial spam into our pages and hiding it.
wikitext
text/x-wiki
<big><big>'''This user is blocked for inserting commercial spam into our pages and hiding it.'''</big></big>
6sttwijsdt28p84zuweqpokdobl3gsm
Mtumiaji:Alxiatuyen
2
157465
1244395
2022-08-24T16:37:06Z
Kipala
107
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<big><big>'''This user is blocked for inserting commercial spam into our pages and hiding it.'''</big></big>'
wikitext
text/x-wiki
<big><big>'''This user is blocked for inserting commercial spam into our pages and hiding it.'''</big></big>
6sttwijsdt28p84zuweqpokdobl3gsm
Jamii:Wanasiasa wanawake Afrika Kusini
14
157466
1244399
2022-08-24T19:09:41Z
CaliBen
33319
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Wanasiasa wanawake Afrika]] [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Wanasiasa wanawake Afrika]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]]
opwabvuxtpwprdy7285e4hgz0jr64es
Kroisos
0
157467
1244400
2022-08-24T19:11:20Z
Kipala
107
Created by translating the page "[[:en:Special:Redirect/revision/1102946839|Croesus]]"
wikitext
text/x-wiki
'''Kroisos''' ([[Kigir.]] {{lang|grc|{{script|Grek|Κροῖσος}}}}, Kilat. Croesus) alikuwa mfalme wa [[Lydia (nchi)|Lydia]] aliyetawala kuanzia mwaka [[585 KK]] hivi hadi kushindwa na mfalme wa [[Uajemi ya Kale|Uajemi]], [[Koreshi Mkuu]], mnamo mwaka [[547 KK]].<ref>{{cite journal|last=Wallace|first=Robert W.|date=2016|title=Redating Croesus: Herodotean Chronologies, and the Dates of the Earliest Coinages|url=https://www.jstor.org/stable/44157500|journal=The Journal of Hellenic Studies|volume=136|issue=|pages=168–181|doi=10.1017/S0075426916000124|jstor=44157500|access-date=14 November 2021|s2cid=164546627}}</ref> Lydia ilikuwa nchi ya [[Ugiriki ya Kale]] kwenye maeneo ya magharibi ya [[Asia Ndogo]] yaani [[Uturuki]] ya leo.
Kroisos alikuwa maarufu kwa utajiri wake mkubwa. Chanzo cha utajiri wake kilikuwa [[dhahabu]] iliyochimbwa katika milki yake pamoja kodi wa miji ya biashara na malipo ya miji ya Kigiriki iliyoshindwa naye kivita. Waandishi [[Herodoti]] na Pausanias walitaja kwamba zawadi zake zilitunzwa kwenye hekalu ya [[Delphi]]. <ref>Among them a lion of gold, which had tumbled from its perch upon a stack of ingots when the [[temple]] at [[Delphi]] burned but was preserved and displayed in the Treasury of the Corinthians, where Pausanias saw it (Pausanias 10.5.13). The temple burned in the archonship of Erxicleides, 548–47 BC.</ref> <ref name="Evans">{{Cite journal|last=Evans|first=J. A. S.|author-link=James Allan Stewart Evans|date=1978|title=What Happened to Croesus?|url=https://www.jstor.org/stable/3296933|journal=The Classical Journal|volume=74|issue=1|pages=34–40|doi=|jstor=3296933|access-date=11 May 2022}}</ref>
[[Faili:Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Map_of_Lydia_ancient_times.jpg/300px-Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|thumb|300x300px| Mipaka ya Lydia chini ya Mfalme Kroisos]]
[[Faili:Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_(16mm,_10.76_g)._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b0/Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg/300px-Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|thumb|300x300px| Sarafu ya dhahabu ya Kroisos, Lydia, mnamo 550 KK.]]
Croesus anasifiwa kwa kutoa sarafu za kwanza za dhahabu zilizosanifishwa kwa usafi sanifu na uzito maalumu kama pesa rasmi.<ref>Herodotus, I, p. 80</ref> <ref>''An Encyclopedia of World History'', (Houghton Mifflin Company Boston, 1952), chap. II. "Ancient History", p. 37</ref>
Katika tamaduni za Kigiriki na Kiajemi jina la Kroisos likawa kisawe cha mtu tajiri. Kwa lugha za Ulaya kama Kiingereza, semi kama vile "tajiri kama Croesus" au "tajiri kuliko Croesus" hutumiwa kuonyesha utajiri mkubwa hadi leo.
Baada ya kumshinda Kroisos, Koreshi alinakili matumizi ya [[dhahabu]] kama sarafu kuu ya ufalme wa Uajemi. <ref name="Mallowan">{{Cite book|url=|title=The Cambridge History of Iran|last=Mallowan|first=Max|date=1968|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=978-0-521-20091-2|editor-last=Gershevitch|editor-first=Ilya|editor-link=Ilya Gershevitch|pages=392–419|language=en|author-link=Max Mallowan}}</ref>
== Marejeo ==
== Viungo vya nje ==
* [https://www.academia.edu/10635667/Lalliance_lydo-spartiate_Kt%C3%A8ma_39_2014_p._271-288 "L'alliance lydo-spartiate", katika Ktèma, 39, 2014, uk. 271–288] na Kevin Leloux
* [https://www.academia.edu/61853262/Les_alliances_lydo_%C3%A9gyptienne_et_lydo_babylonienne_Gephyra_22_2021_p_181_207 "Les allions lydo-égyptienne et lydo-babylonienne", katika Gephyra, 22, 2021, pp. 181–207] na Kevin Leloux
* [https://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?lookup=Hdt.+1.6.1 Maelezo ya Herodotus kuhusu Kroisos; 1.6–94] ( [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/ kutoka kwa Perseus Project], ulio na viungo vya matoleo ya Kiingereza na Kigiriki).
* [https://archive.today/20120629033228/homepage.mac.com/cparada/GML/Croesus.html Maelezo ya kina ya maisha ya Kroisos], na Carlos Parada
* [http://www.livius.org Livius], [https://www.livius.org/men-mh/mermnads/croesus.htm Croesus] na Jona Lendering
* [https://web.archive.org/web/20101119122504/http://ancientopedia.com/croesus/ Croesus] kwenye <a href="https://en.wikipedia.org/wiki/Ancient_History_Encyclopedia" rel="mw:ExtLink" title="Ancient History Encyclopedia" class="mw-redirect cx-link" data-linkid="419">Ancient History Encyclopedia</a>
* [https://www.bbc.co.uk/programmes/b00qm8zg Gold Coin of Croesus] [[Podikasiti|podikasti]] ya [[BBC]] kutoka kwa mfululizo: "Historia ya Ulimwengu katika Vitu 100"
*
8yr3vx92z0rld4ld25ok8ziyhoy503h
1244401
1244400
2022-08-24T19:11:40Z
Kipala
107
Kipala alihamisha ukurasa wa [[Croesus]] hadi [[Kroisos]]
wikitext
text/x-wiki
'''Kroisos''' ([[Kigir.]] {{lang|grc|{{script|Grek|Κροῖσος}}}}, Kilat. Croesus) alikuwa mfalme wa [[Lydia (nchi)|Lydia]] aliyetawala kuanzia mwaka [[585 KK]] hivi hadi kushindwa na mfalme wa [[Uajemi ya Kale|Uajemi]], [[Koreshi Mkuu]], mnamo mwaka [[547 KK]].<ref>{{cite journal|last=Wallace|first=Robert W.|date=2016|title=Redating Croesus: Herodotean Chronologies, and the Dates of the Earliest Coinages|url=https://www.jstor.org/stable/44157500|journal=The Journal of Hellenic Studies|volume=136|issue=|pages=168–181|doi=10.1017/S0075426916000124|jstor=44157500|access-date=14 November 2021|s2cid=164546627}}</ref> Lydia ilikuwa nchi ya [[Ugiriki ya Kale]] kwenye maeneo ya magharibi ya [[Asia Ndogo]] yaani [[Uturuki]] ya leo.
Kroisos alikuwa maarufu kwa utajiri wake mkubwa. Chanzo cha utajiri wake kilikuwa [[dhahabu]] iliyochimbwa katika milki yake pamoja kodi wa miji ya biashara na malipo ya miji ya Kigiriki iliyoshindwa naye kivita. Waandishi [[Herodoti]] na Pausanias walitaja kwamba zawadi zake zilitunzwa kwenye hekalu ya [[Delphi]]. <ref>Among them a lion of gold, which had tumbled from its perch upon a stack of ingots when the [[temple]] at [[Delphi]] burned but was preserved and displayed in the Treasury of the Corinthians, where Pausanias saw it (Pausanias 10.5.13). The temple burned in the archonship of Erxicleides, 548–47 BC.</ref> <ref name="Evans">{{Cite journal|last=Evans|first=J. A. S.|author-link=James Allan Stewart Evans|date=1978|title=What Happened to Croesus?|url=https://www.jstor.org/stable/3296933|journal=The Classical Journal|volume=74|issue=1|pages=34–40|doi=|jstor=3296933|access-date=11 May 2022}}</ref>
[[Faili:Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Map_of_Lydia_ancient_times.jpg/300px-Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|thumb|300x300px| Mipaka ya Lydia chini ya Mfalme Kroisos]]
[[Faili:Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_(16mm,_10.76_g)._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b0/Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg/300px-Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|thumb|300x300px| Sarafu ya dhahabu ya Kroisos, Lydia, mnamo 550 KK.]]
Croesus anasifiwa kwa kutoa sarafu za kwanza za dhahabu zilizosanifishwa kwa usafi sanifu na uzito maalumu kama pesa rasmi.<ref>Herodotus, I, p. 80</ref> <ref>''An Encyclopedia of World History'', (Houghton Mifflin Company Boston, 1952), chap. II. "Ancient History", p. 37</ref>
Katika tamaduni za Kigiriki na Kiajemi jina la Kroisos likawa kisawe cha mtu tajiri. Kwa lugha za Ulaya kama Kiingereza, semi kama vile "tajiri kama Croesus" au "tajiri kuliko Croesus" hutumiwa kuonyesha utajiri mkubwa hadi leo.
Baada ya kumshinda Kroisos, Koreshi alinakili matumizi ya [[dhahabu]] kama sarafu kuu ya ufalme wa Uajemi. <ref name="Mallowan">{{Cite book|url=|title=The Cambridge History of Iran|last=Mallowan|first=Max|date=1968|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=978-0-521-20091-2|editor-last=Gershevitch|editor-first=Ilya|editor-link=Ilya Gershevitch|pages=392–419|language=en|author-link=Max Mallowan}}</ref>
== Marejeo ==
== Viungo vya nje ==
* [https://www.academia.edu/10635667/Lalliance_lydo-spartiate_Kt%C3%A8ma_39_2014_p._271-288 "L'alliance lydo-spartiate", katika Ktèma, 39, 2014, uk. 271–288] na Kevin Leloux
* [https://www.academia.edu/61853262/Les_alliances_lydo_%C3%A9gyptienne_et_lydo_babylonienne_Gephyra_22_2021_p_181_207 "Les allions lydo-égyptienne et lydo-babylonienne", katika Gephyra, 22, 2021, pp. 181–207] na Kevin Leloux
* [https://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?lookup=Hdt.+1.6.1 Maelezo ya Herodotus kuhusu Kroisos; 1.6–94] ( [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/ kutoka kwa Perseus Project], ulio na viungo vya matoleo ya Kiingereza na Kigiriki).
* [https://archive.today/20120629033228/homepage.mac.com/cparada/GML/Croesus.html Maelezo ya kina ya maisha ya Kroisos], na Carlos Parada
* [http://www.livius.org Livius], [https://www.livius.org/men-mh/mermnads/croesus.htm Croesus] na Jona Lendering
* [https://web.archive.org/web/20101119122504/http://ancientopedia.com/croesus/ Croesus] kwenye <a href="https://en.wikipedia.org/wiki/Ancient_History_Encyclopedia" rel="mw:ExtLink" title="Ancient History Encyclopedia" class="mw-redirect cx-link" data-linkid="419">Ancient History Encyclopedia</a>
* [https://www.bbc.co.uk/programmes/b00qm8zg Gold Coin of Croesus] [[Podikasiti|podikasti]] ya [[BBC]] kutoka kwa mfululizo: "Historia ya Ulimwengu katika Vitu 100"
*
8yr3vx92z0rld4ld25ok8ziyhoy503h
1244403
1244401
2022-08-24T19:14:21Z
Kipala
107
/* Viungo vya nje */
wikitext
text/x-wiki
'''Kroisos''' ([[Kigir.]] {{lang|grc|{{script|Grek|Κροῖσος}}}}, Kilat. Croesus) alikuwa mfalme wa [[Lydia (nchi)|Lydia]] aliyetawala kuanzia mwaka [[585 KK]] hivi hadi kushindwa na mfalme wa [[Uajemi ya Kale|Uajemi]], [[Koreshi Mkuu]], mnamo mwaka [[547 KK]].<ref>{{cite journal|last=Wallace|first=Robert W.|date=2016|title=Redating Croesus: Herodotean Chronologies, and the Dates of the Earliest Coinages|url=https://www.jstor.org/stable/44157500|journal=The Journal of Hellenic Studies|volume=136|issue=|pages=168–181|doi=10.1017/S0075426916000124|jstor=44157500|access-date=14 November 2021|s2cid=164546627}}</ref> Lydia ilikuwa nchi ya [[Ugiriki ya Kale]] kwenye maeneo ya magharibi ya [[Asia Ndogo]] yaani [[Uturuki]] ya leo.
Kroisos alikuwa maarufu kwa utajiri wake mkubwa. Chanzo cha utajiri wake kilikuwa [[dhahabu]] iliyochimbwa katika milki yake pamoja kodi wa miji ya biashara na malipo ya miji ya Kigiriki iliyoshindwa naye kivita. Waandishi [[Herodoti]] na Pausanias walitaja kwamba zawadi zake zilitunzwa kwenye hekalu ya [[Delphi]]. <ref>Among them a lion of gold, which had tumbled from its perch upon a stack of ingots when the [[temple]] at [[Delphi]] burned but was preserved and displayed in the Treasury of the Corinthians, where Pausanias saw it (Pausanias 10.5.13). The temple burned in the archonship of Erxicleides, 548–47 BC.</ref> <ref name="Evans">{{Cite journal|last=Evans|first=J. A. S.|author-link=James Allan Stewart Evans|date=1978|title=What Happened to Croesus?|url=https://www.jstor.org/stable/3296933|journal=The Classical Journal|volume=74|issue=1|pages=34–40|doi=|jstor=3296933|access-date=11 May 2022}}</ref>
[[Faili:Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Map_of_Lydia_ancient_times.jpg/300px-Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|thumb|300x300px| Mipaka ya Lydia chini ya Mfalme Kroisos]]
[[Faili:Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_(16mm,_10.76_g)._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b0/Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg/300px-Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|thumb|300x300px| Sarafu ya dhahabu ya Kroisos, Lydia, mnamo 550 KK.]]
Croesus anasifiwa kwa kutoa sarafu za kwanza za dhahabu zilizosanifishwa kwa usafi sanifu na uzito maalumu kama pesa rasmi.<ref>Herodotus, I, p. 80</ref> <ref>''An Encyclopedia of World History'', (Houghton Mifflin Company Boston, 1952), chap. II. "Ancient History", p. 37</ref>
Katika tamaduni za Kigiriki na Kiajemi jina la Kroisos likawa kisawe cha mtu tajiri. Kwa lugha za Ulaya kama Kiingereza, semi kama vile "tajiri kama Croesus" au "tajiri kuliko Croesus" hutumiwa kuonyesha utajiri mkubwa hadi leo.
Baada ya kumshinda Kroisos, Koreshi alinakili matumizi ya [[dhahabu]] kama sarafu kuu ya ufalme wa Uajemi. <ref name="Mallowan">{{Cite book|url=|title=The Cambridge History of Iran|last=Mallowan|first=Max|date=1968|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=978-0-521-20091-2|editor-last=Gershevitch|editor-first=Ilya|editor-link=Ilya Gershevitch|pages=392–419|language=en|author-link=Max Mallowan}}</ref>
== Marejeo ==
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.academia.edu/10635667/Lalliance_lydo-spartiate_Kt%C3%A8ma_39_2014_p._271-288 "L'alliance lydo-spartiate", katika Ktèma, 39, 2014, uk. 271–288] na Kevin Leloux
* [https://www.academia.edu/61853262/Les_alliances_lydo_%C3%A9gyptienne_et_lydo_babylonienne_Gephyra_22_2021_p_181_207 "Les allions lydo-égyptienne et lydo-babylonienne", katika Gephyra, 22, 2021, pp. 181–207] na Kevin Leloux
* [https://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?lookup=Hdt.+1.6.1 Maelezo ya Herodotus kuhusu Kroisos; 1.6–94] ( [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/ kutoka kwa Perseus Project], ulio na viungo vya matoleo ya Kiingereza na Kigiriki).
* [https://archive.today/20120629033228/homepage.mac.com/cparada/GML/Croesus.html Maelezo ya kina ya maisha ya Kroisos], na Carlos Parada
* [http://www.livius.org Livius], [https://www.livius.org/men-mh/mermnads/croesus.htm Croesus] na Jona Lendering
* [https://web.archive.org/web/20101119122504/http://ancientopedia.com/croesus/ Croesus] kwenye <a href="https://en.wikipedia.org/wiki/Ancient_History_Encyclopedia" rel="mw:ExtLink" title="Ancient History Encyclopedia" class="mw-redirect cx-link" data-linkid="419">Ancient History Encyclopedia</a>
* [https://www.bbc.co.uk/programmes/b00qm8zg Gold Coin of Croesus] [[Podikasiti|podikasti]] ya [[BBC]] kutoka kwa mfululizo: "Historia ya Ulimwengu katika Vitu 100"
* Chisholm, Hugh, ed. (1911). "[https://en.wikisource.org/wiki/1911_Encyclop%C3%A6dia_Britannica/Croesus Croesus]" . Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press.
mv9a80trztnqpc40t1oqu7f54k8z2ci
1244406
1244403
2022-08-24T19:21:54Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
'''Kroisos''' ([[Kigir.]] {{lang|grc|{{script|Grek|Κροῖσος}}}}, Kilat. Croesus) alikuwa mfalme wa [[Lydia (nchi)|Lydia]] aliyetawala kuanzia mwaka [[585 KK]] hivi hadi kushindwa na mfalme wa [[Uajemi ya Kale|Uajemi]], [[Koreshi Mkuu]], mnamo mwaka [[547 KK]].<ref>{{cite journal|last=Wallace|first=Robert W.|date=2016|title=Redating Croesus: Herodotean Chronologies, and the Dates of the Earliest Coinages|url=https://www.jstor.org/stable/44157500|journal=The Journal of Hellenic Studies|volume=136|issue=|pages=168–181|doi=10.1017/S0075426916000124|jstor=44157500|access-date=14 November 2021|s2cid=164546627}}</ref> Lydia ilikuwa nchi ya [[Ugiriki ya Kale]] kwenye maeneo ya magharibi ya [[Asia Ndogo]] yaani [[Uturuki]] ya leo.
Kroisos alikuwa maarufu kwa utajiri wake mkubwa. Chanzo cha utajiri wake kilikuwa [[dhahabu]] iliyochimbwa katika milki yake pamoja kodi wa miji ya biashara na malipo ya miji ya Kigiriki iliyoshindwa naye kivita. Waandishi [[Herodoti]] na Pausanias walitaja kwamba zawadi zake zilitunzwa kwenye hekalu ya [[Delphi]]. <ref>Among them a lion of gold, which had tumbled from its perch upon a stack of ingots when the [[temple]] at [[Delphi]] burned but was preserved and displayed in the Treasury of the Corinthians, where Pausanias saw it (Pausanias 10.5.13). The temple burned in the archonship of Erxicleides, 548–47 BC.</ref> <ref name="Evans">{{Cite journal|last=Evans|first=J. A. S.|author-link=James Allan Stewart Evans|date=1978|title=What Happened to Croesus?|url=https://www.jstor.org/stable/3296933|journal=The Classical Journal|volume=74|issue=1|pages=34–40|doi=|jstor=3296933|access-date=11 May 2022}}</ref>
[[Faili:Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Map_of_Lydia_ancient_times.jpg/300px-Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|thumb|300x300px| Mipaka ya Lydia chini ya Mfalme Kroisos]]
[[Faili:Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_(16mm,_10.76_g)._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b0/Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg/300px-Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|thumb|300x300px| Sarafu ya dhahabu ya Kroisos, Lydia, mnamo 550 KK.]]
Croesus anasifiwa kwa kutoa sarafu za kwanza za dhahabu zilizosanifishwa kwa usafi sanifu na uzito maalumu kama pesa rasmi.<ref>Herodotus, I, p. 80</ref> <ref>''An Encyclopedia of World History'', (Houghton Mifflin Company Boston, 1952), chap. II. "Ancient History", p. 37</ref>
Katika tamaduni za Kigiriki na Kiajemi jina la Kroisos likawa kisawe cha mtu tajiri. Kwa lugha za Ulaya kama Kiingereza, semi kama vile "tajiri kama Croesus" au "tajiri kuliko Croesus" hutumiwa kuonyesha utajiri mkubwa hadi leo.
Hatima ya Croesus baada ya ushindi wa Waajemi dhidi ya Lydia haijulikani: [[Herodoti]] pamoja na waandishi wengine waliandika kwamba ama Kroisos alijaribu kujiua mwenyewe, au kwamba alihukumiwa na kuchomwa na Waajemi akiwa hai. Wengine waliandika kwamba aliendelea kuishi na kuwa mshauri wa mshindi Koreshi. [[Xenofoni]] alidai pia kwamba Koreshi alimweka Kroisos kama mshauri wake, ilhali mwandishi mwingine wa kale aliandika kwamba Koreshi alimteua kuwa gavana wa wa emeo huko Umedi. <ref name="Leloux-2">{{cite thesis|last=Leloux|first=Kevin|date=2018|title=La Lydie d'Alyatte et Crésus: Un royaume à la croisée des cités grecques et des monarchies orientales. Recherches sur son organisation interne et sa politique extérieure|type=PhD|volume=2|publisher=[[University of Liège]]|docket=|oclc=|url=https://orbi.uliege.be/bitstream/2268/220928/2/The%cc%80se%20entie%cc%80re%20vol%20II.pdf|access-date=1 May 2022}}</ref>
Baada ya kumshinda Kroisos, Koreshi alinakili matumizi ya [[dhahabu]] kama sarafu kuu ya ufalme wa Uajemi. <ref name="Mallowan">{{Cite book|url=|title=The Cambridge History of Iran|last=Mallowan|first=Max|date=1968|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=978-0-521-20091-2|editor-last=Gershevitch|editor-first=Ilya|editor-link=Ilya Gershevitch|pages=392–419|language=en|author-link=Max Mallowan}}</ref>
== Marejeo ==
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.academia.edu/10635667/Lalliance_lydo-spartiate_Kt%C3%A8ma_39_2014_p._271-288 "L'alliance lydo-spartiate", katika Ktèma, 39, 2014, uk. 271–288] na Kevin Leloux
* [https://www.academia.edu/61853262/Les_alliances_lydo_%C3%A9gyptienne_et_lydo_babylonienne_Gephyra_22_2021_p_181_207 "Les allions lydo-égyptienne et lydo-babylonienne", katika Gephyra, 22, 2021, pp. 181–207] na Kevin Leloux
* [https://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?lookup=Hdt.+1.6.1 Maelezo ya Herodotus kuhusu Kroisos; 1.6–94] ( [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/ kutoka kwa Perseus Project], ulio na viungo vya matoleo ya Kiingereza na Kigiriki).
* [https://archive.today/20120629033228/homepage.mac.com/cparada/GML/Croesus.html Maelezo ya kina ya maisha ya Kroisos], na Carlos Parada
* [http://www.livius.org Livius], [https://www.livius.org/men-mh/mermnads/croesus.htm Croesus] na Jona Lendering
* [https://web.archive.org/web/20101119122504/http://ancientopedia.com/croesus/ Croesus] kwenye <a href="https://en.wikipedia.org/wiki/Ancient_History_Encyclopedia" rel="mw:ExtLink" title="Ancient History Encyclopedia" class="mw-redirect cx-link" data-linkid="419">Ancient History Encyclopedia</a>
* [https://www.bbc.co.uk/programmes/b00qm8zg Gold Coin of Croesus] [[Podikasiti|podikasti]] ya [[BBC]] kutoka kwa mfululizo: "Historia ya Ulimwengu katika Vitu 100"
* Chisholm, Hugh, ed. (1911). "[https://en.wikisource.org/wiki/1911_Encyclop%C3%A6dia_Britannica/Croesus Croesus]" . Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press.
ij3r5jun0pbfif9w3rns5zkso7jqndy
1244407
1244406
2022-08-24T19:25:22Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Kroisos stake Louvre G197.jpg|thumb|Picha kwenye chungu cha kale inamwonesha Kroisos kwenye kuni atakapoendelea kuchiomwa kufuatana na mapokeo ya Herodoti. ]]
'''Kroisos''' ([[Kigir.]] {{lang|grc|{{script|Grek|Κροῖσος}}}}, Kilat. Croesus) alikuwa mfalme wa [[Lydia (nchi)|Lydia]] aliyetawala kuanzia mwaka [[585 KK]] hivi hadi kushindwa na mfalme wa [[Uajemi ya Kale|Uajemi]], [[Koreshi Mkuu]], mnamo mwaka [[547 KK]].<ref>{{cite journal|last=Wallace|first=Robert W.|date=2016|title=Redating Croesus: Herodotean Chronologies, and the Dates of the Earliest Coinages|url=https://www.jstor.org/stable/44157500|journal=The Journal of Hellenic Studies|volume=136|issue=|pages=168–181|doi=10.1017/S0075426916000124|jstor=44157500|access-date=14 November 2021|s2cid=164546627}}</ref> Lydia ilikuwa nchi ya [[Ugiriki ya Kale]] kwenye maeneo ya magharibi ya [[Asia Ndogo]] yaani [[Uturuki]] ya leo.
Kroisos alikuwa maarufu kwa utajiri wake mkubwa. Chanzo cha utajiri wake kilikuwa [[dhahabu]] iliyochimbwa katika milki yake pamoja kodi wa miji ya biashara na malipo ya miji ya Kigiriki iliyoshindwa naye kivita. Waandishi [[Herodoti]] na Pausanias walitaja kwamba zawadi zake zilitunzwa kwenye hekalu ya [[Delphi]]. <ref>Among them a lion of gold, which had tumbled from its perch upon a stack of ingots when the [[temple]] at [[Delphi]] burned but was preserved and displayed in the Treasury of the Corinthians, where Pausanias saw it (Pausanias 10.5.13). The temple burned in the archonship of Erxicleides, 548–47 BC.</ref> <ref name="Evans">{{Cite journal|last=Evans|first=J. A. S.|author-link=James Allan Stewart Evans|date=1978|title=What Happened to Croesus?|url=https://www.jstor.org/stable/3296933|journal=The Classical Journal|volume=74|issue=1|pages=34–40|doi=|jstor=3296933|access-date=11 May 2022}}</ref>
[[Faili:Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Map_of_Lydia_ancient_times.jpg/300px-Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|thumb|300x300px| Mipaka ya Lydia chini ya Mfalme Kroisos]]
[[Faili:Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_(16mm,_10.76_g)._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b0/Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg/300px-Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|thumb|300x300px| Sarafu ya dhahabu ya Kroisos, Lydia, mnamo 550 KK.]]
Croesus anasifiwa kwa kutoa sarafu za kwanza za dhahabu zilizosanifishwa kwa usafi sanifu na uzito maalumu kama pesa rasmi.<ref>Herodotus, I, p. 80</ref> <ref>''An Encyclopedia of World History'', (Houghton Mifflin Company Boston, 1952), chap. II. "Ancient History", p. 37</ref>
Katika tamaduni za Kigiriki na Kiajemi jina la Kroisos likawa kisawe cha mtu tajiri. Kwa lugha za Ulaya kama Kiingereza, semi kama vile "tajiri kama Croesus" au "tajiri kuliko Croesus" hutumiwa kuonyesha utajiri mkubwa hadi leo.
Hatima ya Croesus baada ya ushindi wa Waajemi dhidi ya Lydia haijulikani: [[Herodoti]] pamoja na waandishi wengine waliandika kwamba ama Kroisos alijaribu kujiua mwenyewe, au kwamba alihukumiwa na kuchomwa na Waajemi akiwa hai. Wengine waliandika kwamba aliendelea kuishi na kuwa mshauri wa mshindi Koreshi. [[Xenofoni]] alidai pia kwamba Koreshi alimweka Kroisos kama mshauri wake, ilhali mwandishi mwingine wa kale aliandika kwamba Koreshi alimteua kuwa gavana wa wa emeo huko Umedi. <ref name="Leloux-2">{{cite thesis|last=Leloux|first=Kevin|date=2018|title=La Lydie d'Alyatte et Crésus: Un royaume à la croisée des cités grecques et des monarchies orientales. Recherches sur son organisation interne et sa politique extérieure|type=PhD|volume=2|publisher=[[University of Liège]]|docket=|oclc=|url=https://orbi.uliege.be/bitstream/2268/220928/2/The%cc%80se%20entie%cc%80re%20vol%20II.pdf|access-date=1 May 2022}}</ref>
Baada ya kumshinda Kroisos, Koreshi alinakili matumizi ya [[dhahabu]] kama sarafu kuu ya ufalme wa Uajemi. <ref name="Mallowan">{{Cite book|url=|title=The Cambridge History of Iran|last=Mallowan|first=Max|date=1968|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=978-0-521-20091-2|editor-last=Gershevitch|editor-first=Ilya|editor-link=Ilya Gershevitch|pages=392–419|language=en|author-link=Max Mallowan}}</ref>
== Marejeo ==
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.academia.edu/10635667/Lalliance_lydo-spartiate_Kt%C3%A8ma_39_2014_p._271-288 "L'alliance lydo-spartiate", katika Ktèma, 39, 2014, uk. 271–288] na Kevin Leloux
* [https://www.academia.edu/61853262/Les_alliances_lydo_%C3%A9gyptienne_et_lydo_babylonienne_Gephyra_22_2021_p_181_207 "Les allions lydo-égyptienne et lydo-babylonienne", katika Gephyra, 22, 2021, pp. 181–207] na Kevin Leloux
* [https://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?lookup=Hdt.+1.6.1 Maelezo ya Herodotus kuhusu Kroisos; 1.6–94] ( [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/ kutoka kwa Perseus Project], ulio na viungo vya matoleo ya Kiingereza na Kigiriki).
* [https://archive.today/20120629033228/homepage.mac.com/cparada/GML/Croesus.html Maelezo ya kina ya maisha ya Kroisos], na Carlos Parada
* [http://www.livius.org Livius], [https://www.livius.org/men-mh/mermnads/croesus.htm Croesus] na Jona Lendering
* [https://web.archive.org/web/20101119122504/http://ancientopedia.com/croesus/ Croesus] kwenye <a href="https://en.wikipedia.org/wiki/Ancient_History_Encyclopedia" rel="mw:ExtLink" title="Ancient History Encyclopedia" class="mw-redirect cx-link" data-linkid="419">Ancient History Encyclopedia</a>
* [https://www.bbc.co.uk/programmes/b00qm8zg Gold Coin of Croesus] [[Podikasiti|podikasti]] ya [[BBC]] kutoka kwa mfululizo: "Historia ya Ulimwengu katika Vitu 100"
* Chisholm, Hugh, ed. (1911). "[https://en.wikisource.org/wiki/1911_Encyclop%C3%A6dia_Britannica/Croesus Croesus]" . Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press.
du3s1x47aztyj7kvfk3dmlfdyw1idw3
1244408
1244407
2022-08-24T19:26:23Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Kroisos stake Louvre G197.jpg|thumb|Picha kwenye chungu cha kale inamwonesha Kroisos kwenye kuni atakapoendelea kuchomwa kufuatana na mapokeo ya Herodoti. ]]
'''Kroisos''' ([[Kigir.]] <small>{{lang|grc|{{script|Grek|Κροῖσος}}}}</small>, [[Kilat.]] Croesus) alikuwa mfalme wa [[Lydia (nchi)|Lydia]] aliyetawala kuanzia mwaka [[585 KK]] hivi hadi kushindwa na mfalme wa [[Uajemi ya Kale|Uajemi]], [[Koreshi Mkuu]], mnamo mwaka [[547 KK]].<ref>{{cite journal|last=Wallace|first=Robert W.|date=2016|title=Redating Croesus: Herodotean Chronologies, and the Dates of the Earliest Coinages|url=https://www.jstor.org/stable/44157500|journal=The Journal of Hellenic Studies|volume=136|issue=|pages=168–181|doi=10.1017/S0075426916000124|jstor=44157500|access-date=14 November 2021|s2cid=164546627}}</ref> Lydia ilikuwa nchi ya [[Ugiriki ya Kale]] kwenye maeneo ya magharibi ya [[Asia Ndogo]] yaani [[Uturuki]] ya leo.
Kroisos alikuwa maarufu kwa utajiri wake mkubwa. Chanzo cha utajiri wake kilikuwa [[dhahabu]] iliyochimbwa katika milki yake pamoja kodi wa miji ya biashara na malipo ya miji ya Kigiriki iliyoshindwa naye kivita. Waandishi [[Herodoti]] na Pausanias walitaja kwamba zawadi zake zilitunzwa kwenye hekalu ya [[Delphi]]. <ref>Among them a lion of gold, which had tumbled from its perch upon a stack of ingots when the [[temple]] at [[Delphi]] burned but was preserved and displayed in the Treasury of the Corinthians, where Pausanias saw it (Pausanias 10.5.13). The temple burned in the archonship of Erxicleides, 548–47 BC.</ref> <ref name="Evans">{{Cite journal|last=Evans|first=J. A. S.|author-link=James Allan Stewart Evans|date=1978|title=What Happened to Croesus?|url=https://www.jstor.org/stable/3296933|journal=The Classical Journal|volume=74|issue=1|pages=34–40|doi=|jstor=3296933|access-date=11 May 2022}}</ref>
[[Faili:Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Map_of_Lydia_ancient_times.jpg/300px-Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|thumb|300x300px| Mipaka ya Lydia chini ya Mfalme Kroisos]]
[[Faili:Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_(16mm,_10.76_g)._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b0/Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg/300px-Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|thumb|300x300px| Sarafu ya dhahabu ya Kroisos, Lydia, mnamo 550 KK.]]
Croesus anasifiwa kwa kutoa sarafu za kwanza za dhahabu zilizosanifishwa kwa usafi sanifu na uzito maalumu kama pesa rasmi.<ref>Herodotus, I, p. 80</ref> <ref>''An Encyclopedia of World History'', (Houghton Mifflin Company Boston, 1952), chap. II. "Ancient History", p. 37</ref>
Katika tamaduni za Kigiriki na Kiajemi jina la Kroisos likawa kisawe cha mtu tajiri. Kwa lugha za Ulaya kama Kiingereza, semi kama vile "tajiri kama Croesus" au "tajiri kuliko Croesus" hutumiwa kuonyesha utajiri mkubwa hadi leo.
Hatima ya Croesus baada ya ushindi wa Waajemi dhidi ya Lydia haijulikani: [[Herodoti]] pamoja na waandishi wengine waliandika kwamba ama Kroisos alijaribu kujiua mwenyewe, au kwamba alihukumiwa na kuchomwa na Waajemi akiwa hai. Wengine waliandika kwamba aliendelea kuishi na kuwa mshauri wa mshindi Koreshi. [[Xenofoni]] alidai pia kwamba Koreshi alimweka Kroisos kama mshauri wake, ilhali mwandishi mwingine wa kale aliandika kwamba Koreshi alimteua kuwa gavana wa wa emeo huko Umedi. <ref name="Leloux-2">{{cite thesis|last=Leloux|first=Kevin|date=2018|title=La Lydie d'Alyatte et Crésus: Un royaume à la croisée des cités grecques et des monarchies orientales. Recherches sur son organisation interne et sa politique extérieure|type=PhD|volume=2|publisher=[[University of Liège]]|docket=|oclc=|url=https://orbi.uliege.be/bitstream/2268/220928/2/The%cc%80se%20entie%cc%80re%20vol%20II.pdf|access-date=1 May 2022}}</ref>
Baada ya kumshinda Kroisos, Koreshi alinakili matumizi ya [[dhahabu]] kama sarafu kuu ya ufalme wa Uajemi. <ref name="Mallowan">{{Cite book|url=|title=The Cambridge History of Iran|last=Mallowan|first=Max|date=1968|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=978-0-521-20091-2|editor-last=Gershevitch|editor-first=Ilya|editor-link=Ilya Gershevitch|pages=392–419|language=en|author-link=Max Mallowan}}</ref>
== Marejeo ==
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.academia.edu/10635667/Lalliance_lydo-spartiate_Kt%C3%A8ma_39_2014_p._271-288 "L'alliance lydo-spartiate", katika Ktèma, 39, 2014, uk. 271–288] na Kevin Leloux
* [https://www.academia.edu/61853262/Les_alliances_lydo_%C3%A9gyptienne_et_lydo_babylonienne_Gephyra_22_2021_p_181_207 "Les allions lydo-égyptienne et lydo-babylonienne", katika Gephyra, 22, 2021, pp. 181–207] na Kevin Leloux
* [https://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?lookup=Hdt.+1.6.1 Maelezo ya Herodotus kuhusu Kroisos; 1.6–94] ( [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/ kutoka kwa Perseus Project], ulio na viungo vya matoleo ya Kiingereza na Kigiriki).
* [https://archive.today/20120629033228/homepage.mac.com/cparada/GML/Croesus.html Maelezo ya kina ya maisha ya Kroisos], na Carlos Parada
* [http://www.livius.org Livius], [https://www.livius.org/men-mh/mermnads/croesus.htm Croesus] na Jona Lendering
* [https://web.archive.org/web/20101119122504/http://ancientopedia.com/croesus/ Croesus] kwenye <a href="https://en.wikipedia.org/wiki/Ancient_History_Encyclopedia" rel="mw:ExtLink" title="Ancient History Encyclopedia" class="mw-redirect cx-link" data-linkid="419">Ancient History Encyclopedia</a>
* [https://www.bbc.co.uk/programmes/b00qm8zg Gold Coin of Croesus] [[Podikasiti|podikasti]] ya [[BBC]] kutoka kwa mfululizo: "Historia ya Ulimwengu katika Vitu 100"
* Chisholm, Hugh, ed. (1911). "[https://en.wikisource.org/wiki/1911_Encyclop%C3%A6dia_Britannica/Croesus Croesus]" . Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press.
gmhuv7jlw3r8opdldxomekwotbt6rle
1244417
1244408
2022-08-24T19:56:50Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Kroisos stake Louvre G197.jpg|thumb|Picha kwenye chungu cha kale inamwonesha Kroisos kwenye kuni atakapoendelea kuchomwa kufuatana na mapokeo ya Herodoti. ]]
'''Kroisos''' ([[Kigir.]] <small>{{lang|grc|{{script|Grek|Κροῖσος}}}}</small>, [[Kilat.]] Croesus) alikuwa mfalme wa [[Lydia (nchi)|Lydia]] aliyetawala kuanzia mwaka [[585 KK]] hivi hadi kushindwa na mfalme wa [[Uajemi ya Kale|Uajemi]], [[Koreshi Mkuu]], mnamo mwaka [[547 KK]].<ref>{{cite journal|last=Wallace|first=Robert W.|date=2016|title=Redating Croesus: Herodotean Chronologies, and the Dates of the Earliest Coinages|url=https://www.jstor.org/stable/44157500|journal=The Journal of Hellenic Studies|volume=136|issue=|pages=168–181|doi=10.1017/S0075426916000124|jstor=44157500|access-date=14 November 2021|s2cid=164546627}}</ref> Lydia ilikuwa nchi ya [[Ugiriki ya Kale]] kwenye maeneo ya magharibi ya [[Asia Ndogo]] yaani [[Uturuki]] ya leo.
Kroisos alikuwa maarufu kwa utajiri wake mkubwa. Chanzo cha utajiri wake kilikuwa [[dhahabu]] iliyochimbwa katika milki yake pamoja kodi wa miji ya biashara na malipo ya miji ya Kigiriki iliyoshindwa naye kivita. Waandishi [[Herodoti]] na Pausanias walitaja kwamba zawadi zake zilitunzwa kwenye hekalu ya [[Delphi]]. <ref>Among them a lion of gold, which had tumbled from its perch upon a stack of ingots when the [[temple]] at [[Delphi]] burned but was preserved and displayed in the Treasury of the Corinthians, where Pausanias saw it (Pausanias 10.5.13). The temple burned in the archonship of Erxicleides, 548–47 BC.</ref> <ref name="Evans">{{Cite journal|last=Evans|first=J. A. S.|author-link=James Allan Stewart Evans|date=1978|title=What Happened to Croesus?|url=https://www.jstor.org/stable/3296933|journal=The Classical Journal|volume=74|issue=1|pages=34–40|doi=|jstor=3296933|access-date=11 May 2022}}</ref>
[[Faili:Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Map_of_Lydia_ancient_times.jpg/300px-Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|thumb|300x300px| Mipaka ya Lydia chini ya Mfalme Kroisos]]
[[Faili:Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_(16mm,_10.76_g)._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b0/Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg/300px-Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|thumb|300x300px| Sarafu ya dhahabu ya Kroisos, Lydia, mnamo 550 KK.]]
Croesus anasifiwa kwa kutoa sarafu za kwanza za dhahabu zilizosanifishwa kwa usafi sanifu na uzito maalumu kama pesa rasmi.<ref>Herodotus, I, p. 80</ref> <ref>''An Encyclopedia of World History'', (Houghton Mifflin Company Boston, 1952), chap. II. "Ancient History", p. 37</ref>
Katika tamaduni za Kigiriki na Kiajemi jina la Kroisos likawa kisawe cha mtu tajiri. Kwa lugha za Ulaya kama Kiingereza, semi kama vile "tajiri kama Croesus" au "tajiri kuliko Croesus" hutumiwa kuonyesha utajiri mkubwa hadi leo.
Hatima ya Croesus baada ya ushindi wa Waajemi dhidi ya Lydia haijulikani: [[Herodoti]] pamoja na waandishi wengine waliandika kwamba ama Kroisos alijaribu kujiua mwenyewe, au kwamba alihukumiwa na kuchomwa na Waajemi akiwa hai. Wengine waliandika kwamba aliendelea kuishi na kuwa mshauri wa mshindi Koreshi. [[Xenofoni]] alidai pia kwamba Koreshi alimweka Kroisos kama mshauri wake, ilhali mwandishi mwingine wa kale aliandika kwamba Koreshi alimteua kuwa gavana wa wa emeo huko Umedi. <ref name="Leloux-2">{{cite thesis|last=Leloux|first=Kevin|date=2018|title=La Lydie d'Alyatte et Crésus: Un royaume à la croisée des cités grecques et des monarchies orientales. Recherches sur son organisation interne et sa politique extérieure|type=PhD|volume=2|publisher=[[University of Liège]]|docket=|oclc=|url=https://orbi.uliege.be/bitstream/2268/220928/2/The%cc%80se%20entie%cc%80re%20vol%20II.pdf|access-date=1 May 2022}}</ref>
Baada ya kumshinda Kroisos, Koreshi alinakili matumizi ya [[dhahabu]] kama sarafu kuu ya ufalme wa Uajemi. <ref name="Mallowan">{{Cite book|url=|title=The Cambridge History of Iran|last=Mallowan|first=Max|date=1968|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=978-0-521-20091-2|editor-last=Gershevitch|editor-first=Ilya|editor-link=Ilya Gershevitch|pages=392–419|language=en|author-link=Max Mallowan}}</ref>
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.academia.edu/10635667/Lalliance_lydo-spartiate_Kt%C3%A8ma_39_2014_p._271-288 "L'alliance lydo-spartiate", katika Ktèma, 39, 2014, uk. 271–288] na Kevin Leloux
* [https://www.academia.edu/61853262/Les_alliances_lydo_%C3%A9gyptienne_et_lydo_babylonienne_Gephyra_22_2021_p_181_207 "Les allions lydo-égyptienne et lydo-babylonienne", katika Gephyra, 22, 2021, pp. 181–207] na Kevin Leloux
* [https://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?lookup=Hdt.+1.6.1 Maelezo ya Herodotus kuhusu Kroisos; 1.6–94] ( [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/ kutoka kwa Perseus Project], ulio na viungo vya matoleo ya Kiingereza na Kigiriki).
* [https://archive.today/20120629033228/homepage.mac.com/cparada/GML/Croesus.html Maelezo ya kina ya maisha ya Kroisos], na Carlos Parada
* [http://www.livius.org Livius], [https://www.livius.org/men-mh/mermnads/croesus.htm Croesus] na Jona Lendering
* [https://web.archive.org/web/20101119122504/http://ancientopedia.com/croesus/ Croesus] kwenye <a href="https://en.wikipedia.org/wiki/Ancient_History_Encyclopedia" rel="mw:ExtLink" title="Ancient History Encyclopedia" class="mw-redirect cx-link" data-linkid="419">Ancient History Encyclopedia</a>
* [https://www.bbc.co.uk/programmes/b00qm8zg Gold Coin of Croesus] [[Podikasiti|podikasti]] ya [[BBC]] kutoka kwa mfululizo: "Historia ya Ulimwengu katika Vitu 100"
* Chisholm, Hugh, ed. (1911). "[https://en.wikisource.org/wiki/1911_Encyclop%C3%A6dia_Britannica/Croesus Croesus]" . Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press.
cs0k0qm39j5wcdnzmbvacc14p1ils4d
1244418
1244417
2022-08-24T19:57:49Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Kroisos stake Louvre G197.jpg|thumb|Picha kwenye chungu cha kale inamwonesha Kroisos kwenye kuni atakapoendelea kuchomwa kufuatana na mapokeo ya [[Herodoti]]. ]]
'''Kroisos''' ([[Kigir.]] <small>{{lang|grc|{{script|Grek|Κροῖσος}}}}</small>, [[Kilat.]] Croesus) alikuwa mfalme wa [[Lydia (nchi)|Lydia]] aliyetawala kuanzia mwaka [[585 KK]] hivi hadi kushindwa na mfalme wa [[Uajemi ya Kale|Uajemi]], [[Koreshi Mkuu]], mnamo mwaka [[547 KK]].<ref>{{cite journal|last=Wallace|first=Robert W.|date=2016|title=Redating Croesus: Herodotean Chronologies, and the Dates of the Earliest Coinages|url=https://www.jstor.org/stable/44157500|journal=The Journal of Hellenic Studies|volume=136|issue=|pages=168–181|doi=10.1017/S0075426916000124|jstor=44157500|access-date=14 November 2021|s2cid=164546627}}</ref> Lydia ilikuwa nchi ya [[Ugiriki ya Kale]] kwenye maeneo ya magharibi ya [[Asia Ndogo]] yaani [[Uturuki]] ya leo.
Kroisos alikuwa maarufu kwa utajiri wake mkubwa. Chanzo cha utajiri wake kilikuwa [[dhahabu]] iliyochimbwa katika milki yake pamoja kodi wa miji ya biashara na malipo ya miji ya Kigiriki iliyoshindwa naye kivita. Waandishi [[Herodoti]] na Pausanias walitaja kwamba zawadi zake zilitunzwa kwenye hekalu ya [[Delphi]]. <ref>Among them a lion of gold, which had tumbled from its perch upon a stack of ingots when the [[temple]] at [[Delphi]] burned but was preserved and displayed in the Treasury of the Corinthians, where Pausanias saw it (Pausanias 10.5.13). The temple burned in the archonship of Erxicleides, 548–47 BC.</ref> <ref name="Evans">{{Cite journal|last=Evans|first=J. A. S.|author-link=James Allan Stewart Evans|date=1978|title=What Happened to Croesus?|url=https://www.jstor.org/stable/3296933|journal=The Classical Journal|volume=74|issue=1|pages=34–40|doi=|jstor=3296933|access-date=11 May 2022}}</ref>
[[Faili:Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Map_of_Lydia_ancient_times.jpg/300px-Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|thumb|300x300px| Mipaka ya Lydia chini ya Mfalme Kroisos]]
[[Faili:Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_(16mm,_10.76_g)._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b0/Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg/300px-Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|thumb|300x300px| Sarafu ya dhahabu ya Kroisos, Lydia, mnamo 550 KK.]]
Croesus anasifiwa kwa kutoa sarafu za kwanza za dhahabu zilizosanifishwa kwa usafi sanifu na uzito maalumu kama pesa rasmi.<ref>Herodotus, I, p. 80</ref> <ref>''An Encyclopedia of World History'', (Houghton Mifflin Company Boston, 1952), chap. II. "Ancient History", p. 37</ref>
Katika tamaduni za Kigiriki na Kiajemi jina la Kroisos likawa kisawe cha mtu tajiri. Kwa lugha za Ulaya kama Kiingereza, semi kama vile "tajiri kama Croesus" au "tajiri kuliko Croesus" hutumiwa kuonyesha utajiri mkubwa hadi leo.
Hatima ya Croesus baada ya ushindi wa Waajemi dhidi ya Lydia haijulikani: [[Herodoti]] pamoja na waandishi wengine waliandika kwamba ama Kroisos alijaribu kujiua mwenyewe, au kwamba alihukumiwa na kuchomwa na Waajemi akiwa hai. Wengine waliandika kwamba aliendelea kuishi na kuwa mshauri wa mshindi Koreshi. [[Xenofoni]] alidai pia kwamba Koreshi alimweka Kroisos kama mshauri wake, ilhali mwandishi mwingine wa kale aliandika kwamba Koreshi alimteua kuwa gavana wa wa emeo huko Umedi. <ref name="Leloux-2">{{cite thesis|last=Leloux|first=Kevin|date=2018|title=La Lydie d'Alyatte et Crésus: Un royaume à la croisée des cités grecques et des monarchies orientales. Recherches sur son organisation interne et sa politique extérieure|type=PhD|volume=2|publisher=[[University of Liège]]|docket=|oclc=|url=https://orbi.uliege.be/bitstream/2268/220928/2/The%cc%80se%20entie%cc%80re%20vol%20II.pdf|access-date=1 May 2022}}</ref>
Baada ya kumshinda Kroisos, Koreshi alinakili matumizi ya [[dhahabu]] kama sarafu kuu ya ufalme wa Uajemi. <ref name="Mallowan">{{Cite book|url=|title=The Cambridge History of Iran|last=Mallowan|first=Max|date=1968|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=978-0-521-20091-2|editor-last=Gershevitch|editor-first=Ilya|editor-link=Ilya Gershevitch|pages=392–419|language=en|author-link=Max Mallowan}}</ref>
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.academia.edu/10635667/Lalliance_lydo-spartiate_Kt%C3%A8ma_39_2014_p._271-288 "L'alliance lydo-spartiate", katika Ktèma, 39, 2014, uk. 271–288] na Kevin Leloux
* [https://www.academia.edu/61853262/Les_alliances_lydo_%C3%A9gyptienne_et_lydo_babylonienne_Gephyra_22_2021_p_181_207 "Les allions lydo-égyptienne et lydo-babylonienne", katika Gephyra, 22, 2021, pp. 181–207] na Kevin Leloux
* [https://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?lookup=Hdt.+1.6.1 Maelezo ya Herodotus kuhusu Kroisos; 1.6–94] ( [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/ kutoka kwa Perseus Project], ulio na viungo vya matoleo ya Kiingereza na Kigiriki).
* [https://archive.today/20120629033228/homepage.mac.com/cparada/GML/Croesus.html Maelezo ya kina ya maisha ya Kroisos], na Carlos Parada
* [http://www.livius.org Livius], [https://www.livius.org/men-mh/mermnads/croesus.htm Croesus] na Jona Lendering
* [https://web.archive.org/web/20101119122504/http://ancientopedia.com/croesus/ Croesus] kwenye <a href="https://en.wikipedia.org/wiki/Ancient_History_Encyclopedia" rel="mw:ExtLink" title="Ancient History Encyclopedia" class="mw-redirect cx-link" data-linkid="419">Ancient History Encyclopedia</a>
* [https://www.bbc.co.uk/programmes/b00qm8zg Gold Coin of Croesus] [[Podikasiti|podikasti]] ya [[BBC]] kutoka kwa mfululizo: "Historia ya Ulimwengu katika Vitu 100"
* Chisholm, Hugh, ed. (1911). "[https://en.wikisource.org/wiki/1911_Encyclop%C3%A6dia_Britannica/Croesus Croesus]" . Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press.
7taactw8yhwk7q7k0zebofbkrl7n886
1244425
1244418
2022-08-25T07:43:51Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Kroisos stake Louvre G197.jpg|thumb|Picha kwenye chungu cha kale inamwonesha Kroisos kwenye kuni atakapoendelea kuchomwa kufuatana na mapokeo ya [[Herodoti]]. ]]
'''Kroisos''' ([[Kigir.]] <small>{{lang|grc|{{script|Grek|Κροῖσος}}}}</small>, [[Kilat.]] Croesus) alikuwa [[mfalme]] wa [[Lydia (nchi)|Lydia]] aliyetawala kuanzia [[mwaka]] [[585 KK]] hivi hadi aliposhindwa na mfalme wa [[Uajemi ya Kale|Uajemi]], [[Koreshi Mkuu]], mnamo mwaka [[547 KK]].<ref>{{cite journal|last=Wallace|first=Robert W.|date=2016|title=Redating Croesus: Herodotean Chronologies, and the Dates of the Earliest Coinages|url=https://www.jstor.org/stable/44157500|journal=The Journal of Hellenic Studies|volume=136|issue=|pages=168–181|doi=10.1017/S0075426916000124|jstor=44157500|access-date=14 November 2021|s2cid=164546627}}</ref> Lydia ilikuwa nchi ya [[Ugiriki ya Kale]] kwenye maeneo ya [[magharibi]] ya [[Asia Ndogo]] yaani [[Uturuki]] ya leo.
Kroisos alikuwa maarufu kwa [[utajiri]] wake mkubwa. Chanzo cha utajiri wake kilikuwa [[dhahabu]] iliyochimbwa katika [[Dola|milki]] yake pamoja na [[kodi]] ya [[Mji|miji]] ya [[biashara]] na malipo ya miji ya Kigiriki iliyoshindwa naye kwa [[vita]]. [[Mwandishi|Waandishi]] [[Herodoti]] na Pausanias walitaja kwamba [[zawadi]] zake zilitunzwa kwenye [[hekalu]] la [[Delphi]]. <ref>Among them a lion of gold, which had tumbled from its perch upon a stack of ingots when the [[temple]] at [[Delphi]] burned but was preserved and displayed in the Treasury of the Corinthians, where Pausanias saw it (Pausanias 10.5.13). The temple burned in the archonship of Erxicleides, 548–47 BC.</ref> <ref name="Evans">{{Cite journal|last=Evans|first=J. A. S.|author-link=James Allan Stewart Evans|date=1978|title=What Happened to Croesus?|url=https://www.jstor.org/stable/3296933|journal=The Classical Journal|volume=74|issue=1|pages=34–40|doi=|jstor=3296933|access-date=11 May 2022}}</ref>
[[Faili:Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Map_of_Lydia_ancient_times.jpg/300px-Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|thumb|300x300px| Mipaka ya Lydia chini ya Mfalme Kroisos]]
[[Faili:Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_(16mm,_10.76_g)._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b0/Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg/300px-Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|thumb|300x300px| [[Sarafu]] ya dhahabu ya Kroisos, Lydia, mnamo [[550 KK]].]]
Croesus anasifiwa kwa kutoa [[sarafu]] za kwanza za dhahabu zilizosanifishwa kwa usafi sanifu na [[uzito]] maalumu kama [[pesa]] rasmi.<ref>Herodotus, I, p. 80</ref> <ref>''An Encyclopedia of World History'', (Houghton Mifflin Company Boston, 1952), chap. II. "Ancient History", p. 37</ref>
Katika [[Utamaduni|tamaduni]] za Kigiriki na Kiajemi [[jina]] la Kroisos likawa [[kisawe]] cha mtu tajiri. Kwa [[lugha]] za [[Ulaya]] kama [[Kiingereza]], semi kama vile "tajiri kama Croesus" au "tajiri kuliko Croesus" hutumiwa hadi leo kuonyesha utajiri mkubwa.
Hatima ya Croesus baada ya [[ushindi]] wa Waajemi dhidi ya Lydia haijulikani: [[Herodoti]] pamoja na waandishi wengine waliandika kwamba ama Kroisos alijaribu [[kujiua]], au kwamba alihukumiwa na kuchomwa na Waajemi akiwa hai. Wengine waliandika kwamba aliendelea kuishi na kuwa mshauri wa mshindi Koreshi. [[Xenofoni]] alidai pia kwamba Koreshi alimweka Kroisos kama mshauri wake, ilhali mwandishi mwingine wa kale aliandika kwamba Koreshi alimteua kuwa [[gavana]] wa eneo huko [[Umedi]]. <ref name="Leloux-2">{{cite thesis|last=Leloux|first=Kevin|date=2018|title=La Lydie d'Alyatte et Crésus: Un royaume à la croisée des cités grecques et des monarchies orientales. Recherches sur son organisation interne et sa politique extérieure|type=PhD|volume=2|publisher=[[University of Liège]]|docket=|oclc=|url=https://orbi.uliege.be/bitstream/2268/220928/2/The%cc%80se%20entie%cc%80re%20vol%20II.pdf|access-date=1 May 2022}}</ref>
Baada ya kumshinda Kroisos, Koreshi aliiga matumizi ya [[dhahabu]] kama sarafu kuu ya ufalme wa Uajemi. <ref name="Mallowan">{{Cite book|url=|title=The Cambridge History of Iran|last=Mallowan|first=Max|date=1968|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=978-0-521-20091-2|editor-last=Gershevitch|editor-first=Ilya|editor-link=Ilya Gershevitch|pages=392–419|language=en|author-link=Max Mallowan}}</ref>
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.academia.edu/10635667/Lalliance_lydo-spartiate_Kt%C3%A8ma_39_2014_p._271-288 "L'alliance lydo-spartiate", katika Ktèma, 39, 2014, uk. 271–288] na Kevin Leloux
* [https://www.academia.edu/61853262/Les_alliances_lydo_%C3%A9gyptienne_et_lydo_babylonienne_Gephyra_22_2021_p_181_207 "Les allions lydo-égyptienne et lydo-babylonienne", katika Gephyra, 22, 2021, pp. 181–207] na Kevin Leloux
* [https://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?lookup=Hdt.+1.6.1 Maelezo ya Herodotus kuhusu Kroisos; 1.6–94] ( [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/ kutoka kwa Perseus Project], ulio na viungo vya matoleo ya Kiingereza na Kigiriki).
* [https://archive.today/20120629033228/homepage.mac.com/cparada/GML/Croesus.html Maelezo ya kina ya maisha ya Kroisos], na Carlos Parada
* [http://www.livius.org Livius], [https://www.livius.org/men-mh/mermnads/croesus.htm Croesus] na Jona Lendering
* [https://web.archive.org/web/20101119122504/http://ancientopedia.com/croesus/ Croesus] kwenye <a href="https://en.wikipedia.org/wiki/Ancient_History_Encyclopedia" rel="mw:ExtLink" title="Ancient History Encyclopedia" class="mw-redirect cx-link" data-linkid="419">Ancient History Encyclopedia</a>
* [https://www.bbc.co.uk/programmes/b00qm8zg Gold Coin of Croesus] [[Podikasiti|podikasti]] ya [[BBC]] kutoka kwa mfululizo: "Historia ya Ulimwengu katika Vitu 100"
* Chisholm, Hugh, ed. (1911). "[https://en.wikisource.org/wiki/1911_Encyclop%C3%A6dia_Britannica/Croesus Croesus]" . Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press.
[[Jamii:Waliofariki karne ya 6]]
[[Jamii:Ugiriki ya Kale]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Uturuki]]
2og6ns8yl4qbxuqpyqfe7cutovkv1dm
1244426
1244425
2022-08-25T07:45:29Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Kroisos stake Louvre G197.jpg|thumb|Picha kwenye chungu cha kale inamwonesha Kroisos kwenye kuni atakapoendelea kuchomwa kufuatana na mapokeo ya [[Herodoti]]. ]]
'''Kroisos''' ([[Kigir.]] <small>{{lang|grc|{{script|Grek|Κροῖσος}}}}</small>, [[Kilat.]] Croesus) alikuwa [[mfalme]] wa [[Lydia (nchi)|Lydia]] aliyetawala kuanzia [[mwaka]] [[585 KK]] hivi hadi aliposhindwa na mfalme wa [[Uajemi ya Kale|Uajemi]], [[Koreshi Mkuu]], mnamo mwaka [[547 KK]].<ref>{{cite journal|last=Wallace|first=Robert W.|date=2016|title=Redating Croesus: Herodotean Chronologies, and the Dates of the Earliest Coinages|url=https://www.jstor.org/stable/44157500|journal=The Journal of Hellenic Studies|volume=136|issue=|pages=168–181|doi=10.1017/S0075426916000124|jstor=44157500|access-date=14 November 2021|s2cid=164546627}}</ref> Lydia ilikuwa nchi ya [[Ugiriki ya Kale]] kwenye maeneo ya [[magharibi]] ya [[Asia Ndogo]] yaani [[Uturuki]] ya leo.
Kroisos alikuwa maarufu kwa [[utajiri]] wake mkubwa. Chanzo cha utajiri wake kilikuwa [[dhahabu]] iliyochimbwa katika [[Dola|milki]] yake pamoja na [[kodi]] ya [[Mji|miji]] ya [[biashara]] na malipo ya miji ya Kigiriki iliyoshindwa naye kwa [[vita]]. [[Mwandishi|Waandishi]] [[Herodoti]] na Pausanias walitaja kwamba [[zawadi]] zake zilitunzwa kwenye [[hekalu]] la [[Delphi]]. <ref>Among them a lion of gold, which had tumbled from its perch upon a stack of ingots when the [[temple]] at [[Delphi]] burned but was preserved and displayed in the Treasury of the Corinthians, where Pausanias saw it (Pausanias 10.5.13). The temple burned in the archonship of Erxicleides, 548–47 BC.</ref> <ref name="Evans">{{Cite journal|last=Evans|first=J. A. S.|author-link=James Allan Stewart Evans|date=1978|title=What Happened to Croesus?|url=https://www.jstor.org/stable/3296933|journal=The Classical Journal|volume=74|issue=1|pages=34–40|doi=|jstor=3296933|access-date=11 May 2022}}</ref>
[[Faili:Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Map_of_Lydia_ancient_times.jpg/300px-Map_of_Lydia_ancient_times.jpg|thumb|300x300px| Mipaka ya Lydia chini ya Mfalme Kroisos]]
[[Faili:Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_(16mm,_10.76_g)._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b0/Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg/300px-Kroisos._Circa_564-53-550-39_BC._AV_Stater_%2816mm%2C_10.76_g%29._Heavy_series._Sardes_mint.jpg|thumb|300x300px| [[Sarafu]] ya dhahabu ya Kroisos, Lydia, mnamo [[550 KK]].]]
Croesus anasifiwa kwa kutoa [[sarafu]] za kwanza za dhahabu zilizosanifishwa kwa usafi sanifu na [[uzito]] maalumu kama [[pesa]] rasmi.<ref>Herodotus, I, p. 80</ref> <ref>''An Encyclopedia of World History'', (Houghton Mifflin Company Boston, 1952), chap. II. "Ancient History", p. 37</ref>
Katika [[Utamaduni|tamaduni]] za Kigiriki na Kiajemi [[jina]] la Kroisos likawa [[kisawe]] cha mtu tajiri. Kwa [[lugha]] za [[Ulaya]] kama [[Kiingereza]], semi kama vile "tajiri kama Croesus" au "tajiri kuliko Croesus" hutumiwa hadi leo kuonyesha utajiri mkubwa.
Hatima ya Croesus baada ya [[ushindi]] wa Waajemi dhidi ya Lydia haijulikani: [[Herodoti]] pamoja na waandishi wengine waliandika kwamba ama Kroisos alijaribu [[kujiua]], au kwamba alihukumiwa na kuchomwa na Waajemi akiwa hai. Wengine waliandika kwamba aliendelea kuishi na kuwa mshauri wa mshindi Koreshi. [[Xenofoni]] alidai pia kwamba Koreshi alimweka Kroisos kama mshauri wake, ilhali mwandishi mwingine wa kale aliandika kwamba Koreshi alimteua kuwa [[gavana]] wa eneo huko [[Umedi]]. <ref name="Leloux-2">Kevin Leloux, La Lydie d'Alyatte et Crésus: Un royaume à la croisée des cités grecques et des monarchies orientales. Recherches sur son organisation interne et sa politique extérieure, [[University of Liège]]: https://orbi.uliege.be/bitstream/2268/220928/2/The%cc%80se%20entie%cc%80re%20vol%20II.pdf</ref>
Baada ya kumshinda Kroisos, Koreshi aliiga matumizi ya [[dhahabu]] kama sarafu kuu ya ufalme wa Uajemi. <ref name="Mallowan">{{Cite book|url=|title=The Cambridge History of Iran|last=Mallowan|first=Max|date=1968|publisher=[[Cambridge University Press]]|isbn=978-0-521-20091-2|editor-last=Gershevitch|editor-first=Ilya|editor-link=Ilya Gershevitch|pages=392–419|language=en|author-link=Max Mallowan}}</ref>
==Marejeo==
{{marejeo}}
== Viungo vya nje ==
* [https://www.academia.edu/10635667/Lalliance_lydo-spartiate_Kt%C3%A8ma_39_2014_p._271-288 "L'alliance lydo-spartiate", katika Ktèma, 39, 2014, uk. 271–288] na Kevin Leloux
* [https://www.academia.edu/61853262/Les_alliances_lydo_%C3%A9gyptienne_et_lydo_babylonienne_Gephyra_22_2021_p_181_207 "Les allions lydo-égyptienne et lydo-babylonienne", katika Gephyra, 22, 2021, pp. 181–207] na Kevin Leloux
* [https://www.perseus.tufts.edu/cgi-bin/ptext?lookup=Hdt.+1.6.1 Maelezo ya Herodotus kuhusu Kroisos; 1.6–94] ( [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/ kutoka kwa Perseus Project], ulio na viungo vya matoleo ya Kiingereza na Kigiriki).
* [https://archive.today/20120629033228/homepage.mac.com/cparada/GML/Croesus.html Maelezo ya kina ya maisha ya Kroisos], na Carlos Parada
* [http://www.livius.org Livius], [https://www.livius.org/men-mh/mermnads/croesus.htm Croesus] na Jona Lendering
* [https://web.archive.org/web/20101119122504/http://ancientopedia.com/croesus/ Croesus] kwenye <a href="https://en.wikipedia.org/wiki/Ancient_History_Encyclopedia" rel="mw:ExtLink" title="Ancient History Encyclopedia" class="mw-redirect cx-link" data-linkid="419">Ancient History Encyclopedia</a>
* [https://www.bbc.co.uk/programmes/b00qm8zg Gold Coin of Croesus] [[Podikasiti|podikasti]] ya [[BBC]] kutoka kwa mfululizo: "Historia ya Ulimwengu katika Vitu 100"
* Chisholm, Hugh, ed. (1911). "[https://en.wikisource.org/wiki/1911_Encyclop%C3%A6dia_Britannica/Croesus Croesus]" . Encyclopædia Britannica (11th ed.). Cambridge University Press.
[[Jamii:Waliofariki karne ya 6]]
[[Jamii:Ugiriki ya Kale]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Uturuki]]
tpzshqlxbcpa0ynfjysq1bdabissdjs
Croesus
0
157468
1244402
2022-08-24T19:11:40Z
Kipala
107
Kipala alihamisha ukurasa wa [[Croesus]] hadi [[Kroisos]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Kroisos]]
p1hvj57jgj5m8jg88zbkiytynxvumow
Xenofoni
0
157469
1244410
2022-08-24T19:40:25Z
Kipala
107
Created by translating the page "[[:simple:Special:Redirect/revision/8071515|Xenophon]]"
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Xenophon.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8e/Xenophon.jpg/200px-Xenophon.jpg|right|thumb|309x309px| Xenophon, mwanahistoria [[Ugiriki ya Kale|wa Ugiriki]]]]
'''Xenofoni''' (c. 430 – 354 KK) alikuwa mwanahistoria wa [[Ugiriki ya Kale]], [[askari]] na [[Falsafa|mwanafalsafa]] aliyeishi wakati moja na [[Sokrates]] . Anajulikana kwa maandishi yake juu ya historia ya nyakati zake mwenyewe yaani [[karne ya 4 KK]]. Alihifadhi maneno ya Sokrates, na maelezo ya maisha katika [[Ugiriki ya Kale]] na [[Uajemi ya Kale|Milki ya Uajemi]].
Maandiko yake mashuhuri ni pamoja na
* ''Anabasis'', anaposimulia historia ya [[mamluki]] Wagiriki 10,000 wakirudi kwao baada ya kuajiriwa kwa mapigano kati ya viongozi wa Kiajemi; Xenofoni mwenyewe aliwahi kushiriki katika safari hii.
* ''Hellenika'', ambayo ni historia ya Ugiriki kati ya [[411 KK]] hadi [[362 KK]]
{{Ancient Greece: Arts and Culture}}{{Authority control}}
== Viungo vya Nje ==
* [https://web.archive.org/web/20040805114940/http://www.liv.ac.uk/~gjoliver/xenophon.html Graham Oliver's Xenophon Homepage]
* [https://web.archive.org/web/20040603082017/http://isidore-of-seville.com/small/10.html Xenophon's Education of Cyrus (Cyropaedia) Web directory]
* [http://quotationpark.com/authors/XENOPHON.html Famous Quotes by Xenophon]
* [[iarchive:cynegeticus00sandrich|Sanders (1903) Ph D Thesis on The Cynegeticus]]
* [http://roderic.uv.es/browse?value=Xenofont,%20430-354%20aC&type=author Xenophon] at [http://roderic.uv.es/handle/10550/43 Somni]
; '''Marejeo katika mtandao'''
* [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/searchresults?q=Xenophon&redirect=true Works by Xenophon at Perseus Digital Library]
* {{cite LotEP|chapter=Xenophon}}
* [http://www.attalus.org/info/xenophon.html Links to English translations of Xenophon's works]
* [https://archive.org/search.php?query=Strauss%20Seminar%20Xenophon Leo Strauss' Seminar Transcripts] on Xenophon (1962, 1966); and an audio recording of the entire course on [[iarchive:LeoStraussOnXenophonsOeconomicus|Xenophon's Oeconomicus]] (1969) are available for reading, listening or download.
* {{Gutenberg author|id=543}}
[[Jamii:Wanafalsafa wa Ugiriki ya Kale]]
pxkglkniny567v2zcysiibkxnzn67tt
1244411
1244410
2022-08-24T19:40:42Z
Kipala
107
Kipala alihamisha ukurasa wa [[Xenophon]] hadi [[Xenofoni]]
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Xenophon.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8e/Xenophon.jpg/200px-Xenophon.jpg|right|thumb|309x309px| Xenophon, mwanahistoria [[Ugiriki ya Kale|wa Ugiriki]]]]
'''Xenofoni''' (c. 430 – 354 KK) alikuwa mwanahistoria wa [[Ugiriki ya Kale]], [[askari]] na [[Falsafa|mwanafalsafa]] aliyeishi wakati moja na [[Sokrates]] . Anajulikana kwa maandishi yake juu ya historia ya nyakati zake mwenyewe yaani [[karne ya 4 KK]]. Alihifadhi maneno ya Sokrates, na maelezo ya maisha katika [[Ugiriki ya Kale]] na [[Uajemi ya Kale|Milki ya Uajemi]].
Maandiko yake mashuhuri ni pamoja na
* ''Anabasis'', anaposimulia historia ya [[mamluki]] Wagiriki 10,000 wakirudi kwao baada ya kuajiriwa kwa mapigano kati ya viongozi wa Kiajemi; Xenofoni mwenyewe aliwahi kushiriki katika safari hii.
* ''Hellenika'', ambayo ni historia ya Ugiriki kati ya [[411 KK]] hadi [[362 KK]]
{{Ancient Greece: Arts and Culture}}{{Authority control}}
== Viungo vya Nje ==
* [https://web.archive.org/web/20040805114940/http://www.liv.ac.uk/~gjoliver/xenophon.html Graham Oliver's Xenophon Homepage]
* [https://web.archive.org/web/20040603082017/http://isidore-of-seville.com/small/10.html Xenophon's Education of Cyrus (Cyropaedia) Web directory]
* [http://quotationpark.com/authors/XENOPHON.html Famous Quotes by Xenophon]
* [[iarchive:cynegeticus00sandrich|Sanders (1903) Ph D Thesis on The Cynegeticus]]
* [http://roderic.uv.es/browse?value=Xenofont,%20430-354%20aC&type=author Xenophon] at [http://roderic.uv.es/handle/10550/43 Somni]
; '''Marejeo katika mtandao'''
* [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/searchresults?q=Xenophon&redirect=true Works by Xenophon at Perseus Digital Library]
* {{cite LotEP|chapter=Xenophon}}
* [http://www.attalus.org/info/xenophon.html Links to English translations of Xenophon's works]
* [https://archive.org/search.php?query=Strauss%20Seminar%20Xenophon Leo Strauss' Seminar Transcripts] on Xenophon (1962, 1966); and an audio recording of the entire course on [[iarchive:LeoStraussOnXenophonsOeconomicus|Xenophon's Oeconomicus]] (1969) are available for reading, listening or download.
* {{Gutenberg author|id=543}}
[[Jamii:Wanafalsafa wa Ugiriki ya Kale]]
pxkglkniny567v2zcysiibkxnzn67tt
1244413
1244411
2022-08-24T19:49:32Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Xenophon.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8e/Xenophon.jpg/200px-Xenophon.jpg|right|thumb|309x309px| Xenofoni, mwanahistoria [[Ugiriki ya Kale|wa Ugiriki]]]]
'''Xenofoni''' (c. 430 – 354 KK) alikuwa mwanahistoria wa [[Ugiriki ya Kale]], [[askari]] na [[Falsafa|mwanafalsafa]] aliyeishi wakati moja na [[Sokrates]] . Anajulikana kwa maandishi yake juu ya historia ya nyakati zake mwenyewe yaani [[karne ya 4 KK]]. Alihifadhi maneno ya Sokrates<ref>{{Cite web|title=An Introduction to the Work of Xenohon|url=https://thegreatthinkers.org/xenophon/introduction/|work=Xenophon|accessdate=2022-08-24|language=en-US}}</ref>, na maelezo ya maisha katika [[Ugiriki ya Kale]] na [[Uajemi ya Kale|Milki ya Uajemi]].
Alikuwa kiongozi wa jeshi la Wagiriki walioajiriwa na mdogo wa mfalme wa Uajemi aliyejaribu kumpindua kaka yake; Xenofoni aliwaongoza Wagiriki hadi [[Babeli]] na baada ya kifo cha mwajiri wao waliwaongoza pia kwenye safari ya kurudi.<ref>Ambler, Wayne (2011). The Anabasis of Cyrus. Translator's preface: Cornell University Press. <nowiki>ISBN 978-0-8014-6236-8</nowiki>.</ref>
Maandiko yake mashuhuri ni pamoja na
* ''Anabasis'', anaposimulia historia ya [[mamluki]] Wagiriki 10,000 wakirudi kwao baada ya kuajiriwa kwa mapigano kati ya viongozi wa Kiajemi; Xenofoni mwenyewe aliwahi kuongoza safari hii.
* ''Hellenika'', ambayo ni historia ya Ugiriki kati ya [[411 KK]] hadi [[362 KK]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
== Viungo vya Nje ==
* [https://web.archive.org/web/20040805114940/http://www.liv.ac.uk/~gjoliver/xenophon.html Graham Oliver's Xenophon Homepage]
* [https://web.archive.org/web/20040603082017/http://isidore-of-seville.com/small/10.html Xenophon's Education of Cyrus (Cyropaedia) Web directory]
* [http://quotationpark.com/authors/XENOPHON.html Famous Quotes by Xenophon]
* [[iarchive:cynegeticus00sandrich|Sanders (1903) Ph D Thesis on The Cynegeticus]]
* [http://roderic.uv.es/browse?value=Xenofont,%20430-354%20aC&type=author Xenophon] at [http://roderic.uv.es/handle/10550/43 Somni]
; '''Marejeo katika mtandao'''
* [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/searchresults?q=Xenophon&redirect=true Works by Xenophon at Perseus Digital Library]
* [http://www.attalus.org/info/xenophon.html Links to English translations of Xenophon's works]
* [https://archive.org/search.php?query=Strauss%20Seminar%20Xenophon Leo Strauss' Seminar Transcripts] on Xenophon (1962, 1966); and an audio recording of the entire course on [[iarchive:LeoStraussOnXenophonsOeconomicus|Xenophon's Oeconomicus]] (1969) are available for reading, listening or download.
* {{Gutenberg author|id=543}}
[[Jamii:Wanafalsafa wa Ugiriki ya Kale]]
a6mclfnz99re2z5hjm6d15renffunkk
1244414
1244413
2022-08-24T19:51:10Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Xenophon.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8e/Xenophon.jpg/200px-Xenophon.jpg|right|thumb|309x309px| Xenofoni, mwanahistoria [[Ugiriki ya Kale|wa Ugiriki]]]]
'''Xenofoni''' (pia '''Xenophon'''; mamo [[430 KK]] – [[354 KK]]) alikuwa mwanahistoria wa [[Ugiriki ya Kale]], [[askari]] na [[Falsafa|mwanafalsafa]] aliyeishi wakati moja na [[Sokrates]] . Anajulikana kwa maandishi yake juu ya historia ya nyakati zake mwenyewe yaani [[karne ya 4 KK]]. Alihifadhi maneno ya Sokrates<ref>{{Cite web|title=An Introduction to the Work of Xenohon|url=https://thegreatthinkers.org/xenophon/introduction/|work=Xenophon|accessdate=2022-08-24|language=en-US}}</ref>, na maelezo ya maisha katika [[Ugiriki ya Kale]] na [[Uajemi ya Kale|Milki ya Uajemi]].
Alikuwa kiongozi wa jeshi la Wagiriki walioajiriwa na mdogo wa mfalme wa Uajemi aliyejaribu kumpindua kaka yake; Xenofoni aliwaongoza Wagiriki hadi [[Babeli]] na baada ya kifo cha mwajiri wao waliwaongoza pia kwenye safari ya kurudi.<ref>Ambler, Wayne (2011). The Anabasis of Cyrus. Translator's preface: Cornell University Press. <nowiki>ISBN 978-0-8014-6236-8</nowiki>.</ref>
Maandiko yake mashuhuri ni pamoja na
* ''Anabasis'', anaposimulia historia ya [[mamluki]] Wagiriki 10,000 wakirudi kwao baada ya kuajiriwa kwa mapigano kati ya viongozi wa Kiajemi; Xenofoni mwenyewe aliwahi kuongoza safari hii.
* ''Hellenika'', ambayo ni historia ya Ugiriki kati ya [[411 KK]] hadi [[362 KK]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
== Viungo vya Nje ==
* [https://web.archive.org/web/20040805114940/http://www.liv.ac.uk/~gjoliver/xenophon.html Graham Oliver's Xenophon Homepage]
* [https://web.archive.org/web/20040603082017/http://isidore-of-seville.com/small/10.html Xenophon's Education of Cyrus (Cyropaedia) Web directory]
* [http://quotationpark.com/authors/XENOPHON.html Famous Quotes by Xenophon]
* [[iarchive:cynegeticus00sandrich|Sanders (1903) Ph D Thesis on The Cynegeticus]]
* [http://roderic.uv.es/browse?value=Xenofont,%20430-354%20aC&type=author Xenophon] at [http://roderic.uv.es/handle/10550/43 Somni]
; '''Marejeo katika mtandao'''
* [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/searchresults?q=Xenophon&redirect=true Works by Xenophon at Perseus Digital Library]
* [http://www.attalus.org/info/xenophon.html Links to English translations of Xenophon's works]
* [https://archive.org/search.php?query=Strauss%20Seminar%20Xenophon Leo Strauss' Seminar Transcripts] on Xenophon (1962, 1966); and an audio recording of the entire course on [[iarchive:LeoStraussOnXenophonsOeconomicus|Xenophon's Oeconomicus]] (1969) are available for reading, listening or download.
* {{Gutenberg author|id=543}}
[[Jamii:Wanafalsafa wa Ugiriki ya Kale]]
gos3i9015mbv4bergffc2xwjtu1b13u
1244427
1244414
2022-08-25T07:50:07Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Faili:Xenophon.jpg|link=//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8e/Xenophon.jpg/200px-Xenophon.jpg|right|thumb|309x309px| Xenofoni, mwanahistoria [[Ugiriki ya Kale|wa Ugiriki]]]]
'''Xenofoni''' (pia '''Xenophon'''; mnamo [[430 KK]] – [[354 KK]]) alikuwa [[mwanahistoria]], [[askari]] na [[Falsafa|mwanafalsafa]] wa [[Ugiriki ya Kale]] aliyeishi wakati mmoja na [[Sokrates]]. Anajulikana kwa [[maandishi]] yake juu ya [[historia]] ya nyakati zake mwenyewe yaani [[karne ya 4 KK]]. Alihifadhi pia maneno ya Sokrates<ref>{{Cite web|title=An Introduction to the Work of Xenohon|url=https://thegreatthinkers.org/xenophon/introduction/|work=Xenophon|accessdate=2022-08-24|language=en-US}}</ref>, na maelezo ya [[maisha]] katika [[Ugiriki ya Kale]] na [[Uajemi ya Kale|Milki ya Uajemi]].
Alikuwa [[kiongozi]] wa [[jeshi]] la [[Ugiriki|Wagiriki]] walioajiriwa na mdogo wa [[mfalme]] wa Uajemi aliyejaribu kumpindua [[kaka]] yake; Xenofoni aliwaongoza Wagiriki hadi [[Babeli]] na baada ya [[Mauti|kifo]] cha [[mwajiri]] wao aliwaongoza pia kwenye [[safari]] ya kurudi.<ref>Ambler, Wayne (2011). The Anabasis of Cyrus. Translator's preface: Cornell University Press. <nowiki>ISBN 978-0-8014-6236-8</nowiki>.</ref>
Maandiko yake mashuhuri ni pamoja na
* ''Anabasis'', anaposimulia historia ya [[mamluki]] Wagiriki 10,000 wakirudi kwao baada ya kuajiriwa kwa mapigano kati ya viongozi wa Kiajemi; Xenofoni mwenyewe aliwahi kuongoza safari hii.
* ''Hellenika'', ambayo ni historia ya Ugiriki kati ya mwaka [[411 KK]] hadi [[362 KK]]
== Marejeo ==
{{Marejeo}}
== Viungo vya Nje ==
* [https://web.archive.org/web/20040805114940/http://www.liv.ac.uk/~gjoliver/xenophon.html Graham Oliver's Xenophon Homepage]
* [https://web.archive.org/web/20040603082017/http://isidore-of-seville.com/small/10.html Xenophon's Education of Cyrus (Cyropaedia) Web directory]
* [http://quotationpark.com/authors/XENOPHON.html Famous Quotes by Xenophon]
* [[iarchive:cynegeticus00sandrich|Sanders (1903) Ph D Thesis on The Cynegeticus]]
* [http://roderic.uv.es/browse?value=Xenofont,%20430-354%20aC&type=author Xenophon] at [http://roderic.uv.es/handle/10550/43 Somni]
; '''Marejeo katika mtandao'''
* [https://www.perseus.tufts.edu/hopper/searchresults?q=Xenophon&redirect=true Works by Xenophon at Perseus Digital Library]
* [http://www.attalus.org/info/xenophon.html Links to English translations of Xenophon's works]
* [https://archive.org/search.php?query=Strauss%20Seminar%20Xenophon Leo Strauss' Seminar Transcripts] on Xenophon (1962, 1966); and an audio recording of the entire course on [[iarchive:LeoStraussOnXenophonsOeconomicus|Xenophon's Oeconomicus]] (1969) are available for reading, listening or download.
* {{Gutenberg author|id=543}}
{{BD|430 KK|354 KK}}
[[Jamii:Wanafalsafa wa Ugiriki ya Kale]]
[[Jamii:Wanahistoria wa Ugiriki]]
he3vq6xilmb3gja7lkc0ylppc1i5xce
Xenophon
0
157470
1244412
2022-08-24T19:40:42Z
Kipala
107
Kipala alihamisha ukurasa wa [[Xenophon]] hadi [[Xenofoni]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Xenofoni]]
5x5gu98vde1n74mhg346t6om1fye0xp
Pyrrhus wa Epirus
0
157471
1244415
2022-08-24T19:53:04Z
Kipala
107
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '<nowiki>#</nowiki>REDIRECT [[Pyrrhus]]'
wikitext
text/x-wiki
<nowiki>#</nowiki>REDIRECT [[Pyrrhus]]
4pocj2h9gphl6ee1fzzh5prrbpn6tuo
1244416
1244415
2022-08-24T19:53:23Z
Kipala
107
Ukurasa umeelekezwa kwenda [[Pyrrhus]]
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Pyrrhus]]
qlctwx8at9uaw5teeltlqo8th7ntblv
Olympique Batna
0
157472
1244420
2022-08-24T21:50:46Z
Awadhi Awampo
48284
chapisho jipya
wikitext
text/x-wiki
'''Olympique Batna''' ni clabu ya [[mpira wa kikapu]] kutokea katika mji mkuu wa [[Batna, Algeria|Batana]] nchini [[Algeria]]. Ilianzishwa mnamo mwaka 1972 pia ilishiriki katika michuano ya kitaifa ya mpira wa kikapu ya Algeria.<ref>{{Cite web|title=Le Soir d'Alg�rie|url=https://www.lesoirdalgerie.com/articles/2007/08/20/print-5-57587.php|work=www.lesoirdalgerie.com|accessdate=2022-08-24}}</ref><ref>{{Cite web|title=Olympi Batna basketball, News, Roster, Rumors, Stats, Awards, Transactions, Details-afrobasket|url=https://www.eurobasket.com/index.aspx|work=Eurobasket LLC|accessdate=2022-08-24|author=Eurobasket}}</ref>
== Historia ==
Mnamo [[mwaka]] [[1972]] timu ilianzishwa na Brahim Yezza, Khomri Miloud na Kaouli Chérif.
== Wachezaji ==
Kumbuka: Bendera huonyesha uhalali wa timu ya taifa katika matukio yaliyoidhinishwa na [[FIBA]]. Wachezaji wanaweza kushikilia bendera za nchi nyingine zisizo idhinishwa na FIBA
== Marejeo ==
[[Jamii:Michezo]]
[[Jamii:Mpira wa kikapu]]
6imrvftyn0r6cam9rf460cpip3i27o9
1244421
1244420
2022-08-24T22:02:44Z
Awadhi Awampo
48284
wikitext
text/x-wiki
'''Olympique Batna''' ni clabu ya [[mpira wa kikapu]] kutokea katika mji mkuu wa [[Batna, Algeria|Batana]] nchini [[Algeria]]. Ilianzishwa mnamo mwaka 1972 pia ilishiriki katika michuano ya kitaifa ya mpira wa kikapu ya Algeria.<ref>{{Cite web|title=Le Soir d'Alg�rie|url=https://www.lesoirdalgerie.com/articles/2007/08/20/print-5-57587.php|work=www.lesoirdalgerie.com|accessdate=2022-08-24}}</ref><ref>{{Cite web|title=Olympi Batna basketball, News, Roster, Rumors, Stats, Awards, Transactions, Details-afrobasket|url=https://www.eurobasket.com/index.aspx|work=Eurobasket LLC|accessdate=2022-08-24|author=Eurobasket}}</ref>
== Historia ==
Mnamo [[mwaka]] [[1972]] timu ilianzishwa na Brahim Yezza, Khomri Miloud na Kaouli Chérif.
== Wachezaji ==
Kumbuka: Bendera huonyesha uhalali wa timu ya taifa katika matukio yaliyoidhinishwa na [[FIBA]]. Wachezaji wanaweza kushikilia bendera za nchi nyingine zisizo idhinishwa na FIBA
[[Mamadou Faye]]<ref>{{Cite web|title=Mamadou Faye dans les rangs de l’AS Douane !|url=https://www.basket221.com/mamadou-faye-dans-les-rangs-de-las-douane/|work=Basket 221|date=2020-10-06|accessdate=2022-08-24|language=fr-FR|author=Basket221}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Michezo]]
[[Jamii:Mpira wa kikapu]]
51uud3gopml7ez6606hwzbt7shm487f
1244422
1244421
2022-08-25T05:50:58Z
Kipala
107
wikitext
text/x-wiki
'''Olympique Batna''' ni klabu ya [[mpira wa kikapu]] katika mji wa [[Batna, Algeria|Batna]] nchini [[Algeria]]. Ilianzishwa mnamo mwaka 1972 pia ilishiriki katika michuano ya kitaifa ya mpira wa kikapu ya Algeria.<ref>{{Cite web|title=Le Soir d'Alg�rie|url=https://www.lesoirdalgerie.com/articles/2007/08/20/print-5-57587.php|work=www.lesoirdalgerie.com|accessdate=2022-08-24}}</ref><ref>{{Cite web|title=Olympi Batna basketball, News, Roster, Rumors, Stats, Awards, Transactions, Details-afrobasket|url=https://www.eurobasket.com/index.aspx|work=Eurobasket LLC|accessdate=2022-08-24|author=Eurobasket}}</ref>
== Historia ==
Mnamo [[mwaka]] [[1972]] timu ilianzishwa na Brahim Yezza, Khomri Miloud na Kaouli Chérif.
== Wachezaji ==
Kumbuka: Bendera huonyesha uhalali wa timu ya taifa katika matukio yaliyoidhinishwa na [[FIBA]]. Wachezaji wanaweza kushikilia bendera za nchi nyingine zisizo idhinishwa na FIBA
[[Mamadou Faye]]<ref>{{Cite web|title=Mamadou Faye dans les rangs de l’AS Douane !|url=https://www.basket221.com/mamadou-faye-dans-les-rangs-de-las-douane/|work=Basket 221|date=2020-10-06|accessdate=2022-08-24|language=fr-FR|author=Basket221}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Michezo]]
[[Jamii:Mpira wa kikapu]]
49p0z1cgjp3ylz7qk4r52m5rdwkpd2z
1244423
1244422
2022-08-25T05:52:33Z
Kipala
107
/* Wachezaji */
wikitext
text/x-wiki
'''Olympique Batna''' ni klabu ya [[mpira wa kikapu]] katika mji wa [[Batna, Algeria|Batna]] nchini [[Algeria]]. Ilianzishwa mnamo mwaka 1972 pia ilishiriki katika michuano ya kitaifa ya mpira wa kikapu ya Algeria.<ref>{{Cite web|title=Le Soir d'Alg�rie|url=https://www.lesoirdalgerie.com/articles/2007/08/20/print-5-57587.php|work=www.lesoirdalgerie.com|accessdate=2022-08-24}}</ref><ref>{{Cite web|title=Olympi Batna basketball, News, Roster, Rumors, Stats, Awards, Transactions, Details-afrobasket|url=https://www.eurobasket.com/index.aspx|work=Eurobasket LLC|accessdate=2022-08-24|author=Eurobasket}}</ref>
== Historia ==
Mnamo [[mwaka]] [[1972]] timu ilianzishwa na Brahim Yezza, Khomri Miloud na Kaouli Chérif.
== Wachezaji ==
[[Mamadou Faye]]<ref>{{Cite web|title=Mamadou Faye dans les rangs de l’AS Douane !|url=https://www.basket221.com/mamadou-faye-dans-les-rangs-de-las-douane/|work=Basket 221|date=2020-10-06|accessdate=2022-08-24|language=fr-FR|author=Basket221}}</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Michezo]]
[[Jamii:Mpira wa kikapu]]
r2waxp66cdrrxhvexupwrqlulodq2o2
Jamii:Waliozaliwa 430 KK
14
157473
1244428
2022-08-25T07:50:37Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:waliozaliwa karne ya 5 KK]] [[Jamii:430 KK]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:waliozaliwa karne ya 5 KK]]
[[Jamii:430 KK]]
kk4mqemj721v0nlqf8q9po2t5rcyheg
Jamii:Waliofariki 354 KK
14
157474
1244429
2022-08-25T07:51:21Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Waliofariki karne ya 4 KK]] [[Jamii:354 KK]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Waliofariki karne ya 4 KK]]
[[Jamii:354 KK]]
3adx9eu20yobtrjes3rcxje5820ziua
Jamii:Waliofariki 1279 KK
14
157475
1244430
2022-08-25T07:54:31Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Waliofariki karne ya 13 KK]] [[Jamii:1279 KK]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Waliofariki karne ya 13 KK]]
[[Jamii:1279 KK]]
mpid5qg8kd5htrszr0nqjm9u0ntluho
Jamii:Utalii wa Mali
14
157476
1244439
2022-08-25T08:21:22Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{commons cat|Tourism in Mali}} [[Jamii:Utalii wa Afrika|M]] [[Jamii:Utalii nchi kwa nchi|M]] [[Jamii:Mali]]'
wikitext
text/x-wiki
{{commons cat|Tourism in Mali}}
[[Jamii:Utalii wa Afrika|M]]
[[Jamii:Utalii nchi kwa nchi|M]]
[[Jamii:Mali]]
a773ntdxv1avr2k6s64xh3mc32gnh85
Mihael Cardei
0
157477
1244442
2022-08-25T08:24:05Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mihael Cardei]] hadi [[Michael Cardei]]: usahihi wa jina
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Michael Cardei]]
kfc24oh3lxn7cvg4ls9b3mwwusnl6g3
Mauaji ya Ramarley Graham
0
157478
1244444
2022-08-25T08:24:44Z
Riccardo Riccioni
452
Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa [[Mauaji ya Ramarley Graham]] hadi [[Uuaji wa Ramarley Graham]]: usahihi wa jina
wikitext
text/x-wiki
#REDIRECT [[Uuaji wa Ramarley Graham]]
bbk9d2nnrn9ukbj1ejz021wsmielupu
Jamii:Köln
14
157479
1244451
2022-08-25T08:34:09Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:miji ya Ujerumani]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:miji ya Ujerumani]]
hxnm4dkeynsarldrl7m7osftuumtl5u
Jamii:Magazeti ya Afrika Kusini
14
157480
1244452
2022-08-25T08:35:56Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|A]] [[Jamii:Afrika Kusini]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|A]]
[[Jamii:Afrika Kusini]]
9vzqjyl0omkn8d02cbm6j6oupkwfi2p
Jamii:Magazeti ya Argentina
14
157481
1244453
2022-08-25T08:36:16Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|A]] [[Jamii:Argentina]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|A]]
[[Jamii:Argentina]]
s90zux0cou9g0ud1gr8kx1vdn6rdokq
Jamii:Magazeti ya Iceland
14
157482
1244454
2022-08-25T08:36:38Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|I]] [[Jamii:Iceland]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|I]]
[[Jamii:Iceland]]
j570ap7nyi3ci4ffmr1jk0yobntrn50
Jamii:Magazeti ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
14
157483
1244455
2022-08-25T08:37:05Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|K]] [[Jamii:Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]
o44yxrmphyp2964c42abrs0e3wg3d4s
Jamii:Magazeti ya New Zealand
14
157484
1244456
2022-08-25T08:37:28Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|N]] [[Jamii:New Zealand]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|N]]
[[Jamii:New Zealand]]
kpix2loava1g18rucg6xj33qpbhxdey
Jamii:Magazeti ya Ubelgiji
14
157485
1244457
2022-08-25T08:37:52Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|U] [[Jamii:Ubelgiji]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|U]
[[Jamii:Ubelgiji]]
a0z061der5m1y7fxps1o15jga03a3i6
1244458
1244457
2022-08-25T08:38:03Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|U]]
[[Jamii:Ubelgiji]]
836cyrsv4vhay4co1qvb0y7onbx68vg
Jamii:Magazeti ya Urusi
14
157486
1244459
2022-08-25T08:38:24Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|U] [[Jamii:Urusi]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|U]
[[Jamii:Urusi]]
nynavpdrvkslv8epsrisbn5lu2t49lm
Jamii:Magazeti ya Wales
14
157487
1244462
2022-08-25T08:40:53Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|W] [[Jamii:Welisi]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|W]
[[Jamii:Welisi]]
kfke3mpxod03f2d5d96rctmj8705fzo
1244463
1244462
2022-08-25T08:41:10Z
Riccardo Riccioni
452
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Magazeti nchi kwa nchi|W]]
[[Jamii:Welisi]]
edbt67rsy50rvc5mqduh080sd365vvf
Jamii:Majengo ya Brazil
14
157488
1244464
2022-08-25T08:42:41Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|B]] [[Jamii:Brazil]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|B]]
[[Jamii:Brazil]]
axvh1691t9ol0yssntolljhf0xt0uog
Jamii:Majengo ya Gambia
14
157489
1244465
2022-08-25T08:43:03Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|G]] [[Jamii:Gambia]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|G]]
[[Jamii:Gambia]]
mlhvc6clv32731dkng3ek84tcqe891t
Jamii:Majengo ya Guinea
14
157490
1244466
2022-08-25T08:43:26Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|G]] [[Jamii:Guinea]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|G]]
[[Jamii:Guinea]]
gnmnhyxa0a5iku5ve4r3p98cb818ii3
Jamii:Majengo ya Kolombia
14
157491
1244467
2022-08-25T08:43:53Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|K]] [[Jamii:Kolombia]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:Kolombia]]
stk24idombgfqke1pxeg1yqym7bg92d
Jamii:Majengo ya Korea Kaskazini
14
157492
1244468
2022-08-25T08:44:16Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|K]] [[Jamii:Korea Kaskazini]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|K]]
[[Jamii:Korea Kaskazini]]
q7fkwj0ahfuwbxkkmtrxskhal3tcloh
Jamii:Majengo ya Lebanoni
14
157493
1244469
2022-08-25T08:44:39Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|L]] [[Jamii:Lebanoni]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|L]]
[[Jamii:Lebanoni]]
9tc0peb55o6hxibb3zqjwi65y734q9b
Jamii:Majengo ya Msumbiji
14
157494
1244470
2022-08-25T08:45:00Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|M]] [[Jamii:Msumbiji]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|M]]
[[Jamii:Msumbiji]]
oz02903zf8smuhpl3yv9g1e61h69dky
Jamii:Majengo ya Uajemi
14
157495
1244471
2022-08-25T08:45:21Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|U]] [[Jamii:Uajemi]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|U]]
[[Jamii:Uajemi]]
cjncvt7tgfbji3wkpliu5v9d1kuk4jz
Jamii:Majengo ya Cabo Verde
14
157496
1244472
2022-08-25T08:45:59Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|C]] [[Jamii:Cabo Verde]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|C]]
[[Jamii:Cabo Verde]]
6pzav29zzcx3d5cy2uko7pngaygmtca
Jamii:Majengo ya Abu Dhabi
14
157497
1244473
2022-08-25T08:46:45Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|A]] [[Jamii:Falme za Kiarabu]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|A]]
[[Jamii:Falme za Kiarabu]]
ts2f0fzse7qyl1tc627bww08i2aj3he
Jamii:Majengo ya Dubai
14
157498
1244474
2022-08-25T08:47:13Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|D]] [[Jamii:Dubai]] [[Jamii:Falme za Kiarabu]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Majengo nchi kwa nchi|D]]
[[Jamii:Dubai]]
[[Jamii:Falme za Kiarabu]]
ru2oxssorq65qwjru0kw7kdfvjlpqx2
Jamii:Makabila ya Burkina Faso
14
157499
1244479
2022-08-25T08:54:49Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Burkina Faso]] [[Jamii:Makabila ya Afrika|B]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Burkina Faso]]
[[Jamii:Makabila ya Afrika|B]]
qowtw0vbq7n8cmdamqlufxzc71e3icj
Jamii:Makabila ya Gambia
14
157500
1244480
2022-08-25T08:55:12Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Gambia]] [[Jamii:Makabila ya Afrika|G]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Gambia]]
[[Jamii:Makabila ya Afrika|G]]
jf90frfv1o795wzl3yv56my55rtuulc
Jamii:Makabila ya Guinea
14
157501
1244481
2022-08-25T08:55:33Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Guinea]] [[Jamii:Makabila ya Afrika|G]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Guinea]]
[[Jamii:Makabila ya Afrika|G]]
54cewl18u3npeqhaeeupaut0nh9xaxt
Jamii:Makabila ya Guinea Bisau
14
157502
1244483
2022-08-25T08:56:59Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Guinea Bisau]] [[Jamii:Makabila ya Afrika|G]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Guinea Bisau]]
[[Jamii:Makabila ya Afrika|G]]
c01fjf0sncsdus4j1wl6oi8igjguu50
Jamii:Makabila ya Komoro
14
157503
1244484
2022-08-25T08:57:24Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Komori]] [[Jamii:Makabila ya Afrika|K]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Komori]]
[[Jamii:Makabila ya Afrika|K]]
or05yh33w9lx7wu5h2xn6sn4t940o0q
Jamii:Makabila ya Mali
14
157504
1244485
2022-08-25T08:57:44Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Mali]] [[Jamii:Makabila ya Afrika|M]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Mali]]
[[Jamii:Makabila ya Afrika|M]]
c2vcg3aza7pj6cd2wm0zawpj8mtzey0
Jamii:Makabila ya Mauritania
14
157505
1244486
2022-08-25T08:58:08Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Mauritania]] [[Jamii:Makabila ya Afrika|M]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Mauritania]]
[[Jamii:Makabila ya Afrika|M]]
gk0clr864cfe92xwycwzzu1hu2f0cgd
Jamii:Makabila ya Niger
14
157506
1244487
2022-08-25T08:58:30Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Niger]] [[Jamii:Makabila ya Afrika|N]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Niger]]
[[Jamii:Makabila ya Afrika|N]]
gqqjfwtxl3o019dqk86lvsggigkl6ys
Jamii:Makabila ya Senegal
14
157507
1244488
2022-08-25T08:58:50Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Senegal]] [[Jamii:Makabila ya Afrika|S]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Senegal]]
[[Jamii:Makabila ya Afrika|S]]
e9faphrnqxmsmzdqq7iw0cf04373tvp
Jamii:Makabila ya Sierra Leone
14
157508
1244489
2022-08-25T08:59:10Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Sierra Leone]] [[Jamii:Makabila ya Afrika|S]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Sierra Leone]]
[[Jamii:Makabila ya Afrika|S]]
9472frsosdat3752ucu7rj7anm83msl
Jamii:Manzini
14
157509
1244492
2022-08-25T09:04:52Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Miji ya Eswatini]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Miji ya Eswatini]]
4gvqjycwtshuipt75r5gdwdyfcjpprw
Jamii:Marseille
14
157510
1244494
2022-08-25T09:06:52Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:miji ya Ufaransa]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:miji ya Ufaransa]]
84jom7u2zlnslu703aslzu78jqjttcl
Jamii:Matabibu
14
157511
1244497
2022-08-25T09:11:15Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Kazi]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Kazi]]
lbeszqp7ylen7e6kqppopg02eg2tlb5
Jamii:Matabibu wa Tanzania
14
157512
1244498
2022-08-25T09:11:55Z
Riccardo Riccioni
452
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:matabibu]] [[Jamii:watu wa Tanzania]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:matabibu]]
[[Jamii:watu wa Tanzania]]
7na3w6lawnvz3gv96tyg0k996zyz7jt
Alexandra Abrahams
0
157513
1244501
2022-08-25T10:09:16Z
Gladys Gibbs
40388
ukurasawa majaribio
wikitext
text/x-wiki
'''Alexandra Lilian Amelia Abrahams''' (amezaliwa [[Julai]] 13, [[1986]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] anaetumikia [[Bunge]] la [[Taifa]] tangu [[Mei]] [[2019]].
== Wasifu ==
Abrahams alipata shahada ya heshima ya sayansi ya siasa kutoka chuo kikuu cha Stellenbosch.<ref name=":0">https://www.pa.org.za/blog/alexandra-lilian-amelia-abrahams</ref>hfgdjhgkfjgjlghk.<ref name=":0" />
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Siasa ya Afrika Kusini]]
408t3rry9yf5jac95giogughrgd133q
Alexandra Abraham
0
157514
1244502
2022-08-25T10:09:55Z
Witchymitch
55652
Ukurasa wa majaribio
wikitext
text/x-wiki
'''Alexandra Lilian Amelia Abrahams''' (amezaliwa [[Julai]] 13 [[1986]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini|Africa Kusini]]
== Wasifu ==
== Abrahams alipata shahada ya heshima ya sayansi ya siasa kutoka chuo cha Stellenbosch <ref>{{Cite web|title=Alexandra Lilian Amelia Abrahams|url=http://www.pa.org.za/blog/alexandra-lilian-amelia-abrahams|work=People's Assembly|date=2021-11-15|accessdate=2022-08-25|language=en}}</ref> ==
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Siasa ya Afrika Kusini]]
mqwyn1530oe8svlwyam9y4056cap1p7
Grace Boroto
0
157515
1244503
2022-08-25T10:42:00Z
Thea Alfred Sindato
55651
Ukurasa wa majaribio
wikitext
text/x-wiki
'''Mmatlala Grace Boroto''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambaye amewahi kuwa mjumbe ([[Mbunge]]) wa [[Bunge]] la Kongamano la taifa la [[Afrika]].<ref>https://www.parliament.gov.za/person-details/19</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Mbegu za wanasiasa]]
[[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Wanawake wa Afrika]]
[[Jamii:Siasa ya Afrika Kusini]]
[[Jamii:Women in Wiki Moshi]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
r85ivjfu3qp1amwhdy0jttb8n7dtmhf
Crezane Bosch
0
157516
1244504
2022-08-25T10:54:29Z
Witchymitch
55652
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Crezane Bosch (amezaliwa [[Mei]] 7 [[1982]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambae ni mwanachama wa kidemokrasia wa muungano wa bunge la mkoa wa Gauteng kwa bunge la sita. == Elimu == Kwa sasa anasomea LLB katika Chuo Kikuu cha Afrika Kusini.<ref>https://dagauteng.org.za/our-people</ref> == Marejeo == [[Jamii:Mbegu za wanasiasa]] [[Jamii:Women in Wiki Moshi]]'
wikitext
text/x-wiki
Crezane Bosch (amezaliwa [[Mei]] 7 [[1982]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]] ambae ni mwanachama wa kidemokrasia wa muungano wa bunge la mkoa wa Gauteng kwa bunge la sita.
== Elimu ==
Kwa sasa anasomea LLB katika Chuo Kikuu cha Afrika Kusini.<ref>https://dagauteng.org.za/our-people</ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Mbegu za wanasiasa]]
[[Jamii:Women in Wiki Moshi]]
axk6i2xsm611qsca1fewrbw18850sid
Majadiliano ya mtumiaji:Mrs mahapula
3
157517
1244505
2022-08-25T11:00:31Z
CaliBen
33319
/* Karibu */ mjadala mpya
wikitext
text/x-wiki
== Karibu ==
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 11:00, 25 Agosti 2022 (UTC)
djazvj6uxa1vzgslce4jz98s0jky76n
Majadiliano ya mtumiaji:Thea Alfred Sindato
3
157518
1244506
2022-08-25T11:05:40Z
CaliBen
33319
/* Karibu */ mjadala mpya
wikitext
text/x-wiki
== Karibu ==
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 11:05, 25 Agosti 2022 (UTC)
ozu7qo1h6hcag428z7j7znsnxpeuxf5
Majadiliano ya mtumiaji:Witchymitch
3
157519
1244507
2022-08-25T11:05:51Z
CaliBen
33319
/* Karibu */ mjadala mpya
wikitext
text/x-wiki
== Karibu ==
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 11:05, 25 Agosti 2022 (UTC)
ozu7qo1h6hcag428z7j7znsnxpeuxf5
Jamii:Women in Wiki Moshi
14
157520
1244508
2022-08-25T11:06:47Z
CaliBen
33319
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '[[Jamii:Arusha Edit-a-thons]]'
wikitext
text/x-wiki
[[Jamii:Arusha Edit-a-thons]]
jhtjih0v102a7w7vfrksegchl5uj3ni
Majadiliano ya mtumiaji:Nyshee123
3
157521
1244509
2022-08-25T11:07:44Z
CaliBen
33319
/* Karibu */ mjadala mpya
wikitext
text/x-wiki
== Karibu ==
{{karibu}} '''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 11:07, 25 Agosti 2022 (UTC)
lfcvn1l3b207rs8d237rzuays1xxlj3
Nosimo Balindlela
0
157522
1244510
2022-08-25T11:12:29Z
Enigmatic pixie
55665
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' Nosimo Zisiwe Beauty Balindlela (alizaliwa 28 [[Novemba]] [[1949]] huko Hermanus, mkoa wa Cape) <ref><sup>[1]</sup> </ref> ni [[mwanasiasa]] wa Afrika Kusini ambaye aliwahi kuwa Waziri mkuu wa Rasi ya mashariki kuanzia tarehe 26 [[Aprili]] [[2004]] hadi 1 [[Agosti]] 2008.<ref>http://www.info.gov.za/gol/gcis_profile.jsp?id=1072</ref> [[Jamii:Wanasiasa wanawake Afrika Kusisni]] [[Jamii:Mbegu za wanasiasa]] [[Jamii:Women in Wiki Moshi]]'
wikitext
text/x-wiki
Nosimo Zisiwe Beauty Balindlela (alizaliwa 28 [[Novemba]] [[1949]] huko Hermanus, mkoa wa Cape) <ref><sup>[1]</sup> </ref> ni [[mwanasiasa]] wa Afrika Kusini ambaye aliwahi kuwa Waziri mkuu wa Rasi ya mashariki kuanzia tarehe 26 [[Aprili]] [[2004]] hadi 1 [[Agosti]] 2008.<ref>http://www.info.gov.za/gol/gcis_profile.jsp?id=1072</ref>
[[Jamii:Wanasiasa wanawake Afrika Kusisni]]
[[Jamii:Mbegu za wanasiasa]]
[[Jamii:Women in Wiki Moshi]]
2po9wjn7v0kqz8z7r99ntjqnbqp8gyt
1244512
1244510
2022-08-25T11:16:13Z
CaliBen
33319
wikitext
text/x-wiki
Nosimo Zisiwe Beauty Balindlela (alizaliwa 28 [[Novemba]] [[1949]] huko Hermanus, mkoa wa Cape) <ref><sup>[1]</sup> </ref> ni [[mwanasiasa]] wa Afrika Kusini ambaye aliwahi kuwa Waziri mkuu wa Rasi ya mashariki kuanzia tarehe 26 [[Aprili]] [[2004]] hadi 1 [[Agosti]] 2008.<ref>http://www.info.gov.za/gol/gcis_profile.jsp?id=1072</ref>
[[Jamii:Wanasiasa wanawake Afrika Kusini]]
[[Jamii:Mbegu za wanasiasa]]
[[Jamii:Women in Wiki Moshi]]
3e0gzz06sey3era6d8ebdrv27u6rjj3
Majadiliano ya mtumiaji:Enigmatic pixie
3
157523
1244511
2022-08-25T11:14:33Z
CaliBen
33319
/* Karibu */ mjadala mpya
wikitext
text/x-wiki
== Karibu ==
{{Karibu}} '''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 11:14, 25 Agosti 2022 (UTC)
j7qqflvglb7z2p1e9q62bpcn2mqg505
Sandra Botha
0
157524
1244515
2022-08-25T11:33:15Z
Witchymitch
55652
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' Celia-Sandra Botha (amezaliwa 25 Februari 1945) ni mwanasiasa wa Afrika Kusini, ambaye aliwahi kuwa Balozi wa Afrika Kusini katika Jamhuri ya Czech. == Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni == Botha alipata kura nyingi zaidi ya waziri wa zamani wa baraza la mawaziri la NP, Tertius Delport.<ref><nowiki>https://www.iol.co.za/news/politics/zille-led-da-gets-a-shake-up-358045</nowiki></ref> == Marejeo == [[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]] Jamii:Women i...'
wikitext
text/x-wiki
Celia-Sandra Botha (amezaliwa 25 Februari 1945) ni mwanasiasa wa Afrika Kusini, ambaye aliwahi kuwa Balozi wa Afrika Kusini katika Jamhuri ya Czech.
== Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ==
Botha alipata kura nyingi zaidi ya waziri wa zamani wa baraza la mawaziri la NP, Tertius Delport.<ref><nowiki>https://www.iol.co.za/news/politics/zille-led-da-gets-a-shake-up-358045</nowiki></ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Women in Wiki Moshi]]
r13c5xzc37cr3fr0sppxdvp6d2jdkpk
1244519
1244515
2022-08-25T11:54:53Z
41.59.211.226
Kuchapisha makala
wikitext
text/x-wiki
Celia-Sandra Botha (amezaliwa 25 Februari [[1945]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]], ambaye aliwahi kuwa Balozi wa Afrika Kusini katika Jamhuri ya Czech.
== Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ==
Botha alipata kura nyingi zaidi ya waziri wa zamani wa baraza la mawaziri la NP, Tertius Delport.<ref><nowiki>https://www.iol.co.za/news/politics/zille-led-da-gets-a-shake-up-358045</nowiki></ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Women in Wiki Moshi]]
iech8bx3871g5u1bw7y5q8a0yvcal9r
1244520
1244519
2022-08-25T11:56:31Z
41.59.211.226
Kuchapisha makala
wikitext
text/x-wiki
Celia-Sandra Botha (amezaliwa 25 Februari [[1945]]) ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini]], ambaye aliwahi kuwa Balozi wa [[Afrika Kusini]] katika Jamhuri ya [[Czech]].
== Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ==
Botha alipata kura nyingi zaidi ya waziri wa zamani wa baraza la mawaziri la NP, Tertius Delport.<ref><nowiki>https://www.iol.co.za/news/politics/zille-led-da-gets-a-shake-up-358045</nowiki></ref>
== Marejeo ==
[[Jamii:Wanasiasa wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Women in Wiki Moshi]]
aamtt8r1mmdd5zwlgzowgfmri15eq1m
Beverley Badenhorst
0
157525
1244516
2022-08-25T11:42:28Z
Zoey Virginia
55656
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Beverley Felicity Badenhorst''' ni mwanasiasa wa Africa Kusini akihudumu kama mjumbe wa bunge la Mkoa la Gauteng tangu May 2019. Badenhorst ni mjumbe wa Economic freedom fighters. == Taaluma ya Kisiasa == Badenhorst ni mjumbe wa Economic Freedom Fighters. Baada ya uchaguzi wa Mkoa wa mwaka 2019, aliteuliwa kwenye bunge la Mkoa la Gauteng. Alichukua ofisi May 22 2019. Badenhorst alipewa majukumu yake ya kamati June 13 2019. Alihudumu kama mjumbe m...'
wikitext
text/x-wiki
'''Beverley Felicity Badenhorst''' ni mwanasiasa wa Africa Kusini akihudumu kama mjumbe wa bunge la Mkoa la Gauteng tangu May 2019. Badenhorst ni mjumbe wa Economic freedom fighters.
== Taaluma ya Kisiasa ==
Badenhorst ni mjumbe wa Economic Freedom Fighters. Baada ya uchaguzi wa Mkoa wa mwaka 2019, aliteuliwa kwenye bunge la Mkoa la Gauteng. Alichukua ofisi May 22 2019.
Badenhorst alipewa majukumu yake ya kamati June 13 2019. Alihudumu kama mjumbe mbadala wa kamati ya kudumu kwenye hesabu za taifa na pia kama mjumbe wa kamati kwingineko ya maendeleo ya jamii.
[[Jamii:Wanawake wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Siasa ya Afrika Kusini]]
[[Jamii:Wanawake wa Afrika]]
sgmev08fp5mt07l92z8zrpnf0a411ve
Ayanda Bans
0
157526
1244517
2022-08-25T11:47:00Z
Mangale23
55664
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '== '''Ayanda Ayanda Precious Bans''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini|Afrika kusini]] anaehudumu kama mbunge wa bunge la mkoa wa cape Magharibi tangu Mei [[2019]].Yeye ni mwanachama wa [[ANC|African National Congress]] na anawakilisha eneo bunge la Karoo ya kati. == [[Jamii:Wanasiasa wanawake Afrika kusini]] [[Jamii:Mbegu za wanasiasa]] [[Jamii:Women in wiki moshi]]'
wikitext
text/x-wiki
== '''Ayanda Ayanda Precious Bans''' ni [[mwanasiasa]] wa [[Afrika Kusini|Afrika kusini]] anaehudumu kama mbunge wa bunge la mkoa wa cape Magharibi tangu Mei [[2019]].Yeye ni mwanachama wa [[ANC|African National Congress]] na anawakilisha eneo bunge la Karoo ya kati. ==
[[Jamii:Wanasiasa wanawake Afrika kusini]]
[[Jamii:Mbegu za wanasiasa]]
[[Jamii:Women in wiki moshi]]
03xs6iyfhkoyf55frsrcwgkfh4qqxb2
Laetitia Arries
0
157527
1244518
2022-08-25T11:54:40Z
Silvia Teddy
55654
Kuanzisha makala
wikitext
text/x-wiki
'''Laetitia Heloise Arries''' ni mwanasiasa wa Afrika kusini ambaye amehudumu bunge tangu mei 2019. Kabla ya kuchaguliwa katika bunge alihudumu Kama Diwani wa manispaa ya ndani George. Arries ni mwanachama wa Economis freedom fighte.
== Taaluma ==
Arries ni mwanachama wa Economic freedom fighter. Alichaguliwa kua Diwani muwakilishi wa manispaa ya ndani ya George Agosti 216.<ref name=":0">Pienaar, Michelle (23 May 2019). "Georgians off to parliament!". ''George Herald''. Archived from the original on 4 September 2019. Retrieved 29 July 2020.</ref>
Arries alichaguliwa bungeni kwenye uchaguzi wa mkuu uliofanyika mai 8 2019. Tarehe 22 Mei 2019 aliapishwa kuwa mbunge. Arries ni mmoja was wanting wawili was EEF kutoka George. Mbunge mwingine EEF kutoka George ni Natasha Ntlangwini.<ref name=":0" />
Arries alihudumu kama mjumbe mbadala wa kamati ya wizara ya makazi ya binadamu, maji na usafi was mazingira Kati ya 27 Juni 2019 na Mei 6 2020 .<ref name=":1">CITATION
<sup>[2]</sup> </ref> Mei 6 2020, alikuachia mjumbe mbadala wa kamati ya wizara ya maendeleo ya jamii<ref name=":1" />
== Marejeo ==
[[Jamii:Siasa ya Afrika Kusini]]
[[Jamii:Women in Wiki Moshi]]
t6yjcrqp1ph8n2cd9r6yydzi6znaysb
Majadiliano ya mtumiaji:Zoey Virginia
3
157528
1244521
2022-08-25T11:58:56Z
CaliBen
33319
/* Karibu */ mjadala mpya
wikitext
text/x-wiki
== Karibu ==
{{Karibu}} '''[[Mtumiaji:CaliBen|CaliBen]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:CaliBen|majadiliano]])''' 11:58, 25 Agosti 2022 (UTC)
ivrg7j25ewz2z8qhhxt2r0y5fu3pui0